Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104776 articles
Browse latest View live

Humphrey Polepole Sio Mtu wa Mchezo Mchezo..Adai CCM Kuna Minyoo na Kupe Wanaokiuwa Chama

$
0
0

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimewataka wanachama wake kutowachagua viongozi wanaotafuna mali za chama hicho kwa maslahi binafsi.

Akizungumza na vijana wa chama hicho mkoa wa Dar es Salaam,

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Humphrey Polepole amesema leo (Jumapili) kuwa wako viongozi wa chama hicho wenye tabia ya minyoo na kupe.

"Wapigeni chini viongozi wenye tabia za kupe kwani ndiyo wanaokiua chama," amesema.

Amesema viongozi wa aina hiyo siku zao zinahesabika kwa kuwa wamesababisha wanachama kukichukia chama chao.

KIJANA Ajinyonga Kwa Kamba Juu ya Mti Kisa Ugumu wa Maisha....

$
0
0
Picha ya Tukio jingine


Kijana Paulo Ezekiel, amejinyonga kutokana na kile kinachodaiwa ugumu wa maisha.

Paulo (17) alikuwa anaishi na wazazi wake Mtaa wa Mazinge Kata ya Ndembezi mjini Shinyanga, alifariki dunia juzi usiku kutokana na kudaiwa kujinyonga kwa kamba juu ya mti jirani na nyumbani kwao.

Tukio hilo lilitokea majira ya saa kumi alfajiri baada ya marehemu kutoka nje ya geti la nyumba yao na kuelekea kwenye mti huo kisha kijipiga kitanzi kunakodaiwa kusababisha kifo chake.

Akizungumza tukio hilo jana, baba mzazi wa marehemu, Ezekiel alisema awali kijana wake alikuwa na ugomvi na marafiki zake ambao ni madereva bodaboda, lakini huo ulisuluhishwa na akaendelea na majukumu yake.

Alisema chanzo cha kifo chake hakijafahamika vizuri, lakini mara kwa mara alikuwa akilalamika kuwa maisha ni magumu.

"Ilipofika majira ya saa 10 usiku nilisikia mlango wa chumba cha kijana wangu ukifunguliwa, nikajua ametoka kwenda kujisaidia lakini muda mrefu ulipopita bila kusikia amerudi, ndipo nikatoka nje na kukuta geti la uani likiwa wazi, nikaanza kumtafuta bila mafanikio", alisema. 

Aliongeza:
"Niliporudi ndani nikamwamsha mama yake mzazi na wadogo zake wa kike, tukaanza kumsaka ndipo tukamuona akiwa juu ya mti jirani na nyumba yetu, akiwa ameshafariki kwa kujinyonga na kamba". 

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Jumanne Murilo, alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kueleza kuwa hakuna mtu yeyote anayeshikiliwa na jeshi la hilo kuhusiana na tukio hilo.

Alisema mwili wa marehemu umehifadhiwa katika chumba cha maiti katika Hospitali ya Mkoa wa Shinyanga na unatarajiwa kuzikwa leo kwenye Makaburi ya Mtaa wa Dodoma mjini hapa.

Chanzo: Nipashe

YAJUE Madhara ya kutumia Simu ya Smartphone kwenye Giza

$
0
0
Mara nyingi watu wengi tuanpenda kutumia simu mahali ambapo pana giza kwa muda mrefu, sisi tunapenda kukuita kukuchati. Kuchati huku nyakati za giza wakati taa imezimwa huwa na madhara yafuatayo.

Kwa sasa, idadi ya wagonjwa kuanzia miaka 30-40 wanatafuta matibabu makubwa. kutokana na matumizi ya simu za mkononi (smart phone) gizani.

Profesa Li Li, kiongozi wa hospitali ya macho huko singapore amesema: anasema mionzi ya moja kwa moja kwa zaidi ya dk 30 na kuendelea inaweza kusababisha mpangilio na mbadiliko wa seli macho na hivyo kusababisha saratani na kushindwa kuona kabisa.

Hii ni kwasababu wakati wa kutimia simu mahali penye giza huwa tunayalazimisha macho yetu yaweze kuona ya uwezo wake. Na ndo maaana kuna wakati unaweza ukatumia simu muda mrefu mahali penye giza mara baada ya kuacha kutumia simu utaona kama giza limezidi zaidi. Hali hiyo huyafanya macho yako yaanze kurudi katika hali ya ukawaida.

Pia utumiaji wa simu kwenye giza husababisha Kupata saratani ya macho. Hivyo ili uweze kuepuka saratani hivyo ni bora tuache kutumia simu za mikononi gizani ili tujikinge. Simu za mikononi (smartphone) zenye mwanga mweupe sana karibu na macho gizani, unabadili mfumo wa seli macho na kupelekea matatizo ya saratani ya macho.

Proffessor Li Li amesema dalili za mbadiliko wa seli macho mara nyingi wanazigundua watu wenye umri mkubwa (wazee), ila kwa hivi sasa zinagunduliwa hata na kwa vijana wadogo. Hasa kwa wenye umri wa kuanzia miaka 30-40 wanaongezeka kwa asilimia 3% na wote hawa ni watumiaji wa simu za mikononi (smartphone) kupitiliza.

 Utumiaji wa simu inaweza sababisha na ugonjwa wa macho makavu, mtoto wa jicho na mwisho kupelekea kupoteza kuona.
.
Madaktari bingwa wa macho 254 kutoka mahosipitalini profesa Li Li atoa hoja kwamba kikubwa cha muhimu ni kwamba ni kuwa mbali na tabia za kutumia simu gizani. Sababu tabia hizi za kutumia simu (smartphone) kabla ya kulala zitakusababishia matatizo ya maisha yako kwa ujumla.

Hivyo ili kujiangalia sisi wenyewe na familia zetu, kwamba hakuna kuzima taa endapo unatumia simu ya mkononi. Wape taarifa haraka wote watumiaji wa simu za mikononi gizani wanaweza kupoteza kwa urahisi sana uwezo wa kuona.
 Facebook  Twitter  Google+

SHAMBULIO Baya Lingine London Uingereza

$
0
0
Watu kadhaa wamejeruhiwa baada ya gari la mizigo kuvamia kundi la waenda kwa miguu, karibu na msikiti ulioko kaskazini ya mji mkuu wa Uingereza London.

Polisi wamelielezea tukio hilo kama ni ajali kubwa, Tayari mtu moja amekamatwa kufuatia shambulio hilo lililotokea katika wilaya ya Finsbury Park.

Baraza Kuu la Waislamu nchini Uingereza limesema kuwa walengwa wa tukio hilo walikuwa ni waumini, huku majeruhi wengi wakiaminika kuwa ni wale waliokuwa wamemaliza tu kuswali swala ya jioni baada ya kuumaliza mfungo wa siku wa Ramadhan.

Video zilizotumwa katika mitandao ya kijamii zinaonesha watu walio katika taharuki, kuhu wakijaribu kuwasaidia majeruhi.

Kutana na Maalim Fadhil Rashid Kutoka Komoro ni Mtaalam wa Tiba za Asili Anayetibu Magonjwa Yafuatayo

$
0
0

KUTANA NA MAALIM FADHIL RASHID KUTOKA KOMORO NI MTAALAM WA TIBA ZA ASILI

UNASHIDA NA MCHUMBA UNATATIZO PESA HAIKAI KURUDISHA MUME AU MKE KWA MUDA MFUPI MVUTO WA MAPENZI

MVUTO WA BIASHARA KUMSHIKA MUME AU MKE ASIKUSUMBUE

DAWA YA ( LIMBWATA )KUMTAWALA MPENZI WAKO KWA SABABU MAALUM

KUSAFISHA NYOTA ILI UWE NA MUONEKANO

NA PIA ANATOA PETE YA BAHATI INAYO ENDANA NA NYOTA YAKO ITAKAYO KULETEA PESA BILA MASHARTI

NA KUMILIKI MALI DAWA YA KUONGEZA UUME SAIZ UIPENDAYO

DAWA YA NGUVU ZA KIUME INAPATIKANA PIA ANAYO DAWA YA KUONGEZA HIPSI SHEP KUA NA UMBO BOMBA UMEIBIWA AU KUDHURUMIWA UTARUDISHIWA MALI YAKO NDANI YA MASAA 24 ANAFUNGA KESI NA KUPATA HAKI YAKO

DAWA YA MVUTO WA BIASHARA KUUZA MALI YAKO KWA HARAKA KUZUIA CHUMA ULETE

NA KUONDOA MIKOSI NA KUPANDISHWA CHEO KAZINI ACHA KUTESEKA ACHA KUHANGAIKA MAALIM FADHIL RASHID

YUPO TANZANIA KWA AJIALI YAKO. CALL...+255719362806/
+255763276239

WhatsApp IMO +255785786436

VIDEO:Tazama Huyu Askari Alivyopinda...Awakamata Boda Boda na Kuwaimbisha Wimbo wa Darasa

$
0
0

Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama barabarani lilimewaonya abiria wanaotumia usafiri wa pikipiki maarufu boaboda bila kuvaa kofia ngumu (helmet) kuwa wakikamatwa watakabiliana na mkono wa sheria ambao ni faini au kushtakiwa mahakamani.

Wakati Jeshi la Polisi likitoa onyo hilo kwa abiria, limeeleza kuwa kati ya Juni 5 hadi Juni 14 mwaka huu limekamata pikipiki 2,477 jijini Dar es Salaam pekee kutokana na makosa mbalimbali likiwamo la kupita kwenye taa nyekundu, kubeba abiria zaidi ya mmoja  (mshikaki), kutovaa kofia ngumu na ubovu wa pikipiki zao.

Kati ya pikipiki hizo zilizokamatwa, 1,221 zilikuwa na makosa ya abiria au dereva kutovaa kofia ngumu ambapo abiria 129 walifikishwa mahakamani kwa kosa hilo. Abiria hao walipoachiwa walitakiwa kwenda kununua helmet zao na kurudi kuzionyesha Polisi wakiwa na risiti zao.

Wakati hayo yakiendelea, video moja imesambaa kupitia mitandao ya kijamii ikimuonyesha Afisa wa Jeshi la Polisi akiwaimbisha madereva wa bodaboda wimbo wa Darassa baada ya kuwakamata wakiwa hawajavaa kofia ngumu pamoja na makosa mengine.

Polisi huyo alisema kuwa eneo la Lugalo, Mwenge Dar es Salaam hatopita dereva yeyote ambaye hajavaa kofia ngumu na atakapokamatwa atamshughulikia kisawasawa kwani kwa kufanya hivyo anavunja sheria za usalama barabarani.

Haikufahamika mara moja ni lini video hii ilichukuliwa. Itazame video hapa chini;

KUMWAGA Mbegu za Kiume Angalau Mara 21 Kwa Mwezi Hupunguza Hatari ya Kupata Kansa ya Tezi Dume

$
0
0
Kwa mwanaume unayehofia kuja kupata saratani ya tezi dume, kuna hatua angalau moja rahisi unayoweza kuichukua kukukinga dhidi ya hatari hii, na  urahisi wake ni kutokana na kujiondolea hatari ya kupata ugonjwa mkubwa kiasi hiki ukiwa chumbani kwako tu.

Tafiti nyingi zimehusisha utoaji wa mara kwa mara wa mbegu za kiume (manii) — kwa kufanya mapenzi, kupiga punyeto au ukiwa usingizini — na kupunguza kwa kiasi kikubwa hatari za kupata saratani ya tezi dume.

Jambo hili linaweza kuleta tofauti kiasi gani?

Kwa mujibu wa tafiti iliyochapishwa mwaka 2016 kwenye jarida la European Urology, tofauti ya kufanya na kutofanya hivi ni kubwa sana.

Wanaume 32,000 walifanyiwa utafiti kuanzia mwaka 1992 mpaka mwaka 2010 na matokeo waliyoyapata ni kwamba wanaume waliripoti kumwaga mbegu za kiume angalau mara 21 kwa mwezi walipokuwa na umri wa miaka ya 20 (20’s) maishani mwao walikuwa na asilimia 19 zaidi ya kutokutwa na saratani ya tezi dume ikilinganishwa na wale waliokuwa wakimwaga mara saba tu kwa mwezi mzima au chini ya hapo.

Kumwaga mbegu za kiume mara kwa mara ukiwa kati ya miaka ya 40 (40’s) pia inakupunguzia hatari ya kupata saratani ya tezi dume kwa asilimia 22, utafiti huo umeonesha.

“Ingawa matokeo ya utafiti wetu inabidi yathibitishwe na tafiti zinazochambua utendaji kazi wa kibaiolojia, bado matokeo haya yanasema kuwa kutoa mbegu za kiume na kufanya ngono salama katika ujana wako wote yawezekana ikawa ni mbinu yenye manufaa makubwa kwa mwanaume katika kupunguza hatari ya kupata saratani ya tezi dume,” amesema Jennifer Rider, kiongozi wa utafiti huo katika mkutano na waandishi wa habari.

Hakuna idadi maalumu kwa mwezi ambayo mwanaume anatakiwa anamwaga mbegu ili kupunguza hatari hiyo. Kilichobainishwa kutokana na utafiti huu ni kwamba huwa inategemea sana na mahusiano ya kingono kati ya wapenzi ambapo hatari ya kupata saratani hii inapungua sana endapo mwanaume anapata fursa ya kutoa mbegu za kiume mara nyingi zaidi.

Hii si mara ya kwanza kwa watafiti kuendesha utafiti kubaini ni kwa jinsi gani kutoa mbegu za kiume kuna uhusiano na kupunguza hatari za kupata saratani ya tezi dume. Mwaka 2003 timu ya watafiti wa nchini Australia walilinganisha idadi ya mwanaume kumwaga mbegu za kiume kwenye utafiti uliohusisha wanaume 2,300 — ambao nusu yao walibainika kuwa na saratani ya tezi dume. Matokeo yalionesha kuwa wale waliotoa mbegu za kiume mara tano hadi saba kwa wiki walipunguza hatari ya kupata saratani ya tezi dume kwa asilimia 36 wakilinganishwa na wale waliomwaga mara mbili au pungufu ya hapo kwa wiki.

Ingawa tafiti hizi zimekuwa zikileta matokeo yanayofanana, watafiti bado hajapata sababu maalumu ya kwa nini kumwaga mbegu za kiume mara kwa mara kunapunguza kwa kiasi kikubwa hatari za mwanaume kupata saratani hii.

Jennifer Rider aliliambia Shirika la habari la Reuters kuwa timu yake ilikuja na dhana moja inayoelezea uhusiano huo: kwamba “Utoaji wa mbegu za kiume mara kwa mara, kwa kiasi fulani, ni kielelezo cha afya bora kwa mwanaume kwa sababu wanaume waliobainika kumwaga mbegu mara chache zaidi kwenye utafiti wao — ambao hawakumwaga kabisa au walimwaga chini ya mara tatu kwa mwezi mzima — walikuwa na uwezekano mkubwa sana wa kukutwa na magonjwa mengine na pia walikufa mapema kutokana na sababu mbalimbali zaidi ya saratani ya tezi dume. Pamoja na matokeo haya, tafiti zaidi zinatakiwa kufanyika ili kuelezea uhusiano wa kibaiolojia unaohusika kupunguza hatari hii.”

HIVI Ndivyo Mwigulu Nchemba Alivyomvaa Tundu Lissu Kwa Kukwamisha Jitihada za Rais Magufuli Sakata la Mchanga

$
0
0
HIVI Ndivyo Mwigulu Nchemba Alivyomvaa Tundu Lissu Kwa Kukwamisha Jitihada za Rais Magufuli Sakata la Mchanga

Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba ‘amemvaa’ Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu kwamba amejaribu kutengeneza kila aina ya kichaka kukwamisha jitihada za Rais John Magufuli kupambana na usafirishaji holela wa madini nje ya nchi bila mafanikio.

Ingawa Mwigulu hakumtaja jina Lissu moja kwa moja alipokuwa akiwahutubia wananchi wa Kijiji cha Zinzirigi kilichopo katika Jimbo lake la Iramba Magharibi pia mkoani Singida juzi, hoja nyingi alizogusia ni zile ambazo Lissu amekuwa akinukuliwa kuzisema.

Moja ya hoja hizo ni ile ambayo Mwigulu alisema watu wenye nia mbaya walianza kusema kuwa Serikali itashtakiwa kwa hatua yake ya kuzuia makontena 277 ya mchanga wenye dhahabu.

“Baadaye watu haohao walisema tena kwamba mchanga ule ni takataka tu lakini walipoambiwa wasisafirishe mchanga huo wenye madini walisema wanapata hasara ya Sh4 trilioni kwa siku.”

Hata hivyo, Acacia walisema wanapata hasara ya dola bilioni moja kila siku.

Pia, Mwigulu alisema tangu Rais Magufuli alipounda kamati mbili kufuatilia suala la mchanga huo wa madini, watu hao aliowaita kuwa ni wenye nia mbaya walianza kutumia majina ya marais wastaafu Jakaya Kikwete na Benjamin Mkapa kama kichaka ili Serikali iache kufuatilia sakata hilo la mchanga wa madini.

“Hawa watu walikuwa wanatuona kama mazuzu hivi. Rais wetu amechukua hatua tena siyo kwa maneno, kwa vitendo. Tumuunge mkono,” alisema Mwigulu.

Tangu kuanza kwa sakata hilo la mchanga wa madini, Lissu amekaririwa mara kwa mara akisema kwamba suala hilo linashughulikiwa kisiasa badala ya kisheria jambo linaloiweka Tanzania katika hatari ya kushtakiwa na kushindwa.

Pia alikaririwa bungeni akisema Rais Kikwete anaponaje katika sakata hilo na jana alipoulizwa kuhusu kauli hiyo ya Nchemba alisema msimamo wake uko palepale kuhusu sakata hilo.

Alichosema Mwigulu

Mwigulu aliwaeleza wananchi hao kwamba viongozi wa Tanzania hawajawahi kuwa mawakala wa wale wanaoliibia Taifa na kwamba Watanzania wamewaona mawakala wa wezi hao kwa sababu wanawatetea. “Na mimi nimpongeze Rais kwa kuuona ule mtego, akafyatua pyaa! Sasa hivi kama ni gari lao matairi yote, Rais kashayaondoa upepo, yameshalala chini. Maana lile walitaka kutengeneza mtego, yaani ni kama mtu anayepigwa anatafuta mti ili ajifiche,” alisema Mwigulu.

Alisema heshima ya nchi hii kwa viongozi wastaafu waliofanya kazi nzuri ndiyo inayowafanya viongozi wa Taifa hili wasing’ang’anie madarakani, jambo ambalo mataifa mengine wameshindwa kufanya.

“Kama leo una uhakika ukiondoka madarakani unashtakiwa, kwa nini uondoke madarakani?” alihoji Mwigulu na kusisitiza kwamba alichofanya Rais Magufuli ni kulinda heshima za viongozi wastaafu.

Aliwataka wananchi kuunga mkono jitihada za Rais Magufuli za kulinda rasilimali za Taifa kwa sababu ndiyo zinazowawezesha kuwapatia maji, barabara za lami, umeme, elimu bure na dawa.

Lissu ajibu

Akizungumzia kauli ya Mwigulu kwamba wanajificha kwenye kichaka cha viongozi wastaafu ili kufifisha jitihada za Rais Magufuli, Lissu alisema ni ukweli ulio wazi kwamba huwezi kuwataja wahusika wa mikataba mibovu ya madini bila kurudi nyuma.

“Tunawaacha kwa sababu hatuwawezi. Kwa sababu wana kinga,” alisema Lissu na kusisitiza kwamba wanataka kuona wanapata chanzo halisi cha uzembe uliofanyika na siyo kuonea watendaji wadogo.

Lissu alisema Sheria za Madini na mikataba mingi ilisainiwa miaka ya 1997 na 1998.

Lissu ambaye pia ni Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, alieleza kushangazwa na Serikali kuacha kuzungumzia kwamba kampuni ya Acacia haijasajiliwa badala yake Rais Magufuli amekubali kukaa na wale anaowaita wezi ili kujadiliana.

Hatua zilizochukuliwa

Tangu sakata la mchanga wa madini lilipoanza, Rais Magufuli amechukua hatua kadhaa ikiwa ni pamoja na kutengua uteuzi wa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, Bodi ya Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) na ofisa mtendaji mkuu wake na kuagiza viongozi na watendaji wengine kuchunguzwa na vyombo vya dola.

Ripoti ya kamati ya pili iliyoongozwa Profesa Nehemiah Osoro imewataja baadhi ya viongozi waliohusika katika kuingia mikataba tata na kupendekeza Serikali iwachukulie hatua.

Waliotajwa kwenye taarifa ya kamati ya pili iliyowasilishwa kwa Rais Magufuli Juni 12 ni waliokuwa mawaziri katika Wizara ya Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo, William Ngeleja, Nazir Karamagi, Daniel Yona na Dk Abdallah Kigoda ambaye kwa sasa ni marehemu.

Wengine ni waliokuwa wanasheria wakuu, Andrew Chenge na Johnson Mwanyika; manaibu wanasheria wakuu Felix Mrema na Sazi Salula; makamishna wa madini, Paulo Masanja, Dk Dalaly Kafumu na Ally Samaje na wakuu wa idara ya mikataba, Maria Ndosi Kejo na Julius Malaba.

Akizungumzia kutajwa kwake katika ripoti ya kamati ya pili, Mbunge wa Sengerema (CCM), William Ngeleja alisema bungeni kwamba “kutuhumiwa siyo kukutwa na hatia, maisha yanaendelea.”

Viongozi wengine waliotajwa katika ripoti hiyo hawajajitokeza kuzungumzia suala hilo.

‘My Boyfriend Still Thinks I’m A Vírgin’

$
0
0
I am a 22-year-old university student. I came to university with my vírginity intact.

After being here for a few months, I am no longer a vírgin and I have had s**x with three different guys, none of them I can call my boyfriend. I have a boyfriend. He is five years older than I am. We were both Christians. We kissed but never had s**x. I can no longer consider myself a Christian. Whenever he calls me, I don’t know what to talk to him about because I feel so guilty. I told him he should forget me because I have changed, but I didn’t tell how I have.
 
My roommate got me into drinking and having séx with guys. One weekend my roommate had séx with two different guys. We talked about it. Sometimes she goes to the guys’ room and have séx with them. I love her because she is good to me. I suffer from prémenstrual pain and she helps me during my time of the month. Sometimes I think she has made me a very bad girl.

 
My boyfriend still thinks I am a vírgin. Should I still tell him I am not and he should take his mind off me?

By Resh

MKE wa Mzee Yusufu, Leyla Rashidi Azimia Nusu Saa Msiba wa Mke Mwenza...

$
0
0
MSIBA UNAUMA! Ndiyo maneno pekee unayoweza kusema baada ya mtandao huu kushuhudia mke mkubwa wa Mzee Yusufu, Leyla Rashidi akizimia katika msiba wa aliyekuwa mke mdogo wa mumewe huyo, Chiku Khamisi.

Leyla ambaye alifariki katika Hospitali ya Amana, jijini Dar siku ya Jumamosi na kichanga tumboni alipokuwa akijifungua, kumeibua simanzi nzito kwa watu kiasi cha kumpelekea mke mwenza, Leyla kupoteza fahamu kwa muda wa nusu saa msibani.

Mzee Yusuf akiwa na mwili wa kichanga kilichofariki pamoja na mama yake.
Watu waliokusanyika msibani hapo walishikwa na majonzi zaidi baada ya kumuona ‘Malkia’ huyo akipoteza fahamu kitu kilichoonyesha kuumizwa mno na msiba huo.

Chiku enzi za uhai wake.
Marehemu Chiku alizikwa jana (Jumapili) katika Makaburi ya Kisutu, jijini Dar. Mungu amlaze mahali pema peponi Bi Chiku, Amen.

GPL

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Magazetini Siku ya Leo Jumatatu 19 June 2017

TAKO Msambwanda wa Anti Lulu Wayeyuka......

$
0
0
Mwanadada anayesifika kwa kutingisha wowowo lake hasa awapo kwenye kundi la watu, Lulu Semagongo ‘Anti Lulu’ amepukutika ghafla na kalio au msambwanda wake kuyeyuka hivyo kuibua mshangao kwa watu wanaomfahamu.

Wikienda lilimnasa Anti Lulu wikiendi iliyopita na kumfotoa picha zinazomuonesha hana msambwanda huku akiwa amekongoroka ambapo alipobanwa kulikoni, alisema kuwa, amekonda kwa sababu amepata mpenzi wa Kizungu ambaye anataka awe na mwili mdogo.

“Nimepata mpenzi Mzungu, ameniambia nipungue ndiyo maana hata kalio langu limeisha, atakayenisema nina Ukimwi aje twende nikapime achukue majibu maana niko safi hivyo sina hata presha kwamba ninakonda kwa sababu gani, kukonda ukiwa unajua afya yako ni salama na kuna raha yake,” alisema Anti Lulu.

Anti Lulu aliwahi kukaririwa na gazeti hili akieleza kuwa, kutokana na kuwa na kalio kubwa amekuwa akisababisha ajali kwa wanaume ambao humshangaa na kwamba endapo litaondoka, itabidi aende kwa mchungaji ili akaombewe lirejee.

Stori: Gladness Mallya

UBUYU Ulionyooka: Chuz Akamatwa Rushwa ya Ngono!

$
0
0
Ubuyu huu siyo wa nchi hii! Mkongwe wa filamu na tamthiliya za Kibongo, Tuesday Kihangala ‘Chuz’, yupo katika wakati mgumu baada ya kutuhumiwa kisha kudaiwa kukamatwa na polisi kwa tuhuma nzito ya rushwa ya ngono, Wikienda limesheheni.

Wikiendi iliyopita gazeti hili lilipokea ‘mapovu’ ya vyanzo vyake kutoka kona mbalimbali ndani na nje ya Bongo, yakimtuhumu staa huyo kuwatumia kingono wasanii wa kike, wenye tamaa ya kuchomoka kisanaa.

Chuzi anayetamba na Tamthiliya ya Closed Chapter inayoruka kupitia TBC1, alidaiwa kuwafanyia wasanii wa kike 33, wakiwemo mapacha, vitendo hivyo vya kingono huko Lushoto mkoani Tanga alikoweka kambi kwa ajili ya maandalizi ya tamthiliya yake mpya.

Ilidaiwa kwamba, Chuz amekuwa akiwalazimisha kuwatumia kujistarehesha na wale wanaokataa huwafukuza kambini.

Wakati tuhuma hizo zikikolea mithili ya moto wa kifuu, Wikienda lilipokea sauti ya mwanaume aliyejitambulisha kama mmoja wa wasanii waliokuwa kambini ikidai kuwa, alishuhudia wasanii wa kike ambao ni chipukizi kutoka mkoani Arusha wakidhalilishwa kingono na Chuz.

“Kiukweli kuna wasanii wa kike wanateseka sana kambini anakoshuti Chuz. Vitu vinavyoendelea ni udhalilishaji hasa kwa mabinti wadogo ambao wametoka Arusha.
“Tulimwacha dada yetu mmoja kambini kule Lushoto, sisi tukarudi Arusha. Sasa hivi yupo njiani anarudi Arusha.

“Ukweli ni kwamba, Chuz hawezi kumpa binti scene (kipande cha kuigiza) bila kuwataka kimapenzi, yaani mtu alipokuwa akiingia kwa Chuz anakaa saa mbili anafanyishwa hayo mambo yake.
“Tunaomba viongozi wakawasaidie wasichana waliobaki kule Lushoto, kiukweli imeniuma sana na
 ndiyo maana naongea haya. Chuz anawadhalilisha wasanii wa kike, wakimkataa anawaundia zengwe, anawafukuza.

“Amekuwa akisema kuwa anafanya hivyo kwa sababu alishaumizwa sana na wasanii wa kike hivyo analipiza, yaani mwanamke akimkataa anamfukuza, scene zinaanzwa upya, tunamuomba Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Simon Mwakifwamba aliangalie hili,” ilisema sauti hiyo ya kijana aliyejitambulisha kwa jina la Edward ambaye ni mkazi wa Arusha huku akisema ana mengi mno ya kuelezea aliyoyaona kambini kwa Chuz.

WASANII WAJA JUU
Baada ya sauti hiyo kusambaa, wasanii mbalimbali wa tasnia hiyo Bongo walikerwa na kitendo hicho na kusababisha kuunda Kundi la WhatsApp huku wakimjadili Chuz na yeye akiulizwa kulikoni kufanya hivyo, lakini muda mwingi alikuwa akisema yuko bize na kazi.

AUNDIWA TUME
Baadhi ya wasanii kupitia kwa Mwenyekiti wa Chama cha Waigizaji Tanzania, Elia Mjata, wameunda tume ya kumchunguza Chuz kama ile ya kuchunguza mchanga wa dhahabu ‘makinikia’.
Tume hiyo inaongozwa na msanii wa filamu za Kibongo, Michael Sangu ‘Mike’ na wajumbe wengine huku majina mengine kutoka taasisi za kiserikali yakisubiriwa ili kazi ya uchunguzi ianze mara moja.
Akizungumzia skendo hiyo, Mike alisema kuwa, kwa sasa wanajiandaa huku wakiwasubiri hao wajumbe wa taasisi za serikali ambapo uchunguzi wa kina utafanyika kuanzia Lushoto ilipo kambi ya Chuz kwani tuhuma hizo ni nzito.

CHUZ AKAMATWA, AACHIWA
Habari nyingine kutoka Lushoto zilidai kwamba, baada ya kuenea kwa ishu hiyo, Chuz alikamatwa na polisi na kuhojiwa hukohuko Lushoto na kuachiwa, haikujulikana alihojiwa nini na aliachiwa kwa maelezo gani.
“Polisi walifika kambini wakamkamata na kwenda naye kituoni, lakini baada ya muda alirejea mzigoni. Hakuna anayejua kilichoendelea huko,” kilisema chanzo kingine.

CHUZ ANASEMAJE?
Ili kupata mzani wa ubuyu huo, Wikienda lilimtafuta Chuz na kumsomea tuhuma hizo ambapo mambo yalikuwa hivi;
Wikienda: Kuna habari kwamba umewafanyia udhalilishaji wa kingono wasanii wa kike na wale
 wanaokataa unawafukuza kambini, hili likoje?
Chuz: Siyo kweli, hakuna hata mmoja aliyefukuzwa.
Wikienda: Kuhusu suala hili la kuwatumia kimapenzi vipi?
Chuz: Huyo dogo (mwanaume) ambaye amejirekodi hiyo sauti, aliondoka kambini, alipotaka kurudi hatukuwa tayari kwa kuwa muda wa ruhusa yake uliisha, ndiyo maana anafanya hivyo.
Wikienda: Na hao wasichana uliowatumia kingono wakiwemo mapacha na wasichana wengine wawili vipi?
Chuz: Kuhusu uhusiano, sidhani kama ni habari mpya, imeshaandikwa sana.
Wikienda: Kuna madai kuwa unawatumia kinyume na maumbile, je, hili likoje?
Chuz: Hilo hata Mungu atanihukumu kama nitafanya huo uchafu.
Wikienda: Unafikiri chanzo cha tuhuma hizi nzito ni nini?
Chuz: Chanzo ni huyo msanii wa Arusha baada ya kumkatalia kurudi kambini.
Wikienda: Kuna madai kuwa ulikamatwa na polisi, je, ni kweli?
Chuz: Ni kweli, walinifuata polisi, nikaenda kituoni kwa mahojiano.
Wikienda: Polisi walikuhoji kuhusu nini?
Chuz: Ni mambo ya uchunguzi nisingependa kuyazungumzia.

NENO LA MHARIRI
Ubuyu ndiyo huo na mambo yameanza kupamba moto hivyo ili kupata ukweli, tuvute subira, uchunguzi ufanyike na majibu utayapata kupitia Magazeti ya Global Publishers, usicheze mbali.
Ubuyu: Gladness Mallya | Ijumaa Wikienda

NAMWACHA Mchumba Wangu Kwa Sababu ya Simu

$
0
0
NAMWACHA Mchumba Wangu Kwa Sababu ya Simu
Nimegundua wanawake sio viumbe wazuri hata kidogo,nina umri wa miaka 36 na mchumba wangu ana umri wa miaka 34,tumekutana miezi minne iliyopita na uhusiano wetu ulikuwa mzuri kwani nilimwamini na kwa kweli ana uwezo kunizidi,mtakumbuka miezi ya hapo nyuma nilileta mada hii hapa,ilikuwa ni true story kabisa

Kitu kimoja ambacho huyu dada amekuwa akinisumbua nacho ni simu zake mbili za mkononi,huko nyumba tumewahi kugombana mara kadhaa kwa ajili ya simu,yaani anazificha na hataki kabisa mimi nizishike japokuwa kila simu ina password

Jana usiku nililala kwake lakini asubuhi nilipoamka nikagundua simu zake hazipo hapo chumbani kwake,nikamuuliza simu zako ziko wapi?

Akachukua begi lake la mkononi na ku search ndani yake hakuna kitu,halafu akawa kama ameshtuka na kusema nilizisahau kwenye gari jana jioni,nikachukua fungua za gari na kwenda kuzichukua lakini sikuona kitu

Nilipomuuliza zaidi akawa mkali na kuniwakia eti simwamini kwa sababu ya simu,kilichonishangaza ni kwa nini awe mkali kuulizwa habari ya simu??niliamua kuondoka asubuhi ile ilikuwa saa kumi na moja na kuchapa yeboyebo zangu kurudi kwangu

Nimeamua kumwacha kwa sababu japo nilishaanza kumwamini lakini trust yangu imeuwawa na kitendo cha yeye kuficha sana simu

kwani hizo simu zina nini cha siri??nilikuwa nataka tufunge ndoa kabisa mwaka huu lakini kwa mpango huo nitakaa alone milele hapa duniani

Bora niishi peke yangu kuliko kuwa na mwanamke mwenye siri
this is true story!!!!

By Lameck

VIGOGO Wawili Waliotajwa Ripoti ya Makinikia Wamwaga Fedha Kanisani

$
0
0
WABUNGE watatu, wakiwamo Andrew Chenge na William Ngeleja ambao Kamati ya pili ya Rais kuchunguza masuala ya kisheria na kiuchumi kuhusiana na makinikia Jumatatu iliyopita ilishauri wachunguzwe, jana walitoa mchango kwa kanisa.

Wakati Chenge ni Mbunge wa Bariadi, Ngeleja anawakilisha wananchi wa jimbo la Sengerema.

Kamati ya Profesa Nehemia Osoro iliyokuwa imeundwa na wataalamu wa uchumi, sheria na takwimu iligundua nchi inaweza kuwa imepoteza mpaka Sh. trilioni 500 katika kodi na mali kutokana na udanganyifu ama udhaifu wa utendaji wa wadau katika biashara ya makinikia, tangu mwaka 1998 mpaka sasa.

Maofisa wa serikali waliokosolewa na kupendekezwa kuchunguzwa ni pamoja na mawaziri wa madini, wanasheria wakuu wa serikali na makamishna wa madini, wote waliopita.

Mbunge mwingine aliye kwenye kibano cha kamati ya Prof. Osoro na akatoa mchango wa fedha katika harambee ya uchangiaji wa ujenzi wa jengo la kisasa la Baraza la Kikristo (CCT) mjini Dodoma jana ni Dk. Dalaly Kafumu (Igunga).

Akizungumza katika hafla hiyo, Spika wa Bunge, Job Ndugai alisema anachangia Sh. milioni 10, lakini pia angewasilisha michango ya wabunge wengine ambao hawakufika akiwamo Chenge na Dk. Kafumu ambao kila mmoja alitoa Sh. 500,000.

"Mimi nachangia shilingi milioni kumi, lakini ninayo michango ya wabunge ambao hawakufika leo hii katika harambee hii akiwamo mheshimiwa Chenge ambaye anatoa Sh. 500,000," alisema Ndugai."Mheshimiwa Dk. Kafumu naye (anatoa) Sh. 500,000."

Wakati wabunge wengine waliohudhuria harambee hiyo walipoanza kuchangia, Goodluck Mlinga wa Ulanga aliahidi kutoa Sh. milioni 1.5 na kusema pia ametumwa na Ngeleja kuwasilisha ahadi yake.

Mlinga alisema Ngeleja ambaye alimwambia kiasi ambacho atakachotoa yeye mahali hapo, Waziri wa Nishati na Madini huyo wa zamani angetoa mara mbili yake.

"(Hivyo) mimi natoa shilingi milioni moja na nusu," alisema na kumaanisha Ngeleja atachangia Sh. milioni tatu.Wakati Kafumu anaingia kwenye mapendekezo ya kamati ya Prof. Osoro kwa kuwa kamishna wa madini wa zamani, Chenge alikuwa mwanasheria mkuu (AG).

Awali katibu mkuu wa jumuiya hiyo, Mchungaji Moses Matonya alisema ujenzi wa jengo hilo unakadiriwa kutumia zaidi ya Sh. bilioni tatu na litakuwa la ghorofa 10.

"Tunahitaji kiasi cha Shilingi milioni 500 kwa ajili ya kuanzia hatua za wali za ujenzi, hasa katika michoro," alisema na "harambee hii itaendelea katika maeneo mbalimbali nchini ili kuweza kufanikisha jengo hili ambalo litakuwa la kisasa zaidi kuendana na makao makuu."

MCHEZAJI Haruna Niyonzima Awa Lulu...Simba Yatumia 100 Kumshawishi

$
0
0

NI UMAFIA TU! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima kudaiwa kujiunga na Klabu ya Simba kwa mkataba wa miaka miwili baada ya kupewa ofa ya Sh. milioni 100.

Habari zilizopatikana jana jioni zinasema Niyonzima amekubali kujiunga na Simba baada ya viongozi wa klabu hiyo kumpa fedha hizo za usajili.

Kwa muda mrefu tangu kumalizika kwa Ligi Kuu Bara, Niyonzima ambaye amebakisha mwezi mmoja kwenye mkataba wake na Yanga, alikuwa akihusishwa kutaka kujiunga na Simba.

Taarifa zinadai kuwa Simba waliongea na Niyonzima kabla hajaenda Rwanda kujiunga na timu yake ya Taifa, lakini akataka viongozi hao kuwasiliana na wakala wake ambapo Simba walifanya hivyo na kupewa dau walilokuwa wakilitaka.

Aidha, Yanga iliwasiliana na Niyonzima akiwa Rwanda baada ya kusikia Simba wamewasiliana naye na hivyo wakamuahidi ofa nono ili asisajiliwe na Simba.

Baada ya kusikia Yanga wamewasiliana na Niyonzima, Simba walimtuma mtu kwenda Rwanda kufanya mazungumzo na mchezaji huyo, lakini wakala wake aliwataka wamsubiri Niyonzima Dar es Salaam kwa kuwa alikuwa kwenye majukumu ya timu ya Taifa.

Niyonzima alipowasili nchini juzi usiku alipokelewa na kigogo mmoja wa Simba huku Yanga wakiwa hawafahamu kama nyota huyo ametua nchini.

Imeelezwa Yanga walimuandalia nyota huyo dau la Sh. milioni 60 ili asaini mkataba wa miaka miwili, lakini tajiri mmoja wa Simba alimuhakikishia kumpa dau la Sh. milioni 100.

Kabla ya kupewa dau hilo, Yanga waliongezea dau lao na kufikia Sh. milioni 80 ambazo hata hivyo, hazikumshawishi nahodha huyo wa Rwanda kusaini nao mkataba mpya.

Aidha, pia Simba juzi ilimalizana na kiungo na nahodha wake, Jonas Mkude kwa kumsainisha mkataba wa miaka miwili.

Mkude pia alikuwa akiwindwa na Yanga iliyoibomoa Simba kwa kumsajili mshambuliaji wao, Ibrahimu Ajib.

LOWASSA Apongezwa na CCM Kwa Kumtumia Rais Magufuli Salamu za Pongezi Sakata la Mchanga

$
0
0
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Christopher Ole Sendeka amempongeza Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kwa kumpongeza Rais John Magufuli kufuatia uamuzi aliouchukua kuhusu mchanga wa madini yanayochimbwa nchini na kampuni ya Acacia.

Ole Sendeka ambaye aliwahi kuwa msemaji wa Chama Cha Mapinduzi, amesema kuwa baada ya kusikia kupitia vyombo vya habari kuwa Lowassa ambaye pia ni mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema amempongeza Rais, hana budi kumshukuru na kumpongeza pia kwa kufanya hivyo, na kuwaomba wabunge wote bila kujali vyama vyao kumuunga mkono Rais Magufuli kwa kusimamia kikamilifu rasilimali za nchi.

“Nanyi wabunge mkiwa bungeni muungeni mkono Rais wetu Magufuli anavyotetea rasilimali za nchi ili madini yanayochimbwa yaweze kuwanufaisha Watanzania, waweze kupata huduma zao za msingi kupitia madini hayo,” Ole Sendeka anakaririwa na Mwananchi.

Mkuu huyo wa Mkoa wa Njombe alitoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza jana kwenye mazishi ya mama yake mzazi yaliyofanyika katika kijiji cha Losokonoi wilayani Simanjiro.

 Alimuomba mbunge wa Simanjiro, James Ole Millya ambaye alihudhuria mazishi hayo, kumfikishia salamu na pongezi hizo kwa Lowassa.

Lowassa alimpongeza Rais Magufuli kwa uamuzi wake baada ya kupokea ripoti ya pili ya uchunguzi wa makontena ya mchanga wa madini yanayoshikiliwa na Serikali katika bandari ya Dar es Salaam, yalipokuwa katika mchakato wa kusafirishwa nje ya nchi na kampuni ya Acacia.

My Girlfriend Sléeping with My Dad’ – Boy seeks Advise

$
0
0
My Girlfriend Sléeping with My Dad’ – Boy seeks Advise
I caught my 18 years old girlfriend making love with my Dad. My name is Peter, am 23 years old. I have been in love with my girl who is 18 years old. We have been dating for 2 years now. She was caring and loving. She told me she’s a vírgin and we had agreed to have s*x after marriage.

We were only concentrating on our studies. She could come home at any time. I stay with just my dad and two little sisters. Early this week I had taken my little sisters to my auntie’s place. When I returned home, I found my girlfriend in bed with my dad.
This was terrible and shocking but that’s not all.

That very day my dad chased me away from home. My GF never bothered to call me to say anything about it since then. But today she called me, crying that I should forgive her for what she did.
Friends I am confused cos I truly loved her but I don’t know what to do.

Is right for her to be sleeping with my father? Should I forgive her or I move on? Since the incident I’ve been staying with my auntie. Please I need helpful advise.

Zitto aukataa Urais TFF

$
0
0

Ijumaa ya Aprili 21, mwaka huu, gazeti la michezo na burudani nchini, Mwanaspoti, liliandika habari kwenye ukurasa wake wa kwanza yenye kichwa: "Zitto ajitosa Urais TFF, Rage amkubali."


Upande wangu, licha ya kwamba habari hiyo ilichapishwa bila kupata maoni yangu, lakini haikuwa ngeni. Hii ni kwa sababu kabla ya habari hiyo nilikuwa nimeshapokea maombi kutoka kwa watu mbalimbali, wakiwemo viongozi wakubwa wakinitaka nigombee Urais TFF.


Baada ya habari hiyo kuchapishwa na kupata umaarufu mkubwa, nilipokea maombi mengi zaidi pamoja na shinikizo lenye kunitaka muda ukifika wa uchukuaji fomu, nijitokeze nichukue fomu ya kuwania Urais TFF.


Msukumo ni mkubwa na maswali ni mengi kipindi hiki ambacho dirisha la uchukuaji fomu za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi TFF limefunguliwa.


Kila ombi na shinikizo ambalo nimepokea, nimelibeba kwa unyenyekevu mkubwa. Bila shaka wanaoniomba na kunishinikiza wanavutwa na mambo mawili; mosi, soka letu kutoleta nuru kwa Watanzania. Pili, imani kubwa kwamba kupitia uongozi wangu nuru ya soka letu itadhihirika.


Hata hivyo, yapo mambo mawili nimeyatafakari; Mosi, mahitaji ya soka letu na nguvu ya maarifa inayohitajika kulikwamua. Pili, nafasi yangu kama mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini na Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo.


Kuhakikisha kazi ya kulikwamua soka letu inafanikiwa na nuru inadhihirika kwa wapenda soka wote nchini, inahitaji uwekezaji mkubwa wa muda, vilevile uwekezaji mkubwa wa maarifa ya kiuongozi.

Soka la Tanzania lipo hapa kwa sababu ya uwekezaji usioridhisha wa maarifa ya uongozi, hiyo inatokana pia na viongozi wanaopata nafasi ya kulitumikia shirikisho letu la mpira wa miguu nchini, kutowekeza muda wao barabara kwenye soka.


Nikiwa Kiongozi wa ACT-Wazalendo, ninadaiwa mambo mawili, uwekezaji wa muda na uwekezaji wa maarifa ya kiuongozi ili kukiandaa vema chama chetu kushiriki uchaguzi kati ya miezi 28 mpaka 40 inayokuja.


Mwaka 2019, Chama kitashiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa, mwaka 2020, Chama chetu kitashiriki Uchaguzi Mkuu.


Hivyo basi, kwa kuongezea na uwakilishi wangu wa Jimbo la Kigoma Mjini ambako Chama chetu kinaongoza Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji, naona kuwa lipo eneo ambalo nitashindwa kulitimizia wajibu wake nikivaa kofia ya tatu ya Urais wa TFF.


Nimetafakari na kuchukua uamuzi kwamba Uongozi wa ACT-Wazalendo na Ubunge ni nafasi ambazo ninazo tayari, wakati Urais TFF ni nafasi mpya.


Kwa hali hiyo na kwa mapenzi makubwa ya soka la Tanzania, nimeamua nisichukue fomu ya kugombea Urais wa TFF, kwani naweza kuomba kazi ambayo nitashindwa kuitumikia kwa muda wa kutosha kutokana na majukumu yangu kwenye Chama na ubunge.


Uamuzi huu umezingatia mapenzi makubwa kwa soka letu. Nikijitokeza kuwania Urais wa TFF leo halafu nikakosa muda mzuri wa kutimiza matarajio ya wapenda soka nchini, utakuwa usaliti mkubwa kwa maendeleo ya soka la Tanzania.


Nawashukuru wote walioniomba na kunishinikiza nichukue fomu. Nawaambia kuwa kwa sasa tujielekeze kupata viongozi bora miongoni mwa watakaojitokeza. Wakati mwingine mazingira yakiruhusu, nitaweza kutii maombi hayo.

Asante sana.


Zitto Zuberi Kabwe Ruyagwa

FAMILIA ya Ndesamburo yakanusha kuwapo mgogoro wa rambirambi ya kati yao na CHADEMA

$
0
0

Familia ya mbunge wa zamani wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo imeushtukia mchezo mchafu unaochezwa kuhusu rambirambi za kifo cha mwanasiasa huyo na kuwajia juu wanaozusha kuwapo kwa mgogoro kati ya familia hiyo na Chadema.

Mtoto wa marehemu, Lucy Owenya alisema jana kuwa uzushi huo unalenga kuichonganisha familia hiyo na viongozi wa kitaifa wa Chadema akiwamo Mwenyekiti Freeman Mbowe.

Katika baadhi ya mitandao ya kijamii, kuna taarifa zinazodai kuibuka kwa sintofahamu kati ya familia ya marehemu na viongozi wa Chadema akiwamo Mbowe na Katibu Mkuu wake, Dk Vincent Mashinji.

Taarifa hizo ambazo zimekanushwa vikali na familia, zinadai kiasi cha rambirambi kilichochangwa ndani na nje ya nchi ni zaidi ya Sh600 milioni, lakini familia imekabidhiwa Sh120 milioni tu.

Kwa mujibu wa madai hayo, fedha za rambirambi zinazodaiwa kuchangwa bila kupitia mikononi mwa familia ni zaidi ya Sh600 milioni, huku ikidaiwa Sh345 milioni zikichangwa kutoka Ujerumani.

“Sisi kama wanafamilia tunajiweka mbali na ujumbe huo wa kizushi wa namna hiyo wenye malengo mabaya ya kuichonganisha familia na mwenyekiti wetu Freeman Mbowe,” alisema Owenya. “Ukitazama ni kama wanataka kuibua hoja fulani kuwa kwa vile upande fulani kule Arusha ulituhumiwa kula fedha za rambirambi basi na huku tuwazushie viongozi wa Chadema.”

Ingawa hakufafanua, lakini rambirambi zilizoibua manung’uniko ni za wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent ya Jijini Arusha, ambao walipoteza maisha na zaidi ya Sh300 milioni zilichangwa.

Ndesamburo ambaye alikuwa Mbunge wa Moshi Mjini kwa vipindi vitatu mfululizo (2000-2015), alifariki dunia Mei 31, alipofikishwa katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC.

Mwanasiasa huyo, alikuwa ofisini kwake Hoteli ya Keys, Moshi akitaka kusaini hati ya malipo, kwa ajili ya kukabidhi rambirambi kwa vifo vya wanafunzi wa Lucky Vincent.

Ilikuwa akabidhi Sh100,000 kwa kila familia iliyopatwa na msiba huo na ilikuwa akabidhi fedha hizo kwa Meya wa Jiji la Arusha, Calist Lazaro ambaye alikuwa naye ofisini hapo. “Hata arobaini haijaisha wanaanza kuturudishia uchungu wa kumpoteza mzee kwa kueneza mambo ya uongo. Wamwache mzee (Ndesamburo) apumzike kwa amani. Wasitafute kick (sifa),” alisema Owenya.

Owenya ambaye ni Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema), alikataa kutaja kiasi cha rambirambi kilichopatikana lakini akasisitiza kuwa wanaangalia njia bora za kisheria za kushughulikia suala hilo.

Akizungumzia suala hilo, Katibu wa Chadema Mkoa Kilimanjaro, Basil Lema alisema katika dhambi mbaya ambayo waliosambaza ujumbe huo wameipata, ni kuichonganisha Chadema na familia ya marehemu mzee Ndesamburo.

Lema, ambaye alikuwa Katibu wa Ndesamburo katika kipindi chote ambacho mzee huyo alikuwa mbunge, alisema taarifa za kutafunwa kwa rambirambi ni uongo na kulaani waliousambaza ujumbe huo.

Katibu huyo alisema Chadema makao makuu ndiyo iliyobeba kwa sehemu kubwa gharama za msiba huo na kwamba kila kiongozi wa Chadema aliyefika msibani alijigharamia.

Chanzo: Mwananchi
Viewing all 104776 articles
Browse latest View live




Latest Images