Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104414 articles
Browse latest View live

Waziri Kairuki Ataka Watanzania Kupambana Kupinga Vitendo vya Ukatili wa Kijinsia

0
0
Waziri Kairuki Ataka Watanzania Kupambana Kupinga Vitendo vya Ukatili wa Kijinsia
Waziri wa Madini, Angellah Kairuki amewataka Watanzania kutumia nguvu zao katika kupambana na ukatili wa kijinsia katika maeneo yao ili kupunguza vitendo vya ukatili wa kijinsia nchini.


Waziri wa Nishati, Angellah Kairuki akiwaasa wadau na watanzania kujikita katika kupambana na ukatili wa kijinsia wakati akimwakilisha Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan katika ufunguzi wa Maadhimisho ya Siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia uliofanyika katika viwanja vya Leader’s Club Dar es Salaam Novemba.

Waziri Kairuki ameyasema hayo alipokuwa akimwakilisha Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan katika ufunguzi wa Maadhimisho ya Siku 16 za kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia nchini.

Mhe. Angellah Kairuki amesema kuwa kimsingi kiwango cha ukatili wa kijinsia nchini na dunia bado ni kubwa na kwa mujibu wa Taarifa ya Afya ya Uzazi na Mtoto na Viashiria vya Malaria Tanzania ya mwaka 2015/2016 inaonesha kuwa wanawake 4 kati ya 10 wamewahi kukumbana na ukatili wa kimwili tangu wakiwa na umri wa miaka 15.

Ameongeza kuwa takwimu zinonesha kuwa asilimia 42 ya wanawake waliowahi kuolewa wamekumbana na ukatili wa wenza wao ama wa kimwili,au ukatili unaohusisha ngono.

“Nawaomba watanzania wenzangu katika maeneo yenu pazeni sauti na kufanya kwa vitendo kupinga masuala ya ukatili wa kijinsia unaowakumba sana wanawake na watoto” alisema Mhe. Angellah.

Aidha kwa upande wake Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt Faustine Ndugulile amesema kuwa athari za ukatili wa kijinsia ni kubwa sana katika Nyanja za kisiasa, kijamii na kiuchumi kwa mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla.

Ameongeza kuwa kampeni hii ya Siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia hasa ilenge kuinua uelewa wa jamii na wadau mbalimbali kuhusu madhara ya ukatili dhidi ya wanawake na watoto.

“Kampeni hii imekuja wakati muafaka na kwakuwa tatizo la ukatili wa kijinsia hapa nchini bado ni kubwa basi itasaidia kulitatua kwa jitihada za pamoja za Wadau na Serikali” alisema Mhe. Dkt. Ndugulile.

Naye Mkurugenzi wa WILDAF Tanzania Dkt. Judith Odunga ameishukuru Serikali kwa ushirikiano wao katika kupambana na ukatili wa kijinsia na kuomba kufanyiwa kwa marekebisho ya baadhi ya Sheria ili ziende sambamba na kupinga ukatili wa kijinsia nchini.

Siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia uadhimishwa kila mwaka kuanzia Novemba 25 mpaka Desemba 10 na kwa mwaka 2017 Kauli mbiu inasema FUNGUKA! Ukatili Dhidi ya wanawake na Watoto haumwachi Mtu Salama: CHUKUA HATUA!

Hiki Hapa Kikosi cha Maangamizi cha Yanga Dhidi ya Tanzania Prisons Leo

0
0
Hiki Hapa Kikosi cha Yanga Dhidi ya Tanzania Prisons Leo
Mabingwa wa kihistoria wa Ligi Kuu soka Tanzania Bara klabu ya Yanga imetangaza kikosi chake kitakacho ikabili timu ya Tanzania Prisons hii leo katika dimba la Uhuru jijini Dar es salaam.

Yanga itaingia Uwanjani huku ikiwa na kumbukumbu ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao matano kwa bila dhidhi ya klabu ya Mbeya City katika mchezo uliyopita.

Jumla ya michezo mitano itapigwa hii leo katika viwanja mbalimbali hapa nchini wakati Singida United ikiwakaribisha Mbeya City, Mbao FC itawakaribisha Mwadui FC huku Kagera Sugar ikiikabili Stand United na Ruvu Shooting dhidi ya Majimaji FC.

Rais Magufuli: Mizengo Pinda Ndiye Aliyenizuia Kubomoa Jengo la Tanesco Sasa Mimi Ndiye Rais Hakuna wa Kunizuia

0
0
Rais Magufuli: Mizengo Pinda Ndiye Aliyenizuia Kubomoa Jengo la Tanesco Sasa Mimi Ndiye Rais Hakuna wa Kunizuia
Rais John Magufuli amesema hakubomoa jengo la Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) lililopo Ubungo alipokuwa waziri wa ujenzi kwa kuwa aliogopa kufukuzwa kazi.

Rais Magufuli amesema hayo leo Jumamosi Novemba 25,2017 alipozindua Hospitali ya Taaluma na Tiba ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (Muhas), kampasi ya Mloganzila.

Akizungumza mbele ya waziri mkuu wa Serikali ya Awamu ya Nne, Mizengo Pinda aliyehudhuria uzinduzi huo, Magufuli amesema wakati huo aliogopa baada ya kuzuiwa na waziri mkuu huyo, lakini sasa yeye ndiye Rais hakuna wa kumzuia.

Akizungumzia ubomoaji unaoendelea sasa amesema, “Nilishatoa maagizo, najua Mizengo Pinda kwenye hili alinipinga wakati ule, lakini najua leo hawezi akanipinga kwa sababu mimi ndiye Rais. Wakati ule nilikuwa waziri wake, ndiyo maana nilinyamaza nilijua ninaweza nikafukuzwa, hutakiwi kumpinga mkubwa.”

“Hilo jengo la Tanesco, narudia kama itakuwa ni kubomoa nusu, no problem (hakuna tatizo); kama ni lote hakuna tatizo, pamoja na jengo la wizara ya maji. Najua katibu mkuu wa wizara ya maji yupo hapa ananiangalia, wakaanze kulitoa eneo lililopo kwenye hifadhi ya barabara,” amesema.

Machi 6, 2011 akihutubia wananchi katika mkutano wa hadhara mjini Chato, mkoani Kagera, Pinda ambaye alisifia utendaji wa Dk Magufuli alimwagiza kusimamisha ubomoaji maeneo kadhaa yaliyokuwa kwenye hifadhi ya barabara likiwemo jengo la Tanesco hadi Serikali itakapotoa kauli nyingine kuhusu hilo.

Pinda alikuwa akizungumzia hatua ya Dk Magufuli aliyekuwa amewaagiza wananchi waliojenga nyumba ndani ya hifadhi ya barabara kuanza kubomoa nyumba hizo na wasitarajie kulipwa fidia.

Pinda wakati huo akiwa waziri mkuu alisema spidi (kasi) ya Magufuli ilikuwa kubwa hivyo alimuagiza kusimamisha ubomoaji huo hadi suala hilo litakapojadiliwa na Baraza la Mawaziri.

Pinda, ambaye alikuwa waziri mkuu kuanzia 2008 baada ya kujiuzulu kwa Edward Lowassa alisimamisha ubomoaji huo ili kutoa nafasi kwa Serikali kujipanga upya.

Alisema Serikali inamuamini Magufuli kuwa kiongozi mwenye uwezo na ndio maana ilimpa nafasi akawabane makandarasi wazembe.

Dk Magufuli akiwasilisha bajeti bungeni mwaka 2012/13, alizungumzia ubomoaji akisema siasa iachwe akisisitiza sheria zimepitishwa ikiwamo Sheria namba 13 ya mwaka 2007 na ya hifadhi ya barabara iliyoanza tangu mwaka 1932.

Alizungumzia jengo la Tanesco alisema liko kwenye hifadhi ya barabara na kwamba hata kama asipolibomoa yeye kuna siku litabomolewa vinginevyo sheria ibadilishwe.

Novemba 15 akitokea Chato alipokwenda kwa mapumziko baada ya ziara ya Uganda, Magufuli alimuagiza wakala wa barabara nchini (Tanroads) kuweka alama ya X katika jengo la Tanesco na Wizara ya Maji, sehemu zilizo katika hifadhi ya barabara.
Chanzo: Mwananchi

Rais wa Cuba Akutana na Waziri wa Korea Kaskazini

0
0
Rais wa Cuba akutana na waziri wa Korea Kaskazini
Rais wa Cuba Raul Castro amekutana na waziri wa mambo ya nje wa Korea kazkazini , Ri Yong Ho katika jitihada za kimataifa kujaribu kupunguza uhasama baina ya Korea kazkazini na Marekani unaochochewa na azma ya Korea Kaskazini kuunda silaha za kinyuklia
Japo Cuba yenyewe pia ina mvutano na utawala wa rais Trump, katika taarifa yao ya pamoja na serikali ya Pyongyang Bw. Raul Castro ametoa wito kuwe na suluhu ya amani kwa sintofahamu hiyo baina ya Marekani na Korea Kazkazini.

Licha ya vikwazo vya Marekani Cuba imedumisha uhusiano wa kidiplomasia na Korea Kaskazini tangu miaka ya 60.

Jeshi la Polisi Lafungiuka Kuhusu Hali ya Usalama Nchini

0
0
Jeshi la Polisi Lafungiuka Kuhusu Hali ya Usalama Nchini
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini(IGP), Simon Sirro amesema kuwa hali ya usalama nchini Tanzania ni ya kuridhisha sana huku akisema kuwa takwimu zinaonyesha kuwa tangu mwezi Julai upungufu wa makosa nchini.


Rais JPM Asisitiza Kubomolewa kwa Jengo la Tanesco " Lazima Libomolewe Hata Nusu Yake"

0
0
Rais JPM Asisitiza Kubomolewa kwa Jengo la Tanesco " Lazima Libomolewe Hata Nusu Yake"
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amesisitiza kuwa jengo la TANESCO Ubungo ni lazima libomolewe kwasabu yeye ndiye rais kwasasa tofauti na zamani alipokuwa waziri.

Rais amesema hayo mapema leo wakati akihotubia wananchi waliojitokeza kwenye ufunguzi wa Hospitali na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kampasi ya Mloganzila.
“Nikiwa Waziri Mheshimiwa Pinda alinipinga kuhusu kubomoa jengo la TANESCO lakini kwa sasa hawezi kwasababu Mimi ndiye Rais, nilikaa kimya kwasababu ya kuogopa kufukuzwa”, amesema Rais Magufuli.
Aidha rais ameongeza kuwa Jengo hilo lazima libomolewe hata kama nusu yake ndio ipo kwenye hifadhi ya barabara basi itolewe kama ni lote basi liondolewe pamoja na jengo la wizara ya maji hivyo hivyo kwasababu sheria ni msumeno.

Pia rais amesema wakazi wa Kimara ambao nyumba zao zimebomolewa hawatalipwa fidia kwasababu zilikuwa ndani ya hifadhi ya barabara.
“Mwaka 1997 wakati nikiwa naibu waziri wa Ujenzi nilikuja Kimara wakati wa kubomoa eneo la Kimara hadi Ubungo nilisema hata waliobaki wapo ndani ya hifadhi ya barabara hivyo wasiendelee na ujenzi”, amesema Rais Magufuli.

Barcelona Yamuongezea Mkataba Lionel Messi Hadi 2020/21

0
0
Barcelona Yamuongezea Mkataba  Lionel Messi Hadi 2020/21
Mshambuliaji wa klabu ya FC Barcelona na timu ya taifa ya Argentinia, Lionel Messi amesaini mkataba mpya utakaomuweka ndani ya timu hiyo hadi mwaka 2020/21.

Messi, amesaini mkataba huo asubuhi ya leo siku ya Jumamosi  ambao utamuweka staa huyo wa Argentinian hadi msimu wa mwaka 2020/21 huku kipengele cha ununuzi kikiwa ni euro milioni 700 ili kuepusha yale yaliyojitokeza kwa Neymar wakati alipohitaji kusajiliwa na PSG.

Kwa usajili huo utamfanya mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 30, kuwa ndani ya klabu hiyo kwa miaka 17

Lionel Messi amejiunga na Barca mwaka 2000 akiwa na umri wa miaka 13 alipo wasili akitokea klabu ya Newell’s Old Boys nchini Argentinian.

Baada ya kuonyesha kiwango cha hali ya juu na kuvutia katika timu mbalimbali za vijana ndipo akaitumikia timu ya wakubwa kwa mara ya kwanza akiwa na umri wa miaka 16 ukiwa mchezo dhidi ya FC Porto kisha kuanza rasmi kucheza akiwa na umri wa miaka 17 dhidi ya Espanyol.

Leo Messi amekuwa ni mchezaji ambaye anavunja rekodi zilizowahi kuwekwa kilasiku hadi kuwa moja kati ya mchezaji bora katika historia ya soka, kwa kuwa na idadi mengi ya mabao, mataji, rekodi akiwa yeye kama yeye na hata tuzo mbalimbali akiwa na timu yake ya Barcelona.


Hivi Ndivyo Dkt Shika Anavyokula Bata la Uzeeni

0
0
Hivi Ndivyo Dkt Shika Anavyokula Bata la Uzeeni
Dk Louis Shika ambaye katika siku za hivi karibuni amejipatia umaarufu mkubwa, juzikati amefunguka kuwa ‘bata’ la uzeeni analokula sasa hivi ni balaa kutokana na michongo ya fedha anayopata.

Akipiga stori na Risasi Jumamosi juzi, Dk. Shika alisema kuwa, wakati akisubiria fedha zake za Urusi, sasa hivi amekuwa akipata madili ya fedha na kuyabadili maisha yake.

Mmoja wa mameneja wa Dk. Shika ambaye hakupenda jina lake lichorwe gazetini, amethibitisha kwamba tangu aanze kumsimamia mzee huyo, amekuwa akipata michongo kibao kila siku.

TUMSIKILIZE MENEJA
“Daah kwa kweli ni michongo mingi sana ya hela. Yaani simu kila wakati inaita. Watu wanamhitaji kweli Dk. Shika, kwa siku napokea si chini ya simu hamsini mpaka sitini,” alisema meneja huyo.

AZICHUJA SIMU
Meneja huyo alisema, baada ya kuona simu hizo zimekuwa nyingi, wamelazimika kuwa wanazichuja kulingana na namna mtu anavyojieleza kwani wengi wao wamekuwa wakitoa michongo ya fedha ndogo.

“Unakuta mwingine anakuambia eti anataka kupiga naye picha akupe elfu tano, elfu kumi hizo kwa kweli tumelazimika kuziweka pembeni si kwamba ni ndogo lakini kwa kweli tukiruhusu hizo hatutaweza kuwahudumia wote.
WANAANZIA MILIONI
“Na badala yake tunapokea dili zile zinazoanzia milioni na kuendelea tena kwa kuangalia watu ambao wapo serious,” alisema.
DILI ALIZOWEKA KIBINDONI
Meneja huyo alisema si vyema kuzinadi dili zote na kiasi alicho nacho kwa sasa lakini akasema itoshe tu kusema kwa sasa dili za kuwaingizia mamilioni ya kutosha zimeingia na zinaendelea kuingia.

“Tunamshukuru Mungu kwa kweli. Amefungua milango yake tunaingiza dili za fedha. Kuna wengine wanataka tu ‘appearance’ ya muda mfupi na wengine wanataka mkataba wa muda mrefu.

“Mfano, Vodacom wao walituita tu ofisini kwao, tukawa na appearance pale na wafanyakazi wao, tukala nao chakula pamoja wakatulipa tukaondoka zetu.

ROMA NA STAMINA
“Kuna wasanii wengi wameshatufuata, wengine tupo nao kwenye mazungumzo lakini ambao tayari tumeshafanya nao kazi na imetoka ni Roma na Stamina katika wimbo wao wa Kiba 100,” alisema meneja huyo.

MATANGAZO YA JUISI
Sambamba na madili hayo, meneja huyo pia alisema kuna dili za bidhaa mbalimbali za juisi ambazo tayari zimeshawalipa na wameshatangaza bidhaa zao.

WAREMBO WAMGOMBEA
Kama hiyo haitoshi, meneja huyo alisema mbali na michongo hiyo ya fedha, warembo kibao wamekuwa wakimgombea kila wanapokatiza katika hoteli mbalimbali za kifahari wanazofika wakitaka kupiga naye picha.

“Unajua dokta kwa sasa kutokana na jina lake hawezi kulala sehemu moja. Analala hoteli mbalimbali za kifahari, anakula na kunywa. Sasa kila tunapopita, warembo wanamgombea wakitaka kupiga naye picha,” alisema.

SHIKA ALIIBUKIA WAPI?
Kwa mara ya kwanza, Dk. Shika aliibukia kwenye mnada wa nyumba za mfanyabiashara Said Lugumi zilizokuwa zikiuzwa baada ya mfanyabiashara huyo kushindwa kulipa kodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

Kwenye mnada huo, Dk. Shika alifika bei katika nyumba tatu tofauti lakini hata hivyo alipotakiwa kulipia asilimia 25 kwa kila nyumba, alishindwa na kudai fedha zake zipo nchini Urusi hivyo apewe muda wa kufanya miamala.

ATUPWA SERO
Hata hivyo, kampuni ya udalali ya Yono Action Mart iliyokuwa na dhamana ya kusimamia mnada huo, ilimweka ndani kwa madai ya kutibua mnada, lakini hata hivyo baadaye alitoka kwa dhamana.

Mara baada ya kutoka polisi kwa dhamana, Dk. Shika alisisitiza kuwa ana fedha nyingi katika benki mbalimbali nchini Urusi na anaendelea na mchakato wa kuzihamishia katika benki za nyumbani ili aweze kununua nyumba hizo.
JINA LAPAA GHAFLA
Jina la Dk. Shika lilisambaa kama moto wa kifuu mara baada ya vipande vya video alivyokuwa akisikika akipanda bei kurushwa mitandaoni.
Kwenye vipande hivyo, Dk. Shika alisikika akitamka bei mbalimbali lakini Wabongo wakashikilia zaidi kile cha “mia tisa itapendeza zaidi.”

Dk. Shika amedai ni msomi aliyebobobea kwenye elimu ya mimea na kwamba anamiliki kiwanda cha madawa kilichopo Urusi.
Wakati huohuo, nyumba ya Lugumi ya JKT Mbweni jijini Dar es Salaam imeshindikana kuuzika kwa mara ya pili kutokana na waliotaka kuinunua kukomea Sh. Milioni 510, hivyo kushindwa kufikia kiwango kinachotakiwa na Mamlaka ya Kodi nchini (TRA).
Nyumba hiyo ilishindikana kuuzika katika mnada uliopita baada ya aliyependekeza kuinunua, Dk. Louis Shika ‘Mzee wa 900 Itapendeza’ kushindwa kutoa fedha ya awali ambayo ni asilimia 25 ya bei hivyo kuishia mikononi mwa polisi.
Mnada huo umeahirishwa tena hadi tarehe itakayotajwa
Chanzo: Globbal Publishers

Vijana Watakiwa Kuacha Kukaa Vijiweni Watakiwa Watakiwa Kutumia Fursa ya Kilimo

0
0
Vijana Watakiwa Kuacha Kukaa Vijiweni Watakiwa Watakiwa Kutumia Fursa ya Kilimo
Vijana Mkoani Tabora wametakiwa kuacha tabia ya kukaa vijiweni na kusikiliza maneno ambayo hayawasaidii wala kuwafundisha namna ya kupata maendeleo.

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri katika maeneo mbalimbali ya Kata za Wilaya ya Kaliua kwenye zoezi la uhamasishaji wa kilimo cha kisasa cha zao la Pamba na mazao mengine.
Aidha mkuu huyo wa mkoa amewataka vijana kutumia muda wao kujiajiri katika sekata ya kilimo na uzalishaji wa pamba pamoja na mazao mengine yatakayowasaidia kujipatia kipato na kuinua maisha yao.
“Kijana uliyekuja hapa leo ninakuambia kuwa kama unarafiki yako unashinda nae kijiweni na kucheza karata, Pool kuanzia leo achana naye, kwani hana nia njema nawewe, mwambie kuwa mkuu wa mkoa amenifundisha juu ya kulima pamba kisasa kuanzia sasa urafiki wangu mimi na wewe bye bye”, amesema RC Mwanri.
Mkuu wa Tabora yuko katika ziara mkoani mwake kuhamasisha kilimo cha kisasa cha zao la pamba na mazao mengine ambayo yatawasaidia wakulima kupata pesa zitakazoboresha maisha yao.


Miujiza ya Sharifu Seif Mohamed..JE Umeachwa na Mme/Mke au Mpenzi, Umesongwa na Mitihani ya Maisha..Piga Simu Upate Muujiza Wako

0
0

SHARIFU SEIF MOHAMED ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOENDELEA KUPIGA SIMU, WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA  SHUKRANI NA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO WASAIDIA,

(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

SHARIFU MOHAMED Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN, Dawa za Asili, Dawa za Kiarabu na majini kwa kumtuliza mke/mme, mchumba au mpenzi ndani ya masaa 72 tu, na kutatua matatizo yote ya kimaisha,

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu SHARIFU SEIF sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata Atakacho Kuelekeza

ANAZO DAWA ZA MAPENZI, NGUVU ZA KIUME, CHANGO NGIRI MAJI NA N.K, ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA, HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA, ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUKSI NA VIFUNGO MBALIMBALI,  MAFANIKIO YA MAISHA NA UTAJIRI BILA MASHARI, NA MENGINE MENGI YA SIRI,

Je UMAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? WASILIANA NA MTAALAMU HUYU KWANI YEYE HUFAULU PALE WOTE WALIPOSHINDWA, PIA UMALIZA KAZI ZILIZO SHINDIKANA NA WATAALAM WENGINE NDANI YA MASAA 24 TU,

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE AU MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFWATA MAELEKEZO YAKE)

Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi Piga SIMU No:
Mobile +255 654-836970
WhatsApp +255 756-033670 

Mgombea wa Chadema Ashikiliwa na Polisi Malinyi

0
0

Mgombea udiwani kwa tiketi ya Chadema Kata ya Sofi wilayani Malinyi, Riko Venance amewekwa chini ya ulinzi na polisi wakati akitembelea kituo cha kupigia kura cha Shule ya Msingi Mission.

Akizungumza na Mwananchi leo Jumapili, Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kati, Alfonce Mbassa amesema bado hawajaambiwa kwa nini mgombea huyo anashikiliwa na polisi wakati sheria inamruhusu kutembelea vituo.

"Nimepewa taarifa kwamba mgombea wetu anashikiliwa na polisi na hivi ndio naelekea eneo la tukio, bado sijajua kwa nini amewekwa chini ya ulinzi, nitatoa taarifa baadaye," amesema Mbassa.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro hajapatikana kuzungumzia tukio hilo, jitihada za kumtafuta bado zinaendelea.

Kata ya Sofi ina vijiji vitatu ambapo viwili vinaongozwa na Chadema na kimoja hakina uongozi kwani kilishindwa kufanya uchaguzi kutokana na migogoro ya mipaka.

Kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2012 kata hiyo ilikuwa na wakazi 12,000 huku waliojiandikisha kupiga kura mwaka 2014/15 wakiwa 8,700.

Mwananchi:

Rais Magufuli Amsifia Paul Makonda...Atinga Meli ya Wachina

0
0

DAR: Rais John Pombe Magufuli afika bandarini kuagana na Madakari wa Meli ya Jeshi kutoka China.
-
Asema wagonjwa takribani 10,000 walifika kupata matibabu katika meli hiyo
-
Aidha, Rais Magufuli amemsifia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kwa uchapakazi na kuwataka Viongozi wengine wajifunze kwake.

Rais Magufuli Awapigia Simu Clouds FM Kuhusu Tamasha la Fiesta

0
0

Wakati Tamasha la Fiesta katika mkoa wa Dar es Salaam likiendelea usiku wa kuamkia leo, Rais wa Jamhuri Ya muungano wa Tanzania, John Magufuli aliwapigia simu waandaaji wa Tamasha hilo Clouds Media na kuwaambia kwamba waongeze muda wa kumaliza tamasha hilo hadi saa 12 alfajiri.
-
Rais Magufuli alipiga simu hiyo na kusema tamasha hilo lifanyike mpaka saa 12 kamili asubuhi ambapo hapa chini ni nukuu ya kilichoandikwa kwenye ukurasa wa CloudsFM katika Mtandao wa Instagram.
-
“Tumepokea simu kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr John Pombe Magufuli amesema #TigoFiestaKubwaLao iende hadi saa 12 asubuhi. Yani akienda Kanisani anapishana na watu wanatoka Fiesta”
-
“Sisi tunashukuru sana, Asante sana Rais wetu kwa kuonyesha upendo kwa kiwanda cha burudani, tutaendelea kusimamia tasnia hii kwa maslahi ya Taifa letu #BabaKasema #JPMnaMuziki“ wameandika Clouds Media.

Mtazamo Wangu wa Show ya Fiesta Usiku wa Kuamkia Leo...Waliofanya Vizuri na Waliochemsha

0
0

Mtazamo Wangu wa Show ya Fiesta Usiku wa Kuamkia Leo...Waliofanya Vizuri na Waliochemsha

MCHAMBUZI BLOG / moments ago



Usiku wa kuamkia leo pale leaders kulikuwa na kilele cha Fiesta huku waandaaji wakijipambanua na kauli mbiu ya 100% local, yaani wasanii wote watumbuizaji wanatoka nyumbani.

Watazamaji
Watazamaji kiukweli walijitokeza wengi hasa ukizingatia kiingilio kilikuwa sh
10000 na promo iliyofanyika watu hawakusita kwenda

Watumbuizaji/ wasanii

Wasanii walijitaidi kuvaa vizuri kwa namna ambayo waliona watandeza.

Jukwaani

Waandaaji walijitaidi kuwawezesha wasanii waimbe live band na hapa ndo tatizo kubwa lilipotokea
Wasanii wengi hawajui kuimba live band huku wakijiconnect na mashabiki hili lilisababisha show kupooza hakukuwa na shangwe

Wasanii wakifika jukwaani wanapiga story nyingi mpaka wanaboa mfano wasanii Jux na Vanessa mdee walitumia muda mwingi kuombana msamaa kuhusu mapenzi yao kuliko kupiga show

Kuchanganya Bongo movies na kuimba jukwaani

Mfano kitendo cha kuwapandisha jukwaani Ebitoke, Mama Ashura na Tausi kulibadilisha maana kutoka tamasha la music hadi kuwa la maigizo zikawa drama nyingi jukwaani hadi zinaboa

Ommy dimpoz kiukweli alizingua sana sijui tatizo hajui kuimba na live banda au alikamia sana kiwango chake kilikuwa chini sana kuliko hata wasanii wachanga

Wasanii waliofanya Vizuri

Rostam- roma na stamini walijitaidi sana kuleta amsha amsha

Rich Mavoko- alijikita zaida kuimba kuimba kuliko kupiga story jukwaani inawezekana kwasababu sio muongeaji sana.

Ben paul- alijitaidi kuwa mbunifu na kuimba vizuri alianza kuaribu alipompandisha ebitoke na kuleta maigizo

Rosa Ree -Katika show alikuwa na Mwanamke Pekee aliyowakilisha wadada katika miondoka ya kuchana au kufoka foka ...Show yake ilivutia

Nyandu toz na mr blue- walipiga show ya maana kuliko hata wale waliokuwa midomoni kwa watu

Jux na vanesa - walijitaidi japo walikuwa wanaboa kwa maongezi mengi jukwaani

Alikiba- alikiamua japo kulikuwa na tatizo la sauti, sijui ni mic yake ilikuwa mbovu au vyombo vya bendi ndo vilikuwa vinazingua, nadhani ndo kilichosababisha asiwe kwenye ubora wake.

Hitimisho

100% local ni wazo zuri la kujenga kujiamini kwa wasanii wetu ila nadhani bado tunapaswa kujifunza kutoka kwa wasanii kama Wizkid, Davido na Patoranking hawa wakiwa wanaimba live.

By Brave one

Je Wajua Kwanini Baadhi ya Wanaume wana Maumbile Madogo?

0
0

KWANINI BAADHI YA WANAUME WA NA MAUMBILE MADOGO?
Tatizo hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia ,hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wenzao,kwakawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6_8 vinginevyo mtu huyu ana matatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo baadhi ni,upungufu wa vichocheo (hornes) za gestrojen ambapo mwanaume anapobalehe vichocheo hivi (hormones)huchochea ujuaji wa uume.chango ambalo hushambulia nerve ambapo huharibu kabisa ukuaji wa uume, Punyeto ambayo huasili misuli ya uume,pia ngiri ambayo huleta maumivu ya tumbo kuunguluma na kujaa gesi,korodani moja kuvimba,kutopata choo vizuri,sababu hizi na nyinginezo hufanya uume kulegea na kisinyaa nakuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu zakiume (hamu ya tendo landoa hupungua au kuisha kabisa).NSUMBU,Nidawa inayozalisha hormones za gestrogene na kufanya uume kukua na kuongezeka mara dufu.NZAGI,Ni dawa ya kurudisha nguvu za kiume ,hutia hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila hamu kuisha nakuponya kabisa tatizo hilo. Pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk 15 nakuendelea kwa tendo la kwanza.kumbuka dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji.Natunatibu kisukari,bp,ngiri,miguu kuwaka moto,namengine mengi.

WASILIANA OSTADHI JUMA KWA SIMU NO,0784002216 AU 0769597778 

Padri Afunguka Jinsi Alivyomshawishi Mugabe Akubali Kujiuzulu

0
0

Katika siku za mwishoni mwa utawala wake, kila kauli ya busara, yenye hoja au tata ilihusishwa na aliyekuwa Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe.

Uzee wake, umri wa miaka 93, haukumfanya ageuzwe babu wa kumtania na kumjazia kila kauli ya mtu anayeonekana kuwa ni msomi, bali kutokana na kuamini kuwa Mugabe alikuwa ni msomi aliyesoma vizuri na mwenye uwezo wa kujenga hoja.

Kwa hiyo haikuwa ajabu kwa mchakato wa kumtaka ajiuzulu urais kwa hiari yake, kuchukua muda mrefu tofauti na ilivyotarajiwa baada ya jeshi kuingia kati ya kumuweka chini ya ulinzi nyumbani kwake.

Katika mapinduzi ya kawaida, jeshi lingetangaza kuishika nchi baada tu ya kufanikiwa kuishika ikulu, lakini katika dunia ya leo jeshi lisingepata ushirikiano na nchi jirani pamoja na jumuiya ya kimataifa. Hivyo ilihitajika ama Mugabe ajiuzulu mwenyewe, au mchakato wa kumuengua kikatiba uanze, jambo ambalo lingechukua muda mrefu na kukabiliana na vikwazo vya kisheria.

Njia rahisi, ilitakiwa iwe kumshawishi ajiuzulu, ili mambo mengine yaende kiulaini. Lakini nani angefanya kazi ya kuzungumza na kumshawishi mtu aliyejaa hoja? msomi aliyepikwa vizuri na mtu mwenye kushikilia anachokiamini?

Aliyebeba jukumu hilo kwa mafanikio alikuwa Padri Fidelis Mukonori, mtu ambaye enzi za ujana wake alikusanya ushahidi wa jinsi wananchi walivyofanyiwa ukatili wakati wa vita vya ndani na baadaye Mugabe, wakati huo akiongoza mapambano ya uhuru, kupata taarifa zake.

Baada ya miongo kadhaa, mwinjilisti huyo amefanya kazi nyingine ya kumshawishi Mugabe kung’atuka.

Alikuwa kinara wa mazungumzo ya kumshawishi Mugabe kuachia ngazi kwa sababu mwanasiasa huyo mkongwe na jeshi wote walimuamini.

“Mimi ni nafaka ngumu kuweza kuivunja,” alisema Mukonori alipofanya mahojiano na kituo cha televisheni cha CNN.

“Nilishawahi kufanya kazi hii.”

Mukonori alisema hayo katika mahojiano ya kwanza tangu kumalizika kwa amani kwa mabadiliko hayo ya uongozi nchini Zimbabwe baada ya Mugabe kuongoza taifa hilo kwa miaka 37.

Mazungumzo hayo yalifanyika Ikulu na nyumbani kwa Mugabe.

Mukonori, ambaye ana umri wa miaka 70 na Padri wa Kanisa la Katoliki wa Shirika la Jesuit, alikuwa akikutana na Mugabe kila siku, kwa mujibu wa CNN.

Kituo hicho kinamkariri Mukonori akisema kuwa mkakati wake ulikuwa si kubishana na Mugabe, bali kumsikiliza na kumshawishi Mugabe kwamba anaweza kuachia siasa kwa heshima.

“Ni mtu anayeweza majadiliano, anayefikiria, anatoa hoja kwa akili, anaweza kuweka hoja katika mtazamo wa kifalsafa,” Mukonori aliiambia CNN. “Ilikuwa ni suala la kumfanya Rais Mugabe aone kilichokuwa kinaitokea nchi kiuchumi na kisiasa kwa wakati huo na nini ilikuwa athari kutokana na jinsi wanajeshi walivyoingilia.”

Mugabe aliwekwa chini ya ulinzi wa wanajeshi nyumbani kwake wakati alipotangaza kujiuzulu Jumanne. Vikosi viliweka kambi Ikulu na katika jengo la bunge.

“Ukweli kwamba wanajeshi walikuwa wamechukua hatua hiyo-Mugabe hakukataa kwamba kulikuwa na tatizo, lakini alishangaa kwa nini ililazimika kufanyika hivyo,” alisema Mukonori katika mahojiano hayo.

Kwa kuwa jeshi lilisisitiza kuwa hatua hiyo haikuwa mapinduzi, bali njia ya kutatua mgawanyiko uliokuwa ndani ya chama tawala cha Zanu-PF, walilazimika ama kumshawishi Mugabe ajiuzulu au akabiliane na kuondolewa madarakani na Bunge ili kufuata katiba, jambo ambalo lingechukua muda mrefu.

Kadiri siku zilivyokuwa zinakwenda, shinikizo lilikuwa kubwa kwa Mukonori na majenerali ili wafanye kitu kumaliza hali hiyo.

Mukonori anasema alimuhakikishia mara kwa mara Mugabe mchango wake katika uhuru wa Zimbabwe uliomfanya awe shujaa wa taifa. Ingawa anasakamwa na sehemu kubwa ya dunia, Mugabe bado anaheshimiwa na jeshi na uongozi wa chama tawala.

“Wakati wote majenerali walionyesha kumuheshimu wakati wa mazungumzo na hata walimpigia saluti,” alisema Mukonori. “Alijua angependa kuondoka kwa heshima.”

Pamoja na hilo, Mugabe alionekana kutaka kuendelea kukaa madarakani- hata kwa wiki chache.

Makubaliano yalifikiwa, lakini baada ya kuongoza kwa miaka 37 madarakani, Mugabe bado alitaka mabadiliko ya kumuachia madaraka Emmerson Mnangagwa yafanyike kwa utaratibu. Mnangagwa, ambaye alitimuliwa na Mugabe na kwenda kuishi nje kama mkimbizi, alikuwa akiwasiliana na majenerali wakati wote.

Wakati Mugabe alipohutubia taifa kwa kutumia televisheni ya serikali Jumapili iliyopita, karibu kila mtu alitegemea kuwa angejiuzulu. Lakini akiwa amezungukwa na majenerali, Mugabe alitumia hotuba yake ndefu kuzungukazunguka, lakini hakujiuzulu.

Mukonori alisema mchakato wa mazungumzo ulihitaji uvumilivu.

“Kumsikiliza mtu mwenye umri wa miaka 93 si sawa na kumsikiliza mtu mwenye umti wa miaka 23 au 17,” alisema.

Mwishoni, vilio vya Wazimbabwe waliokuwa wakiandamana, vilimshawishi aondoke, alisema Mukonori.

Wakati maelfu ya watu walipomiminika katika mitaa ya Harare kumtaka Mugabe aachie ngazi, padri huyo alitumia nafasi kukamilisha mchakato.

“(Maandamano) Yalimgusa,” alisema Mukonori. “Ilimgusa kwa maana kwamba aligundua kuwa walikuwa wakisema imetosha.”

Na alipojiuzulu, kulikuwa na shangwe kwa Wazimbabwe ndani na nje kushangilia mwisho wa utawala wake.

Mukonori alisema Mugabe alialikwa katika sherehe za kuapishwa kwa Mnangagwa, lakini alikataa, kutokana na mazingira hayo.

Padri huyo anasema anaendelea kuzungumza na Mugabe karibu kila siku. Alisema Mugabe ameahidi kutoa ushauri kwa rais mpya, licha ya Wazimbabwe wengi kutaka mwanzo mpya.

“Hajatoweka maishani, hajafa,” alisema Mukonori. “Lakini amepotea hadharani. Ubongo wake bado unafanya kazi na ni mzuri.”

Makala hii imetafsiriwa kutoka CNN

Pata Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo...

0
0
MHULI: Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.


Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na Nasi kwa Namba; 0783140065

Tupo Mbagala Rangi Tatu

Shule ya Kanali Kipingu "Lord Baden Powell Memorial" Yapigwa Mnada Kama Nyumba za Lugumi

0
0
Hekaheka zinaendelea kutikisa katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar kwa kufanyika minada ya Nyumba za Lugumi, nako mkoani Pwani, Shule ya Sekondari ya Lord Baden Powell Memorial iliyopo Mpakani mwa Dar na Pwani inayomilikiwa na Kanali Mstaafu Iddi Kipingu imeuzwa kwa ‘pesa mbuzi’ ya shilingi milioni 100.

Mnada huo umefanywa leo Jumamosi ya Novemba 25, 2017, majira ya saa 3:00 asubuhi na Kampuni ya Makama Investiment Ltd na kupatikana mteja aliyefikia dau hilo la shilingi milioni 100.

Hata hivyo, wawakilishi wa Makama Investment iliyoendesha mnada huo hawakuwa tayari kuzungumza na waandishi wa habari juu ya vigezo na taratibu walizozitumia kuendesha mnada huo kwani waandishi wetu walijaribu kuuliza ili kupata ufafanuzi na hata jina la mshindi, lakini wahusika walidai kuwa wana haraka ya kwenda kwenye mnada mwingine ambao wangeliufanya huko Kigamboni, Dar.

Mtandao huu umezungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa shule hiyo, Kanali Staafu, Idd Kipingu na kueleza kutoridhishwa na namna mnada huo ulivyoendeshwa kwani ulifanyika wakati kuna zuio la mahakama la kuuzwa kwa shule hiyo ambayo inadaiwa na benki shilingi milioni 38 na milioni nne ambazo ni za waendeshaji wa mnada.

Alisema kuwa, haiingii akilini shule yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 3 kuuzwa kwa milioni 100 lakini halaumu walioendesha zoezi hilo kwani nao watakuwa wamepewa maelekezo maalum.

“Tumekuwa na mazungumzo mazuri tu na wanaonidai ambao ni benki na tayari nimewaambia kwa kipindi cha miezi hii hali yangu siyo nzuri, lakini niliwaambia kuanzia miezi ijayo ningelianza kuwapia,” alisema Kanali Kipingu.
Kwa taarifa kamili, tembelea Global TV Online.

Ndoa ya Kafulila Matatani, Uamuzi wa Mke, Wawashangaza Wengi

0
0
Siku chache baada ya aliyekuwa kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), David Kafulila kutangaza kukihama chama hicho kwa kile alichokiita… ‘hakuna mabadiliko ya kweli kupitia upinzani…’, imebainika ndoa ya mwanasiasa huyo kijana machachari iko matatani baada ya mkewe kujitokeza hadharani na kuponda vikali uamuzi wake, Risasi Jumamosi linakushushia nondo nzito!
TUANZIE HAPA KWA MKE WA KAFULILA
Baada ya mshangao mkubwa kuzuka miongoni mwa wadau na wakereketwa wa masuala ya kisiasa, siku moja baada ya uamuzi wa Kafulila (Jumatano), mkewe ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalum Chadema akiwakilisha Mkoa wa Singida, Jesca Kishoa alizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma na kutoa kauli ambayo wengi waliishangaa.

Kishoa alisema: “Taarifa za Kafulila kuhama chama nimezisikia kupitia vyombo vya habari, nikampigia simu na katika mazungumzo yetu sikuona hoja ya msingi ya yeye kuchukua uamuzi huo, ninavyomfahamu Kafulila ni miongoni mwa watu wenye msimamo na hayumbishwi kirahisi hususan kwenye kupigania ukweli na haki na ndiyo maana mliona jinsi alivyohatarisha maisha yake kwa kuzungumzia suala la Escrow.


“Sasa nimeshangaa sana imekuwaje naye ameingia kwenye mtego wa siasa za kuyumbishwa, huwezi kukemea uovu ukiwa CCM, hilo halipo kabisa na kwa hili nimemshangaa sana Kafulila, kwa upande wangu naona Chadema ndiyo chama kinachofaa kupigania haki na manufaa ya Watanzania, sifikirii kabisa kuhama chama changu.”
MJADALA MZITO
Kufuatia kauli ya Kishoa, wachambuzi wa masuala ya kisiasa na kijamii
walizungumza na mwandishi wetu na kutoa maoni yao juu ya uamuzi wa Kafulila na kauli za mkewe na kubainisha wazi kuwa ndoa ya wawili hao iko matatani na lolote linaweza kutokea endapo watakosa mapatano na misimamo thabiti itokanayo na nguvu za kisiasa.


“Unajua uamuzi wa Kafulila umeelemea kwenye pande mbili, mosi ni binafsi kwamba huo ni uamuzi kwa namna anavyoona na hapaswi kupingwa kwa hatua hiyo, lakini upande wa pili haiwezekani kuchukua uamuzi huo bila kuishirikisha familia kwa maana ya mke au mume tena ukizingatia kwamba wote ni wanasiasa, ukiona hivyo basi kuna tatizo kwenye ndoa hiyo.

“Kafulila amehamia Chadema hivi karibuni, unataka kuniambia kwamba hakumshirikisha mkewe? Siyo rahisi lakini kwa nini sasa hivi ahame chama bila kumdokezea mkewe? Kama amefanya hivyo kwa jambo zito na kubwa kama hilo ni mambo mangapi ambayo mke au mume huyafanya bila kumshirikisha mwenzake, ukitazama kwa mapana sana, ni wazi kwamba ndoa ya Kafulila ‘iko ICU’,” alisema mwanasiasa mmoja mkongwe, ambaye ni wa chama cha upinzani nchini.


“Kauli ya mke wa Kafulila inatoa tafsiri kubwa mno kuhusu ndoa yao. Kwamba hakuna kushauriana, ushirikiano na hakuna heshima. Nasema kushariana kwa sababu amesema taarifa za mumewe kuhama chama amezisikia kwenye vyombo vya habari kama mimi na wewe, pili hakuna kushauriana kama mtu anaamua kufanya jambo la namna hiyo na mkewe hajui, kuna kushauriana tena hapo?

“Lakini mke wa Kafulila ameivua nguo ndoa yao. Mwanamke wa Kiafrika huwezi kujitokeza hadharani na kumsema mumeo kwa maneno hayo, tena mbele ya vyombo vya habari, kwa nini wasizungumzie ndani?


alikuwa Dodoma na Kafulila Dar, wale ni wanandoa wangeweza kuonana kwa namna yoyote na kuzungumza kama ni tofauti zao kuhusu mambo ya vyama, sisi tusingejua tungeamini tu kwamba wameshirikishana, lakini sasa ameanika kila kitu kwamba hakuwa na taarifa, mwanamke hapaswi kuwa hivyo.

“Sasa kazi hiyo hapo, mume ameachana na upinzani na kama atahamia CCM maana yake ni kwamba atakuwa na mapenzi na Magufuli na mkewe aking’ang’ania Chadema maana yake ni kwamba ana mapenzi na Mbowe, hapo hakuna ndoa tena,” alisema mmoja wa wahadhiri wa chuo kikuu kimojawapo cha jijini Dar, baada ya kuulizwa na mwandishi wetu juu ya kauli ya mke wa Kafulila juu ya uamuzi wa mumewe.

SIKIA HII;
Katika kudodosa mambo, mwandishi wetu alizungumza na mmoja wa wabunge wanawake vijana ambaye alisema dalili za Kishoa kupingana na Kafulila zilianza zamani na kwamba hutofautiana mara kwa mara kwa mambo mengi, kisiasa na maisha kwa ujumla.

“Unajua mimi ni rafiki mkubwa sana wa familia yao, wakati mwingine wote wawili hunishirikisha kupishana kwao juu ya mambo mengi na wakati mwingine hutofautiana mbele yangu na mimi kugeuka msuluhishi, Jesca hajaanza leo kupishana na mumewe,” alisema mbunge huyo huku akiomba hifadhi ya jina lake ingawa wahusika wanamjua.

KISHOA ANASEMAJE?
Baada ya kutoa kauli hiyo, mwandishi wetu alimpigia simu mara kwa mara lakini Jesca alikuwa akikata na wakati mwingine kutopokea kabisa.

NINI MSIMAMO WA KAFULILA KUHUSU NDOA?
Hata hivyo, katika kujibu suala hilo, Kafulila alisema kwa kifupi: “Uamuzi wangu hauhusiani na mambo ya ndoa, hayo ni mambo mengine kabisa.”

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Jumapili

0
0
Viewing all 104414 articles
Browse latest View live




Latest Images