Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104756 articles
Browse latest View live

Nikki wa Pili Asimama na Kupinga Vikali Kauli ya Rais Magufuli

$
0
0

#Regrann from #nikkwapili - Huko uswahilini kwetu kuna familia zimebaki na makovu ya kuwapoteza watoto wao walipokuwa wakijaribu kuwatowa ujauzito ili kuwaepusha na unyanyapaa wa kijamii kusemwa na kuoneshwa vidole....tafiti zinasema hata kwa watu wazima nao mimba yingi nizile zisizo za kutarajia ndio mana mimba laki 5 hutolewa kila mwaka. so kama wao linawashinda vip kwa watoto......namkubali sana raisi wetu kwa mambo mengi mazuri na ana nia njema.....lakini hili la mimba sijui labda wazazi wenyewe watowe maoni yao.....mim nadhani msichana mjamzito anahitaji kuelimishwa zaidi kulindwa zaidi na kupewa msaada wa kisaikolojia, maana kwenye jamii bado kuna unyanyapaa.......baba atafungwa jela, mama akifukuzwa shule mtoto atalelewa na nani? Hili swala linahitaji tafakari zaidi ndio mana jamii yenyewe haya mambo huwa hawaya peleki mahakamani tujiulize kwanini?

Warembo wa Bongo na Fasheni ya Mimba...Mrembo Tunda nae Kitumboo Ndii...

$
0
0

Video vixen ambaye alihusishwa katika sakata la matumizi ya dawa za kulevya Tunda, huwenda akawa anatuonyesha kuwa ni mama kijacho kama tetesi zinavyozidi kusambaa mitandaoni.

Kupitia mtandao wa Instagram, mrembo huyo ameweka picha ya Utrasound ikionyesha kuwa anatarajia kupata mtoto. “😷,” Tunda ameweka kimdoli hiko kwenye picha hiyo.

Hata hivyo mrembo huyo amekuwa akikanusha mara kadhaa taarifa hizo na hadi sasa tangu alipoweka picha hiyo hajaongea chochote.

Mwigizaji Ray Kigosi Aibua Tena Skendo ya Kujichubua Ngozi....Atoa Dongo Kwako

$
0
0

Msanii wa Filamu Bongo, Ray Kigosi ameendelea kusistiza kuwa weupe wake unatokana na kunywa maji mengi na kufanya mazoezi na si kujichubua kama wengi wanavyodhani.

Kupitia mtandao wa instagram Ray ameandika haya na kuweka hiyo picha hapo juu. “Kuna wakati mwingine ukikaa kimya unaweza ukaufanya uongo ukawa ukweli.. swali langu ni moja kwenu nyie mnaosema najichubua hivi ni kweli mnamjua mtu anayejichubua?,” amehoji Ray na kuendelea.

“Embu niangalieni vizuri mtapata jibu, tatizo letu sisi Watanzania tunapenda sana kuaminini uongo kuliko ukweli. Nilishawaambia ukitaka kuwa na ngozi yenye nuru kama yangu fanya sana mazoezi kunywa sana maji, hiyo ndio dawa mbona hata madoctor wanalijua ilo,” amemaliza kwa kuandika.

Mbunge Anna Tibaijuka Adai Jimboni Kwake Hakuna Shida ya Mafuta ya Taa...Tatizo Lao ni Magari Kuharibika

$
0
0

Mbunge wa Muleba Kusini, Prof. Anna Tibaujuka amefunguka na kusema kuwa watu wa jimbo lake la Muleba hawana matatizo ya mafuta ya taa bali matatizo makubwa walionayo wao ni magari yao kuharibika kutokana na mafuta aina ya diesel kuchakachuliwa.


Tibaijuka alisema hayo bungeni baada ya kupewa taarifa na Mbunge wa Mbozi (CHADEMA), Pascal Haonga ambaye alikuwa anamwambia Tibaijuka kuwa hata wananchi wake Muleba hawataweza kununua mafuta ya taa kutokana na bei hiyo mpya kwamba itakuwa kubwa sana na kumtaka kurekebisha kauli yake, jambo ambalo Tibaijuka alilikataa na kusema jimboni kwake yeye anapigania magari ya watu yasiharibike.


"Taarifa nimeikataa kwa sababu kule kwangu sisi shida yetu ni magari yasiharibike, engine zisiharibike, kwa hiyo ngoja niwaambie mimi ndiyo nawakilisha watu wangu wa Muleba, matatizo yetu ni disel hata viwanda kama Kagera Sugar karibu kisimame kwa sababu disel inakuwa imechakachuliwa, hivyo uchakachuaji ni mkubwa. Kwa hiyo mafuta ya petroleum ilivyokaa kwenye bajeti ni sawa kabisa" alisema Tibaijuka 

Ben Pol Avunja Ukimya Kwa Ebitoke

$
0
0
Ben amebainisha hayo kupitia ukurasa wake wa instagram baada ya mchekeshaji Ebitoke kuonesha hisia za mapenzi katika mitandao ya kijamii kwa takribani majuma mawili hivi sasa.

"Hakuna kitu kizuri kama kujishusha na kukubali kujifunza pale unapoona kuna jambo zuri la kujifunza, ikiwa unampenda mtu au unatamani nafasi fulani, utajuaje kama unaweza kuipata hiyo nafasi au la ikiwa haujaiomba kwa muhusika ?. Naamini watu wengi sana wameoa ama kuolewa na watu wasiowapenda kwa sababu tu walipoteza nafasi za kuwaambia hisia zao wale wawapendao.
 


Pamoja na hayo, Ben aliendelea kusema "Ikumbukwe humu duniani sisi sote tunapita na labda huyo mtu kesho hatokuwepo. Ebitoke umenifundisha jambo kubwa sana maishani, najua wengi walikubeza sana wengine walikuambia hautaweza hata kuonana na mimi laini huwezi amini mimi nimefurahi mno, kukutana na wewe na kuongea" alisisiza Ben Pol

Kwa upande mwingine Ben amesema amepata jambo kubwa sana kupitia Ebitoke na kuahidi kuyaishi maneno yake siku zote mwa maisha yake.

Je Una Tatizo la Nguvu za Kiume, Kukosa Hamu ya Tendo na Maumbele Madogo..Soma Hapa

$
0
0
JE, UNA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME, KUKOSA HAMU YA TENDO NA MAUMBILE MADOGO? SOMA HAPA 👇👇👇👇 Tatizo la kukosa au upungufu wa nguvu za kiume limekuwa kubwa sana, sio Tanzania tu bali duniani kote. Kupungukiwa nguvu za kiume na maumbile madogo sio ugonjwa ila ni dalili ya ugonjwa. Hii ina maana kuna dosari au udhaifu wa kiutendaji ndani ya mwili. UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME HUSABABISHA MAMBO KAMA:-
☆Kukosa hamu ya tendo la ndoa ☆Uume kusimama kwa ulegevu
☆Kuwahi kufika kileleni ☆Kushindwa kurudia tendo kwa wakati
☆Kuchoka sana baada ya round ya kwanza na hata kukinai kabisa. @Markson_beauty_pr Tunakuletea suluhisho la matatizo hayo hata kwa wenye kisukari kwa:-
1.HANDSOME UP ORIGINAL ni kifaa chenye uwezo wa 99% kuongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @220000@220,000/=
2.SHARK POWER ni gely ya kupaka inayoongeza uume kwa wastani wa inch 6.5 @130000@130,000/=
3.Vidonge maalum kwa ajili ya kuongeza nguvu na hamu ya tendo la ndoa hata kwa wenye kisukari @130000@130,000/= KWA BIDHAA HIZI NA NYINGINE NYINGI TEMBELEA UKURASA WA @Markson_beauty_pr @Markson_beauty_pr @Markson_beauty_pr.

Wasiliana nasi Popote ulipo duniani kwa no 
(+255)0767447444 na 0714335378 

NB:Matokeo ni uhakika na garantii na hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako. Bidhaa zetu zimetengenezwa kwa mimea na matunda na hazina kemikali wala madhara kwa mtumiaji. < WELCOME ALL>

TAMKO la Rais Magufuli Juu ya Mimba za Wanafunzi Linapingana na Sheria zilizopo

$
0
0
Tanzania tunayosheria inayoitwa "Statutory Rape"

Sasa hii sheria imewekwa kwa msingi kwamba ukifanya ngono na msichana chini ya miaka 18 - au mwanafunzi kwa ujumla, utakuwa umembaka. Utachukuliwa umembaka kwa kuwa inachukuliwa kwamba katika umri chini ya miaka 18 au kipindi cha uanafunzi, msichana bado ni mtoto na hana akili ya kutambua kwamba kukubali kufanya ngono sio jambo jema. Hivyo huwezi kujitetea kwamba hukumbaka bali mlikubaliana kufanya ngono.

Sasa basi, ikiwa Raisi Magufuli anasema mwanafunzi yeyote akipata mimba asipewe nafasi tena ya kuendelea na shule - kimsingi ni sawa na kusema hakubaliani na sheria ya Statutory Rape.

Kwa maneno mengine - utakuwaje na sheria ya statutory rape - na hapo hapo uamue kwamba mwanafunzi yeyote kupata mimba akiwa shuleni ni uamuzi wake na hivyo moja wapo ya adhabu ni kutompa nafasi ya keundelea na masomo?

Na kumbuka kwamba, kauli ya Raisi Magufuli inadokeza kwamba kila mwanafunzi atakayepata mimba akiwa shuleni kajitakia - yale yale ya kiherehere ya Raisi Kikwete. Hapo hakuna kuangalia sababu wala mazingira ya mimba - awe alibakwa au vinginevyo, mimba ni mimba!

Kwa nini kama Taifa tusijikite katika kuongeza kampeni kuwasaidia hawa watoto kutojiingiza katika ngono za mapema badala ya kutoa adhabu za ujumla zisizoangalia mazingira?

Mie ningemwona Raisi Magufuli ana busara sana kama angesema tutawaruhusu wasome, ila sasa tutatunga sheria atakaempa mimba mwanafunzi afungwe jela maisha! Mimba za wanafunzi zingekoma. Sasa Raisi anaadhibu wanafunzi kuliko wanaowapa mimba!

By Synthesizer/Jamii

Hii Hapa Historia ya Dikteta IDDI AMINI wa Uganda Mla Nyama za Watu......."Very Interesting"

$
0
0
Idi Amin Dada alikuwa mwanajeshi kutoka nchi ya Uganda aliyepindua serikali na kujifanya rais wa Uganda tangu mwaka 1971 hadi 1979 hadi alipofukuzwa na jeshi la Tanzania. Alitawala kidikteta ilhali uchumi wa nchi uliporomoka na makosa mengi ya jinai dhidi ya haki za kibinadamu zilitendwa.

Idadi ya watu waliouawa Uganda kutokana na utawala wake imekadiriwa kuwa kati ya 100,000  na 500,000

Katika miaka yake ya kushika serikali Amin alibadilika kutoka uhusiano wa kirafiki na nchi za magharibi na hasa Israeli kuhamia upande wa Muammar Gaddafi wa Libya, Mobutu Sese Seko wa Zaire, Umoja wa Kisovyeti na Ujerumani ya Mashariki. Hata hivyo Amin alipata usaidizi wa ofisi ya upelelezi ya Marekani CIA iliyotuma silaha na vifaa vingine kwa jeshi lake.

Mwaka 1977 Amin alivunja uhusiano wa kidiplomasia na Ufalme wa Maungano (Uingereza) akajitangaza kuwa alishinda na kujiongezea sifa ya CBE ("Conqueror of the British Empire"). Kuanzia wakati ule cheo chake rasmi kilikuwa "His Excellency President for Life, Field Marshal Alhaji Dr. Idi Amin Dada, VC, DSO, MC, CBE".

Jaribio la Amin la kutwaa sehemu za Mkoa wa Kagera wa Tanzania kwenye mwaka 1978 lilisababisha Vita ya Kagera baina ya Tanzania na Uganda na mwisho wa utawala wake. Amin alikimbia kukaa ugenini Libya na baadaye Saudia alipoishi hadi kifo chake mwaka 2003.


Alikotoka 
Hakuna uhakika juu ya mwaka na mahali alikozaliwa. Amin mwenyewe hakuandika kumbukumbu ya maisha yake wala hakuagiza taarifa rasmi juu ya maisha yake. Vyanzo mbalimbali vinasema ya kwamba alizaliwa mnamo 1925 Koboko au Kampala. Mtafiti Fred Guweddeko amedai Amin alizaliwa 17 Mei 1928,  lakini hii imepingwa. Mwanawe Amin Hussein alisema babake alizaliwa Kampala mwaka 1928.

Kufuatana na Fred Guweddeko wa Chuo Kikuu cha Makerere Idi Amin alikuwa mwana wa Andreas Nyabire (1889–1976) wa kabila la Wakakwa, ambaye alikuwa Mkatoliki aliyehamia Uislamu mnamo 1910 akibadilisha jina lake kuwa Amin Dada na kumpa mwana wa kwanza jina hilo pia.

Iddi Amin alilelewa na mama yake bila baba kijijini katika Uganda ya Kaskazini-magharibi. Kufuatana na Gudewekko mamake Amin Assa Aatte (1904–1970) alikuwa Mlugbara aliyetibu watu kwa mitishamba. Amin alisoma miaka kadhaa kwenye shule ya Kiislamu huko Bombo kuanzia mwaka 1941.

Amin mwanajeshi 
Baada ya miaka michache ya shule na kazi ndogondogo aliajiriwa mwaka 1946 na afisa Mwingereza wa jeshi la kikoloni King's African Rifles (KAR).

Aliingia jeshini huko Jinja akifanya kazi ya msaidizi jikoni akiendelea kupokea mafunzo ya kijeshi. Baadaye Amin alidai ya kwamba alilazimishwa kuhudumia huko Burma katika Vita Kuu ya Pili ya Dunia. Mwaka 1947 alihamishiwa Gilgil, Kenya. Mwaka 1949 alitumwa kaskazini kwa kupigania waasi Wasomalia huko. Tangu mwaka 1952 kikosi chake kilihudhuria katika juhudi za kupambana na wanamgambo wa Maumau karibu na Mlima Kenya.

Aliendela kupanda vyeo vilivyopatikana kwa Waafrika katika jeshi la KAR na muda mfupi baada ya uhuru alipewa cheo cha luteni yaani afisa kamili kama mmoja wa Wauganda wawili. Baada ya uhuru wa Uganda mwaka 1962 alikuwa kapteni halafu mwaka 1963 meja. Mwaka 1964 alikuwa makamu wa mkuu na mwaka 1965 mkuu wa jeshi, mwaka 1970 mkuu wa mikono yote ya kijeshi. In 1970, he was promoted to commander of all the armed forces.



Mkuu wa Jeshi na mapinduzi 
Amin alipandishwa cheo na waziri mkuu Milton Obote baada ya uasi wa wanajeshi katika Afrika ya Mashariki wa 1964 uliokomeshwa na askari Waingereza katika Tanganyika, Kenya na Uganda akawa makamu wa mkuu wa Jeshi aliyekuwa bado Mwingereza. Kutoka hapa alishirikiana na Obote katika hatua za kuimarisha utawala wa waziri mkuu. Wakati bunge la Uganda lilitaka utafiti kuhusu mashtaka ya Obote kushiriki katika biashara ya siri ya pembe za ndovu kutoka Kongo Obote iliamua kubadilisha katiba na jeshi la Amini lilimfukuza Mkuu wa Dola Kabaka Mutesa kwa nguvu, halafu Obote alijitangaza kuwa rais. Sasa Amin alikuwa kanali na Mkuu wa Jeshi.

Amin alianza kuajiri hasa askari kutoka kaskazini ya Uganda mpakani mwa Sudani.


Mwaka 1970 Obote aliendelea kumpa Amin cheo cha mkuu wa mikono yote ya jeshi na ulinzi. Lakini Amin alisikia pia ya kwamba kulikuwa na mashtaka dhidi yake kutokana na matumizi ya makisio ya jeshi na mipango ya Obote kumfanyia utafiti. Hapo Amin alitumia nafasi ya safari ya Obote kwenda nje kuhudhuria mkutano wa Jumuiya ya Madola, akatwaa mamlaka ya serikali tarehe 25 Januari 1971.

Mtawala wa Uganda 
Mwaka 1971 alimpindua rais Milton Obote akajitangaza kuwa rais mpya, lakini wengine hawakumtaka.

Mara moja alianza kuwatesa wafuasi wa Obote na watu wote waliompinga. Kuna makadirio ya kwamba jumla ya watu 100,000 hadi 500,000 waliuawa katika miaka minane ya utawala wake.

Aliharibu uchumi wa Uganda kwa ufisadi na majaribio ya kuongoza biashara. Hatua kubwa ya uharibifu ilikuwa kufukuza watu wote wenye asili ya Kihindi na kugawa maduka na biashara yao kwa ndugu au wafuasi wa rais. Takriban watu 80,000 walipaswa kuondoka kwao wakihamia Uingereza, Marekani au Kanada hasa.

Mnamo Oktoba 1978 Amin alianzisha vita dhidi ya Tanzania kwa kuvamia sehemu za mkoa wa Kagera. Rais Julius Nyerere wa Tanzania aliamua kumwondoa Amin kabisa na jeshi la Tanzania likatwaa Kampala tarehe 11 Aprili 1979.

Amin alitorokea Libya, halafu Irak na mwishowe Saudia alikopewa kimbilio kwa masharti ya kutoshughulikia siasa tena.

Alikufa mjini Jeddah tarehe 16 Agosti 2003.


Je ni Kweli Iddi Amini Alikuwa Akila Nyama za Watu? 

Hili bado ni swali ambalo halina majibu, ila watu mbali mbali wamejaribu kuliongelea hili soma hapa chini:


Rais wa Venezuela, Hugo Chavez amewaudhi maafisa wa serikali ya Uganda kwa kauli yake ya kudai kuwa rais wa zamani wa Uganda Idi Amin hakuwa muuaji na mla nyama za watu kama inavyosemekana. Rais wa Venezuela, Hugo Chavez amewaudhi maafisa wa serikali ya Uganda kwa kumtetea rais wa zamani wa Uganda Idi Amin kuwa hakuwa muuaji na mkatili kama inavyojulikana duniani.

"Tulifikiria kuwa Amin ni muuaji mla nyama za watu" Chavez alisema alipokuwa akimuongelea Idi Amin ambaye anatuhumiwa kuwaua mamia ya wapinzani wake wakati wa utawala wake nchini Uganda kwenye miaka ya 1970.

"Nina shaka kama Idi Amin alikuwa muuaji kama inavyosemekana, badala yake alikuwa mwanaharakati mtetezi wa nchi yake", alisema Chavez.

Ingawa hakuna idadi kamili ya watu waliouliwa wakati wa utawala wa Idi Amin kuanzia mwaka 1971-1979, inakadiriwa kuwa watu 500,000 waliuliwa wakati huo.

Mary Karoro Okurut, msemaji wa chama tawala cha Uganda akizungumzia kauli hiyo ya Chavez alisema kuwa mtu yoyote anayedhania kuwa Idi Amin alikuwa ni mtu mwema atakuwa na matatizo ya akili.

"Idi Amin alikuwa ni mtu mkatili ambaye aliua raia wengi wa Uganda na kisha kukimbilia nje ya nchi. Mtu yeyote anayemtetea Amin atakuwa na matatizo".

Naye sekretari wa rais Yoweri Museveni, Tamale Mirundi, alielezea rekodi ya Idi Amin ya kuwaua wapinzani wake akiwemo mmoja wa wake zake.

"Kama unamuoa mwanamke na kisha baadae unamuua, huwezi kuitwa mume mzuri", alisema na kuongeza "Hivyo ndivyo alivyofanya Amin, aliwaua raia wengi wa Uganda hawezi kuitwa mtetezi wa nchi".

Kumekuwa na mitazamo tofauti kuhusiana na Idi Amin baadhi ya watu wakiamini kuwa ukatili anaotuhumiwa kuufanya zilikuwa ni propaganda za kumchafua huku watu wengi wakiendelea kuamini kuwa Idi Amin ndiye mhusika mkuu kwa mauaji ya watu 500,000.

Miongoni mwa mambo ya kikatili ambayo Idi Amin anatuhumiwa kuyafanya ni kuwaua watu na kula nyama zao na kuhifadhi nyama za watu kwenye majokofu.


Maafisa wa serikali ya Uganda hawajasema chochote kama watachukua hatua zozote za kidiplomasia dhidi ya Venezuela.

BAADA ya Muda Gani Unaruhusiwa Kufanya Mapenzi na Mkeo Baada ya Kujifungua?

$
0
0
Zoezi la kujifungua linafariji na kuchosha pia, ni la faraja sana kwa kuwa linakufanya uwe mama? Wiki 4 za mwanzo kwa mzazi zinaweza kuwa katika kumbukumbu zako kwa muda mrefu kwakuwa ni wiki za ‘majimaji’ tu – jasho, kunyonyesha na haja ndogo kutoa majimaji yote ya ziada mwilini mwako. Inashangaza hata kama mtu utakuwa na hamu ya kufanya mapenzi katika kipindi hicho.

Madaktari wanasema kuwa mwili wa mwanamke unahitaji wiki 6 kurudi kwenye hali yake ya kawaida. Katika kipindi hiki cha wiki 6, mfupa wa nyonga na uti wa mgongo hurudi kwenye hali yake ya awali. Homoni zako pia zinajirekebisha sambamba na misuli iliyopo kwenye sakafu ya nyonga kupumzika wakati ikirudi kwenye hali yake iliyokuwa nayo mwanzo kabla ya kazi kubwa iliyotoka kuifanya ya kumbeba mtoto na kusaidia kwenye kumtoa wakati wa kujifungua.

Kwahiyo, mpaka kitakapofika kipindi hiki cha wiki 6, unashauriwa kutofanya mapenzi, lakini haimaanishi kwamba huwezi kufanya mambo mengine kama kumbusu, kumshikashika, au kumnyonya mwanaume wako, na yeye kukufanyia hivyo hivyo. Wanawake wengine wanasema kuwa chuchu zao huwa na hisia sana kutokana na kunyonyesha kiasi kwamba wanaweza kufika kileleni kwa kushikwa chuchu tu.

Lakini kuhusu dawa za kuzuia kubeba mimba katika kipindi hiki, mnashauriwa muwe na tahadhari kuhusu kutumia njia yoyote itayoathiri mfumo wa homoni. Hii ni kwa sababu itaathiri sana kiwango na ubora wa maziwa na itamsababishia mtoto kutopata lishe inayotakiwa. Pia, vidonge vyenye oestrogen vimethibitishwa kusababisha kupungua kwa kiwango cha maziwa kwa mama anayenyonyesha, na mara nyingine hupunguza ghafla sana.

Shirika la Afya Duniani linasisitiza mtoto anywe maziwa tu kwa muda usiopungua miezi 6 kisha uendelee kumnyonyesha mpaka atakapofikisha miaka miwili. Wazazi wengi wanaona hii inawatesa na wengi wao wanasema kwamba miezi 6 ya mwanzo ni muhimu sana.

Unashauriwa uzungumze na daktari wako kuhusu muda gani unaweza kurudia kufanya mapenzi na njia za kutumia kujikinga na mimba ya haraka na pia umuulize hasa kuhusu kutumia dawa zenye progesterone na madhara yake kwako. Vidonge hivi vinaathiri maziwa (kwa wingi na ubora) kwa kiwango kidogo zaidi ukilinganisha na vidonge vyenye oestrogen.

Mwili wako umefanya kazi kubwa sana ya kuleta kiumbe duniani. Sio tu kwa sababu ni utambulisho wako na kukufanya uitwe ‘mama’ na chochote utachofanya kitakachokufurahisha, utashangaa jinsi ulivyo na sehemu nyingi zinazoweza kukufanya upate raha.

SOMA Nafasi za Ajira 535 Zilizotangazwa Leo Serikalini

NIMESHIKWA Live Nikiwa na Chupi ya House Girl Mkononi

$
0
0
Jamani Leo ni Siku ya saba tangia nikute chupi ya mke wangu chumbani kwa mdogo wangu wa kiume,nimekaa nalo moyoni naona niwashikirikishe wenzangu nione mnishauri nini
Ni hivi Ninaishi na mke wangu,mwaka wa NNE sasa,tuna mtoto mmoja,nina Mdogo wangu,anaishi hapa tangia January niliponunua bajaj ili awe anaendesha ili kusaidia wazazi wetu nyumbani kijijini,sasa jumapili iliyopita Wife aliwahi sana asubuhi kwenda kanisani pamoja na mtoto, Mimi nilibaki nimejilaza mpaka kama SAA moja na nusu Hivi, nilivyokumbuka kuwa nilikuwa na Ahadi Fulani, katika kufanya maandalizi sikiweza kuiona pass, so nikaenda straight chumbani kwa dogo katika kuitafuta ndo nilipo kutana na chupi ya mke wangu, ambayo Mimi mwenyewe nilimununulia so imechoka choka kiasi chake,nilishikwa na butwaa kwani namwamini sana wife, dogo mwenyewe heshima kwa sana, nilichukua simu na kupiga picha kadha na kuzificha kwenye private vault, ile chupi nikaaicha palepale, wife hajasema chochote mpaka sasa, nawaza namna ya kuanza kumuulizia japo ameshahisi kuwa siko normal,coz nikimuona usoni nakuata hasira imepnada sana,kwa kifupi naogopa ukweli kuwa mke wangu amenisaliti kwa mdogo wangu,mpaka sasa simuoni kama mke wangu tena, namuona kama bundi kajificha chumbani kwangu, naomba mnishauri kwani Mimi kwa haraka haraka naona nimwite kaka yake aje amchukue kabla sijamfanya kitu mbaya, tatizo hasira zangu hupanda pole pole sana, kuzishusha ni kazi sana

By Shonkoso

KAULI ya Mshikaji Wake Samatta Baada ya Kuondoka KRC Genk leo

$
0
0
Winga wa kimataifa wa Uholanzi aliyekuwa anaichezea KRC Genk kwa mkopo akitokea FC Basel ya Uswiss Jean Boetius leo June 23 2017 ametangaza rasmi kuondoka na kurudi katika club yake ya Feyenoord ya kwao Uholanzi na atapata fursa ya kucheza Champions League msimu ujao.


Boetius akifurahia na Samatta baada ya kufunga goli

Jean Boetius anarudi kuichezea Feyenoord ya kwao Uholanzi ambao ndio Mabingwa wa Uholanzi baada ya kucheza KRC Genk ya Ubelgiji ambayo pia inachezewa na mtanzania  Mbwana Samatta, Feyenoord ndio timu iliyomlea Boetius toka akiwa na umri wa miaka sita na mwaka 2015 ndio akaondoka kwenda FC Basel na kudumu kwa misimu miwili.



Winga huyo ambaye yupo katika kikosi cha timu ya taifa ya Uholanzi amerudi katika club hiyo baada ya kucheza KRC Genk kwa muda wa miezi sita toka ajiunge nayo mwezi January 2017, kutumia ukurasa wake wa instagram Boetius ameandika “Home is where the hearts is!” akiwa na maana “Nyumbani ni sehemu ambayo moyo wako ulipo!

UJUMBE wa Kuua Polisi zaidi Waazidisha Hofu Kibiti

$
0
0
Siku mbili tangu kuuawa kwa polisi wawili wa Kikosi cha Usalama Barabarani ambao walikuwa kazini katika Kijiji cha Bungu B, hali ya wasiwasi imezidi baada ya wauaji hao kusambaza ujumbe unaoeleza kuwa wanaendelea kusaka askari kwa kuwa ni wadhurumaji.

Watu hao wametuma ujumbe mfupi uliondikwa kwenye karatasi na kisha kuutuma katika mitandao ya kijamii, ukidai kuwa waliouawa (japo hawajatajwa majina yao) walidhulumu watu kwa kutumia kazi zao.

“Tunawatangazia wananchi tumewaua hawa kwa sababu wanadhulumu watu kwa kutumia kazi zao na yeyote atakayefanya kazi hapa au nje ya hapa tutamtafuta hata nyumbani kwake. Sisi tumejitolea kufa kuliko kuishi, kwa hiyo dereva au raia popote uwaonapo toa taarifa iwe nyumbani au kazini,” unasema ujumbe huo.

“Hakuna njia ya kumaliza dhuluma isipokuwa chuma tu, hapa chuma tuuu!”

Ujumbe huo ambao umeandikwa kwa mkono kwa kutumia kalamu ya rangi ya bluu unadaiwa kuwa unazungumzia vifo vya askari polisi wawili wa Kituo cha Polisi Kibiti, Sajent Salum na PC Masola waliouawa kwa kupigwa risasi wakiwa kazini.

Mmoja wa madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti (jina tunalo) alisema ujumbe huo unawalenga askari wa kawaida na wa Kikosi cha Usalama Barabarani.

Diwani huyo alisema kundi hilo linalofanya mauaji katika wilaya za Kibiti na Rufiji bado lipo na lina nguvu.

“Linaonyesha bado lina uwezo mkubwa wa kufanya mauaji na kutokomea kusikojulikana,” alisema.

Alisema kwa sasa Serikali inapaswa kuongeza nguvu zaidi ya wapelelezi ili kukomesha kikundi hicho ambacho hakijajulikana kinafanya hivyo kwa sababu zipi na wala kinakojificha.

Akizungumzia ujumbe huo, kamanda wa polisi wa Pwani, Onesmo Lyanga alisema Jeshi la Polisi litaendelea kuwasaka.

“Tutapambana nao tu,” alisema Kamanda Lyanga na kukata simu.

Mkuu w Jeshi la Polisi (IGP), Simon Sirro alisema wakati alipozungumza na wazee wa wilaya za Kibiti na Rufiji, kuwa wanaoendesha mauaji hayo watalipwa ubaya kama wao wanavyofanya.

IGP Sirro alisema daima hali ya mtu mtenda maovu ni kulipwa maovu, hivyo wauaji hao watapatikana na malipo yao yatafanyika ndani ya muda mfupi.

“Pelekeni salamu kwa wauaji hao kwamba ubaya huwa hauwi ubaya siku zote,” alisema.

Wilaya tatu za mkoani Pwani; Kibiti, Rufiji na Mkuranga zimekuwa zikikumbwa na mauaji ya viongozi wa vijiji, watendaji na polisi tangu Mei mwaka jana.

Hali ilionekana kuwa mbaya baada ya watu hao wasiojulikana kulishambulia kwa risasi gari la doria la Jeshi la Polisi na kuua askari tisa waliokuwa wakirejea kutoka zamu.

Askari wengine ambao ni maofisa, waliuawa katika mazingira tofauti; mmoja, Peter Kuponezya aliuawa wakati alipofika eneo ambalo watu hao waliteka kituo cha Idara ya Maliasili na kuagiza wananchi wachukue mali zilizokuwa zimekamatwa na wafanyakazi wa idara hiyo ambao pia baadaye waliuawa, na mwingine, Peter Kubezya aliuawa wakati kikosi cha polisi kilipokwenda kujaribu kukamata watuhumiwa wa uhalifu kwenye nyumba yao iliyo Vikindu.

Viongozi wa vijiji na watendaji wamekuwa wakiuawa kwa kushambulia kwa risasi baada ya kufuatwa na wauaji majumbani kwao nyakati za usiku au mashambani.

Wizara ya Mambo ya Ndani imependekeza kuundwa kwa kanda maalumu itakayoshughulikia wilaya hizo kujaribu kukabiliana na mauaji hayo.

PROF Lipumba Asubiri Mwaliko wa Pilau Kutoka Kwa Maalim Seif

$
0
0
Profesa Ibrahim Lipumba, ambaye yuko kwenye mgogoro na chama chake cha CUF, amesema kama hasimu wake, Maalim Seif Sharif Hamad atamwalika kwenye sikukuu ya Idd el Fitr, atahudhuria kwa kuwa hana tatizo naye.

Profesa Lipumba alisema hayo juzi alipozungumza na mwandishi wetu wakati wa futari iliyoandaliwa na mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Ally Hapi.

“Sina tatizo na mtu yeyote,” alisema Profesa Lipumba alipoulizwa kuhusu kuwa pamoja na katibu huyo mkuu wa CUF wakati huu wa siku kuu.

Alisema viongozi wa dini waliokuwapo katika hafla hiyo ya futari walihubiri suala la umoja ambalo linatakiwa kuzingatiwa pia hata kwenye vyama vya siasa.

Alisema mafundisho hayo ya viongozi wa dini yalilenga kuwepo kwa umoja, suluhu na mshikamano na kuwasihi viongozi wa CUF kuwasikiliza viongozi wa dini ili kutafuta suluhu.

“Sisi CUF ni moja, kama mtu aliteleza ni aliteleza tu. Nawakaribisha tuje tujenge chama chetu chenye guvu kitakachosimamia upatikanaji wa haki sawa kwa wananchi wote, sina matatizo na mtu yeyote,” alisema Profesa Lipumba.

Profesa Lipumba aliingia kwenye mgogoro na CUF baada ya kujiuzuru uenyekiti mwaka 2015 na kubatilisha uamuzi huo mwaka mmoja baadaye, jambo ambalo lilikataliwa na Mkutano Mkuu.

Lakini Lipumba aliwataka wanachama wanaompinga kujirudi na kujua makosa yao ili kukaa pamoja na kukijenga upya chama na kuahidi kuwa hatakuwa na tatizo na mtu ambaye atafanya hivyo.

Wiki iliyopita, Maalim Seif, akiwa katika hafla kama hiyo ya futari iliyoandaliwa nyumbani kwa mbunge wa Temeke (CUF), Abdalah Mtolea, alisema chama hicho hakimtambui Profesa Lipumba kama mwanachama wake na kwamba mwisho wa mwenyekiti huyo kisiasa umekaribia.

Maalim alidai kuwa Profesa Lipumba amewekwa kwenye nafasi hiyo na dola ili kuhakikisha ushindi wa urais haupatikani na chama hicho kinadhoofika.

KAMA Huna Sh1 Milioni Usitupe Taka ovyo

$
0
0

Bunge limepitisha Muswada wa Fedha 2017 ambao unatarajiwa kuanza kutumika Julai Mosi.

Nyingi ya adhabu zilizomo kwenye muswada huo, zinatoza faini ya kati ya Sh 200,000 mpaka Sh1 milioni au kifungo kisichopungua miezi 12 mpaka miaka miwili.

Miongoni mwa makosa hayo yanahusu wachafuzi wa mazingira wakiwamo watupaji taka na wanaojisaidia mtaani. Adhabu hii ambayo awali ilikuwa Sh 50,000 au kifungo cha miezi sita, imeongezwa ili kudhibiti makosa hayo.

Mbunge wa Moshi Mjini (Chadema), Jaffery Michael ambaye jimbo lake linaongoza kwa kusimamia sheria zinazohusu usafi wa mazingira alitaka mabadiliko ya vifungu vingi ambavyo vinatoa adhabu kubwa au vitakuwa na athari yenye maumivu makali kwa wananchi lakini hakufanikiwa kulishawishi Bunge lililokuwa linaongozwa na Naibu Spika, Dk Tulia Ackson livipunguze.

“Kwa mtazamo wangu hizo faini ni kubwa sana ukilinganisha na makosa ya wananchi wetu. Sh50,000 watu walikuwa hawawezi kulipa jimboni kwangu ambako hata kutema mate ni kosa, wengi watafungwa,” alisema Michael.

Licha ya wachafuzi wa mazingira, wamo pia wafanyabashara wadogo ambao hawatatimiza matakwa ya sheria hiyo inayotarajiwa kuanza kutekelezwa ili kufanikisha bajeti ya Serikali.

Licha ya kuwaumiza wafanyabiashara hao wenye mitaji midogo, Michael alisema kumfunga mtu wa namna hiyo kwa mwaka mmoja mpaka miwili ni muda mwingi ambao utaathiri mambo yake mengi hivyo kurudisha nyuma uchumi wa Taifa.

“Wakosaji lazima wawepo, watu wengi watafungwa na kuliongezea Taifa gharama za kuwahudumia wakiwa gerezani kwa kutafuta laki mbili au milioni moja. Naomba tuamue kwa kura,” alisema akihitimisha hoja yake.

Kura zilipopigwa, kipegele hicho kiliridhiwa. Japo mbunge mmoja alitaka kura zihesabiwe. Hilo halikutokea.

Ilikuwa ni siku ya Michael ambaye, mara kadhaa aliinuka kutaka marekebisho yafanyike kwenye baadhi ya vifungu kiasi cha kuwainua mawaziri kujibu na kufafanua hoja zake. Kwenye baadhi ya vipengele, wabunge walichangia kumuunga mkono.

Kutokana na juhudi za Rais John Magufuli kuendesha vita ya kupambana na utoroshaji wa madini nchini, alipendekeza kuongezwa kwa tozo ya ukaguzi wa madini iliyoanzishwa mwaka huu.

Akitambua uwapo wa mrabaha wa asilimia moja unaolipwa na kampuni za uchimbaji madini, alilitaka Bunge kumuunga mkono Rais kwa kuiongeza tozo hiyo ili mrabaha na ukaguzi vifikishe asilimia 10.

Kwa kuwa wizara haina waziri kwa sasa, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Tamisemi), George Simbachawene alisimama kujibu na kusema asilimia moja inatosha kwani mpaka ukaguzi huo unafanywa, “Mwekezaji atakuwa na amelipa kodi nyingine zote zilizopo kwa mjibu wa sheria.”

Kipengele kingine kilichokuwa na mvutano mkubwa hata naibu spika kulazimika kuongeza nusu saa ili kukamilisha mjadala huo, kilihusu kodi ya majengo. Mbunge huyo alitaka wajane na wasio na kipato cha hakika waongezwe kwenye kundi litakaopata msamaha.

Kwa mujibu wa mapendekezo ya Serikali, nyumba zote zilizopo mjini; majiji, manispaa, miji na halmashauri za wilaya zitalazimika kulipa kodi hiyo isipokuwa zinazomilikiwa na ambazo ni makazi ya walemavu au wazee wenye zaidi ya miaka 60.

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Ashatu Kijaji alimweleza mbunge huyo kwamba: “Wapo wajane wenye uchumi imara kuliko hata waliopo kwenye ndoa. Tukiache kipengele hiki kama kilivyo.”

Mbali ya Michael, Mbunge wa Babati Mjini (Chadema), Paulina Gekul aliongeza hoja ya kutaka mabadiliko ya sheria hiyo. Alimtaka naibu waziri kufahamu kuwa mara nyingi baada ya kufiwa na waume zao, wajane hunyang’anywa hata mali walizonazo.

Ni Simbachawene tena aliyemaliza mjadala huo kwa kusema: “Sheria haitakiwi kubagua. Inapaswa kuwahusu wote. Jenister Mhagama (Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu), hapa ni mjane lakini anaweza kulipa kodi hii. Hakuna sheria ya namna hiyo duniani.”

Hivyo muswada huo haukuwataja wajane kwenye kundi la msamaha na pendekezo la kutaka asilimia 50 ya mapato yatokanayo na kodi hii kurudishwa halmashauri halikupata baraka za wengi waliokuwapo bungeni.

Kwa muswada huo, mamalishe, wamachinga na wachimbaji wadogo wataanza kulipa kodi. Wapo washereheshaji (MC) na watoa huduma ya chakula (caterers) ambao pia wamo kwenye orodha ya chanzo kipya cha mapato ya Serikali.

Baada ya mabishano yaliyoongozwa na Michael akiibana Serikali kufanya mabadiliko aliyoyapendekeza na baadhi ya wabunge hasa wa upinzani kumuunga mkono kuhitimishwa, muswada wenye vifungu 66 ulipitishwa na kutoa nafuu kwa shule na vyuo binafsi zilizofutiwa kodi ya SDL na tozo ya zimamoto.


Kutana na Maalim Fadhil Rashid Kutoka Komoro ni Mtaalam wa Tiba za Asili Anayetibu Magonjwa Yafuatayo

$
0
0
KUTANA NA MAALIM FADHIL RASHID KUTOKA KOMORO NI MTAALAM WA TIBA ZA ASILI

UNASHIDA NA MCHUMBA UNATATIZO PESA HAIKAI KURUDISHA MUME AU MKE KWA MUDA MFUPI MVUTO WA MAPENZI

MVUTO WA BIASHARA KUMSHIKA MUME AU MKE ASIKUSUMBUE

DAWA YA ( LIMBWATA )KUMTAWALA MPENZI WAKO KWA SABABU MAALUM

KUSAFISHA NYOTA ILI UWE NA MUONEKANO

NA PIA ANATOA PETE YA BAHATI INAYO ENDANA NA NYOTA YAKO ITAKAYO KULETEA PESA BILA MASHARTI

NA KUMILIKI MALI DAWA YA KUONGEZA UUME SAIZ UIPENDAYO

DAWA YA NGUVU ZA KIUME INAPATIKANA PIA ANAYO DAWA YA KUONGEZA HIPSI SHEP KUA NA UMBO BOMBA UMEIBIWA AU KUDHURUMIWA UTARUDISHIWA MALI YAKO NDANI YA MASAA 24 ANAFUNGA KESI NA KUPATA HAKI YAKO

DAWA YA MVUTO WA BIASHARA KUUZA MALI YAKO KWA HARAKA KUZUIA CHUMA ULETE

NA KUONDOA MIKOSI NA KUPANDISHWA CHEO KAZINI ACHA KUTESEKA ACHA KUHANGAIKA MAALIM FADHIL RASHID

YUPO TANZANIA KWA AJIALI YAKO. CALL...+255719362806/
+255763276239

WhatsApp IMO +255785786436

VIDEO:Vanessa Mdee Aweka Wazi Kutosana na Juma Jux.....

$
0
0
Mwanamuziki Vanessa Mdee amezungumza hadharani kwa mara ya kwanza kuwa hayupo tena katika uhusiano wa kimapenzi na Juma Jux maarufu Jux.

Vanessa amesema kuwa, mambo mengi yalitokea na hivyo kupelekea wawili hao ambao walikuwa wakiwavutia wengi (best couple) kuvunja uhusiano wao wa kimapenzi.

Vee Moneya au Cash Madame ameyasema hayo alipokuwa akifanya mahojiano na kituo cha redio cha Soundcity kilichopo nchini Nigeria alipokwenda kwa ajili ya shughuli zake za muziki.

Kwa muda mrefu kupitia mitandao ya kijamii watu wamekuwa wakidai kuwa wawili hao waliotamba na wimbo wa JUU waliokuwa wakiimbiana hawapo tena pamoja, lakini wao wenyewe hawakuwahi kuzungumzi jambo hilo au kuonyesha ishara yoyote ambayo ingethibitisha kuwa wameachana.

Hapa chini ni sehemu ya mahojiano hayo, ambapo Vee Money alikiri kumwagana na Jux;


SIMBA Waendelea Kuivunja Yanga Vipande Vipande...Sasa Wahamia Kwa Donald Ngoma...

$
0
0
SIMBA imeanza mazungumzo na straika wa Yanga, Donald Ngoma ambaye ameomba dola 80,000 sawa na Sh milioni 180 ili asaini mkataba wa kuichezea timu yao msimu ujao.

Kama Simba itafanikiwa katika dili hili la Ngoma raia wa Zimbabwe, itakuwa inamsajili mchezaji wa pili kutoka Yanga msimu huu kwani tayari inaye kiungo Haruna Niyonzima. Simba imenasa saini ya Niyonzima kwa dau la dola 60,000 (Sh milioni 132) na mshahara wa dola 3,000 sawa na Sh milioni 6.6.

Bosi mmoja wa Kamati ya Usajili ya Simba, ameliambia Championi Jumamosi kuwa, tayari wamemfuata Ngoma na amewaambia wazi kuwa wampe dola 80,000 ili asaini mkataba wao wa miaka miwili.

“Tunafanya usajili kwa ajili ya Kombe la Shirikisho Afrika na Ligi Kuu Bara msimu ujao, tunataka tufike mbali kwenye mechi za Caf (Shirikisho la Soka Afrika) pia tunataka ubingwa wa ligi yetu.

“Sasa ili tuwe na timu bora ni lazima tusajili vizuri, sasa tumemalizana na Niyonzima, tunaelekeza nguvu zetu kwa Ngoma tunayemuhitaji kwa ajili ya kuongeza nguvu.

“Ngoma anataka dola 80,000 ili asaini mkataba wetu, lakini sisi tutamuomba apunguze ili tukiafikiana tumpe hiyo fedha awe mchezaji wetu,” alisema bosi huyo kijana.

Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe hivi karibuni alililiambia gazeti hili kwamba, Niyonzima na Ngoma ni kati ya wachezaji anaowakubali na wana uwezo wa kuichezea timu yake.

Siku chache baada ya kauli hiyo ya Hans Poppe, kweli Simba ikamalizana na Niyonzima na sasa imeelekeza nguvu kwa Ngoma, straika anayesifika kwa ufungaji huku akimudu kutumia nguvu na akili uwanjani.

Imeelezwa kuwa, Simba imepata jeuri ya fedha iliyowawezesha kumbakisha kikosini nahodha Jonas Mkude baada ya mfanyabiashara Mohammed Dewji ‘Mo’ kutoa mkwanja mrefu.

HISTORIA Fupi ya Bob Marley..Je Wajua Alikataa Kuandika Urithi Akiamini Marasta Huwa Hawafii?

$
0
0
Alikataa kuandika urithi kwa kuamini kuwa marastafari huwa hawafi.

Robert Nesta Marley,ambaye baadaye alikuja kujulikana kama Bob Marley,alizaliwa Februari 6,1945 katika kijiji cha Nine Mile kwenye Parishi ys mtakatifu Ann huko Jamaica.

Baba yake Norval Sinclair Marley alikuwa mzungu na mama yake Cedelia Booker alikuwa Mjamaica mweusi.

Historia ya maisha yake haitofautiani sana na wanamuziki wenzake wa reggae Peter Tosh aliyelelewa na shangazi yake na Bunny Wailer aliyelelewa na baba yake zaidi,ni historia ya huzuni iliyo muacha Bob Marley chini ya mzazi mmoja(mama yake) pale alipofiwa na baba yake akiwa na umri wa miaka kumi tu.

Norval Sinclair (baba yake Bob Marley) alikuwa nahodha wa meli na muangalizi wa mashamba,alikufa mwak 1955 akiwa safarini,wakati huo alikuwa na umri wa miaka 60.

Kifo hicho kilimfanya mama yake Bob Markey ahamishe makazi kwenye mji wa Kingston,huko Bob alikutana na Bunny Wailer wakawa marafiki na kujifunza muziki pamoja.Akiwa na umri wa miaka 14,

Bob Marley aliacha shule na kujiunga na chuo cha ufundi wa kuchomelea vyuma,muda wakewa kupumzika alikuwa na Bunny Wailer kwenye muziki,kipindi hiko mwalimu wao alikuwa Joe Higgs,

Muimbaji wa mtaani mwenye imani ya kirastafari.Chini ya Joe Higgs walikutana na Peter Tosh na kuungana naye.

Mwaka 1962 Bob Marley alirekodi nyimbo zake mbili za kwanza ambazo ni;"Usihukumu"(judge not) na "kikombe kimoja cha chai"(one cup of tea) chini ya muandaaji Leslie Kong,

lakini nyimbo hizo hazikukubalika sana.Mwaka 1963 akashirikiana na Bunny Wailer,Peter Macintosh(Peter Tosh),Junior Braithwaite,Beverly Kelso na cherry Smith n kuunda kundi la "The Teenagers" kundi hilo lilijibadili majina na kuwa "The wailing rude boys","The wailling wailers" na mwishowe "The wailers".

Mwaka 1964 na 1965 watoa vibao vikali kama "Usiwe na wasiwasi"(simmer down) na "Nafsi isiyokubali"(soul rebel)nyimbo hizi zilikonga nyoyo za Wajamaika wengi

Hata hivyo kufikia mwaka 1965 lilibakiwa na wakali watatu tu,yaani Bob Marley,Bunny Wailer n Peter Tosh,baada ya wengine kujiengua.

Mwaka 1966 Bob Marley alimuoa kimwana Rita Anderson na kwenda kuishi kwa muda na mama yake huko Wilmington,Delaware nchini Marekani..

 Na kuibuka na imani kali ya kirastafari na kuja na mtindo wa kufuga nywele uitwao "dreadlocks".

Baada ya hapo Bob Marley na kundi lake la The wailers walitoa vibao kemkem vilivyoitikisa Dunia.

Kati ya vibao hivyo ni;Africa unit,Zimbabwe,Could oyu loved?,Iron lion zion,Is this love,Buffalo soldier na vingine vingi.

Huyo ni Bob Marley,mfalme wa reggae aliyepinga ubaguzi kwani hata yeye mwenyewe alisema "Wananiita chotara,lakini mimi siegamii upande wowote bali nipo upande wa Mungu aliye niumba kutoka kwa weusi na weupe".

Hiyo ni biograph ya mwanaharakati huyo wakupinga ubaguzi."REST IN PEACE RASTAFARAE"

LEMA na Meya wa Arusha Wafunguka 'Tumechoshwa na Udhalimu na Uonevu Unaofanywa na DOLA Kwa Maagizo ya Viongozi"

$
0
0
MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema, Meya wa Jiji Kalist Lazaro na naibu wake, Viola Likindikoki, wamesema wamechoshwa na kile walichokiita udhalimu na uovu wanaofanyiwa na vyombo vya dola kwa maagizo ya viongozi mkoani hapa.

Kutokana na kufanyiwa vitendo hivyo, wamesema wameamua kwenda kuwashtaki viongozi hao kwa Rais John Magufuli.

Walisema hayo katika tamko la pamoja jijini hapa jana ikiwa siku mmoja tu baada ya polisi kumkamata na kumshikilia Naibu Meya Viola kwa tuhuma za kurekodi na kutoa nje siri za vikao vya kamati na vya Baraza la Madiwani.

Meya Lazaro alisema: “Nalaani kwa nguvu zote udhalilishaji dhidi ya viongozi wa upinzani kwa kisingizio cha amri tunazoambiwa zinatoka juu.
“Yaani viongozi wa serikali wanashindana kufanya uovu kwa kunyanyasa wapinzani.”

Alisema kwa mfano, Meya wa Ubungo alikamatwa kwa amri ya aina hiyo ikaonekana Arusha hawajafanya hivyo siku nyingi, ndiyo wakamkamata Naibu Meya. “Sasa tumechoka”.

Kwa upande wake, Lema alisema: “Tunasema tumechoka.” “Sisi ni binadamu, tuna nyama, tuna damu, tuna familia, tuna ndugu na jamaa.”
Alisema anajua hatakubaliwa na kuruhusiwa kuonana na Rais Magufuli ili kumweleza kilio chao cha kuonewa na viongozi hao, hasa vijana aliowateua.

“Tumeamua Mstahiki Meya ambaye ni Katibu wa Chama Mkoa aandike barua na aombe kukutana na Rais kumweleza kilio chetu,” alisema Lema.

Akizungumzia tukio la jana, Meya Lazaro alisema kitendo kilichofanywa na polisi kumkamata naibu wake kwa kosa ambalo kwa mujibu wa kanuni za uendeshaji wa Serikali za Mitaa lilipaswa kushughulikiwa na Kamati ya Maadili ya Baraza la Madiwani ni kulidhalilisha jeshi hilo.

“Polisi na hususani ofisi ya RCO (Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Mkoa) kitengo cha uchunguzi wa makosa ya mtandao hakihusiki na suala analotuhumiwa Naibu Meya kama kweli alitenda kosa hilo.

“Lakini hivi kwa akili ya kawaida Naibu Meya ni kiongozi wa vikao vya Baraza kama Meya hayupo, anasoma makabrasha hata yale yaliyopigwa mihuri ya siri, halafu anawezaje kuvujisha siri,” alihoji na kuongeza, “huku ni kujidhalilisha na kudhalilisha Jeshi la Polisi.”

Alisema kwa kuwa viongozi hawa wamezoea kukurupuka, Naibu Meya amemwandikia barua kumwomba aende akaonane na Rais Magufuli ili awachukulie hatua viongozi hawa ambao wengi historia zao zinafahamika kwa kukosa maadili.

Alidai hali hiyo inatokana na Baraza la Madiwani kuziba mianya yote ya ulaji kama vile kumpa mafuta ya gari Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Wilaya.

“Huko nyuma Halmashauri ya Jiji la Arusha lilikuwa shamba la bibi. Leo tumefanikiwa kupata hati safi, tumefanya vizuri kwenye sekta zote,” alisema.

Akizungumzia sababu za kukamatwa na kushikiliwa katika kituo kikuu cha polisi Arusha, Viola alisema pamoja na kushikiliwa kwa muda mrefu hakukuwa na mlalamikaji hadi polisi ilipompigia simu Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, Athumani Kihamia, ambaye alitoa maelezo kama mlalamikaji.

“Hawa polisi na wale waliowatuma wamefanya mchezo wa aibu. Yaani mimi niko chini ya ulinzi wa polisi nawauliza kosa langu wanadai nimetoa siri za vikao. Nikauliza mlalamikaji ni nani na wao hawajui wanasema ni amri kutoka juu. Hii ni kweli?” alisema.

Aidha alisema atalishtaki mahakamani Jeshi la Polisi kwa kupoteza baadhi ya vitu vyake ikiwamo simu ya mkononi wakati wakitekeleza amri ya kumkamata.

“Tunajua hofu ya wakubwa hawa ni kwa sababu ya maovu waliyofanya, sasa tunawaambia vitisho vyao hatuviogopi na ni vya kawaida,” alisema.

Naibu Meya alikamatwa na kushikiliwa kwa muda pamoja na madiwani wawili wa viti maalumu, Sabina Peter na Happyness Chale kwa tuhuma za kutoa siri za vikao vya baraza la madiwani wa Jiji la Arusha.

Viewing all 104756 articles
Browse latest View live




Latest Images