Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104712 articles
Browse latest View live

Edward Lowassa Kurudi Kenya Kumpigia Debe Uhuru Kenyatta

$
0
0
Waziri Mkuu wa zamani na mjumbe wa kamati kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa amesema atarudi nchini Kenya kumpigia debe Rais wa nchi hiyo Uhuru Kenyatta katika kampeni za uchaguzi unaotarajiwa kurudiwa baada ya kufutwa na Mahakama.

Lowassa aliyekuwa mgombea wa urais nchini mwaka 2015 kupitia vyama vinavyounda Ukawa, August mwaka huu alikwenda nchini Kenya kushawishi raia wa nchi hiyo kumchagua Kenyatta kwa mara nyingine kuwa Rais wao katika uchaguzi uliofanyika August 8 mwaka huu.

Katika mahojiano na kituo cha Runinga cha Azam Lowassa amesema atafanya hivyo na ni kitu ambacho atakifurahia kukifanya.

Katika hatua nyingine Lowassa ameeleza sababu ya kumuunga mkono Kenyatta ingali yeye ni mpinzani nchini Tanzania.

“Kuwa upinzani ni barabara tu, nyenzo ya kufika sehemu fulani, nilipendezwa na Rais Kenyatta kwa anavyokubali mambo ya ushirikiano wa kimataifa, lakini la pili namuheshimu anavyoheshimu demokrasia na katika uongozi wake inalindwa, wabunge wana haki, vyama vina haki, kila mtu ana haki,” amesema Lowassa.

“La tatu uongozi wake ni wenye malengo, amerithi nchi imetoka katika migogoro ya kivita lakini kaingoza katika miaka mitano kimya wakijenga maendelea na wanatupita, kwa hiyo ni  Rais mwenye upeo, makini na mahiri ,” ameongeza.

Hiyo jana Mahakama ya Juu nchini Kenya ilifutilia mbali matokeo ya uchaguzi wa Urais uliofanyika Agosti 8 mwaka huu, ambapo Uhuru Kenyatta alitangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi huo, hivyo kurudiwa siku 60 zijazo.

Maamuzi hayo ya mahakama ni baada ya vyama vinavyounda umoja wa Upinzani (NASA), kupeleka malalamiko yao Mahakamani wakishutumu kudukuliwa kwa matokeo ya uchaguzi huo huku wakidai kuwa haukuwa wa huru na wa haki.

Jinsi ya Kuwazuia Marafiki Wasingilie Mahusaiano Yenu ya Kimapenzi

$
0
0
Sio mbaya kwa marafiki wa karibu au ndugu na jamaa kufahamu kushirikiana nanyi katika mapenzi yenu kama vile wakati wa sherehe au msiba. Pia sio mbaya kujuliana hali na kutambulisha mambo ya msingi yanayoendelea katika mahusiano yako wewe na mpenzi wako.

Hata hivyo kuna wakati watu wengine wa pembeni, wawe majirani, ndugu, wazazi au marafiki wanaweza kuwa ‘sumu’ ya mahusiano yako, hasa pale unapowategemea sana kutoa msaada, maoni au maelekezo katika maisha yako ya mapenzi. Makala hii inaeleza mambo ya msingi unayoweza kufanya ili kupunguza uwezekano wa rafiki, ndugu, jamaa, au wazazi kuwa ‘sumu’ ya mapenzi yako.

1. Udhibiti wa taarifa kwa wengine
Kadri unavyoelezea mahusiano yako kwa watu wengine ndivyo unavyowapa nafasi watu kutoa maoni, na hata kudhani kuwa wana dhamana ya kukuelekeza unavyotakiwa kuishi na mwenza wako. Hivyo basi, chukua muda wa kutosha kutafakari na kufanya uchunguzi kuhusu maswala yako ya mahusiano kabla haujaanza kutafuta maoni, ushauri kwa watu wengine. Ni bora ukasoma vitabu, na makala mbalimbali, hususani zihusuzo tabia na maisha ya mahusiano, zitafakari vema ili kuona zinahusiana vipi na unayokumbana nayo katika mahusianao yako.

2. Upekee wa mambo.
Tambua kuwa tabia ya mpenzi wako inaweza kuwa ni ya kipekee, mazingira pia ya tukio linalokufanya utake ushauri au maoni kwa wengine yanaweza kuwa ni ya kipekee, hivyo ushauri au maoni utakayopokea yanaweza yasikusaidie moja kwa moja katika suluhisho lako. Ukitambua hili, utafanya bidii ya kujenga uwezo binafsi wa kuchambua tatizo unalokumbana nalo katika mahusiano na kutafuta suluhisho kabla ya kutegemea watu wengine.

3. Mwenye maamuzi ni wewe.
Ni kweli kuwa kuna nyakati ni muhimu kupata ushauri kutoka kwa watu wengine, na zaidi sana watu wenye uelewa sahihi na unaowaamini, hakikisha kuwa unatambua kuwa wewe mwenyewe ndio mwenye kubeba lawama ya maamuzi utakayochukua.

4. Kuwa na subira.
Usichukue maamuziya haraka katika mahusiano hususani uamuzi wa kuamua kuwashirikisha watu wengine habari ya mambo yahusuyo uhusiano wako. Unapofanya uamuzi wa kuwashirikisha wengine kwa haraka  unajinyima nafasi ya kulichunguza jambo kwa ufasaha hususani madhara yanayoweza kutokea kwa kuwaeleza wengine, au kama ni tatizo, basi kufikiria njia sahihi ambazo ungeweza kuzitumia kupata suluhu ya tatizo.

5. Fungua njia za mawasiliano kati yenu: 
Pengine chanzo cha wewe kutaka kuzungumza mambo ya ndani yanayohusu mahusiano yenu kwa watu wengine ni kwakuwa umekosa nafasi ya kuzungumza kwa ufasaha na mwenzi wako. Tafuteni nafasi za kutosha, jengeni mazingira ya kuzungumzia mambo yenu kabla ya kutaka kuwashirikisha watu wengine.

6. Nenda ‘darasani’ : 
Kumbuka mahusiano yanahitaji sana uelewa mkubwa wa jinsi ya kufanya mawasiliano fasaha, kuelewa hisia za mwenzi wako, kutambua mbinu za kusuluhisha migogoro, na zaidi sana kufanya mipango ya muda mrefu ya uhusiano wenu. Jizoeshe kusoma makala na vitabu mbalimbali vyenye kuboresha ufahamu wa mambo ya msingi kama hayo tuliyoeleza hapo juu. Mfano wa makala unazoweza kusoma ni kama vile.

Kutana na Mtatibu Wanyota za Binadamu Duniani Kote Maalim Fadhili Rashid Kutoka Comoro

$
0
0
KUTANA NA MTABIBU WANYOYA ZA BINADAMU DUNIANI KOTE MAALIM FADHILI RASHIDI KUTOKA COMORO

KWA SASA YUPO TANZANIA MAALIM FADHILI RASHIDI ANA IWEZO WAKUJUWA JAMBOLAKO NAKULI TATUWA KWAMUDA MFUPI

MAALIM FADHILI RASHIDI ANAJUWA UMEHANGAIKA SANA LAKI HUJAFANIKIWA MUONE HARAKA AKUSAIDIE

MAALIM FADHILI RASHIDI NI BINGWA WAKUTIBU MARADHI SUGU KAMA VILE MIGUU KUUMA MIGUU KUWAKA MOTO

KISUKARI VIDONDA VYATUMBO PUMU TEZI NA UVIMBE TUMBONI PUMU ANA UWEZO WAKURUDISHA MTU ALIE POTEA KIMAZINGIRA

(MSUKURE) KUMFANYA MKE MUME MPENZI ASIKUSALITI DAWA YA (LIMBWATA) KUMTAWALA MPENZI WAKO UNAVYOTAKA

KUMUONA MBAYA WAKO LIVE KWASABABU MAALUM ANATOWA PETE YA BAHATI INAYO ENDANA NA NYOTA YAKO ITAKAYO KULETEA PESA BILA YA MASHARITI YEYOTE

NAKUMILIKI MALIZA MAJINI KWAYULE ANAE HITAJI DAWA YAKUONGEZA UUME ZAIZI UIPENDAYO DAWA YA NGUVU ZA KIUME ANAYO

DAWA YA KUONGEZA HIPSI SHEPU KUWA NA UMBO BOMBA KAMA UMEIBIWA AMA KUDHURUMIWA UTARUDISHIWA MALIYAKO NDANI YA MASA (24)

ANAFUNGA KESI NAKUPATA HAKIYAKO DAWA YAMVUTO WABISHARA KUUZA MALIYAKO KWA HARAKA KUZUIYA CHUMA ULETE

KUSAFISHA NYOTA NAKUONDOA MIKOSI NA KUPANDISHWA CHEO KAZINI ACHAKUTESEKA NJOO UWONE MIUJIZA YA MAALIM FADHILI RASHIDI

CALLING+255719362806/ +255763276239

KWA WHATSAPP IMO +255785786436

TFF Yaingilia Kati Mgogoro wa Yanga

$
0
0
Papy Kabamba Tshishimbi sasa anaweza kujimwaga kwa raha zake kuichezea Yanga baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kumaliza utata uliojitokeza katika ishu yake ya usajili.


TFF imemaliza mgogoro wa kimasilahi kati ya wakala wa aliyekuwa kiungo wa Yanga, Justin Zullu ‘Mkata Umeme’, Karin Nir na uongozi wa Yanga, kufuatia kukatisha mkataba wa kiungo huyo.
Wakala huyo alipeleka mkataba wa mteja wake katika ofisi za shirikisho hilo akitaka kuizuia Yanga kumtumia Tshishimbi baada ya kukatishwa kiholela kwa mkataba wa Zullu.

Novemba, mwaka jana, Yanga ilimsainisha Zullu mkataba wa mwaka mmoja mbele ya wakala huyo raia wa Israel, lakini hivi karibuni Yanga iliachana naye kutokana na kiwango chake kutowaridhisha.
Nir amesema kuwa, TFF imetumia busara kulimaliza suala la mteja wake na Yanga kwani tayari alipanga kwenda kushitaki Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa).

“Nimeshaondoka Tanzania lakini jambo kubwa ni kwamba Yanga wamekubali kuvunja mkataba wa mchezaji wangu, mkataba umevunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili tena kwa usawa. Namshukuru Katibu Mkuu wa TFF kutokana na kuweza kulimaliza suala hili kwa amani, niwashukuru Yanga kwa kuonyesha ushirikiano hasa katibu wao, Boniface Mkwasa. Hatuwezi kuendelea na malumbano tena kati yetu kwani tutaendelea kushirikiana kama ilivyokuwa awali,” amesema Nir.

Justin Zullu alipanga kuishitaki Yanga Fifa ili alipwe dola 100,000 (Sh milioni 221) kwa kuvunjiwa mkataba wake kiholela.

VIDEO: Uhuru Kenyatta Amuonya Raila Odinga

$
0
0
Aliyekuwa Rais mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta amefunguka na kutoa onyo kwa mpinzani wake Raila Odinga kuwa asahu kuhusu tume mpya ya uchaguzi lakini pia amemtaka Jaji Mkuu wa Kenya David Maraga kutoingilia kwani wao wameheshimu maamuzi ya mahakama

Uhuru Kenyatta amesema chama chake cha Jubilee kipo tayari cha uchaguzi huo wa marudio na sasa wanasubiri Tume ya Uchaguzi nchini Kenya IEBC iweze kutangaza siku ya uchaguzi na wanaiomba itangaze siku hiyo haraka.

Aidha Uhuru Kenyatta amesema kuwa wapinzani hao hawana haja ya uchaguzi bali ni watu ambao wanataka serikali ya mseto kitu ambacho yeye hawezi kukiruhusu hata kidogo
Mahakama ya juu nchini Kenya Septemba 1, 2017 ilifuta matokeo ya Urais nchini Kenya na kuamuru kuwa uchaguzi mpya ufanyike katika nafasi ya Urais kutokana na mahakama hiyo kubaini baadhi ya mapungufu wakati wa utoaji wa matokeo hayo ya uchaguzi uliofanyika Agosti 8, 2017.
Mtazame hapa Uhuru Kenyatta akifunguka mengi zaidi

 VIDEO:

VIDEO: Man Water Adai Seduce ni Wimbo wa Kawaida Sana..Ali Kiba Ana Mabomu Makali zaidi ya Seduce Kwangu

$
0
0
Msanii Alikiba ambaye sasa anafanya vyema na wimbo wake 'Seduce me' amefunguka na kumtaka mtayarishaji wa muziki wake mpya Man Water asiwatishe watu kwa kusema kuwa kuna misiba mingine ipo ndani zaidi ya 'Seduce me'

Msanii Alikiba akiwa na mtayarishaji wa muziki kutoka Combination Sound Man Water wakiwa katika studio za East Africa Radio.

Alikiba alisema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha Planet bongo ya East Africa Radio baada ya Man Water kusema huu wimbo mpya wa Alikiba ni mwepesi sana kwa nyimbo ambazo mkali huyo amefanya katika studio zake za Combination ambazo bado hazijatoka.
Msikilize hapa Alikiba na Man Water wakifunguka zaidi. VIDEO:

KENYA: Chama cha Wanasheria chalaani kauli za Rais Uhuru Kenyatta juu ya majaji

$
0
0
SUMMARY
> Law Society of Kenya commended President Uhuru for also declaring that he respects court’s decision which he does not agree with

> LSK, condemned his further attacks towards Judiciary terming the remarks as inappropriate and unconstitutional

> President Uhuru hit out at the Supreme Court questioning the grounds on which his nullification was determined and threatened to deal with Judiciary if he will be reelected within the 60 days



The Law Society of Kenya says President Uhuru Kenyatta is entitled to express his dissatisfaction in yesterday’s Supreme Court ruling which invalidated the announcement of his reelection on August 11. LSK commended Uhuru for also declaring that he respects court’s decision which he does not agree with.

In a press conference on Friday, shortly after the ruling President Uhuru said he disagrees with Supreme Court ruling but will respect it. He has urged Kenyans to maintain peace and shun tribalism.

“I respect the Supreme Court’s decision but I don’t agree with it... Millions of Kenyans queued and voted, but six people have decided that they will go against the will of Kenyans… Again I say, the Court has made its decision and we respect it but we do not agree with it,” said Uhuru who was accompanied by Deputy President William Ruto.

However the LSK, condemned his further attacks towards Judiciary terming the remarks as inappropriate and unconstitutional.

“Further statements by President describing the Chief Justice and other judges of the Supreme Court of Kenya as 'wakora' (crooks or scoundrels) and ominously declaring that they should wait for him after he is successful in the coming fresh elections are unfortunate and wholly inappropriate remarks from the head of state who under the Constitution is a symbol of national unity, enjoys immunity from criminal and civil proceedings and must promote and enhance the unity of the nation.” Said the Law Society in a press statement.

On Saturday, President Uhuru hit out at the Supreme Court questioning the grounds on which his nullification was determined. He threatened to deal with the Judiciary if he will be reelected within the 60 days that Supreme Court ordered the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) to conduct fresh presidential polls.

“Even if you are so stupid, ask yourself something: The people elected an MCA, results were transmitted, and no one asked questions. Those of MPs and senators were transmitted, and no one asked questions and they have been sworn in. Those of governors were transmitted, no one asked questions. Now how do four people and wake up and say there was a technicality in the transmission of the results of the President only? How?” asked Uhuru.

LSK urged President Uhuru to respect, uphold and safeguard the Constitution an obligation which extends to respecting, upholding and safeguarding the rights of the Chief Justice and each of the judges of the Supreme Court of Kenya under Article 28 of the Constitution.

“Those remarks violate this obligation and are condemned unreservedly by the Law Society of Kenya. And they do not in any way lower, in the eyes of their fellow Kenyan citizens, the high esteem in which the Chief Justice and the judges of the Supreme Court of Kenya are now held, “LSK insisted.

Waliofanya Ununuzi wa Mashine Mbovu za VETA Kukamatwa.

$
0
0
Naibu waziri wa elimu, sayansi na teknolojia amevitaka vyombo vya usalama, jeshi la Polisi na TAKUKURU kufanya uchunguzi mara moja na kuwachukulia hatua watumishi wote wa VETA makao makuu waliohusika na ununuzi wa mashine mbalimbali zilizonunuliwa na kusambazwa katika vyuo vya VETA na kushindwa kufanya kazi tangu mwaka 2010.

Mhandisi Manyanya ametoa agizo hilo mara baada ya kutembelea karakana ya chuo cha VETA Mpanda na kuhoji juu ya vifaa na mashine mbalimbali kutofungwa na nyingine kutokamilika ambazo zilinunuliwa kwa mkopo wa benki ya maendeleo Afrika (ADP) kwa thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 1.6

Mkuu wa chuo cha VETA Mpanda Joshua Matagane amesema kufuatia kushindwa kufanya kazi kwa mashine hizo zilizosambazwa na kampuni ya Cromwell ltd kutoka nchni uingereza mwaka 2010/11 chini ya mkataba namba ADB/05/2008 wamekuwa wakifanya ufuatiliaji wa mashine hizo kwa karibu lakini hawajapata majibu ya kuridhisha.

Mkuu wa wilaya ya Mlele Bi. Rachel Kasanda ambaye amekaimu wilaya ya Mpanda  amesema kukosekana kwa mashine hizo kunawanyima haki wanafunzi wa chuo hicho hasa katika kufanya mafunzo kwa vitendo.

Majeruhi Asimulia Alivyonusurika Kuuawa na Chui Mwanza

$
0
0
Miongoni mwa Taarifa za kusikitisha kutoka Mwanza ni pamoja na tukio la usiku wa kuamkia September 1, 2017 ambapo watu watano; wawili wakiwa ni Askari wa Wanyamapori, wiwili ni Askari Polisi na raia mmoja kujeruhiwa na Chui katika kijiji cha Kabangaja, Igombe Ilemela.

Mmoja wa majeruhi Otienel Mwihomeke ameelezea tukio hilo akisema wakiwa kazini usiku huo walipewa taarifa kuwa kuna mwananchi mchunga ng’ombe amevamiwa na chui hivyo kuamua kwenda kutoa msaada ambapo baada ya kufika Chui alikimbilia kichakani kujificha na Afisa mmoja wa wanyamapori aliposogelea eneo hilo alivamiwa na chui huyo kisha akarudi tena kichakani.

”Baada ya muda mfupi Chui alirudi na kumvamia Askari mwingine aliyesimama karibu yangu na nilipojaribu kusaidia kumtoa, Chui alinivamia na mimi na kuning’ata mkono na baadaye alikimbia kurudi kichakani.” – Otienel Mwihomeke.

Kanuni Sita (6) za Kudumu Katika Mahusiano ya Kimapenzi

$
0
0
Hakuna binadamu asiyefahamu nini maana ya mapenzi na kama wapo basi ni wachache sana na wanaweza kuwa hawafahamu kwa maneno lakini kivitendo wanakuwa wanafahamu aidha kwa kuona, kusikia na hata kwa wao wenyewe kushiriki kwenye mapenzi hayo.

Na hakuna binadamu yeyote asiyependa kupenda au kupendwa, wote tunapenda kupenda na pia tunapenda kupendwa in . Na siku zote ukipenda na usipopendwa pale unapopenda huwa inakuwa ni huzuni sana na wengine hufikia hatua mbaya sana za kufikiria mengine mengi tu ya hatari pale mapenzi yanapokuwa machungu kwao.

Hii ndio sababu wengi wetu huwa tunakaa pale tunapoona kweli kuna mapenzi na si kukaa pale ambapo unaona unadanganywa au kuzungushwa kila siku. Lakini kuna wakati tunaweza kujikuta hata pale tunapopenda na kupendwa pia panaharibika baada ya muda na kunakuwa na ugomvi na kukosa maelewano baina yenu na wakati mwingine usifahamu kwa nini hamuelewani au ukaelewa lakini ukakosa njia za kutatua.

Zifuatazo ni baadhi tu ya njia mbalimbali za kufanya ukae na mpenzi wako kwa muda mrefu kwenye mahusiano na mkafurahia mapenzi yenu popote pale mtakapokuwa na mtakapoishi.


1. Kuwa na muonekano chanya kwa mpenzi wako.
Ukiwa Ni Mtu Wa Kuangalia Mabaya/Kasoro Sana Kwa Mpenzi Wako Kuliko Mazuri Yake Hautakuja Kukaa Kwenye Relationship Kwa Muda Mrefu Hata Siku Moja...Utaendelea Kubadilisha Wanaume/Wanawake Kila Siku Na Mwisho Wa Siku Utajiona Huna Bahati Kwenye Mapenzi Na Wakati Unayeyaharibu Mapenzi Yako Ni Wewe Mwenyewe...Hakuna Asiye Na Kasoro (Ukiwemo Wewe Mwenyewe). Kwa Hiyo Muonyeshe Mpenzi Wako Mapenzi Bora Na Umrekebishe Pale Anapokosea Bila Kuwa Na Lawama Mara Kwa Mara, Kuna Makosa Mengine Ni Madogo Sana Na Unaweza Kuyarekebisha Kwa Kukaa Chini Na Mpenzi Wako Mkayamaliza Kwa Dakika 5 Tu Lakini Wengine Huwa Issue Kubwa Kwao Na Kusababisha Mwisho Mbaya.

2. Samehe na kusahau.
Unapomsamehe mpenzi wako kwa kosa lolote alilokosa basi hakikisha umemsamehe kiukweli na ujitahidi kusahau kosa alilotenda itasaidia uwe na amani ya moyo zaidi kuliko kumsamehe kwa usoni tu lakini moyoni ukawa na Donge bado, hii hupelekea kupunguza mapenzi kwa kiasi Fulani kwake na kujikosesha furaha ya mapenzi.Anapokosea siku nyingine usimkumbushe kosa lake la nyuma kwa sababu itamfanya ajione mwenye huzuni na ajione kuwa hakusamehewa.

3. Mpe nafasi na uhuru mpenzi wako.
Mnapokuwa kwenye mahusiano jitahidini kwa hali na mali kupeana nafasi/uhuru kwenye mambo mengi hasa yale ya kitaaluma zaidi na kimaisha.anapokwambia yupo kwenye kikao cha kikazi jaribu kumuelewa na umpe support ya kutosha kwenye kazi zake au biashara zake au hata masomo yake.usipende sana kulalamika pale anapochelewa kurudi kazini au kutoka kwenye biashara zake bali mpokee kwa upole na baada ya kupumzika ndipo muulize kwa upole na kimahaba zaidi kwanini siku hizi anachelewa sana kurudi au kwenye biashara zake au shuleni tofauti na zamani.

Hii itajenga zaidi kuliko kubomoa kwa kulalamika na kupayuka mbele yake na huku yeye akiwa hata hajapumzika na itamfanya siku nyingine aione nyumba chungu kitu ambacho si kizuri kwenu wote wawili.

4. Kuwa mbunifu katika mapenzi.
Napozungumzia ubunifu hapa nakuwa simaanishi kwenye upande mmoja tu wa kwenye yale mambo yetu ya chumbani, hapana. Hapa namaanisha ubunifu kwenye mambo mengi ndani na nje ya nyumba, jitahidi mara kwa mara kubuni vitu vipya vitakavyofanya azidi kukupenda na kukuona kama mpya kwake kila siku. Kama amezoea kupata zawadi za aina Fulani kutoka kwako basi jitahidi siku moja kumbadilishia zawadi kutegemea na unavyomfahamu mpenzi wako anapenda nini na nini. Hakuna anayemjua mpenzi wako zaidi kuliko wewe kwa hiyo lazima ujue ukifanya nini kwake na kwa wakati gani atafurahia na kujivunia kuwa nawe.

5. Mfanye mwenza wako ajivunie kuwa nawe kila wakati.
Hakikisha katika mapenzi yenu kila siku unamfanya mpenzi wako ajivunie kuwa nawe na hakikisha humfanyi ajute kwa kukuchagua wewe miongoni mwa wote aliowaona. Usijidanganye hata siku moja kuwa kwa kumpata tu na kwa yeye kukupenda basi hajaona mwingine wa kuweza kuwa naye. Wapo wengi sana anaoweza kuwa nao lakini amekuchagua wewe katika hao wote, kwa hiyo usimfanye aanze kuwafikiria wale wengine wanaomfuatilia kila siku na kumsumbua.Ukianza kumwacha aanze kuwafikiria wengine aidha kwa wewe kuwa unamkosesha amani ya mapenzi kila mara au kwa mengine mabaya ndani ya mapenzi basi ipo siku utaishia pabaya.

6. Msadie kwa khali na mali kila inapowezekana.
Kwenye mahusiano huwa kuna kupanda na kushuka miongoni mwa wapenzi na hasa kiuchumi na hata kisaikolojia. Hakuna kitu kizuri kwenye mapenzi kama mtu kupata tatizo na akasaidiwa na mpenzi wake katika hali ambayo hakuitegemea, namaanisha mpenzi wako akipata tatizo lolote hakikisha wewe ndo unakuwa wa kwanza kulifahamu na kulifanyia kazi.

Sio matatizo yote yanamalizwa kwa pesa so hata ushauri na kumpa mawazo chanya inasaidia sana na kumfanya awe na furaha kuwa nawe.Kama unampenda usione tabu kumsaidia kwa kuogopa kuonekana eti unahonga, huyo ni mpenzi wako kwa hiyo jiamini na umpe kile anachostahili kusaidiwa na mpenzi wake.

Yapo mambo mengi sana ambayo kama mkiyafanya kwenye mapenzi basi uhusiano wenu utakuwa wa kudumu na wenye furaha sana ingawa hapa nimezungumzia kwa uchache sana lakini nina imani itasaidia sana kwa wote walio kwenye mahusiano .

Mapenzi hayana ndumba au limbwata hata siku moja, unapoona wapenzi wengi wana furaha kwenye mapenzi yao ni kwa sababu wanavumiliana kwa mengi na kusameheana kwa mengi. Sana Na Unaweza Kuyarekebisha Kwa Kukaa Chini Na Mpenzi Wako Mkayamaliza Kwa Dakika 5 Tu Lakini Wengine Huwa Issue Kubwa Kwao Na Kusababisha Mwisho Mbaya.

SOMA Nafasi za Kazi Zilizotangazwa Leo

Kutana na Mtabibu wa Asili Allan Shariffu Musa Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH shariffu musa Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na shariffu musa Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.

Maalim Hussein Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi

+255 629793352 au watsap
+255 679119679

NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE.

Kitakachompata Mwanamke Endapo Akiacha Kufanya Mapenzi

$
0
0

Yawezekana huna mpenzi au labda huna muda wa kutafuta mwenza, utakapoona mabadiliko haya mwilini mwako basi inabidi ufikirie kuanza kale kamchezo ketu. Haya ni mabadiliko yanayoweza kutokea mwilini mwako utakapoacha kufanya mapenzi, na si mabadiliko mazuri kama namba hili la kwanza katika mabadiliko haya:

1. Unaweza kupata ndoto nyevu
Kama inavyomtokea mtoto wa kiume aliye kwenye balehe, wanawake wasiofanya mapenzi mara kwa mara, watajikuta wakipata ndoto nyevu wakiwa usingizini.hii itakutokeasio tu kwa kutokufanya mapenzi mara kwa mara bali hata unapoacha kupiga punyeto.

Wanawake wengi wanakosa uhakika kama wanapata ndoto nyevu kwa kuwa inategemea endapo atakumbuka, kwakuwa hakuna kumbukumbu nyepesi kuisahau kama kukumbuka ulichoota.

Haikuwa rahisi kwa watafiti kuwa na jibu kuhusu kusisimka kwa mwanamke akiwa usingizini, kwakuwa inabidi wapime mapigo ya moyo, kupima ubongo na kufatilia mabadiliko ya joto ukeni.

2. Unapoteza hamu ya kufanya mapenzi

Japokuwa usemi wa “usichokitumia kitapotea” unatumika kuelezea jambo kama hili, wanawake hawapotezi kitu chochote ambacho hakiwezi kurudi kwenye hali yake ya kawaida, walau wakiwa katika hatua za kuweza kupata watoto. Ni kawaida sana kwa mwili wa mwanamke kuacha kuwaza kufanya mapenzi kama hakufanya kwa muda mrefu. Mwili unazoea hali ya kutopata hisia hizo.

Hamu ya kufanya mapenzi inaweza ikapotea, kitu ambacho sio kibaya sana kama unataka kufanya mambo mengine. Pia utaweza kuachana na mambo yanayotokana na hisia zako za mapenzi. Kama hutaki kupoteza hamu ya kufanya mapenzi hata kwa muda kidogo, kujichua kunaweza kukusaidia hili. Mshauri wa masuala ya kujamiiana Holly Richmond, ambaye ni Daktari wa Saikolojia ya ufanyaji kazi wa mwili wa binadamu anasema, “Watu ambao huwa wanapiga punyeto huwa wana uwezo mkubwa wa kufikiria na ni wakarimu kwa wapenzi wao,” kwahiyo mwanamke asione aibu kupiga punyeto!

3. Kuta za uke zinadhoofika

Inafahamika kwamba ukiwa na umri zaidi ya miaka 50 hivi wanawake wanakuwa katika uwezekano mkubwa wa kutopata raha kabisa wakati wanafanya mapenzi iwapo hawatakuwa wakijamiiana mara kwa mara. Kwa kawaida, kuta za uke zinakuwa nyembamba na kudhoofika hadi mara nyingine kuanza kuchanika wakati unaingia kipindi cha ukomo wa hedhi, hali inayofanya tendo la kujamiiana liwe na maumivu makali sana. Jambo pekee la kuzuia hili lisitokee kimsingi ni kuendelea kufanya mapenzi mara kwa mara hata katika umri wako wa kustaafu. Dkt. Streicher ameliambia jarida la Reader’s Digest kwamba kupungua kwa kuta za uke kunatokana na kutopata kwa damu ya kutosha, tatizo linaloweza kurekebishwa kwa kusisimuliwa kimapenzi na kujamiiana.

“Wanawake wenye umri mkubwa ambao hawafanyi mapenzi mara kwa mara wapo kwenye hatari kubwa zaidi ya kupungua na kufa kwa tishu za kuta za,” amesema. “Kisababishi kikubwa cha tatizo hili ni kupungua kwa mzunguko wa damu, na inajulikana kwamba kufanya mapenzi mara kwa mara kunaongeza mzunguko wa damu maeneo hayo.”

Na kama maumivu makali wakati wa kujamiiana yatakuwa hayatoshi, madhara yanayoletwa na kupungua kwa kuta za uke ni ugumu wa kutengenezwa kwa kilainishi asilia kwenye maumbile yako, jambo linalofanya kitendo cha kufanya mapenzi baada ya muda mrefu kusababisha ukavu wa hali ya juu. Ili kuzifanya kuta za uke ziwe nene na zenye afya, angalau soma vitabu vya mapenzi kila mara, na angalau uwe unapiga punyeto. Kwa muktadha kama huu ndio madaktari wakasema kuwa kama usipotumia kiungo fulani basi kitadhoofika, kwahiyo njia rahisi zaidi ya kuondoa tatizo hili ni kufanya mapenzi mara kwa mara! Mtaalamu wa magonjwa ya wanawake, Dkt. Barb DePree anasema, “Ninamhudumia mwanamke mwenye umri wa miaka 75 ambaye anasema kuwa anafanya mapenzi mara mbili kila wiki,” kwahiyo hakuna sababu ya msingi ya kutofanya.

4. Unaongezeka uzito wa mwili

Kufanya mapenzi ni njia bora sana ya kuishughulisha moyo na misuli bila kupata maumivu unayopata ukikimbia au gym. Unaweza usiwe unajua ni kiasi gani cha ‘kalori’ unakipunguza unapofanya mapenzi, lakini unaweza kugundua hilo baada ya kumaliza. Jarida la “Woman’s Day” lilichapisha kuwa kiwango cha kawaida cha kalori unachopunguza wakati wa kuandaliwa, matokeo yaliyowastua wengi. Ukiwa unapata mabusu ya kawaida tu, unapunguza kalori 68 kwa saa, lakini yanapofanywa kwa muda mrefu zaidi yanapunguza kalori zipatazo 476 kwa saa. Hii ni kwa sababu kiwango cha kupumua kinapoongezeka, kalori zinapungua kwa wingi zaidi!

Tendo la kufanya mapenzi linasaidia kuchoma kalori 144 kwa kiwango cha chini. Kiasi hiki kitaongezeaka zaidi endapo utakuwa na ushirikiano wa kutosha. Hii inamaanisha utapunguza kalori angalau 1,200 kama utakuwa unafanya mapenzi mara tatu au nne kwa wiki, kiasi ambacho ni kikubwa sana kama utakuwa hufanyi kwa muda mrefu. Kwahiyo, kama ukiacha kufanya mapenzi, utaona mwili ukianza kuongezeka uzito kidogo kidogo.

5. Kudhoofisha mfumo wa kinga ya mwili

Kufanya mapenzi mara kwa mara kuna faida kubwa kiafya, na tunapoacha kwa muda mrefu tunajiweka kwenye hatari ya kuugua kirahisi zaidi! Kwa mujibu wa wataalamu wa Kliniki ya Mayo nchini Marekani, kila mara mwanamke au mwanaume anapopandishwa hamu ya kufanya mapenzi, mwili unatoa homoni aina ya Dehydroepiandrosterone (DHEA). Homoni hii inasaidia kuupa nguvu mfumo wa kinga ya mwili, ikiusaidia mwili kupambana na bakteria, virusi na vijidudu vingine vingi. Lakini faida hii itapatikana endapo mwenza wako ataweza kufika kileleni mara kwa mara.

Japo kutofanya mapenzi haina maana kwamba utapata magonjwa makubwa ghafla, kinachomaanishwa ni kwamba utakuwa unakosa faida hizi zinazotokana na kufanya mapenzi mara kwa mara. Homoni hii ya DHEA pia inasemwa kuwa inasaidia kuondoa msongo wa mawazo, kung’arisha ngozi, kurekebisha tishu zilizoharibika kwa haraka zaidi na pia kuongeza kiwango cha uelewa na kujifunza.

Utafiti uliofanywa na wanafunzi wa vyuo vikuu pia umebaini kiwango kikubwa cha protini aina ya immunoglobulin A, kiambata muhimu sana katika kinga ya mwili – kwa wanaofanya mapenzi walau mara mbili kwa wiki ikilinganishwa na ambao hawafanyi!

6. Kuwa na msongo wa mawazo

Sio tu kwa sababu ya raha unayopata wakati wa kufanya mapenzi, mbegu za kiume ni moja ya vinavyopunguza msongo wa mawazo kwa mwanamke. Yawezekana ikaonekana hiki ni kitu ambacho mwanaume atasema ili alale na mwanamke, lakini ndio ukweli wenyewe! Jarida la Psychology Today limeripoti kuwa katika utafiti uliohusisha wanawake 293 kuhusu tabia zao kwenye mahusiano, kama idadi ya kufanya mapenzi na iwapo wanatumia kinga au la. Kisha wakapimwa kujua viwango vyao vya msongo wa mawazo.

Ilibainika kuwa waliokuwa wanafanya mapenzi bila kinga hawakuwa na msongo wa mawazo ikilinganishwa na waliokuwa wanatumia kinga au ambao hawakufanya kabisa. Viambata vinavyopunguza msongo wa mawazo vilivyopo kwenye mbegu za kiume vikinyonywa na kuta za uke, vinamfanya mwanamke itulie kabisa! Hii ndiyo sababu watu hupata msongo wakiachana na wapenzi wao.

Kwa mujibu wa jarida la “Psychology Today,” homoni za endorphin zinazotoka wakati wa kufanya mapenzi zinasaidia kuondoa wasiwasi. Kwahiyo, unapopita muda mrefu bila kufanya mapenzi, unaweza kuona unapata msongo wa mawazo. Haijaelezwa endapo homoni hizi zinatoka iwapo utafikia kileleni au la, na ikiwa ndivyo, basi wanawake wengi hawapati faida hii kwakuwa wengi wao hawafiki. Uzuri ni kwamba hata ‘mazoezi’ unayofanya wakati wa kufanya mapenzi husaidia kufikia faida hiyo.

Tafiti moja imeonesha kuwa kwa wanaofanya mapenzi baada ya kila wiki mbili wana uwezekano mdogo wa kupata shinikizo la damu ikilinganishwa na wasiofanya kabisa au wanaopiga punyeto au wanaofanya njia yoyote isiyohusisha kujamiiana. Kwahiyo, hata ‘ukijihudumia’ mwenyewe haitasaidia sana kukupunguzia msongo wa mawazo. Kwa sababu hii, wanawake wanahitaji hasa kuwa na mwenza.

7. Unapunguza uwezekano wa maambukizi ya magonjwa ya zinaa, UTI na mimba usizotarajia

Mara nyingine maambukizi yanatokana na kutojikausha vizuri au kuwa na unyevu kwa muda mrefu au kuvaa nguo zinazobana sana, lakini kutofanya mapenzi inamaanisha hutakuwa na wasiwasi tena kuhusu kupata magonjwa ya zinaa na mimba zisizotarajiwa.

Ingawa kutofanya mapenzi kabisa ndio njia pekee ya uhakika ya kuepuka maambukizi ya VVU, watu wengi hawajui kwamba kuna magonjwa mengine ambayo unaweza kupata maambukizi ya bila hata kufanya mapenzi.

Maambukizi ya mfumo wa mkojo ni tatizo kubwa sana. Yanasababisha maumivu makali na yasiyoisha. Je, umegundua kuwa mara zote ulizogundua umepata maambukizi ni baada ya kutoka kufanya mapenzi? Gazeti la New York Times limeripoti utafiti unaoonesha kuwa asilimia 80 za maambukizi ya UTI yanatokea ndani ya saa 24 tangu kufanya mapenzi. Ni kawaida kwa mwanamke kupata maambukizi akifanya mapenzi kwa mara ya kwanza baada ya muda mrefu. Hata kipindi cha wiki mbili au tatu kinatajwa kuwa ni muda mrefu kutofanya mapenzi, kwahiyo, kwa wanawake kuwa mbali na wapenzi wao kwa muda kunawaweka kwenye hatari ya kupata UTI.

Faida pekee unayopata kwa kutofanya mapenzi muda mrefu ni kwamba unakuwa na hakika nani aliyekuambukiza, lakini ukianza tena kufanya mapenzi mara kwa mara, ni kama una uhakika wa asilimia kubwa kwamba upo mbioni kupata maambukizi. Ni kama mshale wenye ncha mbili, ya faida na hasara.

8. Kusahau mara kwa mara

Uwezo wa kiakili unapungua. Kusahau mara kwa mara ni tatizo kubwa ambalo mwanamke anapata asipofanya mapenzi mara kwa mara kwa sababu hii: Kufanya mapenzi inasaidia kuchangamsha mishipa iliyopo kwenye ubongo inayoitwa hippocampus ambayo kazi yake ni kutawala hisia, kumbukumbu na mfumo wa fahamu, ambayo husaidia sana kuweka kumbukumbu, lakini utambue kwamba haihusiki na kumbukumbu zako zote. Wakati unafanya mapenzi, seli mpya huwa zinatengenezwa kwenye mishipa hii, jambo linalosaidia kwenye kumbukumbu. Unapoacha kwa muda mrefu, kazi hii inakuwa haifanyiki na kusababisha kuzorotesha uwezo wako wa kumbukumbu.

Balozi wa China Ammwagia Sifa Rais Magufuli.....Kadai Nchi Nyingi Duniani Zinatamani Kuwa na Rais Kama Yeye

$
0
0
Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt.Hassan Abbas amefunguka na kusema Balozi wa China nchini Tanzania anayemaliza muda wake Lu Youqing amedai nchi nyingi duniani zinatamani kuwa na Rais kama alivyo Dkt. John Pombe Magufuli kwa jinsi anavyoongoza nchi.

Dkt. Hassan Abbas amesema hayo kupitia mtandao wake wa twitter na kusema balozi huyo amesema siyo nchi za Afrika tu zinazotamani kupata kiongozi kama Magufuli bali ni dunia nzima inapenda kuwa na mtu kama Rais Magufuli.

"Balozi wa China anayemaliza muda wake Dkt Lu aguswa na vita ya kimageuzi ya Rais Magufuli. Asema atamkumbuka kama mmoja wa mashujaa Afrika amesisitiza kuwa si Afrika tu bali hata duniani, nchi nyingi zinatamani kuwa na Rais kama Dkt. John Pombe Magufuli amedai Serikali ya Tanzania tangu Nyerere mpaka Rais Magufuli inasifika duniani kwa mageuzi makubwa" alisema Dkt.Hassan Abbas

Mrembo Faiza Ally Aibuka na Kumkimgia Kifua Diamond Platnumz...Adai Kumpenda ni Amri sio Ombi

$
0
0
Muigizaji wa filamu nchini Faiza Ally ameamua kujitokeza hadharani na kumkingia kifua Diamond Platnumz kwa kuwachana makavu wabaya wote ambao wamekuwa wakimchukia msanii huyo.

Faiza ambaye pia ni mzazi mwenzake na Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi, ameandika ujumbe katika mtandao wa Instagram kwa kudai kuwa kumpenda Diamond ni jambo la lazima na sio ombi kutokana na mengi mazuri aliyofayanya katika muziki wa Bongo Flava.

Kupitia mtandao huo Faiza ameandika:

Hivi mnajua kwamba Tanzania nzima na East Africa tunatakiwa tumpenda Diamond sana ???? Hivi hamjawaji kujiuliza kwamba toka zamani kabla ya Diamond kulikua na mziki mzuri lkn hakujawahi kuwa na ushindani kama changamoto alio leta Diamond kwenye game , sasa nasema hivi mziki mzuri peke yake hautoshi na akili kubwa inahusika , unapo kuwa huna akili ktk unalo lifanya ni sawa na mwanamke mzuri hlf hajielewi…. Leo hii kwa u star wenye akili alio uleta Naseeb wazazi wengi wanaona fursa ya mziki kupitia Diamond tofauti na miaka ya zamani, mziki ulikua unaonekana kama sio kazi lkn Leo mziki unaendesha familia nyingi, hata mm ningependa mwanangu awe mwanamziki mwenye mafanikio kama Diamond , sasa nasema hivi ku mpenda Diamond ni amri sio ombi, Diamond ni kama Obama marekani kwa watu weusi , yeye alionyesha kuwa mtu mweusi ana uwezo kwenye siasa na Diamond tanzania kaonyesha mziki unalipa na msisahau katoa vijana wengi na bado wengine wamepata ajira kupitia yeye na naona watapata wengi zaidi ! Sasa nakuomba D ufungue music school basi tuwalete watoto wetu na wenyewe wapate mkwanja kama wako maana shule sio maisha pekee mention town na vipaji navyo ni sehemu ya mafanikio ktk maisha a special kwa maisha tunayo elekea , mm nakupendaga sana na zaidi ni jitihada zako kwenye kazi ! Keep it up dogo 😉 #ZILIPENDWA

Wema Sepetu Amshukia Mtu Mtandaoni...Adai Wakumzima Hajazaliwa Bado Duniani

$
0
0
Malkia wa filamu Bongo , Wema Abraham Sepetu ametupa jiwe gizani ambalo bado halijajulikana ni kwenda kwa mtu gani na kumwambia bado wa kumshusha hajazaliwa kwani yeye alivyo ni majaaliwa kutoka kwa maulana na siyo kujitakia.

Wema ametupa jiwe hilo kupitia ukurasa wake wa Instagram na kusema kuna mtu kamuharibia siku hivyo na kumwambia kwamba yeye hakujitakia kuwa alivyo hivyo mtu huyo ajue kutofautisha.
"Wa kunizima hajazaliwa bado jamani... Alafu mjue kutofautisha kati ya Kujaaliwa na kujitakia... Alhamdulillah nyingi kwa Maulana wangu... Sikujitakia... Ni majaaliwa tu... To whom it may Concern... Kuna mtu kajua kuniharibia siku wallah..." Wema Sepetu.



Ali Kiba Afunguka 'Siwezi Ishi Maisha ya Kuigiza Umaarufu Nikifanya Hivyo Ntakuwa Nawakwaza Mashabiki'

$
0
0
Mkali wa 'Seduce Me' Ally Salehe Kiba, amefunguka na kusema katu hataweza kuishi maisha ya kuigiza umaarufu kwani anaamini watu ndiyo waliompokea kipindi akiwa hana kitu hivyo kujikweza ni kuwatengenezea watu hao hila mioyoni mwao.

Kiba alifunguka hayo wakati akitoa ushauri kwa wasanii wachanga kwa kuwaambia kwamba hakuna kitu kibaya kama kuishi maisha ya kuigiza umaarufu kwani yanakuwa siyo maisha yao  halisi.

"Watu wanashindwa kujua kuwa umaarufu wamepatiwa na watu ambao ni mashabiki zetu sisi. Sasa kuwa na pesa haimaanishi kuwa uishi kwa kuwakomesha waliokuweka hapo, usiiishi kwa kuwatengenezea watu hila mioyoni mwao. Kwanz hakuna mtu mwenye pesa. Pesa zote tunazotamba nazo ni za serikali hivyo mtu anayejifanya kwamba anapesa azifungie ndani aone jinsi ambavyo maisha yatakuwa. Hata masuala ya kuvimba ni ya kuacha kwani najua tukipata majanga tutaungana tu."

Alikiba aliongeza kuwa "Mimi nikisema niishi kistaa ukweli sijui itakuaje,  lakini kwa vile naamini mimi ni Super Star hivyo siwezi ku-act maisha kwa vile naamini yale siyo maisha yangu, ingawa wapo watu wengi ambao wanaigiza maisha hayo. Naamini kuwa kuna watu wanafanya kufurahisha mioyo yao. Lakini kama ni umaarufu Mzee  Majuto mwenyewe ni Star lakini anaishi maisha ya kawaida sana, maisha ya umaarufu siyo ya kwetu tujaribu kuishi maisha yetu ya kitanzania.

Akiwaasa wasanii wachanga Kiba amewataka wasanii hao wajifunze kupitia wakongwe wa zamani kwa jinsi ambavyo walikuwa wakiishi kwa upendo ikiwa ni pamoja na kusapotiana kwa kuonyeshana upendo na kushikana mikono.

"Natamani kuona jinsi ambavyo wasanii wa zamani walivyokuwa wakisapotiana ndivyo iwe kwa wasanii wa sasa. Mimi ni mkongwe lakini kuna wakongwe zaidi niliowakuta na hatukua na sapoti ya mitandao lakini love ya kutosha ilikuwepo. Wasanii wa sasa wanaigiza kuishi ki-staa pamoja na kuvimbiana kwa upande wangu ningewataka waache kuvimba na waweke nguvu kwenye kazi pamoja na heshima" Alikiba

SIKILIZA na Download Wimbo Huu Mzuri wa Kuabudu Unaitwa Haja ya Moyo Wangu Ulioimbwa na Regina Roberts na Maho Charles

$
0
0
 SIKILIZA na Download Wimbo Huu Mzuri wa Kuabudu Unaitwa Haja ya Moyo Wangu UlioImbwa na Regina Roberts na Maho Charles


USIKILIZA HAPA CHINI

HATIMAYE! Siku 38 Baada ya Kujifungua, Linah Kamweka Hadharani Mwanawe

$
0
0
Tangu mwimbaji wa kike wa Bongofleva Linah kujifungua mtoto wa kwanza July 25, 2017 kwa mara ya kwanza leo September 3, 2017 amepost kwenye Instagram yake picha ya mtoto huyo ambaye tangu alipozaliwa hakuwahi kufanya hivyo.

Katika picha hiyo Linah ameandika
“Hello there so y’all were curious to see my lil Angel ayt??…. Now here we go, meet Tracey Paris my beautiful princess….. @paristraceyparis@kids_cityshopping” – Linah


Shilole 'Mwanangu Anataka Kugundua Dawa ya Ukimwi'

$
0
0
Msanii Shilole ameweka wazi kile ambacho watu wengi walikuwa hawafahamu kuhusu watoto wake, na kusema kwamba mambo yake ya mitandaoni hayawaathiri na badala yake wako vizuri darasani huku mmoja wao akiwa na ndoto kubwa ya kugundua dawa ya UKIMWI

Akizungumza na mwandishi wa habari Shilole amesema pamoja na kwamba yeye hajapata bahati ya kusoma, lakini watoto wake wako makini na shule huku akiwaonya na kuwasisitiza kuwa makini, kwani iwapo watafanya vibaya watakuwa wanamuangusha kutokana na anayoyapitia kwa ajili yao, hivyo wanazingatia ipasavyo kauli ya mama yao na kutojihusisha na mambo ya mahusiano yake.

"Wanangu hawana shobo na haya mambo, wanataka niwe na furaha, ndio maana hujaona watoto wangu wameniangusha kwenye masomo kwa vitu vya kusikia kwenye mitandao, ndio kwanza wanaongoza namba moja, namba mbili, nawaambia mkifanya blanda mnaniangusha mimi, mkifanya tukio mjue mnanizika, kwa hiyo watoto wangu wapo makini na masomo kuliko kitu chochote, huyu mmoja anasoma aje kuwa dokta ili aje agundue dawa ya UKIMWI, kwa nini uliletwa, na anafanya vizuri darasani", alisema Shilole.

Shilole ambaye ana watoto wawili wote wakiwa wa kike, anasema anajisikia faraja kuona watoto wake wanapa fursa ya kufanya yale ambayo yeye hakufanikiwa kuyafanya, ikiwemo kupata elimu bora ambayo anaamini itakuja kuwasaidia baadae kwenye maisha yao.
Viewing all 104712 articles
Browse latest View live


Latest Images