Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104429 articles
Browse latest View live

Mrembo Hamisa Mobetto Ajifungua Mtoto wa Kiume..Utata Kuhusu Baba wa Mtoto

0
0
Hongera zake kwa kupata mtoto na kama hizi tetesi za kwamba ni mtoto wa Diamond zina ukweli basi huyu mtoto kazaliwa mwezi mmoja na dada yake Tiffa....Mwenyewe Hamissa bado ameweka swala la baba wa Mtoto kuwa siri kitu ambacho kinaongeza tetesi kuwa ni mtoto wa Diamond Platnumz huku wengine wakisema kuwa amezaa na Majizo ambae alikuwa Mpenzi wake wa zamani na wana mtoto mmoja pamoja.....

 

Picha hapo juu ni mtoto wa kiume mara baada ya kujifungua akiwa Hospitalini..

Je wewe Mdau una Maoni gani


Je Kuna Ukweli Kuwa Wanawake Weusi ni watamu kuliko weupe?

0
0

Mara kwa mara nimekuwa nikisikia watu wakisema wanawake weusi ni watamu kuliko weupe, hili lina ukweli wowote? Wakuu kuna mwenye kufahamu ukweli kuhusiana na hili atujulishe.


Karibuni tujadili hapa chini:

Una Tatizo la Nguvu za Kiume, Kukosa Hamu ya Tendo na Kufika Kileleni Haraka?

0
0
JE, UNA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME, KUKOSA HAMU YA TENDO, KUFIKA KILELENI HARAKA NA KUSHINDWA KURUDIA TENDO AU MAUMBILE MADOGO YA UUME?

Tatizo la kukosa au upungufu wa nguvu za kiume limekuwa kubwa sana duniani kote. Kupungukiwa nguvu za kiume na maumbile madogo ya uume husababishwa na mambo mengi kama KISUKARI, UNENE ULIOPITILIZA, KUJICHUA (MASTER BLASHION), HOMONI kushindwa kufanya kazi ipasavyo n.k. Upungufu wa nguvu husababisha tendo la ndoa kutokufanyika kwa kujiamini na kwa usahihi na hivyo kusababisha ndoa na mahusiano kuvunjika.

BAADHI YA DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI KAMA:-
☆Kukosa hamu ya tendo la ndoa ☆Uume kusimama kwa ulegevu
☆Kuwahi kufika kileleni ☆Kushindwa kurudia tendo kwa wakati
☆Kuchoka sana baada ya round ya kwanza na hata kukinai kabisa. Kwa kutumia mimea na matunda @markson_beauty_pr Tunakuletea suluhisho la matatizo hayo hata kwa wenye "KISUKARI NA PRESSURE" kwa:-
1.HANDSOME UP ORIGINAL ni kifaa chenye uwezo wa 99% kuongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @250000@250,000/=
2.SHARK POWER ni gely ya kupaka inayoongeza uume kwa wastani wa inch 6.5 @150000@150,000/=
3.Vidonge maalum kwa ajili ya kuongeza nguvu na hamu ya tendo la ndoa hata kwa wenye kisukari @150000@150,000/=
4.Spray ya kuchelewesha kufika kileleni @130000@130,000/= BIDHAA HIZI HAZINA MADHARA NA ZIMETHIBITISHWA KIAFYA. KWA BIDHAA HIZI NA NYINGINE NYINGI TEMBELEA UKURASA WETU WA INSTAGRAM :- @markson_beauty_pr @markson_beauty_pr @markson_beauty_pr

Wasiliana nasi Popote ulipo duniani kwa (+255) 0767447444 na 0714335378

NB:Matokeo ni uhakika na garantii na hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.

Chuchu Saa Sita za Irene Uwoya Zawatoa Mate Wapenda lamba Lamba...Mwingine Atokea na Kuzikosa

0
0
Hivi karibu Mrembo Irene Uwoya ameweka picha kupitia mtandao wake wa Instagram zikionyesha Chuchu zake zikiwa zimesimama kama za Kigoli wa Miaka 17 kitu ambacho kimezua mjadala mkubwa kwa midume yenye uchi huku wengine wakizisifia na Wengine kuziponda


Huyu Mdau Jamii Forums amekosa vikali na Kuandika haya:


By Ubarinolutu

 "Watu wamekuwa wakimsifia kuwa irene uwoya ni chu chu saa sita kitu ambacho c kweli, irene ana mtoto mmoja hivo awezi kuwa na hayo mambo saa sita. Ninachiweza kueleza ni kuwa kutokana na irene uwoya kuwa maziwa madigo yaani small titts basi inasabisha nipples(chuchu) kiwa na small displacement baada ya kuzaa, hivo nipples huwa zinashuka kidogo yaani kati ya cm 2 hadi 2.5 na hutokana na kuwa na viziwa tudogo tofauti na mtu mwenye ziwa kubwa ambaye huwa ana nipples displacement kubwa yaani inch 2 hadi 3 mpaka kuonekana malapa.

Kiutaalamu watu wenye maziea madogo hata ziwa likianguka chuchu zso hua zinapoint mbele yaani 90 degree tofauti na wengine wenye miziwa mikubwa ambapo ziwa likianguka kiwa zinakwe da hadi 30 degree downward.
Kwa hiyo uwoya hana chuchu saa sita. Angalia picha vizuri chini hapa ziwa limelala ila chuchu zinapoint mbele." Aliandika  Ubarinolutu

Hii Post ya Ommy Dimpoz Haileti Picha Nzuri Kwa Jamii...Yachochea Ushoga

0
0
Nimekutana na hii post kaipost msanii OMMY DIMPOZ kwenye page yake,kiukweli haileti picha nzuri kwa jamii kwa msanii mkubwa kama yeye kupost ujinga kwenye page yake.

Freeman Mbowe Afunguka Mengine "Maisha Yalikuwa Safi Enzi za Kikwete"

0
0
Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema maisha ya Watanzania leo ni magumu kuliko wakati wa awamu ya nne chini ya Rais mstaafu Jakaya Kikwete.

Mbowe ambaye pia ni kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni, alikosoa kauli za Serikali kuwa uchumi unakuwa akisema uchumi huo unakuwa katika mifuko ya kikundi cha watu wachache.

Mbali na suala, Mbowe ambaye ni na Mbunge wa Hai aliishutumu Serikali ya CCM kwa matumizi mabaya ya mamilioni ya fedha za walipa kodi ambazo zitatumika katika chaguzi katika kata ambazo Madiwani walijiuzulu.

Akihutubia wakazi wa kijiji cha Shirinjoro katika jimbo lake jana, Mbowe alisema hali ya maisha ya Watanzania ni mbaya kuliko kipindi cha Kikwete na kwamba kipato cha mwananchi kimeshuka.

“Serikali inasema uchumi unakuwa, tukiwauliza ni viashiria gani vinawafanya muone uchumi unakuwa wanakwambia tumenunua ndege tano na tunajenga reli ya kisasa,”alisema Mbowe na kuongeza;

“Kama uchumi unakua basi unakua katika mifuko ya kikundi cha watu wachache na sio Watanzania tunaowafahamu ambao maisha yamekuwa magumu kuliko wakati wa Kikwete.”

Mbowe alitumia fursa hiyo kuwahoji wananchi ni kipindi gani maisha ni magumu kati ya utawala wa Kikwete (2005-2015) na wa Rais John Magufuli na kujibiwa kuwa ni wakati wa Magufuli.

Kwa mujibu wa Mbowe, wakati Serikali ikijitapa kukuza uchumi, lakini hali ya maisha kwa Mtanzania imekuwa ngumu kutokana na kushuka kwa kipato na kupanda kwa gharama za maisha.

Mbowe alitolewa mfano kuwa wakati uchaguzi ukifanyika mwaka 2015, kilo moja ya sukari ilikuwa Sh1,600 lakini sasa imepanda na kufikia karibu Sh3,000 vivyo hivyo kwa bidhaa nyingine muhimu.

Mbali na suala hilo, lakini alizungumzia hatua ya madiwani wake watatu kujiuzulu na kujiunga na CCM, akisema uchaguzi wa marudio utatafuna kodi za walipa kodi zaidi ya Sh750 milioni.

“Mwaka 2015 katika kata yenu mlimchagua Mzee Kimath (Ernest) lakini ni jambo la aibu CCM kupitia mkuu wa wilaya ya Hai (Gelasius Byakanwa) wanarubuni madiwani wetu,”alisema Mbowe.

“Haya ni matumizi mabaya ya fedha za umma kwa sababu gharama za kurudia uchaguzi hapa kata ya Mnadani pekeee ni Sh250 milioni. Hizi zingeweza kweda kujenga mashule na zahanati,”alisisitiza.

“Serikali inaona kuliko kuwe na diwani wa upinzani bora turudie uchaguzi kwa gharama ya mamilioni. Nataka niwaambie nitalala hapa Shirinjoro tukirudia uchaguzi na haiendi popote,”alisema.
Mbowe alitumia mkutano huo kuwaeleza wananchi hao kuwa ataendelea kupigania haki za Watanzania hata kama kwa kufanya hivyo atapelekwa gerezani akisema magereza yametengenezewa wanadamu.

“Tunaifanya kazi hii kwa maumivu makubwa ya kifamilia. Tunaifanya kazi hii kwa maumivu makubwa ya kibiashara na kisiasa. Wanadhani wanatunyong’onyeza lakini wanatuimarisha,”alisema.

“Kazi ya mageuzi ni ya muda mrefu na sio kazi ya masikhara. Ni kazi ya wito inayohitaji uvumilivu. Kama unaroho ndogo huwezi kuwa mpinzani Tanzania. Mimi nimejitoa kwa ajili ya Watanzania”.

“Hawatazuia nguvu ya mageuzi ndio maana hata Rais ana hofu, hajiamini kuwa amekuwa Rais. Hakuna mikutano ya kisiasa tukutane 2020 wakati yeye kila siku anapiga siasa,”alisema Mbowe.

“Sitakaa kimya na siku nikikaa kimya nitakuwa kaburini. Magereza ni jambo la kawaida. Viongozi wa Serikali wanajifanya miungu watu. Akina Mbowe tukinyamaza mtapigwa viboko barabarani,”alisisitiza.

Kwa upande wake, Mbunge wa Viti Maalum (CHADEMA), kupitia mkoa wa Kilimanjaro, Grace Kiwelu, alisema misukosuko anayopitia Mbowe kisiasa na kibiashara inazidi kumpa ujasiri wa kupigania haki. “Hata dhahabu ili ing’ae ni lazima ipitie kwenye moto na ndio maana Mbunge wenu anapitia misukosuko mingi lakini imemuimarisha na kumpa ujasiri zaidi,”alisema Kiwelu.

Mwenyekiti wa Baraza la Halmashauri ya Hai (CHADEMA), Helga Mchovu aliwaomba radhi wananchi wa kata ya Mnadani kutokana na kitendo cha diwani wao kuwakimbia na kuwaacha yatima.

Chanzo: Mwananchi

Mama Ashura Apasua Jipu Adai Maneja wa Timamu TV ni Mume Wake.....

0
0
Muigizaji wa Timamu Entertement, Mama Ashura amepinga vikali tetesi zilizozagaa kuwa amesababisha kuondoka kwa muigizaji Mkali Wenu katika kampuni ya Timamu kwa kuwa anamahusiano yasio rasmi na bosi wa kampuni hiyo.

Akiongea na Bongo5, mrembo huyu ambaye ni mahiri awapo katika kazi yake amedai hatembei na Meneja wake bali Meneja wake ni mume kabasa wa ndoa.

“Watu wanashindwa kuelewa mimi sitoki na meneja wangu, meneja wangu ni mume angu kabisa, watu wanatakiwa wajue, nina miaka naye sita kabla watu hawajanijua kama Mama Ashura na nina mtoto naye kwa hiyo familia zetu zinajua kabisa huyu ni mke na mume,” amesema Mama Ashura.

Alisisitiza kuwa “Baada ya watu kuona nimetoka kama Mama Ashura mwaka juzi, wakati mimi nipo muda mrefu kwa hiyo watu wasinichukulie mimi namna gani, watu wasinichukulie kisa natoka na fulani ndiyo maana amepewa nafsi hapana, mimi nimeanza sanaa kabla sijamjua Timos ,Mume wangu.”

Bongo5

Wenyeviti 50 wa Serikali za Mtaa wa CUF Wamuunga Mkono Profesa Lipumba

0
0
Wenyeviti 50 wa Serikali za Mitaa  wa CUF Mkoa wa Dar es Salaam wametangaza kuunga mkono uamuzi wa Baraza Kuu la Uongozi la CUF la upande wa Mwenyekiti wa CUF anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa, Profesa Ibrahim Lipumba kuwa vua uanachama wabunge  wanne wa viti maalumu na madiwani wawili.

Wabunge waliovuliwa uanachama ni  Halima Ali Mohamed, Khadija Salum Ally,  Salma Mohamed Mwasa, Miza Bakari Haji, Raisa Abdallah Mussa, Riziki Shahari Mngwali, Saumu Heri Sakala na Severina Mwijage.

Wakiwakilisha wenzao 36 wenyeviti 14 kutoka mitaa mbalimbali ya halmashauri za manispaa tano  za Dar es Salaam wamesema wamefikia hatua hiyo baada ya kuridhisha na kazi nzuri inayofanywa na Profesa Lipumba.

Akizungumza kwa niaba ya wenzake 14 mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Keko Mwanga B, Shilingi Shilingi amewaambia wanahabari  leo Jumanne Agosti 8 wanaunga mkono uamuzi wote wa Baraza Kuu la Uongozi kwa kuwa wabunge hao wamebainika kukihujumu chama hicho.

"Tunamtambua Maalim Seif Sharif Hamad kama katibu mkuu lakini kwa sasa nafasi yake inakaimiwa na Magadalena Sakaya kutoka na yeye kushindwa kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa Katiba ya CUF," amesema Shilingi

Mbali na hilo Shilingi amewataka watu wanaoingilia mgogoro wa chama hicho kuacha mara moja na kwamba mgogoro ni wa kikatiba na suala hilo lipo mahakamani muda si uamuzi utatolewa.

Mwananchi:

Askofu Bagonza Akosoa Kauli ya 'Aliyepewa Mimba Asirudi Shule', Ahoji Makosa Serikalini Yangekuwa Mimba, Wangekuwa na Ngapi?

0
0
Askofu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe Dr. Benson Bagonza, amewapasha viongozi wote serikalini wanaoshabikia wanafunzi wanaopata mimba kutoendelea na masomo,amesema "kama hawa viongozi wote wangekuwa kila kosa wanalofanya ni mimba tungezalisha mimba ngapi?

Akaendelea Mungu hua anatoa nafasi ya pili ili mtu atengeneze lkn wao viongoz wamejipa mamlaka ya kuhukumu hao hao ndo wanasema mwanafunz akipata mimba hakuna kusoma alisema huku akishangiliwa na wananchi na kujiamini bila wasiwasi wowote, huyu naona ndo Askofu wa kwanza kuanza kukosoa serikali hii kwa mambo ya ovyo ovyo inayofanya,

 Askofu Bangoza, amekuwa akiikosoa Serikali bila woga pale inapokosea.

VIDEO:

Jacob Zuma Avuka Tena Kikwazo Cha Wapinzani...Wabunge wa Upinzani Washindwa Kumuondoa Kwa Kura

0
0
Hatimaye siku imewadia na Mzee mzima Jacob Zuma the Man himself kwa mara nyingine ameweza kuruka kiunzi cha wapinzani cha kuondoka madarakani kwenye Kura za Siri zilizopigwa leo na Wabunge wa Bunge la Afrika kusini.

Wabunge wa chama chake ANC waliweza kumuhakikishia Zuma kwa Kura 198 huku upinzani Ukipata kura 177 ambazo hazikutosha kumng'oa Zuma madarakani.
Zuma raisi wa Afrika Kusini alikua akikabiriwa na kashfa za ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka.

I Just Lost My V*Rg*N*Ty To My Boyfriend, But Now I Wanna Try Other Men

0
0
Well I just lost my v*rg*n*ty and now there is nothing to hide, whether I decide to Be Intimate with other men, my boy friend won’t know, , don’t get me wrong, I still love my boyfriend

i just have this crave for sex with his friend who is really hot( with abbs, tatoo and what not), and the friend is already making passes at me.
the other day I was alone with his friend, he had on sleeveless( I could see his chest, his muscular hands, and going down then it’s like I went into a trance) and the whole of my body started trembling, I couldn't stop looking at him and one thing led to another so we kissed, almost got Unclad but my boyfriend got in

anyway he dint suspect anything

I keep having all this crushes and urges to get wild

I feel like I have been locked up in my v*rg*n*ty for too long and now my body just wana explore things, you know like extreme sex, to make up for the lost times, my boy friend isn't giving me you know the whole wild stuff I would want, he is being so gentle cos he thinks am a good girl

but I just want the whole bad boy stuffs done to me, and I can’t really tell him, anyway

what do I do?

Am I a bad person?

Povu zitooo lamtoka zari the boss lady baada ya mtoto wake tiffah kuhusishwa na ishu za mtoto wa hamissa mobetto

0
0
Uko Instagram page moja ya kishilawadu imajaribu kumuhusisha mtoto tiffah na kichanga cha hamisa mobetto basi zari ikamfika hapa, basi povuuuu ziiiito limemtoka ni shida.

 Toa Maoni yako Hapa chini:

Mjamzito Ajifunzua Mtoto Akiwa Kwenye Kituo Cha Kupiga Kura Kenya....

0
0
Mwanamke mmoja amejifungua kwenye kituo cha kupigia kura katika mji wa Pokot Kaskazini leo muda mfupi baada ya kufika kwenye kituo tayari kwa kupiga kura yake.

Mwanamke huyo, Paulina Chemanang mkazi wa Alapat, alikwenda kwenye kituo cha kupigia kura cha Shule ya Sekondari ya Konyao Mchanganyiko na ndipo alipoanza kupatwa na uchungu wa uzazi.

“Nimefurahi sana kwakuwa hii ni baraka kwangu,” amesema na kuongeza kuwa, “kujifungua kwenye kituo cha kupigia kura ni baraka kwangu na ninamshukuru Mungu kwa hili.”

Mtoto huyo wa kike aliyezaliwa leo amepewa jina la Chepkura, kwa sababu amezaliwa wakati wa uchaguzi (kupiga kura). Hii ni kwakuwa watu wa Pokot hutoa majina kwa watoto wao kulingana na matukio makubwa yanayotokea au misimu mbalimbali.

“Sikupata maumivu ya uchungu nilipokuwa natoka nyumbani, na nilipata maumivu muda mfupi tu baada ya kufika hapa. Sikuwa na maumivu wala dalili yoyote ya kujifungua tangu jana,” alisema Paulina.

Paulina alipata msaada wa haraka wa kujifungua hapohapo kwenye kituo cha kura kutoka kwa wanawake wengine waliokuwa hapo kabla ya kupelekwa kwenye kituo cha afya akiwa na mwanaye kisha kurudishwa kituoni hapo baada ya muda ili aweze kupiga kura na kushiriki kikamilifu zoezi hilo la kuchagua viongozi anaowataka.

“Sasa nina furaha kwa sababu nimejifungua na pia nimepiga kura tayari,” alimalizia Paulina.

Mgodi wa Dhahabu Geita GGM Wadaiwa Ushuru Zaidi ya Shilingi Bilioni 20

0
0

Halmashauri ya Mji wa Geita inaudai Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM) shilingi bilioni 24.6 za Ushuru wa Huduma ambazo mgodi huo ulitakiwa kuzilipa katika miaka tisa kutoka mwaka 2004 hadi 2014.

Hata hivyo, GGM imepinga madai hayo ikisema kuwa Sheria ya Kodi ya Huduma ilitungwa mwaka 2004 na kuanza kutumika mwaka 2005.

Muwakilishi wa uongozi wa mgodi huo amesema kuwa walitakiwa kulipa dola za Marekani 200,000 na baadaye mwaka 2014 Sheria ilibadilishwa na kutakiwa kuanza kulipia asilimia 0.3 ya mapato yao ya mwaka hivyo kudai kuwa siyo sahihi kudaiwa kiasi hicho cha fedha. Tayari Halmashauri hiyo ya Mji wa Geita imekwishawasilisha hati ya madai kwa uongozi wa mgodi huo na kutoa siku 30 kulipwa dola za Marekani milioni 11.04 (shilingi bilioni 24.6) zikiwa ni malipo ya tozo ya Ushuru wa Huduma.

Suala hilo hilo liliibuliwa na Madiwani katika kikao cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Geita baada ya muwakilishi wa GGM, Joseph Mangilima kuomba ufafanuzi kwa Kamati ya Kudumu ya Fedha na Uongozi juu ya deni hilo.

Mwanasheria wa Halmashauri hiyo, Queen Luvanda alisema deni hilo lilitokana na taarifa iliyotolewa na Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) baada ya kufanya ukaguzi katika mgodi huo mwaka 2016.

Alisema kuwa ukaguzi huo ulianisha deni hilo ambalo inadaiwa mgodi huo uligoma kulilipa kwa kigezo kuwa Halmashauri haikuwa na Sheria Ndogo ya kudai kodi hiyo.

Rais Magufuli ni Kiongozi wa Mfano, Kwa Africa na Dunia Nzima Kwa Sasa, Read This!

0
0
First of all let me give you a quick intro of John Pombe JosepMagufuli. He is a Tz prezo since2015 getting a nomination in CCM As a grace of God 1 out 1000 thought he was going to be a CCM candidate(he was elected due to his competence and seriously speakinhe wasn't a famous politician but a man of his words and it was really hard for one kuongea mabaya yakeeven in his own party.. let's get back to the question.

1.The Tz President has been successful in eradicating corruption to a large extent, Raisi wa Tzamefaulu katika hilo both in social(behaviour) and real practise. Before him it was a normal thing if u want your thing to be done/done fast u need to give corruption but now there is no such thing(I have been to Dar for quite a long time ). People now in Tz have a fear of giving or receiving corruption that's applies in almost every sector as a President hachagui and everyone is scared that someone is lookin upon his actions in simple words no one is safe !.. you can be fired in a matter of seconds if your found guilty.

2. Amefaulu katika competence atwork. Watu hivi sasa in Tz they give their all and not a matter of working for the sake of working, this directly helps in growth of economy andprovision of better services. In Tz, the water services, electricity can be easily connected and for those who have them they rarely face blackout. I have been to Dar and i stayed 6 month without even a 10 minute electricity cut off and water was off for an hour in two times.. This alsohas had an affect on health servicesas now the nurses treat their patients as in Europe, speaking confidently. They treat them as customers with care,love, kindness and dignity this is in public hospitals where they once were treated as shit just as the way Kenyan nurses do to pregnant women.

3. He has fired more than 20,000 personnel who walikuwa wafanya kazi hewa ambao they received an average salary of 500$=50,000/=kshs, 9900 wanafunzi hewa receiving an average Loan of $1700=17,000 kshs per year . In addition he has created 170,000 newjobs in public sector in this year. If u think this is bad you must have some really big problems in your head.

4. He has made significant infrastructure development all over the country. The road projects , marine projects, railway projects. These projects are 3 and half biggerthan the Kenyan projects. I.e. someare well known like sgr' s which are 6 times bigger than the ones to bedone in Kenya, the longest crude oil pipeline in the world innaugrated few days ago.

5. He has maintained utumiaji bora wa fedha za umma. Trust me if your a govt personnel in Tz you don't jusgo outside the country and stay in 5 star hotels making unreasonable conferences in Europe it is not thateasy in Tz these days as it is inKenya. The president himself has not been in America or Europe since he was innaugrated and they have come in Dar for negotiations.

6. He has ensured there is law of order in the country. No matter your post /position of you go agains the law unawekwa sehemu unayostahiri I.e. 5 ministers have been victim to date just to mention a few.

7. He has made the people to learn and make use of their income in a more civilized manner. Moneycirculation in Tz has decreased especially for those criminals like tax frauds, drug dealers, corrupt personnel, money laundering people. So as a result morals have been improved , violence has decreased in a great margin, marriage have now stayed in peace_no money to spend on concuibines, students focus on their studies rather than finding older guys for their needs.

8. He has decreased the cost of living. Just a few years ago the cost of living in Dar for instance had highly increased mainly because of rise of illegal money which made people to be so affluent. Tz was now gainin a reputation of a new Columbia, a lot of tz were caught in South Africa, China, South East Asia countries,middle East, Brazil over drug charges. It even went to the extent of cocaine being called "nyeupe "(a Swahili word) in many parts of of Johannesburg, Cape town and Durban. Do these activities people gained blood money and spent it badly at home as a result the rent and price of houses in Dar were so high e.g in Dar a house with 4 rooms in Upanga once costed 1.8 billion tshs = 90 million kshs in 2014 the same house now costs 750 million tshs = 38 million kshs.

9. He has stand upon his country'sinterests, making a new a law act which will look upon all mineral contracts and make new negotiations. I.e. a mining company is about to pay 180 billion us $ as as an amount of tax which it avoided back in the days .

10. He is praised all over Africa.Quoting Mwalimu Nyerere " kama Mzungu akikusifia inabidi uchunguze wapi ulipokosea" so in simple terms The whites will always appreciate if ur serving their interests and they don't care bout what is going to happen to your people. when otherAfrican people see your presideent is doing agreat job it means they see he is doing something very great which they wish their President can do the same..

The president of Togo(A Franco phone country ) once said he will do what Magufuli does in ensurring competence and eradication of corruption.

11. He is a special character. A special gene which doesn't exist among many African leaders at now. Try to find a leader in Africa right now who has equivantely to no wealth and he has a power to change it and not only him to benefit but for generations.. who ???. Maybe Mugabe to a certain extent.. The only one I could remember is Gadaffi who died 6 years ago and he clearly fits in this category.

Just to remind people for those who don't know Tanzania is very rich in mineral resources only South Africa and Drc are ahead of them. And when you try to consider the political situation it's only South Africa which is ahead of her, Still a lot of minerals(due to strict pre socialist ideologies)are yet to be fully exploited so if he was a selfish leader he would have been an affluent figure in a matter of days.

Mind you "Most people who are against John P Maguli in tz huwa wana masilahi yao binafsi au fools they don't have reasonable arguements"

If you think Magufuli is a bad man to copy some of his ideas which have been practised and have shown a great positive impact then you really have serious problems in your head and am afraid even a PhD holderpsychiatrist can't solve.

Almighty God, bless & protect our best ever President JPM..

Kutana Mtaalam wa Tiba Asili Mwenye Uwezo Mkubwa wa Kutatua Matatizo Kwa Nyota na Dua

0
0
KUTANA NA TABIBU MWENYE KUBRI KUTOKA KWA ALAH MAALIM ISSA NAJIMU. NI SHARIFU
MWENYE UWEZO WA KUBAINI TATIZO LAKO PUNDE TU UNAPO MFANYIA MAWASILIANO KUPITIA
WASAA NA SIKU KWA MAWASILIANO:-
MAALIM ISSA NAJIMU KUTOKA MKOA WA TANGA MWAMBONI MAGOFU KATA YA NGUVU MALI
NCHINI TANZANIA, NI TABIBU MWENYE KUBRI TOKA KWA ALAH ANATIBU KWA NJIA YA VITABU VYA
QUR-AN, DAWA ZA ASILI PAMOJA NA DAWA ZA KIARABU.
ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE / MKOA WOWOTE KWA MATATIZO YAFUATAYO:-

 ULIJALI (NGUVU ZA KIUME)
 MIGUU KUWAKA MOTO
 KUTAFSIRI NDOTO
 MFARAKANO WA WANANDOA
 MFARAKANO KAZINI
 KUPANDSHWA CHEO
 KUTOA PETE YA BAHATI
 ANAO UWEZO WA KUPANDIKIZA NYOTA YA KUBASHIRI
 KUFUNGUA UZAZI KWA WALIYO FUNGWA KWA NJIA YA USHIRIKINA
 KUTOA VIFUNGO VYOTE VILIVYO FUNGWA IKIWA NI KWENYE MWILI WA BINADAMU /MAJUMBANI NA KWENYE BIASHARA.
 ANA UWEZO MKUBWA WA KUPANDIKIZA NYOTA YA KUMPATA YEYOTE UMPENDAYE KWA
KUMUOA AU KUWA NAYE.
 ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIYE MBALI PIA ALIYE CHUKULIWA KWA NJIA YA MSUKULE
 ANAO UWEZO WA KUUAq KESI SUGU NA PYA NDANI SIKU 7 TU.

 MENGINEYO MENGI ZAIDI YALIYO KUWA SUGU PIGA-
 Mobile; 0717 70 32 41.
 WhatsApp 06226 535419.

Rais Magufuli ataka VAT iondolewe Kwenye Miradi ya Ufadhili

0
0

RAIS John Magufuli ameziagiza wizara za Fedha na Mipango na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tamisemi kuandaa mapendekezo na kupeleka bungeni mwaka huu marekebisho ya sheria yanayotaka kulipwa kwa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwa miradi inayopata ufadhili kutoka kwa wadau wa maendeleo ikiwemo Benki ya Dunia.

Ametoa agizo hilo wakati akihutubia wananchi wa Korogwe waliohudhuria ufunguzi wa stendi mpya ya kisasa ya mabasi iliyogharibu Sh bilioni nne eneo la Kilole. Dk Magufuli alisema utaratibu huo unafanya serikali kulipa VAT kwa serikali yenyewe jambo ambalo si sahihi kwa kuwa fedha hizo zingetumika kufanya shughuli nyingine za maendeleo.

Alitoa agizo hilo baada ya Naibu Waziri Tamisemi, Selemani Jaffo kueleza kuwa ipo changamoto ya kisheria inayokabili miradi ya maendeleo inayotekelezwa na serikali kutakiwa kulipa VAT na kusababisha serikali kulipa fedha za ziada Mamlaka ya Mapato (TRA) kwa sababu mikopo na ruzuku kutoka kwa wafadhili hazitengi malipo ya kodi.

“Nawaagiza mawaziri wa wizara zote mbili kuandaa marekebisho ya sheria hii ambayo ilipitishwa mwaka 2015 ili mwezi Septemba iweze kurekebishwa bungeni... tunahitaji fedha, lakini sio kwa kila kitu tutozwe VAT hiyo ni kujichelewesha hayo mambo ni ya ovyo lazima tuyaache,” alieleza Dk Magufuli.

Awali, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), January Makamba amemuomba rais kushughulikia mgogoro wa kiwanda cha kusindika chai cha Mponde wilayani Lushoto ambao umechukua muda mrefu na kusababisha wakulima wa Jimbo la Bumbuli wilayani humo kushindwa kujiendeleza kiuchumi. Stendi iliyojengwa mjini Korogwe ni miongoni mwa mradi 11 inayojengwa na kusimamiwa na Tamisemi kwa ufadhili wa Benki ya Dunia katika baadhi ya halmashauri nchini.

Wimbo wa 'Despacito' Wavunja Rekodi ya Dunia Kwa Kutizamwa Mara 3 Bilion Kwenye Youtube

0
0
Kwa wale wadau wa muziki na wafuatiliaji ,Luis fonsi ft Daddy Yankee(latin american)amevunja rekodi ya DUNIA baada ya wimbo wake aliourelease YouTube miezi 6 iliyopita kutizamwa Mara bilioni 3 YouTube.
Kiukweli video ya wimbo huu ipo vizuri Sana!!!!!kuna dance moves sijui niite kubambia ama nini!,,'pale wanapoimba de--spa---cito'kuna namna Fulani wanapacheza 'sexy and unique of course!'.hivyo wimbo unapaswa uwekeze kwenye lyrics,theme,na hata video.!

Hapo nyuma rekodi io ilishikiliwa na mkorea aneitwa Psy,wimbo ulikuwa unaitwa gangnam style,,wimbo ulitazamwa sana mpaka mtandao wa YouTube ukashindwa kuhesabu!!,,ingawaje wimbo wa 'see you again wa wizkhalifa ulikuja kuipita gangnam style(lakini bado gangnam style ya mkorea ndio iliyoshikilia rekodi kwa miaka karibia mitano..

Kitu interesting about this song(despacito)ni kutazamwa kwa kasi kubwa kupita kiasi!!,July/2017 ulikuwa na views 2.4-2.6 mpaka august/2017(mwezi mmoja tuu)umegonga 3billion views!!,,hii inamaanisha kuwa ndani ya mwezi mmoja umetazamwa zaidi ya mara milioni mia sita..wonderful enough wimbo haujaimbwa kwa kingereza

Ikumbukwe kuwa Justin bieber aliufanyia remix (depacito)kitendo kilichopelekea huu wimbo kupenyezwa kwa jamii ya wanaozungumza kingereza,hivyo wimbo ukazidi kupata umaarufu.

Kwa sasa nyimbo tatu zinazoongoza kwa views nyingi ni.
1.despacito-3bil
2.see you again-3bil
3.gangnam style- 2.9bil

Hiyo ni kwa YouTube tuu,ukijumlisha na streaming services nyingine kama Spotify,apple nk unaongoza kwa kutizamwa Mara 4.6bil.

 UTAZAME HAPA:

Swala la Diamond na Hamissa Mobeto, Wanafiki Ndio Wapo Kazini ila Hawajui Watendalo...

0
0
Swala la Diamond na Hamissa Mobeto, Wanafiki Ndio Wapo Kazini ila Hawajui Watendalo...
Hahahahahahaha ujue kuna Vitu inabidi uanze kucheka tena unacheka kwa dharau kubwaa...Kama sahizi unamsikia sana Hamissa mobeto ujue kuwa Wanafiki wapo kazini kuhakikisha wanamtingisha Diamond katika mahusiano yake na Target ni kumuumiza ZARI

Kama ZARI Atakubali kutikiswa na Wanafiki kupitia HAMISSA mobeto basi atakuwa amejishushia heshima sana.....Mimi Zari mbali ya kumkubali kama mwanamke mtafutaji na mkubali pia kama mwanamke anae pitia challenge nyingi sana tena na kubwa kubwa.....wakati wa Mimba ya TIFFAH alisemwa sanaa hadi nikajiuliza huyu mtoto atakae zaliwa atakuwaje? Lakini Mungu si Mwanadamu....kapitia misiba 2 mikubwa hivyo hizi kelele za kuwa HAMISSA ana Mtoto wa Diamond Sio za kushangaza sanaaaa!!!

Watu wameanza kumjua HAMISSA na DIAMOND baada ya Wimbo wa Salome na Ile birthday lakini ukweli ni kwamba HAMISSA na diamond Wameanza urafiki kabla hata diamond hajawa na Wema Sepetu hivyo kama diamond angemuhitaji Hamissa alikuwa anampata toka kitambo!! ASINGEENDA KWA PENNY......

Hamissa Kaoneka Kwenye video ya Diamond ya MAWAZO wimbo ulitoka 2012 sijui 2013 kitambo hichoooooo HAMISSA walikuwa washkaji na Diamond kabla ya wema na penny

Ndio maana nasema Kuwa Wanafiki ndio wanao eneza story za Diamond na HAMISSA ........Hamissa hajaanza kupenda kazi za diamond leo! Sasa hizo story za kuwa Hamissa ana Mimba Ya diamond sijui ana mtoto wa Diamond hizo story za KUOKOTWA .....Ila Diamond atachelewa kupotea kwenye Game sababu ni kama hizii anaongelewa kuliko msanii yeyote yulee

Hili nalo litapitaa

By Danya

Manji Alivyomkataa Wakili wa Chadema Mbele ya Mahakama...Kisa Kizima Hichi Hapa

0
0
Diwani wa Mbagala kwa tiketi ya CCM, Yusuf Manji jana alisema mbele ya mahakama kuwa hataki kuwakilishwa na Wakili Peter Kibatala na kutaka abadilishe wakili kwa kile alichosema kuwa ni kutofautiana kwa itikadi za kisiasa.

Manji ambaye ni mmoja wa wafanyabiashara wakubwa nchini Tanzania aliiambia Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam jana kabla ya kuanza kusikilizwa kwa kwa maombi yake ya dhamana ambapo alishangaa yeye kama Diwani wa CCM kuwakilishwa na wakili ambaye ni mwanachama wa CHADEMA.

Manji anayekabiliwa na tuhuma za uhujumu uchumi, baada ya kumkataa wakili huyo aliwatambulisha mawakili wengine wapya wawili ambao watamuwakilisha.

Aidha, Mahakama Kuu jana ilitupilia mbali maombi ya dhamana ya Manji na kuanza mchakato wa kuipeleka kesi hiyo katika Mahakama Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi na Rushwa baada ya Manji kukubali pingamizi la Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) kuomba kuyaondoa mahakamani maombi ya dhamana.

Mmoja wa mawakili wapya wanaomuwakilisha Manji, Alex Mgongolwa alisema walikubali kuondolewa kwa maombi hayo mahakamani hapo ili kupelekwa katika Mahakama ya Uhujumu Uchumi na Rushwa maarufu Mahakama ya Mafisadi  ambayo ndiyo yenye mamlaka ya kusikiliza maombi yao.

Manji anasota rumande kwa siku zaidi ya 30 sasa kutokana na kunyimwa dhamana kila anapofika mahakamani.


Toa Maoni Yako Hapa chini:
Viewing all 104429 articles
Browse latest View live




Latest Images