Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104690 articles
Browse latest View live

Yajue Madhara ya Kutumia Simu ya Smartphone Kwenye Giza

$
0
0
Yajue Madhara ya kutumia Simu ya Smartphone kwenye Giza
Mara nyingi watu wengi tuanpenda kutumia simu mahali ambapo pana giza kwa muda mrefu, sisi tunapenda kukuita kukuchati. Kuchati huku nyakati za giza wakati taa imezimwa huwa na madhara yafuatayo.

Kwa sasa, idadi ya wagonjwa kuanzia miaka 30-40 wanatafuta matibabu makubwa. kutokana na matumizi ya simu za mkononi (smart phone) gizani.

Profesa Li Li, kiongozi wa hospitali ya macho huko singapore amesema: anasema mionzi ya moja kwa moja kwa zaidi ya dk 30 na kuendelea inaweza kusababisha mpangilio na mbadiliko wa seli macho na hivyo kusababisha saratani na kushindwa kuona kabisa.

Hii ni kwasababu wakati wa kutimia simu mahali penye giza huwa tunayalazimisha macho yetu yaweze kuona ya uwezo wake. Na ndo maaana kuna wakati unaweza ukatumia simu muda mrefu mahali penye giza mara baada ya kuacha kutumia simu utaona kama giza limezidi zaidi. Hali hiyo huyafanya macho yako yaanze kurudi katika hali ya ukawaida.

Pia utumiaji wa simu kwenye giza husababisha Kupata saratani ya macho. Hivyo ili uweze kuepuka saratani hivyo ni bora tuache kutumia simu za mikononi gizani ili tujikinge. Simu za mikononi (smartphone) zenye mwanga mweupe sana karibu na macho gizani, unabadili mfumo wa seli macho na kupelekea matatizo ya saratani ya macho.

Proffessor Li Li amesema dalili za mbadiliko wa seli macho mara nyingi wanazigundua watu wenye umri mkubwa (wazee), ila kwa hivi sasa zinagunduliwa hata na kwa vijana wadogo. Hasa kwa wenye umri wa kuanzia miaka 30-40 wanaongezeka kwa asilimia 3% na wote hawa ni watumiaji wa simu za mikononi (smartphone) kupitiliza.

 Utumiaji wa simu inaweza sababisha na ugonjwa wa macho makavu, mtoto wa jicho na mwisho kupelekea kupoteza kuona.
.
Madaktari bingwa wa macho 254 kutoka mahosipitalini profesa Li Li atoa hoja kwamba kikubwa cha muhimu ni kwamba ni kuwa mbali na tabia za kutumia simu gizani. Sababu tabia hizi za kutumia simu (smartphone) kabla ya kulala zitakusababishia matatizo ya maisha yako kwa ujumla.

Hivyo ili kujiangalia sisi wenyewe na familia zetu, kwamba hakuna kuzima taa endapo unatumia simu ya mkononi. Wape taarifa haraka wote watumiaji wa simu za mikononi gizani wanaweza kupoteza kwa urahisi sana uwezo wa kuona.

JE Wajua Kwanini Wadada Wengi Bongo Wanamchukia Zari?

$
0
0
JE Wajua Kwanini Wadada Wengi Bongo Wanamchukia Zari?

Zari mzuri bana,ila wadada na wanawake wengi wanamchukia,wivu au stress ya maisha wanayoyapitia?

Kama ni suala la kuhongwa vinono na mond jibu hili hapa 


Kutana na Mtabibu wa Asili Allan Shariffu Musa Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH shariffu musa Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na shariffu musa Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.

Maalim Hussein Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi

+255 629793352 au watsap
+255 679119679

NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE.

Godbless Lema: Tutaendelea Kumkoa Hadharani Rais Akikosea.....Akipatia Tutamsifia Hadharani Pia

$
0
0
Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema amefunguka na kusema kuwa wao kama viongozi watamsifu Rais pale anapofanya vizuri hadharani na kusema anapokosea lakini amedai hawawezi kumdhihaki Rais wala kusema mambo ya uongo dhidi yake.

Lema alisema hayo jana katika mkutano wake wa tisa jimboni kwake kwenye Kata ya Sekei Sanawari, Arusha Mjini na kusema anashangazwa na watu ambao wanasema Rais hatakiwi kusemwa hadharani.

"Sitaongea uongo hadharani na sipo hapa kumdhihaki Rais ila Rais akikosea nitamsema na sitamsema chumbani bali nitamsema hadharani, habari ya nchi inavyoendeshwa tunasema hadharani, Rais akikosea tutamsema hadharani na akipatia tutampongeza hadharani"alisema Godbless Lema

Aidha Mbunge Lema aliendelea kutoa lawama zake kwa viongozi mbalimbali wa dini akisema kuwa wamekuwa wakifumbia macho mbalimbali ambayo yanaendelea ndani ya nchi hivyo ameahidi kuwa akimaliza mikutano yake atakuja kufanya mikutano mingine kuhamasisha wanachi wasitoe sadaka kwa taasisi za dini kwa kuwa viongozi hao wamekuwa wakifumbia macho na kushindwa kusema juu ya ukiukwaji wa sheria ndani ya nchi na namna ambavyo Demokrasia imekupwa ikiminywa.

Mbali na hilo Lema alisema anawashangaa watu wanaosema kuwa Mwanasheria wa CHADEMA Tundu Lissu siyo mzalendo kwa kuwa ameweza kusema kuwa kuna ndege ya Tanzania imeshikiliwa nchini Canada.

"Leo Lissu anakamatwa kwa sababu ya kusema ndege ya Tanzania imekamatwa kwa kuwa tunadaiwa Ulaya, Polisi wanamchukua Lissu na kwenda kumsachi kwake, mnatafuta ndege chumbani kwa mke wa Tundu Lissu, wanasema Lissu si mzalendo sasa nani mzalendo aliyesema tunadaiwa Ulaya au aliyetaka kuchukua fedha kinyemela akalipe deni Ulaya" alihoji Godbless Lema

Rais Magufuli Acharuka "Nataka Wala Rushwa Wengi Wafungwe"

$
0
0
Rais John Pombe Magufuli amefunguka na kusema anataka watu wanaokula rushwa wengi wao wafungwe kwani watu hao wanasababisha watu wakose barabara, madawa na kukosa maendeleo kutokana na watu kula rushwa.


Rais Magufuli amesema hayo jana wakati akimuapisha Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Brigedia Jenerali, John Julius Mbungo leo Ikulu jijini Dar es Salaam na kumtaka afanye kazi kuhakikisha rushwa inakomeshwa.

"Umepewa hilo jukumu kalisimamie na tunaimani kubwa kwamba utakwenda kulisimamia kwa uadilifu mkubwa ukishirikiana na wenzako waliopo pale nina uhakika mtafanya kazi kubwa hasa katika suala la uchunguzi, nataka wala rushwa wengi wafungwe hilo mimi nalitaka najua maneno kama haya hawayataki watu kuyasikia, nataka wala rushwa wengi wafungwe" alisisitiza Rais Magufuli

Aidha Rais Magufuli anasema kuwa wakifungwa wala rushwa wengi hivyo rushwa itakuwa imekwisha kwa sababu wale walaji wote watakuwa magerezani na kudai hao ndiyo wamekuwa walimu wa wala rushwa, lakini Rais aliwataka viongozi hao kutomuogopa mtu yoyote katika kutekeleza kazi yao.

"Yoyote anayehusika na rushwa huyo ni adui yangu na adui wa Watanzania wote, ni lazima ifike mahali Tanzania tuweze kuishi bila kuwa na rushwa ili manufaa haya yanayopotea kwenye rushwa yaende kwa wananchi wa kawaida, watu wanakosa madawa, wanakosa barabara, wanakosa vitu muhimu kwa sababu ya rushwa na hii ni dhambi kubwa nafikiri dini zote na mtu yoyote mwenyekupenda watu wake hawezi kutetea suala la rushwa" alisema Rais Magufuli

Diamond Akamatwa Kwa Kusababisha Ajali iliyopoteza Uhai wa Watu Watatu

$
0
0
Jeshi la Polisi mkoa wa Morogoro linamshikilia dereva wa basi lenye namba za usajili T 438 ADR Charles Diamond, kwa kusababisha ajali iliyopoteza uhai wa watu mkoani Morogoro na kusababisha majeraha kwa baadhi ya watu.


Akitoa taarifa ya ajali hiyo iliyotokea leo asubuhi Kamanda wa Polisi mkoani humo Urlich Matei, amesema mpaka sasa idadi kamili ya watu waliofariki kutokana na ajali hiyo ni watu watatu, ambapo wawili ni wanawake na mmoja ni mwanaume, huku mmoja wao akiwa ni mwanafunzi.

Majeruhi wa ajali hiyo ni 27 ambao wamepelekwa hospitali ya mkoa wa Morogoro, lakini suala la utambuzi wa miili ya marehemu bado halijafanyika mpaka pale uchunguzi utakapofanyika.

Ajali hiyo imetokea leo asubuhi iliyohusisha gari aina ya daladala ikielekea Mvumi kugonga treni iliyokuwa ikipita kwenye njia yake, kulikopelekea kuburuzwa kwa gari hiyo na kusababisha vifo

Kisa Kutoa Siri ya Ndege "Tundu Lissu Atishiwa Kifo"

$
0
0
Baraza la Vijana Chadema limedai Serikali inahatarisha maisha ya Mwanasheria wa Chadema, Mh. Tundu Lissu  kwa kudai kuwa kiongozi huyo ni adui wa nchi na Mhujumu wa nchi imesababisha kupata tishio la uhai wa maisha yake.

Akiwawakilisha vijana wa Chama chake Mwenyekiti Patrobas Katambi amesema kuwa kutokana na kauli iliyotolewa baada ya Lissu kutoa siri za kukwama kwa ndege aina Bombadier Q400 nchini Canada watu walioelewa kauli za serikali tofauti wameahidi kumtoa uhai Kiongozi huyo kwa kuomba ruhusa ya kukamilisha kukatisha uhai wa Tundu Lissu.

"Zipo akili za watu wachache ambao kauli ya serikali iliyotolewa wameielewa jinsi ambavyo wao wameelewa. Kupitia mitandao ya kijamii tumekutana na Watanzania walioonyesha hisia zao kuhusu kauli ya Lissu kufuatia kauli ya Serikali kusema kiongozi anahujumu nchi na makosa yake yametajwa zaidi ya uhaini. Sasa sijui kama watampatia ulinzi maana uhai wake upo hatarini. Sasa huyu kijana hatuwezi kumtaja jina ameomba ruhusa kutoka mamlaka ya juu kupitia mitandao ya kijamii aweze kumuua Lissu je ni wangapi wenye akili kama hizi ambao hawajaomba ruhusa?
Akizungumzia kuhusu kamata kamata zinazofanywa na polisi kupitia wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa, Katambia amesema viongozi wa juu wapo tuu wanaangalia uvunjifu wa sheria kwa jinsi unavyofanywa pasipo kufanya jambo lolote kwa kisingizio cha agizo kutoka juu.

"Unaweza kuona wabunge wa upinzani jinsi ambayo wanapelekwa, Lissu hii ni mara ya 11 anafikishwa polisi, Bulaya mpaka ameugua akiwa rumande lakini pia CHADEMA tuna kesi zaidi ya 301 za viongozi wanachama na wafuasi wengine lakini zote ukifuatilia hakuna kesi za msingi. Sisi Vijana tumechoka na tunaomba kufahamu huko juu ni wapi au ni nani?

Akimzungumzia Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Mwigulu Nchemba, Mwenyekiti Katambi amesema anashangaa kumuona kiongozi huyo akiwa amenyamaza kimya wakati mambo hayo yakifanyika badala ya kuwa mstari wa mbele kwa ajili ya kumsaidia Mhe. Rais kama askari wanafanya makosa lakini yeye kakaa kimya kama wizara yake haina mtu.

Nampongeza Sana Rais Wangu Magufuli, ila Namshauri Mambo Haya Muhimu

$
0
0
Nakubaliana kabisa na utendaji wa rais Magufuri, nampongeza sana-sana. Ana uchungu na Tanzania, ana nia ya dhati ya kuwatumikia watanzania, anedhamiria kututoa katika umasikini. Kwa mara ya kwanza Tanzania inaongozwa na kiongozi mwenye uchungu na nchi hii. Hata hivyo namshauri haya mawili ya msingi
 (1) ABORESHE MASLAHI YA WAFANYAKAZI HARAKA IWEZEKANAVYO
(2) AZINGATIE SHERIA NA KATIBA KATIKA UTENDAJI

Nina Imani ujumbe huu utamfikia na namuombea ulinzi imara, afya njema na mafanikio katika kazi yake nzuri.

By Jugania/JF

Majaliwa Aitaka Wizara ya Maliasili Kutafuta Mbinu Bora za Kutangaza Vivutio

$
0
0
Majaliwa Aitaka Wizara ya Maliasili Kutafuta Mbinu Bora za Kutangaza Vivutio
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya Maliasili na Utalii kutafuta mbinu bora za kutangaza vivutio mbalimbali vya utalii vilivyopo nchini ili kukuza sekta hiyo.

Waziri Mkuu aliyasema hayo wakati alipofanya ziara katika mji wa kitalii wa Varadero ulioko kwenye mkoa wa Matanzas nchini Cuba.

Alisema mji wa Varadero tu unaingiza watalii zaidi ya milioni moja kwa mwaka na unategemea kivutio kikubwa kimoja tu cha fukwe ambayo ina urefu wa kilomita 22.

Aidha alisema idadi hiyo ni tofauti na Tanzania ambayo imejaliwa kuwa na vivutio vingi vya utalii huku watalii wanaovitembelea ni wachache. “Tunatakiwa kujitangaza zaidi.” alisema Majaliwa.

Waziri Mkuu alitaja baadhi ya vivutio vya utalii ambavyo ni mlima Kilimanjaro, mbuga za wanyama, miji ya kihistoria ya Kilwa, Bagamoyo, Stone Town pamoja na Mikindani.

“Vivutio vingine ni eneo la Oldvai George ambako binadamu wa kwanza aliwahi kuishi, hifadhi ya Gombe ambako kuna sokwe ambao wanaishi kama binadamu.”

Hata hivyo alisema Serikali itahakikisha jitihada zinafanyika katika kukuza sekta ya utalii ikiwa ni pamoja na kutangaza vivutio vilivyoko nchini ili kuweza kuongeza idadi ya watalii.

Pia Waziri Mkuu aliwahamasisha Watanzania kujenga tabia ya kutembelea vivutio vyeo vya utalii na kujifunza mambo mbalimbali na si kuwaachia wageni pekee.

Kwa upande wake, Kiongozi wa Sekta ya Utalii katika mkoa wa Matanzas, Bw. Luis Martinez de Armas alisema mji wa Varadero ni kivutio kikubwa cha utalii nchini Cuba.

Hata hivyo Bw. Luis alisema Tanzania inavivutio vingi vya utalii na kwamba anavutiwa na mlima Kilimanjaro pamoja na wanyama na viumbe vingine vilivyoko katika mbuga mbalimbali. Alisema wako tayari kushirikiana na Serikali katika kukuza sekta ya utalii

Ommy Dimpoz Aamua Kuonyesha Busara Afuta Post ya Iliyoleta Gumzo Mitandaoni Akiwa na Mama Diamond

$
0
0
Ommy Dimpoz Aamua Kuonyesha Busara  Afuta Post ya Iliyoleta Gumzo Mitandaoni Akiwa na Mama Diamond
Gumzo kwenye mitandao ya kijamii ni ishu ya Ommy Dimpoz kuamua kuifuta post yake aliyoiweka kwenye Instagram ikiambatana na picha yake akiwa na mama Diamond jambo ambalo lilitolewa maoni sana na Watanzania.

Miongoni mwa mastaa ambao hawakuupenda ujumbe huo ni pamoja na meneja wa zamani wa Ommy Dimpoz Mubenga, Aunty Ezekiel na hata Dada wa Diamond ambaye aliweka comment moja kwa moja kwenye post hiyo akimkanya Dimpoz kutomuingiza mama Diamond katika ugomvi wake na Diamondi.

Mahakama Yatoa Kibali Kukamatwa Waziri Mkuu wa Zamani wa Thailand

$
0
0
Mahakama Yatoa Kibali Kukamatwa Waziri Mkuu wa Zamani wa Thailand
Mahakama ya Juu nchini Thailand imeahirisha kikao cha kutoa hukumu katika kesi ambapo waziri mkuu wa zamani wa nchi hiyo Yingluck Shinawatra ameshtakiwa makosa ya uhalifu ya kuzembea kazini.
Majaji hao wakiwa mjini Bangkok wametoa kibali cha kukamatwa kwake wakisema hawaamini alivyosema kwamba amekosa kufika mahakamani kwa sababu anaugua.
Mahakama imeahidi kutoa huku tarehe 27 Septemba.
Ijumaa, mawakili wa Bi Yingluck waliomba hukumu icheleweshwe na kuambia mahakama kwamba anaugua ugonjwa wa vertigo na hawangeweza kufika kortini.

Lakini taarifa rasmi ya Mahakama ya Juu imesema waendesha mashtaka "hawaamini mshtakiwa ni mgonjwa kwani hakuna cheti chochote cha matibabu kilichowasilishwa kwa mahakama, na kwamba hali yake ya afya si mbaya mno kiasi kwamba hawezi kufika kortini."
Mahakama imesema itatoa kibali cha kukamatwa kwake kwani anaweza kuikimbia nchi hiyo, kwa mujibu wa shirika la habari la AFP.
Kadhalika, mahakama imetwaa dhamana ya $900,000 (£703,000) ambayo alikuwa ameiweka wakati wa kuanza kwa kesi hiyo.

Bi Yingluck, amekanusha makosa ya kuzembea kazini yanayohusiana na mradi wa mpunga wa gharama ya mabilioni ya dola.
Iwapo atapatikana na hatia, anaweza akafungwa jela na pia kupigwa marufuku kutoshiriki siasa maishani yake yote.

Bi Yingluck, ambaye alikuwa waziri mkuu wa kwanza mwanamke nchini Thailand mwaka 2011, aliondolewa madarakani mwaka 2015.
Kesi dhidi yake iliwasilishwa na serikali inayoungwa mkono na jeshi ambayo ilimuondoa mamlakani.
Lakini bado ni maarufu na anaungwa mkono sana.

Mamia ya wafuasi wake walikusanyika nje ya Mahakama ya Juu mjini Bangkok kabla ya kusomwa kwa hukumu dhidi yake, huku polisi wengi wakishika doria nje ya mahakama hiyo.
Mpango wa Bi Yingluck wa kulipia sehemu ya gharama ya mpunga ulikuwa sehemu ya ahadi zake kuu kwenye kampeni yake ya kutaka kuchaguliwa, na aliuzindua mwaka 2011 muda mfupi baada yake kuingia madarakani.
Lengo la mpango huo lilikuwa kuimarisha mapato ya wakulima na kusaidia kupunguza umaskini mashinani.
Chini ya mpango huo, serikali iliwalipa wakulima karibu maradufu ya bei ya mpunga sokoni kwa mazao yao.
Lakini uliathiri sana uuzaji wa mpunga kutoka Thailand nje ya nchi na kusababishia taifa hilo hasara ya zaidi ya $8bn (£6.25bn).

Ingawa mpango huo ulikuwa maarufu sana kwa wafuasi wake mashinani, wapinzani waliupinga wakisema ulikuwa ghali sana na ulitoa fursa ya kutokea kwa ulaji rushwa.
Wakati wa kusikizwa kwa kesi dhidi yake, Bi Yingluck alisema kwamba hakuhusika katika shughuli za kila siku za kuusimamia mradi huo.
Amesisitiza kwamba yeye ni mwathiriwa wa mateso ya kisiasa.

Wolper: Nipo Tayari Kwenda Jela Mtu Atakaye Maneno Machafu kwa Mzazi

$
0
0
Wolper:  Nipo Tayari Kwenda Jela Mtu Atakaye Maneno Machafu kwa Mzazi
Msanii wa filamu za bongo ambaye kwa sasa ni mjasiriamali mkubwa, Jackline Wolper, amekula kiapo cha kwenda jela iwapo mtu yeyote atamtolea maneno machafu mzazi wake.

Msanii wa filamu Jackline Wolper
Akizungumza na Big Chawa wa Planet Bongo ya East Africa Radio, Wolper amesema yeye kwa kawaida ni mpole lakini iwapo mtu atafanya kitu kibaya juu ya familia yake, hatofikiria mara mbili kumfanya kitu ambacho kitamsababishia kupelekwa jela.
“Kwa mimi binafsi Jackline Wolper ni mpole, lakini ukija kwenye issue za wazazi mi nitaenda Segerea, ndiyo maana hujawahi kusikia Jackline Wolper kamuweka mama yake au baba yake kwenye instagram, kwenye Tv, yani sitaki wazazi wangu wahusike, nitukane mimi usitukane damu yangu, au usitukane mtu aliyenileta duniani, yani dakika sifuri nitapelekwa tu jela”, alisema Jackline Wolper.
Kumekuwa na tabia ya watu kwenye mitandao ya kijamii kutoleana maneno machafu mpaka kuwajumlisha na wazazi wa watu hao, kitu ambacho si kizuri kwenye jamii, kwani ni udhalilishaji wa watu wasio na hatia hususan wazazi.

Akamatwa na Polisi kwa Tuhuma za Kumteka Binti wa Miaka 8

$
0
0
Akamatwa na Polisi kwa Tuhuma za Kumteka Binti wa Miaka 8
Mwanaume mmoja anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kosa la kumteka mtoto wakike aitwaye Khailati Bashiri (8) ambaye ni mwanafunzi wa darasa pili katika Shule ya msingi ya Iloganzala mkoani Mwanza.

Kamanda wa Polisi mkoani Mwanza, DCP Ahmed Msangi amemtaja mtuhumiwa huyo kuwa ni Emmanuel Kirumbas (25) mkazi wa Malampaka mkoani Shinyanga ambapo majira ya 6:00 mchana ya tarehe 21.08.2017 alimchukua mwanafunzi huyo na kumpeleka kusikojulikana na baadae kutuma taarifa kwa njia ya simu kwamba apatiwe fedha kiasi cha Milioni 3 ili aweze aweze kumrudisha mtoto huyo.
Inasemekana kuwa baada ya mtoto huyo kutoka shuleni alikwenda nyumbani kwao mtaa wa Iloganzala anapoishi na wazazi wake kubadilisha nguo kisha aliondoka na kuelekea kusikojulikana, na kusababisha wazazi wake kuhangaika kumtafuta bila ya mafanikio ndipo walipoamua kutoa taarifa kituo cha Polisi.

DCP Msangi amesema baada ya kupokea taarifa hizo jeshi la polisi lilifanya upelelezi ambao ulipelekea kuwakamata watu watano na baadae kufanikiwa kumkamata mtekaji nyara ambae alikuwa akihitaji kulipwa fedha.

Jeshi la Polisi lipo katika mahojiano na mtuhumiwa na pindi uchunguzi utakapokamilika mtuhumiwa aliyehusika na utekaji atafikishwa Mahakamani.


UN Yataka Mapigano Kusitishwa Syria Kupisha Misaada

$
0
0
UN Yataka Mapigano Kusitishwa Syria Kupisha Misaada
Umoja wa Mataifa umetoa wito kusimamishwa kwa muda mapigano katika mji wa Ragga nchini Syria, kuruhusu idadi ya raia waliopo katika eneo hilo la mapigano kuondoka.

Mkuu wa misaada ya kibinadamu nchini Syria, Jan Egeland, anasema mji wa Raqqa yawezekana kwa sasa ni moja kati maeneo hatari duniani na kutaka hatua za haraka kuchukuliwa ili kutoa mwanya kwa raia kutoroka katika eneo hilo.
Amesema kuwa wapiganaji wa Islamic State wanatumia kundi la raia waliobaki kama kinga ya kivita.

Hata hivyo idadi hiyo ya raia wapatao 25,000 kwa wamekwama ndani ya mji huo huku kukiwa na mfululizo wa mashambulizi ya anga kwa juma moja lililopita.

Shirika la kimataifa la Amnesty linasema mamia ya watu wameuawa tangua mashambulizi hayo yalipoanza katika mji wa Raqqa mwezi june mwaka huu.
Wapiganaji wa IS wanatuhumiwa na umoja wa mataifa kwamba wanatumia raia kama kinga yao katika mapigano hayo.

Marekani na Muungano wa vikosi vya Syria, Kiarabu na Kikurdi wanajaribu kuukomboa mji huo kutoka mikononi mwa wapiganaji wa Islamic state.

JE Una Upungufu wa Nguvu za Kiume, Kukosa Hamu ya Tendo, Kufika Kileleni Haraka na Kushindwa Kurudia Tendo?

$
0
0
JE, UNA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME, KUKOSA HAMU YA TENDO, KUFIKA KILELENI HARAKA NA KUSHINDWA KURUDIA TENDO AU MAUMBILE MADOGO YA UUME? Tatizo la kukosa au upungufu wa nguvu za kiume limekuwa kubwa sana duniani kote. Kupungukiwa nguvu za kiume na maumbile madogo ya uume husababishwa na mambo mengi kama KISUKARI, UNENE ULIOPITILIZA, KUJICHUA (MASTER BLASHION), HOMONI kushindwa kufanya kazi ipasavyo n.k. Upungufu wa nguvu husababisha tendo la ndoa kutokufanyika kwa kujiamini na kwa usahihi na hivyo kusababisha ndoa na mahusiano kuvunjika.

BAADHI YA DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI KAMA:-
☆Kukosa hamu ya tendo la ndoa ☆Uume kusimama kwa ulegevu
☆Kuwahi kufika kileleni ☆Kushindwa kurudia tendo kwa wakati
☆Kuchoka sana baada ya round ya kwanza na hata kukinai kabisa. Kwa kutumia mimea na matunda @markson_beauty_pr Tunakuletea suluhisho la matatizo hayo hata kwa wenye "KISUKARI NA PRESSURE" kwa:-
1.HANDSOME UP ORIGINAL ni kifaa chenye uwezo wa 99% kuongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @250000@250,000/=
2.SHARK POWER ni gely ya kupaka inayoongeza uume kwa wastani wa inch 6 hadi 7 @150000@150,000/=
3.Vidonge maalum kwa ajili ya kuongeza nguvu na hamu ya tendo la ndoa hata kwa wenye kisukari @150000@150,000/=
4.Spray ya kuchelewesha kufika kileleni @130000@130,000/= BIDHAA HIZI HAZINA MADHARA NA ZIMETHIBITISHWA KIAFYA. KWA BIDHAA HIZI NA NYINGINE NYINGI TEMBELEA UKURASA WETU WA INSTAGRAM :- @markson_beauty_pr @markson_beauty_pr @markson_beauty_pr

Wasiliana nasi Popote ulipo duniani kwa (+255) 0767447444 na 0714335378 

NB:Matokeo ni uhakika na garantii na hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako. < WELCOME ALL>

Katibu wa itikadi na Uenezi wa CCM , Humphrey Polepole Kuongea na Wana Habari leo

$
0
0
Ni katika Ukumbi wa Ofisi ndogo ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Lumumba jijini Dar es Salaam kuanzia saa 8:00 mchana.

Ataongelea masuala mbalimbali yakiwemo ya maendeleo ya nchi na hali ya kisiasa. Aidha atazungumzia umuhimu wa Watanzania kuwa wamoja katika mambo yanayohusu maslahi ya taifa na kuepuakana na makundi ya watu ambao wanatumia nguvu na juhudi kubwa kuungana na wahujumu uchumi wa nchi yetu katika kutaka kudhoofisha kasi ya serikali kupamabana na hali hiyo.


JE ni Kweli Wanawake Wembamba ni Bora zaidi Katika Mahaba? Jibu Hili Hapa

$
0
0
JE ni Kweli Wanawake Wembamba ni Bora zaidi Katika Mahaba? Jibu Hili Hapa
Kumekuwa na mijadala mingi kuhusiana na kama ni kweli kwamba watu ambao ni wembamba ni bora zaidi ya watu wanene. Nimelazimika kufanya utafiti kwa kushirikiana na wataalamu mbalimbali wa ndani na nje ya Tanzania ili kujua ukweli kwenye hilo.

Jibu nililopata ni kwamba kwa asilimia kubwa kuna ukweli; kwamba walio na wembamba wana uwezo wa kukimbia masafa marefu zaidi ya wale ambao ni wanene. Japo wanaweza kujitetea, siyo wanene wengi wenye uwezo wa kukimbia masafa marefu.

Suala la mahaba linahitaji kutumia akili zaidi ya kufikiri kwamba utamridhisha mwenzi wako kwa sababu wewe ni mwembamba au mnene.

Ni wanawake wa aina gani wanavutia zaidi katika suala la mahaba? Utafiti unaonyesha kuwa walio wembamba wana raha yake kwa sababu furaha ya wanaume wengi ni kudumu katika mahaba kwa muda mrefu, kwa hiyo walio wembamba wengi huwa hawachoki kwa haraka; miili yao haina mafuta mengi ya kuwachosha.

Walio wembamba wanaweza kukuruka huku na kule, wakati kwa wanene, kuna baadhi ya mambo hawawezi kwa sababu ya namna walivyo. Japo wapo wanene, na wana uwezo wa kwenda huku na kule, siyo wengi, kama walivyo watu wembamba.

Ni vigumu kuandika kwa kina, lakini kuna baadhi ya miondoko, watu wanene hawawezi. Kauli kama nimechoka huwa ni nyingi ukilinganisha na walivyo watu wembamba.

Hata hivyo ninapozungumzia watu wanene nazungumzia wale ambao hata kutembea kwao ni shida, kwamba wana unene wa kupitiliza. Kitaalamu huwa inashauriwa kuwa na ‘nyama’….godoro linalobonyaa-bonyaa huwa ni zuri kuliko lile ambalo gumu sana…si ndiyo jamani?

Mwanamke kwa mwanaume, unapaswa usiwe mkavu sana, maana kama ukiwa mkavu sana inasababisha maumivu, maana unaguswa na mifupa hadi inatia maumivu badala ya raha. Ninachotaka kusema ni kwamba wanandoa wanapaswa kuhakikisha wanakula, wanaondoa msongo wa mawazo nk ili wawe na miili inayonawiri….kuwa na mwenzi ambaye mwili umebaki mifupa…Mhh mnakuwa mnasababishia maumivu jamani…!

Ndiyo ukweli wenyewe

Wanawake wengi wembamba ni watalamu wa mapenzi kuzidi wanawake wanene, hii inatokana na tafiti mbalimbali zilizofanya na watalamu wa masuala ya mapenzi kama wakina Leticia Jackson wa Marekani, Prof. Benjamin James wa Ufaransa, Dk. Edward Hulow wa Uingereza.

Wataalamu hawa katika tafiti zao walizofanya katika nchi mbalimbali zinaonyesha kuwa asilimia 85 ya wanawake wembamba wanajua miundo mingi wakati wa chakula cha usiku. Hawa walio wengi, kabla ya kukutana nao inabidi ule ugali na nyama kavu…ukila chips kavu unaweza kujikuta unaanza kudanganya aaah unajua kazini kuna kitu nimesahau….aaah nahisi kiuno kinauma nk.

Utafiti unaonyesha asilimia 15 ya wanawake wanene ndio wanaojua kushiriki vizuri katika mahaba. Sababu inayofanya wanawake wembamba kuwa wataalamu sana ni kutoka na wepesi walionao.

Ni kutokana na wepesi wao, wanaweza kujikunja na kukaa namna yoyote.Japo siyo kila mwanamke anaweza kufanya hivyo katika mapenzi wengine hawataki hata kutoa ushikiano katika mapenzi. Kuna wengine ni wembamba lakini mizigo, kila unachomwambia anakwambia siwezi.

Kama mpenzi wako anafanya hivyo na huipendi hiyo tabia ni bora umwambie au umfundishe, kwa sababu siyo kila mtu anajua kila kitu japo kuwa kila mwanaume ana uchaguzi wake ila uchaguzi wako isiwe sababu ya kuwanyanyapaa wanawake ambao siyo chaguo lako.

Bavicha Wamkalia Kooni Ngeleja Kwa Kukutwa na Mali ya Wizi Kutoka Escrow -Video

$
0
0
Bavicha Wamkalia Kooni Ngeleja Kwa Kukutwa na Mali ya Wizi Kutoka Escrow
Baraza la Vijana Chadema wamelitaka jeshi la polisi nchini kumkamata, William Ngeleja kwa kukutwa na mali ya wizi kutoka (Escrow) na kumuachia Tundu Lissu kwa kusaidia kutoa taarifa kwa wananchi kuhusu ndege ya Tanzania kukamatwa huko nchini Canada.

Akizungumza leo jijini Dar es salaam, Mwenyekiti wa BAVICHA, Patrobas Katambi amesema aliyekuwa Waziri wa Nishati na Mdini,William Ngeleja kupitia pesa alizozirudisha hivi karibuni ni wazi kuwa ni mtuhumiwa ambaye anaweza kutaja wenzake wote.

Kumkamata Mhe. Lissu hakuwezi kufanya ndege yetu iliyokamatwa kurejeshwa nchini kwani yeye amewasaidia watanzania kufahamu nini kinachoendelea. Sisi ni upinzani tunaopinga na kutoa njia elekezi, katika barua yetu tumemtaka IGP amkamate Ngeleja na wenzake watoe bilioni 307 zetu na Lugumi bilioni 38 kisha wakalipie ndege iliyokamkatwa kwa pesa ya bilioni 87 ili iendelee na kazi lakini siyo kusingizia upinzani kwamba wanapotosha au wanafanya uchochezi,” amesea Mwenyekiti huyo.



Tufanye kama jinsi ilivyokuwa kwenye Biblia kwamba yule mfungwa Baraba aliachiwa huru kisha Yesu akasulubiwa, basi na Lissu tumuachilie kwani hana kosa zaidi ya kuzungumza ukweli na Ngeleja aliyekiri hadharani kwa kurudisha pesa za wizi awekwe ndani na asaidiane na jeshi la polisi”.

Breaking: Hatimaye Ali Kiba Katoa Wimbo Mpya Leo...Utazame na Kudownload Hapa

$
0
0
Hatimaye the waiting is over, Msanii Ali Kiba Ameachia Wimbo wake Mpya uliyosubiriwa kwa Hamu sana na Mashabiki zake baada ya kukaa kimya karibia mwaka mzima bila kutoa Wimbo mpya....Nimekuwekea hapa chini Audio na Video alafu utoe maoni yako kama utashika ama la?

TAZAMA VIDEO:

BREAKING NEWS: Mfanyabiashara Yusuf Manji Atiwa Hatiani na Mahakama Kesi ya Kutumia Madawa ya Kulevya

$
0
0
BREAKING NEWS:  Mfanyabiashara Yusuf Manji Atiwa Hatiani na Mahakama Kesi ya Kutumia Madawa ya Kulevya
 MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo August 25, 2017 imemtia hatiani Mfanyabiashara Yusuf Manji katika kesi ya kutumia dawa za kulevya aina ya Heroin.

Uamuzi huo umetolewa na Hakimu Mkazi Mfawidhi Cyprian Mkeha, wakati kesi hiyo ilipoitishwa kwa ajili ya kutolewa uamuzi.

Hakimu Mkeha alisema kuwa ameridhika na ushahidi uliotolewa na mashahidi wa upande wa mashtaka na kwamba mshtakiwa ana haki ya kujitetea kutokana na mkojo wake kukutwa na dawa aina ya Morphine ambayo zao lake ni Heroin.

“Hivyo mshtakiwa anapaswa kujitetea kwa sababu Mahakama imemkuta na hatia,”

Baada ya kueleza hayo, Wakili wa utetezi Hudson Ndusyepo alidai kuwa mshtakiwa atajitete kwa hati ya kiapo ambapo watakuwa na mashaidi 15.

Hakimu Mkeha aliahirisha kesi hiyo hadi August 30 NA 31, 2017 ambapo itasikikizwa mfululizo.

Viewing all 104690 articles
Browse latest View live


Latest Images