EXCLUSIVE: Brand New Video By Shetta ft Diamond Platnumz - Kerewa Bonyeza
↧
↧
Mwanariadha Mwenye Ujauzito wa Miezi Nane Akimbia Mita 800 kwa Dakika 2
Alysia Montano, mwanariadha wa kike na mshiriki wa Olympic aliyewahi kushinda mara tano mashindano ya riadha ya Marekani ambaye hivi sasa anaujauzito wa miezi 8, bado anashiriki riadha na hali aliyonayo.
Alysia amewashangaza wengi baada ya kukimbia umbali wa mita 800 kwa dakika 2 na sekunde 32 huko California, jana (June 26), ikiwa amechelewa sekunde 35 tu ya uwezo wake wakati akiwa hana ujauzito.
Mwaka 2010, mwanamke huyo akiwa katika hali nzuri alikimbia mita 800 kwa dakika 1 na sekunde 57.
Mwanariadha huyo ameeleza kuwa yeye anajisikia vizuri kukimbia umbali huo akiwa na ujauzito na kwamba amekuwa akifanya hivyo katika kipindi chote cha ujauzito na ameruhusiwa na daktari.
“I've been running throughout my pregnancy and I felt really, really good during the whole process.” Alisema baada ya kumaliza kukimbia.
Alysia amewashangaza wengi baada ya kukimbia umbali wa mita 800 kwa dakika 2 na sekunde 32 huko California, jana (June 26), ikiwa amechelewa sekunde 35 tu ya uwezo wake wakati akiwa hana ujauzito.
Mwaka 2010, mwanamke huyo akiwa katika hali nzuri alikimbia mita 800 kwa dakika 1 na sekunde 57.
Mwanariadha huyo ameeleza kuwa yeye anajisikia vizuri kukimbia umbali huo akiwa na ujauzito na kwamba amekuwa akifanya hivyo katika kipindi chote cha ujauzito na ameruhusiwa na daktari.
“I've been running throughout my pregnancy and I felt really, really good during the whole process.” Alisema baada ya kumaliza kukimbia.
↧
Ben Pol Atoa Wimbo Mpya..Unaitwa Upendo..Sikiliza na Download Hapa
↧
Maswi: Zitto na Kafulila ni Washenz* na wala rushwa...! Asisitiza Kafulila ni 'Tumbili'
SAKATA linalohusu kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), limechukua sura mpya baada ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi, kuwashambulia kwa maneno makali, wabunge wawili Zitto Kabwe wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA) na David Kafulila wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi).
FikraPevu ilikuwapo wakati Maswi akitumia maneno makali kwa kuyarudia, akikejeli nyaraka zinazotajwa kuwa ni ushahidi wa jinsi IPTL ilivyouza hisa zake na fedha kutolewa kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT) katika akaunti maalumu ya pamoja (Escrow), akisema nyaraka hizo ni karatasi za kufungia vitumbua zinazosambazwa na wabunge hao aliowaita “washenzi”.
FikraPevu ilikuwapo wakati Maswi akitumia maneno makali kwa kuyarudia, akikejeli nyaraka zinazotajwa kuwa ni ushahidi wa jinsi IPTL ilivyouza hisa zake na fedha kutolewa kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT) katika akaunti maalumu ya pamoja (Escrow), akisema nyaraka hizo ni karatasi za kufungia vitumbua zinazosambazwa na wabunge hao aliowaita “washenzi”.
↧
Mbowe na Dr Slaa sasa kwisha; kushtakiwa rasmi na wajumbe Baraza Kuu!
Mhe Mbowe, ambae ni mwenyekiti wa CHADEMA taifa, na katibu mkuu wa chama hicho, Dr Slaa, wamekumbwa na pigo kubwa baada ya wajumbe wa baraza kuu kuwakalia kooni vigogo hao wawili wa CHADEMA.
Itakumbukwa hivi karibuni wajumbe wa baraza kuu CHADEMA walitoa "press release" ya kuwatuhumu viongozi wa chama chao kwa tuhuma nzito nzito ikiwemo kukihujumu chama, ufisadi na ubadhirifu wa mali za chama. Ambapo kwa mujibu wa wajumbe hao, uhuni huu wote unafanywa na Mbowe pamoja na Dr Slaa!!!
Lakini vilevile wajumbe wa baraza kuu CHADEMA hawajaishia kutoa tu "press release", bali wameenda mbali zaidi mpaka kwa msajili wa vyama vya siasa nchini na kwa mkaguzi mkuu wa mahesabu (CAG) kwa hatua zaidi za kisheria kuchukuliwa dhidi ya vigogo hao wa CHADEMA, kwa kuwa wajumbe wa baraza kuu wamejipanga kwa vielelezo vyote vya kuthibitisha ukiukwaji wa sheria katika matumizi ya mali za umma unao fanywa na Mbowe pamoja na Dr Slaa.
Aidha, jitihada za kumtafuta Dr Slaa ili atolee maelezo suala la wao (yeye Dr Slaa na Mbowe) kushtakiwa kwa msajili wa vyama azikuweza kuzaa matunda kwani simu yake ilikuwa ikiita bila kupokelewa.
Itakumbukwa hivi karibuni wajumbe wa baraza kuu CHADEMA walitoa "press release" ya kuwatuhumu viongozi wa chama chao kwa tuhuma nzito nzito ikiwemo kukihujumu chama, ufisadi na ubadhirifu wa mali za chama. Ambapo kwa mujibu wa wajumbe hao, uhuni huu wote unafanywa na Mbowe pamoja na Dr Slaa!!!
Lakini vilevile wajumbe wa baraza kuu CHADEMA hawajaishia kutoa tu "press release", bali wameenda mbali zaidi mpaka kwa msajili wa vyama vya siasa nchini na kwa mkaguzi mkuu wa mahesabu (CAG) kwa hatua zaidi za kisheria kuchukuliwa dhidi ya vigogo hao wa CHADEMA, kwa kuwa wajumbe wa baraza kuu wamejipanga kwa vielelezo vyote vya kuthibitisha ukiukwaji wa sheria katika matumizi ya mali za umma unao fanywa na Mbowe pamoja na Dr Slaa.
Aidha, jitihada za kumtafuta Dr Slaa ili atolee maelezo suala la wao (yeye Dr Slaa na Mbowe) kushtakiwa kwa msajili wa vyama azikuweza kuzaa matunda kwani simu yake ilikuwa ikiita bila kupokelewa.
↧
↧
Kuvimbisha Nyonyo na Kuyanyanyua ni Urembo au Mitego?
Wakina mama na wakina Dada wameanzisha mipango mipya ya kuvimbisha maziwa , wengine wakiyapiga sindano yawe magumu, imefikia hata wenye haki yaani watoto wao unyimwa na kupewa chupa huku wakiwalaghai wame eti maziwa hayatoki.
Tabia hii imeshika kasi mpaka wanawapa tabu mafundi nguo , wakishona bila kuweka mbeleko ya kuyabeba.
Wasichana wamefikia.hatua ya kujikaba kifua huku wakieemea juu juu kisa yatune. wengine masikini yashakuwa sokis lakini ngozi hiyo itakabwa wee mpaka itune.
Je kuyakaba na kuyatunisha ni ulembo au mitego
Nawakilisha
↧
Kila Akikolea Kwenye Tendo Uniuliza ''Mpenzi wangu Unataka nini Nikupatie'' Nimpatie jibu Gani
↧
Lulu Michael: Natongozwa na Wanaume Wengi sana Mpaka Nabadili Namba Kila wakati Kuepuka Usumbufu
Wakati wanawake wengine wakionekana kubembeleza penzi na kujinyenyekeza kwa wapenzi wao ili wasiachike, Lulu Michael anasema hana muda huo kwani uzuri wake unatosha kuwavuta wanaume wa kila aina kutoka katika kila kona ya Tanzania…..
Lulu amedai kuwa inawezekana mwanaume wa kwanza kwake ndo chaguo lake namba moja, lakini suala la kuanza kulilia mapenzi au kuumia halipo na kamwe hawezi kufanya hivyo.
“Mapenzi ni magumu hasa kwetu sisi wasanii. Kuna wanaume wanaweza kuja kwako ukadhani ni wema lakini baada ya kumaliza haja zao huwaoni, ndo maana huwa sioni haja ya kujilizaliza kwa mwanaume coz akigundua umezimika ndo kabisa atakugeuza Toilet paper ya kuchambia……
“Najua wapo wengi sana wanaonitamani, lakini kwa taarifa yao ni kwamba nipo makini sana na naitambua thamani yangu.” Alisema Lulu.
Hata hivyo Lulu alisema kuwa huwa anatongozwa na wanaume wengi sana kutokana na uzuri alionao, hali inayomfanya abadili namba ya simu kila mara kukwepa usumbufu.
Lulu amedai kuwa inawezekana mwanaume wa kwanza kwake ndo chaguo lake namba moja, lakini suala la kuanza kulilia mapenzi au kuumia halipo na kamwe hawezi kufanya hivyo.
“Mapenzi ni magumu hasa kwetu sisi wasanii. Kuna wanaume wanaweza kuja kwako ukadhani ni wema lakini baada ya kumaliza haja zao huwaoni, ndo maana huwa sioni haja ya kujilizaliza kwa mwanaume coz akigundua umezimika ndo kabisa atakugeuza Toilet paper ya kuchambia……
“Najua wapo wengi sana wanaonitamani, lakini kwa taarifa yao ni kwamba nipo makini sana na naitambua thamani yangu.” Alisema Lulu.
Hata hivyo Lulu alisema kuwa huwa anatongozwa na wanaume wengi sana kutokana na uzuri alionao, hali inayomfanya abadili namba ya simu kila mara kukwepa usumbufu.
↧
SHEHE Mkuu Amcharukia Jackline Wolper
TABIA ya staa wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper kubadilibadili dini mara kwa mara imeonekana kuwakera watu mbalimbali akiwemo Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Musa Salum ambaye amemcharukia vikali.
Wolper kiimani ni Mkristo lakini hivi karibuni alibadili na kuwa Muislam kabla ya kurejea tena kwenye imani yake ya awali ya ukristo.
Sababu ya Wolper kubadili dini ilikuwa ni kufunga ndoa na aliyekuwa mchumba wake Abdallah Mtoro ‘Dalas’, walipoachana akaamua kurudi kwenye ukristo.
Akizungumza na Risasi Jumamosi juzikati, Shehe Salum, alisema Wolper anapaswa kujichunguza na kubadilika haraka kwani kitendo anachofanya ni kinyume na taratibu za dini.
“Siyo vizuri hata kidogo na hata dini zote zinakemea kitendo cha kuchezeachezea dini kwani ni chukizo kwa Mungu.
“Kwa upande wa Dini ya Kiislamu, kuna sheria kali zaidi kwa mtu akionekana na tabia hiyo, anaweza hata kuuawa hivyo wanaofanya mchezo huo waache kwani siyo vizuri. Huko ni kumfanyia Mungu dhihaka,” alisema Shehe Salum na kuongeza:
“Unajua suala la imani ni kitu kinachomhusu mtu binafsi, ni vyema kufanya uamuzi wa hakika na kushika njia moja na siyo kufanya dhihaka na dini ya Mwenyezi Mungu. Ni kitu kibaya sana.”
Naye Juma Suleiman, mkazi wa Ilala, jijini Dar es Salaam alimwambia mwandishi wetu kuwa, katika imani ya kiislam kunakatazwa watu kucheza na dini huku akisisitiza anayefanya hivyo anaweza kulaaniwa.
“Dini siyo kitu cha kuchezea, ni daraja la kumfikisha mtu kwenye haki, si mahala pa kuingia na kutoka, kuingia na kutoka. Huko ni kucheza na Mungu. Namshauri huyo mtoto (akimaanisha Wolper) abadilike. Asifanye mchezo na imani, Mungu anaweza kumlaani kwa kumchezea,” alisema Suleiman.
↧
↧
Mtoto wa miaka 13 aikoa Nigeria Kulipuliwa na bomu kubwa
Siku chache baada ya kutokea shambulizi kubwa la bomu katika soko kubwa ‘Mall’ jijini Abuja, Nigeria mtoto mwenye umri wa miaka 13 amesaidia kuwaokoa raia wa Nigeria kushambuliwa na bomu kubwa baada ya kulishitukia na kutoa taarifa polisi.
Kwa mujibu wa msemaji wa polisi wa Kano, aliyejitambulisha kwa jina la Magaji Majiya, mtoto huyo wa kiume alipata mashaka baada ya kuona gari fulani bovubovu likiwa limetelekezwa huku likiwa na mzigo mkubwa karibu na msikiti mmoja.
Na ndipo alipolichungulia kuona vitu kama mabomu na akatoa taarifa mapema.
“Bomu liliwalenga watu walioenda kuabudu katika msikiti huo na lilikuwa limewekwa kwenye gari aina ya Toyota Tercel.” Alisema Majiya.
Polisi walituma kikosi maalum cha kutegua mabomu ambacho kilifanikiwa kulitegua bomu hilo.
Mtu mmoja amekamatwa kutokana na tukio hilo.
Kwa mujibu wa msemaji wa polisi wa Kano, aliyejitambulisha kwa jina la Magaji Majiya, mtoto huyo wa kiume alipata mashaka baada ya kuona gari fulani bovubovu likiwa limetelekezwa huku likiwa na mzigo mkubwa karibu na msikiti mmoja.
Na ndipo alipolichungulia kuona vitu kama mabomu na akatoa taarifa mapema.
“Bomu liliwalenga watu walioenda kuabudu katika msikiti huo na lilikuwa limewekwa kwenye gari aina ya Toyota Tercel.” Alisema Majiya.
Polisi walituma kikosi maalum cha kutegua mabomu ambacho kilifanikiwa kulitegua bomu hilo.
Mtu mmoja amekamatwa kutokana na tukio hilo.
↧
Msichana aliyemuua mama yake kwa kumchoma visu mara 151 akwepa jela
Taarifa kutoka Colorado, Marekani zinaeleza kuwa Msichana mwenye umri wa miaka 19, anaefahamika kwa jina la Isabella Yun-Mi Guzman ambaye alimchoma mama yake visu mara 151 ameachiwa huru.
Mahakama imemuachia huru Isabella baada ya kubaini kuwa ni mgonjwa wa akili na kwamba wakati anatekeleza tukio hilo hakuwa katika hali ya kawaida kiakili hivyo kwa mujibu wa sheria hana hatia.
Mahakama imeamuru msichana huyo kupelekwa katika hospitali ya wagonjwa wenye matatizo ya akili kwa ajili ya kupata matibabu badala ya kumpeleka jela.
Kwa mujibu wa ripoti zilizofikishwa mahakamani hapo na polisi, Issabella alimchoma mama yake visu mara 151 (Mara 35 usoni, mara 51 shingoni, na mara 65 katika sehemu nyingine za mwili.
Msichana huyo amepelekwa Colorado Mental Health Institute
Mahakama imemuachia huru Isabella baada ya kubaini kuwa ni mgonjwa wa akili na kwamba wakati anatekeleza tukio hilo hakuwa katika hali ya kawaida kiakili hivyo kwa mujibu wa sheria hana hatia.
Mahakama imeamuru msichana huyo kupelekwa katika hospitali ya wagonjwa wenye matatizo ya akili kwa ajili ya kupata matibabu badala ya kumpeleka jela.
Kwa mujibu wa ripoti zilizofikishwa mahakamani hapo na polisi, Issabella alimchoma mama yake visu mara 151 (Mara 35 usoni, mara 51 shingoni, na mara 65 katika sehemu nyingine za mwili.
Msichana huyo amepelekwa Colorado Mental Health Institute
↧
Full time ya Brazil vs Chile na Colombia vs Uruguay
Hatua ya mtoano katika michuano ya kombe la dunia imeanza rasmi leo kwa michezo kati ya Brazil vs Chile na Colombia vs Uruguay.
Kwenye mchezo wa kwanza, waaandaji wa Michuano Brazil wametinga Robo fainali ya Michuano ya Kombe la Dunia na kuwa timu ya kwanza kutinga robo fainali katika mashindano hayo, baada ya kuifunga Chile kwa mikwaju ya Penati ambapo matokeo yamekuwa tatu kwa mbili
Mauricio Pinilla na Alexis Sanchez ndio walikosa penati , kabla ya Gonzalo Jara kukosa Penati ya Muhimu .
Katika mchezo wenyewe , David Luiz aliipatia Brazil Goli la uongozi baada ya Thiago Silva kuuparaza Mpira na kuunganisha kona iliyopigwa na Neymar’.
Chile walisawazisha Baada ya Eduardo Vargas kuokoa Mpira vibaya na kumfanya goli ambapo mlinzi wa chile Alexis Sanchez kusawazisha .
Kwenye mchezo mwingine uliopigwa leo hii kati ya Uruguay vs Colombia, magoli mawili mazuri kabisa ya james Rodriguez yalitosha kuipeleka Colombia kwenye robo fainali ya michuano ambapo timu hiyo sasa na Brazil.
Kwenye mchezo wa kwanza, waaandaji wa Michuano Brazil wametinga Robo fainali ya Michuano ya Kombe la Dunia na kuwa timu ya kwanza kutinga robo fainali katika mashindano hayo, baada ya kuifunga Chile kwa mikwaju ya Penati ambapo matokeo yamekuwa tatu kwa mbili
Mauricio Pinilla na Alexis Sanchez ndio walikosa penati , kabla ya Gonzalo Jara kukosa Penati ya Muhimu .
Katika mchezo wenyewe , David Luiz aliipatia Brazil Goli la uongozi baada ya Thiago Silva kuuparaza Mpira na kuunganisha kona iliyopigwa na Neymar’.
Chile walisawazisha Baada ya Eduardo Vargas kuokoa Mpira vibaya na kumfanya goli ambapo mlinzi wa chile Alexis Sanchez kusawazisha .
Kwenye mchezo mwingine uliopigwa leo hii kati ya Uruguay vs Colombia, magoli mawili mazuri kabisa ya james Rodriguez yalitosha kuipeleka Colombia kwenye robo fainali ya michuano ambapo timu hiyo sasa na Brazil.
↧
UKATILI: Mkasa wa Binti aliyebakwa na Baba yake na kuambukizwa UKIMWI
“Amini usiamini hizi ni zama za mwisho mwanangu, mimi hili suala bado haliniingii akilini kabisa, kwani nilizoea kusikia kama hadithi kuwa mzazi ana uhusiano wa mapenzi na mwanawe, lakini leo hii yamenikuta ya kunikuta,” haya ni maneno ya Bhoke Mwita (siyo jina halisi), mama mzazi wa binti anayedaiwa kubakwa na baba yake mzazi kwa miaka minne.
Bhoke anasema kibaya zaidi mwanaye amefanyiwa unyama huo na baba yake mzazi, huku akimwachia doa ambalo haliwezi kufutika milele ambao ni ugonjwa wa Ukimwi.
Tukio hilo linamsababisha Wanjara kunyamaza kwanza kabla ya mahojiano, baadaye anadai binti yake kapewa ujauzito na maambukizi ya Ukimwi na baba yake, ingawa alikuwa hajitambua kuwa ni mgonjwa hatua ambayo imemuumiza na kumtia aibu kwenye jamii.
Binti anayedaiwa kubakwa na baba yake, kupewa ujauzito na kuambukizwa Ukimwi. Picha na Florence Focus.
Binti anayedaiwa kubakwa na baba yake, kupewa ujauzito na kuambukizwa Ukimwi. Picha na Florence Focus.
Mkazi huyo wa Mtaa wa Kigera Kibini, Kata ya Kigera, Manispaa ya Musoma mkoani Mara, anasimlia historia ya maisha yake hadi kuzaa mtoto huyo wa mwisho nje ya ndoa baada ya mumewe kufariki, lakini hatima imekuwa kugeuzwa mke mwenza.
Mwita anasita kuendelea na simlizi kabla binti yake aliyefanyiwa unyama na baba yake, hajasimulia masaibu yake: “Matatizo niliyonayo ni mengi, Mungu pekee ndiye anayefahamu, bado naongezewa msalaba mzito kama huu.”
Ghafla anapaza sauti anaita jina la binti yake aliyefanyiwa ukatili, aliyekuwa chumba kingine na kumtaka aeleze yote yaliyomsibu ili ulimwengu utambue.
Simulizi za binti
Anatokea binti mrembo ila sura yake inaonyesha unyonge, mrefu, mwembamba anasalimia kwa sauti ya upole huku akielekea kwenye kiti kuketi, afya yake siyo ya kuridhisha.
Bila kupoteza muda, binti huyo anadai alianza kuishi na baba yake mwaka 2002 akiwa anaingia darasa la tatu, baada ya mama yake kupata kibarua kwenye nyumba ya watawa.
Anasema baba yake alikuwa akiishi na kaka zake wawili wakubwa ambao walikuwa wamemaliza shule na wakati huo walikuwa wakijihusisha na kazi za vibarua.
Anasimulia kuwa alipofika darasa la tano, baba yake alikuwa akimfuata chumbani kabla ya kaka zake hawajarudi nyumbani na kumtaka afanye naye ngono. Binti huyo anasema kwamba wakati huo alikuwa hafahamu chochote kuhusu mapenzi.
“Nilipoona baba ananipiga kila siku, nilikubali, akawa anakuja chumbani kwangu na wakati mwingine ananiita kwake, tukishamaliza ananiambia niende kwangu kulala, hivyo nikaona kama jambo la kawaida,” anasimulia binti huyo.
Anaendelea kusema kuwa baada ya kumaliza shule ya msingi mwaka 2009, alibaki na jukumu la kumhudumia baba yake kama mume wake, jambo ambalo anadai lilikuwa likimuumiza, hivyo akaamua kuwa wazi ili apate msaada.
“Mwaka 2010 nilikuwa tu nyumbani, kazi yangu ilikuwa kumhudumia baba, kupika na kuchota maji, marafiki zangu hawakuruhusiwa kufika nyumbani, pia sikutakiwa kutoka, nikizungumza na jirani baba anakuwa mkali kama mbogo, nikaamua kumshirikisha dada yangu (anamtaja) ili anisaidie, japo alikuwa akiniuliza kuhusu jambo hilo namkatalia,” anadai.
Baada ya kumweleza dada yake, alimpa mbinu za kutoroka ili amsaidie kumfikisha kwa mama yao aliyekuwa amehamia Kijiji cha Kabasa, Wilaya ya Bunda.
Mama mzazi anena
Bhoke anasema baada ya mumewe wa ndoa kufariki mwaka 1989, alianza uhusiano na mwanamume huyo (anamtaja) alipata mimba na kujifungua binti huyo Septemba 3, 1994.
“Nilipojifungua mwanamume huyo alinitunza vizuri, alimpenda mwanawe hivyo sikuhangaika kumlea ingawa alikuwa mume wa mtu, kwa sababu alikuwa na familia yake,” anasimlia Bhoke.
Anasema kuwa mwaka 2003 alipata kibarua cha upishi nyumba ya watawa wa Shirika la Utawa mjini hapa, huku akitakiwa kuishi kwenye nyumba hiyo hivyo ilimlazimu kumtafutia mtoto wake sehemu ya kuishi kutokana na nyumbani kwake kutokuwapo mtu.
Mama huyo anadai baada ya mwanamume kupata taarifa kuwa mtoto amepelekwa kuishi kwa babu yake, alimfuata na kumwomba ampe mwanaee akamlee.
“Sikuwa na sababu za kumnyima mtoto, kwani ni wake, hivyo nilimkabidhi. Hata hivyo, nyumbani kwake hapakuwa mbali na nilipokuwa naishi,” anasema Bhoke na kuongeza:
“Kipindi anamchukua alikuwa anaingia darasa la tatu, hivyo alikuwa na akili ya kutambua zuri na baya, niliamini kama ataona anateseka atarudi hapa kwa dada zake.”
Anasema yeye aliendelea kufanya kazi nyumba ya watawa kwa miaka miwili, kisha akarejea nyumbani na kuamua kwenda kijijini kulima.
Bhoke anadai kabla hajaenda kijijini alikuwa akisikia maneno kwa majirani kuwa, mzazi mwenzike ana uhusiano wa kimapenzi na binti yake, lakini hakuamini, huku akimtaka binti yake mmoja kufuatilia ukweli wa tetesi hizo.
Anadai mwaka 2007, binti yake alianza kutaja maovu ya baba yake kwa dada yake, lakini akimtaka asimweleze mama yake, ingawa alimwambia licha ya kusema kuwa baba yake akimtaka kimapenzi, hakutamka iwapo wanajamiiana.
“Baada ya kupata taarifa hizo nilianza kuhisi kitu ila sikuwa na la kufanya, kwa sababu mtoto mwenyewe hana ushirikiano wa kutosha,” anadai Bhoke.
Mwaka 2007, binti alimaliza elimu yake ya msingi Shule ya Kamnyonge lakini alishindwa kuendelea na sekondari.
Anadai baada kushindwa, baba yake alimpeleka Shule ya Msingi Nyasho kurudia darasa la sita, hivyo alimaliza tena darasa la saba mwaka 2009 lakini hakufaulu.
Taarifa zilivyojulikana
Dada yake binti huyo anadai baada ya mdogo wake kukiri baba yake anajamiiana naye kwa lazima, alimhurumia na kumsihi atoroke na kwamba atampa nauli aende kwa mama yake kijijini. Anasema alipofika kwa mama yake alitafutiwa shule akarudia darasa la saba Shule ya Msingi Kung’ombe, Wilaya ya Bunda mwaka 2011, alifaulu na kujiunga na Sekondari ya Wariku mwaka 2012.
Anadai baada ya kufunga shule Juni akiwa kidato cha pili, alimlazimisha mama yake ampe nauli ili aende Musoma kumsalimia baba yake. Anadai alipofika kwa baba yake hakurejea tena Bunda, zaidi ya baba yake kumpigia simu mama yake kuwa mtoto wake anateseka hivyo anamchukulia uhamisho asomee Musoma Mjini.
Anadai mdogo wake alihamia Sekondari ya Nyasho mjini hapa, ambako alisoma miezi miwili na kuachishwa na baba yake na kumpeleka Kijiji cha Sirorisimba, wilayani Serengeti kufanya kazi za hotelini.
Hata hivyo, anadai siri ilifichuka baadaye kwamba mdogo wake alitoroshwa kutokana na ujauzito, hivyo baada ya mimba kukua alishindwa kuendelea na kazi ili apate nauli ya kurejea kwa mama yake Bunda.
Baada ya kufika kwa mama yake, alimpeleka kupima ingawa binti huyo alikataa kuwa siyo mjamzito lakini vipimo vilionyesha ana ujauzito.
Mama yake alimpa nauli ya kurudi kwa baba yake kwa sababu alimchukua kwa madai ya kumsomesha, hivyo hakuona umuhimu wa kumpokea akiwa na hali hiyo.
Dada yake anaendelea kusema, siku moja alikwenda kumsalimia mdogo wake na kumkuta akiwa na hali mbaya, hatua iliyomshtua na kumpigia simu mama yao na ndugu zake wengine ili kumpa msaada wa kumpeleka hospitali.
“Nilimkuta mdogo wangu akiwa na hali ambayo siyo nzuri kwa kweli, alikuwa kavimba mwili mzima, halafu amejisaidia haja kubwa na ndogo hapohapo kitandani hakuna msaada, niliumia sana!”
Baada ya kumpeleka hospitali vipimo vilionyesha ana maambukizi ya virusi vya Ukimwi, walimpa ushauri nasaha na kumwanzishia dawa za kuzuia maambukizi ya mama kwenda kwa mtoto.
Anasema binti alikaa nyumbani wiki moja tu na kujifungua mtoto akiwa amekufa, kufuatia hali hiyo taarifa zililifikia Dawati la Jinsia la Polisi na kumtia mbaroni mtuhumiwa.
Msaada wa kisheria
Awali, binti huyo alikuwa akipewa msaada na Shirika lisilo la Serikali la Watoto Wapinge Ukimwi (WWU) mjini hapa kama mtoto anayeishi katika mazingira magumu, walimsaidia akiwa darasa la kwanza hadi la saba, baada kuhitimu elimu ya msingi hawakuendelea naye.
Mkurugenzi wa shirika hilo, Sista Marion Haqhes anasema hawezi kumzungumzia mtoto huyo kwa sababu shirika lake na sheria ya mtoto haimruhusu ingawa tukio hilo ni kweli.
Polisi wanena
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Paul Kasabago anathibitisha kuwapo taarifa za ubakaji na kwamba, mtuhumiwa amekuwa akimbaka binti yake muda mrefu.
Kasabango anasema licha ya mtuhumiwa kumbaka binti yake mara kwa mara, amemsababishia ujauzito aliojifungua mtoto aliyekufa na vipimo vimeonyesha amemwambukiza Ukimwi.
Anasema kwa sasa mtuhumiwa yupo rumande kwa mahojiano zaidi na kwamba, atafikishwa mahakamani muda wowote.
Bhoke anasema kibaya zaidi mwanaye amefanyiwa unyama huo na baba yake mzazi, huku akimwachia doa ambalo haliwezi kufutika milele ambao ni ugonjwa wa Ukimwi.
Tukio hilo linamsababisha Wanjara kunyamaza kwanza kabla ya mahojiano, baadaye anadai binti yake kapewa ujauzito na maambukizi ya Ukimwi na baba yake, ingawa alikuwa hajitambua kuwa ni mgonjwa hatua ambayo imemuumiza na kumtia aibu kwenye jamii.
Binti anayedaiwa kubakwa na baba yake, kupewa ujauzito na kuambukizwa Ukimwi. Picha na Florence Focus.
Binti anayedaiwa kubakwa na baba yake, kupewa ujauzito na kuambukizwa Ukimwi. Picha na Florence Focus.
Mkazi huyo wa Mtaa wa Kigera Kibini, Kata ya Kigera, Manispaa ya Musoma mkoani Mara, anasimlia historia ya maisha yake hadi kuzaa mtoto huyo wa mwisho nje ya ndoa baada ya mumewe kufariki, lakini hatima imekuwa kugeuzwa mke mwenza.
Mwita anasita kuendelea na simlizi kabla binti yake aliyefanyiwa unyama na baba yake, hajasimulia masaibu yake: “Matatizo niliyonayo ni mengi, Mungu pekee ndiye anayefahamu, bado naongezewa msalaba mzito kama huu.”
Ghafla anapaza sauti anaita jina la binti yake aliyefanyiwa ukatili, aliyekuwa chumba kingine na kumtaka aeleze yote yaliyomsibu ili ulimwengu utambue.
Simulizi za binti
Anatokea binti mrembo ila sura yake inaonyesha unyonge, mrefu, mwembamba anasalimia kwa sauti ya upole huku akielekea kwenye kiti kuketi, afya yake siyo ya kuridhisha.
Bila kupoteza muda, binti huyo anadai alianza kuishi na baba yake mwaka 2002 akiwa anaingia darasa la tatu, baada ya mama yake kupata kibarua kwenye nyumba ya watawa.
Anasema baba yake alikuwa akiishi na kaka zake wawili wakubwa ambao walikuwa wamemaliza shule na wakati huo walikuwa wakijihusisha na kazi za vibarua.
Anasimulia kuwa alipofika darasa la tano, baba yake alikuwa akimfuata chumbani kabla ya kaka zake hawajarudi nyumbani na kumtaka afanye naye ngono. Binti huyo anasema kwamba wakati huo alikuwa hafahamu chochote kuhusu mapenzi.
“Nilipoona baba ananipiga kila siku, nilikubali, akawa anakuja chumbani kwangu na wakati mwingine ananiita kwake, tukishamaliza ananiambia niende kwangu kulala, hivyo nikaona kama jambo la kawaida,” anasimulia binti huyo.
Anaendelea kusema kuwa baada ya kumaliza shule ya msingi mwaka 2009, alibaki na jukumu la kumhudumia baba yake kama mume wake, jambo ambalo anadai lilikuwa likimuumiza, hivyo akaamua kuwa wazi ili apate msaada.
“Mwaka 2010 nilikuwa tu nyumbani, kazi yangu ilikuwa kumhudumia baba, kupika na kuchota maji, marafiki zangu hawakuruhusiwa kufika nyumbani, pia sikutakiwa kutoka, nikizungumza na jirani baba anakuwa mkali kama mbogo, nikaamua kumshirikisha dada yangu (anamtaja) ili anisaidie, japo alikuwa akiniuliza kuhusu jambo hilo namkatalia,” anadai.
Baada ya kumweleza dada yake, alimpa mbinu za kutoroka ili amsaidie kumfikisha kwa mama yao aliyekuwa amehamia Kijiji cha Kabasa, Wilaya ya Bunda.
Mama mzazi anena
Bhoke anasema baada ya mumewe wa ndoa kufariki mwaka 1989, alianza uhusiano na mwanamume huyo (anamtaja) alipata mimba na kujifungua binti huyo Septemba 3, 1994.
“Nilipojifungua mwanamume huyo alinitunza vizuri, alimpenda mwanawe hivyo sikuhangaika kumlea ingawa alikuwa mume wa mtu, kwa sababu alikuwa na familia yake,” anasimlia Bhoke.
Anasema kuwa mwaka 2003 alipata kibarua cha upishi nyumba ya watawa wa Shirika la Utawa mjini hapa, huku akitakiwa kuishi kwenye nyumba hiyo hivyo ilimlazimu kumtafutia mtoto wake sehemu ya kuishi kutokana na nyumbani kwake kutokuwapo mtu.
Mama huyo anadai baada ya mwanamume kupata taarifa kuwa mtoto amepelekwa kuishi kwa babu yake, alimfuata na kumwomba ampe mwanaee akamlee.
“Sikuwa na sababu za kumnyima mtoto, kwani ni wake, hivyo nilimkabidhi. Hata hivyo, nyumbani kwake hapakuwa mbali na nilipokuwa naishi,” anasema Bhoke na kuongeza:
“Kipindi anamchukua alikuwa anaingia darasa la tatu, hivyo alikuwa na akili ya kutambua zuri na baya, niliamini kama ataona anateseka atarudi hapa kwa dada zake.”
Anasema yeye aliendelea kufanya kazi nyumba ya watawa kwa miaka miwili, kisha akarejea nyumbani na kuamua kwenda kijijini kulima.
Bhoke anadai kabla hajaenda kijijini alikuwa akisikia maneno kwa majirani kuwa, mzazi mwenzike ana uhusiano wa kimapenzi na binti yake, lakini hakuamini, huku akimtaka binti yake mmoja kufuatilia ukweli wa tetesi hizo.
Anadai mwaka 2007, binti yake alianza kutaja maovu ya baba yake kwa dada yake, lakini akimtaka asimweleze mama yake, ingawa alimwambia licha ya kusema kuwa baba yake akimtaka kimapenzi, hakutamka iwapo wanajamiiana.
“Baada ya kupata taarifa hizo nilianza kuhisi kitu ila sikuwa na la kufanya, kwa sababu mtoto mwenyewe hana ushirikiano wa kutosha,” anadai Bhoke.
Mwaka 2007, binti alimaliza elimu yake ya msingi Shule ya Kamnyonge lakini alishindwa kuendelea na sekondari.
Anadai baada kushindwa, baba yake alimpeleka Shule ya Msingi Nyasho kurudia darasa la sita, hivyo alimaliza tena darasa la saba mwaka 2009 lakini hakufaulu.
Taarifa zilivyojulikana
Dada yake binti huyo anadai baada ya mdogo wake kukiri baba yake anajamiiana naye kwa lazima, alimhurumia na kumsihi atoroke na kwamba atampa nauli aende kwa mama yake kijijini. Anasema alipofika kwa mama yake alitafutiwa shule akarudia darasa la saba Shule ya Msingi Kung’ombe, Wilaya ya Bunda mwaka 2011, alifaulu na kujiunga na Sekondari ya Wariku mwaka 2012.
Anadai baada ya kufunga shule Juni akiwa kidato cha pili, alimlazimisha mama yake ampe nauli ili aende Musoma kumsalimia baba yake. Anadai alipofika kwa baba yake hakurejea tena Bunda, zaidi ya baba yake kumpigia simu mama yake kuwa mtoto wake anateseka hivyo anamchukulia uhamisho asomee Musoma Mjini.
Anadai mdogo wake alihamia Sekondari ya Nyasho mjini hapa, ambako alisoma miezi miwili na kuachishwa na baba yake na kumpeleka Kijiji cha Sirorisimba, wilayani Serengeti kufanya kazi za hotelini.
Hata hivyo, anadai siri ilifichuka baadaye kwamba mdogo wake alitoroshwa kutokana na ujauzito, hivyo baada ya mimba kukua alishindwa kuendelea na kazi ili apate nauli ya kurejea kwa mama yake Bunda.
Baada ya kufika kwa mama yake, alimpeleka kupima ingawa binti huyo alikataa kuwa siyo mjamzito lakini vipimo vilionyesha ana ujauzito.
Mama yake alimpa nauli ya kurudi kwa baba yake kwa sababu alimchukua kwa madai ya kumsomesha, hivyo hakuona umuhimu wa kumpokea akiwa na hali hiyo.
Dada yake anaendelea kusema, siku moja alikwenda kumsalimia mdogo wake na kumkuta akiwa na hali mbaya, hatua iliyomshtua na kumpigia simu mama yao na ndugu zake wengine ili kumpa msaada wa kumpeleka hospitali.
“Nilimkuta mdogo wangu akiwa na hali ambayo siyo nzuri kwa kweli, alikuwa kavimba mwili mzima, halafu amejisaidia haja kubwa na ndogo hapohapo kitandani hakuna msaada, niliumia sana!”
Baada ya kumpeleka hospitali vipimo vilionyesha ana maambukizi ya virusi vya Ukimwi, walimpa ushauri nasaha na kumwanzishia dawa za kuzuia maambukizi ya mama kwenda kwa mtoto.
Anasema binti alikaa nyumbani wiki moja tu na kujifungua mtoto akiwa amekufa, kufuatia hali hiyo taarifa zililifikia Dawati la Jinsia la Polisi na kumtia mbaroni mtuhumiwa.
Msaada wa kisheria
Awali, binti huyo alikuwa akipewa msaada na Shirika lisilo la Serikali la Watoto Wapinge Ukimwi (WWU) mjini hapa kama mtoto anayeishi katika mazingira magumu, walimsaidia akiwa darasa la kwanza hadi la saba, baada kuhitimu elimu ya msingi hawakuendelea naye.
Mkurugenzi wa shirika hilo, Sista Marion Haqhes anasema hawezi kumzungumzia mtoto huyo kwa sababu shirika lake na sheria ya mtoto haimruhusu ingawa tukio hilo ni kweli.
Polisi wanena
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Paul Kasabago anathibitisha kuwapo taarifa za ubakaji na kwamba, mtuhumiwa amekuwa akimbaka binti yake muda mrefu.
Kasabango anasema licha ya mtuhumiwa kumbaka binti yake mara kwa mara, amemsababishia ujauzito aliojifungua mtoto aliyekufa na vipimo vimeonyesha amemwambukiza Ukimwi.
Anasema kwa sasa mtuhumiwa yupo rumande kwa mahojiano zaidi na kwamba, atafikishwa mahakamani muda wowote.
↧
↧
Ma-handsome Na Wenye Pesa Hawana Lolote Kitandani
Kundi la kwanza: Ma-handsome boys, hawa kitandani ni hovyoo kabisa, wanadhani watapendwa kwasababu ya sura zao pekee na si kugegeda.
Kundi la pili: Wanaume wenye pesa, hawa wanadhani watapendwa kwa pesa zao hivyo hawana time ya kutumia nguvu zao nyingi kwenye kugegeda, pesa inaongea.
Wanawake wengi wanaotembea na makundi hayo hapo juu huchepuka kwa lengo la kutafuta kuridhishwa kimapenzi.
Kundi la mwisho: ni ndugu zangu namimi, sio mahandsome na wala hatuna pesa... aisee, mwanamke usimuachie mbunye mwanaume wa aina hii... lazima iote sugu, tena utakimbia na chupi mkononi, atakusugua mpaka utasikia raha baadae itakuwa maumivu na kero.
Wanaume hawa kwakuwa hawana pesa wala si mahandsome hivyo wao silaha yao ni kugegeda tu, hapo ndipo wanapochukua marks zao za bure. Wanawake wanaogegedwa na hili kundi la hawa jamaa mara nyingi huchepuka kutafuta mabwana wa kupiga nao picha na wenye pesa. Ila kwa kugegeda hili ndio kundi linaloongoza Tanzania na Africa mashariki na kati
Mchunguzu Huru
Kundi la pili: Wanaume wenye pesa, hawa wanadhani watapendwa kwa pesa zao hivyo hawana time ya kutumia nguvu zao nyingi kwenye kugegeda, pesa inaongea.
Wanawake wengi wanaotembea na makundi hayo hapo juu huchepuka kwa lengo la kutafuta kuridhishwa kimapenzi.
Kundi la mwisho: ni ndugu zangu namimi, sio mahandsome na wala hatuna pesa... aisee, mwanamke usimuachie mbunye mwanaume wa aina hii... lazima iote sugu, tena utakimbia na chupi mkononi, atakusugua mpaka utasikia raha baadae itakuwa maumivu na kero.
Wanaume hawa kwakuwa hawana pesa wala si mahandsome hivyo wao silaha yao ni kugegeda tu, hapo ndipo wanapochukua marks zao za bure. Wanawake wanaogegedwa na hili kundi la hawa jamaa mara nyingi huchepuka kutafuta mabwana wa kupiga nao picha na wenye pesa. Ila kwa kugegeda hili ndio kundi linaloongoza Tanzania na Africa mashariki na kati
Mchunguzu Huru
↧
Dr Slaa Aikalia Kooni Serikali Ufisadi wa Fedha za ESCROW
Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbroad Slaa amevunja ukimya na kuitaka serikali iache porojo kuhusu ufisadi mkubwa wa Fedha Escrow.
Dr Slaa ambaye kwa sasa ndiye kiongozi mashuhuri zaidi wa upinzani nchini ametaka hatua za haraka kuchukuliwa kuhusu wizi huo ikiwemo kukamata wahusika wote na kuwafungulia mashtaka.
Kiongozi huyo tishio kuu kwa chama tawala amesema serikali imekosa uwajibikaji kwa kuendelea kunyamazia wizi huo huku wahalifu wa hujuma hiyo wakilindwa.
Kutolea kauli suala hili kwa Dr Slaa kunafanya sakata hili kuchukua sura mpya zaidi ikikumbukwa jinsi Kiongozi huyu alivyosimamia kidete suala la wizi wa Fedha za EPA mpaka ikalazimu Rais kuingilia kati na kuunda tume maalum kuhusu suala hilo.
Source:Tanzania Daima
↧
Laiti CHADEMA wangezingatia ushauri wa Zitto Kabwe kisingekufa kwa style hii
Bado nazid kukihurumia sana chama hiki.
Chama kilichokawa kinachukua kasi ya kusambaza mabadiliko na kuichallange CCM lakin migogoro isiyokwisha na uchu wa madaraka wa viongoz wa juu wa chama hiko umekiua moja kwa moja.
Nakumbuka kauli za Zitto kabwe kipindi kile aliposema ya kwamba huwez kuharibu Taswira ya Zitto kabwe huku ukitaraji kwamba chadema itabaki salama.
Maskini Chadema walipuuza maneno yale.
Wakaweka pamba maskioni na kumchafua zitto kabwe ili wammalize kisiasa pasi na kujua kwamba walikua wanajiua wao wenyewe na chama chao.
Siku zimekwenda Nyota ya Zitto na Taswira ya zitto imeharibika kwa wahafidhina wa chama hicho huku upande wa pili kwa wananchi ikiendelea kunawiri.
Kunawiri kwa nyota ya zitto kwa wananchi kumekuwa inversely proportion kwa upande wa nyota ya chama hiko.
Kwani ndivyo kimezidi kufifia zaidi.
Nakihurumia sana chama hiko.
Nani sasa ataitoa CCM madarakani??
Nakita via JF
↧
Boko Haram waanza kuadhibiwa Kichawi......Nyoka wa Ajabu na Nyuki Wawatoa Msituni
Wanajeshi wa Boko Haram wanaofanya mashambulizi na kuua raia wasio na hatia huko Nigeria wamedaiwa kuanza kukimbia msitu baada ya nyoka wenye sumu kali na nyuki kuwashambulia.
Habari hizi zilielezwa na mtuhumiwa mmoja aliyekamatwa na kuthibitisha kuwa ni mmoja wa member wa kundi la Boko Haram na alieleza kuwa hivi sasa kundi hilo limelazimika kuhama msitu na linaelekea maeneo ya mpaka wa Nigeria na Cameroon baada ya wanajeshi wake wa ngazi za juu kushambuliwa na nyoka na kupoteza maisha.
Kumezuka hisia za kiimani kuwa Boko Haram wanaadhibiwa na mizimu ya watu waliowauwa kinyama
Jeshi la Nigeria limeshafanya juhudi za kuwaondoa msituni lakini imeshindikana na hadi sasa kundi hilo linawashikilia wasichana zaidi ya 260 na bado linaendelea kushambulia Nigeria kwa mabomu ya kutegwa.
Habari hizi zilielezwa na mtuhumiwa mmoja aliyekamatwa na kuthibitisha kuwa ni mmoja wa member wa kundi la Boko Haram na alieleza kuwa hivi sasa kundi hilo limelazimika kuhama msitu na linaelekea maeneo ya mpaka wa Nigeria na Cameroon baada ya wanajeshi wake wa ngazi za juu kushambuliwa na nyoka na kupoteza maisha.
Kumezuka hisia za kiimani kuwa Boko Haram wanaadhibiwa na mizimu ya watu waliowauwa kinyama
Jeshi la Nigeria limeshafanya juhudi za kuwaondoa msituni lakini imeshindikana na hadi sasa kundi hilo linawashikilia wasichana zaidi ya 260 na bado linaendelea kushambulia Nigeria kwa mabomu ya kutegwa.
↧
↧
Wema Sepetu na Kajala Masanja Wamaliza Tofauti zao.
Habari mpya kama sio njema ni kuwa Wema Sepetu na Kajala Masanja wamemaliza tofauti zao zilizotokana na ‘beef’ lao lilichukua week kibao sasa. Kwa mujibu wa taarifa mpya mitandaoni ni kuwa mastaa hao wawili ambao waliwahi kuwa mashosti wakubwa walimaliza ‘beef’ lao katika sherehe ya kibao kata cha mwandishi wa magazeti ya Globalpublishers anayeitwa Imelda Mtema.
Katika tukio hilo mastaa kibao walihudhuria akiwemo Aunty Ezekiel ambaye kwasasa amekuwa karibu zaidi na Wema Sepetu. Nae Wema Sepetu kupitia Instagram ame-share picha hiyo hapo juu akiwa na kina Kajala na kuandika "nawapenda sana hawa hapa..jana hiyo kwa kibaokata cha Imelda Mtema"
Katika tukio hilo mastaa kibao walihudhuria akiwemo Aunty Ezekiel ambaye kwasasa amekuwa karibu zaidi na Wema Sepetu. Nae Wema Sepetu kupitia Instagram ame-share picha hiyo hapo juu akiwa na kina Kajala na kuandika "nawapenda sana hawa hapa..jana hiyo kwa kibaokata cha Imelda Mtema"
↧
E FM Radio Yaendelea Kunyakuwa Watangazaji Maarufu Bongo..Huyu Mwingine Wamemchukua
Mtangazaji maarufu nchini wa vipindi vya Radio na Television Dennis Busulwa a.k.a Ssebo amejiunga na Radio ya Efm ambayo imekwishajizolea umaarufu mkubwa jijini Dsm kwa kipindi kifupi tu kutokana na staili yake tofauti ya urushaji matangazo nchini.
Ssebo mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka mitano kwenye vituo mbalimbali vya Radio na TV amejizolea sifa na mashabiki lukuki katika tasnia hii ya utangazaji kutokana na staili na vituko vyake awapo hewani.
"Mashabiki wangu watarajie mengi mazuri kutoka kwangu nikiwa na EFM", alisema Ssebo. Ssebo anakutana na timu ya watangazaji wengine wakongwe kama Dj Majey, Dizzo One na Sos B waliokwisha anza kusikika Redioni hapo.
Ssebo mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka mitano kwenye vituo mbalimbali vya Radio na TV amejizolea sifa na mashabiki lukuki katika tasnia hii ya utangazaji kutokana na staili na vituko vyake awapo hewani.
"Mashabiki wangu watarajie mengi mazuri kutoka kwangu nikiwa na EFM", alisema Ssebo. Ssebo anakutana na timu ya watangazaji wengine wakongwe kama Dj Majey, Dizzo One na Sos B waliokwisha anza kusikika Redioni hapo.
↧
Kimenuka Ndoa ya Tatu ya Dida Yavunjika Siku Chache Kabla ya Mwezi Mtukufu
KIMENUKA! Siku chache kabla ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kuanza, ndoa ya Mtangazaji wa Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani kupitia Radio Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida’ na mumewe anayepiga mzigo TV1, Ezden Jumanne inadaiwa kuvunjika, ni Ijumaa Wikienda pekee lenye uthubutu wa kuiripoti.
Kwa mujibu wa chanzo makini ambacho kililinyaka tukio zima nyumbani kwa mtangazaji huyo Mwananyamala-Manjunju, Dar, ishu hiyo ilijiri wiki iliyopita usiku ambapo majirani walimsikia Dida akilia lakini wakashindwa kutoa msaada kutokana na geti kufungwa.
“Tuligonga sana mlango lakini hakuna chochote ila baada ya muda tulimuona mume wa Dida akitoka nje na begi kisha akaingia kwenye Bajaj na kuondoka, tukagundua walikuwa kwenye ugomvi,” kilisema chanzo hicho.
TATIZO NI NINI?
Chanzo kingine makini kimepenyeza madai kuwa ugomvi wa wawili hao uliibuka mara baada ya Ezden kuhoji juu ya mapato ya mkewe.
“Jamaa alikuwa anahoji mshahara na fedha ambazo mkewe anazipata katika shughuli za u-MC, alihoji pia kuhusu mwanaye kusoma Shule ya Saint Kayumba (hali ya chini) ndipo mtiti ulipoanzia,” kilisema chanzo hicho.
EZDEN AENDEWA HEWANI
Baada ya kunyetishiwa ishu nzima, mwanahabari wetu, alimtafuta Ezden kwa njia ya simu na kumsomea madai hayo ambapo hakuwa tayari kufafanua zaidi, alijibu kwa kifupi:
“Elewa tu kwamba tupo kwenye matatizo na mke wangu ila kwa sasa siko tayari kulizungumzia.”
DIDA ANASEMAJE?
Kama ilivyo ada ili kupata uzani wa habari, Ijumaa Wikienda lilimtafuta Dida, alipopatikana, alifunguka:
“Mimi na mume wangu huwa hatuna mipaka katika simu zetu, kila mtu yuko huru kuchezea simu ya mwenziye. Siku ya tukio jamaa (Ezden) kabla hajaenda kuoga alitengeneza namba za siri (pasword) sasa nilivyotaka kucheza gemu nikamfuata bafuni na kumuuliza mbona simu imefungwa, nikamuomba anifungulie, huwezi amini akaanza kunitukana, nikajiuliza ni simu tu au kuna mengine!”
KIPIGO KINAENDELEA
Akiendelea kusimulia, Dida alisema ghafla, Ezden alichukua mkanda na kuanza kumpiga.
“Nilishangaa sana, nikajiuliza kosa langu ni nini? Alinipiga hadi akanipasua sehemu ya kichwa, sikuamini kama Ezden anaweza kunifanya vile au kama alinichoka angeniambia wakati yeye ndiye mkosaji,” alisema Dida.
EZDEN ATIMKA
Chanzo kilidai kuwa, baada ya Ezden kuona amemuumiza mkewe, alikusanya nguo zake na kukimbia kwa usafiri wa Bajaj kwani Dida alificha funguo zote za magari yake.
“Alijua Dida atakwenda polisi hivyo akaona bora atimke zake,” kilisema chanzo.
DIDA ATAKA TALAKA
Katika kuonyesha kuwa amechukizwa na tukio hilo la kupigwa ambalo amedai limekuwa likitokea mara kwa mara pamoja na kukosa imani naye katika masuala ya kuchepuka, Dida amesema kwa kuwa alishindwa kumuomba msamaha siku ileile ya tukio, anachotaka kutoka kwake ni talaka tu.
TUJIKUMBUSHE
Tukio la kuvunjika kwa ndoa hiyo iliyofungwa mwaka jana (siku tano kabla ya Mwezi wa Ramadhani kuanza) likikamilika kwa talaka, Dida atakuwa ametimiza idadi ya ndoa tatu kuvunjika.
Awali aliolewa na Mohamed Mchopanga ‘Mchops’ kisha Gervas Mbwiga ‘G’ na wote walimmwaga kwa talaka.
Kwa mujibu wa chanzo makini ambacho kililinyaka tukio zima nyumbani kwa mtangazaji huyo Mwananyamala-Manjunju, Dar, ishu hiyo ilijiri wiki iliyopita usiku ambapo majirani walimsikia Dida akilia lakini wakashindwa kutoa msaada kutokana na geti kufungwa.
“Tuligonga sana mlango lakini hakuna chochote ila baada ya muda tulimuona mume wa Dida akitoka nje na begi kisha akaingia kwenye Bajaj na kuondoka, tukagundua walikuwa kwenye ugomvi,” kilisema chanzo hicho.
TATIZO NI NINI?
Chanzo kingine makini kimepenyeza madai kuwa ugomvi wa wawili hao uliibuka mara baada ya Ezden kuhoji juu ya mapato ya mkewe.
“Jamaa alikuwa anahoji mshahara na fedha ambazo mkewe anazipata katika shughuli za u-MC, alihoji pia kuhusu mwanaye kusoma Shule ya Saint Kayumba (hali ya chini) ndipo mtiti ulipoanzia,” kilisema chanzo hicho.
EZDEN AENDEWA HEWANI
Baada ya kunyetishiwa ishu nzima, mwanahabari wetu, alimtafuta Ezden kwa njia ya simu na kumsomea madai hayo ambapo hakuwa tayari kufafanua zaidi, alijibu kwa kifupi:
“Elewa tu kwamba tupo kwenye matatizo na mke wangu ila kwa sasa siko tayari kulizungumzia.”
DIDA ANASEMAJE?
Kama ilivyo ada ili kupata uzani wa habari, Ijumaa Wikienda lilimtafuta Dida, alipopatikana, alifunguka:
“Mimi na mume wangu huwa hatuna mipaka katika simu zetu, kila mtu yuko huru kuchezea simu ya mwenziye. Siku ya tukio jamaa (Ezden) kabla hajaenda kuoga alitengeneza namba za siri (pasword) sasa nilivyotaka kucheza gemu nikamfuata bafuni na kumuuliza mbona simu imefungwa, nikamuomba anifungulie, huwezi amini akaanza kunitukana, nikajiuliza ni simu tu au kuna mengine!”
KIPIGO KINAENDELEA
Akiendelea kusimulia, Dida alisema ghafla, Ezden alichukua mkanda na kuanza kumpiga.
“Nilishangaa sana, nikajiuliza kosa langu ni nini? Alinipiga hadi akanipasua sehemu ya kichwa, sikuamini kama Ezden anaweza kunifanya vile au kama alinichoka angeniambia wakati yeye ndiye mkosaji,” alisema Dida.
EZDEN ATIMKA
Chanzo kilidai kuwa, baada ya Ezden kuona amemuumiza mkewe, alikusanya nguo zake na kukimbia kwa usafiri wa Bajaj kwani Dida alificha funguo zote za magari yake.
“Alijua Dida atakwenda polisi hivyo akaona bora atimke zake,” kilisema chanzo.
DIDA ATAKA TALAKA
Katika kuonyesha kuwa amechukizwa na tukio hilo la kupigwa ambalo amedai limekuwa likitokea mara kwa mara pamoja na kukosa imani naye katika masuala ya kuchepuka, Dida amesema kwa kuwa alishindwa kumuomba msamaha siku ileile ya tukio, anachotaka kutoka kwake ni talaka tu.
TUJIKUMBUSHE
Tukio la kuvunjika kwa ndoa hiyo iliyofungwa mwaka jana (siku tano kabla ya Mwezi wa Ramadhani kuanza) likikamilika kwa talaka, Dida atakuwa ametimiza idadi ya ndoa tatu kuvunjika.
Awali aliolewa na Mohamed Mchopanga ‘Mchops’ kisha Gervas Mbwiga ‘G’ na wote walimmwaga kwa talaka.
↧
More Pages to Explore .....