Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104415 articles
Browse latest View live

Toleo Bandia la WhatsApp Lapakuliwa Mara Milioni Moja Kabla ya Kuondolewa

0
0
Toleo Bandia la WhatsApp Lapakuliwa Mara Milioni Moja Kabla ya Kuondolewa
Toleo bandia la programu ya huduma ya kutuma ujumbe ya WhatsApp lilipakuliwa zaidi ya mara milioni moja kutoka kwa programu ya Google Play Store kabla ya kuondolewa.
Programu hiyo kwa jina Update WhatsApp Messenger ilionekana kutengezwa na kampuni ilioanzisha huduma hiyo WhatsApp Inc.
Kulingana na watumiaji katika mtandao wa Reddit, huduma hiyo bandia ilikuwa na matangazo na ilikuwa ikipakua programu hiyo kwa vifaa vya watumiaji wake.

Tofauti iliokuwepo ilikuwa vigumu sana kwa mtu wa kawaida kutambua.
Watumiaji ambao walipokea programu imara ya huduma hiyo hawakuathiriwa.
Sio mara ya kwanza kwa kampuni ya Google kulazimika kuondoa programu feki katika hifadhi yake ya Play Store.
Mwaka 2015, kampuni hiyo ililazimika kuingilia kati na kuifunga programu moja iliojidai kutathmini betri na ilikuwa ikituma ujumbe wa maandishi katika simu za wateja.

Kutana na Miujiza ya Sharifu Seif Mohamed Kutoka Bagamoyo...Ana Dawa za Kurudisha Mapenzi na Zingine Nyingi

0
0
MIUJIZA YA SHARIFU SEIF MOHAMED KUTOKA BAGAMOYO.

SHARIFU SEIF MOHAMED ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOENDELEA KUPIGA SIMU, WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA  SHUKRANI NA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO WASAIDIA,
(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

SHARIFU MOHAMED Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN, Dawa za Asili, Dawa za Kiarabu na majini kwa kumtuliza mke/mme, mchumba au mpenzi ndani ya masaa 72 tu, na kutatua matatizo yote ya kimaisha,

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu SHARIFU SEIF sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata Atakacho Kuelekeza

ANAZO DAWA ZA MAPENZI, NGUVU ZA KIUME, CHANGO NGIRI MAJI NA N.K, ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA, HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA, ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUKSI NA VIFUNGO MBALIMBALI,  MAFANIKIO YA MAISHA NA UTAJIRI BILA MASHARI, NA MENGINE MENGI YA SIRI,

Je UMAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? WASILIANA NA MTAALAMU HUYU KWANI YEYE HUFAULU PALE WOTE WALIPOSHINDWA, PIA UMALIZA KAZI ZILIZO SHINDIKANA NA WATAALAM WENGINE NDANI YA MASAA 24 TU,

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE AU MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFWATA MAELEKEZO YAKE)

Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi Piga SIMU No:
Mobile +255 654-836970
WhatsApp +255 756-033670

USHAURI: kama unahitaji msaada ni  bora kupiga simu kuliko kutuma sms ili upate  msaada kwa haraka.

Vifo vya MANGULI vilivyozua Utata, Lakini Hadi Leo Havijapatiwa Ufumbuzi…

0
0
1. Christopher Wallace (Big Small)

Alikuwa ni mwanamuziki maarufu wa miondoko ya Rap nchini Marekani. Ni takriban miaka 20 tangu auawe lakini mpaka sasa bado kifo chake kimebaki kuwa kitendawili kigumu kwa Polisi wa Los Angeles. (LAPD). Wengi wanaamini kwamba Suge Knight alihusika na mauaji ya Biggie lakini LAPD walikataa kumhoji Suge au hata kumhoji mtu yeyote kuhusiana na mauajai hayo.

Hadi leio haijulikani ni nani alimuuwa rapa huyo kutoka viunga vya Brooklyn.


2. Tupac Shakur:

Je inawezekana kundi la Christopher Wallace (Biggie) lilihusika na mauaji ya Tupac Shakur mnamo mwaka 1996? Hapana. Hakuna anayejua hasa ni nani alifyatua risasi ambazo zilikatisha uhai wa Tupac. Watu wengi hawaamini kama Tupac amekufa. Hata hivyo baada ya kifo chake zilikuja kutolewa album zake 6 ambazo alizirekodi lakini zilikuwa bado hazijaingizwa sokoni.



3. Yaki Kadafi:

Miezi michache baada ya kifo cha Tupac, mtu pekee aliyeshuhudia tukio la kuuawa kwa Tupac naye aliuawa. Akiwa amejipumzisha nyumbani kwa mpenzi wake, mtu asiyefahamika alibisha hodi na Yaki alimkaribisha. Alipoingia alimmiminia risasi na kutoweka.

Cha kushangaza hadi leo hii hakuna anayefahamu ni nani alihusika na mauaji ya Yaki Kadafi.


4. Princess Diana:

Hivi ni kweli Princess Diana alikufa kwenye ajali wakati akiwakimbia waandishi wa habari maarufu kama paparazzi? Au Familia ya kifalme ilitengeneza hiyo ajali ili kukatisha ndoa yake na kijana wa Kiislamu Bilionea Dodi Al-Fayed na kuzaa naye mtoto. Kamwe hakuna anayejua ukweli kuhusu kifo cha mwanamke huyu. Lakini labda tusubiri matokeo ya upelelezi mpya kuhusu tukio hilo ambao huenda ukafumbua kitendawili cha kifo cha Princess Diana.


5. Jimi Hendrix:

Je kifo cha Jimi Hendrix kilichotokea mwaka 1970, kilikuwa ni cha kupangwa au ni ajali? Kwa mujibu wa taarifa ya uchunguzi wa kifo chake, ilidai kwamba, Jimi alipaliwa na matapishi yake yaliyotokana na ulevi. Lakini pia taarifa hiyo ilibainisha kwamba mapafu yake yalikutwa yakiwa na mchanganyiko wa mvinyo na dawa za kupunguza msongo wa mawazo (Barbiturates). Lakini baadhi ya watu wanaamini kwamba meneja wake Mike Jeffery ndiye aliyemuua kwa kumchanganyia hicho kinywaji.



6. Jason William Mizell:

Mnamo mwaka 2002 mtu asiyefahamika aliingia katika studio ya Queens na kumkumbatia (Hug) Jam Master Jay na kummiminia risasi. Baadhi ya watu walidai kwamba mtu huyo anahusiana na Tajiri mmoja wa madawa ya kulevya aitwaye Kenneth "Supreme" McGriff ambaye alitaka Jay auawe kwa sababu ana uhusiano wa karibu na 50 Cent. Lakini hakuna yeyeote aliyekamatwa kuhusika na tukio hilo la mauaji ambalo lilitikisa jamii ya wanamuziki wa hip hop nchini Marekani.

[​IMG]

7. Elvis Presley:

Kwa mujibu wa uchunguzi wa ofisi ya mkuu wa wilaya inayohusika na vifo visivyo vya kawaida (Coroner),Elvis alikutwa na umauti akiwa chooni baada ya moyo wake kushindwa kufanya kazi ghafla kutokana na kiwango kikubwa cha matumizi ya dawa za kulevya. Lakini ukimuuliza shabiki yeyote wa Elvis atakwambia mtu huyu bado yu hai. Huenda wako mahali wametulia yeye na Tupac.



8. Natalie Wood:

Wakati muigizaji maarufu nchini Marekani Natalie Wood alipokutwa akiwa amekufa maji umbali wa maili kadhaa kutoka ilipo mashua yake hapo mnamo mwaka 1981, mamlaka ya kisheria nchini humo iliamini kwamba Natalie alikuwa kwenye uraibu wa madawa ya kulevya ndipo labda akateleza na kuzama majini na hatimaye kufa. Lakini kulikuwa na watu wengine wawili ndani ya boti hilo. Minong'ono inadai kwamba Natalia alikuwa na uhusiano wa siri na Christopher Walken ambapo mumewe aitwae Robert Wagner alikasirishwa na jambo hilo ndipo akamuuwa. Mpaka sasa si Christopher Walken wala Robert Wagner aliyepata kuzungumzia tukio hilo.

[​IMG]

9. Patrick Lamark Hawkins:

Mnamo Februari 1998 mwanamuziki mkongwe wa miondoko ya Rap wa Houston aitwae Fat Pat aliuawa kwa kupigwa risasi akiwa nyumbani kwa Promota wake. Mauaji hayo yaliishtua mashabiki na jamii ya wanamuziki wa Rap nchini Marekani.

Lakini hadi leo aliyehusika na mauaji hayo hajakamatwa. Lakini hata hivyo inaaminika kwamba muuzaji maarufu wa madawa ya kulevya katika eneo hilo aitwae "Weasel" aliamuru Fat Pat auawe. Mauaji hayo yalihusishwa na matukio ya ujambazi katika eneo hilo.



10. Bob Marley:

Taarifa rasmi zinadai kwamba Bob Marley alikufa kwa ugonjwa wa Saratani (Cancer). Lakini rafiki wa karibu wa Bob aitwaye Lee Lew Lee alidai kwamba, kuna mtu alimtegeshea sumu ya kemikali ambayo ndio iliyo sababisha kifo chake. Kansa iliyoanzia katika dole gumba la mguu wake ndiyo iliyochukua uhai wa nguli huyu. Kansa hiyo ilitokana na kuumizwa na kipande cha chuma aina ya shaba ambacho Lee alidai kilipachikwa kiufundi ndani kiatu chake kilichonunuliwa na kukabidhiwa kwa Bob Marley muda mfupi kabla ya kuingia uwanjani.

[​IMG]

11. Anna Nicole Smith:

Kifo cha mwanamke huyu kimejaa utata mtupu. Mwaka 2006 mwanaye wa kiume alifariki kutokana na kutumia kiwango kikubwa cha dawa. Miezi sita baadaye Anna naye likufa kutokana na aina ya mchaganyiko wa dawa ambao ndio uliomuuwa mwanaye. Wengi wanajiuliza, Je inawezekana Anna ameamua kujiua mwenyewe kwa mchanganyiko huo wa dawa au kuna mtu alimtengenezea huo mchanganyiko wa dawa ili kummaliza….?



12. JonBenet Ramsey:

Niliwahi kuandika kuhusu mauaji ya binti huyu hapa JF: kwa kujikumbusha unaweza kubofya hapa: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/279017-jonbenet-ramsey-mauaji-yake-yalikuwa-ni-ya-ajabu-3.html

Kesi hii ambayo mpaka leo hii haijapatiwa ufumbuzi na FBI, ilijizolea umaarufu si nchini Marekani pekee bali pia ulimwenguni kote. Pengine unaweza kushangaa inakuwaje nchi kama Marekani ambayo inatisha kwa upelelezi lakini inashindwa kupata ufumbuzi kwa kesi hii ambayo mauaji yake yaliacha maswali mengi sana yasiyo na majibu. Binti huyu aliuawa usiku wa Disemba 1996 akiwa na umri wa miaka 6 wakati huo.

Wazazi wake waliripoti binti yao kupotea, lakini masaa nane baadaye alikutwa akiwa ameshakufa. Mwili wake ulikutwa katika chumba kilichokuwa ghorofa ya chini(Basement) hapo nyumbani kwao. Hakuna aliyekamatwa kuhusiana na mauaji yake, lakini wazazi wake mpaka sasa wameendelea kuwa miongoni mwa watuhumiwa kuhusiana na mauaji hayo, takriban miaka 20 tangu kuuawa kwake.



13. Marvin Gaye:

Kila mtu anajua kwamba Marvin Gaye aliuawa kwa kupigwa risasi na baba yake. Lakini wengi wanajiuliza kwamba, je ilikuwa ni mauaji au ni kitendo cha kujiuwa? Inadaiwa kwamba, Marvin alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa akili kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana katika eneo la tukio yalipotokea mauaji. Hivyo alimuomba baba yake amuue baada ya yeye kushindwa kujiuwa mwenyewe. Kwa mujibu wa matamshi yaliyotoka kinywani mwake baada ya kupigwa risasi na baba yake, alisikika akimweleza kaka yake aitwae Frankie kwamba:

"Nimepata kile nilichotaka.. Sikuweza kufanya mwenyewe hivyo nilimuomba yeye afanye hivyo badala yangu. Ni vizuri kwamba naondoka na hakuna kilichobaki nyuma yangu…"

14. Shakir Stewart:

Def Jam Executive VP Shakir Stewart alikuwa ni moja ya nguzo za Def Jam. Kwani akiwa ndiye Executive VP wa Def Jam aliwahi kuingia mikataba na wanamuziki maarufu nchini marekani wakiwemo Young Jeezy, Rick Ross na Beyonce.

Mnamo Novemba 1, 2008 Shakir Stewart alikutwa ndani ya bafu katika nyumba yake iliyoko Atlanta akiwa amekufa. Alikutwa akiwa na jeraha la risasi aliyopigwa kichwani. Kwa mujibu wa uchunguzi, ilidai kwamba, Shakir alijiuwa mwenyewe kwa kujipiga risasi.

Hata hivyo marafiki na familia yake walidai kwamba, kundi la Mafia ndilo lililomuuwa na kutengeneza mazingira ili kuonyesha kwamba Shakur amejiuwa mwenyewe

ACT Wazalendo yatia nia Rasmi Kujiunga UKAWA

0
0
Chama cha ACT Wazalendo kimeweka wazi msimamo wake kuhusu suala la kujiunga na UKAWA ambapo kimesema suala hilo ni pana na lazima lizingatie maslahi ya chama.

Akiongea leo kwenye kipindi cha East Afrika Breakfast cha East Afrika Radio, Katibu Kamati ya Uenezi na Mawasiliano ya Umma wa chama hicho Ado Shaibu, amesema suala la kujiunga au kutojiunga UKAWA litaamuliwa na wanachama na viongozi.

“Ni kweli kila mtu anazungumza yake kuhusu msimamo wa chama chetu lakini ukweli ni kwamba kwa hali ya kisiasa ilivyo nchini kuna mambo yanalazimu vyama vya upinzani vishirikiane, lakini ikija suala la kujiunga UKAWA lazima ujue maslahi ya chama ndani ya umoja huo”, amesema Ado Shaibu.

Ado ameongeza kuwa ikifikia wakati kuna ulazima wa ACT Wazalendo kujiunga na UKAWA basi suala hilo litaamuliwa na viongozi pamoja na wanachama.

Kwa upande mwingine Shaibu amewataka wanachama wa ACT Wazalendo kuendelea kukiunga mkono chama hicho wakati huu ambao sera zake zimejikita zaidi kwenye kuutafuta uhuru wa kufanya mikutano ya hadhara kwani ndio njia pekee ya kuongea na wananchi moja kwa moja.


Mytake:
Baada ya CUF kusambaratika vipandevipande na kuonekana kutofautiana na UKAWA itakuwa ni muda sahihi sasa wa ACT Wazalendo kuongeza nguvu ya UKAWA na kuchukua dola 2020?

Dk Kigwangalla Afuta Vibali Vipya vya Uwindaji Vilivyokuwa Vianze Januari 2018

0
0
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamisi Kigwangalla Oktoba 22,2017 alitoa kauli ya kufuta vibali vyote vya uwindaji kwa kampuni na kutoa siku 60 kwa watendaji ili waratibu mchakato upya utakaowezesha vitalu kugawiwa kwa mnada.


Jana Jumatatu Novemba 6,2017 kupitia mitandao ya kijamii Dk Kigwangalla ametoa andiko linalosomeka ifuatavyo:

KWA UFUPI: Kuhusu Vitalu vya Uwindaji

Na Dkt. Hamisi Kigwangalla

Nimefuta vibali vipya vya uwindaji vilivyokuwa vianze Januari 2018. Nitatangaza upya mchakato mpya wa ugawaji vitalu kwa njia ya mnada - sasa hivi wataalamu wetu wanatengeneza utaratibu utakaotumika kuuza vitalu kwa njia ya mnada wa wazi. Pia, tunarekebisha sheria na kanuni kabla ya kuanza mchakato mpya. Hivyo waliokuwa na vibali vya zamani, uhai wake unaisha Disemba 31.

Kimsingi mchakato wa vibali nilivyovifuta haukuwa halali kisheria, ulijaa rushwa na upendeleo na haukuwa wa kimkakati, sababu Mpango wa Taifa wa miaka mitano (2016 - 2021) unaelekeza twende kwenye njia ya mnada, BRN inaelekeza twende kwenye njia ya mnada!

Wataalamu walifaidika na utaratibu wa zamani - hawa walifanya tathmini ya nani 'ameendesha kitalu vizuri, nani ameendesha vibaya, hivyo wapendekeze kwa waziri nani apate nani akose' (hapa kulikuwa na watu walitoa rushwa mapema kabisa ili kujihakikishia wanapata vitalu; wanasiasa hususan Mawaziri waliokalia hiki kiti zamani nao walifaidika na utaratibu huu wa zamani (uliweka mazingira rahisi ya kuamua nani apate nani akose, na maamuzi haya yalikuwa kwenye kichwa cha Waziri pekee - hapo mazingira ya rushwa na upendeleo yalikuwa rahisi kabisa), wafanyabiashara na wawekezaji kwenye sekta hii ya utalii wa uwindaji walikuwa wafaidika wakubwa sababu walitupunja mapato ya ushuru (nchi zingine kitalu kidogo tu kiliuzwa mpaka Dola 2,000,000, sisi tuliambulia Dola 60,000 tu.

Wanasiasa na watu wajanja wanaojiita wazawa, ambao hata hawana weledi wala uwezo wa kuwinda, walikuwa wakichukua vitalu (kwa ushawishi wao kwa Waziri) kisha wanakikodisha kwa waendeshaji wa nje. Wengi walidai pango la hadi Dola 300,000 kwa mwaka, huku wao wakilipa serikalini Dola 60,000 tu.

Utaratibu huu wa zamani uko kinyume kabisa na tafiti mbalimbali zilizofanyika miaka ya mwishoni mwa tisini na mwanzoni mwa miaka ya 2000. Leo zaidi ya miaka 20 hakuna aliyethubutu kubadilisha utaratibu. Sababu kubwa ni syndicate ya wanufaika, tena wachache wale wale tu. Ikawa maeneo haya wamejimilikisha kama yao milele.

Uamuzi wangu kuufuta utaratibu huu ni dhahiri umewaudhi wengi na najua watanishambulia sana. Naombeni dua zenu. Tanzania ilihitaji mmoja wetu afike mahali aseme 'sasa basi' na tutake tusitake iwe hivyo, Rais Magufuli amejitoa, Mimi namuunga mkono kwa 'vitendo', nasema sasa basi! Nitamsaidia kazi hii kwa uaminifu, uadilifu, uzalendo na weledi wa hali ya juu. Si amenipa kazi, kazi nitafanya! Dua zenu tu.

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo

Hamorapa- Ipo Siku Wema Sepetu Atakuwa Wangu Ugumu Alopata Janjaro Umenipa Matumaini

0
0
  • Hamorapa- Ipo Siku Wema Sepetu Atakuwa Wangu Ugumu Alopata Janjaro Umenipa Matumaini

Tetesi za rapa Dogo Janja kufunga ndoa na muigizaji, Irene Uwoya zimemfanya rapa Harmorapa kuamini kuwa ndoto yake ya kufunga ndoa na mrembo wa filamu, Wema Sepetu itatimia.

Harmorapa miezi michache iliyopita alijinadi katika mitandao ya kijamii kwamba anampenda Wema Sepetu na angependa kufunga naye ndoa hata hivyo mrembo huyo alisema hawezi kutoka kimapenzi na rapa huyo na anamchukulia kama mdogo wake.

Jumatatu hii baada ya kuona picha za Dogo Janja amefunga ndoa na Irene Uwoya, amedai picha hizo zimemfanya aamini hata yeye siku moja atafunga ndoa na Wema Sepetu.

“Dah naamini sana katika ndoto kuwa ipo siku ndoto inayoota itatimia na kuwa kweli sina cha kusema zaidi ya kumpa hongera Dogo Janja naamini ushupavu na kutovunjika moyo kumemfanya leo akawa mume wa mwanamke wa ndoto zake,” aliandika rapa huyo mtandaoni.

Aliongeza, “Nami sivunji imani naamini Wema Sepetu ipo siku atakua wangu ugumu alioupata Janjaro umenipa matumaini kikubwa ni kutulia na ndoto yangu na kulenga ipo siku itatimia… One day you will be mine….❤ @wemasepetu,”

Baada ya kauli hiyo, Dogo Janja alimpa moyo rapa huyo mwenzake na kumtaka kuwa mvumilivu.


Mc Pilipili Afunguka Kuhusu Ndoa ya Dogo Janja na Joti

0
0
Mc Pilipili Afunguka Kuhusu Ndoa ya Dogo Janja na Joti
Mchekeshaji Mc Pilipili amefunguka mambo kadhaa kuhusu harusi ya Joti na Dogo Janja.

Mc Pilipili amesema Joti alitamani sana angekuwa mshereheshaji katika harusi yake lakini kwa bahati mbaya alikuwa ameshakuwa booking sehemu nyingine, hata hivyo si kitu ambacho kilimzuia kushiriki katika sherehe hiyo.

Pia amezungumzia iwapo angekuwa mshereheshaji katika harusi ya Dogo Janja na Irene Uwoya kwa kueleza kuna baadhi ya mambo asingeyaruhusu kwa mfano Bwana harusi kumbeba Bibi harusi.



Kwa Sasa Nchi Haina Tatizo la Upungufu wa Madawa- Ummy Mwalimu

0
0
 Kwa Sasa Nchi Haina Tatizo la Upungufu wa Madawa- Ummy Mwalimu
Waziri wa Afya, Jinsia, watoto na wanawake Mheshimiwa Ummy Mwalimu, amesema kwa sasa nchi haina tatizo la upungufu wa madawa, kama ambavyo wengi wanadai.

Akijibu swali la Waziri Kivuli wa Afya, Mhe Dr Godwin Mollel Bungeni mjini Dodoma, na kusema kwamba serikali ya awamu ya tano chini ya Dk. John Pombe Magufui, imehakikisha imeongeza bajeti ya dawa ili kuinua sekta ya afya nchini.

“Kwanza nataka kumsahihisha waziri kivuli jambo moja, hakuna upungufu mkubwa wa dawa Tanzania, na kati ya jambo kubwa ambalo Rais amelifanya ni kuongeza bajeti ya dawa, tusikariri taarifa zilizopitwa na wakati, kama mnataka kumtendea haki Rais Magufuli, mtendeeni kwa kumpima ni kiasi gani amewekeza katika upatikanaji wa dawa”, amesema Waziri Ummy Mwalimu.
Waziri Ummy ameendelea kwa kusema kwamba sasa hivi serikali imejidhatiti katika kuhakikisha inakabiliana na kutoingiza dawa ambazo zinakaribia kuharibika, na kuingia hasara kuziteteketeza huku ikisema changamoto kubwa huwa inajitokeza kwa dawa za misaada, kitu ambacho wameshaacha kufanya hivyo.
“Tanzania dawa zinazochina ni1.8% tuko chini ya kiwango cha kimataifa cha 5%, kuna tatizo kubwa la maoteo, watu hawaleti mahitaji halisi ya dawa, dawa nyingi zinazochina ni za misaada, unakuta tumenunua dawa za kutibu malaria, unaletewa tena dawa za misaada, tumechukua miongozo sasa hivi hatuchukui dawa za misaada ambazo zimekaribia kuharibika au tayari tunayo kwenye bohari yetu ya dawa”, amesema Waziri Ummy Mwalimu.
Majibu hayo yalikuja mara baada ya Mbunge Godwin Mollel kuuliza swali la nyongeza linalosema “katika nchi ambayo kuna upunufu wa dawa na kuna dawa zinaharibika huku tukitumia mabilioni kuteketeza, haoni kama kuna ufisadi unaofanyika?”.



Serikali Haiwezi Kuajiri Vijana Wote- Mavunde

0
0
Serikali Haiwezi Kuajiri Vijana Wote- Mavunde
Serikali kupitia Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera,Bunge, Kazi Vijana, Ajira na Walemavu, Anthony Peter Mavunde amesema kuwa si kweli kwamba serikali inaweza kuwaajiri wote kwenye sekta ya umma ila inachokifanya ni kuwahamasisha vijana kushiriki katika sekta za uzalishaji mali ikiwemo kilimo ufugaji na biashara.

Mh. Mavunde ameyasema hayo wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum Aida Joseph Kenani lililohoji,

Serikali ya awamu ya tano imepunguza wafanyakazi kwenye kada mbalimbali kwa kigezo cha kutokuwa na sifa je?, Ni lini sasa serikali itatoa ajira kwa kuwapa kipaumbele vijana wa nchi ambao kwasasa ni wengi wamerundikana mtaani.

“Katika adhma ya kutengeneza nafasi nyingi za ajira hasa kwa kundi kubwa hilo la vijana serikali,imekuja na mipango mikakakati mbalimbali, si kweli kwamba tunaweza tukawa tuna nafasi za kuwaajiri wote kwenye sekta ya umma, ndio maana kupitia programme nilizozisema serikali imeona ni vyema kuishirikisha sekta binafsi, lakini nakuona falsafa ya uchumi wetu wa viwanda lakini vilevile kuwahamasisha vijana kushiriki katika sekta za uzalishaji mali ikiwemo kilimo ufugaji na biashara, ili kwa pamoja tuwe tumetengeneza nafasi nyingi kwa vijana ili tuwafanye vijana wengi wa Kitanzania kuamini kwamba nafasi za kazi ni lazima ziwe za maofisini,” amesema Mavunde.

“Kwa mujibu wa sera ya ajira, sera ya ajira imezungumza vyema kabisa tafsiri ya neno ajira maana yake ni shughuli yoyote halali inayompatia mtu kipato, kwahiyo serikali tunachokifanya ni kutengeneza nafais nyingine zaidi za ajira ili vijana wengi zaidi wapate nafasi za kujiajiri

Ado Shaibu: Jeshi la Piolisi Limechukua Simu ya Zitto Kabwe

0
0
Ado Shaibu: Jeshi la Piolisi Limechukua  Simu ya Zitto Kabwe
Leo Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, ndugu Kabwe Z. Ruyagwa Zitto aliripoti Kituo cha Polisi Kamata jijini Dar es salaam kama alivyotakiwa awali na jeshi hilo. Jeshi la Polisi limechukua simu ya ndugu Zitto kwa maelezo kuwa itasaidia uchunguzi wao, na wameahidi kuwa watairudisha kwake kesho jioni, na ametakiwa kurudi kituoni hapo Novemba 21, 2017.

Pia Jeshi la Polisi limetoa taarifa kuwa litakwenda katika Ofisi za Makao Makuu ya Chama cha ACT Wazalendo, kwa Lengo la kufanya upekuzi wa Ofisi hizo wakitafuta nyaraka zilizotumika na Chama kufanya Uchambuzi wa Takwimu za Serikali ambao unaonyesha Uchumi wa Nchi yetu "UNASINYAA".

Ado Shaibu
Katibu - Itikadi, Uenezi na Mawasiliano ya Umma
ACT Wazalendo
Novemba 7, 2017
Dar es salaam

Shughuli za Mkutano wa Tisa wa Bunge Zaanza Leo Dodoma

Serikali ya Kenya Yalaani Tanzania Tukio la Uchomwaji Vifaranga

0
0
Serikali ya Kenya Yalaani Tanzania Tukio la Uchomwaji Vifaranga
Kenya imeilalamikia Tanzania kwenye kitu walichokiita 'Kubadilishwa kwa sera inayobariki vitendo vya kihasama dhidi ya raia wa Kenya na biashara zao

Siku ya Jumatatu Katibu wa Mambo ya Nje na Diplomasia Tom Amollo alikosoa hatua ya Tanzania kuchoma vifaranga moto na kupiga ng'ombe mnada bila kuzihusisha mamlaka za nchi hiyo

Ameelezea kitendo hicho kinahatarisha kuchafua uhusiano mzuri uliokuwepo baina ya nchi hizo kwa muda mrefu

Hatua hiyo ilipelekea maofisa wa Kenya kumuita balozi wa Tanzania nchini humo Pindi Chana kuelezea juu ya 'maamuzi ya upande mmoja yanaoyathiri nchi zote mbili'

'Uhusiano kati ya Kenya na Tanzania ni wa muda mrefu na wenye manufaa makubwa, haufai kuhatarishwa na vitu vidogo ambavyo vinaweza kutatuliwa kwa mazungumzo'' Katibu huyo aliwaambia wajumbe wa Tanzania kwenye mkutano uliofanyika Nairobi

''Kunaweza kuwa na haja ya kuwakutanisha kwa haraka maafisa wa mpakani kutoka Kenya na Tanzania kuzungumzia matatizo haya yanayojitokeza kwenye mipaka''

Pia Kenya imelaumu kuchomwa kwa vifaranga 6,400 na kwa madai ya kuenea kwa ugonjwa wa mafua ya ndege na kusema ugonjwa wa ndege haujawahi kuripotiwa Kenya

Serikali pia imesema kitendo cha kupiga mnada ng'ombe 1,325 kutoka Kenya ni
kutojali shida au maslahi ya wananchi wa Kenya walioathirika "licha ya viongozi kutoka Kenya kuomba kususbirishwa kwa zoezi hilo'


"Ufugaji katika mipaka hutokea sio tu mpaka wa Tanzania, lakini pia kwa mipaka yetu na Uganda, Sudan Kusini na Ethiopia, lakini hakuna hata mmoja kati ya nchi hizi imeamua kuchukua hatua kubwa kama hizi dhidi ya mali ya raia wa nchi jirani na rafiki'' Amollo alisema

Bodi Itafungua Dirisha la Kukata Rufaa kwa Wanafunzi Waliokosa Mikopo- Badru

0
0
Bodi Itafungua Dirisha la Kukata Rufaa kwa Wanafunzi Waliokosa Mikopo- Badru
Mkurugenzi wa Bodi ya mikopo ya elimu ya juu (HESLB), Abdul Razaq Badru amesema bodi hiyo itafungua dirisha la kukata rufaa kwa wanafunzi waliokosa mikopo.

Badru ameyasema hayo leo wakati akifafanua vigezo na sifa za mwanafunzi kupata mkopo baada ya kuwepo kwa kasoro kadhaa kwa baadhi ya waombaji katika awamu ya kwanza ya wanafunzi wa mwaka wa kwanza.
“Kwa wale wenye changamoto ndogondogo labda walikosea, tutatangaza dirisha la kukata rufaa mapema wiki ijayo na tutashughulikia watakaokamilisha vigezo watapata mkopo lakini wanatakiwa kuzingatia maelekezo tutakayoyatoa”, ameongeza.

“Waombaji wanatakiwa kuwa makini na kufuata maelekezo kwa mfano unakuta mtu anasema yeye ni Yatima lakini hajaambatanisha uthibitisho wowote wa wazazi wake kufariki au mwingine anasema ni Mlemavu lakini hana udhibitisho wowote kwahiyo huwezi kumpa mkopo kwasababu hana sifa”, amesema Badru.
Aidha mkurugenzi amesema katika majina ya waombaji waliyoyapokea na kudhibitishwa na TCU kwamba yamepata vyuo na wakayapitia wakajiridhisha hayana kasoro kwenye uombaji, tayari wanafunzi 29,578 wameshapata mkopo na wameanza masomo ambapo kiasi cha shilingi bilioni 96 zimetumwa vyuoni.

Pendeza na Kessy Products: Badili Muonekano Wako na Kuweka Mwili Wako Sawa Bila Madhara yoyote

0
0
*PENDEZA NA KESSY PRODUCT: BADILI MUONEKANO WAKO NA KUWEKA MWILI WAKO SAW KWA PRODUCT ZA ASILI ZISIZO NA MADHARA YEYOTE WALA KEMIKALI, MATOKEO NI KWAARAKA* 🍇🌾🌳
1) KUTOA MVI SUGU PIA ZA KUZALIWA NAZO _100,000/
2) KUREFUSH NYWELE NA KUZUIAKUKATIKA 90,000/
3) TENGENEZA SHEPU YAKO KUWA NA UMBO ZURI (HIPS & BATAKS)KUNADAWA AINA TATU (@)JELI KUPAK_100,000/(B) KUNYWA (C)VIDONGE_130,000/
4)ONDOA NYAMA UZEMBE MIKONONI, KIUNONI NA MAPAJAN_80,000/
5)TOA KITAMBI KABISA(@) KUPAK 10O,000/ (B)VIDONGE/SLIMING MAJAN 130,000/
6) PUNGUZA MWILI MZIMA KUANZIA KILO UNAZOITAJI WEWE NA MANYAM YOTE
@) DAW YA MAJINI_100,000/NA VIDONGE_130,000/
7)PUNGUZA MAZIWA NA YASIMAME BILA KUVAA SIDIRIA_80,000/
8)KUONGEZA MAZIWA NA SAIZI NZURI_80,000/
9)ONGEZA UNENE WA MWILI MZIMA (kifaru)_100,000/
10) ONDOA MICHIRIZI ILIYO YAKAWAIDA NA UZAZ_80,000/
11) TOA MAKOVU, CHUNUSI, WEUSI KWENY MAPAJA KIKWAPAN_70,000/
13) KUWA MWEUPE WAKUPENDEZA KWA DAW(@) VIDOGO(WHITE SOLUTION)_130,000/(B)MAFUTA YAKUPAK 100,000/
14)TOA NDEVU VINYWELEO MWLINI _80,000/
15/ ONGEZA NGUVU ZA KIUME KWA KUTUMIA JELI PAMOJA NA VIDONGE VYAAIN ZOT _100'000
16) ENGEZA MAUMBIL YA KIUME
@) (HANDSOME UP) MASHINE _200,000/
@) JELI NA VIDONG VYA SHARK_ 120,000 /
17) RUDISHA HAMU YA TENDO NA KUCHELEWA KUFIKA KILELE_80,000/
18) RUDISH(BIKRA) 100,000/
19)ONDOA MAFUTA USONI _80,000/
20)ONDOA MIKUNJO USON_70,000/(21) ENGEZA MGUU_80,000/🍍🍉🌾 *TUNAPATIKAN DAR E SALAAM* *NAKWA *MIKOANKOTE* UTAPATA *PIA* *NA NCHI ZOTE PIGA CM* (+255)0719955528
0756259180
0785371237
@dr_kessy_product*
*Delivery POPOTE ULIPO,*

Serikali Yasema Haiwezi Kuajiri vijana Wote nchini

0
0
Serikali kupitia Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera,Bunge, Kazi Vijana, Ajira na Walemavu, Anthony Peter Mavunde amesema kuwa si kweli kwamba serikali inaweza kuwaajiri vijana wote kwenye sekta ya umma ila inachokifanya ni kuwahamasisha vijana kushiriki katika sekta za uzalishaji mali ikiwemo kilimo, ufugaji na biashara.

Mh. Mavunde ameyasema hayo wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum Aida Joseph Kenani lililohoji,

Serikali ya awamu ya tano imepunguza wafanyakazi kwenye kada mbalimbali kwa kigezo cha kutokuwa na sifa je?, Ni lini sasa serikali itatoa ajira kwa kuwapa kipaumbele vijana wa nchini ambao kwasasa ni wengi wamerundikana mtaani.

“Katika adhma ya kutengeneza nafasi nyingi za ajira hasa kwa kundi kubwa hilo la vijana serikali,imekuja na mipango mikakakati mbalimbali, si kweli kwamba tunaweza tukawa tuna nafasi za kuwaajiri wote kwenye sekta ya umma, ndio maana kupitia programme nilizozisema serikali imeona ni vyema kuishirikisha sekta binafsi, lakini nakuona falsafa ya uchumi wetu wa viwanda lakini vilevile kuwahamasisha vijana kushiriki katika sekta za uzalishaji mali ikiwemo kilimo ufugaji na biashara, ili kwa pamoja tuwe tumetengeneza nafasi nyingi kwa vijana ili tuwafanye vijana wengi wa Kitanzania kuamini kwamba nafasi za kazi ni lazima ziwe za maofisini,” amesema Mavunde.

“Kwa mujibu wa sera ya ajira, sera ya ajira imezungumza vyema kabisa tafsiri ya neno ajira maana yake ni shughuli yoyote halali inayompatia mtu kipato, kwahiyo serikali tunachokifanya ni kutengeneza nafais nyingine zaidi za ajira ili vijana wengi zaidi wapate nafasi za kujiajiri na kuwaajiri vijana wengine.”

Bongo5

Mh. Zitto Kabwe Aachiwa, Polisi Wachukua simu yake

0
0
Kiongozi wa Chama chama cha ACT – Wazalendo, Zitto Kabwe ameripoti kituo cha polisi kilichopo Kamata Karikakoo jijini Dar es salaam kama alivyotakiwa na jeshi hilo. Jeshi hilo limechukua simu ya Mh. Zitto kwa maelezo kuwa itasaidia uchunguzi wao.

Katibu – Itikadi, Uenezi na Mawasiliano ya Umma, Ado Shaibu amesema kuwa baada ya kuichukua simu hiyo wameahidi watairudisha kwake kesho jioni huku akitakiwa kuripoti kituoni hapo Novemba 27 mwaka huu.

Pia ameeleza kuwa Jeshi la Polisi limetoa taarifa kuwa litakwenda katika Ofisi za Makao Makuu ya Chama cha ACT – Wazalendo, kwa Lengo la kufanya upekuzi wa Ofisi hizo wakitafuta nyaraka zilizotumika na Chama kufanya uchambuzi wa takwimu za Serikali ambao unaonyesha uchumi wa nchi yetu unasinyaa.

Mchezaji Apigwa na kitu Kinachodhaniwa ni Bomu Akiwa Uwanjani Kwenye Ligi ya Kina Mbwana Samatta

0
0
Ligi kuu nchini Ubelgiji iliendelea mwishoni mwa wiki lakini habari iliyotawala vyombo vya habari nchini Ubelgiji ni bomu la moshi lililotupwa uwanjani wakati wa mchezo kati ya Sporting Charlelois vs Royal Antwerp.

Shabiki wa klabu ya Royal Antwerp alirusha bomu hilo wakati wachezaji wa klabu ya Sporting Charleois wakishangilia bao lao la pili bomu ambalo lilimpiga mchezaji wa Charleois begani na kumjeruhi.

Christian Benavente kiungo raia wa Peru ndie mhanga wa tukio hili japokuwa kocha wa Royal Antwerp amemtupia lawama Benavente kwa kwenda kushangilia mbele ya mashabiki wa timu pinzani.


Benavente amejitetea kwamba hakuwa na nia ya kumuudhi mtu yoyote na anashangazwa na kitendo cha mashabiki wa Royal kumrushia bomu hilo wakati kushangilia lilikuwa tukio la kawaida kwenye mchezo huo.

Ushindi wa Charleloi umeendelea kuwaweka katika nafasi ya pili ya ligi ya Ubelgiji wakiwa na alama 28 alama 9 zaidi ya Genk anayoichezea Mbwana Samata walioko katika nafasi ya kumi.

Exclusive: “Ngasa Alihitaji Uvumilivu wa Samatta Kufanikiwa”-Kaka yake Kafunguka

0
0
Ally Khalfani Ngasa ambaye ni kaka wa mchezaji wa Mbeya City Mrisho Ngasa amesema mdogoake  alitakiwa kuvaa moyo wa uvumilivu kama Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu ili afanikiwe katika soka la kimataifa.

Ally Ngasa amesema nafasi ambayo aliipata mdogoake kama angekuwa mvumilivu huenda angekuwa mbali badala ya uamuzi wake wa kuvunja mkataba na klabu ya Free State Stars ya Afrika Kusini.

“Hayakuwa maamuzi sahihi, hata Samatta alivyokwenda TP Mazembe hakuanza moja kwa moja kwenye kikosi cha kwanza, alivumilia badae akawa anaingia kipindi cha pili lakini badae akawa anategemewa na timu. Ngasa alitakiwa kuvumilia kama walivyovumilia Samatta na Ulimwengu.”

“Ngasa alivunja mkataba ili awe huru kwenda timu nyingine kwa sababu timu aliyokuwepo (Free State Stars) alikuwa hapati nafasi ya kucheza, hiyo ndio sababu aliyomwambia mzee.”

“Mpira siku zote ni mchezo wa uvumilivu kwa sababu uwezo wake ulikuwa ni mkubwa asingekosa timu nje. Sasa hivi yupo Mbeya City uwezo wake umepungua sio kama zamani halafu hasikiki kama alivyokuwa Yanga, Azam na Simba.”

Kaka yake Ngasa bado anaamini mdogoake anaweza kutoka tena kwenda kucheza soka la kulipwa nje ya nchi kwa sababu bado umri wake unamruhusu.

“Umri bado unamruhusu kwa sababu hata miaka 30 bado hajafikisha akijipanga vizuri akarudi kwenye kiwango chake cha zamani anaweza kutoka tena kucheza nje ya nchi.”

Kutana na Mtaalam na Bingwa wa Magonjwa Sugu Kama Pumu, Vidonda vya Tumbo, Kisukari na Mengine Mengi

0
0

MTALAAM NA BINGWA WA MAGONJWA YOTE SUGU NAYALIYOSHINDIKANA KAMA VILE PUMU, VIDONDA VYA TUMBO, BUSHA, NGUVU ZA KIUME, KISUKARI,MIVUTO YOTE, KUSAFISHA NYOTA, KURUDISHA MALI, NK.

Tatizo la upungufu ukosefu wa nguvu za kiume, maumbile madogo ya uume limekuwa kubwa kwa lika zote hapa duniani

Matatizo hayo sio mageni kigeni ni ile tiba sahihi yakutibu na kuponya haya.chanzo cha hayo matatizo ni:KISUKARI, NGIRI,CHANGO, TUMBO KUUNGURUMA NA KUJAA GESI, KIUNO KUUMA, MAUMIVU YA MGONGO,MAGONJWA YA ZINAA, KORODANI KUVIMBANAKUUMA,VIDONDA VYA TUMBO, NK.

Tiba sahihi nabora ya tatizo la nguvu zakiume ni SUPER SAYI 3,Nidawa ya vidonge asilia vilivyotengenezwa kwa kiwango bora na salama kwa ajili yakutibu mojakwamoja tatizo la nguvu za kiume maradufu

1,hutibu nguvu za kiume mda mfupi sana kati ya umri wa miaka 18-85 naitakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 20 hadi 40 tendo lakwanza bila kuchoka naitakufanya uwe nahamu yakuendelea na tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila hamu kuisha.

SUPER SAYI 4 Nidawa yakuboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi uipendayo inchi 6,7 hadi 8 kwa mda mfupi sana.dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk 67 ukisha tumia guarantee miaka 55 ikishakutibu.

Pia tunatibu,KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU,MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE, BP, BUSHA BILA UPASUAJI NK.

ISHOSHA,Nidawa ya mvuto wa biashara,kazi,hupandisha cheo humfanya mfanyakazi apendwe na mwajiri wake,humvuta mme,mke,hawara,mchumba,unaemhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zako kwa dhati utampata kwa mda wa dk 45 tu naatatulia milele nakumfunga asitoke inje ya ndoa.

SHEPU EXRA,Nidawa ya yakupunguza matiti,unene tumbo,kitambi kwa akina baba,hutoa mafuta mabaya mwilini,makovu sehemu mbalimbali mwilini,chunusi sugu,minyama uzembe,michirizi mwilini,nakuongeza makalio hips,mguu wa bia nk.

HUDUMA HIZI NANYINGINE NYINGI MTALAAM BINGWA DR ULIMWENGU ANAPATIKA DAR ES SALAAM MAGOMENI MOROCO

HUDUMA HIZI UTAZIPATA MAGOMENI

SIMU NO 0745387469, 0652121197

NAKAMA NAFASI YAKUFIKA OFISINI HAIPO UTALETEWA HAPO ULIPO.
Viewing all 104415 articles
Browse latest View live




Latest Images