Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104694 articles
Browse latest View live

Mke wa Dr Slaa Atoboa Siri Kubwa Kuhusu Afya ya Marehemu Kanumba

$
0
0
KESI inayomkabili muigizaji, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ya kumuua bila kukusudia muigizaji mwenzake Steven Kanumba, imeendelea kusikilzwa  leo Jumatano, Oktoba 25 katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.

Leo ilikuwa ni siku ya kusomwa kwa maelezo ya ushahidi ulioandikwa na mke wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dkt. Slaa, Josephine Mshumbusi,  ambaye pia alikuwa daktari wa marehemu Kanumba. Mshumbusi alishindwa kufika mahakamani jana kutokana na kuwa nchini Canada.
Melezo ya Mshumbusi yamesomwa mahakamani hapo na Askari wa Kituo cha Polisi, Oyster Bay,  Detective Sajenti Nyangea ambaye ndiye alisaini maelezo ya ushahidi huo.

Akisoma maelezo hayo, Sajenti Nyangea amesema; “Mmoja ya wateja wangu, marehemu, Steven Kanumba kwa mara ya kwanza alikuja kwangu mwaka 2011 kwa ajili ya kutoa sumu mwilini. Marehemu alikuwa na matatizo ya damu, upungufu wa hewa kwenye ubongo na alikuwa anasikia maumivu katika ubongo na akili kuchoka,” alisoma Sajenti Nyangea.

Aidha Jaji ambaye anasikiliza kesi hiyo amesema kwa kuwa Sajenti Nengea hawezi kuulizwa swali lolote kwa kuwa yeye alikuwa anasoma ushahidi ambao uliandikwa na mtu mwingine.
Jaji huyo ameongeza kuwa kesho siku ya Alhamisi wazee wa baraza watakaa na kujadili kama Lulu ana hatia katika kesi hiyo inayomkabili au la.

Global

Soma Nafasi 16 za Ajira Serikalini Zilizotangazwa Leo

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa

$
0
0
Kutana  na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..


JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na  Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.

Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia  Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi

+255 622588038au 0679119679 au +255 764318107
NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Naombeni Ushauri, Boyfriend wangu ni Mchovu Sana Faragha

$
0
0


Habari zenu jamani,

Naandika haya nikisikitika sana nakosa namna ya kufanya. Nampenda sana na wala siwezi kumsaliti.

Anaweza akamaliza hata wiki ananiangalia tu, usiku ukifika navua tunalala hadi asubuhi na asifanye chochote hadi nimpapase nimlambe chuchu kifuani ndio kaamke hata hivyo atapiga kamoja tu halafu anageuka.

Jamani hali hii imenishinda kwakweli japo nampenda sana naombeni ushauri

Kamata Kamata ya viongozi wa Upinzani Yaendelea nchini

$
0
0
Katika kile kinachotajwa ni kamata kamata ya viongozi wa upinzania, leo Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dkt. Vicent Mashinji ametakiwa kuripoti katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Upepelezi wa Makosa ya Jinai (DCI)kwa ajili ya mahojiano.

Hatua hiyo inakuja siku mbili baada Mkurugenzi wa Operesheni na Mafunzo wa chama hicho, Kigaila Benson kulipoti Kituo Kikuu cha Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam na kuhojiwa kwa saa kadhaa ambapo ameendelea kushikiliwa na Jeshi hilo mpaka sasa.

Inaelezwa kuwa viongozi hao wa Chadema kwa nyakati tofauti walitoa kauli zenye viashiria vya uchochezi katika mikutano na vyombo vya habari Makao Makuu ya chama hicho Kinondoni. Pia wamekuwa wakielezea maoni yao juu ya afya ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu ambaye alishambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana akiwa katika makazi yake Dodoma.

Hivi karibuni Mkuu wa Jeshi la Polisi, Saimon Sirro akiwa mkoani Mbeya aliwaonya wanasiasa kuacha kuendeleza mjadala wa suala la kushambuliwa kwa Lissu na waliachie Jeshi la Polisi lifanye kazi yake ya upepelezi na kutoa majibu ya uhakika.

Wakili wa Chadema, Fredrick Kiwhelo alipokuwa akihojiwa na chombo kimoja cha habari leo amesema bado wanashughulikia dhamana ya Kigaila na hatima yake itajulikana baadaye.

Akizungumzia suala la kuhitajika kwa Dkt. Mashinji, Wakili huyo amesema amepata taarifa hiyo leo na anaelekea katika ofisi ya DCI.

Kushikiliwa kwa viongozi hao wa Chadema ni muendelezo wa kamata kamata ya viongozi wa vyama vya upinzania nchi ambao wengi wao wanatuhumiwa kwa vitendo vinavyodhaniwa kuwa ni vya uchochezi. Kumekuwa na malalamiko kutoka kwa viongozi hao juu ya kuzuiwa kufanya mikutano ya kisiasa, kuminywa kwa uhuru wa kutoa maoni na bunge kutokuonyeshwa kwa wananchi.

Waliowahi Kukamwatwa

Septemba 24 mwaka huu, Mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msigwa alikamatwa na Polisi wakatia akifanya mkutano wa hadhara katika jimbo lake na baadaye aliachiwa kwa dhamana. Wengine waliowahi kushikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za uchochezi ni Mbunge wa Kawe, Halima Mdee, Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche na Mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko.

Wengine ni Mbunge wa Arusha Mijini, Godbless Lema, Mbunge wa Bunda, Ester Bulaya, Said Kubenea (Ubungo) na Tundu Lissu (Singida Mashariki) ambaye anakabiliwa na kesi zaidi ya 4 za uchochezi dhidi ya Jamhuri.

Source:FIKRA PEVU

Bilioni 2.1 za Mwana FA na AY ziko Pale Pale, Waibwaga Tena Tigo Mahakamani

$
0
0

MWANA FA NA AY WAIBWAGA TENA TIGO MAHAKAMANI ILALA KWENYE KESI YAO YA Bil 2.1

Bil 2.1 ziko pale pale check Video kwa habari zaidi 


Uwezo wa Msanii Rosa Ree Katika Staili ya Kufoka Foka Hip Hop Wawapoteza Marapa wa Kike Bongo

$
0
0
Msanii Rosa Ree Jana ametoa wimbo mpya unaitwa Dow, wimbo huo kwa sasa umekuwa gumzo huko mitandaoni na Radio stations mbali mbali kitu kinachoonyesha kuwa habahatishi na amedhamiria kulibeba hili Game la Hip hop Bongo kwa Upande wa Wanawake....Alianza kiutani utani na Dude la Onetime, Kisha Up in the Air kabla hatujakaa vizuri akashusha MchagaMchaga na Sasa Dow....
Hapo nyuma tulikuwa tunajivunia Marap wa Kike kama Chemical, Tammy The Baddest na wengine lakini baada tu ya ujio wa Rosa Ree ni kama vile nyota zao zimefifia ....

Kwa sasa Rosa Ree ndio msanii Pekee wa Hip Hop kwa upande wa Wanawake Anayeshiriki Tamasha la Fiesta

Kama Bado Hujadownload Wimbo wake mpya wa DOW basi Bofya HAPA

STAR wa Marekani Vera Vendetta Amzimikia Diamond Platnumz, Arusha Cheche Kwa Zari

$
0
0
STAR wa marekani Vera Vendetta atema cheche ‘nimekuchagua wewe Diamond my love’ arusha kijembe kwa Zari The Bosslady, boda aendelea kuonesha hisia zake mitandano ikiwemo instagram na snapchat

Fungua video kumjua Vera ni nani?

Mwanamke Akikujibu Hivi Achana nae Haraka Sana Ujue Hakuna Kitu Hapo....

$
0
0

Wanawake wa uswahilini wa siku hizi wamekuwa na swagger ya aina moja wanapotongozwa.utasikia "MIMI NAWAOGOPA WANAUME",ukiuliza wewe ni bikra kwani? Atajibu hapana,ukiuliza kwa nini unawaogopa wanaume wakati we sio bikra atakujibu" NISHATENDWA SANA".ndugu yangu nakushauri,kama ukijibiwa hivo basi ondoka fasta ujue hapo hakuna mwanamke kabisa,kwa sababu haiwezekani mtu atendwe yeye tu na kila mwanaume,ujue huyo ana mapungufu ambayo hata wewe hutaweza kuvumilia ,mapungufu ambayo hata wewe utamtenda tu na mwisho wa siku utamuongezea idadi ya wanaume waliomtenda.ila mara nyingi wanawake wanaojibu hivo au wanaotendwa hivo unakuta ni hawajatulia kabisa(vicheche).

Wanawake, Msing'ang'anie Wanaume Ambao Hawawataki

$
0
0
Zaidi ya watu wa 5 wameshakueleza kwamba jamaa hana time na wewe na ameshachumbia mtu mwingine hukuamini. Mungu sio Mwigulu Nchemba, siku 1 akiwa kwenye mishemishe za kuchepuka simu yake ikajipiga ukamsikia anaongea na msichana mwingine na baada ya muda ukawasikia wanapiga kwinchi kwinchi Live wakati alikuaga muda huo yuko kwenye kikao cha harusi. Mungu akaamua kukuonyesha kitu live.

Ulipomuuliza akaruka futi elfu 6 kwamba unamsingizia una kila ushahidi kwamba huyo jamaa ni kimeo ila kwa sababu akili yako ina ujibwa ulezi uliochanganywa na alizeti ukamsamehe, sasa leo amekuoa na tabia zilezile walizokuonya rafiki zako zimeendelea, unashinda unalia na kuimba Pambio la bwana tenda miujiza usiaache mpaka mwaka huu upite.

Alishatenda muujiza kukuonyesha ushahidi hukutaka kumsikia, ukapenda zaidi matarumbeta ya harusi bila kujali ndoa itakuwaje. Pole hakuna muujiza hapo, jipigie matarumbeta kwa kujitendea muujiza. Kamwe usidharau Mungu akikuonyesha (clear Signs) kwamba mtu uliyenaye ni shida. Using'ang'anie kuwa mjumbe wa bunge la katiba kama unahisi posho haitoshi achia ngazi.

Heri ukose harusi leo ujiandae kwa ndoa bora ya keshokutwa.

Baraka Afunguka Kuhusu Ugomvi na Alikiba

$
0
0
Msanii Baraka The Prince ambaye alikuwa chini ya lebo ya Rockstar4000 ambayo kwa sasa inaongozwa pia na msanii Alikiba, amesema hana tofauti yoyote na Alikiba licha ya kuondoka Rockstar4000.

Baraka The Prince ameyasema hayo leo alipokuwa akiongea kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, na kusema kwamba hajawahi kugombana na Alikiba, ingawa tangu atoke Rockstar4000 hajawahi kuwasiliana naye.
Baraka The Prince amendelea kwa kusema kwamba watu ndio wanaaminisha wenzao kwamba wawili hao wana tofauti, na licha ya kutoka Rockstar4000, bado hajaambiwa sababu rasmi ya yeye kuondolewa.

Tazama video yote hapa chini

Nape Nhauye Amwita Raila Odinga Kibaraka

$
0
0
 Mbunge wa Mtama, Nape Moses Nnauye amefunguka na kumtabiria ushindi mgombea Urais wa Kenya Uhuru Kenyatta na kusema kuwa atashinda uchaguzi huo ambao utafanyika Alhamisi Oktoba 26, 2017 na kusema Uhuru ndiye anayestahili kuongoza nchi hiyo.
 Nape Nnauye amedai kuwa Uhuru Kenyatta anastahili kuwa Rais wa Kenya kwa sababu yeye ni mwana demokrasia wa kweli hivyo anaamini raia wa Kenya watampa kura nyingi za kutosha na kumpuuza mpinzani wake Raila Odinga.

"Unastahili kuwa Rais wa Kenya. Mwana demokrasia wa kweli. Naamini ndugu zangu wa Kenya watakuchagua kwa kishindo kesho na kumpuuza kibaraka" ameaandika Nape Nnauye kupitia mtandao wake wa twitter.

Uchaguzi wa Marudio Kenya Kufanyika Leo Polisi Waweka Ulinzi

$
0
0
Uchaguzi wa Marudio Kenya Kufanyika Leo Polisi Waweka Ulinzi
Wananchi wa Kenya wameanza kujitokeza vituoni kwa ajili ya kupigia kura katika uchaguzi wa marudio, huku askari wakilazimika kuondoa vizuizi vilivyowekwa na watu wanaopinga uchaguzi huo katika  baadhi ya maeneo.

Hali ya utulivu imetawala katika maeneo mengi licha ya wasiwasi uliojitokeza awali. Katika baadhi ya miji kulikuwa na idadi ndogo ya watu waliojitokeza kupiga kura tofauti na ilivyokuwa wakati wa uchaguzi wa awali uliofanyika Agosti 8.

Pia kuna watu walioweka vizuizi vya matofali na mawe katika baadhi ya vituo vya kupigia kura, hasa katika maeneo ya Mtaa wa  Kibera jijini Nairobi ambayo ni ngome ya kiongozi wa upinzani, Raila Odinga.

Kiongozi huyo jana aliwataka wafuasi wake kubaki nyumbani na kutoshiriki uchaguzi huo.

Barabara inayoelekea kituo cha Shule ya Msingi ya Olympic ilifungwa na polisi walilazimika kutumia nguvu za ziada kuondoa mawe na matofali yaliyokuwa yamepangwa barabarani.

Katika maeneo ya miji ya Kusumu na Mombasa ambayo ni ngome kuu ya Odinga, kumekuwa na idadi ndogo ya watu wanaojitokeza kupiga kura huku maofisa wa Tume ya Uchaguzi wakiwa wanasubiria wapigakura.

Rais Uhuru Kenyatta amesema hali ya usalama itaimarishwa nchini kote na amewataka Wakenya kwenda kupiga kura, huku wakizingatia haki za wale ambao hawataki kushiriki kupiga kura

Deni la Taifa Laongezeka kwa Asilimia 15 Sasa Lafika Trilioni 53

$
0
0
Deni la Taifa Laongezeka kwa Asilimia 15 Sasa  Lafika Trilioni 53
Deni la Taifa liliongezeka kwa asilimia 15 katika kipindi cha miezi 13 iliyopita hadi kufikia Julai, ripoti ya mapitio ya uchumi ya mwezi Agosti ya Benki Kuu (BoT) imeonyesha.

Tathmini ya mwenendo wa uchumi ya kila mwezi inayotolewa na BoT inaonyesha deni hilo lilifikia kiwango cha Sh53.3 trilioni kwa mwaka ulioishia mwezi Julai kutoka Sh46 trilioni kwa mwaka ulioishia Juni, 2016. Kiwango hicho pia kiliongezeka kutoka Sh52 trilioni za Juni.

Mwaka ulioishia Juni,2016 deni hilo liliongezeka kwa asilimia 20 kutoka Sh38.2 trilioni zilizorekodiwa Juni, 2015.

Kulingana na ripoti hiyo ya uchumi inayotolewa kila mwezi, deni hilo lilifika kiasi hicho kutokana na mikopo mipya kutoka vyanzo vya ndani na nje ukiwamo wa Dola 505 milioni za Marekani ambao Serikali iliuchukua kutoka Benki ya Credit Suisse ya Uswiwi mwezi Juni.

Uchambuzi wa deni hilo unaonyesha kiwango kikubwa cha fedha, asilimia 47.2 zilitoka kwenye mashirika ya kimataifa ambalo ni Dola 8,909 milioni wakati mikopo ya kibiashara ilikuwa Dola 1,510.2 milioni huku inayobaki na Dola 5,890 zikitokana na makubaliano na taasisi au nchi nyingine ambazo ni sawa na asilimia 43.6.

Deni hilo la Taifa ni sawa na nusu ya Pato la Taifa (GDP) ambalo linakadiriwa kuwa Sh103.7 trilioni kama ilivyokadiriwa kwenye ripoti ya mwaka ya BoT, 2016.

Hata hivyo, Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) mwaka 2016 lilikadiria deni hilo kuwa asilimia 38 ya GDP kwa mwaka huu wa fedha.

Kiwango cha deni hilo katika kipindi cha mwaka 2001 hadi 2016 kinatajwa kuwa kilikuwa wastani wa asilimia 34.88 ya GDP. Hata hivyo, deni hilo lilipaa zaidi mwaka 2001 na kufika asilimia 50.2 ya GDP kabla ya kupungua na kufika kiwango cha chini, asilimia 21.50 mwaka 2008.

Shirika la Trading Economics linalofanya uchambuzi wa masuala ya uchumi hivi karibuni lilisema deni la nje la Tanzania liliongezeka hadi Dola 17.907 bilioni, Mei kutoka Dola 17.802 bilioni mwezi uliotangulia.

Kati ya mwaka 2011 mpaka Aprili 2017, shirika hilo lilisema deni la nje lilikuwa wastani wa Dola 13.06 bilioni, lakini Mei liliongezeka mpaka Dola 17.907 bilioni.

Kwa miaka saba mpaka sasa, deni hilo lilikuwa dogo zaidi Desemba 2011 likisomeka Dola 2.469 bilioni.

Katika ripoti yake ya Juni kuhusu ustahimilivu wa deni la Taifa (DSA), IMF ilisema Tanzania inaweza kufikia nakisi ya bajeti ya asilimia 4.5 ya GDP kwa miaka michache ijayo, hali itakayohitaji uchumi kujikinga dhidi ya hatari zozote zinazoambatana na ukuaji wa madeni.

Ripoti hiyo ya Juni, 2016 inaonyesha viashiria vitatu vya deni ikiwamo pato la Taifa, mauzo ya bidhaa na huduma nje ya nchi na kodi viliongezeka kidogo katika kipindi cha muda wa kati kabla ya kushuka katika kipindi cha makadirio ya awali kuisha.

Marejesho ya deni kwa wastani wa kodi yaliongezeka kwa kipindi cha kati na kuwa katika kiwango cha juu kwenye kipindi cha muda wa mwisho wa makadirio hayo.

“Marejesho ya deni kwa wastani wa kodi yataongezeka katika kipindi cha mwaka 2020-23 kwa kiwango cha asilimia moja mpaka 30 cha kushuka kwa thamani ya fedha,” imesema IFM.

Kwa hali hiyo matokeo yanaonyesha hatari ya deni la Taifa ni ndogo kwa kuzingatia viashiria vyote vitatu vya kodi, pato la Taifa na mauzo ya bidhaa na huduma nje ya nchi.

Uchambuzi uliofanywa na BoT kuhusu ustahimilivu wa deni mwaka 2016 ulionyesha malipo ya deni hilo kwa kutumia kodi za ndani yamefikia asilimia 11.5 ikilinganishwa na ukomo wa asilimia 20. Malipo ya deni kwa kutumia mauzo ya nje ni asilimia 7.8 ikilinganishwa na ukomo wa asilimia 20.

BoT ilibainisha kiwango kikubwa cha deni kina muda mrefu wa marejesho wa wastani wa miaka 11.9. Hii ina maana ulipaji wa deni kwa kutumia bajeti una hatari ndogo ya kiuchumi.

Kwa mujibu wa ripoti ya mwaka 2016 iliyotolewa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Biashara na Maendeleo (Unctad), kiwango kikubwa cha deni la ndani ni stahimilivu na hakiwezi kuathiri ukuaji wa uchumi kwa miaka ya baadaye.   

Chanzo Mwananchi

Wahalifu wa Kimtandao WaletaTaharuki Chuo Kikuu Huria

$
0
0
Wahalifu wa Kimtandao WaletaTaharuki Chuo Kikuu Huria
Taharuki iliibuka kwa saa kadhaa jana katika Chuo Kikuu Huria (OUT) baada ya wahalifu wa kimtandao waliojitambulisha kwa jina la ‘Tanzania Hackers’ kuingilia mawasiliano ya tovuti ya chuo hicho huku wakiacha ujumbe wa vitisho vya mahitaji ya ajira kwa nguvu vinginevyo wataingilia hadi mifumo ya Serikali.

Wahalifu wa mtandao ni wataalamu wa teknolojia ya mawasiliano (IT) wanaotumia programu zao au lugha za kompyuta kuingilia mtandao wa kampuni au Serikali bila kuwa na nywila (password) inayotumika kwa lengo la kuiba taarifa za siri au nyinginezo.

Mmoja wa watumishi chuoni hapo ambaye aliomba kuhifadhiwa jina lake, alisema taharuki iliyotokea ilisababisha watumishi wa taasisi hiyo kushindwa kufanya kazi kuanzia asubuhi hadi saa 10 jioni wakati uongozi wa chuo ukiendelea na jitihada za kurejesha tovuti hiyo katika mfumo wake wa awali.

“Asubuhi watu tunaingia ofisini, tunakuta tovuti zimeingiliwa ilikuwa ni taharuki kidogo, wameshughulikia suala hilo hadi jioni wameandika ujumbe wa kushtua kidogo na unasikitisha,” kilieleza chanzo kutoka chuoni hapo.

Akizungumzia tukio hilo mkurugenzi wa Idara ya IT chuoni hapo, Dk Edephonce Nfuka alikiri kutokea kwa shambulio hilo la kimtandao huku akisikitishwa na ujumbe wa watu hao. “Tumeliona tatizo asubuhi lakini tuliweka mfumo mbadala, tunashukuru TCRA (Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania) nao walipoliona tatizo hilo wakatujulisha,” alisema Dk Nfuka.

Dk Nfuka alisema baada ya tukio hilo alitoa taarifa kwa Wakala wa Serikali Mtandao (e-Government Agency) ili wachukue tahadhari kutokana na vitisho vilivyotolewa na wahalifu hao.

“Kwa hiyo wamesema wamejiweka sawa kwa uhalifu wowote utakaojitokeza, wako vizuri,”alisema.

Kuhusu matokeo ya kuibuka kwa kundi hilo, Dk Nfuka alisema ni changamoto inayotokana na ukuaji wa teknolojia ya mawasiliano huku akikemea vijana wanaopata taaluma hiyo na kuanza kuitumia katika matukio ya uhalifu.

Baada ya kuingilia ukurasa wa tovuti hiyo ujumbe wa vijana hao umeeleza kuchukizwa na hali ya kuishi maisha ya bila ajira huku wakiwa na taaluma hiyo.

Kaimu meneja mawasiliano wa TCRA, Semu Mwakanjala alisema inapotokea uhalifu wa mitandao mamlaka hiyo hupokea malalamiko kutoka kwa mwathirika au polisi.

“Makundi yote hayo ya kihalifu yanashughulikiwa na cyber crime unit ipo chini ya Jeshi la Polisi ndiyo wanaofuatilia wizi wa kwenye mashine za ATM, ujambazi wa kutumia teknolojia na wanapohitaji msaada wetu wa karibu sisi tunatoa ufumbuzi, lakini hata waathirika mmoja mmoja huleta madai yao,” alisema Mwakanjala.   

Uchawi Wamtesa Mobetto Nyumbani Kwake

$
0
0
Uchawi Wamtesa Mobetto Nyumbani Kwake
WAKATI sakata lake la kuzaa na mtoto wa pili na mwanaume mwingine likiwa bado linarindima, umati wa watu ulikusanyika nyumbani anakoishi, Mbezi Jogoo jijini Dar es Salaam wiki iliyopita baada ya kudaiwa kukutwa kwa vitu vinavyodhaniwa kuwa ni vya kishirikina, Risasi linathibitisha.
Awali chanzo kimoja cha uhakika kilipiga simu chumba cha habari na kuelezwa kuwa kuna vitu vinavyotia shaka katika nyumba hiyo hivyo kutaka kwenda kuona vilikuwa ni nini.

“Jamani kuna vitu hapa havieleweki kwa kweli, ni kama uchawi si uchawi, labda mngefika mara moja muone, maana sidhani hata wenyewe kama wanajua kuhusu hili jambo,” kilisema chanzo hicho ambacho kilikataa kutaja jina lake.

Mara baada ya kufika katika nyumba hiyo, Risasi Mchanganyiko liliweza kuona vitu vilivyo-fungwa katika kabrasha, vikiwemo nazi, ndizi na dalili zote za mambo ya kishirikina.
Baada ya kuona vitu hivyo, waandishi wetu waligonga geti la nyumba hiyo na wenyeji walipotoka, waliulizwa kama wanajua kilichomo ndani ya kabrasha. Akionyesha kushtushwa, msichana aliyekutwa alipiga simu kwa Mobeto na mama yake kuwafahamisha, ambao nao walieleza kuwa wangefika hapo muda mchache unaofuata.

Mobeto alikuwa wa kwanza kuwasili eneo la tukio na baada ya kuelezwa kilichokutwa nje ya nyumba yake, alikuja juu akimtuhumu mwandishi kuwa ndiye anahusika na vitu hivyo, jambo lilisobababisha watu kujaa.

Mwenyekiti wa serikali ya mtaa ambaye jina lake halikupatikana mara moja aliitwa na baada ya kusikiliza maelezo ya pande zote mbili, alimchukua mwandishi kwa maelezo ya kwenda naye katika vyombo vya usalama, lakini alipotoweka eneo hilo, alimwachia, akimweleza kuwa hakuwa na kosa kwa vile aliitwa na watu hivyo alikuwa akitekeleza wajibu wake.
Chanzo Global Publishers

Tunafanya Maandalizi kwa Wachezaji Wote Sijui Nani Atakayetuletea Point Tatu Katika Mechi Dhidi ya Yanga- Omog

$
0
0
Tunafanya Maandalizi kwa Wachezaji Wote Sijui Nani Atakayetuletea Point Tatu Katika Mechi Dhidi ya Yanga- Omog
ILI kupata ushindi ni lazima timu iandaliwe vizuri na si kutegemea mchezaji mmoja, hayo ni maneno ya Kocha Mkuu wa Simba, Joseph Omog, kuelekea mechi dhidi ya watani zao Yanga ambayo inatarajiwa kupigwa Jumamosi kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
 .
Omog aliliambia gazeti hili kuwa kikosi chake kinafanya mazoezi mara mbili kwa siku na mbali na mazoezi ya uwanjani, ameandaa pia darasa ambalo litakamilisha programu yake ya kuwavaa Yanga.

Mcameroon huyo alisema kuwa hakuna mechi nyepesi kwenye ligi au mashindano yoyote ya soka duniani, lakini mechi za watani zinakuwa na "presha" inayochangiwa na mashabiki na wanachama.

"Tunaendelea na maandalizi na yanahusisha wachezaji wote, hakuna mchezaji muhimu, siwezi kusema ninamtegemea nani katika mechi hiyo atakayetusaidia kupata pointi tatu, ili kushinda kila mmoja anatakiwa kutimiza majukumu yake, ninamatumaini tutafanya vyema, tuko kwenye nafasi nzuri," alisema Omog.

Naye mratibu wa timu hiyo, Abbas Ally, alisema kuwa kila mchezaji anafahamu "kiu" ya ubingwa ambao wanayo na ili kutimiza malengo hayo ni lazima wapate ushindi Jumamosi.

"Msimu uliopita tuliwafunga na mechi ya kwanza tulitoka sare, msimu huu tunahitaji pointi zote sita, tunaomba muda na saa itimie ili tuwaonyeshe kuwa huu ni mwaka wa Simba," Alisema Abbas.

Simba inayodhaminiwa na Kampuni ya Kubashiri Matokeo Michezoni ya SportPesa kama ilivyo kwa watani zao, itakuwa na kocha mpya kwenye benchi lake la ufundi Mrundi, Masoud Djuma, ambaye amejiunga na timu hiyo akitokea Rayon Sports ya Rwanda aliyechukua mikoba ya Mganda, Jackson Mayanja.

Katika kujiandaa na mchezo huo, kikosi cha Wekundu wa Msimbazi kimeweka kambi yake Unguja, Zanzibar wakati watani zao wanaofundishwa na Mzambia, George Lwandamina, wako Morogoro.

Yanga Watamba Wasema Wataendeleza Kuweka Rekodi ya Kuwafunga Simba

$
0
0
Yanga Watamba  Wasema Wataendeleza Kuweka Rekodi ya Kuwafunga Simba
HUKU joto la mhemuko wa mchezo wa watani wa jadi likizidi kupanda kwa mashabiki wa timu hizo, mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga,-

Wametamba kuwa mechi hiyo ni nyepesi na kwamba wataendeleza rekodi ya kuwafunga watani zao Simba katika mechi ya ligi hiyo inayotarajiwa kupigwa keshokutwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.

Tangu mwaka 1965, timu hizo zimekutana mara 83 katika mechi za ligi, Yanga ikishinda mara 31, Simba mara 24 huku sare zikiwa 28.

Akizungumza jana jijini, Katibu Mkuu wa Yanga inayodhaminiwa na Kampuni ya Kubashiri Matokeo Michezoni ya SportPesa kama ilivyo kwa watani zao, Boniface Mkwasa, alisema kikosi chake kinaendelea vizuri na mazoezi huko Morogoro na wanaamini kasi ya kutoa "vichapo" ambayo wameianza kwenye Ligi Kuu itaendelea na hatimaye wapate nafasi ya kukaa kwenye uongozi katika msimamo wa ligi hiyo.

Mkwasa alisema kuwa mchezo huo ni wa kawaida kwao kama zilivyo mechi nyingine za ligi, lakini anawaomba mashabiki na wanachama wa timu hiyo kuwahi kuingia uwanjani mapema na kusisitiza utulivu kwa wale watakaokosa tiketi ili kuiepusha klabu na adhabu kama wenyeji wa mchezo huo.

"Tumejipanga vizuri, tuko vizuri kila idara, hii ni mechi ya kawaida kwetu kama ambavyo tunajiandaa kucheza na Ndanda, ni mchezo wa kujuana, tunawaomba mashabiki kukata tiketi mapema.

Katibu huyo alisema pia klabu hiyo inaendelea na mchakato wa kuhakikisha wanakamilisha uwanja wao ili maandalizi ya msimu ujao wa ligi hiyo yafanyike kwenye Uwanja wa Kaunda ambao ukimalizika utakuwa na uwezo wa kuingiza mashabiki 30,000.

Mkwasa pia alisema klabu hiyo imeteua Kamati ya Soka ya Wanawake ambayo itaongozwa na Hawa Ghasia kwa ajili ya kuanza mchakato wa kuunda timu ya wanawake itakayojulikana kwa jina la Yanga Princess.

MCHEZAJI BORA KUNEEMEKA
Mchezaji ambaye atang'ara katika mechi hiyo ya Jumamosi atajinyakulia zawadi kutoka Benki ya KCB ambao pia ni wadhamini wenza wa Ligi Kuu Tanzania Bara, imeelezwa.

Meneja wa benki hiyo, Edgar Masato, alisema jana kuwa mchezaji huyo ambaye atateuliwa na jopo la ufundi litakalofuatilia mechi hiyo, atazawadiwa kitita cha Sh. 500,000.

"Mechi ya Simba na Yanga ni kubwa na ina mashabiki wengi, ili kuongeza hamasa kwa wachezaji wa pande zote kujituma na kuonyesha soka safi kwa ajili ya timu zao, tumepanga kutoa zawadi hiyo," alisema Masato.

Thailand Kuchoma Mwili wa Hayati Mfalme Bhumibol Adulyadej Leo

$
0
0
Thailand Kuchoma Mwili wa Hayati Mfalme Bhumibol Adulyadej Leo
Waombolezaji kote Thailand wanafanya matembezi kunaadhimisha sehemu kuu ya siku tano za sherehe za mazishi kwa ajili the Mfalme Bhumibol Adulyadej aliyeaga dunia.
Mfalme huyo alifariki Oktoba 2016 akiwa na umri wa miaka 88.
Mwili wake utateketezwa kwa moto baadaye Alhamisi, Kwa taratibu za kifalme zitakazoongozwa na mwanae na mrithi wake, Mfalme Maha Vajiralongkorn.
Taratibu za mazishi zilianza Jumatano kwa sherehe za kubudha ,kwenye kasri Kuu la kifalme.
Leo Alhamisi imetangazwa kuwa siku ya mapumziko, ambapo biashara nyingi zitafungwa kwa siku ama kwa nusu siku.

Waombolezaji wakiomboleza kifo cha mfalme katika siku ya kwanza ya taratibu za mazishi yake
Mapema Alhamisi, mwili wa mfalme huyo utaletwa kwenye eneo maalum utakapochomwa kutoka kwenye Ukumbi waKifalme ulipo katika Kasri kuu kwa ajili ya uteketezwa.
Wajumbe wa familia ya ufalme wa Thailand na waheshimiwa kutoka nchi 40 watahudhuria mazishi hayo ya kuchomwa kwa mwili wa hayati mfalme Bhumibol Adulyadej , huku umati mkubwa wa watu ukitarajiwa kujipanga kwenye mitaa ya karibu.
Majivu ya Mfalme hatimae yatakusanywa na kusafirishwa hadi kwenye kasri la Ufalme Ijumaa.
Sherehe zitaendelea kwa siku mbili zaidi.

Kutana na Mtabibu Wanyota za Binadamu Duniani Kote Maalim Fadhili Rashid Kutoka Comoro Kwa Sasa Yupo Tanzania

$
0
0
KUTANA NA MTABIBU WANYOTA ZABINADAMU    DUNIANI KOTE MAALIM FADHILI RASHIDI KUTOKA COMORO KWA SASA YUPO TANZANIA

MAALIM FADHILI RASHIDI ANAUWEZO WAKUBAINI JAMBOLAKO NAKULITATUA MAALIM FADHILI RASHIDI ANATIBU MARADHI YA FUATAYO KAMA VILE

KAMA MIGUU KUUMA NA KUWAKA MOTO PRESHA KISUKARI VIDONDA VYA TUMBO PUMU TEZI NA UVIMBE TUMBONI ANAUWEZO WA KURUDISHA MTU ALIEPOTEA KIMAZINGIRA (MSUKURE) KUMFANYA MKEMUME MPENZI ASIKUSALITI DAWA YA (LIMBWATA) KUMTAWALA MPENZI WAKO UNAVYOTAKA

KUMUONA MBAYAWAKO LIVE KWASABABU MAALUM ANA TOWA PETE YA BAHATI ITAKAYO KULETEA PESA BILA YA MASHARITI NAKUMILIKI MALI UNAZOTAKA

DAWA YA KUONGEZA UUME SAIZI UIPENDAYO DAWA YA NGUVUZAKIUME PIA ANAYO DAWA YA KUONGEZA HIPS SHEPU KUWA NA UMBO BOMBA KAMA UMEIBIWA AMA KUDHULUMIWA UTARUDISHIWA MALIYAKO NDANI YA MASAA (24) ANAFUNGA KESI NAKUPATA HAKIYAKO DAWA YA MVUTO WABIASHARA KUUZA MALIYAKO KWA HARAKA KUZUIA CHUMAULETE KWENYE BIASHARA KUSAFISHA NYOTA NAKUTOWA MIKOSI TIBAHII NI KWADINI ZOTE MAALIM FADHILI RASHIDI ANAJUWA UMEHANGAIKASANA LAKINI HUJAFANIKIWA MUONE HARAKA AKUSAIDIE UTAPATA HUDUMA POPOTE ULIPO NCHI YEYOTE DUNIANI UTAPATA HUDUMAYANGU ACHAKUTESEKA NA MATATIZO ULIONAYO MAALIM FADHILI RASHIDI YUPO TANZANIA KWA AJILIYAKO


CALLING +255719362806/+255763276239/

KWA WHATSAPP IMO +255785786436
Viewing all 104694 articles
Browse latest View live




Latest Images