Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104432 articles
Browse latest View live

Tundu Lissu Apandishwa Mahakamani na Kusomewa Mashtaka Haya...Uwezi Amini Mawakili 21 Wamejitokeza Kumtetea

0
0
Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (KATIKATI), alivyofikishwa mahakamani leo.
Baada ya kuwekwa mahabusu kwa siku nne, Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA na Mbunge wa Singida Mashariki,  Tundu  Lissu leo amefikishwa Mahakama ya Kisutu kusomewa mashtaka yanayomkabili.


UPDATES: Lissu amesomewa shitaka moja la kutumia maneno ya uchochezi wakati akihutubia kwenye mkutano Julai 17 mwaka huu jijini Dar.

Lissu anawakilishwa na mawakili 21 wakati serikali inawakilishwa mawakili 5. Aidha mawakili wa serikali wameomba Lissu anyimwe dhamana kwa kuwa ana mashauri matano mahakamani hapo yenye kesi za uchochezi, hivyo wamesema akiachiwa huru anaweza kudhuriwa.
Mawakili wa Lissu wanapangua hoja hizo.

JAZA Ujazwe Yampata Ruby..Adaiwa Kuwa na Kibendi.........

0
0
JAZA ujazwe! Habari ya mjini kwa sasa inamhusu sexy lady wa Bongo Fleva, Hellen George ‘Ruby’ kujazwa kibendi na staa mkubwa wa muziki huo, licha ya kwamba mwanadada huyo amekuwa akifanya siri.

Chanzo makini kililieleza Ijumaa Wikienda kuwa, Ruby ana ujauzito ambao umekuwa ukimfanya ajifichefiche huku akimficha aliyemjaza kibendi hicho kwa madai kuwa, jamaa aliyempachika kibendi amezaa na wanawake tofauti.

Kama ilivyo desturi yake, Ijumaa Wikienda lilimnyatia Ruby ambaye alikiri kuwa mjamzito, lakini akatia ngumu kumtaja baba kijacho na umri wa mimba yake kwani wakati muafaka haujafika.
“Mimba bado ni changa, siwezi kusema ina miezi mingapi. Kuhusu nimepewa na mwanamuziki mkubwa, siyo kweli ila ipo siku wakati ukifika nitasema ni ya nani,” alisema Ruby

Kukamatwa Kwa Tundu Lissu Hakuwezi Kumwacha Mtu Salama...Wanasheria Afrika Mashariki Waliamsha Dude

0
0
Wakati wenzao wakisema makosa manne ndiyo yanayoweza kumlazimu mtuhumiwa kupimwa mkojo, Jumuiya ya Afrika Mashariki imesema inafuatilia sakata la mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu anayeshikiliwa na Jeshi la Polisi.

Lissu, ambaye ni Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), alikamatwa Alhamisi akiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) wakati akisubiri kwenda Kigali, Rwanda kuhudhuria mkutano wa jumuiya hiyo.

Wanasheria wa Lissu wamesema waliambiwa na polisi kuwa amekamatwa kwa tuhuma za uchochezi, lakini alitakiwa kutoa kipimo cha mkojo, jambo ambalo limezua maswali.

“Tutafanya mipango ya kufuatilia kesi ya Wakili Tundu pamoja na mchakato mwingine wowote wa mahakama ambao umeshafikishwa mahakamani au unaweza kufikishwa mahakamani, kwa niaba yake kuthibitisha haki za Mtanzania kama zilivyoelezwa na sheria ya kimataifa,” inasema taarifa ya Chama cha Wanasheria wa Afrika Mashariki (EALS) iliyosainiwa na rais wake, Richard Mugisha.

Taarifa hiyo pia imeeleza kuwa EALS inachukulia kukamatwa kwa Lissu kama ishara nyingine ya kuendelea kuzorota kwa uhusiano baina ya Serikali na TLS, hali iliyoanza wakati wa uchaguzi wa viongozi wa chama hicho.

“Ni kitu kilicho wazi kuwa uhusiano huo umekuwa ukiharibika tangu kipindi cha kuelekea na baada ya matokeo ya Mkutano Mkuu wa mwaka wa TLS ambao Wakili Lissu alichaguliwa na wanasheria wenzake kuongoza TLS kwa mwaka mmoja,” anasema Mugisha.

Wakati EALS ikitoa msimamo huo, wanasheria nchini bado wanahoji sababu za Lissu kuchukuliwa kipimo cha mkojo wakati akituhumiwa kwa makosa ya uchochezi.

Kwa mujibu wa wanasheria hao, makosa yanayoweza kusababisha mtuhumiwa achukuliwe kipimo hicho ni ya usalama barabarani, matumizi ya dawa za kulevya, ubakaji na mashauri ya ndoa na watoto ambayo hulazimu mkemia kupima sampuli hizo.

Lakini Msemaji wa Jeshi la Polisi, Barnabas Mwakalukwa alisema uchunguzi wa polisi hauna mipaka na kwamba jeshi hilo halifanyi kazi kwa mihemko ya watu, bali kwa kuzingatia weledi.

Alisema kitendo cha watu kuhoji suala la Lissu kupimwa mkojo ni kuingilia uchunguzi. Alisema uchunguzi ni suala pana, hivyo kuwataka wasubiri mtuhumiwa huyo atakapofikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka yake.

“Kwenye suala la ku-suspect (kutuhumu), polisi anaweza ku-suspect anything (kitu chochote) kutoka kwa mtu yeyote. Siwezi kuelezea mikakati na mbinu za kiuchunguzi, lakini mtambue kwamba uchunguzi is too general (ni mpana), unaweza kuchunguzwa kwa mambo mengi,” alisema Mwakalukwa.


Shetta: Mimi ni Chawa Kwa Matajiri Siwezi Kufa Njaa........

0
0
Msanii Shetta ametaka watu wasimuhisi kuwa anajishughulisha na biashara za madawa na badala yake watambue yeye ni mtu anayetumia fursa kila aonapo na ndio maana ana marafiki wengi matajiri ambao wanamsaidia.

Akizungumza kwenye Planet Bongo East Africa radio, Shetta amesema kwamba yeye hajishughulishi na biashara hizo za madawa na wala hana pesa za kutisha kama jinsi watu wanavyomfikiria.

"Mimi sina fedha nyingi kama watu wanavyodhani, sema nina fedha za kutosheleza maisha yangu. Ningekuwa nina pesa nisingwekuwa nawaganda matajiri. Mimi ni chawa kwa matajiri nikiwa nashida namcheki boss Mo, au matajiri ambao nimetengeneza ukaribu nao na mwisho wa siku mambo yangu yanaenda," Shetta.

Katika hatua nyingine Sheta amesema yeye ni mtu ambaye anapenda vitu vizuri na ndiyo sababu watu wengi wamekuwa wakimfikiria vibaya

'Ningekuwa nauza madawa ningekuwa na mimi kwenye ile orodha iliyowahi kupelekwa pale polisi. Mimi ni mtu ambaye napenda vitu vizuri na nikikitaka nitakipata. Kwa hali ya kawaida ukiangalia kazi tunazozifanya huwa zinatulipa, kwa hiyo mimi kuwa na vitu nilivyonavyo vinaendana na kipato ninachokifanya. Yapo matangazo mengi na nimekuwa balozi wa makampuni mbalimbali na yote hayo yananilipa na siyo siri maana watu wanatambua" - aliongeza.

Kwa sasa Shetta anatamba na ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la 'Wale wale' baada ya kukaa muda mrefu kimya.

Pesa Hazijawahi Kumwacha Mtu Salama...Zari Kunyanganywa Mali za ex Bilionea Mume wake

0
0
Mambo huku Uganda Bado hayajatulia kuhusu Zari na Ndugu wa aliyekuwa mume wake Marehemu Ivan, Mgogoro wa Mali bado unaendelea , Website moja kubwa huko Uganda imeandika hivi:


Tupeane Tips na uzoefu wa Kukutana Mitandaoni. Online Dating

0
0
Ni ukweli usiopingika kuwa dunia imebadilika sana, vijana wa miaka ya 80-90 ni tofauti na wa miaka ya '00-'20, changamoto zimekuwa nyingi, hasa swala la kukutana na "Mr/Miss right". Wengi wanalalamika kuwa maisha ya "ubize", nyumbani-ofisini-nyumbani na weekends ni nyumbani-kanisani-nyumbani yanawafanya wakose mda wa kukutana na watu 'potential'.

Ndio maana kuna haja ya vijana na wale wanaohitaji kutafuta/kukutana na wenza kuwa na options nyingi, options hizi zaweza kuwa matchmaking(rafiki akukutanishe na rafiki yake, mchungaji akukutanishe na mmoja wa washiriki wa kanisa lake, etc), mitandao kama jamii forums, Facebook
na mingine mingi. Kwa wale ndugu zangu wanaoogopa kuwa-approach wanawake, hizi mbinu ni nzuri sana kwao, coz either rafiki ataunganisha, then wewe utamaliza au simu/mitandao mtaongea wee, then siku mkikutana angalau hofu imepungua.

Sasa tuangalie mbinu sahihi za kufanya online dating iwe na manufaa kwako, kupunguza kuumizwa au kufanywa kipoozeo cha ngono na wenzako.

1. Tafuta websites au forums zenye ubora. Kwa hapa kwetu unaweza kutumia jamii forums, facebook, sina uhakika na instagram. Sio kila website inafaa kuanzisha dating, zingine ni kwa ajili ya biashara ya kuuza na kununua.

2. Kwa forum kama hii, huwezi kumfahamu mtu kiurahisi vile tunatumia fake IDs na picha, hivyo kuwa makini sana. Lakini ukianzisha maongezi, usilazimishe na usipende kuongelea ngono wakati wote, in fact ngono isiwe mada kabisa. Utaweza kumsoma mtu kwa kile anachoandika, utafahamu ABC zake. Kumekuwa na tabia ya kutuma picha za utupu, don't do that, mtu anayejielewa hatumi picha zake za utupu hata siku moja.


3. Usiwe muongo, uongo ni tabia mbaya na wengi wakishagundua wewe ni muongo, watakupotezea hapo hapo. Sema ukweli, hata kama unadhani hilo jambo halitamfurahisha mlengwa.(hapa wengi tunafeli)

4. Ukiona kuna chemistry(mnashabihiana), hamieni kwenye whatsapp/sms na hapo unaweza kuomba/kubadilishana picha.
»Endeleeni kuchat na huku ukijitahidi kufahamu aina ya mtu mliyekutana mtandaoni.
»Unaweza kuomba kupiga simu na mkaongea live(kumbuka sauti humtoa nyoka pangoni )


5. Baada ya maongezi(naamini hapa kila baada ya kazi mtaongea, mtajuliana hali asubuhi na mtatakiana usiku mwema), omba mkutane, kubali kukutana kama hisia zako zinakuruhusu(kama unahisi ile chemistry inazidi kukua, kama sivyo mwambie mda bado avute subira kwanza) .

»Usipende kukutana na mtu sehemu iliyojificha, huko ndani ndani wala sehemu iliyo wazi sana.
»Wengine siku ya kwanza wanakutana hotel, wanachukua chumba kabisa, hiyo sio dating hapo mtakuwa mmefanya arrangement ya sex, ile inayofanywa kwenye sites za kuuza na kununua, mkibwagana/ukibwagwa unaanza kulalama.
»Kutaneni mchana au jioni, epukeni kufanya dating ya kwanza usiku. Hii ni faida kwa usalama wako, huwezi kujua unakutana na kiumbe gani, wengine ni serial killers.
»Dating ya kwanza sio mahala pa kula kuku mzima, bia/Heineken kumi, nk. Ni sehemu ya kunywa soft drinks, chai, kahawa na bites. Mkinywa vilevi huenda mambo yakaharibika.
»Kama unahisi hakuna la maana(yule uliyedhani ndiye-siye), usipoteze mda sana, unaweza kuomba excuse baada ya maongezi mafupi, lakini hakikisha you don't turn him/her off

»Kumbuka, huendi kukutana na malaika, usiweke matarajio makubwa kupitiliza, he/she's just a human being, mwenye udhaifu mwingi tu.

6. Naamini baada ya hapo mtakuwa katika nafasi nzuri ya kuendelea kudate au kuacha kudate kulingana na hisia zenu. Binafsi naamini kumwambia mtu ukweli, kama unaona hana sifa ulizohitaji, ni heri kumwambia ukweli ili aanze upya, usimtumie na kumuumiza hisia then umuache.

Muhimu, mkiachana yaishie pale, hakuna haja ya kumtangaza wala kumsema kwa rafiki zako
»Dates zinazofuata mtaamua mkutane wapi na mda gani(bado nasisitiza kukutana sehemu ya wazi na sio usiku, hapo ndio maswala ya ngono hupewa hisia(kuyaongea), mkubaliane kama it's the right time or not, au muangaliane tu hadi ndoa, hilo ni juu yenu.

NB; Wale wanaoona online dating is Upumbavu, Ujinga na Udomo zege, hii thread itakuwa haiwahusu. Wao waendelee kumuomba baba mchungaji awakutanishe na wapendwa wao

Mwisho, Mshirikishe Mungu, omba sana coz hii ni changamoto kubwa kwa wadada na wakaka wa leo.

By Eli79

Video: Serikali Yakanusha Kuingilia Uchaguzi wa Kenya

0
0
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mh. Augustine Mahiga amekanusha taarifa zinazosambaa kupitia mitandao ya kijamii na kuripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari hapa nchini kuwa Tanzania inaingilia uchaguzi wa nchini Kenya kwa kuweka mitambo ya kuhesabia kura katika wilaya ya Kigamboni Jijini Dar es Salaam.

Akizungumza leo Jijini Dar es Salaam Waziri Mahiga amekanusha tuhuma hizo kwa Tanzania na kueleza kuwa Tanzania haijawahi kuingilia masuala ya kisiasa hususani ya uchaguzi na haitothubutu kufanya hivyo.

Waziri Mahiga amefafanua kuwa taarifa hizi zinazushwa na wabunge wa upinzani wa Kenya na viongozi wa upinzani wa nchini Tanzania, ambapo amesisitiza kuwa serikali itachukua hatua kwa wale wote wanasambaza taarifa hizo zisizo kuwa na dhamira njema ya urafiki katika ya Tanzania na nchi ya jirani ya Kenya.

Zikiwa zimebaki wiki mbili kufanyika kwa uchaguzi wa nchini Kenya Waziri Mahiga amewatakia kila la heri wakenya katika uchaguzi wao.

Mtoto Mwenye HIV Aishi Bila viini Hivyo kwa Miaka

0
0

Wanasayansi kutoka Afrika Kusini wamebaini kwamba mtoto aliyeambukizwa virusi vya HIV ameishi kwa miaka minane na nusu bila viini hivyo.

Mtoto huyo alipewa dawa za majaribio ya kukabiliana na virusi hivyo alipokuwa mdogo lakini hajapewa dawa zozote za kukabiliana na HIV tangu aingie mwaka mmoja.

Hii ni mara ya kwanza kwa mtu aliyekuwa na virusi vya HIV kuweza kuishi bila virusi hivyo barani Afrika.

Wanasayansi waliogundua kisa hicho kwa sasa wanalinda utambuzi wa mtoto huyo ambaye sasa ana umri wa miaka 9 na nusu.

Wanasema kuwa visa kama hivyo ni vichache na kwamba famili ya mtoto hyo ina furaha.
Dawa hiyo alipewa mtoto huyo wakati ambapo haikuwa swala la kawaida.

Watafiti wanaamini kupotea huko kwa vurusi sio kwa sababu ya matibabu ,lakini mtoto huyo ana jeni ama kinga isiyokuwa ya kawaida ambazo zimemlinda dhidi ya HIV.

Hii Ndio Kazi ya Shanga Kiunoni Kwa Mwanamke Pamoja na Maana ya Rangi zake

0
0

Najua wengi mtakuwa mnafahamu rangi na maana zake lakini kwa wale wasiojuwa  ama wanaopenda kuvaa lakini wanajinunulia rangi yeyote huu ndo wakati mwafaka.

Wanaume wengi wanaopenda wanawake wao wavae shanga ili kusisimuana tu .Je mnafahamu zinamaanisha nini?....Karibu  tujifunze  pamoja.




Katika swala la mahaba shanga hutumika kusisimuana haswa pale utakapompata mwanaume anayejuwa kuzitumia vizuri na unaweza kuvaa hata kumi ukitaka .  Jana  niliguswa  sana na simulizi la rafiki yangu juu  ya  shanga, hivyo nikaona  boraniandike  na wengne wajue.Hii ni sehem ndgo ya simulizi  lake.

 ".........Nilikutana na boyfiriend wangu maeneo ya  Shycom …tukaelekea kwenye disko. Tulikuwa tunacheza madensi, halafu blues, ya Boyz to Men ikaanza kupigwa. Wenye disko walipunguza taa. Mimi na boyfriend wangu tukakumbatiana na kuanza kucheza Blues.


Miili yetu iligusana na akaana kunipapasa taratibu kufuatana na beats za muziki. Nilifurahi sana. Akateremsha mikono yake kwenye kiuno changu.


Alivyogusa  shanga zangu akawa kama mwili wake umekufa ganzi. Alisisimuka we! Akanishika kwa nguvu, niligundua kuwa ham yake ilikuwa juu....."


 Naamini utakuwa umejifunza kitu fulani  muhimu kutokana na simulizi hilo.Sasa turudi kwenye mada yetu.Kuna wengine wanananunua rangi kama pink, blue, gold hizi rangi hazina maana kwenye sita kwa sita ni urembo tu kupendezesha kiuno.

RANGI ZENYE MAANA PINDI UWAPO KITANDANI  NA MPENZI WAKO

Nyekundu:  ukimkuta mwanamke amevaa shanga ya rangi hii unatakiwa kuelewa kwamba mwanamke huyu yupo kwenye hedhi, kwahiyo wewe fanya mengine lakini sio kutumbukia unless yeye mwenyewe amekuruhusu na wewe uwe na uwezo wa kutumbukia hata akiwa kwenye hedhi (kitu ambacho kiafya akishauriwi).

Nyeupe:  ukimkuta mwanamke amevaa shanga nyeupe hiihumaanisha hana tatizo lolote litakalomfanya asikupe raha ya sita kwa sita, kwahiyo ukitaka tu muda wowote unapata.

Nyeusi: ukimkuta mwanamke amevaa rangi nyeusi hii humaanisha ya kwamba yupo tayari kukupa raha za sita kwa sita lakini uwanja wake haujakatwa majani, kwa hiyo chaguo ni lako kama unataka kutumia siku nzima kutafuta goli haya, ama kama utamsaidia kumkatia majani uwanjani vizuri zaidi ama kama huwezi yote basi mpe muda akate mwenyewe.

Tofauti 8 Kati ya Wasichana na Wanawake...!!!

0
0

1. Wasichana wanatafuta wanaume wenye pesa ila Wanawake wanatafuta wanaume wanaojali na kupenda.

2. Wasichana hupima thamani ya wanaume wao kwa kuangalia ukubwa wa mifuko yao ila Wanawake hupima thamani ya wanaume wao kwa kuangalia kiwango cha busara na hofu ya mungu na kwa vipi wanajiheshimu mbele ya wapenzi wao.

3. Wasichana huvunja mahusiano kwa sabubu zisizo na mashiko ila Wanawake wana uvumilivu wakifahamu kwamba kila jambo hutokea kwa sababu.

4. Wasichana hufikilia kuhusu mambo yaliyopo sasa ila Wanawake hufikilia kuhusu yajayo.

5. Wasichana wanapenda kuwa na wanaume wengi wanaowafuata ila Wanawake wanafahamu sheria ya uhitaji (Vitu rahisi vina wateja wengi).

6. Wasichana wanahitaji pesa ili kununua make-ups ila Wanawake wanahitaji pesa kwa ajili ya kufanyia mipango ya maendeleo.

7. Wasichana huumizwa na mwanaume mmoja na kuwa na kinyongo na wanaume wote ila Wanawake wanajua kwamba wanaume wote sio sawa.

8. Msichana "anajifunza" ila Mwanamke "anajua"

Graca Machel kumshtaki daktari wa Nelson Mandela

0
0

Mjane wa aliyekuwa rais wa Afrika Kusini Nelson Mandela Graca Machel, amesema atamshtaki daktari wake bwana Mandela, kutokana na taarifa alizochapisha kwenye kitabu kuhusu siku za mwisho za Mandela.

Daktari huyo Vejay Ramlakan aliongoza kikosi kilichomhudumia Mandela hadi kifo chake Disemba mwaka 2013.

Radio ya taifa nchini Musumbiji ilitangaza taarifa iliyotolewa na wakfu wa Bi Machel ikilaani kitabu hicho vikali.

Bi Machel alisema kuwa kitabu hicho kinakiuka heshima ya bwana Mandela.

Kitabu hicho kimeandika taarifa kuhusu siku za mwisho kabla ya kifo cha Mandela.

Kimetaja kutokuwepo kwa maelewano kati ya madaktari na familia ya Mandela.

Bi Mandela anasema kuwa kitabu hicho kilikiuka siri iliyo kati ya daktai na mgonjwa.

PENDEZA na Kessy Products, Kutoa Mvi, Kurefusha Nywele, Tengeneza Shepu na Mengine

0
0
PENDEZA NA KESSY PTODUCT:-MSIMU MPYA WA 2017_ BIDHA AINA ZOTE KWA UBORA MZURI%
PATA DAWA ZA ASILI ZISIZO NA MAD, HARA NA MATOKEO NI KWAHARAKA BAADA YA WEEK (2-/-4) 🍎🍌🍉☘
1) KUTOA MVI SUGU PIA ZA KUZALIWA NAZO _80,000/
2) KUREFUSH NYWELE KUZIJAZA NA KUZUIAKUKATIKA _80,000/
3) TENGENEZA SHEPU YAKO FIGA UMBO (8) NA KUJAZA HIPC NA KALIO @ KUPAK _80,000/
@ KUNYWA AU VIDONGE _130,000/ 4) KUPUNGUZA NYAMA ZA MIKONO TUMBONI ZILIZOTEPWETA _80,000/
5) PUNGUZA KITAMBI KWA HARAKA KWA DAW HIZI ZA KUNYWA
@) KUNYWAA _100,000/
@) VIDONGE _100,000/
6) PUNGUZA MWILI MZIMA KUANZIA KGM 150 ADI 80 KIASI UNACHOTAK WEWE KWA DAW HIZI
@) DAW YAKUNYWA YA _100,000/
@) VIDONGE VYA HARAKA _100,000/
7) PUNGUZA MAZIWA NA YASIMAME KWA MUDA WA WEEK MOJA _70,000/
8) ONGEZA MAZIWA NA SAIZ UNAYOTAKA WEWE _70,000/
9) ONGEZA MWILI MZIMA NA KUKUPA HAMU YAKULA KWA RIKA LOLOYE _80,000/
10) TOA MICHIRIZI SUGU PIA NA ILE YAKUJIFUNGUA MWILI MZIMA _70,000/
11) TOA MAKOVU, CHUNUSI, WEUSI KATIKATI YA MAPAJA _70,000/
13) KUWA MWEUP NA SOFTI MWILI MZIMA NA KUTOA WEUS MACHON NA VIMISHIPA VIDOGO VIDOGO @ MAFUTA YA KUPAKA _80,000/(@) VIDONGE (WHITE SOLUTION) _120,000/
14) ONDOA NDEVU NA VINYWELEO MWILINI _80,000/
15/ ONGEZA NGUVU ZA KIUME NA KUIMARISHA MISHIPA ILIYO LEGEA KWA DAW HIZ
@) JEL KUPAKA (MEN GEL) _70,000/
@) VIDONGE (MAXMAN) _80,000/
16) ONGEZA MAUMBIL YA KIUME SAIZI UNAYOITAKA WEWE KWA:
@) (HANDSOME UP) MASHINE _170,000/
@) JELI YAKUPAKA INABORESHA ANZIA NCHI (4 ADI 6 )_100,000/ PIA NA VIDNGE VYAKE VIPO
17) RUDISHA HAMU YA TENDO LA NDOA KWA WALIOPOTEZA KUTOKANA NA NGIRI, KISUKARI NA MAGONJWA MENGINE KWA _80,000/
18) RUDISHA USICHAN(BIKRA)Na KUTO UCHAFU SEHEMU ZA SIRI _80,000/
19) FANYA USO WAKO KUWA MKAVU NAKUTOA VIJIPELE ILIYOSABABISHWA NA MAFUTS MAKALI _80,000/
20) ONDOA MAKUNYANZI USONI _70,000 (21) ENGEZA MGUU WAKO _70,000/ TUNAPATIKAN K/ KOO NA SINZ
MAPAMBAN, KWA MIKOAN DUNIAN KOTE UTAPATA

 (+255) 0719955528
0756259180
0785371237

@dr_kessy_product
Delivery POPOTE ULIPO,

TRA yaikadiria ACACIA Deni la Tsh. Trilioni 425.4 Kama Malimbikizo ya Kodi

0
0
Leo kampuni ya ACACIA imepokea makadirio ya kodi ambazo hazijalipwa zilizotokana na ripoti za kamati za Rais kuhusiana na makinikia.

TRA imeitumia taarifa Acacia inayoonyesha inadaiwa Tsh 425.4 trilioni ikiwa ni malimbikizo ya kodi, riba na adhabu kati ya mwaka 2000-2017.

Je kuna mazungumzo tena?

========
Receipt of Tax Assessments 
24 Jul 2017

THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION

Acacia notes that Bulyanhulu Gold Mine Limited (“BGML”) and Pangea Minerals Limited (“PML”), the owners and operators of the Bulyanhulu and Buzwagi mines, respectively, have today received a series of Notices of Adjusted Assessment (the “Assessments”) from the Tanzania Revenue Authority (“TRA”) for historical corporate income tax, covering the periods 2000 to 2017 for BMGL and 2007 to 2017 for PML. The Assessments are issued in respect of alleged under-declared export revenues, and appear to follow on from the findings of the First Presidential Committee announced on 24 May 2017 and the Second Presidential Committee announced on 12 June 2017. As we have stated previously, Acacia refutes each set of findings and re-iterates that it has fully declared all revenues. We have yet to receive copies of the reports issued by the First and Second Presidential Committees. The allegations made by the First and Second Committee are included in the matters that both BGML and PML have already referred to international arbitration.

The Assessments assert that BGML owes the Government a total of approximately US$154 billion, and PML approximately US$36 billion. The Assessments claim a total of approximately US$40 billion of alleged unpaid taxes and approximately US$150 billion of penalties and interest owed. Acacia disputes these assessments. The Company is considering all of its options and rights and will provide a further update in due course.

Tisheti Ya Lissu yatikisa Magazeti ya Leo; Uhuru Wafanikiwa Kufuta Maandishi ya Tisheti....Angalia Picha

0
0
Maandishi yaliandikwa UKUTA, Ila ukiangalia kwenye gazeti LA UHURU inaonekana picha ya Tundu Lissu na Tisheti aliyovaa ni ileile ila cha kushangaza maandishi yaliyopo kwenye tisheti hiyo hayaonekani. Nashindwa kuelewa wameyafutaje na kwa nini

Mgogoro wa CUF Bado Ngoma Nzito..Lipumba Atangaza Kuwafuta Uanachama Wabunge 8 CUF

0
0
Baraza Kuu la Uongozi la Taifa la Chama cha Wananchi (CUF) limewavua uanachama wabunge wanane wa chama hicho kwa madai ya utovu wa nidhamu, yakiwemo kukisaliti chama hicho.
Mwenyekiti wa CUF, anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Profesa Ibrahim Lipumba amesema, baraza pia limewavua uanachama madiwani wawili wa viti maalumu mkoani Dar es Salaam, kwa makosa kama hayo.

Profesa Lipumba ametangaza uamuzi huo leo Jumatatu, Julai 24 wakati wa mkutano na wanahabari uliofanyika makao makuu ya CUF, Buguruni, Dar es Salaam.

“Leo asubuhi tumewasilisha nyaraka  za hatua hizi kwa Spika na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa kwa hatua zaidi,” amesema Profesa Lipumba.

Amesema wabunge hao wanane ni kati ya 10 walioitwa hivi karibuni na Kamati ya Maadili na Nidhamu kwa mahojiano wakitakiwa kujibu tuhuma zinazowakabili za kukihujumu chama hicho kwa maelezo kuwa walitaka kushirikiana na Chadema kumwondoa yeye madarakani.

Mrembo Amber Lulu Ajuta Kuchangia Bwana na Gigy Money.....Afunguka Makubwa

0
0
MUUZA sura kwenye video za Kibongo ambaye kwa sasa anatamba na Wimbo uitwao Watakoma, ‘Amber Lulu’ amefunguka kuwa katika mambo ambayo hawezi kuyasahau kwenye maisha yake ya uhusiano wa kimapenzi ni kitendo cha kuchangia penzi la mwanaume mmoja na mwanamuziki mwenziye Gigy Money.

Akizungumza na Uwazi Showbiz, Amber alisema kuwa kitendo hicho kilimuuma sana ukizingatia Gigy ni mtu wake wa karibu lakini hata baada ya kugundua kuhusu hilo hakuweza kugombana na Gigy kwa sababu hata yeye hakuwa anafahamu kuwa alikuwa ni mpenzi wake.

“Tulichokifanya ilikuwa ni kuachana na mwanaume huyo ambaye ni mtangazaji wa kituo kimoja cha televisheni nchini na kila mmoja wetu akatafuta mwanaume mwingine maana tuliona hatufai, alituchanganya wakati akifahamu sisi ni marafiki,” alimaliza Amber Lulu.

Isome Hapa Hati ya Shtaka Alilosomewa Tundu Lissu Mahakamani na Kunyimwa Dhamana

0
0
Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu jana alisomewa mashtaka ya uchochezi na kurudishwa rumande akisubiri hatma ya dhamana yake.

Lissu alisomewa mashtaka ya kutoa lugha ya uchochezi dhidi ya Serikali, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbert Mashauri.

Mawakili watano wa upande wa Jamhuri waloshiriki katika kesi hiyo, waliiambia Mahakama kuwa Lissu alitenda kosa hilo la jinai Julai 17 mwaka huu katika eneo la Ufipa, Kinondoni jijini Dar es Salaam.

Lissu ambaye alikuwa akitetewa na jopo la mawakili 20 wakiongozwa na Fatma Karume, alikana mashtaka dhidi yake. Mbunge huyo pia alisikika akisema, “kwakweli halijawahi kuwa kosa la jinai.”

Baada ya kusikiliza pande zote mbili Mahakama imeahirisha kesi hiyo hadi Julai 27 ambapo hatma ya dhamana ya mwanasiasa huyo ambaye pia ni Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) itakapojulikana.

==>Hii ndpo hati ya shitaka lake

Zari Adaiwa Kuwa na Roho Ngumu...Msiba wa Mama yake Waibua Gumzo Ambalo si la Nchi Hii...

0
0
Zari Adaiwa Kuwa na Roho Ngumu...Msiba wa Mama yake Waibua Gumzo Ambalo si la Nchi Hii...
Akiwa amepozi kwa ajili ya picha Msibani
Kifo cha mama mzazi wa staa ambaye ni mjasiriamali Afrika Mashariki, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, Halima Matovu Hassan ‘Mama Zari’ (58) kilichojiri Alhamisi iliyopita nchini Uganda, kimeibua gumzo ambalo si la nchi hii.

Gumzo hilo kutoka nyumbani kwa mama Zari huko Busunju, Munyonyo jijini Kampala, Uganda lilihitimishwa wikiendi iliyopita na vyombo vya habari za mastaa nchini humo baada ya mazishi ya mama Zari yaliyofanyika mchana wa Ijumaa iliyopita, kuwa, Zari ana roho ngumu aisee!

Kwa mujibu wa vyombo hivyo, wakati wa kifo cha aliyekuwa mume wa Zari, Tycoon Ivan Ssemwanga ‘Don  Ivan’ aliyefariki dunia Mei 25, mwaka huu, mwanamama huyo, kabla, wakati na baada ya mazishi ya baba watoto wake huyo alikosolewa juu ya tabia alizozionesha wakati wa msiba huo.

Ilielezwa kuwa, baadhi ya mambo aliyoyafanya wakati ule ikiwemo kuposti vitu mitandaoni, mara akikata mauno au kujiachia bwawani na mwanaume na kuibua utata, safari hii ilikuwa cha mtoto bila kujali majonzi ya kufiwa na mama yake kipenzi.



CHANZO CHATIRIRIKA
“Ile kali aliyoitoa kipindi kile wakati wa kifo cha Ivan ilikuwa cha motto maana angalau alionyesha kuwa amefiwa kwa kuangua kilio na kuonesha majonzi lakini safari hii, tena akiwa amefiwa na mama yake mzazi aliyemlea bila baba (single parent) ndiyo ameweka rekodi na kuonesha kweli ana roho ngumu.

“Wewe angalia hata video za tukio lenyewe (mazishi na maziko ya mama yake), Zari anaonekana mkavu kabisa, halii hata tone. Tofauti na ndugu zake kama mdogo wake (Zuleha Hassan) ambao wanaonekana wakilia hadi wengine wakizimia.

“Kibaya zaidi ni kitendo cha kugandana na huyo mpenzi wake wa sasa (msanii wa Bongo Fleva) kisha kuoneshana mahaba kwa kushikanashikana mbele za watu bila kujali yupo kwenye msiba mzito wa mama yake mzazi.

“Kama hiyo haitoshi, Zari akiwa kama dada mkubwa alitakiwa kuwaongoza wadogo zake kuomboleza kifo cha mama yao, lakini yeye ndiyo kwanza alikuwa anachati kwenye simu na kuachia tabasamu kama vile hajafiwa.


Akiwa Busy na Simu Msibani

“Wengine wanasema Zari anafanya mambo yake ‘Kizungu’, lakini kiukweli amewastaajibisha wengi kwa kutoonesha machungu ya kumpoteza mama yake kipenzi.

NANI ZAIDI?
“Unajua angalau kwa Ivan, Zari alionesha machungu kidogo. Sasa hapo ndipo kumeibuka mjadala kwamba inawezekana alikuwa na uchungu zaidi wa kufiwa na aliyekuwa mpenzi wake kuliko mama yake?

“Kiukweli ishu hii imewagawa watu maana kuna wanaosema machungu yanatofautiana kwani wapo wanaoumizwa zaidi na wazazi lakini pia wapo wanaoumizwa zaidi na wapenzi.

“Wapo wanaoamini kuwa inategemea tu na namna mtu alivyoshibana na huyo aliyetangulia mbele ya haki na ubaya ni kwamba hakuna kipimo au kiwango kamili cha namna mtu anavyoguswa na jambo.

“Kwa mantiki hiyo, wapo wanaoamini kuwa, inawezekana Zari alionekana hivyo kwa nje lakini si ajabu kwa ndani alikuwa anaumia kupita maelezo,” kilitiririka chanzo kilichohudhuria mazishi na maziko hayo kilichokaririwa na vyombo hivyo vya habari.

MZAZI MWENZA AMTETEA
Katika kumtetea Zari, mpenzi wake wa sasa aliyezaa naye watoto wawili, mmoja wa kiume, alipoulizwa juu ya namna mwanamama huyo anavyoonekana kutochukulia jambo hilo kwa uzito tangu mama yake huyo akiwa amelazwa ambapo alionekana akijiachia na kukata mauno kwa furaha, jamaa huyo alidai kuwa, wakati Zari anafanya hivyo yeye pamoja na ndugu zake wengine walikuwa wamepata habari kuwa, mzazi huyo aliendelea vizuri.

Jamaa huyo alipoulizwa kuwa, kwa nini hakwenda kumuona mkwewe wakati amelazwa alijitetea kuwa, siyo kila kitu cha familia cha kuwekwa wazi na kwamba watu waache kudili na familia za wengine badala yake wadili na familia zao na wawe na mipaka ya kushabikia mambo.

NENO LA MHARIRI
Zari amepitia changamoto nzito ya kufiwa na aliyekuwa mumewe aliyeishi naye yapata miaka 10 na kujaliwa watoto watatu wa kiume na sasa ameondokewa na mama yake mzazi, naye kama mwanadamu, siyo mkamilifu hivyo anahitaji faraja zaidi ya kupigwa mawe.

Pamoja na kwamba wengi wanasema kuwa, Zari ana roho ngumu lakini pia ana mazuri yake ya kuigwa kwa kuwa ni mfano wa wanawake watafutaji duniani.

Source: GPL

Matumizi ya CONDOM na Hali Halisi ilivyo Sasa...Wengi Wanazuga tuuuu

0
0
Matumizi ya CONDOM na Hali Halisi ilivyo Sasa...Wengi Wanazuga tuuuu
Kila mtu akiulizwa anajibu kisiasa kwamba anatumia lakini mtu huyohuyo ikipita miezi 3 unashangaa ana mimba unabaki kujiuliza alikuwa anamvalisha kwenye kidole gumba ama?

Yaani unaweza ukakanunua vizuri tu. Unaenda nako mpaka gesti vizuri tu. Unakatoa mfukoni unakaweka chini ya mto pale kitandani kujiandaa na mechi vizuri tu lakini mwisho wa siku unajikuta umechakaza rim.

Yaani kitendo cha kunyoosha tu mkono kutoka kona ya kitanda ulipo kwenda chini ya mto ili uivae unahisi kama vile ule mto uko njia panda ya ifakara. Mbalii balaa!

Halafu inavyoonekana wanawake wengi hawapendi condom ila huwa wanauliza kuzuga tu ili na yeye aonekane aliuliza swali "baby una condom?"

Ukimwambia sina utamuona anazuga kama kamaindi hivi halafu anajifanya anakupa solution,"basi nakuomba usinyunyizie ddt,umwagilie maua nje ya bustani plz niko danger".

Uwe Danger umekuwa transfoma ya umeme! Ukimaliza utamsikia,"halafu wewe sijui ukojeeeee muone vile"mshachakaza rim.

Shikamooni wazee wa kwenda na pakti 3 na unarudi nazo zote 3 zikiwa pakti mpya. Shikamooni wote mnaosemaga mnatumia halafu mna mimba miezi 2 leo. Shikamooni na wale ambao mna sababu za kisayansi kwelikweli
"baby mi nikitumia condom napata allergy na fungus.

Uonavyo wewe, Je wasichana waki Tanzania, wanamsimamo linapokuja suala la kufanya maamuzi ya kutumia kinga? Vipi kwa wanaume nao, msimamo wanao!? Nini maoni yako!?

By Uncle Jei Jei/JF

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH CHIEF SULTAN MAKATA Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa

0
0
Kutana  na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH CHIEF SULTAN MAKATA Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika
Anatibu kwa Njia ya Simu Ukiwa Nchi Yoyote / Mkoa wowote
..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na  Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Chief Sultan Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU(LIMBWATA). Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine?Una Mpenzi wako ana Pesa na Unataka kumkamata? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
Chief Sultan Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia  Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA,Hutoa  PETE ZA BAHATI inayoendana na NYOTA YAKO. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.HUZUIA CHUMA ULETE NA KUKUPA DAWA YA KUONGEZA FAIDA KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA AU KUDHULUMIWA.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI.Humaliza Kabisa Tatizo la Nguvu za KIUME na Kurefusha Uume kwa Saizi Unayotaka,HUMALIZA KESI YA AINA YOYOTE NDANI YA SIKU 14.

Na Mengi zaidiWhatsapp/Calls +255 710 279 458
+255 710 279 458

Tiba ni kwa Watu wenye Imani na Dini zote
Viewing all 104432 articles
Browse latest View live




Latest Images