Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104415 articles
Browse latest View live

Breaking News: Raila Tables Evidence of How Jubilee HACKED IEBC System and Rigged Elections

0
0
Raila has give a detailed account of how hackers accessed IEBC servers and manipulated election results .

The NASA leader has called on Kenyans to remain calm as his team follows up with IEBC to try resolve the issue.

Raila has urged IEBC not to declare Uhuru the winner untill matter raised by NASA team have been resolved.

To summarise; Raila ODINGA, Kalonzo Musyoka affirm elections MUST be about the Sovereign Will of the People of Kenya, firmly REJECT results as streamed by IEBC, parade paper-trail evidence of interference with IEBC system between 12noon and 5pm on 8th Aug.; urge Kenyans to keep CALM. NASA scheduled to share with Kenyans results tallied at the ‘cloud’

Incase IEBC goes ahead to declare Uhuru the winner the NASA will contest the results at the supreme court.

Last night the International Community Observers Missions threatened to storm out of Bomas if flawed figures that were being streamed without solid back up documents stopped.

IEBC Chair Wafula Chebukati and his team convened a crisis meeting with NASA and Jubilee agents to calm the waters.

Meanwhile Civil rights groups have joined the Opposition in disputing presidential results transmitted by the IEBC.

Under ‘Kura Yangu Sauti Yangu’, they said the results do not conform with constitutional requirements requiring the support of form 34A.

“Since it started announcing results yesterday, the IEBC has not made available, as required by law, copies of form 34A on its public portal,” group chair George Kegoro said on Wednesday.

The group also claims IEBC is deducting votes from Opposition leader Raila Odinga and adding them to President Uhuru Kenyatta’s tally.

He said results transmitted varied in forms acquired in Dagoretti North, Langata, Nandi Hill, Kisumu central and Kipchebor polling station in Ainamoi.

In Kilimani ward, Kegoro said, the form claims no rejected votes were recorded, contradicting portal results showing four votes.

He said the form also noted 508 valid votes while the IEBC portal reports 504.

He added that at South C’s Kewi polling station, results from stream one contradict the valid votes recorded.

While 439 votes were recorded on form 34A, the IEBC said 416 votes were recorded.

In Kipchebor, the group claims four votes were deducted from Raila and given to Uhuru.

Earlier in the day, Raila claimed IEBC’s system was hacked using the login details of the late ICT manager Chris Msando.

“We have caught them. Hackers gained entry into the election database through Msando’s account and directly into chairman Wafula Chebukati’s account,” the NASA presidential candidate told a press conference.

IEBC acting ICT director Msando, who was to test the KIEMS, was tortured and murdered. Opposition leaders blamed Jubilee but police are still investigating.

VIDEO: Makonda Agoma Kuomba Msamaha, Waandishi Wang'aka

0
0
VIDEO: Makonda Agoma Kuomba Msamaha, Waandishi Wang'aka
Katika mkutano uliondaliwa na jukwaa la wahariri Tanzania Jijini Dar es salaam kati ya wahariri na Wandishi wa habari, Mkuu wa Mkoa Paul Makonda ametanka hadharani kuwa hatoomba msamaha na wala haitakuja kutokea.

Kauli hiyo iliibua mjadala mkali kati ya Waandishi wa Habari na Paul Makonda, licha ya kauli hiyo Jukwaa la Wahariri Tanzania chini ya Mwenyekiti wake Novatus Makunga wametamka kwa kauli moja kumfungulia Makonda kuanza kuandika Habari zake.

Licha ya uamuzi huo Bado waandishi wa Habari hawajaridhishwa na hatua hiyo kwakuwa walitaka Makonda atamke kwa kinywa chake kuiomba radhi tasnia nzima ya Habari

ACT- Wazalendo Wamtolea Tamko Rais Magufuli

0
0
Chama cha *ACT Wazalendo* kimeshtushwa na kauli (amri) ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ndugu John Pombe Magufuli aliyoitoa hivi karibuni akiwa Mkoani Tanga ya kutaka Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo ya Mazingara, Kata ya Mkata, Wilayani Handeni , katika Mkoa wa Tanga ahamishwe katika kituo hicho mara moja.

Hatua hiyo ni baada ya malalamiko ya mkuu wa wilaya ya Handeni , ndugu Godwin Gondwe kuwa kesi zote kati ya wakulima na wafugaji katika mahakama hiyo wanashinda wafugaji, na hivyo kumtuhumu hakimu huyo, aliyetajwa kwa jina moja la Laizer kuwa anapendelea wafuagaji.

*ACT Wazalendo* tunalaani kauli hii ya Rais kwa kuwa inakiuka misingi ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, ibara 107B ambayo inaipa Mahakama Haki na Uhuru wa kufanya kazi yake bila kuingiliwa wala kubughudhiwa na mihimili mingine. Katiba inaainisha mgawanyo wa Madaraka baina ya Serikali, Mahakama na Bunge.

Kitendo cha Ndugu Rais kutaka Hakimu wa Mahakama achukuliwe hatua kwa kuhamishwa ni kuuingilia Mhimili wa Mahakama ambao katiba na misingi ya utawala bora inahitaji mhimili huo pamoja na wanaohudumu wawe huru na kufanya kazi zao bila ya shinikizo la mtu yeyote iwe la kisiasa au kijamii.

Sisi *ACT Wazalendo* tunaamini kuwa hata kama tuhuma dhidi ya Hakimu mhusika ni za kweli, na kuwa ipo haja ya kuchukua hatua za kinidhamu dhidi yake, basi lazima utaratibu wa hatua hizo za kinidhamu kwa Hakimu huyo ufuatwe, kwa kuchunguzwa kwanza, kupata ushahidi na akikutwa na hatia basi achukuliwe hatua na mamlaka yake ya nidhamu, ambayo ni Tume ya utumishi wa Mahakama. Hatuamini kama hakimu anayedaiwa kupendelea katika kutoa hukumu anapaswa kuhamishwa tu.

Ni wazi kauli hii ya Rais inalenga kuwatia hofu Majaji na Mahakimu wengine. Na utekelezaji wake utaiaminisha jamii kuwa hatima za Majaji na Mahakimu katika kazi zao zipo mikononi mwa Rais na sio utaratibu wa Sheria uliowekwa. Amri hii ni batili, ni kinyume cha Katiba, na ikitekelezwa ni uvunjifu wa Katiba ya Nchi!

Katika jambo hili, *ACT Wazalendo* tunamtaka Kaimu Jaji Mkuu, Profesa Ibrahim Juma ajitokeze hadharani kukemea amri za namna hii zinazoudogosha mhimili wa mahakama, atoe kauli ya kuwahakikishia Mahakimu na Majaji kuwa usalama wa majukumu yao (security for tenure) unalindwa na utaendelea kulindwa kwa mujibu wa Sheria na Katiba ya Nchi. Na kuwa kama yapo malalmiko juu ya hakimu Laizer basi utaratibu ufuatwe.

*ACT Wazalendo* pia inamsihi Rais kumchukulia hatua za kiutawala Mkuu wa Wilaya ya Handeni Bwana Godwin Gondwe Kwa kumwingiza Rais kwenye mgogoro wa kikatiba usio wa lazima. Mkuu wa Wilaya ni mjumbe wa vikao vya ngazi za chini vya michakato ya kutazama maadili ya mahakimu na anajua taratibu za kufuata. Alichofanya Mkuu wa Wilaya ni kitendo kinachopaswa kukemewa kwa hatua kali kuchukuliwa dhidi yake ikiwemo kumwajibisha ili iwe fundisho kwa Wakuu wa Wilaya wengine wanaoshindwa kufanya kazi zao.

Mwisho, tunavitaka vyama vya mawakili vya Tanganyika na Zanzibar na taasisi nyengine zenye kupigania utawala wa Katiba na Sheria nchini kujitokeza na kulaani kauli ya Rais na kumshinikiza Rais au kupitia waziri wake wa Katiba kuwaomba radhi watanzania kwa jaribio hili la kutaka kuvunja misingi ya katiba waliyoapa kuilinda.

Thomas E. Msasa
Mwenyekiti- Kamati ya Sheria na Katiba
ACT Wazalendo
Agosti 09, 2017

Una Tatizo la Nguvu za Kiume, Kukosa Hamu ya Tendo na Kufika Kileleni Haraka?

0
0
JE, UNA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME, KUKOSA HAMU YA TENDO, KUFIKA KILELENI HARAKA NA KUSHINDWA KURUDIA TENDO AU MAUMBILE MADOGO YA UUME?

Tatizo la kukosa au upungufu wa nguvu za kiume limekuwa kubwa sana duniani kote. Kupungukiwa nguvu za kiume na maumbile madogo ya uume husababishwa na mambo mengi kama KISUKARI, UNENE ULIOPITILIZA, KUJICHUA (MASTER BLASHION), HOMONI kushindwa kufanya kazi ipasavyo n.k. Upungufu wa nguvu husababisha tendo la ndoa kutokufanyika kwa kujiamini na kwa usahihi na hivyo kusababisha ndoa na mahusiano kuvunjika.

BAADHI YA DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI KAMA:-
☆Kukosa hamu ya tendo la ndoa ☆Uume kusimama kwa ulegevu
☆Kuwahi kufika kileleni ☆Kushindwa kurudia tendo kwa wakati
☆Kuchoka sana baada ya round ya kwanza na hata kukinai kabisa. Kwa kutumia mimea na matunda @markson_beauty_pr Tunakuletea suluhisho la matatizo hayo hata kwa wenye "KISUKARI NA PRESSURE" kwa:-
1.HANDSOME UP ORIGINAL ni kifaa chenye uwezo wa 99% kuongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @250000@250,000/=
2.SHARK POWER ni gely ya kupaka inayoongeza uume kwa wastani wa inch 6.5 @150000@150,000/=
3.Vidonge maalum kwa ajili ya kuongeza nguvu na hamu ya tendo la ndoa hata kwa wenye kisukari @150000@150,000/=
4.Spray ya kuchelewesha kufika kileleni @130000@130,000/= BIDHAA HIZI HAZINA MADHARA NA ZIMETHIBITISHWA KIAFYA. KWA BIDHAA HIZI NA NYINGINE NYINGI TEMBELEA UKURASA WETU WA INSTAGRAM :- @markson_beauty_pr @markson_beauty_pr @markson_beauty_pr

Wasiliana nasi Popote ulipo duniani kwa (+255) 0767447444 na 0714335378

NB:Matokeo ni uhakika na garantii na hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.

Msimamo wa CLOUDS MEDIA Baada ya Makonda Kugomba Kuomba Radhi

0
0
Leo  ulifanyika mkutano na Waandishi wa habari ukimuhusisha Mkurugenzi wa vipindi Clouds Media Ruge Mutahaba, RC wa Dar es Salaam  Paul Makonda na Jukwaa la Wahariri kuhusu swala la kufungiwa kwa habari za Mkuu wa mkoa Paul Makonda.

Baada ya mkutano huo na mengine yaliyojadiliwa na kauli zilizotolewa ikiwemo ya Mkuu wa Mkoa Paul Makonda kusema hawezi kuomba radhi, Ruge Mutahaba amehojiwa na vyombo vya habari baada tu ya mkutano huo kuisha na kueleza msimamo wa CLOUDS.

“Baada ya jambo la leo msimamo wa CLOUDS MEDIA GROUP ni uleule tuliokua nao toka siku ya jumamosi baada ya kupatanishwa na Mh. Rais, siku ile alivyotupatanisha sisi kama Watanzania hatukua na budi zaidi ya kukubali na kurudi kwenye uhusiano wa kiuweledi.

“Leo tuliitwa kwenye kikao kwa kutegemea labda kungekua kuna kingine cha ziada lakini…………………………” Amesema Ruge

Vurugu Kenya: Polisi Watumia Mabomu ya Machozi Kuwatawanya Wafuasi wa Raila Odinga

0
0
Jeshi la Polisi katika Mji wa Kisumu, nchini Kenya limelazimika kuanza kutumia nguvu kuwatawanya kundi la vijana waliojitokeza mtaani kuanza kuchoma matairi ya magari, wakidai kuibiwa kura kwa mgombea wao wa urais anayeungwa mkono na Muungano wa Nasa, Raila Odinga.

Tukio hilo limetokea baada ya saa chache Odinga kujitokeza mbele ya vyombo vya habari akituhumu uchakachuaji wa kura zake uliofanywa na Tume ya Uchaguzi isiyokuwa na mipaka (IEBC) wakati wa tukio la kuhesabu kura.

Wananchi nchini Kenya walipiga kura katika Uchaguzi Mkuu siku ya jana ,kabla ya vituo hiyo kufungwa kuanzia saa 11:00 jioni.

Polisi walilazimika kutumia nguvu huku wakirusha risasi hewani ili kuwatawanya.

Baadaye Polisi iliamua kuondoa mawe yaliyokuwa yametegwa na vijana hao barabarani.

Katika hatua nyingine, kuna taarifa za kupigana kwa wafuasi wa wagombea ubunge katika kituo vha kujumlishia matokeo , kilichopo Mji wa Mokewe, uliopo Lamu kabla ya Polisi kuwasili eneo la tukio na kurejesha hali ya utulivu

Naanza Kuelewa Sasa Kwanini Rais Mstaafu Jakaya Kikwete Alikuwa Anakaa Kimya Bila Kutolea Matamko Baadhi ya Mambo...

0
0

Ukiwaza na kuumiza kichwa Sana, na ukafikiria nje ya boksi kisawasawa ndipo utagundua kwanini JK mambo mengi alikuwa anaamua kukaa kimya na kuepuka kuyatolea matamko....nimejikuta nawaza Sana katika kipindi cha utawala wake, lile sakata letu (Tanzania) na Rwanda, hivi angekuwa ni mtu wa kujibu kila lililokuwa linarushwa toka upande ule, uhusiano wetu ungekuaje??????? Tungekuwa tumefikishana wapi??? Tungefika wapi??? Mtu aliamua kuonekana mjinga na mpumbavu lakini kumbe alikuwa ana maana kubwa Sana....

Seriously, nimejikuta nawaza Sana, japo wengi tulimkebehi kwanini hachukui hatua, lakini sasa naelewa ukimya wake ulimaanisha nini!

USINIULIZE KWANINI

By Patty Del Duero

Baada ya Raila Odinga Kulalamika Anaibiwa Kura, Tume ya Uchaguzi Kenya Yaamua Kufatilia Ukweli....

0
0
Baada ya Raila Odinga Kulalamika Anaibiwa Kura, Tume ya Uchaguzi Kenya Yaamua Kufatilia Ukweli....
Tume  huru ya Uchaguzi nchini Kenya (IEBC) imetoa tamko kufuatilia malalamiko yanayotolewa na mgombea Urais Raila Odinga wa National Super Alliance (NASA), kuwa matokeo hayo yanatangazwa bila kufuata utaratibu wa kutoa Fomu 34A.

 Akiongea mbele ya Waandishi wa Habari Mwenyekiti wa tume hiyo, Wafula Chebukati ameeleza kuwa tume yake inafuatilia madai yanayotolewa na Odinga kuhusu mfumo unaotumika kutoa matokeo ya Urais, pia wameagiza kuletewa fomu zote namba 34A na 34B kutoka kaunti zote ili kulinganisha matokeo yanayotoka.

Pia Chebukati ameeleza kuwa tume hiyo ina siku 7 za kutangaza matokea na leo ni siku ya 2 , bado wanasiku 5 za kutangaza matokea kwa hiyo kila kitu kitaenda vizuri.

Mke Wangu Akitoka....Mfanyakazi wa Ndani Ananikalia Mikao ya Kunitamanisha

0
0
Wanaume kweli tunakazi aisee..yaani hivi karibuni mimi na mke wangu tumepata mfanyakazi wa ndani mpya kutoka Iringa lakini imekuwa ni majaribu kwangu mwanzo mwisho pale wife anapotoka nyumbani na mimi kubaki nyumbani, Kasichana haka kabichi kabisa kananitego kwa mikao mbali mbali ya ajabu ajabu, mara kajifanye kudeki huku kana khanga moko....sometimes napatwa na muhemko nafikiria kukatafuna ila naionea huruma ndoa yangu changa...Wife akirudi nyumbani kanakuwa kapole kanavaa vizuri kabisa utadhani kashamba......

Naombeni Ushauri Jamani Nifanyaje?

Mama Diamond Afunguka Makubwa "Mtoto wa Hamisa Mobetto ni Mjukuu Wangu"

0
0
Mama Diamond Afunguka Makubwa "Mtoto wa Hamisa Mobetto ni Mjukuu Wangu"
Baada ya Mwanamitindo Hamisa Mobeto kujifungua mtoto wa kiume na story zikisambaa kuwa mtoto huyo ni mwimbaji staa wa Bongofleva Diamond Platnumz ingawa wenyewe wanazikanusha, sasa leo mama mzazi na dada wa Diamond wamefunguka.

Wakiongea kwenye na Soudy Brown kwenye U HEARD ya XXXL ya Clouds FM baada ya kuendelea kusambaa kwa taarifa hizo nao walifunguka.

”Hamisa rafiki yangu siyo wifi yangu lazima niwe na furaha kwa sababu kajifungua salama. Wewe ulikuwa unataka nifanyeje? Hizo habari za Diamond mimi sizijui. Niulize mambo yangu. –  Esma.

“Wewe unanitafuta nini Soudy? Naumwa kifua. Watoto wote ni wajukuu zangu hata wewe mtoto wako ukizaa mjukuu wangu. Wewe mwenyewe mwanangu, mtoto ukizaa mjukuu wangu. Wewe ni shushushu mbona hujafika Hospitali kumuona? Walioniona nimeenda Hospital waambie wakuhadithie vizuri. Mimi namuombea maisha mema alee mtoto wake vizuri kwa amani na furaha.” – Mama Diamond

Rais Magufuli Afanya Uteuzi Mpya wa Mwenyekiti wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu

0
0
Rais Magufuli Afanya Uteuzi Mpya wa Mwenyekiti wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), Habari kamili rasmi ya uteuzi huo nimekuwekea hapa chini:

Watu Wawili Wafariki Dunia Katika Maandamano ya Uchaguzi Kenya...Picha za Vurugu Hizi Hapa

0
0
Watu wawili wameuawa wakati wa vurugu akikabiliana na maofisa wa polisi katika ngome ya upinzani ya Mathare, Mji Mkuu wa Nairobi nchini Kenya.


Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo wameeleza kuwa walisikia milindimo ya risasi zikifyatuliwa wakati wa makabiliano hayo ambayo yalisababisha vifo hivyo.


Afisa Habari wa Shirika la Habari la Uransa, Agence France-Presse (AFP), limeeleza kuwa, waliouawa walikuwa miongoni mwa kundi la waandamanaji katika eneo hilo ambao walikuwa wakipambana na kikosi maalum cha kuzuia ghasia hizo.

”Tumeambiwa kwamba wengi wao walikuwa wezi ambao walitumia fursa hiyo na hawakuweza hata kuwaheshimu polisi”, alisema ofisa huyo.


Kiongozi wa upinzani Raila Odinga amesema kuwa uchaguzi huo umefanyiwa udanganyifu ili kumpokonya ushindi.

Mataili yakichomwa barabarani.

Lucy Komba Atoa Povu Kwa Wanaomponda Hamisa Mobeto Kuzaa na Diamond...Amtupia Dongo Zari Hassan

0
0
Lucy Komba Atoa Povu Kwa Wanaomponda Hamisa Mobeto Kuzaa na Diamond...Amtupia Dongo Zari Hassan
MWANAMAMA aliyewahi kuwika miaka ya nyuma kunako tasnia ya filamu Bongo, Lucy Komba, amejikuta akipoteza sifa ya mwanamke mvumilivu baada ya kutoa povu kwenye ukurasa wake wa Instagram, chanzo kikiwa ni Hamisa Mobeto.

Nyongo ya mwanamama huyo ilitibuka baada ya kuona baadhi ya watu katika mitandao ya kijamii wakimshambulia kwa maneno Hamisa Mobetto, kuhusiana na mtoto aliyejifungua hivi karibuni, hali iliyompelekea kukumbuka vichambo alivyowahi kuvipokea kuhusiana na ndoa yake.


Samahani lakini kimenichoma, Mabogas ya TZ yanamponda Mtanzania mwenzao, yanamsifia Bogas, sijui yanadhani yatapewa ule urithi, mbona Waganda hawambabaikii? Acheni umaskini wa kujirahisisha. Au mnafikiri mtapitishiwa kila mmoja karanga mojamoja ya bure?”

Na baada ya posti hiyo akaona haitoshi muda mfupi baadaye akaposti tena picha ya Hamisa akiwa na mtoto wake wa kwanza, Fantasy, na kuandika maneno yafuatayo:

“Hongera mwanamke mwenzangu, wanajifanya roho ngumu tu kukuponda wakati roho zinawauma, unatoa vitu hasa mwanamke unazaa huku unatabasamu, wale wanaoniponda ningekuwa mzalendo nisingeolewa na Mzungu;

Ndiyo nimeolewa na Mzungu sababu sina ubaguzi wa rangi wala ukabila na tangu nimeolewa sijawahi kutukana kaka zangu wa Kiafrika, kwa hiyo lazima mjue kutofautisha A na B;
“Pili anayewapa taarifa nimeachwa nahisi kama kachelewa kuwataarifu halafu mwambieni awape taarifa kamili maana huwa anaingia Insta na kuzizungusha bado hajawapa taarifa za kunichamba;

“Ukweli unauma mmepewa ukweli kwa huyo mgeni wenu aliyenenepesha miguu, kiuno kimeshindikana kukipunguza mnalia, chambeni tu mniongezee Followers maana nilikuwa sijaamka bado kujua kumbe umaarufu wa Bongo unatokana na vichambo” ameandika Lucy Komba.

NA ISRI MOHAMED/GPL

Tembelea Blogu ya Asili zetu Upate Kufahamu Mambo Mbalimbali Kuhusiana na Tiba za Kisunnah na Asili

0
0
Tembelea Blogu ya Asili zetu upate kufahamu mambo mbalimbali kuhusiana na tiba za kisunnah na asili, utabiri wa nyota yako, aina za majini wanaowatesa wanadamu, viumbe wanaoharibu biashara za  watu, ilimu ya nyota na masuala ya mahusiano.

Pia kwa wale wanaosumbuliwa na ndoto mbaya, wanaohitaji kusafisha nyota, mvuto wa biashara, kupandishwa cheo, kufata kesi mahakamani, kumvuta umpendae, dawa za nguvu za kiume na waliodhulumiwa mali zao.

Tembelea Asilizetu.wordpress.com

Watu sio Wazuri..Mtoto wa Obama Aibiwa Simu Akiwa Kwenye Starehe ya Muziki

0
0

Hivi karibuni, toto wa Rais Mstaafu wa Marekani, Malia Obama alipoteza simu yake aina ya iPhone, na juhudi zake za kutaka kuibadili zilikumbana na kikwazo, tofauti na alivyotarajia.

“Malia alikuja kwenye duka la vifaa vya Apple ili aweze kununua iPhone nyingine na kurudisha taarifa za simu yake iliyopotea lakini mambo hayakwenda kama alivyotarajia,” alisema shuhuda aliyekuwa kwenye duka hilo jijini Chicago akiliambia jarida la New York Post. “Wahusika wa duka hilo la vifaa vya Apple hawakuweza kumtatulia shida yake haraka kwakuwa Malia hakuwa na namba yake ya utambulisho ya Apple (Apple ID) wala neno la siri la simu aliyopoteza kwakuwa vitu hivyo vilifanywa na maafisa wa Ikulu ya Marekani wakati baba yake akiwa Rais wa nchi hiyo.”

Malia Obama alikuwa jijini Chicago kuhudhuria tamasha la muziki la Lollapalooza.

Watumiaji wengi wa simu aina ya iPhone wanaweza wakawa wanajua kero hii inayotokana na kusahau namba zao za utambulisho za vifaa vya Apple na namba zao za siri zinazowawezesha kujisajili kwenye mfumo wa vifaa vya kielektroniki vinavyotengenezwa na kampuni hiyo.

Kero hiyo huongezeka baada ya kuingiza neno la siri lisilo sahihi kwa mara kadhaa jambo linalosababisha mtumiaji wa kifaa hicho afungiwe na kushindwa tena kutumia kifaa chake mpaka atakapopata msaada wa wataalamu wa kampuni hiyo waweze kumfungulia.

Kisha, unapoambiwa uandike namba mpya ya utambulisho — kama utakumbuka ile ya zamani! — Apple itakataa namba yoyote ambayo ulishaitumia awali na kukuhitaji uandike nyingine, jambo litalokuongezea uwezekano wa kuisahau katika kipindi kisichozidi wiki moja tu – na mzunguko huu unaanza upya utapopoteza simu yako.

Katika hali kama hii, kampuni ya Apple kusisitiza ulinzi wa wateja wake linaonekana kuwa na manufaa kwa watumiaji wa vifaa hivyo kwakuwa simu ya Malia bila shaka ina baadhi ya mambo ambayo ni ya siri ya familia yake na kutomfanya Rais Mstaafu wa Marekani apigiwe simu na tapeli au yeyote aliyehudhuria tamasha hilo na kumsababishia usumbufu

Tume ya Uchaguzi Kenya Yadhibitisha Kuwa Mfumo wao Haujadukuliwa Kama Alivyodai Raila Odinga....

0
0
Tume ya IEBC imesema kuwa hakuna udukuzi wowote uliofanyiwa mfumo wake wa kutoa matokeo ya uchaguzi kielektroniki.

Afisa mkuu wa tume hiyo Ezra Chiloba amesema kuwa mfumo huo uko salama, Akivihutubia vyombo vya habari katika makao makuu ya IEBC katika eneo la Bomas jijini Nairobi, amesema kwamba mfumo huo haukuingiliwa kabla, wakati na hata baada ya uchaguzi.

Amesema kuwa madai ya upinzani kwamba mfumo huo ulidukuliwa ili kumsaidia rais Uhuru Kenyatta kupata ushindi hayana msingi wowote.

Amesema kuwa maafisa wa tume hiyo waliufanyia uchunguzi mfumo huo hususan funguo zake na wakati kwamba hakuna tatizo lolote.

''Hakuna mtu aliyepewa funguo za kuingia katika mfumo huo hadi siku moja labla ya uchaguzi ili kuhakikisha kuwa kuna maadili',alisema Chiloba.

''Iwapo una ripoti zozote kuhusu vitisho vya mfumo wetu tushirikiane kwa sababu mfumo huu sio wetu bali ni wa raia wa Kenya'',aliongezea.

Bw Odinga, akiandamana na mgombea mwenza wake Kalonzo Musyoka, na viongozi wengine wakuu wa muungano huo, amesema wadukuzi walitumia taarifa alizokuwa nazo meneja wa teknolojia wa IEBC Chris Msando aliyeuawa wiki moja iliyopita kuingia katika mitambo ya IEBC.
Waziri huyo mkuu wa zamani amesema baada ya kuingia, wadukuzi walitumia programu fulani kuongeza matokeo ya Rais Kenyatta na kupunguza matokeo yake.

Amesema anaamini hilo lilifanyika katika kaunti zote na kwamba wagombea wa NASA katika nyadhifa nyingine waliathirika pia.

Umeisikia ya Mganga wa Kienyeji Kudaiwa Kumbaka Mtoto? Imetokea Bagamoyo

0
0
Hekaheka ya jana Tena ya Clouds FM leo August 9, 2017 imetokea Bagamoyo ambapo mganga mmoja wa kienyeji anadaiwa kumbaka mtoto wa kike ambaye ni mwanafunzi wa Darasa la Sita.

Inadaiwa mtoto huyo kila alipofanyiwa hivyo alimwambia mwalimu wake kuwa kuna mtu anaitwa Juma anamfanyia michezo ambayo imekuwa ikimuumiza hivyo walimu walimuita mzazi wake na kumueleza mchezo aliokuwa anafanyiwa mwanawe.

Baada ya kuelezwa hivyo mzazi huyo alimpeleka mtoto Hospital amabapo ilithibitika kuwa alikuwa anabakwa hivyo alitoa taarifa Polisi ambao walimkamata mganga huyo.

Bonyeza Play hapa chini kusikiliza Fullstory..

Balile, Meena, Makunga(TEF) Mmetia Aibu Mno, Muwaombe Radhi Waandishi Habari Wenzenu

0
0
Jamani,hivi ni pesa ilitoka ikawachanganya au? Mnajua mlivyomkazia mtoto wa Albert Bashite mkampiga mkwara na RC wa Arusha kuhusu kunyanyasa waandishi wa habari heshima yenu ilipanda mno?

Nini kimewakuta TEF,leo bwana Gambo akianza tena kuwapa lift waandishi na kuwalaza central ya Arusha hata mkitoa matamko mtaonekana kama wehu tu tena wenye njaa,yaani ma mayalla,kule kwetu mayala ni njaaaaaaaaa.

Hizo 2 weeeks mlikuwa mnafanya negotiation ya jamaa kuja kukataa kuomba msamaha na kuongea kwa dharau hivyo?Atleast Ruge alisimamia kucha na yeye kuongea kibabe sababu ukimsikiliza ni kama mtu aliyeamu kutii agizo la Rais tu na sio vinginevyo,hata nyie kawashangaaa.

Balile si ulisema mliendaga office ya RC akatokea mlango wa nyuma?mbona jana kakataa mbele yako ukabaki umetoa macho tu,kumbe mlituchonganisha naye?

Hata hilo gazeti la uchunguzi la jamhuri inabidi tuliangalie kwa macho sita sita.

Atleast hata angeomba radhi au kama ni style ya kuzunguka iwe humble sio kwa dharau ile....Kha?halafu kumbe nyinyi ndiyo mlimfuata?

Mtuombe na wananchi radhi kwa kuamini chuki zenu dhidi ya RC all this time.


Source:Jamii Forums

Soma Nafasi za Kazi Zilizotangazwa leo.......

Mambo ya Kufanya Pale Simu au Tableti Yako Ikilowa au Kuingia Kwenye Maji

0
0
Ulikuwa umeishika vibaya na ikakuponyoka na kuangukia kwenye beseni..au kwenye dimbwi la maji… au kwenye sehemu ya kuogelewa (Pool).. Hizo ni baadhi tuu ya maeneo ambayo yanaweza sababisha simu au tableti yako kukutana na maji. Jambo ambalo linaweza sababisha kufa kwa kifaa chako cha bei nono!

Mara nyingi jambo la kwanza atakalofanya mtu ni kuhangaika kufuta maji hayo mara moja…. iwe kwa kutumia nguo yake, au chochote kile cha karibu. Ila je ni sahihi? HAPANA!

Hatua ya 1:

Itoe mara moja kwenye maji. Inavyozidi kukaa kwenye maji muda mrefo ndivyo uwezekano wa kupona katika janga hili unakuwa mdogo zaidi. Imedondoka kwenye choo? Hapo itakubidi ufanye maamuzi ya haraka kama utaichomoa haraka au uisahau kabisa. Utafanya nini?

Hatua ya 2:

Bila kupoteza muda izime mara moja! Na kama ni simu yenye eneo la kutoa betri basi usitumie switchi yake kuzimia, bali toa betri mara moja. USIJARIBU KUBONYEZA KINGINE CHOCHOTE, ONDOA BETRI. Na kama ni tableti au simu za iPhone ambazo hazina sehemu za kutolea betri bofya eneo la kuzimia mara moja.

LENGO: Ni kuzima simu au tableti hiyo kabla hakujatokea shoti ya aina yeyote, kama simu imeingia maji alafu ukaifuta na kuanza kujaribu kuichezea kwa kubofya unaweza sababisha shoti inayoweza ikaiua simu yako mara moja.

Hatua ya 3:

Ifute taratibu. Kwa kutumia kitu kama taulo lililo kavu, angalia kwa ukaribu maeneo kama vile ya kuweka waya wa ‘earphones’, hakukisha pameacha kutoa maji. Puliza maeneo ya matundu kuhakikisha maji yameisha kabisa ndani. Pia toa vitu kama vile kadi ya laini, memori kadi na betri, kava, vikaushe pia.

Usitumie njia za ajabu kama vile kuiweka kwenye oveni ili kuikausha…joto la oveni ni kali sana utaua simu yako.

Hatua ya 4:

Njia A: Unavijua vipakti flani hivi vidogo vinakuwaga kwenye viatu vipya?  Vinaitwa “silica gel packets”, ndani yake inavidonge vidogo vya Silica. Kama unavyo au unaweza kuvipata basi chukua mfuko wa plastiki unaoweza kuufunga kuzuia hewa, weka simu yako na vipakti hivyo katika mfuko huo kisha ufunge.

 Vidonge hivi vinasifa ya kunyonya unyevu nyevu, kuweka sehemu moja na kuvifungia na simu yako kutahakikisha unyevu nyevu uliopo kwenye simu yako kunyonywa na vidonge hivyo.

Njia B: Kama njia A haiwezekani basi fuata njia hii, zungushia simu yako kwenye tishu (Toilet Paper/Napkins) kisha iweke kwenye chombo ulichoweka mchele wa kutosha kuifunika kabisa. Mchele unasifa ya kunyonya unyevunyevu kama vile kwenye njia A. Unazungushia tishu ili kuondoa uwezekano wa simu yako kuingiwa na vumbi la mchele.


Ila njia A, ndiyo bora zaidi katika hizi mbili. Ile inawahisha kukauka kwa haraka zaidi ukilinganisha na njia ya kutumia mchele. Kama hauna vidonge hivi basi hakikisha kuanzia sasa wewe au jirani/rafiki yako akinunua viatu vipya tuu uchukue na huifadhi vidonge hivi kwani uwezi kujua lini unaweza kuviitaji. Na kumbuka huwa pia unaweza kuvikuta katika bidhaa nyingine mpya, kama vile nguo au ata vitu vya kielektroniki, kuanzia sasa ukivipata vihifadhi katika mfuko au chombo cha plastiki kisichoruhusu hewa kabisa.

Hatua ya 5:

Baada ya kufanya tulichoongelea katika hatua ya 4 itakubidi usibiri takribani masaa 32 hadi 72, hapa kipimo ni chako wewe. Kama ililowa kidogo tuu basi masaa 32 yatatosha kabisa, ila kama ililowa sana, basi hakikisha ikae masaa 72.

TUNAJUA UTAKUWA UNAHAMU YA KUIWASHA AU KUITOA KABLA, ILA KUMBUKA NI MUHIMU IKAUKE NDANI KABISA, Hivyo vumilia.

Hatua ya 6:

Tunajua baada ya hatua hizo zote utakuwa unasubiria kwa hamu kuiwasha tena. Hadi sasa itakuwa imekauka vizuri ndani, ukiiwasha tunategemea itawaka bila tatizo lolote kama ulifuata hatua zote kwa usahihi.

MAMBO MUHIMU YA KUFAHAMU
Njia hii inategemea bahati na uharaka wako katika kuondoa simu na kuizima baada ya kuwa katika maji. Kitu muhimu na kuweza kuzima simu au tableti hiyo kabla shoti haijatokea ndani yake

Ata kama itawaka vizuri na kuweza kufanya kazi kama kawaida kuna uwezekano mkubwa sana simu hiyo kuanza kutofanya kazi vizuri baada ya kipindi kirefu kama vile mwaka mmoja hivi kutokana na madhara ya kuingiwa na maji. Kuna vitu ndani yake huwa havitakiwi kukutana na maji kabisa. Hivyo ata kama itawaka na kuanza kufanya kazi kama kawaida anza kujiandaa kununua simu nyingine.

Kama simu yako ilikuwa bado ya Dhamana, yaani Warranty basi jua dhamana hiyo imevunjika rasmi. Simu janja nyingi za kisasa zinazouzwa zikiwa chini ya dhamana ya mwaka au miaka miwili zikikupa uwezo wa kuzirudisha na kupewa mpya n.k kutoka pale uliponunua huwa dhamana hizo zinafutwa kama simu iliingia maji. Na wameweka teknolojia spesheli (water indicator) ndani ya simu hizo ambapo kama simu au tableti zikilowa huwa wakifungua ndani wanatambua.
Viewing all 104415 articles
Browse latest View live




Latest Images