Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live

WAKUBWA TU: Acha Mazoea Katika Mapenzi Zingatia Mambo Aya 10 Kabla Ujachika

$
0
0


#1- Mfanye Mwanamke aanze kufika mlima kilimanjaro kabla hujaanza kumuingilia.


Inawezekana likaonekana jambo geni na la kushangaza kidogo, lakini ukweli ndio uko hivyo.



Hili ni jambo ambalo wanawake wengi wangelipenda kufanyiwa na wapenzi wao lakini ambalo wanaume huwa hawalifanyi.


Wengi huwaandaa wanawake kwa lengo la kuhakikisha kuwa wametepeta kwenye uke, kwa maana ya kuwa wamelainika ili kuwezesha wao kupenya kwa urahisi, lakini wanawake wengi wangependa zaidi ya hapo.


Ikiwa mwanaume utaweza kumfanya mwanamke afike mlima Kilimanjaro na kutua mizigo yake kabla ya kumuingilia, unajiongezea nafasi ya kumfanya afurahie lile tendo la ndoa zaidi na kukuweka miongoni mwa wanaume walio bora kabisa wa maisha yake.


Hii humfanya awe tayari yuko kwenye hali ya kuhitaji tu kuingia kwa uume wako aweze kupiga bao la pili, na hii inamaanisha kuwa inaweza kuwasaidia sana wale ambao huwa wanakabiliwa na tatizo la kufika kileleni mwa mlima Kilimanjaro haraka sana. Hata ukipigwa bao la usoni sawa tu...Mruhusu!!!



#2 – Vumbua maeneo mengine yenye kumsisimua

Ndio, sote tunajua kuhusu matiti, kunyonya ulimi na mengine, lakini hadithi haitakiwi kuishia hapo tu.

Kama ambavyo wanaume wamezoea baadhi ya maeneo yenye kuelezwa kuwa yanamsisimua sana mwanamke, ndivyo ambavyo nao huzoea sana kusisimuliwa kupitia maeneo hayo.


Hii maana yake ni kuwa, unaweza kujikuta unazama kwenye ile hali ya kuzoeleka sana, ambapo akikuona tu, anakuwa tayari anajua huyu ataanza hapa, ataishia pale na atapofika mlimani namna hii. Hili haliwezi kumsisimua mwanamke.



Mwili wa mwanamke, una maeneo zaidi ya 16, ambayo yakichezewa au kuguswa kiufundi wa kimahaba, huweza hata kumfanya mwanamke huyo kukojoa kabla ya kuingiliwa.



Wangapi tunajua kuhusu A-Spot? ..... ufahamu vizuri mwili wa mpenzi wako, na uuzingatie wote kwa ujumla wakati wa kufanya mapenzi naye, na hakika utakuwa shujaa wake.


Matiti yakisisimuliwa vizuri ni kiungo cha ajabu kwa mwanamke!



#3 – Usiwe kama kuku

Ndio, licha ya kuwa hapo awali tunaambiwa kuwa ikiwa utaweza kumfanya mwanamke afike kileleni kabla ya kumuingilia, unamjengea mazingira ya kufika kileleni haraka pindi unapomuingilia, lakini haimaanishi basi uwe kama kuku au risasi, kwamba ikishachochewa tu basi inachomoka kwa spidi isiyomithilika.



Mwanaume kudumu kwenye tendo kwa muda wa kutosha, ni moja ya mambo yenye kumjengea heshima kwa mwanamke wake na kumuona kuwa yu shujaa.

Sometimes, pumzi zako kitandani zinaweza pia kutafsiriwa kuwa ni pumzi za mtaani, na kama kitandani hauko nazo za kutosha, itakuwaje siku mmevamiwa mkiwa matembezini na watu unaotakiwa kupigana nao?



Tofauti kubwa sana baina ya wanaume na wanawake ni kuwa, wanaume wengi hujamiiana kwa minajili ya kufika kileleni, ilhali wanawake hujamiiana kwa minajili ya kustarehe.

So, usiifanye starehe hiyo kuwa ya dakika moja...lakini pia usiiifanye kuwa ya kukarahisha, kama ambavyo wanaume wengi wanaamini kuwa kumsugua mwanamke uchi hadi akahitaji barafu la kujikanda ili ipoe, ni ushujaa.

Nusu saa hadi dakika 50 ni muda muafaka kabisa, na zaidi ya dakika 60, kwa wanawake wengi inaweza kuwaondolea sence ya starehe na wakajiona kama wanalipishwa walicholishwa.


#4 – Maandalizi ya kumpa mshawasha wa kuihitaji

Ndio, wapo wanaume wengi tu wanaoweza kujinadi kuwa wanajua kuwaandaa wanawake zao kwakuwa wanajua kuwanyonya vimi, kunyonya matiti nk, lakini ukweli ni kwamba wengi hatuko hivyo.


Kama ambavyo nimetanabaisha hapo awali, asilimia kubwa ya wanaume huwachezea wanawake sio kwa lengo la kuamsha hisia zao kwa ajili ya kujamiiana, bali kwa minajili ya kuwafanya wapate ule ute ambao utawarahisishia wao kuingia.



Kitu kikubwa wanachopendelea wanawake, ni aina ya mwanaume ambaye anaweza kumfanyia vimichezo vya kumtia hamu hadi ikiwezekana aanze kuulilia muhogo.


Jidai kama unataka kumnyonya ki
mi, lakini usifanye hivyo, pumua usawa wa mdomo wa uke wake kiasi cha kumfanya ahisi pumzi yako, mlambe mapajani...sio lazima kila siku iwe kwenye tundu la uke.......


Haya ni baadhi ya yatayomfanya aanze kutamani kwani unakuwa tofauti tofauti, na ukiamsha hisia zake kwa namna ya kipekee.

Na hili basi ndilo lenye kupelekea umuhimu wa jambo jingine lifuatalo ambalo wanawake hulihitaji....cheki namba 5 hapa chini


Tumichezo kama hutu twa Manaiki Sanga tunasaidia...



#5 – Faida ya ulimi/mdomo kunyonyana

Inashangaza sana kwa kweli...wakati wanaume wengi wamekuwa wakijisifia sana kwa kuwafanyia maandalizi wenza wao, tafiti zinaonyesha kuwa, zaidi ya asilimia 70 yao wamekuwa wakieleza kuwa wanafanya hivyo kwa kutumia tu vidole vyao.

Sawa na ambavyo asilimia 70 ya wanawake walisema kuwa wanadhani kwa kutumia tu viganja vyao wanaweza kumfanya mwanaume akasimama vya kutosha kuwaingilia.



Ukweli ni kwamba, hii sio sahihi kabisa.

Umepewa viungo zaidi kwa ajili ya kumfanya mwenzako aweze kufurahia tendo la ndoa, na ikiwa unaweza kuvitumia, kwanini unavibania bania ?.


Unaona kinyaa kwa mwenza wako au ni nini hasa? Tumia ulimi wako, mnyonye kila mahali ambako unadhani ulimi huo unaweza kufika na ukamfanya aseme "Oh...am going crazy"


#6 – Msisimue kwa kauli zako

Wanaume wengi sana huwa mabubu wawapo kitandani wakihofia kuwa wapenzi wao watawafikiria namna gani vipi wakisema sema wakati wanajamiiana nao...

lakini mbona wengine huwa wanaishia kupiga makelele wanapotaka kushusha mizigo yao?


Kama unaweza kushindwa kujibana kupiga kelele wakati wa kukojoa, kwanini basi ujizuie kumpa maneno matamu matamu wakati unaendelea kumstarehesha?



Nong'ona kwenye sikio lake, mweleze kiasi gani ni mtamu....hata zile oooh....sss....mmmm zako, zifanye sikioni kwake.....

wanawake huwa hawajisikii raha sana wanapokuwa wanaguswa hata kwenye kitu gani wakati wa kujamiiana, ikiwa mwanaume yuko kimya tuuu, utadhani dumwana ambalo linashangaa kilichoko mbele yake.



Anakuwa hajui kama unaenjoy anachokifanya kwako au laa.

Ni sawa na wewe mwanaume, unajisikiaje pale unapokuwa umemgusa mwanamke mahali fulani penye mzizi wa utamu na akaanza kukwambia kwa ile sauti ya kipekee akisema "hapo hapo...hapo hapo jamani raaaha"....


Epuka tu sauti yako isiwe ambayo itamfanya anywee kama alomwagiwa maji ya baridi ilhali alikuwa anakaribia kuanza kuelea angani.

Unaweza kumsifia hata kabla gemu halijaanza....



#7 – Jenga mahusiano ya macho yenu

Hivi, ishakutokea ukakojoa ukiwa unamtizama mpenzi wako machoni kwa muda wote wa tukio hilo tu la kukojoa?

Au kumtizama machoni moja kwa moja yeye akiwa anakojoa?

Kwa taarifa yako, hili ni moja kati ya mambo yaliyo na raha ya kipekee ambayo huwezi kuelezea kwa maneno.


Mawasiliano ya macho wakati wa kujamiiana, huimarisha sana ile hali ya msisimko baina yenu na ikiwa inatokea mwanamke uliye naye alishawahi kutokewa na mwanaume ambaye wakati wanajamiiana alikuwa akimtizama usoni moja kwa moja, basi si ajabu mtapomaliza akajitoa kimaso maso na kukuuliza "mbona ulifumba macho wakati unakojoa", na hapa atakuwa akimaanisha kuwa kuna ulichomnyima.



Mwanaume, jitahidi kubadili utaratibu wa kila siku kuzima taa wakati mnajamiiana, acha taa ziwake wakati mwingine, na zipo taa ambazo zenyewe tu kwa uwezo wa rangi zake, huwafanya mjihisi mko dunia nyingine kabisa, kumbe ni kwenye kitanda chenu kile kile ambacho kila siku mnakitumia.


Mazoea ni mabaya, lakini haimaanishi kuwa hamuwezi kubadilika, na ikiwa unaweza kuongoza jahazi la mabadiliko haya, akizoea hakika atakuwa akikufurahia zaidi.



#8 – Mzingatie baada ya kumaliza kujamiiana

Jambo moja ambalo wanaume wanafanya makosa, ni kumu-ignore mwanamke punde wanapokuwa wamemaliza kujamiiana.

Hawajui kuwa, huu ni muda ambao mwanamke anakuwa yuko wazi mno kwao, muda ambao unaweza kumueleza lolote na akakuelewa zaidi ya ambavyo angekuelewa wakati mwingine wowote ule.


Kimaumbile, wanawake hawakuumbwa kupoa haraka pindi wanapokuwa wamemaliza lile tendo la kuingiliwa.



So, unaweza kuwa umemkojolesha na kumgusa kila angle ambayo unaijua, lakini kitendo cha kumkumbatia, ukampiga busu na kumwambia "asante", huku ukimruhusu alaze kichwa chake tu kifuani mwako kwa kupumzika, kina maana kubwa sana, iliyo sawa au hata zaidi ya kitendo mnachokuwa mmetoka kukifanya.


Huu ni wakati wa kummwagia kila aina ya sifa ambayo anaistahili, na ndio muda muafaka wa kumuandaa kuwa na hamu ya wewe safari nyingine utapomhitaji.


#9 – Mpe fursa ya kuliongoza jahazi kwa niaba yako



Wanaume wengi sana wameumbwa kutaka kuwa vinara kwa kila kitu, hata wanapokuwa kwenye kujamiiana, hupenda wao ndio waongoze kila move.


Sio mbaya kwasababu wanawake nao wameumbwa kuwaongoza wanawake na hilo linaeleweka.


Ni kweli kuwa una wajibu wa kuhakikisha unamgusa kila anapotaka, umfikishe kileleni anapopaota, lakini kwa upande wa pili, kuna asilimia kubwa tu ya wanawake ambao wangependa sana kupewa fursa ya wao kutawala dimba wakati wa mchezo.



Sio suala la kumwambia, leo mie nitalala tu na kukuacha uhangaike na mhogo wangu unavyotaka, laa...atakuona mdhaifu, uliyechoka au unayemsusia tu.


Kwa kutumia ile ile dhana ya wewe kuongoza jahazi, hakikisha unatengeneza mazingira ya yeye kuutawala mchezo na kuongoza mashambulizi kuelekea anakoona kuwa mshambuliaji atafunga goli la msimu.


Wanawake wana-enjoy sana wanapoona kuwa wanaume wao wamewapa mamlaka ya kutawala dimba, kwani hiyo huwajengea fikra za kuwa wanaaminika kiuwezo, kiuchezeshaji na hata kiumaliziaji.



Wapo mfano wanawake ambao hupenda sana kunyonya muhogo ya wapenzi wao hadi kukojoa, lakini anapotaka kujaribu tu, unakuta janaume hilo, linamwambia aaah, mie sipendi hiyo....au anamuacha ila akikaribia anaanza kumwambia acha nitakojoa .... si umuache?

Kwani unadhani yeye hajui kuwa akikunyonya utakojoa ?.


Mpe nafasi, anyonye anavyotaka, hata kama ni kukojoa, mkojolee mdomoni tu, maana yu ajua kuwa ndio mwisho wake, lakini kwakuwa anataka umfanye, lazima atajua pia namna ya kukurejesha askari wako awe mkakamavu.


Hata kama akitaka "akufanye" mruhusu tu...!!!


10 – Ondoa mazoea

Wanaume ni watu wa ajabu sana.

Wakati wanaweza kujisifia hadharani kuwa naweza kumfanya hivi mwanamke, nikamgeuza vile, nikamnyanyua hivi na vile, tafiti za kisayansi zinabainisha kuwa, asilimia kubwa ya wanaume, huwa hawapendi sana kuwataka wapenzi wao kubadili staili wakati wa kujamiiana.


Ndio, inawezekana mnatumia staili mbalimbali, lakini sio kwasababu mnaambiana, bali kwakuwa unaweza kuta leo imetokea mwanamke alijiteka kifo cha mende, basi utaendelea...kesho akijitega mbuzi kagoma kwenda, itaendelea hivyo hivyo.



Uchunguzi ambao umethibitishwa na wataalamu ni kuwa, wanawake huwapenda sana wanaume ambao wana uwezo na courage ya kuwataka wabadili mikao wanapokuwa wakiendelea na game.


Ni kama mchezaji wa football vile, anavyowasisimua watazamaji pale anapoanza ku-invent mbinu za kubadili mchezo wakati mchezo ukiwa unaendelea.

Hata kubadili mazingira tu yaweza kuleta msisimko wa kushangaza


NYONGEZA AMBAYO NI KITU CHA MUHIMU SANA,

Kama ulidhani kuwa shukrani kwa mwenzako ni asante tu, basi ulikosea.


Hivi, unadhani wale makahaba wanaouza miili yao kule huwa hawaambiwi asante kwa huduma zao? Wanaambiwa sana tu, lakini mbona hawawakubali wale wote wenye kuwashukuru?



Shukrani kwa mwenza wako inatakiwa iwe ya kivitendo zaidi.

Ufanye mwili wako uonyeshe kuwa unashukuru kwa vile anavyokupa mwenzako, kabla hata ya kutamka kwa mdomo wako kumshukuru.


Kushukuru kwa mwili ni pamoja na kuwa "gentle" wakati wa kujamiiana kwenyewe, na sio unakuta mtu unakazana kumsugua mwanamke wako utadhani unadhamiria kuhakikisha kuwa unafidia bia na vinywaji ulizomnywesha, au mahari kubwa waliyokulipisha wazazi wake wakati wanakukabidhi (kama ni mkeo wa ndoa.

Ukweli Mchungu...Pamoja na Kuijenga CHADEMA kwa Mikono Yake, Ndesamburo Hakupewa Heshima Kama Lowassa na Sumaye..!!!

$
0
0

Marehemu Mzee Ndesamburo kama almaarufu kama Ndesa Pesa, ni watu waliojiondoa CCM mara baada ya vyama vingi kuanza rasmi nchini Tanzania, huku akiwa muasisi na mwenyekii wa kwanza wa Chadema mkoa wa Kilimanjaro. Alikijenga chama huku Sumaye akiwa waziri mkuu alitamka kejeli akiwa katika ziara mkoani Kilimanjaro miaka ya mwanzoni 2000 kuwa ''ukitaka biashara yako ifanikiwe jiunge na CCM''.

Ndesamburo alitumia rasilimali zake na ushawishi kuijenga Chadema katika kipindi chote hicho bil kuchoka, Huku akiwa Mwenyekiti wa Mkoa alikuwa pia mjumbe wa Baraza kuu la chama Taifa hivyo kimadaraka ndani ya chama ni 'mzito' kuliko akina Lowassa na Sumaye ambao kimsingi walikuja kugombea uraisi na si kuijenga Chadema.

Haikuwahi kutokea katika uhai wake Mzee ndesamburo kukaa meza kuu lakini ghafla wajumbe wapya wawili wasio viongozi wa sekretariet wanaketi meza kuu huku Mzee Ndesamburo akiketi viti vya nyuma kabisa.

Upumzike kwa amani Mzee wangu Ndesamburo, Leo kila mtu anataka kupata sifa na umaarufu kupitia msiba wako wakati walikutenga kipindi cha uhai wako.

Chanzo JF

Imefichukaa..Hii Hapa Ndio Sababu Nyuma ya Pazia ya John Mnyika Kufukuzwa Bungeni Leo..!!!

$
0
0

Mbunge wa Kibamba, John Mnyika ametolewa nje ya Bunge leo Ijumaa kwa agizo la Spika wa Bunge, Job Ndugai.

Licha ya adhabu hiyo, amemzuia kutohudhuria vikao vya Bunge kwa siku saba kuanzia leo.

Mnyika ametolewa baada ya mmoja wa wabunge kusema 'Mnyika mwizi' akimhusisha na wizi wa madini, hoja inayochangiwa na wengi kwenye mjadala wa Wizara ya Nishati na Madini unaoendelea.

Kutokana na hali hiyo Mnyika alimtaka Spika kuchukua hatua kwa mbunge aliyesema kuwa yeye ni mwizi lakini Spika akasema hajui hilo na haijaingia kwenye hansadi. Hata hivyo Mnyika alisisitiza kuwa mambo hayaweze kwenda hivyo.

Baada ya majibizano kati yake na Spika, Spika akaamuru walinzi wamtoe Mnyika nje ya Bunge na asihudhurie vikao saba vinavyofuata.

Mnyika alikuwa akitoa maelezo baada ya Mbunge wa Mtera, Livingston Lusinde kusema upinzani wa Tanzania ni wa ajabu kwani unatetea wezi wa madini.

Mnyika: Spika Ameonyesha Upendeleo, na Kanuni Hazimpi Mamlaka ya Kunifungia Bunge..!!!

$
0
0

Mbunge John Mnyika amesema kitendo cha spika alichokifanya kimeonyesha upendeleo wa wazi , kwa kuwa wabunge wote wa upinzani wamesikia mbunge Lusinde akiwaita ni wezi na spika hakumuagiza aliyesema hivyo afaute kauli yake au athibitishe maneno yake na yeye alipoitwa mwizi akalipuuzia kabisa

Ila jambo kubwa kabisa kanuni za bunge hazimpi mamlaka spika kumfungia yeye kwa siku saba na wabunge wa upinzani ndio maana wamepinga hilo

Amesema pia wabunge wa upinzani watarudi jioni

Makontena Mawili Yakamatwa Bandari Kavu AMI Dar na Madawa ya Kulevya..!!!

$
0
0

Katika hali ya kushangaza makontena mawili yamekamatwa bandari kavu AMI Dsm yakiwa na material zakutengenezea madawa ya kulevya yaliyoagizwa na kupakiwa toka india kwa meli za CMA. Maajabu ni kwamba makontena hayo yamepitaje bandari zote mbili, India na Dsm bila kuonekana kwenye vifaa vya kitaalam bandarini humo?

Rais Magufuli Amtaka IGP Sirro Kukomesha Uhalifu, Mauaji Dhidi ya Raia, Ujambazi na Dawa za Kulevya..!!!

Duh..Trump Mbishi Jamani..Atoa Kijembe Kizito kwa Mataifa ya Ulaya Kuhusu Kuitegemea Marekani...!!!

$
0
0

Hatimaye Rais Donald Trump ametangaza kuiondoa Marekani kutoka makubaliano kuhusu mabadiliko ya tabia ya  nchi yaliyoafikiwa na kutiwa saini mwaka 2015 mjini Paris, Ufaransa ikiwa ni mojawapo ya ahadi alizotoa wakati wa kampeni.

Katika hotuba yake kali aliyotoa kutoka Ikulu ya White House, Trump alisema Marekani itasitisha mara moja utekelezaji wa makubaliano ya Paris kuhusu mabadiliko ya tabia nchi.

Huku akitumia kauli mbiu ya ‘Marekani Kwanza’ ujumbe aliotumia wakati wa kampeni zilizomwingiza Ikulu mwaka jana, Trump alisema Mkataba wa Paris utahujumu uchumi wa Marekani, utawafanya wananchi kupoteza kazi, kudhoofisha uhuru na kuiweka nchi hiyo milele katika hali ya kutumiwa na mataifa mengine duniani.

Trump alisema Wamarekani hawataki viongozi wengine na nchi nyingine kuwacheka, na hataruhusu hilo. Alisema mkataba huo uliosainiwa wakati wa utawala wa mtangulizi wake Barack Obama, unawaweka katika nafasi nzuri wapinzani wa nchi hiyo kiuchumi ambao ni India, China na Bara la Ulaya

Wapinzani wake wanasema hatua ya Marekani kujiondoa kwenye mkataba huo ni sawa na kuyakimbia majukumu yake kama kiongozi katika kukabili changamoto hiyo inayoikabili dunia.

Trump hakutoa maelezo kuhusu ni vipi au lini mchakato rasmi wa kujiondoa utaanza, na kwa wakati mmoja aliashiria kuwa mazungumzo mapya huenda yakafanyika. Hata hivyo wazo hilo lilipingwa na viongozi wa Ulaya waliojawa hasira, ambao waliungana na viongozi kutoka kote Marekani kulaani hatua ya Trump.

Katika taarifa ya pamoja, Ufaransa, Ujerumani na Italia zimesema makubaliano hayo hayawezi kujadiliwa upya.

Bungeni: Joseph Msukuma Asema Ana Majina ya Wabunge wa Upinzani Waliohongwa Kuitetea ACACIA..!!!

$
0
0

Kwa kipindi kifupi kilichopita bunge letu lilianza kurudi kwenye misingi ya kizalendo, ila tokea hii budget ya madini ianzwe kusomwa vijembe,majigambo,maneno ya kuudhi,kejeli zimerejea mahali pake.

Leo kwa mara nyingine mbunge wa Geita, mh Msukuma aliomba dakika za nyongeza kutoka kwa Hawa Ghasia na kuwashambulia wabunge wa upinzani badala ya kuzungumza hoja. 

Mh. Msukuma alisema wapinzani wamehongwa na anawajua ingawa hakuwataja, pia akasema Msigwa anamiliki nyanya,kuku na mbwa hawezi jua mambo ya madini kama vile haitoshi akamrudia Mnyika kwamba anamiliki mchanga wa matofali.

Hatimae Jeshi la Marekani Lakabidhiwa Aircraft Carrier Yake ya Kisasa Zaidi..Inauwezo wa Kukaa Miaka 50 Bila Kujazwa Mafuta..!!

$
0
0

Jeshi la majini la Marekani limekabidhiwa rasmi aircraft carrier yake ya kisasa zaidi USS Gerald R. Ford.

Jeshi hilo limesema kwamba carrier hiyo itafanyiwa majaribio mbalimbali baharini mpaka hapo 2020 ambapo itaanza kazi rasmi ndani ya jeshi hilo. 

Jeshi hilo pia limesema kwamba meli hiyo ya Gerald Ford ni ya kisasa zaidi ikiwa na mifumo mingi mipya yenye teknolojia ya juu, kubeba ndege nyingi zaidi,pia mfumo mpya wa kurusha ndege utasaidia kuongeza ufanisi wa jeshi hilo katika operesheni zake kwa zaidi ya mara tatu. 

Meli hiyo iliyokabidhiwa May 31 ilitarajiwa kua tayari September 2015,huku ikigharimu dola bilioni 12.9 badala ya dola bilioni 10.5 ikiyokadiriwa hapo awali. 

Nini kipya kwenye USS Gerald R. Ford?! 

1.Mfumo mpya wa kidijitali ambao unawezesha meli kuhudumu wafanyakaz wachache kulinganisha na carrier nyingine mfano; Nimitz 

2.Mfumo mpya na wa kisasa wa radar (Dual band radar) kuiwezesha kudetect vitisho kwa haraka na pia kwa umbali mrefu. (Mfumo huu pia unapatikana kwenye USS Zumwalt) 

3.Mfumo mpya wa kurushia ndege Electromagnetic Aircraft Launch System ambao huwezesha ndege nyingi kutumia mda mchache zaidi kuruka na kutua ukilinganisha na mifumo ya sasa

4.Uwezo wa kubeba hadi ndege 90 ikiwemo F-35C Lightning II. 

5.Radar cross section ndogo hivyo kuifanya kutokuonekana kirahisi kwenye radar za adui

6.Mifumo mipya ya kujilinda (SAMs), nk

7.Reactor mpya ya nuclear (A1B reactor) ambayo inaarifiwa kua na nguvu mara tatu zaidi ya ile inayotumika kwenye Nimitz (A4W) ambayo huzalisha megawat 190(190MW). Hivyo hii mpya ya Ford itakua na uwezo wa kuzalisha megawatts 570 (570MW).

Aircraft carrier hii inatarajiwa kutumika kwa kipindi cha miaka hamsini bila kujazwa mafuta huku ikiwa na mfumo wa Open Architecture kwa ajili ya uboreshaji zaidi huko mbeleni.

Lissu: 95% ya Madini Yetu Yanaibiwa Hapa Nchini, Magufuli Amekomaa na 5% Sababu tu Yanatoka Nje..!!!

$
0
0

Tundu Lissu amesema rais anamiinisha watu uongo na ripoti ya Profesa Mruma ni takataka ambayohaitamaliza hata dk. 15 mahakamani.

Amesema makontena yaliyoshikiliwa bandarini yana 5% pekee ya dhahabu yetu na 95% ya dhahabu wana extract mgodini na ndipo wanapotuibia lakini Magufulihajaona kama tunaibiwa kwa sababu tu wana extract mchanga nchini

Fahamu Aina 7 za Juisi Zenye Kuondoa Sumu Mwilini..!!!

$
0
0

Sumu mwilini hutokana na vile vitu au vyakula ambavyo binadamu hutumia huenda kwa kujua au kutokujua. Sumu hizo pia huweza kuchangiwa na matumizi ya yasiyosahihi ya dawa mbalimbali.

Miongoni mwa mbinu bora na nzuri ya kuondoasumu hizo ndani ya mwili ni pamoja na kutumia vyakula halisi mara kwa mara.

Hapa nanayo orodha ya vinywaji ambavyo huweza kuondoa sumu ndani ya mwili:-


1. Juisi ya mchanaganyiko wa tango na spinachi.

2.Jusi ya mchanganyiko wa tangawizi na spinachi.

3. Juisi ya mchanganyiko wa chungwa na tango.

4. Juisi ya komamanga pamoja na mapera

5. Juisi ya changanyiko wa passion na tango

6. Juisi ya mchanganyiko wa apple na parachichi

7. Juisi ya mchanganyiko wa mbegu za maboga na strawberry

Ukweli Mubashara...Usafi kwa Mwanamke Huongeza Hamu ya Tendo la Ndoa Maradufu..!!!

$
0
0

Usafi kwa mwanamke ni kitu cha msingi sana kwa sababu usafi hupelekea wanaume tuwe na hamu ya tendo la ndoa mara kwa Mara pale unapokutana na mwanamke msafi yani anayejua kujiswafi kila kona ya mwili wake. 

Maana kila tukumbukapo ule usafi wa ndani hakika hamu nayo huongezeka na kutamani zaidi. Hata kama uko kazini utakuta unatamani masaa yaende fasta urudi home.

Pia usafi kwa mwanamke hupunguza harakati za kutafuta mchepuko kiasi fulani kwa sababu hakuna mwanaume anafurahi kuwa na mwanamke mchafu.

Kwa uzoefu niliyonayo wanaume huwa tunapenda sana wanawake wanaopenda usafi na siyo wanawake wachafu.

Mwanamke muda wote inabidi uwe msafi siyo unakaa siku nzima bila hata kujiswafi ile mijanaba ya usiku. Kiukweli hii tabia huwa inakera sana. 

Inabidi uwe msafi Kwa sababu mna sehemu nyingi zinazohitaji uangalizi na usafi wa hali ya juu mfano.
•Kwapa- nyoa ule uchafu halafu safisha na ondoa ule weusi weusi.

•Mtaroni-Hapa unakuta wengine pamepauka hatari hivyo hakikisha unapaweka safi.

•Jicho linunalo muda wote( Tigo) - hii ni sehemu ya kuwa makini sana hakikisha hakuna mabaki mabaki. Ukiweza itakuongezea credit kwa mwenzako pindi mkipeana mambo hasa kwa dogy style.

•Uke- hakikisha hakuna mtindi mtindi mule ndani maana huwa unakera sana na kabla ya tendo kajiswafi na ujikague vizuri. Pia hakikisha maeneo yanayozunguka hiyo kitu yako safi yani hakuna vichaka.

•Kanga wiki- hapa ni wale wanawake wanaojifunga kanga hiyo hiyo wiki nzima bila kuonja maji nalo ni tatizo maana mwisho wa siku huwa inatoa harufu kali sana.

•Kinywa- kinywa nacho kinahitaji usafi wa hali ya juu. Pia usisahau kuondoa zile rangi mnazopaka midomoni.

Kitu kingine ni pale umetoka kwenye mihangaiko yako unafika tu nyumbani unawasha feni unapanda kitandani ukisingizia kuwa umechoka utaoga badae mwisho wa siku usingizi unakupitia. 

Hii husababisha kero kubwa sana kwa mwenzako na kamwe huwezi sikia anakwambia geukia huku au hata kukupapasa akiashiria kuhitaji haki yake ya ndoa.

Hivyo basi, wale wanawake wanene muwe mnajitahidi sana kushughulikia hayo maeneo.

Kwa wanawake vimbaumbau sina shaka nao kwa usafi ingawa msivimbe vichwa inabidi muendelee kuwa hivyo hivyo ingawa wapo wasiojali usafi wa miili yao.

Mwisho, Je ukikutana na mwanamke ambae hajali usafi wa mwili wake utafanyaje? Na ukizingatia ulishachukua hatua zote za kumsaidia lakini haelewi na kila ukimkumbusha anachukia. Je utamuacha au utaendelea kuvumilia uchafu wake.?

Lengo la bandiko hili siyo kudhalilishana bali ni kukumbushana.

Fahamu Historia ya Condom..Ilipoanzia na Jinsi Ilivyogundulika na Kuanza Kutumika kwa Mara ya Kwanza..!!!

$
0
0

KONDOMU ni kifaa/ zana iliyotengenezwa mahususi kuvalisha uume au kuwekwa ukeni wakati wa kujamiiana.Nazo hubana kutokana na umbile la uume au uke.

Kondomu hizi zipo za aina tofauti kutokana na muda na vipindi zilipotengenezwa, nazo ni kama ifuatavyo:-

Awamu ya I – zilizotengenezwa kwa mimea.

Hizi zilitengenezwa mahususi kama kinga dhidi ya maambukizo ya vimelea vya ugonjwa wa kaswende [ugonjwa wa kifaransa]

Awamu ya II – kutokana na utumbo wa kondoo.

Dr. Condom alifahamika kama mgunduzi wa kondomu hizi, naye alikuwa ni dakatari wa Mfalme Charles II.

Alimshauri Mfalme kutumia kama kinga kutokana na magonjwa ya zinaa kutokana na tabia yake ya kuwa na wanawake wengi nje ya ndoa yake.

Awamu ya III – kutokana na mpira

Hizi zilitengenezwa kwa urahisi na kwa wingi na zikawa ndizo pekee zenye uwezo wa kudhibiti mimba hadi miaka ya 1960 vilipogunduliwa na vidonge vya majira.

JE KONDOMU NI SALAMA?

Tunaelezwa kuwa kondomu hutengenezwa kwa ustadi mkubwa kiasi kwamba haziwezi kuruhusu kitu chochote kupita.

Lakini tafiti mbalimbali zilizofanyika zinaonyesha kuwa kondomu zaweza kuvuja kutokana na mazingira halisi ya utengenezaji wa latex.

Wengine wanadai kuwa ili kuzifanya imara, kondomu zimetengenezwa kwa kupishanisha pande mbili ili kuziba udhaifu wa kila upande.

Hata hivyo watengenezaji wanasahau kuwa mazingira ya matumizi ya kondomu katika ngono hayalingani na majaribio waliyofanya ya kujaza maji au hewa ili kupima kama maji na hewa vinapita.

Katika tendo la ngono ipo misuguano ya namna mbalimbali inayosababisha kubadilisha mazingira ya kondomu na kuidhoofisha.

Kutokana na tafiti hizo imefahamika kuwa kondomu hazina uwezo wa kuzuia mbegu za kiume kupenya wakati wote.

Upana wa kipenyo cha mbegu ni makroni 5 wakati upana wa kipenyo cha kirusi cha ukimwi ni makroni 0.1

Kwa maneno mengine mbegu ya kiume ni kubwa mara 50 ya kirusi cha ukimwi.

Vile vile tafiti zimeonyesha kuwa kondomu haina uwezo wa kuzuia maambukizo ya magonjwa ya zinaa vikiwemo virusi vya ukimwi kwa kiwango cha asilimia mia moja.

Hivyo tunaweza kusema kuwa, kondomu si salama kwa asilimia mia moja.

Kondomu zina kiwango cha kushindwa cha kati ya asilimia 10 na 15 na wengine wanasema hata asilimia 20.

Wasambazaji na wahamasishaji wa matumizi ya kondomu hawapendi kusikia ukweli huo na wanafanya jitihada kubwa ya kuficha ukweli huo.

Matangazo yatolewayo kupitia mabango ya barabarani, katika televisheni, radio na hata magazeti yanawarubuni watu yakiwaaminisha kuwa kondomu humkinga mtumiaji kwa kiwango cha asilimia 100%

Huko ni kukengeusha ukweli na kukiuka maadili ya kitaaluma.

Wengi kama sio wote wateteao matumizi ya kondomu hufanya hivyo kwa sababu ya maslahi ya kifedha na kibiashara.

Tukiongozwa na dhamiri safi, lazima tukiri ukweli uliopo na tuwaeleze watumiaji, ili tusijekuwa sababu ya kifo chao.

Kila kondomu inaposhindwa [itumikapo] kama kinga dhidi ya maambukizo ya virusi vya ukimwi ] humaanisha kifo.

Udhaifu wa kondomu Kiufundi,Matumizi, Kimazingira

Udhaifu wa kiufundi

Wasambazaji wanatueleza kuwa kondomu zilizotoka kiwandani zikiwa na ubora unaotakiwa zikitumika wakati wote na kwa usahihi zina uwezo wa kukinga kwa kiwango hadi cha asilimia 97.

Zisipotumika vizuri zina kiwango cha kushindwa cha asilimia 14.

Kiwango cha kushindwa kwa kondomu kuzuia maambukizo ya magonjwa ya zinaa hutofautiana kutokana na aina ya magonjwa ya zinaa.

Kondomu zaweza kuzuia kwa kiwango fulani maambukizo ya magonjwa ya zinaa yanayosafiri kwa njia ya ute, lakini haziwezi kuzuia magonjwa ya zinaa yanayoambukizwa kwa mgusano wa mwili kama vile "herpes" na "human papillomavirus"; au magonjwa yanayoambukizwa kutokana na vidonda au malengelenge yaliyoko kwenye via vya uzazi kama vile kaswende.

Hali hiyo inatokana na:

Watengenezaji wameruhusu udhaifu wa kiufundi kama zao la kiwandani lililotengenezwa na kazi ya mikono ya binadamu [acceptable quality limit] kwa kiwango Fulani kwa nchi mbalimbali. 

Mfano, Marekani kiwango kilichokubaliwa ni asilimia 99.6 kwa kutoruhusu kondomu kuvuja. 

Uingereza asilimia 97, Uholanzi asilimia 96. 5. Hivyo katika kila idadi ya kondomu itumikayo kwa wakati mmoja kuna kiwango cha kuvuja kati ya asilimia 0.4 (USA); 3% (Britania); 3.5% (Holland).

Kondomu huzeeka

Kwa kadiri zisivyotumika kwa muda mrefu ndivyo hivyo zinaaendelea kuzeeka. 

Kwa hiyo mtumiaji kondomu wa miaka 3 au 4 baada ya kondomu hiyo kutengenezwa yumo katika hatari zaidi kuliko anayetumia kondomu mara tu baada ya kutoka kiwandani.

Utafiti mmoja umeonyesha kuwa kiwango cha kupasuka kwa kondomu kiliongezeka kutoka 3.6% kwa kondomu mpya hadi 18.6% kwa kondomu zilizotumika miaka kadhaa baadaye.

Kondomu hupasuka.

Kiwango cha kupasuka hutegemea aina ya kilainisho kilichotumika na aina ya kondomu. Kwa mujibu wa tafiti 15 zilizofanywa na "Contraceptive Technology" yalionyesha kuwa katika kondomu 25,184 zilizotumika 4.64% zilipasuka.

Ingawaje kondomu za latex zinaonekana kuwa na kiwango kidogo sana cha kupitisha virusi vya ukimwi, hatari kubwa ya matumizi yake imo katika uwezekano wa kondomu kupasuka, kuteleza na kuteleza.

Kwa hiyo hata kama ni virusi vichache tu vinaweza kupenya, kiwango cha maambukizo kitakuwa kikubwa kadiri kondomu zinavyosambazwa kwa wingi na kadiri watu wanavyojihusisha na vitendo vya ngono wakiamini katika matumizi ya kondomu.

Udhaifu katika matumizi

Matumizi mabaya: yaani kutovaa vizuri, kuvaa nje ndani, aina ya ngono, urefu wa muda wa ngono, pia kutokana na uelewa mdogo hasa kwa wasojua kusoma na kuandika na wale wakaao mbali na mijini.

Kuteleza na kuvulika kutokana na hali ya uume kuwa mdindifu au la; upana au wembamba; mrefu au mfupi. 

Pia kutokana na tendo la ngono na hali ya mtumiaji na mazingira ya matumizi. 

Kutokana na umri wa mtumiaji, kama ni mtoto, kijana, mtu mzima au mzee.

Kutumia kondomu ambazo muda wake umepita. Mfano wanaotumia gizani , katika hali ya ulevi, kutokujua kusoma, kuchunguza na kugundua kama muda wake umepita.

Mazingira ya kingono yakishawekwa, watu wanatawaliwa na mihemuko ya juu ya ngono kiasi kwamba hawawezi kuchunguza tarehe ya ukomo wa matumizi ya kondomu.

Ingawa watengenezaji wanashauri kutotumia kondomu iliyobadilika rangi au iliyokauka, tabia za watumiaji hazina nafasi ya kuzingatia ushauri huo.

Lengo la mtumiaji laweza kusababisha matumizi kuwa mabaya. Mtu mwenye virusi vya ukimwi, anajiwekea lengo kwamba hataki kufa peke yake, atafanya jitihada za kutokutumia vizuri ili mwenzake [ambaye anaamini hajaambukizwa] aweze kuambukizwa ili, "nisife peke yangu".

Vilevile katika siku hizi za dawa za kupunguza makali ya kuzaliana virusi vya ukimwi, mtu anaweza kuonekana mwenye afya nzuri kabisa, na anaweza kumshawishi mwenzake kuachana na kondomu kwa vile "wanaaminiana".

Kwa hiyo mambukizi yanaweza kuwa makubwa kutokana na kutowadhibiti wale waliokwisha ambukizwa.

i.udhaifu wa kimazingira

Huu unatokana na hali zifuatazo:- kibinadamu, kimaumbile na Kibinadamu.

Udhaifu wa kondomu waweza kusababishwa na usafirishwaji, yaani muda unaotumika kusafiri kutoka sehemu zinapotengenezwa hadi mahali zinapotumika;

ii. Kimaumbile
Vyombo vya usafirishaji na usalama wa vyombo hivyo;

Kondomu zinazosafirishwa katika meli, zikiwa baharini kwa miezi kadhaa kabla hazijafika katika nchi lengwa na katika hali ya joto ndani ya makontena zinakuwa na kiwango hafifu katika ubora wake

"Siwezi kumkimbia Roma"

$
0
0

Msanii anayewakilisha kanda ya kati, Moni Centrozone ametoa ya moyoni kamwe hawezi kumtenga msanii Roma kwa sababu alipata matatizo hivi karibuni kwani ni mtu aliyemshika mkono kwenye 'game' ya bongo fleva.


Moni kupitia kamera za eNewz amejibu tetesi za watu wanaodai kwamba amejiweka mbali na msanii Roma tangu walipopata matatizo ya kutekwa na watu wasiojulikana kwa siku tatu kwa kujibu siyo kweli kwani wao ni zidi ya marafiki hivyo ni vigumu kutengana.


"Roma ni damu yangu, ni kaka yangu ambapo kama siyo yeye nisingefika mapema kwenye 'mainstream' n amaanisha ningechelewa kujulikana. Hata siku moja sijawi kufikiria kujitenga naye kwa sababu yeye kapata matatizo. Mimi nimetoa ngoma kwa sababu natakiwa kutoa na yeye bado anasubiri apone vizuri arudi kazini kwani bado tuna kazi nyingi za kufanya muda mfupi tuu baada ya kurejeshwa kwa studio ya Tongwe" - Moni alielezea.


Moni kwa sasa ana-'hit' na wimbo unaokwenda kwa jina la tunaishi nao alioutoa muda mfupi baada ya kurejea uraiani tangu alipotekwa na watu wasiojulikana akiwepo yeye, Roma na Prodyuza Bin Laden na msaidizi wa ndani.

Mavazi ya Vanessa Mdee yaikera familia

$
0
0

 Msanii Chipukizi kutoka Mdee music 'Mimi Mars' mwenye 'hit' mpya inayokwenda kwa jina la 'Dede' amefunguka na kusema dada yake Vanessa Mdee ni mtu ambaye hawezi kushaurika kuhusu mavazi pindi anapokuwa amepangilia kuvaa.


Mimi Mars ambaye ni mdogo wa msanii Vanessa Mdee amesema kuwa mara kadhaa mavazi ya dada ake yanayomkwaza huwa anamuambia lakini majibu anayopatiwa yanamfanya ashindwe kuendelea kuhoji na kushauri.


"Inapotokeaga amevaa nguo ambayo sijaipenda namuulizaga Mamdogo hiyo nguo vipi? lakini atakuambia eeeh fashion babu niache napanda zangu stejini, so nakua i'm like ok, hivyo ikifika hapo nakuwa siwezi tena kumshauri . Yeye ni Icon na 'Star' hivyo labda wakati mwingine huwa anapenda kuwa na aina fulani ya muonekano stejini hivyo ni vigumu sana kumbadilisha - Mimi Mars


Kwa upande wake Mimi Mars ameweka wazi hataweza kuvaa nguo kama za dada yake hata kwenye video zake za muziki kwa vile hana mwili unamruhusu kujiachia kama dada yake.

Baada ya Kutumbuliwa..Prof Muhongo ..Mbunge wa Upinzani Ajitokeza Kumteta..!!!

$
0
0
Mjadala wa mchanga wa dhahabu (makinikia) umeibuka tena bungeni mbunge akiwatuhumu wenzake, huku akimtetea Profesa Sospeter Muhongo kuwa ametolewa madarakani kama vile mbuzi wa kafara.

Mbunge wa Ubungo Saed Kubenea  amesema Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe na Mbunge wa Lupa, Victor Mwambalaswa wawajibike kwa kuwa ni wahusika wa mikataba mibovu ya madini.

Amesema makinikia yana dhahabu lakini yanayofanyika yanaweza kuliingiza Taifa kwenye mgogoro wa kidiplomasia, kisheria na wa kimahakama.

Kubenea ametoa shutuma hizo jana (Ijumaa) akichangia hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Nishati na Madini kwa mwaka wa fedha 2017/18.

Amesema Rais John Magufuli amwajibishe pia Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk Medard Kalemani.

Mbunge huyo amesema hapuuzi nia njema ya Rais Magufuli ya kuwatumikia Watanzania na kuokoa rasilimali za nchi. “Hoja yangu ni kwa nini hatuzungumzii kitendo cha ndege kubwa kubeba dhahabu na tunajadili mchanga, Rais amemtumbua Profesa Muhongo, why (kwa nini) amefanywa mbuzi wa kafara? katibu mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini ametumbuliwa, naibu waziri huyu hapa naye awajibike, kwa nini amebaki,” amehoji Kubenea.

Amesema Dk Kalemani amefanya kazi wizarani hapo tangu mwaka 1999 baada ya kumaliza Chuo Kikuu cha Dar es Salaam hivyo akahoji ni kwa nini asitumbuliwe.


Kubenea amesema Dk Mwakyembe akiwa Wizara ya Katiba na Sheria aliruhusu baadhi ya mikataba mibovu kwa nia ya kumbeba Mwambalaswa.

Mbunge huyo alimzungumzia Bashir Mrindoko, aliyewahi kuwa Kamishna wa Madini wa Wizara ya Nishati na Madini akisema ni miongoni mwa watu waliotajwa kwamba wanapaswa kuwajibishwa na Rais mwaka 2008 katika ripoti ya Richmond lakini aliendelea na kazi.

“Inashangaza kuona mwaka 2010 huyu  Mrindoko anatoa kibali kwa kampuni ya Singida Wind Power Project iendeshe umeme wa upepo, huyu alikuwa kamishna wa nishati na madini, miongoni mwa watu wanaomiliki hiyo kampuni wamo humu ndani,” amesema.

Amesema wakati kampuni hiyo ikipewa zabuni, Mwambalaswa alikuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Nishati na Madini na ilibainika baadaye kuwa ni mmoja wa wamiliki.

Mbunge huyo amesema Waziri wa Fedha ndiye anayetoa misamaha na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ipo chini yake, lakini waliokuwa viongozi kwenye wizara hiyo wakati huo na sasa wanaendelea kuachwa.

Amesema rekodi zilizopo zinaonyesha mwaka 1993 serikali ilipitisha muswada bungeni wa kuwaruhusu wawekezaji kusafirisha dhahabu, kupata misamaha ya kodi, kuondolewa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) na kuondoa mchanga unaozalishwa na kuusafishia nje.

 “Sasa mheshimiwa spika, mimi sina interest (masilahi) yoyote na Muhongo, kwanza sina mazoea naye hata kusalimiana naye na wala sijazungumza naye lakini katika hili asiwe mbuzi wa kafara, twende mbele zaidi tuangalie wapi tulipojikwaa,” amesema.

Amesema kuna shida kubwa ndani ya serikali kwa kuwa kuna mawaziri au baadhi ya watendaji wakuu wanaokuwa na masilahi katika mikataba na wanakaa kwenye baraza la mawaziri, kumbe nje wana kampuni za mfukoni au za rafiki zao wanaingiza nchi kwenye mgogoro kama Bunge la tisa lilivyopitisha uamuzi mwaka 2008 juu ya Richmond, maazimio hayakutekelezwa kama yalivyotakiwa.

Fainali ya Uefa ..Leo ni Mechi ya Buffon na Ronaldo..Fahamu Machache Kuhusu Mechi ya Leo..!!!

$
0
0

Ni fainali ya kihistoria ya Real Madrid na Juventus leo Jumamosi jijini Cardiff, Wales huku timu hizo  mbili kila moja ikiwa imenyakua ubingwa wa Ligi Kuu nchini mwake msimu huu.

Real Madrid ina kibarua kigumu cha kutetea taji hilo, kutokana na Juventus iliyo katika kiwango cha juu msimu huu.

Mchezo huo wa fainali unahusisha ushindani kwa makocha, wachezaji pamoja na mfumo ndani ya uwanja.

 Makocha Zinedine vs Allegri

Utamu wa fainali hiyo umekolezwa na ushindani wa kocha Zinedine Zidane ambaye ni chimbuko la klabu hiyo ya Italia. Zidane anapambana ili kuandika historia kuyakua taji hilo kwa mara ya kwanza tangua achukue mikoba kuinoa klabu hiyo Januari mwaka jana.

Pia, Kocha Massimiliano Allegri anataka kujihakikishia nafasi ya kuwa miongoni mwa makocha bora mbele ya wapinzani wao, Real Madrid.

 Vita ya Ronaldo vs Buffon

Mtifuano katika fainali hiyo ipo kwa makocha pekee.  Mchezaji Christiano Ronaldo anataka kudhihirisha ubora wake mbele ya kipa wa Juventus, Gianluigi Buffon.

Kipa Buffon amekuwa mahiri baada ya kuzua hatari nyingi kwenye lango lake huku akiwa ameokoa michomo 13 kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa.

Pia, Ronaldo amejikusanyia mabao matano kabla ya kukutana na kipa huyo kwenye mechi hiyo yenye ushindani.

Miongoni mwa mashuti sita aliyopiga Ronaldo, matano yalizaa mabao na moja lilitoka nje. Wachezaji hao wote wanawania tuzo ya Ballon d’Or mwaka huu inayotolewa na Chama cha Soka Ulaya (Uefa) ambao ndiyo waandaaji wa mashindano hayo makubwa.

 Ushindani kwenye mfumo

Kocha Allegri atashusha kikosi chake uwanjani huku akitumia mfumo wa 4-2-3. Mfumo huo amekuwa akipenda kuutumia kutokana na kuamini kwamba ndiyo umemletea mafanikio makubwa.

Zidane ataingiza timu uwanjani huku akitumia mfumo wa 3-4-3.

Kafulila Atema Cheche Juu ya Ujumbe Uliosambazwa Kuwa Amemkemea Lissu Kuhusu Sakata la Mchanga wa Bahari..!!!

$
0
0

Na David David Kafulila

UPOTOSHAJI UNAOSAMBAZWA DHIDI YANGU DAVID KAFULILA. 

Kuna ujumbe unasambazwa ukidai kuwa mimi David Kafulila nimemshutumu Mhe Tundu Lissu kuhusu msimamo wake sakataka la mchanga na kwamba amehongwa kufifisha juhudi za Rais. NAOMBA KUSISITIZA KWAMBA UJUMBE HUO SIO WANGU, NISIASA ZA VIOJA BADALA YA HOJA. MHE LISSU AMEBOBEA ENEO HILI, NIVEMA SERIKALI NA CCM IJIBU HOJA BADALA YA VIOJA.MSIMAMO WANGU UPO WAZI KWAMBA TATIZO LA MADINI MKAPA&JK WAONDOLEWE KINGA WACHUNGUZWE KAMA KWELI RAIS AMEAMUA KUKABILI TATIZO, KWAKUWA NDIO MSINGI WA YOTE HAYA.RAIS WA ZAMANI NIGERIA ABACHA ALIPOCHUNGUZWA ALIKUTWA KAHONGWA $3BN (ZAIDI YA TRILION7 ZA KITANZANIA). SIJUI HAWA WALIVUTA NGAPI KUHALALISHA MIKATABA HII YA UPORAJI. CCM KAMA MMEKOSA HOJA VEMA MKAE KIMYA BADALA YA KUSAMBAZA UPUUZI. KAMA KWELI CCM MNAUCHUNGU NA UPORAJI HUU MSHINIKIZENI RAIS TUONDOE KINGA WATU HAWA WACHUNGUZWE BADALA YA KUCHUNGUZA VIDAGAA!

Picha za Beckham Akiwa Mbugani Zawatoa Mapovu Wasanii wa Bongo..Lulu Amvaa Kichwakichwa Bila Kujielewa..!!

$
0
0

David Beckham anaonekana kuwachanganya baadhi ya watu kwa kitendo chake cha kupost picha mitandaoni bila kutaja kama yupo katika moja ya mbuga hapa nchini Tanzania.

Beckham alitua nchini kimya kimya wikiendi iliyopita majira ya usiku akiwa ameongozana na familia yake na kuelekea mahali pasipo julikana huku baadhi ya wadau wakidai alikuwa ameelekea mbuga ya wanyama ya Ngorongoro.

Kitendo hiko kimewafanya watu kumshambulia kwenye kila picha aliyopost mchezaji huyo wa zamani wa Uingereza.

Hata baadhi ya mastaa wa Bongo wameonekana kushangazwa na kitendo hicho huku wengine wakitoa yao ya moyoni kupitia mtandao wa Twitter, kati yao ni Elizabeth ‘Lulu’ Michael, Mwasiti. “Mbona hatoi Taarifa kwa wenye nchi Yetu🤣🤣🤣🤣atajuta nipe username yake kwanza 🤣🤣🤣🤣hata simfologi,” ameandika Lulu.

Naye Mwasiti ameandika, “😂😂 huyu beckham huyu..sasa sisi ni mwendo wa kuweka bendera yetu 🇹🇿🇹🇿 tu kwenye kila picha yake mbugani kagoma kusema alipo 😂😂@OfficialLizyM.”

Hata hivyo Fid Q amewachana watu wanaolalamikia tukio hilo, “Nimekuta watu wananung’unika juu ya suala zima la ujio wa DEVI mbugani kwetu eti kwasababu kila akipost hasemi kama yupo TZ..Mlimfadhili? 😀.”

Nchemba Apiga Marufuku Wagonjwa Kuchajiwa Hela ya Mafuta..!!!

$
0
0

Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwingulu L. Nchemba, amekabidhi gari la kubebea wagonjwa ambalo limetolewa na Serikali kupitia Wizara ya Afya, Jinsia, Wazee na Watoto kwa kituo cha afya cha Ndago kilichopo Wilayani Iramba.

Aidha, amesema kuwa ni marufuku wagonjwa kuombwa kuchangia mafuta ya ambulance hiyo au gharama yoyote ile na kuwataka wagonjwa kutumia gari hilo bure bila kuchajiwa gharama yeyote.

“Gari hilo lipatikane kituoni wakati wote, liwe na mafuta ya kutosha na dereva awepo. Gari hili ambalo ni la kisasa litunzwe na kulindwa ili liweze kutumika kwa miaka mingi ijayo”, amesema Mwigulu.

Hata hivyo, Mwigulu ameishukuru Serikali ya awamu ya tano chini ya rais Magufuli na waziri Ummy kwa msaada huo ambao utaokoa wapiga kura wake na wananchi kwa ujumla.
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live




Latest Images