Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live

Kutana  na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH Maalim HUSSEIN Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa

$
0
0

Kutana  na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH Maalim HUSSEIN Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika

Anatibu kwa Njia ya Simu Ukiwa Nchi Yoyote / Mkoa wowote

..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na  Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU(LIMBWATA). Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine?Una Mpenzi wako ana Pesa na Unataka kumkamata? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
Maalim Hussein Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia  Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA,Hutoa  PETE ZA BAHATI inayoendana na NYOTA YAKO. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.HUZUIA CHUMA ULETE NA KUKUPA DAWA YA KUONGEZA FAIDA KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA AU KUDHULUMIWA.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI.

Humaliza Kabisa Tatizo la Nguvu za KIUME na Kurefusha Uume kwa Saizi Unayotaka,HUMALIZA KESI YA AINA YOYOTE NDANI YA SIKU 14.

Na mengi zaidiWhatsapp +255 674 835107 
Calls +255746757102

Tiba ni kwa Watu wenye Imani na Dini zote..

Maskini:Mbunifu wa Nembo ya Taifa Anaishi Maisha Duni Sana

$
0
0

Husika na kichwa cha habari hapo juu,Mzee Francis Ngosha ndie mchoraji na mbunifu wa nembo ya taifa hivi sasa anaishi maisha ya kichokoraa huko Buguruni jijini Dar es salaam. Kibanda anachoishi ni cha hovyo sana ni kama banda la kuku limezungushwa na Bati juu mpaka chini.

Serikali msaidieni huyu mzee ni muhimu sana kwa historia ya taifa letu haipendezi kuwatelekeza na ukizingatia hivi sasa afya yake si nzuri na uzee kwa kweli anahitaji msaada.

Baraka The Prince Amponda Ben Pol

$
0
0
Baada ya Mwimbaji Ben Pol kuachia wimbo wake mpya aliomshirikisha Darassa, wimbo ambao alianza ku-promote ujio wake kwa kupost picha akiwa bila nguo, kumekua na mapokezi ya tofautitofauti kutoka kwa watu mbalimbali kutokana na picha hizo alizozitanguliza.

Baada ya kuusikia wimbo huo, Mwimbaji Baraka The Prince ametumia ukurasa wake wa Instagram kuandika masikitiko yake :

Nimekuwa disappointed sana huu wimbo… kwa jamaaa alivyojitoa nilidhani ni kitu kikubwa kumbe upumbavu’ #saveourmusic

Wewe pia unaweza kuusikiliza na kupakua wimbo huo mpya wa Ben Pol kupitia  kwenye Link iliyopo kwenye Bio yake ya Instagram  na kuniandikia maoni yako hapa mtu wangu lakini kama ulipitwa na alichosema Ben Pol kuhusu hizo picha, bonyeza play hapa chini kutazama video nzima.

Roma Atinga Ikulu Kwenye Mkutano wa Rais Magufuli.

$
0
0
Kwa mara ya kwanza Msanii wa Hip Hop Roma Mkatoliki  na wasanii wengine tangu kuingia Madarakani kwa Rais John Magufuli wameitwa Ikulu.

Roma alionekana Ikulu akiwa bado Mkononi anabendeji aliwekwa kutokana na Majereha aliyoyapata kutokana na mateso aliyoyapata alipotekwa na watu wasiojulikana.

kwa pamoja na wasanii wengine waliimba mbele ya Rais Magufuli wimbo wa Kizalendo juu ya 'Tuulinde Muungwano'

Wimbo huo uliwakutanisha wasanii takribani wote wa Muziki wa Bongo Flavor.

Kujiuzulu Kwa Manji je Vita ya Makonda Dhidi ya Wauza Madawa inafanikiwa?

$
0
0

Manji ni mmoja wa waliotajwa na Makonda katika sakata la watuhumiwa wa madawa ya kulevya.

Mara baada ya kutajwa Manji alianzisha mtafaruku mkubwa ikiwa ni pamoja na kwenda na wafuasi kadhaa wa yanga kituo cha polisi,pia alionekana kwenda kifahari sana pale kituo cha polisi...lakini baadaye hatukumsikia akitamba kabisa hadi sasa tunasikia akiiachia Yanga ambayo pengine labda ilikuwa ni maficho yake

Je katika hili tumpongeze makonda kwa ushindi wa awali dhidi ya wauza madawa ya kulevya?

Bonyeza Hapa Kudownload App Yetu ya Udaku Special Kwenye Smart Phone yako

$
0
0
Bonyeza HAPA Kuinstall Kirahisi Application Yetu ya Udaku Special 

Breaking News: Rais Magufuli Amtaka Profesa Muhongo Aachie Ngaza Kutokana na Ripoti ya Makontena ya Mchanga

$
0
0
Kutokana na Madudu ya yaliyowekwa wazi na Taarifa ya Makontena ya Mchanga aliyokabithiwa Rais Leo hii, Rais Magufuli amemtaka Waziri Professor Dr. Sospeter Muhongo ajitasmini upya na amemtaki aachie ngazi

JPM Amenukuliwa akisema haya:

"...... .. Ni rafiki yangu lakini katika hili, 
Ajitathmini, Ningetaka ajiudhulu''-
JPM.

Rais Magufuli Avunja Bodi ya TMAA, Upotevu wa Madini Wafanyakazi Kikaangoni

$
0
0

IKULU: Rais Magufuli amepokea Ripoti ya Kamati ya uchunguzi wa Mchanga wa Madini. Imebaini upotevu wa Shilingi Bilioni 676 hadi trilioni 1.

Kamati Maalumu iliyoundwa imetoa jumla ya mapendekezo tisa ambayo yote yamekubaliwa na Rais.

Wakati akihutubia Rais Magufuli asema anampenda Waziri wa Nishati na Madini, Prof Muhongo amtaka ajitafakari na bila ya kuchelewa alitaka aachie madaraka.
.

Aidha Rais pia ameivunja Bodi ya TMAA na avitaka vyombo vya Dola kuwafuatilia wafanyakazi wote wa TMAA kwa upotevu wa madini.

Soma Nafasi za Kazi Zilizotangazwa Leo

Maajabu.. Waungua kwa Kuchomwa Moto Bila Nyumba Kuungua.. Inasadikika Walifumaniwa..!!!

$
0
0

Watu 2 wa jinsia ya kike na Kiume ambao bado majina yao hayajatambulika wamekutwa wamepoteza maisha katika Kitongoji cha Elkiurei Kata ya Kiranyi wilayani Arumeru kwa kile kinachosemekana kuwa ni ajali ya moto.

Akithibitisha tukio hilo mwenyekiti wa kitongoji hicho Bwana Enesphori Chami amesema kuwa tukio hilo ni la kushangaza kwasababu wamekuta marehemu hao katika mazingira ya ya kujiuliza maswali mengi kwa kuwa mwanaume alikuwa amefungwa kamba mikononi jambo lonaloleta utata kuelewa nini kilikuwa kinaendelea.

Bwana Chamia amesema marehemu hao walikuwa mwanaume na mwanamke wanaokadiriwa kuwa na umri wa miaka kata ya 30 na 35 lakini kinachoshangaza wameungua wao pamoja na Godoro jambo ambalo linatia wasiwasi majirani waliokuwa eneo hilo.

Naye shuhuda aliyejionea tukio hilo amesema kuwa walilazimika kuvunja mlango kwa kuwa ulikuwa umefungwa kwa ndani lakini dirisha lilikuwa limefunguliwa jambo ambalo hawajaelewa kwasababu marehemu hao mwanaume alikuwa amefungwa kamba.

Shuhuda huyo amesema kuwa Mwanamke huyo anajulikana kwasababu wako naye siku zote lakini mwanaume anaonekana kuwa ni mgeni kwasababu hawajawahi kumuona na mwanamke alikuwa anaishi peke yake.

Naye Diwani wa kata ya Kiranyi Bwan John Seneu amesema kuwa tukio hilo ni la kushangaza kwasababu kama ni nyumba kuungua ingeteketea yote lakini kilichoungua ni godoro peke yake kitu kinachoendelea kuwafanya wananchi kuwa na maswali mengi.

Hata hivyo ametoa wito kwa wananchi kuendelea kuwa makini Na matukio kama haya na kutambua wageni wanaowatembeleakatika maeneo yao 

Pamoja na hayo jeshi la polisi linaendelea na upelelezi ili kubaini chanzi cha tukio hilo la kusikitisha.

Ukweli Uliofichwa..Mandela Alipewa Sifa Aliyostahili Nyerere! So Sad!

$
0
0

Mwalimu Nyerere Muda Mfupi Baada ya Uhuru alipata Ugeni wa Siri, Ugeni wa Nelson Mandela. Mandela alikuwa akitaka Msaada kwa Nyerere wa Kuanzisha Jeshi la Kupigania Haki la Umkoto We Skzwe yaani Mkuki wa Bwana au Mkuki wa Mfalme.

Kulingana Na Kitabu cha Mandela cha Long Walk to Freedom, Nyerere alionyesha Kusita, alimshauri asubiri asifanye jitihada za Kijeshi mpaka Walter Sisulu aachiliwe. Wakaagana Nelson akamwambia Mwalimu atarudi Tena na Akaenda Ethiopia ambako alikutana na Haile Selassie, Haile Selassie alimwelewa Mandela Kwa haraka na Akampa Pesa nyingi sana tu. Mandela akasafiri kurudi SA. Kufika huko muda Mchache akakamatwa hivyo hakuweza Tena kuonana na Nyerere.

Baada ya Mandela Kukamatwa na Nyerere Kuona kwa Undani Uonevu wa Ukoloni Nchi za Kusini Mwa Afrika na Ubaguzi wa Rangi SA, basi akaamua Kujitwisha Mzigo wa Kusaidia Majeshi ya nchi zote zile na Pia sio tu hivyo Bali kiwazi wazi akazunguka Dunia Nzima Kupiga Kelele na Pia Kutafuta fedha za kusaidia Majeshi yale. Na mara nyingi akatumia hata Majeshi ya Tanzania kusaidi. Hii ilimhatarisha binafsi na nchi kwa ujumla!

Msumbiji ilipopata Uhuru Nyerere ndiye aliyewakalisha Akina Samora na Kuwaambia wasilipize Visasi kwa Wazungu au Collaborators (Waliokuwa wakiwasaidia wazungu) na kwa Mwongozo wa Moja kwa moja wa Nyerere Ikaanzishwa Tume ya Ukweli na Usuluhishi (Truth and Reconciliation) ambapo waliofanya uhalifu wa kinyama walikuwa wakikiri na Kuomba Msamaha.

South Afrika ilipokuwa Democratic 1994 Mandela Akafuata Mfano huo nukta kwa Nukta. Lakini Dunia Nzima ikamwenzi sana Mandela, Mandela alizikwa na Viongozi wote Wa dunia, Ila Nyerere hakupewa heshima wala shukurani anayoistahili na Dunia wakati wa Kifo chake.

Kila uendapo Duniani Unakuta Sanamu za Mandela, Ila Nyerere hata AU ilibidi Mugabe aseme ikiwa Afrika haitaki Kumkumbuka Nyerere Zimbabwe itafanya Kivyake!

RC Gambo Ameivua Nguo Serikali na Mamlaka Iliyomteua..!!!

$
0
0

Kwa baadhi ya vitendo au maamuzi yanayofanywa na huyu kiongozi kwa kutumia cheo chake yananifanya niamini kumbe hata mimi naweza kuongoza vizuri na kwa busara kuliko huyu.

Kitendo cha kukamata watu walioenda kufarijiana kwa msiba uliotokea eti ni mkusanyiko usio halali eti hauna kibali, hata atumie hoja nyingi kias gani kujisafisha ukweli utabaki palepale
Ameivua nguo serikali na mamlaka iliyomteua. 

Kitendo hiki kimepanda chuki juu yake kwa sababu kuna watu wengi wapo nyuma ya waliokamatwa mfano wale viongozi wa dini. Yaani hapo wisdom empty hata kama itatumika jiki kusafisha hilo halitoki kwenye mioyo ya watanzania.

Hata kama nitakamatwa mimi mtoa hoja, bado ukweli utabaki hapo na cheo chako ni dhamana tu kesho tutakuwa wote huku mtaani. Sidhani kama alifikiri vizuri impact ya kitendo hiki, bado najiuliza hivi asingewakamata na kuwalaza polisi kwani kuna madhara yangetokea?

Jambo la pili ni kuhusu rambi rambi..

Najiuliza; Je, kama serikali inatumia rambirambi kinyume na matakwa ya waliotoa rambirambi na yenyewe ipo tayari fedha inazotuma kwenye halmashauri nchini zitumike kinyume na maelekezo?

Nakumbuka mara kadhaa waziri mkuu amekuwa akitoa onyo kali kwa viongozi kunapokuwa na fungu fulani limetolewa kwa shughuli fulani kwamba zitumike kama ilivyopangwa.

Chanzo - JF

CCM Wairuhuu CHADEMA Kutumia Ukumbi Wao wa Mikutano wa Dodoma Conventio Center..!!!

$
0
0

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi, Humphrey Polepole amesema kuwa ni ruksa kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA) kutumia ukumbi wao wa mikutano maarufu kama 'Dodoma Convention Centre'.

Kauli hiyo imetolewa na Polepole kufuatia mazungumzo aliyofanya kwa njia ya simu na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikael Mbowe tarehe 14 Mei 2017 juu ya uwezekano wa chama hicho kutumia ukumbi huo. Polepole amemwambia Mbowe kuwa CCM haioni uzito wa kutoa kibali kwa CHADEMA kutumia ukumbi huo ikiwa watawasilisha maombi rasmi kwa Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana.

Hata hivyo, Polepole amemweleza Mbowe kuwa wataruhusiwa tu kuutumia ukumbi huo ikiwa watakubali masharti ya kutoweka alama za chama chao nje ya ukumbi huo isipokuwa sehemu ya ndani.

Tarehe 27 Mei 2017, CHADEMA watafanya Mkutano wa Kamati Kuu Mjini Dodoma na taarifa iliyotolewa na Msemaji wa chama hicho Boniface Makene haijabainisha ukumbi watakaotumka. Upo uwezekano kuwa Mbowe ametekeleza masharti aliyopewa na huenda mkutano huo utafanyika ndani ya ukumbi wa CCM.

Paul Makonda Atumia Mbinu za Kimafia Dhidi ya Vyombo vya Habari Kufikisha Ujumbe wa Taarifa ya Mkoa..!!!

$
0
0

Pamoja na matamko na mikakati ya wana habari na wahariri kwa ujumla wao kuamua kwa Pamoja kutoandika au kutangaza habari za Paul Makonda Mkuu wa Mkoa wa Dar es salama kwa sababu kile kilichoitwa uvamizi wa kituo cha Clouds Media TV na redio.

Sasa Paul Makonda ametumia mbinu za kimafia kuhakikisha ujumbe kuhusu maendeleo ya Mkoa yanawafikia wana Dar es salama kwa kufanikiwa kuhojiwa mubashara na Star TV na TBC 1.

Na hiyo hali hiyo imesababisha Sasa hivi mitandao ya kijamii yote kuibuka na taarifa zake kila kukicha na hii itaendelea na Kuna uwezekano ndiyo ikawa ndiyo mwanzo wa kuvunjika kwa makubaliano yaliyokuwepo awali ya kutotoa habari zake kwa wana habari na wahariri ktk majukwaa tofauti!!

Nukuu 5 muhimu aliyosema Rais Magufuli leo Mei 24

$
0
0


 "Walifikiri ni wasomi sana, Sasa wasomi wenzao wame Wa-Proove Wrong" JPM                        


 "Walifanya hivyo, Kwa makusudi, Au kwa kutokujua ama hawajui Professional yao"- JPM


"Nilipoomba Dakika 5, Mimi niliondoka na wenzangu kuteta kidogo, kwamba ripoti hii haiwezi kupita hivi hivi, lazima tufanye kitu wakati tukisubiri ripoti nyingine"- JPM


"Nimeivunja bodi ya TMAA, na ninaagiza vyombo vya dola na Takukuru muwafuatilie muwafikishe kwenye mkono wa sheria"- JPM


"Ninampenda sana Profesa Muhongo, lakini pia ni rafiki yangu, lakini kwenye hili naomba kajifikirie na haraka sana uachie ngazi"


Niwakati wa makabidhiano ya Ripoti ya Kamati Maalum iliyochunguza Mchanga wa Madini  kwa Rais Magufuli leo Mei 24

JE Dada Unapenda Kuwa Mrembo? Na Kaka Unapenda Kuwa Mtanashati na Kurudisha Heshima ya Ndoa?

$
0
0

JE, DADA UNAPENDA KUWA MREMBO? NA KAKA UNAPENDA KUWA MTANASHATI NA KURUDISHA HESHIMA YA NDOA? Tumia Bidhaa halisi za MARKSON kwa mafanikio ya uhakika na bila madhara.
Zimetengenezwa kwa mimea na matunda na kuthibitishwa kiafya.
🍉🌿🍓🍒🎄🍍🍀🍓🍉
Pata hizi 👇👇👇👇👇👇

1. kurefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @120,000/=
2. Kuongeza shepu (hips, makalio na mapaja) kwa (a)BOTCHO MULT-PLUS 10× @200,000/=
(b)Vidonge @180,000/=
3. Kuwa mweupe na softi mwili mzima kwa:- (1)Mafuta @120,000/=
(11)Vidonge @150,000/=
4. Kupunguza unene na manyama uzembe @150,000/=
5. Kuongeza uume pamoja na nguvu za kiume kwa :-
(a) Gely ya kupaka @130,000/=
(b) Vidonge kwa ajili ya kuongeza nguvu hata kwa wenye kisukari @130,000/= (c)Handsome up (mashine) original @200,000/=
6. Kuondoa mvi milele zisiludi tena @120,000/=
7. Kuongeza unene wa mwili mzima na uzito pamoja na hamu ya kula @120,000/=
8. Kupunguza tumbo (kitambi) na nyama za pembeni kwa:-
(a) Dawa ya kunywa au kupaka @120,000/=
(b)Mkanda wa kawaida @100,000/=
(c)Mkanda wa umeme @200,000/=
9 .Kupunguza maziwa na kuyasimamisha hata kwa walionyonyesha @120,000/=
10.Kushepu miguu na kuwa minene na kuondoa migimbi @120,000/=
11.Kuondoa mipasuko mwilini (michirizi) @100,000/=
12.Kubana uke na kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke @120,000/=

NB: Hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.
Wasiliana nasi :-
(+255) 0767447444 na
0714335378
👉🏻Ili kuona bidhaa zetu na baadhi ya shuhuda za waliotumia bidhaa zetu
Follow us on instagram
👇👇👇👇👇👇👇👇👇
@Markson_beauty_pr
@Markson_beauty_pr

Tazama Full Video: Magufuli Akipokea Ripoti ya Mchanga wa Madini iliyofanya Ampe Mtihani Profesa Muhongo

$
0
0

Tazama Hapa Chini Rais Magufuli Akipokea Ripoti ya Mchanga wa Madini:

Kupanda na Kushuka Kwa Profesa Sospeter Muhongo...Je Atajiuzulu?

$
0
0
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amepitia misukosuko katika nafasi za uwaziri tangu alipoteuliwa na Rais wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete.

 Leo Rais John Magufuli amemtaka Profesa Muhongo ajitathmini kuhusu nafasi yake ya Uwaziri baada ya kupokea ripoti ya mchanga wa madini Ikulu.

Mei 2012, Rais Kikwete alimteua Muhongo kuwa mbunge pamoja na wabunge wengine watatu, akiwamo Janet Mbene na James Mbatia.

Baada ya kuteuliwa na kuwa mbunge, Muhongo aliteuliwa na kuwa Waziri wa Nishati na Madini  na Rais Kikwete.

Hata hivyo Januari 24 mwaka 2015, alimuandikia Rais barua ya kujiuzulu kutokana na sakata la uchotwaji wa fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow.

Mwaka mmoja baadaye, baada ya Rais John Magufuli kuingia madarakani, alimteua tena Profesa Muhongo kuwa Waziri wa Nishati na Madini.

Muhongo alishinda kiti cha ubunge wa Jimbo la Musoma Vijijini kwa tiketi ya CCM, katika uchaguzi wa 2015.

Lakini leo tena, ikiwa ni miaka zaidi ya miwili tangu ajiuzulu kutokana na kashfa ya Escrow, ametakiwa kujiuzulu kutokana na  sakata la mchanga wa madini.

Bond wa Wastara Atoweka Baada ya Kuhusishwa na Ujambazi

$
0
0
Baada ya kuachiwa na polisi kufuatia kukaa mahabusu ya Kituo cha Magomeni kwa kuhusishwa na ishu ya ujambazi, msanii wa filamu ambaye pia ni mpenzi wa Wastara Juma, Bond Suleiman, ametoweka mjini, Risasi Mchanganyiko linakupasha.

Mara baada ya kuachiwa, msanii huyo alisema kuwa alikamatwa na polisi kutokana na kuponzwa na rafi ki yake ambaye hata hivyo hakumtaja jina wala namna alivyomhusisha.

Chanzo kilicho karibu na msanii huyo kimeeleza kuwa mara baada ya kuachiwa, ameondoka mjini kiasi kwamba hata kipindi chake katika runinga ya Channel Ten, Action & Cuts hakina mpya zaidi ya kurudiwa matukio ya zamani.

“Yaani watu wanajiuliza Bond ameishia wapi maana hapa mjini hayupo tangu alipoachiwa polisi na
Wastara kusafi ri nje ya nchi kwa wiki kadhaa, hadi amerudi bado haonekani, huenda ameenda kujifi cha sehemu, maana hata simu yake ya mkononi haipatikani siku hizi,” kilisema chanzo.

Ili kujiridhisha, Risasi Mchanganyiko lilifi ka nyumbani kwa Bond alikokuwa akiishi na Wastara maeneo ya Ukonga, lakini hakuwepo na hata simu yake ya mkononi haikuwa hewani. Ili kubaini ukweli wa ishu hiyo, Risasi Mchanganyiko lilimtafuta Wastara ambaye alisema mwandani wake yupo mikoani akisimamia mashamba yao.

“Ninachojua mimi Bond baada ya mimi kusafi ri yeye alienda mikoani kusimamia mashamba yetu ya mazao na mawasiliano yetu yako vizuri tu kama kawaida, hivyo kama kuna mtu ambaye anajua kitu tofauti na mimi ninavyojua labda aeleze vizuri. “Kuhusu kipindi ni kweli alikiacha tangu mwaka jana mwezi wa saba hashughuliki nacho ila siwezi kueleza kwa nini maana mwenyewe ndiye anajua zaidi,” alisema Wastara.

Diamond Afunguka Baada ya Zari Kumtembelea Ivan,Amtaka Zari Aache Kupost Kila Kitu Mtandaoni..!!!

$
0
0

Daiamond amesema ni kitu poa kumtembelea kwa kuwa ni ubinadamu na hata akihitaji fedha za matibabu atampa, hajawahi kuwa na ugomvi nae ila wapambe wake ndio wanashadadia
Pia anamwambia Zari aache kuweka kila kitu mtandaoni maana anaonekana anatafuta kiki
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live




Latest Images