Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104747 articles
Browse latest View live

MBOWE Afunguka Mazito........Aitaka Serikali Iweke Hadharani Ripoti zote Mbili za Madini ili Kila Mtu Azisome

$
0
0
Serikali imetakiwa kuweka hadharani ripoti zote mbili za madini zilizoandaliwa na kamati zilizoundwa na Rais John Magufuli kuchunguza uendeshaji wa sekta ya madini nchini.

Hayo yamesemwa jijini dar es Salaam leo na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, katika mkutano na vyombo vya habari ambao ulijikita kuelezea masuala ya uchumi.

Mbowe amesema Tanzania imegeuka kituko baada Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuipatia kampuni ya Acacia ankara ya malimbikizi ya kodi yanayozidi Sh400 trilioni.

"Serikali iziweke hadharani ripoti zote za madini ili kila mtu asome na kujua kuna nini kwenye ripoti hizo. Kiasi cha kodi wanachodaiwa Acacia ni bajeti ya Tanzania kwa zaidi ya miaka 20. Hiki ni kituko," amesema.

Mbowe amesisitiza kwanza chama chake ndicho kilikuwa cha kwanza kudai mabadiliko katika sekta ya madini lakini kile kilichofanywa na serikali hakilingani na mabadiliko ambayo waliyapendekeza.

Akifafanua, amebainisha kuwa mabadiliko yaliyofanyika bungeni yamefanyika kwa papara na hayatalinufaisha taifa.


ONGEZA Hips, Makalio, Kuwa Softi na Nguvu za Kiume Kwa Kutumia Products hizi

$
0
0
PENDEZA SASA:-ONGEZA HIPS, MAKALIO NA MAPAJA, KUWA MWEUPE NA SOFTI, ONGEZA MAUMBILE YA KIUME, NGUVU NA HAMU YA TENDO N.K @markson_beauty_pr Tunakuletea bidhaa bora zenye matokeo ya uhakika na haraka zisizo na kemikali wala madhara. Zimetengenezwa kwa mimea na matunda na kudhibitishwa kiafya. NB. Matokeo ni uhakika na garantii na risiti 🍉🌿🍅🍍🍒🍉🍓🍅🍒 BIDHAA ZETU:- 

1.Kurefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @130,000/=
2.Kuongeza shepu (hips, makalio na mapaja) kwa:-
(a)BOTCHO MULT-PLUS 10× @200,000/=
(b)Vidonge @180,000/=
(c)BOTCHO 10× ya kupaka @150,000/=
3.Kuwa mweupe na softi mwili mzima kwa:- (1)Mafuta @130,000/=
(11)Vidonge @150,000/=
4. Kupunguza unene na manyama uzembe @150,000/=
5.Kuongeza uume pamoja na nguvu za kiume kwa:-
(a)SHARK POWER gely ya kupaka (Inaongeza inch 6-7) @150,000/= (b)Vidonge kwa ajili ya kuongeza nguvu na hamu ya tendo la ndoa hata kwa wenye kisukari @150,000/= (C)HANDSOME UP ORIGINAL- kifaa cha kuongeza maumbile kwa size uipendayo @250,000/=
6.Kuondoa mvi milele zisiludi tena @150,000/=
7.Kuongeza unene wa mwili mzima na uzito pamoja na hamu ya kula @130,000/=
8.Kupunguza tumbo (kitambi) na nyama za pembeni kwa:-
(a)Dawa ya kunywa au kupaka @130,000/= (b)Mkanda wa kawaida @100,000/= (c)Micro-computer belt wa umeme @200,000/=
9.Kupunguza maziwa na kuyasimamisha hata kwa walionyonyesha @130,000/=
10.Kushepu miguu (CHUPA YA BIA) na kuondoa vigimbi @130,000/=
11.Kuondoa mipasuko mwilini (michirizi) @120,000/=
12.Kurudisha usichana (bikra) @120,000/=

Wasiliana nasi :- (+255) 0767447444 au. 0714335378

 TAHADHARI: Hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako. 👉🏻Ili kuona bidhaa zaidi na shuhuda za waliotumia bidhaa zetu. ............... Follow us on instagram @Markson_beauty_pr
@Markson_beauty_pr

KAMA Una Mke/Mpenzi Asiyejamba Mbele Yako Huu Ndio Ujumbe Kwako

$
0
0
Ukiona umedumu na mwenzio kwa zaidi ya miaka 2 na kuendelea ktk mapenzi na hajawahi kujamba mbele yako achana nae faster. Kama anaficha kitu kidogo namna hiyo ni vingapi atakuwa ameshakuficha?

Tafakari

SHAMSA Ford Yupo Tayari Kuachika......

$
0
0
STAA wa sinema za Kibongo, Shamsa Ford ambaye ni mke wa ndoa wa mfanyabiashara Rashid Said ‘Chid Mapenzi’ amefunguka kuwa, yupo tayari kupewa talaka kuliko kuacha kazi yake ya uigizaji.

Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Shamsa alisema kuwa, ikitokea mumewe kumtaka aachane na uigizaji atamuomba talaka kwani hayupo tayari kuachana na kazi hiyo kwa sababu anaipenda na ndiyo iliyomtoa kimaisha.

“Hata nikiambiwa nafunguliwa biashara ya mabilioni au nipewe hizo fedha ili niache kuigiza sitakuwa tayari kwa kweli, niko tayari kupewa talaka lakini siyo kuacha filamu japokuwa kwa sasa soko limeshuka lakini nitaendelea kuigiza mpaka mwisho wa maisha yangu,” alisema Shamsa.

Stori: Gladness Mallya, Dar

MWIGIZAJIJohari Anatafuta Mume yeyote Aliye Tayari.....

$
0
0
Akihojiwa na EATV msanii mkongwe aling'ara kwenye maigizo ya Kaole 'BLANDINA CHAGULA' maarufu kama Johari ameeleza kuwa, anatafuta mume ambaye ana malengo na ambaye yupo tayari kumwoa.

Msanii huyo aliyejizolea umaarufu katika movie yake ya 'JOHARI PT. 1&2' enzi zake alikuwa anagombewa na vigogo mbalimbali wenye pesa na waigzaj wenzake ikiwemo ray na marehemu kanumba ambao mara kadhaa walipigana vikumbo kumgombea.

Lakini wahenga wanasema, ujana na nguvu ni vitu vya 'kwisha'..

Yeyote aliye tayari kumwoa johari basi amtafute maana masharti yamepunguzwa kwa 95%

Hili ni funzo kwa dada zetu wanaoringia uzuri, ujana na umaarufu wao, waache kuutumia vibaya kuepuka kadhia hapo baadaye.

WEZI Wamfanyia RAY C Kitu Mbaya....Mwenyewe Abaki Hana Cha Kufanya.......

$
0
0
Mkongwe wa muziki wa bongo fleva Rehema Chalamila 'Ray C' amedai kumfunga mwizi aliyedukua (hack) ukurasa wake wa Instagram uliokuwa na wafuasi zaidi ya laki tano na kusema kwamba hataweza kuvumilia wezi kuendelea kuwepo mitaani.

Ray C amefunguka hayo siku chache zilizopita alipokuwepo kwenye Heshima ya Bongo fleva kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa kupitia East Africa radio huku akiesema, wezi hao wa mtandaoni wanarudisha wasanii nyuma katika kufanya shughuli zao.

"Mwizi aliyedukua (hack) akaunti yangu amenirudisha sana nyuma kwani nimeshindwa kufanya matangazo ya video ya wimbo wangu, matokeo yake nimetumia nguvu kubwa sana nilipouachia. Nikimkamata huyo mtu aliyenifanyia hivyo cha kwanza nitamnasa kofi kwa kunipa kazi cha pili lazima nimfikishe polisi na mwisho wake ni Segerea. Siwezi kuendelea kuvumilia watuibie halafu waendelee kukaa mitaani kwani watatutesa sana," Ray C.

Pamoja na hayo Ray C ameongeza kwamba "Mimi akaunti yangu haijapotea kabisa kwani naiona ikiweka matangazo mbalimbali yaani nikimkamata sitamwambia anipe asilimia kumi bali atatoa pesa yote kwani nitahesababu tangazo la kwanza mpaka la mwisho ili kujua ni kiasi gani cha pesa anatakiwa anipe maana wameshazoea," aliongeza


Chanzo: EATV

DAH!! Bweni la Shule ya Sekondari Laungua Moto...Wanafunzi 18 Wajeruhiwa....

$
0
0
Wanafunzi 18 Wa Shule Ya Sekondari Philip Mangula Iliyopo Kata Ya Imalinyi Wilayani Wanging'ombe Mkoani Njombe Wamejeruhiwa Katika Ajali Ya Moto Iliyotokea Julai 30  Majira ya saa moja jioni na kuteketeza mali zenye thamani ya milioni 45.

Mtendaji wa kijiji cha Kinenulo Martini Mwalongo amesema kuwa chanzo chamoto huo hakijajulikana na kwamba moto huo umetokea wakati wanafunzi wakifanya ibada katika vyumba vya madarasa huku milango na madirisha katika mabweni yaliyo ungua vikiwa yamefungwa.

Baadhi ya wanafunzi wameiambia ITV kuwa mabweni yaliyoungua ni matatu yote yakiwa ni ya wavulana  huku wazazi wakiiomba serikali kuhakikisha chanzo cha moto huo kinafahamika haraka.

Katibu tawala wa mkoa wa Njombe Jackson  Saitabau amefika shule ya  sekondari Philip Mangula mapema asubuhi na kuagiza wanafunzi kuendelea na masomo na kwamba halmashauri ya wilaya ya Wanging'ombe kwa kushirikiana na ofisi ya mkuu wa mkoa wakiendelea kufanya tathmini ya mali zilizoungua na vikiwemo vifaa vya wanafunzi.

MPENZI Halindwi na Alarm wala Hawekewi Tracker, Analindwa na Mahaba na Care Unazompa

$
0
0
Mpenzi halindwi na Alarm wala hawekewi Tracker,analindwa na Mahaba na Care unazompa.Ukimpa Mahaba Niue Nife Nayo basi atakuwa wako daima dumu,atajilinda mwenyewe na hataenda nje maana hakuna kipya kule ambacho kwako hapati,Ukimpa Mahaba ya Kibaba cha Mafuta shallow,basi atatafuta mtu wa kujazilizia kwenye gepu!

Usipoteze muda kukaba nyendo za mpenzi wako kama beki wa Yanga,Invest kumridhisha Mpenzi wako kwenye kila idara ya Penzi lenu ili Mahaba yenu yabaki salama lasivyo jiandae kuwa mlinzi wa KK Security Night Shift bila gwanda!

PENDEZA na Kessy Products, Kutoa Mvi, Kurefusha Nywele, Tengeneza Shepu na Mengine

$
0
0

PENDEZA NA KESSY PTODUCT:-MSIMU MPYA WA 2017_ BIDHA AINA ZOTE KWA UBORA MZURI%
PATA DAWA ZA ASILI ZISIZO NA MAD, HARA NA MATOKEO NI KWAHARAKA BAADA YA WEEK

1) KUTOA MVI SUGU PIA ZA KUZALIWA NAZO _80,000/
2) KUREFUSH NYWELE KUZIJAZA NA KUZUIAKUKATIKA _80,000/
3) TENGENEZA SHEPU YAKO FIGA UMBO (8) NA KUJAZA HIPC NA KALIO @ KUPAK _80,000/
@ KUNYWA AU VIDONGE _130,000/ 4) KUPUNGUZA NYAMA ZA MIKONO TUMBONI ZILIZOTEPWETA _80,000/
5) PUNGUZA KITAMBI KWA HARAKA KWA DAW HIZI ZA KUNYWA
@) KUNYWAA _100,000/
@) VIDONGE _100,000/
6) PUNGUZA MWILI MZIMA KUANZIA KGM 150 ADI 80 KIASI UNACHOTAK WEWE KWA DAW HIZI
@) DAW YAKUNYWA YA _100,000/
@) VIDONGE VYA HARAKA _100,000/
7) PUNGUZA MAZIWA NA YASIMAME KWA MUDA WA WEEK MOJA _70,000/
8) ONGEZA MAZIWA NA SAIZ UNAYOTAKA WEWE _70,000/
9) ONGEZA MWILI MZIMA NA KUKUPA HAMU YAKULA KWA RIKA LOLOYE _80,000/
10) TOA MICHIRIZI SUGU PIA NA ILE YAKUJIFUNGUA MWILI MZIMA _70,000/
11) TOA MAKOVU, CHUNUSI, WEUSI KATIKATI YA MAPAJA _70,000/
13) KUWA MWEUP NA SOFTI MWILI MZIMA NA KUTOA WEUS MACHON NA VIMISHIPA VIDOGO VIDOGO @ MAFUTA YA KUPAKA _80,000/(@) VIDONGE (WHITE SOLUTION) _120,000/
14) ONDOA NDEVU NA VINYWELEO MWILINI _80,000/
15/ ONGEZA NGUVU ZA KIUME NA KUIMARISHA MISHIPA ILIYO LEGEA KWA DAW HIZ
@) JEL KUPAKA (MEN GEL) _70,000/
@) VIDONGE (MAXMAN) _80,000/
16) ONGEZA MAUMBIL YA KIUME SAIZI UNAYOITAKA WEWE KWA:
@) (HANDSOME UP) MASHINE _170,000/
@) JELI YAKUPAKA INABORESHA ANZIA NCHI (4 ADI 6 )_100,000/ PIA NA VIDNGE VYAKE VIPO
17) RUDISHA HAMU YA TENDO LA NDOA KWA WALIOPOTEZA KUTOKANA NA NGIRI, KISUKARI NA MAGONJWA MENGINE KWA _80,000/
18) RUDISHA USICHAN(BIKRA)Na KUTO UCHAFU SEHEMU ZA SIRI _80,000/
19) FANYA USO WAKO KUWA MKAVU NAKUTOA VIJIPELE ILIYOSABABISHWA NA MAFUTS MAKALI _80,000/
20) ONDOA MAKUNYANZI USONI _70,000 (21) ENGEZA MGUU WAKO _70,000/ TUNAPATIKAN K/ KOO NA SINZ
MAPAMBAN, KWA MIKOAN DUNIAN KOTE UTAPATA

(+255) 0719955528
0756259180
0785371237

@dr_kessy_product
Delivery POPOTE ULIPO,

BOMOA Bomoa Kimara: TANESCO Waigomea Tanroards Kukata Umeme

$
0
0
Shirika la Umeme nchini (TANESCO) limedaiwa kugomea zoezi la ukataji umeme kwenye nyumba zinazotakiwa kuvunjwa eneo la Kimara na Kiluvya ili kupisha upanuzi wa barabara ya Morogoro leo Jumatatu, Julai 31 kwa kile kinachoelezwa na shirika hilo kuwa Tanroads hawajajipanga.

Mratibu wa bomoa bomoa, Ephrahim Kinyafu amesema Tanroads wameweka kambi eneo hilo tangu saa nne asubuhi wakiwasubiri Tanesco kuendelea na zoezi la kukata umeme lakini hawajafika, walipompigia simu Meneja wa Tanesco Kimara, Christopher Nguma akadai hawawezi kuwakatia umeme wateja wao.

“Tanesco pia wamegoma baada ya kutoa taarifa yetu jana kwamba suala letu la bomoabomoa liko mahakamani kwahiyo wanasema kama tunakesi mahakamani basi hawatakata umeme, “,amesema Kinyafu kwenye Mahojiano yake na Gazeti la Mwananchi.

Hata hivyo, Kinyafu amesema sababu nyingine waliyoieleza Tanesco ni kuwa utaratibu wa kuwakatia umeme unaambatana na kutoa notsi ya saa 48, lakini hawajatoa na badala yake Tanroads wanawataka wakakate umeme kitu ambacho hakiwezekani.

DAVIDO Aweka Ngumu Kupost Wimbo Aliyoshirikishwa na Joh Makini Instagram....Joh Makini Afunguka Haya

$
0
0
Msanii wa hip hop Bongo, Joh Makini amesema Davido kutokuonyesha ushirikiano kwa kupost Instagram ngoma yake mpya ‘Kata Leta’ aliyomshirikisha ni kitu ambacho hakiwezi kumuumiza kwa sababu kolabo na msanii huyo wa Nigeria hakuitafuta.



Hata hivyo Rapper huyo kutoka kundi la Weusi ameshangazwa na wanaokomalia suala hilo kwani Davido alipost ngoma hivyo katika mtandao wake wa Twitter.

“Sidhani kama kwangu ni big issue kwa sababu wimbo ni wangu and the end of the day mimi siwezi kujizuia kwa sababu kolabo na Davido sikutafuta, umenisoma?, ilikuja, singeweza kusema siwezi kufanya kolabo na wewe kwa sababu am not sure kama itaipa support,” Joh Makini ameiambia Planet Bongo ya EA Radio na kuongeza.

“Labda mimi nimepigana kupata hiyo kolabo ningeumia nimepigana kupata kolabo halafu jamaa hakuonyesha ushirikiano. Lakini mimi ninachoangalia ngoma ni yangu nimemshirikisha yeye, that’s it,” amesisitiza Joh.

Joh Makini ni msanii wa pili kutoka kwenye Bongo Flava kufanya kolabo na Davido baada ya Diamond Platnumz kufanya hivyo mwaka 2014 alipomshirikisha staa huyo wa Nigeria katika remix ya ngoma yake ya My Number One.

CHADEMA: Kipaumbele Cha Rais Magufuli ni Kununua Ndege? Hali ya Uchumi Inazorota!

$
0
0

CHADEMA: Kipaumbele Cha Rais Magufuli ni Kununua Ndege? Hali ya Uchumi Inazorota!
Bonyeza hii link kuaangalia video kupitia Youtube

KENYA: Uhuru Kenyatta Amesema Atakabithi Madaraka Kwa Wapinzani Ikiwa......!!!

$
0
0
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, amesema ikiwa atashindwa kwa haki, Uchaguzi Mkuu wa tarehe nane mwezi Agosti, atakubali matokeo na kukabidhi madaraka kwa amani.


Rais Kenyatta ametoa hakikisho hilo wakati akijibu maswali mbalimbali kupitia runinga na kumtaka mpinzani wake Raila Odinga, naye kuwa tayari kufanya hivyo ikiwa atashindwa katika Uchaguzi huo.
Kenyatta amesisitiza kwamba, yeye ni mtu anayeheshimu uamuzi wa wananchi, na kuwaomba wapinzani wake nao wafanye hivyo.

Aidha, amesema serikali yake imelenga Uchaguzi huo uwe wa amani ndiyo maana maafisa wa usalama wamejihami na wako tayari kukabiliana na wale watakaotaka kuzua fujo.
Naye Bw. Odinga, anayepeperusha bendera ya muungano wa upinzani NASA, amekuwa akisema kuwa atakubali matokeo hayo ikiwa Uchaguzi huo utakuwa huru na haki.

Hata hivyo, hivi karibuni ametoa madai mazito kuwa Rais Kenyatta anatumia jeshi kumsaidia kuiba kura, madai ambayo serikali imekanusha.

VIDEO:Bifu ya TID na Q Chief Yafika Pabaya....Warushiana VIjembe

$
0
0
Msanii Q Chief amefunguka na kusema yeye hana muda wa kumjibu TID na kudai saizi yeye anaona ni muda wa kujipanga kwa ajili ya kazi zake na maisha yake kwani TID si mtu ambaye anaweza kuwa wa aina yake.

Q Chief amesema hayo leo kwenye kipindi cha Planet bongo kufuatia TID siku ya Ijumaa kupitia Friday Night Live kusema yeye hamtambui Q Chief na wala hamjui ndipo Q Chief aliposema hana muda ya kuanza kuhangaika kujibizana na TID.

"Mimi na Mnyama hatuna tofauti watu wanabidi waelewe kuwa Q Chief inabidi ajikite na kazi zake mimi nikichukua muda mwingine kumjibu TID maana yake ni kwamba natumia muda mwingi na nguvu kubwa kumzungumzia mtu ambaye anafanya kazi zake. Mimi naheshimu nini anazungumza na kile anafanya lakini Q Chief ni mtu aliyekuwa, mtu mwenye majukumu ambaye sasa anajaribu kutafuta njia ya kufanya vitu vizuri kwa hiyo sina muda wa kubishana na watu ambao najaribu kuwaweka kwenye viatu vyangu sioni kama vinawatosha" alisema Q Chief 

Mbali na hilo Q Chief alisema anamuheshimu TID pamoja na muziki wake ila akamtaka awe na heshima kwa watu ambao wamemfanya yeye ajione ni kati ya watu wakubwa Tanzania
Msikilize hapa Q Chief akifunguka zaidi.

SOMA Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Siku ya Leo


Kutana na Maalim Fadhal Rashid Kutoka Komoro ni Mtaalam wa Tiba za Asili

$
0
0

KUTANA NA MAALIM FADHIL RASHID KUTOKA KOMORO NI MTAALAM WA TIBA ZA ASILI

UNASHIDA NA MCHUMBA UNATATIZO PESA HAIKAI KURUDISHA MUME AU MKE KWA MUDA MFUPI MVUTO WA MAPENZI

MVUTO WA BIASHARA KUMSHIKA MUME AU MKE ASIKUSUMBUE

DAWA YA ( LIMBWATA )KUMTAWALA MPENZI WAKO KWA SABABU MAALUM KUSAFISHA NYOTA ILI UWE NA MUONEKANO

NA PIA ANATOA PETE YA BAHATI INAYO ENDANA NA NYOTA YAKO ITAKAYO KULETEA PESA BILA MASHARTI

NA KUMILIKI MALI DAWA YA KUONGEZA UUME SAIZ UIPENDAYO

DAWA YA NGUVU ZA KIUME INAPATIKANA PIA ANAYO DAWA YA KUONGEZA HIPSI SHEP KUA NA UMBO BOMBA UMEIBIWA AU KUDHURUMIWA UTARUDISHIWA MALI YAKO NDANI YA MASAA 24 ANAFUNGA KESI NA KUPATA HAKI YAKO DAWA YA MVUTO WA BIASHARA KUUZA MALI YAKO KWA HARAKA KUZUIA CHUMA ULETE

NA KUONDOA MIKOSI NA KUPANDISHWA CHEO KAZINI ACHA KUTESEKA ACHA KUHANGAIKA MAALIM FADHIL RASHID

YUPO TANZANIA KWA AJIALI YAKO. CALL...+255719362806/
+255763276239/

WhatsApp IMO +255785786436/

Wewe ni Mlaji wa Chips Mayai Mara Kwa Mara? Basi Haya Hapa Madhara yake Makubwa Kiafya,,,

$
0
0
Chips ni aina ya chakula ambacho hupendwa na watu wengi na pia ni miongoni mwa vyakula vyenye mafuta mengi. chips pia inasemekana ni miongoini mwa vyakula ambavyo hupikwa katika joto la juu zaidi ya 300 degree.

Chips ni chakula chenye mafuta mengi na mafuta yanapoingia mwilini huenda kuzunguka sehemu ya mwili wa mwanadamu. kama ni mtu ambaye mazoezi pia hufanyi madhara yake ni kupata magonjwa ya moyo. hivi sasa idadi kubwa ya vijana wanaugua magonjwa mengi yanayo sababishwa na mkusanyiko wa mafuta katika miili yao amabayo huchangiwa na kuto kufanya mazoezi madhara yake mafuta kuziba mirija

Mafuta yakiliwa sana husababisha kuzidi mwilini.
Pia inasadikika mafuta yaliyopo katika chipsi katika sahani moja ya chisi ya moto endapo utaamua kuchuja kuna uwezekano wa kupata nusu glasi ya mafuta ya kupikia. Kwa hali hii ujue ni hatari.

Na mwili huwa hatupi kinachofaa, na badala yake kama hakitumiki wakati huo basi huhifadhiwa kwa matumizi ya baadaye. Ndio maana tunapokula vyakula vyingi vyenye mafuta mengi hutupelekea kuongeza unene na uzito.

Unene huwa ni chanzo cha magonjwa mengi ,Kwani (High Blood pressure) hutokana na kuwa na mafuta mengi mwilini ambayo hupelekea mirija ya kusafirisha damu kuwa na mafuta. Hii husababisha njia ya kupitia damu kuwa nyembamba hivyo kusababisha nguvu ya ziada itumike kusukuma damu hiyo ili isambae mwilini kama inavyotakiwa. Nguvu hii ya ziada huongeza au kupunguza mapigo ya moyo.

Mapigo ya moyo yanapoongezeka sana ni hatari na yanapo pungua sana pia ni hatari.
Hivyo basi ni vizuri kwa watumiaji wa chipsi kujitahidi kutumia kwa kiasi kidogo au kuacha kabisa vile vile mazoezi pia ni muhimu ili kupunguza mrundikano wa mafuta katika mwili.

Pia inasemekana kuwa wanasayansi wamegundua kuwa chipsi husababisha kukuza hips hivyo kwa wanaume wengi hawatapenda kuwa katika hali hiyo, hivyo ni muhimu kujiepusha na pia isije ikawa kichocheo kwa wanawake kutumia sana ili kukuza sehemu hizo za maumbile bali wapunguze kutumia chipsi pamoja na kufanya mazoezi ili kuweka mwili katika hali ya kuepuka magonjwa yasiyo ya lazima.pia ulaji wa chips kupita kiasi husababisha wanaume na wanawake kuzeeka mapema.

KIMENUKA...Mbunge Aliyeondolewa CUF Azuiwa Kuingia kwenye Kikao Cha Madiwani

$
0
0

Mbunge wa Viti Maalumu (CUF) aliyevuliwa ubunge hivi karibuni Salma Mwasa amesikitishwa na kitendo cha askari wa Manispaa ya Ubungo cha kutaka kumzuia asikanyage kwenye halmashauri hiyo.

Mwasa ni miongoni mwa wabunge kumi waliovuliwa uanachama sanjari na madiwani wawili wa CUF kwa madai ya kukihujumu chama hicho, hali iliyosababisha kukosa fursa za kuwa wabunge.

Akisimulia tukio hilo lililotokea leo Jumatatu, Julai 31, Mwasa amesema aliitwa na askari hao na kuambiwa hatakiwi kuonekana katika eneo hilo la manispaa na kwamba, hiyo ni amri kutoka juu kwa wakubwa.

“Mimi ninachojua amri zipo kumi tu, sasa hiyo 11 inatoka wapi? Lakini niliwaeleza kwamba mimi ni mkazi wa Ubungo sasa mnaponizuia nisije hapa hamnitendei haki kwa sababu nakuja kufanya mahitaji mbalimbali,” amesema.

“Mimi nimekuja kama mwananchi wa kawaida. Naomba umma utambue mimi bado ni mbunge hapa nilipo nina barua ya uteuzi na sina barua ya utenguzi,” anasema Mwasa.

Hata hivyo, haikuwa rahisi askari hao wa manispaa kumtambua Mwasa badala yake walikuwa na karatasi yenye majina mawili yaliyoandikiwa Salma Mwasa na diwani wa viti maalumu Leila Hussein, ambao hakutakiwa kuonekana eneo hilo wakati kikao cha Baraza Madiwani kikiendelea.

Askari hao walitumia njia za kuwauliza watu mbalimbali wakiwamo waandishi kama wanawafahamu kina Mwasa na Leila na walipowauliza wanashida nao gani walijibu hawatakiwi kuingia ndani ya ukumbi wa mikutano.

Maskini Mchezaji Thomas Ulimwengu Afanyiwa Operation

$
0
0
Jumatatu ya July 31 mshambuliaji wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Thomas Ulimwengu anayecheza katika timu ya AFC Eskilstuna ya Sweden kutumia ukurasa wake wa instagram alitoa taarifa kwa watanzania kuhusu hali yake.

Ulimwengu kupitia ukurasa wake wa instagram ameweka wazi kuwa amefanyiwa upasuaji wa goti na kufanikiwa kumaliza salama nchini Afrika Kusini na anaanza mazoezi ya miguu kama sehemu ya tiba ya kuponesha jeraha hilo haraka.

Makubwa...Msanii Ruby Akana Ujauzito Wake...Picha Zanaswa Zikionyesha Ushahidi

$
0
0
Msanii aliyefanya vyema na wimbo wa 'Na Yule', Rubby ametaka watanzania kupunguza kuzungumzia kuhusu masuala yasiyowahusu na kwamba hata suala la ujauzito wake ni mambo yake binafsi na siyo lazima walifuatilie kwani hajawahi kutamka hadharani.

Akifanya mahojiano na EATV, Rubby amesema kwamba watanzania wengi wanapenda kufuatilia masuala ya watu hata kama kiasi kwamba haawatamani baadhi ya mambo mengine yawapite hata kama na kuongeza hata kama anaweka mitandaoni ni mambo yake binafsi na yanapaswa kuachwa.

"Mimi sijawahi kusema kama nina ujauzito mahali popote lakini wabongo wamelishadadia sana suala hili ambalo mimi nimejiwekea tu mtandaoni..... Wameaanza kuniita sasa hivi mama K na mimi nimelikubali jina hilo na moja kwa moja najiita mama K kama wanavyotaka. Siwezi kusema kama nina ujauzito lakini kwa sasa nina-focus zaidi kwenye muziki wangu..... kwani nina project nyingi za kufanya kwa wakati huu. Isitoshe nina kazi ya kuachia mwezi huu wa nane" amesema Rubby.

Mbali na hayo Rubby amedai hakukaa kimya bure amekuwa anafanya mambo ya msingi na  mwezi wa nane  watu watajua ni kitu gani kilimkalisha kimya.

"Nilikuwa kimya kwa sababu kuna mambo mengine yalinipelekea kukaa kimya japo sitapenda kuyazungumzia kwa sasa. Hata hivyo kama msanii nilikuwa nafanya kazi zangu maana msanii napaswa kuwa na nyimbo nyingi na hilo nimelifanya lakini mwezi wa nane nitaachia video pamoja na audio kwa pamoja nadhani litakuwa jibu la ukimya wangu. aliongeza Rubby.
Viewing all 104747 articles
Browse latest View live




Latest Images