Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live

Enock Bella Afunguka Ukweli Kuhusu Aslay Kuondoka na Daftari la Nyimbo Yamoto Band

$
0
0
Enock Bella Afunguka Ukweli Kuhusu Aslay Kuondoka na Daftari la Nyimbo Yamoto Band
Kwa namna msanii Aslay anavyoachia ngoma kila wakati, mashabiki wamekuwa wakitania huenda aliondoka na daftari la nyimbo katika kundi la Yamoto Band, sasa Enock Bella amejibu kuhusu hilo.

Muimbaji huyo wa ngoma ‘Sauda’ amesema hapana hilo halipo ni Mwenyenzi Mungu tu kamjalia Aslay kipaji na mtunzi mzuri kitu ambacho hata yeye anakipenda.

“Unajua yote hiyo kwa sababu hakutaka promo kuwa kigezo chake kikubwa sana kwa hiyo akatumia kwa  kuwepo nafasi hii anaweza akafanya vitu vingi sana, kwa hiyo anafanya kile kitu alichonacho” Bella ameiambia E Fm.

Tangu kusambaratika kwa kundi la Yamoto Band Aslay ametoa ngoma nyingin zaidi ukilinganisha na wasanii wenzake waliokuwa wakiunda kundi hilo (Bella, Beka na Maromboso).

Mswada Uliopelekwa Bunge la Peru Kuzibeba Italia, Chile Kombe la Dunia

$
0
0

Mswada Uliopelekwa Bunge la Peru Kuzibeba Italia, Chile Kombe la Dunia
Bado kuna tumaini dogo kwa Italia au Chile kufuzu kwa fainali zijazo za Kombe la Dunia nchini Russia, yote ni kwa sababu ya muswada uliopelekwa katika Bunge la Peru utakaofanya Shirikisho la Soka la nchi hiyo kujiaonda moja kwa moja Fifa.

Chile ‘La Roja’ ilipoteza nafasi hiyo baada ya kufungwa 3-0 na Brazil katika siku ya mwisho na timu hiyo kumaliza nafasi ya sita, Wakati Italia wenyewe walifungwa bao 1-0 na Sweden katika mchezo wa mtoano na kuaga mashindano hayo.

Tofauti na Peru iliyofanikiwa kufuzu kwa fainali za mwakani baada ya kushinda 2-0 dhidi ya New Zealand.

Hata hivyo, Peru ‘Libero’ sasa wanaweza kupoteza nafasi hiyo, endapo serikali itaingilia masuala ya soka jambo litakalofanya Peru kupoteza tiketi yake ya kucheza Kombe la Dunia.

Mazingira hayo  yanafunga mlango kwa timu za Italia au Chile kupata nafasi ya kufuzu kwa fainali za mwakani.

Mugabe na Mkewe Wasusia Sherehe ya Kuapishwa kwa Mnangagwa

$
0
0
Mugabe na Mkewe Wasusia Sherehe ya Kuapishwa kwa Mnangagwa
Robert Mugabe na mkewe Grace walikosa kuhudhuria sherehe ya kuapishwa kwa rais Emmerson Mnangagwa baada ya wananiasa hao kukubaliana kwamba Mugabe anaweza kupumzika.
Sababu kuu ilioteolewa ni kwamba bwana Mugabe alikuwa amechoka.
Mugabe na mkewe Grace hawajaonekana hadharani tangu kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 93 kujiuzulu kama rais kufuatia shinikizo kutoka kwa jeshi na raia.
Hatua hiyo inajiri baada ya Mugabe na mkewe kufumta kazi rais huyo mpya wakati alipokuwa makamu wa rais kwa madai kwamba alikuwa akipanga njama za kutaka kumuondoa madarakani rais Mugabe
Aliyekuwa makamu wake wa rais Emmerson Mnangagwa amewataka raia wa Zimabwe kusalia watulivu na kuweka amani na kutolilipiza kisasi.
Umati mkuwa wa takriban raia 60,00 wa Zimbabwe wakiwemo viuongozi wa kimataifa na wanadplomasia walihudhuria sherehe ya kumuapisha Mnangagwa katika uwanja wa michezo wa mj9ini harare.
Upinzani umemtaka rais mpya kukabiliana na ufisadi.wakati rais Mugabe alipolazimishwa kuondoka madarakani siku ya Jumanne baada ya jeshi kuchukua mamlaka kulikuwa na sherehe matika maeneo tofauti ya taifa hilo.

Ukipata Mwanamke Mwenye Sifa Hizi 16 Usimwache

$
0
0
Hizi ni sifa halisi za mwanamke wa kweli

1. Ni nguvu ya mwanaume
2. Ni jasiri
3. Mchapakazi
4. Mwenye kujiamini
5. Tegemeo la familia
6. Mwalimu wa watoto na familia yake kiujumla
7. Mlinzi wa mwanaume.
8. Chanzo cha baraka ya familia.
9. Adui wa maadui wa familia.
10. Sauti ya familia.
11. Mponyaji wa familia yake na taifa.
12. Mlezi wa huduma.
13. Mkombozi wa familia na taifa.
14. Msaidizi wa Mungu tumfanyie msaidizi wa kufanana naye.
15. Mwombezi wa familia, huduma na taifa.
16. Mficha siri wa Mungu

Wasiliana na The Great Maalim Hussein Mtaalam wa Kutatua Matatizo Yaliyoshindikana Kwa Kutumia Nyota na Dua

$
0
0
THE GREAT MAALIM HUSSEIN
Wasiliana na Mtaalam Huyu Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana ama Zilizo Achwa ndani ya Siku Moja 1.
Maalim Hussein ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA(Rudisha Mahusiano yako Ndani ya Saa 12 tu)

MAALIM HUSSEIN ni Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili Mwenye Uwezo wa Kubaini Tatizo lako tu Pindi Utakapo Fanya Mawasiliano Kupitia Wasaa Husika.
(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFATA MAELEKEZO YAKE..)

Je Unasumbuliwa na Mapenzi..?
Umeachwa na UMPENDAE Awe Mume/Mke na Bado Unampenda
Je Umejaribu Sehemu Nyingi Bila Mafanikio?
Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo..
Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu.
Je Umekimbiwa na Mumeo/Mkeo au Mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine..?
Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao (Mfarakano/Kimavi) Endapo Utafata Atakacho Kuelekeza.

Je Una Mpenzi wako ana Pesa na unataka Kumkamata? Muone Maalim Hussein Atamfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi..
Maalim Hussein Anatumia Jina La Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo..
Anatibu Kutumia QUR_AN DAWA ZA ASILI YA AFRICA, Dawa za KIARABU NA MAJINI..
ANATAFSIRI NDOTO. ANAPANDIKIZA NYOTA YA KUSHINDA BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUSKI NA VIFUNGO MBALIMBALI.

ZINDIKO ZA NYUMBA NA BIASHARA.. PETE ZA BAHATI.. HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA. HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA..
MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA..ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA  ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE..

Humaliza Kesi ya Aina Yoyote Ndani ya Siku 7 tu..
Hutoa Jini la MALI kwa wale Wanao Hitaji Utajiri Bila Masharti..
+255 674 835 107 WhatsAPP tu.

Zijue Sababu zinazopelekea Wapenzi wengi Kuchokana Mapema

$
0
0
Hivi uliwahi kujiuliza hivi ni kwanini baadhi ya mahusiano ya kimapenzi hufa mapema, kama si kufa basi kushuka kwa mahusiano hayo? Moja kati ya sababu ambayo husababaisha kufa kwa mahusiano ni ile tabia ya kuchokana mapema katika mahusiano na moja kati ya sababu kubwa ambayo hupelekea kuchokana mapema ni:

1. Mazungumzo
Mazungumzo ni njia muhimu ya kujenga ndoa na kuiimarisha , aidha ni njia ya mkato ya kuchokana na kuchukiana. Mwanamke ambaye hajui wakati gani aseme nini na wakati gani asiseme, hujikuta katika wakati mgumu ndani ya ndoa yake. Kwa mfano: Mwanamke ambaye kila anapoongea na mume wake huanza mazungumzo yake na matatizo na lawama humfanya mumewe awe na woga kila anaposikia sauti yake, na kuiona nyumba chungu, kwa sababu hakuna binadamu anayependa kusikia matatizo tu wakati wote.

Mwanamke wa aina hii huwa anamsubiri mumewe kwa hamu kubwa, na anapofika tu na kabla hata ya kupata rizki, anaanza kumsomea orodha ya matatizo; watoto wamerudishwa shule, karo haijalipwa, shangazi yako amepiga simu mjomba kalazwa Hospitali na kadhalika na kadhalika. Nyumba ya aina hii huzeeka haraka na wanandoa kuchokana.

2. Kuzoeana
kuzoeana baina ya wanandoa ni jambo zuri, kwa maana ya kila mmoja kumfahamu mwenzake, lakini kuzoeana huku kunaweza kuzalisha dharau hususan kwa upande wa mwanamke kwa kutojali usafi wake, mavazi anayovaa, chakula anchopika, nidhamu ya nyumba na mpangilio kwa ujumla.

Matatizo mengi ndani ya nyumba yanaweza kusababishwa na moja au baadhi ya tabia hizo, ambazo huenda ikawa hazitokani na dharau, bali kuzoeana, kwa mfano: siku za utoto wa ndoa mwanamke huwa anajali sana usafi wa mwili wake, umaridadi wa nguo anazovaa, usafi wa nyumba na nidhamu ya hali ya juu, upishi wa chakula unaozingatia vionjo na ubunifu, mapokezi yenye bashasha na wakati mwingine hata kumkumbatia mumewe arudipo kutoka kazini.

Lakini baada ya kuzoeana yote hayo hubadilika, mwanamke huhisi kuwa hana jipya la kumuonyesha mumewe, hujiona wameishakuwa watu wazima sasa, na mara nyingi utakuta mwanamke huyu anashinda na sare (uniform) moja kuanzia asubuhi hadi anapopanda kitandani usiku, mambo ya Hinna, nguo za fashion, salon, manukato, kujipamba na dhahabu huyafanya pale anapotoka kwenda harusini na sio nyumbani. Huku ndio kuzoena, na tafsiri sahihi ni kudharau.

Huyu House Girl Anaelekea Kuvunja Ndoa yangu Sasa

$
0
0
Nipo kwenye lindi la mawazo kuhusu housegirl wetu ambae nilimpa mimba kwa bahati mbaya. Mimi nina mke na familia yangu huyu binti sasa anataka nimfanyie kitu mbaya maana mimba hataki kuitoa na kuondoka kagoma na muda unazidi kwenda mwishowe itaanza kuonekana

Sasa hivi anashinda kwenye TV tu na remote kazi hataki kufanya yote tisa, kumi sasa juzi Jumamosi usiku katumwa kazi na wife unaambiwa kamfanyia wife kiburi kisichosemekana katumwa akalete kitu dukani akakataa live akaambiwa akapike akakataa, akaanza kuongea kwa mafumbo huku akienda chumbani mimi nilikua bar kwenye mambo yangu.

Mdogo wangu wa kike ndio akazifanya zile kazi nyumba imekua very tense bomu linaweza kulipuka any time wife anamwandalia pesa zake aweze kuondoka maana kwa mawazo ya wife anadhani kwa kuwa hatujamlipa mshahara miezi mitatu mfululizo ndio maana analeta kiburi kumbe ni mimba.

Sijui niongee na Chale akodi wavuta bangi! Wakuu kati yenu kuna mwenye jawabu ya hili tatizo? Hivi kwanini huyu binti ananifanyia hivi!? Kwanini asikubali kupokea hela akaondoka, kila nachomwambia hataki, anasema eti nitamwacha, sasa Mimi simtaki tena, kwa nn tunalazimishana?

Wanaume wapo kibao why me? Wangapi wametoa mimba hawajafa? Mke wangu mwenyewe alishika mimba huku tuna mtoto mchanga wa miezi sita mbona aliitoa na hakufa? Sasa yeye ni nani hasa asitoe, mi naona nikodi wahuni tufanye elimination method.

Wadau nyumba inaungua naomba kwa imani zenu wote mniombee naahidi sirudii tena nikipona na janga hili maana wife wangu hanaga mchezo kabisa na mambo ya uzinzi msg tu ya simu alitaka kuniacha huko nyuma.Kuna mganga anaeweza kubadilisha matokeo ya tatizo kama hili?

By Navin-govind-JF

Changudoa Ananipiga Mizinga na Kuniambia Ananipenda

$
0
0
Nilipita club moja nikaopoa changudoa moja ambaye ni mwanafunzi wa udsm. Kabla sijapiga mambo alinidai nimpe chake kabisa. Sasa kwa vile ni toto limeumbika balaa kama mnavyo muona Hapo Juu kwenye picha nikachukua namba ili nilitafune tena sikunyingine na yeye akaomba yangu nikampa.

Sasa nashangaa linanitumia msg za kuniomba hela na kuniambia ananipenda anataka kuwa wangu kimoja wakati linajua mi siyo bwanaake na uhusiano hapa ni wa nipe nikupe. Sijamtumia ananisumbua sana mpaka kero sasa. Sasa sijui nifanye nini kwa uzuri ni mzuri hasa hasa umbo na weupe wake ndio wanichanganya..ila ile fact ya kuwa nilimkuta katika madhingira ya kujiuza inaniumiza kichwa nahisi sinta kuwa na amani nikimkubalia...

Nifanyaje wadau ? Nimtose ama? 

Nini Kinasababisha Girls Kutokwa na Utando Mweupe Wakati wa Ku do?

$
0
0
Wakuu hodi humu,

Naomba kufahamu ni nini hasa kinasababisha wanawake (baadhi) kutokwa na utando mwingi sana wakati wa ku~do?

Mimi ni Mvulana na kitu hiki huwa kinaniboa sana tunapo~do kwani huwa unatoka mwingi sana na huwa na kama maziwa ya mtindi yaliyo ganda.

Wenye elimu kuhusu hii kitu naomba ushauri wenu Je ni ugonjwa au ni hali ya kawaida tu?

JE Wajua Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Madogo ya Kiume?

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WA NA MAUMBILE MADOGO?
Tatizo hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia ,hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wenzao,kwakawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6_8 vinginevyo mtu huyu ana matatizo.


Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo baadhi ni,upungufu wa vichocheo (hornes) za gestrojen ambapo mwanaume anapobalehe vichocheo hivi (hormones)huchochea ujuaji wa uume.chango ambalo hushambulia nerve ambapo huharibu kabisa ukuaji wa uume, Punyeto ambayo huasili misuli ya uume,pia ngiri ambayo huleta maumivu ya tumbo kuunguluma na kujaa gesi,korodani moja kuvimba,kutopata choo vizuri,sababu hizi na nyinginezo hufanya uume kulegea na kisinyaa nakuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu zakiume (hamu ya tendo landoa hupungua au kuisha kabisa).NSUMBU,Nidawa inayozalisha hormones za gestrogene na kufanya uume kukua na kuongezeka mara dufu.NZAGI,Ni dawa ya kurudisha nguvu za kiume ,hutia hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila hamu kuisha nakuponya kabisa tatizo hilo. Pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk 15 nakuendelea kwa tendo la kwanza.kumbuka dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji.Natunatibu kisukari,bp,ngiri,miguu kuwaka moto,namengine mengi.

WASILIANA OSTADHI JUMA KWA SIMU NO,0784002216 AU 0769597778

Kafulila Atua Rasmi CCM Baada ya Kuitosa Chadema.....Akabithiwa Kadi

$
0
0
Baada ya kutangaza kujivua uanachama wa CHADEMA siku Jumatano, David Kafulila leo amekabidhiwa kadi ya CCM.

Kafulila amekabidhiwa kadi ya CCM na Katibu Mwenezi wa CCM, ndg Humphrey Polepole katika mkutano wa kumnadi mgombea wa udiwani wa chama hicho, Kata ya Mbweni jijini Dar es salaam
Hapo awali Kafulila aliwahi kuwa mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendelo kisha kufuzwa baadae akajiunga na Chama cha NCCR Mageuzi ambapo alifanikiwa kuwa Mbunge wa Kigoma Kusini mwaka 2010-2015 na baadaye kurudi tena Chadema 2016 na hapo juzi jumatano alitangaza kukihama chama hicho kwa madai upinzani hauna nia ya kupambana na ufisadi.

Kwa upande wa mkewe ambaye ni Mbunge Viti Maalumu kupitia chama cha CHADEMA,Jesca Kishoa jana wakati akizungumza na wanahabari alipingana na kauli ya mumewe na kusema kwamba, mumewe anapaswa kusema ukweli na kwamba sababu alizozisema sizo zilizomuondoa ndani ya chama hicho huku akiongeza kwamba mume wake hana msimamo.

Kafulila amekabidhiwa kadi hiyo ya CCM iliwa imebaki siku moja kabla ya kuhitimishwa kwa kampeni za uchaguzi wa marudio ya nafasi za udiwani kwa Kata 43 ndani ya Tanzania

BREAKING: Paul Makonda Aongelea Muda wa FIESTA DSM Kuongezwa

$
0
0
BREAKING: Paul Makonda aongelea muda wa FIESTA DSM kuongezwa

Tazama VIDEO:

VIDEO: Majengo ya Lugumi yakosa Wateja, Docta Shika Atajwa

$
0
0
Dar es Salaam. Jumba la kifahari la mfanyabiashara, Said Lugumi limekosa mteja wa kulinunua.

Katika mnada uliomalizika Leo mchana Novemba 24 Mbweni JKT, ulioendeshwa na Kampuni ya Udalali ya Yono, wanunuzi waliojitokeza wameshindwa kufikia bei elekezi

Mkurugenzi wa Kampuni ya Yono, Scholastika Kevela amesema wateja waliojitokeza wamefikia Sh510 milioni ambayo iko chini ya mategemeo.

"Tunahamia nyumba ya Upanga, kama atapatikana mteja leo tunaweza kurudi na tukamuuzia na masharti ni yaleyale kwamba lazima mteja akifika bei alipe hapa hapa asilimia 25 na asilimia 75 ndani ya siku 14," amesema Kevela

Nyumba hii imeshindwa kununuliwa kwa mara ya tatu baada Septemba 7 kujitokeza kama leo na Novemba 9 ambao unadaiwa ulivurugwa na 'Bilionea' Dk Louis Shika.

Tofauti na ulivyokuwa Novemba 9, leo kila aliyefika katika mnada huo alitakiwa kujiandikisha ikiwamo waandishi wa habari huku ulinzi ukiwa umeimarishwa  zaidi .

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.


Nimeirudisha heshima ya Bongo Movie kama enzi za Kanumba – Wema Sepetu

$
0
0

Msanii wa filamu nchini Tanzania, Mrembo Wema Sepetu ambaye yupo nchini Rwanda tangu Jumatano ya wiki hii, amesema ndiye aliyeifufua tasnia ya Bongo Movie iliyokufa baada ya kifo cha Kanumba.

Wema amesema marehemu Kanumba alipofariki  hata kiwanda cha Bongo Movie kilionekana kuyumba kwani alikuwa ndiye nguzo muhimu kwenye ramani ya filamu Tanzania.

“Zamani Bongo Movie ilikuwa inafanya vizuri sana enzi za marehemu Steven Kanumba, alivyofariki kama na yenyewe ikafa. Tumekuwa tukiomboleza kifo chake na kifo chake kimetusababishia mazingira mabaya sisi kama waigizaji  kwa sababu tuko kwenye fani moja. Wengi wetu tumejikuta watu wanaona Bongo Movie haina mashiko.“amesema Wema Sepetu kwenye mkutano na Waandishi wa Habari jijini Kigali nchini Rwanda na kuelezea jinsi alivyoinyanyua Bongo Movie baada ya kifo cha Kanumba.

“Kwa bahati nzuri mimi nimeweza kuirudisha tena Bongo Movie back to where it was (ilipokuwa enzi za Kanumba) baada ya kutoa filamu yangu ya Heaven Sent. Bongo Movie kama Bongo Movie zilikuwa zimelala kiukweli kabisa mpaka nilipozindua filamu yangu hiyo na nimeweza kuiweka kwenye application yangu kumekuwa kuna muhemko, yaani waigizaji wengi hata mkiwaona kwenye mitandao ya kijamii wanashoot, wanafanya vipindi, yaani Bongo Movie haijafa ni kazi nzuri tu tumeshindwa kuziweka sokoni. Tukiwa tuna kazi nzuri tukafanya vitu ambavyo vitapendwa na watu Bongo Movie itakuwa imara tena Inshallah!“.

Steven Charles Kanumba almaarufu The Great alifariki katika mazingira ya kutatanisha mnamo mwezi Aprili 2012 akiwa chumbani kwake na mpenzi wake Elisabeth Michael ‘Lulu’ ambaye mwezi huu amehukumiwa kifungo cha miaka miwili jela kwa kosa la kumuua Kanumba bila kukusudia.

Msikilize hapa Wema Sepetu akizungumza na Waandishi wa Habari nchini Rwanda ambako alienda kwenye  tamasha la KFM Instagram Party ambalo limefanyika jana ijumaa

Miujiza ya Sharifu Seif Mohamed..JE Umeachwa na Mme/Mke au Mpenzi, Umesongwa na Mitihani ya Maisha..Piga Simu Upate Muujiza Wako

$
0
0
SHARIFU SEIF MOHAMED ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOENDELEA KUPIGA SIMU, WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA  SHUKRANI NA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO WASAIDIA,

(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

SHARIFU MOHAMED Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN, Dawa za Asili, Dawa za Kiarabu na majini kwa kumtuliza mke/mme, mchumba au mpenzi ndani ya masaa 72 tu, na kutatua matatizo yote ya kimaisha,

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu SHARIFU SEIF sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata Atakacho Kuelekeza

ANAZO DAWA ZA MAPENZI, NGUVU ZA KIUME, CHANGO NGIRI MAJI NA N.K, ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA, HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA, ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOT

Baada ya Hukumu ya Miaka Miwili ya Lulu Jokate Amuombea Dua

$
0
0
Baada ya Hukumu ya Miaka Miwili ya Lulu Jokate Amuombea Dua
MWANAMITINDO Jokate Mwegelo hivi karibuni baada ya kukaa kimya bila kumposti msanii mwenzake Elizabeth Michael ‘Lulu’ wala kuongea lolote kuhusiana na hukumu yake ambapo mastaa kibao walionesha kumuhurumia na kumposti kwa kuweka maneno tofauti tofauti, yeye ameibuka na kusema kuwa anamuombea dua huko alikoenda kwani ndio jambo pekee ambalo anaweza kulifanya.

Akilonga na Risasi Jumamosi, Jokate alisema kuwa yeye anamuombea dua Lulu Mungu amfanyie wepesi huko alikokwenda kwani ndio njia pekee ya kumfariji.

Mwanamitindo huyo aliongea hayo baada ya kuulizwa sababu ya yeye kutomposti na maoni yake juu ya hukumu hiyo. “Kikubwa ni kumuombea na mimi namuombea ndicho ninachoweza kusema,” alisema Jokate.

Rais Magufuli Kuhudhuria Kuapishwa kwa Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta

$
0
0
Rais Magufuli Kuhudhuria Kuapishwa kwa Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli anatarajiwa kuungana na viongozi wa mataifa mbalimbali kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Mhe. Uhuru Kenyatta kuwa Rais wa Jamhuri ya Kenya kwa kipindi cha awamu ya pili.

Taarifa ya serikali iliyotolewa leo na Mkurugenzi, Idara ya Habari-Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi imethibitisha hilo.
Mhe. Kenyatta ataapishwa siku ya Jumanne, Novemba 28, 2017, jijini Nairobi, ikiwa ni baada ya kushinda uchaguzi wa marudio uliofanyika Oktoba 26 mwaka huu nchini humo

Profesa Lipumba Afunguka Kuhusu Uteiuzi wa Dkt. Slaa " Sikutegemea Rais Kumteua Kuwa Balozi"

$
0
0
Profwsa Lipumba Afunguka Kuhusu Uteiuzi wa Dkt. Slaa " Sikutegemea Rais Kumteua Kuwa Balozi"
Mwenyekiti wa Chama cha CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amezungumzia uteuzi wa Dk Wilbroad Slaa kuwa balozi akisema hakutarajia.

Rais John Magufuli juzi alimteua Dk Slaa aliyewahi kuwa katibu mkuu wa Chadema kabla ya kukihama chama hicho wakati wa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.

Wakati wa mchakato wa uchaguzi huo, Profesa Lipumba na Dk Slaa ambao vyama vyao vilikuwa katika umoja uliojulikana Ukawa, walijiondoa baada ya Chadema kumpitisha Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa kuwa mgombea wake wa urais.

Akizungumza na Mwananchi jana, Profesa Lipumba alisema, “Imekuwa kama surprise, sikutegemea kama Dk Slaa atateuliwa kwa sababu muda mwingi yupo Canada.”

Hata hivyo, Profesa Lipumba alisema hana shaka na uteuzi huo kwa kuwa Dk Slaa ni mzoefu wa siasa na mzalendo ambaye ataitumikia vyema nafasi hiyo mpya.

“Narudia, sikutegemea. Ila popote atakapopangiwa kazi Dk Slaa atafanya kwa sababu najua ni mchapakazi,” alisema.

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe alisema Rais Magufuli ana mamlaka kisheria ya kumteua mtu atakayemuona anafaa katika nafasi fulani.

“Huu ni uamuzi wa Rais sisi wengine hatuna comments zaidi ya kuwatakia kila heri katika utendaji wao wa kazi,” alisema Mbowe ambaye pia ni mbunge wa Hai mkoa wa Kilimanjaro.

Akizungumza uteuzi huo wa Dk Slaa, Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Profesa Abdallah Safari alisema Rais Magufuli amemuonea huruma Dk Slaa ndiyo maana akaamua kumpa nafasi ya ubalozi.

Profesa Safari alisema hawezi kumsema vibaya Dk Slaa lakini nafasi hiyo ni huruma na zawadi ya Rais Magufuli.

Amedai Dk Slaa alijaribu kuivuruga Chadema wakati wa uchaguzi mkuu mwaka 2015 lakini hakufanikiwa.

“ Hii ni huruma. Siku zilizopita Dk Slaa aliandikwa katika vyombo vya habari kuwa anafanya kazi Super Market. Mimi nimekaa Ulaya najua maisha ya kule na Dk Slaa ni rafiki yangu sana lakini kwa kitendo alichokifanya mwaka juzi, haya ndiyo matokeo yake,” alisema Profesa Safari.

Kwa upande wake, aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Urusi kuanzia mwaka 2002 hadi 2008, Patrick Chokala alimpongeza Rais Magufuli kwa kumteua Dk Slaa kuwa balozi.

“Sina shaka hata kidogo na Dk Slaa ana uwezo wa kufanya kazi nchi yoyote. Hii kazi anaiweza na ni mtu mwenye dhamira ya kweli,” alisema Balozi Chokala.

Alisema anamfahamu Dk Slaa kwa kipindi kirefu tangu akiwa padre na kwamba, amekuwa ni mchapakazi hodari na mwenye hekima kwa watu.

Akizungumza na kituo cha televisheni cha Azam TV, Dk Slaa alimshukuru Rais Magufuli kwa kumteua ili aungane naye kujenga nchi na hivyo atafanya kazi kwa uwezo wake wote.

Dk Slaa ambaye hivi sasa anaishi Canada alisema, “Ni mapenzi ya Mungu, nashukuru kwa uteuzi. Ninachoweza kusema katika hatua hii, huu ni wajibu mkubwa kwenye kipindi cha kulijenga Taifa letu.”   

Nipo Tayari Kuwasaidia Wachezaji wa Tanzania Kwenda Kucheza Soka la Ulaya- Ninje

$
0
0
Nipo Tayari Kuwasaidia Wachezaji wa Tanzania Kwenda Kucheza Soka la Ulaya- Ninje
Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania bara Kilimanjaro Stars Ammy Ninje, amesema yupo tayari kuwasaidia wachezaji wa Tanzania kwenda kucheza soka barani Ulaya.

Ammy Ninje ambaye ataiongoza timu hiyo kwenye michuano ya CECAFA Challenge nchini Kenya mapema mwezi ujao amesema yeye yupo tayari kutumia uzoefu wake barani Ulaya kuwatafutia timu wachezaji watakaoonesha viwango.
“Mimi nina ‘Network’ ya walimu wenzangu kwenye nchi za Ulaya kama Sweden, hivyo nitawasaidia wachezaji wenye vipaji vya kucheza Ulaya kuweza kupata vilabu ili wakacheze soka la kulipwa, na kama nchi tuwe na ‘professional’ wengi”, amesema Ammy Ninje.
Kocha huyo ameyasema hayo kwenye mahojiano na kipindi cha Hotmix  jioni ya leo Novemba 24, ambapo amesema yupo tayari kutumia uzoefu wake wote ili nchi ifanikiwe na kufikia viwango vya mataifa kama Uganda na zaidi ya hapo.

Kuhusu michuano ya Challenge Ninje, amesema atajipanga vyema na kikosi cha wachezaji 20 ambao aliwataja hivi karibuni kwaajili ya michuano hiyo na anaamini wakishirikiana vyema wataibuka mabingwa.
Michuano hiyo inatarajiwa kuanza Desemba 3 na kumalizika Desemba 17 nchini Kenya ambapo Tanzania ipo kundi moja na timu za Zanzibar Heroes, Rwanda, Libya na wenyeji Kenya. Kilimanjaro Stars itacheza mchezo wa ufunguzi Desemba 3 dhidi ya Libya.

Yanga Kuiondoa Simba Kileleni Leo?

$
0
0
Yanga Kuiondoa Simba Kileleni Leo?
Ni katika kuongoza safu ya ushambuliaji katika mechi dhidi ya Prisons, Tshishimbi bado...
HAKUNA kulala, hiyo ni kauli ya Kocha Mkuu wa Yanga, George Lwandamina kuelekea katika mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Tanzania Prisons itakayofanyika leo kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi jijini Dar es Salaam.

Yanga watashuka katika mechi ya leo wakiwa na kumbukumbu ya kupata ushindi mnono wa mabao 5-0 dhidi ya Mbeya City wakati wageni Tanzania Prisons wao wanaugulia kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa vinara Wekundu wa Msimbazi.

Endapo Yanga inayodhaminiwa na Kampuni ya Michezo ya Kubahatisha ya SportPesa itapata ushindi leo, itaiondoa kileleni Simba ambayo pia inadhaminiwa na kampuni hiyo ambayo ilianzia Kenya.

Akizungumza na gazeti hili jana, Lwandamina, alisema kuwa amewaandaa wachezaji wake kupambana kwa ajili ya kupata ushindi na kuwasisitiza waongeze umakini katika mchezo wa leo.

Lwandamina alisema hakuna mechi rahisi na amewaambia wachezaji wake wasifikirie ushindi mnono walioupata katika mchezo uliopita.

"Tuko tayari kwa mechi ya kesho (leo) Jumamosi, hii ni timu nyingine, sitaki wachezaji wangu wafikirie matokeo yaliyopita, hii haitawasaidia kwa sababu tunaingia kupambana na timu nyingine, tunahitaji kuwa na nguvu na mipango imara," alisema Mzambia huyo.

Meneja wa Yanga, Hafidh Saleh, aliliambia gazeti hili kuwa wanatarajia straika wao Amissi Tambwe kucheza mechi yake ya kwanza msimu huu, lakini wataendelea kumkosa kiungo, Papy Tshishimbi ambaye enka yake imevimba.

Naye Kocha wa Singida United, Hans van der Pluijm, amesema kuwa anaamini kikosi chake kitaendelea kufanya vizuri wakati leo watakapoikaribisha Mbeya City kwenye Uwanja wa Namfua mkoani Singida.

"Tuko tayari, kila siku tunajiandaa ili tuwe imara kupambana kusaka pointi tatu, tunaamini na tunastahili kuutumia vizuri uwanja wa nyumbani," alisema Mholanzi huyo.

Mechi nyingine za ligi hiyo ya juu nchini zinazotarajiwa kufanyika leo ni kati ya Mbao FC dhidi ya Mwadui wakati Kagera Sugar wataikaribisha Stand United na Ruvu Shooting watawaalika Majimaji ya Songea.


Viewing all 104785 articles
Browse latest View live




Latest Images