Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104712 articles
Browse latest View live

Pata Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
MHULI: Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.


Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na Nasi kwa Namba; 0783140065

Tupo Mbagala Rangi Tatu

Kutana na Mtabibu wa Nyota Duniani Maalim Fadhil Rashid Kutoka Comoro Kwa sasa Yupo Tanzania

$
0
0
KUTANA NA MTABIBIBU WANYOTA DUNIANIKOTE MAALIM FADHILI RASHIDI KUTOKA COMORO KWA SASA YUPO TANZANIA NI BINGWA WAKUTIBU MARADHI SUGU KAMA VILE MIGUU KUUMA NA KUWAKA MOTO PRESHA KISUKARI VIDONDA VYA TUMBO PUMU

MAALIM FADHILI RASHIDI ANAJUWA UMEHANGAIKA SANA LAKINI HUJAFANIKIWA MUONE HARAKA AKUSAIDIE ANADAWA ZA KI COMRO DAWAZAKE HABAHATISHI MUONE HARAKA AKUSAIDIE TEZI NAUVIMBE TUMBONI ANAUWEZO WAKURUDISHA MTUALIE POTEA KIMAZINGIRA (MSUKURE) KUMFANYA MKE MUME MPENZI ASIKUSALITI DAWA YA (LIMBWATA) KUMTAWALA MPENZI WAKO UNAVYOTAKA KUMUONA MBAYA WAKO LIVE KWASABABI MALUM ANATOA PETE YA BAHATI INAYO ENDANA NA NYOTA YAKO ITAKAYO KULETEA MALI BILA YA MASHARITI NAKUMILIKI MALI ZAMAJINI DAWA YAKUONGEZA UUME ZAIZI UIPENDAYO DAWA YA NGUVU ZAKIUME PIA ANAYO DAWA YAKUONGEZA HIPS SHEPU KUWA NAUMBO BOMBA KAMA UMEIBIWA AMA KUDHULUMIWA UTARUDISHIWA MALIYAKO NDANI YA MASAA (24) ANAFUNGA KESI NAKUPATA HAKIYAKO DAWA YA MVUTO WABIASHARA KUUZA MALIYAKO KWAHARAKA KUZUIYA CHUMAULETE KUSAFISHA NYOTA NAKUTOWA MIKOSI NA KUPANDISHWA CHEO KAZINI KARIBUNI WOTE TIBA NIKWADINI ZOTE UTAPATA HUDUMA POPOTE ULIPO DUNIANI

CALLING +255719362806/

WHATSAPP CALLING +255785786436

Uongozi wa Simba Umetunuku Omog Mapumziko ya Siku 10

$
0
0
Uongozi wa Simba Umetunuku Omog Mapumziko ya Siku 10
UONGOZI wa Klabu ya Simba, umempa kocha mkuu wa timu hiyo, Joseph Omog siku zaidi ya siku kumi za mapumziko kabla ya kurejea kikosini kuendelea kuwanoa wachezaji wa timu hiyo wanaoendelea na mazoezi ya kujiandaa na michezo ijayo ya Ligi Kuu Bara.

Baada ya kuwa na mapumziko ya wiki moja, juzi Jumatatu Simba ilianza mazoezi kwenye Uwanja wa Chuo cha Polisi jijini Dar chini ya kocha msaidizi, Masoud Djuma raia wa Burundi.

Meneja wa Simba, Richard Robert, ameliambia Championi Jumatano, kuwa wanatarajia kuungana na Omog baada ya wiki moja na nusu ambazo ni zaidi ya siku kumi kwani likizo yake ni ndefu kuliko wengine.

“Vijana wanafanya mazoezi na kocha msaidizi wakati Omog akiwa mapumzikoni ambapo anatarajia kurejea kikosini baada ya wiki moja na nusu kuendelea kuwanoa vijana,” alisema Robert.

Mtulia Ameondoka CUF Kwasababu ya Njaa Zake- Mwingila

$
0
0
Mtulia Ameondoka CUF Kwasababu ya Njaa Zake- Mwingila
Katibu Mwenezi wa CHADEMA Wilaya ya Kinondoni George Mwingila amepinga vikali sababu zilizotolewa na aliyekuwa Mbunge wa Kinondoni Maulid Mtulia na kusema hazina ukweli wowote bali akubali kuwa njaa zake ndizo zilizomkimbiza CCM.

Akizungumza leo na Wanahabari Mwingila amesema kwamba Mtulia kuhama CUF ambayo ipo chini ya mwamvuli wa UKAWA kwa madai anakubali kazi rais anayofanya, ni uongo mtupu kwani angeweza kumuunga mkono rais akiwa ndani ya chama chake na siyo kuhama.
"Kwenye ilani yetu ya uchaguzi tuliyoinadi 2015 hapakuwa na ajenda ya kubomolea watu nyumba zao na wala hatukuwa na ajenda ya kununua wanachama wa upinzani wala viongozi wake. Sasa uakuja unasema kwamba unamuunga rais na Chama chake mkono  kwa nini usiseme wazi tu kwamba ni njaa zako. Kama kweli unamuunga Rais mkono kwa nini usimuunge bila kuhama. Mwingila
Ameongeza kwamba "Mbona hata ndani ya Chadema wapo wanaomuunga rais mkono kwa baadhi ya mambo na hata ndani ya CCM wapo wanaotuunga CHADEMA pamoja na Mh. Lowassa mkono mbona wao hawaahami?  Ukweli ni kwamba umefanya usaliti kwa sababu ya njaa.
Mbali na hayo Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Kinondoni amesema alichokifanya Mtulia ni Usaliti wa hali ya juu na asubiri mshahara wa dhambi hiyo hapa hapa duniani kabla hajaonja mauti.

Hakimu Asababisha Lijuakali,Kimwaga Warudishwa Rumande

$
0
0
Hakimu Asababisha Lijuakali,Kimwaga Warudishwa Rumande
Maombi ya dhamana ya wabunge wawili wa Chadema na washtakiwa wengine 37 yamekwama kusikilizwa ikielezwa hakimu anaumwa.

Katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro, imeelezwa hakimu Ivan Msack anayesikiliza kesi hiyo ni mgonjwa hivyo imeahirishwa na washtakiwa wamepelekwa rumande hadi Desemba 8,2017.

Akiahirisha kesi hiyo leo Jumatano Desemba 6,2017, hakimu Erick Rwehumbiza amesema Msack amepata maradhi ghafla na yuko hospitalini kwa matibabu.

Baada ya kuelezwa mahakamani kuwa hakimu ni mgonjwa, upande wa utetezi ulimuomba Rwehumbiza kesi hiyo ihamishiwe kwa hakimu mwingine.

Wakili wa utetezi, Peter Kibatala amesema kuahirishwa kesi hiyo na kutotolewa dhamana kwa washtakiwa kunalenga kuchelewesha upatikanaji wa haki.

Kibatala pia ameiomba Mahakama iruhusu wananchi kuingia ndani ya ukumbi kufuatilia uendeshaji wa kesi hiyo.

Wakili wa Serikali, Sunday Hyera akizungumzia hoja ya wananchi kuruhusiwa kuingia ndani ya ukumbi wa Mahakama amesema haina msingi katika kesi hiyo na hakuna uwezekano wa kuiwasilisha mahakamani.

Hakimu Rwehumbiza akijibu hoja hizo, amesema alipewa jalada la kesi kwa ajili ya kuiahirisha.

Kuhusu dhamana amesema ombi hilo litashughulikiwa na hakimu anayehusika na iwapo hatakuwepo Desemba 8,2017 wataangalia namna ya kuihamishia kwa hakimu mwingine.

Hakimu Rwehumbiza amesema suala la wananchi kuingia mahakamani haliathiri uendeshaji wa kesi kwa kuwa wanaweza kuwepo wawakilishi wao.

Wabunge Susan Kiwanga wa Mlimba na Peter Lijualikali wa Kilombero na washtakiwa wengine walifikishwa mahakamani Novemba 30,2017 wakidaiwa Novemba 26,2017 katika Kata ya Sofi wilayani Malinyi walifanya uharibifu wa mali.

Wanadaiwa bila uhalali, huku wakijua wanatenda kosa walikula njama na kuchoma moto ofisi ya kata na kufanya uharibifu wa mali.

Hakimu alisema angetoa uamuzi wa dhamana jana Desemba 5,2017 lakini hilo halikufanyika kutokana na kuibuka hoja za kisheria kuhusu hati ya kiapo ya kupinga dhamana iliyowasilishwa mahakamani hapo.

Kutokana na mvutano wa kisheria, hakimu Msack aliahirisha kesi hiyo hadi leo Jumatano Desemba 6,2017 ili kutoa fursa kwa pande zote mbili kujibu hoja kuhusu hati hiyo.

Ndege ya Marekani ya B-1B Bomber Yawaonyesha Ubabe Korea Kaskazini

$
0
0
Ndege ya Marekani ya B-1B Bomber Yawaonyesha Ubabe Korea Kaskazini
Jeshi la Marekani limerusha ndege yake aina ya B-1B bomber katika anga ya Korea Kusini kama sehemu ya mazoezi ya pamoja ya angani katika hatua inayoonekana kama onyo kwa Korea Kaskazini.
Mazoezi hayo ya kijeshi yanafanyika wiki moja baada ya Korea Kaskazini kurusha kombora ililodai kuwa ni la masafa marefu ambalo linaloweza kushambulia nchini Marekani.
Ndege za kivita za Marekani zapaa Korea

Marekani awali imerusha ndege hizo zenye uwezo wa juu kuonyesha ubabe baada ya majaribio ya makombora ya Korea Kaskazini au majaribio ya mabomu ya nyuklia.

Zaidi ya ndege 200 na maelfu ya wanajeshi wanashirikia katika mazoezi hayo ya kijeshi ambayo yatakamilika siku ya Ijumaa.
Pyongynag ambayo mara nyini hukashifu mazoezi ya pamoja ya Marekania na Korea Kusini, imeyataja mazoezi ya sasa kuwa uchokozi wa vita vya nyuklia.

Misukosuko imekuwa ikiongezeka tangu lifanyike jaribio la kombora mwezi uliopita lililosababisha lawama za kimataifa na onyo kutoka Marekani kuwa Korea Kaskazini itaharibiwa aabisa ikiwa vita vitatokea.

Faiza Afunguka Kuhusu Kupost Picha Akwa Leba Anajifungua "Nimepongezwa na Wengi"

$
0
0
Faiza Afunguka Kuhusu Kupost Picha Akwa Leba Anajifungua "Nimepongezwa na Wengi"
Muigizaji wa filamu nchini, Faiza Ally amesema baada ya kuposti picha akiwa leba mtandaoni watu wengi wamemkosoa lakini sio kwa watu wote walioona ile picha ni mbaya kwani Marafiki zake, mumewe na familia yake wamechukulia tukio hilo kwa furaha na kumpongeza .

Faiza Ally amesema sio watu wote walichukizwa na picha ile kwani baadhi ya watu walimpongeza kwa kuona amezaa bila kufanyiwa upasuaji kitu ambacho wanawake wengi wa siku hizi wanaogopa.

Kwa upande mwingine Faiza amesema amewasamehe watanzania kwa kuwa kwa wengi wao ni kitu kigeni lakini kwake ni jambo la kawaida kutokana na maisha yake aliyoyapitia akiwa nje ya nchi.

Waziri Mhagama Atoa Agizo Hili Loliondo

$
0
0

Waziri Muhagama Atoa Agizo Hili Loliondo

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia (Sera, Bunge, Ajira, Kazi, Vijana na Watu wenye Ulemavu ) Mhe. Jenista Mhagama ameitaka (MIVARF) kuongeza thamani ya biashara za mifugo wilayani Longido.

Waziri Mhagama ametoa agizo hilo baada ya kukagua soko la kimkakati lililojengwa na serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu chini ya Program ya miundombinu ya masoko, uongezaji thamani na huduma za kifedha vijijini (MIVARF).
Soko hilo lililopo wilayani Longido litawanufainisha wananchi wapatao 142,000 wa wilayani humo ambao asilimia 95 ni wafugaji na huzalisha bidhaa zitokanazo na mifugo.
Soko hilo la kimkakati limeingiza mapato ya jumla ya kiasi cha shilingi milioni 106 kwa mwaka 2016/17, na kusaidia wilaya hiyo kuweka rekodi ya kuingiza mapato ya bilioni 1.3 kwa mwaka kitu ambacho hakikuwahi kutokekea hapo awali.
MIVARF ni Programu ya Miundombinu ya Masoko na Huduma za kifedha vijijini, iliyobuniwa mwaka 2011 na serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD) na Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB) na inatekelezwa katika mikoa 29 nchini.

Polisi Watupilia Mbali Kesi ya Dkt Shika Wasema Haina Mashiko

$
0
0
Polisi Watupilia Mbali Kesi ya Dkt Shika Wasema Haina Mashiko
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu yaDar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema kesi ya Dk Louis Shika hawataendelea nayo kwa kuwa nyumba tatu za mfanyabiashara maarufu Said Lugumi alizoahidi kuzinunua zote zipo.

Novemba 9, 2017 kampuni ya udalali ya Yono kwa niaba ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) iliendesha mnada wa nyumba mbili za Lugumi zilizoko Mbweni JKT na moja Upanga jijini Dar es Salaam ambazo zote Dk Shika alifikia bei ya kuzinunua kwa Sh3.2 bilioni.

Mambosasa akizungumza leo Jumatano, amesema kesi yake haina mashiko hivyo hawataendelea nayo kwa kuwa nyumba hizo zipo na hajatia hasara .

Amesema Dk Shika alikuwa akitamba kuwa ana fedha kumbe uwezo wake ni mdogo na kusababisha  kushindwa kulipa asilimia 25 kwa kila nyumba hizo.

‘‘Dk Shika ni wa kumuonea huruma hana kitu tulisema tunamchunguza na tutampeleka mahakamani lakini tumeona kesi yake haina mashiko ndiyo maana hatuendelei nayo,” amesema Mambosasa.

Jeshi la polisi kanda hiyo lilimshikilia na kumwachia kwa dhamana Dk Shika ambaye alikuwa akituhumiwa kwa kuharibu mnada baada ya kushindwa kulipa asilimia 25 ya fedha hizo ambapo nyumba za Mbweni JKT alifika bei kwa Sh900 milioni na nyingine Sh1.1 bilioni, huku ya Upanga alifika bei ya Sh1.2 bilioni

Mahakama Yamfutia Kesi ya Kusambaza Dawa Feki za ARV Madabida

$
0
0
Madabida Afutiwa Kesi  ya Kusambaza Dawa Feki za ARV
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida na wenzake watano wamefutiwa mashtaka ya kusambaza dawa feki za kufubaza makali ya ukimwi (ARV) na kujipatia Sh milioni 148 kwa njia ya udanganyifu na kukamatwa tena, kusomewa mashtaka mapya.

Wasiliana na The Great Maalim Hussein Mtaalam wa Kutatua Matatizo Yaliyoshindikana Kwa Kutumia Nyota na Dua

$
0
0
THE GREAT MAALIM HUSSEIN
Wasiliana na Mtaalam Huyu Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana ama Zilizo Achwa ndani ya Siku Moja 1.
Maalim Hussein ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA(Rudisha Mahusiano yako Ndani ya Saa 12 tu)

MAALIM HUSSEIN ni Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili Mwenye Uwezo wa Kubaini Tatizo lako tu Pindi Utakapo Fanya Mawasiliano Kupitia Wasaa Husika.
(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFATA MAELEKEZO YAKE..)

Je Unasumbuliwa na Mapenzi..?
Umeachwa na UMPENDAE Awe Mume/Mke na Bado Unampenda
Je Umejaribu Sehemu Nyingi Bila Mafanikio?
Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo..
Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu.
Je Umekimbiwa na Mumeo/Mkeo au Mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine..?
Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao (Mfarakano/Kimavi) Endapo Utafata Atakacho Kuelekeza.

Je Una Mpenzi wako ana Pesa na unataka Kumkamata? Muone Maalim Hussein Atamfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi..
Maalim Hussein Anatumia Jina La Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo..
Anatibu Kutumia QUR_AN DAWA ZA ASILI YA AFRICA, Dawa za KIARABU NA MAJINI..
ANATAFSIRI NDOTO. ANAPANDIKIZA NYOTA YA KUSHINDA BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUSKI NA VIFUNGO MBALIMBALI.

ZINDIKO ZA NYUMBA NA BIASHARA.. PETE ZA BAHATI.. HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA. HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA..
MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA..ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA  ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE..

Humaliza Kesi ya Aina Yoyote Ndani ya Siku 7 tu..
Hutoa Jini la MALI kwa wale Wanao Hitaji Utajiri Bila Masharti..
+255 674 835 107 WhatsAPP tu.

Sitoshawishiwa na Pesa Kuhama na Kujiunga na CCM Sinunuliwi na Sijawahi Kununuliwa- Kubenea

$
0
0
Sitoshawishiwa na Pesa Kuhama na Kujiunga na CCM- Kubenea
MBUNGE wa Ubungo kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendelo (Chadema), Saed Kubenea amekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni kuwa kuwa anataka kukihama chama hicho na kujiunga CCM, baada ya ‘kununuliwa’, amesema kamwe hatoshawishika kwa pesa kuhama chama hicho, na kwamba ataendelea kuwapigania wanachi wake akiwa ndani ya Chadema.

Kubenea ameyasema hayo leo Jumatano, Desemba 6, 2017 wakati akizungumza na wanahabri jijini Dar es Salaam kufuatia tetesi zilizosambaa mitandaoni kuwa anataka kukihama Chadema na kujiunga CCM kwa madai kuwa amenunuliwa kwa pesa na chama hicho.

“Baadhi ya magazeti ya leo yameandika yakinukuu kuwa nahama Chadema najiunga CCM, napenda niwahakikishie kuwa sijawahi kuongea na chombo chochote cha habari kuwa nina mpango wa kuhama Chadema, na kujiunga na chama kingine. Sijawahi kuzungumza na mtu yeyote wa CCM juu ya kujiunga na chama hicho.

“Nimekua mkosoaji mkubwa wa CCM juu ya ubinafsishaji wa mashirika ya umma, uuzaji wa mashamba, nyumba za serikali na mengine…. sioni jipya linaloweza kunishawishi nikajiunga CCM. Mimi sijawahi kununuliwa na huwa sinunuliki, nikifanya jambo basi limetoka moyoni mwangu.

“Nimepata fursa ya kuwawakilisha wananchi, kutunga sheria bungeni, kamwe siwezi kuwasaliti wananchi wa Ubungo walionipigania hadi nikawa mbunge. Kuna watu nimewashawishi kuondoka CCM kuingia Chadema akiwemo Sumaye na Lowassa.

“Nimehudhunika, nimesikitika na nimeumia sana na taarifa hizo, mimi bado ni mwanachama wa Chadema na mbunge wa Jimbo la Ubungo hadi 2020 labda nife, nitaendela kuwa mwanachama mkweli na mwanimifu katika kukipigania chama changu, puuzeni huo uzushi wa mimi kuhama chama,” alisema Kubenea.

Akijibu maswali ya wanahabari kubenea alisema;
“Sina bei, bei yangu ni utu wangu, kinchofanyika ni propaganda za CCM ili asiulizwe kuhusu mambo mazito wanayoyafanya ikiwemo kuvunja jengo la Tanesco Ubungo wakati Ulaya kuna tereni zinapita chini ya bahari.

Aidha Kubenea ameeleza namna ambavyo uvumi wa yeye kuhama ulivyoanza kwenye grupu lake la WhatsApp  kisha kusambaa kwenye mitandao na baadhi ya vyombo vya habari ambavyo vimeandika uongo pasipo kumuuliza.

Makazi ya Muda ya Mama Samia Yakaguliwa na Waziri Mkuu

$
0
0
Makazi ya Muda ya Mama Samia Yakaguliwa na Waziri Mkuu
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amekagua matengenezo ya makazi ya muda yanayotarajiwa kutumiwa na Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan atakapohamia Dodoma.

Waziri mkuu amefanya ukaguzi huo leo Jumatano, Desemba 6, 2017 mchana  katika eneo la Kilimani mjini Dodoma ambako yalikuwa makazi ya mkuu wa mkoa.

Akitoa taarifa ya ujenzi, Waziri wa Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Ajira, Wenye Ulemavu na Vijana, Jenista Mhagama amesema kikosi kazi cha kuratibu kazi ya Serikali kuhamia Dodoma kilibaini mahali alipokuwa akiishi awali si sahihi kwa ajili ya makazi ya kudumu ya Makamu wa Rais.

“Pale palikuwa panafaa kwa ajili ya ziara za kikazi alipokuwa akija Dodoma, kwa hiyo tumeamua tufanye ukarabati hapa ili aweze kuishi kwa viwango vinavyostahili,” amesema katika taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Waziri Mkuu.

Amesema kazi ya matengenezo itagharimu Sh1.5 bilioni wakati kazi ya kutenganisha ofisi za watumishi na wasaidizi wa Makamu wa Rais itagharimu Sh680 milioni.

Waziri mkuu pia amekagua matengenezo ya ofisi inayotarajiwa kutumiwa na Makamu wa Rais ambayo itakuwa eneo la Ndejengwa.

Kaimu Meneja wa Wakala wa Majengo (TBA) Mkoa wa Dodoma, Steven Simba anayesimamia ujenzi huo amesema wanataraji kazi itakamilika kabla ya Desemba 30,2017.

Ewura Yatangaza Kupanda Bei ya Mafuta ya Taa, Petroli na Diezeli

$
0
0
Ewura Yatangaza Kupanda Bei ya Mafuta ya Taa, Petroli na Diezeli
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imetangaza kupanda bei ya mafuta ya taa, petroli na dizeli kulinganisha na Novemba Mosi, 2017.

Bei za rejareja za petroli, dizeli na mafuta ya taa zimeongezeka kwa Sh41 kwa lita sawa na asilimia 1.96; Sh30 (asilimia 1.54) na Sh3 (asilimia 0.17) kwa mfuatano huo.

Bei ya jumla ya petroli, dizeli na mafuta ya taa imeongezeka kwa Sh41.42 sawa na asilimia 2.06, Sh30 (asilimia 1.63) na Sh3.27 (asilimia 0.18) kwa mfuatano huo.

Kwa mujibu wa tangazo lililotolewa na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Ewura, Godwin Samwel, ongezeko la bei kuanzia leo Jumatano Desemba 6,2017 limetokana na ongezeko la gharama za usafirishaji.

Amesema licha ya kuimarika kwa shilingi ya Tanzania dhidi ya dola ya Marekani fedha inayotumika kununulia mafuta, kumekuwa na ongezeko la bei ya bidhaa hiyo.

Mama Mzazi wa Diamond Aonyesha Pete yake Ndoa "Nimeolewa na Diamond Asubiri Mdogo Wake"

$
0
0
Mama Mzazi wa Diamond Aonyesha Pete ya Ndoa "Nimeolewa na Diamond Asubiri Mdogo Wake"
Mama yake na Diamond Platnumz, Bi Sanura, amethibitisha kuwa ameolewa. Kwenye mahojiano na Dizzim Online ambayo alionesha pete yake ya ndoa, Mama Dangote ameyapuuza maneno ya watu kuwa ameolewa na kijana mdogo.

“Ana udogo gani? Hana udogo yule, angekuwa mdogo asingeoa, mkubwa,” alisema. Alipoulizwa kama ana mpango wa kupata mtoto mwingine, mama huyo alisema, “Naseeb atapata mdogo wake siku yoyote, nyie hamtaki mdogo? Basi subirieni mdogo wenu wa mwisho.”

Nipo Single na Hata Nikiwa Kwenye Mahusiano Siwezi Kuyaanika- Mimi Mars

$
0
0
Nipo Single na Hata Nikiwa Kwenye Mahusiano Siwezi Kuyaanika- Mimi Mars
Muimbaji wa ‘Sitamani’ Marianne Mdee aka Mimi Mars amedai kuwa yupo single. Kwenye mahojiano na Dizzim Online, mrembo huyo amedai kuwa hata kama siku akiwa kwenye uhusiano hawezi kuyaanika sababu si mtu wa aina hiyo.

“Right now personally I am single lakini hata nikipata mtu huko mbeleni nitakuwa hivyo hivyo jinsi ambavyo hawajui na hawatojua,” alisema Mimi Mars.

Pia Mimi Mars amedai kuwa kamwe hamwezi kuwa na uhusiano na mtu maarufu. Anapenda kuwa na mwanaume Mcha Mungu, mpiganaji na anayejielewa.




Ongeza Hips na Makalio, Kuwa Mweupe na Softi, Ongeza Maumbile ya Kiume na Hamu ya Tendo

$
0
0

ONGEZA HIPS NA MAKALIO, KUWA MWEUPE NA SOFTI, ONGEZA MAUMBILE YA KIUME, NGUVU NA HAMU YA TENDO N.K
@markson_beauty_pr Tunakuletea bidhaa bora zenye matokeo ya uhakika na haraka zisizo na kemikali wala madhara. Zimetengenezwa kwa mimea na matunda na kuthibitishwa kiafya.
NB. Matokeo ni uhakika na garantii.
🍉🍑🍌🍇🥒🍓🍎🍍
BIDHAA ZETU:-

1.Kurefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @150,000/=
2.Kuongeza shepu (hips, makalio na mapaja) kwa:-
(a)BOTCHO MULT-PLUS 10× ya kunywa @200,000/=
(b)Vidonge @180,000/=
(c)BOTCHO 10× ya kupaka @160,000/=
3.Kuwa mweupe na softi mwili mzima kwa:-
(1)Mafuta @150,000/=
(11)Vidonge @170,000/=
4. Kupunguza unene na manyama uzembe @150,000/=
5.Kuongeza uume pamoja na nguvu za kiume kwa:-
(a)SHARK POWER gely ya kupaka @150,000/=
(b)Vidonge kwa ajili ya kuongeza nguvu hata kwa wenye kisukari @150,000/=
(C)Handsome up original @250,000/=
6.Kuondoa mvi milele zisiludi tena @150,000/=
7.Kuongeza unene wa mwili mzima na uzito pamoja na hamu ya kula @150,000/=
8.Kupunguza tumbo (kitambi) na nyama za pembeni kwa:-
(a)Dawa ya kunywa au kupaka @150,000/=
(b)Mkanda wa kawaida @100,000/=
(c)Micro-computer belt wa umeme @150,000/=
9.Kupunguza maziwa na kuyasimamisha hata kwa walionyonyesha @150,000/=
10.Kushepu miguu (CHUPA YA BIA) na kuondoa vigimbi @150,000/=
11.Kuondoa mipasuko mwilini (michirizi) @120,000/=
12.Kubana uke na kuondoa uchafu @120,000/=
Wasiliana nasi :- (+255)
0767447444 au.
0714335378
TAHADHARI: Hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.
👉🏻Ili kuona bidhaa zaidi na shuhuda za waliotumia bidhaa zetu.
Follow us instagram @Markson_beauty_pr
@Markson_beauty_pr
WEB:markbeauty.org

Mtatiro : “Sina Mpango wa Kuhamia CCM na Wala Sina mpango wa kugombea Kinondoni.

$
0
0
Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya Chama cha Wananchi (CUF), Julius Mtatiro amekanusha uvumi unaonea kwenye mitandao ya kijamii kwamba ana mpango wa kukihama chama hicho na kuhamia Chama tawala cha CCM.

Kupitia taarifa yake kwa umma aliyoitoa jana  Disemba 6,2017, Mtatiro pia hana mpango wa kugombea jimbo la Kinondoni lililo achwa wazi kufuatia aliyekuwa Mbunge wake kupitia CUF, Maulid Mtulia kujiuzulu na kujiunga na CCM.

“Ndugu zangu, nimeona propaganda nyingi kwenye mitandao juu ya mimi kuhamia CCM au kuwa na mipango ya kuhamia CCM.

"Nataka niwahakikishie watanzania kuwa SIJAPANGA mipango hiyo na sina nia hiyo. Na naomba niwajulishe kuwa mtu akiwa anahamia CCM, hamuwezi kuwa na tetesi, na mimi sina kawaida ya kufanya maamuzi ghafla na kwa kujificha.

"Ningelikuwa na nia ya kuhamia CCM ningewataarifu hapa hadharani, miezi kadhaa kabla ya kufanya hivyo, walau jambo moja ambalo Mungu alinijalia ni kutokuwa mwoga na mnafiki na alinipa uwezo mkubwa wa kufanya jambo naloliamini,” alisema na kuongeza.

“Pili, nimepokea meseji nyingi sana zikiniomba nigombee ubunge jimbo la Kinondoni baada ya Mbunge wa (CUF – Lipumba), Ndugu yetu Maulid Mtulia kuhamia CCM. Nataka niweke msimamo wangu mapema, kwamba sina na sikuwahi kuwa na ndoto za kugombea ubunge wa jimbo la Kinondoni,

Masuala ya kugombea ubunge kwenye majimbo ni masuala mapana, yanahitaji maandalizi, ukaribu wako na wapiga kura na historia yako na jimbo hilo. Kwa kiasi kikubwa hakuna kigezo hata kimoja kati ya hivyo ambacho nimekikaribia, kwa hiyo sitoweza kugombea kama nilivyoona baadhi ya fikra za watu mitandaoni.”

Mtatiro amewahakikisha wanachama wa CUF kwamba anaendelea na majukumu yake ya Kamati ya Uongozi CUF, pamoja na kushirikiana na kila mtanzania kwa njia mbalimbali katika kuijenga nchi.

“Na kupitia michango yangu hiyo naendelea kuijenga Tanzania na hata kuunga mkono juhudi chanya za Rais wetu kuijenga Tanzania huku zile juhudi hasi za Rais huyo huyo hasa kwenye eneo la Demokrasia, Utawala Bora na Uchumi, nikizikemea kila siku.

"Mwisho, wapo wendawazimu wanachekelea, wanafurahia na ama kutamani vyama vya upinzani vife. Ukiona elimu ni ghali, hebu jaribu ujinga,” amesema.

Hata hivyo, Mtatiro amesema anaendelea kuwaheshimu wanaohamia CCM, kwa uhuru, utashi na mapenzi yao au kwa kununuliwa, kutokana kwamba sio wa kwanza wala hawatakuwa wa mwisho kufanya hivyo.

Watuhumiwa Watatu Wauawa kwa Risasi na Polisi

$
0
0
Watu watatu wanaodaiwa kuwa majambazi wameuawa kwa kupigwa risasi na polisi mkoani Kilimanjaro.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Hamis Issah amesema watu hao waliuawa Jumanne Desemba 5,2017 jioni katika msitu wa Njoro wakati wa majibizano ya risasi na polisi.

Amesema watuhumiwa hao wa ujambazi walikuwa wakiishi chumba kimoja eneo la Njoro ambako polisi walipofika hawakuwakuta na walipata taarifa kuwa wamejificha msituni.

Kamanda Issah amesema kwa kushirikiana na wananchi walikwenda ndani ya msitu huo ambako walisikia milio ya risasi ndipo askari walipofyatua risasi na kusababisha vifo vyao.

Amewataja waliouawa kuwa ni Yusufu Juma Mdoe aliyekuwa akikabiliwa na kesi ya mauaji mwaka 2015; Francis Hamis Kinyaia ‘Wakudata’ ambaye amesema alikuwa akikabiliwa na kesi ya mauaji mwaka 2013.

Kamanda Issah amemtaja mwingine kuwa ni Valerian Joackim ‘Mdoe’ aliyekuwa na kesi ya mauaji ya mwaka 2013.

Amesema uchunguzi wa polisi umebaini watuhumiwa hao walihusika katika tukio la kufungwa miguu, mikono na kuzibwa mdomo mlinzi lililotokea Novemba 24,2017 eneo la Uru Shimbwe. Katika tukio hilo, bunduki mbili aina ya shotgun ziliporwa.

Kamanda Issah amesema katika msitu wa Njoro walikuta bunduki moja aina ya shotgun iliyokatwa mtutu na kitako, huku namba zikiwa zimefutwa, risasi tatu, maganda matatu ya risasi, mapanga mawili, mkasi unaotumika kukata makufuli, kirungu cha polisi, tindo na misokoto miwili ya bangi.

Ameema miili ya watuhumiwa  imehifadhiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Kilimanjaro ya Mawenzi.

Mbunge wa Mtwara Mjini (CUF), Maftaha Nachuma Akanusha Kuhamia CCM

$
0
0
Mbunge wa Mtwara Mjini (CUF), Maftaha Nachuma amewataka wananchi wa jimbo hilo kupuuza taarifa zinazosambaa kwamba ana mpango wa kujiondoa katika chama hicho.

Amesema anaendelea kuwatetea wakazi hao ili wapate maendeleo.

“CUF hawana historia ya kuhamahama vyama, hata huyo aliyeondoka ameondoka kwa masilahi binafsi. Mimi Maftaha Nachuma nitakuwa wa mwisho kuondoka CUF,” alisema jana Jumatano Desemba 6,2017.

Alisema suala la wabunge kujitoa katika nafasi zao linasababishwa na njaa kutokana na kuangalia masilahi binafsi bila kutetea wananchi.

Nachuma alisema wabunge wengi walidhani wakipata nyadhifa hizo watakuwa wananufaika kwa kupata fedha lakini sasa hilo halipo kwa kuwa ubunge siyo dili bali ni kwa ajili ya kuwatumia wananchi.

Kupitia mitandao ya kijamii imeelezwa kwamba mbunge huyo ana mpango wa kujiondoa CUF na kujiunga na CCM.

Nachuma alisema wanaosambaza taarifa hizo wana nia mbaya ya kumchafua kwa masilahi binafsi.
Viewing all 104712 articles
Browse latest View live




Latest Images