Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104667 articles
Browse latest View live

Breaking News: Waziri Majaliwa Anasa Semi Trailer 44 Zilizokua Zinataka Kutolewa Kinyemela Bandalini Amuagiza IGP Sirro Kukamata Wamiliki

$
0
0
Waziri Majaliwa Atua Bandalini Ampa Agizo Hili IGP Sirro
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Novemba 29, 2017 amemtaka Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simo Sirro kuwakamata Bw. Bahman wa Kampuni ya NAS na Wakala wa Kampuni wa Wallmark Bw. Samwel kwa kutaka kutoa Bandarini magari makubwa 44 aina ya Semi Trailer bila ya kulipa kodi kwa kutumia jina la Waziri Mkuu.
Aidha, Majaliwa ameitaka Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kufanya kazi kwa mujibu wa sheria na kutowasikiliza wafanyabiashara wanaotaka kukwepa kodi kwa madai ya kupewa vibali vya msamaha wa kodi kutoka viongozi wa juu serikalini.
“Mtu asije hapa aseme amepewa kibali na Rais Magufuli, Makamu wa Rais Mama Samia au Waziri Mkuu cha kuruhusu kutoa mzigo wake bila kufuata taratibu, akija mtu na taarifa hizo akamatwe mara moja na achukuliwe hatua kwa mujibu wa sheria,” alisema Waziri Mkuu.
Waziri Mkuu ametoa agizo hilo leo Jumatano alipofanya ziara ya kushtukiza Bandarini baada ya kupata taarifa za mfanyabiashara huyo aliyetaka kutapeli kutoa magari hayo yaliyoingizwa nchini mwaka 2015 kutoka nchini Uturuki.
Hatua hiyo imekuja baada ya Bw. Bahman wa kampuni ya NAS kutaka msamaha wa kodi kwa kuidanganya TPA kwamba amewasiliana ana Waziri Mkuu na wasipotekeleza agizo hilo watapata matatizo.

JE Dada unapenda Kuwa Mrembo na Kaka Kuwa Lijari na Kumtosheleza Mpenzi Wako?

$
0
0
BAADA YA UTAFITI TULIOFANYA MARKSON BEAUTY KWA KUSHIRIKIANA NA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI (W.H.O) TUMEGUNDUA KUWA WANAUME WENGI DUNIANI HUSUMBULIWA NA MATATIZO KAMA👇👇
☆Kukosa hamu ya tendo.
☆Kuwahi kufika kileleni na kushindwa kurudia tendo.
☆Maumbile madogo ya uume.
☆Kuchoka sana wakati wa tendo na uume kusinyaa nk.
@markson_beauty_pr tumeandaa tiba bora kabisa kama ifuatavyo:-
1.HANDSOME UP OG_ Inaongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli (wiki 2) @250,000/=
2.SHARK POWER GELY_ Inaongeza uume inch 6 (wiki 4) @150,000/=
3VigRX CREAM_ Inaongeza uume inch 6.5 hadi 8 (wiki 2-3) @200,000/=
4.Vidonge maalum vya kuongeza nguvu na hamu ya tendo hata kwa wenye kisukari na BP @150,000/=
5.VIGA SPRAY OG_ Inaongeza uwezo ktk tendo na kuchelewesha kufika kileleni @150,000/=
PIA KWA WANAWAKE WANAOPENDA KUWA NA MUONEKANO MZURI ZIPO ZA👇👇👇
☆Kuongeza hips, makalio na mapaja @200,000/=
☆Kushepu mguu (CHUPA YA BIA) @150,000/=
☆Kuwa mweupe bila sugu @150,000/=
☆Kurefusha nywele na kutokukatika ovyo @150,000/=
☆Kupunguza au kuongeza maziwa kuyasimamisha @130,000/=
*Kubana uke na kuzuia uchafu ukeni @130,000/=
*Kupunguza unene na manyama uzembe @150,000/=
BIDHAA HIZI NI ZA MIMEA NA MATUNDA NA ZIMEPIMWA KTK MAMLAKA NA KUPATA KIBALI HIVYO NI SALAMA KWA 100%

Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa (+255)
0767447444 au
0714335378
UTAPATA HUDUMA
NB:Matokeo ni uhakika na garantii na hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON BEAUTY CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.
Follow us
WEBSITE:- www.markworldbeauty.og
INSTAGRAM PAGE:-
@markson_beauty_pr
@markson_beauty_pr
@markson_beauty_pr

Amosi Makala Akanusha Taarifa za Kumuandikia Barua Rais Magufuli

$
0
0
Amosi Makala Akanusha Taarifa za Kumuandikia Barua Rais Magufuli
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amosi Makalla amekanusha taarifa ambayo imeenea mitandaoni iliyonukuliwa akisema kwamba anategemea kumuandikia barua Rais Magufuli kwa kitendo cha Mkoa wa Mbeya kukosa ushindi kwenye uchaguzi wa Jumapili iliyopita.

Mh. Makalla amekanusha taarifa hiyo wakati akaizungumza na eatv.tv na kusema kwamba kauli yake ilinukuliwa vibaya kwani yeye alitoa kauli hiyo akiwaambia CCM Mkoa wa Mbeya inabidi kuandika barua lakini pia wafanye kujitathmini.
"Unajua nimenukuliwa vibaya. Mimi nilichowaasa wajumbe wa mkutano na wana-ccm watafakari kwanini Chama Cha Mapinduzi kimeshindwa katika uchaguzi kata ya Ibighi. Pia nilisema CCM mkoa wa Mbeya  kifanye tathmini kwanini mikoa mingine wamefanikiwa kushinda na Mbeya kushindwa kata kata ya Ibighi nikashauri Chama kifanye tathmini ngazi ya kata , wilaya na mkoa kujua tatizo ni nini.
Hata hivyo Mh. Makalla ameongeza kwamba Ni kwa ajili hiyo nikashauri Chama cha mapinduzi mkoa wa Mbeya wamuombe radhi mwenyekiti wa Ccm Taifa kwa kupoteza kata hiyo. Mimi sikuhaidi kuandika barua ya kuomba radhi na habari zichukuliwe ni za uongo na uzushi.
Hata hivyo Mkuu huyo wa Mkoa amesema kauli yake hyo hata Naibu Spika , Mh. Tulia Ackson naye alikiri ndani ya Mkoa wa Mbeya CCM ni dhaifu hivyo wanapaswa kufanya tathmini upya.

Lulu Diva, Rich Mavoko Wanaswa Kwenye Mahaba Mazito

$
0
0
Lulu Diva, Rich Mavoko Wanaswa Kwenye Mahaba Mazito
MWANAMUZIKI Lulu Diva amenaswa na msanii mwenziye Rich Mavoko wakiwa katika pozi za kimahaba usiku mnene katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam kwenye shoo ya Fiesta hivi karibuni.

Rich Mavoko alitumia udhaifu wa Lulu na kuanza kumshikashika maeneo mbalimbali ya mwili wake ambaye aliona raha na vicheko kedekede.  Mrembohuyo  hakujali kamera zilizokuwa zikimmulika ndani ya usiku huo mnene, kwani muda wote alikuwa bize akisikilizia mapapaso hayo bila woga.

Naye Mavoko aliyekuwa akimpapasa,  hakuwa nyuma katika kuhakikisha nafasi hiyo haipotei bila kutumika ipasavyo.

Huko nyuma wawili hao waliripotiwa kuwa wapenzi, jambo ambalo walilikanusha kila mara.

Inasikitisha Baba Amtoa Kafara Mwanaye Amkata Sehemu za Siri kwa Shoka

$
0
0
Inasikitisha Baba Amtoa Kafara Mwanaye Amkata Sehemu za Siri kwa Shoka
MTU mmoja huko mwenye umri wa miaka 39 huko Chhattisgarh, India, amemtoa kafara mwanaye mdogo katika kitendo cha ushirikiana kwa kumkata uume na sehemu za kichwa kwa shoka hadi kusababisha kifo chake, kwa madai ya kufukuza mapepo mabaya ‘mashetani’.

Watuhumiwa wakiwa chini ya ulinzi.
Kitendo hicho kilifanyika huko Balodabazar wilayani Chhattisgarh, polisi walisema jana. Ramgopal Patel, na mganga wa kienyeji, Rajesh Yadav (19) walikamatwa leo, ikiwa ni siku mbili baada ya kufanya kitendo hicho kijijini Amera.
Polisi walisema mwili wa mtoto huyo mwenye umri wa miaka 13 ulikutwa ukiwa katika dimbwi la damu ambapo baada ya polisi kufanya uchunguzi, Patel alikiri kumwua mwanaye huyo ili kuondoa mapepo mabaya na hivyo wamemfungulia mashitaka.

Alikiba na Abdukiba Kwenye Kolabo ya Pamoja Kuachia Nyimbo Mpya Kesho

$
0
0
Alikiba na Abdukiba Kwenye Kolabo ya Pamoja Kuachia Nyimbo Mpya Kesho
Baada ya kimya cha muda mrefu wakali kutokea Bongoflevani Alikiba na Abdukiba ambao ni ndugu wa damu wameamua kurudi tena kwenye headlines za bongofleva baada ya kujiandaa kuachia wimbo wao mpya.

Uthibitisho wa kuachia wimbo huo umepatikana baada ya Alikiba na Abdukiba kupost kupitia mitandao yao ya Instagram kwa kuahidi kuwa wataachia Audio na Video kwa pamoja siku ya Alhamisi hii, ambapo Abdukiba ameandika…>>>“The long wait is almost over!!!!King’s Music presents @officialabdukibaanew single featuring @officialalikiba – Audio & Video zinadondoka Alhamisi hii. Subscribe to AbduKiba youtube channel uwe wa kwanza kuiona video ya #Singledirected by @hanscana_#SupportedByKiba#KingKiba..” – Abdukiba

Matusi Yamchosha Wema Sepetu Atamani Kufa .” Kuna muda Natamani Allah Subhannah Anichukue tu"

$
0
0
Wema Atamani Afe .” Kuna muda Natamani Allah Subhannah Anichukue tu... Ya Duniya ni Mengi Sana"
Muigizaji mwenye nyota yake bongo na Afrika Mashariki Wema Sepetu, amesema kuna muda anatamani Mungu amchukue afe ili aweze kupumzika na mambo ya dunia ambayo yanamnyima raha.

Wema Sepetu ameyasema hayo kwa kuandika ujumbe kwenye ukurasa wake wa instagram, akisema ingawa anajua ipo siku atakufa, lakini anatamani ingetokea sasa ili aweze kupumzika na mambo yanayomuumiza nafsi yake ikiwemo kutakanwa bila sababu za msingi kwenye mitandao ya kijamii.
Wema Sepetu amendeelea kusema kuwa kutokana na mambo ambayo anayapitia anatamani hata asingetokea duniani, na kuamua kukaa nje ya mitandao ya kijamii kwa muda.
"Ipo siku nitakufa, hakuna anaeishi milele... Sijui mtaendelea kunisema kwa kejeli na kunitukana matusi ya nguoni au ndo itakuwa, “Maskini ya Mungu, Dada wa watu alikuwa hivi na vile, Mungu ailaze Roho yake mahali pema...” Kuna muda mwingine huwa natamani Allah Subhannah wata’allah anichukue tu... Ya Duniya ni mengi sana", ameandika Wema Sepetu.
Wema ameendelea kuadniak akisema.." Kuna muda mwingine nakufuru mwenyezi Mungu na kutamani labda hata nisinge exist... Ila acha niendelee kumtegemea yeye... Kila jambo hutokea kwa sababu.... Hili nalo litapita... I think I need a Time Off Social Media... Kwa mara nyingine Tena.... Siwezi jamani".
Licha ya hayo Wema Sepetu hajaweka wazi moja kwa moja ni jambo gani ambalo limemkwaza zaidi, kwani kitendo cha kutukanwa na kusemwa vibaya kwake sio jambo geni.


Nyumba ya Mwanzilishi wa Boko Haram Kuwa ya Jumba la Makumbusho

$
0
0
Nyumba ya Mwanzilishi wa Boko Haram Kuwa ya Jumba la Makumbusho
Nyumba ya mwanzilishi wa kundi la Boko Haram nchini Nigeria itabadilishwa na kufanywa jumba la makumbusho , serikali imetangaza.
Mamlaka ya jimbo la Borno, Kaskasini mashariki mwa Nigeria imesema kuwa ujenzi wa jumba hilo la makumbusho litapiga jeki utalii na elimu kwa vizazi vijavyo kuhusu mienendo ya kundi hilo na hatari zake.
Wanasema kuibadilisha nyumba ya Mohammed Yusuf aliyeuawa kuwa jumba la makumbusho kutasaidia kuhifadhi mabaki yanayohusiana na mashambulizi ya kundi hilo.
Lakini hatua hiyo imedaiwa kuzua maswala nyeti , huku wakosoaji wakisema itafufua vidonda vya walioathiriwa.
Nyumba hiyo ya Yusuf mjini Maidugiri ndipo eneo ambalo mzozo huo ulianza.
Alipigwa risasi alipokuwa kizuizini 2009 hatua ambayo ililikasirisha wanachama wa kundi la Boko Haram ambao walizidisha ghasia.
Mashambulio ya Boko Haram yamesababisha vifo vya takriban maelfu ya watu huku mamilioni ya raia wakiwachwa bila makao.

Pendeza na Kessy Product: Badili Muonekano Wako na Kuweka Mwili Wako Safi Kwa Product za Asili

$
0
0

*PENDEZA NA KESSY PRODUCT: BADILI MUONEKANO WAKO NA KUWEKA MWILI WAKO SAW KWA PRODUCT ZA ASILI ZISIZO NA MADHARA YEYOTE WALA KEMIKALI, MATOKEO NI KWAARAKA* 🍇🌾🌳
1) KUTOA MVI SUGU PIA ZA KUZALIWA NAZO _100,000/
2) KUREFUSH NYWELE NA KUZUIAKUKATIKA 90,000/
3) TENGENEZA SHEPU YAKO KUWA NA UMBO ZURI (HIPS & BATAKS)KUNADAWA AINA TATU (@)JELI KUPAK_100,000/(B) KUNYWA (C)VIDONGE_130,000/
4)ONDOA NYAMA UZEMBE MIKONONI, KIUNONI NA MAPAJAN_80,000/
5)TOA KITAMBI KABISA(@) KUPAK 10O,000/ (B)VIDONGE/SLIMING MAJAN 130,000/
6) PUNGUZA MWILI MZIMA KUANZIA KILO UNAZOITAJI WEWE NA MANYAM YOTE
@) DAW YA MAJINI_100,000/NA VIDONGE_130,000/
7)PUNGUZA MAZIWA NA YASIMAME BILA KUVAA SIDIRIA_80,000/
8)KUONGEZA MAZIWA NA SAIZI NZURI_80,000/
9)ONGEZA UNENE WA MWILI MZIMA (kifaru)_100,000/
10) ONDOA MICHIRIZI ILIYO YAKAWAIDA NA UZAZ_80,000/
11) TOA MAKOVU, CHUNUSI, WEUSI KWENY MAPAJA KIKWAPAN_70,000/
13) KUWA MWEUPE WAKUPENDEZA KWA DAW(@) VIDOGO(WHITE SOLUTION)_130,000/(B)MAFUTA YAKUPAK 100,000/
14)TOA NDEVU VINYWELEO MWLINI _80,000/
15/ ONGEZA NGUVU ZA KIUME KWA KUTUMIA JELI PAMOJA NA VIDONGE VYAAIN ZOT _100'000
16) ENGEZA MAUMBIL YA KIUME
@) (HANDSOME UP) MASHINE _200,000/
@) JELI NA VIDONG VYA SHARK_ 120,000 /
17) RUDISHA HAMU YA TENDO NA KUCHELEWA KUFIKA KILELE_80,000/
18) RUDISH(BIKRA) 100,000/
19)ONDOA MAFUTA USONI _80,000/
20)ONDOA MIKUNJO USON_70,000/(21) ENGEZA MGUU_80,000/🍍🍉🌾 *TUNAPATIKAN DAR E SALAAM* *NAKWA *MIKOANKOTE* UTAPATA *PIA* *NA NCHI ZOTE PIGA CM* (+255)0719955528
0756259180
0785371237
@dr_kessy_product*
*Delivery POPOTE ULIPO,*

Uwoya Amnyima Penzi Dogo Janja Tangu Ndiku Afariki

$
0
0
Kwa habari za kunyapia nyapia ni kwamba Irene Pancras Uwoya (Sheila Abdul) aanza kumchukia dogo janja kiasi cha kuyumbisha penzi lao na mbaya zaidi amekuwa akimnyima penzi dogo janja na mara nyingi hupenda kumkwepa kwepa janjaro na kiasi fulani anahisi kama janjaro ndo chanzo cha mumewe kipenzi Hamadi Kataut.

Dogo janja mara kwa mara akitafutwa kujibu suala hili la kunyimwa penzi na uwoya amekuwa akibabaika sana na muda mwengine hupenda kujibu nje ya mada ili asiendelee kuulizwa.

Wasiliana na The Great Maalim Hussein Mtaalam wa Kutatua Matatizo Yaliyoshindikana Kwa Kutumia Nyota na Dua

$
0
0
THE GREAT MAALIM HUSSEIN
Wasiliana na Mtaalam Huyu Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana ama Zilizo Achwa ndani ya Siku Moja 1.
Maalim Hussein ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA(Rudisha Mahusiano yako Ndani ya Saa 12 tu)

MAALIM HUSSEIN ni Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili Mwenye Uwezo wa Kubaini Tatizo lako tu Pindi Utakapo Fanya Mawasiliano Kupitia Wasaa Husika.
(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFATA MAELEKEZO YAKE..)

Je Unasumbuliwa na Mapenzi..?
Umeachwa na UMPENDAE Awe Mume/Mke na Bado Unampenda
Je Umejaribu Sehemu Nyingi Bila Mafanikio?
Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo..
Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu.
Je Umekimbiwa na Mumeo/Mkeo au Mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine..?
Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao (Mfarakano/Kimavi) Endapo Utafata Atakacho Kuelekeza.

Je Una Mpenzi wako ana Pesa na unataka Kumkamata? Muone Maalim Hussein Atamfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi..
Maalim Hussein Anatumia Jina La Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo..
Anatibu Kutumia QUR_AN DAWA ZA ASILI YA AFRICA, Dawa za KIARABU NA MAJINI..
ANATAFSIRI NDOTO. ANAPANDIKIZA NYOTA YA KUSHINDA BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUSKI NA VIFUNGO MBALIMBALI.

ZINDIKO ZA NYUMBA NA BIASHARA.. PETE ZA BAHATI.. HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA. HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA..
MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA..ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA  ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE..

Humaliza Kesi ya Aina Yoyote Ndani ya Siku 7 tu..
Hutoa Jini la MALI kwa wale Wanao Hitaji Utajiri Bila Masharti..
+255 674 835 107 WhatsAPP tu.

Bosi wa Zamani wa Barcelona Raúl Sanllehí A pata Shavu Arsenal

$
0
0
Bosi wa Zamani wa Barcelona Raúl Sanllehí A pata Shavu Arsenal
Klabu ya soka ya Arsenal imethibitisha kumteua Raúl Sanllehí kuwa mkuu wa michezo na mahusiano, ambapo ataanza kazi rasmi mwezi Februari.

Uteuzi wa Sanllehi ni sehemu ya maboresho ambayo klabu hiyo inayafanya, kitendo ambacho kinatafsiriwa na wachambuzi wa soka kama ni kuelekea zama za mwisho za kocha mkongwe Mfaransa Arsene Wenger.
Sanllehí amewahi kuwa mkurugenzi wa michezo wa Barcelona ambapo alihudumu klabuni hapo kwa miaka 14 akianza na majukumu ya mahusiano kabla ya kuwa mkurungezi wa michezo.

Moja ya majukumu ambayo yametajwa kuwa yatasimamiwa na Sanllehi ni usajili ambapo atashauriana na kocha Wenger lakini maamuzi ya mwisho yatatoka kwake pamoja na mtendaji mkuu wa klabu hiyo Ivan Gazidis na mjumbe wa kamati ya usajili Huss Fahmy. Mbali na usajili Sanllehi ataiwakilisha Arsenal kwenye mahusiano ya ndani na kimataifa.
Hivi karibuni Arsenal imemteua Sven Mislintat kutoka Borussia Dortmund kuwa Skauti mkuu wa klabu akichukua nafasi ya Steve Rowley ambaye ameitumikia klabu hiyo kwa miaka 21.

Mpira wa Adhabu ‘Free-Kick’ ya Ashley Young Yamchanganya Mourinho

$
0
0
‘Free-Kick’ ya Ashley Young Yamchanganya Mourinho
Meneja wa klabu ya Manchester United, Jose Mourinho ameeleza namna alivyochanganyikiwa na mpira wa adhabu “free-kick” uliyoenda kupigwa na winga wake, Ashley Young katika mchezo wao wa hapo jana usiku dhidi ya Watford.

Mourinho alishtushwa kwa kitendo cha winga huyo kupiga mpira huo uliyokuwa umbali wa mita 30 ilihali si miongoni mwa wachezaji wazuri waliyopangwa kupiga mipira ya haina hiyo.

Wakati wa kwenda kupigwa kwa mpira huo meneja huyo wa United alionekana kuchanganyikiwa kupitia kamera zilizokuwa zikionyesha mchezo huo.

“Nilishitushwa na kitendo cha Paul kumpatia nafasi ile ya kupiga mpira.” Amesema  Mourinho.

“Sikushangazwa na shuti lake bali kupata ile nafasi ya kupiga mpira hakika yupo vizuri na kiwango chake kinaridhisha katika mazoezi kwahio tunafahamu ataendelea kufunga lakini Paul pia amefanya vizuri.”

Takukuru Yamsaka Mgombea wa Uenyekiti CCM Mkoa wa Mara

$
0
0
Takukuru Yamsaka Mgombea wa Uenyekiti CCM Mkoa wa Mara
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imetangaza kumsaka mmoja wa wagombea uenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mara kwa mahojiano akituhumiwa  kujihusisha na vitendo vya rushwa.

Wanachama wa CCM wanaowania uenyekiti katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Desemba 3,2017 ni Msuto Chirangi, Thobias Raya na Samuel Kiboye, maarufu Namba Tatu.

Akizungumza kwa sharti la kutomtaja jina hadi atakapotiwa mbaroni, Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Mara, Alex Kahunda amesema taasisi hiyo pia inawasaka wanachama wawili wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), wanaodaiwa kuwa mawakala wa mgombea huyo wanaodaiwa kuzunguka kugawa rushwa kwa baadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu wa mkoa.

Awali, Kahunda aliwaambia wajumbe wa mkutano mkuu wa uchaguzi wa UVCCM unaofanyika mjini Musoma leo Jumatano Novemba 29,2017 kuwa taasisi hiyo inafuatilia nyendo za wote wanaowania uongozi ndani ya CCM na jumuiya zake.

Ameonya kwamba yeyote atakayejihusisha na vitendo vya rushwa ataishia mikononi mwa maofisa wa Takukuru.

Mwanamfalme Miteb Aachiliwa Huru Baada ya Kulipa Dola Bilioni 1

$
0
0
Mwanamfalme Miteb Aachiliwa Huru Baada ya Kulipa Dola Bilioni 1
Mwanamfalme wa Saudia Miteb bin Abdullah ameachiliwa huru zaidi ya wiki tatu baada ya kukamatwa kwa madai ya kuhusika na ufisadi , maafisa wanasema.
Mwanamfalme Miteb ambaye alionekana kuwa miongoni mwa warithi wa ufalme huo aliachiliwa huru baada ya kukubali kutoa faini ya dola bilioni moja.
Ni miongoni mwa wanasiaasa na wafanyibiashara 200 waliokamatwa nchini humo kutokana na vita dhidi ya ufisadi mnamo terehe 4 mwezi Novemba.
Watu wengine watatu pia wameachiliwa huru baada ya kukubali kulipa faini.
Ni kweli mwanamfalme Miteb aliachiliwa huru leo alfajiri {Jumanne} kulingana na duru zilizopo karibu na serikali zilizoambia chombo cha habari cha AFP.
Miteb ambaye ni binamu wa mwanamfalme Mohammed bin Salman na ambaye aliongoza kitengo cha walinzi wa kulinda ufalme huo ndiye aliyekuwa na ushawishi mkubwa zaidi wa kisiasa kukamatwa katika vita hivyo dhidi ya ufisadi.
Mwana huyo wa mfalme Abdullah alifutwa kazi muda mfupi kabla ya kuzuiliwa.
Wanawafalme, mawaziri na wafanyibiashara wakuu walikamatwa mwanzoni mwa mwezi huu na kuzuiliwa katika hoteli moja ya kifahari kwa madai ya ufisadi.

Haji Manara Afunguka Nia Yake ya Kugombea Urais wa Nchi

$
0
0
Haji Manara Afunguka Nia Yake ya Kugombea Urais wa Nchi
Msemaji wa Klabu ya Soka ya Simba Haji Manara, amesema anampango wa kugombea urais na anaamini atafanikiwa.

Akipiga stori na Big Chawa kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Haji Manara amesema kazi zake anazofanya sasa zimemfanya aache hesima kubwa, kitu ambacho kinampa ujasiri wa kufikia uamuzi huo.
“Unajua mi nakwenda kuwa rais wa nchi siku moja, mimi nakwambia Mungu akinipa uhai na majaliwa, nakwenda kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania”, amesema Haji Manara.
Msikilize hapa chini na akitaja watu gani hatawaweka kwenye baraza lake la mawaziri.

Zitto Kabwe Azitaka Taasisi za Uwajibikaji Ziachwe Kufanywa kwa Uhuru na Uwazi

$
0
0
Zitto Kabwe Azitaka Taasisi za Uwajibikaji Ziachwe Kufanywa kwa Uhuru na Uwazi
Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT Wazalendo), Zitto Kabwe amesema licha ya Serikali kuonyesha juhudi za kukabiliana na rushwa, jitihada hizo hazitakuwa endelevu endapo taasisi za uwajibikaji hazitaachwa zifanye kazi kwa uhuru na uwazi.

Akizungumza katika mjadala ulioandaliwa na taasisi ya Twaweza leo Jumatano Novemba 29,2017, Zitto amesema taasisi kama Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG); Mamlaka ya Ununuzi wa Umma (PPRA); kamati za Bunge za hesabu na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) zinapaswa kuachwa huru ili zifanye kazi kwa ufanisi.

Mjadala huo umelenga kuangalia ni namna gani ufa uliopo kati ya nia ya Serikali ya kupambana na rushwa kwa uwazi dhidi ya utamaduni wa usiri na porojo za kisiasa zinazoonekana kushamiri serikalini.

Zitto amesema kuendelea kuingiliwa kwa taasisi hizo kunasababisha mambo kufanyika ndivyo sivyo.

Ametoa mfano wa ujenzi wa uwanja wa ndege wa Chato akisema haieleweki mradi huo umeendeshwaje.

"Hatukatai Chato kuwa na uwanja wa ndege kwa sababu ni sehemu ya Tanzania; kinachoibua maswali ni namna mradi ulivyotekelezwa,” amesema.

Zitto amesema, "Hakukuwa na bajeti, zabuni hazikuwekwa wazi; aliyeshinda haijulikani ameshindaje na tunasikia hajawahi kujenga uwanja wowote."

Amesema taasisi za Serikali ikiwemo ofisi ya CAG na PPRA zilitakiwa zitoe taarifa ya kina kuhusu ujenzi huo.

Akizungumza katika mjadala huo, mwanzilishi wa mtandao wa JamiiForums, Maxence Mello amesema kuna haja ya Serikali kuongeza uwazi katika uendeshaji wa shughuli zake.

"Kuendelea kuweka mambo siri kunawafanya watu waibue vitu vingine ambavyo vingezuilika endapo wangekuwa wanafahamu kinachoendelea," amesema.

Mello amesema, "Kuficha mambo haisaidii na itasababisha Serikali iliyopo ikiondoka madarakani nyingine itakayochukua hatamu itaibua mambo ya ajabu."

Wanawake wengi 'Waliochelewa' Kuolewa Wameamua Kuokoka

$
0
0
Idadi kubwa ya mabinti wa Kikristo ambao wamechelewa kuolewa, wengi wao sasa hivi ni mafull upako kuanzia post zao mitandaoni na hata maongezi yao.

Ukiongea nao na kuomba appointment utasikia, 'siku hiyo tutakuwepo kanisani kwenye maombi'.

Sijui hapo kuna siri gani nyuma ya pazia. Wameokoka kwa kuwa desperate au wameokoka kwa kuvutia wachumba au ni kweli wameamua kuyatoa maisha yao kwa Bwana?

Pendeza na Kessy Product: Badili Muonekano Wako na Kuweka Mwili Wako Safi Kwa Product za Asili

$
0
0
PENDEZA NA KESSY PRODUCT: BADILI MUONEKANO WAKO NA KUWEKA MWILI WAKO SAW KWA PRODUCT ZA ASILI ZISIZO NA MADHARA YEYOTE WALA KEMIKALI, MATOKEO NI KWAARAKA* 
1) KUTOA MVI SUGU PIA ZA KUZALIWA NAZO _100,000/
2) KUREFUSH NYWELE NA KUZUIAKUKATIKA 90,000/
3) TENGENEZA SHEPU YAKO KUWA NA UMBO ZURI (HIPS & BATAKS)KUNADAWA AINA TATU (@)JELI KUPAK_100,000/(B) KUNYWA (C)VIDONGE_130,000/
4)ONDOA NYAMA UZEMBE MIKONONI, KIUNONI NA MAPAJAN_80,000/
5)TOA KITAMBI KABISA(@) KUPAK 10O,000/ (B)VIDONGE/SLIMING MAJAN 130,000/
6) PUNGUZA MWILI MZIMA KUANZIA KILO UNAZOITAJI WEWE NA MANYAM YOTE
@) DAW YA MAJINI_100,000/NA VIDONGE_130,000/
7)PUNGUZA MAZIWA NA YASIMAME BILA KUVAA SIDIRIA_80,000/
8)KUONGEZA MAZIWA NA SAIZI NZURI_80,000/
9)ONGEZA UNENE WA MWILI MZIMA (kifaru)_100,000/
10) ONDOA MICHIRIZI ILIYO YAKAWAIDA NA UZAZ_80,000/
11) TOA MAKOVU, CHUNUSI, WEUSI KWENY MAPAJA KIKWAPAN_70,000/
13) KUWA MWEUPE WAKUPENDEZA KWA DAW(@) VIDOGO(WHITE SOLUTION)_130,000/(B)MAFUTA YAKUPAK 100,000/
14)TOA NDEVU VINYWELEO MWLINI _80,000/
15/ ONGEZA NGUVU ZA KIUME KWA KUTUMIA JELI PAMOJA NA VIDONGE VYAAIN ZOT _100'000
16) ENGEZA MAUMBIL YA KIUME
@) (HANDSOME UP) MASHINE _200,000/
@) JELI NA VIDONG VYA SHARK_ 120,000 /
17) RUDISHA HAMU YA TENDO NA KUCHELEWA KUFIKA KILELE_80,000/
18) RUDISH(BIKRA) 100,000/
19)ONDOA MAFUTA USONI _80,000/
20)ONDOA MIKUNJO USON_70,000/(21) ENGEZA MGUU_80,000/🍍🍉🌾 *TUNAPATIKAN DAR E SALAAM* *NAKWA *MIKOANKOTE* UTAPATA *PIA* *NA NCHI ZOTE PIGA CM* (+255)0719955528
0756259180
0785371237
@dr_kessy_product*
*Delivery POPOTE ULIPO,*

IGP Sirro Asema mtandao Wa Kiuhalifu Kibiti Umesambaratishwa Kwa Kiasi Kikubwa....Ataka Watoto 13000 Wapatikane Haraka

$
0
0
MKUU wa jeshi la polisi nchini (IGP)Simon Sirro amewahakikishia wananchi mkoani Pwani kuwa silaha zote zilizochukuliwa na wahalifu wa ovyo ovyo huko Kibiti na Mkuranga zimerudi zote mkononi mwa dola na kusambaratisha mtandao wa kiuhalifu .

Aidha ametoa rai kwa wazazi na walimu kutoa taarifa kwenye vituo vya polisi mara watakapobaini kuna mwanafunzi mtoro ama hajaripoti shule kwa miezi kadhaa kwani wapo baadhi ya watoto wanaotumika kufundishwa uhalifu hata wakutumia silaha na watu wasiowema.

Pamoja na hayo IGP Sirro ,amesema vyombo vya ulinzi na usalama nchini vinashirikiana na nchi ya Msumbiji kupambana na wahalifu waliobainika kukimbilia nchini  humo wakitokea Tanzania.

Aliyasema hayo wilayani Kibaha ,mkoani Pwani ,katika ziara yake ya kikazi ya siku moja ambapo pia alizungumza na viongozi wa mashirika ya umma,wazee maarufu ,wastaafu mbalimbali na kamati ya ulinzi na usalama mkoani hapo.

IGP Sirro alieleza kuwa ,vyombo vya ulinzi na usalama vinaendelea kupambana na yeyote atakaekuja kwa moto nae wataenda nae kwa moto na atakaekuja baridi wataenda nae baridi.

Alisema serikali imeshinda kwa hilo na hali kwa sasa ni shwari katika wilaya hizo.

IGP Sirro alieleza amepatiwa taarifa ya wanafunzi zaidi ya 1,300 mkoani hapo kuwa ni watoro na hawajulikani walipo hivyo wazazi washirikiane kusaidia jeshi la polisi kujua walipo.

“Kuna baadhi misikiti,makanisa yanadaiwa yanayotumia watoto hawa katika masuala ya kiuhalifu hivyo kuna kila sababu ya kuingia ndani kutafuta suluhu “

“Ni kazi yetu wazazi jamii na walimu kushirikiana ,na hapa ni muhimu wazazi wasaidie kusema watoto wao walipo ili kuwa na usalama” alisema .

Katika hatua nyingine IGP Sirro alielezea viongozi wa dini wana nafasi ya kuhakikisha wanatumia eneo lao kuhubiri amani .

“Tusidharau taarifa hata kama ni ndogo ,tusibweteke umoja ni nguvu tusaidiane kukomesha vitendo vya uvunjifu wa amani ” alifafanua IGP Sirro.

Akizungumzia changamoto ya wahamiaji haramu alisema wanashirikiana na uhamiaji kuusaka mtandao unaohusika kufanya biashara ya kusafirisha wahamiaji haramu .

IGP Sirro alisema hawatamvumilia yeyote anaekumbatia wahamiaji haramu kwani ni chanzo cha kusababisha kuleta magaidi  na kusafirisha bidhaa za haramu .

Alisema kwasasa wamejipanga kutaifisha mali za wafanyabiashara hao wa wahamiaji haramu na usafiri utaotumika kuwasafirisha.

Nae mkuu Wa Mkoa Wa Pwani ,mhandisi Evarist Ndikilo ,ameshukuru kuwepo Kwa kanda maalum kwani imeweza kuleta mafanikio makubwa .

Alisema kipindi cha nyuma kulikuwa na hali ya sintofahamu ,watu walisitiza shughuli zao za maendeleo ,biashara zilikwama,watu na baadhi ya viongozi walihama nyumba zao na wengine kulala saa 12 jioni kwa kuhofia mauaji.

Mhandisi Ndikilo alieleza sasa Kibiti na Rufiji hali ni shwarii kutokana na kuimarishwa ulinzi.

Aliwataka pia wawekezaji na wadau mbalimbali mkoani Pwani ,kujitokeza kushirikiana kusaidia kutatua changamoto zinazolikabili jeshi la polisi ikiwemo uhaba wa vitendea kazi ,usafiri na kujenga vituo vya polisi .

Mhandisi Ndikilo, alisema kuwa Mkoa huo umesheheni viwanda vya kutosha hivyo ni vyema kusaidia mambo hayo kwa manufaa ya wote wakati kukitokea uhalifu.

“Tukikumbwa na uhalifu tunapigia simu polisi, tusiwe Wa kwanza kulaumu wakati wa matatizo ,tukumbuke na kuwasaidia ili kufanikisha kazi zao kifanisi.;:” alisema mkuu huyo wa mkoa .

Kwa upande wake kamanda wa polisi mkoani Pwani ,(ACP)Jonathan Shanna alisema ziara hiyo ni neema kwao na wamepewa maagizo mbalimbali ambayo watayafanyia kazi.

Kamanda Shanna alisema wamemfikishia kero IGP zinazowagusa askari polisi ikiwemo upungufu wa makazi .
Viewing all 104667 articles
Browse latest View live




Latest Images