Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104756 articles
Browse latest View live

Wolper Atoa ya Moyoni...Amchana Harmonize Kwa Kupenda Tamaaa...

$
0
0

By @wolperstylish - Shaidi moyo wangu fundi wa Raha zangu @official_brown_ #Tanga naombeni poo na huyu akichukuliwa na mchina mwenye ela zake maana pesa sabuni ya roho bwana uwezi jua aisee..!! sema naomba we usichukuliwa na vipesa ukanunuliwa ile Dubai yote ndio uwende plz ukumbuke fadhila zakupendwa Bila masimango ata kma hauna k2 uwe na kale ka moyo ka huruma usiwe kama wale please ... Nina mengi sana nitayaongea NIKIZINDUA APP YANGU verry soon mtajua kila kitu kuliko uwongo unaoendelea kusambaa bila huruma wakati tamaa ndio zimeponza kichwa why kama unajua ukweli aupigi kimya mbona me sijawahi kukuongelea popote vipi kunitajataja mtoto wawatu napaliwa na mate nauliza nini? kumbe umenitaja PAMBANA NA HABA LAKO kijana ulipenda pesa penda na masimango na makila kitu chali yangu... me sikumbukagi nyuma nikiumia mara moja inapita yani maumivu yakipita yanapita naendelea namaisha yangu lkn we kijana uendelei na maisha yako vijembe kila siku kama mtoto wa kike mxiuuuuuu!!!! pamabana na hali yako... #HatutoiKiKi

NYUMBA ya Naibu wa Rais Kenya yavamiwa

$
0
0

Watu wasiojulikana wameshambulia nyumba ya mashambani ya naibu wa rais wa Kenya William Ruto magharibi mwa Uasin Gishu kaunti, ripoti zinasema.

Ripoti katika eneo hilo zinasema kuwa washambuliaji hao waliwashinda nvguvu polisi mmoja katika lango la nyumba hiyo na kuingi ndani.

Ufyatulianaji wa risasi uliendelea katika nyumba hiyo ambayo imezungukwa na maafisa wa polisi.
Bwana Ruto hakuwepo nyumbani wakati huo.

Kisa hicho kinajiri siku 10 kabla ya Kenya kufanya uchaguzi wa urais , ubunge na ule wa kijimbo.
Naibu wa rais alikuwa ameondoka saa chache kabla ya uvamizi huo ili kuhudhuria mkutano wa kampeni katika mji wa Kitale, ambapo alijiunga na rais Uhuru Kenyatta.

Kenyatta anatetea kiti chake cha urais mwezi ujao, Huku uchaguzi wa 2013 ukifanyika kwa njia ya amani kulikuwa na ghasia mbaya za baada ya uchaguzi 2007 ambazo zilisababisha vifo vya watu 1000 huku wengine 600,000 wakiwachwa bila makao.

Hatahivyo wataalam wanasema hawatarajii kuona kiwango cha ghasia kama hicho kufuatia uchaguzi wa Agosti 8.

JOHARI Ajitutumua " Hata Kama Nimetumika Sana ila Bado Niko Fiti"

$
0
0

STAA wa filamu za Kibongo toka kitambo, Blandinda Chagula ‘Johari’ ametema cheche kuwa hata kama ametumika muda mrefu kwenye tasnia hiyo lakini bado anaheshimika kwa mashabiki wake na siyo ‘Used’ kama wanavyodai mastaa wanaochipukia.

Akizungumza na Risasi Jumamosi, Johari ambaye jana Ijumaa Julai 28, 2017 ilikuwa ni kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa, alisema anaamini yeye kama staa aliyekuwa akisumbua huko nyuma anapotumia akili au kuweka jambo lolote kwenye filamu hata kama hataicheza yeye bado itakuwa na ladha nzuri ya kipekee.

“ Yaani utasikia hawa mastaa wapya wanapenda kutuita sisi ni ‘Used’ lakini ukweli ni kwamba japokuwa wanatuita hivyo ladha ya mastaa wa zamani ni tofauti na wa sasa, kuna vitu ukiviangalia hatuwezi kulingana kabisa,” alisema Johari.

Usimwamini Mwanamke Hata Kama Unamtania

$
0
0

Aliesema "USIMWAMIN MWANAMKE
HATA KAMA UNAMTANIA" hajakosea
huu msemo umekamilika na wala
hauna mapungufu yoyote kabisa
twende pamoja ili uuamin huu msemo
kama upo chuo kimoja au shule moja
au wote mpo facebook au twitter bbm
ndio utaamin kwa sana huu msemo
Mnunulie gift yoyote eg. Card, toy
maua au kitu chochote mpenzi wako
kaa siku mbili muulize ile gift unayo
utakuta kashahonga na yeye kashampa
bwana ake mwingine
Buni sms ya ukweli kisha msifie alafu
umtumie balaa lake utaona kesho na
yeye kashamtumia bwana ake mwingine
Mpe hela labda laki hivi mwambie hii
nenda kasuke na uitumie na matumizi
yako mengine hapo hapo nusu ya hela
yako anapewa mwanaume mwingine
Mtoe out muoneshe sehem nzuri za
kukuaa mtu na mpenzi wake kesho tu
atakuomba hela alafu atakapeleka ka
bwana chake sehem ambayo umemuonesha
Mwambie siri zako zote uone anavyozianika
mwambie baby kesho njoo hom peke
ako nataka tutoke uone wanavyokuja
hostel nzima balaaaa kinomaa
mpangishie chumba kitanda chako
kodi unalipa wewe hela kula unamwachia
pata dharula safiri umwache peke ake
uone unavyosalitiwa kwenye kitanda
chako shuka lako chakula chako

Chadema nayo yaanza kutumbua Majipu ya ndani

$
0
0

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imemfuka aliyekuwa mwenyekiti wa wilaya ya Hai, James Mosha, kufutwa uanachama.

Hali hiyo imetokea siku chache baada ya chama cha Wananchi (CUF) kutangaza kuwafukuza ubunge na uanachama wabunge wanane kwa kile kilichodaiwa kutokuwa na nidhamu dhidi ya mwenyekiti wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba, anayetambulika na Msajili wa Vyama vya Siasa.

Aidha, Nkiya amefukuzwa uanachama ikiwa siku chache baada ya madiwani watatu wa chama hicho kujiengua na kujiunga na CCM.

Kaimu Mwenyekiti wa chama hicho, Joel Nkiya, aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa wanalazimika kumfukuza uanachama Mosha kwa madai ya usaliti unaoendelea katika chama hicho na kwamba hawataweza kuuvumilia.

Nkiya alisema Mosha ambaye alikuwa mwenyekiti,  alijiuzulu  wadhifa wake mwaka jana lakini hakujivua uanachama, hivyo chama kimeafiki kumfukuza kwa kufuata sheria na kanuni za chama hicho kutokana na kueneza  nguvu ya usaliti ndani ya chama.

Alisema wanalaani vikali kitendo cha madiwani  hao  kujiondoa katika chama na kwamba kwanza wameonyesha wasivyo wazalendo na waharibifu wa rasilimali za umma.

"Wanapojiuzulu na kujivua uanachama moja kwa moja wameachia nafasi zao za uongozi. Kutokana na hilo uchaguzi utafanyika tena, hapo ndipo rasilimali za Watanzania zinapotea kwa kukosa uzalendo,” alisema.

Naye Mwenyekiti wa Baraza La Madiwani  Hai, Helga Mchomvu, alisema hawana wasiwasi na kuondoka  kwa  madiwani hao kwa kuwa walikuwa hawana mchango wowote katika utendaji wao wa kazi.

"Madiwani hao waliokuwa wanajiondosha tulikuwa tunatilia shaka utendaji wao na tulianza kuwajadili, hivyo tunawatakia kila la heri huko waliko. Wananchi wanapenda kutazama utendaji na si jina la mtu, hivyo wamejipima wakaona  mwaka 2020 wasingerudi kwenye nafasi zao wakaamua kujivua,” alisema.

Mmoja wa madiwani wanaotajwa kutaka kujivua uanachama, Bariki Mbise (Rundugai), alisema kuna mbinu chafu zinazoendelea  hasa katika Jimbo la Hai  za kuhakikisha mwaka 2020  wananchi wanakosa imani na chama chao,

“Mimi binafsi nimesharubuniwa  na kuahidiwa Sh. milion 30. Ningekuwa sina uzalendo na imani kwa wananchi walionichagua  tayari ningeshajivua uanachama.

Mmoja wa waliojiuzulu  alinifuata  na kunishawishi tujiuzulu kwa kiasi fulani cha fedha tumeaidiwa na mtu fulani,” alidai Mbise.

Je Mwanamke Kupigwa Ndio Utamu wa Mapenzi?

$
0
0

Nimeliona sana hili. Wanakuja wanalia, ukiwauliza kwa nini. Boyfreind wangu kanipiga, siku nyingine tena hivyo hivyo. Huwa najiuliza kwa nini huwa wanaendelea na mahusiano. Nyinyi wadada kwa nini mnaendelea kwenye mahusiano ambayo kupata vipigo ni sehemu ya kawaida kwenu.

Naombeni uzoefu kidogo, jana usiku nilikuwa kwenye kituo Fulani cha Polisi hapa Dar. Jamaa alimdunda mpenzi wake ikambidi yule dada akodi pikipiki akimbilie polisi, jamaa yake pia akawa amekodi pikipiki kumkimbiza. Yule dada anakaribia kufika polisi jamaa yake akawa amemuwahi kwa mbele. Dada akawa analia huku akiwa analalamika amepigwa sana na mpenzi wake huyo. Polisi wakamweka jamaa ndani. Leo asubuhi nimefika pale kituoni kwa mambo yangu, nikamkuta yule dada kadamka mapema yupo pale polisi anamuombea msamaha mpenzi wake atoke. Kama mjuavyo, Polisi kuingia bure kutoka kwa rupia. Mdada kawapooza mandata, jamaa katoka wakaondoka.

Kitu ambacho ningependa kufahamu, je kuna aina ya mapenzi bila kipigo ayaendi? je wadada kitendo cha kupigwa ni ufahari? je kipigo wanachokipata ndicho uwafanya kushidwa kusema hapana? 
Any contribution and experience are welcome

Hivi Unajua Kidevu Kina Raha yake Katika Mapenzi Hasa Kile Chenye Ndevu?

$
0
0

Kuna sehemu kibao ambazo ukizitumia kumpatia mwanamke raha atajisikia faraja sana kuliko kuwa unakalili baadhi ya sehemu ambazo zimekuwa yeboyebo.
Kama mwanaume unatakiwa kuwa mbunifu ili kumpatia mpenzi wako raha yaan hata kama anakusaliti akienda nje apadharau na aone kwako pako tofauti na pengine.
Nadhan hakuna mtu asiyekifahamu kidevu cha binadamu ila hapa nazungumzia videvu vya wanaume maana wanaume ndo wanahusika sana hapa, leo nakupa njia ya kuchezea sehemu ya ikulu kwa mpenzi wako mpaka akahisi raha fulani tofauti


JINSI YA KUKITUMIA KIDEVU ILI KUMPA RAHA MWANAMKE.


Hakikisha mwanaume unanyoa ndevu zako unaacha ndevu za wastan zinazozunguka kidevu ila kama huna ndevu hapa hapakuhusu maana mwanaume ndevu kaka,ndevu ziwe za wastan zisiwe kubwa sana maana zikiwa kubwa sana itakuwa kero na mpenzi wako mwambie naye anyoe au ww mwenyewe waweza mnyoa maana kufanya hivyo vile vile ni kumpatia raha mpenzi wako.
Zoezi hili linatakiwa lifanywe siku moja au 2 baada ya kunyoa yaan mwanaume awe amenyoa na mwanamke awe amenyoa baada ya cku moja ndo mchezo huu ufanyike.
Sasa ukiwa kama mwanaume unachotakiwa kufanya ni kuhakikisha unamvua mpenz wako nguo kisha unamlaza kitandan kwa style ya kifo cha mende afu unampanua miguu kidogo kisha unapiga magoti afu unainama kama unataka kuzama chumvini huku mikono yako miwili ikiwa inayashikashika maziwa yake taratibu huku unazibinya chuchu zakle polepole, baada ya kuinamia kwenye bustani* hakikisha kidevu chako kinagusa sehemu ambayo huwa kuna mavuzi ya mwanamke yaan kutoka kwenye kisimi unapanda juu namaanisha pale ambapo mavuz huwa yanakuwa mengi.
Kiweke kidevu chako anza kukisugua hapo kwenye hayo mavuzi ambayo yatakuwa yamenyolewa kiasi maana hutakiwi kunyoa kipara,anza kuzungusha kidevu juu kutoka kushito kwenda kulia na huku unachezea maziwa yake bila kusahau kutoa miguno ya kimahaba kwa wote wawili maana kufanya hivyo kutaongeza hamasa.
Fanya hivyo mara nyingi huku unagusa baadhi ya sehemu za mwili wa mpenzi wako ambazo zinagusika kwa urahisi afu utanipa jibu.

Pata Tiba za Asili Toka Kwa Chief Sultan Makata...Anayetibu Kwa Kutumia Nyota na Dua ....

$
0
0

Kutana  na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH CHIEF SULTAN MAKATA Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika
Anatibu kwa Njia ya Simu Ukiwa Nchi Yoyote / Mkoa wowote


..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na  Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Chief Sultan Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU(LIMBWATA). Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine?Una Mpenzi wako ana Pesa na Unataka kumkamata? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
Chief Sultan Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia  Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA,Hutoa  PETE ZA BAHATI inayoendana na NYOTA YAKO. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.HUZUIA CHUMA ULETE NA KUKUPA DAWA YA KUONGEZA FAIDA KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA AU KUDHULUMIWA.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI.Humaliza Kabisa Tatizo la Nguvu za KIUME na Kurefusha Uume kwa Saizi Unayotaka,HUMALIZA KESI YA AINA YOYOTE NDANI YA SIKU 14.

Na Mengi zaidiWhatsapp/Calls +255 710 279 458 
+255 710 279 458 

Tiba ni kwa Watu wenye Imani na Dini zote

KIVAZI Cha Mwanamuziki Dayna Nyage Chawatoa Midume Milafi Udenda.....Tazama Hizi Picha Ujionee na Wewe

$
0
0
Msanii wa Bongo Flava, Dayna Nyange ameachia picha katika mtandao zenye utata kidogo.

Hitmaker huyo wa Komela ameweka picha hizo katika mtandao wa instagram na kutoandika chochote. Hizi ndizo picha alizoweka.


MWANAMUZIKI Country Boy na Wema Sepetu Kunani...? Wema Afanya Hili Jambo Kwake

$
0
0
Rapper Country Boy amepata kigugumizi kueleza ni kwanini mrembo Wema Sepetu ameweka link ya video yake mpya katika bio yake ya instagram.


Country Boy ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma ya Turn Up aliyomshirikisha Mwana FA, ameiambia Times Fm kuwa Wema ana nafasi kubwa katika muziki wake ila hakutaka kuliongelea kiundani zaidi suala hilo.

“Wema ana play part kubwa lakini nadhani ni suala ambalo mimi siwezi kuliweka official kwa sababu sijaruhusiwa kuongea chochote, ila ambacho naweza kukiongelea link inapatia pia kwa Madam. Hillo swali nilikuwa na expect kuulizwa sana lakini uongozi umeniambia Wema mwenyewe atawapeni maelekezo, mtaelewa kwanini ameweka katika bio yake ile link,” amesema Country Boy.

Pia ameongelea mafanikio iliyopata tangu ngoma yake ya Turn Up ilipotoka mwaka huu na kueleza kuwa kuna uwezekano mkubwa wa kuja kufanya kazi na Patoranking kutoka Nigeria.

“Ngoma yenyewe inakupa ile confidence ya kuongea na mtu yeyote kwa sababu production ni kubwa na imekaa kimataifa zaidi, ngoma ni kali nimepita melody ambazo zinatrend duniani.  Nimeweza kuwashawishi baadhi ya wasanii wakubwa ambao ninaweza kufanya nao kazi lakini kwa uhakika zaidi, mtu ambaye tumefikia hatua za mwisho ni Patoranking,” amesema Country Boy.

Bongo5

UKIMYA wa Wapinzani Wadaiwa Ndio Kifo Chao...Mtikisiko Kibano Kipya cha Escrow...Magazeti ya Leo Jumapili

$
0
0

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya July 31

MBWANA Samatta NOMA Ameanza Msimu Mpya Ubelgiji Kwa Kuifungia Goli Genk

$
0
0
Nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Mbwana Samatta leo Jumamosi ya July 29 ameingia uwanjani kuichezea timu yake ya KRC Genk katika mchezo wao wa kwanza wa Ligi Kuu Ubelgiji msimu wa 2017/18 dhidi ya Waasland Beveren.

KRC Genk leo imecheza game yake ya kwanza katika uwanja wake wa nyumbani dhidi ya Waasland Beveren na kulazimishwa sare ya kufungana magoli 3-3, magoli ya Genk yakifungwa na Jose Naranjo dakika ya 70, Mbwana Samatta dakika ya 80 na dakika ya 82 Shrivjers akafunga goli la mwisho.

Magoli ya Waasland yamefungwa na Olivier Myny dakika ya 45, Zinho Gano dakika ya 47 na 90, sare hiyo sasa inakuwa ni sare ya pili mfululizo kwa timu hizo toka zilipokutana mara ya mwisho February 7 2017 na kutoma sare tasa, Genk na Waasland zote baada ya sare ya leo zinashika nafasi ya nne zikilingana kila kitu.

FLORA Mvungi Kafunguka Kuhusu Habari Kuwa Ameachana na Mumewe H Baba......!!

$
0
0
FLORA Mvungi Kafunguka Kuhusu Habari Kuwa Ameachana na Mumewe H Baba......!!
Miongoni mwa stori zilizo-make headline kwenye mitandao siku za hivi karibuni ni pamoja na stori iliyosambaa ikidai kuwa ndoa ya mastaa wa Bongofleva, Hamis Ramadhan ‘H Baba’ na mwigizaji Flora Mvungi imevunjika huku wengine wakisema H Baba amehama nyumbani kwenda kuishi hotelini.

Kupitia The Weekend Chart Show ‘SHILAWADU’ ya Clouds TV July 28, 2017 kulikuwa na stori kwamba H Baba anaishi hotelini na Flora amerudi nyumbani kwao baada ya ndoa yao kuvunjika na walimtafuta Flora Mvungi ili kujua ukweli ambaye alibainisha kuwa hawajaachana na wanaishi vizuri na mume wake.

”Mimi sina taarifa hizo, sijaachana na mume wangu. Kwanza nani kasema hizi habari? Sijaachana na mume wangu, sasa tatizo linatoka wapi? Tupo naye tunakaa wote vizuri tu. Kwani leo ukiwa na mkeo mkaamua kwenda kulala hotelini kuna tatizo?

“Siyo kweli mbona hata ada ya Chuo yeye ndiye ananilipia. Haishi hotelini, tunaishi naye. Ataishi vipi hotelini wakati naishi naye? Kwanza akisikia atashangaa sana mimi nakaa na mkwe wangu kweli na sijaachana na mume wangu. Hizi habari kwanza ndio nazisikia kwenu. Sijui kama anishi hotelini ila najua kama yupo kwenye kazi zake.” – Flora Mvungi.

CCM Yazidi Kuchanja Mbuga Dar: Walinzi Shirikishi Marufuku Kukamata Bodaboda

$
0
0
CCM Yazidi Kuchanja Mbuga Dar: Walinzi Shirikishi Marufuku Kukamata Bodaboda
Bodaboda wa jijini Jana Walifanya maandamano ya amani kumpongeza Rais Magufuli kwa utendaji wake uliotukuka.
Maandamano hayo yalipokelewa na mkuu wa wilaya ya ilala, na katika salamu zake yeye pamoja na RTO wa ilala wamepiga marufuku walinzi shirikishi kukamata bodaboda na badala yake wamewataka wakakamate vibaka na wauza gongo.

Hali kadhalika mkuu wa wilaya ya kinondoni mh Hapi amemaliza mgogoro wa wakazi wa kunduchi machimbo ( mecco) uliodumu kwa zaidi ya miaka 20 na kuanzia sasa wakazi hao wanaruhusiwa kuendeleza maeneo yao.

Hakika CCM inachanja mbuga wakati Ukawa wakijikongoja jijini Dar es Salaam! Ahsante.

Source ITV habari

NCHI ya Uturuki Yaomba MSAADA Tanzania

$
0
0
Tanzania imeombwa kuisaidia Uturuki kiwango cha Tani 20 ya Korosho kufuatia nchi hiyo kuwa na uhaba mkubwa wa bidhaa hiyo yenye uhitaji zaidi nchini Uturuki.

Mwenyekiti wa Jumuiya ya wafanyabiashara kutoka Uturuki ijulikanayo kama 'Turkish Exportetrs Assembly' (TIM) Bwana Kemal Batuhan Yazici amesema kuwa, kiwango cha korosho kilichopo nchini kimeshuka wakati mahitaji ya nchi ni Tani 20, hivyo wanaitegemea Tanzania kuondoa uhaba huo nchini mwao.

Kemal Batuhan Yazici amesema, Korosho inayohitajika nchini Uturuki ni ile ambayo tayari imechakatwa na kufungwashwa vyema kwa viwango vya kimataifa na sio malighafi hivyo ni vyema wafanyabiashara hiyo wakaandaa utaratibu wa haraka kuhakikisha Korosho zinasafirishwa kutoka Tanzania kwenda nchini Uturuki.

Kwa muda wa miezi sita, kiwango cha biashara kati ya Tanzania na Uturuki kimeongezeka kwa asilimia 9 kwa bidhaa za Tanzania zinazosafirishwa kutoka nchini Tanzania kwenda nchini Uturuki hivyo ongezeko hilo linaashiria Tanzania kupata soko lenye tija nchini Uturuki.

Katika siku za hivi karibuni nchi ya Uturuki imeongeza ushirikiano wake wa kibiashara na nchi ya Tanzania ambapo nchi hizo zimepata fursa mara kadhaa kuonesha maeneo yao ya uwekezaji baina yao ili kuongeza faida na kuleta maendeleo.

Chanzo: EATV

MANGE Kimambi Ndani ya Bikini Katika Ubora Wake...Wengi Wamsifia Ana Bikini Body

$
0
0
Picha hapo chini zinajieleza binti wa kipare pamoja na kuwa na watoto 3 lakini akitupia bikini anamwonekano bomba na wakuvutia,hongera zake kwa kujipenda na kujitunza

SABABU za Marekani Kuwanunulia Wanajeshi Dawa za Kuongeza NGUVU za Kiume

$
0
0
Ukiacha mtafaruku uliojitokeza baada ya Rais wa Marekani, Donald Trump kusema kupitia ukurasa wake wa Twitter kwamba watu waliobadili jinsia hawataruhusiwa kwenye Jeshi la nchi hiyo, takwimu zimekuwa zikitolewa kuonesha kwamba watu waliobadili jinsia wanahitaji gharama ndogo sana za huduma za kiafya.

Takwimu hizi zinajaribu kulinganisha gharama ambazo Ikulu ya Marekani inatumia kila mwaka kununua dawa za kusaidia wanajeshi wenye matatizo ya kusimama kwa uume: takribani dola za Marekani milioni 84 (zaidi ya bilioni 188), kwa mujibu wa gazeti la jeshi la nchi hiyo.

Kwa upande mwingine, Shirika la Rand limekadiria kwamba huduma za kiafya zinazotokana na kubadilisha jinsia litaongeza bajeti ya jeshi la nchi hiyo kwa dola za Marekani milioni 8.4 kwa kiwango cha juu (bilioni 19).

Je, kwanini jeshi la nchi hiyo linatumia fedha nyingi kiasi hicho kununua dawa za kuongeza nguvu za kiume?

Wazee waliostaafu

kwanza, inatakiwa ieleweke kwamba taarifa hizi zinatokana na gazeti la jeshi hilo toleo la mwezi Februari mwaka 2015 liliripoti kutokana na taarifa zake za mwaka 2014 kutoka Taasisi ya Afya ya Jeshi la Marekani.

Kiasi cha dola hizo za Marekani milioni 84.2 (zaidi ya bilioni 188) kilikuwa ni matumizi ya Jeshi kwa mwaka huo, lakini pia liliripoti kwamba dola milioni 294 (zaidi ya bilioni 658) zimetumika kununua dawa za kuongeza nguvu za kiume aina ya Viagra, Cialis na nyinginezoza aina hiyo tangu mwaka 2011.

Gazeti hilo lilibainisha kuwa gharama hii ni sawa na kununua ndege kadhaa za kivita za kisasa kabisa.
Mwaka 2014, dozi milioni 1.18 za dawa zilitolewa na nyingi kati ya hizo ilikuwa ni ya dawa za Viagra. Lakini zilikuwa na kwa ajili ya nani? Jibu la swali hili linakwenda kuelezea matumizi makubwa kiasi hicho.
Ni kweli kwamba baadhi ya dawa za kurekebisha matatizo ya kusimama kwa uume zilikuwa zikigaiwa kwa watumishi waliopo jeshini muda huo, lakini nyingi zilikuwa zikigaiwa kwa makundi mengine, yakiwamo mamilioni ya wastaafu wa jeshi pamoja na familia zao. Kwa taarifa sahihi, watu takribani milioni 10 wanakadiriwa kuwa wanahudumiwa na mfumo wa Afya wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani uliokuwa na gharama ya dola bilioni 52 mwaka 2012.

Ni kweli kwamba baadhi ya dawa za kurekebisha matatizo ya kusimama kwa uume zilikuwa zikigaiwa kwa watumishi waliopo jeshini muda huo, lakini nyingi zilikuwa zikigaiwa kwa makundi mengine, yakiwamo mamilioni ya wastaafu wa jeshi pamoja na familia zao. Kwa taarifa sahihi, watu takribani milioni 10 wanakadiriwa kuwa wanahudumiwa na mfumo wa Afya wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani uliokuwa na gharama ya dola bilioni 52 mwaka 2012.

Inajulikana wazi kwamba matatizo ya kusimama kwa uume ni tatizo linalowakumba zaidi wazee na yawezekana ikawa ndio sababu ya gharama kubwa ya kuwahudumia wastaafu wa Jeshi la nchi hiyo.

Ki usahihi wa takwimu za nchi hiyo, gazeti hili liliripoti kuwa ni chini ya asilimia 10 ya dozi za dawa hizo ndiyo zilitolewa kwa wanajeshi waliopo kazini.

Hata hivyo, idadi ya wanajeshi wenye matizo ya upungufu wa nguvu za kiume kwa wanajeshi walio kazini kwenye Jeshi la Marekani imekuwa ikiongezeka tangu kipindi cha kuanza kwa vita za Iraq na Afghanistan.

Sababu za kisaikolojia

Utafiti wa mwaka 2014 uliofanywa na Taasisi ya Afya ya Jeshi la Marekani (AFHSB) ulionesha kwamba wanajeshi 100,248 wenye matatizo ya kusimama kwa uume walipatikana katika wanajeshi walio kazini kati ya mwaka 2004 na 2013, ikiwa idadi ya wanajeshi wenye matatizo hayo kwa mwaka ikiwa imeongezeka kwa zaidi ya mara mbili katika kipindi hicho.

Kwa mujibu wa ripoti hiyo, karibia nusu ya waliripoti shida hii ni kutokana na sababu za kisaikolojia.
Matokeo ya utafiti yaliyochapishwa mwaka 2015 kwenye Jarida la Tiba ya Mapenzi yalibainisha kwamba wastaafu wa Jeshi hilo wenye msongo wa mawazo uliotokea baada ya matukio makubwa walikuwa kwenye nafasi kubwa sana ya kupata tatizo hilo kuliko kwa wastaafu wenzao ambao hawakuwa wanajeshi.

Utafiti mwingine ulionesha kuwa asilimia 85 ya wanajeshi wastaafu wanaume waliowahi kwenda vitani wameripoti kuwa na matatizo ya kusimama kwa uume ambayo ni karibu mara nne ya idadi ya wale waliorudi kutoka vitani na wakawa hawana tatizo la matatizo ya kisaikolojia.
Mwaka 2008, Shirika la Rand liliripoti kwamba kila mwanajeshi mstaafu mmoja wa kati ya wanajeshi wastaafu watano wa Jeshi la Marekani waliowahi kushiriki vita vya Iraq na Afghanistan walikuwa wanasumbuliwa na matatizo ya kiakili na kisaikolojia ikiwemo msongo mkubwa wa mawazo.

Hata hivyo, takwimu za hivi karibuni zinazohusu uchunguzi uliofanywa kwa wanajeshi walio kazini kati ya mwaka 2004 na 2013 ambazo zinadaiwa kufichwa kwenye makabati ya Idara ya Ulinzi kitengo cha Afya ya wanajeshi zinaeleza kwamba inabidi kuwa makini kujaribu kutengeneza uhusiano kati ya vita ambazo nchi hiyo ilipigana hivi karibuni, msongo wa mawazo na matatizo ya kusimama kwa uume na jeshi la nchi hiyo kutumia fedha nyingi kununua dawa za Viagra.
Hii ni kwa sababu inadaiwa kuwa wanajeshi ambao hawakuwahi kupelekwa vitani ndio wapo kwenye hatari kubwa ya kupata tatizo hili kuliko wenzao ambao wamewahi kwenda vitani.
Matatizo ya kusimama kwa uume huwa yanahusishwa na magonjwa kadhaa ya binadamu yakiwamo magonjwa ya moyo, shinikizo la juu la damu na kisukari.

KAULI Ambazo Ukizisikia Zinaashiria Uhusiano WENU Kuelekea Ukingoni....

$
0
0

Kuna kauli nyingi ambazo ukiwa kwenye uhusiano usingependa kumsikia mwenza wako akizisema.

Kauli kama “Inabidi tuongee” ni miongoni mwa kauli ambazo husababisha aliyeambiwa akose raha kwa muda wote anaosubiri mazungumzo hayo. Wakati mwingine, kauli kama hizi zisizoeleweka huwa ni viashiria tu kwamba ya kwamba jambo kubwa na la kutisha linakaribia kutokea kwenye uhusiano wenu.

Kwa kusema hivyo, hata kauli ambazo zinaweza kusemwa kiutani pia huweza kuwa na ishara mbaya kwenye uhusiano. Kama mwenza wako anasema mojawapo au zaidi ya kauli moja kati ya hizi zifuatazo mara kwa mara, basi ujue kwamba yawezekana wa kutafakari kwa kina uhusiano wenu na hatua za kufanya mapema:

“Sitakuangusha”

Kupeana ahadi ni jambo muhimu kwenye uhusiano lakini kama mpenzi wako anakuwa anaahidi au kuapa mara kwa mara kwamba hawatakuangusha kwenye uhusiano wenu kwa njia yoyote, ujue kabisa kwamba hapo unadanganywa wazi wazi.

Wewe ni lazima utakuja kumkosea na yeye pia atakukosea. Kama akiwa anasema tofauti na ukweli huu, ujue kwamba anaahidi kitu ambacho hamna mtu yeyote anayeweza kukitimiza au pengine ikawa moja kwa moja anamaanisha kwamba hata atakapokukosea itakuwa ni ngumu kwake kukubali kosa alilofanya.

Ni jambo la kawaida wapenzi kukoseana kwa sababu sisi sote ni binadamu, si wakamilifu – makosa yanatokea. Mara nyingi makosa haya si ya makusudi, lakini mara nyingine yanatokana na hasira tu. Usikubali ahadi za kitapeli za aina hii na ujipe nafasi ya kujenga uhusiano na mtu mwingine ambaye ni mkweli zaidi.

“Una hasira za haraka sana”

Mtu akisema kauli hii ni sawa na kuwa anamwagia petroli kwenye moto: kumwambia mtu kwamba ana hasira za haraka akiwa tayari amekasirika itafanya kumuongezea hasira alizo nazo.

Si hilo tu, kama mpenzi wako anakwambia hivi anamaanisha kuyapuuza mambo ambayo yawezekana wewe yanakuumiza sana na kuyageuza yaonekane kama ni hasira zisizo na ulazima wowote. Anakuwa anakupa ujumbe wa wazi kwamba hajali hisia zako kuhusu jambo fulani na anapuuza kama hajapenda jinsi ulivyolisema.

“Nitaacha [ulevi, kamari, matumizi mabaya…] kwa ajili yako”

Kama mpenzi wako ana kitanzi shingoni au tabia ambayo huipendi, hatakiwi kuapa kwamba ataiacha kwa ajili yako “kwa ajili yako.”

Kwa mtu, kuacha tabia ambayo haipendezi inatakiwa kuwa ni uamuzi wa maisha na si mahusiano yote yanayodumu muda mrefu na chaguzi maishani hazitakiwi kudumishwa kisa tu kwa uwepo wa uhusiano baina yako na mwenza wako.

Ingawa woga wa kumpoteza mpenzi wako kunaweza kukufanya kuahidi jambo kama hili, lakini ujue kabisa kuwa huwa ahadi za namna hii hazidumu. Unaweza kujizuia wewe tu kutosema kauli za aina hii, kamwe huwezi kumzuia au kumshawishi mwenzio

Na endapo utajikuta umeshaahidi jambo kama hili, basi kushindwa kutelekeza ahadi hiyo kutakuwa ni sababu kubwa ya kupoteza uaminifu.

“Chagua kimoja, mimi au…”
Vitisho huwa vinakera na vinatakiwa kutumika tu endapo hali imekuwa mbaya sana. Kama una wasiwasi wa kumuumiza mtu au kujiumiza wewe mwenyewe kwa tabia yako, basi mpenzi wako atakuwa na sababu sahihi kabisa ya kutumia hata vitisho ili kukufanya uache jambo hilo.

Lakini endapo mpenzi wako anaamua kutoa vitisho kama kukutaka uchague moja kati yake na: mbwa wako / kukuacha peke yako /familia yako, hiyo ni ishara ya kutodumu kwa uhusiano wenu na kwamba anachotaka ni kutawala maisha yako yote.

“Unatakiwa kufanya…”
Bila shaka wengi wetu tumefanya kosa hili la kuwaomba wapenzi wetu wafanye jambo fulani la ajabu kwa sababu yetu lakini wewe hutaki mpenzi wako akwambie vitu anavyotaka uvifanye.

Kama kweli anataka kukwambia ufanye jambo fulani, njia ya kidiplomasia zaidi ni angalau kwa kukuuliza swali akiomba ufanye jambo hilo na amri zake ziwe mwishoni kabisa kwenye dharura maalumu.

Hili lieleweke wazi: watu wazima hawaambiani lipi la kufanya, labda mkiwa kwenye uhusiano wa mmoja kumtawala mwenzake (kama uhusiano kati ya bosi na muajiriwa), lakini kama si uhusiano wa aina hii, hatakiwi kumwambia mtu mzima nini cha kufanya au kutofanya.

Kama mmoja anajaribu kumtawala mwenzie, hayo si mazingira sahihi ambapo mapenzi yanaweza kushamiri.

“Sikupendi”
Sote tunasema mambo ambayo hatuyamaanishi tunapokuwa na hasira lakini iwapo mpenzi wako anaelezea udogo wa hisia zake kwako kila mara kwa kukwambia kwamba hakupenda au anakuchukia, jua wazi kwamba hiyo ni ishara mbaya sana.

Ni rahisi sana kujikuta unaropoka kutokana na hasira ulizonazo na baada ya muda kujikuta unajuta, hata hivyo, kuelezea chuki ulizo nazo juu ya mtu wa muhimu zaidi kwako si jambo atakalokuja kulisahau maishani mwake na itaharibu uhusiano wenu kirahisi sana.

“Tuachane” (Inaposemwa kiutani)
Muda pekee ambao unatakiwa kusikia kauli ya “tuachane” inatakiwa iwe ni wakati ambao kweli uhusiano huo unakwisha.

Kama mwenzio anatishia “kuachana ” au anatishia kukatisha uhusiano wenu kutokana na mabishano madogo tu, kwamba yupo tayari kukufanya ujisikie kwamba hauna nafasi kwenye uhusiano wenu. Hiyo ni kukuonesha kuwa hajali maumivu unayopata au hadhani kwamba kuna uwezekano ukasema, “Sawa, tuachane tu,” mradi aonekane kuwa yeye ndiye aliyesema muachane kwanza.

Ingawa mapenzi huwa yanavunjika, kama huna nia ya kuachana naye basi usimtishie mwenzio kwamba mtaachana na kila mtu kwenda na njia yake. Woga wa kuachana na mpenzi wako na vitisho vya aina hiyo yanaweza kumsababishia mwenza wako msongo wa mawazo, hasa ikiwa mpenzi wako alishawahi kuachwa au akiwa na matatizo mengine ya afya ya akili.

PROF Lipumba: Nina Uwezo Wa Kuwashughulia Kubenea, Sumaye, Lowassa Na Referee Wao Maalim Seif.

$
0
0
PROF Lipumba: Nina Uwezo Wa Kuwashughulia Kubenea, Sumaye, Lowassa Na Referee Wao Maalim Seif.

TOFAUTI Kubwa Kati ya Upande wa Maalim Seif na Pro. Lipumba Inayozua Mgogoro CUF

$
0
0
Tofauti kubwa kati ya upande wa Maalim na Lipumba ni kwamba hoja za akina Lipumba zinaegemea katiba na sheria wakati hoja za akina Maalim zinaengemea mantiki ya kisiasa na mtazamo wa kijamii.

Wote wapo sahihi lakini bahati mbaya au nzuri ni kwamba vyombo vya maamuzi huamua kwa mujibu wa katiba na sheria badala ya mantiki ya kisiasa na mtazamo wa jamii.

By Habib Mchange
Viewing all 104756 articles
Browse latest View live




Latest Images