Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104744 articles
Browse latest View live

Matukio ya Picha: Rommy Jones Auaga Ukapela Aamua Kufunga Ndoa

$
0
0
Matukio ya Picha: Rommy Jones Auaga Ukapela Aamua Kufunga Ndoa

Rommy Jones ni Dj wa Mwimbaji Staa wa Bongofleva Diamond Platnumz ambapo tarehe yake nyingine ya kukumbuka maishani ni December 1 2017 ambapo amefunga ndoa na Mpenzi wake walieishi kwa muda mrefu pamoja, 

Diamond na mama watoto wake Zari wakiwa na maharusi katika picha ya pamoja



Lavalava akisoma maulidi katik


Waalikwa waliohudhulia kwenye sherehe ya harusi ya Rommy Jones

Rommy  Jones na Mkewe baada ya kufunga ndoa



Stamina- Hakuna Tusi Tulilo Tukana Kwenye Kibamia

$
0
0
Stamina- Hakuna Tusi Tulilo Tukana Kwenye Kibamia
Msanii wa muziki Bongo, Stamina amesema ngoma ya ‘Kiba_100’ haina matusi kama baadhi ya watu wanavyodai.

Kiba_100 ni ngoma ya Roma na Stamina (Rostam) ambayo kwa sasa inafanya vizuri. Akizungumza na XXL ya Clouds Fm Stamina amesema hata wale wanasema ngoma hiyo inastahili kufungiwa wanakosea.

“Ukisema hiki kitu kifungiwe, je kifungiwe kwa sababu gani ukiangalia hatuja tukana, hakuna tusi ambalo lipo cleared ambalo mtu anaweza kusema hili ni tusi, hakuna tusi tulilotukana” amesema Stamina.

“Sisi wenyewe katika uandishi tulifuata maadili ya kutofikisha vitu vingine kwa sababu ya ukali wa maneno, ukisema wimbo ufungiwe ni sawa na kusema niache kazi yangu ya muziki, halafu kuna kuwa hakuna uhuru wa msanii kwa sababu kuna vitu unashindwa kuvifikisha, kama umeongea kitu ambacho kina ukweli acha kifike” amesisitiza.

Kiba_100 ni ngoma ya pili kwa Rostam kutoa baada ya kufanya vizuri na ngoma ‘Hivi Ama Vile’.

Stress na Maisha Magumu Yamuhamisha Nchi Sandra

$
0
0
Stress na Maisha Magumu Yamuhamisha Sandra Nchi
Staa wa filamu za Kibongo tangu kitambo, Salma Salmin ‘Sandra’ amehama nchi na kuhamia nchini Kenya ambapo amedai kuwa stress za maisha ndizo chanzo.

Akipiga stori na Risasi Jumamosi Sandra alisema kuwa kutokana na stress za maisha na ugumu wa kazi ameamua kuhama nchi na kuhamia nchini Kenya ambapo amekuwa akirudi mara mojamoja kwa ajili ya kusalimia.

“Niliamua kwenda huko kufanya kazi baada ya kufanya usaili wa kucheza tamthiliya na kufanikiwa kupita ambapo nashukuru Mungu wamenipokea vizuri na nimecheza kama mhusika mkuu bila kujali kuwa mimi si Mkenya naona maisha yanaenda tofauti na nilivyokuwa Bongo.”

Mama Wema Athibitisha Mwanaye Kurudi CCM Amtolea Povu Steve Nyerere " Steve ni Bomu na Mimi Nitabaki Kuwa Mzazi wa Wema"

$
0
0
Mama Wema Athibitisha Mwanaye Kurudi CCM  Amtolea Povu Steve Nyerere " Steve ni Bomu na Mimi Nitabaki Kuwa Mzazi wa Wema"
IKIWA ni takribani saa 15 tangu mwanaye ambaye ni Queen wa Filamu za Bongo na aliyewahi kuwa Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu kutangaza kuhama Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kurudi Chama Cha Mapinduzi (CCM), mama wa staa huyo, Mariam Sepetu amefungukia kuhusu uamuzi huo wa mwanaye na kusisitiza kwamba yeye bado ni mwanachama wa Chadema.

Mama Wema ameyasema hayo alipokuwa akiongea na waandishi wa habari kufuatia kitendo cha Mawanaye kurudi CCM, huku lawama nyingi zikiwa zinamuelekea yeye kama mzazi kwa kutomshauri vema binti yake.
Akiendelea kuzungumzia suala hilo, mama Wema amesema watu wanaomshauri Wema kama wazazi wake si watu wazuri akimtaja Steve Nyerere, huku akisema hawana mapenzi ya kweli na Wema kwani alipopata matatizo walimkimbia, na badala yake CHADEMA ndio waliokuwa wakihangaika naye.

"Nasema haya kuhusiana na Steve, Wema alipopata matatizo hakuweza kutokea central kumuona Wema, leo anashangilia Wema kurudi CCM, lakini akumbuke mimi nitabaki kuwa mzazi, CHADEMA walipoona nataabika nahangaika, waliweza kuja mpaka nyumbani kwangu, kuja kutoa pole, wamemsaidia Wema, napenda kusema CHADEMA ni familia moja, na nilijua kwamba kama kunalolote Wema angerudi kutaka ushauri kwangu, hiki sio kitu chepesi, ni kitu ambacho kimenidhalilisha, kimenitoa utu na najisikia vibaya", amesema mama Wema.

Pamoja na hayo mama Wema amesema Wema atabaki kuwa mtoto wake na hawezi kumchukia kwa sababu ya kuhama chama, ingawa kitendo hiko kimemuumiza.

"Mimi  bado nipo chadema sina mpango wa kuhama kwasababu ninahitaji mabadiriko na nitabaki kwenye mabadiriko ya upinzani si vibaya mtoto kuwa CCM mwingine akawa ACT na mama kuwa Chadema na mimi kama mama nitawatambua kuwa ni Watoto wangu" mama Wema.

" Kwa tukio hili lililotokea naweza nikasema amepata ndugu wengine na kuweza kushirikiana ila ukimpata mtu kama steve nyerere ni bomu na mimi nitabaki kuwa mama daima lakini nasema hayo kuhusiana na steve Kipindi wema anapata matatizo hakuweza kutokea hata kuja centrol kumuona wema lakini leo anashangilia wema kutoka chadema kurudi tena CCM  lakini kipindi cha matatizo chadema ndio walioangaika na mimi na kuja hadi kwangu chadema kwangu ni familia Bora na nilijua kama kuna lolote wema angerudi kwangu kuomba ushauri

Wasiliana na The Great Maalim Hussein Mtaalam wa Kutatua Matatizo Yaliyoshindikana Kwa Kutumia Nyota na Dua

$
0
0
THE GREAT MAALIM HUSSEIN
Wasiliana na Mtaalam Huyu Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana ama Zilizo Achwa ndani ya Siku Moja 1.
Maalim Hussein ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA(Rudisha Mahusiano yako Ndani ya Saa 12 tu)

MAALIM HUSSEIN ni Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili Mwenye Uwezo wa Kubaini Tatizo lako tu Pindi Utakapo Fanya Mawasiliano Kupitia Wasaa Husika.
(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFATA MAELEKEZO YAKE..)

Je Unasumbuliwa na Mapenzi..?
Umeachwa na UMPENDAE Awe Mume/Mke na Bado Unampenda
Je Umejaribu Sehemu Nyingi Bila Mafanikio?
Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo..
Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu.
Je Umekimbiwa na Mumeo/Mkeo au Mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine..?
Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao (Mfarakano/Kimavi) Endapo Utafata Atakacho Kuelekeza.

Je Una Mpenzi wako ana Pesa na unataka Kumkamata? Muone Maalim Hussein Atamfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi..
Maalim Hussein Anatumia Jina La Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo..
Anatibu Kutumia QUR_AN DAWA ZA ASILI YA AFRICA, Dawa za KIARABU NA MAJINI..
ANATAFSIRI NDOTO. ANAPANDIKIZA NYOTA YA KUSHINDA BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUSKI NA VIFUNGO MBALIMBALI.

ZINDIKO ZA NYUMBA NA BIASHARA.. PETE ZA BAHATI.. HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA. HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA..
MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA..ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA  ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE..

Humaliza Kesi ya Aina Yoyote Ndani ya Siku 7 tu..
Hutoa Jini la MALI kwa wale Wanao Hitaji Utajiri Bila Masharti..
+255 674 835 107 WhatsAPP tu.

Arsene Wenger: Sitegemei Kumuona Mourinho Akipaki Basi Katika Mchezo wa Leo

$
0
0
Arsene Wenger: Sitegemei Kumuona Mourinho Akipaki Basi Katika Mchezo wa Leo
KOCHA wa Arsenal, Arsene Wenger amesema hategemei kuona mwenzake Jose Mourinho wa Manchester United ‘akipaki basi’ katika mchezo wao wa leo kwenye Uwanja wa Emirates.

Leo 2:30 usiku, Arsenal itaikaribisha Man United katika mchezo wa Ligi Kuu England kwenye uwanja wake wa nyumbani.

Timu zote zinaingia uwanjani zikitoka kushinda mechi tatu mfululizo za Premier League, ambapo Man United wapo nafasi ya pili na pointi 32 huku Arsenal ikiwa nafasi ya nne na pointi 28.Alipoulizwa namna alivyo-jipanga endapo Mourinho atacheza kwa kujilinda, Wenger alisema: “Hap-ana, sifikirii kama watacheza kwa kupaki basi, wana timu bora, hawana haja ya kujilinda sana.

“Man United ni timu imara katika mchezo dhidi yetu nadhani watasha-mbulia sana na hawa-tajilinda muda mwingi. Utakuwa mchezo mzuri kati yetu.”

Hata hivyo, We-nger ambaye atapa-mbana na Man United bila straika wake, Alex-andre Lacazette, alisema hategemei Mesut Ozil kucheza chini ya kiwango eti kutokana na tetesi za kutakiwa na Man United.

“Lacazette anaumwa nyonga, hatocheza tunaweza kumtumia Olivier Giroud pia Sanchez (Alexis) anayeumwa misuli naye anaweza kuwa fiti, sitegemei Ozil kucheza chini ya kiwango sababu ya mambo yake ya usajili,” alisema Wenger.

Yanga Kuanza Kujifua Jumatatau Kwaajili ya Round ya 12

$
0
0
Yanga Kuanza Mazoezi Jumatatau
Mabingwa watetezi wa ligi kuu soka Tanzania bara Yanga SC, imethibitisha kuwa itaanza mazoezi wiki ijayo kwaajili ya kujiwinda na mchezo wa raudni ya 12 dhidi ya Mbao FC.

Taarifa kutoka klabu ya Yanga imeeleza kikosi hicho kitarejea mazoezini kwenye uwanja wa Uhuru jijin Dar es salaam, Jumatatu ya Desemba 4 asubuhi baada ya mapumziko ya wiki moja kufuatia ligi kusimama kupisha michuano ya CECAFA Challenge.
Yanga tayari imeshafanya usajili wa nyota wawili kwenye kipindi hiki cha dirisha dogo lililofunguliwa tangu Novemba 15. Wachezaji hao ni mlinzi Fiston 'Festo' Kayembe Kanku kutoka DR Congo pamoja a Yohana Mkomola ambaye alifanya vizuri na Serengeti Boys.
Yanga inashika nafasi ya tatu ikiwa na alama 20 baada ya raundi 11, nyuma ya Simba SC na Azam FC zenye alama 22 kila mmoja zikitofautiana idadi ya mabao ya kufunga na kufungwa.

Watu Milioni 1.4 Wanaishi na Virusi vya Ukimwi Tanzania

$
0
0
Watu Milioni 1.4 Wanaishi na Virusi vya Ukimwi Tanzania
Tafiti inaonyesha kuwa watu wazima na watoto wa rika zote wapatao milioni 1.4 wanaishi na virusi vya Ukimwi nchini Tanzania ambao ni sawa na asilimia 2.9 ya watu wote bila kujali umri wao.

Matokeo hayo yanatokana na utafiti wa viashiria na matokeo ya Ukimwi Tanzania (THIS) ya mwaka 2016/2017 uliofanywa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu ambao unaonyesha kiwango cha virusi vya Ukimwi nchini kwa watu wazima wenye umri wa miaka 15-49 hii ni asilimia 4.7 wanaishi na VVU.

Utafiti huo uliofanyika katika mikoa yote ya Tanzania Bara na Visiwani na kuhusisha Kaya 14,811 zinaonyesha kuwa vijana walio kwenye umri huo (15-24) wengi wao wakiwa wasichana wanapata maambukizi mapya.

Takwimu hizo zimeonyesha kuwa kiwango cha maambukizi ya VVU kwa watu wenye umri wa miaka 15-19 ni asilimia 0.7 ambapo asilimia 1.0 ni watoto wa kike na asilimia 0.4 ni watoto wa kiume.

Kwa vijana wenye umri wa miaka 20-24 kiwango hicho kimeongezeka na kuwa asilimia 2.2 wasichana wakiwa ni asilimia 3.4 na wanaume ni asilimia 0.9.

Kwa upande wake Mama Samia alisema, “naomba wasichana wabadilike Ukimwi ukikutesa hautakutesa peke yako bali Taifa zima, takwimu hizi zinaonyesha hali si nzuri kwa kundi hili ambalo ndio nguvu kazi ya Taifa, mjitahidi muwe na mienendo inayoeleweka.”

Makonda, Bakhresa,IGP Sirro Wateuliwa Kwenye Kamati ya Maandalizi ya Fainali za AFCON U-17

$
0
0
Makonda, Bakhresa,IGP Sirro Wateuliwa Kwenye Kamati ya Maandalizi ya Fainali za AFCON U-17
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda na Mkurugenzi Mkuu wa Makampuni ya Bakhresa Limited, Abubakar Bakhresa wameteuliwa kwenye Kamati za Maandalizi ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya umri wa miaka 17 (AFCON U-17) mwaka 2019 nchini.
Wakati Makonda, ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Miundombinu, Abubakar Bakhresa ameteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kamati ya Usafiri na Malazi.
Uteuzi huo umefanywa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), chini ya Rais wake, Wallace Karia na Makonda atasaidiwa na Makamu Mwenyekiti, Yusuph Singo ambaye pia ni Mkurugenzi wa Michezo, Wajumbe Sunday Kayuni, Leslie Liunda, Nassoro Idrissa ‘Father’, Mohamed Kiganja ambaye ni Katibu wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) na Mhandisi Davis Shemangale.
Bakhresa atakuwa chini ya Mwenyekiti Mhandisi Ladislaus Matindi na Wajumbe Aziz Abood, Ahmed Mgoyi, Ahmed Shabiby, Dk. Maige Mwakasege Mwasimba na Shebe Machumani.
TFF pia imeunda Kamati ya Masoko na Habari chini ya Mwenyekiti, Kelvin Twissa na Wajumbe Mwandishi wa Habari za Michezo na Katibu wa zamani wa TFF, Angetile Osiah, Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Dk. Hassan Abbas, Dk. Omari Swaleh wa  Chuo Kikuu cha Mzumbe, Mkurugenzi wa AMG Group Iman Kajula na Mtendaji Mkuu wa Azam Media Limited, Tido Mhando.
Kamati nyingine ni ya Fedha na Mipango itakayokuwa chini ya Mwenyekiti, Doto James na Wajumbe Mohamed Dewji, Dk. Seif Muba, Bernard Lubogo, Paul Bilabaye, Jacquelline Woiso na Cornel Barnabas.
Kamati ya Uratibu Utalii itakuwa chini ya Mwenyekiti, Dk Khamis Kigwangala na Wajumbe , Allan Kijazi Devotha Mdachi ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa ya Temeke, Hoyce Temu, Leah Kihumbi ambaye ni Mkurugenzi wa Sanaa na Makamu Rais wa zamani wa TFF, Athuman Nyamlani.
Kamati ya Itifaki, Mwenyekiti ni Mndolwa Yusuph ambaye ni Kamishna Mkuu wa Uhamiaji na Wajumbe Filbert Bayi, Mkurugenzi Uwanja wa Ndege JNIA, Happiness Luangisa, Alex Makoye Nkenyenge na Alhaji Idd Mshangama.
Kamati ya Tiba na Udhibiti wa Dawa za Kusisimua Misuli itakuwa chini ya Mwenyekiti, Profesa Lawrence Museru, Dk. Paul Marealle, Dk. Edmund Ndalama, Dk. Christina Luambano, Daktari Mkuu wa Hospitali ya Temeke na Hiiti Sillo.
Kamati ya Sheria na Taratibu Mwenyekiti ni William Erio na Wajumbe Dk. Damas Ndumbaro, Edwin Kidifu, Ally Mayai na Khalid Abeid.
Kamati ya Ulinzi na Usalama Mwenyekiti ni  IGP Simon Siro na Wajumbe Michael Wambura, CP. Andengenye wa Zimamoto, CP. Lazaro Mambosasa wa Polisi Kanda Maalum ya Dar-es-Salaam, Mkuu wa Askari wa Usalama Barabarani, TISS na Jonas Mahanga.
Kamati ya Rasilimali Watu itakuwa chini ya Mwenyekiti Dk. Francis Michael, Allan Kijazi, Wane Mkisi, Juliana Yassoda na Gerald Mwanilwa.
Kamati hizo ndogo zitakuwa chini ya Kamati Kuu inayoongozwa na Mwenyekiti Dk. Harrison Mwakyembe (MP); Makamu Mwenyekiti wa Leodegar Tenga na Mtendaji Mkuu wa Kamati hiyo ni Henry B. Tandau.

Pendeza na Kessy Product: Badili Muonekano Wako na Kuweka Mwili Wako Safi Kwa Product za Asili

$
0
0
PENDEZA NA KESSY PRODUCT: BADILI MUONEKANO WAKO NA KUWEKA MWILI WAKO SAW KWA PRODUCT ZA ASILI ZISIZO NA MADHARA YEYOTE WALA KEMIKALI, MATOKEO NI KWAARAKA*
1) KUTOA MVI SUGU PIA ZA KUZALIWA NAZO _100,000/
2) KUREFUSH NYWELE NA KUZUIAKUKATIKA 90,000/
3) TENGENEZA SHEPU YAKO KUWA NA UMBO ZURI (HIPS & BATAKS)KUNADAWA AINA TATU (@)JELI KUPAK_100,000/(B) KUNYWA (C)VIDONGE_130,000/
4)ONDOA NYAMA UZEMBE MIKONONI, KIUNONI NA MAPAJAN_80,000/
5)TOA KITAMBI KABISA(@) KUPAK 10O,000/ (B)VIDONGE/SLIMING MAJAN 130,000/
6) PUNGUZA MWILI MZIMA KUANZIA KILO UNAZOITAJI WEWE NA MANYAM YOTE
@) DAW YA MAJINI_100,000/NA VIDONGE_130,000/
7)PUNGUZA MAZIWA NA YASIMAME BILA KUVAA SIDIRIA_80,000/
8)KUONGEZA MAZIWA NA SAIZI NZURI_80,000/
9)ONGEZA UNENE WA MWILI MZIMA (kifaru)_100,000/
10) ONDOA MICHIRIZI ILIYO YAKAWAIDA NA UZAZ_80,000/
11) TOA MAKOVU, CHUNUSI, WEUSI KWENY MAPAJA KIKWAPAN_70,000/
13) KUWA MWEUPE WAKUPENDEZA KWA DAW(@) VIDOGO(WHITE SOLUTION)_130,000/(B)MAFUTA YAKUPAK 100,000/
14)TOA NDEVU VINYWELEO MWLINI _80,000/
15/ ONGEZA NGUVU ZA KIUME KWA KUTUMIA JELI PAMOJA NA VIDONGE VYAAIN ZOT _100'000
16) ENGEZA MAUMBIL YA KIUME
@) (HANDSOME UP) MASHINE _200,000/
@) JELI NA VIDONG VYA SHARK_ 120,000 /
17) RUDISHA HAMU YA TENDO NA KUCHELEWA KUFIKA KILELE_80,000/
18) RUDISH(BIKRA) 100,000/
19)ONDOA MAFUTA USONI _80,000/
20)ONDOA MIKUNJO USON_70,000/(21) ENGEZA MGUU_80,000/🍍🍉🌾 *TUNAPATIKAN DAR E SALAAM* *NAKWA *MIKOANKOTE* UTAPATA *PIA* *NA NCHI ZOTE PIGA CM* (+255)0719955528
0756259180
0785371237
@dr_kessy_product*
*Delivery POPOTE ULIPO,*

VIDEO: CHADEMA yafanya mabadiliko ya uongozi

$
0
0
BARAZA la Vijana Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamefanya uteuzi wa viongozi wake ili kuziba mapengo kufuatia baadhi ya viongozi wao kukihama chama hicho na kujiunga Chama Cha Mapinduzi hivi karibuni.

Katika uteuzi huo, Bavicha wamemteua Patrick Ole Sosopi kuwa Mwenyekiti mpya wa BAVICHA kwa atakayetumikia nafasi hiyo kwa mwaka mmoja kabla ya uchaguzi kufanyika mwakani 2018, baada aliyekuwa mwenyekiti wa baraza hilo, Patrobas Katambi kuhamia CCM.

VIDEO:

Wanaume Wafupi Ndio Waume Bora Kabisa Ndoa zao Zinadumu Kuliko Wale Warefu

$
0
0
Wanaume ambao ni wafupi kwa kimo mara nyingi wanasifika kuwa waume bora kuliko wanaume warefu.
Pia inaarifiwa huwa na busara zaidi kufidia kimo chao, amekiri Adam Gopnik, mwanamme mmoja wenye umbo dogo.
Wiki kadhaa zilizopita, wana soshologia wawili kutoka Chuo Kikuu cha New York, walichapisha waraka mrefu ulioangalizia maisha ya watu wafupi.
Utafiti wao ulizua mjadala mkali kutoka kwa kile kinachoweza kusemekana kuwa jamii ya wanaume wenye kimo kifupi.
Waandishi wa waraka huo wa maswala ya kijamii unaashiria kwamba wanaume wenye haiba ya kuvutia mara nyingi hupendelewa katika maisha yao hivyo wanaripotiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na zaidi ya mpenzi mmoja.
Hata hivyo, hitimisho la waraka huo, pindi mtu anapoupitia, unashangaza. Ni kwamba, watu wafupi wana ndoa za kudumu zaidi.

nafanya hayo, katika mazingira magumu wakiwa katika umri tofauti na kipato tofauti, na wanayafanya hayo wakiwa na wanawake wafupi ambao wanawaoa, na wakati mwengine na hata wanawake warefu wanaokutana nao.
Wanaume wafupi wanaoa kuchelewa, lakini pindi wanapooa, wanadumu katika ndoa kwa muda mrefu, na kwa kiwango cha sayansi ya kijamii, angalau wanakuwa na furaha.
Kuna sababu zinazoonyesha kwa nini wanaume wafupi wanadumu kwenye ndoa.
Nazo ni, wanaume wafupi wanaonyesha kukata tamaa. Wanaume wafupi wanaishi katika ulimwengu wa wanaume warefu na wanajua kila fursa inayopatikana, ni bora kuidhibiti.

Hali ya kukata tamaa ndio inayowafanya wanaume wafupi kuwa wanaume bora kwa wake zao. Watafiti hao pia walisema kuwa wanaume wafupi hukimbilia kufanya kila kitu kuwafurahisha wapendwa wao wakati wanume warefu hilo halliwajalishi.
Moja wapo ya ufumbuzi wa ripoti hiyo pia ni kwamba wanaume wafupi wanafanya kazi chache za nyumbani wanapokuwa kwenye ndoa kuliko wanaume warefu, ingawa utafiti pia unaonyesha kwa wanaume wenye kimo kirefu, aina ya kazi zao za nyumbani inatofautiana.
Kwa maana nyengine, wanaume wafupi hawafiki juu ya makabati. Wanaume wafupi hawadumu kwenye ndoa kwa sababu ya kutaka kuridhisha, bali wanadumu kwenye ndoa kwa sababu wanataka kuonekana.
Utafitio huu kama ulivyosoma hapo awali umeua mjadala mkali lakini pindi mtu anaposoma utafiti wao kinachojitokeza zaidi ni kuwa wanaume wafupi wanakuwa na ndoa za kudumu.
Hii ni licha ya mazingira magumu wanayokabiliwa nayo katika ndoa zao na hufanya hivyo na wake wafupi waliowaoa lakini pia na wanawake warefu wanaokuwa wamewaoa.

Utafiti huo unahitimika kwa kusema wanaume wafupi hawana kasi ya kuoa lakini wanapooa wao hudumu katika ndoa zao.

Mwanamke Kalio Bwana, Kama Sura Hata Mbuzi Anayo

$
0
0
Nimekutana na hii Mahali:

"Mwanamke mwenye kalio halali na njaa hapa town hata awe na sura mbaya vipi
Hakuna mwanaume atakayegeuka nyuma kumuangalia mwanamke mwenye sura nzuri
Siku zote wanaume wanageuka nyuma kuangalia mwanamke mwenye kalio la kutosha.

Wanaohongwa magari na nyumba wengi ni wenye makalio makubwa, wenye makalio kama wamepigwa pasi wanaishia kuhongwa vocha tu.

Achana na Wezere Bana......KALIO KWANZA, Sura peleka kwa mzee wako"

Je ya Kweli Hayo?

Msichana Ukiwa Unajiamini Sana au Kuwa Overconfidence itakufanya Usiolewe

$
0
0
Ukipenda kuongea na watu, kwa kweli utapata mengi sana na utaongeza maarifa.

Huu ni ukweli nilioufanyia mahojiano na wanaume mbali mbali ambao hawajaoa.

Wanadai ya kwamba msichana anayejiamini sana kupita kiasi ana safasi ndogo sana ya kuolewa. Kwa sababu wanaume waliowengi hujisikia wanyoge sana kwenye ndoa, wanawake wanapokuwa wao ni kama watawala katika familia na wenye maamuzi(tena wanawake kama hao wanakiburi sana, kutokana na kujiamini kwao.)

Wanaume walioa wanawake wanaojiamini kupita kiasi, wanadharaulika sana mbele ya jamii.

Wasichana kazi kwenu mnaotaka kuolewa.

Breaking News: Mbunge wa CUF Ajiunga CCM

$
0
0

reakingNews: Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Maulid Mtulia ametangaza kukihama chama cha CUF na kujippunga na CCM

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya Disemba 3

$
0
0


Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya Disemba 3

Nyerere Afunguka Wema Sepetu Kuhamia CCM, Ataja Sababu za Kumjibu Pole Pole

$
0
0

Muigizaji maarufu nchini, Steve Nyerere ambaye pia ni kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesema kuwa amefurahishwa sana na maamuzi ya msanii mwenzake, Wema Sepetu kurudi CCM akitokea katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) alikojiunga na mama yake tangu Februari mwaka huu.

Steve amesema kuwa maamuzi ya Wema hayajasababishwa na kesi yake inayomkabili ya madawa ya kulevya, wala hofu ya kuponea chupuchupu kubomolewa nyumba yao, badala yake ni mapenzi tu aliyokuwa nayo kwa CCM. Amesema ni hasira tu ndizo zilimuhamisha na kwa sasa zimekwisha ameamua kurudi nyumbani.

Aidha Steve Nyerere, ameongeza kuwa ujumbe wa Katibu Mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole kumtaka Wema aendelee kubaki Chadema, hakupendezwa nao ila anachokiona ni kuwa alikuwa ameghafilikiwa tu na haikuwa kusudio lake, kwa maana wanachama wote waliowahi kukihama chama hicho na kurejea hawakuwahi kuwekewa vikwazo vya aina yoyote, hivyo kwa upande wa Wema atarudi vizuri kabisa.

VIDEO:

GPL

Gari la Maafisa Misitu Latekwa

$
0
0
Wachimbaji haramu wa madini zaidi ya 100 waliokuwa wakifanya shughuli hiyo kinyume cha sheria katika hifadhi ya msitu wa Mazingira asili wa Amani uliopo wilayani Muheza wameliteka gari aina ya Land Cruser la maafisa misitu wa hifadhi hiyo kisha kutaka kulichoma moto katika jaribio lao la kupambana na wahifadhi waliokuwa doria ili kuzuia uchimbaji haramu wa madini katika hifadhi hiyo.

Wakizungumza katika hifadhi hiyo afisa misitu katika hifadhi ya Amani Justine Sayi amesema mara baada ya kuliteka kisha kuwafukuza bila mafanikio watendaji wa wakala wa huduma za misitu wa hifadhi hiyo ambao walikimbilia porini hadi eneo la Ubiri lililopo wilayani Korogwe walipata taarifa ndipo walipoomba msaada wa Jeshi la Polisi na kulikuta gari limetelekezwa huku matairi mawili yakiwa yametolewa upepo baada ya wasamaria wema kuwasihi wachimbaji hao wasilichome moto na wala kulisukuma katika bonde kubwa lilipo pembeni mwa barabara.

Hata hivyo akizungumza na viongozi wa vijiji vinavyopakana na hifadhi ya msitu wa mazingira asili Amani,Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilayani Muheza Eng' Mwanasha Tumbo amesema tayari watu 13 wametiwa mbaroni na jeshi la polisi na kuviagiza vyombo vya ulinzi na usalama kuhakikisha sheria inachukua mkondo wake kwa watuhumiwa.

Kufuatia hatua hiyo,Mhifadhi mkuu wa hifadhi ya msitu wa mazingira asili Amani Mwanaidi Kijazi amesema ili kuchochea hamasa ya ulinzi katika hifadhi hiyo wametoa gawio la asilimia 20% ya mapato yatokanayo na utalii kwa viongozi wa serikali za vijiji,wakuu wa shule zinazozunguka hifadhi hiyo kisha kuwanunulia vifaa vya ujenzi kwa ajili ya kuimarisha miundo ya shule na zahanati katika maeneo yao pamoja na vifaa vya mionzi ya jua kwa ajili ya kuwasha taa.

Sanchoka Aapa Kumpiku Jokate Kwa Ali Kiba.....Adai Anamzimia Mazima

$
0
0
Toa la moyoni! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya mrembo mwenye mvuto wa aina yake Bongo, Jane Rimoy ‘Sanchi’ kuanika hisia zake kuwa anamzimikia vilivyo, Mbongo Fleva, Ali Saleh Kiba ‘Alikiba’ na kuapa kumuondoa mazima mwanamitindo Jokate Mwegelo anayedaiwa kuendeleza uhusiano wa siri na msanii huyo.

Licha ya kuwa Kiba ana uhusiano mwingine na mrembo wa Mombasa, Kenya, inaelezwa kuwa, bado Jokate na msanii huyo anayetamba kwa sasa na Wimbo wa Maumivu Per Day, wangali na uhusiano mzito wa siri na hivi karibuni walionekana pamoja katika shoo ya Fiesta, kwenye viwanja vya Leaders Club, Kinondoni jijini Dar.

TURUDI KWA SANCHI A
kizungumza na Risasi Jumamosi, Sanchi ambaye anafahamika zaidi kwa kuringishia makalio yake makubwa
mitandaoni, alisema kuwa muonekano wa Kiba na sauti yake ndivyo vitu ambavyo vimemchanganya kiasi ambacho anatamani leo au kesho aolewe naye.

Mwanamitindo Jokate Mwegelo.
“Yaani Kiba ananiua muonekano wake, sauti na vitu vingine kibao natamani aniweke ndani kabisa. “Hata kama watu watanishangaa kuhusu mimi kuwa mwanamke na kusema hili lakini sitajali. “Nasema hivi kuiridhisha nafsi yangu na wala si nafsi ya mtu mwingine, kama mtu ataona nimekosea, anaweza akakaa kimya tu. “Aniache mimi na maamuzi yangu ya kusema maana kila mtu ana uhuru wa kuchagua kile anachojisikia,” alisema Sanchi.

AAPA KUMNG’OA JOKATE

Mwanamitindo huyo alienda mbele zaidi baada ya kuulizwa kuwa haogopi fujo kwani Kiba bado hajamwagana mazima na Jokate, ndipo alipoapa kufa naye. “Mimi nilikuwa najua wameshaachana lakini kama watakuwa wanaendelea basi piga ua lazima nimtoe tu maana nimekamilika pia kila idara na mimi hisia zangu zipo kwake kwa nini nijipunje?” alisema Sanchi ambaye anashikilia Taji la Figa Bomba lilotolewa hivi karibuni na Gazeti la Ijumaa.

Kama hiyo haitoshi, mwanahabari wetu alijaribu kumbana Sanchi kuhusu suala la dini kwani yeye ni Mkristo wakati Kiba ni Muislamu ambapo bila hiyana, mrembo huyo alisema yuko tayari kubadili dini bila shaka yoyote ile. “Najua Kiba ni Muislamu safi lakini ikija kwenye upande wa dini wala hakuna tabu maana waswahili wanasema kipendacho roho hula nyama mbichi, nitabadili tu hakuna namna,” alisema Sanchi.

MIKAKATI YAKE
Mrembo huyo alisema kwa kuwa kiu yake ni kuona suala hilo linatimia, atakachokifanya ni kuwa karibu na Kiba au marafiki zake ili iwe rahisi kufikisha ujumbe wake. “Najua hata kupitia gazeti anaweza kusoma na kujua kwamba nampenda lakini mimi kwa sasa nitakachokifanya nitajiweka karibu naye zaidi na ninaamini hakuna kinachoshindikana,” alisema Sanchi.

KIBA HUYU HAPA Alipotafutwa Kiba na kuelezwa hisia hizo za Sanchi, aliishia kucheka na kuuliza ni Sanchi yule maarufu kwenye mitandao na alipojibiwa ndiyo, alikata simu bila kueleza kama atamkubalia ombi lake au la. Hata alipopigiwa tena, simu yake iliita muda mrefu bila kupokelewa.

GPL
Viewing all 104744 articles
Browse latest View live




Latest Images