Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live

Madhara ya Kutumia Vidonge vya Uzazi wa Mpango Kwa Wanawake

$
0
0

Ili kuepuka kupata ujauzito, wanawake hutumia njia mbalimbali za kupanga uzazi wao ikiwa ni pamoja na utumiaji wa vidonge, vitanzi, vijiti na wengine hutumia mipira wakati wa tendo la ndoa.

Njia hizi kila moja ina athari chanya na hasi na mara nyingi hutegemea na hali ya mtu anayezitumia kwani akitumia mmoja anaweza kuona madhara kadhaa lakini mwingine asione.

Katika kuchambua madharaya ya njia hizi za kupanga uzazi, tutaelezea madhara ya matumizi ya vidonge vya kupanga uzazi kwa wanawake.

Kupata kichefuchefu.

Mtumiaji anayetumia dawa hizi kwa mara ya kwanza ana uwezekano mkubwa wa kupatwa na kichefu chefu ambacho hudumu kwa muda mfupi hadi mwili utakapozoea dawa hizo. Ukitumia dawa hizi wakati wa chakula, au muda mfupi kabla ya kulala huenda ikakusaidia kupunguza hali hiyo.

Aidha, unashauriwa kuwa, endapo utaona hali hiyo imeendelea kwa muda mrefu, muone mtaalamu wa afya kwa ushauri zaidi.

Kuongeza hamu ya kula

Wakati mfumo wa homoni za oestrogen na progesterone unapobadilishwa kwa kutumia vidonge humfanya mtumiaji kuwa na njaa sana na hivyo kukufanya ule sana hali inayoweza kupelekea kuongezeka uzito. Lakini hakuna ushahidi madhubuti unaoonyesha uhusiano wa moja kwa moja kuwa dawa hizo zenyewe huongeza uzito.

Kubadilika kwa hisia (moody)

Wanawake ambao hukumbwa na matatizo ya kubalika kwa hali/hisia zao kama kuwa na hasira, kutotaka kusemeshwa, hali hiyo huongezeka pale anapotumia vidonge vya kupanga uzazi. Wanawake wa aina hii wanashauriwa kujadiliana na wenza wao kabla ya kuanza kutumia dawa hizi.

Maumivu ya kichwa

Mabadiliko ya homoni katika mwili wa mwanamke anayetumia vidonge hivi, hupelekea maumivu ya kichwa na kipandauso. Mabadiliko tofauti ya homoni hupelekea dalili tofauti tofauti za maumivu ya kichwa. Lakini maumivu na dalili hizo zitaendelea kupungua kadiri ya muda.

Kuganda wa damu

Mtumizi ya vidonge hivi wakati mwingine huwaweka wanawake katika hatari kubwa kutokana na kupelekea damu zao kuwa mabonge mabonge. Wanawake wenye matatizo haya ya damu kuwa mabonge wanashauriwa kutotumia dawa hizi kwani zitawasababishia madhara zaidi. Lakini pia kabla hujaanza kutumia dawa, unashauriwa kumuona mtaalamu wa afya.

Maziwa kuongezeka ukubwa

Vidonge hivi vinaweza kukusababishia maziwa yako kuongezeka ukubwa au kupata maumivu ya maziwa madhara ambayo yataanza kutoonekana baada ya kutumia dawa hizi kwa wiki kadhaa. Hata hivyo, kama utaona maziwa yako hayapo sawa, au maumivu yamedumu kwa muda mrefu, utahitaji kumuona mtaalamu wa afya haraka.

Kutokwa na uchafu ukeni

Baadhi ya wanawake hukumbwa na tatizo la mabadiliko ya utoaji uchafu ukeni hali ambayo huathiri kujamiiana kwao kutokana na kupungua au kuongezeka kwa muda na kiasi cha utoaji uchafu. Utoaji wa uchafu kwa njia ya uke si tatizo kwa wanawake, lakini kama utahisi kuna hali ambayo si ya kawaida, unashauriwa kwenda hospitali.

Athari hizo za vidonge tulizozitaja hap juu sio zote ni mbaya. Madhara mengine kubwa za kutumia vidonge hivyo ni pamoja na kuumwa sana na kichwa, Maumivu ya nyonga, maumivu ya kifua, uono hafifu pamoja na maumivu ya miguu au mapaja.

Endapo moja ya haya madhara makubwa tuliyoyataja hapo yatatokea, unatakiwa kumuona daktari haraka ikiambatana na kusitisha matumizi ya videonge hivyo.

Maumivu hayo yanaweza kuashiria matatizo katika kibofu, ini, damu kuwa mabonge, shinikizo la damu au hata ugonjwa wa moyo.

Chanzo: The Citizen

Breaking News: Raila Odinga Apinga Matokeo ya Urais Kenya

$
0
0
Mgombea urais wa muungano wa upinzani nchini Kenya National Super Alliance (Nasa) Raila Odinga amepinga matokeo ambayo yanaendelea kutangazwa na tume ya uchaguzi nchini humo, IEBC.

Bw Odinga amewaambia wanahabari kwamba tume hiyo imekuwa ikitangaza matokeo kwenye tovuti yake bila kufuata utaratibu ufaao.

Waziri mkuu huyo wa zamani amesema kabla ya matokeo yoyote kutangazwa, IEBC inafaa kuwapa maajenti wa vyama Fomu 34A kutoka vituoni.

Amesema kwa sasa, bila kuwepo kwa fomu hizo, ni vigumu kubaini matokeo yanayopeperushwa yanatoka wapi.

“Mfumo umeacha kufanya kazi. Sasa ni mitambo inayopiga kura. IEBC wamesema kwamba hakuna chama chochote kilichopinga matokeo. Lakini vyama vitapingaje matokeo bila kujua asili yake? Ni fomu 34A pekee zinazoonesha chanzo cha matokeo,” amesema.

“Kwa hivyo, tunakataa matokeo yote yaliyotangazwa kwa sasa na kuitaka tume ya IEBC itoe fomu 34A za kila kituo kabla ya matokeo zaidi kutangazwa.”

IEBC imekuwa ikitangaza matokeo ya urais mtandaoni, na kufikia saa tisa na robo alfajiri, matokeo hayo yalikuwa yanamuonyesha Rais Uhuru Kenyatta wa chama cha Jubilee akiwa mbele na kura 6331140 (55.27%) naye Bw Odinga akiwa na kura 5031737 (43.92%).

Matokeo hayo ni ya kutoka vituo 295319 kati ya vituo 40883 nchini humo.

“Hii ni kompyuta inayopiga kura,” alisema Bw Odinga akikataa matokeo hayo.

Hali ya wasiwasi imekuwa ikitanda katika kituo cha taifa cha kujumlishia na kutangaza matokeo katika ukumbi wa Bomas jijini Nairobi.

Matokeo yalianza kutiririka baadaye Jumanne jioni baada ya shughuli ya kuhesabiwa kura kuanza. Matokeo hayo yamekuwa yakionesha Bw Kenyatta akiongoza.

Wakala mkuu wa muungano huo wa upinzani, naibu waziri mkuu wa zamani Musalia Mudavadi alikuwa awali amehutubia wanahabari na kutaja matokeo yanayotangazwa na tume hiyo kama utapeli.

Alitoa wito kwa wafuasi wa muungano huo kupuuzilia mbali matokeo yanayotangazwa.

Huku Raila Akipinga Matokeo..Uhuru Kenyatta Aendelea Kuongoza Uchaguzi wa Urais Kenya

$
0
0
Huku Raila Akipinga Matokeo..Uhuru Kenyatta Aendelea Kuongoza Uchaguzi wa Urais Kenya
Bw Kenyatta aliwahimiza Wakenya kudumisha umoja alipokuwa akipiga kura Jumanne

Kura zinaendelea kuhesabiwa na matokeo kutangazwa baada ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu nchini Kenya Jumanne.

Katika matokeo yaliyokuwa yametangazwa kufikia saa tatu asubuhi Jumatano, Uhuru Kenyatta wa chama cha Jubilee alikuwa akiongoza akiwa na kura 7,461,933 (54.64%) akifuatwa na Raila Odinga wa muungano wa upinzani National Super Alliance (Nasa) aliyekuwa na kura 6,079,136 (44.51%). Matokeo hayo ni ya vituo 36659 kati ya 40,883.

Kura ambazo zilikuwa zimeharibika kufikia wakati huo ni 353,389.

Muungano wa Nasa umepinga matokeo yanayoendelea kutangazwa na tume hiyo na kusema si sahihi.

Bw Odinga amesema IEBC imefanya makosa kwa kutangaza matokeo hayo bila kuwaonyesha maajenti wa vyama Fomu 34A, kubainisha matokeo hayo yametoka katika vituo gani.

Katika baadhi ya vituo, shughuli ya upigaji kura ilichelewa kuanza na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (IEBC) iliongeza muda kufikia wakati uliokuwa umepotezwa kabla ya kufungua vituo.

Kisheria, vituo vilitakiwa kufunguliwa saa kumi na mbili asubuhi na kufungwa saa kumi na moja jioni saa za Afrika Mashariki.

Lakini katika baadhi ya maeneo, mvua kubwa ilitatiza uchukuzi na upigaji kura na kwingine hitilafu za kimitambo zikachangia kukwamisha upigaji kura. Muda wa kufungwa kwa vituo uliongezwa kwa vituo vilivyochelewa kufunguliwa.

Wengi wanahofia uwezekano wa kutokea tena kwa ghasia za baada ya uchaguzi sawa na ilivyotokewa baada ya uchaguzi wa mwaka 2007.

Watu zaidi ya 1,100 walifariki na wengine 600,000 kuachwa bila makao.

Tume ya uchaguzi imetangaza matokeo kutoka kwa vituo 36659 kati ya jumla ya vituo 40883 ambapo:

Uhuru Kenyatta wa Jubilee ana kura 7,461,933 (54.64%)

Raila Odinga wa ODM kura 6,079,136 (44.51%)

Joseph Nyagah (huru) 33,710 (0.25%)

Abduba Dida wa ARK 29,411 (0.22%)

Ekuru Aukot wa Thirdway Alliance 23,976 (0.18%)

Japheth Kaluyu (huru) 10,316 (0.08%)

Cyrus Jirongo wa UDP 10,019 (0.07%)

Michael Wainaina (huru) 7,919 (0.06%)

Kura zilizoharibika kufikia sasa ni 353,389

Ili kushinda, mgombea urais anahitajika kupata zaidi ya asilimia 50 ya kura zilizopigwa, na angalau asilimia 25 katika kaunti 24 kati ya kaunti 47 nchini humo.

Iwapo hakuna mgombea atakayetimiza hilo, basi uchaguzi wa marudio utafanyika katika kipindi cha siku 30.

Kujitokeza mapema

Wapiga kura walianza kujitokeza alfajiri na mapema kupiga kura.

Foleni ndefu zilishuhudiwa katika vituo vingi, na kwingine visa vya watu kuumia katika mkurupuko wa kupanga foleni vituo vilipofunguliwa viliripotiwa.

Katika baadhi ya vituo, kuliripotiwa pia visa vya mitambo ya kuwatambua wapiga kura kufeli.

Katika moja kati ya vituo vinne nchini humo, maafisa wa IEBC walikuwa wamesema kwamba hakuna huduma nzuri ya mtandao maana kwamba wasimamizi wa uchaguzi katika vituo hivyo watahitaji kusafiri hadi ameneo yenye huduma nzuri ya simu kutuma matokeo kikamilifu.

Kumekuwa pia na taarifa kwmaba mwanamume mmoja ameuawa katika makabiliano kati ya wafuasi wa wagombea wawili katika kaunti ya Kilifi, pwani ya Kenya.

Lakini kulikuwa na kisa cha kutia moyo pale mwanamke mmoja alipojifunzua mtoto msichana alipokuwa kwenye foleni akijiandaa kupiga kura Pokot Magharibi.

Pauline Chemanang alisema kujifungua kwake ni baraka na akampa mtoto wake jina Kura, kwa mujibu wa kituo kimoja cha redio.

Rais Kenyatta, baada ya kupiga kura yake kituo cha Mutomo eneo lake la nyumbani la Gatundu, kaskazini mwa Nairobi, alisema kwamba yuko tayari kukubali matokeo ya uchaguzi huo.

"Kwa wapinzani wangu, kama nilivyosema mara nyingi awali, ikitokea kwamba washindwe, basi hebu tukubali uamuzi wa wananchi. Nina nia, mwenyewe, kukubali nia ya wananchi," amesema.

Kiongozi wa upinzani Raila Odinga alipiga kura yake katika mtaa wa Kibera, Nairobi.

Akiongea nje ya kituo hicho, aliwahimiza wafuasi wake: "Hebu tujitokeze kwa wingi na tupige kura."

Mwangalizi mkuu wa Umoja wa Ulaya Marietje Schaake amesema itategemea sana imani ya wananchi katika mfumo mpya wa kiteknolojia wa kupiga kura.

Kabla ya siku ya uchaguzi, meneja wa masuala ya teknolojia katika IEBC Chris Msando aliuawa na watu wasiojulikana.

Nani ana nafasi ya kushinda uchaguzi mkuu Kenya 2017?

Kulikuwepo na madai ya kwamba huenda kukawa na wizi wa kura na pia katika baadhi ya maeneo taarifa za kueneza kwa karatasi zenye ujumbe wa chuki zilizagaa.

Siku chache kabla ya uchaguzi, Wakenya wengi walikuwa wakinunua chakula na maji na kujihifadhia wakihofia hali baada ya uchaguzi.

Polisi pia walifanya mipango ya kushughulikia dharura iwapo ghasia zingetokea.

RC Makonda Alia na 'CV' za watendaji Kata Dar es Salaam...Ataka Zipitiwa Upya

$
0
0


Hatua hiyo imefuata baada ya Mkuu huyo wa Mkoa Dsm kufika katika eneo la Bunju B jijini humo kwa maelekezo ya Rais Magufuli aliyetoa siku 4 kutatuliwa kero za eneo hilo.

Jana Katika mkutano na wananchi wa eneo hilo, RC Makonda alilazimika kumuinua mtendaji wa kata hiyo na ndipo alipogundua wengi wao hawaelewi vizuri majukumu yao na ndipo alipomuagiza mkuu wa Wilaya ya Kindondoni Ally Happi kukagua Cv za watendaji wake wa kata na mitaa mara moja ili ajue nani.

RC Makonda amedai Watendaji hao kutoelewa majukumu yao ndio imekuwa sababu kubwa ya wananchi kushindwa kutatuliwa kero ndogondogo na hatimaye Wanasubiri Rais akipita wanamsimamisha kwa matatizo madogo madogo yakiwemo ya Vyoo, Umeme na masoko.

Juzi Wakati Rais Magufuli anarejea Jijini Dsm kutoka Mkoani Tanga alikokuwa kwenye ziara yake ya siku tano, alisimamishwa na wananchi wa Bunju B katika wilaya ya Kinondoni na kumueleza kero zao na baada ya hapo Rais Magufuli alitoa agizo la ndani ya siku nne Mkuu wa mkoa wa Dsm Paul Makonda awe amefika na kutoa majibu ya kero hizo.

Video: Kumbe Huyu ndio Msanii Aliyesababisha Ushindi wa Idris Sultan BBA!

$
0
0
Video: Kumbe Huyu ndio Msanii Aliyesababisha Ushindi wa Idris Sultan BBA!

Je unafahamu nje ya ushindi wa Idris Sultan kwenye jumba la Big Brother Africa 2014 nani alifanikisha hilo? Basi kama hufahamu hilo huyu ndio msanii chipukizi wa RnB Bongo ambaye amechangia ushindi huo kwa asilimia kubwa. Tazamahapa chini video ya mahojiano hayo aliyofanya na Bongo5.

Shilole Aishukia Ndoa ya Nuh Mziwanda...Adai Wapambane na Hali yao

$
0
0
Shilole Aishukia Ndoa ya Nuh Mziwanda...Adai Wapambane na Hali yao

KUTOKANA na kuwepo kwa madai ya Zuwena Mohamed ‘Shilole’ kuchangia kuvunjika kwa ndoa ya mpenzi wake wa zamani, Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’, msanii huyo wa muziki na filamu ameibuka na kusema mambo hayo hayamhusu.

Vyanzo mbalimbali kwa nyakati tofauti vimedai kuwepo kwa uhusiano wa kimapenzi baina ya wapenzi hao wa zamani licha ya Nuh kuwa katika ndoa, kitu kilichokuza mgogoro wa wanandoa hao ambao wamejaaliwa kupata mtoto mmoja wa kike, kiasi cha mwanamke kuamua kutimka.

Baada ya kupata habari hizo, Za Motomoto News ilimtafuta Shilole ambaye alijibu kwa kifupi; “Kila mtu apambane na uhusiano wake, pia mambo ya ndoa kuvunjika hayanihusu.”

Naye Nuh akasema; “Migogoro ndani ya ndoa ni kitu cha kawaida, kuhusu Shilole siyo kweli, Nawal alikuwa na mambo yake hivyo alikuwa anatafuta kisingizio cha kuondoka, sijampa talaka bali aliamua kuondoka mwenyewe hivyo ninachoweza kusema ni kwamba namshukuru Mungu ninaendelea kupumua hayo mengine ni ya ziada tu, kikubwa uhai.”

BREAKING!! RC Makonda na Wahariri wa Vyombo vya Habari Wanazungumza

$
0
0
BREAKING!! RC Makonda na Wahariri wa Vyombo vya Habari Wanazungumza
 August 9, 2017 kwenye YouTube ya millardayo kuna matangazo ya LIVE ambapo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda na Wahariri wa Vyombo vya Habari wanazungumza.

Niyonzima Awajibu Wabaya Wake, Awaweka Roho Juu Yanga Ngao ya Jamii

$
0
0

Niyonzima Awajibu Wabaya Wake, Awaweka Roho Juu Yanga Ngao ya Jamii
Haruna Niyonzima ambaye ni mchezaji mpya wa klabu ya soka ya Simba SC aliyekuwa akicheza kwa mahasimu wao Yanga, amefunguka maneno ambayo yanaonekana ni kama madongo wa watu wanaomchukia kwa sasa.



Akiongea na waandishi wa habari baada ya kumalizika kwa mchezo wa kirafiki kati ya Simba na Rayon Sports ya Rwanda, mchezaji huyo amesema hakuwahi kuwa na ndoto za kuja kucheza Tanzania lakini mpira ndio kazi yake na kazi ni sehemu yoyote hachagui.

“Yanga wameumia na nini, wapenzi wa Haruna lakini mimi niseme yote ni maisha na mimi ni mchezaji wa mpira siwezi kujua nitaishia wapi lakini kikubwa ni kufanya kazi yangu. Pia nawashukuru Yanga ni timu ambayo mpaka sasa hivi nimecheza misimu mingi sana kuliko timu zote duniani, ni kitu cha kuwashukuru nimeishi nao vizuri mashabiki, wana Yanga, wapenzi wa Haruna ambao walikuwa wanampenda akiwa Yanga na watu wote ambao wameni support nikiwa Yanga,” amesema Niyonzima.

“Wamenionyesha ushirikiano lakini Mwenyezi Mungu anakuwa na mambo yake mengine, nimekuja Simba na ninaamini nimekuja kufanya kazi. Mimi niseme kuwa sikuwa na ndoto za kucheza Tanzania lakini Mwenyezi Mungu ndio anajua wapi mtu ataenda mimi sioni tatizo ni kitu tu cha kushukuru kwa sababu kila kitu kinapangwa na Mungu na hii ni kazi unajua kazi ni sehemu yoyote, mimi naomba Mwenyezi Mungu anibariki niweze kufanya kazi zangu vizuri tu basi,” ameongeza.

“Mimi naamini tukifanya kazi kwa ushirikiano tukawasikiliza walimu na sisi wenyewqe tukapendana kwa sababu tunawatu wenye experience ni watu wakubwa, watu wazima ambao tukiamua hatuwezi kukosa pointi tatu naamini tutakuja kufanya vizuri zaidi.”

Niyonzima amesisitiza kwa kusema kuwa anatamani kufunga goli katika mechi ya Ngao ya Jamii ambayo itachezwa August 23 mwaka huu katika uwanja wa Taifa ili aweze kuwaaga watu wa Yanga vizuri.

Kutana na Mtabibu wa Asili Allan Shariffu Musa Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH shariffu musa Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na shariffu musa Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
Maalim Hussein Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi

+255 629793352 au watsap
+255 679119679

NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Kimenuka...Majina ya Vigogo Waliotafuna Mabilioni ya Viwanda Hadharani Kesho

$
0
0
Taarifa ambazo zimethibitishwa na Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage, orodha hiyo ya viwanda vilivyotelekezwa itawekwa hadharabni mjini Dodoma kesho na wahusika kunyang’anywa viwanda hivyo kabla hatua zaidi za kisheria kuchukuliwa.

Aidha, Nipashe imebaini kuwa wale watakaobainika kuwa walifanya udanganyifu kwa kutumia viwanda walivyopewa kutwaa mikopo ya mabilioni ya fedha na kwenda kuzitumia kwa mambo mengine, sasa wako kitanzini kwa sababu mchakato wa kuwafikisha mbele ya mkono wa sheria utaanza mara moja, ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais John Magufuli.

Hivi karibuni, magereza ya Keko na Segerea yamejitwalia umaarufu kwa kuwapokea mahabusu mbalimbali wanaotuhumiwa kwa kesi zinazohusiana na uhujumu uchumi na utakatishaji fedha, ambazo huwa hazina dhamana.

Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa kiwanda cha saruji cha Kilimanjaro wilayani Korogwe, Jumapili, Rais Magufuli alimtaka Waziri Mwijage awanyang’anye viwanda wale wote waliovitelekeza bila kuviendeleza kwa miaka 20 na pia kutaka ufanyike utaratibu wa kuwatoza faini na kuwapeleka jela wale watakaoshindwa kueleza ni wapi walikopeleka mabilioni ya fedha waliyokopa benki kwa kutumia viwanda hivyo.

“Tuliwapa viwanda marafiki zetu kwa kuangalia sura… sasa wewe Waziri usiangalie sura ya marafiki wa wenzako waliotangulia, we wakung’ute sawa sawa. Hicho ndicho ninataka mkafanye wewe na makatibu wako, atakayeenda mahakamani tutajua namna ya ku-‘deal’ naye, sheria zipo.

Tutamwingizia kesi ya uhujumu uchumi,” alisema Rais Magufuli.

Kupitia chanzo chake, Nipashe ilielezwa kuwa miongoni mwa watuhumiwa wa ‘upigaji’ wa mabilioni hayo ya fedha za viwanda kutoka kwenye taasisi mbalimbali za fedha, wamo baadhi ya vigogo wenye majina makubwa katika maeneo mbalimbali.

“Kama alivyosema Rais (Magufuli) wakati akiwa Tanga. Yeyote aliyetwaa kiwanda na kukitumia kukopa fedha benki kwa matumizi yake mengine, sasa atakuwa shakani… ni kwa sababu atafikishwa kwenye mkono wa sheria bila kujali yeye ni nani,” chanzo kiliiambia Nipashe jana, kikirejea maelekezo ya Rais kwa Waziri Mwijage.

Hata hivyo, Nipashe haikufanikiwa kupata chanzo huru kuthibitisha juu ya madai ya kuanza kwa mchakato wa kuwafikisha kortini na hatimaye mahabusu wale wote watakaokumbwa na tuhuma za kutwaa fedha benki kwa kutumia jina la viwanda ilhali wakivitelekeza na kuzitumia kwa masuala yao mengine.

WAZIRI MWIJAGE AFUNGUKA
Alipoulizwa na Nipashe kuhusiana na utekelezaji wa amri ya Rais juu ya viwanda vilivyotelekezwa, Waziri Mwijage alisema wale walioshangilia yeye kubanwa na Rais Magufuli mbele ya hadhara mkoani Tanga, wataumbuka Alhamisi (kesho) wakati atakapotaja viwanda ambavyo ameshavirejesha serikalini.

Mwijage alisema kuwa kesho, atazungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma na kuweka hadharani orodha ya viwanda ambavyo amevirejesha serikalini, vikiwamo vilivyobinafsishwa miaka mingi iliyopita na wawekezaji walioviendeleza.

Akifafanua zaidi jambo hilo, Mwijage alisema kazi waliyoifanya kuhusiana na agizo la Rais ni kubwa na kwamba kesho ndiyo atawaweka hadharani wahusika.

“Unajua bondia mzuri ni yule ambaye anakubali kupigwa angalau kidogo ili baadaye akiinuka na kuanza mashambulizi watu washangae. Sasa watu walifurahia mimi kusemwa. Lakini sasa wataona mambo,” alisema Mwijage.

Aliongeza kuwa amri ya Rais huwa haijadiliwi na kwa wale waliolelewa kwenye maadili kama yeye, wakiagizwa na mtu mkubwa kama Rais kinachofuatia ni utekelezaji, kama ambavyo amefanya kwenye eneo la kuchukua viwanda ambavyo havijaendelezwa kwa miaka mingi.

“Kama una mwandishi wako mlete Alhamisi Dodoma uone mambo… maana nitatoa picha nzima ilivyo,” alisema Mwijage.

Mwijage alisema tangu Rais Magufuli atoe agizo la kuchukua viwanda ambavyo havijaendelezwa, yeye na wataalamu wake wamekuwa hawalali kuhakikisha azma hiyo inatimia mapema iwezekanavyo.

“Kazi kubwa inafanyika chini kwa chini na kwa taarifa yako, wenye viwanda wengine wamekuwa wakiagiza mashine za kufufua viwanda hivyo kwa ndege na wamekuwa wakifanya kazi hiyo usiku na mchana na vingine vimeshaanza kufanya kazi,” alisema Mwijage.

JPM ALIVYOMBANA MWIJAGE
Akizungumzia suala hilo mjini Tanga, Rais Magufuli alielezea kushangazwa kwake na viongozi wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji kwa kutowajibika katika kuwachukulia hatua wamiliki waliotelekeza viwanda.

“Uko wewe waziri, makatibu wakuu wawili, mwingine ni profesa mwingine ni dokta… yupo Naibu Katibu Mkuu ambaye ni Injinia. Sijasikia viwanda vikifutwa,” alisema Rais na kuongeza:

“Kwenye hilo unanikwaza. Nataka nisikie watu wananyang’anywa viwanda na usiogope, mmiliki wa kiwanda awe wa CCM, CUF, au

Waziri, yeyote we nyang’anya. “Sitaki haya mambo niwe narudia rudia, sipendi… nimekueleza tukiwa wachache ofisini nikajua utanisikia, lakini bado.

“Nimezungumza kwenye Baraza la Mawaziri bado, nimezungumza hadharani bado. Sasa unataka nizungumzie nikiwa kaburini?

“Waziri ninakuomba, nimezungumza mara nyingi… sitaki kuzungumza zaidi.”

Breaking News: RC Makonda Agoma Kuomba Msamaha Waandishi wa Habari

$
0
0
Breaking News: RC Makonda Agoma Kuomba Msamaha Waandishi wa Habari
Katika mkutano uliondaliwa na jukwaa la wahariri Tanzania Jijini Dar es salaam kati ya wahariri na Wandishi wa habari, Mkuu wa Mkoa Paul Makonda ametanka hadharani kuwa hatoomba msamaha na wala haitakuja kutokea.

Kauli hiyo iliibua mjadala mkali kati ya Waandishi wa Habari na Paul Makonda, licha ya kauli hiyo Jukwaa la Wahariri Tanzania chini ya Mwenyekiti wake Novatus Makunga wametamka kwa kauli moja kumfungulia Makonda kuanza kuandika Habari zake.

Licha ya uamuzi huo Bado waandishi wa Habari hawajaridhishwa na hatua hiyo kwakuwa walitaka Makonda atamke kwa kinywa chake kuiomba radhi tasnia nzima ya Habari

Nuhu Mziwanda Alia na Mapenzi Baada ya Kuachwa na Mkewe...Adai Hataki Kuwasikia Wanawake

$
0
0
Msanii wa bongo fleva, Nuh Mziwanda amefunguka na kudai hataki kusikia tena habari za wanawake kwa sasa kwa kuwa yeye ni 'single boy'.

Mziwanda ameeleza hayo kupitia kipindi cha 5seleKt kutoka EATV baada ya kupita siku chache tokea aachane na mke wake waliofunga ndoa anayefahamika kwa jina la Nawal.

"Sasa hivi nipo 'single boy' sitaki mambo ya wanawake yaani staki hata kusikia",amesema Mziwanda.

Hata hivyo, Nuh amesema japokuwa wameachana na mke wake lakini bado anaendelea kumtunza mtoto wake kwa kila hali.

"Nilitamani sana mtoto wangu ning'ekaa naye mimi 'since' yupo mdogo lakini nashindwa kufanya hivyo kwa sababu ya umri wake haujifikia kukaa na baba kwa hiyo nimemuachia mama yake kwa sasa lakini kama nikiona mwanangu wanamfanyia vitu ambavyo si sawa kwangu nitaenda kumchukua nikae naye mimi mwenyewe", amesisitiza Mziwanda.

Kwa upande mwingine, Nuh amedai amempa muda wa kumchunguza mzazi mwenzake kama ataweza kuishi na mtoto wao vizuri na endapo atabaini kasoro zozote basi atamchukua na kukaa naye mwenyewe.

Msanii wa Muziki Ashinda Kiti cha Ubunge Kenya...Afunguka Haya

$
0
0
Msanii Charles Njagua maarufu kama Jaguar ambaye ameshinda kiti cha ubunge katika jimbo la Starehe nchini Kenya kufuatia uchaguzi mkuu ambao bado unaendelea, amewarudia wananchi na kuwashukuru.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Jaguar ameandika maneno akisema kuwa bila wao asingefanikisha hilo, huku akiwashukuru wapinzani wake kwa kukubali ushindi wake huo.

"Hakuna linalowezekana bila Mungu, Nawashukuru watu wa Starehe kwa ujasiiri na kuniamini kuwawakilisha bungeni, nawashukuru wote walioniunga mkono , marafiki, familia ambao walikuwa nami wakati wa kampeni.

Na Pia nampongeza mpinzani wangu Steve Mbogo, Boniface Mwangi na Mh. Kwenya ambao waliweka kampeni safi. Huu sio ushindi wa Starehe tu bali ni ushindi wa vijana wote nchini Kenya ambao wameona mbele, sasa tuijenge Starehe ile tunayoitaka, Mungu awabariki", aliandika Jaguar.

Jaguar ameibuka mshindi wa Jimbo hilo kwa asilimia 53% ya kura zote, huku akifuatiwa na Steve Ndwiga  aliyepata asilimia 31% na Boniface Mwangi akipata aliyepata asilimia 13%.

Wimbi la wasanii Afrika Mashariki kuingia kwenye siasa na kufanikiwa kushinda viti vya Ubunge linazidi kuongezeka, Jaguar atakuwa msanii wa kwanza nchini Kenya kupenya katika siasa na kufanikiwa kuwa Mbunge, wakati nchini Tanzania Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi pamoja na Mbunge wa Mikumi Joseph Haule walifanikiwa kupenya kwenye uchaguzi Mkuu 2015 na kuwa wabunge huku nchini Uganda msanii Bobi Wine naye amefanikiwa kupenya na kuwa Mbunge katika uchaguzi wa marudio uliofanyika mwaka huu.

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Kutoka Makampuni Mbali Mbali

Tembelea Blogu ya Asili zetu Upate Kufahamu Mambo Mbalimbali Kuhusiana na Tiba za Kisunnah na Asili

$
0
0
Tembelea Blogu ya Asili zetu upate kufahamu mambo mbalimbali kuhusiana na tiba za kisunnah na asili, utabiri wa nyota yako, aina za majini wanaowatesa wanadamu, viumbe wanaoharibu biashara za  watu, ilimu ya nyota na masuala ya mahusiano.

Pia kwa wale wanaosumbuliwa na ndoto mbaya, wanaohitaji kusafisha nyota, mvuto wa biashara, kupandishwa cheo, kufata kesi mahakamani, kumvuta umpendae, dawa za nguvu za kiume na waliodhulumiwa mali zao.

Tembelea Asilizetu.wordpress.com

Mwanamke: Mpenzi Mpya Akikuonyesha Upendo Uliopitiliza, Stuka na Chukua Hatua

$
0
0
Ni wazi wengi wetu tumeashawahi kusikia malalamiko kutoka kwa baadhi ya wanawake wakisema, kabla hatujaoana alikuwa malaika kabisa, yaani alikuwa ananifanyia kila kitu hadi siamini, lakini leo hii anavyonipiga na kunikashifu, huwezi hata kuamini.'

Wataalamu wa mapenzi na uhusiano wanasema, mwanaume kuonyesha upendo ambao unamfanya hata yule anayependwa kushindwa kuamini na pengine hata wanaomzunguka, hiyo ni dalili kwamba, mwanaume huyo sivyo alivyo. Anaigiza tu, na ana lake jambo.

Hebu jiulize kama kwa mfano, kila wakati mwanaume anapiga simu akitaka kusikia sauti yako. Ni kweli kwa mujibu wa maelezo yake anataka tu kusikia sauti yako, yaani anaipenda sana. Halafua nakupitia kwenye shughuli zako au kazini kwako ili kukurudisha nyumbani. Wakati mwingine anakusubiri hadi utoke, hata kama ni kwa kukaa nje kwa saa mbili au tatu. Halafu anakupeleka nyumbani kwako au kwenu, hata kama itamlazimu kurudi kwake usiku wa manane, lakini yeye yumo tu, na anafanya hivyo akiwa na bashasha.

Inawezekana pia kwamba, anafanya shughuli zote ambazo ulikuwa unazifanya, ambazo yeye anazimudu. Anaweza kupita dukani kununua kitu ambacho labda huwa unanunua kila siku ukitoka kazini au chuoni au shuleni. Ili mradi anaweza kufanya kila ulichokuwa unafanya na mwisho anakuwa amechukua maisha yako yote. Unaweza kabisa kuamini kwamba, huyo mwanaume na wewe ni kama mwili mmoja. Yaani huyo ndiye yule anayeitwa mwanaume mwenye muafaka (husband material)

Lakini bado wataalamu wa mapenzi na mahusiano wanatahadharisha kwamba, hapo hakuna mapenzi na hayo kwamwe siyo mapenzi. Wao wanasema, wanachokiona hapo ni mwanaume mfujaji ambaye anaingia na dalili kubwa kabisa ya ufujaji, ambayo ni kudhibiti maisha ya mtu, kutompa nafasi anayedaiwa anapendwa.

Lakini kwa nje na kabla mwanaume huyu hajaonyesha kucha zake halisi, hiyo inahesabika kama upendo. Ni vigumu kumtoa mtoto wa kike kwa mfano kwa mwanaume kama huyo. Hii ni kwa sababu, anaamini kabisa kuwa huyo jamaa anajua kupenda kuliko mwanaume mwingine yoyote.

Kwa bahati mbaya kinachomzubaisha mwanamke hapo ni pamoja na zawadi au kupewa kila anachohitaji. Kinachomzuzua ni ile hali ya mtu kutaka kukuona muda wote na kutaka kusikia sauti yako, kinachosababisha ni ile hali ya mtu kufanya kila kitu ambacho ulikuwa ukifanya mwenyewe hapo awali.

Lakini kitu kingine ambacho msichana au mwanamke anatakiwa kukikagua kwa mtu ambaye ni mfujaji, ambacho bila shaka yeye anaweza kudhani ni kupendwa ni huyu jamaa kumtukana au kumkashifu mke au mpenzi wake wa zamani, ili kumwonyesha huyu wa sasa kwamba,yeye ndiye anayefaa.

Wataalamu hao wanabainisha, hiyo ni dalili kwamba, huyo jamaa ni mfujaji. Msichana au mwanamke anaweza kudhani kwamba, huyu jamaa anamtukana mke au mpenzi wake wa zamani kwa sababu amempata mwanamke mwenye sifa zote, ambaye ni yeye. Hilo ni kosa kubwa ajabu. Kumkashifu mke au mpenzi wake wa zamani siyo dalili kwamba, amempata mwanamke wa maana zaidi, hapana. Hiyo ni dalili kwamba huyo mwanaume ni mfujaji.

Ni vyema wanawake na hasa wale ambao ndiyo kwanza wanaingia kwenye uhusiano kukagua dalili hizi. Kuna kujidanganya kwingi kwamba, hata kama mwanamume ni mfujaji, mwanamke ataweza kumbadili. Hiyo ni karibu na uongo na kujaribu ni sawa na kucheza tombola.

Kumbuka maisha hayachezewi tombola

Mimi Nipo Sexy Sana na Nina Mvuto Sidanganyiki na Vichips Mayai – Lulu Diva

$
0
0
Msanii wa Bongo Flava, Lulu Diva amejimwagia sifa jinsi anavyoamini kuwa yeye ni mzuri.

Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha Uhondo cha E Fm kuwa alitambua kuwa yeye ni mzuri kutokana na sifa alizokuwa akipewa na mama yake mzazi kitu ambacho  kilimfanya kutolaghaika na watu waliokuwa wakimsifia.

“Mimi ni msichana ambaye nipo sex ambaye nina mvuto, mama yangu alikuwa akiniambia Lulu mwanangu mashallah, yaani hapa sidhani kama kuna mtu nitamwambia idadi ya ng’ombe ninazozitaka halafu akapindua,” amesema na kuongeza.

“Na mimi mwenyewe nikawa najiona ndio maana hata sikuweza kurubunika, yaani ile mtu kuniambia wewe mzuri akanidanganya kwa vichipsi mayai, mwenyewe nilishajijua ni mzuri,” amesema Lulu Diva.

Hitmaker huyo wa Usimwache kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake inayokwenda kwa jina la Utamu.

Ruge 'Mimi Sijali Kama Ataomba Radhi au Hataomba Hiyo Haijalishi'....Awalaume Jukwaa la Wahariri Tanzania

$
0
0
Mkurugenzi wa Vipindi wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba ameonekana kulilaumu Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) katika kukutanishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda katika kuyamaliza matatizo yao.

Akiongea na waandishi wa habari Jumatano hii mbele ya Mhe. Makonda na viongozi wa TEF, Ruge amesema anaona taratibu zilizochukuliwa na jukwaa hilo katika kufanikisha tatizo hilo linaisha halijafuata utaratibu mzuri wakitaalamu.

“Mimi sijali kama ataomba radhi au hataomba hiyo haijalishi. Ndio mimi na Makonda ni marafiki sana lakini pia ni mdogo wangu sana na mimi kama kaka yake nilitegemea tungeyamaliza haya kwanza ndio tungekuja hapa,” ameongeza.

Ruge amesisitiza kuwa wao kama Clouds hawakutoa kauli ya kufungia kuandika habari za Makonda lakini ni TEF walichukuwa maamuzi hayo na wala hawakuviambia vyombo vingine vya habari waingilie ugomvi huo.

Pendeza na Kessy Products, Kutoa Mvi, Kurefusha Nywele, Tengeneza Shepu na Mengine

$
0
0
PENDEZA NA KESSY PTODUCT:-MSIMU MPYA WA 2017_ BIDHA AINA ZOTE KWA UBORA MZURI%
PATA DAWA ZA ASILI ZISIZO NA MAD, HARA NA MATOKEO NI KWAHARAKA BAADA YA WEEK

1) KUTOA MVI SUGU PIA ZA KUZALIWA NAZO _80,000/
2) KUREFUSH NYWELE KUZIJAZA NA KUZUIAKUKATIKA _80,000/
3) TENGENEZA SHEPU YAKO FIGA UMBO (8) NA KUJAZA HIPC NA KALIO @ KUPAK _80,000/
@ KUNYWA AU VIDONGE _130,000/ 4) KUPUNGUZA NYAMA ZA MIKONO TUMBONI ZILIZOTEPWETA _80,000/
5) PUNGUZA KITAMBI KWA HARAKA KWA DAW HIZI ZA KUNYWA
@) KUNYWAA _100,000/
@) VIDONGE _100,000/
6) PUNGUZA MWILI MZIMA KUANZIA KGM 150 ADI 80 KIASI UNACHOTAK WEWE KWA DAW HIZI
@) DAW YAKUNYWA YA _100,000/
@) VIDONGE VYA HARAKA _100,000/
7) PUNGUZA MAZIWA NA YASIMAME KWA MUDA WA WEEK MOJA _70,000/
8) ONGEZA MAZIWA NA SAIZ UNAYOTAKA WEWE _70,000/
9) ONGEZA MWILI MZIMA NA KUKUPA HAMU YAKULA KWA RIKA LOLOYE _80,000/
10) TOA MICHIRIZI SUGU PIA NA ILE YAKUJIFUNGUA MWILI MZIMA _70,000/
11) TOA MAKOVU, CHUNUSI, WEUSI KATIKATI YA MAPAJA _70,000/
13) KUWA MWEUP NA SOFTI MWILI MZIMA NA KUTOA WEUS MACHON NA VIMISHIPA VIDOGO VIDOGO @ MAFUTA YA KUPAKA _80,000/(@) VIDONGE (WHITE SOLUTION) _120,000/
14) ONDOA NDEVU NA VINYWELEO MWILINI _80,000/
15/ ONGEZA NGUVU ZA KIUME NA KUIMARISHA MISHIPA ILIYO LEGEA KWA DAW HIZ
@) JEL KUPAKA (MEN GEL) _70,000/
@) VIDONGE (MAXMAN) _80,000/
16) ONGEZA MAUMBIL YA KIUME SAIZI UNAYOITAKA WEWE KWA:
@) (HANDSOME UP) MASHINE _170,000/
@) JELI YAKUPAKA INABORESHA ANZIA NCHI (4 ADI 6 )_100,000/ PIA NA VIDNGE VYAKE VIPO
17) RUDISHA HAMU YA TENDO LA NDOA KWA WALIOPOTEZA KUTOKANA NA NGIRI, KISUKARI NA MAGONJWA MENGINE KWA _80,000/
18) RUDISHA USICHAN(BIKRA)Na KUTO UCHAFU SEHEMU ZA SIRI _80,000/
19) FANYA USO WAKO KUWA MKAVU NAKUTOA VIJIPELE ILIYOSABABISHWA NA MAFUTS MAKALI _80,000/
20) ONDOA MAKUNYANZI USONI _70,000 (21) ENGEZA MGUU WAKO _70,000/ TUNAPATIKAN K/ KOO NA SINZ
MAPAMBAN, KWA MIKOAN DUNIAN KOTE UTAPATA

(+255) 0719955528
0756259180
0785371237

@dr_kessy_product
Delivery POPOTE ULIPO,

Mwanamke Chezea Pesa, Mshahara, Mali Hata Kazi Chezea ila Usicheze na Umri au Muda....

$
0
0

Kipindi nasoma sekondari tulikuwa na kijimsemo kuwa TIME IS MAKANGABILITY tukimanisha muda haupo upande wetu yaani tumechelewa.

Naomba nitoe onyo kwa akina dada hasa wasomi ambao ndiyo huwa wanajiona ukisoma kila kitu kimekwisha.


Kama kuna vitu mdada akikosea timing anaweza juta maishani ni pamoja na MUDA WA KUOLEWA (married is timing for girls). Sababu ni kama zifuatavyo hapa down.

Mosi, mdada huwa anaanza kuvutia kati ya umri wa miaka 15-25, kipindi hiki hutuvutia sana sisi wanaume reference(mimba za mashuleni hasa sekondari 14-18). Kipindi hiki 14-18 binti huwa kama UA WARIDI huku wanaume tukiwa VIPEPEO kumfuata kila aendapo, kwa mdada mjanja hapa huanzisha uhusiano kisiri na mkaka anaye mzidi kidogo (FORM ONE na FORM4). Hii ni ratio murua hapa binti kipindi anamaliza form six bfriend wake atakuwa namalizia chuo hivyo akiwa chuo ataolewa au akimaliza(kumbuka huwa kuna changamoto za kukosa kazi).

Pili, ni kwa kipindi hiki cha miaka 18-22, binti hufuatwa na wanaume wengi wazuri, wenye maono na nia ya kuoa, sababu huvutia na waoaji huwa kati ya miaka 25-28 ni wengi sana. Wasichana wengi katika umri huu huwa ndiyo wamekolea katika kula hujana, sababu huwa ni kipindi cha kupata uhuru(freedom gain) hapa achungwi tena na wazazi, walimu na watu wengine wanao mtakia mema. Wengi huona kuolewa km kifungo na huepuka ndoa.

Tatu, kati ya umri wa 23-25, hapa wengi wanaachana sana na bfriend wao wa zamani sababu ya kufuatwa na wanaume wengi ambao pengine wanasifa za ziada kuliko wazamani(kipya kinyemi walisema wahenga). Shida huibuka wanaume wengi wanaowafuata huwa wameshindwana na wadada wa type kama yao hivyo hujikuta wakitua kwa watu wale wale hivyo wakishaona hivyo ni kula na kuondoka bila kushukru ama kuosha vyomba sababu hapa mwanaume huona kila mdada ni malaya hana mapenzi ya dhati hivyo mipango ya kuoa siyo defined tena.

Nne, 25-28, hapa ni kipindi cha kujifariji "soon i will find me life partner" ila mambo huwa tofauti jamaa(wanaume) mchezo ni uleule kula na kusepa(eat and run) ghafla msichana hushutuka yuko 30 tayari, wachache km kwao wako vizuri kukimbilia shule(kufanya masters) wakidhani wakija maliza shule watakuwa wamepata wenza hali huwa tofauti wamalizapo shule bila kutimiza matarajio.

Tano, 30 onwards! Tunasema CONFUSION TIME, hapa mdada hajielewi tena hachagui tena, utamkuta ana elimu, kazi nzuri, wengine wana nyumba, na pesa za kutosha ila hawana MUME, uamuzi wa mwisho ni kuzaa bila mume, mara nyingi huzaa na waume za watu, au hujibamiza kwa masingle dady au janaume lolote ili watoe nuksi wakidhani wamemaliza kazi ghafla life husonga mbele mtoto akikua anadai baba ndipo mama hutambua alizaa na baba wa watoto wengine atajisikia upweke usio na kipimo kulea mtoto mwenyewe regardless she has everything.

ANGALIZO:
Wanaume 18-22_waoji ni wachache, wengi hapa wanaoa wasioenda shule.

23-25 waoaji wapo ila ni wachache wale wanaolipoliwa mahari na wazazi wao.

26-30 hapa waoji ni wengi mno na hulenga kuoa mabinti wa miaka 20- 24(most preferably).

30 onwards, hapa wanaume hupungua sana, wamechanganyika na WAGANE, MASINGLE DADS, MICHEPUKO YA KIUME .

ONYO KWA WADADA;
Chonde chode, ndoa ni mhimu sana siyo kama mnavyodhania, sababu ya upuuzi wenu wenda msione haya nisemayo but wahenga walishaniwahi na kusema UJANA MAJI YA MOTO FINAL UZEENI, siyo mbali hivyo at 30 yrs mtakuja na majibu hapa.

Girls plan your married for betterment of yours and your children.
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live




Latest Images