Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104705 articles
Browse latest View live

Yanga Yashtuka, Yaanza Kumwekea Ulinzi Msuva

$
0
0
KLABU ya Yanga, imesema kuwa, inamlinda kiungo wake mshambuliaji, Simon Msuva dhidi ya watu wabaya wanaotaka kuharibu kipaji chake na kufuta ndoto zake za kufika mbali kisoka.
Yanga wamefikia hatua hiyo baada ya kuwepo kwa taarifa za klabu mbili kutoka Kaskazini mwa Afrika kuonekana kumuhitaji baada ya kuridhishwa na kiwango chake alichokuwa akikionyesha ametajwa kuwa mchezaji bora wa Simba msimu huu, alisema siku zote amekuwa akifuata utaratibu aliojiwekea katika mchezo wa mpira kwa kuwa amekuwa hapendi kuona akirudishwa nyuma na mtu atakayekuwa anataka kuchukua nafasi yake.

“Hii yote imetokana na suala zima la nidhamu na kujituma kwa sababu siku zote nimekuwa sipendi kuona nikivunja miiko yangu katika mchezo wa soka ambayo nimejiwekea, kwa sasa natakiwa niendelee kufanya zaidi ya nilipofikia ili nizidi kuwa bora.

“Unajua mimi ni mchezaji na sitakiwi kumuhofia mchezaji yeyote katika timu yetu, najua kuwa hivi sasa timu inafanya usajili kwa ajili ya msimu ujao, naamini ushindani wa namba utakuwa mkubwa ila niseme tu kwa upande wangu kama nitaendelea kuwa mzima basi sitakubali kupokonywa namba,” alisema Tshabalala ambaye pia ni mchezaji bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu kwa siku za hivi karibuni. Timu hizo zinazotajwa ni Al Ittihad inayoshiriki Ligi Kuu Misri na Difaâ Hassani d’elJadid (DHDJ) iliyopo Ligi Daraja la Kwanza Morocco.

Charles Mkwasa ambaye ni Katibu Mkuu wa Yanga, amesema: “Hatuwezi kumzuia mchezaji kwenda kucheza soka kwingine hasa nje ya Tanzania, ila tunachotaka kuona ni kwamba huko anapokwenda anakuwa na maisha mazuri na si kupata matatizo na
kumpotezea malengo yake.

“Msuva anatakiwa na Klabu ya Al Ittihad ya Misri na DHDJ ya Morocco, lakini klabu hizo hazijaleta maombi yanayoeleweka mpaka tukakubali kumuachia mchezaji wetu, wanatakiwa kufuata utaratibu uliopo na si kufanya mambo kiujanjaujanja, hatupo tayari kuona mchezaji wetu anakwenda kupata matatizo kwingine,” alisema Mkwasa.
Omary Mdose,  Dar es Salaam

Lulu Diva Haambiliki Kwenye Vinguo Vifupi

$
0
0
MWANAMUZIKI aliyewahi kuwa video vixen Bongo, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ amefunguka kuwa kwenye suala zima la mavazi haambiwi kitu kuhusu nguo fupi maana anazipenda kupindukia kutokana na kumtoa vizuri na kumfanya aonekane katika muonekano ‘amaizing’.

Akipiga stori na Uwazi Showbiz, Lulu Diva aliendelea kusema kuwa mara kwa mara amekuwa akikutana na watu ambao ni rafi ki zake ama watu anaoanzisha nao uhusiano na kumtaka asivae nguo fupi lakini suala hilo linashindikana kwa sababu asipovaa nguo hizo hajisikii huru na kuona kuna kitu kapungukiwa mwilini mwake.


“Kiukweli napenda sana kuvaa nguo fupi, tena ziwe zinabana uwii ndiyo zinanikosha mno, yaani huniambii kitu mtu akitaka tukosane aniambie nisivae nguo za aina hiyo. Kwa upande wa nguo ndefu kwangu hazina nafasi kabisa maana sijawahi kuvaa nikapendeza,” alisema Lulu Diva.

Dodoma: Upinzani Wampeleka Spika Ndugai Mahakamani

$
0
0

Upinzani wamefungua shauri Mahakama Kuu Dodoma wakiiomba mahakama itamke kuwa Spika ataliongoza Bunge kwa kufuata kanuni za kudumu tu.

Hii ni baada ya Spika kumzuia John Mnyika kuhudhuria bunge kwa wiki moja ambapo upinzani wamedai hakuna adhabu kama hiyo kwenye kanuni.
Wabunge Watatu Chama Cha Demokrasia Na Maendeleo Chadema Wamemfungua Mashitaka Mahakama Kuu Ya Dodoma Kupinga Uamuzi Wa Bunge Kuwapa Adhabu Halima Mdee, Estar Bulaya Na John Mnyika Mdee, Mnyika Na Bulaya Wawashitaki Spika Na Mwanasheria Mkuu Hakuna kanuni inayosema Spika anao owezo wa kumfungia Mbunge siku saba. Haipo, bali anaingiza kanuni zake mwenyewe kutoka kichwani mwake.

Diamond Kuliamsha Dude Leo!

$
0
0
Ni kweli Diamond anataka kuachia ngoma mpya Jumatano hii? Kama haufahamu hilo basi kaa tayari kulipokea hilo.

Msanii huyo amekuwa akiteka vichwa vya habari kila anapokaribia kuachia ngoma zake mpya kutokana na style anazotumia. Kupitia mtandao wa Instagram, Diamond ameahidi kuachia wimbo wake huo siku ya kesho.

“@sallam_sk punguza Hasira 😃… Xxl ya @Cloudfmtz na @Bdozen saba hadi Kumi Kamili Kesho…..☺,” ameandika Diamond katika mtandao huo.

Endapo Ben Pol Akinikataa, ‘Nitajiua kwa Ajili yake’ – Ebitoke

$
0
0
Aliyesema mahaba niue hakukosea kabisa kwani hii imekuja kujidhihirisha kwa mchekeshaji mrembo Ebitoke ambaye karibia mwezi mmoja sasa anahangaika kuwinda penzi la Ben Pol.
 

Ebitoke amesema kwa sasa mahaba yake yote yapo kwa Ben Pol na endapo atashindwa kupata penzi lake basi yupo tayari kupoteza uhai wake.

“Hapana Ben Pol hawezi kuacha kuwa na mimi, nitafanya kila njia ili aweze kuwa na mimi ,”amesema Ebitoke huku akisisitiza kuwa yupo tayari hata kujiua kwa ajili ya Ben Pol.
 
“Hata roho nitaweza kujitoa….ndiyo nitajiua kwa ajili yake.. ndiyo nitajiua kwa ajili yake… sitofanya dhambi kwa kujiua kwa ajili yake,”amesema Ebitoke kwenye mahojiano yake na Times FM.

Hata hivyo mrembo huyo mchekeshaji haswaa amesisitiza kuwa watu wasishangae maamuzi yake ya kujiua endapo atakataliwa na Ben Pol kwani mapenzi ni upofu na yana hisia kali moyoni.

Kutana na Maalim Fadhil Rashid Kutoka Komoro ni Mtaalam wa Tiba za Asili Anayetibu Magonjwa Yafuatayo

$
0
0
KUTANA NA MAALIM FADHIL RASHID KUTOKA KOMORO NI MTAALAM WA TIBA ZA ASILI

UNASHIDA NA MCHUMBA UNATATIZO PESA HAIKAI KURUDISHA MUME AU MKE KWA MUDA MFUPI MVUTO WA MAPENZI

MVUTO WA BIASHARA KUMSHIKA MUME AU MKE ASIKUSUMBUE

DAWA YA ( LIMBWATA )KUMTAWALA MPENZI WAKO KWA SABABU MAALUM

KUSAFISHA NYOTA ILI UWE NA MUONEKANO

NA PIA ANATOA PETE YA BAHATI INAYO ENDANA NA NYOTA YAKO ITAKAYO KULETEA PESA BILA MASHARTI

NA KUMILIKI MALI DAWA YA KUONGEZA UUME SAIZ UIPENDAYO

DAWA YA NGUVU ZA KIUME INAPATIKANA PIA ANAYO DAWA YA KUONGEZA HIPSI SHEP KUA NA UMBO BOMBA UMEIBIWA AU KUDHURUMIWA UTARUDISHIWA MALI YAKO NDANI YA MASAA 24 ANAFUNGA KESI NA KUPATA HAKI YAKO

DAWA YA MVUTO WA BIASHARA KUUZA MALI YAKO KWA HARAKA KUZUIA CHUMA ULETE

NA KUONDOA MIKOSI NA KUPANDISHWA CHEO KAZINI ACHA KUTESEKA ACHA KUHANGAIKA MAALIM FADHIL RASHID

YUPO TANZANIA KWA AJIALI YAKO. CALL...+255719362806/
+255763276239

WhatsApp IMO +255785786436

Mimi Nachukia Wezi..Kiama Chao Kimewadia Sasa – Rais Magufuli

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amesema anachukizwa na baadhi ya viongozi wa Tanzania ambao wanatumia rasilimali za taifa kwa kuziiba kwa ajili ya manufaa yao huku akiahidi kuwa kiama chao sasa kimewadia.

Rais Magufuli amesema changamoto zilizopo nchini Tanzania kwa sasa zimeletwa na baadhi ya viongozi walioweka tamaa mbele na kwa sasa ni lazima wachukuliwe hatua ili nchi irudi kwenye mstari.

“Kuna changamoto nyingine zilisababishwa na viongozi wachache waliokuwa na tamaa za hovyohovyo, wakatufikisha hapa nataka niwahakikishie, nitalala nao mbele kwa kumtanguliza Mungu,“amesema Rais Magufuli huku akiendelea kuwaonya watu wanaoiba rasilimali za taifa kwa maslahi binafsi

“Tanzania hii ni nchi ya pili duniani baada ya Brazil kwa kuwa na vivutio vingi, lakini watu ni masikini, Huu umasikini hatukupewa na Mungu, Mungu alitupa utajiri lakini wachache wakatuuza, mimi nachukia wezi, na kwa kweli wezi watakoma tu,“amesema Rais Magufuli.

Rais Magufuli yupo mkoani Pwani kwa ziara ya siku tatu ambako anatarajiwa kuzindua viwanda vitano ambavyo ni Kiwanda vya vifungashio (Global Packaging Co Ltd), Kiwanda cha Matrekta (Ursus TAMCO Co ltd), Kiwanda cha Chuma (Kiluwa Steel Group), Kiwanda cha kukausha matunda na kiwanda cha vinyaji baridi cha (Sayona Fruits).

Kwa Magufuli Escrow Haiwezi Kumwacha Mtu Salama...Orodha Nyingine ya watuhumiwa Escrow Imekamilika

$
0
0
SIKU moja baada ya wafanyabiashara Harbinder Singh Sethi na James Rugemalira kufikishwa mahakamani na kunyimwa dhamana, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa na (Takukuru)-

imesema inaendelea kukamilisha orodha ya watu watakaopandishwa kizimbani kwa tuhuma za kuhusika na uchotwaji wa fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow.

Ofisa Uhusiano na Mawasiliano wa Takukuru Makao Makuu, Mussa Misalaba, alisema kwa sasa uchunguzi unaendelea kwa kila aliyehusika, na hatua zitachukuliwa kwa kadri ushahidi utakavyokusanywa.

"Mtu anaweza kutuhumiwa, lakini bila ushahidi huwezi kumshtaki," alisema. "Kama mtu ametuhumiwa na hakuna ushahidi ni vigumu kumkamata ila tunaendelea kukusanya ushahidi na tukijiridhisha tutawakamata.

"Wafanyabiashara waliofikishwa mahakamani ni mwanzo tu, tunaendelea na uchunguzi wetu na kadri tutakapokuwa tunapata ushahidi (watuhumiwa) watahojiwa na kufikishwa kwenye mamlaka husika."

Sethi na Rugemalira walifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu juzi wakikabiliwa na makosa mbalimbali, ikiwamo uhujumu uchumi ambayo mahakama hiyo haina mamlaka ya kuyasikiliza hivyo haiwezi kutoa dhamana na washtakiwa hawakutakiwa kujibu chochote.

Wafanyabiashara hao wanakabiliwa na makosa sita likiwamo la kuisababishia serikali hasara ya dola za Marekani 22,198,544.60 (Sh. bilioni 309.4).

MAAZIMIO NANE
Kufikishwa mahakamani kwa wafanyabiashara hao kunaonekana kama mwanzo wa utekelezaji wa maazimio ya Bunge ya miaka mitatu iliyopita.

Mwaka 2014, wakati Bunge likijadili sakata la akaunti ya Tegeta Escrow, lilitoa maazimio nane likiwamo la Takukuru, Jeshi la Polisi na vyombo vingine vya ulinzi na usalama vichukue hatua stahiki kwa mujibu wa sheria dhidi ya watu wote waliotajwa na taarifa maalum ya kamati ya Bunge, kuhusika na vitendo vyote vya jinai kuhusiana na miamala ya akaunti hiyo na watu wengine watakaogundulika kufuatia uchunguzi wa sakata hilo.

Pendekezo la pili la Bunge ni serikali kuangalia uwezekano wa kuichukua mitambo ya kufua umeme ya IPTL na kuimilikisha kwa Shirika la Ugavi wa Umeme (Tanesco) kwa mujibu wa sheria za nchi.

Jingine ni kufanya mapitio ya mikataba ya umeme ambalo liliitaka serikali ilitekeleze mapema kwa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wake kabla ya mkutano wa bajeti ya mwaka wa fedha 2015/16.

Bunge pia liliazimia serikali iandae na kuwasilisha muswada wa marekebisho ya sheria inayounda Takukuru kwa lengo la kuanzisha taasisi mahususi itakayoshughulikia kupambana na kudhibiti vitendo vya rushwa kubwa, ufisadi na hujuma za uchumi zinazotishia uhai wa taifa kiuchumi, kijamii na kisiasa. Kipindi hicho kulikuwa na Taasisi ya Kuzuia Rushwa (Takukuru).

Chombo hicho cha kutunga sheria pia kiliazimia Rais aunde Tume ya Kijaji ya kuchunguza tuhuma za utovu wa maadili dhidi ya majaji Aloysius Mujulizi na Jaji Prof. Eudes Ruhangisa wa Mahakama Kuu ya Tanzania.

Azimio la sita lilikuwa mamlaka husika za kifedha na za kiuchunguzi kuitaja Benki ya Stanbic na benki nyingine itakayogundulika kufuatilia uchunguzi wa mamlaka za kiuchunguzi, kujihusisha na utakatishaji wa fedha zilizotolewa katika akaunti ya Tegeta Escrow kuwa ni taasisi zenye shaka ya utakatishaji fedha haramu.

Bunge pia liliazimia Waziri wa Nishari na Madini, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini na wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Tanesco wakati huo, wawajibishwe kwa kuishauri mamlaka ya uteuzi kutengua uteuzi wao.

Azimio la mwisho ni Kamati za Kudumu za Bunge zichukue hatua za haraka kwa kuwavua nyadhifa zao kwenye kamati husika viongozi wake waliobainika kukiuka maadili kwa kujihusisha kwa vyovyote vile na uchotaji wa fedha za akaunti hiyo kabla ya kuanza kwa mkutano wa Bunge uliokuwa unafuata.

Serikali Yapigilia Msumari Vyeti Feki...Wavivu Kazini Ofisi za Serikali Nao Kukiona Cha Moto

$
0
0
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora, Angellah Kairuki, alisema hayo jana akifanya majumuisho ya makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake kwa mwaka wa fedha wa 2017/2018.

Waziri Kairuki alisema kumekuwa na maneno maneno kuwa wizara hiyo imekuwa ikitumia muda mwingi kuhakiki na kuangalia wenye vyeti feki hali ambayo imekwamisha majukumu mengine.

“Baadhi ya watu wanalalamika kuwa tunatumia muda mrefu, sasa nasema tutaendelea kuhakiki na wala hakutakuwa na ukomo.

Tuko tayari kuitwa wizara ya uhakiki, lakini hatuwezi kuacha wakati kazi hiyo imeonyesha mafanikio makubwa, na tumegundua zaidi ya watumishi hewa 10,000 ambao walikuwa wakitugharimu Sh. bilioni 20 kila mwezi. Sasa kwa nini tusiendelee kuwatafuta?” Alisema.

Katika hatua nyingine, Waziri Kairuki, alisema kuanzia Julai Mosi, mwaka huu, serikali itaanza kuwafanyia tathmini ya kazi watumishi wake (perfomance audit) ili kubaini wanaofanya kazi na wale ambao wamekuwa wakifanya kwa mazoea.

Alisema mifumo yote ya kusimamia utaratibu huo imeshashughulikiwa na imekamilika, hivyo watumishi wote wa umma watambue kuwa kuanzia tarehe hiyo watakuwa wakifanyiwa tathmini ya kazi zao.

Kuhusu maneno yanayosemwa mitaani kuwa serikali imesitisha ajira, Waziri Kairuki alisema serikali inaendelea kuajiri kwenye maeneo mbalimbali na kwamba itakuwa ikifanya hivyo awamu kwa awamu.

“Niwatoe hofu wahitimu kwamba wawe watulivu tu na ajira zipo na zinaendelea kutolewa kwa kada mbalimbali, tumeshatangaza ajira 52,000 kwenye Bajeti hii na watumishi 9,000 tayari wameajiriwa,” alisema Waziri.

Aidha, alisema serikali itaendelea kupambana na wezi wa rasilimali za umma na aliwaomba Watanzania kuendelea kuipa ushirikiano serikali ya awamu ya tano.

Mkuu wa Mkoa Anna Mghwira Amkalia Kooni Mbunge wa Hai Freeman Mbowe...Kwa Hili Achomoki

$
0
0
Mkuu wa Mkoa Anna Mghwira Amkalia Kooni Mbunge wa Hai Freeman Mbowe...Kwa Hili Achomoki
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira amesema kuwa hatua zilizochukuliwa na Mkuu wa Wilaya ya Hai, Gellasius Byakanwa za kuondoa miundombinu ya umwagiliaji katika shamba la Kilimanjaro Veggies si za kisiasa bali ni taratibu za kisheria za kulinda vyanzo vya maji.

Mghwira alitoa kauli hiyo jana alipotembelea shamba hilo lililopo Kijiji cha Nshara ili kujionea hali ya uharibifu wa mazingira uliofanywa katika shamba hilo linalomilikiwa na Mbunge wa Hai na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe.

“Sheria iko wazi, inasema tusifanye shughuli zozote za kibinadamu zenye madhara kwenye vyanzo vya maji ndani ya mita 60 kwa mujibu wa sheria na shughuli hii ina madhara makubwa kwa mazingira na hata kwa binadamu,” alisema Mghwira.

“Shughuli hii nzuri na ni uwekezaji mkubwa. Ninavyofahamu kilimo cha strawberry kikishatema maji lazima yaende mahali hata kama unatumia umwagiliaji wa kisasa wa matone. Maji yanakuwa na madhara kwa binadamu wanayoyatumia.”

Mghwira alisema kuwa licha ya mmiliki wa shamba hilo kukubaliana na mkuu wa wilaya kuwa amevunja sheria na angeondoa  mazao yake ifikapo Mei 23 mwaka huu, hakufanya hivyo na badala yake alianza kulima mazao mapya.

Imeelezwa kuwa Mbowe alishawahi kuomba viongozi wa mkoa katika kikao cha RCC kuitishwa kikao ambacho kitajadali masuala ya mazingira na umuhimu wa kuheshimu umuhimu wa mazingira. Kikao hicho kilifanyika lakini RC akasema anashindwa kuelewa kwanini Mbowe ameshindwa kuheshimu.

Akizungumzia uharibifu huo, Mbowe alisema kuwa kwa sasa vijana zaidi ya 100 wamepoteza ajira lakini pia anajadiliana na wanasheria wake kuona nini kinafanyika kutokana na hatua hiyo aliyoiita ya uonevu wa serikali.

Chanzo: Mwananchi

Soma Nafasi za Kazi Mbali Mbali Zilizotangazwa Leo Magazetini na Mitandaoni Hapa

$
0
0

Meya Ubungo Aendelea Kusota Selo, Wengine Wawili Wapata Dhamana

$
0
0

Wakati viongozi wawili kati ya watatu wa Chadema waliokuwa wakishikiliwa polisi wakipata dhamana, mmoja anaendelea kushikiliwa kutokana na agizo la mkuu wa wilaya.

Katibu wa Chadema Mkoa wa Dar es Salaam, Henry Kilewo amesema Meya wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob ataendelea kuwa rumande hadi agizo la saa 48 lililotolewa na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Kisare Makori litakapokamilika.

Jacob alichukuliwa na polisi juzi saa sita mchana akiwa makao makuu ya manispaa hiyo, Kibamba, akiwa katika msafara uliokuwa unaelekea kukagua miradi ya maendeleo akiwa na viongozi wenzake wa Chadema, akiwamo mjumbe wa Kamati Kuu na Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye.

Ingawa polisi hawakusema sababu ya kumhitaji, Kilewo aliliambia gazeti hili kuwa chombo hicho cha dola kiliamua kumweka rumande meya kwa kosa la kutumia ukumbi wa halmashauri kwa shughuli za chama bila mkurugenzi kuwa na taarifa.

Kilewo alidai kosa jingine ni hatua yake ya kutaka kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo akiwa na viongozi wa chama chake ambao si madiwani.

Baada ya Jacob, ambaye ni diwani wa Ubungo kuwekwa rumande, taarifa zilisambaa zikieleza kuwa mkuu wa wilaya ameagiza akamatwe pamoja na viongozi wengine.

Mkuu huyo wa wilaya hakutaka kufafanua alipoulizwa kuhusu suala hilo. “Waliokamatwa mmeshawaona, watakaokamatwa mtajua. Hakuna siri hapa. Naomba niishie hapa kwa sababu nipo katika kikao,” alisema.

Wakili wa meya huyo, Frederick Kihwelo alisema mteja wake yupo katika hali nzuri na kwamba wanasubiri busara za mkuu wa wilaya za kumwachia au kumalizika kwa saa 48 alizozitoa.

Katika hatua nyingine, mkoani Iringa polisi wamemwachia kwa dhamana makamu mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha), Patrick ole Sosopi baada ya kumshikilia kwa siku moja.

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, John Kauga alisema jana kuwa hatua hiyo imefikiwa wakati utaratibu wa kuandaa jalada kwa ajili ya kuliwasilisha Ofisi ya Mwanasheria wa Serikali ukiendelea.

Sosopi, ambaye pia ni mwenyekiti wa baraza la vijana Jimbo la Isimani, alikamatwa juzi kwa tuhuma za kufanya mkutano bila kibali katika kata mbalimbali za jimbo hilo.

Pia Mwenyekiti wa Baraza la Madiwani Hai, Helga Mchomvu jana aliachiwa kwa dhamana baada ya kushikiliwa kituo cha polisi Bomang’ombe kwa mahojiano.

Mwenyekiti huyo juzi aliendesha kikao cha baraza chini ya ulinzi wa polis.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Hamisi Issah alisema nguvu ya polisi iliyotumika kumfikisha kituoni haikupaswa, bali ilifikiwa kutokana na yeye kukaidi amri ya jeshi hilo.

Imeandikwa na Bakari Kiango, Dar; Geofrey Nyang’oro, Iringa na Fina Lyimo, Hai.    

Wanawake Hebu Tujitahidi Sasa Kujishusha Kwa Wanaume Wetu Ili Kunusuru Hali

$
0
0
Nianze moja kwa moja kwenye mada. Ni kweli maisha ya sasa ya mahusiano na ndoa kwa ujumla hapo tete sana.

Sasa wanawake wenzangu, si vibaya tukakaa chini na kufikilia nini chanzo. Japokuwa sisi wanawake tunavumilia mengi kwenye mahusiano na ndoa kwa ujumla, lakini tuna jukumu na nguvu kubwa kunusuru mahusiano yetu na kuishi kwa amani na furaha.

Tujitahidi yafuatayo:

1. Tusiwe watu wa gubu
Wanaume wengi hawapendi mwanamke mropokaji, mjuaji, mkorofi. Tujishushe!

2. Tupende ndugu wa mume
Hili nalo ni changamoto sana. Mara nyingi sana huwa tunajisahau, tunaona ndugu wa mume ni maadui zetu. Mama mkwe si adui, hapana tuwapende. Hata wao wakiwa miiba kwetu tujishushe wataona aibu na tutaenda sawa.

3. Heshima 
Hakuna kitu kizuri kama Heshima, nawaambia. Mwanaume yeyote anapenda kuheshimiwa kwani 'naturally' iko hivyo. Mwanaume ni kichwa cha nyumba, yatupasa kuwatii na kuwaheshimu.

Inapotokea Mungu kakubariki na kipato zaidi ya mume au mwenza wako, hiyo isiwe tiketi ya ujeuri, kuchelewa kurudi nyumbani wala vurugu.

4. Uaminifu
Hii ni kubwa kuliko yote. Asikudanganye mtu, uaminifu ni kitu kikubwa sana. Uaminifu unapopotea mwanaume anakuacha! Mwanaume anaweza akakuvumilia yoooote but faithfulness is one among those things men need from you!!

5. Mapenzi 
Hapa naongelea mapenzi kwa ujumla jinsi unavyomhandle mpenzi au mume. Mfano:- katoka kazini, hata akiwa mbali umemuona mpokee chochote alichobeba hata gazeti. Mvue viatu, ikiwezekana mchumu kidogo(" pole mpenzi Wangu kwa kazi"). Hiyo itamfanya ajisikie vizuri sana na kuondoa stress. Hawa waume, wapenzi wetu msiwaone hivyo, wanaumiza sana kichwa kwa ajili ya future zetu na watoto hivyo tuwaenzi.

6. Mapenzi ya kitandani
Hii ilitakiwa iwe ya kwanza. Iko hivi, kitu cha kwanza mwanaume anachofuata kwa mwanamke yeyote ni hiyo starehe, mengine yanasindikiza tu. Sasa ewe mwanamke mwenzangu unayelemaa kitandani, hujibidishi, hukatiki viuno, umelala tu, unaiua ndoa yako au mahusiano yako mwenyewe.

Jitahidi uwe mchezaji hodari. Ukiwa uwanjani hapo sahau yote hakikisha anaomba maji ya kunywa. Naelewa wapo wanaume waliojaaliwa na wasiojaaliwa nikimaanisha mihogo ya Jang'ombe na vibamia. Kama ana kibamia siku hizi kuna utaalamu mwingi nasikia, kibamia kinaweza nenepa(fuatilia). Usiache kumfurahisha kitandani eti ana kibamia wala usimwonyeshe kama hakikukuni bali jitahidi hivyo hivyo huku moyoni ukiapa kumtafutia dawa ya kuinenepesha( zipo sana) uvivu tu wa kufuatilia.

7. Usafi 
Asikuongopee mtu, mwanaume yeyote hapa duniani anavutiwa na mwanamke msafi kuanzia chumbani, nje ya nyumba na mwilini. Mfanye mumeo awahi kurudi nyumbani, kila wakati nukia marashi au spray au perfume. Vitu hivi siku hizi vinapatikana tena at an Affordable price.

8. Ubahili
Sawa najua, mwanaume kama kichwa cha familia ni wajibu wake atunze, ahudumie nyumba. Jamani hata kama mada zangu nyuma nimewatetea sana wanawake wenzangu lakini kutokana na hali ya maisha ya sasa, na hasa kama ewe mwanamke una kibarua chochote, tafadhari sana wekeni mezani mnachopata kwa jili ya kuboresha maisha yenu. Usimkomoe mwanaume, lenu ni moja.

9. Kumsikiliza mpenzi/mume
Kila wakati mume au mpenzi anapotaka kuongea na wewe hebu hayo masimu yazime, acha kila kitu msikilize. Imekuwa kawaida sana mume anaongea wewe upo busy unachati, hivi ndugu yangu unajipenda kweli wewe au ndo umefika tena hapindui? Ukiachwa oooh nimerogwaaaa, Wapiii umejiroga mwenyewe. Respect ni muhimu.

10. Ibada
Mwanamke mwenzangu, unapopitia magumu yooooooote kwenye ndoa au mahusiano Usimwache Mungu. Mahusiano au ndoa huzaa familia na familia hutoka kwa Mungu. Sali sana kwa imani yako.

Nakwambia ukweli, ipo nguvu kubwa katika kumtegemea Mungu. Hebu anza leo kuomba, kuhudhuria ibada na kusoma biblia mambo yote yatanyoooka.

Amen!

By Heloo

Lissu: Kama ACACIA ni Wezi, kwanini Polisi Wamewapiga Mabomu Wananchi wa Tarime?

$
0
0
Lissu: Kama ACACIA ni Wezi, kwanini Polisi Wamewapiga Mabomu Wananchi wa Tarime?
"Tumeambiwa Acacia ni wezi, hawana leseni ya uchimbaji, hawajasajiliwa nchini. Wananchi wa Tarime walipoamua kuchukua hatua wamepigwa mabomu.

Kama Acacia ni wezi na hawajawahi kuwa na leseni kwa nini polisi wa Magufuli wanawapiga wananchi wa Tarime mabomu? Nani anayetetea wezi hapa

Nani mchochezi kati ya Rais aliyelia hadharani kuwa Acacia wezi, na mbunge wa Tarime aliyewaambia wananchi kuchukua hatua dhidi ya wezi hao?"

Tundu Lissu amehoji hayo baada ya Polisi kuanza kumtafuta John Heche kwa kuchochea wananchi wavamie Migodi ya dhahabu.

Akiwa bungwni Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche alifunguka na kusema kwa kuwa Rais Magufuli kupitia ripoti ya pili ya mchanga amesema kampuni ya ACACIA ni feki na haipo basi yeye anawaambia wananchi wa jimbo lake wajiandae kuingia mgodini kuchukua kila kitu.

Heche alisema hayo bungeni na kudai kuwa atasimamia zoezi hilo na kuhakikisha kuwa ndege za kampuni hiyo zikitua mgodini kwa ajili ya kubeba madini basi zinapigwa mawe kwa kuwa wananchi wa jimbo lake la Tarime ambapo hiyo migodi ipo wameumizwa sana kusikia hiyo kampuni inayochukua mali zao ni feki na hewa.

"Kampuni ile ya ACACIA Rais amesema feki na hakuna 'formula' ya kukamata mwizi mlisema wenyewe, formula ya kukamata mwizi ni kupambana naye sisi hatutaruhusu madini yatoke pale ndege ikitua itapigwa mawe, magari yao tutayakamata kwanza tunawadai fidia nyingi kweli kweli pale Tarime. Mhe. Spika sisi tulitegemea Mhe. Rais aseme madini yasiondoke nchini mpaka mambo hayo yote yapitiwe, tutazuia mchanga madini yanaondoka. Rais amesema ACACIA ni mwizi wewe unataka utaratibu wa kukamata mwizi Tarime, sisi watu wetu wameumia sana na maji ya sumu, ng'ombe wamekufa, watu wamepigwa risasi kwa mujibu wa ripoti ya Waziri wa Nishati na Madini watu wa Tarime zaidi ya 64 wameuawa pale mgodini" alisema Heche

Mbali na hilo John Heche alisema kuwa kama serikali itamkamata kwa maamuzi ambayo atafanya basi Watanzania watajua kuwa serikali haipo tayari kupigana vita hii ya kupigania rasilimali za nchi hii, hivyo amewataka watu wa jimbo la Tarime wajiandae na kuanza maandalizi ya kupigania rasiliamali zao ili waone kama serikali itapeleka jeshi la polisi kulinda mali za wezi hao.

Kwa siku tatu mfululizo wananchi wa Tarime wamekuwa wakivamia Mgodi wa dhahabu usiku na mchana huku Polisi ikiwapiga Mabomu na kuwatawanya.

By Figganigga/Jamii Forums

Smart Move by JPM Kumtumbua Mohongo...Kuna Mtu Aliyeliona Hili?

$
0
0
Smart Move by JPM Kumtumbua Mohongo...Kuna Mtu Aliyeliona Hili?
Bunge liliazimia Prof Muhongo awajibishwe uhusika wake Escrow,kweli akapigwa chini uwaziri wa Nishati na madini!

JPM alipoingia madarakani,akamrudisha kwa mbwembwe prof Muhongo kwenye wizara ile ile aliyowajibishwa kwayo!Hapa alionesha umwamba ule wa "hamumtaki,ila sasa mimi ndio namteua tuone sasa"!

Sakata la Escrow lilikuwa la muda mrefu,naamini Rais alikuwa updated na Takurukuru juu ya uchunguzi wa jambo hilo!
Kabla la Escrow halijaibuka,likaibuka la makanikia na Rais akatumia mwanya huo kula kichwa cha Muhongo!A very smart move by JPM!

JPM aliona wazi kama Muhongo atakuja kuanguka kwenye sakata la Escrow,basi atakuwa kawapa watu cha kuongea!Imagine kama Leo Muhongo ndio angekuwa bado waziri halafu Ruge na Seith wamekamatwa na kufikishwa mahakamani na kisha keko,Media zote zingemuanika muhongo!Muhongo alituhumiwa kuwa dalali wa biashara haramu ya PAP\IPTL!

Naamini Muhongo kuwekwa kando kwenye makanikia ilikuwa ni kufagia njia kwenye sakata la Escrow!Ingekuwa aibu kwa JPM kama sakata la Escrow lingemkuta Muhongo ofisini!

By Waziri kivuli/Jamii Forum


Breaking NEWS: CUF Wamaliza Mgogoro Wao

$
0
0
DAR: Chama cha Wananchi (CUF) kimesema mgogoro ndani ya chama hicho kuhusu wafuasi wa Prof. Lipumba na wa Maalim Seif sasa umekwisha, kazi iliyobaki ni kukijenga chama.

Wakazi wa Pwani Waifurahia Huduma ya Ukarimu wa Vodacom

$
0
0

Wakazi wa kanda ya Pwani wameipokea kwa furaha kubwa huduma mpya ya Ukarimu inayotolewa na Vodacom Tanzania wakati huu wa msimu wa mwezi mtukufu wa Ramadhani inayolenga kutoa ushirika na utoaji.

Ukarimu huu wa Vodacom unakwenda sambamba na kuwapatia wateja kifurushi kinachowawezesha kupata Qaswida, Mawaidha, Hadith, Facebook yenye picha na kuzungumza usiku wanaposubiri daku BURE kabisa. Ili mteja aweze kunufaika na bando hili la Ukarimu anatakiwa kupiga *149*01# kisha kuchagua aina ya bando kulingana na uwezo wake wa kifedha. Lipo bando linalodumu kwa muda wa  saa 24 na linalodumu kwa siku saba.
Kwa kiasi cha shilingi 1000, mteja atapata dakika 150 Vodacom kwenda Vodacom, dakika 10 kwenda mitandao yote, ujumbe mfupi wa maandishi wa maandhishi  bila kikomo, simu kupitia mtandao pamoja na ujumbe wa didi bure
Kwa mteja atakayenunua bando la shilingi 3000 atapata dakika 150 Vodacom kwenda Vodacom, dakika 30 kwenda mitandao mingine, ujumbe mfupi wa maandishi bila kikomo, simu za bure usiku Vodacom kwenda  pamoja na ujumbe mfupi wa maandishi wa dini bure kwa siku saba.

Siku ya leo Vodacom wanaendelea na futurisha katika maeneo yafuatayo:
Tanga
Nyako
Mtindiro Kwabeda
Korogwe mjini
Mtwara
Newala
Lindi
Kilwa somanga
Kilwa chumo
Ruangwa namungo

Download App ya Bongo Specially Kwenye Simu Yako Kupata Habari za Mastaa na Udaku Bongo

$
0
0
Bonyeza Hapa Kudownload Application ya Bongo Specially

Usipitwe na Mambo Mazuri

Kumekucha: Polisi Wapewa Siku Saba Kuwaomba Msamaha Walemavu

$
0
0
Kumekucha: Polisi Wapewa Siku Saba Kuwaomba Msamaha Walemavu
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimetoa siku saba kwa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kuwaomba msamaha walemavu kwa udhalilishaji waliowafawanyia.

Pia wamelitaka jeshi hilo kulipa fidia ya baiskeli za walemavu 30, zilizoharibiwa kutokana na shambulizi la polisi pamoja na simu za mkononi na fedha.

Wamesema wasipofanya hivyo, watachukua hatua za kisheria kwa kuwafikisha mahakamani.

Juni 16 mwaka huu, Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam liliwaadhibu watu wenye ulemavu waliokuwa wakifanya maandamano ya kupinga kuzuiwa kuingia katikati ya jiji wakiwa na bajaji zao.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Anna Henga alisema siku hiyo polisi walitumia nguvu iliyopitiliza na kinyume cha utaratibu kwa kufanya manyanyaso yaliyopitiliza kwa walemavu wanawake ambao walifunuliwa nguo zao na askari wa kiume.

“Jambo hili ni fedheha , udhalilishaji na linatweza utu wa mwanamke na kitendo hiki si cha kiungwana na tunakikemea vikali,”alisema.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaama jana, Mkurugenzi wa Taasisi ya Haki za Binadamu na Maendeleo ya Kiuchumi kwa Watu Wenye Ulemavu, David Nyendo alisema walemavu hawakufanya maandamano bali ni madereva wa bajaji walikwenda kumwona Mkurugenzi wa Manispaa wapewe sehemu maalumu ya kupaki bajaji zao.

“Ndani ya siku saba, Jeshi la Polisi Kanda ya Dar es Salaam na Mkuu wa Jeshi hilo, kwa namna yoyote ile litakavyoona vema lijitokeze hadharani kuwaomba msamaha watu wenye ulamavu na taifa kwa ujumla kwa kitendo cha udhalilishaji kilichotekelezwa na maafisa wake.

“Kinyume na hapo hatua nyingine za kisheria zitachukuliwa dhidi ya Jeshi la Polisi.

“Pia ndani ya muda huo hu, tunaliomba jeshi hilo litoe fidia ama nafuu kwa waathirika wa shambulizi hilo ambazo ni; baiskeli za walemavu 30 ambazo ziliharibika kutokana na shambulizi la polisi,”alisema Nyendo.

Chanzo: Mtanzania

Nimeona Utupu wa Mke wa Mtu..Sasa Imekuwa Tabu!! Ushauri

$
0
0
Ilikuwa wiki moja iliyopita.Wakati wa asubuhi naingia bafuni kuoga kumbe kulikuwa na mke wa jirani yangu ambaye pengine hakusikia ujio wangu nami sikujua kama yumo.

Ile anataka kutoka tu pale mlangoni,kanga yake ikaanguka na akabaki mtupu Macho hayana pazia niliona utupu wake nae aliona kuwa nimeona.Ile tu anajizoazoa kujisitiri akateleza akaanguka ikabidi nimsaidie kumuinua , nikamwinua huku akiwa uchi wa myama na kuhakikisha hajaumia popote ...Then nikamfunika na kumwambia pole nikaondoka kiistaarabu.
Ila sasa naona ustaarabu wangu uliniponza sasa naona ananifanyia vituko Mwanzo nilifikiri yameisha,alianza kwa kukwepesha macho na mimi,,mara akajenga mazoea na mimi.Na sasa vituko vimezidi,mara sms za ajab,wakati wote anataka kujua niko wapi na nafanya nini, siku ingine ananiletea chakula alichopika nile..

Kwa tabia na msimamo wangu naheshimu sana ndoa za watu.Nishaurini nifanye nini kumuepuka ? Nimepanga chumba hapa na nimelipa kodi ya mwaka mzima,ni jirani tu chumba cha nne toka kwangu
Viewing all 104705 articles
Browse latest View live




Latest Images