Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live

Halima Mdee aitwa na Jeshi la Polisi Baada ya Kusambaza Picha ya Askari Akiwa Kenya

$
0
0
Halima Madee
Jeshi la Polisi nchini limewataka watu mbalimbali akiwemo Mbunge Halima Mdee, walioripoti kwenye mitandao ya kijamii na kusambaza picha ya askari wake akihusishwa na tukio la Tundu Lissu kuripoti kwa DCI kwa ajili ya mahojiano zaidi.

Taarifa hiyo imetolewa leo na msemaji wa Jeshi la Polisi nchini ACP Barnabas David kwenye mkutano wake na waandishi wa habari, na kuwataka watu hao akiwemo mbunge huyo wa Kawe kwa tiketi ya CHADEMA kujisalimisha wenyewe kwa kutoa taarifa za uongo.

ACP David ameendelea kwa kusema kwamba jeshi la polisi kitengo cha upelelezi wa makosa ya mtandaoni kinaendelea na uchunguzi, kuwabaini wote waliohusika na kusambaza kwa taarifa hizo za uongo ili hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yao.

Zitto Kabwe Amjia Juu Spika Job Ndugai....Adai Anawaangusha Wabunge

$
0
0
Mbunge wa Kigoma Mjini kwa tiketi ya ACT Wazalendo Zitto Kabwe amefunguka na kumjia juu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai na kusema kuwa anamsikitika sana kama haoni jeshi heshima ya Bunge inavyoshuka.

Zitto Kabwe amesema hayo leo kupitia mitandao yake ya kijamii baada ya Spika wa Bunge Job Ndugai kuagiza na kuwataka wabunge Zitto Kabwe pamoja na Saed Kubenea wa Ubungo kufika kwenye Kamati ya Maadili na Madaraka ya Bunge kuhojiwa kutokana na kauli zao ambazo wamezitoa hivi karibuni.

Kufuatia wito huo Zitto Kabwe amesema yeye atafika kwenye kamati hiyo ya maadili na Madaraka ya Bunge kama ambavyo Spika wa Bunge Job Ndugai ameagiza na kusema kuwa spika huyo kama angeweza kujua nguvu yake wala asingehaika na wabunge ambao wanakosoa kwa staha.

"Spika Ndugai anajua ninavyomheshimu kama imefikia haoni heshima ya Bunge inavyoporomoka namsikitikia. Nitakwenda Kamati ya Maadili, Ndugai amekuwa Spika wa kwanza katika historia ya nchi yetu kushuhudia mbunge anapigwa risasi mkutano wa bunge ukiendelea wabunge wazoefu tulikuwa na matumaini makubwa na spika Ndugai tulimpigania dhidi ya njama za kumhujumu kutoka Ikulu anatuangusha angejua nguvu aliyonayo kukabili udikteta unaonyemelea nchi yetu asingehangaika na ukosoaji wenye staha tunaoufanya" alisema Zitto Kabwe

Aidha Zitto Kabwe amesema kuwa Ndugai alitamani kufikia japo robo marehemu Sitta katika kuongoza shughuli za bunge lakini ameshindwa kufikia hata asilimia ya Anna Makinda.

"Kwenye mazishi ya Spika wa watu Mzee Sitta, Ndugai aliomba afike japo robo ya Sitta. Hajafika hata 10% ya Anna Makinda miaka 2 sasa hatujawahi kuwa na Spika anayedhalilishwa na Rais kwamba aliuliza wajumbe gani awaweke Kamati za uchunguzi za Bunge" alisema Zitto Kabwe

Mzee wa Upako Anena Mazito Kuhusu Waliompiga Risasi Mh. Tundu Lissu

$
0
0
Kwanza naanza kwa kusema nampa pole ndugu yangu, mTanzania mwenzangu Tundu lissu kwa majanga yaliyo mpata, mimi ni mkristo miongoni mwa mambo ambayo Yesu alisema na ni kauli yake ya mwisho ni Duniani mnayo dhiki alikuwa anamaanisha matukio kama haya kwamba kuna watu watanyimwa haki ya kuishi kwa sababu ya misimamo yao, na utu wao utapuuzwa kwa sababu ya misimamo yao, wataonewa kwa sababu ya mitazamo yao, hii ni Dunia matukio kama haya hayajaanza leo na wakati wote watekelezaji wa matukio kama haya wanaishia pabaya wakati utawahukumu. Ninacho muombea ndugu yangu apone haraka na Mungu amsaidie. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika

Je Dada Unapenda Kuwa Mrembo ? na Kaka Unapenda Kuwa Mtanashati na Kurudisha Heshima ya Ndoa?

$
0
0
JE, DADA UNAPENDA KUWA MREMBO? NA KAKA UNAPENDA KUWA MTANASHATI NA KURUDISHA HESHIMA YA NDOA? Tumia Bidhaa halisi za MARKSON kwa mafanikio ya uhakika na bila madhara.  

 Zimetengenezwa kwa mimea na matunda na kuthibitishwa kiafya.

Pata hizi
 
1. kurefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @130,000/=
2. Kuongeza shepu (hips, makalio na mapaja) kwa (a)BOTCHO MULT-PLUS 10× @200,000/=
(b)Vidonge  @180,000/=
3. Kuwa mweupe na softi mwili mzima kwa:-  (1)Mafuta  @130,000/=
(11)Vidonge @150,000/=
4. Kupunguza unene na manyama uzembe @150,000/=
5. Kuongeza uume pamoja na nguvu za kiume kwa:-
(a) Gely ya kupaka @150,000/=
(b) Vidonge kwa ajili ya kuongeza nguvu hata kwa wenye kisukari @150,000/= (c)Handsome up original >kifaa kinachoongeza maumbile kwa size uipendayo na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea  @250,000/=
6. Kuondoa mvi milele zisiludi tena @150,000/=
7. Kuongeza unene wa mwili mzima na uzito pamoja na hamu ya kula  @130,000/=
8. Kupunguza tumbo (kitambi) na nyama za pembeni kwa:-
    (a) Dawa ya kunywa au kupaka @130,,000/=
(b) Mkanda wa kawaida @100,000/=
(c) micro-computer belt unaovaibret @250,000/=
9 .Kupunguza  maziwa na kuyasimamisha @130,000/=
10. Kushepu miguu na kuwa minene na kuondoa kigimbi @130,000/=
11. Kuondoa mipasuko mwilini (michirizi) @100,000/=
12. kubana uke na kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke @120,000/=

   NB: Hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.
        Wasiliana nasi :-
(+255) 0767447444 na
          0714335378
     Follow us on instagram  @Markson_beauty_pr
@Markson_beauty_pr

Tunda la Tikiti Maji na Kuongeza Nguvu za Kiume

$
0
0
Tunda hili lina faida nyingi pamoja na kuwa ni chanzo kikuu cha Protini, Mafuta, Nyuzinyuzi, Wanga, Calcium, Phosphorus, Chuma,Vitamin A, B6, C, Potasium, Magnesium, Carotene, anthocyanins na Virutubisho vingine vingi.

Tunda hili linasaidia kuwa na uwezo mkubwa wa kuimalika kwa misuli na mfumo wa fahamu kufanya kazi zake vizuri na kukuondoa katika hatari ya kupatwa na shinikizo la juu la damu.

Tikiti maji na nguvu za kiume

Tafiti za karibuni zinasema karibuni zinaonyesha kila wanaume watatu mmoja na ana tatizo la kupungua kwa nguvu za kiume na dalili zinaonyesha idadi itaongezeka mara mbili miaka ya karibuni.

Kwa bahati nzuri madaktari na watafiti mbalimbali wameendelea kufanya utafiti juu ya suluhisho la tatizo hili kwa njia salama zisizo na madhara mengine baadaye.

Tikiti maji linasemwa kuwa ni mkuyati wa asili pia kama lilivyo parachichi. Kwenye tikiti maji kuna vitu hivi vitatu mhimu sana kwa afya ya mapenzi navyo ni ‘lycopene’, ‘beta-carotene’ na ‘citrulline’ ambavyo husaidiwa kuweka mishipa ya damu katika hali ya utulivu.

Tikiti maji ni viagra ya asili inayoweza kutumika kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa watu wa jinsia zote mbili bila kukuacha na madhara yoyote mabaya.

Kwenye tikiti maji hasa mbegu zake kuna kitu kingine kinaitwa ‘L-arginine’ ndicho ambacho huhusika na kuongeza nguvu za kiume. Mbegu za tikiti maji zimeonyesha matokeo mazuri katika kuimarisha nguvu za kiume hata kwa wazee kabisa.

Unachohitaji ni kula tikiti maji kila siku sambamba na mbegu zake na hutakawia kuona tofauti.

Faida nyingine 27 za tikiti maji kiafya

Asilimia 92 yake ni maji
Vitamini A ndani yake huboresha afya ya macho
Vitamini C ndani yake huimarisha kinga ya mwili
Huponya majeraha
Hukinga uharibifu wa seli
Huboresha afya ya meno na fizi
Vitamini B6 husaidia ubongo kufanya kazi vema
Hubadilisha protini kuwa nishati
Chanzo cha madini ya potasiamu
Husaidia kushusha na kuponya shinikizo la juu la damu
Hurahisisha mtiririko wa damu mwilini
Huondoa sumu mwilini
Huongeza nguvu za kiume hasa ukila pamoja na mbegu zake
Tunda zuri kwa mwenye Kisukari aina ya pili
Husafisha figo
Huzuia na kutibu kansa mbalimbali
Tunda zuri kwa mwenye ugonjwa wa moyo
Huzuia na kutibu pumu
Hutibu tatizo la kufunga choo
Hufanya ngozi ing’ae
Huhamasisha kuota nywele
Husaidia kupunguza uzito
Huimarisha mifupa
Husaidia kuponya vidonda na majeraha
Huzuia madhara yasitokee katika seli
Huzuia ugonjwa wa baridi yabisi ya moyo (heart stroke)
Hutibu kiseyeye (scurvy)

By Fadhili Paul

Ukijaliwa Kuwa Msichana Mzuri na Mrembo Usidhani Kamwe Utatetemesha Kila Mwanaume

$
0
0
Ukijaliwa kuwa Msichana mzuri na mrembo,usidhani utatetemesha kila Mwanaume, kuna wanaume na akili zao kichwani,urembo wako hauwasumbui kama bichwa lako ni kanyaboya,uzuri wako hausaidii kitu,na utashangaa no one is paying attention,watu utakaowapata ni walewale kanyaboya wenzako, na hawana futuretabaki unaliwa bure kila siku unatoa macho.

Ukipata mwanaume anakupenda unaanza drama zako na kupiga watu danadana,madai yako hujali na unadhani hata akiondoka utapata mwingine kisa wewe ni mzuri, la hasha Mwanaume akijitoa mhanga kukupenda kwa uzuri wako mheshimu,maana viumbe wa kike wakiwa wazuri ni shida na matatizo hakuna mtu anataka,sasa ukimwongezea na drama pamoja na yeye kujigeuza mpalestina kwako utajikuta umeolewa na kioo cha chumbani kwako,maana hicho ndo kinakudanganya sana kwamba we ni mrembo.

Watch out drama zina mwisho, leo unacheza na mioyo ya watu unajiona we kifaa usidhani wanaume hawaumii..tunaumiasema hatusemi tu,machozi yetu kama ya samaki.

Jinsi ya Kuongeza Uzito au Unene Bila Kudhuru Mwili Wako

$
0
0

Jinsi ya Kuongeza Uzito au Unene Bila Kudhuru Mwili Wako
Kuna wakati mtu unajiona wazi kuwa uzito wako upo chini na pengine ungehitaji ungeongezeka kidogo uzito na unene wako kwa ujumla.

Tuachane na wale wanaotaka kuongeza sehemu za kukalia na mapaja kwanza, nitaleta dawa kwa ajili hiyo siku nyingine. Nazungumzia mtu anayetaka kuongezeka uzito na unene wa mwili kwa ujumla.

Hivyo kama shida yako ni namna gani unaweza kuongeza uzito na unene wa mwili wako bila madhara yoyote mabaya basi soma pole pole mpaka mwisho hii makala.

Hii makala pia ni msaada kwa wale wanaotaka kuongeza misuli ya miili yao na kuonekana wenye kupendeza zaidi.


Nini maana ya kuwa na uzito pungufu?

Kuwa na uzito pungufu ni kuwa na BMI (Body Mass Index) chini ya 18.5. Huu ni uzito ambao mwili hauwezi kuhimili kuwa na afya nzuri.

Wakati kuwa na BMI ya zaidi ya 25 ni uzito ulio juu na zaidi ya 30 ni uzito uliozidi zaidi au unaweza kusema ni utipwatipwa.

BMI hupatikana kwa kugawa uzito wako na kipeuo cha pili cha urefu katika mita. Mfano mimi nina uzito wa kg 80 na urefu wa mita 1.84 ili kupata BMI yangu nazidisha 1.84 mara 1.84 = 3.3856 kisha nagawa na uzito wangu, hivyo kg 80/3.3856 unapata BMI ya 23.62 ambayo ni ya kawaida (normal).

Hata hivyo kuna udhaifu juu ya mzani wa BMI kwakuwa wenyewe unaangalia tu uwiano wa uzito na urefu bila kuangalia uwingi wa misuli mtu anaweza kuwa nayo.

Baadhi ya watu ni wembamba sana na bado wana afya nzuri tu. Kuwa na uzito pungufu kwa mjibu wa BMI siyo lazima mara zote imaanishe una afya mbovu.

Kuwa na uzito pungufu ni jambo la kawaida sana kwa wasichana na wanawake.

Nini madhara ya kuwa na uzito pungufu?

Kuwa na uzito pungufu inaweza kuwa ni jambo baya kwa afya yako kama ilivyo kwakuwa na uzito uliozidi.

Kwa mjibu wa utafiti mmoja, kuwa na uzito pungufu kulihusishwa na hatari ya zaidi ya asilimia 140 ya vifo vya ujanani kwa wanaume na asilimia 100 kwa wanawake.

Katika utafiti huu kuwa na uzito uliozidi kulihusianishwa na asilimia 50 tu ya vifo vya mapema, hii inamaanisha kuwa na uzito pungufu ni hatari zaidi kwa afya yako kuliko kuwa na uzito mkubwa.

Utafiti mwingine ulionyesha kuwa na ongezeko la hatari ya vifo vya mapema kwa wanaume zaidi walio na uzito pungufu na siyo kwa wanawake, hii inaonyesha kuwa chini ya uzito pungufu ni hatari zaidi kwa wanaume kuliko kwa wanawake.

Kuwa na uzito pungufu pia kunaweza kuwa sababu ya kushuka kwa kinga ya mwili, kuongezeka kwa maambukizi, magonjwa ya mifupa na mipasuko ya mifupa, na kusababisha matatizo ya ugumba na uzazi kwa ujumla.

Watu wenye uzito pungufu pia wanaweza kupatwa na tatizo la kupotelewa na mishipa na kuwa na hatari kubwa ya kupatwa na ukichaa.

Kinachosababisha mtu kuwa na uzito pungufu

Zipo sababu nyingi zinazoweza kupelekea ukapungua uzito.

Hizi ni mojawapo ya sababu hizo:


  • Matatizo kwenye tezi ya Thyroid: Ikitokea tezi hii inafanya kazi sana kuliko kawaida basi kunatokea mfumo wa mmeng’enyo wa chakula kufanya kazi sana kuliko kawaida na matokeo yake ni kupungua kwa uzito.
  • Kisukari: Hasa kisukari aina ya kwanza
  • Maambukizi: ya magonjwa kama kifua kikuu nk
  • Kushuka kwa kinga ya mwili
  • Saratani
  • Kupoteza hamu ya kula

Ikiwa unajiona una uzito pungufu ni vizuri kuonana na daktari kwa uchunguzi zaidi ili kubaini nini inaweza kuwa ndiyo sababu hasa ya tatizo kwa upande wako.

Ni mhimu kuonana na daktari ana kwa ana hasa kama imekutokea kushuka uzito wako kwa ghafla kwa kiasi kikubwa bila kuwa umefanya lolote la kupunguza uzito.

Jinsi ya kuongeza uzito au unene bila kudhuru mwili wako

Kama unataka kuongeza uzito na unene basi ni mhimu kwamba unafanya jambo hili kwa njia salama ambazo hazitakuletea madhara baadaye.

Kunywa soda, kula maandazi au chipsi za vibandani ni vitu vinaweza kukuongezea uzito na unene kwa haraka lakini wakati huo huo vinaweza kuharibu afya yako.

Kama uzito wako upo chini ni mhimu kuzingatia umhimu wa kuongeza uzito sambamba na misuli na siyo kuongezeka uzito pamoja na tumbo au kitambi.

Wapo watu wengi tu wenye uzito sawa na bado wanaugua kisukari aina ya pili, ugonjwa wa moyo na matatizo mengine ya kiafya yanayohusiana na uzito kuwa juu.

Hivyo ni mhimu kwamba bado unaendelea kula vyakula vyenye afya na kuishi maisha yenye afya kila siku.


 Tuangalie sasa njia za kuongeza uzito na unene kwa haraka bila kuharibu afya yako:

1. Kula zaidi


Jambo la mhimu unaloweza kulifanya ili kuongeza uzito ni kula zaidi ya unavyohitaji mwili wako. Bila hivi ni vigumu kuongezeka uzito.

Kama ulikuwa unakula mara 2 au 3 kwa siku sasa anza kula mpaka mara 5 kwa siku. Muda wote tumbo liwe limejaa. Siyo kiasi cha kuwa kero lakini kuwa makini.

2. Kula zaidi vyakula vyenye protini


Lishe moja mhimu zaidi katika kuongeza uzito ni ile yenye protini kwa wingi ndani yake.

Mishipa inatengenezwa na protini na bila kuwa na protini ya kutosha sehemu kubwa ya nishati ya mwili huishia kuwa mafuta.

Tafiti zinaonyesha kuwa wakati unaongeza kiasi cha chakula unachokula, lishe yenye protini nyingi kile kiasi kinachozidi huweza kubadilishwa na kuwa misuli ya mwili.

Hata hivyo elewa hili tena, chakula chohcote chenye protini nyingi huwa na uwezo wa kukupunguzia njaa au hamu ya kutaka kula chakula.

Hili linaweza kukuletea shida tena kuendelea kula zaidi kama moja ya mahitaji mhimu ili kuongeza uzito na unene kwa ujumla.

Hivyo wakati ukiendelea na lishe yenye protini ni mhimu pia kuongeza mbinu za kuongeza njaa ili uendelee kula zaidi.

Vyakula vyenye protini kwa wingi vinajumuisha nyama, maharage, mayai (mayai ya kienyeji) maziwa freshi, karanga, mbegu za maboga (kama unahitaji mbegu za maboga zilizokaangwa tayari kwa matumizi niachie ujumbe WhatsApp +255769142586), samaki, korosho nk.

Hivyo protini ni mhimu ili kutengeneza misuli na mishipa kwa ujumla, kula protini ya kutosha ni mhimu ili kuongezeka uzito unaobaki kama misuli na siyo mafuta.

3. Kula zaidi wanga na mafuta



Kula kwa wingi vyakula vyenye wanga na mafuta kama shida yako ni kuongezeka uzito na unene. Ni vizuri katika mlo ule vya kutosha vyakula vyenye wanga, mafuta na protini kwa matokeo mazuri zaidi.

Vyakula vyenye wanga kwa wingi ni pamoja na viazi vitamu, ugali wa dona, wali, mkate, chapati, maandazi, tambi (pasta), maembe, viazi mviringo (chipsi), ndizi, tende, pizza,  nk.

Mafuta mazuri yanapatikana katika parachichi na mafuta yake, mafuta ya zeituni, siagi ya karanga, mayai, mafuta ya samaki, mafuta ya nazi, mafuta ya mawese, ufuta na mafuta yake nk

Hakikisha unakula mara 3 mpaka 5 kila siku mlo wa aina hii.

4. Kula vyakula vyenye nguvu zaidi

Ugali wa dona

Ni mhimu tena kula vyakula vya asili zaidi na vyenye nguvu zaidi. Kama ni ugali kula ugali wa dona na si sembe, kama ni mkate kula mkate wa unga wa ngano ambayo haijakobolewa.

Kwa kifupi tu usile vyakula vilivyokobolewa au vya madukani kama unataka kuongezeka uzito na unene kwa njia salama kwa afya yako.

Pia ongeza viungo zaidi kwenye hivyo vyakula ili kuongeza hamu ya kutaka kula zaidi. Ongeza iliki au mdalasini na viungo vingine vitakavyokufanya upende kula zaidi hicho chakula.

Kula zaidi vyakula hivi kwa kupata nguvu zaidi; lozi, jozi, korosho, karanga, tende, zabibu kavu, maziwa freshi, mtindi, mafuta ya zeituni, parachichi, nyama ya kuku wa kienyeji, nyama ya ng’ombe, nyama ya nguruwe, nyama ya mbuzi, viazi, viazi vitamu, siagi ya karanga nk

Vingi ya hivi vyakula vina kawaida ya kukupotezea njaa na hamu ya kula hivyo itakulazimu wakati mwingine kujilazimisha tu ili ule zaidi kwa siku.

Pia siyo wazo zuri kula sana mboga za majani kama shida yako ni kuongeza uzito hii ni kwa sababu zitaziba nafasi inayohitajika kukaliwa na vyakula hivi vyenye nguvu zaidi. Pia matunda iwe kidogo labda tunda moja tu hasa parachichi au ndizi moja tu basi.

5. Nyanyua vitu vizito



Ili kujihakikishia kuwa hicho kiasi cha chakula ulichoongeza kula kinakwenda kwenye misuli na si kukuletea mafuta na pengine tumbo au kitambi ni mhimu ufanye mazoezi ya kunyanyua vitu vizito.

Nenda gym na unyanyuwe vyuma mara 3 mpaka 4 kwa wiki, anza na uzito mdogo na uongeze uzito kidogo kidogo kadri unavyoendelea.

Kama shepu yako ipo nje kabisa yaani haieleweki ni vizuri ukafanya mazoezi hayo ukiwa na mwalimu wa kukuelekeza kwa matokeo mazuri zaidi.

Ni vizuri pia kuonana na daktari kama una tatizo lolote la uti wa mgongo au mifupa kwa ujumla kwa ushauri mzuri zaidi kabla hujaanza mazoezi haya.



Mambo mengine 10 mhimu zaidi

Pamoja na mbinu tano hizo hapo juu, ni mhimu kuzingatia yafuatayo kwa matokeo mazuri zaidi na ya haraka:

1. Usinywe maji kabla ya chakula. Kunywa maji kabla ya kula kutafanya tumbo lako liwe limejaa na hivyo kuziba nafasi ya chakula ambacho ndiyo mhimu kwa ajili ya kalori zinazohitajika ili uongezeke.

2. Pata usingizi wa kutosha kila siku. Kupata usingizi wa kutosha na mtulivu kila siku ni mhimu ili uweze kunenepa na kuongeza uzito na kukua kwa misuli, tena ukiweza lala nyakati za mchana masaa mawili.

3. Kula mboga za majani mwishoni. Kama unapokula utakuwa na mboga za majani pia basi hizi ule mwishoni baada ya kuwa umekula protini, wanga na mafuta na hii inaenda pia kwa matunda.

4. Acha sigara. Wavutaji wengi huwa na uzito pungufu, acha kuvuta sigara pia bangi na tumbaku yoyote. Mara nyingi ukiacha tu kuvuta utaona afya yako inaimarika na kuongezeka sana

5. Ridhika. Kama unataka kunenepa na kuongezeka uzito basi uwe mtu wa kuridhika.

Nikuambie tu maisha ndiyo haya haya na furaha ya kweli haipo kwenye mali, usisubiri mpaka uwe tajiri ndiyo uwe na furaha, kila siku ukiamka salama shukuru Mungu ni neema tu na zawadi umeamka salama.

Kumbuka tulikuja watupu na hakuna tutakachoondoka nacho.



Kuongezeka uzito linaweza kuwa siyo jambo rahisi kwa wengine

Hii inaweza kuwa ni kwa sababu baadhi ya watu miili yao inaweza kuwa imejiwekea kikomo fulani cha uzito wa kuubeba ambapo hujisikia vizuri zaidi katika uzito huo kuliko zaidi.

Utakapojaribu kwenda juu au chini kidogo ya kiwango hicho cha uzito ambao mwili wako umejiamulia utaona tu njaa yako inapunguzwa au kuongezwa pia mfumo wako wa mmeng’enyo wa chakula nao utawekwa sawa ili kusiwepo na kuongezeka wala kupungua kwa mwili wako.

Utakapojaribu kula zaidi tegemea mwili wako kukupunguzia hamu ya kutaka kula na kuongeza nguvu katika mfumo wa mmeng’enyo wa chakula, hili hufanywa na ubongo wenyewe ukisaidiwa na homoni ijulikanayo kama ‘leptin’.

Kwahiyo tegemea kazi hii kuwa siyo rahisi kwa baadhi ya watu na hivyo ni mhimu kujilazimisha zaidi ili kufikia lengo lako.

Mwisho wa siku jambo hili linahitaji muda na siyo jambo la siku 2 au 3 hata hivyo ukiwa na nia hakuna linaloshindikana.

 By Fadhili Paul

Mbinu Mpya za Wanawake wa Siku Hizi Wanao Saka Ndoa Kwa Nguvu

$
0
0
Siku ya kwanza atakuja na chupi 2, moja anaifua anaacha bafuni,nyingine anavaa asubuhi anaondoka...

Siku ya 2 anakuja na khanga,anaivaa usiku, asubuhi anaianika nyuma ya mlango anaondoka...

Siku ya 3 anasahau pete na hereni juu ya meza anakwambia 'Hny nitunzie nimesahau hereni zangu
mezani'

Siku ya 4 anakuja na nguo 2 na vipedo vya kubadilisha na viatu pea 2,anavua high heels anaweka kwenye Shoe rack, asubuhi anaondoka na flat shoes kwenda chuo..

Baada ya mwezi chumba chako kinakuwa na vitu kadha wa kadha,na ole wako uvihamishe alipoacha, kesi zinaanza...

Hao ndo Wanawake wa kileo, akija na begi zima si utamuuliza Vipi mwenzangu na utamkimbiza...Anahamia taratibu..

Mwisho wa siku dressing table yako iliyokuwa ina perfume na mafuta ya Rays inakuwa imejaa
hereni na 'Foundation'... My Brother,huna haja ya kuuliza, NDO KASHAHAMIA HUYO....Kifuatacho utaambiwa,''Honey I miss my days',

 Zamani nilijua ni Simu za mkononi tu ndo zina Missed Calls, Siku hizi kuna Missed days,ukiambiwa hivi tu jua imekula kwako,inawindwa ndoa...

Kutana na Mtatibu Wanyota za Binadamu Duniani Kote Maalim Fadhili Rashid Kutoka Comoro

$
0
0
KUTANA NA MTABIBU WANYOYA ZA BINADAMU DUNIANI KOTE MAALIM FADHILI RASHIDI KUTOKA COMORO

KWA SASA YUPO TANZANIA MAALIM FADHILI RASHIDI ANA IWEZO WAKUJUWA JAMBOLAKO NAKULI TATUWA KWAMUDA MFUPI

MAALIM FADHILI RASHIDI ANAJUWA UMEHANGAIKA SANA LAKI HUJAFANIKIWA MUONE HARAKA AKUSAIDIE

MAALIM FADHILI RASHIDI NI BINGWA WAKUTIBU MARADHI SUGU KAMA VILE MIGUU KUUMA MIGUU KUWAKA MOTO

KISUKARI VIDONDA VYATUMBO PUMU TEZI NA UVIMBE TUMBONI PUMU ANA UWEZO WAKURUDISHA MTU ALIE POTEA KIMAZINGIRA

(MSUKURE) KUMFANYA MKE MUME MPENZI ASIKUSALITI DAWA YA (LIMBWATA) KUMTAWALA MPENZI WAKO UNAVYOTAKA

KUMUONA MBAYA WAKO LIVE KWASABABU MAALUM ANATOWA PETE YA BAHATI INAYO ENDANA NA NYOTA YAKO ITAKAYO KULETEA PESA BILA YA MASHARITI YEYOTE

NAKUMILIKI MALIZA MAJINI KWAYULE ANAE HITAJI DAWA YAKUONGEZA UUME ZAIZI UIPENDAYO DAWA YA NGUVU ZA KIUME ANAYO

DAWA YA KUONGEZA HIPSI SHEPU KUWA NA UMBO BOMBA KAMA UMEIBIWA AMA KUDHURUMIWA UTARUDISHIWA MALIYAKO NDANI YA MASA (24)

ANAFUNGA KESI NAKUPATA HAKIYAKO DAWA YAMVUTO WABISHARA KUUZA MALIYAKO KWA HARAKA KUZUIYA CHUMA ULETE

KUSAFISHA NYOTA NAKUONDOA MIKOSI NA KUPANDISHWA CHEO KAZINI ACHAKUTESEKA NJOO UWONE MIUJIZA YA MAALIM FADHILI RASHIDI

CALLING+255719362806/ +255763276239

KWA WHATSAPP IMO +255785786436

Mrembo Vera Sidika wa Kenya Anafuata Nyayo za Alikiba

$
0
0
Mwanamitandao na video vixer kutoka nchini Kenya, Vera Sidika ameamua kufuata nyayo za msanii wa muziki kutoka Tanzania Alikiba kwa kuto kuwa na mtu yoyote anayemfuatilia kwenye mtandao wa kijamii.


Akaunti ya Vera

Ukitazama  akaunti ya Instagram ya mrembo huyo ambayo ni mpya ina watu 16k wanomfuatilia,  Vera ameamua kufuta watu wote aliokuwa nao upande wa following siki chache zilizopita.


Akaunti ya Alikiba

Akaunti ya mtandao wa Instagram wa hasimu wake, Huddah Monroe ilikuwa verified na huwenda naye mrembo huyo anapigania kupata nafasi kama hiyo baada ya kudukuliwa akaunti yake ya mwanzo.

Polisi Wamenihoji Kuhusu Watu Wasiojulikana Kama Naweza Kuwatambua – Dr Mashinji

$
0
0
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Vincent Mashinji amesema polisi wamemhoji wakitaka kujua kuhusu kauli zake za watu wasiojulikana kama anaweza kuwatambua.

“Watu wasiojulikana ambao tulikuwa tunawaongelea ni kwamba, imezoeleka kwa polisi kuna pokuwa na tukio kubwa wanasema watu wasiojulikana, kwa hiyo lengo langu lilikuwa ni kuita wananchi kurudi kwenye Polisi Jamii ili kuondokana na hili la watu wasiojulikana,” amesema Dk Mashinji.

Katibu mkuu huyo wa Chadema, leo Jumatatu ameamua kwenda kuripoti Makao Makuu ya Jeshi la Polisi jijini hapa.

Taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Chadema, Tumaini Makene ilisema Dk Mashinji aliambatana na wasaidizi wake kutoka makao makuu ya chama hicho.

“Katibu mkuu amewasili Makao Makuu ya Jeshi la Polisi, jijini Dar es Salaam, kuitikia wito wa Polisi uliotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto, kuwa anatakiwa kufika Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI)” amesema.

Awali, jana Jumatatu Dk Mashinji alisema hawezi kwenda kuripoti kwa kuwa hakuambiwa siku maalumu ya kwenda.

Kamanda Muroto alimtaka Dk Mashinji afike ofisi ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai mkoani Dodoma au ofisi kama hiyo iliyopo Kituo Kikuu cha Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam ili kutoa ushirikiano kwa jeshi hilo kuhusu tukio la kushambuliwa kwa risasi Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu.

“Nina taarifa za kuitwa Polisi, lakini haziko ‘specific’. Ni wakati wowote naweza kwenda? na hawajasema nikaripoti wapi. Kwa hiyo, wakinihitaji watakuja kuniambia,” amesema Dk Mashinji akizungumza na Mwananchi leo.

Lissu alipigwa risasi na watu wasiojulikana Septemba 7 mchana alipokuwa akielekea nyumbani kwake Area D mjini Dodoma.Ambapo kwa sasa Lissu anaendelea na matibabu katika Hospitali ya Aga Khan jijini Nairobi, Kenya.

Tohara ni Jambo la Hiari Kwa Mwanaume...Akina Mama Washawishini Waume Zenu– Dkt Kigwangalla

$
0
0
Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto tohara ni jambo la hiari kama ilivyo matibabu mengine yote .

Dkt Kigwangalla maeyazungumza hayo leo Bungeni mjini Dodoma, wakati akijibu hoja za wabunge bungeni ambapo amesema kuwa wizara yake iliweka mikakati ya kubaini mikoa ya kipaumbele ambayo haina utamaduni wa kutahiri.

Kwasababu tohara ni jambo la hiari kama lilivyo matibabu mengine yote ni lazima mtu atoe ridhaa yake ili aweze kufanyiwa tohara na haiwezi hata siku moja kuwa jambo la lazima na kwa mpango huo serikali haina kigugumizi kwa jambo hili lakini naomba Mhe. Spika nitoe rai kwa kina mama wote kutumia fursa ya kuwashawishi wenza wao kutafuta wakati muafaka kuzungumza na wenza wao kwa heshima na upendo wa hali ya juu wale wakina baba ambao wanashirikiana nao tendo la ndoa ambao hawajafanyiwa tohara,” amesema Dkt Kigwangalla.

Hii itasaidia wanaume wao wenyewe kwa hiari yao kwenye vituo vinavtoa kwenye vituo vinavyotoa huduma za tohara kwasababu Mhe. Spika tohara inapunguza virusi vya Ukimwi kwa kiwango cha 60% sio kiti kidogo ni kitu kikubwa.Kwahiyo ni muhimu sana kwa wakina baba wakafanyiwa tohara na wakina mama watumie fursa watumie fursa.”

Mwimbaji Avril wa Kenya Akanusha Kwamba Hajatafunwa na Diamond Platnumz

$
0
0
Dah! Huyu Diamond wenu Watanzania kweli kidume maana kwa jinsi huwa namuonea wivu kwa huyo Zari wake....Aisei hatulii, mara kamtia mimba yule msanii waliyeshiriki naye kwenye wimbo wa 'Salome', mara kapiga kule mara kapiga huku, yaani anakatiza nchi zote hizi akitawala kwa hawa warembo wote.

Sasa huyu Avril naye ameanza mikanusho...


Avril explained why she agreed to be a video vixen for Diamond Platnumz' single Kesho. In an interview with Kiss FM's Chito for the Maloko Show, Avril also talked about her new exciting music project featuring A Pass, and her life in the public eye.

The song has already become an online favourite in just three weeks.

Avril said that after starring in Diamond's song, she has maintained a friendship with him. Before she releases a song, she seeks Diamond’s approval, because she values it so much, but made it clear their relationship is all music-based.

She said: “Everyone thought Diamond and I dated and others thought I was now a video vixen, but it was all music, and even up to date, we chat. I send him a track before I release a song because I value his opinion."

Avril said she could not understand why the Kenya Wildlife Board picked a Ugandan musician, Eddy Kenzo, as their brand ambassador.

She said: "In my music, I always try and paint the picture of Kenya, and so as a Kenyan, I would be best placed to show appreciation of the country, as compared to an outsider, who doesn't even speak Kiswahili. I hope one day they will use a Kenyan to represent Kenya."

Mchekeshaji MC Pilipili Amepata Ajali na Kulazwa Bugando

$
0
0
Mchekeshaji maarufu nchini, Emmanuel Mathias maarufu Mc Pilipili amepokewa katika kitengo cha dharura cha Hospitali ya Rufaa Bugando, Mwanza baada ya kupata ajali mkoani Shinyanga.

Ofisa uhusiano wa hospitali hiyo, Lucy Joseph amethibitisha kupokewa Mc Pilipili na amesema taarifa zaidi kuhusu hali yake zitatolewa baadaye.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Simon Haule akizungumzia ajali hiyo, amesema Mc Pilipili alikuwa akimkwepa mwendesha baiskeli katika Kijiji cha Bubiki, Kata ya Mondo mkoani humo.

Amesema mchekeshaji huyo alikuwa akiendesha gari lililopata ajali akiwa na abiria mmoja ambaye naye amepata majeraha.

Katibu Muhtasi wa Kampuni ya Pilipili Events, Stella Maswenga amesema wamepokea taarifa za ajali hiyo leo Jumanne jioni.

“Bado tunahangaika, nafikiri wamepoteza kila kitu kwa maana simu zao hazipo hewani, pia hatuna taarifa zozote kuhusu wao zaidi ya kuambiwa wamewahishwa Bugando,” amesema.

Maswenga amesema Mc Pilipili alialikwa mkoani Shinyanga kwa ajili ya kusherehesha harusi wikiendi iliyopita na alikuwa akisafiri kuelekea Mwanza.

Shambulio la Tundu Lissu Lazidi Kuwaponza Wabunge..Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Septemba 13

$
0
0

Shambulio la Tundu Lissu Lazidi Kuwaponza Wabunge..Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Septemba 13

Man U, PSG, Barcelona na Chelsea Zilivyoua Ligi ya Mabingwa Ulaya....

$
0
0

MAN U, PSG, BARCELONA NA CHELSEA ZAUA LIGI YA MABINGWA ULAYA

MANCHESTER United imerejea kwa nguvu katika Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Basel, kama ilivyo kwa wababe wa Hispania, Barcelona waliopata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Juventus. Msimu wa 2017/18 wa michuano hiyo hatua ya makundi ulifunguliwa usiku wa kuamkia leo ambapo kulikuwa na mechi nyingi kwenye viwanja tofauti huu vigogo wengi wakiibuka na ushindi.


MANCHESTER UNITED 3- 0 BASEL
Ikicheza kwenye uwanja wake wa Old Traff ord, United ilipata ushindi huo muhimu katika Kundi A, mpira ukiwekwa wavuni na Marouane Fellaini dakika ya 35 na Romelu Lukaku dakika ya 53, mabao yote yakifungwa kwa kichwa huku Marcus Rashford akitokea benchi na kuifungia timu yake bao la tatu. Katika mchezo huo, kiungo wa United, Paul Pogba aliyekuwa nahodha wa kikosi chake aliumia dakika ya 19 na kutolewa kisha nafasi yake ikachukuliwa na Fellain. Mchezo mwingine wa kundi hilo Benfi ca imekubali kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa CSKA Moscow.

CELTIC 0-5 PARIS SAINT GERMAIN
Licha ya kuwa ugenini, PSG ilifanya kweli kwa ushindi huo mnono ikiongozwa na Neymar aliyefunga dakika ya 19, Kylian  Mbappe (34) na Edinson Cavani (40). Mikael alijifunga katika dakika ya 83, huku Cavani akirudi tena kambani na kuifungia timu yake dakika ya 85. Mchezo mwingine wa kundi hilo la B, Bayern Munich ilipata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Anderlecht.

BARCELONA 3-0 JUVENTUS
Ikiwa Uwanja wa Camp Nou, Barcelona ilianza vizuri michuano hiyo kwa kuwachapa vigogo wa Italia, Juventus wafungaji wakiwa ni Lionel Messi (45, 69) na Ivan Rakitic (56) katika mchezo wa Kundi D. Aidha Olympiacos ilipata kichapo cha mabao 3-2 kutoka kwa Sporting CP katika kundi hilo.

CHELSEA 6-0 QARABAG FK
Matajiri wa London, Chelsea walipata ushindi huu mnono katika Kundi C wafungaji wakiwa ni Pedro Rodriguez (16), Davide Zappacosta (30), Cesar Azpilicueta (55), Tiemoue Bakayoko (71), Michy Batshuayi (72 na 82), Kipute kingine cha kundi hilo Roma na Atletico Madrid zilitoka 0-0. Mechi nyingine kali za michuano hiyo zinatarajiwa kuendelea leo lakini mechi kubwa ni Liverpool na Sevilla, Spurs vs Dortmund, huku Madrid akicheza na Apoel.

Je Unajua Kuwa Nyama ya Nguruwe ni Hatari kwa Afya Yako?

$
0
0
Je Unajua Kuwa Nyama ya Nguruwe ni Hatari kwa Afya Yako?
Nchini Tanzania nyama ya nguruwe ni maarufu katika maeneo mbali mbali ya starehe na imepewa majina mengi ,kama vile mkuu wa meza, kiti moto na mengineyo mengi.
Hata hivyo utafiti wa kisayansi kutoka chuo kikuu cha kilimo cha sokoine ( SUA), umebaini kuwa walaji wa nyama ya nguruwe wako katika hatari ya kupata magonjwa kama vile kifafa kutokana na mnyoo Tegu uliopo kwenye nyama ya nguruwe.
Mwandishi wa BBC Maximiliana Mtenga amezungumza na mtafiti wa magonjwa ya binadamu na wanyama Dkt. Boa Mathias Emanuel kutoka chuo kikuu cha SUA, na kwanza amemuuliza ueneaji wa ugonjwa huu.

Wabunge Watatu Uso kwa Uso na Magufuli Kutoa Mjibu ya Kutajwa Katika Ripoti za Ufisadi

$
0
0
Wabunge Watatu Uso kwa Uso na Magufuli Kutoa Mjibu ya Kutajwa Katika Ripoti za Ufisadi
 Mwenyekiti wa CCM, Rais John Magufuli anawasubiri wabunge watatu kujibu maswali kwa nini majina yao yamekuwa yakitajwa mara kwa mara katika ripoti zinazohusu ufisadi katika nyadhifa walizowahi kusimamia serikalini.

Hatua hiyo inawaweka wabunge hao kwenye wakati mgumu na kuna uwezekano wa kutopitishwa tena kwenye vikao vya juu ndani ya chama hicho katika mchakato wa uchaguzi mkuu 2020, licha ya kukubalika majimboni.

Wabunge hao ni Andrew Chenge (Bariadi), William Ngeleja (Sengerema) na Profesa Sospeter Muhongo (Musoma Vijijini).

Wabunge hao walitajwa katika sakata la Tegeta Escrow kwa tuhuma tofauti huku Chenge akionekana tena katika sakata la ununuzi wa rada alikolazimika kujiuzulu uwaziri wa Miundombinu katika serikali ya awamu ya nne iliyoongozwa na Rais Jakaya Kikwete.

Kwa upande wao, Ngeleja na Profesa Muhongo wametajwa pia katika sakata la makinikia ya madini kupitia nafasi zao kama mawaziri wa zamani wa Nishati na Madini. Hatua hiyo iko mbioni kuchukuliwa kama utekelezaji wa ahadi ya mwenyekiti huyo wa CCM.

Akizungumza wakati wa kukabidhi ripoti ya Tanzanite na almasi, Spika wa Bunge, Job Ndugai alionyesha kusikitishwa na wanasiasa hasa wabunge ambao wamekuwa wakitajwa katika ripoti nyingi za ufisadi, lakini bado wanarejea bungeni kwa kuchaguliwa.

Alisema pamoja na wabunge hao kutajwa kwenye matukio ya namna hiyo wakirudi majimboni wanachaguliwa na wananchi kwa kuwa wao hawajui tabia zao.

“Vyama vya siasa vinawapitisha, wanashinda ubunge na wakija mimi nitawaapisha na juzi Profesa Lipumba (Ibrahim) kaniletea wapya nimewaapisha,” alieleza Ndugai.

Baada ya kauli hiyo, Rais Magufuli alisema ni kweli kuna watu wametajwa kwenye ripoti nyingi na wakiwa bungeni wamekuwa wakichangia hoja kwa nguvu zote. Rais Magufuli alimuuliza Ndugai kama bungeni hawana utaratibu wa kuwashughulikia watu wa namna hiyo au hata kubadili kanuni ili waweze kushughulikiwa.

Hata hivyo, alisema kwa kuwa yeye ni mwenyekiti wa CCM anasubiri barua ya Spika na ikiwafikia watawashughulikia kwa mujibu wa miiko ya chama huku akiamini na vyama vingine navyo vitafanya hivyo.

Hoja ya kuwabana wanasiasa wenye tuhuma za ufisadi ziliibuka baada ya wanasiasa wengi hasa wabunge kutajwa kwenye ripoti mbalimbali zilizochunguza tuhuma za ufisadi. Wabunge wa CCM waliotajwa katika ripoti hizo na ambao hawana nafasi serikalini kwa sasa ni Ngeleja, Profesa Muhongo na Chenge. Wakati wa kashfa ya Escrow, Ngeleja, Chenge na Victor Mwambalaswa (Lupa-CCM) walilazimika kujiuzulu uenyekiti wa kamati mbalimbali za Bunge baada ya kutuhumiwa kupokea mgawo wa fedha za Escrow.

Ngeleja alidaiwa kupokea Sh40.4 milioni, Chenge Sh1.6 bilioni na Mwambalaswa alidaiwa kuwa na mgongano wa kimaslahi. Mbunge mwingine ni Profesa Anna Tibaijuka (Muleba Kusini) aliyedaiwa pia kupokea Sh1.6 bilioni katika mgawo wa Escrow na kulazimika kujiuzulu uwaziri wa Nyumba na Maendeleo na Makazi.

Kuhusu Chenge

Chenge alitajwa katika kashfa ya ununuzi wa rada ambayo ilimlazimu kuachia uwaziri. Rada hiyo ilinunuliwa kutoka kampuni ya BAE System ya Uingereza kwa Dola40 milioni mwaka 2001, kiwango kilicholishtua hadi Bunge la Uingereza.

Katika uchunguzi wa suala hilo kupitia Serious Fraud Office (SFO), ilibainika kuwa Chenge aliyekuwa mwanasheria mkuu wakati biashara hiyo ikifanyika alikuwa na akaunti kwenye kisiwa cha Jersey iliyokuwa na zaidi ya Dola1 milioni (sawa na zaidi ya Sh1.8 bilioni kwa kiwango cha sasa).

Katikati ya kashfa ya sakata hilo, Chenge aliyekuwa ziarani China akiwa na Rais Kikwete aliporejea aliwaambia waandishi waliomzonga kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kuwa fedha hizo ni “vijisenti”. Hata hivyo, baadaye aliitisha mkutano na waandishi wa habari na kujitetea kuwa ni mwadilifu, mtu safi na hakutenda kosa katika kashfa hiyo.

Pili, Chenge alitajwa kwenye sakata la Escrow akidaiwa kupokea Sh1.6 bilioni kutoka kwa wamiliki wa IPTL.

Akizungumzia kashfa hiyo, mbunge huyo aliyekuwa mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti alisema kwa kilugha kuwa yeye ni ‘nyoka wa makengeza’.

Mbali ya kuwa waziri wa Miundombinu kati ya 2006-2008, pia aliongoza Wizara yaa Ushirikiano wa Afrika Mashariki mwaka 2006.

Pia Chenge aliwahi kupewa jukumu la kuongoza Kamati ya Maandishi ya Bunge Maalumu la Katiba iliyoandaa Katiba Inayopendekezwa.

Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee alijaribu kumtaja waziwazi kuwa anahusika katika mikataba yenye matatizo, lakini mwanasheria huyo wa zamani alimzima kwa kuomba mwongozo na kumtaka Spika amlazimishe awasilishe ushahidi wa anachokisema, la sivyo aache kuchafua watu.

Tambua Kilichoendelea Baada ya Msimu wa UEFA 2017/18 Kuanza Rasmi

$
0
0
Tambua Kilichoendelea Baada ya Msimu wa UEFA 2017/18 Kuanza Rasmi
Msimu wa UEFA 2017/18 umeanza rasmi usiku wa kuamkia leo kwa michezo nane kupigwa huku mambo mbalimbali yakijitokeza zikiwemo rekodi kwa baadhi ya timu pamoja na wachezaji.

Nyota wa Barcelona Lionel Messi kwa mara ya kwanza amefanikiwa kumfunga golikipa wa Juventus Gianluigi Buffon baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa Barcelona wa mabao 3-0. Katika mchezo huo Buffon ametimiza michezo 117 ya UEFA.
Manchester United walikuwa wanarejea kwenye michuano hiyo baada ya kuikosa msimu uliopita na mshambuliaji wake mpya Romelo Lukaku ameingia kwenye orodha ya wachezaji waliofunga katika mchezo wao wa kwanza wa UEFA baada ya kupachika bao moja dhidi ya FC Basel.

Muunganiko wa washambuliaji wa PSG Mbappe, Cavan na Neymar wanaounda 'MCN' wameendelea kufumania nyavu kwa pamoja baada ya kuilaza Celtic 5-0 huku Kylian Mbappe akiweka rekodi ya kuwa mchezaji mdogo zaidi kufikisha mabao 7 katika michuano hiyo.
Chelsea kwa mara ya kwanza imefunga mabao 6 chini ya kocha Antonio Conte baada ya kuifunga Qarabag mabao 6-0. Bayern Munchen wameweka rwekodi ya kushinda michezo 14 mfululizo ya ufunguzi wa hatua ya makundiiiii

Huu Hapa Utaratibu Mpya wa Hospitali ya Taifa Muhimbili

$
0
0
Huu Hapa Utaratibu Mpya wa Hospitali ya Taifa Muhimbili
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imeanzisha utaratibu maalumu wa taarifa za nje kwa wagonjwa na ndugu wanaofika hospitalini hapo.

Hatua hiyo imeelezwa inalenga kupambana na ‘vishoka’ wakiwemo madaktari feki.

Utaratibu huo unahusisha wahudumu katika maeneo mkakati ambao wanavaa vizibao vya kijani vyenye maneno ‘Ask Me’ upande wa nyuma na mbele yakisomeka ‘Niulize Mimi’ ili inapotokea mtu anataka kuuliza ahudumiwe kwa urahisi na kupata maelekezo kwa usahihi.

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano kwa Umma Muhimbili, Aminiel Aligaesha amesema wana eneo kubwa la kutoa huduma, hivyo wateja wamekuwa wakihangaika wanapofika hospitalini hapo na matokeo yake wengine huishia mikononi mwa vishoka.

“Tumeweka utaratibu maalumu wa ‘Niulize Mimi” mahsusi kwa ajili ya kuwaelekeza watu mahali pa kwenda, hii itasaidia kuwaondolea usumbufu wateja na kuondoa vishoka, wakiwemo madaktari feki,” amesema.

Aligaesha amesema wanasikiliza pia maoni na malalamiko ya wateja na kuyatafutia ufumbuzi.

“Ikumbukwe pia, hapa Muhimbili tuna taasisi nne na wateja walikuwa wanachanganya taasisi hizo hivyo kuwaweka watu hao ni kuhakikisha mteja anapata kile anachokitaka kwa wakati,” amesema.


Viewing all 104785 articles
Browse latest View live




Latest Images