Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104429 articles
Browse latest View live

Utajuaje Mke au Mpenzi Wako Amefika Kileleni

0
0
Wanawake wengi wanatabia ya kudanganya kuwa wamefika kileleni kumbe hata kileleni kwenyewe hajuwi ni wapi.

Mara nyingi wanatumia mbinu ya kudanganya kama wanafika kileleni kwa kupiga kelele za kimahaba na wapo ambao huongea kabisa, utawasikia “ooh bebi I’m coming”. Hapo mwanaume utajiona dume la mbegu kumbe “hutoshi”. Wakati mwingine wanaume wanapata taabu sana kujua kama ni kweli wamewaridhisha na kuwafikisha wake zao au la.

Dalili 5 zitakazokuonyesha sasa anafika kileleni:

1. UTAONA MISULI YA UKE WAKE INAKAZA NA KUACHIA:

Mwanamke anapokaribia kutaka kufika kileleni utaona misuli kuzunguka uke kama inakaza na kuachia hivyo hivyo kwa sekunde kadhaa na utaona wazi mheshimiwa akibanwa na kuachiwa hivi. Ni wakati huu mwanaume hatakiwi afike kileleni kwani atamwacha mwenza wake pabaya sana.

Kadri mwanamke anavyokaribia kufika kileleni ndivyo na kasi ya kukaza na kuachia kwa misuli ya uke kutakavyokuwa wake kunaongezeka.

Kitendo hiki cha uke kumbana na kumwachia mzee kitaendelea kwa kujirudia rudia mpaka mwanamke amefika kileleni.

2. UKE UTAZIDI KULOA MAJI:

Hapa sasa unaweza kuwa na uhakika kwamba ameshafika mlimani kabisa. Haya maji maji au utelezi kidogo unatokea hapa ndiyo tunaweza ni kukojoa kwa mwanamke na hapo ndiyo na yeye anakuwa amefika kilelelni kama vile manii yanavyomtoka mwanaume anapofika kileleni. Kwahiyo wanawake nao huwa wanakojoa katika tendo la ndoa na ndiyo wakati huo yeye huhisi raha ambayo ni vigumu kuielezea.

G-spot inapopata msuguano wa kutosha hapo mwanamke ataweza kukojoa. G-Spot ni sehemu ipo sehemu ya juu ya uke wa mwanamke inch 2 kutoka juu kwenye mlango wa uke. Hamu hii ya kutaka kukojoa wanawake wengi huipata katikati ya tendo la ndoa, wengine wanaweza kuipata wakati wa maandalizi kama mwanaume anajuwa kuichezea vizuri G-spot ya mwanamke.

G-spot inapopata msisimko wa kutosha, inatoa taarifa kwa homoni ya kike kutengeneza hayo majimaji yakiwa tayari. Mwanamke utajisikia kutaka kukojoa na ukijiachia ili yatoke yatapitia kwenye urethra kama mkojo lakini sio mkojo bali ni majimaji ya kufika kileleni.

Wanawake wengi wakati wa kupeana raha na utamu kuna muda huwa wanajisikia kama kukojoa na wanaomba wakakojoe lakini kumbe ni majimaji ya kufika kileleni. Unashauriwa wakati mwingine kabla ya kushiriki tendo la ndoa ukojoe kabisa ili kibofu chako cha mkojo kiwe kitupu ili katikati ya tendo ukisikia kukojoa ujue unakaribia kufika kileleni. Kwahiyo jiachie na uwe huru lii uweze kupata raha na utamu wa kufika kileleni.

Si wanawake wote wanaweza kutoa majimaji mengi, kama ikitokea hujatokewa na hali hii usijisikie vibaya bali ujuwe kuwa upo katika kundi la wale wanawake ambao wakifika kileleni uke wao huwa unazidi kuloa badala ya kutoa maji kama mkojo kabisa.

3. MIGUNO NA MAKELELE YA KIMAHABA VITAONGEZEKA:

Hapa uwe makini kidogo. Wapo wanawake wao huwa na kelele wakai wote tangu mnaanza mpaka mnamaliza, mwanamke wa namana hii anaweza kumchanganya mwanaume asiye mjanja kutambua hizi ni kelele za kufika kileleni au ni kelele za kawaida tu.

Wanawake wengi wamedanganya waume zao kwa kutumia mtindo huu na mwisho wa siku huwa hata hawajafika kileleni. Utaweza kujua kuwa anadanganya pale kelele au miguno yake ikiwa katika mpangilio unaoeleweka kwa mfano (oooh yeah,oooh yeah,ooh yes kama cd iliyorekodiwa, hapo ujuwe unadanganywa).

Kelele za kufika kileleni mara nyingi huwa hazieleweki na wala huwa hazina mpangilio maalumu. Kwa kawaida kelele huwa za undani kidogo zikiambatana na lugha ya mwili inayoendana na makelele au miguno anayoitoa. Kinyume na hapo ujue anakudanganya.

4. CHUCHU HUANZA KUWA NGUMU:

Kwa kawaida mwanamke anapokuwa anazidi kupata hamu ya tendo la ndoa matiti yake huvimba kutokana na ongezeko la kasi ya mzunguko wa damu katika mwili wake, lakini chuchu zake huwa zinakuwa za kawaida. Hata hivyo kuna baadhi ya wanawake chuchu zao zinakuwa ngumu pale matiti yakivimba (hawa ni wachache sana).

Hivyo ni mhimu ujue mapema kabla hata tendo la kupeana raha na utamu halijakolea. Pale mwanzoni tu unapokuwa unapashana nae joto, jaribu kuzigusa au kuziminya chuchu zake taratibu kama ukiona ni laini halafu baadae katikati ya tendo zikabadilika zikawa ngumu, basi ujue upo uwezekano ama ulifanikiwa kumfikisha kileleni au alikaribia kufika lakini hakufanikiwa. Ikiwa umezikuta ngumu tokea mwanzoni basi huwezi tena kuzitumia chuchu kama dalili ya kukujulisha kuwa amefika kileleni au bado.

5. LUGHA YA MWILI:

Hapa anaweza kuwa anahema haraka haraka kwa sababu ogani zake za ndani na mishipa yake vitakuwa vinahitaji oksijeni zaidi ili aweze kufika kileleni salama.

Hivyo hivyo atazidisha kujikunjakunja, kujinyonganyonga au kujisogeza kwako. Kama atakuwa ametulia tu ujue bado hivyo ongeza bidii.

Unaweza kuona pia mikono yake anaikunjakunja hata kufinya shuka.

Kama mpo kwenye staili ile ya kizamani wengine hupenda kuiita ‘kifo cha mende’ utashangaa ghafla anaanza kukumbatia na kukushikilia kwa nguvu, heee kama kucha zake ndefu anaweza kukuachia alama kadhaa mgongoni au kifuani wakati mwingine anaweza akashindwa kujizuia akakung’ata kabisa!!!

Sababu za Mwanamke Kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa na Suluhisho lake

0
0

Sababu za Mwanamke Kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa na Suluhisho lake
Hili ni tatizo ambalo nimekuwa nikiulizwa mara nyingi sana na wanawake wengi kwa muda sasa na mwanzoni nilikuwa nalichukulia poa lakini kadri siku zinavyoenda naendelea kuona wengi zaidi wakizidi kunitafuta kwa ajili hii.

Wapo ambao wameshakuja hata kuniona kwa macho kwa ajili ya tatizo hili. Kweli unaweza ukadhani ni utani lakini ni tatizo linalozidi kuongezeka katika jamii yetu miaka ya sasa.

Na tatizo linakuwa baya zaidi kama linatokea ndani ya ndoa, kwani sababu hasa ya ndoa ni hiyo, kama ni kupika mwanaume anaweza kula hotelini au hata kujipikia mwenyewe kama ni kufua siku hizi kuna mashine za kufulia zinazotumia umeme nk nk

Na kama kuna jambo linaweza kuharibu ndoa yako taratibu bila wewe mwanamke kujua basi ni kumnyima haki ya ndoa mwenza wako kwa kisingizio cha eti huna hamu ya kushiriki tendo la ndoa!

Hili linapokutokea jaribu kufanya kila uwezalo ili uweze kurudi kwenye hali yako kama mwanzo.

Ni jambo la kawaida kabisa kumkuta mwanaume akinunua dawa ya kuongeza nguvu au hamu ya kushiriki tendo la ndoa lakini ni kinyume kwa wanawake.

Hata hivyo kuna ongezeko kubwa la kina mama wanaopungukiwa na hamu ya kutaka kushiriki tendo  la ndoa na wengine wanalichukulia ni jambo la kawaida jambo ambalo ni hatari kwa mahusiano yako na mwenza wako.

Kama una umri wa miaka 45 kushuka chini na unapatwa na tatizo hili, somo hili lina msaada mkubwa kwako katika kukabiliana na tatizo la kukosa hamu ya kutaka kushiriki tendo la ndoa.



Sababu za mwanamke kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa

1. Ugomvi kwenye mahusiano
Kugombana kila mara na mwenza wako ndiyo namna rahisi kabisa inayoweza kuua hamu yako ya kutaka kushiriki tendo la ndoa.

Unapokuwa na hasira au umechukizwa na mwenza wako basi tendo la ndoa ndilo jambo la mwisho kabisa linaweza kukujia kichwani mwako.

Kuepuka hili jitahidi kupunguza ugomvi kwenye mahusiano yako na kama tayari yapo basi muwaone washauri wa ndoa yenu au hata viongozi wa dini na mfikie muafaka wa tofauti zenu.

Mheshimu mwenza wako na usimchukulie poa. Lolote unaloona linasababisha ugomvi kati yenu jaribu kuliweka mbali kama unataka kusonga mbele katika huo uhusiano wenu.

2. Mfadhaiko wa akili (stress)
Haijalishi nini chanzo cha stress yako. Mfadhaiko wowote wa akili unaweza kupelekea mwanamke kupungukiwa hamu yake ya kutaka kushiriki tendo la ndoa kwa haraka zaidi.

Mfadhaiko wa kama mbona sipati ujauzito, maisha magumu, kusimamishwa kazi ghafla nk vyote hivi vinaweza kukupunguzia hamu ya kutaka kushiriki tendo la ndoa haraka sana.

Mfadhaiko wa akili pia unaweza kukupelekea ukajihisi kuchoka sana jambo ambalo hupelekea kukosa hamu ya tendo kirahisi zaidi.

Tafuta namna ya kuondokana na hii mifadhaiko haraka bila kuathiri afya yako ya mapenzi. Hakuna lisilo na suluhisho, jitahidi pia usikae na tatizo lako peke yako, ongea na watu utapata tu majawabu ya yanayokusibu.

3. Pombe na uvutaji sigara
Pombe na hata sigara vyote vinasemwa hupunguza hamu yako ya kutaka kushiriki tendo la ndoa kadri unavyoendelea kuvitumia kwa muda mrefu.

Wakati kiasi kidogo cha pombe kinaweza kisiwe kibaya sana lakini kinapozidi lazima kitaleta madhara katika jambo hili. Wakati upande wa sigara haijalishi ni kiasi gani unatumia ili kubaki na afya yako nzuri ya mapenzi unashauriwa uache tu sasa hivi.

Kuongea ni rahisi kuliko kutenda si ndiyo? Unahitaji kujua kwanini unapenda kuvuta na ubadili sababu hiyo na kitu kingine kizuri. Mfano kama unavuta sababu unajisikia mpweke basi jaribu kwenda kwenye viwanja vya michezo na ujumuike na watu wengine. Pamoja na hayo hakuna lisilowezekana kama ukiamua.

4. Dawa za uzazi wa mpango
Dawa za uzazi wa mpango zinasemwa huwa zinashusha usawa wa homoni mhimu kwa mwanamke ijulikanayo kama ‘testosterone’ kwenye mwili wako na mwisho wa siku hamu yako ya kushiriki tendo la ndoa lazima itashuka.

Ongea na daktari wako kama unahisi matumizi ya dawa za uzazi wa mpango yanaweza kuwa yanahusika na kushuka kwako kwa hamu ya tendo la ndoa kuona namna nyingine mbadala nzuri ya kukusaidia kupanga uzazi wako.

5. Ufanisi mdogo wa mwanaume
Kama mwanaume ataendelea kutokumridhisha mwenza wake kwa muda mrefu mfululizo hili linaweza kupelekea mwanamke husika kupungukiwa hamu yake ya kutaka kushiriki tendo la ndoa.

Hili likitokea mwanamke uwe na akili sana juu ya namna ya kumwambia hilo mwenza wako lasivyo unaweza kuharibu kila kitu bila kujua. Usimwambie mwenza wako eti huna nguvu au huwezi kazi hivi macho kwa macho.

Kuna namna ya kuwasilisha jambo hilo kwa mwenza wako kwa namna ambayo haiwezi kumumiza. Ni vizuri pia umjulishe hilo kwani kukaa kimya pia kutaleta madhara makubwa zaidi kwa uhusiano wenu lakini tumia akili unapomjulisha.

6. Historia mbaya ya mapenzi siku za nyuma
Historia mbaya kuhusu mapenzi siku za nyuma inaweza kupelekea mwanamke akapoteza hamu ya kushiriki tendo la ndoa.

Wanawake ambao wamewahi kubakwa siku za nyuma, wamewahi kutendwa vibaya na wapenzi wao au kufanyiwa vitendo vyovyote vibaya kuhusu mapenzi siku za nyuma wanaweza kupoteza hamu ya kushiriki tendo la ndoa kirahisi zaidi.

Kutibu hili unahitaji kuonana na daktari mtaalamu wa saikolojia kwa msaada zaidi na tatizo lako litaisha.

7. Kujiona siyo mrembo vya kutosha
Siku hizi wanawake wanahangaika kuongeza makalio au hata matiti yao ili tu waonekane ni warembo zaidi.

Kutokujiona wewe ni mrembo vya kutosha kunaweza kukupelekea ukaishiwa hamu ya kutaka kushiriki tendo la ndoa.

Unatakiwa tu ujikubali kama ulivyo kama vile ulivyoumbwa na Mungu. Kila mwanaume ana sababu zake za kukupenda, wanaume wengine wanavutiwa tu na jinsi ulivyo na ubongo mzuri na akili yenye utulivu na siyo sura yako wala makalio yako.

Isitoshe hizo ni sababu za muda tu, utazeeka unadhani utaendelea kubaki hivyo miaka yote? Hivyo jikubali na amini yupo mtu anakupenda hivyo jinsi ulivyo.

Hakuna jambo baya kama kujidharau mwenyewe binafsi, wewe endelea kuwa kama ulivyo yupo mtu kwa ajili yako.

8. Baadhi ya magonjwa
Magonjwa kama Kisukari, Shinikizo la juu la damu, magonjwa ya moyo, vidonda vya tumbo, maumivu wakati wa tendo la ndoa na kansa yanaweza kupelekea mwanamke akapoteza hamu ya tendo la ndoa.

Magonjwa haya pia yanaweza kupelekea kubadilikabadilika kwa homoni za kike. Hivyo ikiwa umebainika na magonjwa haya ni mhimu upate matibabu yake kwanza ili uweze kurudi katika hali yako ya kawaida.

9. Ujauzito na kunyonyesha
Homoni huwa zinabadilikabadilika wakati wa ujauzito na wakati wa kunyonyesha, Jambo hili linaweza kuathiri hitaji lako la kutaka kushiriki tendo la ndoa.

Ujauzito unaweza kukufanya ujisikie umechoka sana na kukupelekea usijisikie hamu ya kutaka kushiriki tendo la ndoa. Punguza baadhi ya kazi ukiwa mjamzito na umfikirie zaidi mwenza wako.

Ukiwa unanyonyesha pia ni vizuri ukiwa na wasaidizi kwa ajili ya baadhi ya kazi zako ili kukupunguzia uchovu.

10. Uzee
Wakati mwanamke anafikia ukomo wa hedhi kwenye miaka 40 hivi homoni ijulikanayo kama ‘estrogen’ hushuka chini kwa kiasi kikubwa sana.

Kushuka kwa homoni hii pamoja na mambo mengine pia husababisha uke kuwa mkavu muda mwingi jambo linaloweza kupelekea maumivu wakati wa tendo la ndoa na hivyo kushuka kwa hamu moja kwa moja.

Unaweza kuwa unapakaa mafuta ya asili ya nazi au jeli ya aloe vera freshi ili kupunguza madhara haya yaletwayo na umri.

Wapo wanawake ambao kwa asili wao huwa na kiasi kidogo cha hamu cha kutaka kushiriki tendo la ndoa, lakini inapokutokea hamu hiyo inashuka ghafla na kwa kiasi kikubwa ni mhimu kutafuta ushauri wa kitaalamu ili kukabiliana na hali hiyo.



Vyakula vinavyotibu tatizo la mwanamke kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa

1. Parachichi

Parachichi hujulikana pia kama mkuyati wa asili. Parachichi ni dawa ya asili ya kuamsha hamu ya tendo la ndoa. Hapa Tanzania maparachichi yanapatikana kwa wingi sana mkoa wa Kilimanjaro na hata Mbeya pia.

Parachichi lina potasiamu, vitamini B6, folic acid nk, vitu hivi vitatu ni mhimu sana katika kuongeza hamu ya kutaka kushiriki tendo la ndoa kwa mwanamke.

Potasiamu husaidia kuongeza ufanisi wa kazi wa tezi ya ‘thyroid’ ambayo yenyewe husaidia kuongeza hamu ya kutaka kushiriki tendo la ndoa kwa mwanamke kama itakuwa ipo kwenye usawa wake mzuri.

Vitamini B6 huhamasisha uzalishwaji wa homoni za kiume na ‘folic acid’ ni mhimu katika kuwezesha umeng’enywaji na kuweka sawa usawa wa protini mwilini.

Kula parachichi moja kila siku. Unaweza pia kunywa juisi ya parachichi kikombe kimoja kila siku ukiongeza asali vijiko vikubwa viwili ndani yake.

2. Ndizi



Ndizi ni tunda zuri na tamu sana, lina potasiamu na vitamini B kwa wingi viinilishe ambavyo ni mhimu ili kuamsha hamu ya tendo la ndoa na uzalishwaji wa homoni ya ‘testosterone’ kwa ujumla.

Ndizi huongeza nguvu ya mwili kwa ujumla ikiwemo nguvu za kushiriki tendo la ndoa kwa wanaume pia kwa wanawake.

Kwenye chakula chako kila siku hakikisha haikosekani ndizi ili kujitibu tatizo hili la kukosa hamu ya tendo la ndoa.

3. Mayai



Mayai yana vitamini B6 na B5 vitamini ambazo ni mhimu katika kupunguza mfadhaiko (stress) mwilini.

Mayai hayaongezi tu hamu ya kutaka kushiriki tendo la ndoa bali pia husaidia kuweka sawa homoni mwilini mambo mawili mhimu sana katika kukufanya uwe na afya nzuri ya mapenzi.

Kula mayai mawili mpaka matano kila siku. Kumbuka mayai ya kuku wa kienyeji ndiyo yanafaa kwa ajili hii na siyo ya kisasa.

Kama ni ya kukaanga basi yasiive sana kwani viinilishe vyake vinaweza kupotea kama utakausha sana kwenye moto wakati unapika.

4. Asali yenye mdalasini



Jaribu na uone tofauti! Changanya vijiko vikubwa vitatu vya asali yenye mdalasini ndani ya glasi moja ya maji ya uvuguvugu na uache mchanganyiko huo kwa dakika 15 hivi.

Kunywa nusu glasi asubuhi kabla ya chakula cha asubuhi na nusu nyingine kabla ya kwenda kulala kwa siku kadhaa hata wiki kadhaa.

Kwenye lita 1 ya asali ongeza vijiko vikubwa vitano vya mdalasini ya unga na ukoroge vizuri kabla ya kuutumia. Uhifadhi mchanganyiko huu kwenye bakuli kubwa ili iwe rahisi kuukoroga tena vizuri kila unapotaka kuutumia.

5. Vyakula vyenye vitamini C

Vitamini C huongeza hamu ya kushiriki tendo la ndoa

Vitamini C husaidia kuweka sawa mzunguko na msukumo wa damu kwenye ogani mbalimbali mwilini, hivyo hakikisha unapata vyakula hivi kila mara.

Unga wa majani ya mlonge una vitamini C kwa wingi kuliko kitu kingine chochote chini ya jua. Vingine vyenye vitamini C kwa wingi ni pamoja na juisi ya machungwa, juisi ya limau, mapera nk

Vitamini C husaidia kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke.

6. Vyakula vyenye madini ya chuma kwa wingi

Kwa upande wa wanawake kwa mfano kiasi kidogo cha madini ya chuma mwilini kinaweza kupelekea tatizo la kuishiwa hamu ya tendo la ndoa, kukosa msisimko, kukosa maji maji  ukeni na hata kutokufika kileleni kirahisi.

Spinachi ina madini chuma kwa wingi, pia mbegu za maboga, dagaa, unga wa majani ya mlonge nk. Tafuta vyakula vingine vyenye madini haya na utumie mara kwa mara.

7. Viazi Vitamu


Viazi vitamu vina vitamini A na potasiamu kwa wingi. Potasiamu husaidia kuweka sawa shinikizo la damu kwa jinsia zote mbili.

Kula viazi vitamu mara moja moja ili kukabiliana na tatizo hili.

8. Tikiti maji


Tikiti maji linasemwa kuwa ni mkuyati wa asili pia kama lilivyo parachichi. Kwenye tikiti maji kuna vitu hivi vitatu mhimu sana kwa afya ya mapenzi navyo ni ‘lycopene’, ‘beta-carotene’ na ‘citrulline’ ambavyo husaidiwa kuweka mishipa ya damu katika hali ya utulivu.

Tikiti maji ni viagra ya asili inayoweza kutumika kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa watu wa jinsia zote mbili bila kukuacha na madhara yoyote mabaya.

Kula tikiti maji kila siku na unapokula tafuna na mbegu zake kwa matokeo mazuri zaidi.

9. Kungumanga na karafuu

Kungumanaga huongeza hamu ya tendo la ndoa

Viungo hivi viwili huondoa sumu mwilini kirahisi zaidi jambo ambalo ni zuri kwa afya yako kwa ujumla ikiwemo kuongeza hamu ya kushiriki tendo la ndoa.

Katika utafiti uliochapishwa na jarida la ‘BMC Complementary and Alternative Medicine’ imebainika wazi kwamba viungo hivi viwili kungumanga na karafuu husaidia kuongeza hamu ya tendo la ndoa huku vikiondoa tatizo la harufu mbaya mdomoni.

Vyote viwili vinaweza kutafunwa moja kwa moja kiasi kidogo kila siku au kuongezwa ndani ya vyakula na chai.

Karafuu huongeza hamu ya kushiriki tendo la ndoa

10. Lozi (Almonds)

Kuongeza hamu ya kushiriki tendo la ndoa

Lozi zina madini ya zinki kwa wingi, Vitamini E, selenium na mafuta yenye afya vitu ambavyo ni mhimu sana katika kuamsha hamu ya kutaka kushiriki tendo la ndoa na kuimarisha afya ya uzazi kwa ujumla.

Kula lozi kila siku kujitibu na tatizo hili.

11. Maji ya kunywa



Maji ni uhai. Bila kunywa maji ya kutosha kila siku ni sawa na kwenda dukani bila hela mfukoni. Maji yanahusika na kila kazi ndani ya mwili wako kuanzia kuweka sawa homoni zako, kuondoa uchovu sugu, maumivu ya kichwa, kuondoa tatizo la kuwa na uke mkavu nk

Kila siku kunywa maji ya kutosha lita 2 mpaka 3.

12. Mazoezi ya viungo 



Kama unasumbuliwa na hili tatizo mazoezi ni mhimu sana kwako kila siku. Hii ni kwa sababu mazoezi husaidia kuweka sawa homoni zako na kukuondolea mfadhaiko kirahisi zaidi.

Tatizo wanawake wengi hamfanyi mazoezi labda mpaka uambiwe na daktari, mazoezi ni mhimu kwako kama ilivyo chakula.

Kama uzito wako upo juu nayo inaweza kuleta shida kwani uzito ukiwa juu homoni nazo huwa hazipo sawa. Fanya mazoezi ya kukimbia kidogo kidogo (jogging) kila siku kama una uzito uliozidi.

13. Badili mikao na staili

Kama kila siku unatumia mkao au staili ya aina moja tu inaweza kukupelekea ukaanza kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa. Mapenzi ni ubunifu na ubunifu unahitajika kwa pande zote mbili.

Tatizo wanawake wengi aibu nyingi na uwoga wa kuonekana ni wahuni kwa wenza wao lakini katika hali ya kawaida hakuna ubaya wowote ukimwambia bebi wako leo tufanye staili hii na hii.

Pia badili maeneo mnaposhiriki tendo la ndoa, siyo lazima iwe kitandani kila siku. Siku nyingine fanyeni jikoni, sebuleni, bafuni, nyuma ya nyumba yenu kama kuna uwanja na uzio na hakuna mtu anaweza kuwaona pia kwenye gari lenu nk.

Siku nyingine nendeni hotelini au kwenye nyumba yoyote nzuri ya kulala wageni. Pangeni safari hata nje kidogo tu ya mji mkalale huko na mfurahie maisha yenu japo mara 1 kwa mwezi.

Pia mjulishe mmeo kwamba ni mhimu awe anakuandaa vya kutosha kabla ya kushiriki tendo la ndoa na siyo mkifika tu tayari kijeshijeshi tu, hapana hiyo haifai hasa kwa mwanamke ambaye anakosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa.

Na hapa tena niweke msisitizo, ni wote wawili mnatakiwa kuandaana na siyo mmoja tu ndiyo amuandae mwenzake.

14. Ongeza mawasiliano



Ongea na wasiliana na mwenza wako mara kwa mara. Mawasiliano kati yako na mwenza wako ni silaha mhimu sana katika kuimarisha afya ya mapenzi baina yako na mwenza wako.

Mtumie hata sms yoyote ya utani japo mara 1 kwa siku. Kuwa wazi kumweleza lolote unalolipenda na usilolipenda katika mahusiano yenu.

Vitu vya kuviepuka

Kama una tatizo hili la kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa ili kupata uponyaji kwa haraka epuka vitu hivi vifuatavyo:

Vyakula vinavyopikwa katikati ya mafuta mengi
Vyakula vya kwenye maboksi (vya dukani)
Vyakula vyenye sodiamu kwa wingi
Sukari
Chai ya rangi na kahawa
Kaffeina
Pombe
Sigara
Madawa ya kulevya
Popcorn
Kama una swali au lingine la kuongeza naomba uandike hapo chini kwenye comment. Ikikusaidia usisahau kuninunulia japo vocha.

Tafadhari SHARE post hii kwa ajili ya wengine uwapendao.

Mbunge Hassan Turky wa CCM Akanusha Taarifa iliyotolewa na Ndugai Kwamba Alilipia Ndege iliyompekea Lissu

0
0
Mbunge wa Mpendae, Salim Hassan Abdullah Turky (CCM), amekanusha taarifa iliyotolewa na Spika wa bunge Job Ndugai kwamba alilipa gharama za ndege iliyimpeleka Lissu Nairobi.
Asema Chadema ndiyo waliolipa gharama za ndege hiyo kwenda Nairobi, na yeye alichofanya ni kuwadhamini tu kwa kuwa Chadema hawakuwa na fedha taslimu za kulipia kwa wakati huo.
__
"Hapana sikulipa cash, na bahati mbaya siku ile isingeweza kuruka kama zisingepatikana dola 9,200 kwa maana lazima ulipe ndio ndege iruke. Na hapa Dodoma hakuna mbunge aliyekuwa na hata dola 1,000 hivyo hali ilikuwa ngumu kidogo".
___
Alisema Turky na kuongeza "Kwahiyo Mbowe akaniomba kwa kuwa nafahamiana nao (wenye ndege) niwadhamini wamuwahishe Lissu halafu wao watalipa. Na ndicho nilichofanya (kuwadhamini kwa mali kauli) na pesa hiyo imelipwa jana. Tunamshukuru Mungu nia njema hufungua milango yake” amesema.
Mapema leo bungeni, Spika Ndugai alisema ndege iliyompeleka Lissu Nairobi ilikodiwa kwa Dola za Marekani 9,200 na Mbunge wa CCM, Salim Hassan Abdullah (Turky). .
.
TOA MAONI YAKO HAPA

Kutana na Mtatibu Wanyota za Binadamu Duniani Kote Maalim Fadhili Rashid Kutoka Comoro

0
0
KUTANA NA MTABIBU WANYOYA ZA BINADAMU DUNIANI KOTE MAALIM FADHILI RASHIDI KUTOKA COMORO

KWA SASA YUPO TANZANIA MAALIM FADHILI RASHIDI ANA IWEZO WAKUJUWA JAMBOLAKO NAKULI TATUWA KWAMUDA MFUPI

MAALIM FADHILI RASHIDI ANAJUWA UMEHANGAIKA SANA LAKI HUJAFANIKIWA MUONE HARAKA AKUSAIDIE

MAALIM FADHILI RASHIDI NI BINGWA WAKUTIBU MARADHI SUGU KAMA VILE MIGUU KUUMA MIGUU KUWAKA MOTO

KISUKARI VIDONDA VYATUMBO PUMU TEZI NA UVIMBE TUMBONI PUMU ANA UWEZO WAKURUDISHA MTU ALIE POTEA KIMAZINGIRA

(MSUKURE) KUMFANYA MKE MUME MPENZI ASIKUSALITI DAWA YA (LIMBWATA) KUMTAWALA MPENZI WAKO UNAVYOTAKA

KUMUONA MBAYA WAKO LIVE KWASABABU MAALUM ANATOWA PETE YA BAHATI INAYO ENDANA NA NYOTA YAKO ITAKAYO KULETEA PESA BILA YA MASHARITI YEYOTE

NAKUMILIKI MALIZA MAJINI KWAYULE ANAE HITAJI DAWA YAKUONGEZA UUME ZAIZI UIPENDAYO DAWA YA NGUVU ZA KIUME ANAYO

DAWA YA KUONGEZA HIPSI SHEPU KUWA NA UMBO BOMBA KAMA UMEIBIWA AMA KUDHURUMIWA UTARUDISHIWA MALIYAKO NDANI YA MASA (24)

ANAFUNGA KESI NAKUPATA HAKIYAKO DAWA YAMVUTO WABISHARA KUUZA MALIYAKO KWA HARAKA KUZUIYA CHUMA ULETE

KUSAFISHA NYOTA NAKUONDOA MIKOSI NA KUPANDISHWA CHEO KAZINI ACHAKUTESEKA NJOO UWONE MIUJIZA YA MAALIM FADHILI RASHIDI

CALLING+255719362806/ +255763276239

KWA WHATSAPP IMO +255785786436

Habari Njema..Tundu Lissu Sasa Anaweza Kuongea na Kula Kidogo...Habari Kuwa Amepata Maambukizi sio za Kweli

0
0
Nairobi. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema kuwa hivi sasa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu anaweza kuongea na kula kidogo.

Akizungumza na waandishi leo Alhamisi jijini Nairobi, Mbowe amesema taarifa za kwamba Lissu amepata maambukizi katika kifua ambayo yanatishia maisha yake siyo za ukweli.

Mbowe amesema hali ya Lissu inabadilika kila siku hivyo amewahakikishia wananchi kuwa anaendelea kurejea katika hali yake.

Amesema Lissu ameweza kuonana na baadhi ya waliomtembelea kwa maelekezo ya madaktari ambao wanamtibu.

"Pamoja na kwamba kuna watu wengi wanataka kumuona lakini ni wachache wanaoruhusiwa kumuona kwa kuwa madaktari wanataka apumzike,"amesema Mbowe.

Chadema yafunguka Alikolazwa Tundu Lissu

0
0
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeeleza kuwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu aliyejeruhiwa kwa kupigwa risasi wiki iliyopita amelazwa katika Hospitali ya Nairobi nchini Kenya.

Chadema imetoa ufafanuzi huo baada ya taarifa za awali kueleza kuwa, Lissu anatibiwa katika Hospitali ya Aga Khan nchini humo.

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Chadema, Tumaini Makene amesema leo Alhamisi kuwa, awali walipanga kumpeleka Hospitali ya Aga Khan lakini hilo lilibadilishwa baadaye.

Lissu alishambuliwa na kujeruhiwa kwa risasi Septemba 7 akiwa nyumbani kwake Area D mjini Dodoma na siku hiyohiyo alisafirishwa kupelekwa Nairobi.

Kabla ya kusafirishwa saa sita usiku, Lissu ambaye pia ni mwanasheria wa Chadema na Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), alipatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Dodoma.

Mwananchi:

Kubenea aelezea yaliyomsibu Kuugua Ghafla na Kushindwa Kufika Kamati ya Maadili

0
0
Mbunge wa Ubungo (Chadema) Saed Kubenea amesema aliugua ghafla  akiwa njiani kuelekea katika Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge.

Amesema aliitikia wito wa Spika Job Ndugai ambaye Jumanne wiki hii alimpeleka mbele ya kamati hiyo.

Spika alisema Kubenea anamtuhumu kwenye mitandao ya kijamii kuwa amesema uongo kuhusu idadi ya risasi alizopigwa Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu.

Kubenea amesema alitakiwa kuripoti mbele ya kamati saa 7:30 mchana lakini alipokwenda aliambiwa kuna shughuli za Bunge zimeingiliana hivyo arejee saa 9:30.

Mbunge huyo amesema hakuweza kurejea mbele ya kamati baada ya kuugua ghafla.

“Nilishaenda kwa Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, wakati ninakwenda kwa Kamati ya Maadili nikapata

tatizo,” amesema Kubenea.

Awali, Katibu wa Wabunge wa Chadema, David Silinde alisema Kubenea alikwenda kwenye zahanati ya Bunge baada ya kujihisi vibaya.

“Alijisikia kukosa nguvu akaenda zahanati, amepumzishwa na sasa anasema ni simu yake ya kwanza kuongea nayo tangu

apumzishwe. Ndiyo amekaribia kumaliza dripu,” alisema Silinde.

Daktari wa zahanati ya Bunge, Noel Solomoni alithibitisha kupumzishwa kwa mbunge huyo tangu saa kumi jioni.

Mwananchi:

Bunge Lamkingia Kifua Spika Ndugai...Kuhusu Kauli Aliyoisema Kuhusu Gharama za Ndege iliyompeleka Tundu Lissu Nairobi

0
0
Bunge Lamkingia Kifua Spika Ndugai...Kuhusu Kauli Aliyoisema Kuhusu Gharama za Ndege iliyompeleka Tundu Lissu Nairobi


Spika wa Bunge Hana Mamlaka Kumzuia Mbunge Kuzungumza Bungeni

0
0
Baadhi ya wasomi wameichambua kauli ya Spika wa Bunge, Job Ndugai kwamba anaweza kumfungia Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe asizungumze bungeni kwa muda uliobaki na wengi wamesema hana mamlaka hayo.

Juzi, Spika Ndugai alisema bungeni kwamba: “Nina uwezo wa kumpiga marufuku (Zitto) kuzungumza hadi miaka yote mitano iishe hauna pa kwenda, hakuna cha swali, nyongeza wala kuzungumza utanifanya nini?”

Kauli ambayo Zitto aliijibu kupitia ujumbe alioutuma kwenye mtandao wa Twitter akisema, “Nimegundua Spika Ndugai ameibua mashtaka yangu ili kufunika ufuatiliaji wa wananchi kuhusu (Tundu) Lissu kupigwa risasi. Nimeamua sitawapa hilo.”

Lissu, ambaye ni Mbunge wa Singida Mashariki, alipigwa risasi 28 mpaka 32, Alhamisi iliyopita mjini Dodoma alikokuwa akihudhuria vikao vya Bunge. Spika alisema risasi tano ziliupata mwili wake.

Mzozo kati ya Spika Ndugai na Zitto ulianza hivi karibuni baada ya kiongozi huyo wa ACT–Wazalendo kudai kuwa Bunge limewekwa mfukoni na Serikali, wakati alipotoa maoni kuhusu ripoti mbili za kamati ya Bunge kuhusu biashara ya almasi na Tanzanite.

Kutokana na kauli hizo, Spika Ndugai aliagiza mbunge huyo ahojiwe na Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge huku akimshtaki kwa wapigakura wake kuwa licha ya mbunge wao kuwapo nchini, hajafika bungeni kuwawakilisha na yeye (Spika), hana taarifa.

Maoni ya wadau
Walipoulizwa kwa nyakati tofauti na mwandishi wetu kuhusu suala la kumzuia mbunge kuzungumza kwa muda wote, baadhi ya wasomi walisema kauli kama hiyo haikupaswa kutolewa na Spika kwa kuwa inakiuka Katiba na kanuni za Bunge hilo. Wakili wa kujitegemea, Dk Onesmo Kyauke alisema kauli ya Spika Ndugai imelenga kuwanyamazisha wabunge wasiwe huru kutoa maoni yao kwa mujibu wa Katiba.

“Unless (labda) kama alikuwa anatania, lakini Spika hana mamlaka ya kumzuia mtu kuzungumza kwa kipindi chote hicho. Ni jitihada za kuwanyamazisha wabunge,” alisema Dk Kyauke.

“Kwa mfano, angalieni Bunge la Afrika Kusini jinsi Julius Malema anavyomkosoa Rais Jacob Zuma au Bunge la Kenya. Bunge kama chombo cha wananchi kinapaswa kuwa na nguvu ya kuisimamia Serikali kwa sababu kinatumia fedha za wananchi. Spika anaweza kukosolewa anapokosea, asiwatishe wabunge,” aliongeza Dk Kyauke.

Kuhusu kanuni za Bunge, Dk Kyauke alisema kosa la Zitto halihusiani na kanuni hizo kwa sababu mbunge huyo ametoa maoni yake akiwa nje ya Bunge na yuko huru kwa mujibu wa Katiba.

“Kwanza kanuni hazimpi mamlaka Spika kumzuia kuongea, lakini Zitto alitoa maoni yake nje ya Bunge,” alisema Dk Kyauke.

Kauli ya Dk Kyauke iliungwa mkono na Mkurugenzi wa Jukwaa la Katiba, Hebron Mwakagenda aliyesema hakuna kanuni inayomruhusu Spika kumzuia mbunge kuongea milele. “Kwanza hakuna kanuni ya Bunge inayomruhusu Spika kumzuia mbunge kuongea. Halafu anasema Zitto hawezi kwenda popote. Anaweza kwenda kushtaki mahakamani kama ataona hatendewi haki,” alisema Mwakagenda na kuongeza:

“Spika anapaswa kuonyesha uongozi. Kama Zitto amekosea, ampeleke kwenye Kamati ya Maadili, si kutoa kauli hizo ambazo zitatafsiriwa kuwa anaipa maelekezo kamati hiyo, vinginevyo tunaona anatekeleza maagizo ya Rais John Magufuli kwamba awashughulikie wapinzani bungeni na yeye atawashughulikia nje ya Bunge,” alisema.

Mwakagenda alimtaka Spika kuiona nafasi yake kama dhamana aliyopewa na Watanzania na wakiamua wanaweza kumwondoa kwa mujibu wa Katiba.

Alihoji pia sababu za Spika kuwaandama wabunge wa upinzani pekee ilhali wabunge wote wanafanya makosa.

“Ndugai anapoteza muda kwa kuhamisha ugomvi wake binafsi na mbunge mmojammoja na kufanya kuwa wa Bunge zima. Kwa nini iwe kwa wabunge wa upinzani peke yake? Mbona wabunge wa CCM wanaofanya makosa tunawaona?

“Cheo ni dhamana, wananchi wamempa Ndugai kwa miaka mitano tu. Kanuni zinawaruhusu wabunge kumwondoa Spika anapokosea,” alisema Mwakagenda.

Wakati Mwakagenda akisema hayo, Mhadhiri wa Sayansi ya Siasa wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Richard Mbunda alisema mkuu huyo wa mhimili wa Bunge hakupaswa kusema maneno hayo.

“Kwa mujibu wa Katiba na vigezo vya uongozi, Spika hakupaswa kutoa maneno yale. Kwa sababu yeye ni baba wa Bunge, wabunge wote wanamwangalia. Sasa anapotoa kauli hizo kwa wabunge inamshushia haiba yake. Inaonekana alipotoka,” alisema Mbunda.

Msuva Azikana Taarifa za kuwa Amechaguliwa Mchezaji Bora wa Mwezi

0
0
WINGA wa kimataifa wa Tanzania, Simon Happygod Msuva jana amecheza kwa dakika zote 90 timu yake, Difaa Hassan El - Jadida ikilazimishwa sare ya 0-0 na Ittihad Tanger katika mchezo wa Kombe la FA Morocco Uwanja wa Ben Ahmed El Abdi mjini El Jadida, Mazghan.

Akizungumza, Msuva alisema kwamba walikuwa wana mechi ngumu jana kwa sababu walikutana na wapinzani wazuri.

“Ilikuwa mechi ngumu sana, jamaa wazuri sana, lakini tutajitahidi tushinde mechi ya marudiano kwao tusonge mbele,”alisema Msuva.

Mchezo wa Ligi Kuu ya Morocco, maarufu kama Botola kati ya Difaa Hassan El – Jadida na FUS Rabat uliokuwa ufanyike leo Uwanja wa FUS, Hay Nahda mjini Rabat umeahirishwa.

Difaa sasa watasafiri kuifuata Ittihad Tanger Septemba 20 kwa mchezo wa marudiano wa Kombe la FA.

Wakati huo huo: Simon Msuva amekanusha uvumi kwamba yeye ameshinda tuzo ya Mchezaji Bora wa mwezi wa klabu yake, Difaa Hassan El- Jadida.

“Kaka hizi habari mimi sijui hata zinatoka wapi, hakuna kitu kama hicho. Ni habari za uongo,”amesema Msuva.

Idris Aingia Kwenye Skendo Mpya ya Kuwachanganya Wema na Sanchi

0
0
Idris Aingia Kwenye Skendo Mpya ya Kuwachanganya Wema na Sanch
MCHEKESHAJI maarufu Bongo, Idris Sultan amekuwa kwenye tetesi nyingi ambazo zimekuwa zikiendelea kila kona juu ya maisha yake, ikiwemo mamilioni aliyoyavuna kwenye Jumba la Big Brother ‘Hotshots’ kwamba yamepukutishwa na wanawake wa Kibongo na kwa sasa hana kitu pamoja na mambo mengine mengi.
Ili kukidhi kiu ya mashabiki kufahamu nini kinaendelea kwenye maisha yake binafsi na ya sanaa ikiwemo kuhusishwa kuwago-nganisha warembo wawili matata Bongo, Wema Sepetu pamoja na Sanchoka.Ijumaa lilimtafuta mchekeshaji huyo ambaye pia ni mtangazaji wa redio na kupitia makala haya anafunguka kila kitu;
Ijumaa: Vipi kuhusu kazi zako kwa sasa za vichekesho, unaweza kuelezea namna unavyozifanya, matamasha unayofanya na mipango yako mingine kwa sasa?

Idris na Wema Sepetu.
Idris: Sijafanya Stand-Up Comedy kwa muda sasa lakini malengo yangu kwa sasa ni kufanya kitu cha tofauti kwenye shoo yangu ya Sio Habari.
Ijumaa: Uliitwa Marekani kwa ajili ya kucheza muvi, nini kinaendelea katika projekti hiyo?
Idris: Nimefanya audition tano hadi nikafanikiwa kuchaguliwa kwenye muvi hiyo iitwayo Ballin ya Hollywood. Sasa tupo kwenye hatua za mwanzo za uzalishaji lakini rasmi tutaanza mwanzoni mwa mwaka 2018 na bajeti yake ni dola kama Mil. 5 (zaidi ya shilingi bilioni 11 za Kibongo).
Ijumaa: Unawezaje kufanya kazi ukiwa mtangazaji, mchekeshaji na muigizaji, unaugawaje muda wako?
Idris: Kazi zote zinategemeana na sina tatizo na muda wangu. Asubuhi nakuwa Choice FM katika kipindi changu, mchana nadili na projekti yangu ya Foreman ambayo ni brand ya viatu na usiku nakomaa na skripti za muvi na tamthiliya.
Ijumaa: Umewahi kuwa mshiriki wa Big Brother, kuna lolote ambalo mashabiki wako hawalifahamu kwa sasa, kama kualikwa, kuwa na projekti nalo au lingine lolote?
Idris: Ninachojua ni kwamba Big Brother kwa sasa imefungua matawi mengi ikiwemo Msumbiji, Angola, Nigeria na sehemu nyingine, kuhusu hayo mengine hakuna ambalo limetokea hata moja na wala hakuna kinacho-endelea.

Sanch.
Ijumaa: Baada ya kutoka tu Big Brother ndani ya kipindi kifupi kuna tetesi zilienea kwamba umefulia na waliokumaliza ni warembo wa Kibongo, hili unalizun-gumziaje?
Idris: Si kweli, hoji warembo hata 100 ambao unafahamu nipo karibu nao au nimewahi kuwa karibu nao kama yupo ambaye atakwambia amekula pesa zangu niambie nikamdai.
Ijumaa: Ukiwa miongoni mwa wasanii Bongo wanaozun-gumziwa kwenye mitandao ya kijamii unazungumziaje mapokeo ya Wimbo wa Seduce Me wa Ali Kiba?
Idris: Wimbo wake ni mzuri na kusingekuwa na ushindani wa timu nina uhakika wimbo usingepasua kama ulivyopasua.
Ijumaa: Lakini pia umekuwa ukihusishwa kuwa kwenye uhusiano na Wema wakati huohuo na Sanchoka ‘Sachi’ na kwamba wamekuwa wakipishana nyumbani kwako, vipi hili ni kweli?
Idris: Siku zote Wabongo huwa ni watu wa kujiongeza wanaposikia kitu.
Lakini pia juu ya kuwachanganya Wema na Sanchi ni kwamba hawajawahi kupishana nyumbani kwangu, sina taarifa zozote kuhusu wao kuwachanganya labda wajichanganye wenyewe au useme nimewachanganya kama marafiki tu.
Ijumaa: Kama Mtanzania unazungumziaje kupigwa risasi kwa Tundu Lissu?
Idris: Kama ni hii ishu imekaa kisiasa naona ni tendo linaloonyesha uoga na ulimbukeni mkubwa sana. Risasi zaidi ya 30 siyo tendo la kujeruhi ni kuua kabisa. Serikali ina haja ya kulifuatilia na iwape mrejesho Watanzania nini kilitokea na wahusika wakamatwe na wajulikane.

Udart Yawaangukia Wateja Wake Yakiri Kutotoa Taarifa Kuhusu Tatizo Lililotokea

0
0

Udart Yawaangukia Wateja Wake Yakiri Kutotoa Taarifa Kuhusu Tatizo Lililotokea
Kampuni ya Usafiri wa Mabasi yaendayo Haraka (Udart) imekiri kufanya makosa kwa kutofikisha taarifa vituoni kwa wateja wanaotumia usafiri huo kuhusu matatizo yanayotokea kwenye mabasi hayo.

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano cha Udart, Deus Bugaywa alisema hayo jana baada ya mabasi hayo kugongana eneo la Shekilango na kusababisha barabara kutopitika.

Alisema kufuatia ajali ilitakiwa abiria wapatiwe taarifa wakiwa kwenye vituo vyao, lakini haikuwa hivyo na badala yake wakawa wanashindwa kujua nini kinaendelea.

Deus alisema kilichojitokeza jana ni tatizo la kibinadamu, hivyo amewataka watu wawe waelewa.

“Kwenye kila kituo tuna watu wetu ambao tunawasiliana nao ili kuwajulisha abiria wetu pale tatizo linapotokea, lakini leo (jana) hatukufanya hivyo” alisema Bugaywa.

Pia, alisema tatizo lililopo ni mapokeo ya abiria wanaotumia usafiri huo pale wanapopewa taarifa ambapo wengi huonyesha kutofurahishwa na taarifa hizo.

Mbunge wa Ubungo Saed Kubenea Augua Ghafla Apumzishwa Kwa Uangalizi

0
0
Mbunge wa Ubungo Augua Ghafla Apumzishwa Kwa Uangalizi
Mbunge wa Jimbo la Ubungo (CHADEMA), Saed Kubenea ameugua ghafla na kupumzishwa katika Zahanati ya Bunge baada ya kujisikia vibaya.

Mbunge wa Jimbo la Ubungo (CHADEMA), Saed Kubenea .
Saed Kubenea leo alienda Mjini Dodoma kwa ajili ya kuripoti bungeni lakini kwa bahati mbaya alijisikia vibaya na kuelekea katika Zahanati ya Bunge ili apatiwe matibabu.

Kubenea amepumzishwa katika Hospitali ya bunge mjini Dodoma japo mpaka sasa bado haijafahamika nini hasa kinachomsumbua.

Ntaolewa na Baba Watoto Wangu Kwakua Sioni Shida Kuolewa na Muislam- Linah

0
0
Ntaolewa na Baba Watoto Wangu Kwakua Sioni Shida Kuolewa na Muislam- Linah
ESTERLINA Sanga ukipenda waweza kumuita Linah au Ndege Mnana, ni mmoja wa mastaa wa Muziki wa Bongo Fleva aliyepotea kwa muda kutokana na pilika za uzazi. Linah anayebamba na nyimbo zake nyingi zikiwemo No Stress, Kosa Sina, Raha Jipe Mwenyewe na Malkia wa Nguvu kwa sasa ni mama wa mtoto mmoja aliyempa jina la Tracy Paris ambaye amezaa na mchumba anayefahamika kwa jina moja la Shaban.

Ijumaa limemfungia kazi na kufanya naye mahojiano moja kwa moja akiwa kwenye studio yake pande za Tegeta jijini Dar na katika makala haya amefunguka mengi likiwemo la kutaka kuolewa na mchumba wake huyo ambaye wapo tofauti kiimani.
Ijumaa: Wanamuziki wengi wamekuwa wakijishauri sana katika suala zima la kubeba ujauzito kutokana na kazi zao, wewe halikukuumiza kichwa hili?
Linah: Kwa sababu niliamua kwa moyo mmoja kabisa wala hilo sikujiuliza hata mara moja kwa kuwa nilitamani mtoto.

Ijumaa: Wakati unaelekea chumba cha kujifungua, muda mfupi kabla ya kuingia uliposti picha ukiwa kwenye uchungu, haikukuletea matatizo hasa kutokana na mila zetu?

Akiwa katika pozi
Linah: Kwanza ile picha sijaiposti nafikiri kulikuwa na mtu pale hospitali na pia haikuwa siku ambayo najifungua ilikuwa ni siku ambayo nilienda kuonana na daktari, sikuwa najisikia vizuri.

Ijumaa: Baba watoto wako yeye sio staa?
Linah: Hapana wala hayuko huko kabisa.

Ijumaa: Sasa mnawezaje kuendana maana mastaa kuna mambo mengi?
Linah: Unajua huyu mchumba wangu alinipenda tangu 2009, ndio kwanza naanza kutoka lakini hakupata muda wa kunifikia hivyo anajua kazi yangu na ndio maana niko nae amekubali kila kitu changu.

Ijumaa: Vipi kuhusu ndoa wewe na mchumba wako kuna matarajio hayo?

Linah: Ndiyo ni hivi karibuni.

Wakiwa na mume wake Shaban
Ijumaa: Lakini mpenzi wako ni Muislam na ninajua wazi kuwa wewe umetoka kwenye familia ya Kikristo inakuaje hili?

Linah: Ni kweli ni Muislam lakini sioni shida kuolewa naye.


Ijumaa: Kipindi cha ujauzito uliweka picha za kuonesha tumbo wazi, hiyo haikuleta shida kwa wakwe zako?

Linah: Namshukuru sana Mungu, nimepata wakwe waelewa sana kikubwa wao wanataka heshima wala hilo la picha hawalitazami.

Ijumaa: Wewe na msanii Amini mlikuwa wapenzi mnaopendana sana, vipi mkikutana sasa hivi?

Linah: Mimi na Amini tunaheshimiana sana kwa kuwa tayari ana mke wake na mimi nina mtu wangu.

Ijumaa: Asante kwa ushirikiano wako

Dar es Salaam Ndo Jiji Linaloongoza kwa Idadi ya Watu Afrika Mashariki

0
0
Dar es Salaam Ndo Jiji Linaloongoza kwa Idadi ya Watu Afrika Mashariki
 Wakati mradi wa majaribio ya uzazi wa mpango ‘Tupange Pamoja’ ukizinduliwa, imeelezwa Dar es Salaam ni jiji lenye wakazi wengi zaidi ukilinganisha na mengine Afrika Mashariki.

Jiji la Dar es Salaa, limedaiwa linaongoza kwa kuwa na  idadi ya watu zaidi ya milioni sita, ukilinganisha na majiji mengine.

Hata hivyo, makadirio  ya  idadi  ya  watu  katika  Mkoa  wa Dar  es  Salaam kwa  mwaka  2016 yalikuwa ni  watu 5,465,420;  wanaume  2,661,979  na  wanawake 2,803,442.

Makadirio haya  yametokana  na  Sensa  ya  Watu  na  Makazi  ya Mwaka  2012  kwa  kutumia  mbinu  za kidemografia zinazohusisha mabadiliko katika viwango vya uzazi, vifo, uhamaji na uhamiaji katika ngazi ya taifa, mkoa na wilaya/halmashauri husika.

Mradi huo ulielezwa utazisaidia halmashauri tano za Ilala, Temeke, Kinondoni, Ubungo na Kigamboni ambazo zinaongezeko la watu na kukua kwa kasi.

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Dk Grace Maghembe alisema Tanzania imejizatiti kufikia asilimia 40 katika uzazi wa mpango ifikapo mwaka 2020, hivyo uwapo wa mradi huo utasaidia kuongeza nguvu ya hatua iliyofikiwa sasa ya asilimia 32.

“Hatukatazi watu kuzaa, hapana. Uzazi wa mpango unamaanisha tuzae watoto tunaoweza kuwahudumia na mama apate muda wa kulea mtoto mmoja baada ya mwingine,” alisema.

Meya wa Jiji la Dar es Salaam,  Isaya Mwita alisema ni vizuri kila mtu kuwa na watoto wachache ili aweze kuwahudumia

Naye Kaimu Mkurugenzi wa Kinga Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Janeth Mgamba alisema mradi huo   unalenga maeneo ya miji.


Rais Temer wa Brazil Akabiliwa na Mashtaka Zaidi ya Uhalifu

0
0
Rais Temer wa Brazil Akabiliwa na Mashtaka Zaidi ya Uhalifu
Mwendesha mashtaka wa kesi za ufisadi nchini Brazil amemfungulia mashtaka rais Michel Temer kwa kosa la kuzuia sheria kuchukuwa mkondo wake na kuhusika katika mtandao wa rushwa.

Hatua hiyo ni ya pili katika kesi ya jinai inayomkabili rais huyo ambaye amekanusha madai hayo.
Wanamtuhumu bwana Temor kwa kuchukua hongo na kujaribu kuwanyamazisha mashahidi.
Bwana Temer amepinga madai ya kufanya makosa yoyote.

Mashtaka ya awali ya ufisadi yalizuiwa na bunge la uwakilishi ambalo lina uwezo wa kuamua iwapo rais anafaa kufunguliwa mashtaka au la.

Katika shtaka la pili rais Temer ameshtakiwa pamoja na washirika wake sita wa kisiasa.
Kiongozi wa mashtaka Rodrigo Janot alisema katika taarifa kwamba bwana Temer alihudumu kama kiongozi wa genge la wahalifu linaloshirikisha wanachama waandamizi wa chama chake cha PMDB.

Amesema kuwa kundi hilo lilidaiwa kuchukua hongo ya takriban dola milioni 190 kwa lengo la kuwazawadi waliotoa fedha hizo kandarasi katika kampuni za umma.
Mashtaka hayo yanatokana na ushahidi uliotolewa na mmiliki wa kampuni kubwa ya nyama JBS Joesely Batista na Wesley Batista.

Sina Mashaka na Chid Benz Namkubari Ila Kama Kaka Yake Sitaki Kumuona Anarudi Alipoangukia- Dudu Baya

0
0
Sina Mashaka na Chid Benz Naamkubari Sana Ila Kama Kaka Yake Sitaki Kumuona Anarudi Alipoangukia- Dudu Baya
Msanii mkongwe wa bongo fleva Dudubaya ameanza kujirudi na kumsifia rapa mwenzake Chid Benz kwa kuweza kukabiliana na hali aliyokuwa nayo awali ya matumizi ya dawa za kulevya.

Dudubaya ameeleza hayo kupitia kipindi cha eNewz kutoka EATV baada ya kukutana na Chid katika 'show' mbalimbali akiwa anaimba kwa uwezo wa juu zaidi jambo ambalo likamfanya amini kwamba rafiki yake ameamua kuachana na vitu ambavyo vilimsababisha kumrudisha nyuma kimaendeleo pamoja na kazi zake kisanaa kwa ujumla.
"Suala la msingi kwa sasa nampa 'big up' Chid Benz kwa kuwa ameweza ku-recover katika hali yake, pia namsifu kwa kuweza kuitumia 'mic' vizuri na pumzi ya kutosha. Sina mashaka naye, namkubali sana ila mimi kama kaka yake namsisitizia tena, sitaki nimemuone anarudi kule alipokuwa ameangukia, Mungu amuinuie na amsimamie", amesema Dudubaya.

Kimenuka Diamond Azidi Kumpandisha Presha Zari

0
0
Kimenuka Diamond Azidi Kumpandisha Presha  Zari
Siku ya September 14, 2017 mpiga picha maarufu wa Diamond Platnumz, Kifesi alipost picha ya boss wake Diamond kwenye ukurasa wake wa instagram Picha ambayo alimpiga yeye, baada ya post hiyo mzazi mwenza na mpenzi wa Diamond Platnumz, Zari the Boss Lady akakoment kwenye post hiyo kwa kuweka emoji ya kidole cha kati.

Baada ya Zari kukomenti hivyo mashabiki wakahusisha hilo na swala ambalo Diamond anadaiwa ya kuwa yupo Zanzibar na mshindi wa Big Brother mwaka 2013 anayetokea Namibia, Dilish Methew huku ikisemekana wawili hao wanatoka kimapenzi kitu kilichomfanya Zari akomenti vile kwenye picha ya kifesi aliyompost Diamond.


SOMA Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Ijumaa

Kutana na Mtabibu wa Magonjwa Sharifu Seif Mohamed Kutoka Mombasa Kenya Sasa Yupo Tanza

0
0
KUTANA NA SHARIFU SEIF MOHAMED KUTOKA MOMBASA KENYA sasa yupo TANZANIA, pia atayatembelea maeneo mbali mbali ndani ya nchi popote pale atakapo hitajika,

SHARIFU SEIF MOHAMED ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO WASAIDIA,

(RUDISHA MAHUSIANO YAKO NDANI YA MASAA 72 TU)

SHARIFU MOHAMED Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, anatumia kitabu cha Qur'an, dawa za kiarabu, njiwa, juju za mombasa, na majini kwa kumtuliza mke, mme, mchumba au mpenzi ndani ya masaa 72 tu, Anazo dawa za napenzi, nguvu za kiume, chango, ngiri maji, miguu kuwaka moto na kuvimba na n.k, Je? Umezunguka bila mafanikio na unahitaji Pete ya bahati iliyo ambatanishwa na jini mali? Kusafisha nyota , mafanikio ya maisha bila mashart, mvuto wa  biashara, zindiko la nyumba na mashamba, umaarufu, kupata kazi  kulingana na elimu yako, kupandishwa cheo kazini, na mengine mengi ya siri, Je  umehangaika kupata mtoto bila mafanikio? Wasiliana na mtaalam huyu  kwani yeye ufaulu pale wote  walipo shindwa, pia humaliza kazi  zilizo shindikana kumalizwa na wataalamu wengine ndani ya masaa 24 tu, Pia anatibu kwa njia ya simu popote pale ndani au nje ya nchi, Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi:

Mobile + imo  +255 654-836970
Mobile + WhatsApp +255 756-033670

NB: kama unahitaji msaada ni  bora kupiga simu kuliko kutuma sms ili upate  msaada kwa haraka.
Viewing all 104429 articles
Browse latest View live




Latest Images