Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104747 articles
Browse latest View live

Makubwa:Amlazimisha Mme Wake Aoe Mke wa Pili Kisa Mmewe Anataka Game Kila Saa

$
0
0
Habari wana jamvini kunadada mmoja huyo Pichani jirani yetu imekua kero kwa mme wake baada ya kumlazimisha mme wake aoe mke wa pili baada ya kuona kua yeye hawezi kumhimili kua jamaa anaweza kumgegeda kuanzia saa tatu usiku mpaka sasa kumi na bado mchana akitoka kazini anataka afikiee eko. Kwake yeye ameona ni karaha imefikia wakati ameenda kutoa malalamiko kwao na mume huku akiwashauri ndugu zake wa mshauri aoe mke wa pili baada ya mume wake kukataa swala la kuoa mke wa pili.

Hebu tuambizane anacho fanya uyn dada ni sahihi?

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo, NMB Bank, UDSM, CBA Bank, Amref and Aga Khan

VIDEO: Diamond Kaongea Baada ya Rayvanny Kushindi Tuzo ya BET

$
0
0
Ni Mwimbaji staa wa Bongo Fleva, makofi mengi amepigiwa kwenye utunzi wake pamoja na ukali wake wa melody, anaitwa Rayvanny kutoka WCB ambae June 24, 2017 ameshinda tuzo ya BET kipengele cha Viewers Choice Best New International Act Artist, Sasa leo June 25, 2017 Ayo TV na Millardayo.com imempata Diamond Platnumz kuzungumzia ushindi wa Rayvanny.

Itazame hii video hapa:

FAIDA za Kunywa Maziwa Mtindi....

$
0
0
Mtindi unaorodheshwa kuwa miongoni mwa vyakula bora kutokana na kuwa na virutubisho vingi vya aina mbalimbali ambavyo vina faida nyingi katika mwili wa binadamu.
Vikitajwa kwa uchache virutubisho hivyo, imethibitika kuwa mtindi ni chanzo kizuri cha ‘Calcium’, ‘Phosphorus’, ‘Riboflavin (vitamin B2), ‘Iodine’, ‘vitamin B12’, ‘Pantothenic acid (vitamin B5) ‘Zinc’, ‘Potassium’ na ‘Molybdenum’. Mbali ya virutubisho hivyo, ndani ya mtindi kuna ‘bakteria hai’ ambao ni muhimu kiafya katika mwili.


HUREFUSHA MAISHA
Utafiti unaonesha kuwa unywaji wa mtindi mara kwa mara, hasa katika kundi la wazee, uwezo wa mwili wa kupambana na magonjwa mbalimbali umeonesha kuongezeka na kufanya mfumo wa kinga ya mwili kuwa imara zaidi.



 Katika utafiti mmoja, walichaguliwa wazee 162 ambao walipewa utaratibu wa kunywa mtindi na maziwa zaidi ya mara 3 kwa wiki na kufuatiliwa maendeleo yao kwa muda wa miaka mitano. Baadaye utafiti huo ulionesha kuwa idadi ya vifo vya wazee hao ilipungua kwa asilimia 38 ukilinganisha na kundi la wazee wasiotumia au waliotumia mtindi kiasi kidogo sana.

KINGA KWA KINA MAMA
Aidha, mtindi umeonesha kuwa na uwezo mkubwa wa kutoa kinga dhidi ya maradhi ya kuambukiza ukeni (vaginal infections). Katika utafiti mmoja uliohusisha wanawake wenye magonjwa ya kuambukiza sehemu za siri, baada ya kutumia mtindi kiasi cha paketi moja kila siku kwa muda wa miezi sita, maambukizi waliyokuwanayo wanawake hao kabla yalitoweka.

KINGA YA MWILI
Utafiti uliofanywa kwa wanyama, wakiwemo panya na kuchapishwa kwenye jarida moja la masuala ya virutubisho nchini Marekani (Journal Of Nutrition), umeonesha kuwa unywaji wa mtindi kila siku, huamsha na kuupa nguvu mfumo wa kinga ya mwili kupambana na magonjwa kadhaa ya maambukizi, ikiwemo saratani ya utumbo.



HUONDOA LEHEMU MBAYA MWILINI
Katika hatua nyingine, mtindi umeonekana kuwa na uwezo wa kupunguza kiwango cha lehemu mbaya mwilini (LDL (bad) cholesterol) na wakati huo huo kupandisha kiwango cha lehemu nzuri mwilini (HDL (good) cholesterol). Kwa maana nyingine, ikiwa mtindi unaondoa lehemu mbaya, mtumiaji anajiepusha pia na hatari ya kupatwa na tatizo la shinikizo la damu.




 KUPUNGUZA UZITO
Mbali ya faida hizo, mtindi pia umeonekana kupunguza mafuta (fat) mwilini na kwa maana hiyo una uwezo wa kupunguza unene unaotokana na mafuta mengi mwilini.



 MUHIMU KUZINGATIA
Jambo muhimu la kuzingatia ni unywaji wa mtindi halisi uliotengenezwa kutokana na maziwa halisi ya ng’ombe, siyo mtindi uliotengenezwa kutokana na maziwa ya unga. Siri kubwa iliyomo kwenye mtindi ni ule uchachu unaotokana na ‘bakteria hai’ wanaopatikana baada ya maziwa kuganda na kuchachuka.

Cristiano Ronaldo Hakamatiki..Haya Ndio Maajabu Mengine Aliyofanyia Nchi yake.....

$
0
0
Cristiano Ronaldo akishangilia kibabe baada ya kuifungia Ureno bao la kwanza kwa penalti dakika ya 33 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya New Zealand baada ya Danilo kuchewa rafu usiku wa Jumamosi Uwanja wa Krestovskyi mjini St Petersburg katika mchezo wa Kundi A Kombe la Mabara. Mabao mengine ya Ureno yalifungwa na Bernardo Silva dakika ya 37,  Andre Silva dakika ya 80 na Luis Nani dakika ya 90 na ushei. Matokeo hayo yanaifanya Ureno ifikishe pointi saba na kumalizana kileleni sawa na Mexico iliyomaliza na pointi saba pia baada ya kuifunga Urusi 2-1 na zote zinakwenda Nusu Fainali. Wenyeji Urusi wameungana na New Zealand kupanda jukwaani kitazama mechi za kumalizia michuano ya 2017

Mpasuko Mkubwa FM Academia, Nyoshi el Sadaat Apokonywa Uongozi

$
0
0
Baada ya Nyoshi el Sadaat kuondolewa urais wa bendi ya FM Academia huku nafasi hiyo ikichukuliwa na Patcho Mwamba, taarifa za ndani ya bendi hiyo zimeeleza kuwa kuna mpasuko unanukia kwenye kundi hilo.

Jana FM Academia ilifanya mabadiliko ya uongozi kwa Patcho kuwa rais mpya wa bendi, hali ambayo haijapokelewa vyema tofauti na alivyosema msemaji bendi Kelvin Mkinga.

Wakati Kelvin Mkinga amesema kuwa mabadilikoo hayo yalipokewa kwa moyo mkunjuvufu na wanamuziki wote, habari kutoka ndani ya bendi hiyo, zimedai tayari kuna kambi mbili ndani ya FM Academia na pengine muda si mrefu bendi mpya itazaliwa.

Kwa upande wake Nyoshi alipotafutwa hakutaka kuelezea hali hiyo: “Samahani niko ofisi za watu, nitakutafuta baadae ila jua kuwa kila jambo lina wakati wake”.

Mwanamuziki mmoja wa FM Academia ambaye hakutaka kutajwa jina amesema kuwa mabadiliko yaliyofanywa ni matokeo ya umbeya na fitna ziliotawala kwa muda mrefu kundini.

“Kama mmiliki wetu Martin (marehemu Kasyanju) angekuwa hai, mabadiliko haya yasingefanyika, marehemu hakuwa mtu wa kukaribisha majungu,” alisema mwanamuziki huyo. “Nyoshi ana mapungufu yake mengi, lakini sidhani kama mema yake yanafukiwa na mapungufu yake.

Sisemi kuwa Patcho hafai, ila bado Nyoshi alikuwa kiongozi sahihi,” aliongeza msanii huyo wa FM Academia. Msanii mwingine wa FM Academia amesema yeye amefurahia mabadiliko hayo lakini akafichua kuwa kikao hakijamalizika kwa amani na kwamba uko upande ambao hakujakubaliana na maamuzi.

Shangazi Yangu Ananisaga Kila Mara, Nifanyeje??

$
0
0
Mimi naitwa NASRA na nina mika 24, hilo nalileta kwenu jambo lango wana-Udakuz naomba mnisaidie ushauri ili niwe kutatua tazizo hili linalonikabili hapa chini:

Baada ya mama yangu kufariki 2001 kuna shangazi yangu (ambaye ni mke wa mjomba wangu) alinichukua kwa minajil ya kunilea na kunisomesha ila amekuwa AKINISAGA tokea niko mdogo mpaka sasa! ambapo nikiwa mdogo wakati nimelala nilikuwa nashtuka yupo juu yangu na mimi nipo UCHI huku ananinyonya MATITI na sehemu nyingine za mwili na baadae alikuwa anapanda juu yangu na kunilalia huku akifanya vitu fulani mpaka ananimwagia vitu fulani katika sehemu zangu za siri na kuniambia ninyamaze nisimwambie mjomba "eti atanipa pesa ya kutumia shule na kunipeleka na gari, alipokuwa akimaliza baadae alikuwa akiniogesha na kuninunulia vitu VITAMUTAMU. Nilinyamaza maana sikujua jambo lile ila aliendelea kila mara mchezo wake huo.

Mpaka sasa Nimekuwa Lakini anaendelea mchezo huo na mimi nimeshajua na sometimes nasikia raha ila roho yangu haitaki kabisa mchezo huo , huwa naumia sana ...nataka niwe msichana wa kawaida ni date na wavulana na nisikie raha napokuwa na mvulana.....naombeni ushauri...

Alikiba na Diamond Wananiumiza Sana Kichwa – Z Anto

$
0
0
Msanii wa muziki aliyewahi kufanya vizuri na wimbo Binti Kiziwi,  Z Anto amesema siku  yoyote kuanzia sasa anaachia ngoma yake mpya na video huku akidai watu anaowawaza na kuwafikiria sana kuwa ni Alikiba, Diamond Platnum pamoja na Vanessa Mdee.


Z Anto ameiambia Enewz ya EATV kuwa ujio wake mpya katika muziki wa bongo fleva unakuja kuleta heshima tena ya muziki huo na kusema kipindi yupo kimya alikuwa anajifunza mengi kupitia wasanii wa sasa na kusema ameona mapungufu yao hivyo yeye anakuja kuwafundisha sababu tayari amewasoma na kufanya kitu kupitia makosa yao hivyo watajifunza kupitia yeye.

“Kuna wasanii wengi wanafanya vizuri lakini ambao naweza kusema wanaoangaliwa na wengi ni Diamond na Alikiba pamoja na Vanessa, hawa ukitaka kwenda mbali zaidi au kimataifa unatakiwa kushindana nao na ndio kitu ambacho nakiandaa,”

Muimbaji huyo amedai ukimya wake kwenye game, umeutumia kuisoma tasnia ya muziki ili akirudi asimuache mtu.

Siku Moja Tu watu wang’oa Bango la Mtaa wa Victor Wanyama

$
0
0

Unaweza usiamini, jana tu ilitolewa zawadi ya mtaa, asubuhi ya leo tayari bango la Mtaa wa Victorr Wanyama limeng’olewa.

Taarifa zinaeleza wako ambao walitaka kuiba bango hilo kwa ajili ya vyuma chakavu lakini wengine wanaeleza, wako waliochukizwa Wanyama kupewa jina la mtaa Tanzania.

Jana, Meya wa Manispaa ya Ubongo Boniface Jacob, alimtunuku mtaa, Kiungo wa Tottenham ya England Victor Wanyama raia wa Kenya.

Jacob ambaye ni Meya akitokea Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), alimkabidhi Wanyama mtaa ambao awali ulikuwa unajulikana kama Viwandani na sasa utajulikana kama Victor Wanyama.

Mtaa huo uko Ubungo katika Wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam.

Saida Karoli: ‘Urugambo’ inanikumbusha mpenzi wangu

$
0
0

Mwanamuziki mkongwe wa nyimbo za asili, Saida Kalori, ambaye kwasasa anatamba na wimbo wake mpya ‘Urugambo’ ametoa ya moyoni kuwa wimbo huo unamkumbusha mpenzi wake wa zamani.

Saida anasema umaarufu wa wimbo huo umemsababishia kero kwa midume wakware ambao kila kukicha wanampigia simu.

Hata hivyo Saida amesema hataki kuwasikia kwani amechoshwa na tabia za wanaume wanaomfuata kwa malengo yao kisha humtema mara wanapofanikiwa malengo yao.

Alisema ni bora amtafute mpenzi wake wa zamani ambaye kila anapomfikiria anaumia kutokana na mapenzi mazito aliyonayo kwake.

Saida alianza kuwa maarufu miaka ya mwanzao ya 2000, baada wimbo wake ‘Salome’ kuwa maarufu ndani na nje ya nchi.

Waziri George Simbachawene Amemteua Profesa wa UDOM kuwa Diwani

$
0
0

Dodoma. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Tamisemi), George Simbachawene amemteua Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Profesa Davis Mwamfupe kuwa diwani katika Manispaa ya Dodoma.

Juzi Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma Godwin Kunambi alimtaja Profesa Mwamfupe pamoja na wenzake wawili Roze Nitwa (CCM) na Vicent Tibalindwa (Chadema) kuwa waliteuliwa na Waziri kwa mujibu wa mamlaka aliyonayo.

Kunambi alisema Simbachawene aliteua majina sita kwa vyama vya Chadema na CCM ndipo wakayapigia kura likiwamo jina la Mwamfupe aliyetokea CCM.

“Waziri alitumia sheria namba 288 (24) (2d) ya Serikali za mitaa na kanuni za uteuzi za mwaka 2010 sura ya 4 (1) na 5 (1) vinavyompa mamlaka ya kufanya hivyo bila kuulizwa na humteua mtu ambaye ni mkazi wa eneo husika,” alisema Kunambi.

Manispaa ya Dodoma haina Meya baada ya Jaffary Mwanyemba kuondolewa na madiwani Machi mwaka huu kwa madai ya matumizi mabaya ya madaraka.

Hata hivyo, Mkurugenzi huyo alikana madai ya kumwandaa msomi huo wa uchumi katika nafasi ya Umeya ingawa alisema kila mtu mwenye sifa za kuwa diwani ana haki ya kugombea nafasi ya uongozi ikiwamo meya.

Mkurugenzi huyo aliwaondoa hofu waliokuwa wamejenga nyumba zao katika maeneo ambayo hayajapimwa kabla ya kuvunjwa kwa CDA akisema hawatasumbuliwa badala yake watarasimishwa huku akitoa tahadhari kwa wavamizi wa maeneo na viwanja kuwa lazima watavunjiwa.

Naibu Meya wa Manispaa ya Dodoma, Jumanne Ngede alisema baraza la madiwani halina shaka na uteuzi huo na kwamba watapewa ushirikiano katika kusukuma mbele gurudumu la maendeleo ikiwamo mchakato wa makao makuu.

Alisema mpango uliopo katika manispaa hiyo ni kujipanga kuwa na ugeni mkubwa ambao umeingia mkoani hapo ikiwemo maofisa wa serikali.

Mmoja wa madiwani ambaye hakupenda kutajwa jina lake alisema mpango wa uteuzi wa msomi huyo unaweza kuwagawa madiwani kwani kuna kila dalili za kuandaliwa kushika kiti hicho huku wengine wakitaka apewe nafasi katika kamati ya uchumi na fedha tu ili akaonyeshe uzoefu wake huko.

Waziri Mwigulu Nchemba apigilia msumari agizo la Rais Magufuli

$
0
0

Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba amezionya taasisi zisizo za Serikali zinazohamasisha kudai haki ya mtoto anayepata mimba kurejeshwa shuleni kuacha mara moja na zikiendelea atazifutia usajili.

Mwigulu ameyasema hayo leo, Jumapili wakati alipomwakilisha Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa katika harambee ya kuchangia ujenzi wa Parokia ya Kisasa Mjini hapa.

Amesema Serikali haitaomba ushauri wala maoni kwa sababu maelezo yaliyotolewa na Rais, John Magufuli ni maagizo ya Serikali.

Waziri huyo amesema Serikali imetoa haki ya kila mtoto kupata elimu kwa kuifanya kuwa bure kwa hiyo atakayeikosa asitafute kisingizio.

"Rais ametoa haki hiyo sasa hivi elimu ni bure, halipi tuition wala nini, atakayeamua kuachana na haki hiyo asitafute kisingizio, asipeleke lawama kwa Serikali, "amesema.

Manji amuomba radhi Rais Magufuli sakata la Coco Beach

$
0
0

Mfanyabiashara maarufu na Diwani wa Mbagala, Yusuf Manji amemuomba radhi Rais John Magufuli kutokana na kesi aliyoifungua akidai kupewa haki ya uwekezaji katika eneo la Coco Beach jijini Dar es Salaam.

Manji ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Quality Group alishinda zabuni iliyotangazwa na Manispaa ya Kinondoni mwaka 2005, kwa ajili ya uwekezaji wa eneo la Coco Beach karibu na Bwalo la Maofisa wa Polisi lililopo Oysterbay.

Akizungumza kupitia taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana, Manji alisema licha ya kampuni yake kupitia kampuni tanzu ya Q-Consult kuingia makubaliano na Manispaa ya Kinondoni Desemba 21, 2007 kulikuwa na ucheleweshaji wa mradi huo.

“Hali hiyo ilisababisha kampuni yetu kutafuta njia ya sheria katika Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi, Desemba 17, 2007 na kufungua kesi ya ardhi namba 334 ya 2009 ambapo baada ya miezi sita Mahakama Kuu iliagiza Manispaa ya Kinondoni kutekeleza ahadi yake,” alisema Manji.

Hata hivyo, alisema baada ya Rais Magufuli kuingia madarakani alitangaza kusudio la kulifanya eneo hilo kubakia kuwa la matumizi ya wananchi kama lilivyo sasa.

“Kwa kutambua maelekezo ya Serikali ya Awamu ya Tano tunatii agizo na kuacha eneo hili liendelee kwa matumizi kama ambavyo linatumika sasa,” alisema Manji na kuongeza kuwa:

“Ninaomba radhi binafsi kwa Rais John Magufuli na Serikali yake kwa sintofahamu yoyote iliyojitokeza wakati wa ufuatiliaji wa jambo hili.”

Manji alisema wamewaagiza mawakili wao kujitoa kama wapinzani katika rufaa iliyowekwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali na kutodai gharama zozote walizoingia au hasara ya mapato kwa kuwa masilahi yao sio halali ukilinganisha na ya wananchi.

“Mwisho Quality Group Limited inatambua na kuunga mkono juhudi zote za Rais Magufuli za kizalendo katika kusimamia rasilimali za nchi yetu,” alisema Manji.

Desemba 5, 2015, Manji alimwandikia barua Rais Magufuli akimweleza usahihi wa mchakato wa zabuni ya kuendeleza Coco Beach.

Pia, katika barua hiyo alimwomba Rais afanye uchunguzi binafsi chini ya ofisi yake ambayo atashirikia nayo.

Kutolewa Bango la Mtaa wa 'Victor Wanyama' ni Mpango wa Siasa Chafu- Bonface Jacob

$
0
0

Boniface Jacob  Meya wa Maspaa ya Ubungo amesema  kuwa Mpango wa kuondolewa kwa bango la Mtaa wa Mchezaji wa Soka Nchi uengereza ni Mapango ulioratibiwa kwa chuki za kisiasa kwake,


Jacob akizungumza kwa njia ya Simu amesema kuwa aliyeratibu mapgo huo ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda kwa madia kuwa anahakiki kuwa taratibu za  Kuupa jina  Mtaa Wanyama zilifutwa ama hapana.


amsema kuwa kitendo hicho kimedhihiirisha chuki kutokana na dalili za uwepo wa Meya huyo wa Chadema katika mchakato wa kuupa mtaa huo jina la Mchezaji Wanyama ambaye yupo Nchini kwa Matembezi.

Meya jacob amasema kuwa mchezaji huyo aliyekubali kushiriki kuangalia ligi ya ndondo Cup aalionesha nia ya kuwasaiid vijana wa kitanzania wenye hamsa ya kucheza soka lenye tija.

Jacob kitendo hicho ambacho si cha kiungwana kinaweza kumkatisha tamaa mchezaji huyo ambaye angweza kuwa rafiki nzuri wa Tanzania na kupata tija kupitia mlango wa soka.

 jacob amefafanua taratibu za kuupa mtaa jina kuwa zilipita kwenye uongozi wa mtaa wa viwandani nao waliriridhia na wana mamlaka ka Serikali ya Mtaa.

Miujiza ya Maalim Khatibu Kutoka Kigoma Kusini, Sasa Yupo Bagamoyo Mkoa wa Pwani

$
0
0

MIUJIZA YA MAALIM KHATIBU KUTOKA KIGOMA KUSINI SASA YUPO BAGAMOYO MKOA WA PWANI.

Wengi wamepata tiba na kutatuliwa MATATIZO yao wewe unasubiri nini?

✨Kwanini umapata pesa haikai? Na haufanyi kitu cha maana?
✨Kwanini mapenzi yakutese?
Kwanini uachwe na Mke! Mme au mpenzi wako?
✨Kwanini hamuelewani katika familia yenu kwaaji ya kugombea mali?

Majibu yote utayapata kwa MAALIM KHATIBU, mwenye kubri kubwa kutoka kwa Allah,✔

MAALIM KHATIBU ni mtaalamu wa tiba mbalimbali za asili na nimtambuzi wa nyota za binadamu, pia nimtatuzi wa matatizo yote yanayo watesa binadamu,

MAALIM KHATIBU anatibu kwa kutumia kitabu cha quran dawa za asili dawa za kiarabu, na majini, Anakuvutia mpenzi alie kuacha au alie mbali, anazo dawa za mapenzi, nguvu za kiume, chango kwa kina mama, ngiri maji na n.k, anakuvutia mali zilizo potea au kudhulumiwa, pia anatoa Pete za bahati zilizoambatanishwa na jini mali, Wenye matatizo ya uzazi, jini mahaba, mapepo ya kichawi, vifungo vya kimaisha, ndoto mbaya za usiku, uelewa mdogo wa ufahamu shuleni kwa watoto wote, pia anauwezo mkubwa wa kumaliza kazi zilizoachwa na wataalamu wengine ndani ya masaa 48 tu,Pia anatibu kwa njia ya simu popote ulipo.

WASILIANA NAE KWA SIMU NA WhatsApp
Tigo - No:+255 710 -332103
Voda - No:+255 766-705404,
Insta follow @maalim_khatibu

USHAURI: ni vyema kupiga simu kuliko kutuma sms ili upate huduma kwa haraka.

Madhara Ya Kutumia Bangi

$
0
0
Bangi ni neno ambalo hutumika kuelelezea sehemu iliyokaushwa ya maua, mbegu, mche na majani ya mmea ujulikanao kama Indian hemp. Uko mitaani bangi ina majina mengi na watumiaji wake wameipa majina kama: dope, nyasi, majani, mche, ganja, magugu, kitu, sigara kali, blanti na mboga.

Kwa kitaalam “cannabis” huelezea aina mbali mbali za dawa za kulevya zitokanazo na mmea wa
Indian hemp ambazo ni bangi (marijuana) na hashish.

Aina hizi za dawa zitokanazo na mmea huu ziko katika kundi la dawa za kulevya ziletazo maruweruwe
(hallucinogen) au dawa zinazoathiri ubongo na kubadili jinsi tunavyotazama mambo katika uhalisia wake.Kuna zaidi ya aina 400 za kemikali katika mmea huu na kemikali ya kulaumiwa inayohusika na mabadiliko haya katika ubongo hujulikana kama tetrahydrocannabinol (THC). Kiasi cha THC hutofautiana kulingana na eneo ulikolimwa mmea wa Indian hemp.

Kama tulivyoona bangi ni sehemu iliyokaushwa ya majani, mbegu,maua, na mche na huwa na rangi ya kijani,kijivu au brauni na bangi ni dawa ya kulevya ambayo hutumika kinyume cha sheria katika sehemu nyingi duniani.

Bangi hutumika kwa kuvuta moshi kutoka katika msokoto, sigara iliyoungwa au bomba maalum ya kuvutia moshi wake. Ni mara chache huchanganywa katika chakula, kuliwa kama mboga au kutengeneza kinywaji. Wakati mwingine watumiaji hupukutisha sigara na kujaza bomba la sigara bangi au bangi iliyochanganywa na dawa nyingine za kulevya kama cocaine na aina hii hujulikana na watumiaji kama “blunt”

Mtumiaji anapovuta msokoto wa bangi, huanza kufanya kazi baada ya dakika chache na mvutaji huanza kuhisi mapigo ya moyo yakienda mbio, mapokeo ya uhalisia huanza kubadilika na kuona vitu visivyo katika uhalisia (ndoto za mchana/maruweruwe).Matokeo haya ya muda mfupi baada kuvuta moshi wa bangi, huweza kudumu kwa muda wa saa mbili hadi nne au kuendelea kwa muda mrefu zaidi ikitegemea na kiasi cha THC kilichovutwa na ukali wake.

Mara nyingi wavutaji wa bangi huvuta moshi kwa nguvu ndani ya mapafu na kuushikilia kwa muda mrefu ili kuongeza ufanyaji kazi wa THC ukilinganisha na anayevuta sigara na hii husababisha madhara makubwa katika mapafu ya mvutaji. Mbali na maudhi kama kukohoa na koo kuwasha, imeonekana kuwa uvutaji wa aina hii wa moshi unamweka mvutaji katika hatari mara tano zaidi ya kupata saratani ukilinganisha na mvutaji sigara.

Matatizo ya ubongo yanayopelekea kuathiri afya ya akili ni ugonjwa mbaya uwapatao wavutaji wa bangi. Anayevuta bangi huwa na uwezo mdogo wa kumbukumbu na pia humuondolea uwezo wa asili wa kufanya maamuzi yaliyo sahihi ukilinganisha na mtu asiyevuta bangi.

JINSI ya Kutumia Account Mbili za Whatsapp Kwenye Simu Moja

$
0
0
Hii kutokana nakuulizwa swali hili na watu wengi katika email Watu wengi sana wamekuwa wakitafuta njia ya kuweza kutumia whatsapp mbili tofauti kwenye simu moja. Leo nitatoa maelekezo mafupi ambayo yatakuwezesha kutumia whatsapp mbili kwenye simu yako.Fata hatua zifuatazo…

Hatua ya kwanza
Download  App  inayoitwa parallel space kwenye play store

Hatua  ya pili
Kama simu yako ni line moja basi weka line nyingine ambayo unataka iwe whatsapp yako ya pili

Hatua ya tatu.
Install application uliyo download kwenye Step 1(parallel space )., kisha ifungue.

Hatua ya nne
Utakapofika kwenye kipengele kinachotaka kuweka number  ya simu hapo  utaweka namba yako ya pili ili uweze kuwa na whatsapp mbili

Hatua ya tano.
Utaendelea na Steps za kawaida kama  ulivyojiunga na whatsapp ya kwanza.
Mpaka hapo utakuwa umefanikiwa kuweka na kuanza kutumia whatsapp mbili kwenye simu moja.

HISTORIA Ya Che Guevara, Je Wajua Aliwahi Kukimbilia Tanzania na Kujificha?

$
0
0
Kama kijana msomi wa shahada ya udaktari, che Guevara alisafiri nchi nyingi sana huko bara la Amerika ya kusini na rafiki yake, akawa ni mtu mwenye uchungu mkubwa kuona maisha ya dhiki,njaa, magonjwa nchi za America ya kusini, akawa na mwamko mkubwa kubadili hali ile kwa kuwa aliamini ya kuwa mfumo wa ubepari ndio chanzo kikubwa kilichokuwa kinaitafuna Latin America.

Miaka ya 50 akiwa anasoma udaktari huko Mexico Che Guevara alikutana na Fidel Castro na Raul Castro ambapo watatu hao walipanga mapinduzi ya kumg’oa raisi wa Cuba wakati huo Fulgencio batista ambaye alikuwa na huhusiano wa kimaslahi na America, Che akapata nguvu na uaminifu mkubwa kutoka kwa Fedel Castro na kupandishwa kuwa kiongozi wa wanamgambo (guerilla insurgents) Punde tu baada ya Fulgencio batista kukimbia CUBA,Che alihusika kama mtu muhimu katika serikali ya Cuba iliyoongozwa na Fidel Castro, akiwa kama Gavana wa benki kuu ya Cuba ambapo saini yake ilianza kutumika katika noti za CUBA , baadae kama waziri wa kilimo wa Cuba.

Mwaka 1964 akiwa kama mmoja ya msafara wa watu wa serikali ya Cuba umoja wa Mataifa New York MArekani, aliweza kupata “sifa” ya “mwanamapinduzi halisi wa kukumbukwa” pale alipotoa hotuba ndefu katika ukumbi wa UN akilaumu wazi ukimya wa Umoja huo juu ya kilichokuwa kinaendelea Afrika ya kusini (ubaguzi wa Rangi) alinukuliwa akisema

“wale wanaoua watoto wao na kuwabagua kila siku kwa sababu ya rangi ya ngozi zao, wazungu wanawaua watu weusi na hawakamatwi, serikali ya kikaburu inawalinda wauaji, na mbaya Zaidi inawaadhibu watu weusi kwa kuwa tu wanatataka haki zao na utu wao, vipi watu hawa (makaburu) wakaitwa watetezi na walinzi wa Amani?”

MGOGORO WA CONGO – DRC
miezi michache baada ya kutoa hotuba UN, Che alitoweka katika maisha ya kawaida “public life” na hakuna aliyejua alikwenda wapi mpaka baadae ilipokuja gundulika Che alikuwa akipigana sambamba na Laurent Kabila huko Congo dhidi ya wabeligiji na baadhi ya wapiganaji wa ki cuba waliokuwa Afrika, vita ambayo ilishindikana na akakimbilia Tanzania na kukaa maeneo ya karibu na ziwa Tanganyika na baadae Dar es salaam huku akiishi kwa kujificha


baadae mwaka 1966 alirejea Cuba kumuaga kwa Fudel castro na kusafiri kwenda Bolivia kuendeleza harakati zake za kuzikomboa nchi za America ya kusini kutoka kwenye makucha ya Ubepari…aliingia Bolivia akiwa kama mfanyabiashara hasiyejulikana baada ya kunyoa upara, kuweka mvi bandia na kuyoa ndevu zake zote, akaweka kambi na baadhi ya wapiganaji wenzake aliowakuta Bolivia maeneo ya milima ya montane dry fores

KUKAMTWA NA KUUWAWA
Mwaka 1967, makachero wa Bolivia wakisaidiwa na CIA amabye alikuwa akiwakilsha ndugu Felix Rodriguez waligundua maficho ya ache na kundi lake huko milimani Bolivia, asubuhi ya October 8 mwaka 1967 wanajeshi takribani 1,800 walizingira maeneo yoote ya milima walikokuwa wamejificha akina Che na ikapiganwa vita ya masaa kadhaa na Che akipigwa Risasi za miguu na kukamatwa na wenzake,

Yasemekana baada ya kuzidiwa katika mapigano yale alisema

“Usifyatue risasi, mi ni Che Guevara nina thamani kubwa kuwa hai kuliko kunikamata nimekufa”

Alifungwa kama na wenzake akakamatwa na kupelekwa kijiji cha La higuera ambapo baada ya raisi wa Bolivia ndugu René Barrientos kusikia amekamtwa alitoa amri auwawe haraka sana, wakati huo huo CIA walimtaka apelekwe Panama akahojiwe kwa kina na salama yake ili hasiuwawe alikuwa apelekwe America japo haikutokea.
Siku moja kabal ya kuuwawa alichukuliwa na baadhi ya wanajeshi na kupiga picha ya kumbukumbu na kesho yake akauliwa na askari mmoja aliyejitolea na kumpiga risasi sita za kifua na kufa palepale

Kabla hajapigwa risasi na muuaji wake haya ndio yalikuwa maneno yake ya mwisho
“Najua umekuja kuniua, shoot mtu mwoga wewe!!! na ufahamu utakua umeua mwanaume kamili”

Aliacha wake wawili na watoto watano

HIVI Ndivo Msanii TID Alivyorudi Polisi Central Kwa Mara Nyengine

$
0
0
Mwimbaji TID aka Mnyama kama anavyopenda kuitwa, ametishia kutinga katika kituo cha kati cha polisi jijini Dar es Salaam kuwasilisha malalamiko yake dhidi ya Quick Rocka na kundi la OMG.

TID ambaye ana historia ya kufikishwa yeye kwenye kituo ha polisi na hata kufungwa miezi kadhaa, sasa amebadili upepo na yeye anahitaji haki yake kisheria.

Kupitia mtandao wa Instagram, Mnyama ametishia kufika polisi kuwasilisha malalamiko yake kutokana na kile alichodai kundi la OMG na Bosi wao Quick wametumia wimbo wake ‘Watasema’ bila ruhusa yake. Hivyo, anahitaji kulipwa angalau milioni 20 kama kifuta jasho kwa kazi yake iliyowahi kushinda tuzo mbili.

“Wat is this….?! Hivi ndio mnapata Magari yenu!? @quickrocka & @omgtanzania we need to TALK #Watasema, ameandia msanii huyo. Naomba tukutane Central Police huwezi kutumia Haki zangu hivihivi Kabla sijafanya kitu kibaya nahitaji million 20 compensation… This song ni Awards mbili Za Kisima Music Awards 2005 inKenya u can’t just Steal it, Unalala Ndani Leo.” ameandika TID.

‘Watasema’ ni hit ya miaka mingi iliyopita, ambapo TID alimshirikisha Naaziz, malkia wa michano kutoka Necessary Noise ya Kenya.

MREMBO Lulu Michael Akerwa na Uchafu wa Waumini Makanisani

$
0
0
Muigizaji wa filamu nchini Tanzania, Elizabeth Michael maarufu kwa jina la Lulu ameoneshwa kukasirishwa na vitendo vya uchafu kwa baadhi ya waumini makanisani.


Lulu amesema waumini wawapo makanisani na hata nje wanatakiwa kuzingatia usafi wa mwili na roho kwani kuna muda huwa wanasalimiana wanapokuwa kwenye ibada hivyo kama hawatazingatia usafi huenda ikaleta taabu katika kukamilisha misa au ibada.

“Mnaowekaga Vidole Puani Kanisani,Hamjui kama kuna ule muda wa kupeana mikono au Mnatakaga kugundua nini? Tuwe Wasafi Wa Roho Na Mwili Pia,“ameandika Lulu kwenye ukurasa wake wa Twitter.

Hata hivyo mrembo huyo ameongeza kuwa kuna siku moja alimuona muumini mmoja akishika pua na leo ameamua kumpa makavu kwa kumuelimisha.

“Wallahy kuna Mmoja alifanya hvyo Pembeni yangu leo Sijampa mkono bali Nimempa UKWELI,“ameandika Lulu.
Viewing all 104747 articles
Browse latest View live




Latest Images