Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104667 articles
Browse latest View live

Bunge Latoa Onyo Kali kwa Magazeti Matatu

$
0
0
unge Latoa Onyo Kali kwa Magazeti Haya
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limetoa onyo kali kwa magazeti na Wahariri wa gazeti la Mtanzania, Mwananchi na Nipashe kwa kosa la kuchapisha na kusambaza mwenendo wa shauri lililokuwa likifanyiwa kazi na Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge.




Pata Dawa Bora za Nguvu za Kiume na Kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa

$
0
0
Baada ya utafiti wa muda mrefu juu ya matatinzo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurundia tendo kwa haraka Sasa inakuletea suluhisho juu ya matatizo haya kwa kutumia dawa za Full Power

Ni Dawa asili yenye vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,
Dawa hii inamchanganyiko wa kutosha kuzalisha vichocheo vingi vya hernone za gestro gen zikiwemo vitamin b6 na b1 vitamin E pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wakufanya tendo la ndoa zaidi hatua nne au zaidi na kuchelewa kufika kileleni zaidi ya dakika 20/30

ZAT 50 inarundisha maumbile ya uume yaani kurefusha na kunenepesha nchi 3/7 na upana cm 3/4 standard.

Kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukitumia maumbile yatabaki kuwa hivyo siku zote pia anatibu matatizo mengine kama presha kisukari ngiri chango la tumbo kujaa gesi kutopata choo vizuri minguu kuwaka moto matatizo ya uzazi bawasili na magonjwa ya zinaa kama kisonono na kaswende tunapatikana daresalaam na mikao wasiliana nasi DR Oshinda Namba za simu 0755505099/0714126118

Karibuni kwa hunduma bora

John Heche Atii Wito wa Polisi Kujisalimisha Jumatatu

$
0
0
John Heche Atii Wito wa  Polisi Kujisalimisha Jumatatu
Mbunge wa Tarime Vijijini (Chadema), John Heche amesema ataripoti polisi mkoani Morogoro kuitikia wito wa jeshi hilo.

Heche amesema ataripoti polisi Jumatatu Novemba 20,2017 kwa kuwa ana taarifa kwamba anatafutwa na jeshi hilo.

Polisi walioelezwa kutoka mkoani Morogoro jana Ijumaa Novemba 17,2017 walifika eneo la Bunge na Heche alilieleza Mwananchi kuwa walimpatia wito kuwa anatakiwa kwenda kuhojiwa mkoani Morogoro.

Heche pia alieleza hofu yake kwamba polisi walikuwa wamkamate, hata hivyo hilo halikufanyika.

Mbunge huyo alisema hajui kosa alilotenda, isipokuwa anatakiwa kuhojiwa kwa kauli alizotoa alipomsindikiza mbunge wa Kilombero (Chadema), Peter Lijualikali alipotoka gerezani.

Akizungumza na Mwananchi leo Jumamosi Novemba 18,2017 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Ulrich Matei amesema mbunge huyo alifanya mkutano wa hadhara wilayani Kilombero Aprili 8, 2017.

Kamanda Matei alisema wanamtafuta Heche kwa kosa la kutotii amri za viongozi na kufanya mkutano Kilombero na kutoa lugha ya matusi hivyo kutaka kusababisha vurugu.

Amesema tangu siku ya tukio jeshi hilo limekuwa likimtafuta mbunge huyo bila mafanikio ndipo lilipoamua kulishirikisha Bunge.

Polisi iliandika barua kwa Spika wa Bunge kumtaarifu kuwa mbunge huyo anatafutwa kwenda kujibu tuhuma zinazomkabili mkoani Morogoro.

"Barua ni mambo ya siri kati ya jeshi na Bunge, tunachotaka sisi ni kumuona Heche hapa na asitake tutumie nguvu," amesema Kamanda Matei alipoulizwa kuhusu barua waliyoiandika kwa spika.

Hatimaye Dr Shika Akamilisha Muamala Wake wa Bima ili Pesa zake Zitumwe

$
0
0
Dr Shika amekamilisha muamala aliotakiwa kuufanya ili atumiwe pesa zake, ilikuwa inahitajika dola 100, tayali ametuma Leo kupitia benk ya equity kwenda benk ya Bangkok inchin Thailand. Tusubili aje kunyamazisha watu

VIDEO: Jibu Atalokupa Dr. Luis Shika Ukimuuliza kwanini Ana Hela Lakini Anaishi Kawaida

$
0
0
Tunae tena Dr. Luis Shika ambae ameendelea ku-trend Tanzania baada ya kutoka Polisi ambapo ameiongelea historia yake na kusema pesa zake nyingi zipo Urusi ambako alikua na kampuni yake huko kwa muda mrefu.

Dr. Luis anasema Kampuni yake ya Urusi inaendelea kufanya kazi kuhudumia nchi mbalimbali duniani na kuna uongozi aliouweka pale nchini Urusi ambako ndiko makao makuu kikiwa na Wafanyakazi elfu 6.

Sasa swali ni kwanini anaishi maisha ya kawaida sana wakati yeye ni Bilionea? Mtazame kwenye hii video hapa chini akiongea mwenyewe

 VIDEO:

Mbowe Awataka Viongozi wa Dini Wasione Aibu Kuikosoa Serikali

$
0
0
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amewataka viongozi wa dini kupaza sauti kukemea maovu ili kuiokoa nchi katika kilio.

Mbowe  alisema hayo jana wakati wa ibada ya kumuaga marehemu mchungaji mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Jimbo la Hai, Looka Mushi iliyofanyika katika Usharika wa Nkwarungo.

“Dunia yetu imejaa uovu, sisi ambao tuko kwenye siasa tunatambua nguvu ya viongozi wa kiroho, kauli yao moja kukemea uovu inatingisha nchi nzima,” alisema Mbowe. “Semeni tunatambua tangu enzi mmekuwa mkikemea maovu na ‘kui-shape’ nchi, msione aibu kuwakemea viongozi waovu.

“Viongozi wa dini msiingize roho ya uoga, mtaiponya nchi, mkikaa kimya nchi itakufa, nchi inateketea, nchi inaangamia viongozi msikae kimya watu wanauawa.

“Itafika kipindi kwa kiburi cha madaraka wataamrisha baba askofu alale rumande kwa mfano, Mungu akunusuru sana Baba Askofu Dk Frederick Shoo atakapoambiwa alale ndani ndiyo utakuwa ukombozi wa Taifa letu Bwana Yesu asifiwe,” alisema Mbowe.

Kwa upande wake, Askofu Shoo alisema viongozi wa dini waache unafiki na waige mwenendo wa Mchungaji Mushi.

“Watumishi wengi ni wanafiki, hivyo waache unafiki na kuwa na rangi mbilimbili muige mwenendo wa mchungaji Mushi,” alisema Dk Shoo.

Askofu mstaafu Erasto Kweka alisema matendo mema yaliyotangauliza neno la Mungu ndiyo silaha ya kweli ya kila binadamu.

Alisema jambo muhimu ni kuishi kwa kuangalia waliofanikiwa katika imani walifanya nini.

“Leo tunamuaga mpendwa wetu, anayesifiwa na kila mmoja kutokana na kutukuka kwa matendo yake mema, tutafakari na kutenda kwa kumpendeza Mungu kama alivyofanya Mchungaji Mushi,” alisema Kweka.

Muhubiri katika ibada hiyo, Mchungaji Lewis Hiza alisema watu wanashangaa kwa nini alikuwa na urafiki na Mchungaji Mushi.

“Jibu ni kuwa wazee wanaozeeka vizuri, huwa na urafiki na vijana ili kuwaachia yaliyo mema na neno alilokuwa akiniambia kila siku nishike neno kwa sababu litaniweka pazuri na litakuwa majibu ya kila swali,” alisema Hiza.

Akisoma wasifu wa marehemu, katibu mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini, Arthur Shoo alisema Mchungaji Mushi alipata tatizo la mapafu mwaka 2008 na kupata matibabu katika hospitali mbalimbali.

Alisema mwaka 2014 aliugua na kufanyiwa upasuaji na kutolewa uvimbe tumboni katika Hospitali ya Manipal Bangalore nchini India.

“Pia mwaka huohuo alifanyiwa upasuaji wa kuondoa tezi dume. Mwaka 2015 alirudi tena India kwa uchunguzi, alionekana anaendelea vizuri japokuwa aliendelea kusumbuliwa na tatizo la mapafu ambalo mzizi wa tatizo ulianza kwenye ugonjwa wa pafu mpaka alipofariki Ijumaa iliyopita,”alisema Shoo.

Wasiliana na The Great Maalim Hussein Mtaalam wa Kutatua Matatizo Yaliyoshindikana Kwa Kutumia Nyota na Dua

$
0
0
THE GREAT MAALIM HUSSEIN
Wasiliana na Mtaalam Huyu Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana ama Zilizo Achwa ndani ya Siku Moja 1.
Maalim Hussein ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA(Rudisha Mahusiano yako Ndani ya Saa 12 tu)

MAALIM HUSSEIN ni Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili Mwenye Uwezo wa Kubaini Tatizo lako tu Pindi Utakapo Fanya Mawasiliano Kupitia Wasaa Husika.
(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFATA MAELEKEZO YAKE..)

Je Unasumbuliwa na Mapenzi..?
Umeachwa na UMPENDAE Awe Mume/Mke na Bado Unampenda
Je Umejaribu Sehemu Nyingi Bila Mafanikio?
Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo..
Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu.
Je Umekimbiwa na Mumeo/Mkeo au Mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine..?
Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao (Mfarakano/Kimavi) Endapo Utafata Atakacho Kuelekeza.

Je Una Mpenzi wako ana Pesa na unataka Kumkamata? Muone Maalim Hussein Atamfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi..
Maalim Hussein Anatumia Jina La Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo..
Anatibu Kutumia QUR_AN DAWA ZA ASILI YA AFRICA, Dawa za KIARABU NA MAJINI..
ANATAFSIRI NDOTO. ANAPANDIKIZA NYOTA YA KUSHINDA BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUSKI NA VIFUNGO MBALIMBALI.

ZINDIKO ZA NYUMBA NA BIASHARA.. PETE ZA BAHATI.. HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA. HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA..
MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA..ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA  ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE..

Humaliza Kesi ya Aina Yoyote Ndani ya Siku 7 tu..
Hutoa Jini la MALI kwa wale Wanao Hitaji Utajiri Bila Masharti..
+255 674 835 107 WhatsAPP tu.
+255 746 757 102 Kupiga tu. 

“Mara Nyingi Nilitamani Kujiua” Emmanuel Adebayor

$
0
0
Emmanuel Adebayor amekuwa mwanasoka ambaye ametawaliwa na matukio mengi sana nje ya uwanja, Adebayor amekuwa na maisha magumu ndani ya uwanja na mara zote  amekuwa akiishutumu familia yake.

Mara kadhaa Adebayor amekuwa akidai kwamba chanzo cha yeye kuwa na kiwango kibovu uwanjani ilikuwa ni uchawi anaofanyiwa na ndugu zake. Adebayor alishawahi kwenda mbali kwa kudai kuwa mama yake alimchongea atimuliwe Madrid.

Sasa Emmanuel Adebayor ameibuka na jipya ambapo anasema familia yake ilimchanganya kiasi cha kumfanya kujaribu kujiua mara kadhaa, Adebayor anadai familia ilimpa msongo wa mawazo wakati wote.

Familia ya Adebayor ambayo inaishi nchini Togo ni maskini sana na wanatajwa kwamba walikuwa wakihitaji kiasi kikubwa cha pesa kutoka kwa mwanasoka huyo kiasi cha kutumia mbinj nyingi ili wazipate.

“Nilitamani kujiua mara nyingi tuu na hili nilikuwa silisemi kwa mtu na nimekaa nalo kwa muda mrefu, sikutaka kuliongea jambo hili lakini sasa naona kama kulisema hadharani itanisaidi kuwa huru” alisema Adebayor.

Adebayor anasema amekuwa akizungumza na mdogo wake mara nyingo kuhusu familia yake inavyomfanyia kiasi cha kufikia kuamua kubadili namba ya simu ili kuwafanya wasiwe wanamtafuta.

Adebayor anasema kati ya sababu kubwa iliyomfanya kubadili namba ya simu ni tukio la familia yake kumpigia simu wakati akiwa majeruhi na kumuomba pesa bila hata kumuuliza anaendeleaje.

Ukiachana na dada yake Adebayor amekuwa akiamini kikwazo kikubwa kwake ni mama yake mzazi ambapo wakati akiwa Tottenham alisema wazi kwamba kiwango kibovu kilitokana na ndumba za mama yake.

Baada ya kuachana na Crystal Palace, Adebayor alikaa nje kwa muda mrefu akiwa hana timu ya kuichezea lakini sasa yuko nchini Uturuki katika klabu ya Istanbul Basksehir.

Tabia za Msichana Anayekupenda Kimapenzi Lakini Anashindwa Kukuambia au Kukueleza!

$
0
0
1. Atakutega kupata attention yako. Hufanya mambo ambayo yatamfanya kuona kama unampenda au lah! Mf wa mambo hayo ni kujifanya anaumwa na kuangalia respond yako kwake ni kiasi gani unamjali na kiasi gani utahangaika kwa ajili yake au

2. Haoni aibu kugusa sehemu yako ya mwili. Msichana anayependa haoni aibu kukushika mkono ama kukutomosa au hata kukumbatia. Kwa kufanya hivyo hujua kuwa kwa asilimia kubwa hisia za kushikana kwenu kutamrahisishia kazi ya kuwa na wewe

3. Kucheka kwa nguvu hata kwa kitu kisicho chekesha endapo wewe umezungumza. Mara nyingi ataonesha uso wa furaha hata kama si furaha ya kweli

4. Wivu.
Hujisikia wivu anapokuona na wasichana wengine. Ukiwa unachart nao na ukiwaita majina ya kimahaba. Hapendi.

5 anakumbuka siku zako muhimu. Hukumbuka kama vile siku yako ya kuzaliwa hatowez kuisahau kufanya ipite bila kukutakia heri ya siku ya kuzaliwa kama sivyo ukifaulu mtihani au chochote katika maisha yako atakuwa mbele kukupongeza

6. Eye contact anapenda kukuangalia machoni muda wote ambao mtakuwa mkizungumza pamoja akidhani kuwa utaelewa ni kiais gani anakupenda kupitia vile ambavyo anakuangalia.
Ila wengine huona aibu kuwatazama wavulana wanaowapenda si wote wana ujasiri wa kuwatazama wapenzi wao.

7. Hupenda kukaa mmuda mwingi na wewe. Hawezi kupoteza hata sekunde ukimuhitaji kwa mazungumzo. Anajisikia furaha kukaa na wewe muda mrefu bila kuchoka. Anaweza akaacha kila kitu anachokifanya ili ajumuike na wewe.

8. Yupo tayari kuangamiza. Kama msichana anakupenda yupo tayari kusacrifice. Ni kitu ambacho hakuna mtu ambaye anaweza akafanya kwa mtu mwingine. Utaona vipi huyo msichana alivyo kwako na wa wengine. Yaani yupo tayari yeye akose lakini wewe upate na kwa mwingine anaweza akamwamba hana alichoombwa lakini akakupa wewe kama pesa na vitu vingine.

9. Anachukulia matatizo yako kama ni yake. Unapomueleza kuwa ana tatizo anajali tatizo lako kama vile ni lake na hujisikia vibaya sana na kuhuzunika na atafanya lolote ili aweze kukusaidia utoke katika hilo tatizo.

10. Mikwaruzano ikitokea katika urafiki wenu hayupo tayari kukupoteza kabla hajakuambia anakupenda. Kwa kuwa anakupenda endapo ikatokea mikwaruzano basi atafanya juu chini kuyaweka mambo sawa ili asikukose

Kizazi cha Wanaume Wahongaji Chapotea Taratibu, Kizazi cha Wanaume Bahili Chashika Chati kwa Kasi!

$
0
0
Mwenzangu IS IT JUST ME AU NDO GAME LIMECHANGE SIKU HIZI? Au ndo nimeshakuwa mbuzi mzee bila taarifa? Naaaaaaah! Wanaume mnakoelekea siko. SIKO SIKO KABISAAAAA! Whats up with the NEO COLONIALISM? Msisahau nyie ni Waafrica, mambo ya kuiga iga uzungu unaweza jikuta unaunga mkono harakati za Cameroon bila kujijua.

Tukiangalia history kidogo ya uhongaji na ulaji bata TZ na Africa kwa ujumla utagundua vijana wa zamani au wazee wa leo wlikuwa in their 20's - 40's miaka ya 70 ndo walikula bata batani. Wanawake walifaidi vibaya mnoo. Hata mipedeshee inayohonga sana mjini hapa ni ya vijana wa early 70's manake uchumi ndo ulikuwa umekolea mahala pake, mambo ya ndustrial substitution program, mikazi ya kumwagaaaaaaaa! Kwenda nje kama kwenda chooni tu, ukimaliza kozi hii unaenda hi. Kanisa nalo ndo llimwaga mischolarship, transition ile raisi mwenyewe janki tu. Vijana walikula bata batani. Starehe ilikuwa enzi hizo, saivi kuosha macho tu, Marijaniiii alihamia mtaa wa 7 Baraka mwishee na marashi ya pemba, Jojinaa oooh jojinaaaaaaa! Acheni kabisaaa.

Late 70's ikapita vita vya kagera hapo, mambo yakawa si mambo, devaluation of currency ikafuatia, na Economic depression ya 1980's bata kidogo lilisitishwa na nchi ikaingia crash program. Maisha yalivaa bukta kidogo. endi zikafa zikafa, ndo maisha yakawa ki communist. Bata lilianza kusahaulika, vijana wakakimbilia kuiona bahari,wengine ndo wakazamia us uk, dubai n.k.

Alhamdullilah miaka ya 1990's bata lilirudi kwa kasiiii! Mashallah na mie nilikua dogo tu primary ila bata nililifaudu kidogo. Maisha yakawa si haba. Vijana 1990's pia bata waliligegedua. Na vijana sio haba wanawake walifaidi sio masikhara. Wengi walikuja mjini na mbio za mwenge na malori kuolewa 1990's. Na ugolkipa enzi hizo 1990's haikuwa big issue kabisaa.

2000 mpaka leo hali inazidi kuwa BORA YA JANA NA JUZI! Kizazi cha wanaume BAHILI kinasambaa kwa kasi mnooo. Mnoo mnooo! kHAAA! Tena hawa wadogo ndo balaaaaaaa! Sijui binti zetu wataishije. Looooooooh! Ndo maana watu wanajiweka kwa vizee, vijana wa 1970's na 1990's

Nimeuwa alarmed sabab juzi ki cousin changu 21, kimenialika na Bf wake out, sipendi kuwadoea watoto lakini a sster needs to be Polite, basi BF anamwambia live ALIPE? Na chenyewe kinalipa!? Kidogo nimnas mambao! Eti kaniambia IM OLD SCHOOL, siku hzi ukiwa tegemezi hupati BF wa ukweli!!!!!!!!! WTF? Damnnnnnnn! Nikasema YOUNG LOVE! She will GROW OUT OF IT IN NO TIME! Chezea jiji hili.

Next shosti wangu ananikopa like 3m, na sio kawaida yake manake ni BAHILI hatari. Nikawa curious tu nikamuuliza za nini kam ni emergency nikukopee kwa loan sharks. Akaniambia Baba D (Mume wa mtu ila wamezaa na huyu shosti wangu) ndo anamuomba ampige tafu! I was like IM REALLY GETTING OLD SCHOOL! Say whaaaaaaat? Nikamwambia maybe its about time you REPENT AND RETURN TO CHURCH! Haya mambo ya mume wa mtu, you have waited for so long, the kid ana 4yrs hajamuacha mkewe, hatoaa amuache, you shuld come to terms na hilo uanze kudate, u aint too old, God is mercyfull anaweza kukupa mumeo. (Not that i care she repents or not ila kuzaa na mume wa mtu na wewe kumuhudumia huyo mwanaume IT IS INSANITY! of the highest order too.)

Siku hizi hata waume za watu sio SAFE ZONE tenaa! Nako kuna KUSAIDIANA. Mmmh! KALI A MWAKA! Shosti yangu kaja kuniomba ushauri, ana BF (A very good man, will make best husband ever) wana date 5 YRS, Sasa ndo kaja kumwmbia anataka amuoe ila HELA YA HARUSI HANA/ MSICHANA NDO AFINANCE MCHONGO MZIMAA! Wooo! Woo! Woo! Yaani mwanaume anataka na ana nia ya dhati ya kumuoa ila bank hana hata mia!! Loh! So bibie ndo asimamie SHOW YOTE! Hela ikitakiwa kuanzia mahari, utambulisho, harusi, gauni lake ETC. Hata ya mwaname kwenda nayo kuanzisha kamati. Na kitachopelea kwenye kamati ajipange mdada! Mm!!! Msichana akamwambia NITAFIKIRA! (Uwezo wa kufanya hivo anao ILA IS IT RIGHT JAMANI? IS IT FAIR? Ujigharamie mpaka pete yako ya harusi.? Ndo idea yenu ya mgawanyo wa majukumu??) Mama mkwe akampigia anampa budget a utambulisho huko kijijini Mil 2? Yaaani msichana awatumie ili wajiandae akatambulishwe!!! LIKE SERIOUSLY! Mimi nibakia tu SPEECHLESS! Manake nikita neno wakaoana wasije ninyima chansi la kusimamia bureee!

KIZAZI HIKI CHA WANAUME CHANITISHA NA KUNIOGOFYAAAAAAAAA!

Utafiti Usio rasmi:Majina ya Wasichana / Wanawake na Sifa zake Katika Mapenzi

$
0
0
1::Nancy -Muongo
2::Julieth -Kicheche
3::Mary -Anapenda waume wa kitambo kirefu
4: Caroline-Anapenda kusikilizwa kuliko kusikiliza
5:: Hellen- Anabusara anapozugumza na mpenzi wake
6::Rose-Anapenda wanaume wenye pesa
7::Eunice- Hapendi ndugu wa mume wake
8::Agness-Anaupendo wa dhati na akipenda amependa kweli
9::Eveline -Hana vigezo vya mwanaume anaemtaka
10:: Catherine- Mbinafsi ktk mapenzi anajijali pekee kuliko mpenzi
11::Mariam-Anapenda kuwa kuwa rafiki na mpenz wake
12::Loveness-Akitendwa anachukia mapenzi kwa muda mrefu
13::Monica-Anajivunia mpenzi wake popote
14::Mellisa-Hapendi kuonyesha huzuni kwa mpenzi wake hata kama amekereka
15::Elizabeth-Hapendi kujihusisha na mahusiano
16::Emy-mtaalamu wakutongozea marafiki zao
17::Fabiola -Anapenda sifa za wanaume
18::Theresia-Mvumilivu ktk mapenzi
19::Eve -Hana mwanaume maalumu
20::Hilda -Muumiza mioyo ya wanaume wengi
21::Jackline -Ni mlipiza kisasi
22::Lydia -Anapenda mtu ili apate kitu fulani
23::Carol -Nimuongo kupitiliza na still anaaminika
24::Josephine -Hataki mpenzi but anataka mume
25::Grace -Anapendwa na wanaume wengi japo hataki hata mmoja ktk hao wengi
26::Anna -Anaishia kwenye sogea tuishi bila ndoa
27:'Beatrice -Ana maringo mpaka wanaume wanamuogopa
28::Rehema -Anapenda waume za watu
29:: Brenda -Akipenda amependa kweli
30::Frida-Amezubaa anaweza hata kuibiwa mpenz wake na anaangalia tu
31:'Ruth -Ni msaliti kwenye mahusiano
32::Rachel - Ni mwepesi kuachana na mwanaume hata kwa kosa dogo tu
33::Neema -Akiachwa mara moja anakata tamaa
34::Aneth -Hana maamuzi sahihi kwenye mahusiano yake
35::Esther -Anaamini kuwa kwenye mahusiano yakimapenzi ni dhambi
36::Violeth -Mkorofi
37:: Sylvia -Mkimya sana awapo na mpenzi wake
38::Christine -Hajali chochote kinachoendelea kwenye mahusiano yake
39::Julieth -Ana aibu sana kwenye mapenzi
40::Magreth -Anapenda sana ila anaumizwa sana

Godbless Lema Niko Tayari Kuuza Figo Kumtibia Tundu Lissu

$
0
0
Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema amesema hata kama gharama za  matibabu ya Tundu Lissu yakifika Trilioni  moja, watakuwa tayari kuuza figo zao.

Akizungumza leo  Novemba 18 katika kata ya Siuyu iliyopo Wilaya ya Ikungi mkoani Singida Lema amesema utekelezaji wa  majukumu ya kisiasa ukiwa upinzani wakati huu ni ngumu kutokana na kuwindwa kila uchao.

Amesema  pamoja na ugumu huo hawajarudi nyuma na kisasi cha wasiopenda mabadiliko na wanaochukia kukosolewa   kimedhihirika  kwa vitendo alivyotendewa Lissu.

"Lissu yupo kitandani risasi mwili mzima, gharama za matibabu yake ni kubwa, lakini hata ikifika trilioni moja na tukawa hatuna fedha tutauza figo zetu kuendelea kugharamia matibabu yake" amesema Lema.

Amesema Lissu amekuwa alama ya haki katika taifa kutokana na kuamua kuwa upande wa haki

Fanya hivi kujitibu ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo

$
0
0
Ugonjwa wa vidonda vya tumbo kwa miaka ya hivi karibuni  umekuwa ni tishio, huku wengi wakiwa hawaelewi wafanye nini ili kujitibu, hivyo kutokana na tatizo  hilo wengi wamekuwa wakipoteza matumaini ya kwamba ugonjwa huo hauna tiba, kama ndivyo hivyo na endapo unasumbuliwa na ugonjwa huo unashauriwa kutumia vitu vifuatavyo ili uwweze kupona ugonjwa huo.

1. Ndizi mbivu
Ndizi zilizoiva na hata ambazo hazijaiva zote ni nzuri kwa ajili ya kudhibiti vidonda vya tumbo. Kuna aina maalumu ya muunganiko wa vimeng’enya vilivyomo kwenye ndizi ambavyo huzuia kuongezeka au kuzaliana kwa bakteria wa vidonda vya tumbo ‘H. Pylori’.
Ndizi pia huulinda mfumo wa kuta za tumbo kwa kuiondoa asidi iliyozidi tumboni na hivyo kusaidia kuuondoa uvimbe au vidonda tumboni na pia kuuongezea nguvu ukuta wa tumbo.

Nini cha kufanya;

Ili kutibu vidonda vya tumbo, kula walau ndizi zilizoiva 3 kwa siku.
Au menya ndizi 2 au 3 na uzikate katika vipande vidogo vyembamba (slices) na uanike juani mpaka zikauke kabisa. Kisha saga vipande hivyo ili kupata unga na uchanganye vijiko vikubwa viwili vya unga huu na kijiko kikubwa kimoja cha asali na ulambe mchanganyiko huu mara 3 kwa siku kwa wiki 2 hivi.


2. Kabeji
Kabeji ni moja ya dawa bora za asili zinazoweza kutibu vodonda vya tumbo. Kabeji inayo ‘lactic acid’ na husaidia kutengeneza amino asidi ambayo huhamasisha utiririkaji wa damu kwenda kwenye kuta za tumbo jambo linalosaidia kuuongezea nguvu ukuta wa tumbo na hatimaye kutibu vidonda vya tumbo.

Kabeji pia ina kiasi kingi cha vitamini C ambayo imethibitika kuwa na faida kubwa kwa watu wenye vidonda vya tumbo vilivyosababishwa na maambukizi ya bakteria aitwaye ‘H. pylori. Pia majaribio yamethibitisha kuwa juisi ya karoti freshi inayo vitamini U ambavyo ni muhimu kwa ajili ya kudhibiti vidonda vya tumbo.

Nini cha kufanya;

Kata kabeji nzima mara mbili na uchukuwe nusu yake, chukuwa karoti mbili na ukatekate vipande vidogo vidogo na utumbukize vyote kabeji na karoti kwenye blenda na uvisage ili kupata juisi yake.
Kunywa kikombe kimoja cha juisi hii kila nusu saa kabla ya chakula cha asubuhi, mchana na jioni na kikombe kimoja kabla hujaingia kulala.
Rudia zoezi hili kila siku kwa wiki kadhaa na hakikisha unatumia juisi freshi pekee na siyo ukanunue juisi ya kabeji au karoti ya dukani.


3. Nazi
Nazi ni nzuri sana katika kutibu vidonda vya tumbo sababu ya sifa yake na uwezo wa kuua bakteria. Nazi huziua bakteria zinazosababisha vidonda vya tumbo. Pia tui la nazi na maji ya nazi (dafu) vyote vina sifa na uwezo wa kutibu vidonda vya tumbo.
Kunywa vikombe kadhaa vya tui freshi la nazi au maji ya nazi kila siku. Pia unaweza kuitafuana nazi yenyewe mara kwa mara. Fuatisha mlolongo huu walau kwa wiki 2 ili kupata matokeo chanya.
Au kunywa kijiko kikubwa kimoja cha mafuta ya asili ya nazi asubuhi kabisa na kingine usiku kwa wiki 2 hivi.

Edward Lowassa: Sikutaka Kwenda Ikulu kwa Kumwaga Damu

$
0
0
Ukiacha tukio la Moshi leo hii,hata alipokuwa Arusha kwenye kampeni za udiwani hali ilikuwa ni hiyo hiyo.

Mzee hapa katumia fursa hii kuwashukuru wananchi kwa kumpigia kura na pia kuwaeleza kuwa hakuta kwenda Ikulu kwa kumwaga damu akimanisha katika kupigani haki yake baada ya uchaguzi na kwamba fujo zingetokea angelaumiwa kwa kumwaga damu.

Msikilize kupitia hii video hapa chini:

Kutana na Miujiza ya Sharifu Seif Mohamed Kutoka Bagamoyo...Ana Dawa za Kurudisha Mapenzi na Zingine Nyingi

$
0
0
MIUJIZA YA SHARIFU SEIF MOHAMED KUTOKA BAGAMOYO.

SHARIFU SEIF MOHAMED ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOENDELEA KUPIGA SIMU, WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA  SHUKRANI NA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO WASAIDIA,
(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

SHARIFU MOHAMED Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN, Dawa za Asili, Dawa za Kiarabu na majini kwa kumtuliza mke/mme, mchumba au mpenzi ndani ya masaa 72 tu, na kutatua matatizo yote ya kimaisha,

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu SHARIFU SEIF sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata Atakacho Kuelekeza

ANAZO DAWA ZA MAPENZI, NGUVU ZA KIUME, CHANGO NGIRI MAJI NA N.K, ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA, HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA, ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUKSI NA VIFUNGO MBALIMBALI,  MAFANIKIO YA MAISHA NA UTAJIRI BILA MASHARI, NA MENGINE MENGI YA SIRI,

Je UMAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? WASILIANA NA MTAALAMU HUYU KWANI YEYE HUFAULU PALE WOTE WALIPOSHINDWA, PIA UMALIZA KAZI ZILIZO SHINDIKANA NA WATAALAM WENGINE NDANI YA MASAA 24 TU,

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE AU MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFWATA MAELEKEZO YAKE)

Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi Piga SIMU No:
Mobile +255 654-836970
WhatsApp +255 756-033670

USHAURI: kama unahitaji msaada ni  bora kupiga simu kuliko kutuma sms ili upate  msaada kwa haraka.

Upigaji Mikataba ya Gesi Ulivyoshtukiwa...Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya Novemba 19

$
0
0


Upigaji Mikataba ya Gesi Ulivyoshtukiwa...Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya Novemba 19

Polisi Watumia Mabomu ya Machozi Kuwatawanya Wafuasi wa Lowassa

$
0
0
Polisi Mkoa wa Kilimanjaro wamelazimika kutumia mabomu ya machozi ili kuwatawanya wananchi kumwezesha mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kupata nafasi ya kupita mjini Moshi.

Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) walitumia mabomu ya machozi ili kuwatawanya wananchi waliokuwa wamefunga barabara.

Takriban mabomu manne ya kutoa machozi yalifyatuliwa saa 10:30 jana jioni ya  Jumamosi Novemba 18,2017  katika eneo la Soko la Manyema ambako Lowassa na msafara wake alikuwa apokewe ili kuelekea kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni za udiwani eneo la Pasua Relini.

Kabla ya Lowassa kufika, vijana madereva wa bodaboda walipita katika Barabara ya J.K. Nyerere.

Vijana hao walipopita mzunguko wa magari wa Coca Cola saa 10:15 jioni, gari la polisi aina ya Toyota Land Cruicer likiwa na polisi wenye mabomu ya machozi lilionekana likiwafuata.

Haikupita dakika 15, ndipo kulisikika milio ya mabomu katika eneo la Manyema ambalo ni njia panda ya kuelekea eneo la mkutano.

Katibu wa Chadema Mkoa wa Kilimanjaro, Basil Lema ambaye yuko katika msafara wa Lowassa, alisema eneo la Manyema lilikuwa halipitiki kutokana umati wa watu.

Lema alisema ni kutokana na hali hiyo, ili kumwezesha Lowassa na msafara wake kupita, FFU walilazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Hamis Issah alisema mabomu hayo yamepigwa ili kupunguza idadi ya watu waliokuwa wamefurika kwenye eneo hilo na kumuwezesha Lowassa kupita.

“Alikuwa hana njia ya kupita, watu walifurika kiasi kwamba hata Lowassa mwenyewe asingeweza kupita, tulifanya hivyo kuwapunguza na ameshapita ameenda zake kwenye mkutano,” alisema.

Picha: Waziri Nchemba Atunukiwa Shahada ya Uzamivu (PhD) UDSM

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Lameck Nchemba jana Novemba 18, 2017 ameweka historia nyingine katika maisha yake baada ya kuhitimu masomo yake katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM).

Waziri Nchemba amehitimu masomo yake ya Shahada ya Uzamivu (PhD) katika uchumi.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Nchemba ameweka picha zake na kuandika, anamshukuru Mungu kwamba amehitimu masomo yake ya PhD.

Katika kuandika tasnifu (thesis) yake, Waziri Nchemba aliandika kuhusu “Sterilization of Foreign Exchange Inflows in Tanzania: Extent and Effectiveness.

Katika kuandika tasnifu hiyo, Waziri Nchemba alisimamiwa na wakufunzi, Dr. Jehovaness Aikaeli na Dr. Eliab Luvanda.

Waziri Nchemba amehitimu masomo jana baada ya kutunikiwa shahada hiyo katika mahafali ya 47 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam yaliyofanyika katika ukumbi wa Mlimani City ambapo leo ni kundi la kwanza.

Kundi la pili linatarajiwa kufanya mahafali yao katika ukumbi huo huo, Novemba 21 mwaka huu

Wazimbabwe Waungana na Wanajeshi Kumtaka Mugabe Aondoke Madarakani

$
0
0
Maelfu ya raia wa Zimbabwe jana walijitokeza barabarani hasa mjini Harare wakijiandaa kwa mkutano mkubwa unaoungwa mkono na chama tawala ZANU-PF katika jitihada za kuongeza shinikizo la kumtaka rais Mugabe ajiuzuulu,wakishikilia mabango yaliyoandikwa Mugabe Must Go.

Zanu-PF ndio chama kilichomsaidia Mugabe kuwa madarakani nchini kwa takriban miaka 40.

Lakini sasa inabidi wamshinikize ajiuzulu kufuatia mpasuko mkubwa katika chama tawala.

Kikubwa kinachozozaniwa ni nani atakayemrithi rais Mugabe atakapoochia madaraka.

Jeshi la nchi hiyo lilichukua hatamu za kiserikali na kumweka Mugabe chini ya kizuizi cha nyumbani tangu juzi na wamekuwa wakifanya mazungumzo ya kina.

Mugabe angependelea mkewe kumrithi lakini wapiganiaji wa uhuru nchini humo wanamtaka aliyekuwa makamu wa Rais Emmerson Mnangagwa ambaye Mugabe alimfuta kazi wiki iliyopita, kutokana na uhasama mkubwa baina yake na mkewe rais Mugabe uliotokana na upiganiaji huo wa madaraka.

Zaidi ya hayo Bw. Mugabe angependa kuendelea kuwa uongozini hadi chama kitakapofanya mkutano wao mkuu mwezi ujao

Pata Dawa Bora za Nguvu za Kiume na Kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa

$
0
0

Baada ya utafiti wa muda mrefu juu ya matatinzo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurundia tendo kwa haraka Sasa inakuletea suluhisho juu ya matatizo haya kwa kutumia dawa za Full Power

Ni Dawa asili yenye vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,
Dawa hii inamchanganyiko wa kutosha kuzalisha vichocheo vingi vya hernone za gestro gen zikiwemo vitamin b6 na b1 vitamin E pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wakufanya tendo la ndoa zaidi hatua nne au zaidi na kuchelewa kufika kileleni zaidi ya dakika 20/30

ZAT 50 inarundisha maumbile ya uume yaani kurefusha na kunenepesha nchi 3/7 na upana cm 3/4 standard.

Kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukitumia maumbile yatabaki kuwa hivyo siku zote pia anatibu matatizo mengine kama presha kisukari ngiri chango la tumbo kujaa gesi kutopata choo vizuri minguu kuwaka moto matatizo ya uzazi bawasili na magonjwa ya zinaa kama kisonono na kaswende tunapatikana daresalaam na mikao wasiliana nasi DR Oshinda Namba za simu 0755505099/0714126118

Karibuni kwa hunduma bora
Viewing all 104667 articles
Browse latest View live




Latest Images