Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104423 articles
Browse latest View live

Msajili wa Vyama vya Siasa Abebeshwa Lawama Mpya CUF

0
0

Chama cha Wananchi (CUF) upande wa Katibu Mkuu, Seif Sharif Hamad kimedai kuwa hatua ya ofisi ya Spika kumtambua Magdalena Sakaya kama kaimu katibu mkuu wa chama hicho ni maelekezo ya ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa.

Agosti 4, ofisi ya Spika ilimwandikia barua Maalim Seif ikimwarifu kwamba ina barua ya mwenyekiti anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa, Profesa Ibrahim Lipumba iliyoandikwa Machi 20 ikimtambua Sakaya kama kaimu katibu mkuu.

Barua hiyo ya Profesa Lipumba ililiarifu Bunge kuwa Maalim Seif ameshindwa kutekeleza majukumu yake kama katibu mkuu na kwa mujibu wa katiba ya CUF na kwamba, majukumu ya katibu mkuu yatatekelezwa na Sakaya kuanzia tarehe hiyo. Kutokana na hilo, Spika wa Bunge, Job Ndugai alimjibu Maalim Seif kwamba anashindwa kuifanyia uamuzi barua yake kutokana taarifa alizozipokea awali.

Wiki iliyopita, Maalim Seif alimwandikia barua Spika na nakala yake kwenda kwa Msajili wa Vyama vya Siasa, Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora.

Katika barua hiyo, Maalim Seif alitangaza kuwafukuza uanachama wabunge wawili ambao ni Sakaya (Kaliua – Tabora) na Maftaha Nachuma (Mtwara Mjini) kwa makosa ya kukihujumu chama hicho.

Hatua hiyo ya Maalim Seif ilikuja siku chache baada ya Baraza Kuu la Uongozi la CUF upande wa Profesa Lipumba kuwavua uanachama wabunge wanane. Wabunge waliovuliwa uanachama ni Halima Ali Mohamed, Khadija Salum Ally, Salma Mohamed Mwasa, Miza Bakari Haji, Raisa AbdMussa, Riziki Mngwali, Saumu Heri Sakala na Severina Mwijage.

Akizungumza na wanahabari jana, Kaimu Naibu Katibu Mkuu wa CUF upande wa Maalim Seif, Joran Bashange alidai kuwa kilichosemwa na Spika hivi karibuni si uamuzi wake bali ni msajili ndiye aliyemwandikia barua akimweleza kumtambua Profesa Lipumba

“Msajili huyuhuyu ndiye kaandika barua kwenda Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) hadi katika taasisi za haki na binadamu na utawala wa sheria ikieleza kwamba anayetambulika ni Profesa Lipumba na kaimu katibu mkuu ni Sakaya,” alisema Bashange.

Alifafanua kwamba kwa mujibu wa katiba ya CUF hakuna kipengele kinachoeleza nafasi ya kaimu katibu mkuu na huo ni mwendelezo wa hujumu zinazofanywa dhidi ya chama hicho kwa lengo la kukiua.

Bashange aliendelea kudai kuwa msajili alipeleka barua za kumtambua Profesa Lipumba na Sakaya bila kunukuu vifungu vya katiba ya chama hicho.

Awali, Kaimu Naibu Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mawasiliano kwa Umma, Mbarala Maharagande alisema wabunge waliovuliwa uanachama na kupoteza sifa ya kuwa wako imara na marekebisho waliyotakiwa kuyafanyia kazi na Mahakama Kuu yamekamilika.

Mbali na hilo, Maharagande alidai kwamba Profesa Lipumba bado anaendelea kukihujumu chama hicho na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kwa kuwa ni miongoni wa watu waliofanikisha ushindi wa nafasi ya unaibu meya wa Mtwara ulioangukia mikononi mwa CCM.

Mwananchi

MBOWE Amshukia JPM...Amtaka Aache Kuwatia HOFU na Kuwaziba Watanzania Mdomo.....

0
0
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amemtaka Rais John Magufuli kuacha kuwafunga mdomo Watanzania na kuijenga Tanzania kuwa Taifa la hofu.

Akihutubia mkutano wa hadhara katika mji wa Bomang’ombe jana, kwa takribani dakika 30, Mbowe alisema hata kama Rais atawazuia Watanzania milioni 53 kusema, basi mawe yatasema.

Mbowe ambaye pia ni kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni alienda mbali na kusema Chadema imejipanga kuwafungulia kesi wakuu wa wilaya wote waliowaweka ndani viongozi kwa saa 48 katika maeneo yao.

Alisema katika hali ya kutatanisha Rais Magufuli aliyeapa kuilinda Katiba ya nchi amegeuka na kuzuia mikutano ya hadhara ambayo ipo kisheria.

“Siasa katika nchi yetu inaongozwa na Katiba na sheria ya vyama vya siasa ya mwaka 1992, lakini katika mazingira ya kutatanisha kabisa Rais amezuia mikutano ya hadhara hadi mwaka 2020,” alisema na kuongeza:

“Rais usiwazuie watu wako kusema, ukiwazuia mawe yatasema. Kama kuna kitu kibaya duniani ni kuvunja Katiba ya nchi, nataka nimwambie huwezi kufunga midomo ya watu milioni 53.”

“Tunajenga nchi ya watu waoga. Rais anataka aonekane ni mbabe, bungeni tunadhibitiwa hadi hotuba zetu lazima zipitiwe na watu wa usalama waseme uondoe hiki. Watu wenye dhambi ndio waoga.”

Mbowe, ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Hai alisema hata Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere aliwahi kusema mara nyingi kuhusu umuhimu wa viongozi kuheshimu Katiba na akataka iwe mwiko kwa kiongozi kuidharau.

Akizungumzia kamatakamata ya viongozi, alisema hali hiyo ndio inaimarisha zaidi upinzani kuliko wakati wowote ule na kusema watawaburuza kortini wakuu wa wilaya waliokiuka sheria.

Mbowe alisema baadhi ya wakuu wa wilaya wanatumia vibaya sheria ya kuwaweka watu rumande kwa saa 48 akisema wengine wanaitumia kuwakomoa wale wanaotofautiana nao kimtazamo.

Kwa upande wake, Mbunge wa Rombo, Joseph Selasini alisema hata wale waliokuwa wanashangilia wimbo wa kuisoma namba nao wanaisoma namba hiyo kwa Kiarabu na Kirumi.

“Huu ni wakati wa kupambana zaidi. Wanatutia hofu kwa kutukamata ili tusiseme, lakini nataka kusema saa ya ukombozi ni sasa. Tutaendelea kusema kwa vile ni haki yetu,” alisema,

Meya wa Jiji la Arusha, Calist Lazaro alisema Chadema ni chama cha siasa na wanapambana na CCM ambayo hawajui kama ni chama kwa vile wakuu wa mikoa na wilaya ndio wamegeuka viongozi wa CCM.

“Yaani wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya ndio wamegeuka viongozi wa CCM. Huko nyuma Chadema tukisema tulikuwa tunajibiwa na Kinana (Abdulrahman) au Nape (Nnauye),” alisema.

Kinana ni katibu mkuu wa CCM wakati Nape alikuwa katibu wa itikadi na uenezi wa chama hicho. Kwa sasa ni mbunge wa Mtama.

“CCM iko wapi? Wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa ndio wanabeba ilani ya CCM. Wananchi Hai msiogope. Chadema chini ya Mbowe haitatetereka kamwe,” alisisitiza Meya huyo, ambaye pia amewahi kukamatwa.

GOOD News: Mtanzania, Alphonce Simbu Atutoa Kimasomaso London Katika Mbio za Marathon

0
0
Mtanzania Joseph Simbu ashika nafasi ya tatu katika mashindano ya kimataifa ya raidha The International Association of Athletics Federations (IAAF) huko jijini London.

My take:Kwa navyoona huu mchezo wa riadhaa ndio mchezo pekee ambao kama kweli watanzania tukiamua kuwekeza utatutoa sana kama wenzetu Wakenya....Kama mnakumbuka huyu Simbu DSTV walijitokeza na kumdhamini kila anachofanya kuanzia mazoezi na mambo mengine na matunda ndio haya tunayaona.......

RAIS Magufuli: Baadhi ya Mawaziri KATIKA Serikali Yangu ni Wapumbavu

0
0
Mh.Rais akiwa Tanga mchana wa leo aliwaambia wananchi kwamba baadhi ya mawaziri katika Serikali yake ni Wapumbavu.

Alitoa mfano wa Profesa Muhongo aliyemwagiza kuhakikisha flow meter kwa ajili ya kupima viwango vya mafuta yanayoteremshwa bandarini lakini hakufanya hivyo mpaka alipomtumbua.

Hapo awali asubuhi ya leo alimwambia Charles Mwijage kuwa anamkwaza kwa kutochukua hatua za kuwanya ng'anya viwanda walioshindwa kuviendeleza. Ninaungana na Mh. Rais 100% katika kuhakikisha maslahi ya nchi yanalindwa.

Swali langu: Je, lugha na kauli za Mh. Magufuli zinaweza kuwa na madhara gani katika Serikali anayoiongoza? Hasa kwa wasaidizi wake wakiwemo Mawaziri?

  Chanzo:Jamii Forums/lancanshire

UKWELI: Umaarufu wa MTOTO wa Diamond ( Tiffah) Umeporomoka

0
0
Kama mnakumbuka ilifika hatua Diamond akatamba kwenye vyombo vya habari kuwa Mtoto wake ndiye anayeongoza kupata sjui ndio viewers sjui ndio followers. Ilifika hatua hata kumuona inabidi watu walipie hela. Leo hii amepotea hata utafikiri hayupo

Na hata Leo no birthday Yake lakini hata haijulikani na hakuna mbwembwe kama enzi zile

Kweli watu hawapendi ujinga!!!!

AY & FA: Bilioni 2 za Tigo ni HELA za Kawaida Sana Kwetu, Tushazikamata sana

0
0
Wanamuziki AY na FA wamedai kiasi cha fedha bilioni 2.1 mahakama iliyoamuru Tigo iwalipe ni hela za kawaida kwao kwa sababu wameshakamata hela kama hizo mara nyingi
Wamesema wao wametoa kama mwongozo kwa wasanii wengine kudai haki zao inawezekana

Wamesema hata wakipokea fedha hizo hutawaona wamepost kwenye mitandao ya kijamii kama wasanii fulani wanavyofanya na kusema wao sio washamba wa kiasi hicho

Pia wamedaisiku hizi hawapo karibu tena kama zamani kwa sababu maisha yao yamebadilika na ukaribu unabadilika pia

JAMANI jamani PETER Msechu Awa Kituko

0
0
Jamani jamani Peter Msechu awa kituko yaani amenenepa nusu kupasukiana halafu anaimba kwenye mic anashindwa kupumua unaweza ukasikia kabisa anavyokosa pumzi hadi anapumua Kama katoka kukimbia mbio za marathon

Picha chini ni Peter Msechu kabla hajanenepa


Shangazi Yangu Ananisaga Kila Mara, Nifanyeje??

0
0
Mimi naitwa NASRA na nina mika 24, hilo nalileta kwenu jambo lango wana-Udakuz naomba mnisaidie ushauri ili niwe kutatua tazizo hili linalonikabili hapa chini:

Baada ya mama yangu kufariki 2001 kuna shangazi yangu (ambaye ni mke wa mjomba wangu) alinichukua kwa minajil ya kunilea na kunisomesha ila amekuwa AKINISAGA tokea niko mdogo mpaka sasa! ambapo nikiwa mdogo wakati nimelala nilikuwa nashtuka yupo juu yangu na mimi nipo UCHI huku ananinyonya MATITI na sehemu nyingine za mwili na baadae alikuwa anapanda juu yangu na kunilalia huku akifanya vitu fulani mpaka ananimwagia vitu fulani katika sehemu zangu za siri na kuniambia ninyamaze nisimwambie mjomba "eti atanipa pesa ya kutumia shule na kunipeleka na gari, alipokuwa akimaliza baadae alikuwa akiniogesha na kuninunulia vitu VITAMUTAMU. Nilinyamaza maana sikujua jambo lile ila aliendelea kila mara mchezo wake huo.

Mpaka sasa Nimekuwa Lakini anaendelea mchezo huo na mimi nimeshajua na sometimes nasikia raha ila roho yangu haitaki kabisa mchezo huo , huwa naumia sana ...nataka niwe msichana wa kawaida ni date na wavulana na nisikie raha napokuwa na mvulana.....naombeni ushauri...

Ujumbe wa DIAMOND na Zari kwenye birthday ya MTOTO wao Princess Tiffah

0
0
Familia ya Diamond na mpenzi wake Zari The Bosslady Jumapili ya leo wamepata furaha kubwa zaidi ambayo inawafanya wakumbuke miaka miwili iliyopita.



Furaha ambayo wapo nayo familia hiyo kwa sasa ni kusherehekea siku ya kuzaliwa kwa mtoto wao wa kwanza Princess Tiffah ambaye anatimiza maiaka miwili ya kuzaliwa kwake.

Kupitia mtandao wa instagram, wazazi hao wameshindwa kuzuia furaha zao juu ya mtoto wao huyo. Diamond ndio amekuwa wa kwanza kuandika ujumbe wake kwenye mtandao huo, “Happy 2 years mama, Words Can’t express how much i love you my Tee…. 🎂 💞💞💞 @princess_tiffah 💞💞💞 🎂.”

Naye Zari hakusita kuonyesha furaha yake kwa kuandika, “It’s princess world…happy birthday my one and only👸 @princess_tiffah.”


“My Princess….. May God see you through with nothing but the best. May you be blessed from this day forward. Most of all, May you be a Godly child. Without God we are nothing. Happy birthday @princess_tiffah,” ameandika kwenye picha nyingine ya mtoto wao huyo aliyoiweka kwenye mtandao huo.

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH shariffu musa Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH shariffu musa Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na shariffu musa Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
Maalim Hussein Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi

+255 629793352 au watsap
+255 679119679

NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

MKWARA wa Rais JPM Wagusa Mahali Pake...Waziri Charles Mwijage Amuomba Rais Magufuli Radhi Kwa Kumkwaza

0
0
Waziri wa viwanda biashara na uwekezaji ndugu Charles Mwijage amemuomba rais Magufuli msamaha kwa kumkwaza katika kazi na kuahidi kufanyia kazi maelekezo yake.

Aidha katika hatua nyingine waziri Mwijage amemuomba rais Magufuli kutomkumbusha tena majukumu yake kwakuwa kwa kufanya hivyo atakuwa anamuumiza kisaikolojia.

Mapema jana Rais Magufuli ametamka waziwazi kuwa ndugu Charles Mwijage ni miongoni mwa mawaziri wanaomkwaza kiutendaji na kuenda mbali zaidi kwa kuwaita baadhi ya mawaziri wake kuwa ni wapumbavu.

#PambaneniNaHaliYenu

Si muondoke humo mumuachie? Yanini kung'ang'ania na masimango yote hayo?

MUONGOZO: Mambo ya Kuzingatia Unaponunua GARI Lililotumika Ndani ya Tanzania..Muhimu

0
0
Baada ya kusikia watu wengi 'wakiumizwa' na 'kupigwa' wakiwa kwenye harakati za kutafuta usafiri uliotumika nchini, nimeona sio mbaya nikitoa ushauri ni jinsi gani unaweza kuepuka majanga kwenye zoezi hilo.

Naandika kama mnunuzi au muuzaji wa aina hio ya magari, kwahio siegemei upande wowote na ninachokiandika hapa sio sheria naweza kuwa sahihi au nisiwe sahihi ila ni imani yangu lipo litakalosaidia baadhi ya watu.

Njia muhimu za kufuata ili kupata gari unalotaka ni kama ifuatavyo:

1. Fanya utafiti mdogo juu ya gari unalolitaka: Uliza ujue gari unalolitaka linauzwa kiasi gani[makadirio]. Ukiweza kujua bei ya showroom au ukiagiza mwenyewe Japan halafu linganisha na bei utakayopewa hapa. Hili ni muhimu kwa sababu nimeshuhudia watu wananunua magari yaliyotumika Tanzania kwa bei ambayo ukiagiza mwenyewe unalipata kutoka japan au ukiongeza kidogo tu unapata la showroom.

2. Usiwe na haraka: Usiwe na haraka kabisa kwenye kutafuta gari. Utaletewa kila aina ya gari na usipokuwa makini utanunua gari bovu. Angalia taratibu angalau magari matano tofauti kwenye chaguo lako ndipo uamue, madalali watakusumbua ili mradi tu wapate cha juu.

3. Epuka madalali: Kama unaweza epuka madalali. Tafuta gari kwa kuuliza watu ulio karibu nao, ndugu jamaa na marafiki au unaofanya nao kazi au biashara. Hii ni nzuri chochote kikitokea una pa kuanzia. Madalali wengi hawajali maslahi yako wala ya muuzaji cha muhimu kwao ni cha juu tu. Gari la 4m dalali atakuuzia 5-6m.

4. Tafuta Fundi: Ukilipenda gari lolote tafuta fundi akusaidie kulikagua, hata kama una ujuzi(idea) na magari kuna vitu hutaviona ila fundi atakusaidia. Kuwa makini kuna mafundi huwa wanabonyezwa wakufiche hitilafu halafu baadae wanarudi kupewa chao ukishauziwa kanyaboya.

5. Epuka gari lililopigwa rangi: Epuka gari iliopigwa rangi siku chache kabla ya kuwekwa sokoni, wazoefu wanajua gari za aina hio ndio umuhimu wa fundi unapokuja. Gari inaweza kuwa imegongwa hivyo imenyooshwa na wanakuzuga kwa rangi inayong'aa. Siku hizi rangi hata 200,000 unapiga gari nzima ila ukinunua hilo baada ya mwezi rangi inababuka yote.

6. Epuka gari lililooshwa engine: Ukikagua gari ukiona limeoshwa engine ogopa sana. Mara nyingi magari yanaoshwa engine kuficha 'leakage', yaani oil na vitu vingine vinavyovuja kutoka sehemu mbalimbali za engine.

7. Jaribu gari wewe mwenyewe: Ni muhimu kuendesha na kuijaribu gari wewe mwenyewe hata ukienda na fundi. Ipitishe njia mbovu usikie jinsi ilivyo chini, chochote kinachogonga kuwa makini, usisikilize ukiambiwa ni tatizo dogo, kwanini hakurekebisha. Ingawa yapo matatizo madogomadogo ila kuwa makini.

8. Usiangalie plate Namba: Usibabaishwe na namba, eti hii C, D etc. Kuna gari namba A ziko vizuri kuliko namba C. Muhimu ni hali ya gari husika kwa muda huo.

9. Nenda TRA kujiridhisha: Ni muhimu kujua ukweli na status ya gari na mwenye gari. Jiridhishe anaekuuzia ndio mwenye gari. Akuonyeshe nyaraka zote halisi hata za kodi aliolipia.

10. Mwisho kabisa ukilipenda gari fanyeni makabidhiano kwa kuandikishana kwa mwanasheria. Ukiweza lipia benki na ubaki na risiti kama ushahidi wa malipo kupitia akaunti yake. Epuka kubeba cash kumpelekea muuzaji mahali alipo.

Haya machache naamini yanaweza kuwa msaada kwa watu wanaonunua magari yaliyotumika nchini,wengine mnaweza kuongezea mawili matatu na kurekebisha nilipokosea.

KUCHAPIWA...Nawaonea Huruma WANAUME Ambayo Hawaendi GYM na Wanawaruhusu Wake zao Kwenda Gym

0
0
Kuna gym hua naenda kufanya mazoezi hapo posta, yaani sipendi kuwaficha, huku gym wanawake hawa wanaliwa sana, mwanamme kama unafuga kitambi chako usiruhusu mke wako aje gym huku

Yaani kwa haraka haraka naona kama hawa wanawake wote members hapa wana vijana wa kuwaweka sawa(Nina marafiki wengi sana hapa so they tell me stuffs)

Ikifika mahali mwanamke ana mentality ya kua fit atatafuta a fit partner pia....

Ushauri wangu kwa wanaume ukiona mke au mpenzi wako anafanya mazoezi na diet ili awe vizuri afu wewe umekalia kufuga kitambi lazima utachapiwa tu hakuna namna yaani

Ni tahadhari tu maana I have seen enough

Kauli ya CHADEMA Kuhusu Kuzuiwa Kufanya Kongamano Geita

0
0
CHADEMA walikutana na Waandishi wa Habari na kutoa tamko lao baada ya kuzuiwa na Jeshi la Polisi Geita kufanya Kongamano kumuenzi aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Chama hicho Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo.

Akizungumza baada ya zuio hilo mmoja wa wanachama wa CHADEMA, Dr. Mussa Mdede ambaye alikuwa mmoja wa watoa mada katika Kongamano hilo, alisema kitendo cha Polisi kuzuia Kongamano hilo ni kukiuka sheria.

”Kongamano ambalo limezuiwa ni shughuli ya ndani ambayo kimsingi Sheria ya Vyama vya Siasa inatulinda. Kimsingi ni Kongamano ambalo lilikuwa halali na tunapofanya Kongamano la ndani hatuhitaji ulinzi wa Jeshi la Polisi.

“Jeshi la Polisi linahitajika kuimarisha ulinzi na usalama kwenye mikutano ya hadhara, ndivyo Sheria Namba 5 ya Vyama vya Siasa ya Mwaka 1995 inavyosema, si vinginevyo. Kitu ambacho wamekifanya kipo kunyume na Sheria.”

Aidha, Mdede amemtaka Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro kuwakumbusha Askari Polisi majukumu yao kwa kuwa siku za hivi karibuni wanatumika kisiasa.

“CHADEMA tunasema, kwanza tunamwambia IGP Simon Sirro kwamba awakumbushe Askari wake wafanye kazi kwa weledi wasifanye kazi kwa kisiasa. Katika Awamu ya Tano Jeshi la Polisi limekuwa likifanya siasa waziwazi.” – Mussa Mdede.

Hizi Ndizo Sifa 10 Zilizotajwa na Bodi ya Mikopo ELIMU ya Juu Kwa Wanafunzi Wanaoomba Mikopo

0
0
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu imetangaza mwongozo na vigezo vya utoaji mikopo na ruzuku kwa mwaka wa masomo 2017/2018 na imeanza kupokea maombi ya mikopo kuanzia tarehe 6 Agosti 2017 hadi tarehe 4 Septemba, 2017.

Waombaji wote wa mikopo watarajiwa wanasisitizwa kusoma mwongozo wa utoaji mikopo na ruzuku kwa mwaka wa masomo 2017/2018 pamoja na taratibu nyingine za uombaji mkopo kabla ya kujaza fomu za maombi ya mkopo zinazopatikana kwenye mtandao wa https://olas.heslb.go.tz

Kusoma mwongozo na vigezo vya utoaji mikopo na ruzuku kwa mwaka wa masomo 2017/2018 bofya hapa

Kusoma hatua za kufuata kufanya maombi ya mkopo na malipo bofya hapa

Hapo chini ni sifa za msingi za mwombaji wa mkopo;


AUDIO:Mkuu wa Mkoa PAUL Makonda Atengua Agizo la Polisi Kuhusu Kutoa 'Tinted' Kwenye Vioo vya Magari

0
0

Akizungunza kwa njia ya simu Mkuu wa Mkoa wa Dar amesitisha zoezi la kuondoa Tinted kwenye magari zoezi ambalo lingeanza kesho.

Hoja zake nimezipima zina mashiko mfano pale alipotetea tint kwamba ni mojawapo ya ulinzi wa vifaa na vitu ndani ya gari kupunguza ushawishi kwa watu kuviona na kuiba.

Akatolea mfano wanawake wanaoendesha magari halafu yuko peke yake kwenye gari uwezekano wa kufuatiliwa na majambazi ni mkubwa hivyo tint husaidia kupunguza watu wa nje ya gari kuona idadi ya watu waliomo kwenye gari.

Pia amesema magari ya mikoani yanatumika katika kusafiri kuja Dar sasa inabidi anapoingia Dar aidha apaki gari mpakani kuepuka kukamatwa na sakata la gari yake kuwa na tint au kutokutumia magari hayo kuja Dar kitu ambacho anasema si sahihi maana mtu kanunua gari limsaidie kusafiri.

Kifupi Mkuu wa Mkoa amesitisha zoezi hilo mpaka hapo jeshi la Polisi litakapompatia maelezo ya kutosha.

Pia amesisitiza bado jeshi la pollisi linao uwezo wa kudhibiti wahalifu wachache wanaotumia magari ya vioo vya tinted kufanya uhalifu.

Nawasilisha. TAZAMA VIDEO:

Sikuwahi Kudhania Kuna Siku MSICHANA wangu wa Kazi Atanibaka. Nimeumizwa Sana

0
0
Siku ya leo imeisha vibaya kwangu. Kitendo ambacho amekifanya msichana wangu wa kazi kimenighafirisha sana.

Huyu dada ninaye hapa ni mwezi wa tatu sasa. Nyumba ninayoishi ina 3 rooms na kimoja ni master.nlimwagiza kwa mtu toka singida.tumeishi naye kipindi chote hicho nlikuwa namwona tu anavyobadilika na kuwa msafi na kujal sana.nlimchukulia kama dada yangu sikuwa na mawazo machafu.

Leo alikuwa anafanya usafi baada ya mimi kupata break fast.alivaa kinguo chepesi na ndani hakuwa na kitu.sikujal mi nikawa busy naangalia movie.bahati mbaya nikapitiwa na usingizi. Nikiwa ndoton nliota mtu ananinyonya sehem yangu....

Nlishtuka usingizin na kumkuta kweli dada ananinyonya huku amepandisha kisketi chake juu. Nlimsukuma mkono haraka na kupandisha bukta. Sikuamin mpaka alipokuja kunishika miguu akilia kuwa nisimpige alipitiwa tu.nmemtandika vibao na kumwambia arudi kwao kesho asub.

Imebidi nimwite cousin wangu aje kulala home na pia nitoe taarifa kwa mjumbe kuhusu suala hilo. Maana sijaelewa mpaka sasa alifikiria nini.zaidi zaidi anasema yeye alipitiwa na shetani na ni sababu she loves me.

Kiukweli huyu dada hajawah ona naleta msichana hapa home.jinsi ambavyo namheshimu na kumjali pengine akajenga hisia hizo.lakini binafsi sijawah kuwaza kama kuna siku ntatembea na dada wa kazi.

Sina amani kabisa na nawaza kwa hili jambo. Nami nawaza sana maana nmekuwa muoga kwa wanawake wa sasa ngekuwa nmeshaoa

Nmeumizwa sana moyoni. Nawaza hii dunia ya magonjwa na leo ndo nmegundua kumbe huyu dada alishawah kuwa barmaid huko singida.ingawa hakunambia hilo.nmegundua tukiwa kwa mjumbe wakati tuna search vitu vyake kwenye bag.maana nlihisi anaweza hata kuniibia vitu.zaidi tumekuta pia ana dawa za kiasili n.k

Nimerudi naye yeye kama yeye bag lake limebaki kwa mjumbe mpaka kesho asubuh atakapoondoka kwenda kwao singida.

Source:GuDume/JF

MAGUFULI Amfagilia MBOWE...Wabunge wa UKAWA Mwigeni MBOWE

0
0
Tazama Video Hapa MAGUFULI Akimfagilia Mh Freeman MBOWE...Wabunge wa UKAWA Mwigeni MBOWE

VIDEO:


SOMA Nafasi za Kazi Zilizotangazwa Leo Jumatatu

0
0

Kilichojiri Mahakamani Kesi ya Viongozi wa Simba Leo Agosti 7

0
0

Leo August 7, 2017 Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirisha kwa mara nyingine kesi ya kutakatisha fedha na kughushi inayowakabili Rais wa Simba SC, Evans Aveva na Makamu wake, Geofrey Nyange maarufu Kaburu hadi Agosti 22, 2017 baada ya upelelezi kutokamilika.

Kesi hiyo imeahirishwa mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Mwambapa baada ya Wakili wa TAKUKURU, Kishenyi Mutalemwa kueleza kuwa upelelezi haujakamilika na kuomba iahirishwe hadi tarehe nyingine.
Viewing all 104423 articles
Browse latest View live




Latest Images