Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live

Kubenea Yamfika Hapaa...Amtolea Uvivu Sakaya wa CUF......

$
0
0
Kubenea Yamfika Hapaa...Amtolea Uvivu Sakaya wa CUF......
Kaimu Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani CHADEMA , Saed Kubenea amemtolea uvivu mbunge wa jimbo la Kaliua Magdalena Sakaya kwa kudai CHADEMA haijaingilia ugomvi wa chama chao bali wanataka kumaliza mgogoro uliopo kwa kuwaondoa mamluki.

Akizungumza na Wanahabari Mh. Kubenea amesema kwamba CHADEMA imeamua kujitosa katika mgogoro wao baada ya kuombwa na wabunge wa chama hiko wakiongozwa na viongozi waandamizi akiwepo Maalim Seif Sharif Hamad.

"Sakaya ananituhumu  na kusema CHADEMA tunawaingilia CUF, nataka niseme kwamba hatujaingilia ugomvi wao, pili Sakaya siyo mwanachama wa CUF kwani alikwisha vuliwa uanachama na akafukuzwa, pia hana uongozi wowote ndani ya chama hicho kwani hata barua yake ya rufaa mpaka leo haijakubalika, na Naibu Katibu Mkuu mimi ninayemtambua ni Bashange na siyo yeye" Kubenea.

Aidha Kubenea ameongeza kuwa
"Matukio yote ambayo CUF wamekuwa wakitendeana  kama Lipumba na genge lake kuvamia mkutano CHADEMA hatukuwepo, sasa kwa vile wameomba msaada kwetu sisi tumeanzisha oparesheni ondoa msaliti Buguruni ambayo tutaifanya kwa ukamilifu. Tumeagizwa na kamati kuu kuikomboa CUF", aliongeza Kubenea.
Pamoja na hayo Kubenea amesema lengo la CHADEMA kumsaidia Maalim Seif vita yake na Prof. Lipumba ni kuinusuru chama chao kilichopo ndani ya mwamvuli wa UKAWA kisije kikaingia kwenye migogoro inayosababishwa na CCM ili kuua upinzani ndani ya Tanzania.

Kutana na Maalim Fadhil Rashid Kutoka Komoro ni Mtaalam wa Tiba za Asili......

$
0
0
KUTANA NA MAALIM FADHIL RASHID KUTOKA KOMORO NI MTAALAM WA TIBA ZA ASILI

UNASHIDA NA MCHUMBA UNATATIZO PESA HAIKAI KURUDISHA MUME AU MKE KWA MUDA MFUPI MVUTO WA MAPENZI

MVUTO WA BIASHARA KUMSHIKA MUME AU MKE ASIKUSUMBUE

DAWA YA ( LIMBWATA )KUMTAWALA MPENZI WAKO KWA SABABU MAALUM KUSAFISHA NYOTA ILI UWE NA MUONEKANO

NA PIA ANATOA PETE YA BAHATI INAYO ENDANA NA NYOTA YAKO ITAKAYO KULETEA PESA BILA MASHARTI

NA KUMILIKI MALI DAWA YA KUONGEZA UUME SAIZ UIPENDAYO

DAWA YA NGUVU ZA KIUME INAPATIKANA PIA ANAYO DAWA YA KUONGEZA HIPSI SHEP KUA NA UMBO BOMBA UMEIBIWA AU KUDHURUMIWA UTARUDISHIWA MALI YAKO NDANI YA MASAA 24 ANAFUNGA KESI NA KUPATA HAKI YAKO DAWA YA MVUTO WA BIASHARA KUUZA MALI YAKO KWA HARAKA KUZUIA CHUMA ULETE

NA KUONDOA MIKOSI NA KUPANDISHWA CHEO KAZINI ACHA KUTESEKA ACHA KUHANGAIKA MAALIM FADHIL RASHID

YUPO TANZANIA KWA AJIALI YAKO. CALL...+255719362806/
+255763276239/

WhatsApp IMO +255785786436/

Hizi Hapa Mbinu za Biashara Thabiti Nilizojifunza Kutoka Kwa Babu....Zisome na Wewe Zitakusadia

$
0
0
Baadhi ya mambo muhimu sana kuhusu majadiliano ya kibiashara nilijifunza kutoka kwa babu yangu ambaye alihusika tafiti na maendeleo ya viwanda vyote vya kampuni mbali mbali. Siku za Jumamosi alikuwa akinichukua na kunipeleka gereji ili niongeze ujuzi.

Ingawa kumekuwa na mabadiliko makubwa sana ya teknolojia toka kipindi hicho alipokuwa hai, mafunzo ya msingi katika kujadiliana na kufikia muafaka na watu yamebaki kuwa yaleyale. Jifunze kuepuka sana makosa ya mara kwa mara ya kukosea kwenye kauli zako unazozungumza wakati wa majadiliano, kama mafunzo haya niliyoyapata utotoni mwangu:

1. Usijikandamize wewe mwenyewe

Kanuni ya kwanza ya majadiliano ni: Usijiumize wewe mwenyewe.

Nilipokuwa mdogo, nilinunua kompyuta kwa kupiga simu tu baada ya kuona tangazo lilioandikwa “punguzo kubwa la bei,” wakati huo babu yangu alikuwa akisikiliza nilipokuwa nafanya mazungumzo na muuzaji. Baadaye akaniambia, “Umeongea vizuri sana ulipokuwa unazungumzia bei. Na kuna kitu inabidi ukizingatie mara nyingine ukiwa unanunua kitu — usijikandamize wewe mwenyewe katika mapatano ya bei.”

Alipoona namshangaa baada ya kuniambia hivyo, akasema: “Tangazo uliloliona liliandikwa ‘punguzo kubwa la bei.’ Lakini tangazo halikukwambia bei yenyewe ni kiasi gani. Kwahiyo unajikuta wakati unazungumzia bei ya kununua kitu, huna hata fununu kama wanataka kukuuzia kwa shilingi elfu moja, laki moja au milioni moja. Wewe umemwambia utalipa shilingi laki tano bila hata kujua hiyo kompyuta ilikuwa inauzwa shilingi ngapi mwanzo na baada ya punguzo imekuwa shilingi ngapi. Kwahiyo umejiumiza wewe mwenyewe kwenye maongezi yenu.”

Usiwe wa kwanza kutaja bei ya kununua unachokitaka, muache muuzaji wa kitu unachotaka kununua ataje bei yake kwanza kisha mjadiliane punguzo kutokea hapo.

2. Usiwe na tabia ya kuomba omba sana

Kanuni ya pili kwenye majadiliano ya pesa ni: Usiwe na tabia ya kuomba kiasi kikubwa sana. Mara zote taja kiasi ambacho hakiwezi kumuumiza mtu mwingine.

Babu alikuwa akiniambia, “Nguruwe huwa wanalishwa, lakini wakinenepa sana wanachinjwa.” Kwa muda mrefu sana sikuelewa maana ya kauli hii lakini baada ya miaka kupita sasa najua inamaanisha — omba kiasi kinachoweza kukutatulia shida yako tu, usizidishe.

Ukiwa unaomba kiasi kikubwa sana cha pesa, utaua mpango mzima, iwe unataka kununua kompyuta, kuomba uongezewe mshahara au mkataba wa kazi, kama ukiwa una maombi makubwa sana, utaua mpango huo na hutafikiriwa kabisa inapotokea nafasi yoyote siku zinazofuata.

Mafanikio kwenye biashara yanategemea sana uwezo wako wa kujenga mahusiano ya muda mrefu na watu wengine na sio kwa kuhakikisha unachukua kila senti iliyomo mfukoni mwa mteja wako.

Alichokisema Nandy Baada ya Kudaiwa Kuwa Mapenzini na Billinass

$
0
0

Moja ya stori ambazo zinasambaa sana kwenye mitandao mbalimbali ni kuhusu mwimbaji Nandy kudaiwa kuwa mapenzini na Billnass lakini mwimbaji huyo ameendelea kukanusha akisema ni watu tu wanawaona hivyo.

Kupitia XXL ya Clouds FM leo July 14, 2017 Nandy amesema hawako mapenzini na Billnass bali yupo kwenye mahusiano na mu mwingine ambaye hawezi kumuweka hadharani.

”Nikitoka hapa nahisi huko nakoenda naenda kuachwa kwa sababu nina mahusiano yangu sitoki na Billinass. Kwa kweli mmeyavunja mahusiano yangu. Tuwe Serious kwenye hili maana nisingependa mashabiki wangu waone hivyo. Sitoki na Billinass hatuna mahusiano.

“Mashabiki wanavyoona wanaongea, hatuna hata ukaribu. Haiwezi kutokea, itakuwa ni ngumu kwa sababu mimi nina uhusiano, nina mpenzi wangu yupo japo siwezi kumuweka Public. – Nandy.

“Naomba Serikali ilegeze Kidogo ili Mashabiki Wangu Wafurahi Kwa Viuno na Chura Yangu” – Snura

$
0
0
Kama utakumbuka mwimbaji wa Bongofleva Snura aliwahi kuingia kwenye headlines baada ya video ya wimbo wake wa Chura kufungiwa na Serikali…sasa new stori ni kwamba ameiomba Serikali kulegeza kidogo baada ya video ya pili ya wimbo huo kupata mapokezi yasiyoridhisha.

Ayo TV na millardayo.com zimekaa na Snura na kusema:
”Video yangu ya Chura ya mara ya kwanza na video yangu ya pili niliyoifanya kimaadili kibishara, kiukweli imekwenda tofauti kwa sababu video yangu ya kwanza ilikuwa na kasi sana. Wengi tuliona walipost wakiwemo Don Jazzy mpaka meneja wa Lil Wayne.

“Kwa hiyo, ukiangalia video ya kwanza ilikuwa na kasi kuliko niliyoifanya ya pili. Naomba Serikali walegeze kidogo ili mashabiki zangu wafurahi kwani mashabiki wanapenda muziki wangu pia ukiangalia asilimia kubwa ya muziki ninaoufanya ni wa Kiswahili na lazima nioneshe viuno vyenyewe. Kwa hiyo Serikai watufikirie hilo.” – Snura.

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa leo

$
0
0

Je Dada Unahitaji Kuwa Mrembo, Kaka Unahitaji Kuwa Mtanashati na mvuto zaidi wa KIUME?

$
0
0

BLACK BEAUTY COMPANY
je Dada unahitaji kuwa Mrembo na ule muonekano bomba wa kisuperstar👌🔥,kaka unahitaji kuwa mtanashati na mvuto zaidi wa KIUME?fika black beauty company utatimiza ndoto zako,hawakosei hata siku moja kwa products original na zenye matokeo yaharaka sana,bila madhara,ni kampuni yenye uzoefu wa hali ya juu sana🔥
1)kuongeza hips,makalio,mapaja@150000
(b)kuongeza hips,makalio,mapaja na miguu@200000/=
2)kuongeza miguu ,kuondoa vigimbi@120000/=
3)kuwa mweupe mwili mzima (Rangi moja)@150000/=
4)Kupungua mwili mzima@150000/=
5)kupunguza tumbo@100000/=
6)kupunguza au kuongeza matiti@100000/=
7)kukuza nywele@100000/=
8)kuondoa michirizi @100000
9)kuondoa madoa,mabaka na chunusi sugu@100000/=
10)kuongeza uume na nguvu za kiume@150000/=
Dawa zetu niuhakika sana100%na utaletewa popote ulipo,mikoani tunatuma,nje ya nchi tunatuma DHL,ofic zetu zipo kariakoo msimbazi police,🔥

Karibuni kwa mawasiliano zaidi WhatsApp+255657778924,au call0743534406


au unaweza kutufollow
👇👇👇👇👇👇
@black_beauty_company
@black_beauty_company
@black_beauty_company

Sababu za Wapenzi Wengi Kuchepuka

$
0
0
MPENZI msomaji wangu, kasi ya kusalitiana kwa wapenzi imekuwa ikiongezeka kila kukicha kiasi kwamba unapoingia katika uhusiano wa kimapenzi unahisi kama unaingia kwenye matatizo makubwa na hii ni kwa sababu watu siyo waaminifu kabisa kwa wapenzi wao. Unaweza kuwa na mpenzi wako ambaye kila mnapoonana anakueleza kuwa, hawezi kukusaliti na atakuwa na wewe katika shida na raha.

Lakini huyohuyo usishangae siku moja ukamkuta yuko na mtu mwingine. Swali la kujiuliza ni kwamba, kwa nini wapenzi wanachepuka? Hicho ndicho nilichopanga kukizungumzia leo. Yaani nitaainisha baadhi ya mambo ambayo kwa uchunguzi wangu nimebaini ndiyo yanayochangia walio wengi kuchepuka, wawe wako kwenye ndoa au uhusiano wa kawaida.

TAMAA ZA KIMWILI NA PESA
Tamaa hasa ya pesa imekuwa ikiwashawishi watu kushindwa kujizuia kuwasaliti wapenzi wao. Kwa wale ambao wako kwenye ndoa wakati mwingine hasa wanawake wasipopatiwa mahitaji yao muhimu na akatokea jamaa na kumhakikishia kwamba atampatia kila anachotaka, wanakubali mara moja bila kujua kwamba wao ni wake za watu ama wapenzi wa watu na kujikuta wanajenga mazoea. Wengine wanapatiwa kila kitu na waume zao lakini sasa kinachotokea ni tamaa za kimwili tu ambazo zinawasumbua na kujikuta wanatafuta wanaume wengine huku wakidai kuwa wanatafuta ladha tofauti. Hili si kwa wanawake tu hata wanaume pia, unaweza kumkuta ana mwanamke bomba tu mwenye kila kigezo, lakini bado anakuwa na tamaa za kutafuta kimwana mwingine nje.

TABIA ZISIZORIDHISHA 
Wapo ambao wanaishi maisha ya ajabu sana, yaani wanaishi katika ndoa ama ndani ya uhusiano wakielekea kwenye kuoana lakini hawaaminiani kabisa, kila mtu anakuwa na wasiwasi juu ya mwenzake. Afadhali sasa iwe kutokuaminiana tu lakini wapenzi wanakuwa hawasalitiani. Kuna wale ambao ni wazi hawatulii katika mahusiano yao, yaani matendo yao tu yanaonesha dhahiri kwamba, uaminifu ni sifuri. Kuwa karibu sana na watu wa jinsia tofauti na kuwa na mawasiliano nao ya siri au mwanamke anapomuwekea mumewe vikwazo katika tendo la ndoa anatarajia akafanye na nani kama siyo kumwambia akatafute wengine nje? Ndiyo maana wanaowanyima unyumba waume zao hata wanaposikia kwamba wanasalitiwa wanakuwa hawana nguvu ya kuwashutumu wapenzi wao, utamshutumuje wakati wewe humtimizii katika mambo flani? Si hivyo tu, kwa wanaume nao wengine wamekuwa wakiwasusa wake zao na kukaa siku mbili ama zaidi bila kuonekana nyumbani ama kama atarudi basi usiku wa manane akiwa amelewa na hana mpango kabisa na mke wake. Katika mazingira hayo unadhani nini kinaweza kutokea kama siyo mwanamke kutafuta mwanaume atakayempatia mapenzi?

KUWEPO KWA MAPENZI YA KILAGHAI
Tunapozungumzia mapenzi tunaweza kuyagawanya katika makundi mawili, mapenzi ya kweli na mapenzi ya uongo. Walio katika mapenzi ya kweli huwezi kuwasikia wamesalitiana. Ila wale walio katika mapenzi ya kudanganyana kusalitiana ni kitu cha kawaida kwao hivyo kujikuta kila siku wakifumaniana.

UDHAIFU KWA WAPENZI 
Udhaifu ambao umezungumziwa hapa ni wa kimaumbile ambao hata hivyo wataalam wa masuala ya mapenzi wanaeleza kwamba, haiwezi kuchukuliwa kama sababu ya kumsaliti mpenzi wako uliyempenda kwa dhati. Kwa mfano, mwanaume unakuwa ‘Functionless’ yaani jogoo hawiki (tatizo ambalo si la kujitakia) na mke wake hayuko tayari kuendelea kuwa naye hivyo kulazimika kuomba talaka. Lakini mwanaume anakuwa mgumu wa kutoa talaka kutokana na jinsi anavyompenda.

Wengi wao wanachokifanya ni kuendelea kuwa katika ndoa huku wakiangalia uwezekano wa kuwa na uhusiano na mtu mwingine wa nje. Kwa wanawake nao yawezekana mwanamke hazai (tatizo ambalo si la kujitakia pia) na mwanaume anahitaji mtoto, atakachokifanya ni kutoka nje kwa siri lakini pia inaweza kufikia hatua mwanamke akagundua. Kwa kifupi ni kwamba kusalitiana kwa wanandoa kumekuwa kukitokea kutokana na kuwepo kwa mazingira fulani ambayo baadhi yao wamekuwa wakishindwa kujizuia nayo na hivyo kujikuta wanatoka nje ya mahusiano.

Ila sasa nalazimika kwa nguvu zote kuwashauri wale walio katika uhusiano wa kimapenzi, namaanisha wapenzi wa kawaida, wachumba ama wanandoa, tusiwe na tamaa za kijinga na kufikia hatua ya kuwasaliti wapenzi wetu. Hivi unajisikiaje unapomvulia nguo mtu ambaye wala hana ‘future’ na wewe? Hivi na wewe ukifanyiwa hivyo na mpenzi wako utajisikiaje? Elewa maumivu utakayoyapata pale utakaposikia mpenzi wako ana uhusiano na fulani ni hayohayo atakayoyasikia mwenza wako. Kuwa muaminifu, ridhika na unachokipata kwake, muoneshe mapenzi ya dhati naye atafanya hivyohivyo na kujikuta mnayafurahia maisha yenu.

Wayne Rooney Asepa na Wachezaji Wanne wa Bongo

$
0
0
Mkurugenzi wa Uendeshaji wa SportPesa Tanzania, Abbas Tarimba amesema wanatarajia kuandaa mpango maalumu wa kuwasaidia wachezaji wa hapa nchini angalau wanne kila mwaka kwenda England kwa ajili ya kufanya majaribio ya kucheza soka la kulipwa.

“Tunataka soka la Tanzania ilipige hatua ili siku moja na sisi tuwe na wachezaji wanaocheza  katika Ligi Kuu England.


 “Tunajipanga ili tuweze kuleta maskauti hapa nchini kwa ajili ya kuangalia wachezaji na ikiwezekana angalau kila mwaka Watanzania wanne waweze kwenda England kwa ajili kufanya majaribio ya kucheza soka la kulipwa ili siku moja tuweze kuwaona wakipambana na akina Rooney katika ligi kuu ya nchi hiyo,” alisema Tarimba.

Serikali Yashtuka..Yagoma Kupokea Misaada yenye Masharti haya

$
0
0
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan amesema Taifa halipo tayari hata kidogo kupokea misaada yenye masharti ambayo haiendani na mila na desturi za Kitanzania.

Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan ametoa kauli hiyo baada ya kukutana na kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu wa Ireland Mary Robinson pamoja na Mwanzilishi wa Taasisi ya Graca Machel, Craca Machel pamoja na ujumbe walioambatana nao Ikulu- Jijini Dar es Salaam.

Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan amesema kuwa kuna baadhi ya wafadhili wanaisaidia Serikali katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo na bajeti vizuri sana na bila masharti mabaya lakini kuna baadhi ya wafadhili wanaonyesha wazi kuwa wanataka Serikali ikubali masharti yao ambayo yanaenda kinyume na maadili ya taifa kitu ambacho hakiwezekani.

Amesema kutokana na changamoto hiyo Serikali itaendelea kusimamia maadili ya Taifa ipasavyo na imeweka mipango na mikakati mizuri kwa ajili ya kuongeza mapato yake ya ndani ili kuondokana na utegemezi kutoka kwa baadhi ya wafadhili ambao baadhi yao wanaahidi kuchangia bajeti kuu ya Serikali lakini mwisho hawafanyi hivyo.

Kuhusu Sekta ya afya, Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Serikali imeongeza maradufu bajeti yake kwa mwaka wa fedha wa 2017/2018 katika sekta ya afya ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma za afya kwa viwango vinavyotakiwa nchini.

Kwa upande wake, Rais Mstaafu wa Ireland Mary Robinson pamoja na Mwanzilishi wa Taasisi ya Kimataifa ya Graca Machel, Craca Machel waipongeza Serikali kwa jitihada inazozifanya katika uimarishaji wa sekta ya afya nchini na wameahidi kuendelea kushirikiana na Serikali katika kuhakikisha huduma za afya nchini zinaendelea kuboreshwa ipasavyo.

Jike Shupa, Mamisa wa Young Dee Katika Bifu zito la Kugombania Bwana

$
0
0
MUUZA nyago kwenye video za wasanii wa Bongo Fleva, Zena Abdallah ‘Jike Shupa’ na mzazi mwenza wa msanii wa Bongo Fleva, David Genz ‘Young D’, Mamisa Amir, wanadaiwa kuwa kwenye bifu zito kwa madai ya kuibiana mwanaume.


Chanzo makini kilidai kuwa, Mamisa ambaye awali alipojifungua alihifadhiwa na Jike Shupa, kwa sasa ni kama paka na panya, chanzo kikielezwa ni Mamisa kumpindua mwenzake kwa mwanaume wake japokuwa wenyewe wamekuwa wakifanya siri.


Baada ya kupata ubuyu huo, Risasi Jumamosi liliwatafuta wahusika ambapo lilianza na Mamisa ambaye alisema kuwa, hana tatizo na bishosti huyo na hata akikutana naye wanasalimiana.
Kwa upande wa Jike Shupa aligoma kuweka wazi huku akijiumauma na kusema: “Hata kama tuna bifu, ninyi kinawauma nini? Niacheni bwana.”

Profesa Jay Afunguka Wema Sepetu Kuikacha Harusi yake

$
0
0
BAADA ya Jumamosi iliyopita Mbunge wa Mikumi kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joseph Haule ‘Profesa Jay’ kufunga ndoa na mchumba’ke wa kitambo, Grace Mgonjo katika Kanisa la Mtakatifu Joseph lililopo Posta jijini Dar na sherehe kufanyika ndani ya Ukumbi wa Mlimani City, ameibuka na kufunguka suala la Miss Tanzania 2006/07, Wema Sepetu kuikacha harusi yake.


Taarifa za awali kutoka kwa chanzo makini zilieleza kuwa, Profesa Jay na Wema ambaye alihamia Chadema miezi kadhaa iliyopita wana bifu kali japokuwa haijulikani chanzo ni nini, ndiyo maana mwanadada huyo hakuhudhuria kwenye harusi hiyo.

“Unajua Wema na Jay hawana uhusiano mzuri tangu ahamie kwenye chama hicho yaani wana bifu ndiyo sababu hata Wema hakuhudhuria kwenye sherehe ya harusi ya Jay maana wangekuwa sawa ungeona mbwembwe zake ukumbini lakini hakutokea,” kilidai chanzo hicho.

Baada ya kuzinyaka habari hizo, Risasi Jumamosi lilimtafuta Profesa Jay kwa njia ya mtandao wa kijamii wa WhatsApp akiwa honeymoon ambapo mahojiano yalikuwa hivi;

Risasi Jumamosi: Hongera kwa kuoa na kuachana na ubachela Jay. Profesa
Jay: Asante sana, karibu.
Risasi Jumamosi: Kuna habari kuwa wewe na Wema mna bifu ndiyo maana hakuhudhuria hata kwenye harusi yako, hili likoje?
Profesa Jay: Jamani watu hawaishiwi maneno! Wema ni kamanda wangu tena tunahesh
imiana kwelikweli nisizuliwe bifu zisizokuwa na kichwa wala miguu.
Risasi Jumamosi: Kwa nini sasa hakuwepo au hukumwalika?
Profesa Jay: Mbona kuna watu wengi tu hawakuhudhuria kwa nini Wema? Mwacheni dada yangu apumzike, acha hizo stori. Profesa Jay kwa upande mwingine alieleza kuwa kesho Jumapili anatarajia kufanya sherehe kubwa kuliko ya mwanzo huko jimboni kwake Mikumi ambayo kila mwananchi atahudhuria kwani hakutakuwa na kadi na itafanyika uwanjani ikiwa ni shukrani kwao kwa kumchagua kuwatumikia

Madiwani wa CHADEMA washuhudia walivyohongwa hela na CCM ili wahame

$
0
0
Madiwani 6 wa Chadema wilaya ya Arumeru mkoa wa Arusha wamejiuzulu na kujiunga na CCM
Katibu wa Chadema kanda ya Kaskazini Amani Gulugwa amesema wana ushahidi wa CCM kuwahonga madiwani hao na wameshachukua hatua za kisheria kudhibiti mwenendo huo


Diwani wa kata ya Majengo Emmanuel Kivondo anasema viongozi wa CCM wanatafuta mbinu ya kukaa naye wazungumze lakini wanashindwa

CCM Arumeru nao wamekanusha vikali tuhuma hizo wakisema madiwani hao wamehama kwa hiyari yao wenyewe na bado wengine wapo njiani kujiunga na CCM kwani wanaona hawapo sehemu salama VIDEO:

Matokeo Kidato cha Sita : Wasichana Waongoza kwa Kufaulu

$
0
0

Matokeo ya kidato cha sita nchini  yalitolewa leo Jumamosi, Julai 15, yameonyesha kuwa wasichana wameongoza kwa ufaulu ambapo  kati ya wasichana 28,731 (38 asilimia) waliofanya mtihani, waliofaulu ni ni 27,577 (sawa na asilimia 97.21).


Jumla ya watahiniwa 75, 116, walifanya mtihani huo Mei mwaka huu.


Kwa upande wa watahiniwa wavulana,  waliofaulu walikuwa ni 42,975 (sawa na asilimia 95.34) kati ya  46,385.


 Taarifa iliyotolea inaonyesha kuwa watahiniwa 58,556 (asilimia 93.72) walipata daraja la kwanza hadi la tatu. Kati ya hao, wasichana ni 22, 909 na wavulana ni 35,647.


 “Mchanganuo wa ufaulu katika madaraja unaonyesha kuwa watahiniwa walipata daraja la 1-11  umepanda  kwa asilimia 0.59 kutoka asilimia 93.13 mwaka 2016 hadi 93.72 mwaka huu,” imesema taarifa hiyo na kuongeza;


 “Pia, ufaulu katika madaraja kwa upande wa wasichana umepanda ikilinganishwa na wavulana. Ubora wa ufaulu kwa wasichana ni asilimia 94.07 ikilinganishwa na asilimia 93.49 ya wavulana.”


 Ufaulu wa masomo

Kadhalika taarifa hiyo imeonyesha kuwa ufaulu kwa watanikiwa wa shule kwa upande wa masomo, ya Sayansi, Biashara, Lugha na Sanaa, haukuonyesha tofauti kubwa ukilinganisha na mwaka jana.


Hata hivyo, ufaulu katika somo la General Studies umeshuka kwa asilimia 7.54 kutoka asilimia 71. 24 hadi 63.70.

Hizi hapa Shule zilizoshika Mkia

$
0
0

Shule hizo ni Kiembesamaki Unguja, Hagafilo (Njombe), Chasasa (Pemba), Mwenyeheri Anuarite (Dar es Salaam) na Ben Bella (Unguja).

Nyingine zilizotajwa kushika mkia ni Meta (Mbeya), Mlima Mbeya(Mbeya)

 Nyingine ni Shule ya Sekondari ya Mbeya (Mbeya), Al-Ihsan Girls (Unguja na St Vicent(Tabora).

 0      

Ajabu..Simba Apatikana Akimnyonyesha Mtoto wa Chui Serengeti

$
0
0
Mwana wa chui hawezi kubadili madoa doa katika ngozi yake lakini simba huyo hajali hilo.

Picha hizi ni za kwanza kuchukuliwa simba akimnyonyesha mwana wa chui kutoka jamii nyengine ya wanayama, kisa kisicho cha kawaida.

Wawili hao walionekana na Joop Van Der Linde mgeni katika katika eneo la Ndutu safari Lodge nchini Tanzania katika eneo la uhifadhi la wanyma pori la Ngorongoro.



Eneo hilo ni la Serengeti. Simba huyo amepewa jina Nosikitok na ana umri wa miaka mitano.

Simba huyo amewekewa mfumo wa GPS katika shingo yake ili kutambua anakokwenda na ana watoto watatu waliozaliwa kati ya mwezi Juni 27-28.



Daktari Luke Hunter , ambaye ni rais muhifadhi mkuu wa Panthera ,shirika kuu la ufugaji wa wanyama aina ya paka aliambia BBC kwamba kisa hicho ni cha kipekee.


Sio kitu ambacho nilijuwa ambapo simba angeweza kuwalea watoto wa simba mwengine.,...hiki ni kisa tofauti sana.

Sina kisa chengine chochote nikijuacho kati ya familia ya mnyama paka kwa mfano pale ambapo mnyama mmoja amechukua mwana wa mnyama mwengine katika familia hiyo hiyo na kumnyonyesha.

Simba wengi wa kike huwauwa watoto wa chui wanapokutana nao, na huwaona kama wapinzani katika mapambano ya kutafuta chakula.

Daktari Hunter anasema Nosikitok ana watoto wachanga walio na umri sawa na mwana huyo wa chui wakiwa na wiki mbili hadi tatu hivi.



Simba huyo alikuwa kilomita moja kutoka kwa nyumba yao ambapo kuna maficho ya watoto wake alipokutana na chuo huyo mdogo.

Alimchukua mwana huyo na kumlea kama wake na humlindi dhidi ya shambulio lolote.

Watumishi 450 Washinda Rufaa ya vyeti feki, Hakuna Mishahara Mipya

$
0
0
SERIKALI imetangaza kuwa watumishi wa umma 450 wameshinda rufaa, kati ya waombaji 1,050 ambao waliwasilisha rufaa zao katika mamlaka husika baada ya kutajwa katika orodha ya watumishi wenye vyeti feki.

Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Utawala Bora, Dk Laurian Ndumbaro alisema serikali iliendesha uhakiki wa vyeti vya kidato cha nne, sita na ualimu ambako watumishi wa umma 9,932 walibainika kukutwa na vyeti feki.

Dk Ndumbaro alisema baada ya kutangazwa kwa orodha hiyo ya watumishi wenye vyeti feki, watumishi 1,050 walikata rufaa na watumishi 450 pekee walishinda rufaa hizo huku watumishi 8,800 wakiridhika na matokeo hayo.

Aliongeza kuwa rufaa hizo zilizokubaliwa ni kwa watumishi wale waliokuwa wakitumia majina ya waume zao baada ya kuolewa, ambayo yalitofautiana na majina yaliyopo kwenye vyeti na baada ya uhakiki walionekana kama ni vyeti feki.

“Bahati mbaya Watanzania wanapoolewa wanatumia majina mawili ya waume zao badala ya jina moja, hivyo ilileta usumbufu wakati wa uhakiki baada ya vyeti vyao kuonesha majina tofauti,” alisema Dk Ndumbaro.

Aidha, alifafanua kuwa wengine walioshinda rufaa ni wale ambao majina yao ya kidato cha nne yalikuwa tofauti na majina ya kidato cha sita kwa kuwa kidato cha nne hakutumia jina la kati kama kidato cha sita, lakini baada ya kujieleza, wamekubaliwa rufaa na kurejeshwa katika utumishi wa umma.

Wengine waliokubaliwa ni wale walioonekana kuwa na makaratasi ya vyeti ambayo sio sahihi, lakini matokeo ni sahihi na wamesoma katika shule husika, lakini baada ya kuhojiwa na Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), walionekana kuwa walipata vyeti kwenye shule zao, lakini karatasi iliyotumika haikuwa sahihi kutokana na wao kuchelewa kuchukua vyeti vyao kwa miaka mingi.

“Hawa wa kundi hili hawakuwa na lengo la kubadilisha matokeo hivyo imeonekana wanastahili kurejeshwa kwenye utumishi wa umma kwa kuwa walipewa vyeti ambavyo havikubadilishwa matokeo,” aliongeza Katibu Mkuu Utumishi.

Dk Ndumbaro pia alizungumzia suala la ajira mpya, akieleza kuwa serikali imeanza kutoa vibali vya ajira mpya kuanzia mwezi ujao, watatangaza nafasi hizo na Watanzania wenye sifa watajaza nafasi hizo 10,184 na nyingi zikiwa kwenye sekta ya afya na elimu.

Juzi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angella Kairuki alitangaza kutoa vibali vya ajira 10,184 ili kuziba nafasi zilizoachwa wazi na watumishi wa umma waliobainika kughushi vyeti vya elimu.

Kwa mujibu wa Kairuki, agizo hilo linazihusu Mamlaka za Serikali za Mitaa, Sekretarieti za Mikoa, Wakala wa Serikali pamoja na Taasisi na Mashirika ya Umma. Alieleza kuwa taratibu za kukamilisha mgawo wa nafasi za ajira 4,816 zilizosalia, unaendelea ili kuwezesha wizara na taasisi nyingine zilizokamilisha uhakiki wa watumishi wa umma hivi karibuni kuajiri watumishi wapya kuziba nafasi wazi zilizojitokeza.

Alieleza kuwa serikali imetoa kibali kuajiri watumishi wapya 15,000 ili kuziba pengo lililosababishwa na kuondolewa kwenye orodha ya malipo ya mishahara kwa watumishi wa umma, waliobainika kughushi vyeti baada ya zoezi la uhakiki.

Aprili mwaka huu, Rais John Magufuli alipokea ripoti yenye orodha ya watumishi wa umma ambao kati yao wanadaiwa kuwa na vyeti pungufu, vyenye utata na vya kughushi kutokea kwa Waziri Kairuki. Waliokuwa na vyeti vya kughushi walikuwa 9,932, na Rais aliapa kwamba hawatarudi kazini.

Rais Magufuli aliagiza kufutwa kazi kwa wote waliotajwa kwenye ripoti hiyo na kuzuia mishahara yao ya mwezi huo, lakini hata hivyo bado mlango uliwekwa wazi kwa wenye pingamizi na wapo waliokataa rufaa huku wengine wakienda kwenye mamlaka husika kutafuta ufumbuzi wa suala hilo.

Wiki iliyopita akiwa Dodoma, Dk Ndumbaro alitangaza kuwa wiki hii serikali itatoa vibali 3,000 vya ajira katika sekta ya afya vikiwemo vya madaktari na wauguzi pamoja na maofisa hesabu 535 kwa ajili ya vituo vya afya vya kata ili washughulike na ukusanyaji wa mapato kwenye vituo vya afya na zahanati.

Aidha, Dk Ndumbaro alisema baada ya kumalizika uhakiki, imeonekana kuna watumishi wengine katika utumishi wa umma wanaotakiwa kuwa na sifa za kidato cha nne na wanatakiwa kuwasilisha vyeti vyao kwa uhakiki, lakini hawajafanya hivyo mpaka sasa na walikuwa wanaendelea kupata mshahara kama watumishi wa darasa la saba.

Dk Ndumbaro alisema walitoa waraka unaoelezea kwamba Sera ya Watumishi wa Umma ya mwaka 1998 ilitaka watumishi wote wa umma wawe kidato cha nne badala ya darasa la saba na utekelezaji wa sera ulianza Mei 20, 2004 kwamba kuanzia hapo waajiriwa wote watakaoanza kuajiriwa wawe na sifa ya kidato cha nne.

Alisema baada ya sera hiyo, mtumishi yeyote aliyeajiriwa katika utumishi wa umma kuanzia Mei 20, 2004 ni lazima awe na ufaulu wa kidato cha nne na uliwataka watumishi walioajiriwa kabla ya 2004 kwa sifa ya darasa la saba wachukuliwe kama wamehitimu kidato cha nne yaani wabaki katika utumishi wa umma mpaka watakapostaafu.

Alifafanua kuwa baada ya waraka huo kumekuwa na mkanganyiko mkubwa kwa maofisa utumishi na waajiri mbalimbali wameamua kuwasimamisha kazi watumishi wa elimu ya darasa la saba kitu ambacho sio sahihi.

“Usahihi ni kwamba kuanzia Mei 20, mwaka 2004 watumishi walioajiriwa kuanzia tarehe hiyo wanatakiwa kuwa na sifa ya kidato cha nne lakini walioajiriwa kabla ya tarehe hiyo wataendelea kuwa na sifa yao ya darasa la saba na wataendelea kubaki kwenye utumishi wa umma mpaka watakapofikia wakati wa kustaafu,” alisema Dk Ndumbaro.

Alisema watumishi wote walioajiriwa kuanzia Mei 20, 2004 ambao hawajawasilisha vyeti vyao kwa ajili ya kuhakikiwa na Baraza la Mitihani mishahara yao isimamishwe kuanzia mwezi huu hadi hapo watakapowasilisha vyeti hivyo kwa uhakiki.

Aidha, alisema watumishi wote ambao miundo ya maendeleo ya utumishi wao iliwataka kuwa na sifa ya kidato cha nne wakati wanaajiriwa na ambao hawajawasilisha vyeti vyao kwa ajili ya kuhakikiwa mishahara yao isimame kuanzia mwezi huu hadi hapo watakapowasilisha vyeti kwa ajili ya uhakiki.

Akizungumzia suala mishahara mipya, Dk Ndumbaro alisema serikali haikupanga kuongeza mishahara katika mwaka huu wa fedha, bali Rais John Magufuli alisema anafikiria kutoa nyongeza na sio mishahara mipya na hilo linafanyiwa kazi na litakapokamilika taarifa itatolewa. “Kuna tofauti kati ya mishahara mipya na nyongeza, Rais alisema atatoa nyongeza na sio mishahara mipya,” alisisitiza

Chanzo: Habarileo

Waziri Mwakyembe: Serikali Hairidhishwi na Kampuni ya Ubia Kati ya TBC na Star Times

$
0
0
Waziri Mwakyembe: Serikali hairidhishwi na kampuni ya ubia kati ya TBC na Star Times hasa kuzalisha hasara kila mwaka.

Waziri Mwakyembe: Nimekutana leo na Mwenyekiti wa Star Times Bwana Pang kujadili mkataba huu ili kufanya uamuzi mwezi huu huu

Waziri Mwakyembe: Nimeunda Timu ya Wataalamu kufanyakazi kwa siku saba kutupa mrejesho ili kuamua kama tunaboresha ubia huu ama la.

Mwenyekiti Star Times amemshukuru Rais Magufuli kwa nia ya kutaka mkataba uwe wa mafanikio zaidi.Yeye yuko tayari kurekebisha kasoro zozote.

Mwanamziki Diamond Video Tatu Ndani ya Mwezi Mmoja za Nini zote Hizo?

$
0
0
Kwanza kabisa nakupongeza sana kaka kwa kazi nzuri sana, pia mimi nishabiki wako kwa kiwango cha lami.

Sasa najiuliza kwanini umeachia video tatu kwa wakati mmoja( Fire, I miss you na Eneka) zote hizo za nini bado hujiamini? Kumbuka wewe ni msanii mkubwa sana hapa Tanzania na Africa unakimbia unaenda wapi na hizo video yaani wakati mimi natafakari single yako ya fire jinsi ilivyo nzuri mara naona single ya I miss you sijakaa sawa naona Eneka.

Mwisho kabisa naomba uachane na mtindo huu unatuchanganya mashabiki wako kaka toa single moja tupe mda wa kuenjoy na single moja kwa mda mrefu kama ulivyofanya kwa single ya Merry you.

Jerry Muro Apigwa Chini Yanga

$
0
0

KATIBU Mkuu wa Yanga, Boniface Mkwasa, jana amemtambulisha rasmi, Dismas Ten kuwa Ofisa wa Habari wa klabu hiyo. Kabla ya utambulisho huo, Dismas alikuwa ofisa habari wa Mbeya City ya Mbeya ambayo pia inashiriki Ligi Kuu Bara kama Yanga.

Hii ina maana kuwa, Yanga haitakuwa tena na aliyekuwa ofisa wa habari wake, Jerry Muro ambaye hivi karibuni alimaliza kifungo chake cha kufungiwa mwaka mmoja alichopewa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF). Jerry alifungiwa na Kamati ya Maadili ya TFF, chini ya mwenyekiti
wake, Wakili Wilson Ogunde kwa kosa la kudharau uamuzi wa Kamati ya Nidhamu ya shirikisho hilo.

Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Mkwasa alisema amemtambulisha Dismas baada ya ofisa huyo kumaliza mkataba wake wa miaka minne Mbeya City. “Nichukue nafasi hii kumtangaza
Dismas kuwa ndiye ofisa wetu wa habari mpya atakayefanya kazi pamoja na Chicharito (Godlisten).

“Hiyo yote ni katika kukiboresha kitengo chetu cha habari cha Yanga ili kifanye kazi yake vizuri ndani ya klabu yetu,” alisema Mkwasa.
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live




Latest Images