Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104747 articles
Browse latest View live

Timbulo Ampa Tano Alikiba Amkosoa Diamond

$
0
0
Timbulo Ampa Tano Alikiba Amkosoa Diamond
Msanii wa muziki wa Bongo Flava, Timbulo amesema wasanii wa Bongo wajifunze kutoa kazi zao kwa lengo la kujitangaza nje ya nchi kuliko kutengemea wasanii wa nje ambao muda mwingine hawana mchango wowote.

Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri na ngoma yake mpya ‘Vibaya’ ameiambia The Playlist ya Times Fm kuwa mfano mzuri kolabo ya Diamond na Davido kwani kolabo hiyo ilimtangaza zaidi Davido hapa nchini kuliko Diamond nchini Nigeria.

“Kumshirikisha msanii wa nje ni kumleta hapa, tumemjua Davido baada ya kushirikishwa na Diamond baada hapo Davido alikuwa kama Mtanzania vile, anavyopingwa utasema anatokea Manzese vile lakini Davido hakumsaidia kule. Chukua mziki upeleke kule, Darassa ame-trend mpaka Afrimma hakumshirikisha msanii yeyote wa nje” amesema Timbulo.

Timbulo aliendelea kwa kusema Alikiba ameweza kushinda tuzo bila kolabo na msanii wa nje  na kueleza hivyo ndivyo inatakiwa.

“Mfano Turudi hapa hapa, Alikiba amefanya kazi nyingi na amefikia hatua amechukua tuzo za MTV si kwa kolabo ni kazi za nyumbani, kwa hiyo tunaweza kufanya siyo lazima kolabo nje watu wasikariri” amesisitiza.

Punguza Unene na Kutibu Magonjwa Kwa Kutumia Dawa za Edmark...Bonyeza Hapa

$
0
0
TUNA DAWA AMBAZO NI VIRUTUBISHO NA CHAKULA MBADALA ZIMEHAKIKIWA NA TFDA

Ni uhakika kwa afya yako, kupunguza uzito na Sumu mwilini, Mafuta/Sehemu Mbaya, Kitambi na Nyama Uzembe na kutibu MAGONJWA Mbali mbali yaliyoshindikana

Loose Weight Trainer ni Msaada wako Wasiliana Nasi Kwa WhatsApp 0713 777 470

Upate Suluhisho la Afya yako Bila Madhara pia unaweza kujiunga nami ili ufanye Biashara hii Nicheki


Intagram napatikana kwa jina @looseweight_trainer

Polepole Amesema Chama Chake Hakitampokea Mtu Adi Afuate Taratibu

$
0
0
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole  amesema Chama cha Mapinduzi (CCM) hakitampokea yeyote anayetaka kurudi ndani ya chama hicho bila kufuata utaratibu. Kauli hiyo imekuja baada ya aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kinondoni(CUF), Maulid Said Abdallah Mtulia kutangaza kujiuzulu nafasi zake zote za uongozi alizokuwa akizishikilia kwenda CCM

Polepole aliyasema hayo wakati akiwahutubia wananchi wa CCM mkoa wa Mara katika uchaguzi wa Mwenyekiti wa Mkoa wa Chama.

“Ameamua kule aliko haoni itikadi,haoni siasa, haoni mwelekeo, Chama kina baba wawili huwezi kuwa na nyumba ina baba wawili alafu utasikiliza watoto watamsikiliza nani, basi amehama,” alisema Polepole.

“Sasa mimi niko hapa Musoma mimi nitumie fursa hii anayemuunga mkono ni Rais wetu ambaye ni mwana CCM kwelikweli na ndiye Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi ikimpendeza afuate utaratibu akiona mazuri ya Rais yule asione vinaelea kwa mazuri yale asione vimeshushwa vimeundwa na wanaounda mambo mazuri ya Magufuli ni Chama cha Mapinduzi.”

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Jumatatu

Rais wa Venezuela Nicolas Maduro Atangaza Mpango wa Kutengeneza Fedha Mpya

$
0
0
Rais wa Venezuela Nicolas Maduro Atangaza Mpango wa Kutengeneza Fedha Mpya
Rais wa Venezuela Nicolas Maduro ametangaza mpango wa kutengeneza fedha mpya ya nchi hiyo katika kujaribu kuunusuru uchumi wa nchi hiyo.

Amesema fedha hiyo iitwayo Petro itaimarishwa na utajiri wa Venezuela utokanao na mafuta, gesi, pamoja na dhahabu.
Uchumi wa Venezuela umedorora mno kutokana na kushuka kwa mapato ya mafuta pamoja na kuporomoka kwa thamani ya fedha yake ya sasa ya bolivar.

Wolper Afunguka Kuhusu Ukaribu Wake na Ali Kiba

$
0
0
Wolper Afunguka Kuhusu Ukaribu Wake na Ali Kiba
Msanii wa Filamu Bongo, Jacqueline Wolper amefunguka ukaribu wake na Alikiba.

Wolper amelazimika kuzungumzia ukaribu wake na msanii huyo mara baada ya kuandika ujumbe wenye hisia za aina yake katika kumtakia kheri ya siku ya kuzaliwa Alikiba.

“Hatuna urafiki lakini ni mtu ambaye namjua toka zamani kabla ya yeye hajawa staa na mimi sijawa staa, kwa hiyo tunajuana zamani lakini pia hatujawahi kukoseana adabu, kutukanani kwenye mitandao au kukosoana” Wolper ameiambia FNL ya EATV.

“Kuna vitu ambavyo ameniheshimu, unapomu-wish mtu kuna feeling, kile kitu ambacho kinakujia moyoni inabidi ukifanye na kimeshakujia, so ilinijia na kuna vitu nilikumbuka nikasema ngoja niandike kwa sababu ni kweli kutokana na tulivyokuwa tunaishi miaka ya 2000 huko” amesisitiza.

Ujumbe alioandika Wolper kwa Alikiba ulisomeka, “Happy birthday to you Ally!I love you and you know that!More life Kiperete wangu…!”.

Kipindi cha nyuma wawili hawa walishakuwa katika uhusiano ya kimapenzi.

Bunduki ya Nassari Yachunguzwa na Polisi Mkoani Arusha

$
0
0
Bunduki  ya Nassari Yachunguzwa na Polisi Mkoani Arusha
Wakati mbunge wa Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Nassari akilihusisha tukio la kuvamiwa nyumbani kwake na watu wasiojulikana na masuala ya kisiasa, polisi inashikilia bunduki ya mwanasiasa huyo kwa uchunguzi.

Polisi mkoani Arusha imesema imeanza uchunguzi wa kina wa kuwasaka washukiwa, huku ikichunguza silaha ya Nassari aina ya shotgun, ikisema tukio hilo lina utata kutokana na mazingira lilivyotokea.

Kamanda wa polisi wa mkoa, Charles Mkumbo aliliambia gazeti hili kuwa wameanza uchunguzi wa kina ili kubaini endapo kulikuwa na tukio au la.

“Tunaifanyia uchunguzi bunduki yake, tunataka kujiridhisha endapo kulikuwa na tukio au la,” alisema Mkumbo.

Hata hivyo, kamanda huyo alisema msako unaendelea ili kuwabaini washukiwa na kwamba hawajapata maganda ya risasi zinazodaiwa kutumika katika uvamizi huo.

Juzi Nassari aliwaambia waandishi wa habari kuwa nusu saa baada ya kuwasili nyumbani kwake alisikia hali isiyo ya kawaida ndani ya uzio wa nyumba na baadaye kulisikika milio ya risasi. Alisema mbwa wake aliyekuwa akibweka alinyamaza, hali iliyomfanya achukue silaha yake kujihami.

“Nilipiga risasi tano, kisha kukawa kimya nikaenda kuwaamsha vijana wanaonisaidia hapa nyumbani kuwaeleza tukio lililotokea kisha nikaondoka.”

Alisema waliofanya tukio hilo hawakujua kama ana silaha kwa sababu mwaka 2014 wakati wa uchaguzi wa Serikali za mitaa, bastola yake ilichukuliwa na polisi na hadi leo haijarudishwa, hivyo kuwa na silaha nyingine kulimsaidia kujibu mapigo.

Katika tukio hilo, Nassari alisema aliwajibu watu hao kwa kupiga risasi tano hewani huku wenyewe wakipiga 12 na moja ilimpata mbwa wake ambaye alimzika juzi katika maeneo ya nyumba anayoishi.

Hivi karibuni mbunge huyo aliwasilisha makao makuu ya Takukuru ushahidi wa CD aliodai kuwa unawahusisha madiwani wa Chadema mkoani Arusha kushawishiwa kuhamia chama taw

Kuliko Kumkosa Shilole Kwenye Maisha Yangu ni Bora Nife- Uchebe

$
0
0
Kuliko Kumkosa Shilole Kwenye Maisha Yangu ni Bora Nife- Uchebe
MCHUMBA wa staa wa mduara Bongo, Zuwema Mohamed ‘Shilole’, Uchebe Ashiraf amefunguka kuwa kuliko kumkosa Shilole kwenye maisha yake ni bora asiwepo duniani kabisa.

Akipiga mastori na Over Ze Weekend, Uchebe alisema kuwa, pamoja na kwamba amegundua Shilole alirudisha mapenzi na bwana’ke wa zamani, Nuh Mziwanda lakini hayuko tayari kumuacha.

“Ninajua amenikosea sana, lakini siko radhi kumuacha, ninampenda mno na niko radhi kupoteza maisha yangu kwa ajili yake au niuze chochote nilichonacho ili tu nimridhishe atakavyo,” alisema Uchebe.

Kajala- Naumia Mno Mwaka Unaisha Sijatimiza Malengo Yangu Hata Kidogo

$
0
0
KajalaNaumia Mno Mwaka  Unaisha Sijatimiza Malengo Yangu Hata Kidogo
MKALI wa Bongo Movies, Kajala Masanja ‘Kay’ amefunguka kuwa, anaona mwaka ndiyo unaisha, lakini bado hajatimiza malengo yake aliyojipangia, jambo ambalo linamuumiza kichwa.
Kajala aliiambia Over Ze Weekend kuwa, mwaka huu haukuwa mzuri kwani vitu vingi vilikuwa haviendi sawa hivyo alijikuta anashindwa kutimiza malengo aliyojiwekea.
“Kiukweli sijatimiza malengo yangu hata kidogo, naumia mno kwa vile pia mwaka ulikuwa mgumu mno na pesa zilikuwa hazionekani,” alisema Kajala.

Diamond, Tudd Thomas Washinda Tuzo Nigeria

$
0
0
Diamond, Tudd Thomas Washinda Tuzo Nigeria
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz na Muandaaji wa muziki, Tudd Thomas wote kutoka Tanzania wameshinda tuzo za African Entertainment Legends Awards (AELA) jana Desemba 3, 2017 jijini Lagos, nchini Nigeria.

Diamond Platnumz ameshinda tuzo ya kolabo bora ya mwaka 2017 kupitia wimbo wake wa FIRE aliomshirikisha msanii kutoka Nigeria Tiwa Savage huku producer Tuddy Thomas akinyakua tuzo ya Muandaaji bora wa muziki kwa mwaka 2017 barani Afrika.

Wengine walioshinda tuzo hizo ni Davido kupitia wimbo wake wa Coolest Kid in Afrika kwenye kipengele cha ‘Best Music Video of the Year’, RunTown, Black Coffee na wengine wengi.

Tazama orodha kamili ya washindi wa Tuzo hizo za (African Entertainment Legends Awards 2017) .

Bi Hindu Ajitokeza Kumpongeza Mo

$
0
0
Bi Hindu Ajitokeza Kumpongeza Mo
Kama unakumbuka, shabiki na mwanachama mkongwe wa Simba Chuma Suleiman maarufu kama Bi. Hindu alikuwa hataki kusikia kabisa habari za mambo ya mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji ndani ya klabu yao hususan masuala ya hisa na kampuni.

JanaDecember 3, 2017 MO ameshinda kwa kishindo zabuni ya kuwekeza ndani ya Simba, baada ya MO kutangazwa mshindi na wanachama wengi waliohudhuria mkutano huo kuridhia, Bi Hindu alijitokeza na kwenda hadi MO kumpongeza.

ShaffiDauda.co.tz ikapiga story na bibi huyo kutaka kujua msimamo wake upo kwa sasa baada ya kuwa miongoni mwa wanachama waliokuwa wakipinga mchakato huo.

“ Tuliambiwa wanachama tutafukuzwa tutakuwa hatukanyagi klabuni, ndio kitu kilichokuwa kinaniuma rohoni kwa sababu klabu hii imejengwa na wauza vitumbua, wapasua kuni, lakini baada ya kueleweshwa nimeelewa na nipo safi. Atakaenifata  kuniuliza nitamweleza akielewa ataungana na sisi kama hataki basi namuacha.”

Bi. Hindu amesema wapo watu watakaosema amevuta ‘mtonyo’ ili kukubali mabadiliko hayo ambayo yameridhiwa pia Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) sambamba na serikali kupitia wizara inayosimamia masuala ya michezo.

“Kuna watu wanaweza wakasema nimepewa ‘kitita’ lakini mimi sipo huko, nipo katika kujenga Simba kwa sababu aibu inatukuta kila siku sisi mikono kichwani.”

Jeshi la Polisi la Tanzania, Rwanda Waungana Ili Kupambana na Uhalifu

$
0
0
Jeshi la Poliusi la Tanzania, Rwanda Waungana Ili Kupambana na Uhalifu
TANZANIA na Rwanda Zimeunganisha nguvu kupitia Majeshi yao ya Polisi chini ya wakuu wake IGP Simon Sirro wa Tanzania na RNP Emmanuel Gassana wa Rwanda ili kupambana na uhalifu, ujangili na kuangalia namna ya kutatua matatizo ambayo inazikumba nchi hizo.
Akizungumza na Waandishi wa habari Gassana amesema kuwa lengo ni kushirikiana kutokana na changamoto ambazo zinatokea katika nchi ikiwemo kuongeza nguvu, teknolojia, vifaa na kuongeza uzoefu wa matumizi ya vifaa.
Kwa upande wake, IGP Sirro amesema kuwa kwa ushirikiano huo ambao unafanyika kwa kuangalia nini ambacho kinatakiwa kufanya na maarifa ambayo yatatumiwa ili Jeshi la Polisi liweze kufanya kazi yake kwa usahihi na kupunguza uhalifu na endepo mtu akijiingiza kwenye uhalifu anaweza kupoteza familia yake na kuishia pabaya.
“Wenzetu Rwanda wako mbele katika matumizi ya teknolojia, hivyo kuna baadhi ya mambo ambayo watatuelekeza na tutapata uzoefu katika kupambana na wahalifu wa mitandaoni ambao wamekuwa wakiwasumbua raia. Sisi pia tuna uzoefu wa mambo mengi ambayo wenzetu Rwanda watajifunza kutoka kwetu,” alisema Sirro.

Pata Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
MHULI: Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.


Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na Nasi kwa Namba; 0783140065

Tupo Mbagala Rangi Tatu

Rais Magufuli Anatarajiwa Kuwa Mgeni Rasmi Kwenye Uzinduzi wa Kampeni ya Uzalendo wa Taifa

$
0
0
Rais Magufuli Anatarajiwa bKuwa Mgeni Rasmi Kwenye Uzinduzi wa Kampeni ya Uzalendo wa Taifa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Mgufuli anatarajia kuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa Kampeni ya Uzalendo na Utaifa ‘Nchi Yangu Kwanza’ itakayozinduliwa Ijumaa, Disemba 8, mwaka huu kupitia ‘Usiku Wa Kitendawili’ mjini Dodoma huku Kikundi cha Sanaa cha Mpoto Theatre Gallery cha Mrisho Mpoto kikitoa burudani.

Kampeni ya Uzalendo na Utaifa ‘Nchi Yangu Kwanza’ itaratibiwa na Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo kwa kushirikiana na Msanii wa Muziki wa Asili Tanzania, Mrisho Mpoto kupitia Kikundi chake na wadau wa sanaa za ubunifu ndiyo watasherehesha kwa burudani katika usiku huo wa Kitendawili.

Akiongea na wadau wa sanaa katika maandalizi ya kampeni hiyo ya kitaifa itayokuwa ikifanyika kila mwaka sambamba na maadhimisho ya kifo cha Baba wa Taifa, Hayati Julis Kambarage Nyerere, Mrisho Mpoto amesema, kampeni hiyo ina lengo la kurejesha hali ya Uzalendo na Utaifa katika kutatua changamoto zilizojitokeza na zitakazojitokeza ndani ya taifa letu.

Mambo yatakayozungumza kwenye usiku huo ni kudhibiti na kukomesha mmomonyoko wa maadili kwa viongozi wa umma, kuongezeka kwa tuhuma za rushwa, kuibuka kwa ufisadi, ubadhilifu wa mali za umma na kuongeza hali ya kufanya kazi na Uzalendo.
“Usiku wa Kitendawili utatumika kama jukwaa la kuwaleta pamoja Watanzania na viongozi wao ili kukumbushana kuhusu wajibu na kujadili mustakabali wa taifa. Kutakuwa na vivutio mbalimbali na wimbo maalumu kutoka kwa wasanii maalumu,” alisema Mpoto.

”Tunataka kuunadi Uzalendo na Utaifa ‘Nchi Yangu Kwanza’ kwa sababu tunaamini Uzalendo na Utaifa lazima uwepo ili kufanikisha maendeleo ya kiuchumi, kijamii na kisiasa ili kuunga mkono juhudi za Rais, Dkt. Magufuli, za kujenga Taifa lenye Uzalendo, Utu, Weledi na Uadilifu uliotukuka. Nimejitoa toka mwanzoni mwa harakati hizi na hata nyimbo zangu zinazungumzia kuwaunganisha wanajamii wa Kitanzania wapatao 120.

Mpoto aliongeza kuwa, lengo kuu la maadhimisho hayo kuambatana na maadhimisho ya kifo cha Baba wa Taifa kuanzia mwaka 2018 ni kutumia jukwaa hilo kufikisha ujumbe wa umuhimu wa kujenga na kuendeleza Utaifa.
Baada ya uzinduzi wa kampeni hiyo kufanyika mjini Dodoma, pia itafanyika kwenye mikoa yote nchini na itasimamiwa na Kamati za Utamaduni za mkoa na wilaya.

Usiku wa Kitendawili ulianzishwa baada ya Mpoto kuachia Wimbo wa ‘Kitendawili’ na baadaye kufikiria kuanzisha usiku wa wimbo huo na kuanzisha mjadala kuhusu uzalendo.

CUF Inayomuunga Mkono Lipumba Yafunguka Kuhusu Kuhama kwa Mtulia

$
0
0
CUF Inayomuunga Mkono Lipumba Yafunguka Kuhama kwa Mtulia
CHAMA cha Wananchi upande wa Prof. Ibrahim Lipumba, leo Desemba 4, 2017 kimetoa ufafanuzi huu aliekuwa Mbunge wa Kinondoni (CUF), Maulid Mtulia aliyejivua uanachama na kuachia ngazi nyadhifa zote ndani ya chama hicho huku akitangaza kuhamia CCM.
CUF imefunguka leo ikiwa ni siku moja tangu Mtulia atangaze uamuzi huo juzi ambapo alisema ameridhishwa na utendaji wa Rais Magufuli hivyo haoni haja ya kuendelea kuwa mpinzani hivyo ni bora akamuunga mkono Rais.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar, Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mahusiano ya Umma CUF, Abdul Kambaya amesema kuwa Maulid Mtulia ameondoa uaminifu kwa wanachama wa Jimbo la Kinondoni kwa madai ya kuwa wananchi walimwamini kulala nje wakipigania kula zake za ubunge huku wengine wakiumizwa na kufikishwa mahakamani lakini yeye amewasaliti.
Amesema kuwa Mtulia amekitia doa chama chao kutokana na matande yake aliyoyafanya kwa wananchi na chama kwa ujumla huku akisema kuwa kuhama kwake chama kwa madai yakuwa nikutokana na kwamba anamuunga mkono Rais hazina mashiko hata kidogo.

Madaktali Waliotangaza Kimakosa Kuwa Mtoto Aliyezaliwa Kuwa Amekufa Wafukuzwa Kazi

$
0
0
Madaktali Waliotangaza Kimakosa Kuwa Mtoto Aliyezaliwa Kuwa Amekufa Wafukuzwa Kazi
Hospitali kwenye mji mkuu wa India, Delhi imewafuta kazi madaktari wawili waliotangaza kimakosa kuwa mtoto aliyekuwa amezaliwa alikuw amekufa.
Madaktari kwenye hospitali ya kibinafsi ya Max, walikuwa wametangaza kuwa mtoto alikuwa amekufa saa kadhaa baada ya pacha wake kuzaliwa akiwa amekufa tarehe 30 Novemba.
Wazazi waligundua kuwa mtoto huyo alikuwa hai wakati wakiwa njiani kwenda kumzika.
Kisa hicho kilizua ghadabu na mjadala kuhusu huduma za hospitali ya kibinafsi ambazo mara nyingi ni ghali mno,

Kisa hicho kilitokea wakati wazazi waligundua kuwa mmoja wa watoto hao alikwa hai ndnai ya mfuko wa plastiki ambao madaktari walikuwa wamemweka.
Kulingana na babu yake mtoto huyo, familia hiyo iliyokuwa imepigwa na mshango na kumkimbiza mtoto huyo hospitalini ambapo waliambiwa kuwa mtoto wao bado alikuwa hai.

Juuko Murshid Aongezewa Mkataba Mpya Simba

$
0
0
Juuko Murshid Aongezewa Mkataba Mpya Simba
KOCHA Mkuu wa Simba, Joseph Omog, raia wa Cameroon, ameuelekeza uongozi wa timu hiyo umpe mkataba mpya wa kumbakisha klabuni hapo, beki wake kitasa, Juuko Murshid, raia wa Uganda, ikiwa ni muda mfupi baada ya wapinzani wao, Yanga, kumtolea macho kwa ajili ya kutaka kumsajili.

Mcameroon huyo ameyasema hayo wakati mkataba wa Juuko na Simba ukiwa umebakisha siku chache kabla ya kumalizika mwishoni mwa mwezi huu.

Chanzo kutoka ndani ya Simba kimeliambia Championi Jumatatu kuwa, Omog ameuambia uongozi umpatie mkataba mpya Juuko kutokana na kuwepo kwenye hesabu zake za msimu huu, pia anataka kumtumia kwenye michuano ya kimataifa ambayo Simba watashiriki.
“Kocha amependekeza kuwa lazima Juuko asainishwe mkataba mpya baada ya huu wa sasa wa miaka miwili kumalizika mwezi huu, taarifa ambazo tumesikia ni kuwa wapinzani wetu wanamnyemelea kwa ajili ya kumsajili.

“Unajua kuwa kocha amemjumuisha Juuko kwenye mipango yake ya muda mrefu ya kuwepo hapa ikiwemo kumtumia kwenye michuano ya kimataifa ambayo tutashiriki baadaye mwakani, lakini hata hivyo amekuwa mmoja wa walinzi wetu wazuri hivyo kocha amegoma kuuzwa.
“Lakini pia haiwezekani yeye kuruhusiwa kuondoka kwa sasa kwa sababu kuna uwezekano wa kumuacha Method Mwanjale, hivyo siyo rahisi kujikuta tumewaachia watu wawili wakati wamekuwa nguzo muhimu kwetu tangu msimu uliopita,” kilisema chanzo hicho ambacho kina wadhifa wa juu klabuni hapo.

Shilole Harusi Yangu Ipo Pale Pale Mwezi Huu

$
0
0
Shilole Harusi Yangu Ipo Pale Pale Mwezi Huu
Zikiwa zimesalia siku kadhaa mwaka 2017 kumalizika, msanii Shilole amezidi kusisitiza azma yake ya kufunga ndoa kwa mwaka huu ipo pale pale.

Mwishoni mwa weendend iliyomalizika katika sherehe ya ndoa ya Dj wa Clouds Media, Dj Zero shilole katika kutoa nasaha zake alisema mwezi huu atafunga ndoa.

Pia hivi karibuni kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram, Shilole alimweleza msanii wa filamu Bongo, Steven Nyerere kuwa harusi yake ipo pale pale.

Shilole ambaye yupo katika mahusiano na mpenzie, Uchebe hivi karibuni walioneka wakiwa wote Igonga, Tabora nyumbani kwa kina Shilole.  July Mwaka huu ndio Shilole alimuweka wazi mpenzi wake huyo na kueleza mwaka watafunga ndoa.

Mke wa Cloud 112 Ahaidi Neema Kwenye Tasnia ya Bongo Movie

$
0
0
Mke wa Cloud 112 Ahaidi Neema Kwenye Tasnia ya  Bongo Movie
MTUNZI na mzalishaji wa filamu mpya ya Usijisahau ambaye pia ni mke wa muigizaji wa muda mrefu, Issa Mussa ‘Cloud 112’, Mina Mussa ‘Mina Baby’ amesema amedhamiria kufanya mapinduzi makubwa kwenye tasnia ya filamu za Kibongo.
Katika mahojiano maalum na Global TV Online, Mina alisema amefikiria kuja na kazi yenye ubunifu mkubwa kuanzia kwenye utunzi wa stori, mazingira (location) na uhusika wa wasanii na kazi zingine zinakuja ukiondoa Usijisahau ambayo itaingian sokoni hivi karibuni baada ya kufanyiwa uzinduzi juzi, Jumamosi, katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar.

Wasiliana na The Great Maalim Hussein Mtaalam wa Kutatua Matatizo Yaliyoshindikana Kwa Kutumia Nyota na Dua

$
0
0
THE GREAT MAALIM HUSSEIN
Wasiliana na Mtaalam Huyu Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana ama Zilizo Achwa ndani ya Siku Moja 1.
Maalim Hussein ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA(Rudisha Mahusiano yako Ndani ya Saa 12 tu)

MAALIM HUSSEIN ni Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili Mwenye Uwezo wa Kubaini Tatizo lako tu Pindi Utakapo Fanya Mawasiliano Kupitia Wasaa Husika.
(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFATA MAELEKEZO YAKE..)

Je Unasumbuliwa na Mapenzi..?
Umeachwa na UMPENDAE Awe Mume/Mke na Bado Unampenda
Je Umejaribu Sehemu Nyingi Bila Mafanikio?
Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo..
Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu.
Je Umekimbiwa na Mumeo/Mkeo au Mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine..?
Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao (Mfarakano/Kimavi) Endapo Utafata Atakacho Kuelekeza.

Je Una Mpenzi wako ana Pesa na unataka Kumkamata? Muone Maalim Hussein Atamfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi..
Maalim Hussein Anatumia Jina La Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo..
Anatibu Kutumia QUR_AN DAWA ZA ASILI YA AFRICA, Dawa za KIARABU NA MAJINI..
ANATAFSIRI NDOTO. ANAPANDIKIZA NYOTA YA KUSHINDA BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUSKI NA VIFUNGO MBALIMBALI.

ZINDIKO ZA NYUMBA NA BIASHARA.. PETE ZA BAHATI.. HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA. HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA..
MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA..ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA  ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE..

Humaliza Kesi ya Aina Yoyote Ndani ya Siku 7 tu..
Hutoa Jini la MALI kwa wale Wanao Hitaji Utajiri Bila Masharti..
+255 674 835 107 WhatsAPP tu.
Viewing all 104747 articles
Browse latest View live




Latest Images