Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104664 articles
Browse latest View live

Masogange Mambo Bado Magumu Mahakamani Kesi Yake Yasogezwa Mbele Hadi 2018

$
0
0
Masogange Mambo Bado Magumu Mahakamani Kesi Yake Yasogezwa Mbele Hadi 2018
Leo Novemba 16, 2017, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imesogeza mbele kesi ya mrembo wa video nchini Agnes Gerald maarufu kama Masogange.

Mrembo huyo ambaye anatuhumiwa kwa kesi ya utumiaji wa madawa ya kulevya, imeahirishwa kutokana na Mawakili wake kushindwa kumuandaa mapemba kwa ajili ya kujitetea.

Kesi hiyo inatarajiwa kuendelea tena Mahakamani hapo January 17.

Steve Nyerere Amvaa Afande Sele " Usikurupuke na Kumshtumu Marehemu Wengine Wanataka Kupata Umaarufu"

$
0
0
Steve Nyerere Amvaa Afande Sele " Usikurupuke na Kumshtumu Marehemu Wengine Wanataka Kupata Umaarufu"
Msanii wa Filamu Bongo, Steven Nyerere amefunguka kufuatia kauli ya msanii Afande Sele aliyoitoa hivi karibuni kuhusu Marehemu Steven Kanumba mara baada ya Elizabeth Michael ‘Lulu’ kuhukumiwa kifungo cha miaka miwili jela kwa kosa la kumuua bila kukusudia msanii huyo.

Hivi karibu baada ya hukumu hiyo Afande Sele aliibuka na kuandika ujumbe wa kumshtumu Kanumba kwa kitendo cha kutembea na Lulu wakati akiwa bado mdogo, huku akieleza hakushiriki kivyovyote katika msiba wa msanii huyo ingawa alikuwepo Dar kwani hakutaka kuvaa joho la unafki.

Sasa Steve Nyerere katika mahojiano na E-Newz ya EATV amesema muda mwingine wasanii wawe na busara kwa kile wanachokiongea kwani Watanzania wanawaangalia na kuwapima kwa kauli zao.

“Usikurupuke tu, nakumshutumu Marehemu, yaliyopita sisi mbele tungange yajayo. Tunapotaka kufanya kitu jiangalie kwanza, halafu sema mimi ninayeongea jamii nje ninayoingoza naifundisha nini, kuna vitu vingine vinaongelewa hapa ni uchochezi tu, ni uchochezi wa kuua sanaa, mbaya sana” amesema.

Ameongeza kuwa kwa sasa kila mmoja anataka kufukua jambo hilo na wengine wanataka kupata umaarufu kupitia hilo. “Wengine mastaa wa zamani wanataka kujifanya wanalijua kuliongelea hili ili nao wachipukie hapo hapo” amesisitiza.

Msigwa Hatupa Dongo Hili kwa Wanaohama Chama "Siasa za Upinzani wa Tanzania ni kwa Wanaume na Sio kwa Wavulana"

$
0
0
Msigwa Hatupa Jiwe Gizani "Siasa za Upinzani wa Tanzania ni kwa Wanaume na Sio kwa Wavulana"
Mbunge wa Iringa Mjini Peter Msigwa ametupa maneno yanayodaiwa kuwa ni 'kijembe' kwa wale wanaohama chama cha upinzani na kuwaambia kwamba upinzani ni kwa wanaume na si wavulana.

Msigwa ameweka 'kijembe' hicho kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii ikiwa ni siku moja tangu aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani Mstaafu, Lawrence Masha kutangaza kujiondoa ndani ya chama hicho.
"Siasa za upinzani wa Tanzania ni kwa wanaume na sio kwa wavulana,  wavulana wana visingizio vingi kwa nini haliwezekani, sisi wanaume tuna sababu moja kwa nini inawezekana. Unajua nini? Tunatenda lililo sahihi," Msigwa
Viongozi mbalimbali kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo wameweka wazi kwamba kuondoka kwa Masha kwenye chama chao ni haki yake ya kidemokrasia lakini pia wamemtaka atoe sababu za kweli za kuondoka na siyo zile alizoziandika kwenye barua ya kujivua.

Dkt. Shika ni Baraka Toka kwa Mungu- Kala Jeremiaha

$
0
0
Dkt. Shika ni Baraka Toka kwa Mungu- Kala Jeremiaha
Msanii Kala Jerimah amewataka watu kumpenda na kumthamini Dkt. Louis Shika, kwani mzee huyo ni mpango na baraka kutoka kwa Mungu kwetu sisi Watanzania.

Kwenye ukurasa wake wa Instagram Kala Jeremiaha ameandika ujumbe akisema kwamba amemsikiliza kwa makini mzee huyo ambaye hivi sasa ni maarufu hapa bongo, na kusema kwamba haijalishi madhaifu aliyonayo, ila ana hakika ni mpango wa Mungu na baraka zake kuwepo kwake duniani.
“Nimesikiliza kwa makini sana maelezo ya mzee wetu. sitaki kuongelea utajiri wake wala umaskini wake nataka kuongelea majaribu aliyokutana nayo katika safari ya maisha yake. Ni wazi kuwa mzee huyu yupo duniani kwa kuwa mungu kamchagua na Mungu humchagua mtu kwa kusudi lake. Nionavyo mimi mzee huyu ni baraka kutoka kwa Mungu haijalishi madhaifu yake ila kwa uhakika ni mpango wa mungu kuwepo kwake kwetu”, ameandika Kala Jeremiah.
Kala ameendelea kuandika akisema kwamba ...”niwaombe wanajamii tumuonee huruma na tumpende, hicho ndicho kitu pekee anachohitaji mzee huyu na kwa hakika amekikosa kwa miaka mingi, haitakugharimu chochote kumhurumia na kumpenda, nawaomba”.
Dkt. Louis Shika alipata umaarufu wiki iliyopita baada ya kutangaza kununua nyumba zinazopigwa mnada na serikali za bilionea Lugumi, na kutaja kiasi kikubwa cha pesa huku mfukoni hana pesa yoyote, kitendo kilichosababishwa apelekwe polisi na kuwekwa rumande.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0783140065

Tupo Mbagala

Mpenzi Wangu Wakati wa Mechi Ananiulizaga ''Mpenzi Wangu Unataka nini Nikupatie'' Nimjibuje?

$
0
0
Mpenzi wangu wakati wa mechi ; uwa mkimya lakini muda ukizidi kukolea akizdiwa wakati wa
Uanza kuniuliza kwa kelele ''mpenzi wangu unataka nini nikupatie'' mimi uwa nashindwa jibu la kumpatia.

Kwa vile ili swali amekuwa akiniuliza mara kwa mara , je nimpatie jibu gani?

Swali Kwa Wadada...Hivi Wanaume Warefu na Weusi Wana nini Cha Ziada Kwenye Mapenzi?

$
0
0
Swali langu kwa wadada na wataalam wengine wa mambo ya mahusiano,wanaume warefu,weusi wana nini cha ziada tofauti na wanaume wengine?


Nimepata kuwauliza wadada wengi,ambao nimekutana nao maeneo tofauti wangependa waolewe au wawe na mahusiano na wanaume wa aina gani,wengi na karibu sehem kubwa hujibu kua wanapenda wanaume warefu ,weusi.

Mi naomba kujua wanaume warefu,weusi wana nini cha ziada hadi wapendelewe hivyo?

Karibuni sana.

Raia wa Zimbabwe Nchini Uingereza Washerehekea

$
0
0
Raia wa Zimbabwe Nchini Uingereza Washerehekea
Raia wa Zimbabwe wanaoishi uhamishoni London walikusanyika nje ya ubalozi wa taifa hilo nchini Uingereza, kusherehekea kinachoonekana kuwa kusambaratika wka utawala wa Mugabe.

Wengi ni wanachama wa shirika ambalo limekuwa likiandaa maandamano mara kwa mara dhidi ya serikali ya Mugabe.

"Leo si kituo bali ni kikomo. Tunahitaji mabadiliko kamili," alisema Chipo Parirenyatwa, mwenyekiti wa Shirika la Haki za Kibinadamu la Zimbabwe.

"Sifahamu ni vipi jeshi litaendesha mambo, lakini nina matumaini. Kuna haja ya kuwepo wka uchaguzi kwa njia ya amani na jamii ya kimataifa kushirikishwa.

"Nafikiri kuna uwezekano wa 50-50 kwamba hilo litatokea."

TFF Yatoa Ufafanuzi ya Kashfa ya Kulipana Mamilioni ya Posho

$
0
0
TFF Yatoa Ufafanuzi ya Kashfa ya Kulipana Mamilioni ya Posho
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kupitia kwa Kaimu Katibu Mkuu wake, Kidao Wilfred limetoa ufafanuzi ya tuhuma zilizoenea mitandaoni juu ya kashfa ya kulipana posho za mamilioni ya fedha.

Wilfred kupitia mkutano wake na waandishi wa habari amesema kuwa amewasiliana na rais wa TFF, Wallace Karia na kumpatia kibali cha kuzungumzia juu ya jambo hilo.

“Kikubwa nilichowaitia hapa kwa sikumbili hizi kumekuwa na habari zimesambaa kwenye mitanao ya kijamii ikiishutumu uongozi mpya wa TFF kwamaana ya kulipana viwango vya posho, maswala ya mishahara na mambo mengi.” Amesema Kidao

Kidao Wilfred amesema “Naamini kuna watu watakaochukia kwa hizi hatua tunzochukua, lakini hatuwezi kurudi nyuma kwenye hili, hakuna aliye juu ya sheria. Lazima, kama mwanahabari uwe na uhakika na unachokiandika, hauwezi kukurupuka tu.” Kidao.



Kaimu Katibu huyo amesema, ni lazima utamaduni wa kuongoza mpira ndani na nje ya TFF ubadilike.

“Hivyo, baada ya kikao hiki mwanasheria wetu atakwenda kuwaripoti kwenye vyombo husika watu wote waliokuwa wanasambaza taarifa hizi za uongo na kuchafua sura ya TFF,”

“Tayari tuna majina 10 ya watu ambao walikuwa wanasambaza taarifa hizi za uongo na kutuchafua kinyume kabisa na Sheria ya Mitandao. Tunataka wakathibitishe tuhuma hizi kwenye vyombo vya dola,”.

Taarifa iliyokuwa inasambaa mtandaoni ni pamoja na



Kamati ya utendaji ya TFF imeongeza posho za vikao tofauti na hapo awali
Wajumbe wa kamati ya utendaji kilammoja kulipwa shilingi milioni moja.

Kifo cha Ndikumana Bado Chaacha Maswali Mengi Ndoa ya Irene Uoya na Dogo Janja Yausishwa

$
0
0
Kifo cha Ndikumana Bado Chaacha Maswali Mengi Ndoa ya Irene Uoya na Dogo Janja Yausishwa
Kifo cha ghafla cha mume wa muigizaji Irene Uwoya, Hamad Ndikumana ‘Ndiku’ kilichotokea usiku wa kuamkia jana, kimeibua maswali mengi huku wengi wakihoji, kilichosababisha ni ‘stress’ za Uwoya kuolewa na staa wa Bongo Fleva, Abdulaziz Chende ‘Dogo Janja’?

Kwa mujibu wa taarifa za awali zilizosambaa mitandaoni jana, Ndiku alifariki dunia kwa ugonjwa wa moyo saa chache mara baada ya kuhudhuria mazoezi ya timu yake ya Rayon Sports.

Ofisa Habari wa Rayon, Gakwaya Olivier alisema Ndiku ambaye alikuwa kocha wao msaidizi amefariki kwa kile kinachosadikiwa kuwa ni ugonjwa wa moyo.

Staa wa Bongo Fleva, Abdulaziz Chende ‘Dogo Janja’ akifanya yake na Dogo janja.
“Alisikia maumivu makali kifuani, akaomba soda ya baridi wakamletea na alipomaliza kunywa tu kidogo, akatapika na akaishiwa pumzi,” alisema Olivier.

NIYONZIMA ANENA
Akizungumza na Amani, mchezaji wa Simba ambaye ni rafiki wa karibu na marehemu Ndiku, Haruna Niyonzima alisema rafiki yake huyo alilalamikia maumivu ya kifua mara baada kumaliza mazoezi kwisha akarudi nyumbani kupumzika lakini akatafuta daktari bila mafanikio ndipo akapelekwa hospitali ambapo mauti yalimpata ambapo uchunguzi wa awali ulionesha kuwa alikuwa na tatizo la moyo.

“Nimepokea kwa masikitiko sana kifo cha Ndikumana, nimezungumza na watu wa kule nyumbani (Rwanda), wamesema alishiriki vizuri mazoezi, mara baada ya mazoezi kumalizika alilalamikia maumivu ya kifua, akarudi nyumbani.

“Baada ya kufika nyumbani maumivu yaliongezeka, wakamtafutia daktari wa haraka ikashindikana ndipo wakalazimika kumkimbiza hospitali lakini bahati mbaya akafariki dunia alipofika hospitali ambapo baadaye iligudulika alikuwa na tatizo la moyo,” alisema Niyonzima.

Irene Uwoya akiwa ma Hamad Ndikumana ‘Ndiku’ siku ya ndoa yao.
WADAU SASA
Aidha, watu mbalimbali walipozungumza na Amani jana mara baada ya kupata taarifa za msiba, walikuwa na mawazo tofauti kuhusiana na kifo hicho cha ghafla huku wakikihusisha na ndoa ya Uwoya na Mbongo Fleva, Abdulaziz Chende ‘Dogo Janja’.

“Jamani kwa kweli tuna shaka sana kuhusu kifo hiki, kwa muda mrefu Ndiku alikuwa mtu wa mawazo sana kuhusu mustakabali wa ndoa yake sasa ukijumlisha na hili tukio la juzi la Uwoya na Dogo Janja, huenda kikawa ndio kimemsababishia kifo,” alisikika Juma Sekio, aliyejitambulisha kuwa ni mkazi wa Sinza.
MWINGINE ANENA
Mdau mwingine aliyejitambulisha kwa jina moja la Deo, alisema amekuwa akifuatilia posti za Ndiku kwa muda mrefu na kugundua kwamba anasumbuliwa sana na kitendo cha Uwoya kung’ang’ania talaka ili aolewe na mtu mwingine.
“Ndiku alikuwa hataki kumpoteza Uwoya. Alikuwa anaumia moyoni kwa muda mrefu. Alikuwa wakati mwingine anajifanya kwamba haumii kwa kuweka posti zake mitandaoni lakini ukweli ni kwamba alikuwa anateseka sana na penzi la Uwoya,” alisema mdau huyo.
DAKTARI AFUNGUKA
Akizungumzia kilichomuua, Dokta Leopard Mwinuka wa jijini Dar, alisema kuna uwezekano mkubwa sababu iliyosababisha kifo cha Ndiku ikawa ni msongo wa mawazo (stress) ambao umemsababishia presha.
Alisema kwa kawaida, mwili wa binadamu unapopata presha, kuna uwezekano mkubwa ukapata mshtuko wa moyo (heart attack) ambao unasababisha kifo cha ghafla.

Hamad Ndikumana ‘Ndiku’ enzi za uhai wake.
“Mshituko wa moyo hutokea wakati mtiririko wa damu yenye oksijeni unapozuiwa kwa ghafla katika misuli ya moyo. Iwapo mzunguko huo wa damu hautoendelea haraka, kitendo hicho huifanya misuli ya moyo kuharibika kwa kukosa oksijeni na hivyo kusababisha kifo.
“Mpaka kufikia hatua mtu anapata mshtuko wa moyo, kuna vitu vinaweza kuwa vimetangulia. Kama ambavyo inaaminika Ndiku alikuwa na mawazo sana, ni dhahiri kabisa atakuwa amefariki dunia kwa mshtuko wa moyo,” alisema Dk. Mwinuka.
Akizungumza jana msibani nyumbani kwa Uwoya, Sinza- Mori, mama wa mzazi wa mrembo huyo, Naima Uwoya, alionesha kuguswa na msiba huo kutokana na jinsi alivyohangaika Ndikumana arudiane na mwanaye.
“Nimeshakwenda mpaka Israel kwa ajili ya kufanya maombi kurudisha ndoa yao, inaniuma sana jamani,” alizungumza huku akilia mama Uwoya.
Kwa upande wake Uwoya, hakuweza kuzungumza chochote zaidi ya muda mwingi kuonekana akilia kwa uchungu.
TUJIKUMBUSHE
Uwoya na Ndikumana walifunga ndoa Julai 11, 2009 ambapo waliishi kwenye ndoa kwa miaka kadhaa na kufanikiwa kupata mtoto mmoja aitwaye Krish kisha baadaye wakamwagana na kila mmoja akawa anaishi kivyake.
Kabla mauti hayajamkuta, Ndikumana alikaririwa akisema kuwa ameruhusu Uwoya aolewe na kwamba ameshatuma mtu nchini kwa ajili ya kushughulikia suala la kuivunja ndoa hiyo.
Hivi karibuni, Uwoya alidaiwa kufunga ndoa na Dogo Janja ambapo hata hivyo, baadaye ilibainika kuwa si ndo bali picha zilizosambaa zilikuwa ni za tamthiliya ambayo inatarajiwa kuonekana hivi karibuni.
Chanzo: Global Publishers

Hii Hapa Tathimini ya Uongozi wa Rais Magufuli kwa Miaka Miwili Iliyotolewa na Chama cha ACT Wazalendo

$
0
0
Hii Hapa Tathimini ya Uongozi wa Rais Magufuli kwa Miaka Miwili Iliyotolewa na  Chama cha ACT Wazalendo
Chama cha ACT Wazalendo leo alhamisi Tarehe 16 Novemba, 2017,  kimetoa tathmini ya miaka miwili ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt. John P. Magufuli kwa kuangazia sehemu 9 ambazo serikali imeshindwa kufanikiwa.


Kaimu Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo,  Yeremia Kulwa Maganja

Akizungungumza na Waandishi wa Habari, Kaimu Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo,  Yeremia Kulwa Maganja amesema sehemu hizo zimezingatia vigezo vya Haki za Msingi, Usimamizi wa Uchumi na Uendeshaji wa Nchi kwa ujumla.

Soma tathmini hiyo iliyotolewa na ACT Wazalendo kuhusu Uongozi wa Rais Magufuli ndani ya miaka miwili.

[Tathmini ya ACT Wazalendo Juu ya Mambo 9 Yaliyofanywa Vibaya katika Miaka
Miwili ya Serikali ya Awamu ya 5]

Novemba 5, 2017, Serikali ya awamu ya 5 ilitimiza miaka miwili tangu Rais Magufuli alipoapishwa rasmi kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Katika siku husika, Serikali kupitia Msemaji wa Serikali, ilitoa tathmini ya mambo 9 ya mafanikio ambayo yamepatikana ndani ya kipindi hiki cha miaka miwili.

Pamoja na taarifa hiyo rasmi ya Serikali, CCM pamoja na Viongozi mbalimbali wa Serikali kwa siku kadhaa
sasa wamekuwa wakitoa mwendelezo wa mafanikio mbalimbali ya Serikali. Sisi ACT Wazalendo nasi tumefanya utafiti juu ya miaka hii miwili, tukiangazia uchumi, hali ya kisiasa, uimara wa Muungano, ustawi wa utumishi wa watumishi wa umma, hali ya biashara pamoja na kilimo, na masuala yanayohusu haki za wananchi. Lengo likiwa
ni kutoa mtazamo mbadala juu ya hali ya nchi yetu katika miaka hii miwili, kuainisha changamoto (kinyume na mapungufu tu yaliyosemwa), pamoja na kuainisha mbinu pamoja na sera mbadala za utatuzi wa changamoto hizo.
Leo tutatoa tathmini yetu ya miaka miwili ya Utawala huu, tathmini hii ni zao la utafiti husika uliofanyika nchi nzima.

Tathmini yetu itaainisha mambo 10 ambayo tunaamini hayakufanywa vizuri kabisa na Serikali. ACT Wazalendo inao wajibu wa kujihusisha na masuala ya watu, tunatimiza wajibu huo kwa tathmini hii ya kuangazia mambo haya 10
ambayo ni mapungufu ndani ya miaka miwili hii ya utawala huu. Yafuatayo ni mambo 9 ambayo ACT Wazalendo tunaamini Serikali ya awamu ya 5 imeyafanya vibaya zaidi ndani ya miaka hii miwili, kiasi cha kuleta athari kubwa katika hali ya nchi yetu, kisiasa, kiutawala na kiuchumi. Tathmini yetu itayaanisha masuala hayo katika mafungu matatu kama ifuatavyo:

i). Kuminya Uhuru wa Vyama vya Siasa Kufanya Mikutano ya Hadhara, Uhuru wa
Vyombo vya Habari, pamoja na Uhuru wa Kujieleza.

Kwa kutumia amri batili iliyotolewa na Rais na baadaye kukaziwa na Jeshi la Polisi, haki
ya vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya
Siasa ya mwaka 1992, imezuiwa. ACT Wazalendo tulikuwa chama cha mwisho kufanya
Mkutano wa hadhara, viwanja vya Zakhem mbagala Juni, 2016. Tangu hapo haki hiyo
imezuiliwa kinyume na sheria.

Pia, ni katika kipindi hiki cha miaka miwili, ndipo tulipitisha Sheria mbaya ya vyombo vya
habari, Sheria ambayo imeshuhudia kufungiwa kwa Magazeti manne makubwa, ya
Mawio, Mseto, Mwanahalisi, Tanzania Daima, Raia Mwema na Mwananchi kwa vipindi
tofauti tofauti, kwa sababi tu yaliandika habari ambazo hazikupendwa na Serikali.
Miaka miwili hii pia imeshuhudia mamia ya watu wakiwa wameshtakiwa, na wengine
kuhukumiwa vifungo na faini, kwa kutumia sheria mbaya ya mitandao ya kijamii (cyber
crimes act) kwa sababu tu ya kutoa maoni yao ambayo hayapendwi na Serikali.

ii). Kuminywa kwa Haki ya Wazanzibari Kuchagua Viongozi wao.

Ni hali halisi kuwa haki ya Wazanzibari, wananchi wa sehemu moja kati ya pande mbili zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuchagua viongozi wao kwa uhuru na haki iliporwa kwenye Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar wa mwaka 2015, kwa mtu mmoja kujiamulia kinyume na sheria, kufuta matokeo ya uchaguzi wote kwa sababu tu CCM
walielekea kushindwa.

Uchaguzi wa marudio wa Machi 20, 2016 ulikuwa pasi shaka, ni uchaguzi wa ‘kiini macho’. ACT Wazalendo tulisusia uchaguzi huo wa marudio, mpaka sasa msimamo wetu juu ya uchaguzi ule haujabadilika. Kwa miaka hii miwili, Serikali ya awamu ya 5 ya JMT imekwepa kabisa wajibu wake juu ya mustakabali mwema wa Zanzibar. Na kwa kiasi kikubwa imekuwa ndio chanzo cha kuzidisha uhasama na mpasuko utokanao na dhuluma za uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 na uchaguzi wa marudio wa mwaka 2016. Matamshi ya ubaguzi na vitisho ya Rais Magufuli akiwa kwenye mikutano ya hadhara, Unguja na Pemba ni ushahidi juu ya hili.

Hali hiyo imeigawanya Zanzibar, imeondoa sauti yake imara kwenye Muungano, kiasi kwa mara ya kwanza tangu 1964, Zanzibar ina Mawaziri wachache zaidi kwenye Baraza la Mawaziri la JMT, wawili tu, pamoja na Naibu Waziri mmoja, katika baraza lote lenye mawaziri wapatao 42. Si hilo tu, lakini hali hiyo ya kutoshughulikia mpasuko wa
kisiasa wa Zanzibar imeondoa sauti ya mawazo mbadala ya kisera katika kuendesha uchumi wa wananchi, na hivyo kuchangia hali mbaya ya uchumi kwa wananchi.

(iii). Kupuuzwa kwa Matakwa ya Katiba Mpya.

Serikali ya awamu ya 5 imeweka bayana kuwa Katiba mpya sio kipaumbele chake. Msimamo huu umetolewa na Rais Magufuli pamoja na Waziri Mkuu Majaliwa katika nyakati tofauti, licha ya tafiti zote zilizofanywa kuonesha kuwa Watanzania wengi wanataka kuendelezwa kwa mchakato wa Katiba Mpya.

Sababu dhaifu zinazotolewa na Serikali ni mbili, moja ni kuwa Rais anasema haikuwa ahadi yake ya Uchaguzi (lakini jambo hilo likiwa kwenye ilani ya chama chake cha CCM, sababu ya pili ni ile iliyotolewa na Waziri Mkuu kuwa Serikali haina fedha za gharama za kuendeleza mchakato husika, na kuwa fedha zote inazielekeza kwenye
miradi ya maendeleo. Hoja hii pia ni dhaifu, ni hoja itokanayo na imani ya maendeleo ya vitu ya CCM dhidi ya maendeleo ya watu. Katiba mpya imara inategemea kutoa mamlaka zaidi ya wananchi kushiriki kwenye kufanya maamuzi juu ya mustakabali wao, jambo ambalo ni maendeleo makubwa mno kuliko maendeleo ya vitu wasivyo na
ushiriki wala uamuzi navyo.

iv).Kusinyaa kwa Uchumi wa Nchi, Kudhohofishwa kwa Sekta Binafsi, Mazingira Mabaya ya Biashara Nchini, pamoja Kupaa kwa Deni la Taifa.

Mapungufu makubwa zaidi katika hii miaka miwili ya Serikali ya awamu ya 5 yako katika menejimenti ya uchumi wa Nchi. Ndilo eneo ambalo Serikali imefeli zaidi kuliko maeneo yote. Vipimo vyote vya uchumi vinaonyesha kuwa ndani ya miaka hii miwili uchumi wetu umesinyaa, sekta yetu binafsi imekaribia kuanguka kwa sababu ya mazingira magumu ya kikodi, watu wetu wamepoteza ajira zaidi, serikali imekosa mapato zaidi, nchi yetu ikitajwa kushuka katika nchi zenye mazingira mazuri ya kibiashara, katika wakati ambao biashara zimefungwa zaidi, huku tukishuhudia kupaa zaidi kwa deni la Taifa.

Tathmini yetu itokanayo na Takwimu pamoja na Taarifa rasmi za Serikali yenyewe
imeonyesha yafuatayo:
◊Uzalishaji wa bidhaa za viwandani umeshuka kwa 50%, kutoka dola bilioni 1.5
mpaka dola milioni 700.

◊Mikopo binafsi kutoka benki zetu imeshuka kutoka 25% (2015) hadi 8.9% (2017).

◊ Mikopo ya benki kwenye Kilimo imeshuka kutoka 6% (2015) hadi -9% (2017).

◊ Mikopo ya benki kwa wafanyabiashara imeshuka kutoka 24% (2015) hadi 9%
(2017).

◊Mikopo ya benki kwa sekta ya Viwanda imeshuka kutoka 30% (2015) hadi 3%
(2017).

◊Mikopo ya benki kwa sekta ya Usafirishaji na Mawasiliano imeshuka kutoka 24%
(2015) hadi – 25% (2017).

◊ Mikopo ya benki kwa sekta ya Ujenzi imeshuka kutoka 22% (2015) hadi 16%
(2017).

◊Mauzo ya bidhaa kwenda nje ya nchi (export) kwa ujumla yameshuka kwa
29.8%.

◊ TRA ikidaiwa Marejesho (VAT Returns) ya wastani wa bilioni 800, ambazo bado
hazijalipwa.

◊ Thamani ya sarafu ya Tanzania imeshuka, uwezo wa Tsh. 100 kununua bidhaa
umeshuka hadi Tsh. 92.18.

◊Deni la Taifa likipaa kwa wastani wa Dola milioni 4 kwa mwaka (trilioni 10),
kutoka dola bilioni 18 (2015), mpaka dola bilioni 22 (2016) na kufikia dola bilioni
26 (2017).

◊ Utekelezaji duni wa bajeti ya Taifa kwa mwaka 2016/17 ambapo Serikali ilipanga
kukusanya shilingi trilioni 29.6 lakini ikakusanya trilioni 23.5, kukiwa na nakisi ya
trilioni 6. Huku dalili zikionyesha kuwa utekelezaji wa bajeti ya 2017/18 ya shilingi
trilioni 32 kuwa duni zaidi.

◊ Uwiano wa deni la Taifa na Pato la Taifa (GDP) ukiwa ni takribani 53%.

◊ Mwisho, matarajio ya ukuaji wa uchumi kwa mwaka yakishushwa toka 7%mpaka
6.6%.

Takwimu hizo zote zinaonyesha kwa dhahiri uchumi wa nchi ulivyosinyaa, sekta binafsi
inavyokufa, mazingira ya biashara yanavyokuwa magumu zaidi pamoja na deni la Taifa
kupaa ndani ya miaka miwili ya Serikali ya awamu ya 5, na kuhalalisha mtazamo wetu
kuwa menejimenti mbaya ya uchumi ndio mapungufu makuu ya utawala huu.

(v). Kilimo Kimetelekezwa.

Sekta ya Kilimo ndio uti wa mgongo wa Taifa, ikiajiri karibu theluthi mbili (65%) ya
Watanzania wote nchini, na kuchangia karibu theluthi moja ya pato la taifa (32%). Kwa
miaka miwili ya utawala wa awamu ya 5, ukuaji wa Kilimo haujavuka zaidi ya 2%, zaidi
ukiwa ni 1.6%, hivyo kushuka kutoka 4% wakati wa awamu ya 4.

Kwa miaka hii miwili ukuaji wa sekta inayoajiri wananchi wengi zaidi ukididimia na kuwazidishia ufukara.
Katika wakati kama huu ambapo Kilimo kinaporomoka, wakulima wa Korosho hawajapewa pembejeo, na hivyo kutishia kushusha uzalishali wa zao linalotuingia mapato ya Kigeni zaidi nchini katika msimu huu wa mavuno. Tumbaku (zao la pili Kwa kuingiza Fedha za kigeni) tayari wakulima wanalia, kukiwa hakuna kabisa soko. Mazao
ya mbaazi, choroko na kunde bei imeshuka kwa zaidi ya 500%, kutoka Tsh 2500 mpaka wastani wa Tsh 200. Huku Pamba uzalishaji ukiwa umeshuka kwa 63% kati ya mwaka 2015 na 2017.

(vi). Utekelezaji wa Miradi Mikubwa bila Kuzingatia Maslahi ya Umma.

Serikali inatekeleza miradi kadhaa mikubwa nchini, hili ni jambo zuri. Lakini mtindo wa
utekelezaji wa miradi hiyo hauzingatii maslahi ya umma, hili ni jambo baya. ACT
Wazalendo tuna mifano miwili kwenye hili, ununuzi wa ndege kwa kutumia fedha za
ndani, na ujenzi wa reli ya SGR bila kuzingatia ufungamanishaji wake na sekta 5 nyengine za uzalishaji kiasi fedha zote zinatoka kwenda nje ya nchi badala ya kubaki ndani. Ununuzi wa ndege za Bombadier na Boeing kwa fedha zetu za ndani umesaidia kukuza na kuzalisha ajira Canada na Marekani zinakozalishwa ndege hizo.

Fedha za wakulima, wafanyakazi na wafanyabiashara wa nchi hii zinatolewa ndani na kulipwa taslimu kwaajili ya ndege nje ya nchi, jambo hilo limesababisha ujazo wa fedha upungue ndani ya nchi yetu (upungufu wote ukiwa ni 51% ndani ya miaka hii miwili) na kusababisha mzunguko wa fedha kuwa mdogo na hivyo kupunguza uwezo wa kununua bidhaa (purchasing power) wa watu wetu, ikiwa ni kipimo Cha kusinyaa kwa uchumi wetu.

Ujenzi wa reli ya SGR ni jambo zuri, lakini kutokuzingatiwa ufungamanishaji wa ujenzi huo na sekta nyengine za uzalishaji kunafanya ujenzi huo uzalishe ajira Uturuki na China badala ya Tanzania. 50% ya gharama za ujenzi wa reli ni ununuzi wa chuma na chuma cha pua kwaajili ya mataruma, tungeweza kuutumia mradi huu kujenga kiwanda
cha chuma cha Liganga na Mchuchuma na hivyo kubakisha nusu ya hizo trilioni 17 za mradi huo hapa nchini. Hali ni tofauti, maana mataruma yatanunuliwa nje ya nchi, na hivyo sehemu kubwa ya fedha za mradi huu kutokubaki nchini.

(vii). Uvunjaji wa misingi ya Sera ya Mambo ya Nje.

Msingi Mkuu wa Sera ya Mambo ya Nje ya Tanzania ni kusimama na wanaoonewa kokote kule duniani. Pamoja na kufuata “Diplomasia ya Uchumi” bado msingi huo wa Sera ya Mambo ya Nje ya nchi yetu haujabadilika. Lakini hivi sasa, hatua kwa hatua, Tanzania inaanza kuuweka kando msingi huu muhimu wa kusimama na wanyonge. Jambo hili limejidhihirisha katika suala la nchi ya Sahara Magharibi inayokaliwa kimabavu na Moroko pamoja na nchi ya Israel inayofanya mauaji ya mamia ya Wapalestina.

Tangu Mfalme wa Moroko atembelee nchini na kutoa ahadi kemkem za misaada kwa Tanzania, nchi yetu imekuwa haina tena ubavu wa kuikabili Moroko na kuvikemea vitendo vyake vya kimabavu vya kuikalia Sahara Magharibi. Lakini pia ni ndani ya miaka miwili ya awamu ya 5, kwa mara ya kwanza tangu kuundwa kwa Tanzania, Oktoba 26,
2017, nchi yetu ilipiga kura kupinga hatua kali za vikwazo vya shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni UNESCO, vikwazo ambavyo vililenga kuibana Israel ipunguze mashambulizi dhidi ya Palestina.

Mifano miwili hiyo inaonyesha namna tulivyoacha kabisa msingi wa Diplomasia yetu, ya kusimama na wanyonge, na sasa ndio tumekuwa vinara, watetezi, wasemaji na marafiki wa nchi zinazoonea wanyonge, kama Moroko na Israel.
Si hivyo tu, matukio kama ya kukataliwa kwa mbaazi za Tanzania nchini India, ni kielelezo kingine cha kuanguka kwa Diplomasia yetu ya uchumi.

(viii). Unyanyasaji wa Watumishi wa Umma.

Miaka miwili ya Rais Magufuli imekuwa miaka miwili ya kuyumbishwa na kupuuzwa kwa watumishi wa umma. Uhakiki usiokwisha wa wafanyakazi umetumika Kama kisingizio cha kuwanyima wafanyakazi haki yao ya kuongezwa mishahara, kupandishwa madaraja na kupata marupurupu yao kwa wakati. Kilio cha wafanyakazi kudai haki hizi
kimepokelewa na vitisho na kebehi kutoka serikalini.

(ix). Utawala unaovunja Taasisi za kikatiba na kisheria.

Utawala wa Rais Magufuli ni wa mtu mmoja. Yeye ndiye Amiri Jeshi Mkuu, Yeye ndiye Mkuu wa Nchi, Yeye ndiye Mkuu wa serikali, yeye ndiye Mlipaji Mkuu, Yeye Ndiye Waziri wa Wizara zote! Badala ya kuimarisha taasisi za umma, utawala wa Magufuli umekuwa wa kumuimarisha yeye na chama chake.

Sayari Mpya Inayoweza Kuwa na Uhai Yagunduliwa

$
0
0
Sayari Mpya Inayoweza Kuwa na Uhai Yagunduliwa
Wataalamu wa anga za juu wamegundua sayari isiyo na joto sana na yenye ukubwa unaokaribia sana na wa dunia.
Sayari hiyo inapatikana karibu na mfumo wetu wa Jua.
Mandhari katika sayari hiyo ambayo imepewa jina Ross 128 b yanaifanya kuwa pahala pazuri pa kutafuta viumbe au uhai anga za juu.
Sayari hiyo inapatikana umbali wa miaka 11 kwa kasi ya miali ya jua, na ndiyo sayari ya pili kwa karibu zaidi ambayo ina mazingira yanayokaribiana na ya dunia.
Sayari ya aina hiyo iliyo karibu zaidi hufahamika kama Proxima b, na wataalamu wanasema mazingira huko hayaonekani kuwa mazuri sana kiasi cha kuweza kuwa na viumbe.
Proxima b iligunduliwa 2016, na huzunguka kwenye mzingo ulio kwenye nyota kwa jina Proxima Centauri, ambayo hufahamika kama "nyota nyekundu mbilikimo". Nyota hiyo huwaka sana na ina maana kwamba milipuko kwenye nyota hiyo huenda ikarusha miali nururishi yenye sumu kwenye sayari ya Proxima b.
Sayari hiyo mpya, Ross 128 b, huzunguka sayari ambayo haitofautiani sana na Proxima Centauri (pia ni nyota nyekundu mbilikimo), lakini hailipuki sana.

Mmoja wa waliogundua Nicola Astudillo-Defru kutoka kituo cha kutazama anga za juu chenye makao yake Geneva, Uswizi aliambia BBC kwamba kwa sababu Proxima Centauri hulipuka na kutoa miali nururishi yenye sumu, "nafikiri ndio, Ross 128 ni pahala pazuri zaidi pa uhai kunawiri."
"Lakini bado hatufahamu anga ya Ross 128 b iko vipi. Kwa kutegemea vitu vilivyo kwenye anga yake na uwezo wa mawingu kuakisi mwanga, huenda kukawa na maji ambayo yanaweza kufanikisha uhai kama hapa duniani, au iwe sayari kama vile Zuhura ambayo haiwezi kufanikisha uhai."

Ugunduzi huo ulifanywa katika kituo cha kutazama anga za juu cha La Silla nchini Chile
Sayari hiyo mpya iligunduliwa na darubini yenye uwezo mkubwa kwa jina Harps iliyopo katika kituo cha kufuatilia anga za juu cha La Silla nchini Chile.

Sadc Wakutana kwa Dharura Kujadili Hali ya Kisiasa Zimbabwe

$
0
0
Sadc Wakutana kwa Dharura Kujadili Hali ya Kisiasa Zimbabwe
Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Augustine Mahiga ni miongoni mwa mawaziri wanaokutana kwa dharura mchana huu kujadili hali ya kisiasa nchini Zimbabwe ikiwa siku mbili baada ya jeshi kumweka kizuizini Rais Robert Mugabe.

Tanzania inashiriki kwenye mkutano huo kama mmoja ya wajumbe wa chombo kinachojulikana kama Troika.

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (Sadc), Rais Jacob Zuma ndiye aliyeitisha mkutano huo.

Baadaye amepanga kuzungumza na marais wenzake wa Sadc kwa ajili ya kuwapa taarifa juu ya kile kinachoendelea nchini Zimbabwe.

Mkutano huo umepangwa kufanyika Zimbabwe na utaongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini, Maite Nkoana-Mashabane, pia utahudhuriwa na mawaziri wengine kutoka Angola na Zambia.

Jana Jumatano, Rais Zuma alizungumza kwa njia ya simu na Rais Mugabe na kueleza kwamba kiongozi huyo alikuwa amezingirwa nyumbani kwake lakini alikuwa salama. Mugabe (93) ameitawala Zimbabwe tangu taifa hilo lilipopata uhuru 1980.

Wakati huohuo ,Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amehimiza kuwepo utulivu nchini Zimbabwe na kuzitaka pande zote kujiepusha na matendo yanayoweza kulivuruga taifa hilo.

Amesema njia bora ya kupatikana kwa suluhu ya kisiasa ni ile inayozingatia majadiliano na mazungumzo ya amani na wala siyo vinginevyo.

Kupitia msemaji wake, Farhan Haq, Guterres amesema anafuatilia kwa karibu yale yote yanayoendelea nchini humo. Pia ameelezea matumaini yake kuhusu juhudi zilizoanza kuchuliwa na jumuiya ya Sadc kuhusu mzozo huo.

Kauli ya Guterres inatolewa huku hatma ya Rais Mugabe ikibakia kuwa kitendawili baada ya kuzuiliwa katika makazi yake.

Wakati huohuo, Umoja wa Afrika (AU) umesema kuwa hatua ya jeshi la Zimbabwe ya kuchukua madaraka na kumzuilia Rais Mugabe inaonekana kama mapinduzi wa kijeshi.

Mkuu wa kamisheni ya umoja huo, Alpha Conde amesema AU inataka kurejea mara moja hali ya kawaida.

Tanroads Yatekeleza Agizo la Rais Watoa Notisi ya Mwenzi Mmoja Ofisi za Tanesco

$
0
0
Tanroad Yatekeleza Agizo la Rais Watoa Notisi ya Mwenzi Mmoja Ofisi za Tanesco
Ubomoaji wa ofisi za Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) unatarajiwa kuanza kufanyika baada ya mwezi mmoja.

Hayo yamebainishwa leo Alhamisi na Meneja wa Wakala wa Barabara Dar es Salaam (Tanroads), Julius Ndyamkama.

 “Leo tutaweka alama ya X kwenye jengo la Tanesco kwa ajili ya kuanza  ubomoaji. Baada ya kuweka alama ya X tutawapa notisi ili kuwajulisha kuhusu zoezi hilo,” amesema .

Hiyo ni baada ya Rais John Magufuli kutoa  agizo kwa wakala wa barabara nchini kubomoa jengo la Tanesco kupisha ujenzi wa mradi wa barabara za juu zinazotarajiwa kujengwa eneo la Ubungo jijini hapa.

Mradi huo mzima utaigharimu Tanzania kiasi cha Sh188 bilioni

Rais Magufuli ametoa agizo hilo wakati alipotembelea eneo la mradi huo mara baada ya kutua jijini Dar es Salaam akitokea Wilaya ya Chato mkoani Geita.

Ubomoaji huo pia utahusisha ofisi za Wizara ya Maji na Umwagiliaji ambazo pia zinapakana na jengo la Tanesco eneo la barabara ya Morogoro.

Kiongozi wa Vijana Zanu-PF Aomba Jeshi Msamaha

$
0
0
Kiongozi wa Vijana Zanu-PF Aomba Jeshi Msamaha
Kiongozi wa muungano wa vijana wa chama tawala Zanu-PF Kudzai Chipanga, ambaye amekuwa muungani mkono wa Rais Robert Mugabe na mkewe Grace ameomba radhi kutokana na hatua yake ya kulishutumu na kulionya jeshi dhidi ya kuchukua mamlaka nchini humo.

Jumanne, alikuwa amemwambia mkuu wa majeshi Jen Constantino Chiwenga anafaa “kusalia kwenye kambi za jeshi”.

Alisema wanachama wake hawatakubali wanajeshi wakiuke katiba na kwamba yeye na wafuasi wake walikuwa tayari kufariki wakimtetea Mugabe.

Lakini usiku wa kuamkia leo, alisoma taarifa kwenye runinga ya taifa ZBC, akisema kwamba alikuwa amekosea.

Tangu wakati huo nimetafakari na kutambua binafsi kwamba nilikosea, pamoja na wakuu wenzangu kwa kudunisha afisi yako yenye heshima.
Sisi bado ni wadogo na hufanya makossa na tumejifunza mengi kutokana na makosa haya.

JE Wajua Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Madogo ya Kiume?

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WA NA MAUMBILE MADOGO?
Tatizo hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia ,hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wenzao,kwakawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6_8 vinginevyo mtu huyu ana matatizo.


Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo baadhi ni,upungufu wa vichocheo (hornes) za gestrojen ambapo mwanaume anapobalehe vichocheo hivi (hormones)huchochea ujuaji wa uume.chango ambalo hushambulia nerve ambapo huharibu kabisa ukuaji wa uume, Punyeto ambayo huasili misuli ya uume,pia ngiri ambayo huleta maumivu ya tumbo kuunguluma na kujaa gesi,korodani moja kuvimba,kutopata choo vizuri,sababu hizi na nyinginezo hufanya uume kulegea na kisinyaa nakuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu zakiume (hamu ya tendo landoa hupungua au kuisha kabisa).NSUMBU,Nidawa inayozalisha hormones za gestrogene na kufanya uume kukua na kuongezeka mara dufu.NZAGI,Ni dawa ya kurudisha nguvu za kiume ,hutia hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila hamu kuisha nakuponya kabisa tatizo hilo. Pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk 15 nakuendelea kwa tendo la kwanza.kumbuka dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji.Natunatibu kisukari,bp,ngiri,miguu kuwaka moto,namengine mengi.

WASILIANA OSTADHI JUMA KWA SIMU NO,0784002216 AU 0769597778

TFF Yapangua Tuhuma za Kujiongezea Posho

$
0
0
Kaimu Katibu Mkuu wa TFF Wilfred Kidao ametolea ufafanuzi ujumbe uliosambaa kwenye mitandao ya kijamii ukiituhumu taasisi hiyo inayoongoza soka la Tanzania kuongeza posho kwa wajumbe wa kamati ya utendaji pamoja na kuanzisha malipo ya mishahara kwa Rais na makamu wake.

1. Viwango vya posho za vikao vya Kamati ya Utendaji havijawahi kujadiliwa wala kubadilishwa (kuongezwa). Bado vipo vilevile.

2. Wajumbe wa kamati ya utendaji wanawezeshwa kutekeleza majukumu yao kwenye kanda zao. Ujumbe wa Kamati ya Utendaji ni kazi ya kujitolea watakuwa wakipewa Tsh. 1.5 milioni kwa miezi mitatu kwa ajili ya kutekeleza majukumu yao kwenye Kanda zao (Tsh. 1.5 milioni ni sawa na Tsh. 500,000 kwa mwezi).

3. Kuhusu mshahara wa Rais wa TFF na makamu wake jambo hilo halikufikiwa mwafaka na Kamati ya utendaji. Wajumbe wa kamati ya Utendaji walishauri ofisi ya Rais ihudumiwe na TFF kama ilivyo kwa ofisi za marais wa FIFA na CAF.

Rais wa TFF Wallace Karia alikataa kwa kusema, anaamini sio wakati mwafaka wa yeye kuchukua posho hadi taasisi itakapokaa vizuri na taratibu zote kufuatwa.

Hatua zilizochukuliwa

Kidao amwagiza mwanasheria wa TFF kufungua mashtaka (leo) kwa wale waliosambaza ujumbe kwenye mitandao ya kijamii wenye lengo la kuichafua taasisi hiyo.

Pata Dawa Bora za Nguvu za Kiume na Kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa

$
0
0
DAWA BORA ZA NGUVU ZA KIUME NA KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA

Baada ya utafiti wa muda mrefu juu ya matatinzo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurundia tendo kwa haraka Sasa inakuletea suluhisho juu ya matatizo haya kwa kutumia dawa za Full Power

Ni Dawa asili yenye vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,
Dawa hii inamchanganyiko wa kutosha kuzalisha vichocheo vingi vya hernone za gestro gen zikiwemo vitamin b6 na b1 vitamin E pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wakufanya tendo la ndoa zaidi hatua nne au zaidi na kuchelewa kufika kileleni zaidi ya dakika 20/30

ZAT 50 inarundisha maumbile ya uume yaani kurefusha na kunenepesha nchi 3/7 na upana cm 3/4 standard.

Kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukitumia maumbile yatabaki kuwa hivyo siku zote pia anatibu matatizo mengine kama presha kisukari ngiri chango la tumbo kujaa gesi kutopata choo vizuri minguu kuwaka moto matatizo ya uzazi bawasili na magonjwa ya zinaa kama kisonono na kaswende tunapatikana daresalaam na mikao wasiliana nasi DR Oshinda Namba za simu 0755505099/0714126118 

Karibuni kwa hunduma bora

Nandy Aachia Ngoma Mpya Atoa Maana ya 'Kivuruge'

$
0
0
Nandy Aachia Ngoma Mpya Atoa Maana ya 'Kivuruge'
Msanii Nandy ambaye siku chache zilizopita ameshinda tuzo ya AFRIMA za nchini Nigeria, ameeleza maana ya ngoma yake mpya ‘Kivuruge’.


Ngoma hiyo ambayo imetayarishwa na Kenny Ringtone, Nandy amesema amelenga kuzungumzia mwanamke aliye katika mahusiano lakini kuna vitu vimemchosha hivyo anataka kuondoka.

“Nimezungumzia mapenzi kwa upande wa mwanamke kuzungumzia mwanaume japo ni wimbo ambao unaweza kutumika kwa pande zote mbili, nimebeba uhusika wa mwanamke kwa mimi ni mwanamke pia” amesema Nandy.

“Ni maumivu ya mapenzi mwanamke analalamika kwa wanaume wake kuna kitu amemfanyia lakini so far anahitaji amuache kwa sababu anaamini taratibu maamuivu yake yataisha taratibu” ameongeza.

Nandy ambaye bado anafanya vizuri na ngoma ‘Wasikudanganye’, pia hivi karibu alitoa ngoma iliyokwenda kwa jina Mahabuba ambayo amemshirikisha Aslay.

Waziri Amwagia Sifa Rais Magufuli

$
0
0
Waziri Amwagia Sifa Rais Magufuli
Naibu Waziri wa Habari Sanaa Utamaduni na Michezo, Juliana Shonza amemsifu na kukiri kwamba Rais Magufuli ni kiongozi mwenye ushawishi kwa mataifa mengine ndiyo maana Mfalme wa Morrocco aliahidi kujenga uwanja wa mpira mkoani Dodoma.

Mh. Shonza ametoa sifa hizo kwa Rais Magufuli wakati akijibu swali la Mbunge wa Singida Magharibi, Elibariki Kingu ambaye aliuliza ni kwa nini serikali isiteue kati ya Mkoa wa Dodoma au Singida kuwa mji wa pili utakaoweza kuendesha mashindano ya AFCON yanayotarajiwa kufanyika nchini mwaka 2019.
Katika maswali aliyoyauliza Mh. Kingu alikuwa akitaka kujua kama tayari kuna mji wa pili umeshachaguliwa kuendesha mashindano hayo baada ya Dar es salaam kuwa wa kwanza kuteuliwa.

Aidha Mh. Kingu akiinadi mikoa aliyoipendekeza ameisifu kwa kusema kwamba kwa sasa Mkoa wa Singida una hoteli za kisasa za kuwamudu wageni mbalimbali pamoja na kiwanja cha mpira cha kisasa kilichikarabatiwa vizuri na Mkoa wa Dodoma ni Mkao Makuu ya nchi na kwamba Rais na viongozi wakuu pia watahamia huko.
Hata hivyo Majibu ya Serikali yaliyotolewa na Mh. Shonza ameka wazi kwamba zipo kamati zilizoundwa kufanya utafiti wa mikoa hivyo ataupendekeza mkoa wa Singida ufanyiwe utafiti kama utakidhi matakwa.
"Moja ya vigezo tunavyozingatia ni uwanja unaokidhi kiwango cha kimataifa na hoteli itakayoweza kuwa-accomodate' wageni watakaokuwepo, lakini kwa upande wa Dodoma nimpongeze Rais wetu kwa ushawishi kwa mfalme wa Morroco kujenga uwanja wa michezo Dodoma" Shonza
Ameongeza "Sisi kama wizara tutachukua mawazo yake lakini endapo uwanja wa Dodoma utakamilika kabla ya mwaka 2019 basi tutaangalia kwa namna gani uwanja huo utaweza kutumika. Tukumbuke uwanja huo unajengwa kwa hisani ya Mfalme wa Morrocco hivyo hatuwezi tukampa 'deadline'.
Viewing all 104664 articles
Browse latest View live




Latest Images