Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104698 articles
Browse latest View live

Kwa Muonekano Yupi Hapa ni Mbunge Mrembo Kuliko Wote

$
0
0

Urembo na mvuto kwenye macho ya binadamu huwezi kuvitenganisha. Wakati kule mjengoni Dodoma wakiendelea kupika bajeti ya serikali ya mwaka 2014/15, Over the Weekend tunakuletea Shindano la Nani Mbungwe Mrembo mwenye mvuto 2014?


Ukiwa shabiki namba moja wa safu hii unapata nafasi ya kutuma jina au majina ya wabunge wanaostahili kuingia kwenye kinyang’anyiro hiki. Andika jina la mbunge husika kisha tuma kwenda namba 0713 750 910. Kazi ni kwako.


Mwigizaji Natasha Nae Hoi Kitandani Kwa Ugonjwa wa Dengue

$
0
0
STAA mkongwe wa filamu Bongo, Suzan Lewis ‘Natasha’ ameongeza listi ya mastaa ambao wameathirika na ugonjwa wa dengu (Dengue Fever).

Akipiga stori na mwandishi wetu, Natasha alisema tangu Rais Jakaya Kikwete aingie madarakani, hajawahi kuugua hata homa lakini kwa mara ya kwanza mwaka huu homa ya dengu imemlaza.

“Nilianza kusikia baridi kali sana kisha nikawa naishiwa nguvu na mishipa inakakamaa, nilihisi naaga dunia kiukweli lakini niliwahi kwenda hospitali, nimepata tiba, nimeruhusiwa na ninaendelea vizuri,” alisema Natasha.

Miongoni mwa mastaa ambao wameumwa ugonjwa huo ambao hauna tiba ya moja kwa moja ni Rehema Chalamila ‘Ray C’, Mahsein Awadh ‘Dk. Cheni’ na Miss Afrika Mashariki namba 2, 2008, Aneth John.
Stori: imelda mtema

Wolper Apiga Mweleka kwenye Kibao Kata.Gambe Zamzidi

$
0
0

Mbovumbovu za staa! Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe anadaiwa kuwa tilalila na kujikuta akipiga mwereka kwenye shughuli ya kibao kata cha mwigizaji mwenzake, Vanita Omary.

Kwa mujibu wa ‘shushushu’ wetu aliyekuwa ndani ya nyumba, tukio hilo lilijiri kwenye Ukumbi wa PG Hall (zamani FM Club), Kinondoni jijini Dar ambapo mastaa kibao walihudhuria.

Ndani ya kibao kata hicho, Wolper alicharuka kipombepombe kwa kucheza ovyo na kukimbiakimbia akiwa tilalila.

Katika kukimbia huko, ndipo akapiga mwereka na kuanguka huku akijaribu kusimama kwa kuchechemea.
Baadhi ya wageni waalikwa walibaki wakimshangaa na kusema kuwa hapendezi akinywa pombe kwani ustaarabu wote unapotea.

Mbali na pombe pia alikuwa kivutio kwa staili ya ukataji wake wa mauno akiwa na kivazi kilichoacha nje mapaja yake akiwa na rafiki yake aliyetajwa kwa jina moja la Vivi.

Katika hatua nyingine, Vanita alijikuta akiangua kilio baada ya wapiga ngoma wa kibao kata ‘kuwa feki’ na kushindwa kufanya kazi kama walivyoahidi.
Kutokana na hilo, baadhi ya mastaa kama Aunt Ezekiel na Yobnesh Yusuf ‘Batuli’ waligoma kucheza na kukizomea kibao kata hicho ambacho kililetwa na MC (jina linahifadhiwa) akidai kuwa amewatoa Bagamoyo na wana ufundi wa hali ya juu

Mwisho wa shughuli, MC huyo alimvaa Vanita akitaka alipwe pamoja na kwamba wapiga ngoma wa kibao kata hicho walishindwa kazi hivyo kukaibuka mtiti wa aina yake huku kila mtu akitimua zake.
Stori:  Hamida Hassan na Imelda Mtema

Jada Pinkett Amtetea Mwanae 'Willow' Kufuatia Picha Tata Aliyopiga Akiwa Kitandani na Mwanaume

$
0
0
Familia ya bwana na bibi Will Smith iliyojaa vipaji ilikubwa na kashfa hivi karibuni baada ya kusambaa kwenye Instagram na Tumblr picha ya Willow Smith akiwa kitandani na muigizaji wa kiume, Moises Arias.

Picha hiyo ilikuwa gumzo na wengi waliiponda kwa kuwa ilimuonesha Willow mwenye umri wa miaka 13 akiwa amejilaza kitandani na Moises Arias mwenye umri wa miaka 20 huku kijana huyo akiwa kifua wazi.

Jada Pinkett Smith alisisimamishwa uwanja wa ndege kwa sekunde kadhaa na TMZ waliotaka kufahamu comment yake kuhusu picha hiyo.

Alieleza kwa ufupi kuwa hakuna kitu chochote kinachohusiana na mapenzi kwenye picha hiyo na kwamba watu wanajaribu kutengeneza tu.

“There was nothing sexual about that picture. Or that situation. You guys are projecting your trash onto it, and you’re acting like covert paedophiles, and that’s not cool."

Laana:Shoga la Kiume Lakata Mauno kuwazidi Hata Wasichana

$
0
0
Kweli Hakuna Ubishi Maadili siku hizi hayana adamu hata kidogo embu jionee huyu Kijana mdogo kabisa lakini ni shoga wa Kutupwa ...Hapa Anakata Kiuno mbele wa wasichana huku wakimshangilia ...Huku Pale Kati Katipia Shanga ya Kike...Unaloooo

Zitto Apata Shavu la Katibu Mkuu wa umoja wa kamati za mahesabu za nchi za Afrika

$
0
0
Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe amechaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa umoja wa kamati za mahesabu za nchi za Afrika(Afropac) ili kuziba nafasi ambayo ilikuwa iikishikiliwa na nchi ya Msumbiji.
Baada ya kuchaguliwa kupitia ukurasa wake wa Facebook hiki ndicho alichokiandika.


Kama Ulikuwa Unamchukulia Poa Diamond, Jipange Sana..Hii Ndio Gharama Yake

$
0
0
Diamond Platnumz atazidi kuwa si msanii tu wa kawaida bali ni moja kati ya wasanii wengi wa kimataifa.ukiacha pesa anayotoza treatment na mahitaji yake hadi kumpandisha kupiga show moja si ya kitoto, kaa utulie usikilize mahitaji haya ya Diamond: Kwanza bila kumtonyesha kuanzia milioni 45 kwenda juu, utaishia kuongea naye kwenye simu tu, bila hata ya kuona sura yake, achana na hiyo basi kwanza kama umeshatenga hilo fungu na kufanikisha kumuita kupiga ku-sign contract yake, inabidi umsafirishe kwa private jet au first class plane, akishatua uwe umeshandaa presidential suit katika hoteli yeyote yenye 
hadhi ya nyota tano, kama ni Bongo ni Serena hotel pale wakati huohuo uwe umashatenga vyumba maalumu vikubwa kwa ajili ya team yake wakiwemo Dancers,camera man,dj , mlinzi wake na msaidiz, microphone ya pekee na vyakula atavyohitaji yeye, viwe teyari umeshaweka order vitengenezwe, kama 
anavyotaka yeye.

(U-ghari wa diamond unatokana na yeye mwenyewe kuwa brand kubwa, anauwezo wa kujaza uwanja peke yake,lakin pia maandakiz ya kaz zake,nyimbo ama video,hu-invest gharama kubwa,mfano number 1 video orignal na rmx ilitumika zaidi ya million 80,lakin pia ana team aliyowaajili anahitaj awalipe )

Kama ulikuwa unamchukulia Dangote easy, jipange!.

Kubali Kataa:Ukiacha Skendo zake Uzuri wa Irene Uwoya ni wa Kumtoa Nyoka Pangoni

$
0
0


She is so Flying , Uzuri wake umepitiliza Mipaka, Hata nyoka aliejificha pangoni miaka mia anaweza toka kushuhudia .....Nani Anabisha hapa tuone?

Ray C Apigwa Dongo Baya Kwa Jinsi Alivyojichubua Usoni

$
0
0
Hali si shwari  baada yamtangazaji maarufu nchini kenya Joe Muchiri kuvamia instagram na kuweka comments mbaya kuhusiana na kujichubua kwa Ray C. Mtangazaji huyu maarufu wa Capital F.M aliandika hivi “Ray C aka Ray Casper the friendly ghost ..Smh who slapped her face with a bag of flour on the face. Elephant arms ndio zake Looool momo tingz…” yaani akimaanisha Ray C ni jini rafiki yake akimuuliza ni nani aliyempiga na gunia la unga mweupe usoni mwake.Duh! noma sana….we unaonaje hili swala?

Wasanii 6 wa Kike Walivyokua Mwanzo Kabla ya Kuanza Kujichubua

$
0
0
Ukizungumzia mambo yetu yale kwa watoto wa kike basi ni wazi utakua unazungumzia swala zima la urembo. Kuna tafsiri nyingi za msichana mrembo lakini kwa hawa dada zetu wa kike waliamua kuongeza urembo wao kwa kuweka mkorogo “bleaching” , full u-michael jackson :-) Hizi ni baadhi za picha zinavyoonyesha wasanii hawa wa kike walivyokua mwanzo na walivyo sasa ;-

Penniel Mungilwa ‘DJ Penny’

DJ-Penny-Kajichubua
Jackline Wolper
Jackline-Wolper-Kajichubua-vibe-co-tz
Wema Sepetu
Wema-Sepetu-Kajichubua-vibe-co-tz
Shilole
Shilole-Kajichubua-vibe-co-tz
Ray C
Ray-C-Kajichubua-vibe-co-tz
 Ruth Suka ‘Mainda
Mainda-amejichubua-vibe-co-tz

Je , Unadhani nani kajichubua sana kupita wenzake?


Picha:Boko Haramu Waonyesha Wasichana Waliowateka

$
0
0
Wasichana ambao kundi la Boko Haram liliwateka nyara
Kiongozi wa kundi la Boko Haram Abubakar Shekahu amesema kuwa atawaachilia huru wasichana waliotekwa nyara iwapo tu wapiganaji wa kundi hilo wanaozuiliwa na serikali ya Nigeria wataachiliwa huru.
Katika kanda mpya iliyotolewa na kundi hilo, kiongozi huyo, amesema kuwa wasichana hao waliweza kusilimu katika kipindi cha wiki nne zilizopita tangu watekwe nyara.
Kanda hiyo inaonyesha zaidi ya wanawake miamoja wakiwa wamevalia hijabu na kuswali. Abubaka Shekau anasema kuwa wanawake hao ni wasichana waliotekwa nyara na kundi hilo.
Walitekwa nyara kutoka katika shule yao mjini Chibok, Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo
Rais wa Ufaransa amejitolea kuwa mwenyeji wa mkutano utakaotafuta njia za kupambana na Boko Haram. 

My Boyfriend Doesn't Have Money & I Need Money; Can I Dump Him?

$
0
0
I need to know if love can survive without money because in my situation I do not think so. I have a boyfriend that I love and he loves me too but he is broke and really jealous and possessive. We have been dating for almost two years now and I have been faithful and honest.

The problem here is that my sponsors who help out with my education are no longer helping out as they used too and I have so many needs for money especially...
My textbooks and other essentials which I can't readily get anymore and my boyfriend, being broke cannot help out either. He is yet to get a job and I am getting really sick and tired because I need money FAAAAST!

I met someone else who can actually assist me cos he is financially stable but I am reluctant in accepting his proposal of a relationship because of my current relationship.

Should I break up with my boyfriend? I know it would hurt him but I really can't keep up with all these problems anymore. Please sincere advice.

Hermy B wa B-Hits Aamua Kutoa ya Moyoni Kuhusu Yaliyotokea B-Hits Mpaka Wasanii Kukimbia

$
0
0
Producer na CEO wa Bhitz Music Group, Hermy B ameandika barua ya wazi akielezea yaliyowahi kutokea Bhitz, uamuzi na mpango wao mpya.

Hivi ndivyo alivyoandika Hermy B:

Nikiwa kama CEO wa B’hitz Music Group na Producer ambaye napigana kama producers wengine kuusogeza muziki wa Tanzania katika level fulani, sikupendezwa kabisa na jinsi ambavyo baadhi ya watu walivyoizungumzia B’hitz na jinsi ambavyo baadhi yao wanaichukulia..

Kutokana na yote yaliyozungumzwa na baadhi ya wasanii ambao tulitofautiana nao kikazi, wengi wametuchukulia kama sisi ni wagomvi na wanyonyaji.

Lakini ukweli ni kwamba hakuna msanii ambaye alishatengeneza faida ya kifedha kwa B’hitz na wasanii hao walikuwa wakifanya kazi bila malipo yoyote na hata walipokuwa wakifanya shows tulikuwa tukiwaachia pesa kwa kuwa tulifahamu bado muda mzuri wa mavuno kulingana na ubinadamu, makubaliano na malengo, hivyo hakuna ukweli kuhusu hilo.

Hata hivyo, tumeyachulia yote yaliyotokea kama sehemu ya changamoto katika kazi hii ngumu ya muziki Tanzania ambayo kwa kiasi kikubwa watayarishaji wa muziki hawafaidiki nayo kama ilivyo kwa wasanii ambao wamejaliwa kuwa na ushawishi mkubwa zaidi kwa jamii na kuaminika mara moja kwa kile wanachokisema kuhusu sisi pale tunapotofautiana.

Kwa bahati mbaya, mipango tunayopanga nao tunapokuwa studio ama makubalinao mengi tunayoweka kwa ajili ya kazi zao hayajulikani kwa umma, na pindi wanapoyakiuka na kusababisha sisi kurudi nyuma tunaonekana wakosaji na wacheleweshaji wa maendeleo yao.

Naamini wasanii na sisi ndio tunaofahamu ukweli ni upi kati ya yote yaliyosemwa kupitia media kwa kuwa tunafahamu wapi tumetoka pamoja, tulikubaliana nini na wapi tulipotofautiana na yupi kati yetu aliacha reli ya makubaliano.

It’s a new chapter, na tunawatakia kila la kheri wasanii wote waliopita B’hitz na milango iko wazi kwa msanii yeyote wa Tanzania. Lengo letu ni kuendelea kuisupport jamii yenye vipaji kwa maendeleo ya taifa hili linalosifika kwa vipaji.

Nafasi ipo kwa wasanii wote walioondoka na kuacha kazi zao B’hitz, najua wanajua ni muziki mzuri na tusingependa kuona ukipotea au tukiutoa kwa kufuata ratiba tulizowekeana awali wakati ambapo wao hawapo.

Wasanii wanaweza kufuata nyimbo hizo na tutakuwa na makubaliano fair ili maisha ya muziki tulioutengeneza kwa ubunifu wa hali ya juu yaendelee na watanzania wafaidike kwa kuusikiliza.

Tunaamini uwezo wa Bhitz kuinua vipaji ambavyo havina majina makubwa na kuvifanya ‘brand’ ni baraka ambayo inabidi iendelee kwa vipaji vingine ambavyo bado havijajulikana na vina uwezo mkubwa.

Hivyo, tunapenda kuuarifu umma wa watanzania kuwa Bhitz imefungua ukurasa mpya na hatuendelei kuyashikilia tena matatizo yaliyokuwepo na wasanii hao.

Tunafurahi pia kuona muziki tuliotengeneza nao wakati tukiwa pamoja unawapa nafasi kubwa na kuwasogeza katika ngazi nyingine, tunaamini wanatoa shukurani zao kwa Mungu na zinatufikia kwa kiasi tunachostahili.

Tunaamini tutafika mbali na tumekomazwa zaidi na yaliyojiri kwa kuwa tumejifunza pia, yale ni mapito.

Music shall continue to live and flow in our bloods, we shall support Tanzanian music and musicians with all our hearts, We shall not give up because we are a part of this beautiful musical community in Tanzania.

Katika hatua nyingine, ningependa kuungana na producers wengine kuyatoa ya moyoni pia kuhusu kilio cha watayarishaji wa muziki Tanzania ambacho kimeendelea kuonekana kama kilio cha samaki.  Huenda ni kutokana na idadi yetu ndogo kulinganisha na wasanii hivyo kilio chetu hakina sauti kubwa au ni mfumo mzima wa Industry ya Tanzania ulivyo mbaya na umezoeleka!

Producers wengi Tanzania tumekuwa tukitumiwa na baadhi ya wasanii kama daraja la mafanikio yao na kisha kutupaka matope au kuuambia umma kuwa sisi ndio tumewakosea sana na tunawanyonya.

Laiti kama wasanii hao wangekuwa wanaeleza angalau mazuri wanayofanyiwa na producers. Kwa bahati mbaya sifa wanazotumwagia tunapokuwa studio tunafanya kazi huishia studio na umma husikia tu wimbo mzuri ukiwa umetoka. Sifa zetu tunazopewa zimekuwa ‘perishable’ ingawa kazi tunayofanya huishi miaka yote na hutumiwa na msanii husika.

*Kwa mazoea ya soko la Tanzania, producers wengi huwa na moyo wa mshumaa na hata kuwatengenezea wasanii wetu midundo au nyimbo bure. Lakini wapo pia ambao huwalipisha wasanii kiasi cha fedha ambacho kwa uhalisia wa kazi na matunda ya kazi hii sio halali/sio fair bali ni bei zilizozoeleka tu.

Kwa uhalali wa ‘intellectual works’ wahusika wakuu huvuna matunda pamoja kwa kugawana asilimia kila wakati ambapo kazi hiyo itakapokuwa ikiingiza pesa. Lakini kwa Tanzania ni kama producer humuuzia haki miliki ya kazi nzima msanii kwa shilingi kadhaa au hata bure na kisha msanii kuingiza mamilioni kwa miaka mingi kwa kuuza au ku-perform kazi ile.

Hata kama ni kweli tasnia ya sanaa ya muziki kwa Tanzania bado inawanyonya wadau kwa ujumla, kati ya hao wanaonyonywa tumkumbuke producer ambaye yeye ananyonywa hadi damu ya mwisho na kisha kuchafuliwa pale anaponyoosha mikono yote kutaka mambo yaende sawa.

Hebu fikiria, kama kweli mgao wa matunda ya kazi yangekuwa sawa kwa asilimia kadhaa kwa kila kazi ambayo producer amefanya, producer kama P-Funk Majani angekuwa na maendeleo kiasi gani kutoka kwenye muziki pekee? Sisemi moja kwa moja kama aliofanya nao kazi walimnyonya, inawezekana alinyonywa na mfumo ulivyo.

Lakini ni wasanii wangapi tumeshawasikia wakitaja mafanikio makubwa waliyoyapata kwenye muziki kwa hits chache au hata hit moja tu. Je, umeshajiuliza producer wake alipata nini?

Je, ni producers wangapi ambao wametengeneza hits kibao zilizowapeleka wasanii mbali sana lakini wao wamebaki na hali ngumu kimaisha huku wakiendelea kunyonga midundo na kuambulia sifa za studio? 

Uzalendo na moyo wa pekee tuliopewa usiokata tamaa kwenye muziki huu ndicho kitu pekee kinachotufanya tuendelee kuwekeza kwenye huu muziki na kuinua vipaji vipya na kuendeleza vilivyopo kwa imani kuwa ipo siku tutavuna matunda kwa kiasi tunachostahili.

Lakini kwa nini hiyo siku isiwe LEO? Itawezekana kama tutaungana na kuungwa mkono na wapenzi wa muziki mzuri.

Nisingependa kutaja majina ya producers wanaowalilia wasanii lakini karibia producers wote wamekuwa wakifanya hivyo na vilio vyao hupuuzwa tofauti na vilio vya wasanii.

Ndugu yangu Master Jay yeye amewahi hata kutoa kauli nzito kuwa wasanii ni wezi wanatuibia na wanatunyonya sisi maproducer. Alikazia kuwa wizi huu wa wasanii ni wa aina yake kwa kuwa huiba nguvu ya producers na kisha kujitangaza kuwa wameingiza kiasi kikubwa cha fedha kwa kazi ile ile.

Lamar amewahi kusema wasanii wanapokuja studio huwa wapole na kukubaliana mengi kuhusu wimbo lakini wimbo unapotoka na wao kufanikiwa huwasahau kabisa producers walioumiza nao kichwa mwanzoni na hata ‘kuwavimbia’. Lamar pia aliwahi kupata matatizo ya kimkataba na msanii wa Tanzania ambaye aliamua kusaini tena na Candy n Candy ya Kenya ili hali akiwa na mkataba mwingine.

Mikataba mingi tunayosaini nao mara nyingi huishia mikononi mwetu pale wanapovunja japo sheria ya mikataba iko wazi lakini kiuhalisia wasanii hao ni vigumu kulipa fidia itakayotajwa. Producer huamua kufunika kombe.

Producer Dupy  yeye aliweka wazi kuwa sisi producers wa Tanzania ni masikini kulinganisha na wasanii ambao tunafanya nao kazi na kueleza ukweli kuwa hata wale wanaoonekana maisha yao ni mazuri ni wale ambao wanaingiza kipato kupitia shughuli nyingine tofauti na muziki.

Mimi pia ni mmoja kati ya producers ambao wanapata fedha kupitia shughuli nyingine na fedha hizo naziwekeza tena kwenye muziki kwa imani kuwa ipo siku mambo yatakuwa mazuri lakini mara nyingi wasanii unaopanga nao studio wanapopata mabawa (mafanikio) huruka na kueleza mabaya na sio mazuri mliyofanya nao yaliyowapa hayo mabawa.

Sisemi kuwa sisi hatuwakosei wasanii, tunakoseana kwa kuwa sisi pia ni binadamu japo sio kwa kiasi hicho wanachosema. Kukoseana katika kazi ni jambo la kawaida. Kukwaruzana wakati wa ujenzi ni kawaida pia.

Lakini kwa kuwa msanii huyo tayari ni brand, hasara kubwa huwa kwa producer ambaye inabidi aendelee kufanya kazi nyingine na watu wengine kwa kuanzisha upya malengo yake huku akiwa amemfaidisha tayari msanii huyo (Tayari ni brand). 

Nyimbo tunazotengeneza nyingi studio tukisubiri msimu wa ‘mvua’ tuupush zinapobaki huwa hasara kwa producer kwani wao wanaweza kwenda kwa mwingine na wakazirudia. Je, producer anapata faida gani kwa kazi aliyoifanya tayari?

*Imefika wakati ambapo producer inabidi aheshimiwe kwa sababu bila yeye kusingekuwa na wasanii wengi wanaotamba hivi sasa. Hii itaongeza nguvu pia ya kazi kwa producers wapya nchini.

Producer alipwe vizuri kwa sababu anapolipwa vizuri na yeye ubunifu na utendaji wake wa kazi unakua kwa kiwango kikubwa. Pia atapata uwezo wa kununua vitendea kazi bora zaidi vitakavyomsaidia kuingiza muziki wetu kwenye ushindani wa soko la muziki Afrika na duniani kwa ujumla.

Naamini ipo siku hata haki za producer katika muziki alioutengeneza Tanzania zitazingatiwa ikiwa ni pamoja na kuvuna asilimia fulani ya muziki wake pale unapotumika kwenye miito ya simu, na biashara nyingine.

B’hitz Music Group, inavishukuru vyombo vyote vya habari Tanzania kwa support yao ikiwa ni pamoja na websites na blogs mbalimbali. Tuendelee kushirikiana.

This is the time! Sisi tunaendelea na kazi na tunawakaribisha wasanii wote.

Regards.

Hermes B. Joachim

Mbuyu Twite Asign Mkataba Mpya Yanga

$
0
0
Mlinzi kiraka wa timu ya Young Africans Mbuyu Junior Twite leo ameongeza mkataba mpya wa mwaka mmoja kuendelea kuitumikia klabu ya Yanga baada ya kufikia makubaliano na uongozi na kupata majibu ya Shirikisho la Soka nchini TFF juu ya idadi ya wachezaji wa kimataifa kwa msimu ujao 2014/2015.

Usajili wa Twite umefanyika leo makao makuu ya klabu ya Yanga chini ya Katibu Mkuu Bw Beno Njovu ambapo mchezaji amesema ataendelea kujitolea kwa uwezo wake kuisaidia timu yake ya Yanga.

Katibu Mkuu wa Young Africans Beno Njovu amesema wameingia mkataba wa mwaka mmoja na Twite baada ya pande zote kukubaliana, hivyo kuanzia sasa Twite ataendelea kuwa mchezaji wetu kwa msimu ujao wa 2014/2015 na kusisitiza kuwa usajili ndio umeanza sasa.

Akiongea mara baada ya kuweka sahihi kwenye mkataba wake mpya Twite amesema anajisikia furaha kuendelea kuwa mchezaji wa Yanga, kwani anafurahia maisha ya Jangwani, wapenzi, washabiki, viongozi na wachezaji ni marafiki/ndugu ndani na nje ya Uwanja.

Aidha Twite amesema Yanga ni miongoni mwa timu kubwa barani Afrika, zenye washabiki na waachama wengi hivyo wangu ni fahari kuendelea kuitumika timu hii ambayo tangu kujiunga nayo nimekua nikijtoa kwa moyo wangu wote kusaka mafanikio.

Mbuyu Twite amekua ni mchezaji wa Young Africans kwa kipindi cha miaka miwili tangu Julai 2012 alposajiliwa huku katika kipindi hicho chote akiwa ni mchezaji wa kikosi cha kwanza ambapo msimu uliopita aliweza kuisadia timu yake kutwaa Ubingwa wa Lig Kuu ya Vodacom na msimu huu kushika nafasi ya pili.

Sifichi Hisia Zangu Nimempenda Kaka wa x Boy Wangu

$
0
0
Jaman apa nshachanganyikiwa kabisaaa sijui kwa nini dunia hainipendi, jana nilienda Mliman city kutembea ghafla nkakutana na kaka wa aliyekuwa mchumba wangu ambae niliachana nae kama two weeks ago.

Katika maongezi yetu akafurahi sana kuonana mie akaniomba nipate dinner pamoja nikamkatalia lakini aliniomba sana mwishowe nkaona any way siyo ishu, basi tukaenda somewhere for dinner.

Baada ya dinner tukaanza kunywa wine na story kibao, mwisho wa yote akaniambia kuwa toka siku ya kwanza aliponiona na mdogo wake alinipenda, nimpe nafasi nikamwambia kwa sasa nina mpenzi mwingine ambaye ni (mkurya wangu niliyefahamiana humu humu)) akananipromis mambo mengi sana ikiwa ni pamoja na kuninunulia gari ya kifahari.

Nikamwambia anipe mda (ikumbukwe ana mke na watoto wa 2) basi tulikunywa sana mwishowe nikamuomba anipeleke nyumbani. Basi tukaingia kwenye gari acha aanze makisi romance sikuelewa chochote

Tukaagana kwamba nitampa jibu leo, kuamka leo asubuhi kantext eti jana aliinjoy sana akinikosa atapata presha, sijamjibu lolote. Of course me huwa nipo wazi sifichi hisia zangu nahisi nampenda pia.

Nishaurini nimpe jibu gani?


Semenya, South Africa kuoa Hivi Karibuni

$
0
0
Caster Semenya, the South African athlete whose masculine looks and mannerisms caused a stir back in 2009 is set to wed.

The Olympic silver medallist has set in motion events that will see her marry herself a wife.
According to the Daily Sun, Semenya sent her family to negotiate Lobola (brideprice) for fellow athlete Violet Raseboya with the family reportedly paying R25, 000 (approximately Ksh 210,000) as a first step towards their wedding.

The website quotes a close friend of the couple who confirms that the couple have been inseparable in recent months.

Semenya has also gushed about her love for her fiancé and considers her the most important person in her life.

“Actually, my fiancée comes first! She’s the most important person in my life”. The Daily Sun reports.

Her appearance at the women's 800 metres final during the world athletics championships at the Olympic stadium in Berlin, August 19, 2009 where she won the gold medal kicked up a storm forcing her to submit a test to ascertain her gender.

While most of the controversy surrounding Semenya stems from questions around her gender, she has not come out to declare her sexuality in a country where lesbians are sometimes subjected to rape in a bid to ‘sexually reorient’ them.

South Africans have been fiercely protective of the golden girl with magazines giving her makeovers to present her as more feminine.

On the track, pundits have accused Semenya of deliberately throwing the race and coming in second for the silver at the 2012 Olympics to avoid more controversy surrounding her gender

Mwigulu Amchana chana Lissu Hadharani

$
0
0

Leo Bungeni:Mwigulu Amesema anachofanya Lissu ni jitihada zake za kuwafitinisha Wazanzibari baada ya kushindwa kuwachonganisha Watanzania Bara. Anasema kuwa wakati mwingina anaona aibu kujitambulisha kuwa anatoka Singida kutokana na matendo ya Tundu Lissu. Anasema kuwa Lissu ameongea mambo mengi ambayo hana takwimu wala hakika yake. Anawashangaa Wazanzibari kwa kufurahia hotuba ya Lissu huku wanajua kuwa anafanya jitihada za kuwagombanisha. Anasema kuwa mambo yakiharibika watakaoumia ni Wazanzibari huku Lissu akifurahia kwake Singida.

Nisha: Naona Aibu Kuangalia Filamu zangu za Komedi

$
0
0
Msanii wa sanaa za vichekesho nchini, Salma Jabu aka Nisha amesema huingia na aibu kutazama filamu zake za komedi kutokana na vituko anavyovifanya.

Nisha anayetamba na filamu kama Pusi na Paku,Tikisa,Gumzo na Zena na Betina amedai anapoangalia filamu zake halafu mtu akamkumbushia hujificha uso wake kwa aibu.

“Ni ngumu kuamini but huo ndio ukweli, hata mimi nikijitazama huwa naona aibu,ndugu zangu hawaamini yule mtoto mpole anayeng’ata kidole hadi ukubwani,Leo kwenye tv anafanya hayo.. Thanx God ujumbe umefika nimeweza kuwafanya watu waamini mimi mcharuko hahaah,” amesema Nisha.

Shilole Apewa Makavu Live Baada ya Kuvaa Kivazi Kifupi

Wema Achafua Hali ya Hewa..Picha aliyoweka ya Rommy Jons Akiwa na Kanzu Club ndio Chanzo

$
0
0
Ni baada ya kupost picha akiwa na rafiki zake aunt Ezekiel na Rommy Jons club huku Rommy Jons akiwa amevaa vazi la kanzu ambalo wengi waliotoa maoni yao kua hilo vazi (kanzu) si mahali pake hapo na analinajisi ;

JE WEWE UNASEMAJE ? TIZAMA PICHA NA MAONI YA WATU ;


Viewing all 104698 articles
Browse latest View live




Latest Images