Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya Octoba 16

$
0
0


Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya Octoba 16

Je Wajua Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Madogo ya Kiume?

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WA NA MAUMBILE MADOGO?Tatizo hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia ,hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wenzao,kwakawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6_8 vinginevyo mtu huyu ana matatizo.




Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo baadhi ni,upungufu wa vichocheo (hornes) za gestrojen ambapo mwanaume anapobalehe vichocheo hivi (hormones)huchochea ujuaji wa uume.chango ambalo hushambulia nerve ambapo huharibu kabisa ukuaji wa uume, Punyeto ambayo huasili misuli ya uume,pia ngiri ambayo huleta maumivu ya tumbo kuunguluma na kujaa gesi,korodani moja kuvimba,kutopata choo vizuri,sababu hizi na nyinginezo hufanya uume kulegea na kisinyaa nakuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu zakiume (hamu ya tendo landoa hupungua au kuisha kabisa).NSUMBU,Nidawa inayozalisha hormones za gestrogene na kufanya uume kukua na kuongezeka mara dufu.NZAGI,Ni dawa ya kurudisha nguvu za kiume ,hutia hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila hamu kuisha nakuponya kabisa tatizo hilo. Pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk 15 nakuendelea kwa tendo la kwanza.kumbuka dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji.Natunatibu kisukari,bp,ngiri,miguu kuwaka moto,namengine mengi.

WASILIANA OSTADHI JUMA KWA SIMU NO,0784002216 AU 0769597778

Watu 7 wa Familia Moja Wafariki Kwa Ajali

$
0
0
Watu 7 wamefariki papo hapo na wengine 14 kujeruhiwa, baada ya gari walilokuwa wakisafiria aina ya Noah kugongwa na lori la mizigo wakitoka kwenye sherehe ya harusi wilayani Hanang mkoani Manyara.

Ajali hiyo ambayo imetokea usiku wa Oktoba 14, 2017 imehusisha Noah yenye namba za usajili T 744 DJQ, likiwa limebeba watu wa familia moja, kugongwa na lori aina ya semi trailer lenye namba za usajili T449 CDR mali ya kampuni ya Lake Hill Paradise ya Singida, na kuleta majonzi na simanzi kwa ndugu wa marehemu.

Licha ya watu walioshuhudia, manusura wa ajali hiyo ambaye ndiye bwana harusi aliyetoka kufunga ndoa, amesema chanzo cha ajali hiyo ni dereva wa gari hilo Bwana Wilson Simba ambaye pia amefariki, kutokuwa makini barabarani kabla ya kuchepuka upande mwengine.

Kamanda wa kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Manyara, Bi. Mary Kipesha, amekiri kuwa uzembe uliosababishwa na dereva ndio uliosababisha ajali hiyo na kupoteza watu wakiwemo yeye mwenyewe, na dereva wa lori ambaye amekimbia kushindwa kuchukua hatua za haraka kuidhibiti.

Mganga wa zamu wa hospitali ya Tumaini Hanang, Bwana Chaokiwa Msangi, amesema wamepokea miili hiyo  7 na kuihifadhi chumba cha maiti, huku mmoja wa majeruhi ambaye ndiye bibi harusi akipewa rufaa ya kwenda hospitali ya Haydom, kwa matibabu zaidi.

Mke wa Filikunjombe Aandika Ujumbe Mzito Akiadhimisha Miaka Miwili ya Kifo cha Mumewe

$
0
0
Ikiwa ni miaka miwili imepita tangu aliyekuwa Mbunge wa Ludewa Deo Haule Filikunjombe afariki dunia, mke wa wake Sarah Habiba amesema Tanzania ina pengo kubwa kwa kumpoteza Deo.

Kwenye ukurasa wake wa instagram, Sarah Habiba ameandika ujumbe huo, huku wakiadhimisha miaka miwili ya kifo chake kwa kufanya ibada takatifu.

"Mume wangu leo umefikisha miaka miwili tangu upatwe na mauti, kiukweli umeacha pengo kubwa kwa watanzania, jamii na familia kiujumla, watoto wako wanakumiss sana, mimi mkeo, Mungu akulaze mahala pema peponi mpenzi wangu, ntakukumbuka daima mpenzi", aliandika  jana Sarah Habiba.

Deo Filikunjombe alifariki Octoba 15, 2015 kwa ajali ya helkopta iliyoanguka kwenye msitu wa hifadhi ya Selous akitokea Dar es salaam kwenda Ludewa, akiwa na rubani wake William Silaa ambaye ni baba mzazi wa Jerry Silaa, na msaidizi wa Deo Filikunjombe, Bwana Mkwera ambao pia walifariki dunia.

Deo Filikunjombe atakumbukwa kwa uchapa kazi wake na juhudi alizozionyesha kwenye kamati ya Bunge kuibua sakata la Escrow akiwa na wabunge wengine, akiwemo rafiki yake wa karibu mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe.

Vyakula 5 Vinavyosaidia na Vinavyosababisha Tatizo la Kukosa Choo

$
0
0
Kukosa choo ni tatizo kubwa katika jamii zetu japo huwa halionekani kama ni tatizo. Hata hivyo kuna vyakula ambavyo vinapatikana kwa urahisi na vinasaidia kutibu tatizo la kukosa choo kwa njia rahisi kabisa.

Kwa kawaida mtu mwenye afya njema anatakiwa kwenda chooni angalau mara tatu kwa siku,lakini si ajabu kusikia mtu hajaenda chooni siku tatu na tunaona ni kawaida sana kwenda chooni mara moja kwa siku.

Tatizo la kukosa choo (Constipation) linatokana na chakula tunachokula kuchelewa kuunguzwa tumboni hivyo kuchukua muda mrefu katika mfumo wa usagaji.

Baadhi Ya Vitu Vinavyosababisha Tatizo La Kukosa Choo:

Kutokunywa Maji ya Kutosha
Kutokula vyakula vyenye fiba kama matunda na mboga za majani
Ulaji wa nyama nyekundu kwa wingi
Unywaji wa maziwa kupita kiasi
Kutofanya kaziza kushughulisha mwili na kukosa mazoezi.


Vyakula Vinavyosaidia Kutibu Tatizo La Kukusa Choo

Tende
Maji
Kahawa Na Vinywaji Vingine Vya Moto
Ulaji Wa Matunda Au Saladi
Ulaji Wa Mboga Za Majani


Mazoezi Husaidia Kutibu Tatizo La Kukosa Choo Pia:

Ukiachia vyakula, ufanyaji mazoezi au kazi zinazoshughulisha mwili zinazaidia kuzuia na kutibu tatizo la kukosa choo. Kufanya mazoezi kila siku angalau kwa dakika 30 ni jambo linalowezekana kama utalipa muda na kuweka katika ratiba zako.
Mazoezi rahisi kabisa ni kukimbia (jogging) na pia hushughulisha mwili mzima(Total Body Exercise).

Breaking News: Rais Magufuli Amfuta Kazi Balozi Hassan Kibelloh

$
0
0
Breaking News: Rais Magufuli Amfuta Kazi Balozi Hassan Kibelloh

Soma Hapa chini:

Pole Pole Apingwa na Wana CCM Kisa Ubunge na Udiwani

$
0
0

Wakati katibu wa oganaizesheni wa CCM, Pereira Silima akikanusha kupitishwa kwa sharti la ukazi kwa wagombea udiwani na ubunge, chama hicho kimewataka watumishi wa umma walioshinda uchaguzi katika ngazi ya wilaya kuamua moja; ajira au siasa.

Juzi, katibu wa uenezi wa CCM, Humphrey Polepole alisema katika kipindi cha redio cha Times FM kuwa wanaogombea udiwani na ubunge mwaka 2020 watatakiwa kuwa wakazi wa maeneo wanayogombea, lakini mara moja akapata maswali kutoka kwa wanachama.
Lakini jana, Silima alisema CCM haiwezi kuweka sharti hilo kwa kuwa linakiuka Ibara ya 67 (1 a-c) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano ambayo inaeleza sifa za mtu ambaye hatakuwa na sifa za kugombea, hali kadhalika Sheria za Uchaguzi.

“Nikiwa katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa mwenye dhamana ya uchaguzi, napenda kuwajulisha kwamba Chama cha Mapinduzi kimefanya mabadiliko katika katiba yake,” anasema Silima.
“Mabadiliko ambayo yamepitishwa na Mkutano Mkuu wa CCM Taifa uliofanyika 12/03/2017, pamoja na kanuni za uchaguzi wa chama na hakuna mahali popote palipoandikwa kuwa wagombea wa udiwani na ubunge watajadiliwa kwa sifa ya kuishi jimboni.”
Silima amewataka wanachama kuzipuuza habari hizo.

Katika hatua nyingine, makamu mwenyekiti wa CCM, Phillip Mangula amewataka watumishi waliogombea na kushinda nafasi za uenyekiti na ujumbe wa wilaya, kuchagua moja; ajira au uongozi.
Katika toleo la juzi la Uhuru, gazeti la chama hicho tawala, Mangula amekaririwa akisema CCM itawashughulikia watendaji wake pamoja na watu ambao walikiuka maelekezo ya waraka unaozuia watendaji wa Serikali kuwania uongozi ndani ya chama.

Mangula alisema baadhi ya wilaya na mikoa ilikiuka kwa makusudi waraka huo kwa kutoa tafsiri potofu kama vile kueleza nafasi zilizozuiwa ni za utendaji, jambo ambalo alidai si kweli.
Mangula amekaririwa akisema waraka huo umeeleza bayana kwamba watumishi wa Serikali hawaruhusiwi kuwania uongozi ndani ya chama. Alisema katika hali ya kushangaza, baadhi ya watendaji kwa kushirikiana na wajumbe wengine wa vikao vya uteuzi, wamewapitisha na wengine wameshinda nafasi mbalimbali.

Alisema CCM inaliona hilo kama tukio la uvunjaji wa kanuni za maadili ya uongozi na hivyo inawataka wahusika kuanza kuwajibika kabla ya kusubiri uamuzi wa vikao vya juu.
Mangula alisema chama kinaweza kuchukua uamuzi wa kufuta matokeo ya uchaguzi katika baadhi ya wilaya kitakapojiridhisha kwamba kulikuwa na ukiukwaji wa kanuni kwa kuwa suala la rushwa ni kinyume na maadili ya viongozi wa CCM.
Watumishi wa umma walioshinda

Wanachama waliotangazwa kushinda ujumbe wa mkutano mkuu wa CCM ni wakuu wa mikoa ya Mtwara, Halima Dendego na Morogoro, Dk Kebwe Stephen.
Wakuu wa wilaya waliogombea uongozi ndani ya CCM na kushinda ni Simon Odunga (Chemba), Christina Mndeme (Dodoma) na Elizabeth Kitundu (Bai) mkoani Dodoma.
Mkoani Morogoro, wakuu wa wilaya waliogombea na kushinda ni Alhaji Mohamed Utaly (Mvomero) na Seriel Nchembe (Gairo).

Wakuu wa wilaya wengine walioshinda ni Raymond Mushi (Babati, Manyara), Herman Kapufi (Geita), Kaul Kiteleki (katibu tarafa wa Makuyuni, Arusha), Alexander Mnyeti (mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Arusha), Salum Palango (katibu tawala wa Nanyumbu, ambaye alishinda ujumbe wa mkutano mkuu wa CCM.

Wengine ni Salvatory Richard (mtumishi Idara ya Elimu, Mvomero) na dereva wa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro.

Wengine walioshinda nafasi ya ujumbe ni Elishilia Kaaya ambaye ni mkurugenzi wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC) na Dk Daniel Mrisho.

Katika hatua nyingine, CCM mkoani Morogoro imesema inasubiri maelekezo ya uongozi wa Taifa kuwafyeka watumishi wa umma walioshiriki uchaguzi wa viongozi wa chama hicho.
Katibu wa mkoa, Kulwa Milonge amesema chama hicho hakitasita kuwachukulia hatua wanachama wake ambao ni watumishi wa umma waliochaguliwa katika nafasi za uongozi ndani ya chama iwapo wataelekezwa kufanya hivyo na uongozi wa Taifa wa CCM.

Vinywaji Vinavyoongeza Uzito wa Mwili...

$
0
0

Hivi umewahi kujiuliza ni kwanini, pamoja na juhudi zote unazozifanya za kujizuia kula baadhi ya vyakula na mazoezi unayoyafanya lakini mwili wako haupungui?

labda kuna kitu ambacho bado hujakitambua kinachosababisha uzito wako kubakia palepale au kupungua kidogo sana.

Uhusiano kati ya chakula na kuongezeka kwa uzito wa mwili pamoja na unene ni mkubwa sana. Jambo hili huwafanya watu kuwa makini na vyakula wanavyokula lakini wanajisahau katika vinywaji wanavyovitumia.

Kama hukuwa unafahamu, basi leo nikufahamishe kuwa vinywaji unavyotumia vina mchango mkubw sana katika kuongezeka kwa uzito wa mwili wako pamoja na unene.

Hivi ni baadhi ya vinywaji vinavyoongeza uzito wa mwili lakini tumekuwa tukivipuuzia;

Chai na kahawa

Asubuhi inakuwaje kama usipopata kikombe kimoja cha chai ya moto? wengine mpaka saa 4 asubuhi hutaka kujipasha kwa kikombe cha chai ama kahawa. Wapo waliojizoesha hata kunywa chai ama kahawa nyakati za jioni.

Ni kweli kuwa majani ya chai yana virutubisho muhimu na vyenye msaada mkubwa katka mwili wako. lakini unapoongeza kijiko kimoja au viwili vya sukari hapo ndipo unapoongeza kiwango cha kalori katika mwili wako.

Kikombe kimoja kwa siku siyo vibaya, lakini unapojiwekea mazoea ya kunywa vikombe vinne au vitano vya chai hapo kuna vijiko 8 mpaka 10 vya sukari, hivyo unazidisha uwezekano wako wa kunenepa.

Kwa wanywaji wa kahawa, haswa wale wanaokunywa kahawa zilizotengenezwa katika mighahawa ya kahawa ‘Coffee shops’ wao huweka maziwa mazito ili kuzifanya kahawa zao kuwa na mvuto. Hapa siyo tu unaongeza kiwango cha sukari, bali pia unaongeza kiwango cha mafuta ‘fat’ yatokanayo na maziw yanayowekwa katika kahawa hiyo.

Vilevi

Watu wengi hudhani kuwa kama wakiacha kunywa vilevi vinavyotengenezwa na ngano basi wako salama. Jambo hili liko mbali na ukweli kwani hata vinywaji vingine vikali ukiwamo mvinyo na ‘spirits’ vinakuwa na kiwango kikubwa cha kalori ambazo kama zikiingizwa kwa wingi katika mwili wako basi kuna uwezekano mkubwa wa wewe kuwa mnene.

Mfano glasi moja ya mvinyo ina kalori sawa na kipande kimoja cha keki, hivyo usijidanganye kuwa ukitumia vilevi bila mpangilio hautonnepa.



Soda

Hakuna jambo linalouburudisha mwili kama kujipatia soda ya baridi kabisa wakati wa joto kali. Wengi wamekuwa na tabia hii hasa wale wanaoishi katika mazingira ya joto. Jambo ambalo unapaswa kujua ni kwamba soda yenye ujazo wa 500ml (nusu lita) ina kiwango cha kalori 200 ambazo ni sawa na 10% ya kiwango cha kalori anachopaswa kutumia mtu mzima kwa siku moja.

Kiwango cha kalori unachokipata kutoka katika soda moja ni sawa na kiwango utakachokipata katika Ugali na Mchicha. Ubaya ni kwamba kwenye soda unapata maji na sukari tofauti na kwenye chakula ambapo unapata virutubisho tofauti tofauti.

Sharubati ya matunda (Fruits juice)

Sharubati imekuwa ikitumiwa zaidi na watu wengi kama mbadala wa vinywaji vingine kama vile soda, kwani inaaminika kuwa na faida katika mwili tofauti na soda zenye kemikali zinazoweza kupelekea athari mwilini. Sharubati kwa kawaida ni nzuri kwa afya ila nyingi zinazopatikana huwa zimeongezwa sukari.

Sharubati zinazotengenezwa viwandani zina 10% tu ya kiwango cha matunda na vilivyosalia ni maji pamoja na sukari. Vitu hivi vinachangia sana katika kunenepa kwa mwili kama vitatumiwa mara kwa mara.

Nandy na Ray C Warushiana Maneno Mtandaoni: “Sitokusalimu ila Nitakuheshimu”

$
0
0
Kumetokea kuandikiana kwenye mtandao wa Instagram baada ya Mwimbaji Mkongwe Ray C kuandika na kusema hajapendezwa na kitendo cha Nandy kuimba copy ya nyimbo za Ray C kwenye Tamasha la Fiesta.

Baada ya Ray C kumuonya Nandy asiendelee tena kuimba hizo nyimbo, Nandy nae alimjibu kwa hekima na kusema kuwa hakuwa na nia mbaya na amekua akifanya hivyo kuwaenzi Wakongwe ambao ndio wamewafungulia njia.

Kupata details zote bonyeza play hapa chini pia na kuona kila walichoandikiana…. VIDEO:

Sababu, Dalili na Tiba ya Tatizo la Nguvu za Kiume Pamoja na Maumbile Madogo ya Uume..Soma Hapa

$
0
0
SABABU, DALILI NA TIBA YA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME  PAMOJA NA MAUMBILE MADOGO YA UUME? SOMA HAPA


       Tatizo la kukosa au upungufu wa nguvu za kiume limekuwa kubwa sana duniani kote. Kupungukiwa nguvu za kiume na maumbile madogo ya uume husababishwa na mambo mengi kama KISUKARI, UNENE ULIOPITILIZA, KUJICHUA  (MASTER BLASHION), HOMONI kushindwa kufanya kazi ipasavyo n.k.
     Upungufu wa nguvu husababisha tendo la ndoa kutokufanyika kwa kujiamini na kwa usahihi na hivyo kusababisha ndoa na mahusiano kuvunjika.

      BAADHI YA DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI KAMA:-
☆Kukosa hamu ya tendo la ndoa
☆Uume kusimama kwa ulegevu
☆Kuwahi kufika kileleni
☆Uume kusinyaa katikati ya tendo
☆Kushindwa kurudia tendo kwa wakati
☆Kuchoka sana baada ya round ya kwanza na hata kukinai kabisa.
     Kwa kutumia mimea na matunda @markson_beauty_pr Tunakuletea suluhisho la matatizo hayo hata kwa wenye "KISUKARI NA PRESSURE" kwa:-
1.HANDSOME UP ORIGINAL:- kifaa chenye uwezo wa 99% kuongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @250,000/=
2.SHARK POWER ni gely ya kupaka inayoongeza uume kwa wastani wa inch 6 hadi 7  @150,000/=
3.VigRX CREAM:- ni gely iliyoboreshwa mahususi kwa ajili ya kuongeza maumbile kwa wastani wa inch 7  hadi 8 na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @200,000/=
4.Vidonge maalum kwa ajili ya kuongeza nguvu na hamu ya tendo la ndoa hata kwa wenye kisukari @150,000/=
5.Spray ya kuchelewesha kufika kileleni @130,000/=
      BIDHAA HIZI HAZINA MADHARA NA ZIMETHIBITISHWA KIAFYA.


Wasiliana nasi (+255)
           0767447444 na
              0714335378

        UTAPATA HUDUMA
NB:Matokeo ni uhakika na garantii na hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.

Shuhudia Maajabu ya Chief Sultan Mzee...Mtaalamu wa Nyota za binadamu

$
0
0
Ona Maajabu ya Chief Sultan Mzee

 Mtaalamu wa Nyota za binadamu Africa Mashariki na dunia nzima,
Amewasaidia watu wengi kujua nyota zao na jinsi ya kuzing'arisha,
Anarudisha Mpenzi,Mume,Mke mliyeachana NDANI ya masaa manne(4) tu,
Anaweza kuongeza ROMANCE na MAHABA kwa Mwenzi wako
Anatoa pete ya BAHATI pamoja na kukupa uwezi wa Kupata faida kubwa katika biashara yako,
Kwa wale mnaosumbuliwa na Chuma ulete tatizo hilo analiondoa kabisa,
Anakuwezesha kushinda kesi iliyodumu siku nyingi nk.



KWA USTAA,UMARUFU UTAPATA UTAJIRI WA MAISHA NA BILA MASHARTI YOYOTE, UTAPEWA NGUVU ZA KUJILINDA NA UTAJIRI, MALI NA AFYA YAKO,Karibu kwa CHIEF SULTAN MZEE akupatie Pete za Bahati na utajiri.Wachungaji wengi duniani, Wanasiasa na Wasanii Maaarufu duniani Tayari wamejiunga pia wamefaidika na wamebadirisha  Maisha yao toka umasikini mpaka utajiri,kujua m

Kutana na The Great Maalim Hussein Aweze Kutatua Matatizo yako Kwa Tiba za Asili, Dua na Nyota..

$
0
0

THE GREAT MAALIM HUSSEIN
Wasiliana na Mtaalam Huyu Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana ama Zilizo Achwa ndani ya Siku Moja 1.
Maalim Hussein ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA(Rudisha Mahusiano yako Ndani ya Saa 12 tu)

MAALIM HUSSEIN ni Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili Mwenye Uwezo wa Kubaini Tatizo lako tu Pindi Utakapo Fanya Mawasiliano Kupitia Wasaa Husika.
(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFATA MAELEKEZO YAKE..)

Je Unasumbuliwa na Mapenzi..?
Umeachwa na UMPENDAE Awe Mume/Mke na Bado Unampenda
Je Umejaribu Sehemu Nyingi Bila Mafanikio?
Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo..
Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu.
Je Umekimbiwa na Mumeo/Mkeo au Mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine..?
Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao (Mfarakano/Kimavi) Endapo Utafata Atakacho Kuelekeza.
Je Una Mpenzi wako ana Pesa na unataka Kumkamata? Muone Maalim Hussein Atamfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi..
Maalim Hussein Anatumia Jina La Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo..
Anatibu Kutumia QUR_AN DAWA ZA ASILI YA AFRICA, Dawa za KIARABU NA MAJINI..
ANATAFSIRI NDOTO. ANAPANDIKIZA NYOTA YA KUSHINDA BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUSKI NA VIFUNGO MBALIMBALI.

ZINDIKO ZA NYUMBA NA BIASHARA.. PETE ZA BAHATI.. HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA. HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA..
MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA..ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA  ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE..

Humaliza Kesi ya Aina Yoyote Ndani ya Siku 7 tu..

Hutoa Jini la MALI kwa wale Wanao Hitaji Utajiri Bila Masharti..
+255 674 835 107

Gigy Money Ataja Dau la ‘Papa’ Kwa yeyote Anayemuhitaji

$
0
0


Msanii wa Bongo Fleva na Video Queen, Gigy Money amesema kwa sasa kama promota au mtu yeyote anayehitaji kumuita kutumbuiza kwenye tamasha/sherehe yake basi ni lazima uwe na kiasi cha milioni mbili za kitanzania.


Mkali huyo anayetamba kwa sasa na wimbo wake wa ‘Papa’ amesema wimbo huo ni ‘Hit Song’ na ni moja ya wimbo mkali kwa sasa kuliko nyimbo nyingine zilizotoka kwa muda huu.


“Na-perform stejini kwa milioni mbili, Papa is a hit song, bila milioni 2 siwezi kutoa Papa stejini, is a hit song.“amesema Gigy Money kwenye mahojiano yake na Bongo5.

Tundu Lissu Amfariji Lazaro Nyalandu

$
0
0

Baada ya kukaa hospitali kwa zaidi ya mwezi mmoja Lissu akipatiwa matibabu, Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu amekiri kuona tabasamu la Mbunge huyo aliyepigwa risasi mwezi uliopita na kuwataka watanzania waendelee na maombi.

Kupitia mtandao wake wa Instagram Nyalandu amesema kwamba shauku aliyonayo Lissu ndani ya moyo wake ni kuiona siku iliyo njema pia kufurahia siku kila asubuhi.

Nyalandu ameandika "Tuendelee kumwombea ndugu yetu Tundu Lissu. Nimeliona tabasamu la uso wake leo, na hakika Mungu anaendelea kujibu maombi ya Watanzania, na wote wanaomkumbuka katika sala na dua zao katika majira na saa hii ya kujaribiwa kwake".

"Tusimame pamoja naye, kwa kuwa shauku ya moyo wake ni kuiona siku iliyo njema, aweze kuifurahia kila asubuhi kama apendavyo Mungu".

Lissu alipigwa risasi na watu wanaodaiwa kuwa wasiojulikana tangu Septemba 07 akiwa mjini Dodoma nje ya nyumba yake alipokuwa ametoka Bungeni kutekeleza majukumu yake na sasa bado yupo hospitali ya Nairobi nchini Kenya akiendelea na matibabu. 

Uongozi wa Mlimani City Waeleza Sababu ya Kuifungia Nakumatt

$
0
0

Uongozi wa Mlimani City umelifungia duka kubwa (Supermarket) la Nakumatt tawi la Mlimani City Jijini Dar es salaam kutokana na kutotimiza majukumu yake kama mlipakodi wa jengo hilo hivyo kurudisha nyuma upatikanaji wa Mapato.

Meneja mkuu wa Mlimani City, Pastory Mrosso ameeleza kwamba wamechukua hatua hiyo baada ya uongozi wa Nakumatt kutotekeleza wajibu wake wa kulipa kodi kama mpangaji kwa muda mrefu.

Hatua hiyo uya kufuingiwa kwa duka hilo kumezua taharuki na mshtuko kwa wafanyakazi walioajiriwa humo kwani wengi wao wameeleza kuwa hawakuwa na tarifa zozote na bado wanadai stahiki zao.

Wafanyakazi hao walikuwa wamezongana nje ya lango kuu la kuingilia katika duka hilo wakiwa na taharuki pasipo kujua hatma yao baada ya kufungiwa kwa duka hilo.

Waziri Abomoa Nyumba yake Kutii Agizo la Rais Magufuli

$
0
0

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Willium Lukuvi ameshiriki zoezi la uvunjaji wa nyumba kwa kuvunja nyumba yake kwa hiari iliyokuwa imejengwa ndani ya hifadhi ya barabara ili kupisha upanuzi wa barabara.

Waziri Lukuvi amevunja nyumba yake iliyokuwa imejengwa katika eneo la hifadhi ya barabara kuu iendayo katika hifadhi ya Ruaha katika Kijiji cha Mapogolo, mkoani Iringa.

“Kama kiongozi nimeamua kuonyesha mfano kumuunga mkono Mhe. Magufuli ambaye ameamua kuiboresha barabara hii kuwa kiwango cha lami mpaka Ruaha National Park ili kuongeza mapato ya nchi lakini pia kuongeza vipato kwa wananchi wa barabara hii wanayoitumia”.

“Kwa faida hizo nimeamua mimi mwenyewe kuvunja leo hii nyumba ili wananchi wa eneo hili ambao barabara hii itajengwa lazima wahakikishe wanabomoa wenyewe nyumba zao,” alisema Waziri Lukuvi.

Aidha Waziri Lukuvi aliwataka wananchi wote waliojenga ndani ya eneo la hifadhi ya barabara kuzivunja wenyewe nyumba zao ili kurahisisha zoezi la upanuzi wa barabara hiyo uwe wa muda mfupi, kwani barabara hiyo inajengwa kwa manufaa yao.

“Lazima tutii sheria bila shuruti. Tuliowekewa alama ya X tuvunje nyumbza zetu ili kazi ya ujenzi wa barabara hii iwe nyepesi, gharama iwe ndogo na iende kwa muda mfupi,” alisema Waziri.

Vilevile aliwakumbusha wakazi wa eneo hilo ambao wamejenga ndani ya eneo la hifadhi ya barabara kuwa wasitegemee fidia yoyote kutoka serikalini na badala yakee waanze kuzibomoa nyumba zao pasipo kusubiri kuja kubomolewa kwa nguvu.

“Serikali haitolipafidia kabisa kwa watu waliojenga kwenye eneo la barabara kama mimi,” alisema.

Kutana na Mtatibu wa Nyota za Binadamu Maalim Fadhili Rashid Kutoka Comoro Kwa Sasa Yupo Tanzania

$
0
0
KUTANA NA MTABIBU WANYOTA ZABINADAMU    DUNIANI KOTE MAALIM FADHILI RASHIDI KUTOKA COMORO KWA SASA YUPO TANZANIA

MAALIM FADHILI RASHIDI ANAUWEZO WAKUBAINI JAMBOLAKO NAKULITATUA MAALIM FADHILI RASHIDI ANATIBU MARADHI YA FUATAYO KAMA VILE

KAMA MIGUU KUUMA NA KUWAKA MOTO PRESHA KISUKARI VIDONDA VYA TUMBO PUMU TEZI NA UVIMBE TUMBONI ANAUWEZO WA KURUDISHA MTU ALIEPOTEA KIMAZINGIRA (MSUKURE) KUMFANYA MKEMUME MPENZI ASIKUSALITI DAWA YA (LIMBWATA) KUMTAWALA MPENZI WAKO UNAVYOTAKA

KUMUONA MBAYAWAKO LIVE KWASABABU MAALUM ANA TOWA PETE YA BAHATI ITAKAYO KULETEA PESA BILA YA MASHARITI NAKUMILIKI MALI UNAZOTAKA

DAWA YA KUONGEZA UUME SAIZI UIPENDAYO DAWA YA NGUVUZAKIUME PIA ANAYO DAWA YA KUONGEZA HIPS SHEPU KUWA NA UMBO BOMBA KAMA UMEIBIWA AMA KUDHULUMIWA UTARUDISHIWA MALIYAKO NDANI YA MASAA (24) ANAFUNGA KESI NAKUPATA HAKIYAKO DAWA YA MVUTO WABIASHARA KUUZA MALIYAKO KWA HARAKA KUZUIA CHUMAULETE KWENYE BIASHARA KUSAFISHA NYOTA NAKUTOWA MIKOSI TIBAHII NI KWADINI ZOTE MAALIM FADHILI RASHIDI ANAJUWA UMEHANGAIKASANA LAKINI HUJAFANIKIWA MUONE HARAKA AKUSAIDIE UTAPATA HUDUMA POPOTE ULIPO NCHI YEYOTE DUNIANI UTAPATA HUDUMAYANGU ACHAKUTESEKA NA MATATIZO ULIONAYO MAALIM FADHILI RASHIDI YUPO TANZANIA KWA AJILIYAKO


CALLING +255719362806/+255763276239/

KWA WHATSAPP IMO +255785786436

Makamu wa Rais Awaonya Trafiki Wanaogeuza Touch za Barabarani Kuwa Mtaji

$
0
0

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewaonya Polisi wa Kikosi cha Usalama Barabarani kuacha kugeuza vifaa vya kupimia mwendo wa magari maarufu kama tochi, kuwa chanzo cha wao kujipatia rushwa.

Mama Samia Suluhu ameyaeleza hayo leo wakati akifungua maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama ambayo kitaifa yanafanyika mkoani Kilimanjaro.

Makamu wa Rais amewataka trafiki kujiepusha na vitendo vya rushwa na badala yake watilie mkazo katika ulinzi wa usalama na usimamizi wa sheria za barabarani.

Pia, amewataka kutowanyanyasa madereva ambao wanazingatia sheria za usalama barabarani.

Samia alieleza kuwa 76% ya ajali za barabarani huchangiwa na makosa ya kibinadamu ikiwamo madereva kuendesha magari huku wakitumia simu zao, uchovu unaosababisha madereva kusinzia, pamoja na kuendesha wakiwa walevi.

Aliendelea kwa kusema ubovu wa miundombinu ya barabara pamoja na ubovu wa magari nayo imechangia kutokea kwa ajali za barabarani kwa asilimia 16.

Vile vile alieleza kuwa kukosekana kwa umakini na uzembe wa madereva wa bodaboda kumepelekea kuongezeka kwa idadi ya ajali za barabarani ambako kungeweza kuepukika.

Samia amesema Taifa limeendelea kupoteza nguvu kazi, watu kupata ulemavu wa maisha na wengine kubaki wajane.

“Mwaka huu kuanzia Januari hadi Septemba kumekuwa na ajali za pikipiki 42,721 zilizoua watu 1,613 na kusababisha majeruhi 1,597,” amesema.

Amesema Mkoa wa Kilimanjaro umeripotiwa kuwa na ajali 84 za bodaboda zilizosababisha vifo 61 na majeruhi 21.

Samia ameeleza kusikitishwa kwa Tanzania kutajwa katika ripoti ya Shirika la Afya Duniani (WHO) kuwa ni nchi inayoongoza kwa ajali ikiwa na asilimia 33.

Ameliagiza Baraza la Taifa la Usalama Barabarani kushirikiana na Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani na wadau kuzingatia na kuelekeza nguvu kwenye kudhibiti makosa makubwa matano hatarishi.

Makosa yaliyotajwa ni pamoja na mwendo kasi, ulevi, kutovaa kofia ngumu, kutovaa mikanda ya usalama katika gari na ukosefu wa vifaa vya usalama kuwalinda watoto wadogo wakiwa ndani ya gari.

Waziri Kupeleka Bungeni Maombi Umri wa Kustaafu Maprofesa Uongezwe

$
0
0
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Mkuchika amesema ana mpango wa kupeleka bungeni maombi ya kuongezwa muda wa kustaafu maprofesa.

Amesema umri wa kustaafu kwa sheria unawafanya wasomi hao washindwe kutumika vizuri kulijenga Taifa, hivyo ataomba wastaafu wakiwa na umri wa miaka 65 badala ya 55.

Mkuchika amesema hayo leo Jumatatu Oktoba 16, alipotembelea ofisi za Sekretarieti ya Ajira na kukutana na watendaji wa taasisi hiyo.

Amesema baadhi ya kada ambazo zinafanyiwa kazi na maprofesa zinatakiwa kuangaliwa kwa jicho la tofauti.

Waziri amesema wengi wanapata  uprofesa wakiwa na miaka 55 na hufanya kazi kwa miaka michache na kutakiwa kustaafu.

"Tutapeleka bungeni maombi kuwe na mabadiliko kidogo katika baadhi ya maeneo, hawa maprofesa wengi wanaofikia hatua hiyo wanakuwa na miaka kuanzia 50 na kuendelea halafu anafanya kazi kidogo anatakiwa kustaafu," amesema.

Amesema haitakuwa na maana kama wasomi hao wanatumia rasilimali za Taifa kufikia hatua hiyo halafu baada ya kuhitimu wanafanya kazi kwa muda mfupi na kutakiwa kustaafu.

Mkuchika amesema pia atawasilisha maeneo mengine ambayo yana upungufu unaotokana na sheria.

Amesema hayo akijibu changamoto iliyotolewa na Katibu wa Sekretarieti ya Ajira, Xavier Daudi ambaye ameeleza kuwa sheria inatoa mwanya kwa taasisi nyingine za umma kuajiri bila kupitia sekretarieti hiyo.

"Kuna mgongano wa kisheria kati ya sheria iliyoanzisha Sekretarieti ya Ajira na baadhi ya taasisi za umma ambazo nazo zina mamlaka ya kuajiri watumishi kwenye taasisi zao," amesema Daudi.

Akijibu hilo, Mkuchika amesema, "Naahidi katika kipindi changu cha uwaziri nitafanyia kazi changamoto hiyo na ikiwezekana maeneo yote yawekwe sawa kisheria."

Mkuchika amewaasa watendaji wa taasisi hiyo kujiweka mbali na vitendo vya rushwa.

"Fanyeni kazi bila upendeleo, jiwekeni mbali na rushwa natambua hakuna sehemu yenye changamoto ya rushwa kama Sekretarieti ya Ajira. Usiombe faili lako lije kwangu eti mfanyakazi wa sekretarieti ya ajira ana kesi ya rushwa," amesema.

Waziri amesema, "Nitasimamia utendaji wa watumishi wa umma, tufanye kazi kulingana na malipo tunayolipwa na kodi za Watanzania. Nafahamu wapo watumishi wa umma ambao wanalipwa mshahara ilhali hawafanyi kazi inavyostahili."

Kuhusu watumishi wa umma walioshiriki na kushinda katika uchaguzi ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), amesema watawashughulikia kulingana na mwongozo uliotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi.

Amesema wakati nchi inaingia kwenye mfumo wa vyama vingi, Katibu Mkuu Kiongozi alitoa mwongozo ambao ulielekeza kuwa kuna baadhi ya watumishi wa umma kulingana na nafasi zao wapo wanaoruhusiwa na wasioruhusiwa kushiriki kwenye siasa.

Nkamia Aondoa Kusudio La Muswada Binafi Wa Kutaka Kuongeza Ukomo Wa Ubunge Mchambuzi Blog October 17, 2017 0

$
0
0
Mbunge  wa Chemba (CCM), Juma Nkamia, ameondoa kwa muda kusudio lake la kutaka kuwasilisha muswada binafsi wa mabadiliko ya Katiba ya nchi ili kuongeza ukomo wa ubunge.

Nkamia aliwasilisha kusudio hilo Septemba, mwaka huu mjini Dodoma kwa mujibu wa kanuni ya 81(2) ya kanuni za Bunge toleo la 2016, kupitia barua yake aliyoisaini Septemba 12, mwaka huu  iliyokuwa ikipendekeza kuongeza muda wa Bunge kutoka miaka mitano hadi saba na kupunguza muda wa uongozi wa vijiji kutoka miaka mitano hadi minne.

Kupitia ujumbe mfupi aliouandika katika mtandao wa kijamii wa WhatsApp, Nkamia alisema ameamua kuondoa kusudio hilo baada ya majadiliano na maelekezo kutoka kwa viongozi wa juu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

“Ndugu viongozi wenzangu, naomba kuwataarifu kuwa baada ya mashauriano na maelekezo ya viongozi wa juu wa CCM na hali ya kisiasa katika nchi kadhaa za Afrika Mashariki, nimelazimika kuondoa kwa muda hoja yangu binafsi ya ukomo wa Bunge niliyokusudia kuiwasilisha katika Bunge lijalo (linaloanza Novemba, mwaka huu,” aliandika Nkamia.

Hoja ya Nkamia ilianzia Bunge lililopita lakini ilipingwa na wanasiasa wakongwe akiwamo Spika Mstaafu wa Bunge, Pius Msekwa na wasomi mbalimbali.

Akizungumza na Kituo cha Televisheni cha Azam, Alhamisi wiki hii, Msekwa alisema CCM haiwezi kukubaliana na maoni ya kuongeza muda wa kiongozi yeyote kutoka kipindi cha miaka mitano kilichopo kwa mujibu wa Katiba ya sasa.

Pia alisema kwa uzoefu wake bungeni anaona kuna tafakuri nyingi zilizofanywa kabla ya Taifa kuamua kipindi cha utawala kuwa miaka mitano na si vinginevyo.

Naye Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Dk. Benson Bana, alimpinga huku akisema lengo la Nkamia lilikuwa ni kujipendekeza kwa Rais Dk. John Magufuli ili ampe uwaziri.

Pia Septemba 18, mwaka huu, Mbunge wa Tarime Vijijini (Chadema), John Heche, alisema anakusudia kuwasilisha bungeni hoja binafsi ili kupunguza muda wa viongozi kukaa madarakani kutoka miaka mitano na iwe minne kama Marekani ili kutoa nafasi kwa wananchi kuwa na uamuzi zaidi wa kuendesha nchi yao.
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live




Latest Images