Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104755 articles
Browse latest View live

Unapenda Habari za Siasa? Download App ya Mchambuzi Hapa Kusoma Matamko ya Viongozi

$
0
0
Kama we ni Mpenzi wa Habari za Siasa Usipitwe na Hii Application ya Mchambuzi.....

Bonyeza HAPA Kudownload kwenye Simu yako



Je,una Upungufu Wa Nguvu Zakiume,kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa,kufika Kileleni Mapema Na Kushindwa Kurudia ?

$
0
0
Tatizo la kukosa au kupungukiwa nguvu za kiume na maumbile madogo ya kiume husababishwa na mambo mengi kama,KISUKARI,NGIRI,CHANGO,TUMBO KUUNGURUMA,MAUMIVU YA KIUNO,UNENE KUPITA KIASI,KUJICHUA nk.

Upungufu wa nguvu za kiume husababisha tendo la ndoa kutofanyika kwa kujiami nakwa usahihi nahivyo husababisha ndoa, mahusiano mengi kuvunjika.

BAADHI YA DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI,
1 KUKOSA HAMU YA TENDOL LA NDOA
2 UUME KISIMAMA KWA KULEGEA
3 KUWAHI KUFIKA KILELENI
4 KUSHINDWA KURUDIA TENDO LA NDOA WAKATI
5 KUCHOKA SANA BAADA YA ROUND YAKWANZA NAKUKINAI TENDO LA NDOA KABISA.

TUMIA 3 POWER KWA TATIZO LA UKOSEFU(UPUNGUFU)WA NGUVU ZA KIUME NAHAMU YA TENDO LA NDOA.FINA HUBORESHA MAUMBILE YA KIUME KWA KUNENEPESHA KWA SAIZI UIPENDAYO HAIJARISHI UMRI.

PIA KUNA DAWA ZA KURUDISHA MPENZI KWA MUDA MFUPI SANA NAZAKUPATA KAZI,KESI,KUDHULUMIWA,NK

WASILIANA NA SHEIKH OMARY AKUTATULIE MATATIZO YAKO HATA KAMA UMEHANGAIKA SANA PASIPO MAFANIKIO

Pia sheikh omary anatibu busha bila opresheni,kisukari,ngiri,presha vidonda vya tumbo,korodani kuvimba,na anatoa dagu za utajiri kwa wanaohitaji bila masharti yoyote magumu.ANAPATIKANA MBAGALA ZAKIEM, NAUTALETEWA POPOTE ULIPO TIBA HII

SIMU; NO 0767145357/0629034550.
WHATS APP 0759030343 

Rais John Magufuli leo Kuwaaapisha Mawaziri, Manaibu Aliowateua

$
0
0
  Rais John Magufuli leo Kuwaaapisha Mawaziri, Manaibu Aliowateua
 Rais John Magufuli leo anawaapisha mawaziri na naibu mawaziri aliowateua miongoni mwa hao akiwamo mbunge wa Mwibara (CCM), Kangi Lugola anayekuwa naibu waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Lugola ni miongoni mwa wabunge wa chama tawala ambaye alikuwa akitekeleza wajibu wake wa kuibana Serikali na wakati mwingine akitumia mavazi na vifaa visivyotakiwa ndani ya Bunge kuonyesha msisitizo wa hoja zake.

Amewahi kuvaa ‘maski’ mithili ya ninja, kuingia bungeni na sare ya CCM, kubeba nyembe mdomoni ili kwenda kuionyesha Serikali ilivyoshindwa kuwa na kiwanda hata cha kuzitengeneza na vijiti vinavyotumika kutoa mabaki ya chakula kwenye meno.

Kwa kuwa sasa atakuwa upande mwingine wa Serikali, swali lililopo ni kwa namna gani atatekeleza kile alichokuwa akikipigania bungeni kwa ajili ya maendeleo ya wananchi?

Mbunge wa Nkasi Kaskazini (CCM), Ally Keissy akizungumzia hilo jana alisema, “Si unajua waziri bungeni hachangii… itabidi azungumze katika Baraza la Mawaziri sasa. Kwa kuwa ameingia jikoni akayafanye yale aliyokuwa anayasema na mimi ninaona ataweza kuyafanya.”

Mbunge wa Kilwa Kusini (CUF), Suleiman Bungara maarufu Bwege alisema, “Kwa uzoefu wetu, mtu akiwa mbunge akiteuliwa tu kuwa waziri au naibu waziri anakuwa kazibwa mdomo. Ujue yeye ndiye atakuwa akiulizwa maswali sasa lazima aitetee Serikali.”

Lugola hakupatikana jana kuzungumzia uteuzi wake.

Wakati wa mjadala wa sakata la ufisadi wa uchotwaji wa fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow Novemba 28, 2014 Lugola aliamua kuvaa kofia maarufu ‘maski’ akieleza kwamba kufanya hivyo kutamwezesha kusema ukweli na kutomwonea haya mtu.

“Mheshimiwa mwenyekiti (Azzan Zungu) kama kanuni zinaruhusu naomba uniruhusu nichangie hoja hii nikiwa nimevaa kininja ili nisiwatazame usoni,” alisema Lugola huku akichukua kofia na kuivaa. Hata hivyo, Zungu alimtaka aivue kwa kuwa kanuni za Bunge haziruhusu.

“Mheshimiwa mwenyekiti, mimi ni mbunge wa CCM, ahadi namba nane ya mwana CCM inasema; nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko na ibara ya tano inaonyesha malengo na dhumuni la CCM, nimepitia malengo yote hakuna ambapo inasema CCM itatetea wezi.”

Katika kujenga hoja yake Lugola hakuishia hapo, aliomba avae mavazi ya CCM ili kutekeleza ahadi namba nane. Alichukua shati la kijani na kofia jambo ambalo Zungu alilipinga, huku wabunge wakishangilia.

Juni 10, 2016 alikuwa miongoni mwa wabunge wa CCM aliyesimama kidete kupinga pendekezo la Serikali la kukata mapato ya viinua mgongo vya wabunge akimtaka Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango kutowachezea wabunge.

Pia, amewahi kwenda na kile alichokiita kontena la bidhaa akieleza ameliacha nje na kwamba ndani ya Bunge ameingia na baadhi ya bidhaa hizo ukiwamo wembe aliouficha mdomoni ili mashine za ukaguzi zisimbaini lengo likiwa ni kuionyesha Serikali ilivyoshindwa hata kuwa na kiwanda cha bidhaa ndogondogo.

Mei 12, akichangia bajeti ya Wizara ya Maji na Umwagiliaji kwa mwaka wa fedha wa 2017/18, aliwahamasisha wabunge kutoipitisha kama haitakuwa na mwarobaini wa tatizo la huduma za maji nchini.

Lugola alisema wabunge watakaoipitisha atazikusanya sauti zao za ndiyo na kuzunguka nazo nchi nzima kwenda kuwashtaki kwa wananchi kwa kitendo chao cha kuwasaliti.

Mike Pence Aondoka Uwanjani B aada ya Wachezaji Kupinga Ubaguzi

$
0
0
Mike Pence Aondoka Uwanjani B aada ya Wachezaji Kupinga Ubaguzi
Makamu wa rais wa Marekani Mike Pence, ameondoka kutoka kwa mechi ya kandanda ya NFL nchini Marekani, baada wachezaji kukataa kusimama wakati wa kuchezwa kwa wimbo wa taifa wa Marekani.
Bw. Pence alisema kuwa hatakuwa kwenye warsha ambayo haiheshimu wanajeshi wa Marekani au bendera baada ya kuondoka kwenye mechi iliyokuwa ikichezwa katika jimbo nyumbani kwake huko Indiana.
LeBron James: Sitakubali Trump kutumia michezo kutugawanya
Rais Donald Trump aliandika katika mtandao wa twitter kuwa alimuomba Pence kuondoka ikiwa wachezaji wangepiga magoti.

Mike Pence aliondika baada ya wachezaji wa timu ya San Francisco 49ers haikusimama wakati wa wimbo wa taifa
Trump amewakosoa wachezaji vikali na kuitaka NFL kuwapiga marufuku.
"Niliondoka katika mechi ya leo kwa sababu rais Trump na mimi hatutakubali warsha yoyote ambayo haieshimu wanajeshi wetu, bendera yetu au wimbo wetu wa taifa," Pence aliandika kwenye twitter siku ya Jumapili.

Aliondoka baada ya wachezaji wa timu ya San Francisco 49ers haikusimama wakati wa wimbo wa taifa kabla ya mechi dhidi ya Indianapolis Colts.
Awali Bw. Trump alisema kuwa matamshi yake ya kukosoa hatua za NFL hayakuhusu kwa vyoyote vile suala la rangi.

Walinzi Wawili Wauawa kwa Kupigwa Risasi

$
0
0
Walinzi Wawili Wauawa kwa Kupigwa Risasi
Walinzi wawili wa Mfalme wa Saudi Arabia wameuwawa kwa kupigwa risasi baada ya mtu mmoja kuvamia na kushambulia kasri hilo.

Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Ndani imesema, mtu aliyetekeleza shambulio hilo aliendesha gari hadi kwenye lango kuu la kasri la Al Salaam kabla ya kuwafyatulia risasi walinzi waliokuwa lindoni.
Mtu huyo ametambuliwa kwa jina la Mansour Al – Amri mwenye umri wa miaka 28 alishambulia kasri hilo jana Jumamosi saa tisa alasiri kwa saa za Saudia, lakini aliuwawa baada ye na walinzi.
Mapema kabla ya shambulio hilo Ubalozi wa Marekani nchini humo uliwaonya raia wake kuhusu uwezekano wa kutokea shambulio katika eneo hilo.


Ally Hapi Apigania Vikoba Endelevu kwa Walimu

$
0
0
Ally Hapi Apigania Vikoba Endelevu kwa Walimu
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Ally Hapi ameuomba uongozi wa Vicoba endelevu nchini kutanua mtandao ili uweze kuwafikia wananchi wengi zaidi wakiwamo walimu pamoja na wafanyabiashara ndogondogo.

Alisema ikiwa hayo yatafanyika itasaidia kuhakikisha Serikali inafikisha lengo lake la kuyakomboa makundi hayo kiuchumi.

Hapi alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki wakati akizindua taasisi ya Buta-Vicoba Endelevu iliyopo Bunju.

“Niwaombe sana viongozi wa Vicoba mtanue zaidi mtandao wenu ili muwafikie maelfu zaidi ya wafanyabiashara ndogondogo, wafanyakazi mbalimbali wa Serikali wakiwamo walimu na mshirikiane nao katika kuangalia namna bora zaidi ya wao kupata huduma za kifedha ikiwamo mikopo ili waongeze thamani ya mitaji yao,’’ alisisitiza.

Akitoa taarifa ya hali ya vicoba nchini, rais wa Vicoba Endelevu, Devotha Likokola alisema mtandao huo unahusisha vikundi zaidi ya 100,000 vikiwa na wanachama zaidi ya 2,200,000 huku wakiwa na akiba ya zaidi ya Sh1 trilioni.

“Nitoe wito kwa wanajamii wazidi kushiriki katika Vicoba Endelevu kwa kuwa ni mfumo ambao tayari umeonyesha kuwa unaweza kuwaondoa katika umaskini,” alisema.

Akizungumza katika uzinduzi huo, mkurugenzi wa Buta-Vicoba Endelevu, Semeni Gama alisema taasisi hiyo inahusisha vikundi 128 kutoka mikoa mbalimbali ikiwamo Mbeya, Kigoma, Lindi, Tanga na Njombe ikiwa na wanachama 2,186.

Mbowe Afunguka Asema Lissu Kafanyiwaa Upasuaji Mara 14

$
0
0
Mbowe  Afunguka Asema Lissu Kafanyiwaa Upasuaji Mara 14
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema kuwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu amefanywa upasuaji mara 14 na ataendelea kufanyiwa upasuaji mwingine ndani ya wiki mbili zijazo.

Mbowe amesema hayo kwenye mazishi ya marehemu Philip Gekul, baba mzazi wa Mbunge wa Babati Mjini, Pauline Gekul yaliyofanyika kata ya Dareda.

Alisema hali ya Lissu inaendelea kuimarika lakini aliumizwa sana kama walivyokuwa wanaeleza mara zote lakini na jambo la kumshukuru Mungu kwamba ameendelea kuimarika.
“Ameendelea kupata afya, akili zake ni timamu, madaktari kule wanafanya kazi kubwa kwelikweli kuendelea kumuudumia na ni matumaini yetu kuwa baada ya muda Mungu atamrejesha katika wajibu wake wa kulitumikia Taifa,”

Mbowe alizungumza hayo baada ya kueleza kuwa alitokea Nairobi kuangalia afya ya mbunge huyo ambaye alipigwa risasi Septemba 7 mwaka huu akiwa nyumbani kwake mjini Dodoma.

Waandisi Watakuiwa Kupaza Sauti Wanapoona Kazi Zao Zinafanywa na Watu Wasioukua na Ujuzi

$
0
0
Waandisi  Kupaza Sauti Wanapoona Kazi Zao Zinuazoufuanuywa na Watu Wasioukua na Ujuzi
Mbunge wa Tunduru Kaskazini, Ramo Makani amewataka wahandisi kutonyamaza wanapoona kazi zao zinafanywa na watu wasiokuwa na ujuzi.

Makani aliyasema hayo jana wakati wa matembezi ya hisani kuadhimisha miaka 40 ya Taasisi ya Wahandisi Tanzania (IET), yalioanzia viwanja vya Karimjee hadi Leaders, Kinondoni.

Makani ambaye kabla ya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yaliyotangazwa Jumamosi na Rais John Magufuli alikuwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, alisema wahandisi ndiyo wenye jukumu la kufanya kazi yao ionekane nzuri yenye kiwango iwapo watajitokeza na kupaza sauti.

Alisema kazi ya viongozi wa Serekali ni kufungua milango na kwamba, iwapo kutakuwa na udanganyifu jamii itawaangalia wahandisi kwa sababu ndiyo wasomi na wenye taaluma.

Hata hivyo, Makani alisisitiza kuwa Serikali haitaweza kufikia uchumi wa viwanda kama wahandisi wa ndani hawatashirikishwa.

“Niendelee kusisitiza katika mpango mkakati wa Serikali uwe wa mwaka mmoja au mitano, lazima wahandisi wahusike ili kufikia uchumi wa viwanda,” alisema Makani.

Aliongeza kuwa changamoto kubwa wanayoipata katika taasisi ya wahandisi ni kukosa mitaji, ikiwamo ya kununulia vifaa vya teknolojia mbalimbali za uhandisi.

Naye Rais wa IET, Ngwisa Mpembe alisema matembezi hayo yana lengo la kuhamasisha vijana kupenda masomo ya sayansi na kuchangisha fedha ili kununua vifaa vya maabara.

Mpembe alisema kuwa lengo lao katika matembezi hayo ni kupata Sh50 milioni ili kutekeleza azma ya kuwasaidia wanafunzi kufanya vizuri kwenye masomo ya sayansi.

Aliongeza kuwa tayari wameanza kupita shule mbalimbali ambazo zinaendesha mashindano ya kuandika insha, ambayo yatafungwa Ijumaa hii na mshindi atatangazwa.

Mpembe aliwataka wanafunzi kushiriki mashindano hayo na kujenga tabia ya kupenda masomo ya sayansi katika kufikia uchumi wa viwanda.

Kwa mahitaji ya Furniture aina zote Waone Kings Furnishers

$
0
0

Kwa mahitaji ya Furniture aina zote... Kama masofa ya kisasa..Makabati Mazuri. Marble Dinning.... Vitanda Vizuri vyenye wadhifa... Dressing Table na Vingine Kibao.
Wacheck
@kings_furnishers
@kings_furnishers
Au wasiliana nao
0788- 999222
0773-999222
.
Wapo Nyerere Road Karibu na Quality Centre.
Wateja wote mtapata huduma... Ndani ya Dar, mikoani na Nje ya Tanzania.
.
Zaidi Pitia Page yako kutazama Furniture na Mapambo yaliyopoa. Bei zao ni Poaa Sana. .
Follow
@kings_furnishers
@kings_furnishers
@kings_furnishers
@kings_furnishers

Uwuoya; Sitaki Kuulizwa Kuusu Uhusiaano wa Kimapenzi na Dogo Janja

$
0
0
Uwuoya; Sitaki Kuulizwa Kuusu  Uhusiaano wa Kimapenzi na Dogo Janja
MKALI kunako soko la filamu Bongo, Irene Uwoya, amesema kuwa amechoshwa kuuliza maswali juu ya kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na mwanamuziki wa Bongo Fleva, Abdulaziz Chende ‘Dogo Janja’.

Akipiga stori Over Ze Weekend, Uwoya alisema kuwa suala la kuwa kwenye uhusiano kwake ni binafsi na haijalishi yupo na nani lakini pia hataki kusikia wala kuulizwa swali kuhusu msanii huyo.

“Sihitaji kumzungumzia (Dogo Janja) na nimechoshwa na maswali kuhusu kuwa kwenye uhusiano naye, hayo ni mambo yangu binafsi na ninaomba niachwe kwa kweli,” aliwaka Uwoya.
Boniphace Ngumije | Ijumaa Wikienda.

Waioteuliwa na Rais Waeleza Namna Walivyopata Taarifa za Uteuzi Wao

$
0
0
Waioteuliwa na Rais Waeleza Namna  Walivyopata Taarifa za Uteuzi Wao
Wakati mawaziri na manaibu walioteuliwa wakitarajiwa kuapishwa leo, baadhi wameeleza namna walivyopokea taarifa za uteuzi wao.

Lakini walioachwa katika mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yaliyofanywa juzi na Rais John Magufuli, wamekataa kuzungumzia lolote kuhusu uamuzi huo.

Baadhi ya walioteuliwa wameonyesha dhahiri kutokuwa na taarifa za awali kuhusu uteuzi wao, wengi wakisema walikuwa wakiendelea na shughuli nyingine za kichama na kitaifa.

“Nimepokea uteuzi nikiwa kazini kwenye kikao cha Kamati ya Utekelezaji UWT (Umoja wa Wanawake wa CCM) wa Mkoa Pwani,” ameandika Subira Mgalu katika ukurasa wake wa Facebook.

“Nimetoa machozi kwa imani kubwa aliyoionyesha Mhe Rais Dk John Pombe Magufuli kwangu ni kubwa. Sikutarajia! Ahsante sana Mhe Rais.”

Mgalu, ambaye amekuwa naibu waziri wa Nishati, ametuma picha zinazomuonyesha akiwa na wanachama wengine wa CCM wanaoshangilia, huku akionekana kufuta uso, mithili ya mtu anayefuta machozi.

“Ahsanteni wote. Mlionipongeza wengi sana, nimeona upendo wenu kwangu. Kikubwa mniombee kwa imani zenu tofauti.

“Ahsante wanawake wa Mkoa wa Pwani kwa kuniamini na leo kunisaidia kuhimili jambo kubwa kama hili. Namuomba Mwenyezi Mungu aniongoze vyema katika majukumu haya Amin.”

Hali ilikuwa kama hiyo kwa Dk Hamisi Kigwangalla, ambaye alikuwa Naibu Waziri wa Afya na sasa anakuwa Waziri wa Maliasili na Utalii.

Katika akaunti yake ya Instagram, Dk Kigwangalla amesema alipata taarifa akiwa Kituo cha Afya cha Kilimarondo wilayani Nachingwea mkoani Lindi.

“Baada ya kumaliza kazi kituoni hapo na kuanza ku-rake (kusafisha) njia ya kuelekea Liwale, Kituo cha Afya cha Kibutuka, ndipo mwenyeji wetu anaarifiwa na watu wa Liwale kuwa itakuwaje? Mheshimiwa ataendelea na ziara huku amebadilishiwa majukumu?” ameandika Dk Kigwangalla katika mtandao wa kijamii.

“Kilimarondo hakuna mtandao zaidi ya TTCL. Ni kilomita takriban 100 za vumbi kuelekea ndani huko. Ni tarafa ya pembezoni kwelikweli. Ni mahali ambapo Nachingwea inapakana na Tunduru.

“Namba za NW AMJW (Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto) ilibidi ziondolewe na safari ya kutoka huko ianze! Nimepokea salamu nyingi za pongezi na shukrani kwa Mungu aliye juu. Sitaweza kumjibu kila mtu. Uungwana ni kutambua pongezi zenu na dua tele mlizotuombea, nawashukuru sana ndugu zangu. Tuzidi kuombeana dua tu.”

Lakini hakuchelewa kuonyesha ugumu wa kazi iliyo mbele yake.

“Tuna kazi ngumu ya kukimbia kukidhi matarajio ya kiongozi mkuu aliyetuamini na matarajio ya wananchi,” ameandika.

“Binafsi nawaahidi nyote kuwa sitawaangusha! Ahsanteni sana ndugu zangu, natarajia ushirikiano wenu wa kila hali,” alisema.

Mwingine ni Mary Mwanjelwa, ambaye ameteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Kilimo. Hata hivyo, hakuwa amejiandaa kuzungumzia suala hilo wakati mwandishi wetu alipowasiliana naye kwa simu.

“Kwa sasa nipo Uwanja wa Ndege wa Songwe najiandaa kuruka kwenda Dar es Salaam. Hivyo siwezi kuzungumza chochote kwa sasa. Lakini ni maombi yenu na naomba tuendelee kuombeana,” alisema Mwanjelwa, ambaye aliwahi kushika uenyekiti wa Bunge kwa muda mfupi.

Mteule mwingine ambaye anakuwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga alimshukuru Rais Magufuli kwa kumuamini.

“Nashukuru Rais kwa kuniteua ili nimsaidie katika wizara ambayo ina changamoto nyingi. Naahidi kufanya kazi kwa weledi ili kukabiliana na changamoto zilizopo,” alisema.

Shukrani pia zilitolewa na Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Isack Kamwelwe, ambaye alisema yuko tayari kufanya kazi kama ambavyo Rais Magufuli alivyomteua.

Naibu Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Atashasta Nditiye alisema, “Nimepokea uteuzi kwa mikono miwili sitamwangusha Rais”.

Aliahidi kufanya kazi ili kusukuma mbele maendeleo ya Taifa.

“Niko njiani kuja Dar es Salaam kwa ajili ya kuapishwa,” alisema Nditiye ambaye ni mbunge wa Muhambwe mkoani Kigoma.

Wakataa kuzungumza

Hali ilikuwa tofauti kwa walioachwa katika mabadiliko hayo ya Baraza la Mawaziri.

“Sina cha kusema,” alisema aliyekuwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Ramo Makani.

Jibu kama hilo lilitolewa na aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe aliyesema hawezi kuzungumzia kuondolewa kwake katika nafasi ya uwaziri.

“Naomba leo nisizungumze chochote please (tafadhali) niacheni kwa sasa,” alisema.

Wizara hiyo imekuwa kaa la moto kwa wanaoteuliwa kuiongoza kutokana na kuwapo mabadiliko ya mara kwa mara.

Mbali ya hao, aliyekuwa Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Gerson Lwenge alikataa kuzungumzia suala hilo.

“Sasa unataka nizungumze nini, sina cha kuzungumza,” alisema na kukata simu.

Wanaume Wawakimbia Wake na Wototo Wao Waanaoalia Muhimbili

$
0
0
Wanaume Wawakimbia Wake na Wototo Wao Waanaoalia Muhimbili
Baadhi ya wanawake ambao wamelazwa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) wakiwauguza watoto wao baada ya kubainika wana matatizo ya saratani, wamelalamika kukimbiwa na waume zao.

Wanawake hao walisema chanzo cha kukimbiwa ni baada ya gharama za matibabu na dawa za saratani kuwa ghali, ikilinganishwa na magonjwa mengine.

Akizungumza na gazeti hili juzi wakati wa kupokea misaada yenye thamani ya Sh3.3 milioni iliyotolewa jana na Lions Club kwa watoto wanaoishi na saratani, Gigwa Izunya (40) alisema tangu amelazwa hospitalini hapo na mtoto wake Holo Jika (2) hakuna ndugu aliyefika hivyo anaishi na kutibiwa kwa msaada wa Muhimbili.

“Nililetwa Muhimbili Aprili 14 kutokana na matatizo ya jicho la mwanangu ambayo imethibitishwa kuwa ni saratani, hakuna ndugu wala mume walionitembelea mpaka sasa Holo amewekewa jicho bandia,” alisema.

Gigwa, mkazi wa Dodoma ni kati ya wanawake wanaouguza watoto wao wanaosumbuliwa na saratani waliotelekezwa na ndugu.

Naye Rehema Athuman (29) kutoka mkoani Lindi, alilalamikia kutengwa na familia yake kwa miezi kumi sasa baada ya mtoto wake kugunduliwa na saratani ya ngozi.

“Alianza kwa kuvimba shavu na baadaye ngozi yake ikaanza kupata harara, alipokea matibabu ya muda mrefu bila mafanikio tulipofika Muhimbili tukaambiwa ni saratani, akalazwa tangu hapo nimetelekezwa nasaidiwa na kaka yangu mara moja moja anapita kutujulia hali,” alisema Rehema.

Mkufunzi wa Saikolojia wa Lions Club, Bhavika Sajan alisema klabu hiyo imeanzisha huduma ya kuwatia matumaini wazazi wanaouguza watoto wao kupitia Kituo cha Ujasiri House kilichopo hospitalini hapo.

Alisema gharama za matibabu na dawa za saratani vimeendelea kuwaumiza wagonjwa wa kipato cha chini, huku wakiendelea kuhitaji misaada ya wahisani mbalimbali.

Akizungumza wakati wa kupokea misaada hiyo, Stella Rushagara ambaye alimwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Lawrence Museru, alisema kuna changamoto ya matibabu kwa walio wengi.

“Hasa kwa wagonjwa wa saratani, wanatumia dawa ambazo ni ghali hivyo mkitusaidia dawa mtawasaidia zaidi wanaohangaika na matibabu,” alisema Rushagara.

Naye Naibu Gavana wa Lions Club, Mustafa Kundrat alisema misaada hiyo wameitoa katika kusherehekea huduma kwa jamii duniani, ambayo huadhimishwa Oktoba kila mwaka.

“Mwaka huu tumekuja Muhimbili tunataka kusherehekea kwa kutoa misaada kwa wagonjwa kupitia vitu mbalimbali vyenye uhitaji kwao,’’ alisema.

Mwanasheri Amwandikia Waraka Tiundu Lissu Kuhusu Katazo la AGP Sirro

$
0
0
Mwanasheri Amwandikia Waraka Tiundu Lissu Kuhusu Katazo la AGP Sirro
Wakili wa kujitegemea, Peter Kibatala ameandika waraka kwa Rais wa chama cha Wanasheria wa Tanganyika  (TLS) ,Tundu Lissu kwamba atahakikisha anatumia ujuzi wake wote wa sheria kuhakikisha katazo la IGP Sirro kuhusu mjadala kiongozi huyo kuipigwa
 
Rais wa TLS na Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Antiphas Lissu
risasi linatenguliwa.
Kibatala ameweka waraka wake kwenye ukurasa wake wa Instagram ikiwa yamepita masaa machache baada ya IGP Sirro kutoa kauli ya katazo kwa wanasiasa kuhusu kuuendeleza mjadala wa Lissu na kuwataka waliachie jeshi la polisi liendelee kufanya kazi yake.
Kibatala ameandika "Mpendwa Kaka Tundu Lissu wanasema eti wamekataza mjadala juu ya wewe kupigwa risasi 11 mwilini mwako, kati ya zile 38 zilizoelekezwa kwako.binafsi nitatumia ujuzi wangu wote wa kisheria kuhakikisha hilo katazo linatenguliwa. Ile tu kupambana kuhakikisha hicho kitu hakina mashiko kisheria ni sehemu ya kutimiza wajibu wangu kwako .

Waraka ukaelezea zaidi; "U are my President, now and forever, my whole some President na i will be very stupid to leave such legal issues un-attended". (Nitakuwa mpumbavu nikiiacha ishu hii ya kisheria bila kuishughulikia Rais wangu, Wewe ni rais wangu sana na hata milele".
Hata hivyo katika waraka wake huo Kibatala ameomba radhi kwa Rais wake huyo kwa kutowekeza nguvu zake kwenye sintofahamu za Msaidizi wa Mwenyekiti wa Chadema Taifa Ben Saanane aliyepotea kusikojulikana na aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Alphonce Mawazo aliyeuawa na watu wasiojulikana, huku akimuahidi kuanza kutafuta ufumbuzi wa kisheria kwenye masuala hayo.
"Nisamehe sikuwekeza nguvu za kisheria za kutosha kwenye issues za Ben Saanane na Alphonce Mawazo. Mimi na wenzangu tutatumia kila mbinu ya kisheria kuhakikisha mambo haya yanapatiwa ufumbuzi wa umma kwa sababu upelelezi kisheria si mali binafsi ya jeshi lolote nchini" Kibatala ameongeza.

Rais wa TLS, Tundu Lissu akiwa pamoja na Wakili Peter Kibatala.
Kibatala ameongeza "Tundu Lissu ukirudi utanikuta nipo njiani na masuala haya na kwa vyovyote wew  au mwingine 'who will be left standing or sitting, will carry through' .
Hata hivyo mwisho wa waraka huo Kibatala amesema kuu ajenda yake kuu wiki hii itakuwa pia ni kuuliza kisheria uhalali wa kuzuia maombi ya wazi kwako Tundu Lissu. 

Trump Aomba Ufadhili wa Ujenzi wa Ukuta na Kufukuzwa kwa Wahamiaji

$
0
0
Trump Aomba Ufadhili wa Ujenzi wa Ukuta na Kufukuzwa kwa Wahamiaji
Ikulu ya Marekani imejumuisha makubaliano yoyote mapya kuhusu wahamiaji wadogo wasio na vibali vya uhamiaji na kuwazuia wahamiaji wasio halali, pamoja na ujenzi wa ukuta mpya kati ya mpaka wake Mexico.

Rais wa Marekani Donald Trump anaomba ufadhili kwa ujenzi wa ukuta, kufukuzwa haraka watu kutoka Marekani na kuajiriwa maefu ya maafisa wapya wa uhamiaji.
Mwezi ulioita alifuta mpango wa Obama uliofahamika kama "Dreamer" ambao ulikuwa unawalinda wahamiaji 690,000.
Lakini wanademokrat wenye ushawishi katika bunge wamekataa mapendekezo hayo mapya.

Mwezi uliopita Bw. Trump aliliambia bunge la Congress lililo na warepublican wengi kuwa lina miezi sita kukubaliana kuhusu sheria ya kuwasaidia Dreamers.

Hawa ni vijana ambao walipelekwa nchini Marekani kinyume cha sheria kama watoto na hivyo wanakabiliwa na hatua ya kufuzwa kutoka nchini humo.
Chini ya sera za Obama, vijana hao walikuwa na uwezo wa kuomba vibali vya kufanya kazi na kusoma, lakini wakosoaji wanasema kuwa mpango huo ni sawa na kuwapa kinga wahamiaji haramu.
Tangu mpango huo uanze kutekelekwa karibu hali ya wahamiaji 100,000 imebadilika kati ya karibu wahamiaji 690,000.

Msuukuma Atamba Akanuisha Tetesi za Kiufukuzwa UIanachama CCM Asema Yeye ni Nyota ya Chama

$
0
0
Msuukuma Atamba Akanuisha Tetesi za Kiufukuzwa UIanachama CCM Asema Yeye ni Nyota ya Chama
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita, Joseph Msukuma amekanusha tetesi za kufukuzwa uanachama na kujitapa kuwa yeye ni nyota ta ya chama.

Akizungumza jana kwenye mkutano mkuu maalumu wa uchaguzi wa viongozi wa CCM Wilaya ya Geita, Msukuma alijitapa kuwa yeye ni nyota ya chama.

Siku za hivi karibuni kumekuwa na tetesi kwenye mitandao ya kijamii zikimtaja Msukuma na wanachama wengine kuwa wamefukuzwa uanachama.

Katika hatua nyingine, Msukuma alisema uamuzi wa madiwani wa Wilaya ya Geita kudai fedha za halmashauri kwenye Mgodi wa GGM si wa kubahatisha, hivyo aliwataka madiwani ambao hawajaripoti polisi au kukamatwa waende ili wakahojiwe.

Msukuma ambaye pia ni Mbunge wa Geita Vijijini na madiwani, wanashtakiwa kwa makosa manne ambayo ni kula njama, kufanya mkusanyiko usio halali, kufunga barabara na kusababisha wafanyakazi wa GGM wasiende kazini na kufanya uharibifu wa bomba la maji.

Alisema ni wajibu wao kuwekwa ndani kwa kuwa wanadai haki ya wananchi waliowaamini, hivyo hawana sababu ya kuogopa.

Mbunge huyo alisema licha ya kesi hiyo, tayari madiwani wengine wamefunguliwa kesi nyingine kutokana na kuwajadili watu waliotajwa kwenye taarifa ya mkuu wa mkoa iliyotolewa na kamati ya biashara dhidi ya wafanyabiashara wa Geita na Mgodi wa GGM.

“Kapaya na Bugomola wameshahojiwa kwenye kesi mpya na madiwani wote mliochangia siku ya kikao mmefunguliwa kesi nyingine eti mliwajadili watu, nashangaa kama madiwani wanazungumza kwenye vikao halali halafu wanakamatwa, basi bora tujiuzulu,” alisema Msukuma.

Matokeo ya uchaguzi

Katika uchaguzi huo aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Wilaya, Muhoja Mapande alitetea nafasi yake kwa kupata kura 754.

Wengine na kura zao kwenye mabano ni wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM Taifa, Constantin Morand (777), Herman Kapufi (681) na Leornad Bugomola (657). Nafasi za ujumbe wa mkutano mkuu wa CCM mkoa ni Saashisha Mafuwe (913) na Rebeca Lusangija (663)

Akizungumza baada ya kutangazwa mshindi, Mapande aliwataka wanachama kutambua kuwa wajibu wa chama ni kuisimamia Serikali hivyo wakawasimamie watumishi wa umma kuanzia ngazi ya kijijini.

Mbowe Asikitishwa naa Kauli ya Kardinali Pengo Kuhusu Mchakato wa Katiba

$
0
0
Mbowe Asikitishwa naa Kauli ya Kardinali Pengo Kuhusu Mchakato wa Katiba
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema kauli ya Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo kuhusu mchakato wa Katiba imewasikitisha.

Mbowe ambaye pia ni Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni amesema kiongozi huyo wa dini anapaswa kulinda heshima aliyonayo ndani na nje ya kanisa.

Akizungumza na Mwananchi, Mbowe amesema, “Askofu Pengo ni kiongozi wa kanisa, anaheshimika na wananchi ambao si wale anaowaongoza lakini kwa kauli yake kuhusu Katiba, imetushangaza na imenisikitisha.”

Mbowe amesema, “Suala la elimu, chakula na maisha yetu yanalindwa na Katiba, ndiyo msingi wa mifumo ya rasilimali za Taifa. Anaposema haoni umuhimu wa Katiba anatufikirisha, anataka kusema mchakato wa Katiba uliogharimu mabilioni ya fedha leo hauna maana?”

Amesema umefika wakati mchakato wa Katiba uliokwama ukaendelezwa na hasa kuanzia katika rasimu ya Katiba iliyoandaliwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba chini ya mwenyekiti, Jaji mstaafu Joseph Warioba.

“Katiba ni maridhiano, tunahitaji kupata maridhiano ya pande zote, nirudie tu kwamba alichokisema Askofu Pengo kinasikitisha,” amesema Mbowe.

Kardinali Pengo Jumamosi iliyopita alinukuliwa akisema kauli iliyotolewa hivi karibuni na Askofu wa Jimbo la Rulenge-Ngara, Severine Niwemugizi kuwa Katiba mpya ndiyo kipaumbele cha wananchi ni maoni yake binafsi na si msimamo wa Kanisa Katoliki nchini.

Alisema hilo alipotoa ufafanuzi kuhusu  sitofahamu iliyojitokeza miongoni mwa Watanzania na waumini wa kanisa hilo kutokana na kauli ya Askofu Niwemugizi.

“Napenda kutamka moja kwa moja kwamba huo si msimamo wa kanisa na hauwezi kuwa msimamo wa kanisa kwa sababu sisi tuna utaratibu wetu wa kuishauri Serikali au kuzungumzia masuala ya jamii,” alisema.

Hivi karibuni Askofu Niwemugizi alinukuliwa na vyombo vya habari akisema kipaumbele cha kwanza cha Watanzania ni Katiba mpya na kuongeza yeye binafsi ni miongoni mwa watu walioipinga Katiba Inayopendekezwa.

Rais Magufuli leo Amewaapisha Mawaziri 21 na Manaibu Wake

$
0
0
Rais  Magufuli leo Amewaapisha Mawaziri 21 na Manaibu Wake
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo amewaapisha Mawaziri 21 na Manaibu Waziri 21, aliowateua,baada ya kufanya mabadiliko ya Baraza hilo Oktoba 7, 2017.

Sherehe za kuapishwa kwao zimefanyika Ikulu jijini Dar es salaam, na kuhudhuriwa na viongozi mbali mbali wa kitaifa, wakiwemo Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan na Waziri Mkuu Kasim Majaliwa, Spika wa Bunge Job Ndugai na Jaji Mkuu wa Tanzania Prof. Ibrahim Juma
Baada ya kuapishwa Rais Magufuli amewataka Mawaziri hao kuanza kazi mara moja, na wamebadilishana nyaraka mbali mbali za wizara ambazo walikuwa wanatumikia awali, kwa wale ambao wamehamishwa wizara.

Spika Ndugai amshukuru Dk Kashililah kwa Utumishi Uliotukuka

$
0
0
Spika Ndugai amshukuru Dk Kashililah  kwa Utumishi Uliotukuka
Spika wa Bunge, Job Ndugai amemshukuru aliyekuwa Katibu wa Bunge, Dk Thomas Kashililah kwa utumishi uliotukuka.

Ametoa shukrani hizo leo Jumatatu Ikulu jijini hapa baada ya Rais John Magufuli kuwaapisha mawaziri, manaibu na Katibu wa Bunge mpya, Stephen Kagaigai.

Spika Ndugai pia amewakaribisha mawaziri, manaibu na katibu huyo bungeni mjini Dodoma.

“Ninyi mnatokana miongoni mwetu katika nyumba ile ya wabunge. Rais ameona awape nyadhifa hizi, kubwa na la kipekee nimkaribishe Katibu wa Bunge mpya Kagaigai na kipekee nimshukuru Dk Kashililah, asante sana kwa utumishi uliotukuka hatutakusahau,” amesema.

Amesema timu ya Baraza la Mawaziri ana imani nayo kwamba itafanya kazi vyema. Baada ya kuapishwa leo, watakutana katika kikao cha Baraza la Mawaziri.

“Mje Dodoma mmejiandaa, hii miaka miwili ya mwanzo walikuwa wanajifunza funza, sasa tukienda Dodoma itakuwa ni kazi tu,” amesema Spika Ndugai.

Wakati huohuo, Jaji Mkuu Profesa Ibrahim Juma amesema kile walichokitamka katika kiapo cha uadilifu wanapaswa kukizingatia kwa kufuata utaratibu wa kisheria na Katiba ili kuepusha migongano.

Je Wajua Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Madogo ya Kiume?

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WA NA MAUMBILE MADOGO?Tatizo hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia ,hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wenzao,kwakawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6_8 vinginevyo mtu huyu ana matatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo baadhi ni,upungufu wa vichocheo (hornes) za gestrojen ambapo mwanaume anapobalehe vichocheo hivi (hormones)huchochea ujuaji wa uume.chango ambalo hushambulia nerve ambapo huharibu kabisa ukuaji wa uume, Punyeto ambayo huasili misuli ya uume,pia ngiri ambayo huleta maumivu ya tumbo kuunguluma na kujaa gesi,korodani moja kuvimba,kutopata choo vizuri,sababu hizi na nyinginezo hufanya uume kulegea na kisinyaa nakuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu zakiume (hamu ya tendo landoa hupungua au kuisha kabisa).NSUMBU,Nidawa inayozalisha hormones za gestrogene na kufanya uume kukua na kuongezeka mara dufu.NZAGI,Ni dawa ya kurudisha nguvu za kiume ,hutia hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila hamu kuisha nakuponya kabisa tatizo hilo. Pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk 15 nakuendelea kwa tendo la kwanza.kumbuka dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji.Natunatibu kisukari,bp,ngiri,miguu kuwaka moto,namengine mengi.

WASILIANA OSTADHI JUMA KWA SIMU NO,0784002216 AU 0769597778. 

Kiongozi wa Chadema Akwamatwa na Polisi

$
0
0
Kiongozi  wa Chadema Akwamatwa na Polisi
Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Tunduma, Herode Jivava ametiwa nguvuni na Polisi akidaiwa kutishia kuua kwa maneno.

Jivava ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Songwe anakuwa kiongozi wa nane kukamatwa na kuwekwa mahabusu. Baadhi ya waliokamatwa  wamefunguliwa kesi mahakamani na wengine wako nje kwa dhamana wakisubiri upelelezi wa polisi kukamilika.

Akizungumza na Mwananchi kuhusu kukamatwa kwa Jivava, Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha) Mkoa wa Songwe, Ayub Sikagonamo amesema alikamatwa jana Jumapili jioni mjini Vwawa akijiandaa kuingia uwanjani kuangalia mpira na alipelekwa Kituo cha Polisi Tunduma.

“Asubuhi hii tumefika hapa Polisi tumeambiwa Jivava anatuhumiwa kwa kosa la kutishia kuua kwa maneno. Eti aliwatishia mgambo wakati wakiwaondoa kwa nguvu Machinga mjini Tunduma,” amesema.

 Sikagonamo amesema wanamsubiri mwanasheria ili kushughulikia suala hilo.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe, Mathias Nyange hakuwa tayari kuzungumzia taarifa za kukamatwa kwa Jivava akimtaka mwandishi wa Mwananchi kusubiri ili afuatilie tukio hilo.
Viewing all 104755 articles
Browse latest View live




Latest Images