Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104429 articles
Browse latest View live

Bob Junior Ajipanga Kuachia Ngoma Mpya

0
0
Bob Junior Ajipanga Kuachia Ngoma Mpya
Msanii wa muziki Bongo Bob Junior  baada ya kueleza kutofurahishwa na kitendo cha Diamond Platnumz kudai wanadai wanayo kolabo  kitu ambacho si kweli, msanii huyo amepanga kuachia ngoma yake.

Msanii huyo ameeleza kuwa anatarajia kuachia ngoma yake mpya yenye hadhi ya kimataifa na ngoma hiyo ni mwanzio tu kwani amejipanga kutoa albamu.

“Natarajia kuachia video ya ngoma yangu mpya ya ‘Give Me’ yenye hadhi ya kimataifa yani huko utakutana na viuno vyote vyote hadi kuino mbatata,” amesema msanii huyo.

Pia akaongeza kuwa “Sasa amejipanga na baada ya ngoma hiyo anatarajia kutoa ngoma nyingena na ana albamu mbili zinakuja.”




Polisi Kuchunguza Shambulio la Risasi Alilofanyiwa Tundu Lissu

0
0
Polisi Kuchunguza Shambulio la Risasi Alilofanyiwa Tundu Lissu
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto amezungumzia tukio la kupigwa risasi mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, akiwaomba wananchi wenye taarifa kulisaidia jeshi hilo.

Muroto amesema leo Alhamisi kuwa wanaendelea na uchunguzi wa tukio hilo na wameshafika eneo la tukio nyumbani kwa Lissu.

“Tunaomba mwananchi wenye taarifa atusaidie. Jeshi la Polisi tumeanza uchunguzi, tumefika eneo la tukio na tunaendelea,” amesema.

Kamanda Muroto amesema taarifa za awali zinaonyesha kuna gari aina ya Nissan lenye rangi nyeupe lilikuwa likimfuatilia Lissu.

Katika mkutano na waandishi wa habari, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Jordan Rugimbana amewataka wananchi kuwa watulivu wakisubiri taarifa za Jeshi la Polisi na madaktari wanaoendelea na matibabu ya mbunge huyo, ambaye pia ni mwanasheria mkuu wa Chadema.

Akizungumza maendeleo ya matibabu ya mwanasiasa huyo ambaye pia ni Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dodoma James Charles amesema Lissu yu hai na imara.

Amsema mbunge huyo amepigwa risasi tumboni na kwamba timu ya madaktari inaendelea na matibabu.

“Tumempokea Lissu mchana, kanuni za matibabu haziruhusu mtu mwingine asiye mtumishi kuingia chumba cha matibabu. Tuna uwezo wa kutosha wa kutoa huduma ya dharura,” amsema.

Amsema kwa sasa wanaendelea na huduma na wakikamilisha watatoa taarifa.


Rais John Magufuli Atoa Tamko Tukio la Kupigwa Risasi Tundu Lissu

0
0
 Rais John Magufuli Atoa Tamko Tukio la Kupigwa Risasi Tundu Lissu


Je Una Upungufu wa Nguvu za Kiume, Kukosa Hamu ya Tendo, Kufika Kileleni Haraka na Kushindwa Kurudia Tendo au Maumbile Madogo?

0
0
JE, UNA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME, KUKOSA HAMU YA TENDO, KUFIKA KILELENI HARAKA NA KUSHINDWA KURUDIA TENDO AU MAUMBILE MADOGO YA UUME? Tatizo la kukosa au upungufu wa nguvu za kiume limekuwa kubwa sana duniani kote. Kupungukiwa nguvu za kiume na maumbile madogo ya uume husababishwa na mambo mengi kama KISUKARI, UNENE ULIOPITILIZA, KUJICHUA (MASTER BLASHION), HOMONI kushindwa kufanya kazi ipasavyo n.k. Upungufu wa nguvu husababisha tendo la ndoa kutokufanyika kwa kujiamini na kwa usahihi na hivyo kusababisha ndoa na mahusiano kuvunjika.

BAADHI YA DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI KAMA:-
☆Kukosa hamu ya tendo la ndoa ☆Uume kusimama kwa ulegevu
☆Kuwahi kufika kileleni ☆Uume kusinyaa katikati ya tendo ☆Kushindwa kurudia tendo kwa wakati
☆Kuchoka sana baada ya round ya kwanza na hata kukinai kabisa. Kwa kutumia mimea na matunda @markson_beauty_pr Tunakuletea suluhisho la matatizo hayo hata kwa wenye "KISUKARI NA PRESSURE" kwa:-
1.HANDSOME UP ORIGINAL:- kifaa chenye uwezo wa 99% kuongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @250000@250,000/=
2.SHARK POWER ni gely ya kupaka inayoongeza uume kwa wastani wa inch 6 hadi 7 @150000@150,000/=
3.VigRX CREAM:- ni gely iliyoboreshwa mahususi kwa ajili ya kuongeza maumbile kwa wastani wa inch 6.5 hadi 8 na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @200000@200,000/=
4.Vidonge maalum kwa ajili ya kuongeza nguvu na hamu ya tendo la ndoa hata kwa wenye kisukari @150000@150,000/=
5.Spray ya kuchelewesha kufika kileleni @130000@130,000/= BIDHAA HIZI HAZINA MADHARA NA ZIMETHIBITISHWA KIAFYA. KWA BIDHAA HIZI NA NYINGINE NYINGI
TEMBELEA UKURASA WETU WA INSTAGRAM :- @markson_beauty_pr @markson_beauty_pr @markson_beauty_pr

Wasiliana nasi Popote ulipo duniani kwa (+255) 0767447444 na 0714335378

UTAPATA HUDUMA NB:Matokeo ni uhakika na garantii na hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako. < WELCOME ALL>

Hisia zangu...Diamond na Ali Kiba Mmefanya Biashara Nzuri Sana Kwenye Hili Bifu Lenu.....

0
0
Nakumbuka Kelele za Mashabiki zilikuwa nying sana kwanin Ally hajatoa nyimbo kwa takribani mwaka mzima toka alipotoka na ule mwimbo wa Aje akatoa na Remix ambayo haikuwa nzur sana kuliko ile ya kwanza
Kipind hicho Naseeb alikuwa anatoa nyimbo kila baada ya muda mfupi Mara Mdogo mdogo mara Salome akaja akafanya na Gwiji wa Rnb Neyo na ile Marry me hakika alistahili pongezi kwa jitihada za kutanua muziki wetu wa bongo flava kwenda Wordwide
Mwaka mpya ukaanza Ally bado alikuwa yuko kimya tu zaid ya kusikika kwenye nyimbo za wasanii wenzie kama Baraka na Mr Blue japokuwa bado hakukidh hitaji la Mashabiki wake.
Ally yuko chini ya Rockstar na ni mmoja wa Director wa hyo Kampuni, Naseeb yuko WCB mmiliki na muanzilish wa hyo Lebo akiwa na wasanii wake Lavalava Mavoko Rayvanny na Harmonize nk.
Mara tukasikia Fiesta inakuja hii ilichelewa ila Hisia zangu zinasema baada ya ule mgogoro wa wale watu wawili kusuluhishwa so wakapata nguvu ya Kurudsha upya Tamasha

Sasa hapo ndipo Biashara ilipofanyika kwa hisia zangu

Naseeb akatoa diss track kwenye nyimbo ya Fresh Remix,
Ally akajibu kwa Tweeter akamuita mtu Malikia wa Nguvu na mengneyo
Naseeb akarud tena na Diss track akamuhusisha na Omari Pia
Moto ukazid kuwaka na hapo ndio Omari nae akachafua hali ya hewa
Kipind wakiwa mdomon kwa Watu Ally akaamua ku release Seduce me so nyimbo inatoka na watu tayar vichwa vimewaka moto kwa Bifu lilitongenezwa
Kesho yake Naseeb nae akatoa Zilipendwa moto ukahamia You tube kwenye kushindanisha Views ambako mwisho wa Siku Ally naweza kusema alishinda hii Vita

Kwanin hii biashara imekuwa nzur kwao wote
Ally amerud kwenye midomo ya watu na amerud kwenye Tamasha akiwa na nguvu ya nyimbo mpya so ameshinda kwa upande wake
Naseeb hawez kushirik tamasha kwasababu za mikataba ila Mavoko, Rayvany na Harmonize wako kwenye Tamasha ambapo kwa WCB ni mafanikio makubwa kibiashara so Naseeb nae ameendelea kushinda kwa upande huu.

Mwisho wa siku Team zinaendlea kupigana Mitandaon kipind wao wanaendlea Kutia pesa Mfukoni

Chama cha Wanasheria Tanzania Watoa Tamko Kuhusu Shambulizi Juu ya Mbunge Tundu Lissu

0
0
Sisi Baraza la Uongozi la Chama cha Mawakili wa Tangangika (Tanganyika Law Society, TLS) tumepokea kwa mshtuko na masikitiko makubwa tukio la Rais wa chama chetu, Mh. Tundu Lissu, kupigwa risasi akiwa nyumbani kwake huko Dodoma leo hii mchana. Taarifa tulizo nazo mpaka sasa ni kwamba Mh Tundu Lissu bado yupo hospitali kuu ya Dodoma akipatiwa matibabu ya dharura. Tunamuomba Mungu azidi kumlininda na kumhifadhi Mh Tundu Lissu.

Kwa vyovyote vile, hivi sasa bado ni mapema sana kujua ni nani hasa wahusika wa tukio hili la kinyama na dhamiri yao, lakini, kwa niaba yetu na wanachama wetu, mawakili wa Tanganyika, tunalaani na kukemea vikali kitendo hiki cha kihalifu na cha uoga mkubwa.

Wito wetu kwa vyombo vya ulinzi na usalama ni kwamba wafanye kazi yao kwa umakini, haki na weledi ili kuwapata watu waliofanya unyama huu na kuwafikisha katika vyombo vya sheria ili sheria ichukue mkondo wake. Sisi kwa upande wetu tunalifuatilia suala hili kwa ukaribu, na tutaendelea kuufahamisha umma kinachoendelea.

Mwisho, tunatoa pole kwa familia ya Mh. Tundu Lissu, ndugu na jamaa zake, wanachama wetu wa Chama cha Mawakili Tanganyika na watanzania wote ambao wameguswa na tukio hilo. Tunaomba kila mmoja wetu kwa imani yake amuombee ndugu yetu Mh Tundu Lissu apone na apate nafuu haraka ili tuungane naye tena katika shughuli zetu za kila siku.
Tunawaomba wanachama na watanzania wote waendelee kuwa wavumilivu na watulivu wakati huu. Na kuujumla wetu tulaani na kukemea kitendo hiki ambacho hakikubaliki katika mila na desturi zetu kama Taifa.
Ahsanteni.

Imetolewa na
Godwin Simba Ngwilimi (Wakili), Makamu wa Rais, TLS,
Kwa niaba ya Baraza la Uongozi wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS)

Dar es Salaam

Chadema yatoa Tamko Tundu Lissu Kupigwa Risasi

0
0
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kimepokea kwa mshtuko taarifa ya kupigwa risasi mwanasheria mkuu wa chama hicho, Tundu Lissu.

Lissu ambaye pia ni Mnadhimu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni na Mbunge wa Singida Mashariki, amepigwa risasi baada ya kikao cha Bunge mchana wa leo Alhamisi.

Shambulio hilo limetokea leo mchana nyumbani kwa Lissu, Area D mjini Dodoma na sasa anaendelea na matibabu katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma.

“Chadema tunalaani vikali kitendo hicho na tunafuatilia kwa karibu hali yake,” imesema taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Uenezi, Mawasiliano na Mahusiano ya Nje ya Chadema makao makuu.

Wakati huohuo, Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umesema umepokea kwa mshtuko taarifa za kupigwa risasi Lissu ambaye pia ni Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS).

Mratibu wa mtandao huo,  Onesmo ole Ngurumwa katika taarifa amesema wanatoa pole kwa familia ya Lissu, wananchi wa Singida Mashariki, wanachama wa TLS na Watanzania kwa jumla.

Mtandao huo umewahimiza Watanzania wote kumwombea Lissu.

Katika hatua nyingine, Spika wa Bunge, Job Ndugai amewasili katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma ambako Lissu anaendelea na matibabu.                      

Pia, Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amefika hospitalini hapo ambako Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, James Charles amesema Lissu yu hai na imara.

Dk Charles akizungumza na waandishi wa habari muda mfupi uliopita amesema mbunge huyo amepigwa risasi tumboni na kwamba timu ya madaktari inaendelea na matibabu.

Mbunge wa Rombo Asimulia Jinsi Tundu Lissu Alivyopigwa Risasi

0
0
Mbunge wa Rombo, Joseph  Selasini ameeleza jinsi Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu alivyopigwa risasi nyumbani kwake mjini Dodoma.

Selasini amesema kuwa maelezo aliyopata ni kuwa alikuwa akifuatiliwa na  gari tangu anatoka bungeni na dereva wake alilishtukia.                    

Amesema kuwa alivyoona wanamfutilia alipofika nyumbani, dereva alimsihi Lissu asishuke ndani ya gari.                      

"Hao watu walipoona hawashuki walijifanya kuna kitu wanaangalia walivyoona kuna utulivu walisogeza gari lao ambalo ni tinted na kuanza kurusha risasi upande wa Lissu." amesema                    

Selasini amesema, “Risasi zilimpata mguuni, mkononi na tumboni lakini daktari anasema anaendelea vizuri."

Lissu amepigwa risasi leo Alhamisi  na kupelekwa chumba cha upasuaji katika Hospitali ya Rufaa ya Dodoma.

Tundu Lissu Apelekwa Nairobi Kwa Matibabu...Akodishiwa Ndege Binafsi

0
0
Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu ameondoka katika uwanja wa ndege wa Dodoma usiku wa leo kwenda Nairobi kwa ajili ya matibabu.

Lissu ambaye alijeruhiwa akiwa kwenye gari nyumbani kwake Area D, mjini Dodoma baada ya kushambuliwa kwa risasi na watu wasiojulika.

Mbunge wa Rombo, Joseph Selasini amesema, katika safari hiyo Lissu ameambatana na mkewe, madaktari wawili wasio na mipaka, Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe na Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa.

Selasini amesema kuwa Lissu anapelekwa katika Hospitali ya Aga Khan mjini Nairobi.

Ndege hiyo iliyombeba ya 5H-ETG imeondoka katika Uwanja wa Dodoma saa sita na robo usiku.
 

Kutana na Mtabibu wa Nyota Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH...AL_WATWAN MAFUSHO

0
0
Kutana  na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH...
 AL_WATWAN MAFUSHO

ni Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika
Anatibu kwa Njia ya Simu Ukiwa Nchi Yoyote / Mkoa wowote

..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na  Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na AL_WATWAN MAFUSHO Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU(LIMBWATA).
Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine?
Una Mpenzi wako ana Pesa na Unataka kumkamata?
Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
AL_WATWAN MAFUSHO Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia  Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA,Hutoa  PETE ZA BAHATI inayoendana na NYOTA YAKO. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.HUZUIA CHUMA ULETE NA KUKUPA DAWA YA KUONGEZA FAIDA KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA AU KUDHULUMIWA.MIGUU Kufa GANZI.
Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA.
 Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI.
Humaliza Kabisa Tatizo la Nguvu za KIUME na Kurefusha Uume kwa Saizi Unayotaka,
HUMALIZA KESI YA AINA YOYOTE NDANI YA SIKU 14. na mengi zaidi

Whatsapp +255 759 084 996

Tiba ni kwa Watu wenye Imani na Dini zote..

Zawadi ya Almasi ya Sh450 Bilioni Yaibua Mjadala....Kamati Yashindwa Kumtaja Kiongozi Aliyepewa Zawadi

0
0

Mwenyekiti wa kamati maalum iliyoundwa kuchunguza biashara ya almasi, Mussa Azzan Zungu alikuwa na ujasiri wa kutangaza zawadi ya thamani ya takriban dola 200 milioni za Kimarekani, lakini akachelea kumtaja aliyepewa badala yake akasema “kiongozi mmoja wa juu wa zamani”.

Sasa, kitendo cha kutomtaja kimeamsha mjadala kutokana na baadhi ya watu kutaka kujua jina la aliyepewa zawadi hiyo, huku wengine wakiibua suala la kuandikwa kwa Katiba mpya kuwa ndio litaondoa usiri kama huo.

Akisoma ripoti ya kamati yake, Zungu alisema kuna wakati kiongozi mmoja wa wa juu alipewa zawadi ya madini na mgodi mmoja, na kwamba thamani ya madini hayo kwa sasa ni takriban dola 200 milioni (sawa na Sh450 bilioni za Kitanzania), lakini hakufafanua wala kutaja jina la aliyepewa.

Wadau waliohojiwa na Mwananchi jana walikuwa na hisia tofauti kuhusu kitendo hicho, baadhi wakisema kamati ingeweza kumtaja lakini asichukuliwe hatua kama wengine huku baadhi wakitaka Katiba mpya iandikwe ili kunyoosha mambo.

“Inawezekana kamati haijamtaja kigogo huyo kutokana na kilichopo kwenye Katiba,” alisema mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Dk James Jesse, akirejea mazuio ya Katiba kuhusu viongozi wakuu.

Alisema inawezekana wameona hata wakilitaja jina lake, hawezi kushitakiwa wala kuhojiwa ndiyo maana wamesema kigogo.

Alisema hakuna aliyeko juu ya sheria, lakini kwa Katiba inayotumika sasa, kuna viongozi wapo juu.

“Kama ukweli na uwazi unaonadiwa sasa ambao kila mmoja anataka ufanye kazi kama inavyokusudiwa, inabidi Katiba mpya itayarishwe,” alisema.

“Lakini kwa hii Katiba iliyopo uwazi utabaki kwa baadhi ya watu, huku wengine wakiendelea kufanya wanachokitaka, tena wakiwa na uhakika kuwa hakuna wanaloweza kufanyiwa sasa na hata baadaye.”

Kwa upande wa Profesa Bakari Mohamed alisema kama kamati hiyo ina nia ya kutokomeza lililobainika ili lisijirudie, kuna haja ya kuliweka hadharani jina la kigogo huyo.

Alisema ingawa bado ni mtuhumiwa na ana nafasi ya kuhojiwa ili kuthibitisha, kama ni kiongozi wa juu itabaki kuwa siri kwa sababu Katiba imeelekeza hivyo.

Alisema kutotaja jina la aliyepewa madini hayo, kunamaanisha kamati imefanya kazi nusu na inatakiwa imalizie.

Lakini Profesa Gaudence Mpangala wa Chuo Kikuu cha Ruaha (Ruco) alizungumzia taratibu za zawadi, akisema kwa watumishi wa umma zawadi ikizidi Sh50,000 lazima iwe bayana na aliyepewa aeleze wazi.

Alisema kama huyo kigogo hakuweka wazi, anakuwa mtuhumiwa na anastahili kutajwa kama walivyotajwa wengine.

Alisema ili kukwepa mambo kama hayo ndiyo maana kuna haja ya kuwa na Katiba isiyowapa kinga viongozi wakubwa wanaoitwa majina kama hayo ya kigogo wa serikalini.

Alisema ili uwe kigogo wa serikalini, lazima uwe ni mtumishi wa umma na uwatumikie wananchi badala ya kuwa juu ya sheria, lakini kwa katiba ya sasa hao vigogo wasiotajwa ni kama wapo juu ya sheria.

Alisema ni vigumu kwa waziri kusaini mikataba mikubwa bila ya viongozi wake wa juu kuhusishwa.

Mpangala alishauri kuwa kamati ingemtaja jina muhusika, halafu kinga yake ikafanya kazi kumlinda ili wananchi wajue nini kinaendelea.

“Hii siyo sawa, kama wengine wametajwa huyo asiyetajwa ni nani?” alihoji.

JPM Aeleza Umafia Ulivyotumika Kuinasa ACACIA, Damu ya Tundu Lissu Yamwagika...Magazeti ya Leo

0
0

JPM Aeleza Umafia Ulivyotumika Kuinasa ACACIA, Damu ya Tundu Lissu Yamwagika...Magazeti ya Leo 

Mongella: Wanaume Wengi Sikuhizi Hawajui Kutongoza

0
0
 Mwanasiasa mkongwe na mwanaharakati wa zamani wa haki za wanawake na watoto, Balozi Getrude Mongella amesema vitendo vya ubakaji kwa watoto vinaongezeka kwa sababu baadhi ya wanaume hawajui ‘kutongoza’.

Akizungumza na gazeti hili jana wakati wa Tamasha la Jinsia linaloendelea kwenye viwanja vya Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), balozi Mongella alisema isingekuwa hivyo matukio hayo ya kikatili kwa watoto yangepungua kwa kiwango kikubwa.

Hii hali inaumiza, kibaya zaidi wanaoumia ni watoto wetu lakini haya yote ni kwa sababu baadhi yao wameshindwa kutongoza,” alisema. Balozi Mongella alisema ukatili wa kijinsia unaweza kupungua iwapo jamii itakubali kubadili tabia na kuwalinda watoto, ili watimize ndoto zao kimaisha.

Kwenye kijiwe cha simulizi ya maisha yake, Balozi Mongella alisema mafanikio yake kisiasa yanatokana na namna alivyolindwa tangu udogo wake hadi sasa, jambo ambalo lazima watoto wafanyiwe ili kutimiza ndoto za maisha yao.

Aliwataka wanaharakati kuweka mkakati wa kufuatilia mambo wanayoyapanga na kuyafikisha kwa viongozi wa Serikali, ili yafanyiwe kazi badala ya kurudia yaleyale kila siku.

Tuache kuparamia wenye nafasi zao, tuandae mipango yetu na tujue namna ya kuwafikishia ili wayatatue. Tushinikize kwa lugha nzuri,” alisema. Aliendelea kuwa lazima wanawake wazungumze namna ya kupambana na ukatili wa kijinsia, zikiwamo mimba za utotoni ili kutengeneza jamii iliyo sawa.

Maaskofu Nao Waanza Kuweweseka Mgao wa ESCROW, Kilaini na Eusebius Wamerudisha Mgao Waliopewa

0
0
Askofu Msaidizi jimbo la Bukoba, Mhashamu Method Kilaini pamoja na Mhashamu Eusebius Nzigilwa wa jimbo kuu katoliki la Dar es salaam wamefunguka na kutoa taarifa kuwa wameamua kurudisha mgao wa fedha za Escrow ambazo walipewa na James Rugemalira.

Viongozi hao wa dini wamesema wameamua kurudisha fedha hizo za serikali kutokana na kuwepo kwa kesi mahakamani ya kuhujumu uchumi inayomkabili James Rugemalira ambaye ndiye aliwapa fedha hizo.

Mhashamu Method Kilaini alidaiwa kupewa jumla ya fedha za kitanzania milioni 80.5 huku Eusebius Nzigilwa akidaiwa kupewa jumla ya milioni 40.4

IMEBUMA...Waliojifanya Wamelogwa Baada ya Kuiba Gari Mombasa Kumbe Matapeli

0
0
IMEBUMA...Waliojifanya Wamelogwa Baada ya Kuiba Gari Mombasa Kumbe Matapeli
KATIKA jiji la Mombasa, kuliibuka kioja cha aina yake siku ya Jumanne baada ya kuonekana  wanaume wawili walioukuwa uchi wa mnyama. Na wote walisemekana kurukwa na akili baada ya kuiba gari la mwanamke mmoja.

Video iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii nchini Kenya na Tanzania,  inawaonyesha vijana hao wakicheza kulizunguka gari waliloiba, mmoja wao akiwa amembeba nyoka shingoni, na kundi kubwa la watu likishuhudia kisanga hicho.

Ili kurudishiwa akili zao, mwanamke mganga  alidai dola 1000 za marekani sawa na shilingi 2,300,000 za Tanzania.

 Hata hivyo, baadaye polisi ilibaini kisa hicho kuwa ni uongo uliotengenezwa kwa lengo la kutapeli na kufanikiwa kuwatia mbaroni wahusika wote wanne ambao ni: wanaume wawili waliojifanya kurukwa na akili, mwanamke aliyeibiwa gari, na mwanamke aliyejifanya mganga. Pamoja na makosa hayo, mganga huyo amekutwa na shitaka jingine la kumiliki nyara za serikali bila leseni.

KUHUSU Tundu Lissu: Wema Sepetu, Diamond na Wengie Wamuandika

0
0
Jana Sept 7, 2017 Mbunge Tundu Lissu alivamiwa na watu wasiojulikna na kisha kujeruhiwa kwa risasi, sasa mastaa na watu maarufu mbalimbali wameguswa na tukio hilo na kuamua kuandika ujumbe kwenye kurasa zao za mitandao ya kijamii.

Miongoni mwao ni Diamond Platnumz, Wema Sepetu, Nay wa Mitego, Shilole na wengine.

Bonyeza Play hapa kupata taarifa kamili…

Utafiti: Usile Chakula Usiku Baada ya Saa Mbili, Mwisho Saa Kumi na Moja Jioni

0
0
Tafiti mbalimbali zimekuwa zikitoka kila siku, hivi karibuni umetoka utafiti mpya ukieleza kwamba  kuna hatari kubwa kwa mtu akila chakula kigumu usiku kwanzia saa mbili usiku.

Mtu anaweza kupata mshutuko wa moyo,shinikizo la damu ama strock.

SOMA Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo

0
0

Je Una Upungufu wa Nguvu za Kiume, Kukosa Hamu ya Tendo, Kufika Kileleni Haraka na Kushindwa Kurudia Tendo au Maumbile Madogo?

0
0
JE, UNA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME, KUKOSA HAMU YA TENDO, KUFIKA KILELENI HARAKA NA KUSHINDWA KURUDIA TENDO AU MAUMBILE MADOGO YA UUME? Tatizo la kukosa au upungufu wa nguvu za kiume limekuwa kubwa sana duniani kote. Kupungukiwa nguvu za kiume na maumbile madogo ya uume husababishwa na mambo mengi kama KISUKARI, UNENE ULIOPITILIZA, KUJICHUA (MASTER BLASHION), HOMONI kushindwa kufanya kazi ipasavyo n.k. Upungufu wa nguvu husababisha tendo la ndoa kutokufanyika kwa kujiamini na kwa usahihi na hivyo kusababisha ndoa na mahusiano kuvunjika.

BAADHI YA DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI KAMA:-
☆Kukosa hamu ya tendo la ndoa ☆Uume kusimama kwa ulegevu
☆Kuwahi kufika kileleni ☆Uume kusinyaa katikati ya tendo ☆Kushindwa kurudia tendo kwa wakati
☆Kuchoka sana baada ya round ya kwanza na hata kukinai kabisa. Kwa kutumia mimea na matunda @markson_beauty_pr Tunakuletea suluhisho la matatizo hayo hata kwa wenye "KISUKARI NA PRESSURE" kwa:-
1.HANDSOME UP ORIGINAL:- kifaa chenye uwezo wa 99% kuongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @250000@250,000/=
2.SHARK POWER ni gely ya kupaka inayoongeza uume kwa wastani wa inch 6 hadi 7 @150000@150,000/=
3.VigRX CREAM:- ni gely iliyoboreshwa mahususi kwa ajili ya kuongeza maumbile kwa wastani wa inch 6.5 hadi 8 na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @200000@200,000/=
4.Vidonge maalum kwa ajili ya kuongeza nguvu na hamu ya tendo la ndoa hata kwa wenye kisukari @150000@150,000/=
5.Spray ya kuchelewesha kufika kileleni @130000@130,000/= BIDHAA HIZI HAZINA MADHARA NA ZIMETHIBITISHWA KIAFYA. KWA BIDHAA HIZI NA NYINGINE NYINGI
TEMBELEA UKURASA WETU WA INSTAGRAM :- @markson_beauty_pr @markson_beauty_pr @markson_beauty_pr

Wasiliana nasi Popote ulipo duniani kwa (+255) 0767447444 na 0714335378

UTAPATA HUDUMA NB:Matokeo ni uhakika na garantii na hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.

< WELCOME ALL>

Fid Q Achafukwa na Wadada Wanaotegeshea Wanaume Mimba...Adai ni Ukatili na Dhuluma

0
0
Rapa Farid Kubanda 'Fid Q' ameibuka na kuwachana baadhi ya wakina dada wenye tabia ya kuwategeshea wanaume zao ili wapate watoto kwa kuwaambia hicho wanachokifanya hakina utofauti na unyanyasaji hivyo wanapaswa wabadilike katika hilo jambo.

Fid Q ameeleza hayo kupitia tinga namba moja kwa vijana EATV katika kipindi cha eNewz baada ya kuwepo wimbi kubwa la wanaume kukataa kulea watoto  wao kwa kisingizio cha kusema hakuwa wamejiandaa katika kipindi hicho kuwa walezi wa mtoto.

"Huo ni ukatili na dhuruma, ongea na mtu mkubaliane na siyo umtegeshee mwenzako ili upate mtoto. Maisha siku hizi ni magumu sana, watu wanaishi kwa mipango na ratiba kamili ya mwaka kwa lugha nyepesi naweza sema watu wanaishi kwa 'principal'. Kwa hiyo ushauri wangu kwa wakina dada acheni ukatili na mjitahidi kuongea na wenza wenu ili muweze kupata kile mnachostahili katika mahusiani yenu", amesema Fid Q.

Mbali na hilo, Fid Q amedai hata kama umri wake unazidi kusogea mbele na kuwa mzee hayupo tayari kukurupuka kuingia katika ndoa.

"Siyo kitu cha kukimbilia maana wanasemaga bora ukosee kazi kuliko kukosea mke wa kuoa, kwa sababu ukikosea kuchagua mke wa kuoa anaweza kukuharibia maisha yako yote. Kwa hiyo tayari nina 'idea' na mtu ambaye anafaa kuolewa na mimi chamsingi tu nawaomba mniombee dua za kheri, ili nasi tuone kama tutaweza kutimiza moja ya suna kubwa za binadamu", amesisitiza Fid Q.
Viewing all 104429 articles
Browse latest View live




Latest Images