Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104417 articles
Browse latest View live

Download Application ya MCHAMBUZI Kwenye Simu yako Kusoma Habari za Siasa Kila Baada ya Lisaa Limoja

0
0
Download Application ya MCHAMBUZI Kwenye Simu yako Kusoma Habari za Siasa Kila Baada ya Lisaa Limoja
Maswala ya Siasa na Matamko ya kila siku ya Wanasiasa Hakikisha Umedownload App ya Mchambuzi Kwenye simu yako
Bonyeza HAPA

Kama we ni Mpenzi wa Habari za Siasa Usipitwe na Hii Application ya Mchambuzi..... 
Bonyeza HAPAKudownload kwenye Simu yako

Download Application ya MCHAMBUZI Kwenye Simu yako Kusoma Habari za Siasa Kila Baada ya Lisaa Limoja


Je Wajua Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Madogo ya Kiume?

0
0

KWANINI BAADHI YA WANAUME WA NA MAUMBILE MADOGO?
Tatizo hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia ,hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wenzao,kwakawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6_8 vinginevyo mtu huyu ana matatizo.



Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo baadhi ni,upungufu wa vichocheo (hornes) za gestrojen ambapo mwanaume anapobalehe vichocheo hivi (hormones)huchochea ujuaji wa uume.chango ambalo hushambulia nerve ambapo huharibu kabisa ukuaji wa uume, Punyeto ambayo huasili misuli ya uume,pia ngiri ambayo huleta maumivu ya tumbo kuunguluma na kujaa gesi,korodani moja kuvimba,kutopata choo vizuri,sababu hizi na nyinginezo hufanya uume kulegea na kisinyaa nakuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu zakiume (hamu ya tendo landoa hupungua au kuisha kabisa).NSUMBU,Nidawa inayozalisha hormones za gestrogene na kufanya uume kukua na kuongezeka mara dufu.NZAGI,Ni dawa ya kurudisha nguvu za kiume ,hutia hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila hamu kuisha nakuponya kabisa tatizo hilo. Pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk 15 nakuendelea kwa tendo la kwanza.kumbuka dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji.Natunatibu kisukari,bp,ngiri,miguu kuwaka moto,namengine mengi.

WASILIANA OSTADHI JUMA KWA SIMU NO,0784002216 AU 0769597778

VIDEO: Billnass Alivyochana Kwenye Graduation yake Leo C.B.E

0
0
November 11, 2017 Msanii wa Bongofleva Staa wa hit singe ‘sina jambo’ Billnass amehitimu masomo yake kwenye chuo cha C.B.E Dar es salaam ambako alikua akichukua Degree ya Procurement and Supplies Management…. wakati wa mahafali alipewa nafasi kidogo ya kuchana mtazame hapa chini
Millard ayo

Baada ya Mahakama Kutupilia Mbali Kesi ya Mobetto dhidi ya Diamond, Wakili wa Hamisa Kafunguka Tena

0
0
Wakili Walter Goodluck ambae ni Wakili wa Hamisa Mobetto kwenye kesi dhidi ya Mwimbaji staa wa Bongofleva Diamond Platnumz ambapo amefunguka baada ya Mahakama kutupilia mbali kesi hiyo.

Goodluck amesema “Kimsingi shauri halijafutwa na kimsingi sio kwamba Hamisa Mobetto ameshindwa hiyo kesi bali kilichotokea ni maswala ya uchapaji, kuna makosa ya kiuchapaji yalitokea na wenzetu wa upande wa pili wanaomuwakilisha Diamond waliweka pingamizi la kisheria kutokana na yale makosa ya uchapaji”

Unaweza kumsikiliza zaidi Wakili Goodluck kwa kubonyeza play hapa chin:

Yanayojiri Kwenye Mkutano wa Kampeni Mtwara Ambapo leo Lazaro Nyalandu Atapokelewa Rasmi Kuwa Mwanachama wa Chadema

0
0
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe leo atakuwepo kwenye kampeni za udiwani Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara Mikindani kata Reli ambapo atahutubia wananchi wa kata Reli na kumpokea rasmi aliyekuwa mbunge wa Jimbo Singida Kaskazini Lazaro Nyalandu baada ya kujiuzulu ubunge wa chama cha CCM na kuomba kupokelewa ndani ya Chadema. Lazaro Nyalandu atapokelewa rasmi leo na mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema...

Kujitibu Vipele vya Chunusi Kwenye uso kwa njia za Asili Tiba Mbadala

0
0
Kuna  idadi  kubwa  ya  watu   wanao  kabiliwa na  tatizo  la   vipele vya  usoni

(  Chunusi  ). Kuwa  na  chunusi  ni  jambo lenye  karaha  sana,  kwani  linakufanya upoteze  mvuto  wako  wa  asili  na  hivyo kukukosesha  raha.

Zipo  njia mbalimbali   za  asili  zinazo  weza kutumika  kutibu  tatizo  la  chunusi  na  vipele vya  usoni.

 Ifuatayo  ni  miongoni  mwa  njia   bora kabisa  na  ya  uhakika  itakayo  kusaidia kuondokana  na  tatizo  la   Chunusi  au  vipele kwenye  uso.


Komamanga:  Maganda  Ya   Mkomamanga  yaliyosagwa, yakichanganywa  na  habbat  sodah  ya unga, hutengeneza  dawa  nzuri  ya  asili  ya  kuondoa  tatizo  la  vipele  vya  usoni  (  chunusi  )


Habbat  Soda : Hii  ni Habbat Sodah Ya Mbegumbegu. Habbat  Sodah  iliyosagwa  ndio  inayo hitajika  katika kutengeneza   dawa  ya asili  ya  kuondoa  tatizo  la  vipele  vya  usoni  ama chunusi.

MAHITAJI :
Habbat  Sawdah  ya  Unga  iliyo sagwa.
Nusu  kikombe  ya  maganda  ya komamanga  yaliyo  sagwa.
Nusu  kikombe  ya  siki  ya tofaha(apple )

MATAYARISHO   NA MATUMIZI
Changanya na pasha moto kwa dakika mbili kikombe kimoja cha Habbat-Sawdaa iliyosagwa, ½ (nusu)
kikombe cha maganda ya komamanga yaliyosagwa, na ½ (nusu) kikombe cha siki ambayo inatokana na juisi ya tofaha (apple).

Paka katika sehemu inayotakiwa kabla ya kwenda kulala kila  siku  usiku mpaka vipele (chunusi) vitakapoondoka. Mchanganyiko unaweza kukaa mpaka wiki tatu na ni lazima uwekwe katika hali ya ubarid.

NJIA HII IMETUMIWA NA WATU WENGI NA IMEWASAIDIA SANA. JARIBU NA WEWE KUTUMIA NJIA HII UONE MAFANIKIO YAKE.

Sitti Awaomba Watanzania Kujitokeza Kwenye Fursa za Ajira

0
0
Watanzania wameombwa kujitokeza katika usaili ulioanza kufanyika katika maeneo ya National Housing karibu na uwanja wa taifa ili kupata watu wenye fani na sifa mbalimbali.

Kupitia kampuni ya Bravo Job Centre Agency Limited ya malkia wa urembo nchini Tanzania, Sitti Mtemvu imeendesha zoezi la kufanya usahali kwa vijana wanaohitaji kazi ya udereva huku akiongeza siku moja zaidi ya kufanyika zoezi hilo kutokana na muamko mkubwa wa Watanzania.

“Tunaishukuru Kampuni kubwa ya Almarai ya Saudi Arabia kwa kutupa nafasi za kazi watanzania, hii ni fursa nzuri ambayo imekuja kupitia kampuni yetu na kama ambavyo leo umeona jinsi watanzania walivyojitokeza kwa wingi na kuchangamkia fursa, sisi tumeona siku moja haitoshi tumeongeza siku moja ambapo kesho hili zoezi litaendelea ili watanzania wapate nafasi kwasababu bado tuna nafasi nyingi zaidi,”

Sitti amewataka watanzania kujitokeza kwa wingi katika usahili kwani nafasi ni nyingi na wanachotakiwa kuwa nacho ni leseni, passport ya kusafiria pamoja na kujua kingereza za mawasiliano.

Pia alisema nafasi nyingine za ajira ambazo watazitoa kwa siku ya kesho ni pamoja na udereva, wauzaji, wapishi wa mahoteli ambapo amewataka watanzania kujitokeza kwa wingi kwani nafasi ni nyingi.

Maswali yaibuka Kuhusu Taasisi ya Mikopo

0
0

Siku moja baada ya Serikali kuikana taasisi ya kutoa mikopo kwa wanafunzi, maswali yameibuka yakihusisha uhalali wake kisheria, chanzo chake cha fedha na uwezo wa kuwahudumia wanafunzi.

Akijibu swali la mbunge wa Mafinga Mjini, Cosato Chumi kuhusu uhalali wa taasisi hiyo bungeni mjini Dodoma juzi, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako alisema siyo wizara yake wala Serikali inayoitambua taasisi hiyo ya Tanzania Social Support Foundation (TSSF).

Hata hivyo, Mkurugenzi wa TSSF, Donati Salla ameeleza kusikitishwa na kauli ya Waziri Ndalichako akisema haina nia njema ya kusaidia wanafunzi wanaotoka kwenye familia maskini.

Salla alisema tamko la waziri limetolewa wakati maofisa wa wizara hiyo wakiitembelea ofisi yao kuthibitisha nyaraka za uhalali wake.

Alisema maofisa wa wizara walikagua cheti cha usajili wa shirika hilo, katiba, andiko la mradi, mkataba wa TSSF na mfadhili ambaye ndiye chanzo cha fedha zinazotolewa kwa wanufaika na nyaraka zinazoshuhudia uwapo wa shirika hilo tangu mwaka 2011.

Salla alisema maofisa hao waliagiza nyaraka hizo zitolewe nakala na ziwasilishwe kwa katibu mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.

Licha ya mkurugenzi wa rasilimali watu wa wizara hiyo, Moshi Kabengwe kuieleza Mwananchi kuwa alitembelea ofisi za TSSF, hakuzungumzia uhalali wa nyaraka hizo bali alisisitiza taasisi hiyo inapaswa kupeleka nyaraka wizarani ili kuhakikiwa.

“Ni kweli tulitembelea, lakini tuliwaambia walete hizo nyaraka wizarani, siwezi kuzungumzia sana suala hilo,” alisema.

Akizungumza katika ofisi za Mwananchi Tabata Relini jijini Dar es Salaam akiwa na nyaraka hizo, Salla alisema wamesajiliwa kwa mujibu wa Sheria ya Mashirika yasiyo ya kiserikali, Sura ya 56, ya Sheria za Jamhuri ya Muungano, kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2005 kupitia Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali.

Msajili wa mashirika yasiyo ya Serikali, Marcel Katemba alisema hawezi kuzungumzia suala hilo kwa kuwa yuko nje ya Dar es Salaam.

Uchunguzi wa gazeti hili kwenye tovuti ya Ofisi ya Msajili wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali, haukuonyesha jina la Tanzania Social Support Foundation.

Kuhusu hilo, Salla alisema walitumia jina la Doli Foundation kabla ya kubadilisha kuwa Tanzania Social Support Foundation.

“Kama hawajabadilisha jina hilo, litakuwa ni tatizo la tovuti yao,” alisema Salla.

Kuhusu Waziri Ndalichako kutokuwa na taarifa ya mkutano wa TSSF na taasisi za elimu ya juu Novemba 30, alisema wamepanga hivyo na walitarajia kumwalika.

Alipoulizwa kuhusu wanufaika wa mikopo hiyo, Salla alisema wameshapokea maombi 500 na tayari kuna wanufaika 198.

Hata hivyo, alisema wanafunzi hao bado hawajaingiziwa fedha zao hadi Desemba 20 akidai ni kutokana na mfadhili kutaka orodha ya walioomba mikopo.

Alilitaja shirika la The Panelope Cagney la Marekani kuwa ndilo linalotoa fedha za mikopo hiyo.

Hata hivyo, katika tovuti ya shirika hilo hakuna jina la TSSF katika orodha ya wanaofadhiliwa.

Mwananchi:

Maskini Neymar, Aangua kilio Mbele ya Waandishi wa Habari

0
0
Baada ya Brazil kuibuka kidedea kwa ushindi wa bao 3 dhidi ya Japan kulikuwa na mkutano baada ya mechi kati ya waandishi wa habari na nahodha wa Brazil Neymar pamoja na kocha mkuu wa timu hiyo Tite.

Katika mkutano huo jambo lililovuta hisia na kusikitisha mashabiki wa Brazil na PSG ni kitendo cha Mbrazil Neymar Dos Santos kuangua kilio na kisha kuamua kuondoka katika chumba cha mkutano.

Neymar aliangua kilio wakati kocha wake Tite akimzungumzia na akimtetea kuhusu habari zinazoandikwa siku za usoni kwamba hana furaha na maisha ya PSG na uhusiano wake na kocha wa klabu hiyo sio mzuri.

Tite amesema anakerwa sana na habari anazozishiwa Neymar ikiwemo kuwa na mahusiano mabaya na yeye kwani hajawahi kugombana na Neymar, wakati Tite akiendelea kumtetea Neymar ndipo alianza kulia.

Neymar mwenyewe kabla ya Tite kuongea alisisitiza kwamba ana furaha kuwa katika klabu ya PSG na kusema kwamba hana tatizo na mchezaji yoyote katika klabu hiyo, na yuko vizuri tu na Edison Cavani.

Alisisitiza kwamba kitu pekee kinamsumbua kwa sasa na kuambiwa hayuko vizuri na Edison Cavanni na amewataka waandishi wa habari kuacha kutunga story na kuandika vitu wasivyovijua.

Neymar alisajiliwa na PSG akitokea Barcelona  kwa ada iliyovunja rekodi ya dunia ya £198m lakini tangu atue PSG amekuwa akitengeneza vichwa vingi vya habari na vingi vikiwa sio vizuri.

Markson Beauty Imegundua Kuwa Wanaume Wengu Husumbuliwa ma Matatizo Haya

0
0

BAADA YA UTAFITI TULIOFANYA MARKSON BEAUTY KWA KUSHIRIKIANA NA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI (W.H.O) TUMEGUNDUA KUWA WANAUME WENGI DUNIANI HUSUMBULIWA NA MATATIZO KAMA👇👇
☆Kukosa hamu ya tendo.
☆Kuwahi kufika kileleni na kushindwa kurudia tendo.
☆Maumbile madogo ya uume.
☆Kuchoka sana wakati wa tendo na uume kusinyaa nk.
@markson_beauty_pr tumeandaa tiba bora kabisa kama ifuatavyo:-
1.HANDSOME UP OG_ Inaongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli (wiki 2) @250,000/=
2.SHARK POWER GELY_ Inaongeza uume inch 6 (wiki 4) @150,000/=
3VigRX CREAM_ Inaongeza uume inch 6.5 hadi 8 (wiki 2-3) @200,000/=
4.Vidonge maalum vya kuongeza nguvu na hamu ya tendo hata kwa wenye kisukari na BP @150,000/=
5.VIGA SPRAY OG_ Inaongeza uwezo ktk tendo na kuchelewesha kufika kileleni @150,000/=
PIA KWA WANAWAKE WANAOPENDA KUWA NA MUONEKANO MZURI ZIPO ZA👇👇👇
☆Kuongeza hips, makalio na mapaja @200,000/=
☆Kushepu mguu (CHUPA YA BIA) @150,000/=
☆Kuwa mweupe bila sugu @150,000/=
☆Kurefusha nywele na kutokukatika ovyo @150,000/=
☆Kupunguza au kuongeza maziwa kuyasimamisha @130,000/=
*Kubana uke na kuzuia uchafu ukeni @130,000/=
*Kupunguza unene na manyama uzembe @150,000/=
BIDHAA HIZI NI ZA MIMEA NA MATUNDA NA ZIMEPIMWA KTK MAMLAKA NA KUPATA KIBALI HIVYO NI SALAMA KWA 100%

Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa (+255)
0767447444 au
0714335378


UTAPATA HUDUMA
NB:Matokeo ni uhakika na garantii na hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON BEAUTY CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.
Follow us
WEBSITE:- www.markworldbeauty.og
INSTAGRAM PAGE:-
@markson_beauty_pr
@markson_beauty_pr

Maajabu: Tajiri Aliyeshinda Mnada Nyumba za Lugumi kwa Blioni 3.3 Anaishi Nyumba ya Kupanga....Kodi Kwa Mwezi ni 50,000

0
0
Wakati maswali mengi yakijitokeza kuhusiana na Dk. Louis Shika, ambaye aliibuka mshindi katika mnada wa nyumba za kifahari za Said Lugumi zilizoko Mbweni JKT na Upanga jijini Dar es Salaam kwa thamani ya jumla ya Sh. bilioni 3.3, imebainika kuwa anaishi katika chumba kimoja cha kupanga.

Imebainika  kuwa  Dk. Shika anakaa kwenye nyumba hiyo iliyopo Mtaa wa Amani kwa kipindi cha takribani mwaka mmoja sasa na kodi anayolipa kwa mwezi ni takribani Sh. 50,000.

Aidha, baadhi ya majirani zake wamemuelezea kuwa ni mtu asiye na makeke, huku baadhi wakidai kuwa aliwahi kuwaahidi wauza mihogo ya kukaanga walio jirani na mahala anapoishi kuwa atawaunganishia kupata mikopo nafuu ili wakuze biashara zao, lakini bila ya kuwatajia taasisi atakayowaunganisha nao. Inadaiwa kuwa vilevile, kwa baadhi ya watu hufahamika kwa jina la ‘profesa’.

Dk. Shika alijipatia umaarufu katikati ya wiki baada ya kuibuka mshindi katika mnada wa nyumba za kifahari za Lugumi, kwa kununua nyumba moja ya Mbweni kwa Sh. bilioni 1.2, nyumba ya pili iliyoko pia Mbweni Sh. milioni 900 na nyumba ya tatu iliyoko Upanga alishinda na kutaka kununua kwa Sh. bilioni 1.2.

Hata hivyo, alishindwa kutumiza masharti ya kulipa asilimia 25 ya fedha kwa kila nyumba baada ya kushinda, hivyo kujikuta akitiwa mikononi mwa vyombo vya dola kwa kuharibu mnada.

Katikati ya wiki hii, jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, lilimtia nguvuni Dk. Shika kutokana na tuhuma za kuharibu mnada huku likidai kuwa linafanya uchunguzi zaidi ili kubaini kwa nini alifanya hivyo.

Mbali na kuchunguza juu ya hatua ya kuharibu mnada, kamanda wa kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa, alisema walikwenda nyumbani kwake kufanya upekuzi sambamba na kuchunguza udaktari wake. Shika aliwahi kukaririwa kuwa ni msomi wa shahada ya uzamivu (Ph.D).

Hata hivyo, Mambosasa alisema udaktari wake huo unatia shaka kwa kuwa ameshindwa kuonyesha vielelezo kuthibitisha kama anastahili hadhi hiyo.

RC Rukwa: Mwanafunzi Akipata Mimba, Kamateni Mzazi Wake Akae Selo Hadi Amtaje Aliyempa Mimba Mwanae

0
0
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amewaagiza wakuu wa wilaya na wakuu wa shule Mkoani humo kumkamata na kuwaweka ndani wazazi na mwanafunzi yeyote wa kike atakayebainika kuwa na mimba hadi hapo watakapomtaja aliyesababisha mimba hiyo.

Amesema kuwa kumekuwa na tabia ya kumalizana kienyeji huko majumbani na matokea yake watuhumiwa hawafikishwi sehemu husika ili waweze uwajibishwa na hatimae kupunguza kasi hiyo ya mimba kwa wananfunzi.

“Mwalimu Mkuu unapogundua tu kwamba mwananfunzi ana mimba mweke pembeni ita wazazi wake, washirikishe polisi wawachukue wawekwe ndani kwa muda wa masaa 48, hadi hapo watakapomtaja muhusika wa mimba hiyo, ukifanya hivyo mara kadhaa mabadiliko yatatokea,” Amesisitiza

Ametoa agizo hilo baada ya kusomewa taarifa ya shule ya sekondari Kirando, Wilayani Nkasi wakati alipotembelea kukagua ujenzi wa maabara wa shule hiyo pamoja na na kuongea na wanafunzi, taarifa iliyobainisha kupatikana kwa mimba saba kwa kipindi cha Januari hadi oktoba mwaka huu na kesi zote zipo polisi.

Halikadhalika alitahadharisha kuwa shule yeyote atakayoitembelea katika ziara yake hiyo ya kujitambulisha katika Halmashauri nne za mkoa huo, ihakikishe inabainisha hatua zilizochukuliwa kwa watuhumiwa na zilipofikia na si kueleza tu idadi ya kesi na kuwepo kwa kesi hizo polisi.

 Kwa upande wake mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari Kirando Erneo Mgina amesema kuwa kati ya wanafunzi saba waliopata ujauzito wanafunzi watatu ni wa “A – Level” na wanne ni wa “O – Level” na kueleza kuwa wengi wao hupata mimba wakati wa likizo na huwabaini pale tu wanaporudi shule na kuwapima.

Mrembo ajitokeza na kusema alitembea na Cr7 wakati mpenzi wake ni mjamzito

0
0
Cristiano Ronaldo anasifika kwa kiwango chake uwanjani na ufungaji wake wa mabao lakini nje ya uwanja pia Mreno huyo ana sifa nyingine kubwa ambayo ni kutembea na warembo kila kukicha.

Wakati dunia ikisubiria mtoto wa Cr7 wa nne ambaye aatakuwa mtoto wake wa kwanza kuzaliwa na mama anayefahamika(Georgina Rodriguez), kumeibuka mrembo mwingine na kudai alilala na Cristiano Ronaldo.

Natacha ni mrembo ambaye ni mtangazaji wa runinga amejitokeza na kuongea na jarida moja la michezo kwamba Ronaldo alitembea naye na baada ya muda aliamua kumblock na kumpotezea.

Natacha amedai kwamba yeye na Cr7 walikuwa marafiki sana na muda mwingi waliutumia kuwasiliana na ndipo usiku mmoja walilala pamoja kisha binti huyo alimuambia Ronaldo mpango wake kwenda nchini Ureno.

Binti huyo anasema Cristiano hakupenda yeye aende Ureno na siku hiyo hiyo baada ya kulala naye ndipo Ronaldo akamblock na sasa Natacha anaamini kwamba Ronaldo alimuhitaji tu ili kumtumia.

Pamoja na kupotezewa na Cristiano Ronaldo lakini mlimbwende huyo amesisitiza kwamba hajutii kitendo alichofanyiwa na mwansoka huyo bora wa dunia bali anaona ndoto zake zimekuwa kweli.

Ronaldo alionekana kutulia sana kimapenzi tangu aanze uhusiano na Georgina lakini habari hizi huenda zikaanza kuchafua hali ya hewa katika uhusiano wa wapenzi hao.

Wasiliana na The Great Maalim Hussein Mtaalam wa Kutatua Matatizo Yaliyoshindikana

0
0
THE GREAT MAALIM HUSSEIN
Wasiliana na Mtaalam Huyu Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana ama Zilizo Achwa ndani ya Siku Moja 1.
Maalim Hussein ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA(Rudisha Mahusiano yako Ndani ya Saa 12 tu)
MAALIM HUSSEIN ni Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili Mwenye Uwezo wa Kubaini Tatizo lako tu Pindi Utakapo Fanya Mawasiliano Kupitia Wasaa Husika.
(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFATA MAELEKEZO YAKE..)
Je Unasumbuliwa na Mapenzi..?
Umeachwa na UMPENDAE Awe Mume/Mke na Bado Unampenda
Je Umejaribu Sehemu Nyingi Bila Mafanikio?
Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo..
Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu.
Je Umekimbiwa na Mumeo/Mkeo au Mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine..?
Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao (Mfarakano/Kimavi) Endapo Utafata Atakacho Kuelekeza.
Je Una Mpenzi wako ana Pesa na unataka Kumkamata? Muone Maalim Hussein Atamfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi..
Maalim Hussein Anatumia Jina La Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo..
Anatibu Kutumia QUR_AN DAWA ZA ASILI YA AFRICA, Dawa za KIARABU NA MAJINI..
ANATAFSIRI NDOTO. ANAPANDIKIZA NYOTA YA KUSHINDA BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUSKI NA VIFUNGO MBALIMBALI.
ZINDIKO ZA NYUMBA NA BIASHARA.. PETE ZA BAHATI.. HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA. HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA..
MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA..ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA  ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE..
Humaliza Kesi ya Aina Yoyote Ndani ya Siku 7 tu..
Hutoa Jini la MALI kwa wale Wanao Hitaji Utajiri Bila Masharti..
+255 674 835 107 WhatsAPP tu.
+255 746 757 102 Kupiga tu.

Zitto Kabwe. Jambo moja Linanisumbua sana...Nisaidieni Tafadhali

0
0
Anaandika Mbunge wa Kigoma Zitto Kabwe.
Jambo moja linanisumbua sana. Nisaidieni tafadhali

Inawezekanaje Serikali ikasaini mkataba wa shilingi Trilioni 7 kujenga Reli bila kuweka vifungu vya kufungamanisha na sekta nyengine nchini? Yani kweli hata misumari ( screws) nchi hii haiwezi kutengeneza mpaka iagizwe kutoka Uturuki? Yani hata kampuni ya kuchimba kokoto itoke Uturuki? Hivi Viwanda vya Chuma nchini vinafanya kazi gani sasa? CTI, TPSF nielezeni hili, hamuwezi kuzalisha kitu chochote kulisha ujenzi wa Reli ya Kati ya SGR? Katika BOQ ya Mradi wa SGR, hamna muwezalo? Serikali iliwapa BOQ mkashindwa? Ukiwauliza watu wa Wizara hawana majibu, wanasema Mkataba ali negotiate Rais mwenyewe. Inawezekana kweli? Siwezi kumwuliza Rais. Anasema sisi kazi yetu kukosoa tu. Amekasirika. Siwezi kumwuliza mtu aliyekasirika, tena Amiri Jeshi Mkuu.

Wakati wa Mdororo wa Uchumi Asia mwaka 1997-1998 Waziri Mkuu wa Malaysia Tun Mahathir Mohammed alifanya miradi mikubwa sana ikiwemo kujenga Mji Mpya, barabara kubwa na Jengo la Petronas. Kwanini? Ili kuingiza fedha kwenye uchumi na kuchochea shughuli nyengine za uchumi na kukuza mahitaji ( aggregate demand). Malaysia ikawa nchi ya kwanza kuibuka kutoka Asian Financial Crisis.

Sisi Watawala wetu wamekwenda madarasa tofauti na kusoma vitabu tofauti vya Uchumi? Unajenga Reli kwa pesa yako ( inavyodaiwa), kwa hiyo unakusanya kodi kutoka kwa watu wako, unanunua US$, unamlipa Mkandarasi. Mkandarasi ananunua kila kitu kutoka nchini kwao Uturuki, mataruma ya Reli, Chuma, Screws na Misumari na hata mchimba kokoto Mturuki. Kwenye uchumi hii inaitwa leakages. Uchumi wetu unahitaji more inflows.

Unajengaje Reli kwa kutumia Chuma kutoka nje the wakati una hazina ya chuma Ludewa? Unamwaga TZS 7 Trilioni bila kuhakikisha offsetting? Natamani kuiona hiyo BOQ ya Reli ya Kati.
Hili linanisumbua sana. Siamini kuwa watawala waliokwenda shule na wenye uzoefu Serikalini hawakuona faida kubwa ya offsets. Baraza la Mawaziri limejaa PHDs, kweli wameshindwa kuona hili? Fedha zetu wenyewe tunatengeneza ajira nje? Kwamba sisi tuwe vibarua tu na wagonga reli? Trilioni 7 zingechochea sana uchumi ( multipliers).

Tunaambiwa sisi tupo negative mno. Hebu watetezi wa Serikali, mnaojua kuitafsiri Serikali, nisaidieni. Hili mnaona lipo sawa?

VIDEO:Hii Ndio Nyumba Anayoishi Bilionea Mtata...Wapanga Wafunguka Makubwa

0
0
VIDEO:Hii Ndio Nyumba Anayoishi Bilionea Mtata...Wapanga Wafunguka Makubwa

Kidoa Amkingia Kifua Hamisa Mobetto.....Adai Wasanii Wenzake Wanamyanyapaa

0
0
MUUZA nyago matata Bongo, Asha Salum ‘Kidoa’, amewataka mastaa wa kike Bongo waache kuendelea kumuandama mwanamitindo, Hamisa Mobeto baada ya kuzaa na Mbongo Fleva ambaye ni mzazi mwenza wa mjasiriamali Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, kwani jambo hilo linamuathiri kisaikolojia.


Akibonga na Star Mix, Kidoa ambaye anashikilia Taji la Ijumaa Sexiest Girl 2015 alisema kuwa, jambo ambalo linamstajabisha ni kitendo cha mastaa wengi Bongo kumsapoti Zari na kumponda Hamisa, kana kwamba hawamjui ilihali ni Mbongo mwenzao.

“Siyo sawa wasanii wenzangu wanavyomnyanyapaa Hamisa, kutwa kumpiga vijembe, wanapaswa kukumbuka kuwa hakuna ajuae kesho yake, huenda hata yeye hakuwaza kama yangemfika hayo,” alisema Kidoa

Sumaye: Hatuwezi kukubali CCM iendelee kutawala nchi wakati watu wanazidi kuwa na hali mbaya ya maisha

0
0
Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Frederick Sumaye ambaye kwa sasa ni mwanachama wa CHADEMA, amesema upinzani hauwezi kukubali kuacha CCM iendelee wakati hali ya maisha ya watu inaendelea kuwa mbaya.

Sumaye ameyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye mkutano Kimara jijini Dar es salaam alipokuwa akimnadi mgombea udiwani wa CHADEMA, na kusema kwamba hali ya uchumi na maisha ya wananchi kwa sasa ni mbaya zaidi, lakini iwapo wakisema ukweli wanaonekana ni waongo hivyo sio suala la kuendelea kulifumbia macho na kuacha CCM iendelee kutawala.

"Hatuwezi kukubali CCM iendelee kutawala nchi hii wakati watu wanazidi kuwa na hali mbaya ya maisha, tukiwaambia watu wana hali mbaya wanasema tunasema uongo, tukisema uchumi umezama wanasema tunasema uongo, kama tunasema uongo kwa nini hali za wananchi zinakuwa mbaya, maana kuna vitu ambavyo havijifichi, kama uchumi unakwenda vizuri tafsiri zake itaionekana kwenye hali ya wananchi, hali ya wananchi ni mbaya", amesema Sumaye.

Hivi karibuni kumekuwa na mvutano kati ya vyama vya upinzani kudai kuwa uchumi wa nchi umeshuka, huku serikali ikikanusha na kuoa taarifa kuwa suala hilo halina ukweli wowote, kwani uchumi wa nchi umetengemaa kutokana na kubana matumizi.

Credit: EATV

e Wajua Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Madogo ya Kiume?

0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WA NA MAUMBILE MADOGO?
Tatizo hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia ,hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wenzao,kwakawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6_8 vinginevyo mtu huyu ana matatizo.


Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo baadhi ni,upungufu wa vichocheo (hornes) za gestrojen ambapo mwanaume anapobalehe vichocheo hivi (hormones)huchochea ujuaji wa uume.chango ambalo hushambulia nerve ambapo huharibu kabisa ukuaji wa uume, Punyeto ambayo huasili misuli ya uume,pia ngiri ambayo huleta maumivu ya tumbo kuunguluma na kujaa gesi,korodani moja kuvimba,kutopata choo vizuri,sababu hizi na nyinginezo hufanya uume kulegea na kisinyaa nakuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu zakiume (hamu ya tendo landoa hupungua au kuisha kabisa).NSUMBU,Nidawa inayozalisha hormones za gestrogene na kufanya uume kukua na kuongezeka mara dufu.NZAGI,Ni dawa ya kurudisha nguvu za kiume ,hutia hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila hamu kuisha nakuponya kabisa tatizo hilo. Pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk 15 nakuendelea kwa tendo la kwanza.kumbuka dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji.Natunatibu kisukari,bp,ngiri,miguu kuwaka moto,namengine mengi.

WASILIANA OSTADHI JUMA KWA SIMU NO,0784002216 AU 0769597778

Huu Ubunifu wa Roma Mkatoliki Kila Aingiapo Stejini Hautakuwa na Madhara Baadae?

0
0
Nimemfuatilia katika Shows zake karibia zote za Tigo Fiesta na kugundua kwamba mara nyingi huingia Ukumbini au pale Stejini akiwa na mienokano ya aina hii:


Kabebwa katika Wheelchair
Kakunja mkono kama amewekewa hogo
Kafunga bandeji Kichwani
Anachechemea kama Mtu aliyeumizwa
Mikono yake imefungwa nyuma
Kashika mnyororo mkubwa
Kashika Fimbo


Je hii haitokuja kuwa na madhara makubwa labda Kwake kwa siku za baadae? Na je kwa kufanya hivi anajaribu kutuma Ujumbe gani katika Jamii na kwa wale waliomteka na kumtesa hadi kumtupa Ununio mkabala na Mahaba beach? Je kama kweli Roma Mkatoliki anajambo linamtatiza moyoni na anataka kuwaambia / kuwahabarisha Watanzania na Wapenzi wake kwa ujumla basi kwanini asiitishe tu Press Conference ili atiririke na aserereke vizuri kuliko kila siku kufumbafumba kupitia Jukwaa la Tigo Fiesta?

Ushauri

Kwa aliye karibu na Roma Mkatoliki ajaribu kumsaidia Kisaikolojia kwani naona bado hayuko vizuri na kwamba pengine Yeye anaweza kudhani amemaliza Kazi ila yawezekana kabisa wabaya wake wanamtathmini na labda wanaweza wakija mara ya pili asitupwe tena Ununio na badala yake tukamuokota pembezoni mwa Fukwe zetu akiwa ndani ya Sandarusi na Jiwe juu. Afanye tu Mziki na aache masuala ya harakati kwani nina uhakika hayawezi na yatamgharimu na kuja Kujuta.

Ni Msanii mzuri sana hata Mimi namkubali na nampenda ila nahisi kama vile ama anatumika bila Yeye kujua au ana agenda fulani ambayo labda anahisi itafanakiwa japo Mimi kila nikipima kwa macho yangu ya kuona mbali zaidi naona ni kama tu anapaka rangi upepo.

Yangu ni hayo tu Wadau.

Nawasilisha.
Viewing all 104417 articles
Browse latest View live




Latest Images