Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live

SHABIKI Avamia Kiwanjani na Kumtolea Maneno Makali Wenger

$
0
0
SHABIKI Avamia Kiwanjani na Kumtolea Maneno Makali Wenger
Pamoja na Arsenal kuitwanga Benfica kwa mabao 5-2 katika mechi ya kirafiki, bado kuna mashabiki hawamtaki katika klabu hiyo.

Shabiki mmoja alifanikiwa kupenya uwanjani wakati wa mchezo huo na kusema maneno makali dhidi yake akionyesha kumpinga kwake.

Hata hivyo shabiki huyo aliondolewa uwanjani na askari baada ya kuwa ameropoka maneno hayo makali dhidi ya Wenger.

Miezi michache iliyopita, Wenger aliongeza mkataba wa miaka miwili kuifundisha Arsenal licha ya kuwa mashabiki wakionyesha wazi hawamtaki au wamemchoka.

Raia huyo wa Ufaransa alianza kuifundisha Arsenal tokea mwaka 1996 akitokea Grampus Eight ya  Japan.


TIMU ya Barcelona Yaibwaga Real Madrid 3-2

$
0
0
Gerard Pique akiifungia bao la ushindi Barcelona dakika ya 50 ikiilaza 3-2 Real Madrid katika mchezo wa kirafiki wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Hard Rock mjini Miami, Marekani. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Lionel Messi dakika ya tatu na Ivan Rakitic dakika ya saba, wakati ya Real yamefungwa na Mateo Kovacic dakika ya 14 na Marco Asensio dakika ya 36.

HATIMAYE NEC Wajitokeza na Kutoa Ufafanuzi Kuhusu UTEUZI wa Wabunge CUF

$
0
0
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imefafanua juu ya uteuzi wa wabunge wapya wa Viti Maalumu wa Chama cha Wananchi (CUF).

Imesema kuwa imesikitishwa na kushangazwa na taarifa za Baraza Kuu la Taifa la chama hicho kwamba tume hiyo imekiuka kanuni zake katika uteuzi wa wabunge wanane wa chama hicho ili kujaza nafasi za wazi zilizotokea hivi karibuni.

Aidha, imesema chama husika kilipewa fursa ya kupendekeza na kilifanya hivyo, kabla ya NEC kuanika majina ya wabunge wapya wa CUF katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hayo yamo katika taarifa ya Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Kailima Ramadhani aliyoitoa jana jioni, akizungumzia tuhuma dhidi ya tume hiyo, inayodaiwa kukiuka kanuni katika uteuzi wa wabunge wanane wa viti maalumu wa CUF.

Sehemu ya Taarifa ya CUF katika mitandao ya kijamii inayoituhumu NEC inasema; “Kanuni walizojiwekea wenyewe Tume katika uteuzi wa watu wa kujaza nafasi hizo zinasema uteuzi huo unafuata mpangilio wa majina, kama ulivyokuwa umewasilishwa na chama husika wakati wa uteuzi wa wagombea wa ubunge wa viti maalumu wakati wa uchaguzi mkuu uliopita.

“CUF ilipeleka orodha yake ambayo haihusishi majina yaliyotangazwa, hivyo ndiyo kusema hata kama hicho kinachoitwa kufukuzwa uanachama wabunge hao kingekuwa halali (jambo ambalo si halali kama ilivyokwishaelezwa hapo juu), basi kwa Kanuni za Tume yenyewe, watu wa kujaza nafasi hizo wasingekuwa hao waliotangazwa.”

Kailima, katika taarifa yake, alisema taarifa zinazotolewa katika mitandao zikihusisha NEC kukihujumu chama hicho ni za kushangaza na kwamba Baraza Kuu la Uongozi la CUF, linataka kuupotosha umma kuhusu utekelezaji wa kazi za Tume.

“Chama husika ndicho kinaweza kujua ni nani siyo mwanachama wa chama hicho kwa kipindi cha kujaza nafasi wazi inapotokea,” alieleza Kailima na kuongeza kuwa, kwa mujibu wa majina manane yaliyopendekezwa na CUF kujaza nafasi wazi za wabunge wa viti maalumu ni miongoni mwa majina 55 yaliyowasilishwa na chama hicho kwa barua yenye kumbukumbu Namba CUF/AK/DSM/ KM/003/1A/2015/14 ya Septemba 28, 2015 iliyosainiwa na Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Shariff Hamad.

CHADEMA Wajitokeza na Kupinga Kumfukuza Mwandishi wa TBC Katika Mkutano wa TUNDU Lissu.....

$
0
0

Kuhusu Mwandishi wa TBC kuzongwa /kuzuiliwa kutimiza wajibu wake.
Tumepokea kupitia vyombo vya Habari taarifa za tukio la Mwandishi wa habari wa TBC kushindwa kutimiza wajibu wake Katika Makao Makuu ya CHADEMA.

Tunapenda kuweka wazi Kuwa tukio hili halikufanywa kwa maelekezo ya kiongozi yeyote na kama Chama hatujawahi na hatuna Sera wala msimamo wa kubagua chombo chochote cha habari.

Kwa hatua za awali tunafanyia uchunguzi tukio hilo ili kuweza kubainisha Nini hasa kilitokea Katika siku hiyo na tunategemea kupata ushirikiano kutoka kwa Mwandishi husika Katika uchunguzi wetu.

Tunapenda kuwahakikishia waandishi wote wa habari kuwa wataendelea kuwa salama Katika matukio yote ambayo yatakuwa yakifanywa na CHADEMA na watapata ushirikiano unaostahili.

Baada ya uchunguzi wetu kukamilika tutatoa taarifa Kamili juu ya tutakachokuwa tumebaini na hatua tutakazochukua .
Sisi tunaamini Katika uhuru wa vyombo vya habari, uhuru wa waandishi wa habari na haki ya kupata na kutoa habari/taarifa kuwa ni nguzo kuu katika kujenga taifa la kidemokrasia na hatimaye kufikia maendeleo ya kweli.

Imani yetu hiyo tumekuwa tukiidhihirisha kwa vitendo hadharani, mfano, CHADEMA ni taasisi ya kwanza ya kisiasa iliyotia saini na kukubaliana na *Azimio la Dar es Salaam Juu ya Uhuru wa Uhariri na Uwajibikaji* (hatuna uhakika kama ipo nyingine iliyofanya hivyo hadi sasa).

Tunapenda kutumia fursa hii kuwahakikishia wadau wote wa habari, wakiwemo waandishi, wahariri na wananchi, kuwa tutaendelea kuionesha imani hiyo kwa vitendo katika shughuli zetu zote za kisiasa.

Pamoja na salamu za Chama.
John Mrema 
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje- CHADEMA

ONGEZA Hips, Makalio, Kuwa Softi na Nguvu za Kiume Kwa Kutumia Products hizi

$
0
0
PENDEZA SASA:-ONGEZA HIPS, MAKALIO NA MAPAJA, KUWA MWEUPE NA SOFTI, ONGEZA MAUMBILE YA KIUME, NGUVU NA HAMU YA TENDO N.K @markson_beauty_pr Tunakuletea bidhaa bora zenye matokeo ya uhakika na haraka zisizo na kemikali wala madhara. Zimetengenezwa kwa mimea na matunda na kudhibitishwa kiafya. NB. Matokeo ni uhakika na garantii na risiti 🍉🌿🍅🍍🍒🍉🍓🍅🍒 BIDHAA ZETU:- 

1.Kurefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @130,000/=
2.Kuongeza shepu (hips, makalio na mapaja) kwa:-
(a)BOTCHO MULT-PLUS 10× @200,000/=
(b)Vidonge @180,000/=
(c)BOTCHO 10× ya kupaka @150,000/=
3.Kuwa mweupe na softi mwili mzima kwa:- (1)Mafuta @130,000/=
(11)Vidonge @150,000/=
4. Kupunguza unene na manyama uzembe @150,000/=
5.Kuongeza uume pamoja na nguvu za kiume kwa:-
(a)SHARK POWER gely ya kupaka (Inaongeza inch 6-7) @150,000/= (b)Vidonge kwa ajili ya kuongeza nguvu na hamu ya tendo la ndoa hata kwa wenye kisukari @150,000/= (C)HANDSOME UP ORIGINAL- kifaa cha kuongeza maumbile kwa size uipendayo @250,000/=
6.Kuondoa mvi milele zisiludi tena @150,000/=
7.Kuongeza unene wa mwili mzima na uzito pamoja na hamu ya kula @130,000/=
8.Kupunguza tumbo (kitambi) na nyama za pembeni kwa:-
(a)Dawa ya kunywa au kupaka @130,000/= (b)Mkanda wa kawaida @100,000/= (c)Micro-computer belt wa umeme @200,000/=
9.Kupunguza maziwa na kuyasimamisha hata kwa walionyonyesha @130,000/=
10.Kushepu miguu (CHUPA YA BIA) na kuondoa vigimbi @130,000/=
11.Kuondoa mipasuko mwilini (michirizi) @120,000/=
12.Kurudisha usichana (bikra) @120,000/=

Wasiliana nasi :- (+255) 0767447444 au. 0714335378

 TAHADHARI: Hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako. 👉🏻Ili kuona bidhaa zaidi na shuhuda za waliotumia bidhaa zetu. ............... Follow us on instagram @Markson_beauty_pr
@Markson_beauty_pr

MTU Aliyeshambulia Nyumbani Mwa Naibu wa Rais Kenya Auwawa na Polisi

$
0
0
Polisi nchini Kenya wamemuuwa kwa kumpiga risasi mshambuliaji ambaye aliingia kwa nguvu makoa ya naibu wa rais nchini Kenya Willliam Ruto.

Bwana Ruto na familia yaka hawakuwa nyumbani humo katika kijiji kilicho karibu na mji wa Eldoret.

Mwanamume huyo aliingia nyumbani kwa naibu rais baada ya kumjeruhi mlinzi wa mlango kwa upanga na kumnyanganya bunduki ayke, kwa mujibu wa polisi.

Kisa hicho kinatokea siku chache kabla ya Kenya kuandaa uchaguzi wa Rais.

Mkuu wa polisi Joseph Boinet aliviambia vyombo vya habari kuwa hali sasa imedhibitiwa.
"Hakuna tisho sasa kwa sababu alikuwa ndiye peke yake"
Hakuna taafa zaidi iliyotolewa kuhusu shambulia hilo.

Ripoti za awali zilisema kuwa watu kadhaa waliokuwa wamejihami waliingi nyumbani mwa Ruto lakini badaye polisi wakasema kuwa alikuwa ni mshambuliaji mmoja tu.

Kumekuwa na ripoti za kukamnganya kuhusu ni bunduki ngapi mtu hiyo alitumia.

Bwana Boinet aliiambia radio moja kuwa ni bunduki moja iliyokuwa ya mlinzi na imepatikana kutoka kwa mshambuliaji huyo.

Hata hivyo kamishina eneo la Ponde la Ufa Wanyama Musiambo, aliwaambia waandishi wa habari kuwa mshambuliaji alitumia bunduki kadha baada ya kuvunja na kuingia ghala la polisi lililo ndani ya makao hayo ya naibu Rais.

KAMPENI ya ‘Magufuli Baki’ Kuanza Hivi Karibuni....

$
0
0
KAMPENI ya ‘Magufuli Baki’ iliyoanzishwa karibuni na mwanaharakati ambaye pia aliwahi kuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Sengerema kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) mwaka 2015, Laurence Mabawa, inatarajiwa kuanza karibuni.

Akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam leo, Mabawa amesema kuwa lengo la kampeni hiyo ni kumpongeza Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwa kupigania rasilimali za wananchi wanyonge na masikini na kuunga mkono juhudi anazozifanya na hivyo kampeni hiyo inahamasisha yeye kubaki katika msimamo wake pasipo kusikiliza maneno ya watu.

“Napinga kwa nguvu zote, kama nilivyokwisha kufafanua toka mwanzo ,kampeni ya ‘Magufuli Baki’ ina lengo la kumtia moyo Rais Magufuli na kumwomba abaki katika msimamo wake wa kutetea maskini, wanyonge na kupigania rasilimali za taifa letu:

“Nirudie tena wito wangu kwamba nitazunguka nchi nzima kwa gharama zangu kupata fursa ya kuwasikiliza wananchi kupitia kampeni yangu inayojulikana kwa ‘Magufuli Baki’ kuhakikisha wananchi wanatoa maoni yao juu ya rais kuendeleza msimamo wake wa kiutendaji na sitavunjwa na propaganda za baadhi ya vikundi vinavyonikejeli mitandaoni pasipo kuthamini maendeleo anayoyafanya,” alisema.

Aidha alieleza kwamba toka aitangaze kampeni yake kumekuwa na tabia kwa baadhi ya wanasiasa na wananchi ambao hutoa lugha za maudhi na kejeli kwa baadhi ya Watanzania wanaojitokeza hadharani kumpongeza Rais Magufuli na serikali yake.

Amesema kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 ibara ya 18 kifungu kidogo cha (1) na (2) kinatupa haki na fursa ya kutoa maoni na kueleza fikra zetu, hivyo amewaomba wanasiasa wasitumie kifungu hicho cha katiba kukivunja kwa kutoa maoni yenye kuudhi na kejeli, kwa hiyo, alisema, kitendo cha kushambuliana kwa maneno makali ni kosa kisheria.
Alisema kampeni aliyoianzisha itaweza kutoa fursa kwa wananchi kutoa maoni yao ambayo yatasambazwa kupitia vyombo mbalimbali vya habari na mitandao ya kijamii kuanzia mwezi ujao.
NA DENIS MTIMA/GPL

Msami: "Uwoya Alijigonga Kwangu Mwenyewe na Kunitongoza Sishangai Yupo na Dogo Janja"

$
0
0
Mwanamuziki anayefanya poa na ngoma ya 'So Fine' Msami baby amedai hana mawazo ya mpenzi wake wa zamani, msanii wa bogo movie, Irene Uwoya kutoka kimapenzi na msanii Dogo Janja kwani hakuwahi kumtaka bali mwanadada huyo ndiye aliyemtaka wa kwanza.

Msami amefunguka hayo kwenye FNL ya EATV ijuma hii wakati alipokuwa akijibu swali la mtangazaji wa kipindi hicho kuhusu kupotea kwake kwenye game kama kumechangiwa na mawazo ya mapenzi.

"Dogo Janja kutoka kimapenzi na Irene haijanishangaza au kunifanya mimi nipotee kwenye game kwa sababu kwenye mapenzi mimi sijawahi kuachika bali huwa naachaga. Uwoya yeye ndiye alinitongoza mimi kwani sijawahi kumtongoza ........". Kuhusu kuwa kimya ukweli nilipata ajali ya kuvaana na gari uso kwa uso kwa hiyo nilikuwa najiuguza kwanza, Ajali yangu haikusababishwa na 'stress' za mapenzi kabisa". Msami baby alifunguka.

Msami baby aliwahi kutajwa miaka miwili nyuma kujihusisha kimapenzi na diva huyo wa bongo movie huku akidaiwa kumtelekeza mpenzi wake na baada ya hapo pia alitajwa sana kujiweka kwenye mapenzi na muigizaji Kajala.

RAIS Trump Aikosoa China kwa kutoichukulia hatua Korea Kaskazini

$
0
0
Rais wa Marekani Donald Trump amekosoa Uchina kwa kukosa kuchukua hatua madhubuti za kuhakikisha kuwa Korea Kaskazini inasitisha mipango yake ya silaha za nukia.

Maoni yake yamechapishwa kwenye mtandao wa twitter siku moja baada ya Korea Kaskazini kufyatia kombora lake la pili linaloweza kusafiri kutoka bara moja hadi jingine mara ya pili chini ya muda wa mwezi mmoja.

Korea Kaskazini baadaye ilidai kuwa jaribio hilo linaonyesha kuwa silaha zake zinaweza kuishambulia Marekani.

Bwana Trump alisema amesikitishwa sana na Uchina na kuapa kuwa hataruhusu hali hii kuendelea.

Mnamo Jumamosi Uchina ilieleza masikitiko yake makubwa kuhusiana na kufyatuliwa kwa kombora hilo Korea Kaskazini.

Msichana Aliyesingizia Kubakwa na Wanaume Watatu Kufungwa Miaka 10

$
0
0
Msichana mkazi wa Texas, Marekani ambaye alikimbilia Kanisani na kudai kuwa amebakwa na kundi la Wanaume watatu wenye asili ya Afrika, huenda akahukumiwa kifungo jela baada ya kukiri kwamba alidanganya.

Breana Harmon, mwenye umri wa miaka 19, mapema mwezi March alikimbilia Kanisani mjini Denison, Texas, akiwa na damu katika mwili wake na kudai kubakwa na wanaume wawili wakati mwingine akimshikilia chini, unaripoti mtandao wa KXII.

Hata hivyo, vipimo vya Hospitali havikuonesha ushahidi wowote kuwa msichana huyo alidhalilishwa na wanaume hao wenye asili ya Afrika ambapo wiki mbili baada ya tukio hilo alikiri kwa Polisi kuwa alidanganya juu ya tukio hilo na kuumia kwake kulitokana na yeye mwenyewe.

Kwa mujibu wa Mwanasheria Joe Brown, msichana huyo alifunguliwa kesi ya jinai mapema wiki hii kutokana na kudanganya ambapo thamani ya kosa ni kifungo cha hadi miaka 10 jela na faini ya Dollar 10,000.

“Tulivyoangalia katika kilichotokea kwenye kesi hii, na kuzingatia madhara iliyosababisha, na pengine itakayosababisha, tunaamini alichokifanya kinastahili adhabu zaidi. Alichokifanya ni kikubwa, na tunaamini ilikuwa ni kosa la jinai.” – Joe Brow

Ruby Ndani ya Komaa Concert Dar, Kucheza Huku Kweli ana Mimba?

$
0
0
Tamasha la Komaa Concert la EFM lililofanyika weekend hii katika viwanja vya Tanganyika Pakers liliwakutanisha mastaa mbalimbali wa muziki akiwemo, Ruby ambaye anadaiwa kuwa ni mjamzito. Muimbaji huyo alionekana akicheza kwa nguvu zake zote hali ambayo iliibua maswali mengi kama ni kweli muimbaji huyo ana mimba au la kama baadhi ya watu wanavyodai katika mitandao ya kijamii.

Magdalena Sakaya wa CUF ya Lipumba Amwamshia Dude Maalim Seif...

$
0
0
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Magdalena Sakaya, amesema kuwa maamuzi ya kukurupuka yanayofanywa na Katibu Mkuu wa Chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad yanaonyesha ni namna gani kiongozi huyo anavyopungukiwa na uwezo wa kufikiri.

Amesema kuwa, Maalim Seif kwa sasa hajielewi kwani CUF inaendeshwa kwa kufuata misingi ya Katiba ya chama hicho si kama Maalim anavyofikiria kukiongoza chama hicho cha upinzani.

Ameyasema hayo mara baada ya kikao kinachodaiwa kuwa cha Baraza Kuu la Uongozi la Taifa la chama hicho kilichofanyika mjini Unguja na kuwafukuza wanachama saba wa chama hicho akiwemo Sakaya.

“Naona sasa uwezo wa kufikiri wa Maalim Seif unazidi kupungua, sijui sasa anafukuza watu kwa mara ya ngapi, hajui anachokifanya kwa sasa, kila siku amekuwa akikurupuka tu katika kutoa maamuzi,”amesema Sakaya.

Hata hivyo, amesema kuwa CUF ni chama kimoja chenye Mwenyekiti na Katibu mmoja huku manaibu katibu wakuu wakiwa wawili na kila maamuzi yanafanyika kwa kufuata Katiba ya chama hicho.

Kutana na Mtabibu ALLAH CHIEF SULTAN MAKATA..Anatibu Magonjwa Mbali Mbali, Kusoma Nyota na Mengine

$
0
0
Kutana  na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH CHIEF SULTAN MAKATA Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika
Anatibu kwa Njia ya Simu Ukiwa Nchi Yoyote / Mkoa wowote


..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na  Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Chief Sultan Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU(LIMBWATA). Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine?Una Mpenzi wako ana Pesa na Unataka kumkamata? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
Chief Sultan Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia  Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA,Hutoa  PETE ZA BAHATI inayoendana na NYOTA YAKO. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.HUZUIA CHUMA ULETE NA KUKUPA DAWA YA KUONGEZA FAIDA KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA AU KUDHULUMIWA.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI.Humaliza Kabisa Tatizo la Nguvu za KIUME na Kurefusha Uume kwa Saizi Unayotaka,HUMALIZA KESI YA AINA YOYOTE NDANI YA SIKU 14.

Na Mengi zaidiWhatsapp/Calls +255 710 279 458
+255 710 279 458

Tiba ni kwa Watu wenye Imani na Dini zote

Haya Hapa Madhara ya Kujichua Kwa Wanawake na Wanaume

$
0
0
Punyeto ni nini

Punyeto ni kitendo cha kufanya au kupiga punyeto, ni tendo la kutomasa sehemu zako mwenyewe za siri ili kujisisimua kimapenzi.



Haya ni baadhi ya madhara awezayopata mwanamke anayejichua au kufanya punyeto;

1. Inaharibu kizazi

2. Inakufanya kua mvivu mara kwa mara

3. Unakuwa unakosa hamu ya tendo

4. Maumivu ukeni yasiyo na sababu

5. Uke kuwa mlegevu yaani mtepeto

6. Hupelekea uke kutoa maji maji mara kwa mara au maji yale ambayo utoka kabla ya tendo kuto kuwepo ivyo itakufanya kupata michubuko na maumivu makali wakati wa tendo.

7. Uwezi kuja kujua raha ya tendo ukizoea punyeto sana wewe dada.

8. Punyeto inafanya uke wa mwanamke kukosa ladha kabisa hiyo itapelea kukimbiwa na mmeo au mwenzako kutafuta kamchepuko kenye uke mtamu.

9. Na ukizoea punyeto itakufanya kuwa mtu wa hasira hasira kila mara

10. Punyeto ni hatari kwa afya yako pia ukiizoea sana itapekekea kufanya mapenzi ya jinsia moja.

Hay ni baadhi ya madhara ya kupiga punyeto kwa wanaume

1. Punyeto hukufanya uwe dhaifu, inapoteza protini na kalsiamu ndani ya mwili wako.

2. Huleta matatizo kwenye neva nyurolojia ndani ya mwili.

3. Ni moja ya kisababishi kikuu cha uhanithi (uume kushindwa kusimama)

4. Ni rahisi kuwa mtumwa wa kujichua (teja) unaweza kujaribu mara 1 tu na tayari ukawa teja wa jambo hilo kila mara

5. Huleta uchomvu sugu na kwa haraka zaidi, mara nyingi utahitaji kulala usingizi hata nyakati za mchana

6. Husababisha mfadhaiko (stress) kwenye akili na kwenye roho yako pia

7. Huleta matatizo ya kisaikolojia, hukusababishia majonzi na huzuni na kukufanya kujilaumu nafsi mara baada ya kumaliza kujichua

8. Punyeto haifanyiki kirahisi, unahitaji akili yako iwaze au itazame picha mbaya au chafu au kumfikiria kimapenzi mtu asiyekuwepo hapo ulipo. Hili ni jambo baya zaidi kwa afya kwani picha hizo hazikuondoki haraka kichwani mwako tofauti na ukishiriki tendo la ndoa na binadamu mwenzio moja kwa moja.

9. Punyeto inakupelekea kufanya makutano haramu kwakuwa hiyo hamu yako ya kutaka kujichua kila mara itakupelekea kuanza kutafuta vijarida au picha za ngono jambo ambalo ni baya zaidi kwa afya yako ya mwili na roho

10. Punyeto inapelekea tatizo lingine kubwa zaidi nalo ni kuwahi kufika kileleni utakaposhiriki tendo la ndoa na mwenza wako, hii itakuletea shida kwenye mahusiano yako wewe mwenyewe na hata kwa mwenza wako.

11. Punyeto inapunguza uwingi wa mbegu (reduces your sperm count) kama matokeo yake mwanaume hataweza kumpa mwanamke ujauzito. Hili la kuwa na mbegu chache ndilo chanzo kikuu cha ugumba kwa wanaume na ni matokeo ya kupiga punyeto mara kwa mara.

12. Kimaadili kabisa punyeto au kujichua ni jambo baya, unamuwaza fulani na kujikuta ukishiriki tendo la ndoa peke yako. Hii inapunguza thamani yako na nidhamu kwa wengine. Unaweza kuwa mzuri kwenye maeneo mengine mengi lakini utaishia kuwa na matatizo kama hutaiacha tabia hii haraka.

Je ufanye nini ili kuacha punyeto au usishiriki mchezo huu mchafu?

Kama muda na umri haukuruhusu kuwa na mke au mchumba, basi fanya yafuatayo:

•Kama bado unasoma kuwa bize na masomo na ujiepushe na makundi hatarishi.

•Jishughulishe na mazoezi ya viungo kila siku. Hii itauchosha mwili wako na hivyo hutapata muda tena wa kujichosha zaidi kwa kujichua kwani tayari utakuwa na uwezo wa kupata usingizi mtulivu sababu ya mazoezi

•Usikae peke yako muda mrefu bila kuwa bize na shughuli yoyote. Kichwa kitupu ni nyumba ya maasi mengi.

•Epuka vyakula vyenye mafuta mengi

•Tumia muda ambao huna kazi kwa kulala na hivyo utakuwa unaipumzisha pia akili yako

•Usikae muda mrefu maeneo kama ya bafuni au chooni

•Usipende kujishikashika na mkono wako sehemu zako za siri wakati wowote.

•Futa picha zozote chafu iwe kwenye simu au computer yako na usitembelee blog au tovuti yoyote yenye picha hizo, kama upo kwenye magroup ya namna hiyo kwenye mitandao ya kijamii basi jiondowe haraka iwezekanavyo.

Chanzo.Dk Fadhili Paulo na Mitandao

ACT Wazalendo Wamtaka Waziri wa Kilimo ‘Ajitumbue’

$
0
0
Chama cha ACT-Wazalendo kimemtaka Waziri wa Kilimo, Dk Charles Tizeba kujiuzulu kwa kushindwa kuwapelekea wakulima wa korosho pembejeo kama alivyoahidi.


Akizungumza na Waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam Katibu wa Itikadi,Mawasiliano ya Umma na Uenezi wa chama hicho, Ndg Ado Shaibu amesema kwa sasa bado  kuna upungufu wa pembejeo ingawaje serikali ilitangaza kuwa wakulima wa Korosho wangepatiwa bure dawa za kuulia wadudu aina ya Sulpher ili waongeze uzalishaji.

Haibu amesema Serikali iliahidi kupeleka tani 5000 za sulphur lakini imepeleka tani 1500 hali inayosababisha wafanyabiashara kupandisha bei ya mfuko wa sulphur kutoka Tsh 30,000/= hadi 80,000/=.

Lipumba Amchokozi Amwita Tena Maalim Seif Ofisini

$
0
0
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa, Profesa Ibrahim Lipumba amesema Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad ameshindwa kutekeleza majukumu yake kama kiongozi.

Hata hivyo, Profesa Lipumba amemtaka arejee ofisini kuendelea na majukumu yake licha ya kudai kwamba kwa sasa nafasi yake inakaimiwa na Naibu Katibu Mkuu, Magdalena Sakaya.

Akizungumza kwenye mahojiano na kituo kimoja cha televisheni leo, Profesa Lipumba amesema bado anamtambua Maalim Seif kama Katibu Mkuu wa chama hicho licha ya utoro wake kazini.

"Sijamwona Katibu Mkuu tangu Septemba 23 mwaka jana, namkaribisha aje ofisini Buguruni apokee maelekezo kutoka kwa mwenyekiti," amesema Profesa Lipumba.

Mwenyekiti huyo amesisitiza kwamba yeye ni mwenyekiti halali wa CUF kwa mujibu wa ibara ya 117 ya chama hicho ambayo inaeleza taratibu za kiongozi kujiuzulu.

"Ibara ya 117 inatoa mamlaka kwa mkutano mkuu kujadili barua ya kiongozi kisha kuridhia kujiuzulu kwake au laa. Sasa mimi niliandika barua ya kutengua kujiuzulu kwangu kabla mkutano mkuu wa chama haujakaa kuijadili barua yangu ya kujiuzulu," amesema.

Watumishi 400 Walioishia Darasa la 7 Kupigwa Chini

$
0
0

Zaidi ya Wafanyakazi 400 wa Serikali wanatarajia kuondolewa kazini mkoani Morogoro kutokana na kushindwa kujiendeleza kielimu baada ya kuajiriwa miaka 13 iliyopita wakiwa na vyeti vya elimu ya msingi.

Watumishi hao ambao wengi wao ni wauguzi, wahudumu wa afya, madereva, wahudumu wa ofisi, watendaji wa mitaa, vijiji na kata tayari wamenyimwa mishahara yao ya mwezi huu.

Akizungumzia zoezi hilo aliyekuwa Mtendaji wa Kata ya Kimamba wilayani Kilosa, Mashaka Motile amesema katika wilaya hiyo watumishi zaidi ya 80 wamenyimwa mshahara bila maelezo yoyote na walipofuatilia ndipo walipofahamishwa kuwa walipewa muda wa kujiendeleza na wameshindwa kufanya hivyo.

“Hakuna barua yoyote tuliyopewa ya kusimamishwa kazi ila mshahara wa Julai hatujapewa na tulipofuatilia tuliambiwa kuna waraka wa Serikali unaosema wale wote walioajiriwa kuanzia mwezi Mei 20, 2004 wakiwa na elimu ya msingi na wameshindwa kujiendeleza wanatakiwa kuondolewa,” amesema.

Motile anasema yeye na baadhi ya watendaji wengine walisimamishwa kazi kimakosa kwani agizo linasema wasimamishwe kazi walioajiriwa kuanzia Mei 20, 2004 lakini wao waliajiriwa Mei Mosi, 2004.

Akizungumzia uamuzi huo wa Serikali, mhudumu wa afya wa manispaa ya Morogoro ambaye hakutaka jina lake litajwe amesema uamuzi huo umekuwa wa ghafla mno na haujatoa muda wa wao kujiendeleza.

“Naiomba serikali ituongeze japo miaka mitatu ili tuweze kujiendeleza maana hivi tulivyosimamishwa kazi ghafla familia zetu zitaathirika sana na kuna hatari ya watoto wetu kuacha shule, tunaomba tuongezewe muda,” amesema.

Alipotakiwa kuzungumzia zoezi hilo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Kilosa, Kessy Mkambala alisema bado zoezi linaendelea litakapokamilika ndo ataweza kulizungumzia.

Naye Katibu wa Chama Cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa (TALGWU) mkoani Morogoro, Lawrence Mdega amesema wamepokea malalamiko toka kwa wafanyakazi zaidi ya 150 wanaolalamika kuondolewa kwa kuwa wana elimu ya msingi.

“Nimeshawasilisha haya malalamiko makao makuu ya TALGWU ili washughulikie lakini tunachotaka watumishi hawa walipwe mshahara wa Julai ambao tayari waliufanyia kazi lakini pia walipwe mafao yao maana waliitumikia Serikali kwa uadilifu na vyeti vyao hivyo vya elimu ya msingi.

IEBC's ICT Manager Chris Msando Goes missing, probe on

$
0
0

IEBC's ICT deputy director has gone missing days before mock election results transmission.

Chris Msando, who is also acting ICT director, lives in Nyayo estate.

He was last seen on Friday night, chairman Wafula Chebukati said in a statement on Sunday.

"The last communication from him is an SMS sent to one of his colleagues at around 3am on Saturday morning," Chebukati said.

He added the content of the SMS suggested Msando was conscious and fully aware of his itinerary for the day.

"The matter has been reported to police and the commission, together with family members, is working closely with them to establish his whereabouts."

Msandi was filling in for IEBC director of ICT James Muhati who was sent on a 30-day compulsory leave for not cooperating with the audit department.

Muhati was dismissed after a report by the Audit, Risk and Compliance department.

"He failed to cooperate in the provision of information requested from the department contrary to the public, finance and management regulations 2015," communications manager Andrew Limo said in a statement.

The decision to send him home was reached at a plenary meeting chaired by Chebukati and attended by all commissioners and CEO Ezra Chiloba.

Msando was involved in the management of the KIEMS for voter registration, voter identification and results transmission.

Sources close to the commission said he helped seal lo opholes that might be associated with BVR kits.

The official defended the KIEMS, saying they have tested kits’ effectiveness and sealed possible loopholes.

IEBC has dispatched over 20,000 BVR kits across the country for the August 8 election. It earlier announced that more presidential ballot papers will be printed.

Nini Maana ya Kubemenda Mtoto....Soma Hapa

$
0
0



Kumbemenda mtoto ni mtoto kutokua vizuri ikidhaniwa kutokea kutokana na mama anayenyonyesha mtoto kukutana kimapenzi na mwenzi wake hasa kipindi mtoto bado ni mchanga na ananyonyeshwa.

Hii ni dhana iliyopo katika jamii mbalimbali, na inadhaniwa hutokea kwa sababu mtoto kunyonya maziwa yenye mbegu za kiume zilizoingia kwenye maziwa baada ya kufanya mapenzi.

Je, kuna ukweli wowote?
Hapana. kiukweli na kiutaalamu dhana hii si sahihi kabisa!
kufanya mapenzi na mwenzi wako baada ya kujifungua hakuwezi kusababisha afya ya mtoto kuzorota. mwanamke anapokutana na mwanaume kimapenzi, shahawa huingia kwenye tumbo la uzazi na kubaki huko. haziingii kwenye damu wala haziwezi kufika kwenye maziwa. dhana ya kuwa shahawa huingia kwenye maziwa na kumuathiri mtoto sio sahihi.

Ni baada ya muda gani mwanamke aliyejifungua anaweza kufanya mapenzi?
unaweza kuanza kufanya mapenzi tena baada ya maji maji yenye damu ya uke (lochia) kuacha kutoka ambayo ni kama wiki 3 mpaka 4 baada ya kujifungua, na wewe kujisikia vizuri na kuwa tayari kushiriki katika mapenzi. pia, mnaweza kusubiri mpaka wiki 6 zipite toka ulivyojifungua.

Je, kuna athari yoyote ya kufanya mapenzi baada ya kujifungua?
Kufanya mapenzi baada ya kujifungua hakuwezi kuleta madhara kwa mtoto endapo hamna maambukizi ya magonjwa kama virusi vya ukimwi (vvu). ikiwa mwanaume ana vvu anaweza kumuambukiza mama na kisha mtoto kuambukizwa kupitia maziwa ya mama.

Ikiwa mnafanya mapenzi kabla ya damu damu ya ukeni kukata, maambukizi ya bakteria yanaweza kutokea kwenye tumbo la uzazi (endometritis). pia kuna uwezekano wa mama kupata ujauzito miezi 6 ya kwanza ya kunyonyesha.

Nini kinasababisha afya ya mtoto kuzorota?
Kama tulivyoona, kufanya mapenzi hakusababishi mtoto kubemendwa. afya ya mtoto inaweza kuzorota kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo;

Kukosa maziwa ya mama ya kutoshaMtoto kushindwa kunyonya vizuriKuanzishiwa vyakula vya ziada mapema, kabla mtoto hajafikisha miezi 6 au vyakula visivyo na viritubisho vya kutosha.Homa, nimonia na maambukizi ya mfumo wa mkojo (uti) za mara kwa mara.Maambukizi ya magonjwa kama virusi vya ukimwi (vvu) au kifua kikuu.Matatizo ya moyo ya kuzaliwa nayo (congenital heart diseases).
Kufanya mapenzi na mwenzi wako hakusababishi mtoto kubemendwa. baada ya kujifungua mtoto hutegemea kupata lishe bora kutoka kwenye maziwa ya mama, hivyo nyonyesha mtoto wako vizuri. ukiona ukuaji wake unazorota, onana na daktari.

Ufanye Nini Unapovutiwa Kimapenzi na Mtu Mwingine

$
0
0

Wapo watu ambao wameoa au wana wapenzi walioahidiana kwa mambo mengi, lakini wamekuwa wakikabiliwa na tatizo la kuvutwa kimahaba na watu wengine. Hali hii huwatokea wawapo masomoni, kazini, kwenye biashara, mbali au pengine hata karibu na wenza wao wa zamani.

Sayansi ya jamii inakubali kuwa mwingiliano wa kijamii mara nyingine huathiri tabia za watu, ukweli huu unathibitishwa na ongezeko la usaliti katika mapenzi, mantiki ikibaki kwenye mwili kulazimishwa na mapokeo ya tafsiri ya vitu vinayotawala mawazo ya mwanadamu.

Katika mapenzi kuna mashujaa wachache sana ambao wanamudu ushawihi wa kimahaba kutoka kwa wengine, hii ina maana asilimia 96.5 kwa mujibu wa uchunguzi huanguka kwenye mapenzi mapya baada ya miili kuelemewa na hisia chochezi.

Maelfu ya wanaume na wanawake hulazimika kuwasaliti wapenzi wao baada ya kuvutiwa na maumbo au sura za wanaume/wanawake wanaokutana nao katika shughuli zao za kimaisha. Wapenzi hao hujikwaa kupitia macho na hisia zao, huku wengi wakikiri kushindwa kuzuia matamanio.

“Msichana/mvulana huyu ni mzuri sana nahisi kumpenda, nimuonapo nachanganyiwa kabisa.” Inawezekana hata wewe unayesoma makala haya umewahi kutamka maneno haya na ukasahau kuwa umeoa/ umeolewa au una mchumba uliyepanga kufunga naye ndoa.

Kama hilo halitoshi yawezekana umeshakuza mawazo hayo kiasi cha kuona huna jinsi zaidi ya kufanya usaliti, ukatongoza au ukajitongozesha kwa gharama ili utii hisia zako.

Ninapotazama mwenendo wa wapenzi wengi siku hizi, nabaini kuwa mihemko ya miili inawaangusha wengi kwenye usaliti, jambo linalonifanya nilazimike kufundisha namna ya kukabiliana na tatizo hili ili kuweza kuyanusuru mapenzi .

Naliita jambo hili tatizo kwa sababu limeleta madhara mengi katika jamii, kuna watu wameshauana, ndoa kusambaratika na mapenzi kufa, isitoshe uchunguzi unaonyesha kwamba, wasaliti wengi hawakupata faida au raha waliyoitarajia kutoka kwa wale waliowashawashi, hivyo kufanya hisia zao ziwe kazi bure.

Naamini hakuna mwenye akili timamu anayependa kupoteza utu wake bila faida. Ndiyo maana ipo orodha ndefu ya watu walionifuata na kukiri: “Alinirubuni nikamwacha mpenzi wangu, kumbe alitaka kunichezea tu.”

Wanakiri kurubuniwa, lakini wanasahau kuwa walikubali baada ya kuvutwa na hisia! Je mpaka sasa ni wanaume wangapi wanavutwa kimahaba na akidada warembo wanaokutana nao kiasi cha kuwapuuza wapenzi wao wa zamani na kuamua kuwasaliti?

Katika matembezi yao, shughuli zao, ni wasichana wangapi wanachanganywa na muonekano wa wavulana wanaofanya nao kazi. Angalia mwenendo wako utabaini umekuwa kwenye mtego huu mara ngapi.

Je umeshawahi kujiuliza: HUYO UNAYEVUTIWA NAYE ATAKUCHUKULIAJE? Unachofikiri ndicho anachofikiri yeye au unajipendekeza? Jaribu kuwaza kama unajipendekeza hatma yake itakuwaje kama si kupoteza utu wako bure.

Jiulize tena, UTAPATA NINI KWAKE. Watu makini hujiuliza faida watakazopata katika matendo yao na hivyo kuwa na maamuzi sahihi. Kukurupuka kufanya jambo bila kutazama faida na hasara zake ni wendawazimu. Swali jingine, UNAYEMBABAIKIA ATAPATA NINI KWAKO, Je asipopata cha maana ataamuaje?

Baada ya kujiuliza hivyo, malizia kwa kujiuliza UKO SAHIHI? Kitalaamu ukitoa nafasi ya mawazo yako kuhakiki mienendo yako, utajikuta mwili wako haukulazimishi sana kutimiza matakwa yake, lakini ukiwa mtu mwenye kuona na kulea hisia, utajikuta siku moja unafanya jambo baya litakalokuumiza maisha yako yote.

Waendekezao hisia za mvuto ndiyo hao wanaodiliki kufanya mapenzi hata na baba, mama, kaka na dada zao. 
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live




Latest Images