Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live

Saada Mkuya Amshukia Waziri wa fedha

$
0
0
Waziri wa Fedha wa utawala uliopita wa Rais mstaafu Jakaya Kikwete, Saada Mkuya amemshukia Waziri wa Fedha, Dk Philip Mpango kwa kuandaa mpango wa taifa wa maendeleo pasina kuihusisha Zanzibar.

Mkuya ambaye ni mbunge wa Welezo visiwani Zanzibar amesema Dk Mpango amekuwa na kawaida ya kutokujibu hoja ambazo zinatolewa na wabunge wa kutoka Zanzibar jambo ambalo limemsikitisha.

Akichangia leo Novemba 10 bungeni mjini Dodoma Mpango wa Maendeleo ya Taifa, Mkuya ambaye katika mchango wake alisikitishwa na jinsi Waziri Mpango anavyoitenga Zanzibar licha ya kuwa ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

“Nadhani taifa hili la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linaundwa na pande mbili sasa Mheshimiwa Mwenyekiti  (Azzan  Zungu) cha kusikitisha na fedheha kabisa ni kuona hakuna hata eneo moja lililopangiwa mpango angalau tu likaelekezwa katika upande mwingine wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,” amesema Mkuya

“Hili niliseme wazi mheshimiwa mwenyekiti kupitia kwako, mheshimiwa Waziri wa Fedha (Dk Mpango) wakati tunajadili bajeti Juni mwaka huu baadhi ya wenzangu tunaotoka upande wa pili wa Muungano tulichangia maeneo fulani fulani,” ameongeza

Mkuya akichangia kwa sauti ya msisitizo amesema ‘’Lakini kwa masikitiko makubwa mheshimiwa mwenyekiti hakuna eneo hata moja lililoguswa likajibiwa hoja angalau kule upande wa pili wakasikia na mimi nilichukua hatua kwenda kumuuliza mheshimiwa waziri wa fedha mbona angalau hata hoja mbili ili nao waone ni sehemu ya muungano.”

Nape Nnauye Ashtushwa na Mapendekezo ya Serikali

$
0
0
Nape Nnauye Ashtushwa na Mapendekezo ya Serikali
Mbunge wa Mtama Mh. Nape Nnauye amedai kwamba ameshtushwa sana na mapendekezo ya serikali kuhusu kuwekeza pesa kwenye miradi ambayo inaweza kuendeshwa kibiashara.

Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye
Akichangia leo Bungeni kwenye mjadala wa kujadili Mpango wa Taifa , Mh. Nape amesema kwamba baadhi ya miradi ambayo ingeweza kutekelezwa na sekta binafsi ni ujenzi wa reli ya kisasa ya kati, mradi wa umeme Rufiji, mradi wa bandari na uboreshaji shirika la ndege.
Nape amesema kwamba aliposoma mapendekezo alishtuka baada ya kuona kwamba Serikali inapendekeza kuwekeza pesa za Serikali kwenye miradi ambayo inaweza kuendeshwa kibiashara ambayo pia watu binafsi wangeruhusiwa kuiendesha.
"Kama mpango huu utatekelezwa kama ulivyo, miradi hii inakwenda kuuwa uchumi wa nchi yetu. Miradi hii mikubwa inaweza kujiendesha kibiashara na ikajilipa yenyewe, Niweke rekodi sawa Sipingi kutekelezwa kwa miradi   mikubwa ila napingana na Serikali jinsi ya kuifadhili na kuiendesha kwa kutumia fedha za Serikali" Nape
Akiendelea kusimamia hoja yake Mh. Nape amesema kuwa miradi hiyo ni mikubwa na itagharimu fedha nyingi ambazo zitailazimisha Serikali kukopa fedha nyingi, hali ambayo itaathiri deni la taifa ambalo kwa sasa Dola bilioni 26.
“Serikali ikienda kukopa na kwa sababu miradi hii inachukua muda mrefu maana yake tutaanza kulipa deni kabla ya miradi hiyo haijaanza kurudisha faida kwa taifa. Kwanini tunataka kung’ang’aniza kuchukua pesa ya Serikali”. Hebu tufikirie upya. Dk Mpango rudini mkafikiri upya”  Nape
Nape ameongeza kwamba "Huu mpango wako mzuri lakini rudini kwenye mawazo ya kutumia sekta binafsi. Tukienda hivi tunaenda kuua uchumi,”alisema

Mx Carter: Baraka Da Prince Anahitaji Msaada Kwasababu Ana Stress

$
0
0
Mx Carter: Baraka Da Prince Anahitaji Msaada Kwasababu Ana Stress
Mpiga picha maarufu bongo ambaye pia ni meneja wa baadhi ya wasanii hapa bongo Mx Carter, amejibu tuhuma za msanii Baraka The Prince kuhusu kuchezea acount yake ya YouTube na kupunguza namba za watazamaji.

Akiongea kwenye eNewz ya East Aftica Television, Mx Carter amesema anahisi Baraka ana stress hivyo anahitaji msaada, kwani anayoyafanya yanawashangaza watu.
Mx Carter ambaye pia ni mtaalamu wa masuala ya mitandao, amesema Baraka mwenyewe alimfuata kumuomba amfutie account yake ya kwanza ambayo ilikuwa chini ya uongozi wake wa zamani wa RockStar 4000, kwa kuwa hakuwa akiwaamini watu hao na kuwahisi kumfanyia kitu kibaya.
“Baraka haeleweki alinifuata nimsaidie nikamsaidia akaenda kufanya interview kila media anayoenda anaongea tofauti, hata ukiangalia coment nyingi za watu ambao wamesikia interview wameshindwa kuelewa ana kitu gani kinamchanganya, ananiomba msamaha kwamba amekosea hakujua nini anafanya, nahisi ana stress tunaweza tukakaa chini kumshauri nini cha kufanya”, asema Mx Carter.
Mx Carter ameendelea kwa kusema kwamba na sio yeye peke yake ambaye amemtuhumu, kwani sasa hivi amehamishia balaa kwa msanii mwenzake Shilole, akisema ndiye aliyemwambia kwamba Mx Carter ameichezea acount yake.
“Sasa kama anagombana na watu kwa style hii hata akija tena siwezi kumsaidia kwa 100%, na hapa ninavyokwambia tayari kashaanzisha mtiti sehemu nyingine, akasema Shilole ndio kamsababisha aseme hivyo, sasa hivi hapatani na Shilole, kwa mantiki hiyo Shilole hawezi kumpostia video yake”, amesema Mx Carter.
Kutokana na hayo yote Mx Carter amesema kitendo cha mtu kupunguza namba za watazamaji YouTube ni kitu ambacho hakiwezekani, kwani kufanya hivyo inamaana unaingia kwenye 'server' za Youtube, kitu ambacho hakiwezekani.


Professor Jay Afunguka Kuhusu P The Mc

$
0
0
Professor Jay Afunguka Kuhusu  P The Mc
Msanii wa muziki wa hip hop Bongo, P The Mc amesema ushawishi alionao Professor Jay katika muziki umechochea hata wazazi wake kumruhusu kufanya muziki.

Rapper huyo wa kundi la SSK katika mahojiano na Bongo5 amesema kazi za Professor Jay toka mwanzo mtu yeyote anaweza kuzisikiliza na ndio chanzo cha kuwa na nguvu kubwa ya ushawishi kwa vijana wengi kuingia katika muziki wa rap.

P The Mc amesema kabla ya Prof Jay muziki wa hip hop Bongo ulikuwa unaoneka ni muziki fulani wa vijana tena hasa wale wa masikani ambao hawana shughuli yoyote ya kufanya lakini aliweza kubadili mtazamo huo.

“Ila Professor Jay aliweza kuwashawishi watu kwa ule muziki ambao unaweza kusikilizwa na Rais, Mbunge na Mawaziri, maana yake ni kwamba wazazi wangu walishawishika kusikiliza muziki wa Professor Jay”amesema P The Mc.

“Nikitaka kufanya muziki wataniambia unatakiwa ufanye kama huyu kwa sababu anachokifanya ni kizuri, so ni lazima niamini amewashawishi wazazi waniruhusu niingie kwenye muziki” ameongeza.

P The Mc kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake ‘Mademu Wangu’ ambayo amefanya remix kutoka kwenye ngoma ya Marehemu Ngwea.


Mkude Ajiandaa Kubeba Virago Simba

$
0
0
Mkude Ajiandaa Kubeba Virago Simba
KUFUATIA kauli ya mwenyekiti wa zamani wa Simba, Ismail Aden Rage aliyesema Jonas Mkude anapaswa kucheza TP Mazembe au Raja Casablanca ya Morocco, kiungo huyo amesema sasa anaanza kujiandaa kuondoka klabuni hapo.
Rage mapema wiki hii, aliliambia gazeti hili kwamba, Mkude ana kiwango kikubwa hivyo anapaswa kuchezea moja kati ya timu kubwa za Afrika hata TP Mazembe ya DR Congo au Raja Casablanca.
Alisema Mkude ni mmoja wa wachezaji wenye uwezo Simba ambaye amekuwa akimtabiria kufika mbali zaidi iwapo atajituma zaidi ili kuweza kucheza nje.
Akizungumza na Championi Jumamosi, Mkude alisema kauli hiyo ya Rage imemzindua na sasa anapambana kufa na kupona aweze kupata nafasi ya kwenda kucheza soka la kulipwa nje ya nchi.
“Rage alikuwa mwenyekiti wangu kwa muda wa miaka minne, hivyo ananifahamu vizuri kiwango changu, tena zaidi ya sana, tangu alipokuwa akiongoza.
“Amenipa hamasa kubwa ya kuweza kujituma na kupambana niweze kufanya vizuri kwa ajili yangu, familia yangu na kwake pia, nimeupokea ushauri wake kwa mikono miwili na ninashukuru kwa kunikumbusha.
“Ninajituma zaidi ikiwa ni sehemu ya kujiandaa kuondoka Simba kwenda nje ya nchi kucheza soka la kulipwa na naamini nitatimiza ndoto zangu hizi, naomba Mungu anisaidie,” alisema Mkude.
Mwanzoni mwa msimu huu, Mkude alisaini mkataba wa miaka miwili kuichezea Simba baada ya ule wa awali kuisha.

Nuh Afunguka Kuhusu Mwanaume Aliyemchukua Mkewe

$
0
0
Nuh Afunguka Kuhusu Mwanaume Aliyemchukua Mkewe
BAADA ya habari kusambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa mwanaume aliyemuoa aliyekuwa mke wa ndoa wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’, kwamba aliwahi kufanya naye kolabo na ndiye aliyemtoa kijijni kwao Iringa, mwenyewe ameibuka na kupangua taarifa hizo.
Akizungumza na Mikito Nusunusu, Nuh alisema kuwa, hamfahamu huyo mwanaume kama watu wanavyosema kwamba alimtoa Iringa na kuja kukaa kwake huku akifanya naye kolabo na ndipo alifahamiana na aliyekuwa mkewe Nawal.
“Simfahamu kabisa huyo mwanaume zaidi ya kumuona kwenye picha, nawaomba mashabiki wangu wasinihusishe kabisa na hao watu maana kama ni Nawal yupo na maisha yake nami niko na maisha yangu, nipo kikazi zaidi kwani kwa sasa ninatembea mikoa mbalimbali kufanya shoo wala sina habari na mtu,” alisema Nuh.

Masharti Aliyopewa Sethi ili Aweze Kutibiwa Nje

$
0
0
Masharti Aliyopewa Sethi ili Aweze Kutibiwa Nje
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu,jijini Dar es Salaam, imemtaka mfanyabiashara Harbinder Seth, anayekabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi na kutakatisha fedha, awasilishe  maombi ya kwenda kutibiwa nje ya nchi Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa, maarufu kama Mahakama ya Mafisadi.

Kadhalika, imeruhusu upande wa Jamhuri kwenda kuwahoji washtakiwa mahabusu kwa ajili ya kuendelea na hatua za kukamilisha upelelezi.

Uamuzi huo ulitolewa jana mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Huruma Shaidi, baada ya kusikiliza hoja za pande zote mbili za kesi hiyo.
Kabla ya uamuzi huo, upande wa Jamhuri ukiongozwa na Wakili wa Serikali Mwandamizi Leonard Swai, ulidai kuwa upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika.

Hata hivyo, Wakili wa utetezi, Joseph Sungwa, alidai kuwa mshtakiwa Sethi ameona Hospitali ya Muhimbili haina uwezo wa kumtibu maradhi yake na kwamba anaomba daktari wake kutoka Afrika ya Kusini aitwe aje nchini au apelekwe nchini humo chini ya ulinzi kwa ajili ya afya yake.

Akijibu hoja za utetezi, Swai alidai kuwa Muhimbili haijasema kwamba haiwezi kumtibu mshtakiwa bali anajichelewesha kwa kumtaka daktari kutoka Afrika Kusini.

Pia aliomba utaratibu wa Jeshi la Magereza uheshimiwe kuhusu mshtakiwa kupata huduma za matibabu na kwamba Sethi kupelekwa Afrika Kusini akiwa chini ya ulinzi haiwezekani.

"Mheshimiwa upande wa Jamhuri tunaomba kibali cha kwenda kuwachukua washtakiwa maelezo ya onyo ili kukamilisha upelelezi," alidai Swai.

Hakimu Shaidi alisema mahakama yake ilitoa amri ya mshtakiwa kwenda kupatiwa matibabu Muhimbili na amepata na kuhusu daktari wake kutoka Afrika Kusini, awasilishe maombi Mahakama Kuu na upande wa Jamhuri umekubaliwa kwenda mahabusu kuchukua maelezo ya washtakiwa.

Sethi na mshtakiwa mwingine James Rugemarila kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka  12 ya  uhujumu uchumi, kutakatisha fedha  na kuisababishia serikali hasara ya Dola za Marekani 22,198,544.60 na Sh. 309,461,300,158.27.

Kesi imepangwa kutajwa Novemba 24,mwaka huu.

Senegal Wafuzu kwa Kombe la Dunia Urusi kwa Kuilaza Afrika Kusini

$
0
0
Senegal Wafuzu kwa Kombe la Dunia Urusi kwa Kuilaza Afrika Kusini
Senegal maarufu kama Simba wa Teranga wamefuzu kwa fainali za Kombe la Dunia kwa mara ya pili baada ya kupata ushindi wa 2-0 dhidi ya Afrika Kusini katika uwanja wa Peter Mokaba mjini Polokwane Ijumaa.
Watarejea Urusi kucheza miaka 16 baada yao kushangaza watu wakicheza katika Kombe la Dunia mara ya kwanza, michuano iliyoandaliwa Korea Kusini na Japan.
Sadio Mane, alirerejea mapema kutoka kuuguza jeraha, alichangia sana ushindi huo wa Simba wa Teranga.
Alitoa pasi safi kwa mshambuliaji wa West Ham Diafra Sakho aliyeweza kumbwaga kipa wa Bafana Bafana Itumeleng Khune, na kuwaweka Senegal kifua mbele katika mechi hiyo dakika ya 12.
Winga huyo wa Liverpool kisha alisaidia kushinda mechi hiyo kwa kuchangia bao la pili dakika mbili kabla ya muda wa mapumziko.
Kombora lake la karibu na goli lilikombolewa na Khune lakini mpira ulipodunda ukatumbukizwa wavuni na beki wa Afrika Kusini Thamsanqa Mkhize aliyekuwa anaanguka chini.
Bafana Bafana walijaribu kadiri ya uwezo wao kusawazisha kabla ya kufungwa bao hilo, Lebogang Manyama akigonga mwamba wa goli naye Percy Tau akishindwa kufunga mpira uliodunda na kuanguka miguuni mwake baada ya kipa wa Senegal Khadim Ndiaye kuzima kombora la Themba Zwane.
Wenyeji walijaribu kutatiza walinzi wa Senegal, safu ambayo ilikuwa inamkosa Kara Mbodji ambaye anatumikia marufuku, lakini walishindwa kuzalisha matunda.
Senegal walitumia nafasi zao chache kufunga na kushinda mechi.
Hatua ya Senegal kufuzu imemfanya kocha wa Senegal Aliou Cisse kujiunga na marehemu aliyekuwa nahodha wa Nigeria Stephen Keshi as kama watu ambao wamewahi kucheza na pia kuongoza timu ya Afrika kufuzu kwa Kombe la Dunia.
Timu zote mbili zitakutana tena Dakar Jumanne katika mechi ambayo itakuwa tu ya kutimiza wajibu kwani Senegal wamejiunga na Nigeria na Misri katika orodha ya nchi ambazo zimefuzu Kombe la Dunia.

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa leo

Kutana na Miujiza ya Sharifu Seif Mohamed Kutoka Bagamoyo...Ana Dawa za Kurudisha Mapenzi na Zingine Nyingi

$
0
0
MIUJIZA YA SHARIFU SEIF MOHAMED KUTOKA BAGAMOYO.

SHARIFU SEIF MOHAMED ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOENDELEA KUPIGA SIMU, WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA  SHUKRANI NA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO WASAIDIA,
(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

SHARIFU MOHAMED Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN, Dawa za Asili, Dawa za Kiarabu na majini kwa kumtuliza mke/mme, mchumba au mpenzi ndani ya masaa 72 tu, na kutatua matatizo yote ya kimaisha,

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu SHARIFU SEIF sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata Atakacho Kuelekeza

ANAZO DAWA ZA MAPENZI, NGUVU ZA KIUME, CHANGO NGIRI MAJI NA N.K, ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA, HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA, ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUKSI NA VIFUNGO MBALIMBALI,  MAFANIKIO YA MAISHA NA UTAJIRI BILA MASHARI, NA MENGINE MENGI YA SIRI,

Je UMAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? WASILIANA NA MTAALAMU HUYU KWANI YEYE HUFAULU PALE WOTE WALIPOSHINDWA, PIA UMALIZA KAZI ZILIZO SHINDIKANA NA WATAALAM WENGINE NDANI YA MASAA 24 TU,

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE AU MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFWATA MAELEKEZO YAKE)

Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi Piga SIMU No:
Mobile +255 654-836970
WhatsApp +255 756-033670

USHAURI: kama unahitaji msaada ni  bora kupiga simu kuliko kutuma sms ili upate  msaada kwa haraka.

Mapya Yaibuka kwa Mnunuzi Feki wa Nyumba za Lugumi

$
0
0
Mapya Yaibuka kwa Mnunuzi Feki wa Nyumba za Lugumi
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limedai kuwa lina mashaka kuhusu uhalali wa udaktari wa mtu mmoja anayedaiwa kuwa Tajiri  aliyeshinda katika mnada wa kuuza nyumba za mfanyabiashara Lugumi uliofanyika juzi siku ya Alhamisi kwa kuwa

ameshindwa kuonyesha vielelezo kuthibitisha elimu yake ya kiwango cha Ph.D
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Kamanda wa Polisi wa Kanda ya Dar es salaam, Lazaro Mambosasa, amesema wanaendelea na upelelezi dhidi ya mtu huyo aliyefahamika kwa jina la Dkt. Louis Shika na kwamba jana hiyo walikwenda kumkagua nyumbani kwake Tabata Mawenzi.
Kamanda Mambosasa amesema kuwa  Shika hana taaluma ya udakatri na kwamba inasemekana huenda alitumwa na Mfanyabiashara Lugumi mwenyewe kuharibu mnada huo baada ya kushindwa kutoa fedha ambazo alidai ziko nje ya nchi.
“Tulipokea taarifa kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Yono Auction Mart, Stanley Kevela, kuwa huko Mbweni JKT wakiwa wanafanya mnada wa hadhara wa kuuza nyumba za mfanyabiashara Lugumi, alijitokeza mtu anayeitwa Shika ambaye alishinda mnada huo kwa kutaka kununua nyumba zote tatu, kumbe hakuwa na fedha,” alisema Mambosasa.
Mambosasa alisema '‘tajiri’ huyo alitaka kununua nyumba moja ya Mbweni kwa Sh. bilioni 1.2, nyumba ya pili iliyoko pia Mbweni Sh. milioni 900 na nyumba ya tatu iliyoko Upanga alishinda na kutaka kununua kwa Sh. bilioni 1.2 na  Mtuhumiwa huyo alitakiwa kulipa asilimia 25 ya fedha kwa kila nyumba lakini hakuwa na fedha ndipo walipomkamata na kumfikisha kituo cha polisi kwa hatua zaidi.
Aidha, Kamanda Mambosasa alisema taarifa zinaonyesha kuwa inawezekana Mtu huyo alitumiwa na Mfanyabiashara Lugumi mwenyewe kwa kuwa alivyotakiwa kutoa fedha alisema ziko nchini Russia na Lugumi hajulikani mahali anapoishi kwa sasa.
 Pia alisema wanaendelea kumhoji juu ya taaluma ya udaktari aliyoitaja ingawa bado alikuwa hajaithibitisha kwa kutoa vielelezo.
“Amesema ni daktari lakini hajathibitisha kwa hiyo udaktari wake hadi sasa ni wa madai, hivyo amefanya kazi wapi hajatuambia.  Upelelezi unaendelea na atafikishwa mahakamani kwa hatua za kisheria,” alisema.

Rais Magufuli Ateta na Watanzania Waishio Uganda

$
0
0
Rais Magufuli Ateta na Watanzania Waishio Uganda
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Watanzania waishio nchini Uganda katika mji wa Masaka na kuwahakikishia kuwa hatua zilizochukuliwa na serikali ya awamu ya tano zimeanza kuzaa matunda.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Watanzania waishio nchini Uganda katika eneo la Masaka.


Amissi Tambwe Aanza Mkwara Akiwa Benchi

$
0
0
Amissi Tambwe Aanza Mkwara Akiwa Benchi
STRAIKA wa Yanga, Amissi Tambwe amesema hali yake kwa sasa siyo mbaya sana na muda wowote atarudi uwanjani, lakini amepiga mkwara kwa kusema anataka kufukuzana kwa ufungaji na mfungaji bora.

Emmanuel Okwi wa Simba ndiye anayeongoza kwenye orodha ya wafungaji wa Ligi Kuu Bara akiwa na mabao nane, sasa Tambwe anasema akirudi uwanjani atahakikisha anamfikia.
Tambwe amedai anatamani sana Okwi asiongeze bao lolote katika kipindi hiki mpaka yeye atakapoanza kuitumikia Yanga.

Akizungumza na Championi Jumamosi, Tambwe alisema anaamini akirudi uwanjani na asipopata majeraha tena basi ndani ya mechi tatu au nne anaweza kufikisha mabao nane yaliyofungwa na Okwi.

“Hali yangu kwa sasa siyo mbaya sana ninamshukuru Mungu naendelea vizuri lakini pia naomba ligi isimame kwa muda hata mechi yetu ijayo na Mbeya City natamani isiwepo ili niweze kupona vizuri.

“Nataka siku nikirudi niweze kuwa fiti zaidi tayari kwa kupambana na akina Okwi na wenzake ambao hivi sasa wanachuana kwa kuzifumania nyavu,” alisema Tambwe.

Tambwe anayesumbuliwa na goti bado hajaanza mazoezi lakini mwenyewe amedai ndani ya siku chache zijazo atarejea uwanjani huku akijitibu binafsi

Mwanafunzi Aliyefariki kwa Kupigwa Radi Afaulu la Saba

$
0
0
Mwanafunzi Aliyefariki kwa Kupigwa Radi Afaulu la Saba
Aliyekuwa mhitimu wa darasa la saba katika Shule ya Msingi Nyamanzugo, Charles Samson ambaye alifariki dunia kwa kupigwa na radi Oktoba 19, ni miongoni mwa wanafunzi 6, 500 waliofaulu mtihani wa darasa la saba katika Halmashauri ya Buchosa wilayani Sengerema.

Mwanafunzi huyo alipigwa na radi alipokuwa akijisomea na wenzake kujiandaa na masomo ya kidato cha kwanza mwakani.

Jumla ya wanafunzi 8, 600 walifanya mtihani wa kuhitimu darasa la saba katika Halmashauri ya Buchosa.

Ofisa Elimu wa Kata ya Nyanzenda, Leogratus Rutanywanilwa alisema kwamba Samson amefaulu kwa kupata alama A.

“Wenzake wawili aliokuwa akijisomea nao pia wamefaulu mtihani huo na wanasubiri kujiunga na elimu ya sekondari mwakani,” alisema Rutanywanilwa.

Ofisa elimu hiyo pia aliwataja wanafunzi walionusurika katika tukio hilo ambao wote wamefaulu kwa kupata alama B, kuwa ni pamoja na Claud Mussa aliyekuwa anasoma Shule ya Msingi Luchili na Lutema Shilaka wa Shule ya Msingi Nyamabano.

Wanafunzi hao watatu walipigwa na radi Oktoba 19, walipokuwa wakijisomea katika jengo la Kanisa la AGT katika Kijiji cha Luchili wilayani Sengerema.

Akizungumza na Mwananchi kuhusu kufaulu kwao, mmoja wa watoto hao, Mussa aliyenusurika alisema kwamba hadi sasa bado wana kumbukumbu ya mwenzao.

Mama mzazi wa marehemu, Maria Mashauri aliwasihi watoto walionusurika katika tukio hilo kusoma kwa bidii na kufaulu kama njia ya kumuenzi mwenzao aliyetangulia mbele ya haki.

Wafanyakazi Watangaziwa Kiama

$
0
0
Wafanyakazi Watangaziwa Kiama
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Mhandisi Methew John Mtigumwe amesema kuwa asilimia kubwa ya maafisa ugani nchini hawafanyi kazi zao ipasavyo ama wameshindwa kusimamia majukumu yao.

Ameyabainisha hayo wakati akizungumza na wakufunzi wa Chuo cha Mafunzo ya Mboga Matunda na Maua (HORTI TENGERU) kilichopo katika Kijiji cha Tengeru, Kata ya Patandi, Wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha.Kutokana na kubaini hilo Mhandisi Mtigumwe amesema kuwa Wizara ya kilimo inaandaa utaratibu wa kuwarudisha shule maafisa ugani ambao elimu zao ni ndogo na zimeshindwa kukidhi mahitaji ya wakulima.

Aidha katibu huyo mkuu amebainisha kuwa maafisa ugani hao watafanyiwa usaili upya ili kubaini uwezo wao kwani wengi wao wameajiriwa na serikali lakini wakulima hawanufaiki na elimu.Pamoja na hatua hizo katibu ameeleza kuwa maafisa ugani ambao wataonekana kushindwa kabisa kufikia vigezo na kuwa msaada kwa wakulima basi wizara itapendekeza waondolewe kazini.

Serikali Yazifungia Rangi za Mdomo za Wema Sepetu

$
0
0
Serikali Yazifungia Rangi za Mdomo za Wema Sepetu
Serikali kupitia mamlaka zake imezifungia rangi za midomo zinazozalishwa na Mwanadada aliyewahi kuwa Miss Tanzania na Muigizaji wa Filamu, Wema Sepetu. Rangi hizo zinajulikana kwa jina la "Kiss".

Wema Sepetu
Kwa mujibu wa taarifa ya Mamlaka ya Chakula na Dawa(TFDA) pamoja na Shirika la Viwango Nchini(TBS) wamebaini kuwa rangi hizo hazina ubora kwa matumizi ya binadamu.

Kwa upande wa Meneja wa Wema Sepetu, Happy Shame alipotakiwa kuzungumzia suala hilo amefunguka na kusema kwamba taarifa za kufungiwa kwa bidhaa hizo yeye kama Meneja hajazipata bali anachofahamu mzigo ulikuwa haujaingia sokoni na kwamba muigizajin huyo alikuwa bado akifuatilia vibali kutoka mamlaka husika.
Rangi hizo za mdomo za muigizaji Wema Sepetu zilizinduliwa kwa mara ya kwanza mwaka 2015 usiku wa birthday yake.

Rais Akumbwa na Kashfa ya Ngono

$
0
0
Rais Akumbwa na Kashfa ya Ngono
Golikipa wa timu ya soka ya wanawake ya Marekani Hope Solo, amejitokeza na kuweka wazi kwamba amewahi kufanyiwa unyanyasaji wa kijinsia na rais wa zamani wa FIFA Sepp Blatter.

Solo mwenye miaka 36 ambaye ni mshindi wa Kombe la Dunia kwa wanawake, ​​amesema tukio hilo lilitokea katika tuzo za Ballon d'Or za 2013 wakati akijiandaa kwenda kukabidhi tuzo kwani alikuwa ni miongoni mwa watu waliokabidhiwa jukumu hilo.
Katika mahojiano na gazeti la Expresso la Ureno, Solo amesema alikuwa nyuma ya jukwaa akiwa tayari kwaajili ya kukabidhi tuzo lakini aliitwa na rais Blatter kwenye kaunta binafsi kisha akaanza kumpapasa makalio.

Hata hivyo Blatter mwenye umri wa miaka 81, kupitia kwa msemaji wake amekanusha taarifa hizo kuwa si za kweli na ni upuuzi ambao unalenga kumchafua.
Siku za hivi karibuni kumekuwepo na ripoti nyingi za wanawake kunyanyaswa kijinsia hususani kwenye kiwanda cha filamu cha Hollywood nchini Marekani. Hata hivyo Solo ameongeza kuwa sio tukio hilo pekee bali unyanyasaji huo ni vitendo vilivyokisili kwenye soka la wanawake.


Kutana na Mtaalam na Bingwa wa Magonjwa Sugu Kama Pumu, Vidonda vya Tumbo, Kisukari na Mengine Mengi

$
0
0
MTALAAM NA BINGWA WA MAGONJWA YOTE SUGU NAYALIYOSHINDIKANA KAMA VILE PUMU, VIDONDA VYA TUMBO, BUSHA, NGUVU ZA KIUME, KISUKARI,MIVUTO YOTE, KUSAFISHA NYOTA, KURUDISHA MALI, NK.

Tatizo la upungufu ukosefu wa nguvu za kiume, maumbile madogo ya uume limekuwa kubwa kwa lika zote hapa duniani

Matatizo hayo sio mageni kigeni ni ile tiba sahihi yakutibu na kuponya haya.chanzo cha hayo matatizo ni:KISUKARI, NGIRI,CHANGO, TUMBO KUUNGURUMA NA KUJAA GESI, KIUNO KUUMA, MAUMIVU YA MGONGO,MAGONJWA YA ZINAA, KORODANI KUVIMBANAKUUMA,VIDONDA VYA TUMBO, NK.

Tiba sahihi nabora ya tatizo la nguvu zakiume ni SUPER SAYI 3,Nidawa ya vidonge asilia vilivyotengenezwa kwa kiwango bora na salama kwa ajili yakutibu mojakwamoja tatizo la nguvu za kiume maradufu

1,hutibu nguvu za kiume mda mfupi sana kati ya umri wa miaka 18-85 naitakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 20 hadi 40 tendo lakwanza bila kuchoka naitakufanya uwe nahamu yakuendelea na tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila hamu kuisha.

SUPER SAYI 4 Nidawa yakuboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi uipendayo inchi 6,7 hadi 8 kwa mda mfupi sana.dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk 67 ukisha tumia guarantee miaka 55 ikishakutibu.

Pia tunatibu,KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU,MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE, BP, BUSHA BILA UPASUAJI NK.

ISHOSHA,Nidawa ya mvuto wa biashara,kazi,hupandisha cheo humfanya mfanyakazi apendwe na mwajiri wake,humvuta mme,mke,hawara,mchumba,unaemhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zako kwa dhati utampata kwa mda wa dk 45 tu naatatulia milele nakumfunga asitoke inje ya ndoa.

SHEPU EXRA,Nidawa ya yakupunguza matiti,unene tumbo,kitambi kwa akina baba,hutoa mafuta mabaya mwilini,makovu sehemu mbalimbali mwilini,chunusi sugu,minyama uzembe,michirizi mwilini,nakuongeza makalio hips,mguu wa bia nk.

HUDUMA HIZI NANYINGINE NYINGI MTALAAM BINGWA DR ULIMWENGU ANAPATIKA DAR ES SALAAM MAGOMENI MOROCO

HUDUMA HIZI UTAZIPATA MAGOMENI

SIMU NO 0745387469, 0652121197

NAKAMA NAFASI YAKUFIKA OFISINI HAIPO UTALETEWA HAPO ULIPO.

Unamkumbuka Jamaa Aliyemtupiaga Rais Mstaafu George Bush Viatu Kwenye Mkutano....Ametolewa Gerezani

$
0
0
Na Sabina Wandiba
Mwandishi wa Habari wa Iraq, Muntadhar Al-Zaidi aliyemtupia viatu rais mtaafu wa Marekani George W.Bush, wakati wa mkutano wa waandishi wa habari wa Iraq mnamo tarehe 14 Desemba 2008 ameachiwa huru.

Katika tukio hilo la kusisimua, Bush alilazimika kukimbia, akiepuka kugongwa na viatu hivyo.

Kiatu cha pili kilichorushwa na mtu huyo, kilipiga bendera ya Marekani ambàpo wakati huo, Al-Zaidi anacheka.

Baada ya tukio hilo, haraka walinzi walimkamata na kumtoa katika chumba. Matukio ya aina hii yalikuwa yakitokea mara kwa mara kwankiwango cha kimataifa.

Hamisa Mobetto Afungua Duka la Nguo na Urembo

$
0
0
Hamisa Leo amepost kwenye ukurasa wake wa IG kua amekua akifanya biashara na watu ya kuuza nguo kwa miaka minne japo sie tulikua tunamdhihaki hana kazi,kazi yake ni kudanga mjini

Kwa sasa ameamua kutumia jina lake mwenyewe ktk kufanya biashara na litaitwa mobetto boutique
Nampa hongera zake sana sana sana na tutamsapoti Mimi binafs mwanamke akijishughulisha namkubali haswaaa    na km naweza namsapoti.Ntaanza trh17 kwenda kuwatch move from first time after Kanumba's demise
Na nikijaaliwa ntaenda nnua ht gagulo au skin tight to show support kwake.
Na wale team roho mbaya mnakaribishwa pia kumuunga mkono kahamisa change 24yrs kilichoamua kujiongeza maana kejeli zenu,dharau zenu na dhihaka ndio zinamfanya abarikiwe

Karibuni dukani wapendwa
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live


Latest Images