Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live

Rais Magufuli ampongeza Kafulila kwa kuibua sakata la IPTL

$
0
0

Rais John Pombe Magufuli amempongeza aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila kwa kuliibua sakata la mitambo ya kufua umeme ya IPTL na kueleza waliombeza na kumuita tumbili watakuwa tumbili wao.

Akiwa anahutubia wananchi wa Nguruka wilaya ya  Uvinza  mkoani Kigoma, Rais Magufuli alisema: “Kabla sijamaliza napenda kumpongeza Kafulila ambaye alijitolea kuibua sakata la IPTL, wengine wakamwita tumbili kwa kumbeza sasa wao ndio watakuwa tumbili,’’amesema.

Magufuli alisema: “Aliyemwita Kafulila tumbili yeye ndiye tumbili , Kafulila katetee wanyonge hadi wakudhihaki, ila wao ndio tumbili wewe ni mtu safi.

Akiwa bungeni mwaka 2014 ,aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema alizua tafrani akiwa  bungeni kutokana na kitendo chake cha kutaka kumpiga Mbunge wa Kigoma Kusini,  Kafulila wakati huo akiwa NCCR Mageuzi.

Sakata hilo lilitokea  baada ya Mwenyekiti wa Bunge, Mussa Azzan Zungu kuahirisha kikao cha Bunge, ikiwa ni muda mfupi baada ya Werema na Kafulila kurushiana maneno bungeni ambako Jaji Werema alichukia baada ya Kafulila kumwita mwizi.


Ilivyokuwa
Hali ilianza kuchafuka wakati Jaji Werema alipokuwa akijibu mwongozo uliombwa na Kafulila kuhusu fedha za akaunti ya Escrow.

Katika mwongozo huo, Kafulila alisema Wizara ya Nishati na Madini kupitia Waziri wake, Profesa Sospeter Muhongo alizungumza uongo mara mbili bungeni kuhusiana na fedha za Akaunti ya Escrow.

“Alisema uongo mbele ya Waziri Mkuu na Mwanasheria Mkuu wa Serikali katika maeneo mawili, kwamba uamuzi wa kutoa fedha za Escrow kwa IPTL ulikuwa wa Mahakama na Serikali isingeweza kwenda kinyume...” alisema.

Alisema katika hukumu hiyo ya Septemba, 2013 , hakuna mstari hata mmoja unaosema kuwa fedha za Escrow wapewe Kampuni ya IPTL.

“Profesa Muhongo aliliambia Bunge kuwa Serikali ililipa fedha hizo ili kuondokana na kesi hiyo lakini ninazo nyaraka za Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), kuteua kampuni mbili za uwakili kwenda kuiwakilisha katika kesi nchini Uingereza,” alisema Kafulila.

Alisema kwamba aliomba mwongozo sababu huo umekuwa mwendelezo wa kuzungumza uongo bungeni... “Naibu Waziri (Nishati na Madini - Stephen Masele), alizungumza uongo bungeni tukaambiwa kuwa wamekutana katika sherehe za kuzaliwa yakaisha, haiwezekani, Bunge ni sehemu ya kuisimamia Serikali.

“Haiwezekani Bunge ling’olewe meno liwe ni chombo ambacho mtu anaweza kuzungumza uongo bila kuchukuliwa hatua kwenye jambo hili ambalo linaligharimu taifa mabilioni ya fedha.”

Baada ya madai hayo, Jaji Werema alisimama na kusema: “Bunge hili liliamua mambo mawili, kwanza kulikuwa na suala la rushwa na CAG apewe kazi ya kuchunguza na kutoa taarifa bungeni. La pili kuna watu walitoa vipeperushi humu bungeni, miongoni mwao ni huyu anayetoa maneno machafu (Kafulila),” alisema Werema na kumfanya John Mnyika (aliyekuwa Mbunge wa Ubungo-Chadema), kuomba mwongozo uliokataliwa na Mwenyekiti Zungu.

Hata hivyo, Mnyika na Kafulila waliendelea kuomba mwongozo, lakini Zungu aliwataka wamsikilize Jaji Werema kwa sababu naye alimsikiliza Kafulila. Werema aliendelea: “Suala la Escrow ni suala linalotokana na wanahisa wawili ambao ni IPTL na Mechmar… Pesa ya Serikali haikai kwenye Escrow.”

Hata hivyo, alikatishwa na kelele za Mnyika ambaye alitaka mwenyekiti kumpa nafasi ya kutoa taarifa.

“Sasa kama unataka kuleta mambo ya nje ndani ya Bunge ningojee pale nje,” Jaji Werema alisema wakati wabunge hao walipokuwa waking’ang’ania kutoa taarifa.

Alisema ugomvi huo ulitokana na wanahisa wawili hao kila mmoja akitaka IPTL ifilisiwe ili waachane. Alisema Serikali iliingia katika mgogoro huo kwa sababu ya mikataba ya udhamini na kwamba wakati wanagombana iliamua kufungua akaunti ya Escrow.

Hata hivyo, kuliibuka maneno tena kutoka upande wa Kafulila na Jaji Werema alitaka kusikilizwa hata kama yeye ni mtuhumiwa katika suala hilo.

“…Wanyankole wanasema tumbili hawezi kuamua masuala ya misituni… sikiliza tumbili, sikiliza ‘please’ (tafadhali),” alisema Werema.

Sentensi hiyo iliamsha kelele kutoka upinzani na Kafulila alisikika akimwita Werema mwizi.

Hata hivyo, Zungu alizuia vurumai hizo kwa kumtaka Jaji Werema kukaa na kisha kuwataka wabunge hao wawili kupeleka ushahidi wao Taasisi ya Kuzuia na Kupambana Rushwa (Takukuru).

Mara tu baada ya Zungu kuahirisha Bunge, Jaji Werema alisimama na kumfuata Kafulila lakini kabla hajamfikia, mawaziri walimzuia na kumsindikiza hadi nje.

Mwananchi:

Okoa Ndoa Yako Sasa...Ongeza Nguvu na Hamu ya Tendo la Ndoa Kwa Kuwasiliana na Hawa

$
0
0
OKOA NDOA YAKO SASA. ONGEZA MAUMBILE, NGUVU NA HAMU YA TENDO LA NDOA HATA KWA WENYE KISUKARI.
Tatizo la maumbile madogo, nguvu za kiume na ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa limekuwa likiwasumbua wengi na kusababisha kushindwa kujiamini ktk tendo hivyo kusababisha ndoa nyingi kuvunjika pamoja na mahusiano. Upungufu wa nguvu na hamu ya tendo husababisha mambo kama:-
(a)Uume kulegea wakati wa tendo
(b)Kukosa hamu ya tendo la ndoa
(C)Kuwahi kufika kileleni
(D)Uume kuchelewa kusimama baada ya round ya kwanza.
(E)Kuchoka sana baada ya round moja n.k
@Markson_beauty_pr Tunakuletea suluhisho la matatizo hayo kwa kutumia bidhaa zilizotengenezwa kwa mimea na matunda zisizo na kemikali wala madhara na kuthibitishwa kiafya. Pata hizi👇👇👇👇
🍉 🌿🍅🍒🍍🍓🍉🍎🍀
1.HANDSOME UP ni kifaa chenye uwezo wa 99 % kuongeza uume (size unayohitaji) na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @200,000/=
2.SHARK POWER ni gely ya kupaka inayoongeza uume kwa wastani wa inch 6.5 @130,000/=
3.Vidonge maalum kwa ajili ya nguvu na hamu ya tendo la ndoa hata kwa wenye kisukari @130,000/=
4.Spray ya kuchelewesha kufika kileleni na kuweza kurudia tendo hata mara 3 @130,000/=
Kwa Bidhaa hizi na nyingine kama:-
5.Kupunguza unene na manyama uzembe @150,000/=
6.Kuondoa mvi milele zisiludi @130,000/=
7.Kutengeneza shepu (hips, makalio na mapaja) @200,000/=
8.Kupunguza tumbo (kitambi) na nyama za pembeni @120,000/=
9.Kuwa mweupe na soft mwili mzima bila kuacha sugu 120,000/=
10.Kurudisha usichana (bikra) @120,000/=
11.Kupunguza au kuongeza maziwa na kuyasimamisha hata kwa walionyonyesha @120,000/=


Wasiliana nasi kwa (+255)
0767447444 au 0714335378


NB: Matokeo ni uhakika na garantii na upate risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON CO pamoja na garantii.
Follow us
@Markson_beauty_pr

Wabunge 10 wa CUF wanaomuunga mkono Seif Hamad wasusia kikao

$
0
0
Kwa kile kinachoonekana kama kususia Kikao, Wabunge 10 na madiwani wawili wa Chama cha Wananchi (CUF) walioitwa leo kwa ajili ya mahojiano katika Ofisi za Chama hawajatokea .


 Wabunge hao wanaomuunga mkono, Katibu Mkuu wa CUF, Seif Shariff Hamad waliitwa ili kuhojiwa na Kamati ya Nidhamu na Maadili ya chama hicho kuhusu mgogoro unaoendelea.

Katika taarifa iliyotolewa jana na chama hicho upande unaomuunga mkono, Mwenyekiti Profesa Ibrahim Lipumba uliwataka viongozi hao kufika katika ofisi hizo saa 3.00 asubuhi leo lakini mpaka kufikia saa 6:00 mchana walikuwa bado hawajafika.

Mbunge wa viti maalum wa chama hicho aliyeitwa kwenye mahojiano hayo, Severina Mwijage amesema hana taarifa za kuitwa kwenye kikao hicho.

“Niko safarini Bukoba sifahamu kuhusu kuwepo kwa kikao hicho,” amesema Mhe Mwijage kwenye mahojiano yake na Gazeti la Mwananchi.

Mbunge mwingine wa viti maalum wa chama hicho, Mgeni Kadika amesema alipata taarifa za kuwepo kwa kikao hicho lakini hatahudhuria.

“Nilipata taarifa kupitia ujumbe mfupi (SMS) lakini sitafika kwenye kikao hicho kwa kuwa nauguliwa na watoto huku Pemba,” amesema Kadika.

TFF Watoa Pongezi kwa Tenga

$
0
0
Shirikisho la Soka nchini Tanzania TFF  kupitia kwa Kaimu Rais wake, Wallace John Karia limempongeza Leodegar Chilla Tenga ‘Rais wa Heshima wa TFF ‘ kwa kuteuliwa kuwa Makamu wa Rais wa Kamati ya Ufundi na Maendeleo ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF).



Leodegar Chilla Tenga aliteuliwa Ijumaa hii katika Mkutano Mkuu wa CAF uliofanyika mjini Rabat nchini Morocco ambako katika kamati hiyo muhimu, Rais wa zamani wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Zambia (FAZ), Kalusha Bwalya naye aliteuliwa.

“Hii ni sifa kwa nchi. Na ni sifa kwa Mheshimiwa Tenga. Tunajisikia fahari Tanzania kung’ara katika medani za uteuzi katika vyombo vya kimataifa kama CAF. Uteuzi wake ni kwamba anafungua njia kwa nchi na wengine ili kufanya vema,” amesema Karia.

Karia amesema ana imani na Tenga na Bwalya katika kamati yao kwa sababu ni wachezaji na manahodha wa zamani wa timu za taifa. Itakumbukwa kwamba Tenga alikuwa akicheza kama mlinzi kwenye timu ya Taifa ya Tanzania na Bwalya alikuwa mshambuliaji wa timu ya taifa ya Zambia.

Katika mkutano huo mbali na kuteua akina Tenga na kuunda kamati nyingine, pia ulifanya marekebisho ya muundo wa mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) na sasa yatakuwa yakifanyika katikati ya mwaka badala ya mwanzoni mwa mwaka.

Mbali namarekebisho hayo ya AFCON, pia idadi ya timu za kushiriki zimeongezwa kutoka 16 hadi 24 hii yote ili kuongeza ushindani.

“Watanzania wasikate tamaa, hata kama kwa mfumo wa sasa unaofutwa au tuseme kubadilishwa, bado tuna malengo yetu yalikuwa ni kufuzu, Tunajipanga kwa hali ya sasa na hatujaanza vibaya na Lesotho bado tuna nafasi,” amesema Karia.

Mabadiliko hayo ya AFCON yataanza kutumika kuanzia kuanzia Fainali za mwaka 2019 nchini Cameroon .

Hii si mara ya kwanza kwa Tenga aliyepata kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), bali amekuwa akiteuliwa mara kwa mara kuwa Mjumbe wa Kamati mbalimbali za CAF.

VIDEO:Diamond Platnumz, Future na Cassper Nyovest Wafunika Usiku wa Castle Lite Unlocks

$
0
0
Jana usiku kulikuwa na tamasha kubwa la muziki la Castle Light Unlocks lililowakutanisha wasanii wakubwa wa kimataifa kama Diamond Platnum, Cassper Nyovest kutoka Afrika Kusini, Rapa Future kutoka Marekani na wengine na kundi la Weusi, Navy Kenzo na Vanessa Mdee wote kutoka Tanzania.


Kwenye Tamasha hilo Msanii Diamond Platnumz, Future na Cassper Nyovest wameonekana kusepa na kijiji kwani karibia nyimbo zao zote waliimba na mashabiki. Tazama show nzima hapa chini:

VIDEO:


Waziri Mkuu Majaliwa ampiga chini Mkurugenzi

$
0
0

Waziri MkuuKassim Majaliwa amemsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Mbozi mkoani Songwe, Bw. Eliseyi Mgoyi pamoja na maofisa wengine watatu kwa  tuhuma za matumizi mabaya ya fedha za umma


Waziri Mkuu amewasimamisha kazi maofisa hao leo Julai 23, 2017 wakati alipozungumza na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi kwenye ukumbi wa Shule ya Sekondari Vwawa, akiwa katika ziara yake ya kikazi na pia amemtaka Kamanda wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Songwe, Bw. Damian Sutta kuwakamata na kuanza kuwachunguza haraka maofisa hao na kisha ampelekee taarifa ofisini kwake.


Maofisa wengine waliosimamishwa kazi ni pamoja na Mweka Hazina wa Halmashauri hiyo Bw. Simon Noel,  Bw. Bahati Chomoka ambaye ni Cashier na Bw. Remmy Haule  ambaye ni Ofisa Ugavi.


Waziri Mkuu amesema Maofisa hao wamekiuka sheria za matengenezo ya magari ya Serikali kwa kwenda kutengeneza katika gereji ambazo hazikusajiliwa na wala hazifanyi shughuli hiyo, jambo ambalo halikubaliki.


Amesema Kampuni ya Umbwila ni moja kati ya Kampuni zinazolipwa fedha nyingi za utengenezaji wa magari ya Halmashauri ya wilaya ya Mbozi huku ikiwa haina sifa za kufanya kazi hiyo ya utengenezaji magari.Kampuni zingine ni Julius Diesel, Kasaba na Mtoni Garage.


"Mfano duka la  Umbwila ambalo linauza vipuri vya magari lakini Halmashauri inalilipa fedha kwa ajili ya utengenezaji wa magari jambo ambalo si sahihi kwa sababu lile ni duka la vipuri na si gereji. Wanamlipa muuza vipuri kama mtengeneza magari"


Waziri Mkuu ameongeza kuwa "hatuwezi kuendesha Serikali kwa namna ambayo haikubaliki kwani watu tuliowapa dhamana ndio wanaongoza kwa vitendo vya rushwa na ufisadi. Wameifanya Halmashauri hii kama shamba la bibi."


Kufuatia hali hiyo, Waziri Mkuu amemtaka Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, Mheshimiwa Eric Ambakisye kuhakikisha anasimamia vizuri utendaji ndani ya Halmashauri hiyo na kwamba Serikali inataka watu waadilifu na wenye uaminifu na nidhamu.


"Halmashauri inanuka rushwa tunataka iwe safi. Hatuwezi kukubali kuona Halmashauri hii na zingine nchini zikigeuzwa kuwa magenge. Kwa Serikali hii no, hatuhitaji rushwa wala harufu ya ufisadi. Serikali haiwezi kuvumilia kuona watumishi waliopewa dhamana wakijinufaisha kwa fedha za umma na kuwaacha wananchi wakiendelea kuteseka kwa kukosa huduma mbalimbali za kijamii zikiwemo za maji, afya na elimu".

Mama ntilie Tinga kwa Mbunge na Sufuria zenye Ugali

$
0
0

Mama ntilie mmoja amebeba masufuria ya chakula na kuyapeleka katika mkutano wa hadhara ili kumuonyesha mbunge wa Jimbo la Sumbawanga Mjini, Aeshi Hilaly namna alivyopata hasara baada ya watendaji wa halmashauri ya manispaa hiyo, kumzuia asifanye biashara yake.


Mama huyo aliyefahamika kwa jina la Rhoda Mwalukomo amekuwa akiuza chakula chake katika chumba kilichopo kando ya barabara ya kuingia stendi kuu ya mabasi Soko Matola, ambako mbunge huyo alikuwa akifanya mkutano wa hadhara uliolenga kusikiliza kero za wananchi na kuzitolea majibu.


Rhoda, ambaye awali alipewa nafasi ya kuelezea kero yake jinsi anavyonyanyaswa na mmoja wa watendaji wa idara ya afya wa manispaa hiyo, aliona maelezo yake hayatoshelezi ndipo alipoamua kwenda kuvunja kufuli ambalo lilifungwa katika chumba hicho na kubeba chakula kilichokuwepo na kukipeleka katika mkutano huo.


Baada ya kufika katika eneo la mkutano huo, mbunge Hilaly na baadhi ya wananchi waliofika walionyesha simanzi jinsi ambavyo wingi wa chakula kilichokuwemo katika masufuria hayo kikianza kuharibika kutokana na kuzuiwa asifanye biashara hiyo tangu majuzi kwa madai anatakiwa kufanya ukarabati kadri kanuni za afya zinavyoelekeza ndipo aendelee na biashara hiyo.


Rhoda akizungumza huku akitokwa na machozi alimweleza mbunge huyo kwamba mara baada ya kuzuiwa kufanya biashara yake hadi afanye ukarabati kadri alivyoelekezwa na afisa afya huyo, alitii na kufanya ukarabati lakini baadaye afisa afya huyo alimhoji kwanini amefanya ukarabati kwa haraka namna hiyo, “sisi tunataka ufunge ndio ufanye ukarabati taratibu,” kitu ambacho Rhoda anadai ni uonevu dhidi yake.


Alimuomba mbunge huyo kuona namna ya kumsaidia ili aweze kuendelea na biashara yake, pamoja na kwamba amepata hasara ya zaidi ya Sh 120,000 kutokana na chakula ambacho atalazimika kukimwaga ambacho ni wali, pilau, nyama ya kuku, ng’ombe, samaki na ugali.


Aidha, Mbunge Hilaly amesema kuwa amewasiliana na ofisa afya huyo na amekiri kufunga biashara ya mama huyo kwa madai anapaswa kutekeleza maagizo ya kanuni za afya ndipo watakapokwenda kukagua na wakijiridhisha kwamba amezingatia kanuni za afya ndipo watafungua biashara hiyo.


Mbunge huyo amesema licha ya kwamba leo (jana) so siku ya kazi lakini wamekubaliana na afisa huyo kufika katika chumba cha biashara ya mama huyo na kuona uwezekano wa kuifungua biashara hiyo.

Wabunge 10 na Madiwani 2 CUF Wakataa Wito wa Lipumba

$
0
0

Wabunge 10 na madiwani wawili walioitwa kwa ajili ya mahojiano leo katika ofisi za Chama cha Wananchi (CUF) hadi saa 5.00 walikuwa bado hawajaonekana kwenye ofisi hizo.


Wabunge hao wanaomuunga mkono, Katibu Mkuu wa CUF, Seif Shariff Hamad waliitwa ili kuhojiwa na Kamati ya Nidhamu na Maadili ya chama hicho kuhusu mgogoro unaoendelea.


Katika taarifa iliyotolewa jana na chama hicho upande unaomuunga mkono, Mwenyekiti Profesa Ibrahim Lipumba uliwataka viongozi hao kufika katika ofisi hizo saa 3.00 asubuhi leo.


Mwandishi wa Mwananchi aliyekuwepo katika ofisi hizo hakuwaona wabunge wala madiwani hao kwenye ofisi hizo.


Wakizungumza kwa nyakati tofauti, mbunge wa viti maalum wa chama hicho aliyeitwa kwenye mahojiano hayo, Severina Mwijage amesema hana taarifa za kuitwa kwenye kikao hicho.


“Niko safarini Bukoba sifahamu kuhusu kuwepo kwa kikao hicho,” amesema.


Mbunge mwingine wa viti maalum wa chama hicho, Mgeni Kadika alisema alipata taarifa za kuwepo kwa kikao hicho lakini hatahudhuria.


“Nilipata taarifa kupitia ujumbe mfupi (SMS) lakini sitafika kwenye kikao hicho kwa kuwa nauguliwa na watoto huku Pemba," amesema.

Mboto afunguka Uvumi kifo cha mzee Majuto

$
0
0

Kulikuwa na taarifa ambazo zilikuwa zinasambaa kuwa muigizaji mkongwe wa Filamu na vichekesho Tanzania Amri Athuman maarufu kama King Majuto amefariki baada ya kuumwa taarifa hizo zimeelezwa kuwa sio za kweli.


Mchekeshaji maarufu Mboto Haji ambaye amefanya kazi kadhaa na Mzee Majuto ni miongoni mwa mastaa wa mwanzo kupata taarifa hizo na kulazimika kusafiri hadi Tanga nyumbani kwa mzee huyo ili kupata undani wa hali yake.


Kupitia kwenye Instagram yake leo July 23, 2017 Mboto amebainisha kwamba taarifa zilizokuwa zinasambaa kuwa King Majuto kafariki ni uzushi baada ya kufika nyumbani kwake na kumkuta angali hai.


>>”Baada ya kupata taarifa mbaya kuhusu mzee majuto nimelazimika kuja kwake tanga. Ni kweli anaumwa ila anaendelea vizur na sivyo kama watu walivyozusha kuwa mzee hatunae.


Kwa sasa mzee ni mzima nipo nae tanga” – Mboto.

Serikali za Mitaa (CUF) zaungana kumtimua Lipumba

$
0
0

 Wenyeviti wa Serikali za Mitaa wa Chama Cha Wananchi CUF Dar es Salaam, wameunga mkono operesheni ya kuwaondoa wasaliti  wa chama hicho waliopo ofisi kuu za chama hicho Buguruni.


Operesheni hiyo ilitangazwa wiki chache zilizopita na mbunge wa Ubungo, Said Kubenea ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti  wa Chadema, Kanda ya Pwani.


Wakizungumza na waandishi wa habari wenyeviti hao wamesema watahakikisha wavamizi wanaondoka kama walivyoingia kwenye ofisi hizo.


Akitoa tamko kwa niaba ya wenzake, Mwenyekiti wa Mtaa wa Mtambani, Bakari Kasubi amewataka wanachama na viongozi wa CUF kujiandaa kukabiliana na mfumo kandamizi wa demokrasia nchini.


"Tunatakiwa kukabiliana na mfumo kandamizi na kuwashughulikia vibaraka wote kwa namna inavyostahiki,"amesema.


Kasubi amesema: "Wenyeviti wote wa Cuf tunapinga vikali njama na mipango ya msajili wa vyama vya siasa nchini Jaji Francis Mutungi kwa kujiingiza kwenye vitendo vinavyolenga kuivuruga taasisi yetu."

Nchi Kumi Zinazoongoza Kwa Kuwa na Wasichana Warembo Barani Afrika

$
0
0

Afrika ni miongoni mwa Bara lililobarikiwa tamaduni, lugha na watu tofauti wenye tabia zinazoshabihiana ikiwamo ukarimu.

Miongoni mwa watu wa Bara hili wapo wasichana warembo wa kuvutia tofauti na wengine, katika hili kuna mjadala mpana huku baadhi wakikubali kuwa kuna watu wanaovutia kuliko wengine huku baadhi yao wakidai kuwa uzuri, urembo wa mtu unatafsiriwa kulingana na anayemtizama.

Lakini katika hili tukubali tukatae miongoni mwa wanawake wa Afrika bila kujali wanatizamwa na nani ni wazuri na warembo na wanavutia kuliko wengine.

Ifuatayo ni orodha ya nchi 10 zenye wanawake wenye mvuto barani Afrika, mwaka jana Tanzania ilishika nafasi ya 10 mwaka huu imepanda nafasi moja na inashika nafasi ya tisa.

10: Ghana

Nchi ya Ghana inashika namba 10 kwa kuwa na wanawake wazuri Barani Afrika kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa Machi mwaka huu na tovuti mbalimbali za masuala ya urembo ikiwamo Afrojuju, Urbanviralmedia.

Jambo wanalolingana wanawake wa Ghana kuwa wana mvuto wa asili ambao huuongezea kwa kujiremba.

Mwaka jana Ghana ilishika namba nane, mwaka huu imeshuka nafasi mbili na kushika nafasi ya 10.

9: Tanzania

Nafasi ya tisa mwaka huu imeshikiliwa na Tanzania iliyokuwa inashikilia nafasi ya 10 mwaka jana hivyo imepanda nafasi moja.

Miongoni mwa sifa za wanawake wa Tanzania ukiachilia mbali uzuri wa asil ni ni pamoja na kutunza nyumba, ujuzi wa kukisafisha chumba na kukipamba. Katika orodha hii wametajwa kuwa wanawake bora wachapa kazi na wanaojali familia.

8: Kenya

Imepanda nafasi moja kwa kuwa mwaka jana ilishika nafasi ya tisa.

Sifa za wanawake wa nchi hiyo ni pamoja na kuwa wajuzi katika mapenzi, wachapa kazi na watuamiaji wa pombe, jambo linalowatofautisha na watu wengine ni rangi yao ya kuvutia.

7: Nigeria

Kwa miaka miwili mfululizo warembo wa Nigeria wanashikilia nafasi ya saba.

Wanawake wa Nigeria licha ya kuwa na rangi za kuvutia, pia wana maumbo ya yaliyojazia na wamejaaliwa kuwa na uwezo wa kuzaa watoto wengi, kati ya 1970 na 2011 Nigeria iliongezeka idadi ya watu mara tatu na kuifanya kuwa nchi yenye wakazi wengi barani Afrika. Kama unataka mwanamke mzuri na atakayekuzaliwa watoto wengi Nigeria inakuhusu.

Kwa wale wanaotaka mwanamke mwenye sifa za kuwa mke, wa nchi hiyo wanafaa. Sifa ya kipekee wanajua kupika na kutunza familia.

6: Ivory Coast

Mwaka huu namba sita imeshikiliwa na Ivory Coast ambayo mwaka jana haikuwepo kabisa, hivyo imeingia kwenye 10 bora kwa mara ya kwanza, nafasi hiyo mwaka jana ilishikwa na nchi ya Afrika Kusini.

5: Afrika Kusini

Nchi hii imewapa jina warembo wake “Upinde wa Mvua wa Taifa”. mwaka huu imepanda nafasi moja kutoka nafasi ya sita iliyoshika mwaka jana.

Ni miongoni mwa nchi zenye wasichana warembo wa kuvutia katika Bara la Afrika. Miji ya Cape Town, Johannesburg, Pretoria na Durban ndiyo yenye wanawake wenye mvuto. Wanawake wa Afrika Kusini wanang’aa na kuvutia kutokana na ngozi zao nyororor.

Unapofika nchini humo hasa katika Jiji la Pretoria kuwa makini kwa sababu unaweza kugongwa na gari kutokana na kuwashangaa warembo hao ambao kwa kawaida huvaa tofauti kidogo, nguo zao huwa fupi.

4: Rwanda

Wanaume wao hujivunia kwa kuwaita “Tufaa Lililojificha”, mwaka jana nchi hiyo ilishika nafasi ya kwanza kwa kuwa na wanawake warembo, mwaka huu imekamata nafasi ya nne.

Wanawake wa nchi hii sifa ya kipekee ikiwamo urefu unaopendeza, shepu ya Kiafrika kabisa, wasomi na wanaotaka kufahamu kila jambo.

Kitu kinachowafanya wawe juu licha ya kuwa warembo, ni wachapa kazi wanaojali muda na kupigania wanachokitaka bila kujali wanapambana na nani na ana nafasi gani ikiwamo kutoogopa mashindano na wanaume katika nyanja mbalimbali ikiwamo za kisiasa, kielimu au kiutendaji.

3: Somalia

Sifa yao maarufu na wanayopendwa kuitwa na wanaume wa nchi yao ni “Vita Aiharibu Urembo”, mwaka jana walishika nafasi ya pili. Licha ya urembo na kuwa karibu maeneo mengi katika Bara la Afrika bado wana utamaduni wa kuoana wao kwa wao. Wanatajwa pia kuwa miongoni mwa wanawake wanaoamini katika ndoa na kuitendea haki.

2: Eritrea

Ni miongoni mwa nchi zenye wanawake wenye mvuto barani Afrika, licha ya asilimia kubwa ya wanawake wake kujihifadhi kwa kuvaa ushungi na mavazi marefu bado asili ya urembo wao ipo pale pale.

1: Ethiopia

Wanawake wa nchi hii huitwa “Asili ya Ubinadamu”. Huo ni utambulisho wao mbele ya macho ya dunia.

Inaelezwa kuwa ustaarabu kwa wanawake ulianzia katika Ethiopia, hivyo inatajwa kuwa ni nchi yenye wanawake wenye mvuto zaidi barani Afrika.

Wengine wanasema matokeo ya mvuto wao yanatokana na mchanganyiko wa watu wa kale wa Yemen na Ethiopia. Wakati mwingine inakuwa ngumu kuwatofautisha kutokana na baadhi yao kufanana sana, maumbile, sura na uzungumzaji.

MY True Story: Alichonifanya Huyu Mrembo Kwenye Daladala Kinaniuguza..!!!

$
0
0

Ukiona ndege ametua kwenye ulimbo, kanasa lakini hana wasiwasi, anachambua tu mbawa zake mithili ya mrembo aliye mbele ya dressing table, basi fahamu kuwa ndege huyo amegundua amenasa kwenye ulimbo uliotegwa bahati mbaya na ‘Rasta Man’ asiyekula nyama. Vinginevyo yatakuwa ‘mang’ana’.


Hebu fuatilia kilichonikuta, cha ajabu na cha kushangaza kilichoniuguza… ni mapenzi gani haya au uchawi, au ni wizi gani huu!!!


Juzi nilikuwa katika mizunguko yangu ya kila siku, ila ilipofika majira ya saa mbili usiku hivi ilibidi nielekee kituo cha daladala ili nirejee kwenye kiota changu. Nilikuwa na uchovu mwingi hata honi za daladala nilihisi zinanipigia kelele.


Kama unavyojua jiji la Dar es Salaam, adha ya usafiri ni kubwa. Licha ya kuwa na rundo la daladala, bado abiria wanafunika wingi wa daladala hizo. Kwahiyo panahitaji msuri wa maana kupata gari hasa majira ya jioni.


Bahat nzuri siku hiyo nimefika pale Mawasiliano (Simu 2000), daladala nayo ndo ikawa inaingia kwahiyo ikabidi niwahi haraka ili nipate seat, japo kwa uelekeo wetu watu sio wengi sana ila kwa kiasi fulani kulikuwa na kambanano kidogo. Lakini kwa muda huo upande wetu gari ilikuwa wazi kidogo, so nilifika nikapata seat nikakaa.


Nikiwa hata sijatulia vizuri alikuja dada fulani akiwa kasi sana kama alikuwa anawahi seat wakati gari bado ilikuwa na seat za kutosha! Alikuja hadi pale nilipokuwa nimekaa akanambia, “samaha ni sogea kidogo tukae wote”.  “Bila samahani dada, pita ukae upande wa dirishani,” nilimjibu kwa sababu ilikuwa seat ya watu wawili. Nilimpisha akakaa upande wa dirishani mkono wa kulia ule upande wa dereva


Lakini muda mfupi tu gari likiwa ndo linaanza kuondoka. Ghafla, nilimuona anatapatapa kuangalia kwenye mkoba. Mara ajikague kama anatafuta kitu. Baadae, nikamsikia anajisemesha kwa huruma, “mmmm simu yangu jamani” huku zoezi la kujipekuapekua likiendelea.


Mimi nilikuwa nimechoka, natamani hata kusinzia, nikaanza kuwaza, “sasa huu msala wa simu tena..”


Akiwa anafanya hayo nilikuwa nimetulia kama simuoni hivi wala simsikii… Sikuonesha ushirikiano wala kumsikiliza. Alishindwa kutulia, mara akanigeukia na kuniambia, “kaka samahani, unaweza kunibipia simu yangu hapo mara moja”. Basi mtoto wa watu hata sikuuliza kitu nilishika simu na akanitajia namba zake kisha nikapiga simu kwa ile namba.


Punde simu ilianza kuita ikiwa kwenye mkoba wake…, ni uleule mkoba aliokuwa anausachi. Hapo hapo akasema “heee afadhali kumbe iko humu!!!! nilikuwa nimeshaogopa… asante sana kaka.” 

Sikuwa na maneno mengi nikamjibu, “usijali.” Safari yetu ikaendelea huku yowe la konda la vituo likiendelea. Niliifuta ile namba palepale, najua fujo za mpenzi wangu akiishika simu yangu huko nyumbani halafu aone namba mpya ambayo sina maelezo yake.


Lakini kupitia hiyo “oparesheni saka simu”  nilipata nafasi ya kumuangalia vizuri usoni. Nilimuona binti mrembo halafu kama wa kishua sana. Nilihisi alipaki gari lake sehemu akapanda daladala. 

Lakini kwa udadisi wa jicho langu niliona kama tayari ameshazaa. Si ujaua tena jicho linatuma taarifa nyingi kwenye ubongo.


Pua zangu zilisia harufu nzuri ya marashi. Yaani ile seat ilikuwa na hali nzuri muda ule. Sio marashi makali, ni laini ila yanavutia, nikaanza kuhisi raha kwa mbali. Sio rahisi kuisikia ile harufu uswahilini kwetu.


Lakini cha ajabu kipindi kondakta anatangaza kituo kinachofuata yule dada aliomba ashushwe pale…nilishtuka kidogo maana ni karibu sana na pale tulipopandia yaani hata mtu akisamama anaweza kumuita mtu wa kituo cha pili. Kama unavyojua vituo vya town. Nikasema kimoyomoyo kikwetu, “bhono mbosari bhwa sihera”. Yaani huu ni uharibifu mkubwa wa fedha.


Aliposimama, kwa kweli jicho lilimuangalia kidogo… eeh, alikuwa amejaliwa, mwembamba hivi ila nyuma alikuwa na minofu. Basi, niliishia kumuangalia hadi mlangoni. Basi nikaendelea na mambo yangu. Nikawa nafikiria kwa mbali..”huyu vipi!?”


Baada ya kuwa ameshuka na safari imeendelea kondakta alianza kukusanya nauli na alianzia kwangu lakini baada ya kunipa chenji aliniuliza “huyo dada mnafahamiana?” “Dada yupi?” nikamuuiliza Konda. “Huyo aliyeshuka hapo” nikamwambia, “hapana!” Yule konda akaguna kama mtu anayetahadhalisha jambo.


Konda akaniuliza “kwani unashukia wapi” nikamwambia mwisho wa daladala, basi akasema ngoja achukue kwanza nauli kwa abiria kisha tuongee..Yale maneno yake yalinishtua kidogo ikabidi nianze kujikagua labda kuna kitu nimepoteza lakini sikuwa na kitu chochote nilichopoteza so ikabidi nimsubiri kwa hamu na maswali mengi sana kichwani.


Nikiwa nasubiri konda amalize kukusanya nauli ili anambie nini kinaendelea, mapigo ya moyo yalianza kwenda mbio kidogo nikijiuliza mambo mengi kuhusu huyo mtu. Kubwa likiwa nini nimepoteza. So niliendelea kujikaguakagua kwa kila nilichokuwa nafikiria lakini kwa kadIri nilivyojitathimini nilijiridhisha kuwa sijapoteza chochote hivyo ikabidi nisubiri maneno toka kwa kondakta.


Basi kondakta baada ya kumaliza kuchukua nauli alirudi kukaa kwenye kiti kilichokuwa mlangoni nami nilivyoona hivyo ikabidi nisogee siti ya mbele kidogo ili niwe karibu naye wakati huo baadhi ya siti zilikuwa wazi maana abiria wengi walikuwa wameshuka..kwahiyo nikakaa upande ule wa dereva yaani kulia mwa gari huku konda akiwa upande wa kushoto kule mlangoni.


Nilinyoosha mkono nikamgusa kondakta begani alipogeuka nikamwambia “hebu nambie mkuu, kuna nini?” Jamaa aligeuka na aliponiona ni mimi akasema “aaaaah!! nilikuwa nishasahau boss.”

Basi akaweka sarafu na noti zake vizuri kwenye koti na akaanza kunisimulia.


Kama unavyojua konda na mlango…so jamaa akanambia kipindi gari linafika katika kituo akiwa pale mlangoni , alimuona huyo dada akiwa na wenzake wawili wakiwa wamesimama miongoni mwa kundi kubwa la abiria. Waliokuwa pale kituoni ambapo licha ya baadhi ya abiria kukimbia kuja katika daladala hiyo wao walibakia wamesimama..jambo ambalo ni la kawaida tu. Akahisi sio gari walilokuwa wanasubiri.


Lakini ghafla mimi nikiwa nakimbia kuelekea katika hilo gari, Konda anasema aliwaona wanaoneshea kidole yaani mmoja kati yao alikuwa ananisontea kidole ishara ya kuwaonesha wenzie (nadhani hapo nitakuwa nimeeleweka vizuri) na hasa aliyekuwa anaelekezwa ni huyu aliyekuja kwenye gari.


Katika zoezi hilo ilionekana wale wengine wawili wanamshinikiza yule dada anifuate ambapo naye alionekana kusitasita. Nikiwa ndo ile naingia tu kwenye daladala hatimaye alipochomoka mbio kuja katika ile gari.


Hii movie yote kumbe yule kondakta aliiona….alianza kujiuliza kuwa pengine tunafahamiana lakini pia mawazo yake yalimtuma labda kuna jambo wanataka kulifanya kwangu. Kwahiyo, kwa kiasi fulani alianza kuweka kuangalia kwa makini hasa kwa yule mtu hata pale gari alipokuwa linaondoka.


Kumbe hata katika zile harakati za “oparesheni saka simu” kondakta alikuwa anatupimia tu ki-wiziwizi ili kama kutatokea shida yoyote basi aweze kubanana naye. Kumbe hata kile kitendo cha yule dada kushuka mapema ndo kilimshtua zaidi, akahisi kuna tukio lishafanyika tayari. Kwahiyo pale nje alimcheleweshea chenji kidogo ili kama kutasikika mtu analalamika humo ndani ya daladala basi aweze kumdandia lakini ilikuwa haina namna alimpa chenji na tukaendelea na safari.


Ndo maana aliporudi ndani ya gari tu akaanzia kwangu na kuniuliza kama nafahamiana naye. So, kondakta baada ya kunisimulia haya yote mwishoni tena alirudia kuniuliza swali lile lile “vipi wewe humfahamu kabisa?”


Nikamjibu, “hapana mzee wala sijawahi kumuona hata mara moja, ndo hivi leo tu”. Basi konda aliniuliza tena “vipi vitu vyako vyote viko sawa?” “Naona kila kitu kiko sawa.”


Basi aliyafunga mazungumzo yetu lakini maneno aliyomaliza nayo ndo yalinishtua sana, aliguna kisha akasema “inabidi uje ujichunguze vizuri maana huo ujio wake sio wa kawaida halafu siku hizi kuna vimambo vya ajabu ajabu huku, basi tu.” Basia akaendelea na kazi yake.


Daaaah!!!! Kusikia hili neno akili ilianza kufikiria maneno mengine mazito kidogo…yaani mbali na akili ya kupoteza kitu nilianza kujichunguza labda kuna kitu kisicho cha kawaida nimeachiwa au hata kupakwa. Lakini yule msichana mbona anaonekana wa kishua..!


Nilijitazama sana upande wa kulia maana alikuwa amekaa kulia kwangu. Lakini kila nilipotaza sikugundua kitu akili ikanituma nigeuke nyuma nitazame pale kwenye siti tulipokuwa tumekaa naye.


Lakini niliposimama tu kutazama kule kwenye siti..moyo ukashtuka mithili ya mvunjiko wa ‘bawaba’. Nikakumbuka wakati anatafuta simu yake aliniomba nimbeep…na baada ya kumbeep simu yake aliipata katika mkoba wake hivyo akili ikanituma haraka haraka labda shida kubwa ilikuwa ni mawasiliano yangu na ile njia ya kuvunga kapoteza simu ilikuwa ni gia tu ya kupata namba yangu.


Kweli nilijidharau kwa muda nikajiona mimi bata kweli..yaani mtoto wa kike kanizidi ujanja kiulaini namna hiyo!!. Basi nikaona haina shida nisubiri hicho kitakachojili na kama sio hivyo nilivyofikiri basi liwalo na liwe..kwa muda huo sikushtuka kuangalia namba yake katika simu yangu maana baada ya kuipata simu yake tu, namba yake niliifuta.


Baada ya daladala kufika kituoni nilishuka na kuanza kutembea mdogo mdogo kuelekea home huku njiani nikiwa natafakari nini dhima ya yule dada. Lakini nilipofika nyumbani wakati wa kuvua viatu na soksi ndo “nilistajabu ya Musa kabla sijaona ya Filauni”


Mwanzoni nilipoitazama niliona kama suluali yangu imedondokewa na vitu vyeupe mithili ya unga au poda katika mguu wa kulia karibu na viatu….ambapo nilitumia dekio la mlangoni kufuta uchafu huo na ukatoka kawaida lakini nilipokuwa najifuta, nilikuta suluali yangu imekatwa ka-kipande kadogo kiasi usawa wa pindo la suluali chini kabisa katika mguu wa kulia.


Nilianza kujiuliza ni wapi nilipopita hadi suluali yangu kuchafuka namna hiyo sikupata jibu lakini nilipo iona ile sehemu iliyochanwa na kuondolewa kabisa sehemu ya kipande cha suluali nilipatwa na hofu sana na akili ikanituma moja kwa moja kuwa hiyo ni kazi ya yule dada aliyekuwa katika daladala.


Ndipo nilipokumbuka muda flani nikiwa mle kwenye daladala muda mfupi baada ya kupata simu yake nilimuona akifungua mkoba na kutoa kitana, kioo na vitu vingine ambavyo sikuvichunguza vizuri kisha akainama kidogo katika seati akawa kama anaseti nywele si unajua tena mambo ya wanawake wa town.


Lakini katika harakati ile nilimsikia kama kadondosha kitu, halafu akainama chini kwenye siti kukiokota ambapo aliinamana kwa sekunde kadha kisha akainuka na kuchukua vitu vingine na kuvirejesha katika mkoba….mimi kwa wakati huo nilikuwa simzingatii sana tena nilikuwa namwangalia kiwiziwizi.


Ndipo nilipopata jibu kwamba muda huo ndo aliutumia kufanya kitendo hicho..lakini swali linabaki “nini haswa kusudi la kitendo hiki?” Na je, mimi nitaathilika kwa namna gani kuhusu hilo?.  “kwanini mimi?”. Maana ilionekana walisonteana kidole kisha mmoja akaniwahi katika gari…haya yote yanaendelea kunichanganya sana.


Lakini kila napofikiria na kusubiri kuona hicho kitakachotokea nikijiuliza nini tena matumizi ya namba yangu ambayo aliipata kiujanja ujanja.. “kweli sipati jibu”, kwa bahati mbaya mimi yake niliifuta ningeweza kumtafuta lakini pia kwa upande mwingine najipa matumaini kwamba kama alichukua namba basi atanitafuta….japo kwa nafasi hii nahisi labda ni kwa matumizi yake.


Nafikiria mambo mengi sana lakini sipati jibu kuwa ni ushirikiana wa kunidhuru, ni ushirikina wa kuweka mambo yake sawa? Au ndo nalogwa nidate kwenye mapenzi mazito ya mtoto wa kishua? 

Lakini kakosa nini hadi mimi.. tena kwenye daladala, hajawahi kuniona hata siku moja? Nguo yangu inahusikaje? Nimebaki na maswali sipati jibu, najuta kuifuta ile namba bora ningempigia mapema nimuulize.



Hapa sina jinsi zaidi ya kusubiri kitakachonikuta… ila hofu yenyewe inanikondesha kila kukicha na namuogopa kila ninaekaa naye kwenye daladala.. Nasubiri na bado sina jibu! Kilichobaki ni maombi tu.

Wanaume Hii Kitu ni Mbaya Sana...Msiwafanyie Wanawake

$
0
0

👉Mungu anasema si vyema mtu (Mwanaume) awe peke yake. (Mwanzo 2:18), na ni kweli Mwanaume hakuumbwa kuwa peke yake eti jeshi la mtu mmoja hata Mungu anajua, upweke unaleta disorder. Lakini wakati unasubiri au ukiwa kwenye mchakato wa kutafuta mwenzi wa maisha usitumie wanawake kama magazine za waiting room Airport ukiwa unasubiri muda wa kupanda ndege. Usijiingize kwenye mahusiano na mtu eti unavuta-vuta muda kupata mtu sahihi. Ni mbaya sana.

👉Unamtongoza dada wa watu na kumsumbua mpaka anajiaminisha kuwa unampenda kumbe hayuko hata kwenye ndoto zako, unataka tu mtu wa kupotezea mawazo. Yeye (Msichana) anajenga imani kwako na kuanza kukuingiza kwenye mawazo ya hatima (future) yake. Anakubwagia limoyo lake lote, kumbe wewe hata hisia huna. Inaumiza sana.

Bora utumie hiyo nafasi kujikita kwenye michezo au gym au mchakato wa kibiashara, au online courses ili uvute muda ukiwa unajiandaa kupata mtu sahihi wa maisha yako. Kwa nini umwambie mtu unampenda sana na uko tayari kufa kwaajili yake, wakati unajua unamtamani tu na sio kweli kuwa unampenda? Kwanini uumize hisia za mtu kwa makusudi?
Kwa nini ujiingize kwenye maisha ya mtu na kumvurugua utaratibu wake kumpotezea muda wake?

Huenda usingakaba hiyo nafasi angekuwa huru kupata mtu wake wa maisha. Lakini we umekaa kwenye maisha yake kama jiwe kwenye mlango wa kaburi la Lazaro, mbele hasogei nyuma harudi, kila siku unamuumiza tu. Umekuwa kitunguu kwenye maisha ya mtu haishi kulia kwa sababu hisia zako haziko kwake.

👉🏻Hii ni tabia mbaya sana. Kama unasoma post hii na uko kwenye mahusiano na mtu ambaye unampotezea wakati tu huna malengo naye nakusihi umuache mara moja. Kumbuka utapata watoto wa kike najua hautapenda mtu awe kwenye maisha ya mwanao akimpotezea muda.
Haya mambo tunafanya wanaume hata Mungu hapendi. Watu wanafeli masomo, watu wanakunywa sumu, wengine wanafia vitandani mahospitalini wakitoa mimba tulizokataa, wengine wamepata magonjwa ya mioyo kwa sababu ya hayo maumivu tumesababisha. Hayana faida hayo maisha, unajiwekea tu laana na mikosi itakayosakana maisha yako. Na ni utoto na upumbavu kutumia uanaume wako, uongo na ujanja ujanja kuchezea hisia za mtu. Amua kubadilika. Huu sio ujanja ni ufala. TUKUMBUKE MUNGU ANAONA NA UNACHOKIFANYA NI MBEGU UNAPANDA.

#USIJE_KUSEMA_HUKUAMBIWA.

JPM: Kuna Wakati Wabunge Watakataa Kuwa Mawaziri

$
0
0
Rais John Magufuli amesema utafikia wakati ambapo wabunge watakataa kuteuliwa kuwa mawaziri kwa kuogopa kasi ya utendaji wake.


Akizungumza leo Jumapili Julai 23, Rais Magufuli amesema mawaziri anaowateua ni lazima wakubali matendo anayoyataka  kwa sababu ndiyo wananchi wanayoyataka.


“Tumechezewa vya kutosha, waziri lazima afanye yale ninayotaka mimi, ingawa hata hawa niliowachagua hakuna aliyekataa,” amesema.


Amesema Tanzania imechezewa kwa muda mrefu na kusababisha watu kukosa mapato yanayotokana na rasilimali za nchi.


“Tumechezewa vya kutosha, mimi ndiyo rais wa nchi hii na ninawaambia kweli kuwa tumechezewa, rais anajua siri za nchi,” amesema.

Kutana  na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH CHIEF SULTAN MAKATA Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa

$
0
0

Kutana  na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH CHIEF SULTAN MAKATA Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika
Anatibu kwa Njia ya Simu Ukiwa Nchi Yoyote / Mkoa wowote
..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na  Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Chief Sultan Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU(LIMBWATA). Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine?Una Mpenzi wako ana Pesa na Unataka kumkamata? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
Chief Sultan Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia  Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA,Hutoa  PETE ZA BAHATI inayoendana na NYOTA YAKO. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.HUZUIA CHUMA ULETE NA KUKUPA DAWA YA KUONGEZA FAIDA KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA AU KUDHULUMIWA.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI.Humaliza Kabisa Tatizo la Nguvu za KIUME na Kurefusha Uume kwa Saizi Unayotaka,HUMALIZA KESI YA AINA YOYOTE NDANI YA SIKU 14. na mengi zaidiWhatsapp/Calls +255 710 279 458
                                         +255 710 279 458
Tiba ni kwa Watu wenye Imani na Dini zote

Rais Magufuli: Hongera Kafulila kwa Uzalendo Dhidi ya IPTL. Waliokuita Tumbili wao ndio Matumbili

$
0
0
Mh Rais Magufuli akiwa ziarani Kigoma, Uvinza amezidi kusisitiza kuwa hii vita dhidi ya mafisadi na wale wote wanaotumia madaraka yao kujinufaisha wenyewe haitamuacha mtu.

Akimpongeza Kafulila kwa kuwa mzalendo wa kweli kwa kuwapigania watanzania kuhusu IPTL hadi akaitwa tumbili,akifunguliwa na kesi n.k. Amesema waliomuita tumbili wao ndiyo matumbili.

Amesisitiza pia kuachana na siasa za uvyama badala yake tuhimize maendeleo.

VIDEO:

Kafulila Afunguka Baada ya Magufuli Kumsifia Sakata la IPTL, Asema CCM Walimnyang'anya Jimbo

$
0
0
Mbunge huyo amesema ni heshima kubwa kwa sababu jambo hilo liliathiri sana maisha yake, na anashukuru Mungu mpaka leo yupo hai.

Na anatumaini rais kwa dhamira alioinyesha atachukua hatua za kutosha kama kuimarisha ofisi ya TAKUKURU na DPP na wahusika wote wachukuliwe hatua.

Akijibu swali kama sakata la Escrow ndio lilisoababisha yeye kushindwa amejibu vita hiyo imemgharimu mambo mengi na jimbo ni sehemu moja, ameongezea jimbo hilo hakushindwa bali alinyang'anywa baada ya kuibiwa sana ikashindikana akanyang'anywa na rekodi zipo na anaweza kuzionyesha na nguvu zilizotumika kumnyang'anya jimbo hazikua nguvu za kawaida

Jina la Rais Magufuli Latawala Kila Mahali Uchaguzi Mkuu wa Kenya. Tanzania Tunapata Ujumbe Gani?

$
0
0
Kila mgombea huko Kenya anaposimama na kumwaga Sera zake na jinsi atakavyo wahudumia wakenya atakapochaguliwa baada ya uchaguzi ni lazima ajifananishe na Rais wa Tanzania Dr Magufuli Katika suala nzima la uwajibikaji bila kumuogopa yoyote.

Kila mikutano ya hadhara jina la Dr Magufuli limekuwa likitumika Katika kijinadi kwa wagombea.

Hii inatoa ishara gani kwa nchi za Africa Mashariki?

Pendekezo: CHADEMA Msimamisheni Tundu Lissu Kugombea Urais 2020

$
0
0
Maoni ya Mdau.....

Msitufanyie makosa ya 2015 kwa kumpiga chini babu Slaa na kumsimamisha EL.
Tunaomba 2020 mteueni TUNDU Antipas LISSU kupeperusha bendera yenu.
Kwa hali ya siasa ya Tz ilipofika, tuna hitaji watu kama kina LISSU ili nchi ikae sawa.

By COARTEM/JF

Rapper Joh Makini Kaamua Kuvuka Boda...Tazama Hii Video Kali Akiwa na Davido Kutoka Nigeria

$
0
0
Rapper kutokea kundi la Weusi, Joh Makini amerudi tena kwenye TV zetu na video yake mpya iitwayo Kata Leta ambayo amemshirikisha Staa kutokea Nigeria aitwae Davido ukishaitazama video yenyewe hapa chini usiache kutuandikia comment yako umeipokeaje

Viewing all 104709 articles
Browse latest View live


Latest Images