Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live

Miili 11 ya Abiria, Rubani Waliopata Ajali ya Ndege Yapatikana

$
0
0
Miili 11 ya Abiria, Rubani Waliopata Ajali ya Ndege Yapatikana
Miili 11 ya abiria na rubani wa Ndege ya Shirika la Coastal Aviation iliyoanguka eneo la Creta ya Empakai yapatikana.

Ndege hiyo iligonga mlima wa kingo za creta hiyo ilianguka saa saba mchana kutokana na matatizo ya hali ya hewa.

Ilikuwa inatoka Kilimanjaro kwenda Seronera  Serengeti ikiwa na abiria 11 na wote wamefariki.

Mkuu wa Wilaya ya Karatu, Theresia Mahongo amesema zoezi la kutafuta miili limekwenda vizuri.

"Miili yote imepatikana na tutaipeleka Karatu na baadaye Arusha," amesema.

Naibu Mhifadhi wa Ngorongoro, Dk Maurus Msuha amesema wamefanikiwa kuipata miili na kuitoa eneo la ajali kutokana na ushirikiano mkubwa na wenyeji.

"Tuliwaomba kulala hapa wenyeji jana kuilinda isiliwe na wanyama na hadi leo tumeikuta miili salama," amesema.

Mmoja wa mashuhuda wa ajali hiyo, Lunda Mollel amesema ndege hiyo kabla ya kuanguka ilikuwa inazunguka kutoka eneo la milima zaidi ya dakika 20 hadi baadaye kuanguka baada ya kugonga mlima.

Mwanafunzi Aliyepelekwa ‘Mochwari’ Aliyedhaniwa Kufa Ahitimu Kidato cha Nne

$
0
0
Mwanafunzi Aliyepelekwa ‘Mochwari’ Aliyedhaniwa Kufa Ahitimu Kidato cha Nne
Tayari mwaka mmoja umepita tangu Isack Ernest (17), mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Lumo jijini Dar es Salaam alipopigwa na wananchi wenye hasira kali, kuzimia na kudhaniwa amefariki dunia akituhumiwa kuiba kupitia kundi la uhalifu la ‘Panya Road’ waliokuwa wanajiita ‘Taifa Jipya.’

Japo Oktoba 15 mwaka jana ilikuwa siku ya maumivu makali kwake na kunusurika kifo, tarehe hiyo hiyo mwaka huu ameungana na wanafunzi wenzake wa kidato cha nne, kusherehekea kumaliza masomo ya kidato cha nne

“Panya road azinduka akiwa mortuary”, ni kati ya vichwa vilivyobeba habari mbalimbali zilizomuhusu mwanafunzi huyo katika tukio lililotokea Mbagala, jijini Dar es Salaam ambako zaidi ya vijana 10 walitiwa mbaroni siku hiyo.

Isack anasema kupona kwake na kumaliza mitihani ya kidato cha nne ni kwa neema ya Mungu tu na si vinginevyo.

“Siamini kama leo hii namaliza shule, nilikata tamaa, kiukweli bila polisi kufika eneo la tukio siku ile na kuniokoa ningekufa,” anasema.

Ni kumbukumbu mbaya isiyofutika kichwani kwa Isack, hata hivyo ilishatokea.

“Kuna wakati nikikumbuka nashtuka, nimeathirika kisaikolojia, sipo sawa na zamani hata uwezo wangu darasani umepungua. Ninachoshukuru ni mzima tu,” anasema Isack.

Jana Jumatano, Isack alimalizia elimu yake ya sekondari kwa kufanya mtihani wa baolojia kwa vitendo.

Siku ya tukio

Aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Gilles Muroto wakati huo alisema baada ya polisi kupigiwa simu na raia wema kuwa kuna vijana watatu wamefariki dunia, walikwenda eneo la tukio na kuwakuta wakiwa na hali mbaya.

Alisema mmoja wao anayeitwa Kelvin Nyambocha (14) alifariki dunia baada ya kupigwa na kuchomwa moto na wananchi baada ya kuwapora huku wakiwa na silaha za jadi.

Alieleza kuwa Isack alipigwa kiasi ambacho walijua amefariki dunia na ndipo alipopelekwa chumba cha kuhifadhia maiti na kufanyiwa taratibu zote, ikiwa ni pamoja na kuvuliwa nguo na kuwekewa namba tayari kwa kuingizwa kwenye jokofu.

“Wakati amewekwa chini kwa ajili ya kuingizwa kwenye jokofu, alizinduka kwa kupumua na kuonekana bado yupo hai, hali iliyosababisha kupelekwa Chumba cha Uangalizi Maalumu (ICU),” alisema Muroto.

Simulizi ya Isack

Mwenyewe anasimulia kuwa siku ya tukio akiwa na wenzake waliamua kwenda kwenye tamasha la kuinua vipaji lililofanyika Zakhem, Mbagala jijini Dar es Salaam.

Hata hivyo, baba yake anasema siku hiyo mwanaye alimuaga kwamba anaenda kuangalia mpira hivyo, hakuwa na wasiwasi.

Walifika salama kwenye tamasha hilo lakini lilipoisha wakiwa njiani kurejea nyumbani ndipo, purukushani ilipoanza.

Isack anasema kati yao wengine walikuwa na miaka kati ya 13 hadi 16.

“Mimi nilikuwa nyuma, ndio nikasikia kelele za wezi kumbe wale walio mbele walianza kuwapora watu vitu,” anasema.

Anasema ghafla alishangaa mwenzake mmoja amekamatwa na kuwekwa kwenye tairi kisha kuwashwa moto.

“Ilibidi nikimbie kujiokoa. Huku nikikimbizwa kwa kuitwa mwizi, nilifanikiwa kufika eneo la Sabasaba nikitokea Zakhem Mbagala,” anasimulia.

Anasema watu waliokuwa mbele yake walifanikiwa kumkamata na kuanza kumpiga kwa nguvu huku wengine wakitaka achomwe moto mara moja.

Isack anasema huku akipigwa, alisikia wananchi hao wakibishana kwani walikuwepo waliotaka achomwe moto hapohapo na wengine, wakitaka apelekwe walikokuwa wakipigwa wengine.

“Walianza kubishana, wengine wanasema nichomwe moto hapo hapo, wengine wanataka nirudishwe waliokokuwa wenzangu…kwa kweli maisha yangu yakawa mikononi mwa Mungu, nilijitahidi kujitetea bila msaada,” anasema mwanafunzi huyo.

Mwanafunzi huyo anasema wakati akiendelea kupigwa, ghafla walitokezea polisi ambao waliwatawanya watu na wakati huo bado alisikia kila kinachoendelea.

“Ghafla nilisikia kishindo kikubwa na kuanzia hapo nilikuja kujiona hospitali ya Temeke. Tangu hapo sijui kilichoendelea ndio nasikia nilipelekwa chumba cha kuhifadhia maiti,” anasema.

Baba mzazi wa Isack, Ernest Chalo anasema anakumbuka siku hiyo alikuwa anafuatilia mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Simba na Kagera Sugar, alipopigiwa simu na mtu asiyemfahamu akimpa taarifa kuwa mtoto wake amefariki dunia, hivyo anatakiwa kwenda chumba cha kuhifadhia maiti, ili amtambue mwanaye.

“Nilichanganyikiwa, sikujielewa yaani ilibidi nitoke mbio hadi Temeke, moja kwa moja nilielekea kwenye chumba cha kuhifadhia maiti nikaonyeshwa miili ya vijana waliokuwa wameuawa. Kwa sababu waliumizwa sana usoni sikuwatambua,”anasema.

Aliamua kuwakagua tumboni akiamini kwamba angemtambua mwanaye kwa upekee wa kitovu lakini hakufanikiwa, ndipo akatokea msamaria mwema akamwambia mtoto wake alizinduka.

“Kutokana na baridi kali ya chumba cha kuhifadhia maiti, mtoto wangu alipoingizwa mle ndani alipumua na hivyo akatolewa. Niliambiwa alivishwa nguo za mwenzake kwa sababu zake zilivuliwa,” amesema.

Anasema huenda kabla mwanaye hajapoteza fahamu aliitaja namba yake ya simu hivyo ikasaidia yeye apate taarifa.

Anasema alifanikiwa kumuona mwanaye akiwa hai japo alikuwa akivuja damu kwa kipigo huku hali yake ikiwa mbaya.

Taarifa zafika shuleni

Taarifa za kifo cha Isack ziliwafikia walimu wake shuleni.

Makamu mkuu wa shule hiyo Amosi Tinde anasema taarifa hizo ziliwashtua na kuwashangaza kwa sababu siku za masomo, Isack alihudhuria vipindi vyote na hatukuwahi hata kuhisi kwamba ni ‘panya road’.

“Tulishangaa kuambiwa Isack ameuawa akiwa miongoni mwa vijana ‘panya road’ na tukapigiwa simu mwili wake upo chumba cha kuhifadhia maiti, kiukweli hakuwa mwanafunzi mtoro na ni kijana mwenye nidhamu tu, hizi habari zilitushtua sana.” anasema.

Mwalimu huyo anasema baada ya kupokea ujumbe huo, iliwalazimu waanze kuandaa taarifa za mwanafunzi huyo shuleni.

Hata hivyo, baadaye tena wakaambiwa hajafariki dunia, isipokuwa alizimia tu.

Isack anasema hofu yake kubwa ilikuwa ni kupoteza masomo yake kutokana na kuhusishwa na ‘panya road.’

Lakini walimu wanasema, waliamua kumsaidia ili awe mwanafunzi mzuri na hatimaye kumaliza mitihani yake ya kidato cha nne,

“Uzuri wake leo hii anamaliza kidato cha nne, tunamuombea Mungu afaulu na ikitokea vinginevyo, anaweza kusoma hata ufundi,” anasema Tende.

Mwalimu Tinde anasema hatua ya kumaliza mitihani yake ni ujasiri mkubwa kwani, mwanafunzi mwingine angeweza kuacha shule kwa woga au aibu.

Maisha yake baada ya tukio

Awali haikuwa rahisi kwa Isack kurejea shuleni na kuendelea na masomo.

Baba yake anasema baada ya matibabu na kesi kuisha, ilimlazimu ampeleke Tanga kwa ndugu zake ili akakae kidogo kurejesha fahamu zake vizuri kabla ya kuendelea na masomo.

Walimu wake pia waliamini kwamba hataweza tena kuendelea na masomo.

Mwalimu Tende anasema ilibidi walimshauri baba yake walau amuhamishie shule nyingine kwa sababu waliamini atakuwa ameathirika kisaikolojia.

“Lakini baadaye tukaona amerudi na anaweza kumudu masomo hivyo kazi kubwa ikawa kumsaidia kisaikolojia,”anasema.

Mwalimu wake wa darasa, Janeth Swai anasema moja ya jukumu kubwa lililokuwa mbele yake mwaka huu ni kumsaidia mwanafunzi huyo, sio tu kwamba aachane na tabia zilizomsababishia matatizo ya kupigwa, bali kuwekeza nguvu kwenye masomo yake.

“Nilikuwa naongea naye kila mara, nikamfanya rafiki yangu na akaanza kunisimulia vitu vingi. Kwa hiyo niliweza kumsaidia sana,” anasema.

Mwalimu Swai anasema Isack alikuwa mtulivu zaidi na akaanza kuwakwepa rafiki zake hasa wa mitaani.

Mwalimu mwingine, Joyce Madenge anasema isingekuwa makundi mabaya ya rafiki zake, mwanafunzi huyo asingekutwa na janga lililomkuta.

Anasema bado kuna kazi kubwa ya kumsaidia Isack kisaikolojia na kuhakikisha hajiungi tena na makundi ya aina hiyo baada ya kumaliza masomo yake.

Baba yake anasema ameshamuandalia sehemu ya kujifunza ufundi wa magari baada tu ya kumaliza kidato cha nne wakati akisubiri majibu.

Kuhusu kujihusisha na ‘panya road’

Anasema siku ya tukio hakuwa anajua kama wenzake hao wangefanya uhalifu huo na kwamba, alishtukia tu wameanza kupora kisha kuanza kupigwa.

“Kwa hiyo nilishtuka tu wenzangu mbele yangu wanaanza kupora mara kelele za wezi. Ndio tukaanza kukimbizwa na kupigwa,” anasema.

Hata hivyo anasema baada ya kupata ahueni, aliwapeleka polisi kwa mwenzake mmoja ambaye nyumbani kwao alikutwa na bendera ya kundi la ‘panya road’ wanaojiita ‘Taifa Jipya’ iliyochorwa picha za maghorofa, silaha za jadi na askari akikimbizwa.

“Ninachoshukuru nimekuwa kijana mzuri, sina tena marafiki na ninamaliza shule. Kweli sikuwa mwizi,”anasema.

Majuto ni mjukuu

Isack anatamani tukio hilo lisingetokea lakini limeshatokea.

“Naumia nikikumbuka na niwaombe vijana wenzangu waache tabia hizi mbaya zinawaumiza sana wazazi. Baba yangu aliumia na akaingia gharama kubwa kunitunza,”anasema.

Isack anatamani kuwa mwalimu wa sekondari.

“Napenda kuwa mwalimu mzuri kama Swai, napenda nije niwasaidie wenzangu hata hivyo masomo ninayoyapenda ya Kiswahili, Kingereza na History yananisukuma kuwa mwalimu zaidi kuliko kazi nyingine,” anasema.

Anasema mitihani si migumu sana na kwamba maswali mengi walikuwa wamefundishwa.

“Kama nitafeli ni kwa sababu ya tatizo lililonitokea, lakini naomba Mungu nifaulu,” anaema.

Mwalimu Tinde anasema jambo zuri ni kuwa amemaliza kidato cha nne.

Wasiliana na The Great Maalim Hussein Mtaalam wa Kutatua Matatizo Yaliyoshindikana Kwa Kutumia Nyota na Dua

$
0
0

THE GREAT MAALIM HUSSEIN
Wasiliana na Mtaalam Huyu Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana ama Zilizo Achwa ndani ya Siku Moja 1.
Maalim Hussein ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA(Rudisha Mahusiano yako Ndani ya Saa 12 tu)
MAALIM HUSSEIN ni Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili Mwenye Uwezo wa Kubaini Tatizo lako tu Pindi Utakapo Fanya Mawasiliano Kupitia Wasaa Husika.
(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFATA MAELEKEZO YAKE..)
Je Unasumbuliwa na Mapenzi..?
Umeachwa na UMPENDAE Awe Mume/Mke na Bado Unampenda
Je Umejaribu Sehemu Nyingi Bila Mafanikio?
Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo..
Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu.
Je Umekimbiwa na Mumeo/Mkeo au Mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine..?
Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao (Mfarakano/Kimavi) Endapo Utafata Atakacho Kuelekeza.
Je Una Mpenzi wako ana Pesa na unataka Kumkamata? Muone Maalim Hussein Atamfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi..
Maalim Hussein Anatumia Jina La Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo..
Anatibu Kutumia QUR_AN DAWA ZA ASILI YA AFRICA, Dawa za KIARABU NA MAJINI..
ANATAFSIRI NDOTO. ANAPANDIKIZA NYOTA YA KUSHINDA BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUSKI NA VIFUNGO MBALIMBALI.
ZINDIKO ZA NYUMBA NA BIASHARA.. PETE ZA BAHATI.. HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA. HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA..
MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA..ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA  ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE..
Humaliza Kesi ya Aina Yoyote Ndani ya Siku 7 tu..
Hutoa Jini la MALI kwa wale Wanao Hitaji Utajiri Bila Masharti..
+255 674 835 107 WhatsAPP tu.
+255 746 757 102 Kupiga tu.

PICHA 7: Kutoka Eneo la Ajali ya Ndege iliyoua watu 11 Ngorongoro Arusha

$
0
0
Jeshi la Polisi Arusha limepata miili ya watu 11 waliofariki kwenye ajali ya ndege ndogo ya Coastal Aviation iliyotokea jana November 15, 2017 katika eneo la Embakazi Wilayani Ngorongoro.

Ndege hiyo ilipaa kutoka uwanja mdogo wa Arusha saa nne na dakika 10 asubuhi kuelekea uwanja wa Ndege Kilimanjaro (KIA) na kuchukua abiria watano jumla ikawa na abiria 10 na Rubani akiwa ni mtu wa 11 kwenye ndege hiyo na kuelekea Ngorongoro.






Nchi 10 Tajiri Afrika Kwa Mwaka 2017 ndio Hizi zimetajwa

$
0
0
Bara la Afrika linatambulika kwa kuwa na nchi masikini duniani lakini hiyo haimaanishi kwamba hakuna nchi zilizo tajiri kwenye bara hili ambapo kwenye hii post nakukutanisha na nchi tajiri za Afrika kwa mwaka 2017.

10.Tunisia 

Tunisia ina utajiri mkubwa wa mafuta na gesi na ukiachilia mbali utajiri wa mafuta na gesi, Tunisia ni nchi ambayo ina vivutio vya utalii vinavyoiingizia pesa.

9.Libya

Libya ni miongoni mwa nchi chache Afrika yenye uchumi ambao upo juu kutokana na utajiri wa gesi na gypsum zinazopatikana nchini humo na ni nchi pekee yenye utajiri mkubwa wa usambazaji wa umeme na uwekezaji wa mafuta.

8. Angola

Angola ni nchi tajiri kwa upande wa mafuta, madini ya almasi ambayo huwa yanasafirishwa kuuzwa nje ya nchi.

7. Botswana

Kiwango cha gharama za maisha kwenye taifa la Botswana kinalingana na gharama za nchi kama Mexico na Uturuki, kwa kiasi  kikubwa cha uchumi wa nchi hiyo unakuzwa na uchimbaji wa madini ya Almasi na  sifa yake nyingine ni kuwa na idadi ndogo sana ya watoa rushwa.

6. Gabon
Gabon utajiri wake ni kutokana na kuwa na madini na mali kwa wingi na Wafanyabiashara wengi  kutoka nchi za kigeni wameweza kuifanya Gabon kuwa nchi yenye maendeleo barani Afrika kwa kuwekeza biashara zao.

5. Egypt(Misri)

Egypt/Misri  ni nchi ambayo ina vivutio na hiyo inafanya kuwa na watalii wengi ndani ya nchi na nje, inatajwa kuwa ni moja pia kati ya nchi zilizostaarabika na zimeendelea upande wa kilimo,maandiko,utawala,dini,vitu vya chuma,pamba na nguo.

4. Equatorial Guinea

Equatorial Guinea ni nchi pekee Afrika inayotumia lugha ya Kispanyola kama lugha yao rasmi,  wanasema moja ya vitu vinavyokuza uchumi wa nchi hiyo ni mafuta pia ni nchi ya tatu  kwa uzalishaji wa mafuta na vingine kama kilimo, misitu na uvuvi wa samaki kwa Afrika.

3. South Africa

Uchumi wa Afrika Kusini umeimarika kwa uuzaji wa madini nje ya nchi kama madini ya dhahabu, almasi na madini mengine ya chump, hatuwezi kuisahau Afrika Kusini ilipoandaa michuano ya Kombe la dun mwaka 2010 na kuandaa kwa michuano hiyo kulichangia mapato ya nchi hiyo kuongezeka na kupata idadi kubwa ya Watalii.

2. Nigeria
Kwa mwaka 2016 IMF waliitaja Nigeria kama miongoni mwa mataifa yanayotarajiwa kuja kuwa taifa lenye nguvu kiuchumi barani Afrika baada ya kuipiku Afrika Kusini.

1.Seychelles

Benki ya dunia mwaka 2015 ilitaja Seychelles kuwa miongoni mwa nchi zinazozoingiza mapato mengi na kukuza uchumi wa nchi hiyo, inawezekana uwepo wa idadi ndogo ya watu umesaidia nchi hiyo kuwa na uchumi imara na kufikia kuwa nchi namba moja kwa utajiri Afrika huku ikitajwa kuwa ina ukosefu wa ajira kwa kiwango cha asilimia moja pekee.

Wake za Watu Wanaongoza kwa Kufanya Ngono Ovyo Kuliko Wanawake Masingle

$
0
0
Yaani nimefanya kautafiti kangu ka kutosha na nimepata jibu asilimia 90 ni kwamba wake za watu wanagegedwa ovyo kuliko wanawake waliosingle.

Mimi hapa kwa mfano ni ngumu sana kunigegeda, yaani ni hadi nipende na kazi sana hata kama nina hamu mwaka mzima, ninakuwa na pride flani hivi na papuchi yangu japo sipangiwi. Hata nikikubali lazima tupange kuhusu location, usalama wa afya zetu, mimba etc.

Ila wake za watu bana wanagegedwa tu ovyo ovyo, hata chooni, kwenye magari etc hawawazi cha usalama wa afya zao, mimba zisizotarajiwa wala nini wao ni kitu tu tu. Ndo wadau wa cha fasta pia wanagegedwa na mtu yoyote maana hana commitment na mtu si ana mume wake tofauti na sisi masingle tunaselect wewe sijui aweje etc.

Kuna wanawake nipo nao around ni wake za watu, wana watoto ila wanavyogegedwa Mungu shahidi au wana papuchi mbili? Ila dunia haipo fair. Leo anagegedwa apate ada ya watoto, kesho marejesho saccos na vicoba, sijui apate sare ya kitchen party.

Mara anunuliwe bia basi tu papuchi ndo parttime job zao.

By Miss Natafuta

MBOWE: “Wachunguzeni Lowassa, Sumaye na Nyalandu” Hatuogopi

$
0
0
Ni maneno ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Freeman Mbowe akiwa Mbeya kuendelea na ziara ya kuwanadi Wagombea wa Udiwani katika uchaguzi mdogo.

Mbowe akiwa jukwaani amesema “Nimemsikia Waziri mmoja, Waziri Kigwangalla……. anatoa maelekezo kwa TAKUKURU wamshughulikie Lazaro Nyalandu aliekua Waziri wao ambae sasa hivi fresh ndani ya CHADEMA“

“Wakasema CHADEMA mlisema Lowassa alikua fisadi tukawaambia sawa tulisema kwa wakati wake, kwenye siasa hauna Rafiki wa kudumu wala Adui wa kudumu lakini tumeshtuka kwamba huo ufisadi wake hamjaweza kuudhihirisha, mpelekeni Mahakamani…….. hawana cha kupeleka Mahakamani”

“TAKUKURU wanasema wameshapewa malalamiko kwahiyo wanayafanyia kazi tunawaambia CHADEMA hatuogopi Mahakama na kiongozi yeyote ndani ya CHADEMA mnaetaka kumchunguza akiwemo Mbowe anzeni leo hatuogopi”

“Awe ni Lowassa mchunguzeni, awe ni Sumaye mchunguzeni… awe ni Nyalandu mchunguzeni, awe ni Sugu mchunguzeni”

Download Application ya MCHAMBUZI Kwenye Simu yako Kusoma Habari za Siasa Kila Baada ya Lisaa Limoja

$
0
0
 
Maswala ya Siasa na Matamko ya kila siku ya Wanasiasa Hakikisha Umedownload App ya Mchambuzi Kwenye simu yako
Bonyeza HAPA

Kama we ni Mpenzi wa Habari za Siasa Usipitwe na Hii Application ya Mchambuzi..... 
Bonyeza HAPAKudownload kwenye Simu yako


Mke Wangu Akitoka....Mfanyakazi wa Ndani Ananikalia Mikao ya Kunitamanisha

$
0
0
Wanaume kweli tunakazi aisee..yaani hivi karibuni mimi na mke wangu tumepata mfanyakazi wa ndani mpya kutoka Iringa lakini imekuwa ni majaribu kwangu mwanzo mwisho pale wife anapotoka nyumbani na mimi kubaki nyumbani, Kasichana haka kabichi kabisa kananitego kwa mikao mbali mbali ya ajabu ajabu, mara kajifanye kudeki huku kana khanga moko....sometimes napatwa na muhemko nafikiria kukatafuna ila naionea huruma ndoa yangu changa...Wife akirudi nyumbani kanakuwa kapole kanavaa vizuri kabisa utadhani kashamba......

Naombeni Ushauri Jamani Nifanyaje?

Ni Shemeji Yangu Kabisa Mke wa Kaka Yangu ila Utani Wake Umepitiliza

$
0
0

Kuna ule utani wa mashemeji lakini utani wa shemeji yangu huyu umezidi ndugu zangu. Siku moja nilikuwa natoka zangu kwenye mizunguko yango ya kila siku mjini, nilipofika nyumbani nilimkuta shemeju yangu nyumbani kaka alikuwa bado hajarudi. kama kawaida yake akaanza.

"haya mume wangu kipenzi leo umeniletea nini" nikamuambia leo sina kitu wife kesho nitakuletea bonge la zawadi akasema wala usijali mume wangu leo nina bongo la zawadi yako, mi nikajua utani
bwana aliniacha sebuleni yeye akaingia chumbani kwake na mimi pia sikukaa sana nilienda chumbani kwangu mara tu nikasikia ananiita shemeji njoo huku tayari nikatoka, akaniambia njoo huku chumbani kwangu, nikafika ila nikaishia mlangoni akaniambia ingia shemeji. heehh nikamkuta amevaa nguo moja fupi ya ajabu akaniambia ngoja nikuonyesha mambo ninayompa kaka yako akaanza kukaa style tofauti tofauti pale kitandani za kusisimua, kweli nilishindwa kumuelewa nikamuuliza shemeji huu ni utani pia au uko serious. akaniangalia tu machoni halafu akaendelea. Nilivyoona vile nilifungua mlango nikatoka. akaaniita kwa hasira mi nikarudi chumbani kwangu nikalala. Sasa namuonea hata aibu kumuangalia shemeji yangu. Hii ni sawa kweli wadau..!!

Kila Msichana Ninae Mtongoza Ananiomba Hela...Whats This

$
0
0
Mimi ni Kijana wa miaka 25 ninafanya kazi bank moja hapa Mjini ..nimefikia umri wa kutafuta mchumba wa kuoa ila hawa mabinti sijui wakoje kila ninaye mtongoza haipiti siku ananiomba hela kwa visingizio mbali mbali na mimi demu akishaniomba hela design hii hapo hapo naona sio namuona kimeo ndio wale wale ....

Kwani Mapenzi siku hizi lazima usambaze Hela kwanza ndio upendwe ama? Naomba ushauri

Kutana na Miujiza ya Sharifu Seif Mohamed Kutoka Bagamoyo...Ana Dawa za Kurudisha Mapenzi na Zingine Nyingi

$
0
0
MIUJIZA YA SHARIFU SEIF MOHAMED KUTOKA BAGAMOYO.

SHARIFU SEIF MOHAMED ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOENDELEA KUPIGA SIMU, WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA  SHUKRANI NA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO WASAIDIA,
(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

SHARIFU MOHAMED Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN, Dawa za Asili, Dawa za Kiarabu na majini kwa kumtuliza mke/mme, mchumba au mpenzi ndani ya masaa 72 tu, na kutatua matatizo yote ya kimaisha,

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu SHARIFU SEIF sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata Atakacho Kuelekeza

ANAZO DAWA ZA MAPENZI, NGUVU ZA KIUME, CHANGO NGIRI MAJI NA N.K, ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA, HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA, ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUKSI NA VIFUNGO MBALIMBALI,  MAFANIKIO YA MAISHA NA UTAJIRI BILA MASHARI, NA MENGINE MENGI YA SIRI,

Je UMAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? WASILIANA NA MTAALAMU HUYU KWANI YEYE HUFAULU PALE WOTE WALIPOSHINDWA, PIA UMALIZA KAZI ZILIZO SHINDIKANA NA WATAALAM WENGINE NDANI YA MASAA 24 TU,

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE AU MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFWATA MAELEKEZO YAKE)

Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi Piga SIMU No:
Mobile +255 654-836970
WhatsApp +255 756-033670

USHAURI: kama unahitaji msaada ni  bora kupiga simu kuliko kutuma sms ili upate  msaada kwa haraka.

RC Makonda Awatangazia Vita Wanaume Wanaokimbia Majukumu Yao ya Kulea Watoto

$
0
0
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa PAUL MAKONDA Leo ametangaza kiama kwa Wanaume wenye michezo ya kuwazalisha Wanawake kisha kuingia mitini kwa kukwepa majukumu ya kulea mtoto jambo linalosababisha ongezeko la Watoto wa Mitaani na ombaomba.

Mheshimiwa MAKONDA amesema anataka kuongezea nguvu Idara ya Ustawi wa Jamii kwa kuuunda kamati ya Wanasheria Wabobezi kwaajili ya kuwapeleka Mahakamani Wanaume wanaotelekeza Familia na kuwaachia Wanawake mzigo wa Malezi.

Aidha amesema kuwa Kamati hiyo pia itafanya Marekebisho ya Sheria ya pesa ya matunzo ya mwezi Kwa Mtoto kisha kuwasilishwa Bungeni kwakuwa pesa inayotolewa ni ndogo na haiendani na maisha ya sasa.

Amesema ni lazima ifike Mahala Mwanaume anaposababisha Ujauzito kwa Binti atambue analojukumu la kuhudumia.

RC MAKONDA amesema hayo wakati wa hafla ya kukabidhi zawadi za Vifaa vya Ultrasound 10 za kisasa Aina ya “GE Vscan Access” zenye thamani ya zaidi ya shilingi Million 150 kwa Hospital 10 zilizofanya vizuri katika kutoa huduma bora za Afya na kupunguza vifo vya Mama na Mtoto wakati wa kujifungua.

Amezipongeza Hospital, Zahanati na Vituo vya Afya vilivyofanikisha Mkoa wa Dar es Salaam kuwa kinara wa huduma bora za Afya na Kupunguza Vifo vya Mama na Mtoto na kuwaasa Watoa huduma kuwa na lugha nzuri kwa Wagonjwa.

Kwa Upande wake Mshauri Mtaalamu wa Magonjwa ya Mama na Mtoto kutoka CRDB Dr BRENDA DIMELLO amesema Dar es Salaam imekuwa Mkoa wa kwanza kupunguza vifo vya Mama na Mtoto kutokana na usimamizi thabiti wa RC MAKONDA na watendaji wa Afya.

Video: Inasemekana Msanii wa Muziki Ferouz Hali Ngumu...Anaswa Live Akiuza Samaki Mchele kitaa

$
0
0
Video inayosambaa ikimuonyesha Ferouz wa Daz Nundaz msanii aliyetikisa na wimbo uitwao wa Starehe uliofanya vizuri mpaka akapewa zawadi na mh rais wa zamani mkapa.
Hapo awali inasemekana maisha yake yalikuwa magumu na pia ni mtumiaji wa madawa ya kulevya! VIDEO:

PICHA:Rais Robert Mugabe Akutana na Mkuu wa Jeshi na Kuongea Naye

$
0
0
Rais Mugabe amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Jeshi pamoja na ujumbe kutoka nchini Afrika Kusini, katika makazi yake Harare.

Prof. Kitila Mkumbo Aliyekuwa ACT Arejea Rasmi CCM

$
0
0
 Prof. Kitila Mkumbo Aliyekuwa ACT Arejea Rasmi CCM

Mwanaume Aliyefariki Miezi 6 Iliyopita Afufuka

$
0
0
Mwanamke Chausiku Miligo aliyedaiwa kufariki na kuzikwa miezi sita iliyopita, amezua taharuki kubwa baada ya kuonekana tena mtaani kwake Mbugani Kata ya Igoma, jijini Mwanza akiwa hai.

Majirani wa mwanamke huyo wameshangazwa na kitendo cha yeye kuonekana huku wakipigwa taharuki, kwani walithibitisha kifo chake na hata kuzikwa kwake.

Chausiku alipoulizwa mahali alipokuwa katika kipindi chote cha miezi sita alieleza kwamba alikuwa wilayani Bariadi, Mkoa wa Simiyu ambapo amemuacha mtoto wake wa kiume.

Mwenyekiti wa Mtaa wa Mbugani aalieleza kuwa Chausiku aliugua ghafla akiwa mjamzito na kupelekwa katika Hospitali ya Mkoa ya Seketule ambapo baada ya muda mfupi alifariki dunia na kisha taratibu za maziko zikafuatwa.

“Huyu mama aliugua na hatimaye akapelekwa katika hospitali ya mkoa ya Seketule, na baadae tulipata taarifa kuwa amefariki dunia na sisi kama mtaa tulifuata taratibu zote za kumsitiri. utaratibu wa maziko ulifanyika Shinyanga. Kwa hiyo tuliuaga na kutoa heshima zetu za mwisho na huyu mama alisafirishwa akapelekwa kuzikwa shinyanga,” alisema mwenyekiti wa mtaa wa Mbugani.

Umati wa watu ulikusanyika kushuhudia tukio hilo la aina yake ambapo kila mmoja alibaki akishangazwa kwa tukio hilo.

Familia ya Chausiku imeeleza kuwa ina mpango wa kumfanyia tambiko ili aweze kurejea katika hali yake ya kawaida.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Novemba 17

$
0
0
 


Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Novemba 17

Spika Ndugai aigomea Serikali jina la Shirika la Wakala wa Meli wa Taifa

$
0
0
Spika wa Bunge, Job Ndugai jana Alhamisi amegomea Serikali na kulazimika kuahirisha Bunge kwa muda wa saa moja ili warudi na kukubaliana kubadili jina la Shirika la Wakala wa Meli wa Taifa (NASAC)

Spika Ndugai alitoa agizo la kuahirisha Bunge baada ya mvutano wa Serikali na Kamati ya Bunge ya Miundombinu ambao walipendekeza kubadilishwa kwa jina hilo.

Mapema wakati Serikali ikijibu maoni ya wabunge kuhusu muswada huo, Spika alionyesha dhahiri kutokukubaliana na wazo la Serikali na badala yake akasimama katika mawazo ya kamati na wabunge wengine kuwa jina hilo halifai.

Mara baada ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju kumaliza yake, Spika alihoji ni kwa nini asikubaliane na mapendekezo ya wabunge katika kubadili jina la muswada lakini mwanasheria huyo akatupia mpira kwa waziri kuwa angekwenda na majibu.

Hata hivyo, katika majumuisho ya michango ya wabunge, Waziri Profesa Makame Mbarawa alitoa sababu za kutobadilisha jina akisema halikuwa na maana yoyote na wala lililopendekezwa halikuwa na madhara kwani waliosema kuwa jina hilo ndilo lililofilisi hawakujua kuwa kulikuwa na usaliti.

“Mheshimiwa Spika, jina halina shida yoyote kwani hata lile la awali siyo kwamba lilipeleka madhara bali kilichotokea ni namna ambavyo baadhi ya watu waliokuwa ndani ya chombo hicho walikuwa ni wasaliti,” alisema Mbarawa

Baada ya hoja za waziri huyo Bunge lilikaa kama kamati na kuanza kuangalia vifungu hivyo ndipo Spika akampa nafasi mwenyekiti wa kamati hiyo Profesa Norman Sigala ambaye akasema Serikali ilikuwa imewadanganya.

“Nakushukuru mheshimiwa Spika, Serikali hapa ni kama imetudanganya maana kusema itaangalia huko mbeleni ni sawa na kutudanganya sisi, tulichokubaliana kwenye kamati sicho kilichowasilishwa bungeni,” alisema Profesa Sigala.

Spika alimpa nafasi Waziri ambaye aliendelea kuweka msimamo kuwa jina hilo liendelee kama lilivyowasilishwa na Serikali ili kama kutakuwa na marekebisho mbeleni Serikali itafanya hivyo.

Kauli ya waziri ilimuinua Spika ambaye alisema jina hilo linapeleka picha mbaya kwani haiwezekani Serikali kuunda chombo kipya kizuri lakini ikatumia jina ambalo lina maudhui mabovu.

“Hapa ndipo tunatunga sheria yenyewe, sasa kama mnaona kubadili jina kunaweza kuathiri kisheria niambie lakini kama hakuna, sioni kwa nini tuendelee kuvutana sana, naahirisha shughuli za Bunge kwa saa moja nendeni katika ukumbi wangu hapo mkutane na mjadiliane ili mkirudi hapa mniletee jina,” alisema Spika na kuahirisha Bunge

Wabunge walilipuka kwa makofi na makelele ya kumshangilia Spika huku wanasheria wakikutana kwa haraka ambapo Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi waliwaongoza wajumbe wa kamati na serikali haraka kuingia ukumbini kwa ajili ya kutafuta jina hilo.

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Siku ya Leo Ijumaa

$
0
0
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live




Latest Images