Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104432 articles
Browse latest View live

Jay Z Afunguka Kuhusu Kumsaliti Beyonce

0
0
Jay Z Afunguka Kuhusu Kumsaliti Beyonce
Hiphop Super Star Jay Z ambaye pia ni Mume wa Mwimbaji staa Beyonce amezungumza na jarida la The New York Times Style na kusema kuwa anakubaliana na tuhuma zilizokuwa zikidai alimsaliti Beyonce mwaka 2013.

Solange ambaye ni mdogo wake Beyonce alionyesha kutofurahishwa na kitendo hicho na kuhusishwa kumpiga vibao Jay Z wakiwa wote kwenye lifti ndani ya jengo moja New York.



Jay Z amethibitisha hilo kwenye album yake ya 4:44 ambapo aliimba baadhi ya mistari kwa ajili ya kumuomba msamaha Beyonce na kuliambia jarida hilo la The New York Times Style kuwa hakuna kitu kigumu kama kuona sura ya mtu imejawa na maumivu uliyoyasababisha wewe.

Amesema ilifikia mahali walitaka kupeana talaka lakini alipata tiba iliyomsaidia kupita katika wakati huo mgumu na sasa wanaendelea vizuri kwenye maisha ya ndoa ambayo imezaa watoto watatu.

VJ Penny Afunguka Kuhusu Kutoa Mimba ya Diamondi Baada ya Kusikiliza 'Sikomi'

0
0
VJ Penny Afunguka Kuhusu Kutoa Mimba ya Diamondi  Baada ya Kusikiliza 'Sikomi'
Mtangazaji wa TV, Penny Mungilwa aka VJ Penny, amezungumza kwa mara ya kwanza kuhusiana na kuimba kwenye wimbo mpya wa Diamond Platnumz, Sikomi. Penny ameiambia Dizzim Online kuwa hakuna kilichomshangaza.

“Kwanza nampongeza kwa kazi nzuri aliyoifanya  na suala la kutoa mimba ni suala ambalo muda mrefu limekuwa likizungumziwa yaani tangu zamani linaongelewa lakini kama yeye aliona sawa kulikumbushia hakuna ubaya,” amesema Penny.

Kwenye wimbo huo Diamond anasikika akisema, ‘Achana na Penny wa hidary niliyemuhongaga gari aliponambia ana mimba Mwisho wa siku akaichomoa chali.”

Jeshi la Polisi Lamkamata Mwanamke Aliyemvishana Pete ya Uchumba Mwanamke Mwenzie

0
0
Jeshi la Polisi Lamkamata Mwanamke Aliyemvishana Pete ya Uchumba Mwanamke Mwenzie
Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita linamshikilia mtumishi wa mgodi wa GGM, Milembe Suleiman anayetuhumiwa kujihusisha na mapenzi ya jinsi moja.

Mfanyakazi huyo ambaye ni ofisa ugavi kitengo cha manunuzi anashikiliwa baada ya ‘video’ inayomwonyesha akimvisha pete ya uchumba mwanamke mwenzake kusambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii.

Video hiyo ambayo imezua mijadala hasa ikizingatia kwamba iko kinyume cha utamaduni wa Kitanzania na Serikali ambayo imekuwa ikikemea na kupiga marufuku vitendo vya mapenzi ya jinsi moja.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Mponjoli Mwabulambo amesema wanamshikilia kuwa uchunguzi kwa kuwa nchi hairuhusu mambo hayo.

Ofisa Habari wa GGM, Dili Tenga amesema hayo ni masuala binafsi ya mfanyakazi hivyo wao kama mgodi hawawezi kuyazungumzia lakini wanaviachia vyombo vya dola viendelee na uchunguzi wake.

Kamusoko Aleta Mtafaruku wa Aina Yake Yanga

0
0
Kamusoko Aleta  Mtafaruku wa Aina Yake Yanga
SIKU chache baada ya Katibu Mkuu wa Chama cha Madaktari wa Tiba za Michezo Tanzania (Tasma), Nasoro Matuyza kutangaza kuomba wadau wamchangie kiungo wa Yanga, Thabani Kamusoko raia wa Zimbabwe, kumezua mtafaruku wa aina yake.

Matuzya ambaye amewahi kuwa daktari wa Yanga mara kadhaa alitoa taarifa ya maombi hayo mtandaoni na kueleza kuwa Kamusoko ana tatizo kubwa la goti lakini anawe­za kumsaidia endapo kiwango fulani cha fedha kitapatikana.

Alisema kufanikisha mati­babu ya Kamusoko, inahitajika Sh 720,000 ili kutibu tatizo la kupasuka kwa kikombe cha ndani cha mguu wa kushoto akitolea mchanganuoa wa fedha hiyo alisema Sh 480,000 kwa kipimo cha MRI, Sh 158, 000 dawa na vifaa tiba na Sh 82,000 ya X Ray, Ultra Sonic Sound pamoja na kumuona daktari.

Akizungumza juu ya kilichotokea baadaye alisema: “Nimeamua kuachana na Kamusoko hadi hapo baadaye uongozi utakaponikabidhi, nilitoa taarifa ile kwa nia njema lakini kuna watu wameni­shambulia na kuniona natafuta fedha kinguvu.”

Alipotafutwa Daktari wa Yanga, Edward Bavo alisema: “Hizo taarifa za mitandaoni mimi sizipen­di, Kamusoko yuko fiti na alikuwa aanze mazoezi lakini kwa kuwa ligi imesimama, ataanza pamoja na wenzake, sijaonana naye kwa siku kadhaa, sijui chochote kuhusu taarifa za Matuzya unazoniam­bia.”

Walipotafutwa Katibu Mkuu wa Yanga, Boniface Mkwasa na Ofisa Habari wa Yanga, Dismas Ten hawakupatikana.

Shamsa Ford, Babu Tale Wawajia Juu Tanesco Baada ya Ukataji wa Umeme

0
0
Shamsa Ford, Babu Tale Wawajia Juu Tanesco Baada ya Ukataji wa Umeme
Mwanadada kutoka bongo muvi Shamsa Ford pamoja na meneja wa Diamond Babu Tale kwa nyakati tofauti wamejikuta wakiwashambulia Tanesco kwa kutumia akaunti zao za Instargram kutokana na tatizo linaloendelea nchini la kukatika mara kwa mara kwa umeme

Shamsa Ford Ameandika "Jamani mmezidi basi mtupe taarifa mapema kabla ya kukata huo umeme wenu. Nimenunua vinyama vyangunimeweka kwenye friji ili zinisaidie taratibu mwisho wa siku zimeharibika... jamaniii daaa mnatuumiza"

kwa upande wa babu Tale Ameandika "kama mmeanza kutoa huduma ya mgao si bora mseme tu kuliko hiki kinachoendelea tena kwa siku kama ya leo ya sikukuu . Tatizo mpo pekeyenu ingekuwa wanaosambaza umeme wapo zaidi  ya mmoja hii huduma isingekuwa inalegalega kama uduma za simu vile maana Afrika nzima Tanzania pekee ndio matumizi ya simu yapo kwa bei nafuu"

Wasiliana na The Great Maalim Hussein Mtaalam wa Kutatua Matatizo Yaliyoshindikana Kwa Kutumia Nyota na Dua

0
0
THE GREAT MAALIM HUSSEIN
Wasiliana na Mtaalam Huyu Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana ama Zilizo Achwa ndani ya Siku Moja 1.
Maalim Hussein ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA(Rudisha Mahusiano yako Ndani ya Saa 12 tu)

MAALIM HUSSEIN ni Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili Mwenye Uwezo wa Kubaini Tatizo lako tu Pindi Utakapo Fanya Mawasiliano Kupitia Wasaa Husika.
(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFATA MAELEKEZO YAKE..)

Je Unasumbuliwa na Mapenzi..?
Umeachwa na UMPENDAE Awe Mume/Mke na Bado Unampenda
Je Umejaribu Sehemu Nyingi Bila Mafanikio?
Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo..
Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu.
Je Umekimbiwa na Mumeo/Mkeo au Mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine..?
Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao (Mfarakano/Kimavi) Endapo Utafata Atakacho Kuelekeza.

Je Una Mpenzi wako ana Pesa na unataka Kumkamata? Muone Maalim Hussein Atamfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi..
Maalim Hussein Anatumia Jina La Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo..
Anatibu Kutumia QUR_AN DAWA ZA ASILI YA AFRICA, Dawa za KIARABU NA MAJINI..
ANATAFSIRI NDOTO. ANAPANDIKIZA NYOTA YA KUSHINDA BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUSKI NA VIFUNGO MBALIMBALI.

ZINDIKO ZA NYUMBA NA BIASHARA.. PETE ZA BAHATI.. HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA. HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA..
MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA..ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA  ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE..

Humaliza Kesi ya Aina Yoyote Ndani ya Siku 7 tu..
Hutoa Jini la MALI kwa wale Wanao Hitaji Utajiri Bila Masharti..
+255 674 835 107 WhatsAPP tu.

Je Una Upunguvu wa Nguvu za Kiume za Kiume, Hamu ya Tendo la Ndoa au Maumbile Madogo ya Uume?

0
0

JE, UNA UPUNGUVU WA NGUVU ZA KIUME, HAMU YA TENDO LA NDOA AU MAUMBILE MADOGO YA UUME?
SOMA HAPA👇👇.
Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume au ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa limezidi kuongezeka kwa kasi duniani kote na limekuwa chanzo kikubwa cha ndoa nyingi na mahusiano kukosa uaminifu kutokana na wengi kutoka nje ya ndoa ili kupata mtu atakayemtosheleza na kumfikisha kileleni. Pia udogo wa maumbile ni tatizo kubwa na limekuwa likiwakosesha wanaume wengi uwezo wa kujiamini katika tendo na kusababisha tendo hilo kutokufanyika kwa usahihi. Hili pia huchangia kwa kiasi kikubwa wanawake wengi kwenda nje ya ndoa ( MAHUSIANO) kutafuta mbadala wake.
BAADHI YA DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI KAMA:-
☆Kukosa hamu ya tendo la ndoa
☆Uume kusimama kwa ulegevu
☆Kuwahi kufika kileleni
☆Uume kusinyaa katikati ya tendo
☆Kushindwa kurudia tendo kwa wakati
☆Kuchoka sana baada ya round ya kwanza na hata kukinai kabisa.

Kwa kutumia mimea na matunda bila kemikali 🍇🍍🍓🌿🍉🍒🍎🍑 @markson_beauty_pr Tunakuletea suluhisho la matatizo hayo hata kwa wenye "KISUKARI NA PRESSURE" kwa:-
1.HANDSOME UP ORIGINAL:- kifaa chenye uwezo wa 99% kuongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @250,000/=
2.SHARK POWER ni gely ya kupaka inayoongeza uume kwa wastani wa inch 5.5 hadi 6 @150,000/=
3.VigRX CREAM:- ni gely iliyoboreshwa mahususi kwa ajili ya kuongeza maumbile kwa wastani wa inch 6.5 hadi 8 na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @200,000/=
4.Vidonge maalum kwa ajili ya kuongeza nguvu na hamu ya tendo la ndoa hata kwa wenye kisukari @150,000/=
5.Spray ya kuchelewesha kufika kileleni na kuweza kurudia tendo ×3. @150,000/=
BIDHAA HIZI HAZINA MADHARA KIAFYA NA ZIMETHIBITISHWA
NA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI (WHO).
KWA BIDHAA HIZI NA NYINGINE NYINGI TEMBELEA UKURASA WETU WA INSTAGRAM :-
@markson_beauty_pr
@markson_beauty_pr
@markson_beauty_pr
WEB:www.markbeauty.org
Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa (+255)
0767447444 na
0714335378
UTAPATA HUDUMA
NB:Matokeo ni uhakika na garantii na hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.

Breaking News: Wema Sepetu Ang'atuka Rasmi Chadema na Kurudi CCM

0
0

uigizaji wa filamu za kibongo na Miss Tanzania 206 Wema Sepetu ametangaza rasmi kurudi Chama Cha Mapinduzi huku akidai kwamba hawezi kuishi kwenye nyumba inayomkosesha amani.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Wema Sepetu amesema kwamba anatangaza rasmi kuondoka ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA ambacho alitangaza kujiunga nacho Februari mwaka huu.

"Siwezi Kuendelea kuishi kwenye nyumba inayo nikosesha amani... Peace of mind is everything for me. Natangaza rasmi kuondoka Chadema na kurudi nyumbani" . Wema Sepetu.

Ujumbe wa Mange Baada ya Wema Kukimbia Chadema...Adai Amepoteza Imani Kwa Jamii

0
0

BY @mangekimambi_ - Not sure what to say, I only blame her for not being strong enough. Nyerere alikaa jela 25 years she could have taken 2 or 3 years za hiyo kesi yake. Kimara nzima wamebomolewa nyumba na wanaishi sembuse yeye mwenye jina kubwa??? Na lipshine zako walizozipiga marufuku so what? Ungekomaa na msimamo wako serikali ingechoka kukuandama. Wema you are weak! Very weak! Hujawaangusha waTZ tu, umejiangusha mwenyewe pia, your fans and everyone who cared for you. Hivi kizazi hiki kina Winnie Mandela hakuna kabisa eehe? Nakuonea huruma mnoooo sababu umepoteza credibly yooooote kwenye jamii.....

TOA MAONI YAKO HAPA

Lemutuz Nae Afunguka haya baada ya Wema Kuhamia CCM

0
0

Lemutuz Afunguka haya baada ya Wema Kuhamia CCM

By @lemutuzsuperbrand_ - "DADA MANGE PLEASE HIDE MY ID".......KARIBU NYUMBANI MSANII MAARUFU DUNIANI MISS TANZANIA WA MFANO WA KUIGWA LIKE NEVER BEFORE DADA KIPENZI CHA WATANZANIA WOTE ......THE TANZANIA SWEET HEART @wemasepetu leo naku Unblock kwa mara ya kwanza .. ..hahahaha sasa hata Wasanii Maarufu Duniani wanamkimbia Masikini ya Mungu Mzee Baba Mugabe ....karibu kwenye Chama Cha Amani na kesho usikose MLIMANI CITY uone matunda ya Rais wako mpendwa Magufuli ...yaani Wanafunzi wote hapa Mkoa wa Le Commandant Field Marshall RC @paulmakonda wanapewa Discount ya 20 to 70 Percent maduka yote Mlimani City ....KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI ...Masikini Wema Sepetu kachoshwa Maandamano na Migomo ya Baba Mugabe na safari za Arusha na Moshi kupanga ujinga ujinga na kuchangishana kila siku .....hahahaha ....pole sana Dada ....guys kama unakipenda CHAMA CHA MAPINDUZI sema KIDUMU! - le Mutuz

Wema Akanwa na CCM...Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya Desemba 2

0
0


Wema Akanwa na CCM...Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya Desemba 2

Aibu....CCM yamtolea nje Wema Sepetu.....Yasema Haina Taarifa ya Yeye Kurudi

0
0
Baada ya Muigizaji Wema Sepetu kutangaza kurudi ndani ya Chama Cha Mapinduzi baada ya kukihama Februari mwaka huu, Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM, Humphrey Polepole amesema kuwa chama hicho hakina taarifa yoyote ya kurudi kwa Wema Sepetu.

Polepole amesema CCM ina utaratibu wa mwanachama kujiunga na chama hicho na kuongeza kwamba chama chao siyo daladala kwamba mtu anaweza kupanda na kushuka wakati wowote apendao, na kwamba CCM ina misingi, imani na masharti ya uanachama.

"Kupitia utaratibu na muundo wetu wa chama kwenye shina kisha ataandikwa kwenye orodha ya wanachama kwenye tawi ambalo yeye ni mkaazi," amesema Polepole.

Ameongeza kwamba habari za Muigizaji huyo kurudi ndani ya CCM yeye amepata taarifa mitandaoni kama jinsi watu wengine walivyozipata.

Pamoja na hayo polepole amefafanua kuwa "Ni heri abaki huko huko (Chadema) au akaanzie kule ambako alichukulia kadi yetu, Kuijenga CCM mpya yenye kuheshimu nidhamu ya chama siyo kazi ndogo na inataka viongozi wenye unyenyekevu, watumishi na wanachama wavumilivu. CCM mpya itakuwa chungu kwa baadhi yetu lakini tamu kwa wengi wetu"

Shirikisho la Soka Tanzania TFF Wamjibu Zitto Kabwe Kuhusu Libya

0
0
Shirikisho la Soka Tanzania TFF limejibu hoja iliyotolewa na Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe, kuitaka Tanzania isusie kucheza mechi na Libya ili kupinga vitendo vya biashara ya utumwa inayoendelea nchini humo.

Afisa habari wa TFF, Alfred Lucas amesema kuwa suala hilo ni nyeti na limefikishwa katika uongozi wa juu na kwamba litatolewa majibu hivi karibuni.

“Msimamo utatolewa na viongozi wangu mara baada ya kukaa na kutafakari hali halisi kwa sasa, na wenye uwezo wa kukaa na kutafakari ni viongozi wa juu, itakapokuwa tayari mtajulishwa,” amesema Lucas

Jana, Zitto alitoa wito kwa TFF kuitaka timu ya Kilimanjaro Stars isusie mechi inayotarajiwa kuchezwa na Libya, ili kuonyesha kutokubaliana na vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu kwa kuendeleza biashara ya utumwa.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Miujiza ya Sharifu Seif Mohamed..JE Umeachwa na Mme/Mke au Mpenzi, Umesongwa na Mitihani ya Maisha..Piga Simu Upate Muujiza Wako

0
0
SHARIFU SEIF MOHAMED ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOENDELEA KUPIGA SIMU, WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA  SHUKRANI NA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO WASAIDIA,

(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

SHARIFU MOHAMED Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN, Dawa za Asili, Dawa za Kiarabu na majini kwa kumtuliza mke/mme, mchumba au mpenzi ndani ya masaa 72 tu, na kutatua matatizo yote ya kimaisha,

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu SHARIFU SEIF sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata Atakacho Kuelekeza

ANAZO DAWA ZA MAPENZI, NGUVU ZA KIUME, CHANGO NGIRI MAJI NA N.K, ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA, HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA, ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUKSI NA VIFUNGO MBALIMBALI,  MAFANIKIO YA MAISHA NA UTAJIRI BILA MASHARI, NA MENGINE MENGI YA SIRI,

Je UMAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? WASILIANA NA MTAALAMU HUYU KWANI YEYE HUFAULU PALE WOTE WALIPOSHINDWA, PIA UMALIZA KAZI ZILIZO SHINDIKANA NA WATAALAM WENGINE NDANI YA MASAA 24 TU,

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE AU MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFWATA MAELEKEZO YAKE)

Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi Piga SIMU No:
Mobile +255 654-836970
WhatsApp +255 756-033670

Mbowe Fanya Tathimini Kuinusuru Chadema Kama Mwenyekiti Taifa, Wafuasi Mitandaoni Wamezidiwa

0
0
Ndugu mwenyekiti Freeman Mbowe kuna sehemu kama chama kikuu cha upinzani nchini tumekosea, nguvu ya chama inaendelea kupwaya.
Kama kiongozi mkuu jaribu kusikiliza maoni mbali mbali ya wanachama na wapenzi wenye nia njema ya kuona Chadema kinaimarika na kushika dola.

Kuendelea kuilaumu CCM badala ya kutafakari kwa kina wapi tumekosea hakutanusuru kuanguka kwa chama chetu.
Kwa mfano ajenda yetu kwa sasa ni ipi?, mbona wale tuliosema wachafu kwa miaka mingi tunawapokea na kusema ni wasafi ?, tatizo ni Nini?, usafi wao unakuwepo wakihamia upande wetu?

Je wananchi na baadhi ya wanachama wafia chama wanatuelewaje?

Mkuu mwenyekiti, Freeman Mbowe, bila tafakuri ya kina jahazi linazama pole pole , mitandaoni vijana tumebakiza matusi na kejeri, je ndo yataimarisha chama chetu?, wale vijana Mahili wajenga hoja na wachambuzi wa sera wako wapi siku hizi?.

Wakati ni Sasa, bado hatujachelewa, tubadili mbinu na mikakati ya kuimarisha Chadema

Angalizo, mbinu ziwe ni zile zisizo na madhara kwa raia na mali zao


Jamii Forums

Nyalandu Augeukia Umoja wa Mataifa Sakala la Watumwa Libya

0
0
Aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa wa Singida Kaskazini aliyejiuzulu, Lazaro Nyalandu ameutaka Umoja wa Mataifa kuchukua hatua zaidi juu ya kinachoendelea nchini Libya.

Mh. Nyalandu amesema kwamba ni lazima hatua zichukuliwe kwa kile kinachoendelea nchini Libya kwa vile  kinachoshuhudiwa kwa sasa ni matusi kwa wanadamu.

Kupitia kwenye mtandao wake wa Twitter Mh. Nyalandu ameandika
"Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika lazima uchukue hatua dhidi ya Libya sasa. Tunachoshuhudia ni matusi kwa wanadamu" Nyalandu

Hivi karibuni kumekuwa na taarifa zikiripotiwa kutoka Libya kwamba kumekuwa na biashara ya utumwa ikifanyika ikihusisha Libya kuuza waafrika wengine nchi za Ulaya.

Siku ya jana Ubalozi wa Libya nchini Tanzani umesema Waafrika wanaosemwa wanauzwa kutoka Libya, yawezekana walikuwa wanakabidhiwa kwa watoroshaji ili wawapeleke Ulaya na sio kuwauza kama watumwa.

Wema Sepetu Kurudi CCM Je ni Msaliti.....?

0
0
Jana baada ya kusikia wema karudi ccm sikustuka sana kwa sababu a few days a go alisema anatamani kufa. So its like she was under pressure na anafanya maamuzi either kwa shinikizo au emotion.

Aliendaje chadema was its an ideological move au emotional move .. kama mtakumbuka it was more of emotional move baada ya kufunguliwa kesi ya matumizi ya madawa ya kulevya .so kwenda chadema alienda kwa hasira na kukurupuka maswali ya kujiuliza

Move aliyokosea wema ni kusema anahama chadema na kurudi ccm bila ya kwanza kujivua uwanachama wa chadema na kuangalia upepo. Kama walivyofanya wakina Masha na kafulila. Kwa kujivua uwanachama nadhani angepata nafasi ya kujua kuwa bado anatakiwa ccm ama la. Na angepata mda wa kufanya dialogue na watu wa ccm ili arudi na kupokelewa vizuri.

Namuunga mkono H . Polepole kwa kisema chama siyo daladala na lazima sasa watengeneze utaratibu kuwa mtu akiondoka lazima akitaka kurudi akae katika uwangalizi kabla ya kutumika na chama au kurejeshewa uwanachama. Kurudi bila kuzikokotoa sababu za kuhama na sababu za kurudi si sahihi

Nadhani watu wengi zaidi wanakubali kuwa ni ccm tu yenye majibu kwa tamatizo ya watanzania vyama vingine bado sana na havina uwezo wa kuwa mbadala ya chama tawala.

J.John
Mbunge mtarajiwa wa CCM

Punguza Unene na Kutibu Magonjwa Kwa Kutumia Dawa za Edmark...Bonyeza Hapa

0
0
TUNA DAWA AMBAZO NI VIRUTUBISHO NA CHAKULA MBADALA ZIMEHAKIKIWA NA TFDA

Ni uhakika kwa afya yako, kupunguza uzito na Sumu mwilini, Mafuta/Sehemu Mbaya, Kitambi na Nyama Uzembe na kutibu MAGONJWA Mbali mbali yaliyoshindikana

Loose Weight Trainer ni Msaada wako Wasiliana Nasi Kwa WhatsApp 0713 777 470

Upate Suluhisho la Afya yako Bila Madhara pia unaweza kujiunga nami ili ufanye Biashara hii Nicheki


Intagram napatikana kwa jina @looseweight_trainer

Steve Nyerere Amvaa Polepole Kisa Wema Sepetu "Hiki Chama Umekikuta Kama Tulivyokikuta Wote"

0
0
Steve Nyerere Amvaa Polepole Kisa Wema Sepetu "Hiki Chama Umekikuta Kama Tulivyokikuta Wote"
HEADLINE inayobamba mitandaoni na kwenye vyombo vya ahabri kuanzia jana jioni ni kuhusu Malkia wa Filamu Bongo, Wema Sepetu kuhama Chadema na kutangaza kurudi kwenye Chama cha Mapinduzi (CCM) ambapo uamuzi huo umetolewa ufafanuzi na Katibu wa Itikadi na Uenezi Humphrey Polepole akisema CCM haina taarifa za Wema kwani hajafuata taratibu kuanzia kwenye shina la chama na si kupitia mitandaoni.
“Chama chetu sio Daladala mtu anaweza kupanda na kushuka wakati wowote, ni heri akabaki hukohuko ama akaanzie kule ambako alichukulia kadi yetu,” aliandika Polepole.
Kauli hiyo imemuibua Staa wa Filamu aliyekuwa rafiki wa karibu wa Wema kabla hajahamia Chadema, Steve Nyerere ambaye amemtolea povu Polepole na kuijibu kauli yake hiyo akiandika;
“Hiki chama hujakiunda wewe wala kukianzisha wewe, umekikuta kama tulivyokikuta wote, kina waasisi wenye uchungu nacho na wako kimya.
“Wewe ni nani ukatishe watu moyo kukitumikia kama vile ndio unakimiliki, tulia polepole chama cha wote hiki, usilete ubinafsi kwenye kutumikia na kujenga ngome, hatuhitaji wenye cement na nondo tu, acha hata mwenye jiwe lake aweke kikubwa nyumba isimame, ni mchango pia” – aliandika Steve Nyerere.

Viewing all 104432 articles
Browse latest View live




Latest Images