Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104756 articles
Browse latest View live

Haya Hapa Mambo Matatu Yaliyomto Wema Sepetu Chadema

$
0
0
Haya Hapa Mambo Matatu Yaliyomto Wema Sepetu Chadema
SIKU chache baada ya mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu kurejea Chama Cha Mapinduzi (CCM), imebainika yapo mambo matatu yaliyomsababisha mrembo huyo arejee na kuachana na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Kabla ya kufanya uamuzi huo Ijumaa iliyopita, Wema na mama yake mzazi, Miriam Sepetu, waliokuwa makada wa CCM, Februari 24, mwaka huu, walitangaza kujiunga na Chadema wakidai wanaifuata demokrasia ya kweli.
Hata hivyo, mama wa mrembo huyo, aliitisha mkutano wa waandishi wa habari na kusema yeye hana mpango wa kurejea tena CCM na atamalizia maisha yake duniani akiwa Chadema.
Chanzo kilicho karibu na Wema, kimeeleza kuwa, mambo ambayo yamemfanya mrembo huyo arudi CCM ni pamoja na lile alilolianisha mwenyewe wakati alipotangaza kurejea chama hicho tawala.
“Jambo la kwanza kabisa ni amani ya moyo. Kama ulivyosikia siku ile alipotangaza kurudi CCM alisema kabisa hana sababu ya kubaki kwenye chama ambacho hakimpi amani ya moyo. Amerejea CCM ambako alikuwa anaipata,” kilisema chanzo hicho.
Ukiachana na hilo, chanzo hicho kiliweka bayana kuwa, jambo lingine lililomsababisha mrembo huyo arejee CCM ni kitendo cha kuwaona viongozi mbalimbali wakubwa wakijiunga au kurejea CCM.
“Wema aliamini kwamba viongozi aliowakuta, kina Lawrence Masha na wengineo wangeendelea kushikamana na kujenga chama lakini matokeo yake wimbi la wanaharakati wengi wa Chadema kukikimbia chama hicho limeongezeka,” kilisema chanzo hicho.
Aidha, chanzo hicho kililitaja jambo lingine lililosababisha Wema arejee katika chama hicho tawala ni pamoja na kutokabidhiwa kadi ya Chadema kwa muda mrefu.
“Unajua aliona kama anakosa zile confidence za kujinasibu kama ni Chadema damu. Hilo limemfanya aone kuna urahisi tu yeye kutoka kwani anakokupigania wala hakujamfunga kivile,” kilisema chanzo hicho.
Pamoja na hayo matatu, vyanzo vingine vimeeleza kuwa mrembo huyo amerejea CCM kwani kuna fursa za kazi mbalimbali ambazo anaweza kunufaika nazo tofauti na akiwa nje ya chama hicho.
Taarifa nyingine kutoka ndani ya familia zimeeleza pia, huenda baadaye mama wa mwingizaji huyo pia akamfuata mwanaye licha ya mwenyewe kukaririwa akisema kuwa hana mpango huo.
Chanzo: Global Publisher

Mo Dewji Atoa Neno kwa Wachezaji Simba

$
0
0
Mo Dewji Atoa Neno kwa Wachezaji Simba
MSHINDI wa zabuni ya ununuzi wa hisa za Klabu ya Simba, Mohamed "MO" Dewji , amewataka wachezaji wa timu hiyo kucheza kwa kujituma na kutambua thamani ya kuvaa jezi ya klabu hiyo.

Dewji, alisema Simba ni klabu kubwa na wachezaji wanaopata nafasi ya kuichezea wanapaswa kujituma na kuonyesha uwezo unaoendana na jina la klabu hiyo.

Akizungumza juzi jijini Dar es Salaam, Dewji, alisema kuwa kama wachezaji watapambana uwanjani na kujituma, wananafasi kubwa ya kuiletea timu hiyo mafanikio.

“Simba ni timu kubwa, nimekuwa shabiki wa timu hii tangu nikiwa mtoto, nilipanga kwa miaka mingi lazima nije kuisadia timu hii, wachezaji wetu wanapaswa kutambua thamani ya kuvaa jezi ya timu hii, ni lazima wajitume uwanjani ili kuipa mafanikio,” alisema Dewji.

Aidha, alisema atakuwa karibu na wachezaji kuhakikisha wanaitumikia klabu hiyo katika mazingira mazuri yatakayowafanya kujituma uwanjani.

“Mambo yakishakamilika (taratibu za kubadili mfumo wa uwendeshwaji), Simba haitakuwa timu ya kuwania ubingwa wa ndani pekee, itakuwa timu ya kuwania ubingwa wa Afrika na kushindana na timu nyingine kubwa Afrika,” aliongeza kusema.

Jumapili iliyopita Dewji ambaye ni mfanyabiashara maarufu na mwanachama wa klabu ya Simba ambayo kwa sasa inadhaminiwa na Kampuni ya Kubashiri Matokeo Michezoni ya SportPesa, alitangazwa na aliyekuwa Mwenyejiki wa Kamati ya Zabuni ya klabu hiyo kuwa ndio mshindi wa zabuni ya kununua hisa asilimia 50 za klabu hiyo.

Dewji atawekeza kiasi cha Sh. bilioni 20 kwa ajili ya kununua hisa asilimia 50 na kubadili uwendeshwaji wa klabu hiyo ambayo itajiendesha kwa mfumo wa kampuni.





Miujiza ya Sharifu Seif Mohamed..JE Umeachwa na Mme/Mke au Mpenzi, Umesongwa na Mitihani ya Maisha..Piga Simu Upate Muujiza Wako

$
0
0
SHARIFU SEIF MOHAMED ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOENDELEA KUPIGA SIMU, WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA  SHUKRANI NA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO WASAIDIA,

(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

SHARIFU MOHAMED Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN, Dawa za Asili, Dawa za Kiarabu na majini kwa kumtuliza mke/mme, mchumba au mpenzi ndani ya masaa 72 tu, na kutatua matatizo yote ya kimaisha,

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu SHARIFU SEIF sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata Atakacho Kuelekeza

ANAZO DAWA ZA MAPENZI, NGUVU ZA KIUME, CHANGO NGIRI MAJI NA N.K, ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA, HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA, ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUKSI NA VIFUNGO MBALIMBALI,  MAFANIKIO YA MAISHA NA UTAJIRI BILA MASHARI, NA MENGINE MENGI YA SIRI,

Je UMAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? WASILIANA NA MTAALAMU HUYU KWANI YEYE HUFAULU PALE WOTE WALIPOSHINDWA, PIA UMALIZA KAZI ZILIZO SHINDIKANA NA WATAALAM WENGINE NDANI YA MASAA 24 TU,

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE AU MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFWATA MAELEKEZO YAKE)

Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi Piga SIMU No:
Mobile +255 654-836970
WhatsApp +255 756-033670

Godbless Lema, Jerry Muro Wazidisha Utata Safari Ya Mnyika Kuhamia CCM

$
0
0
Licha ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kukaririw jana kikikanusha fununu zilizozagaa mitandaoni zikielekeza kuwa Mbunge wa Kibamba (Chadema), Mhe. John Mnyika anatazamiwa kuhamia Chama cha Mapinduzi (CCM), bado ishara zimezidi kuonesha kuwa safari ya kinara huyo wa upinzani kuelekea CCM imezidi kuiva.

Tetesi hizo zimegonga vichwa vya mitandao ya kijamii jana jioni  baada ya kada wa CCM, Jerry Muro kutumia mtandao wa kijamii wa Instagram kwa kuweka picha ya Rais, Dkt. John Pombe Magufuli na John Mnyika na kuandika maneno kadhaa kama ifuatavyo;

 “Wanakuita mvulana, basi nenda kwa Baba ukadeke kidogo kule ulikua unakomazwa tu, #safarimojamatata.”

Wakati wengi wakitafakari maneno ya Jerry Muro, Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema) naye ametumia mtandao wa kijamii kuandika machache yaliyotafsiriwa kama maneno yanayoongelea sakata la Mnyika kutimkia CCM.

==>Lema ameandika yafuatayo;

Video: Faiza na Picha za Uchi Akijifungua: Safari ijayo Nitajifungua LIVE!

$
0
0
Msanii wa filamu, Faiza Ally amedai anashangaa kuona watanzania wanapoteza muda kuizungumzia picha yake ambayo aliipost weekend iliyopita ikimuonyesha wakati akijifungua mtoto wake wa kiume ambaye kwa sasa ana miezi. Mrembo huyo amedai yeye haoni vibaya kwa madai ni kitu ambacho alikifanya kwa kuwa anakipenda huku akidai safari ijayo atajifungua live.

VIDEO:


Kutana na Mtabibu wa Nyota Duniani Maalim Fadhil Rashid Kutoka Comoro Kwa sasa Yupo Tanzania

$
0
0

KUTANA NA MTABIBIBU WANYOTA DUNIANIKOTE MAALIM FADHILI RASHIDI KUTOKA COMORO KWA SASA YUPO TANZANIA NI BINGWA WAKUTIBU MARADHI SUGU KAMA VILE MIGUU KUUMA NA KUWAKA MOTO PRESHA KISUKARI VIDONDA VYA TUMBO PUMU

MAALIM FADHILI RASHIDI ANAJUWA UMEHANGAIKA SANA LAKINI HUJAFANIKIWA MUONE HARAKA AKUSAIDIE ANADAWA ZA KI COMRO DAWAZAKE HABAHATISHI MUONE HARAKA AKUSAIDIE TEZI NAUVIMBE TUMBONI ANAUWEZO WAKURUDISHA MTUALIE POTEA KIMAZINGIRA (MSUKURE) KUMFANYA MKE MUME MPENZI ASIKUSALITI DAWA YA (LIMBWATA) KUMTAWALA MPENZI WAKO UNAVYOTAKA KUMUONA MBAYA WAKO LIVE KWASABABI MALUM ANATOA PETE YA BAHATI INAYO ENDANA NA NYOTA YAKO ITAKAYO KULETEA MALI BILA YA MASHARITI NAKUMILIKI MALI ZAMAJINI DAWA YAKUONGEZA UUME ZAIZI UIPENDAYO DAWA YA NGUVU ZAKIUME PIA ANAYO DAWA YAKUONGEZA HIPS SHEPU KUWA NAUMBO BOMBA KAMA UMEIBIWA AMA KUDHULUMIWA UTARUDISHIWA MALIYAKO NDANI YA MASAA (24) ANAFUNGA KESI NAKUPATA HAKIYAKO DAWA YA MVUTO WABIASHARA KUUZA MALIYAKO KWAHARAKA KUZUIYA CHUMAULETE KUSAFISHA NYOTA NAKUTOWA MIKOSI NA KUPANDISHWA CHEO KAZINI KARIBUNI WOTE TIBA NIKWADINI ZOTE UTAPATA HUDUMA POPOTE ULIPO DUNIANI

CALLING +255719362806/

WHATSAPP CALLING +255785786436/

Davina: Siwezi Kutumika na Wanaume Sasa Hivi Najitambua

$
0
0
Davina: Siwezi Kutumika na Wanaume Sasa Hivi Najitambua
MUIGIZAJI mkongwe Bongo Muvi, Halima Yahaya ‘Davina’, amesema hapendi tena kutumika kwa wa­naume ambao hawana msima­mo katika maisha yake zaidi ya kumzeesha.

Aki­zun­gumza na Kilinge, Davina al­isema: “Huko nyuma mtu unakuwa na akili ya ki­toto hata unapokutana na mtu anakuambia anakupenda na kuamua kufunga ndoa nawe (unamkubali), baada ya miezi kadhaa mnatengana.

“Sasa hivi nimekuwa najitambua vilivyo na uzuri najua yupi ana­kudanganya au anaku­pendea umaarufu tu, hivyo mambo ya kutumika bila mpango siku hizi hakuna tena kabisa.

Viongozi wa Chadema Watinga Mahakamani Leo Katika Kesi ya Lijuakali, Susan Kiwanga

$
0
0
 Viongozi wa Chadema Watinga Mahakamani Leo Katika Kesi ya Lijuakali, Susan Kiwanga
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho, Frederick Sumaye, wamehudhuria katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro ambako uamuzi wa dhamana ya wanachama wa chama hicho utatolewa.

Wengine waliofika mahakamani ni mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche na wa Viti Maalumu, Devota Minja.

Wabunge Susan Kiwanga na Peter Lijualikali wamefikishwa katika Mahakama hiyo leo Jumanne Desemba 5,2017 kusikiliza uamuzi wa dhamana yao pamoja washtakiwa wengine 36.

Kesi hiyo ipo mbele ya hakimu Ivan Msack. Ulinzi umeimarishwa ndani na nje ya Mahakama, huku barabara zote zinazoelekea mahakamani zikiwa zimefungwa.

Washtakiwa wanatetewa na mawakili Peter Kibatala, Ignas Punge, Fredrick Kiwelo na Bartholomew Tarimo.

Upande wa mashtaka unawakilishwa na mawakili wa Serikali, Edga Bantulaki na Sunday Hyera.

Washtakiwa wanakabiliwa na mashtaka manane likiwemo la kuchoma moto ofisi ya Kata ya Sofi iliyopo wilayani Malinyi.

Meya wa Ubungo Afunguka Kuhusu John Mnyika "Yupo Kwenye Mikono Salama Siyo wa Kununuliwa kwa Kuahidiwa Vyeo"

$
0
0
Meya wa Ubungo Afunguka Kuhusu John Mnyika "Yupo Kwenye Mikono Salama Siyo wa Kununuliwa kwa Kuahidiwa Vyeo"
Meya wa Ubungo, Boniface Jacob amewataka wanachadema watulie kuhusu Mbunge wa Kibamba John Mnyika kwani yupo kwenye mikono salama na kwamba kiongozi huyo siyo wa kununulika kwa kuahidiwa vyeo.

Meya Boniface amefikia hatua hiyo baada ya kuwepo kwa taarifa zinazoenea kwa kasi kwamba Mbunge Mnyika amejivua uanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo pamoja na nafasi yake ya Ubunge.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Meya Boniface amerusha jiwe gizani kwa kutuma ujumbe kwa mtu anayempigia simu Mnyika kwa kumshawishi ahame chama kwamba aache kwani wao huwa wanamrekodi.
"Mwambieni Baba yenu aache kupiga simu ovyo, tumemrekodi na tutaendelea kumrekodi tumuaibishee......any time atume sms au apige tena aone..." Meya Boniface.
Ameongeza "Mnyika siyo dizaini ya hao unaowapigia simu na kuwahahidi vyeo na madaraka ya kuhongwa.....Tunakuweka loudspeaker tunakusikiliza tu.....ukikata simu tunacheekaa....Eti unamwambia binadamu mwenzako unamtaka kwa gharama yeyote.......ili nini?
Mwisho wa wiki hii kullikuwepo na habari inayosambaa kwa kasi mitandaoni ikisema kwamba Mnyika amejivua nafasi zake zote za uongozi ndani ya chama.

Okwi Kutua na Familia Yake Bongo

$
0
0
Okwi Kutua na Familia Yake Bongo
MSHAMBULIAJI wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi, hivi sasa yupo Uganda na atakaporejea tu kuungana na wenzake, basi atatua na familia yake.

Okwi aliondoka nchini wiki iliyopita baada ya wachezaji wa timu hiyo kupewa mapumziko mafupi ambapo wakati anaondoka alikuwa akisumbuliwa kifundo cha mguu.

Akizungumza na Championi Jumatatu, Okwi alisema yupo kwao Uganda lakini bado anaendelea na matibabu ya kifundo cha mguu ambapo atakapopona, atarejea nchini akiwa na familia yake.

“Nipo huku naendelea na matibabu yangu ya kifundo cha mguu baada ya kuumia hivi karibuni na kunifanya nikose baadhi ya michezo ya ligi kuu.

“Niliondoka huko baada ya wachezaji wote kupewa mapumziko, lakini nimepanga nikirejea basi nitakuja na familia yangu ambayo awali niliiacha huku Uganda kwa sababu hivi sasa nataka niwe nayo karibu,” alisema Okwi ambaye ana mke na watoto wawili.

Uongozi wa UDSM: Wanafunzi na Pamoja na Majengo Yao Wako Salama Marekebisho ya Nyufa Yatafanyika Wakati Wowote

$
0
0
Uongozi wa UDSM: Wanafunzi na Pamoja na Majengo Yao  Wako Salama Marekebisho ya Nyufa Yatafanyika Wakati Wowote
Uongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM), imesema marekebisho katika jengo la Kitalu A lenye nyufa yanaweza kufanyika wakati jengo likiwa linatumika hivyo uongozi huo umewahakikishia wanafunzi, Wazazi kwa ujumla kuwa wanafunzi pamoja na majengo yao wako salama.
Soma taarifa kamili:


Naweza Ku-date na Bill Nass Ila si Dogo Janja- Nandy

$
0
0
Naweza Ku-date na Bill Nass Ila si Dogo Janja- Nandy
Msanii wa Muziki Bongo, Nandy amesema anaweza ku-date na Bill Nass ila siyo Dogo Janja kutokana na urafiki wao kuwa wa karibu zaidi.

Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma ‘Kivuruge’ ameiambia The Playlist, Times FM kuwa Bill Nass anamvutia zaidi ya Dogo Janja, hivyo anaweza kumtazama kwa jicho la pili.

“Dogo Janja ni rafiki yangu, Dogo Janja hayupo kabis labda Bill Nass watu wanavyomzungumzia naweza nikakaa mwenye pembeni nikasema ok, labda nikamtazama kwa jicho la pili lakini Dogo Janja siwezi hata nikapoteza muda kumfikiria kwa sababu ni nigger wangu” amesema Nandy.

“Si kwa kwamba (Dogo Janja) siyo type yangu, ni kijana mwenzangu lakini ni rafiki yangu ambaye najua matatizo yake na yeye anajua ya kwangu tuna-share kiasi kwamba siwezi hata kumfikiria lakini Bill naweza kumfikiria” amesisitiza.

Katika hatua ngingine Nandy ameeleza licha ya kuwepo tetesi nyingi kuwa ana-date na Bill Nass hakuna jambo kama hilo na Bill Nass hajawahi hata kumueleza kuwa anamuhitaji.

Mwanafunzi Aliyepiga Picha za Nyufa za Mabweni ya UDSM Apelekwa Kituo Kikubwa Polisi 'Central'

$
0
0
Mwanafunzi Aliyepiga Picha za Nyufa za Mabweni ya UDSM Apelekwa Kituo Kikubwa Polisi 'Central'
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Kumbusho Dawson amehamishiwa Kituo Kikuu cha Polisi akitokea Oysterbay alikokwenda kuripoti.

Dawson alikwenda kuripoti Kituo cha Polisi Oysterbay leo Jumanne Desemba 5,2017 baada ya kuachiwa kwa dhamana jana usiku.

Mwanafunzi huyo ambaye ni mbunge wa serikali ya wanafunzi (Daruso) jana Jumatatu Desemba 4,2017 mchana alikamatwa na polisi akituhumiwa kusambaza picha kuonyesha nyufa kwenye majengo ya hosteli za UDSM.

Akizungumza na MCL Digital Makamu wa Rais wa Daruso, Anastazia Anthony alisema Dawson alikamatwa saa saba mchana na kupelekwa kituo cha polisi cha Chuo Kikuu kwa ajili ya kuhojiwa lakini ilipofika saa tisa alasiri polisi walisema hawana uwezo wa kumuhoji hivyo walimpeleka Oysterbay.
Chanzo: Mwananchi

Uamuzi wa Dhamana kwa Lijuakali, Susan Kiwanga Yakwama Mahakamani Warudishwa Rumande

$
0
0
Uamuzi wa Dhamana kwa Lijuakali, Susan Kiwanga Yakwama Mahakamani Warudishwa Rumande
Wabunge Susan Kiwanga na Peter Lijualikali waliofikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro pamoja na washtakiwa wengine 36 wamerejeshwa rumande.

Mahakama iliyokuwa itoe uamuzi wa dhamana leo Jumanne Desemba 5,2017 imekwama kufanya hivyo kutokana na kuibuka hoja za kisheria.

Upande wa mashtaka na ule wa utetezi unavutana kuhusu hati ya kiapo ya kupinga dhamana iliyowasilishwa mahakamani hapo.

Kutokana na mvutano wa kisheria, hakimu Ivan Msack ameahirisha kesi hiyo hadi kesho Jumatano Desemba 6,2017 ili kutoa fursa kwa pande zote mbili kujibu hoja kuhusu hati hiyo.

Washtakiwa wanakabiliwa na mashtaka nane likiwamo la kuchoma moto ofisi ya Kata ya Sofi iliyopo wilayani Malinyi.

Washtakiwa wanatetewa na mawakili Peter Kibatala, Ignas Punge, Fredrick Kiwelo na Bartholomew Tarimo.

Upande wa mashtaka unawakilishwa na mawakili wa Serikali, Edga Bantulaki na Sunday Hyera.

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho, Frederick Sumaye walihudhuria mahakamani.

Wengine waliofika mahakamani ni mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche na wa Viti Maalumu, Devota Minja.
Chanzo: Mwananchi

Timu ya Wapelelezi Yatumwa Nairobi Kufanya Mahojiano kwa Tundu Lissu, Dereva Wake

$
0
0
Timu ya Wapelelezi Yatumwa Nairobi Kufanya Mahojiano kwa Tundu Lissu, Dereva Wake
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro, amesema timu yake ya wapelelezi imetumwa kwenda jijini Nairobi, nchini Kenya kufanya mahojiano na Mhe. Tundu Lissu pamoja na dereva wake.

Tangu Mhe. Lissu ashambuliwe kwa risasi na watu wasiojulikana mwezi Septemba 7, mwaka huu mjini Dodoma, Polisi ilikuwa bado haijafanya mahojiano naye.

IGP Sirro amesema wametuma wapelelezi Nairobi baada ya kusikia Lissu amekubali kuhojiwa juu ya tukio hilo na matarajio yao pia ni kumpata dereva na mlinzi wake.

“Tumetuma watu wetu kwenda kuchukua maelezo yake (Lissu)..Mwanzo tuliomba kwenda lakini chama (Chadema) walikataa. Juzi tumesikia wamesema wapo tayari…Tumetuma vijana wetu wawili kwenda Nairobi kuchukua maelezo yake.”amesema IGP Sirro.

IGP Sirro amesema lengo kubwa la mahojiano ni kujua mazingira ya shambulio yalikuwaje na kwamba ikiwezekana wampate dereva na msaidizi huyo wa Lissu ili kurahisisha upepelezi wa tukio lenyewe.

“Upelelezi unaingia vitu vingi sana (sasa) kutompata dereva na mlinzi wake Lissu inashindwa kutupa picha kamili ya tukio,” alibainisha IGP Sirro huku akiwataka Watanzania kuwa na imani na jeshi la polisi katika kufuatilia tukio hilo.

“Niwaambie Watanzania watuamini, hatuko kwa ajili ya kuona hatumtendei mtu haki, tupo kwa ajili ya kutenda haki.”amesema IGP Sirro.

Tangu kutokea kwa tukio hilo Novemba 7 mwaka huu hakuna mtu yeyote anayeshikiliwa na jeshi hilo ambalo awali lilikamata magari nane aina ya Nissan Patrol, meupe, yaliyokuwa kwenye viunga vya Dodoma siku ya tukio.

Sanamu la Mess Limeshambuliwa na Kuharibiwa na Watu Wasiojulikana

$
0
0
Sanamu la Mess Limeshambuliwa na Kuharibiwa na Watu Wasiojulikana
Sanamu la mshambuliaji wa timu ya taifa ya Argentina na klabu ya Barcelona, Leonel Messi limeshambuliwa na kuharibiwa na watu wasiyo julikana nchini Argentina.

Sanamu la mchezaji huyo mshindi mara tano wa tuzo ya Ballon d’Or limekutwa limeharibiwa kwa kuvunjwa huku kikisalia kiatu tu katika eneo hilo ambalo ni jiji la Buones Aires nchini Argentina.

Hii ni mara ya pili kushambuliwa kwa sanamu hilo lililojengwa katika eneo ambalo yapo mengine ya wanamichezo mbalimbali kama wa NBA na bingwa wa Olympic Manu Ginobili na legendari wa Hockey, Luciana, mwanzoni mwa mwaka huu lilifanyiwa marekebisho kufuatia kuaharibiwa.

Messi mwenye umri wa miaka 30,licha ya kuisaidia timu yake ya taifa kufuzu michuano ya kombe la dunia hapo mwakani nchini Urusi na kuwa na jumla ya mabao 61 katika michezo 123 aliyoichezea Argentina, mashabiki wanashindwa kuona mchango wake ukilinganisha na akiwa Barcelona kutokana na kushindwa kuipatia kombe la Dunia.

Lina Afunguka Kuhusu Kubadiri Dini " Ni Vigumu Kubadili Dini Kisa Mapenzi"

$
0
0
Lina Afunguka Kuhusu Kubadiri Dini " Ni Vigumu Kubadili Dini Kisa Mapenzi"
Msanii wa muziki Bongo, Linah amesema ni vigumu au si sawa kubadili dini kwa sababu ya mapenzi.

Linah amelazimika kusema hayo baada ya baba mtoto wake kuwa wa dini tofauti na yeye.  Muimbaji huyo ameiambia Funiko Base, Radio Five kuwa kubadili dini iwe sababu ya Mwenyenzi Mungu na si vinginevyo.

“Unajua kiimani hutakiwa kufanya vitu juu juu,  hata ukibadilisha dini ni kwa sababu ya Mungu siyo kwa sababu ya mapenzi, kwa hiyo mimi sikutaka kufanya hiyo michezo na ninaamini patalegea popote au tutaoana hivyo hivyo au Mungu mwenyewe atalegeza kwa sababu tunapendana  na tayari tuna mtoto” amesema Linah.

Pia Linah ameendelea kwa kusema ni upande upi wa familia umekuwa mgumu kuhusu jambo hilo; “kwetu nahisi ndio sana japo na kwao ni ngumu lakini kote kote kwa sababu kwao ni waislam sana na sisi ni wakristo sana”.

Kenya Kujenga Kiwanda cha Kuzalisha Umeme kwa Nguvu za Nyuklia

$
0
0
Kenya Kujenga Kiwanda cha Kuzalisha Umeme kwa Nguvu za Nyuklia
Kenya imesema kwamba itaendelea na mpango wake wa kuhakikisha kwamba ina kiwanda cha kuzaliwa umeme kwa kutumia nguvu za nyuklia kufikia 2027.
Afisa Mkuu Mtendaji wa Bodi ya Umeme wa Nyuklia ya Kenya Collins Juma ameambia mkutano wa wadau kuhusu kawi jijini Nairobi kwamba ujezi wa kiwanda cha kuzalisha kawi hiyo unatarajiwa kuanza 2024.

Bodi hiyo imesema nishati hiyo itatumiwa kuongeza uzalishaji wa umeme nchini humo na si kuchukua nafasi ambayo imekuwa ikitekelezwa na vyanzo vingine vya kawi nchini humo.
Kufikia mwaka 2030, ambapo Kenya inatazamia kuwa taifa lenye viwanda la mapato ya wastani kufikia wakati huo, Kenya itakuwa ikihitaji megawati 17,000.
Kawi ya mvuke itachangia megawati 7,000. Kwa sasa, kawi hiyo kwa sasa hutumiwa kuzaliwa megawati 2,400 za umeme nchini humo.

Urusi kujenga viwanda viwili vya nishati ya nyuklia Nigeria
Somalia yaomba Marekani kuisaidia kuwazuia al-shabab kuchimba madini ya Uranium
Kaimu afisa mkuu mtendaji wa kukinga dhidi ya miali nururishi nchini Kenya Joseph Maina amesema Wakenya hawafai kuwa na wasiwasi kuhusu usalama wa nishati ya nyuklia.
"Kumekuwa na ajali tatu pekee kubwa za nyuklia katika historia. Kisiwa cha Three Mile Marekani, 1978; Chenorbyl nchini Ukraine, 1986 na Fukushima nchini, Japan, 2011. Usalama umeimarishwa kutokana na mafunzo kutoka kwa mikasa hiyo," amesema.

Kenya imekuwa na mpango wa kuzalisha kawi ya nyuklia kwa muda.
Machi mwaka huu, Waziri wa nishati na mafuta wa nchi hiyo Bw. Charles Keter alisema Kenya itatimiza vigezo vikali vilivyowekwa na Shirika la kimataifa la nishati ya atomiki IAEA kabla ya kutekeleza mpango huo.

Alikadiria kwamba Kenya itatumia dola 5 bilioni za Marekani kujenga kiwanda cha kuzalisha kawi hiyo.
Kwa mujibu wa ripoti ya IAEA ya mwaka 2015, zaidi ya nchi 30 duniani, theluthi moja zikitoka Afrika zinajiandaa kuanzisha mipango ya nyuklia kwa ajili ya kuzalisha umeme kwa usaidizi wa wataalamu kutoka shirika hilo.

Mwanafunzi wa Kidato cha 3 Akamatwa na Sare za JWTZ

$
0
0
Mwanafunzi wa Kidato cha 3 Akamatwa na Sare za JWTZ
Jeshi la Polisi Kanda Maalum DSM linamshikilia mtu mmoja anayefahamika kwa jina la SAID SELEMANI (17) mwanafunzi wa kidato cha tatu shule ya sekondari FAHARI iliyopo Goba kwa kosa la kukutwa na sare za JWTZ (Kombat).

Mwanafunzi huyo alikamatwa huko maeneo ya Mbezi CRDB bank akiwa amevaa sare hizo za JWTZ huku akivuta sigara hadharani na kufanya vitendo vingine ambavyo haviendani na maadili ya askari aliyevaa sare.

Katika mahojiano ya awali kijana huyo alijitambulisha ni askari toka kikosi cha 501 KJ kilichopo Lugalo jijini Dsm,baada ya kubanwa zaidi alikiri kupata uniform hizo toka kwa rafiki zake anaokuwa nao sehemu mbalimbali.

Aidha alipopekuliwa katika begi la mgongoni alilokuwa nalo alikutwa na kofia nyingine moja pamoja na kitambulisho namba DFF 7001A cha familia ya askari chenye namba 1231 ambacho ni cha mtoto wa askari wa JWTZ MT 65640 Private GABRIEL KIHWILI wa 501 KJ    kikiwa na picha ya mtoto wake ELIA GABRIEL.

Uchunguzi bado unaendelea ili kuwapata rafiki zake hao ambao inadhaniwa kuwa huwa wanashirikiana katika kufanya matukio ya kihalifu.

Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Amsimamisha Kazi Afisa Usafirishaji

$
0
0
Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Amsimamisha Kazi Afisa Usafirishaji
Mkurugenzi wa jiji la Arusha Athuman Kihamia leo December 5, 2017 amemsimamisha kazi Afisa Usafirishaji wa Jiji la Arusha Edward Moriko kwa makosa yakushindwa kusimamia magari ya halmashauri.

Kihamia pia amewasimamisha kazi madereva wawili waliopewa kazi na Afisa huo bila kuwa na mkataba ikiwemo dereva mmojawapo kuangusha gari la halmashauri

“Ndani ya masaa mawili awe amekabidhi ofisi, apewe charge ajibu ndani ya siku kumi na nne ili tuone hatua za kuchukua kuhusu suala hili” – Edward Moriko
Viewing all 104756 articles
Browse latest View live




Latest Images