Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104415 articles
Browse latest View live

Mzee wa Miaka 60 Ameuwawa na Kukatwa Sehemu za Siri

0
0
Mzee wa Miaka 60 Ameuwawa na Kukatwa Sehemu za Siri
Polisi jijini Nairobi nchini Kenya wanafanya uchunguzi juu ya tukio la kuuawa kwa mzee wa miaka 60 na mwili wake kutelekezwa barabarani,

Mwili huo ambao uligunduliwa leo asubuhi katika eneo la Riruta huku sehemu zake za siri kukutwa zikiwa zimekatwa.
Mwili huo wa marehemu ambao bado haujajulikana ni nani, umepelekwa katika chumba cha kuhifadhia maiti wakati uchunguzi dhidi ya waliohusika na mauaji hayo ukiendelea.

Soma Nafasi za Kazi Zilizotangazwa Leo Jumatano

0
0

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa

0
0
KWA NINI BAADHI YA WANAUME WA NA MAUMBILE  MADOGO?


Matatizo haya yame kuwa yakiwaathiri watu wengi sana kisaikolijia hasa baada ya kujiona tofauti sana na wenzao kwa kawaida mwanaume ana takiwa awe na uume kuanzia inch(6_8)  vinginevyo mtu huyo atakuwa na matatizo.

Zipo sababu nyingi zinazo sababisha tatizo hilo  baadhi ni upungufu wa  vichocheo (Hormones za Getrogen) Ambazo  mwanaume akisha balehe vichocheo hivi huchochea  ukuaji wa  uume, chango husababisha NEVA ambayo huathiri misuri ya uume.

Ngiri ambayo Huleta maumivu ya tumbo kuunguruma  na kujaa guess, korodani moja kuvimba, kutopata choo vizuri , miguu kufa ganzi, maumivu ya kiuno,upigaji wa punyeto sababu hizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembaba na mara kwa mara hipelekea kupunguka kwa nguvu za kiume na ham ya tendo la ndoa hukosekana na kuisha kabisa

NSUMBU:__Ni dawa dawa inayo zalisha hormones za Gestrogen na kufanya uume kukua na kuongezeka mara dufu.

NZAGI :--Ni dawa bora ya kurudisha  nguvu za kiume na kukupa hamu ya kurudia tendo la ndoa mara dufu utakuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4)bila hamu kuisha (kuchoka) dawa hii ni tiba kamili kwa matatizo hayo. Dawa hii pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk(15_30)kwa tendo moja la ndoa dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji kuanzia miaka(18_90)wana ruhusiwa kuzitumia

Pia tunatibu KISUKARI, PRESHA, PUMU, MALARIA SUGU, MIMBA KUHARIBIKA(Chango)

POWER :__Ni dawa ya mitishamba inaongeza hips, (makalio), miguu, ina punguza maziwa (chuchu). Ina toa harufu mbaya sehem  za siri Nk. Pia anazo dawa za  mvuto wa mapenzi,biashara, kurudishwa kazini, kumuita aliye mbali kwa mda mfupi tu

OSTADH JUMA ANAPATIKANA MALARIA ZAKHIEM SIMU:
0769-597778 au 0784-002216 au 0627457957

 Wote mnakaribishwa

Sakata la Kutimuliwa Wasanii Wawili MJ Records Lachukua Sura Mpya Wema, Idris Watajwa

0
0
Sakata la Kutimuliwa Wasanii Wawili MJ Records Lachukua Sura Mpya Wema, Idris Watajwa
Wakati mjadala ukiendelea baada ya wasanii wawili wa kike, Haitham Kim na Nini kutimuliwa katika label ya MJ Records na producer Daxo Chali, suala hilo limechukua sura mpya mara baada ya Idris Sultan na Wema Sepetu kutajwa.

Taarifa za awali zilieleza kuwa kutimuliwa kwa wasanii wao ni kutokana na mmoja wapo kuwa katika mahusiano ya kimapenzi na msanii Nay wa Mitego kitu ambacho kilidaiwa kinaweza kuchafua brand ya label hiyo.

Hata hivyo Haitham Kim amefunguka mambo mengine kwa kile kilichokuwa kikidaiwa anatoka kimapenzi na Idris kitu kilichopelekea pia kutimuliwa MJ Records. Akizungumza na E-Newz ya EATV Haitham amesema jambo hilo halina ukweli wowote bali ni watu tu wanazusha.

 “Ni watu tu wametengeneza kwamba kuna kitu kinaendelea kati ya Haitham na Idris kwa sababu ukiangalia Wema pia ni mtu ambaye hakusapoti hiyo kazi ya Play Boy, so watu wanaendelea kujiuliza kwanini Wema hakusapoti, hivyo sababu inaweza kuwa ni hiyo lakini yule siyo sababu” amesema.

“Mimi nina mpenzi wangu na Idris ana maisha yake, so siwezi kumuingiza Idris kwenye maisha yangu ya mahusiano kwa sababu I have a boy friend, nishamposti hata kwenye social media fans wangu wanamjua” Haitham ameongeza.

Chini ya MJ Records Haitham ameweza kutoa ngoma mbili official, ya kwanza ikiwa ni ‘Fulani’ aliyomshirikisha Mwana FA na Play Boy ambayo sauti ya Wema Sepetu inasikika ndani yake.

Huyu Hapa Rapa Aliyejionyesha Sehemu Zake za Siri Kimakosa Instagram Live

0
0
Huyu Hapa Rapa Aliyejionyesha Sehemu Zake za Siri Kimakosa Instagram Live
Rapa na staa kutoka nchini Afrika Kusini, Mthembeni Ndevu, a.k.a Emtee amejutia uzembe wake wa kutokuwa makini katika kuitumia huduma ya kuoneaka mubashara/live ya mtandao wa Instagram baada ya kujianika sehemu zake za siri bila kutegemea.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram wenye jumla ya zaidi ya wafuasi 749k, Emtee alikuwa mubashara/live akijibu majibu ya mashabi waliokuwa wamejiunga katika orodha ya wafatiliaji wa video iliyomuonesha Emtee ambapo akionekana kuwa chooni katika hatua za kuhusika na haja ndogo, ndipo kosa hilo likatokea.

Emtee ametolea maelezo ya jinsi tukio hilo lilivyo tokea katika hali ya uzembe, aliuambia mtandao Times Lives wa nchini Afrika Kusini kuwa “Nilikuwa chooni nikijibu maswali ya mashabiki moja kwa moja. Nilitaka kujisaidia haja ndogo lakini bila kufikiria nikatumia mkono huo huo niliokuwa nikishikilia simu yangu wakati nilipokuwa nikiendelea na haja ndogo na kutumia mkono huo huo kupiga picha. Sikufikiria kuhusu kilichofanyika hadi nilipogundua kwamba kile nilichofanya na nikaomba msamaha.

Hata hivyo kwa watu maarufu kwa hiki kilichomtoke Emtee kitakuwa somo ili kujiepusha na fedhea zisizo za lazima kwakuwa uzembe wa namna hii unaweza kutokea kmuda wowote katika hali isiyotagemewa.

Mlango wa Ndege Iliyokuwa Angani Waangukia Nyumba

0
0
Mlango wa Ndege Iliyokuwa Angani Waangukia Nyumba
Familia moja nchini India imepigwa na mshangao baada ya mlango wa ndege kuangukia nyumba yao katika mji ulio kusini mwa India wa Hyderabad.
Mwanamume ambaye alikuwa akipaka paa la nyumba rangi aliponea kwa kuwa wakati huo alikuwa ameenda kupata chakula cha mchana kwa wakati kisa hicho kilitokea,
Polisi aliiambia BBC kuwa ndege hiyo ya kubeba abiria wanne ambayo ni ya kutoa mafunzo ilikuwa ikiruka chini kwa chini.

Aliongoza kuwa rabani na mwanafunzi wake wako salama na uchunguzi umenza kubaini vi vipi kisa hicho kilitokea.
Insepkta wa Polisi Karan Kumar Singh alisema kuwa ni kawaida kuona ndege zikiruka chini kwa chini eneo hilo.
Rubani na mwanafuzi wakae waliponea mwezi Septemba wakati ndege kama hiyo ilianguka eneo hio.

Singida United Ruksa Kutumia Uwanja Wake wa Namfua

0
0
Singida United Ruksa Kutumia Uwanja Wake wa Namfua
Bodi ya Ligi Tanzania TPLB imetoa kibali rasmi kwa klabu ya soka ya Singida United kuanza kutumia uwanja wake wa Namfua kama uwanja wa nyumbani kwenye mechi zake za ligi kuu msimu huu.

Bodi imeziandikia barua timu zote 16 za ligi kuu kuzifahamisha juu ya Singida United kuhama kutoka uwanja wa Jamhuri Dodoma ambao ilikuwa inautumia kama uwanja wake wa nyumbani na sasa itarejea Singida kwenye uwanja wa Namfua.
Uwanja huo wa Namfua utaanza kutumika Jumamosi hii Novemba 4 kwenye mchezo wa Ligi kuu soka Tanzania bara raundi ya 9 ambapo Singida United itacheza na mabingwa watetezi Yanga.

Mwanadada Atembezwa Uchi Mbele ya Mamia ya Wanakijiji Kufidia Adhabu Ya Kaka Yake Aliyezini na Msichana Mdogo Kiumri

0
0
Mwanadada Atembezwa Uchi Mbele ya Mamia ya Wanakijiji Kufidia Adhabu Ya Kaka Yake Aliyezini na Msichana Mdogo Kiumri
Mwanadada mmoja katika mji wa Dera Ismail Khan nchini Pakistan ametembezwa uchi wa mnyama mbele ya mamia ya wanakijiji ili kufidia adhabu ya kaka yake aliyezini na msichana mdogo kiumri mwaka 2015.

Taarifa kutoka kwenye gazeti la Tribune la nchini humo zinaeleza kuwa kaka wa msichana huyo aliyetembezwa akiwa uchi, alifanya mapenzi na binti wa familia nyingine hivyo baraza la kijiji liliamuru kaka huyo alipe kiasi cha rupia 150,000 za Pakistan sawa na Tsh milioni 2.2 mwaka jana ili kuyamaliza matatizo hayo kifamilia.

Hata hivyo familia ya Mwanaume huyo mzinifu aliyetambulika kwa jina la Sajjad ilishindwa kutoa fedha hizo ndipo baraza hilo la kijiji lijulikanalo kama (Panchayati) lilipotoa hukumu hiyo ya kumtembeza dada wa Sajjad uchi wa mnyama mbele ya wanakijiji ili liwe funzo kwa familia nyingine.

Tayari polisi nchini Pakistan wametangaza kuwakamata watu saba kufuatia tukio hilo la udhalilishaji na unyanyasaji wa kijinsia, wengi wa waliokamatwa ni viongozi wa baraza la kijiji waliotoa hukumu hiyo.

Matukio kama hayo sio mageni nchini Pakistan hii kutokana na msimamo na maamuzi makali ya mabaraza ya vijiji nchini humo kuwakandamiza wanawake.

Mwaka 2002 kulitokea hukumu ya ajabu kama hiyo ambapo mwanamke mmoja ajulikanae kwa jina la Mukhtar Mai aliamriwa kubakwa na kundi la vijana ingawaje alienda kutoa taarifa mapema Polisi.

Mabaraza ya vijiji nchini humo yamekuwa yakitumika kusuluhisha kesi mbalimbali kwenye jamii huku yakilaumu kuwa mahakama nchini humo ni dhaifu katika utendaji ingawaje serikali nchini pakistani haitambui uwepo wa mabaraza hayo.


Nyarandu Awashukuru Waliomuunga Mkono Baada ya Kujivua CCM Asema Tanzania Iruhusu Ushindani na Demokrasia ya Kweli

0
0
Nyarandu Awashukuru Waliomuunga Mkono Baada ya Kujivua CCM Asema Tanzania Iruhusu Ushindani na Demokrasia ya Kweli
Baada ya Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu kukihama Chama cha Mapinduzi (CCM) na kujivua ubunge amesema kuwa anawashukuru Watanzania wote waliomletea salaam kuunga mkono kwa uamuzi wake wa kujiondoa na chama hicho.

Mh. Nyalandu ameyaanisha hayo leo kupitia ukurasa wake wa Twitter ambapo amesema kuwa Tanzania iruhusu ushindani na demokrasia ya kweli Tanzania.

NAWASHUKURU Watanzania WOTE walioniletea salaam kuunga mkono uamzi wangu wa kujiondoa CCM. Turuhusu ushindani na demkrasia ya kweli Tanzania

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa

0
0
Kutana  na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..


JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na  Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.

Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia  Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi

+255 622588038au 0679119679 au +255 764318107
NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Maombi na Sala Zacharuka Nyumbani Kwa Kina Lulu

0
0
Maombi na Sala Zacharuka Nyumbani Kwa Kina Lulu
Zikiwa zimesalia siku 12 tu kabla ya hukumu yake kusomwa kufuatia kesi yake ya kuua bila kukusudia inayomkabili, taarifa zinasema maombi na sala zimekua zikitikisa nyumbani kwa msanii Elizabeth Michael ‘Lulu’.
Mtu wa karibu wa msanii huyo aliyeomba hifadhi ya jina lake, alilidokeza Risasi Mchanganyiko kuwa, baada ya kesi hiyo kufikia katika hatua ya hukumu, hivi sasa kila siku maombi yanafanyika asubuhi, mchana na jioni, kwani kwa hali ilivyo hivi sasa, kila kitu kimo mikononi mwa Mungu.

Prezoo Amuonyesha Jeuri ya Pesa Amber Lulu Aamua Kumzimisha na Pombe

0
0
Prezoo  Amuonyesha Jeuri ya Pesa  Amber Lulu Aamua Kumzimisha na Pombe
MWANA-MUZIKI na muuza sura kwenye video mbalimbali za wanamuziki wa Bongo Fleva, Lulu Eugen ‘Amber Lulu’ amelewa na sifa anazomwagiwa na ‘mpenzi’ wake mpya, Prezoo.
Amber Lulu alisema ana furaha ya ajabu kutokana na video aliyoiachia Prezoo akimsifia kwamba anampenda, ni mzuri na ana roho nzuri, achilia mbali kuwa ameshamt-ambulisha kwa mama yake.
“Najisikia vizuri sana kusifiwa na Prezoo maana mtu ukikubalika lazima ufurahi kwa kweli, ni mtu wangu wa karibu na tuna mpango wa kufanya kazi pamoja pia, kuhusu uchumba na kutambulishwa kwa mama yake hilo kwa sasa ni siri kidogo ila siku ikifika tutaweka wazi kila kitu,” alisema Amber Lulu.

Halima Afunguka Hoja ya Zitto Kabwe

0
0
Halima Mdee Ajibu Hoja ya Zitto Kabwe
Baada ya Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe kuomba kuunganisha nguvu ya pamoja na CHADEMA ili kufanikisha kuing'oa CCM kwenye chaguzi ndogo za madiwani, Halima Mdee amefunguka na kusema kwamba hatoshangaa chama chake kushirikiana na ACT Wazalendo.

Halima Mdee ambaye ni Mbunge wa Kawe kupitia CHADEMA ameyasema hayo alipokuwa akiongea na mwandishi wa East Africa Television, na kueleza kwamba wao kama wanasiasa wanaangalia ni namna gani wanaweza kufikia lengo kwa pamoja, hivyo sio mbaya kama wataungana na ACT Wazalendo kufanikisha mambo ambayo wao pia wanayapigania.
Halima Mdee ameendelea kwa kusema kwamba sasa hivi ana imani na kiongozi wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe ambaye alifukuzwa kwenye chama hicho wakimuita msaliti, na kwamba kiongozi huyo sasa anarudi kwenye mstari ambao unamfaa.

Mke wa Mtu na Mchepuko Wake Wakutwa Wamekufa Kwenye Gari Wakiwa Wanafanya Mapenzi

0
0
Mke wa Mtu na Mchepuko Wake Wakutwa Wamekufa Kwenye Gari Wakiwa Wanafanya Mapenzi
Mwili wa mwanamke mmoja aliyeripotiwa kuwa ni mke wa mtu mwenye watoto wanne umekutwa kwenye taxi mjini Lagos, nchini Nigeria ukiwa juu ya kifua cha mwanaume ambaye nae alikuwa ameshakufa. Wote wawili wakiwa wamelaliana wakishiriki tendo la ndoa.


Gari lililokutwa kwenye eneo la tukio

Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo lililotokea jumapili ya wikiendi iliyopita wamesema walikuta gari dogo (Taxi) ikiwa imepaki na ndani kukiwa na watu waliokuwa uchi wakiwa wamelaliana ndipo wakaamua kuchukua uamuzi wa kufungua milango.

Shuhuda mmoja alikiri wazi kumfahamu mama huyo na kudai kuwa ameolewa na ana watoto wanne huku akishindwa kumtambua mwanamme aliyekuwa naye.

Baadhi ya maelezo ya mashuhuda kupitia mitandao ya kijamii wamesema walikuta gari na AC ikiwa imewashwa.

Hata hivyo hakuna taarifa rasmi kutoka jeshi la polisi nchini humo kuhusu tukio hilo la kusikitisha.Pitia baadhi ya tweets za mashuhuda wa tukio hilo.

Baraka Da Prince: You Tube Akaunti Yangu Inafanyiwa Mchezo Mchafu Ili Ishushe Idadi ya Views

0
0
Baraka Da Prince: You Tube Akaunti Yangu Inafanyiwa Mchezo Mchafu Ili Ishushe Idadi ya Views
Msanii wa muziki wa Bongo Flava, Barakah The Prince amedai kuwa YouTube account yake inafanyiwa mchezo mchafu ili ishusha idadi ya views.

Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake mpya ‘Sometimes’ ameiambia The Playlist ya Times Fm kuwa views za ngoma yake hiyo zimekuwa zikishuka na kupanda na hata muda mwingine comment kufutwa.

“Kwa upande wa YouTube kuna mchezo mchafu unafanyika kwa sasa hivi, kwa mfano wimbo wangu kama jana ulikuwa ni namba saba kwenye trending ukiangalia video za watu wengine ni namba 40 lakini views wake ni milioni 4.4, nyingine inasoma namba 10 ukiangalia views zake ni laki 5.8 lakini mimi ambayo nina views elfu 20 ninasoma namba saba kwa nini iwe hivyo?” alihoji.

“Kuna mchezo mchafu unafanyika wa ku-block views wangu hata Mx kaniambia kuna mchezo mchafu unafanyika” ameongeza.

Amesema kuwa kuna baadhi ya nchini ikiwemo China mashabiki wake wamekuwa wakilalamika haiwapati video yake lakini video za wa wasanii wengine zinapatikana.

Hata hivyo ameweka wazi kuwa watu wenye access ya kuendesha account yake hiyo ni Mx Carter na Seven Mosha wa RockStar4000 kutokana na makubaliano ya hapo awali, pia ameeleza kuwa yupo katika utaratibu wa kufuta account hiyo na kufungua nyingine.

Ngoma ya Barakah ‘Sometimes’ video yake ilitoka October 28 mwaka huu lakini hivi sasa haipatikani YouTube (imeondolewa).


Mahakama: Wema Hakufanyiwa Upekuzi Kwenye Viungo Vyake

0
0
Mahakama: Wema Hakufanyiwa Upekuzi Kwenye Viungo Vyake
November 1, 2017 Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imepokea kielelezo cha hati ya ukamataji mali nyumbani kwa Wema Sepetu anayekabiliwa na kesi ya kutumia dawa za kulevya.

Uamuzi huo umetolewa na Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba baada ya wakili wa serikali, Elizabeth Mkunde kusema kesi hiyo imeitishwa kwa ajili ya kutolewa uamuzi.

Katika uamuzi wake, Hakimu Simba amesema amepitia hoja zote za upande wa mashtaka na utetezi kuhusu hoja za kupokelewa ama kutopokelewa kielelezo hicho, ambapo ameona akipokee.

“Mahakama inatupilia mbali pingamizi la utetezi la kutaka kielelezo kisipokelewe, hivyo nimekubaliana na hoja za upande wa mashtaka na kielelezo kinapokelewa,”

Hakimu Simba amesema sababu za kupokea kielelezo hicho ni kwamba Wema hakufanyiwa upekuzi kwenye maungo ya mwili wake bali ni nyumba yake, hivyo haina tatizo kama ilipekuliwa na askari wakiume.

” Kama upekuzi ungeusu maungo ya mwili wake basi kungekuwa na tatizo, lakini umefanyika nyumbani kwake,”.

Baada ya kueleza hayo, Hakimu Simba aliahirisha kesi hiyo hadi November 16/2017.

Mbali ya Wema katika kesi hiyo, washtakiwa wengine ni Angelina Msigwa  na Matrida Abbas ambapo wanakabiliwa na mashtaka mawili ya kukutwa na kiwango kidogo cha dawa za kulevya na kutumia dawa za kulevya.

Mahakama Yamfutia Kesi Adamu Malima Yamuachia Huru

0
0
Mahakama Yamfutia Kesi Adamu Malima Yamuachia Huru
Siku chache baada ya kuteuliwa kuwa Mkuu wa mkoa na Rais John Magufuli, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemfutia kesi ya kushambulia Naibu Waziri wa Fedha wa zamani, Adam Malima na dereva wake Ramadhan Mohammed.

Imeelezwa kwamba kesi hiyo imefutwa kwa sababu Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) hana nia ya kuendelea na kesi hiyo, Malima ambae ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara amefutiwa kesi hiyo na Hakimu Mkazi Mkuu, Respicious Mwijage chini ya kifungu cha 91(1) cha Makosa ya Mwenendo wa Jinai.

Kabla ya kufutwa kwa kesi hiyo, Wakili wa Serikali Mwandamizi, Mutalemwa Kishenyi alidai kuwa DPP hana nia ya kuendelea na kesi hiyo ambapo kutokana na hatua hiyo, Hakimu Mwijage alisema Mahakama hiyo imewaachia huru Washtakiwa hao.

Hata hivyo, Mwijage amesema DPP kutokuwa na nia sio mwisho wa safari kwani amewaonea huruma tu, hivyo wawe makini ambao kwa mujibu wa hati ya mashtaka, Malima anadaiwa kuwa May 15,2017 katika eneo la Masaki kwa makusudi alimzuia Ofisa wa Polisi mwenye namba  H.7818 PC Abdul kufanya kazi yake halali.

Malima anadaiwa kumzuia Ofisa huyo wa polisi kufanya kazi yake ya kumkamata Ramadhani Mohammed Kigwande kwa kosa la kumshambulia Mwita Joseph ambapo kwa upande wa Mshtakiwa wa kwanza, Kigwande, anakabiliwa na shtaka la kumshambulia Mwita Joseph.

Ilidaiwa kuwa siku hiyo ya Mei 15,2017 kwenye eneo hilo la Masaki wilaya ya Kinondoni mshtakiwa Ramadhani  akiwa na nia ya kumzuia Mwita Joseph ambaye ni Ofisa Oparesheni wa kampuni ya Priscane wakati alipokuwa akimkamata kwa kupaki vibaya gari namba T 587 DDL alimshambulia na kumsababishia maumivu.

Baada ya Kauli ya Haji Manara TFF Yaitumia Timu ya Simba Barua

0
0
Baada ya Kauli ya Haji Manara TFF Yaitumia Timu ya Simba Barua
Shirikisho la Soka Tanzania Tff limetuma Barua kwa Klabu ya Simba Sc baada ya kauli ya Afisa Habari na mawasiliano wa Klabu hiyo Haji Manara ambazo kwa Mujibu wa Tff ni tuhuma dhidi ya Waamuzi.

Manara aliitisha Mkutano na Waandishi wa Habari siku ya Jana katika makkao makuu ya Klabu hiyo yaliyopo Msimbazi jijini Dar es salaam, Manara alizungumzia masuala mbalimbali ikiwemo suala la Mwamuzi aliyechezesha pambano kati ya Simba na Yanga siku ya Jumamosi ambapo kwa mujibu wa Manara alikuwa na Makosa mengi ikiwemo kuwanyima penati Simba.

Afisa habari wa Shirikisho la soka Tanzania Alfred Lucas Mapunda amezungumza na waandishi wa kueleza kuwa tayari shirikisho hilo limetuma barua kwa Simba kutaka kujua kusudio lao huku pia wakihitaji Maelezo ya kina kutoka kwa Haji Manara nini lengo lake kutoa kauli hizo ambazo TFF inaona ni uchochezi na uvunjifu wa sheria.

Hii Hapa Barua ya Katibu Mkuu CCM Kuhusu Kujiuzulu kwa Nyalandu

0
0
Hii Hapa Barua ya Katibu Mkuu CCM Kuhusu Kujiuzulu kwa Nyalandu
Baadae Spika Ndugai alihojiwa na vyombo vya habari na kusema kwamba pamoja na kusikia taarifa za kujiuzulu kwa Nyalandu kwenye vyombo vya habari, yeye bado hajapokea barua ya kujiuzulu kwa Mbunge huyo.

Sasa leo imetoka taarifa kutoka Ofisi ya Bunge Dodoma ikiwa imeandikwa kama inavyosomeka hapa chini…

 Ofisi ya Spika ingependa kuwaarifu Watanzania wote kwamba mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini (CCM) Ndugu Lazaro Nyalandu ambayo amekuwa akiarifu kwamba amemwandikia Mheshimiwa Spika kumtaarifu kujiuzulu kwake.

Hata hivyo, Mhedhimiwa Spika amepokea barua toka kwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi ya tarehe 30 Oktoba, 2017 akimuarifu kwamba kwa muda sasa Chama hicho kilishaanza kumchukulia hatua za kiudhibiti na kinidhamu dhidi ya vitendo na kauli zake zisizoridhisha kinyume na misingi, falsafa na itikadi ya Chama cha Mapinduzi.

Hivyo, Chama cha Mapinduzi kuanzia tarehe ya barua yao kimemjulisha Mheeshimiwa Spika kuwa Ndugu Lazaro Nyalandu amepoteza sifa za Uanachama wa Chama cha Mapinduzi, na hivyo kupoteza nafasi zote za uongozi wa ndani wa Chama hicho na Ubunge kwa mujibu wa Ibara ya 13 ya Chama hicho.

Mheshimiwa Spika, angependa kuwaarifu Watanzania kwamba kwa barua hiyo toka mamlaka halali ndani ya Chama cha Mapinduzi ambacho Ndugu Lazaro Nyalandu alipata Ubunge kupitia Chama hicho na kwa mujibu wa Ibara ya 71 (1)(f) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayotamka kwamba:

“Mbunge atakoma kuwa Mbunge na ataacha kiti chake cha Ubunge iwapo litokeapo lolote kati ya mambo yafuatayo: (f) Iwapo Mbunge ataacha kuwa Mwanachama cha chama alichokuwamo wakati alipochaguliwa au alipoteuliwa kuwa Mbunge.”

Hivyo, Ndugu Lazaro Nyalandu si Mbunge tena na hatua stahiki za kuiarifu Tume ya Taifa ya Uchaguzi zinaendelea kuchukuliwa.

Imetolewa na: Ofisi ya Spika S.L.P. 941

DODOMA

Ofisiya Bunge S.L.P 941 DODOMA

01 Novemba 2017

Najua Lengo ni Kunichafua na Kunichonganisha na Rais- Kingwangala

0
0
Najua Lengo ni Kunichafua na Kunichonganisha na Rais- Kingwangala
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt Hamisi Kigwangalla amefunguka na kukilalamika moja ya chombo cha habari na kusema kuwa kimepanga kumchafua na kumchonganisha na Rais Magufuli na kudai anatambua kwa hatua anazochukia watu wa namna hiyo watakuwa wengi

Kigwangalla amesema kuwa chombo cha habari hicho kimemsema kuwa amepingana na Rais Magufuli kwa kuruhusu mifugo iingizwe ndani ya hifadhi zote za Taifa ikiwepo Serengeti kitu ambacho yeye hakusema hivyo.
"Najua lengo ni kunichonganisha na Mamlaka iliyoniteua. Najua watu wa aina hii watakuwa wengi sana kwa sasa sababu nimegusa maslahi ya watu wengi sana kwa maamuzi magumu niliyofanya siku za karibuni, kuanzia kwenye suala la kufuta mchakato wa vibali vya uwindaji, kupambana na majangili hadi kuanza mchakato wa kurudisha kwenye umiliki wa Serikali hoteli zote zilizokuwa za Serikali kupitia Shirika letu la Tanzania 'Tourist Corporation' kwa kushindwa kwao kuziendesha kwa tija kwenye sekta ya utalii" alisema Kigwangalla
Waziri huyo amesema kuwa kabla ya kukikuchukulia hatua chombo hicho cha habari ameamua kusema na kuweka wazi kile alichokisema na kudai endapo wasiporekebisha hiyo taarifa atachukua hatua zaidi.
"Binafsi nimekisamehe chombo hiki, lakini ili wajifunze kuwa mimi si mtu wa kuchezea waombe radhi haraka kabla sijawaburuza kwa Waziri wa Habari, Dr. Mwakyembe, nikiwa na ushahidi wangu ili achukue hatua stahiki" aliandika Kigwangalla

Kigwangalla anasema alisitisha oparesheni iliyoendeshwa kwenye eneo la Kilomita 5 nje ya mpaka wa Serengeti ndani ya Pori la Loliondo ambapo kuna mgogoro wa ardhi 
"Mimi nilisitisha operesheni iliyoendeshwa kwenye eneo la km 5 nje ya mpaka wa Serengeti ndani ya Pori Tengefu la Loliondo kwenye ardhi yenye mgogoro, na ni baada ya kupokea taarifa za ukiukwaji wa Sheria za vijiji, na uwepo wa minong'ono kwamba Serikali iliendesha 'operation' hiyo Kwa kutekeleza matakwa ya muwekezaji. Jambo nililoona linaichafua Serikali na Mhe. Rais. Nilifanya hivyo sababu najua kuna Kamati ya Mhe. Waziri Mkuu inashughulikia suala la mgogoro wa pori Tengefu la Loliondo" alisisitiza Kigwangalla
Viewing all 104415 articles
Browse latest View live




Latest Images