Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104684 articles
Browse latest View live

MADHARA ya Upigaji Punyeto, na Namna ya Kuepuka

$
0
0

Watu wengi sana wanataka kufahamu jinsi gani wafanye ili kuachana na kitendo cha upigaji punyeto.

Punyeto ni tendo la mtu la kuamsha hisia za mapenzi au msisimko ambao unampelekea mtu huyu kufikia kilele cha kujimalizia tamaa zake! Bila kufanya tendo halisi, hutumia fikra zake katika picha za zinazoitwa za ngono au picha zozote zinazoweza kulifanikisha tendo hilo, movie n.k. Kilele cha yote anafikia mahali anajimalzia tamaa zake mwenyewe!. Nimekuwa nikiona baadhi ya watu wanaosema wameelimika wakipingana wao kwa wao katika suala zima la kupiga punyeto! Wako wanaotetea kutokana na elimu yao na wanasema kwa ujasiri mkubwa kwamba "kupiga punyeto ni sehemu ya maisha ya mwanadamu" Ina maana katika maisha ya mwanadamu upigaji punyeto inaelezwa ni kama tendo la lazima mpaka inafikia mahali wanasema ni sehemu ya maisha (Maisha) ya mwanadamu.

Nimekuwa nikipata kesi nyingi sana juu ya madhara yatokanayo na punyeto. Aslimia 60 ya vijana wenye umri kuanzia miaka 15 hadi 30 wameathirika na tatzo hili (chronic masturbation) na inakuwa ngumu kujinasua kutoka kwenye hili janga, kama wewe ni mmoja wapo na ulkuwa ukitafuta kwa mda mrefu ufanye nini ili uachane na tabia ya kupiga punyeto basi fatilia kwa makini makala hii.

MADHARA YA UPIGAJI PUNYETO KWA MWANAUME 
Haya ndio baadhi ya madhara ya kimwili ambayo yanaletekezwa na upigaji punyeto

1. PUNYETO INAUA NGUVU ZA KIUME: 
Upigaji wa punyeto unaweza kusababisha upungufu wa nguvu za kiume, kwani kipindi unapiga punyeto jua ile mishipa inayofanya uume usimame unakuwa unaichua na uume unakuwa umesimama kwa muda mrefu sasa ikitokea ukawa unafanya hivi kila siku ile mishipa inalegea na uume unakuwa unakosa nguvu hata ukisimama haui strong unakuwa kama umelegea.

2. KUWAHI KUMALIZA MAPEMA KATIKA TENDO: 
Mara nyingi mtu aliezoea kupiga punyeto huwahi kumaliza mapema pindi akiwa anafanya tendo la ndoa na wakati mwingine uume hushindwa kusimama kwa mara ya pili na kujikuta anashindwa kurudia tendo ikiwa mwenzake bado hajaridhika na anahitaji kuendelea kufanya tendo hilo.
Athari nyingine ni kama zifuatazo :

3.Uchovu wakati wote / Fatigue. Feeling tired all the time.
4.Maumivu ya nyonga / Lower back pain.
5.Kusinyaa kwa Nywele / Nywele kunyonyoka / Thinning hair / Hair Loss
6.Maumivu ya kende
7.Maumivu ya kiuno

Hayo ni baadhi ya nukuu zangu!
Kuna faida nyingi sana ambazo utazipata endapo utaachana na tabia ya upigaji punyeto na hiyo napenda iwe sababu ya wewe msomaji kuachana hicho kitendo.

Kuacha punyeto ama mtindo flani wa maisha inahitaji utambuzi, uamue na pia uweze kjicontrol wewe mwenyewe, inahitaji nguvu ya ndani yako kushinda vishawishi , zifuatazo ni njia ambazo utaanza kutekeleza ukiwa nyumbani kwako bila gharama yoyote na zitaanza kukupa matunda, lazima uwe mwaminifu kufuata kile ninachoelekeza maaana ni njia ambayo imewasaidia vijana wengi.

1.PATA MDA MWINGI WA KUPUMZIKA 
Baada ya shuguli za kawaida haikisha unapata mda wa kupumzika, lala mapema ili uweze kuipa akili mda wa kuchambua na kutunza taarifa za muhimu na kufuta zile ziszo za muhimu. Hakikisha unalala mapema hapo ndipo utaongeza uwezo wa akili kuweza kupambana na hisia na mawazo mabaya.

2. MATUMIZI YA MBOGAMBOGA NA MATUNDA KWA WINGI 
Utafiti wa kisayansi unaonesha kwamba matumizi mazuri ya vyakula vya mbogamboga na matunda Husaidia kuongeza uwezo binafsi wa kujisimamia juu ya tamaa na mihemko mbalimbali, matumizi ya vyakula vilivyosindikwa (junk foods) ni chanzo cha kushindwa kujizuia na hapo safari yako ya kuachana na upigaji punyeto itakwama.

3. FANYA MAZOEZI NA USHUGULISHE MWILI 
Maozezi yanasaidia mwili kutofikiria kufanya mambo machafu sababu mara nyingi unakuwa bize, akili inapokuwa inashugulishwa basi uwezekano wa kuleta fikra mbaya ni mdogo sana

4. ACHA KUANGALIA PICHA ZA NGONO
Tafiti zinasema kwamba vijana wengi wenye umri kuanzia miaka 15 mpaka 30 ndo kundi kubwa lililoathirika kwa kutazama picha za pono, piacha au video za ngono huleta msukumo kwenye akili ili kuweza kujiridhisha na hivo hupelekea watu kupiga punyeto ili kukata ile kiu ya  tamaa zao za mwili.

KATAZO la Rais Magufuli, MSOMI Aeleza Jinsi Alivyopata Mimba Akiwa Shuleni na Alivyofanikiwa

$
0
0
Kama tamko la Rais John Magufuli lingetolewa mwaka 2002 wakati Caroline Kandusi akiwa kidato cha tatu, huenda leo asingekuwa na hadhi aliyo nayo sasa.
Asingewe kumalizia masomo yake baada ya kupata mimba akiwa na umri wa miaka 30 na hivyo angeweza kupoteza fursa nyingine zilizomuwezesha leo kuwa na shahada ya shahada ya umahiri katika uongozi akiwa na umri wa miaka 30.

Lakini walimu walimuwekea mazingira mazuri ya kujifungua na kurudi darasani kufanya mtihani, kitu ambacho kimekuwa ufunguo wa maisha na si ajabu kwamba sasa ni ofisa mipango wa taasisi ya kimataifa iliyo na ofisi zake nchini Canada.

Licha ya kupata ujauzito huo aliendelea na masomo na kufanikiwa kupata shahada ya kwanza na baadaye ya umahiri katika Uongozi na Utawala, kutoka Chuo Kikuu cha Jomo Kenyata kilichopo jijini Nairobi, Kenya.

Ingawa kwa muda mrefu watu wamekuwa wakijadili kuhusu watoto wa kike wanaopata mimba kurudi au kutokurudi shule, mjadala huo umepamba moto baada ya Rais Magufuli kusema: “Katika utawala wangu hakuna mwanafunzi atakayepata mimba, akarudi shule.”

“Baada ya kusikia tamko hilo nililia,” alisema Caroline alipoongea na Mwananchi kwa njia ya mtandao.“Rais asiwe na hofu ya wanafunzi wanaopata mimba kuambukiza wengine, hofu kubwa iwe kwenye nguvu kazi anayoipoteza.”
Alisema kwake, kupata nafasi ya kurudi shule kulimpa ari ya kusoma kwa bidii, kuwajibika na kumlea mtoto wake.“Kama ningechukuliwa kama mzinzi, nadhani nguvu kazi hii ingekuwa imepotea,” alisema.

Uhusiano na mwanafunzi mwenzake wakati wanaharakati wanajenga hoja kuwa mazingira huhuwalazimisha baadhi ya watoto wa kike kupata ujauzito wakiwa shuleni, Carloline anasema tatizo lake lilitokana na kuwa na uhusiano na mwanafunzi mwenzake (jina tunalihifadhi) wakati akiwa kidato cha tatu.

Anasema mwanafunzi huyo ndiye aliyempa mimba. Baada ya kubaini kuwa ana ujauzito, aliamua kukaa kimya kwa kuwa hakutaka ushauri wa yeyote kutokana na kuamini kuwa angepotoshwa zaidi. Aliendelea na masomo huku akiificha mimba kwa zaidi ya miezi saba bila kugundulika.


“Sikuwa na mabadiliko makubwa kiasi cha mtu kugundua. Sikuwa nikiumwa zaidi ya kutopenda kula,” anasema. Agosti 2002 mimba ikiwa na miezi saba, alikwenda kumuona daktari kwa mara ya kwanza na aliambiwa kuwa huenda akajifungua Oktoba 17. Hata hivyo, bado aliendelea kutunza siri. Walimu wamsaidia kwa kuwa hakuna marefu yasiyo na ncha, siku moja mwanafunzi mwenzake alimshika tumbo kwa bahati mbaya na kugundua kuwa Caroline ana ujauzito na alikwenda kuwataarifu walimu.

“Ghafla nikaitwa ofisi ya walimu wa kike, waliniweka kikao na kunihoji kuhusu ujauzito na bila kificho niliwaeleza ukweli,” alisema Caroline. “Wakati wanaigundua mimba, tayari ilikuwa na miezi tisa. Walimwita dada yangu anayeishi Dar es Salaam kwa kuwa wakati huo mama alikuwa safarini Ujerumani,” alisema.

Baada ya kugundulika, walimu wake walimpa ruhusa ya kwenda nyumbani ambako alishauriwa kuwekewa kidonge cha uchungu ili ajifungue mapema na kufanya mtihani wa kidato cha tatu. Lakini kabla ya kuwekewa, siku mbili baadaye yaani Oktoba 17 alijifungua.

“Walitaka kuniwekea kidonge cha uchungu, lakini siku za kujifungua zilikuwa zimefika na nilijifungua mtoto wa kiume tarehe 17 Oktoba kama daktari alivyoniambia,” alisema. Baada ya kujifungua alikwenda kuishi kwa dada yake jijini Dar es Salaam na alikuwa akitoka asubuhi kwenda shule na kurudi nyumbani. Kwa kuwa alikuwa katika mitihani ya mwisho wa mwaka ya kidato cha tatu, ilimbidi arudi shule wiki mbili baada ya kujifungua.

“Ilinibidi niwe nasoma daftari huku namnyonyesha mwanangu kwa sababu sikuwa na jinsi. Ilikuwa ni lazima nifanye mtihani na lazima nimlee mtoto wangu,” alisema Caroline. “Asubuhi nikiamka namnyonyesha mtoto, nakamua maziwa katika kichupa nayaacha kisha naenda shule.”

Uongozi wa Shule ya Cambridge ulimpa ushirikiano mkubwa Caroline na walimu hawakumpa kauli za kumkatisha tamaa, bali walimtia moyo na baada ya kujifungua, walikubali aendelee na masomo shuleni hapo hadi alipomaliza kidato cha nne.

Wazazi hawakumkaripiaBaada ya wazazi wake kufahamu kuwa Caroline ana ujauzito, walimhoji kutaka kujua mzazi mwenzake. “Niliwaambia wazazi wangu kuhusu jibu alilonipa huyo kijana na hawakuwa na la kufanya. Kwa kifupi hakukuwa na njia nyingine kwa sababu walifahamu kila kitu wakati tayari nimeshajifungua,” alisema.

“Kupata mimba si mwisho wa maisha. Bado binti mdogo anayepata mimba ana nafasi ya kuendelea na masomo na kufanikisha ndoto yake.” Caroline, ambaye alipata daraja la kwanza katika matokeo yake ya shahada ya kwanza, alisema wengi wanaopata mimba shuleni wanapoteza kila kitu kwa sababu wanakosa ushirikiano kuanzia shule, nyumbani na hata katika jamii na kukatishwa tamaa.

“Kauli nyingi wanazopata wasichana ni za kukatisha tamaa, jambo ambalo linawafanya wasichana wengi waendelee kufanya ngono kwa siri na kuendelea kutoa mimba,” alisema. Alisema mara nyingi jamii huwahukumu wasichana waliopata ujauzito wakiwa wadogo na kuwaona kuwa ni wakosefu, wazinzi na wahuni jambo linalowafanya wakate tamaa na kupoteza vipaji vyao.

Ageukia mafunzo kwa wasichana baada ya kupitia hayo yote, Caroline anaona hana budi kutumia muda wake wa ziada kuwafundisha wasichana wadogo shuleni jinsi ya kujitambua na kuepukana na changamoto za balehe.

“Bila hivyo mimba za utotoni zitaendelea kuongezeka na tutapoteza wasichana wengi ambao wangeweza kuwa viongozi au wanataaluma bora,” anasema.
Kwa sasa, Caroline anamsomesha mtoto wake anayeitwa Emmanuel mwenye umri wa miaka 14.

“Kumlea peke yangu ni changamoto kubwa hasa wakati anapomuulizia baba yake, lakini najitahidi kila niwezavyo,” anasema. Caroline, ambaye kwa sasa ameolewa na kupata mtoto mwingine, anatoa mfano wa jinsi jamii ilivyo na mtazamo hasi kuhusu wasichana waliozaa katika umri mdogo.

“Ukiwaambia watu kuwa una miaka 30 halafu una mtoto wa miaka 11 wanakuambia heee ulianza mapema?” alisema. Hata hivyo, anasema hakuwahi kuficha kuwa ana mtoto alipokuwa sekondari na alipoingia chuo kikuu, bali alimchukulia mtoto wake kama changamoto iliyompa ari ya kusoma kwa bidii.

Ushuhuda wa mama Rebecca Kandusi, ambaye ni mama wa Caroline, anasema hakuweza kumkasirikia au kumtelekeza binti yake baada ya kupata ujauzito kwa kuwa kila binadamu hufanya kosa. “Najua ni shetani aliyempitia. Kwa kosa lake, sikuweza kusema namsusa au namfokea, hapana. Niliendelea kumsupport kwa kila hali na kuendelea kumlea vyema,” anasema.


“Nimemlea katika misingi ya kidini ya kumjua Mungu na ninaamini kazi ya shetani ilikuwa ni kuona anaharibikiwa, lakini haikuwa hivyo.” Mama huyo anasema wazazi wanapowasusa au kuwakasirikia watoto baada ya kupata ujauzito, wanawaharibia mustakabali wa maisha yao.

SOMA Nafasi za Ajira Zilizotangazwa leo Jumatatu

WATU 123 Wafariki Dunia Baada ya Lori la Mafuta Kulipuka

$
0
0

Watu 123 wamefariki dunia baada ya lori la mafuta kupinduka na kulipuka katika mji wa Ahmedpur Sharqia, Punjap nchini Pakistan.

Vyombo vya habari vya nchini humo vimethibitisha kutokea kwa ajali hiyo iliyogharimu maisha ya watu 123 huku wengine wakijeruhiwa vibaya.

Imeelezwa kuwa baadhi yao walipoteza maisha wakiwa wanajaribu kuteka mafuta kutoka kwenye lori hilo mara baada ya kupinduka. Majeruhi wamepelekwa hospitali kwa ajili ya matibabu.

Hata hivyo mashuhuda wa ajali hiyo wamesema kuwa baadhi ya watu waliofika katika eneo la ajali mara baada ya gari hilo kupinduka walikuwa wakivuta sigara, jambo ambalo limeelezwa kuwa chanzo cha moto huo.

Chanzo BBC.

ERICK Omondi Chizi Sana...Embu Tazama Hii ya Jinsi ya Kutengeneza Movie la Kihindi

$
0
0
Mchekeshaji maarufu kutoka nchini Kenya, Eric Omondi ameendelea kuwavunja mbavu mashabiki wake kwa kuachia kuachia tips zake za How to be? ambapo awamu hii amekuja na kipengele cha jinsi ya kutengeneza filamu ya kihindi .Tazama hapa chini uvunje mbavu

Eric Omondi amejizolea umaarufu nchini Tanzania baada ya kufanya Cover za nyimbo za Diamond Platnumz na kuigizaji vipande vya How to be Magufuli.

MASKINI..Chid Benz Amtoa Chozi Mama Yake

$
0
0
MKALI wa michano, Rashid Mwakwiro ‘Chid Benz’ amemtoa machozi mama yake baada ya kuachia ngoma yake mpya ya Muda alioshirikiana na mkali mwenzake, Aboubakar Katwila ‘Q Chillah’.

Akizungumza na Over Ze Weekend, Chid aliyekuwa amepotea kwenye gemu baada ya kuzama kwenye matumizi ya dawa za kulevya alisema, tangu aachie ngoma hiyo akiwa kwenye interview mbalimbali mama yake amekuwa akimpigia simu mara kwa mara na kusema kuwa moyo wake hautulii unapiga sana arudi nyumbani.

“Wengi wameupokea wimbo huu kwa hisia sana. Watu wanatuma meseji na kusema wametokwa na machozi. Mama mara kwa mara amekuwa akinipigia simu na kuniambia fanya urudi mapema uwe nyumbani tu nalia sana. Shangazi zangu, mamdogo, mabibi na marafiki zangu wananipigia wananiambia wanalia sana baada ya kuusikia wimbo huu,” alisema Chid.

Akiongelea kuhusiana na matumizi ya madawa ya kulevya aliyopitia, Chid alisema alikuwa akitumia unga kwa kiwango kikubwa sana;

“Nimevuta sana na wote mliona picha na video. Kile kitu ni kibaya lakini nilikuwa natumia kwa siku laki 4, 5, 6 hadi saba. Nikiishiwa nafikiria nani nimpigie simu nimuombe hela. Kila siku lazima nilale hoteli tena Kinondoni, kila siku lazima nilipie kuanzia 50,60 kwa siku nafanya. Kila siku lazima nivute ndiyo niweze kuongea kwa hiyo hela nilikuwa napata kupitia simu tu, kila ninayempigia ananisikitikia na kunitumia,” alimaliza Chid Benz ambaye kwa sasa ameachana na matumizi hayo na kujikita kwenye muziki.

KWANINI Mapenzi Kinyume na Maumbile Yanaongezeka Kwa Kasi Sana....Soma Mkasa Huu

$
0
0

Husika na mada tajwa hapo juu,

Kiukweli hali ya mabinti wa sasa inatisha mwaka jana na mwanzoni mwa mwaka huu niliwahi kuwa na mabinti wawili tofauti wote wana 20 yrs now.

Huyu wa kwanza wakati naanza kudate na siku moja nikamwita nimgegede nashangaa mtoto ananiambia niandae mafuta nikamuuliza ya nini mafuta akanijibu ya kulainishia nikaendelea kumbana akafunguka anataka nimle nyuma kadai anapenda na kazoea.

Nikamuuliza huu mchezo umeanza lini akanijibu tangu ana miaka 15 nikamwambia Ok, sikutaka dhambi nikaamua kumpotezea. Sasa mwaka huu nikapata mwingine wa age ile ile nipo nae ghetto katika kumgegeda naona mtoto anakamata mkuyati na kuupeleka kifusini, nikamzingua nikamwambia sitaki uchafu, mtoto kalia sana eti kazoea nimfanye tu, kiukweli hamu ikaisha pale pale na kumtimua.

Hawa ni baadhi ya mabinti wachache tuwalioharibikiwa yani najiuliza binti kama huyu akifikisha 30 yrs atakua na hali gani. Eti wadada kwanini mnapenda sana kutifuliwa kifusi siku za karibuni mchezo umekua kwa kasi sana.

TUAMBIZANE NINI CHANZO CHA ONGEZEKO WA ANAL S3X????

Install APP ya Blog Hii ya UDAKU SPECIAL Kwenye Simu yako Kutoka Google Play Kusoma Habari Kirahisi

$
0
0
Download  Application ya Udaku Special Blog Kwenye Simu yako Kutoka Play Store Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi

Bonyeza Hapa CLICK HERE 


Au Kama Unayotayari Bonyeza HAPA Ku Update Uweze Kupata Ikiwa na Muonekano Mpya

EBITOKE "Nimemuahidi Ben Pol Kumpa Kitu Chochote Anachokitaka Kutoka Kwangu".....Ben Pol Aajiri Mabaunsa wa Kumlinda

$
0
0
Siku chache baada ya Ben Pol na mchekeshaji anayekuja kwa kasi Bongo, Ebitoke ku-make headlines baada ya kukutana na kupiga picha zinazowaonesha wakiwa kimahaba, ikiwa ni baada ya mwanadada huyo kulalama kwa siku nyingi kwamba anampenda msanii huyo wa Bongo Fleva, Global  TV Online imemtafuta Ebitoke na kufanya naye mahojiano.
Katika mahojiano hayo, Ebitoke alisema kwamba watu wengi wanadhani kwamba ni kiki lakini kiukweli amefurahi sana kukutana na Ben Pol na kupiga naye picha pamoja na kupata nafasi ya kumueleza hisia zake live.
Ebitoke amesema hawezi kueleza nini kitafuatia kati yake na Ben Pol lakini amewataka mashabiki wake wakae mkao wa kula kwa sababu ni kweli anampenda kwa dhati na yuko tayari kumpa chochote.

FRANCIS Cheka Afunguka Mazito Baada ya Kutwangwa na Mswisi

$
0
0
Baada ya kupokea mkong’oto kutoka kwa Mswisi Enes Zecirevic usiku wa kuamkia leo Jumapili, bondia Francis Cheka amefunguka sababu za kupoteza pambano hilo.

 

Cheka ambaye alipigwa kwa pointi za majaji 3-0 kwenye pambano hilo la raundi nane la uzani mwepesi wa juu (kg 81) lililofanyika mjini Geneva, amesema pambano hilo alishindwa kwa pointi za ugenini kwani ilitakiwa ashinde kwa Knock Out.

“Nisingeweza kushinda kwa pointi, nilijua matokeo yale baada ya kumaliza raundi zote. Siku zote unapocheza ugenini na kumaliza raundi zote ni vigumu kupewa ushindi dhidi ya mwenyeji, ndivyo ilivyokuwa hata na kwangu.

“Nimeumizwa kuharibu rekodi yangu, lakini sijashangazwa na kupigwa kwa pointi kwani ni ushindi ambao yoyote anaweza kupewa,” amesema Cheka kwenye mahojiano yake na Gazeti la Mwananchi.

Kwa Nini WOLPER Hakumfariji Zari Alipofiwa na Mmewe? Majibu Yapo Hapa

$
0
0
KUFUATIA wadau mbalimbali kumtuhumu kwamba, hana utu kwa kushindwa kwenda kumfariji rafiki yake, Zarinah Hassan ‘Zari The Bosslady’ hivi karibuni alipofiwa na mzazi mwenzake, Ivan Ssemwanga ‘Don Ivan’ huko Uganda, staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe ameibuka na kufungukia sababu za kutofanya hivyo.

Akizungumza na Wikienda, Wolper alisema kuwa, ulipotokea msiba wa Ivan, yeye alikuwa nchini Burundi alikokwenda kwa ajili ya kuchukua mzigo wa dukani kwake hivyo alikuwa bize na hata kama angekuwepo Bongo asingeweza kwenda kwani Zari siyo rafiki yake wa kihivyo.


“Nilikuwa bize na biashara na hata kama isingekuwa hivyo nisingeenda kwa sababu sina ukaribu wa kihivyo na Zari bali siku zile kwenye video iliyosambaa nilikuwa namtetea kwa sababu sipendi mtu aonewe, yaani watu wanamweka mitandaoni amezeeka wakati ukimuona live ni mzuri na mrembo kabisa, sipendi uonevu katika maisha yangu, mimi ni mtetezi wa wanyonge, sema watu hawanijui wananichukuliaga tofauti,” alisema Wolper.
Stori: Gladness Mallya, Dar

MAANDAMANO ya Wapenzi wa Jinsia Moja Yazuiwa

$
0
0
Mamlaka nchini Uturuki imevunjilia mbali gwaride la wapenzi wa jinsia moja katika mji wa Istanbul, kwa mwaka wa tatu mfululizo.

Polisi walitumia gesi ya kutoa machozi kuwatawanya watu waliojaribu kushiriki gwaride hilo na kuwakamata baadhi yao.

Mamlaka inasema imechukua hatua hiyo ili kuzima tishio la makundi yanayopinga serikali kutumia gwaride hilo kuzusha vurugu.

Wanaharakati wa kutetea haki ya wapenzi hao wa jinsia moja wamepuuzilia mbali madai hayo na kuongezea kuwa serikali inatumia vigezo hivyo kama sababu ya kuminya uhuru wa watu hao.



Wanamshutumu Rais Recep Tayyip Erdogan anayegemea maadili ya kiislamu kwa kujaribu kuliendesha taifa kwa kutumia mtazamo wake binafsi juu ya masuala fulani katika jamii.

WALIOPINGA Wanyama Asipewe Mtaa Walisema si Uzalendo, Je Gor Mahia Nao si Wazalendo Kwa Kuita Tawa Lao Magufuli Huko Kenya

$
0
0
Timu ya soka ya Gor Mahia ya nchini Kenya ina matawi zaidi ya 400.
Katika matawi yote hayo hakuna hata moja lililopewa jina la Rais Uhuru Kenyatta, ila juzi wamezindua tawi jipya na kuliita tawi la Magufuli.

Waliopinga Wanyama asipewe mtaa walisema si uzalendo, Je Gor Mahia nao si wazalendo kwa kumpa Magufuli tawi?

Wajinga walishabikia Bango la Wanyama kung'olewa, Je KFF nao watangaze kulifuta hili tawi la Gor Mahia? Mazwazwa wameuliza kwanini huo mtaa haukuitwa jina la Mtanzania, na mimi nauliza mbona hili tawi halikuitwa jina la Mkenya?

Mbona kuna Wakenya wengi wanaweza kuenziwa na Gor Mahia na si Magufuli? Wapo waliouliza Wanyama kaifanyia nini TZ, nami nauliza Magufuli kaifanyia nini Kenya?

Cha ajabu walioshabikia jina la Wanyama lisitumike Tanzania ndio watakaoshangilia jina la Magufuli kutumika Kenya. Na hiyo ndio tafsiri halisi ya Unafiki.

By SAMBUKILE/JF

MWIGULU Nchemba Atoa ONYO Kali Kwa Wanaompinga Rais Sakata la Wanafunzi Kupewa Mimba

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba amezionya taasisi zisizo za Serikali zinazohamasisha kudai haki ya mtoto anayepata mimba kurejeshwa shuleni kuacha mara moja na zikiendelea atazifutia usajili.

Mwigulu ameyasema hayo leo, Jumapili wakati alipomwakilisha Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa katika harambee ya kuchangia ujenzi wa Parokia ya Kisasa Mjini hapa.

Amesema Serikali haitaomba ushauri wala maoni kwa sababu maelezo yaliyotolewa na Rais, John Magufuli ni maagizo ya Serikali.

Waziri huyo amesema Serikali imetoa haki ya kila mtoto kupata elimu kwa kuifanya kuwa bure kwa hiyo atakayeikosa asitafute kisingizio.

"Rais ametoa haki hiyo sasa hivi elimu ni bure, halipi tuition wala nini, atakayeamua kuachana na haki hiyo asitafute kisingizio, asipeleke lawama kwa Serikali, "amesema.

NDOA Bila Tendo la Ndoa.....Msaada

$
0
0
Wapenzi salaam,
Nina mkasa, au jambo ambalo linamsumbua dada yangu kwa kiasi kikubwa sana,nimeshare nanyi kwa kuwa najua kwenye wengi hakukosekani busara na majibu ya maswali magumu.

Nina dada yangu mumewe anashindwa kumpa unyumba kwa miaka sita sasa, hata akijitahidi kukutana na mkewe anaishia njiani,yaani katikati inasinyaa, hii inatokana na nini, dada yangu kajaribu kila kitu hadi sasa anataka kuchukuwa maamuzi mazito, maana hamwoni muwewe kama anasumbuka na hilo kabisa,akimwongelesha hilo anakuwa mkali, na kukumbushia maugomvi ya zamani ili tu dada ajisikie vibaya.

Mimi kaka mimi nimemshauri kama aliweza kukaa miaka yote sita asiachane na mumewe, kwani ana watoto nae nahisi watapata taabu kisaikolojia, dada yangu anampenda sana mumewe, coz hata akijaribu kucheat huwa hasikii raha wala nn,anamwazia mumewe tu,mwishowe anamwacha mpenzi na kurudi home kujituliza, hali hii imemfanya akose raha kabisa,japo kila kitu kiko fresh kimaisha,ukimwona akiwa na mumewe utadhani anafuraha hakuna dosari,ila muda mwingi ,ushauri wenu unaombwa.naomba wenye uzoefu na hata waliowahi kukubwa na tatizo hili wasaidie kutoa ushauri,pia wanaume ambao waliwahi kupatwa na tatizo hili mtoe ushauri tumsaidie mwenzetu.

PICHA: Wema Sepetu Alivyowateka Watumiaji wa Instagram

$
0
0

SUPASTAA wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu, ametupia picha mpya kwenye akaunti yake ya Mtandao wa Instagram, zikimuonesha akiwa na mwonekano mpya ambapo muda mfupi baadaye, mashabiki zake walianza kutoa maoni yao, wengi wakionesha kufurahishwa na mwonekano wake mpya.
Mashabiki hao wamembatiza Wema kwa jina jipya, wakimuita Malkia wa Instagram Tanzania au mwenye insta yake kaja.


JESHI la Polisi Latoa Tahadhari Kwa Watumiaji wa Barabara

$
0
0
Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani limetoa tahadhari kwa watumiaji wote wa barabara nchini kuzingatia sheria ili kuepuka ajali hususani wakati wa sikukuu ya Eid el Fitri.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam jana juni 25, 2017, Kaimu Kamanda Kikosi cha Usalama Barabarani, (SACP) Fortunatus Musilimu alisema kuwa katika kipindi cha sikukuu madereva wamekuwa wakiendesha magari kwa mwendo kasi, kuyapita magari mengine bila kuchukua tahadhari na kubeba abiria kupita kiasi hali inayoweza kusababisha ajali.

“Tutafanya operesheni kali barabarani, kuwapima madereva kiwango cha ulevi na watakaobainika wamelewa watakamatwa na kuwekwa mahabusu na kufikishwa mahakamani, nasisitiza kwamba,dereva anayetaka kuendesha gari asinywe pombe,akitaka kunywa pombe asiendeshe gari” alisisitiza Kamishna Musilimu katika taarifa hiyo.

Wamiliki wa magari wametahadharishwa yatakayokodishwa  kwenda maeneo ya Fukwe bila kibali yatakamatwa na wahusika kufikishwa mahakamani.

Kamishna Musilimu pia alitoa wito kwa wazazi kuangalia usalama wa watoto wao na wasiwaache wakatembea peke yao barabarani bila uangalizi ili kuepuka ajali zinazoweza kuepukika.

Akizungumzia upande wa madereva wa Pikipiki (Bodaboda) alieleza kuwa wamekuwa wakipita taa nyekundu, wakiendesha pikipiki zao bila kuvaa kofia ngumu, kubeba abiria zaidi ya mmoja (mishikaki) na abiria hao kutovaa kofia ngumu hivyo kuhatarisha Usalama wao hivyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.

Kamishna Musilimu alisema, Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani limekuwa likihamasisha na kuelimisha wananchi kuhusu umuhimu wa kuzingatia sheria na matumizi sahihi ya barabara ili kuepuka ajali katika kipindi chote na hasa wakati huu wa sikukuu.

MWINYI Aupa Tano Utawala wa Rais Magufuli..Adai Unapashwa Kuwepo Miaka yote...

$
0
0
Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amesema kama si utawala wa katiba uliopo nchini, utawala wa Rais John Magufuli ulipaswa kuendelea kuwepo miaka yote.

Mwinyi ameyasema hayo leo (Jumatatu) wakati akitoa salam za Eid El Fitr katika viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam.

Amesema anayoyafanya Rais Magufuli ni mambo mazuri na kwamba kwa kiasi kikubwa amefanikiwa kulipeleka taifa mahali kuzuri.

"Amelipeleka taifa mahali kuzuri, anerudisha nidhamu, sasa hivi ukienda hospitali unapata huduma vizuri, ukienda kwenye ofisi unapata huduma nzur," amesema. "Yako mengi mzuri, tumuunge mkono Rais wetu, kama isingekuwa katika basi ningesema aendelee kuongoza mpaka mwisho," ameongeza.

MITANDAO ya Ohio Marekani Yahakiwa na Ujumbe wa Islamic State IS Kuchapishwa

$
0
0
Mitandao kadha ya serikali katika jimbo la Ohio nchini Marekani ukiwemo wa Governor John Kasich imedukuliwa na ujumbe wa kuunga mkono kundi la Islamic State kuchapishwa.

Ujumbe huo ulisema , Donald Trump atawajibika kwa kila tone la damu linalomwagika kwenye nchi za kiislamu na kumalizia kusema "Nunaipenda Islamic Stete".


Ujumbe kwenye mtandao ulikuwa na ishara ya kiarabu na ulikuwa maandishi meusi na meupe ambayo hutumiwa kwenyew bendera ya Islamic State.

Ujumbe kwenye mtandao wa Bwana Kasich ulicheza wimbo wa kuitisha maombi ya kiislamu.

Gabo amzungumzia Kanumba na Wema Sepetu

$
0
0

Msanii wa Filamu Tanzania, Gabo amesema si kweli tasnia ya filamu imeshuka baada ya kifo cha Steven Kanumba.

Muigizaji huyo ameeleza kuwa watu wengi wanaamini kutokuwepo Kanumba kumedhoofisha soko kutokana alikuwa wenye kuleta changamoto ambayo kwa sasa haipo.

“Sio kweli industry ipo vile vile, kwa hiyo jamaa alikuwa analeta changamoto kwa wacheza sinema wengi sana hivyo baada ya kuondoka ule ushindani ukawa umeshuka, hicho ndio kitu ambacho wanakikosa,” Gabo ameiambia Bongo Dot Home ya Times FM na kuongeza kuwa

“Lakini mimi nisema waendelee kuwa na mapenzi ya dhati ila wasiste kutoa malalamiko yao na kukosoa pale ambapo wanahisi pameenda tofauti kwa sababu changamoto za watu pekee ndio zinabadilisha.Tunajua hapo tunakosea inabidi tufanye hivi, kwa hiyo tunaenda tunabadilika kutokana na mawazo ya watu,” amesema Gabo.

Katika hatua nyingine Gabo amemuelezea muigizaji Wema Sepetu ni mtu wa namna gani katika ufanyaji kazi hasa pale walipokuwa wakishoot filamu yake mpya ‘Kisogo’.

“Ni dada mmoja ambaye yupo na utaratibu wake, ukiufuata na kuusikiliza utafanya nae kazi vizuri sana na atakuwa yupo poa sana. Ukiwa nje ya huo utaratibu unaweza kumuona ni msumbufu na ukamuona kero kwenye kazi,” ameeleza Gabo.
Viewing all 104684 articles
Browse latest View live




Latest Images