Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104687 articles
Browse latest View live

Install Application ya MCHAMBUZI Kwenye Simu yako Kusoma Matamko ya Wanasiasa Kila Siku

$
0
0
Maswala ya Siasa na Matamko ya kila siku ya Wanasiasa Hakikisha Umedownload App ya Mchambuzi Kwenye simu yako
Bonyeza HAPA

Kama we ni Mpenzi wa Habari za Siasa Usipitwe na Hii Application ya Mchambuzi..... Bonyeza HAPAKudownload kwenye Simu yako

Sababu, Dalili na Tiba ya Tatizo la Nguvu za Kiume Pamoja na Maumbile Madogo ya Uume..Soma Hapa

$
0
0
SABABU, DALILI NA TIBA YA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME  PAMOJA NA MAUMBILE MADOGO YA UUME? SOMA HAPA👇👇👇
       Tatizo la kukosa au upungufu wa nguvu za kiume limekuwa kubwa sana duniani kote. Kupungukiwa nguvu za kiume na maumbile madogo ya uume husababishwa na mambo mengi kama KISUKARI, UNENE ULIOPITILIZA, KUJICHUA  (MASTER BLASHION), HOMONI kushindwa kufanya kazi ipasavyo n.k.
     Upungufu wa nguvu husababisha tendo la ndoa kutokufanyika kwa kujiamini na kwa usahihi na hivyo kusababisha ndoa na mahusiano kuvunjika.
      BAADHI YA DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI KAMA:-
☆Kukosa hamu ya tendo la ndoa
☆Uume kusimama kwa ulegevu
☆Kuwahi kufika kileleni
☆Uume kusinyaa katikati ya tendo
☆Kushindwa kurudia tendo kwa wakati
☆Kuchoka sana baada ya round ya kwanza na hata kukinai kabisa.
     Kwa kutumia mimea na matunda @markson_beauty_pr Tunakuletea suluhisho la matatizo hayo hata kwa wenye "KISUKARI NA PRESSURE" kwa:-
1.HANDSOME UP ORIGINAL:- kifaa chenye uwezo wa 99% kuongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @250,000/=
2.SHARK POWER ni gely ya kupaka inayoongeza uume kwa wastani wa inch 6 hadi 7  @150,000/=
3.VigRX CREAM:- ni gely iliyoboreshwa mahususi kwa ajili ya kuongeza maumbile kwa wastani wa inch 7  hadi 8 na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @200,000/=
4.Vidonge maalum kwa ajili ya kuongeza nguvu na hamu ya tendo la ndoa hata kwa wenye kisukari @150,000/=
5.Spray ya kuchelewesha kufika kileleni @130,000/=
      BIDHAA HIZI HAZINA MADHARA NA ZIMETHIBITISHWA KIAFYA.


Wasiliana nasi (+255)
           0767447444 na
              0714335378

        UTAPATA HUDUMA
NB:Matokeo ni uhakika na garantii na hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.

Ronaldo Aipaisha Real Madrid, Yaipiga Getafe 2-1

$
0
0
Cristiano Ronaldo akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Real Madrid dakika ya 85 ikiwalaza wenyeji Getafe 2-1 Uwanja wa Coliseum Alfonso Perez katika mchezo wa La Liga leo. Karim Benzema alianza kuwafungia Real dakika ya 39, kabla ya Jorge Molina kuwasawazishia wenyeji dakika ya 56.

Man City yaiadhibu Stoke City 7-2

$
0
0
Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao mawili 17 na 55 katika ushindi wa 7-2 dhidi ya Stoke City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Raheem Sterling dakika ya 19, David Silva dakika ya 27, Fernandinho dakika ya 60, Leroy Sane dakika ya 62 na Bernardo Silva dakika ya 79, wakati ya Stoke City yamefungwa na Mame Diouf dakika ya 44 na Kyle Walker aliyejifunga dakika ya 47.

Chelsea Yapigwa 2-1 ugenini

$
0
0
Wilfried Zaha alifunga bao la ushindi huku Crystal Palace ikiandikisha ushindi wake wa kwanza dhidi ya mabingwa wa ligi ya Uingereza Chelsea.

Palace ilikuwa imepoteza mechi zake zote saba tangu ligi ianze zikiwemo mechi tatu chini ya Mkufunzi mpya Hodgson na walikuwa wameshindwa kufunga hata bao moja.

Lakini walimaliza tatizo hilo la kutofunga bao baada ya Yohan Cabaye kusababisha bao ambalo lilimgonga beki wa Chelsea David Luiz na kuingia.

Lakini uongozi huo wa Palace ulisimama kwa dakika nane pekee baada ya kona iliopigwa na Fabregas kufungwa na Tiemoue Bakayoko.

Lakini Zaha, akiwa amerudi baada ya kuuguza jeraha aliweza kufunga bao la pili kabla ya kukamilika kwa kipindi cha kwanza na kikosi hicho cha Hodgson kikaweza kuzuia ushindi huo hadi kipenga cha mwisho.

Ushindi huo hatahivyo hautaiondoa Palace katika mkia wa jedwali lakini umepunguza pengo hilo hadi pointi nne.

Chelsea nao watasalia katika nafasi ya nne wakiwa sasa wako na alama tisa nyuma ya viongozi wa ligi Manchester City.

Hii Ndio Siku Nilivyogundua Umuhimu wa Ushanga Kiunoni

$
0
0
Imeandikwa na Dada Chiku

Haya Akina Dada,

Somo leo ni USHANGA. Kwanza Ushanga ni nini? Kwa kimombo, ni beads. Ukipita mitaa Kariakoo, utakuta kila rangi na design zinauzwa na akina mama wa kiMasai (Wanafanya Consultation pia). Zile ndogondogo kabisa siyo hizo kubwa za kuvaa kwenye nywele. Ni pambo muhimu mno kwenye mwili wa mwanamke. Hata kwa watoto wadogo, aliyevaa shanga, unajua ni msichana huyo.

Sasa mimi nilijfanya nime’zungu’tika, na kuaacha kuzivaa. Hasa baada ya ushanga niliyovaa kukatika na kumwagika nikiwa kwenye daladala. Uhusiano na boy-friend wangu ilikuwa kwenye Plateau…..yaani flet. Huyo boy-friend mimi nilimpenda sana. Nikaenda kwa Aunti wangu Temeke na kumwelezea shida yangu na kumwaomba Ushauri.

Aunti akanipeleka chumbani kwake. Akaniambia nivue nguo. Nilisita kwanza, lakini alisisitiza nivue. Nikavua. Akatazama mwili wangu, akasema, kweli mwili wako bado nyororo, lakini umekosa kitu kimoja muhimu….USHANGA!

Nilipigwa Butwaa… Ushanga! Aunti alisema, ndio umekosa Ushanga. Alienda akafungua sanduku yake, akanipa enye rangi ya light blue, njano, na red. Nikazivaa kiunoni Aunti akaanza kutabasamu, akaniambia, haya vaa sasa na nenda kwa boyfriend wako. Uone kama mambo ni tofauti.

Nilienda nyumbani, niloga na kuvaa nguo ya Outing. Nikapanda daladala na kwenda mjini. Nilikutana na boyfiriend wangu Posta Mpya …tukaelekea kwenye disko. Tulikuwa tunacheza madensi, halafu blues, ya Boyz to Men ikaanza kupigwa. Wenye disko walipunguza taa. Mimi na boyfriend wangu tukakumbatiana na kuanza kucheza Blues. Miili yetu iligusana na akaana kunipapasa taratibu kufuatana na beats za muziki. Nilifurahi sana. Akateremsha mikono yake kwenye kiuno changu. Alivyogusa ile shanga aliyonipa Aunti akawa kama mwili wake imekufa ganzi. Alisisimuka we! Akanishika kwa nguvu, niligundua kuwa mboo yake ile kuwa ATTENTION!

Akaniuliza taratibu na kipole , "Chiku mpenzi, umevaa nini?"
"Nikamjibu kwa aibu , " Nimevaa Ushanga mpenzi".
Akasema, " Mimi najua kuwa ni ushanga ila tangu tuwe marafiki hujazivaa"
"Kweli, mpenzi. Aunti amenipa leo"
"Huyo aunti wako mjanja, anajua mambo"

Wimbo ulivyoisha tukaondoka kwenda nyumbani kwake. Siku hiyo sex ikawa nzuri kuliko siku zote ambazo nilikuwa naye. Alikuwa na furaha mno. Kesho yake kazini kwake, akawa anatabasamu mpaka wenzake wakamwuliza ‘Vipi’. Na mimi nilipanda daladala kwenda Kariakoo, nilinunua shanga nyingi za kila rangi. Baada ya hapo nilienda duka na kumnunulia Aunti Zawadi ya Khanga kama shukrani.

Niliporudi Temeke kwa Aunti, alipoona natabasamu tu alijua mambo ni OKAY!

Akina Dada, ni muhimu sana kuvaa ushanga. Ni njia moja ya kumtia ashki mpenzio.

Shuhudia Maajabu ya Chief Sultan Mzee...Mtaalamu wa Nyota za binadamu

$
0
0
 Ona Maajabu ya Chief Sultan Mzee

 Mtaalamu wa Nyota za binadamu Africa Mashariki na dunia nzima,
Amewasaidia watu wengi kujua nyota zao na jinsi ya kuzing'arisha,
Anarudisha Mpenzi,Mume,Mke mliyeachana NDANI ya masaa manne(4) tu,
Anaweza kuongeza ROMANCE na MAHABA kwa Mwenzi wako
Anatoa pete ya BAHATI pamoja na kukupa uwezi wa Kupata faida kubwa katika biashara yako,
Kwa wale mnaosumbuliwa na Chuma ulete tatizo hilo analiondoa kabisa,
Anakuwezesha kushinda kesi iliyodumu siku nyingi nk.


KWA USTAA,UMARUFU UTAPATA UTAJIRI WA MAISHA NA BILA MASHARTI YOYOTE, UTAPEWA NGUVU ZA KUJILINDA NA UTAJIRI, MALI NA AFYA YAKO,Karibu kwa CHIEF SULTAN MZEE akupatie Pete za Bahati na utajiri.Wachungaji wengi duniani, Wanasiasa na Wasanii Maaarufu duniani Tayari wamejiunga pia wamefaidika na wamebadirisha  Maisha yao toka umasikini mpaka utajiri,kujua mengi zaidi na kutatuliwa Matatizo yako yoote kwa usiri na Uaminifu piga simu namba 0762-846979 au 0672-202509

Waliomfuata Lissu Nairobi Warudi Nchini Wamebadilika...Magazeti ya Leo Jumapili

$
0
0

Waliomfuata Lissu Nairobi Warudi Nchini Wamebadilika...Magazeti ya Leo Jumapili

Siwezi Kushindana na Flora Kulipiza Kisasi - Mbasha Afunguka

$
0
0
Msanii wa nyimbo za injili nchini Emmanuel Mbasha amefunguka na kusema katika maisha yake yeye anamuamini Mungu hivyo hawezi kuishi maisha kwa kushindana na aliyekuwa mkewe au kufanya jambo ili kulipa kisasi kwake.

Mbasha alisema hayo jana alipokuwa kwenye kipindi cha Friday Night Live akitambulisha video yake mpya 'Haleluyah' na kusema yeye hawezi kulipiza kuoa haraka kama ambavyo aliyekuwa mkewe alivyofanya.

 "Mimi ni mtu ambaye namuamini Mungu naishi maisha bila kulipiza na siwezi kulipiza kwani siishi kwa ajili ya kufanya mashindano, kama yeye alifanya akiamini kuwa yupo sawa na mimi siwezi kukurupuka kufanya hivyo ili watu wanione kuwa nimefanya hivyo, mimi nipo mwenyewe kama Mbasha ni ukweli ni kwamba sipo kwenye mahusiano yoyote kwa sasa" alisema Mbasha

Aidha Mbasha amesema kuwa waimbaji wengi wa nyimbo za injili ni watu ambao kweli wanamtumikia Mungu japo anakiri kuwa wapo watu wachache ambao ndiyo wamekuwa wakileta sifa mbaya kwa waimbaji wengine kutokana na matendo yao.

Amenitamkia Kua Simridhishi Sababu Nina Kibamia.......

$
0
0
Habari zenu!

Ninaandika ujumbe huu kwa masikitiko sana na nimekosa raha kabisa baada ya mpenzi wangu ninaempenda sana kunitamkia kua hua simridhishi kwa sababu uume wangu haumtoshi! kwa lugha ya sasa wanasema (kibamia). Kuna mwanamke pia nilimtongoza hapa mtaani akanikataa akaniambia eti hawezi kudate mtu mwenye kibamia! sasa najiuliza alijuaje kua nina kibamia? au mpenzi wangu ananitangazia? ki ukweli hii inanikosesha raha kabisa!

Ukweli ni kwamba nina uume mdogo (kibamia) lakini ni uume imara ila tatizo ni kwamba ni mdogo kiasi cha kuitwa kibamia, hili swala limenifanya niumie na nikose kujiamini kwenye mapenzi kwa sababu nikikutana na mwanamke nakua nawaza kua anauona uume wangu ni mdogo.

Please kama kuna mtu yeyote anafahamu namna ya kuongeza ukubwa wa uume kwa njia salama please anisaidie kunipa mbinu hizo maana sina raha kabisa na inanitesa kisaikolojia!

Jamani wanawake msitunyanyapae sisi wenye vibamia jamani inatuumiza sana!

Kigezo Kipya Cha Kugombea Uchaguzi 2020 CCM Chazua Hofu

$
0
0
Kauli ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole imezua hofu miongoni mwa wabunge wa chama hicho, huku wengi wakisita kutoa maoni yao.

Polepole alinukuliwa na Redio Times juzi akisema kuwa wanachama wa CCM wanaotaka kugombea ubunge kwa tiketi ya chama hicho katika uchaguzi mkuu wa 2020 wanatakiwa kuwa wakazi wa eneo husika.

Inakadiriwa kuwa nusu ya wabunge wa CCM hawaishi katika majimbo yao kwani wengi wao wanaishi mijini na hasa Dar es Salaam jambo ambalo linaweza kuwatoa katika mchakato wa kuwania nafasi hiyo miaka mitatu ijayo.

Wengi wa wabunge wa chama hicho walioulizwa kutoa maoni yao kuhusu kauli hiyo ya Polepole waligoma kuzungumza wala kutajwa majina, huku wachache waliokubali kuzungumza wakiwa ‘makini na kauli zao’ jambo ambalo limetafsiriwa kuwa ni kutokana na hofu ya kuogopa kuonekana wasaliti.

Pengine kwa kutoamini msimamo huo wa Polepole, mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe aliuliza kupitia mtandao wake wa twitter, “hpolepole kaka hii ya Times FM kuwa 2020 mbunge lazima awe anaishi jimboni kwake ni kauli yako comrade”.

Ukiondoa swali hilo la Bashe, wabunge wengine hawakuwa tayari kuzungumzia lolote kuhusu msimamo huo wa Polepole kwa madai walikuwa hawajamsikia ‘mwenezi’ huyo wa CCM.

Mbunge wa Songwe, Phillip Mulugo alisema hataweza kuzungumzia suala hilo kwa sababu hakusikia lililozungumzwa. “Sikusikia ilipozungumzwa kwa hiyo sitaeleza chochote,”alisema.

Wakati wabunge wengine simu zao ziliita bila kupokelewa, mbunge wa Jimbo la Manonga, Seif Khamis Gulamali simu yake ilikatika kabla ya kutoa maoni na baadaye haikupatikana tena.

Baadhi ya wabunge wanaoishi katika majimbo yao, waliunga mkono kauli hiyo ya Polepole.

Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde alisema uamuzi huo ni sahihi kwa kuwa sababu kubwa ya rushwa kwenye chaguzi za CCM ni watu wasiojulikana kwa wananchi kujiuza kwa kutumia fedha.

Lusinde, ambaye ni miongoni mwa wabunge wanaoishi kwenye majimbo yao alisema wagombea ambao hurejea majimboni kutoka nje ya maeneo wanayoishi mara nyingi hutumia rushwa kuwahonga wananchi kama njia pekee ya kujitambulisha.

“Mtu kutoka Dar es Salaam asiyejua matatizo ya wananchi anawezaje kuwaongoza? Suala hili ni zuri kabisa na hakika litakomesha kabisa rushwa,” alisisitiza.

Mbunge huyo mwenye michango tata bungeni alisema wananchi wanahitaji viongozi wanaotoka miongoni mwao kwa kuwa wanafahamu changamoto na kero zinazowakabili hivyo akaunga mkono msimamo uliotolewa na Polepole.

Mmoja wa wagombea wa nafasi ya ubunge awamu zilizopita katika Jimbo la Iringa Mjini, Fadhil Ngajilo alisema japo anaunga mkono kauli hiyo, lakini chama hicho kinapaswa kufanya tathmini kwani zipo baadhi ya nafasi ambazo haziwalazimishi wagombea kuishi ndani au nje ya eneo husika ikiwamo ubunge.

Alisema kutoruhusu wakazi wanaoishi nje ya eneo husika kuwania nafasi ya uongozi kwenye eneo jingine ni sawa na kujifungia ndani ya boksi wakati utandawazi unamruhusu Mtanzania kuishi popote.

“Ni wazo zuri, lakini niwashauri viongozi wangu kwamba ziwepo nafasi zitakazoruhusu mtu kutembea kutokana na utandawazi. Mfano nafasi za ujumbe au hata ubunge. Lakini kwa wabunge wakishapata uongozi, basi kuwepo na sheria wawe wakazi wa eneo hilo,” alisema.

Ngajilo alisema hatari ya kutaka wakazi wa eneo husika ndio wawanie nafasi mbalimbali za uongozi kwenye maeneo yao kutasababisha kupatikana kwa wagombea wasio na ufahamu wa mambo mbalimbali (exposure) jambo ambalo ni hatari kulingana na hali halisi ya ushindani kwenye siasa.

Alieleza kuwa CCM inaweza kupata wagombea watakaoshindana na upinzani ikiwa watapewa wigo mpana badala ya kufungiwa.

Si wanasiasa tu walioguswa na kauli ya Polepole, hata wasomi na wadau walikuwa na maoni yao.

Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Benson Bana alisema uamuzi huo umechelewa kwa sababu ni ukweli usiopingika kwamba, wagombea wa nafasi za uwakilishi wa wananchi wanatakiwa kutoka miongoni mwao.

Profesa Bana alisema cheo chochote chenye dhana ya uwakilishi ni lazima wagombea wake watoke miongoni mwa wananchi.

“Mgombea akitoka mbali huyo lazima atumie rushwa na hatari yake ni kutofanya kazi ya uwakilishi aliyopewa kwa sababu akishashinda anaweza kutokomea. Si amenunua uongozi na tumeshuhudia baadhi ya watu huwa hawarudi, ukimtafuta,” alisema.

Alisema ni wakati muafaka kwa vyama vyote kuwa na kanuni itakayowalazimisha wagombea wake kutoka miongoni mwa wananchi wanaotaka kuwawakilisha.

Kama ilivyo kawaida kwa wasomi, Profesa Bana alipata mawazo kinzani kutoka kwa msomi mwingine.

Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Iringa (UoI), Dk Jimson Sanga alisema wananchi wanapaswa kuachwa waamue mgombea wanayemtaka bila kujali sehemu anayotokea au anayoishi.

“Falsafa za Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere zilishapiga vita ukabila, sasa kauli hii ya kutaka wagombea watokee kwenye eneo wanaloishi binafsi siungi mkono hata kidogo. Kama wao wamegundua mtu anayeishi Singida anaweza kugombea Njombe na anazijua shida zao kuwa ataweza kuzisema, aachwe agombee,”alisema.

Msimamo huo wa Polepole haukuishia katika maoni hayo ya wasomi na wanasiasa tu, ulikumbushia mchakato wa katiba mpya.

Mkurugenzi wa itifaki, mawasiliano, uenezi na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema alisema anaishangaa CCM kwa hatua yake ya kuchomoa kipengele kimoja baada ya kingine kutoka kwenye Rasimu ya Katiba ya Warioba wakati walishaikataa.

“Hilo la wabunge kutoka kwenye maeneo ya wananchi lipo kwenye rasimu ya Katiba ya Warioba. Tunamshangaa Polepole na CCM yake, nadhani kwanini wanataka kutumia vifungu vidogo vya rasimu? Watuletee rasimu nzima tuipitishe ili vyama vyote, tujue haya ndiyo maoni ya wananchi tuyafanyie kazi,” alisema Mrema.

Alisema badala ya kuendelea kunyofoa vifungu hivyo, ni vizuri waache mchakato wa kuipata Katiba mpya uendelee.

Naye Wakili wa kujitegemea, Harold Sungusia alisema kisheria vyama vya siasa vina taratibu zake za kupata wagombea wake.

Alieleza kuwa ukweli ni kwamba bado mfumo wa demokrasia ndani ya vyama vingi unatatizo katika kuwapata wagombea hao huku wanawake, wakiwa wahanga zaidi.

“Sheria inasema mgombea awe amedhaminiwa na chama cha siasa kwa hiyo, kila chama kina taratibu zake za kuwapata wagombea kwa hiyo mfumo uliopo ni wa ukiritimba,” alisema wakili hiyo.

Alieleza kuwa suluhisho la hayo yote ni sheria hiyo kuruhusu mgombea binafsi kwa sababu tayari Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu iliandika historia baada ya kutoa hukumu iliyohitimisha safari ndefu ya wananchi kutaka wagombea binafsi waruhusiwe katika chaguzi za serikali za mitaa, ubunge na urais.

Chanzo: Mwananchi

Mwalimu Nyerere Alikataa Kuongeza Mishahara ya Wafanyakazi Serikalini- Rais Magufuli

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amesema Serikali haitafuta mbio za Mwenge wa Uhuru kwa kuwa ni alama ya Uhuru na Utaifa wa nchi na kwamba unatoa mchango mkubwa katika kuchochea maendeleo, kuwaunganisha Watanzania na kuimarisha Muungano.

Mhe. Rais Magufuli amesema hayo leo tarehe 14 Oktoba, 2017 katika sherehe za kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru, kumbukumbu ya Baba wa Taifa Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere na Wiki ya Vijana zilizofanyika kitaifa katika uwanja wa Amaan uliopo Mjini Magharibi, Zanzibar.

Pamoja na kauli hiyo Mhe. Rais Magufuli amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar zitaendeleza mbio za mwenge wa uhuru na kuutetea Muungano kwa nguvu zote.

“Kauli mbiu ya Mwenge wa Uhuru mwaka huu inasema Shiriki Kukuza Uchumi wa Viwanda kwa Maendeleo ya Nchi yetu. Nimefarijika zaidi kusikia kuwa katika Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka huu jumla ya viwanda 148 vimezinduliwa, viwanda hivyo vimejengwa kwa gharama ya Shilingi Bilioni 468.46 na vinatarajiwa kuzalishaji ajira 13,370.

Hii ndio sababu tumekuwa tukihimiza ujenzi wa viwanda na hizi ni baadhi ya faida za Mwenge” amesema Mhe. Rais Magufuli.

Kuhusu Kumbukumbu ya Mwl. Nyerere, Mhe. Rais Magufuli amewataka Watanzania wote kuendelea kumuenzi Baba wa Taifa kwa kuwa wazalendo, kuthamini utu na usawa wa binadamu na muhimu zaidi kujitathimini ni kwa kiasi gani wanajiepusha na vitendo vinavyoathiri ustawi wa nchi na watu wake kama vile wizi, rushwa, ubinafsi na kukosa uzalendo.

Ametolea mfano wa Mwl. Nyerere ambaye mwanzoni mwa uongozi wake alipochaguliwa kuwa Rais wa Tanzania aliamua kupunguza mshahara wake na kukataa kuongeza mishahara ya wafanyakazi wengine Serikalini kwa maelezo kuwa hawezi kuongeza mishahara ya wachache wakati wananchi wengi ni masikini na hawapati huduma muhimu za afya, elimu na maji.

“Ninaposema hivyo simaanishi kuwa mishahara isiongezwe. La hasha. Ninachosema ni kwamba kabla ya kudai nyongeza ya mishahara ni lazima kwanza kufahamu uwezo wa Serikali, lakini pia tutambue kuwa kuna Watanzania wenzetu wengi tu wanaohitaji kuboreshewa huduma.

Hata hivyo baada ya kukamilisha zoezi la uhakiki wa watumishi hewa na vyeti feki, Serikali imewapandisha vyeo na kuwarekebishia mishahara watumishi 59,967 ambapo kiasi cha Shilingi Bilioni 159.33 zimetengwa kwenye bajeti ya mwaka huu na mishahara mipya itaanza kulipwa kuanzia mwaka huu. Na kwa upande wa Zanzibar kima cha chini cha mshahara kimeongezwa kutoka Shilingi 150,000/- hadi kufikia Shilingi 300,000/-”  Amesema Mhe. Rais Magufuli.

Kuhusu vijana Mhe. Rais Magufuli amewataka kuendelea kujielimisha katika Nyanja mbalimbali, kujiepusha na matumizi ya dawa za kulevya na kujikinga dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi.

Aidha, Mhe. Rais Magufuli amewapongeza na kuwakabidhi vyeti wakimbiza Mwenge wa Uhuru Kitaifa walioongozwa na Amour Hamad Amour kwa kukimbiza mwenge huo kwa siku 195 katika mikoa yote 31 na Halmashauri 195, ambapo jumla ya miradi 1,512 yenye thamani ya jumla ya Shilingi Trilioni 1.1 imepitiwa. Na pia ameahidi kuchukua hatua dhidi ya wote waliohusika kusababisha dosari katika miradi 19 ambayo viongozi wa mwenge wamebaini.

Sherehe hizo zimehudhuriwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein, Makama wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Seif Ali Idd, Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Janeth Magufuli, Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein na viongozi wengine wa Tanzania Bara na Zanzibar.

Gerson Msigwa

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU

Zanzibar

14 Oktoba, 2017

Sheik Ponda Aachhiwa na Polisi Kwa Dhamana

$
0
0
Sheik Ponda Aachhiwa na Polisi Kwa Dhamana
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limemwachia kwa dhamana Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda.

Pondà ameachiwa leo Jumamosi jioni baada ya kushikiliwa na Jeshi hilo tangu jana Ijumaa asubuni akituhimiwa kutoa lugha za kichochezi katika mkutano wake na waandishi wa habari Jumatano iliyopita.

Akizungumza na Mwananchi, Msemaji wa Jumuiya hiyo, Sheikh Rajabu Katimba amesema: "Sheikh Ponda ameachiwa kwa dhamana na atatakiwa kuripoti tena polisi."

Awali, Kamanda wa Kanda hiyo, Lazaro Mambosasa aliliambia Mwananchi kwamba uchunguzi dhidi ya Ponda ulikuwa ukiendelea na kama ungekamilika angepewa dhamana.

"Upelelezi unaendelea na ukikamilika tutaangalia kama atapata dhamana au tutampeleka mahakamani," alisema Mambosasa kabla ya Sheikh Ponda kuachiwa.

Wakili wa Ponda, Profesa Abdallah Safari amesena: "Ni kweli Sheikh Pondà ameachiwa, ni lini atarudi tena sijajua ila sidhani kama watampeleka mahakamani."





t

Kagera SugarYaipandisha Yanga Kileleni

$
0
0
Kagera SugarYaipandisha Yanga Kileleni
Klabu ya soka ya Yanga imeendeleza ubabe mbele ya Kagera Sugar baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 kwenye mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliomalizika jioni hii kwenye uwanja wa Kaitaba, Bukoba.

Mabingwa hao watetezi wa ligi kuu wamefanikiwa kuchukua alama tatu mbele ya wenyeji wao kupitia mabao ya Obrey Chirwa na Ibrahim Ajibu wakati bao pekee la Kagera limefunga na Jafari Kibaya.
Yanga sasa imesogea hadi kileleni ikifikisha alama 12 baada ya michezo sita sawa na Azam FC ambayo imelazimishwa sare ya bao 1-1 na timu ya Mwadui FC kwenye mchezo uliopigwa kwenye uwanja wa Mwadui Complex.
Matokeo mengine kwenye mechi za leo ni sare ya 0-0 kati ya Njombe Mji na Lipuli FC, wakati Ruvu Shooting nayo imetoka sare ya 0-0 na Singida United. Ndanda FC wametoshana nguvu na Majimaji baada ya kufungana 1-1.

Watu 30 Wauawa Katika Mlipuko wa Bomu Somalia

$
0
0
Watu 30 Wauawa Katika Mlipuko wa Bomu Somalia
Shambulio la bomu kubwa katika eneo lenye watu wengi katika mji mkuu wa Mogadishu nchini Somalia limewaua takriban watu 30, kwa mujibu wa polisi.
Makumi wengine walijeruhiwa wakati lori lililoegeshwa na vilipuzi kulipuliwa karibu na lango kuu la hoteli.
Polisi wanasema kuwa watu wawili waliuawa katika mlipuko mwengine wa pili katika wilaya ya Madina iliopo katika mji mkuu.
Haijulikani ni nani aliyetekeleza shambulio hilo.
Mji wa Mogadishu umekuwa ukilengwa na kundi la wapiganaji wa al-Shabab ambalo linakabiliana na serikali.

Baada ya mlipuko wa kwanza, afisa mkuu wa polisi Mohammed Hussein aliambia chombo cha habari cha Reuters :lilikuwa bomu lililotegwa katika lori.
''Kuna majeraha mengi lakini hatujui idadi yao kwa kuwa eneo hilo bado linachomeka''.
Mashahidi waliambia BBC wanaamini makumi ya watu wamefariki.
Ripota wa BBC nchini Somalia katika eneo hilo alisema kuwa hoteli ya Safari ilianguka huku watu kadhaa wakidaiwa kukwama chini ya vifusi vyake.
Mkaazi wa Mogadishu Muhidin Ali aliambia chombo cha habari cha AFP: Kulikuwa mlipuko mkubwa kuwahi kutokea , uliharibu eneo lote.

APR Bingwa Mashindano ya Nyerere Cup

$
0
0
APR ya Rwanda imetwaa mataji mawili ya mashindano ya mpira wa wavu ya Nyerere Cup 2017  baada ya kuifunga Jeshi Stars kwenye mchezo wa fainali ya wanaume na wanawake.

Mashindano hayo  yalianzishwa miaka 15 iliyopita  kwa lengo la kumuenzi Mwalimu Julius Kambarage Nyerere yalianza kutimua vumbi Oktoba 10 huku yakishirikisha jumla ya timu 13 kwa wanaume na 6 wanawake.

APR imeonyesha kuwa hawakuja kutembea baada ya kushinda michezo yote miwili ya fainali ya wanaume na wanawake kwa seti 3-0, 3-0 dhidi ya Jeshi Stars.

APR   Bingwa Mashindano ya Nyerere Cup
Kocha APR, Nkuranga Alexis amesema kuwa japo mashindano yalikuwa na ushindani, lakini wamepata walichotaka na haikuwa bahati kwao kushinda mataji hayo.

"Tulipoanza safari ya kuja Tanzania tuliweka malengo ya kufanya vizuri kwa kutwaa mataji ndicho kilichotokea, Tanzania inatimu nzuri ambazo zinaweza kushindana." alisema kocha huyo.

Kocha wa Jeshi Stars, Lameck Mashindano alisema kuna haja ya timu za Kitanzania kushiriki mashindano mengi ya kimataifa ili kujijenga zaidi kiushindani.

"Tumeshindwa kutetea taji lakini ndiyo michezo ilivyo ukikosa leo unaweza kupata kesho, mashindano ya kimataifa yatazijenga timu zetu, APR ilikuwa bora na ubora wao umechangiwa na kushiriki kwao mashindano mengi ya kimataifa." anasema kocha huyo.

Nahodha wa APR, Mwizere Ezic amedai siri ya wao kufanya vizuri kwenye mashindano hayo ni uzoefu ambao wamekuwa nao wa kushiriki mashindano mengi ya kimataifa.

Wanaume walianza kucheza kwa mfumo wa makundi matatu, kundi A lilikuwa na  APR  (Rwanda), Nyuki (Zanzibar),Chui, Mjimwema na Makongo (Dar es Salaam),kundi B  Jeshi Stars , JKT (Dar es Salaam), Police (Zanzibar) na Kigoma (Kigoma).

Kundi C;  Magereza ‘Tz Prisons’ (Dar es Salaam),Shinyanga  (Shinyanga) , Pentagon na Flowers (Arusha) na kwa upande wa wanawake wenyewe  wliocheza kwa mfumo wa Ligi kulikuwa na APR (Rwanda), Makongo, Magereza, Jeshi Stars, Mjimwema na JKT (Dar es Salaam).

Mtoto Amliza Nuh Mziwanda Aamua Kumtumia Waraka Mzito

$
0
0
Mtoto Amliza Nuh Mziwanda Aamua Kumtumia Waraka Mzito
Siku zote Tembo wakipigana zinazoumia nyasi! Hicho ndicho kinachoendelea kati ya mwanamuziki wa Bongo Fleva, Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’, na aliyekuwa mkewe Nawal, ambapo baada ya kutengana kwao, Nuh anadai kuwa mtoto wao Anyaghile anateseka na ameonyesha hisia za kuumizwa na kutokuwa karibu na mwanae, kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika ujumbe ufuatao.
Dhumuni la waraka aliouandika Nuh kwa mwanae, ni kumtaka atakapokuwa hapo baadaye ajue kuwa hakumtelekeza ili hata mama yake atakapojaribu kumjengea chuki kuwepo na ushahidi wa kuthibitisha kuwa siyo kweli.
Baada ya post hiyo, baadhi ya mashabiki walionyesha kuguswa na ujumbe wake na wakakoment kwa kumpa pole, huku wengine wakimbeza kwa kumwambia huenda amemmis mzazi mwenziye na si mtoto kama anavyosema.

Hivi Ndivyo Lissu Alivyowabadirisha Walioenda Kumjulia Hali Nairobi

$
0
0
Hivi Ndivyo Lissu Alivyowabadirisha Walioenda Kumjulia Hali Nairobi
Ungetegemea kuona watu wanaokwenda Nairobi kumjulia hali mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu wakirudi na amani kwamba wamekuta anaendelea vizuri, lakini ni tofauti; wanaonekana jasiri zaidi na tayari kwa mapambano.

Ndivyo ilivyokuwa kwa Mchungaji Peter Msigwa, Zitto Kabwe, Lazaro Nyalandu, Julius Mtatiro na Sheikh Ponda Issa Ponda waliporejea kutoka jijini humo kumjulia hali mwanasheria huyo mkuu wa Chadema.

Lissu, ambaye amelazwa Hospitali ya Nairobi nchini Kenya, alishambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana Septemba 7, 2017 akiwa ndani ya gari lake nje ya makazi yake Area D mjini Dodoma.

Alihamishiwa Nairobi usiku wa siku ya shambulio hilo linaloonekana lililenga kuchukua maisha yake, na kwa mujibu wa wanaokwenda kumjulia hali, afya yake inazidi kuimarika.

Lakini, jambo moja ambalo limeonekana kwa wengi waliomjulia hali ni kauli zao baada ya kurejea; wanaonekana sasa hawaogopi kifo, wako tayari kupambana na yeyote wanayedhani ni adui, wameongezeka ujasiri na si waoga katika kuzungumza.

Wengi wao waliporudi walizungumza kwa ujasiri zaidi na hata walipozungumza na Mwananchi walionekana kusimamia kauli zao.

“Ukizungumza na Lissu, usipopata ujasiri basi unapaswa ujiulize mara mbili juu ya uwepo wako katika siasa,” anasema Mchungaji Msigwa, ambaye ni mbunge wa Iringa Mjini kwa tiketi ya Chadema.

Msigwa anasema alivyokutana na hali ya Lissu na maneno ya kishujaa aliyozungumza, yamezidi kumtia ujasiri wa kusonga mbele katika kudai haki.

Ameona hakuna cha kupoteza

Alisema ujasiri huo umeongezeka kutokana na kuona hakuna cha kupoteza.

“(Ukizungumza na Lissu unapaswa ujiulize) Juu ya unachofanya kuhakikisha haki inapatikana, juu ya nafasi yako katika kutetea haki ya Watanzania na demokrasia kwa ujumla,|” anasema.

“Maana yake nini? Maana yake ni kwamba tunatakiwa kufika mbali zaidi ya alipofika yeye. Nani muoga tena leo.”

“Tuna imani tukifa leo, wapo watakaohoji kifo chetu, huku waliotuua nao watakufa kama si leo kesho baada ya kutekeleza mauaji yetu, kila mmoja atakufa haijalishi kwa kifo cha aina gani, Lissu anatoa mwanga wengine tunaufuata. ”

Msigwa alitumia msemo wa “kama huna cha kukifia, huna sababu ya kuishi”, kwa hiyo wamepata kitu cha kufia.

Maneno kama hayo yamesemwa na Zitto, ambaye ni kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo na mbunge wa Kigoma Mjini.

Zitto na maneno mazito

Zitto anajulikana kwa mapambano ya hoja na siasa za kistaarabu, lakini katika siku za karibuni ameonekana kutoa maneno mazito yaliyomfanya aingie matatani na vyombo vya dola.

“Siku mbili hizi nilizoenda kumuona Lissu zimeniacha nikiwa na mawazo sana, nimerudi nchini nikiwa mwenye unyenyekevu zaidi kwa sababu ya nguvu na ujasiri ambao ndugu yangu amenionyesha,” ameandika Zitto katika ukurasa wake wa Facebook.

“Siyo mara nyingi hapa nchini kusikia tukiongelea ujasiri, lakini namfikiria Lissu na vile nilivyojisikia nikiwa pamoja naye Nairobi, najua hivyo ndivyo alivyo.”

Zitto pia amezungumzia hali ya Lissu inavyowafanya watu waongeze ujasiri.

“Ukiona hali ya Lissu, unaumia sana. Kosa lake nini?” anahoji.

“Lengo la waliompiga ni nini? Kumnyamazisha kabisa? Jawabu kwa hao waliomshambulia Lissu ni nini? Kuwa kama Lissu. “Hawawezi kutuua wote. kama kila mmoja akiwa mkali kama Lissu, wauaji hawatafanikiwa kwani hawawezi kutuua wote.”

Amesema pia kuwa Lissu alimwambia kuwa waendelee alipoishia na akipona ataanzia walipofikia.

“Hivyo ninamshikia ninamshikia Lissu zamu na naomba kila mwenye uwezo afanye hivyo ili kulinda uhuru wa kukosoa na uhuru wa mawazo,” ameandika Zitto.

Kiongozi mwingine aliyepata fursa ya kumuona Lissu ni mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya CUF, Julius Mtatiro ambaye alisema kama kuna Mtanzania imara, asiyeogopa na mwenye maono makubwa ni Lissu.

‘Kawaambie nitarudi mzima’

Alisema risasi zote zilizopenya kwenye mwili wa Lissu, zimemtengenezea “uimara maradufu, mara sabini, mara mia moja”.

“Waliodhani kuwa kumuua Lissu ndiyo kuua harakati za Watanzania za kudai taifa la haki na linalofuata misingi ya sheria na katiba bora, wamejidanganya,” anasema Mtatiro.

“Lissu ameniambia ‘Mtatiro nenda kawaambie kuwa nitarudi nikiwa mzima na tutaendelea na mapambano maradufu zaidi, faraja muhimu ninayohitaji kutoka kwa Watanzania hivi sasa ni kuendeleza mapambano ya kudai haki.”

Mtatiro alisema alichojifunza kwa Lissu na kinachompa ujasiri ni kusema ukweli.

“Ukizungumza naye (Lissu) ni kama anakusuta jinsi alivyo jasiri. Anakusuta kwa maana yeye yupo tayari kufa au kupambania uhai wake ili aikomboe nchi kutokana na kila aina ya udhalimu,” alisema Mtatiro.

Mtatiro alisema ukimuona Lissu kitandani, unamuona mtu ambaye bado ana ari kubwa ya kuitetea nchi yake pamoja na yote yaliyomkuta.

Alisema hali hiyo inakufanya uwaze mara mbili una kipi cha kupoteza wewe ambaye hujafanywa kitu chochote.

Alisema hata mkewe ambaye ungetegemea umkute ametetereka, amechanganyikiwa au ana hofu, lakini anakupokea kwa bashasha na ujasiri wa wazi.

Lissu na marejeo ya sheria

Alisema ukizungumza na Lissu anatumia muda mwingi kukupitisha kwenye vifungu vya sheria, michakato ya kudai haki katika mataifa mengine na kukusisitiza kuwa imara kuendelea kulipigania taifa kwa njia za kidemokrasia.

“Ukienda kumuona Lissu uzalendo wako, usimamizi wako wa demokrasia katika nchi kama ulikuwa na mashaka, ukizungumza naye unajengeka na unapata ujasiri zaidi,” alisema.

Alisema kupona kwa Lissu kumeongeza hamasa hata miongoni mwa wananchi ambao kwa vitendo wameonyesha nia ya kutaka kwa kila hali apone.

“Hii inaonyesha ni kwa namna gani wanaukubali mchango wake, sembuse mwanasiasa na kiongozi kama mimi. Hili limeniongezea kitu maishani,” alisema.

Pengine kauli za kijasiri zaidi ni zile zilizotolewa na Sheikh Ponda, ambaye ni katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, ambaye hadi jana alikuwa anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa mahojiano baada ya kuzungumza na waandishi kuhusu safari yake ya Nairobi.

Alisema alikwenda Nairobi kwa lengo la kumfariji na kumtia nguvu Lissu, lakini mbunge huyo ndiye aliyefanya kazi ya kumpa ujasiri na kumtia nguvu.

“Nimepata ujasiri. Badala ya mimi kumpa matumaini, yeye ndiye aliyenipa matumaini,” alisema Sheikh Ponda.

Alisema Lissu alimwambia kuwa atarudi hivi karibuni katika harakati zake na ataanzia alipoishia na kwamba amemuhimiza mshikamano.

Naye Nyalandu, ambaye ni mbunge wa Singida Kaskazini (CCM) amekuwa akitoa kauli tofauti tangu atoke kumuona Lissu jijini Nairobi.

Tabasamu pana

Nyalandu amekuwa akiandika katika akaunti zake za mitandao ya kijamii kuhusu haja ya kuwasaka waliomshambulia Lissu.

Alisema Lissu alikuwa na tabasamu pana alipokuwa akizungumza naye licha ya kuumia.

Nyalandu ni miongoni mwa viongozi waliokwenda kumuoa Lissu siku za awali kabisa tangu alipopigwa risasi mjini Dodoma.

Naye mbunge wa Tarime Vijijini (Chadema), John Heche alisema amepata ujasiri zaidi kwa sababu anaamini hakuna jambo linaloonyesha uwoga uliokithiri kama mtu anapofikiria kuua ili amnyamazishe mzungumzaji.

Alisema kutokana na hilo hakuna cha kuogopa zaidi ya kuzungumza, kwa sababu inaonyesha anayetakiwa kusikia kinachozungumzwa amekisikia na kimemtisha ndiyo maana anaamua kuua.

“Haitakuwa na maana kuwa mpinzani halafu ukawa mnafiki kwa kupindisha ukweli. Kusema ukweli kumemgharimu Lissu,” alisema.

“Ili kulipa damu yake iliyomwagika, tuliobaki tunapaswa kusema ukweli.”

Mapya Yaibuka Kuhusu Gesi ya Mtara

$
0
0
Mapya Yaibuka  Kuhusu Gesi ya Mtara
Ripoti ya Mtandao wa mashirika yasio ya kiserikali mkoani Mtwara (Mrengo), imedai kuwa wakazi wa Lindi na Mtwara walipotoshwa namna wanavyoweza kufaidika na uchumi wa gesi asilia inayovunwa katika maeneo yao.

Kwa mujibu wa ripoti hiyo ya Januari hadi Juni 2017, viongozi wa umma wanatajwa kuhusika katika upotoshaji huo hasa kwenye utekelezaji wa mradi shirikishi jamii wa kudhibiti athari za uendelezaji wa sekta ya mafuta na gesi asilia kwa binadamu, mazingira na hali ya hewa nchini.

“Kupitia mradi huu tumebaini kuwa wananchi walipotoshwa dhidi ya uchumi wa gesi asilia, wakajazwa matumaini makubwa ya kuwa matajiri ndani ya muda mfupi kuliko uhalisia, hali hiyo ilichagia vurugu za kupinga mradi wa ujenzi wa bomba la gesi kutoka Madimba hadi Dar es Salaam mwaka 2013,” inaeleza ripoti hiyo.

Mratibu wa mradi huo, Mustafa Kwiyunga alisema Taifa halikujiandaa dhidi uchumi za gesi.

“Kwa kweli ilikuwa ni sekta ngeni kwa kila mmoja, wakati jamii inahitaji kuelimishwa, waelimishaji nao hawakuwa na taarifa sahihi hivyo wakalazimika kutoa taarifa walizonazo bila ya kujali usahihi wake,” alisema kwiyunga.

“Mradi huu umejikita zaidi katika kuwashirikisha wakazi wa mikoa ya Lindi na Mtwara kujua athari za kibinadamu, mazingira na namna ambavyo jamii inaweza kufaidika moja kwa moja na uchumi wa gesi, tunatoa elimu kwa njia ya vyombo vya habari, mikutano, semina na warsha kwa makundi mbalimbali ya jamii.”

Taarifa hii inatolewa ikiwa ni miaka minne sasa tangu kutokea kwa vurugu za kupinga mradi wa ujenzi wa bomba la gesi asilia kutoka Madimba hadi jijini Dar es Salaam kwa madai kuwa mradi huo ungeweza kuondoa matarajio yao ya kuondokana na umaskini kupitia sekta ya gesi asilia.

Vurugu hizo zilisababisha vifo, ulemavu wa kudumu kwa baadhi ya watu na uharibifu wa mali.

Wakazi wa mikoa hiyo walisema elimu waliyopata kupitia mradi huo, imewapa mwanga wa kujua namna wanavyoweza kufaidika na gesi na kuondokana na dhana potofu waliojengewa hapo awali.

“Tulijazwa matumaini makubwa kwamba uchumi wa gesi utamaliza matatizo yetu yote, ila kwa sasa tunaelewa kuwa ili tufaidike ni lazima tujishughulishe na kazi zingine ambazo soko la gesi zitatengeneza uhitaji, kama kazi za kilimo na ususi au sanaa,” alisema mkazi wa Manispaa ya Mtwara-Mikindani, Ismail Amir.

“Tuliambiwa Mtwara itakuwa kama Dubai, tukaaminishwa kila mmoja atakuwa tajiri, lakini hizo fikra hazipo tena, hakuna mtu atakwenda barabarani kuandamana au kufanya vurugu akidai kufaidika na gesi asilia.

“Hii elimu ingetolewa mapema kabla ya utekelezaji wa mradi sidhani kama tungepitia kwenye historia ile ya vurugu, viongozi wajifunze kutokana na hili, ni muhimu kutoa elimu sahihi kwa jamii kabla ya utekelezaji wa mradi katika eneo husika,” alisema.

Je Wajua Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Madogo ya Kiume?

$
0
0

KWANINI BAADHI YA WANAUME WA NA MAUMBILE MADOGO?Tatizo hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia ,hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wenzao,kwakawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6_8 vinginevyo mtu huyu ana matatizo.



Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo baadhi ni,upungufu wa vichocheo (hornes) za gestrojen ambapo mwanaume anapobalehe vichocheo hivi (hormones)huchochea ujuaji wa uume.chango ambalo hushambulia nerve ambapo huharibu kabisa ukuaji wa uume, Punyeto ambayo huasili misuli ya uume,pia ngiri ambayo huleta maumivu ya tumbo kuunguluma na kujaa gesi,korodani moja kuvimba,kutopata choo vizuri,sababu hizi na nyinginezo hufanya uume kulegea na kisinyaa nakuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu zakiume (hamu ya tendo landoa hupungua au kuisha kabisa).NSUMBU,Nidawa inayozalisha hormones za gestrogene na kufanya uume kukua na kuongezeka mara dufu.NZAGI,Ni dawa ya kurudisha nguvu za kiume ,hutia hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila hamu kuisha nakuponya kabisa tatizo hilo. Pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk 15 nakuendelea kwa tendo la kwanza.kumbuka dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji.Natunatibu kisukari,bp,ngiri,miguu kuwaka moto,namengine mengi.

WASILIANA OSTADHI JUMA KWA SIMU NO,0784002216 AU 0769597778
Viewing all 104687 articles
Browse latest View live




Latest Images