Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104689 articles
Browse latest View live

Maneno ya Stamina Baada ya Kumvisha Pete Mpenzi Wake 'Wanga Wamechelewa"

$
0
0
aneno ya Stamina Baada ya Kumvisha Pete Mpenzi Wake 'Wanga Wamechelewa"
Baada ya siku ya jana rapper Stamina kumvisha pete ya uchumba mpenzi wake wa siku nyingi, Veronica, amefunguka mambo machache.

Stamina ameeleza changamoto za mahusiano yao kwa ufupi. Kupitia ukursa wake wa mtandao wa Instagram Stamina ameandika;

Safari yetu ilianzia mbali sana mpaka hapa tulipofikia,,na bado tunaenda mbali mbali zaidi ya tulikotoka,,umenivumilia mengi sana,,vikwazo na matatizo hapa kati tumepitia mengi sana ila bado tukasimama pamoja,,MUNGU ABARIKI KILA HATUA YETU KATIKA MAISHA YETU,,wanga hawakosekanagi katika hili swala ila wamechelewa maana tuna protein za kutoshaa.

Pia Stamina amewashukuru mashabiki wake na watu wake wa karibu kama Roma na mkewe, Nancy kwa kueleza wanamchango mkubwa katika hatua hiyo aliyofikia.

Kamishina wa Magereza Awapa Ujumbe Mzito Wakina Babu Seya

$
0
0
Kamishina wa Magereza Awapa Ujumbe Mzito Wakina Babu Seya
Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, Juma Malewa amewataka wafungwa waliotolewa kwa msamaha wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli siku ya uhuru, waheshimu mamlaka iliyowatoa na waende wakawe raia wema huko waendako.

Kamishna Malewa amesema anaamini kuwa wafugwa hao walioachiliwa huru kwa msamaha huo wameshajifunza na kujirekebisha na kuwaomba raia wawapokee na kuwatengenezea mazingira ya kuwaingiza katika kazi ili na wao waende sambamba nao.
"Kwa wafungwa waliobaki gerezani wao nao waishi kwa amani, wafanye kazi warekebishike, kwahiyo kwa sasa hata wale wafungwa wa vifungo virefu ambao tulikuwa hatuwatumii huko nyuma kwa kuogopa mambo mbalimbali lakini sasa hivi watakuwa wamejifunza katika hili kwamba ukiishi gerezani ukirekebishika mheshimiwa Rais yupo atatumia mamlaka yake kama alivyopewa na atawasamehe kama alivyowasamehe wengine", amesema Kamishna Malewa.
Kamishna Malewa pia amemuelezea Nguza Viking (Babu Seya )  na kusema kuwa alikuwa mfungwa mwenye nidhamu sana na alipewa cheo kikubwa gerezani yaani Unyampara mwaka mmoja tu alivyoingia gerezani.
9 Desemba mwaka huu siku ya uhuru kwa mujibu ya ibara ya 45 ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Rais John Pombe Magufuli alitoa msamaha kwa  wafungwa 61 waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa na wawili Nguza Viking (Babu Seya ) na Johnson Nguza (Papii Kocha ) waliohukumiwa kifungo cha maisha jela.

Polepole Aliamsha Dude Amtaja Kikwete, Lowasa Kuhusu Babu Seya na Mwanaye "Lowasa Halishindwa Kumshawishi Kikwete Ili Awatoe"

$
0
0
Polepole Aliamsha Dude Amtaja Kikwete, Lowasa Kuhusu Kifungo cha Babu Seya na Mwanaye
Humphrey Polepole ameibuka na kusema kuwa aliyekuwa Waziri Mkuu wa serikali ya awamu ya nne Edward Lowassa alishindwa kuzuia Babu Seya asifungwe na kudai pia alishindwa mshawishi Mhe. Jakaya Kikwete ili awatoe watu hao.

Polepole amesema hayo baada ya watu kuanza kusema kuwa jambo alilofanya Rais Magufuli kuwatoa Babu Seya na mwanaye Papi Kocha ni jambo ambalo Lowassa aliahidi katika kampeni zake za 2015 kuwa endapo angechaguliwa kuwa Rais wa Tanzania angewaachia huru watu hao.
"Huyu mzee ambaye amezungumza kwamba hii ilikuwa ahadi yake kipindi cha kampeni ni mzee ambaye amehudumu kwenye serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kipindi ambacho Babu Seya anafungwa huyu mzee alikuwa Waziri Mkuu mwenye nguvu sana, kama alijua Babu Seya labda hakutendewa haki kwa namna yoyote kwa fikra zake angaliweza kumshauri Rais wake kipindi hicho kwamba huyu mtu hastahili kufungwa asamehewe" alisema Polepole
Polepole aliendelea kusisitiza kuwa Lowassa alishindwa kuzuia Babu Seya na watoto wake wasifungwe "Kashindwa kuzuia Babu Seya asifungwe, kashindwa mwaka wa kwanza kumshawishi Rais wake amsamehe Babu Seya, ameshindwa kufanya hivyo kwa miaka mingi iliyopita. Magufuli hakuwa kwenye nafasi ya uamuzi kipindi hicho alikuwa Waziri wa kawaida kabisa baada ya tafakuri ya kina ya miaka miwili akaona katika watu ambao wamejirudi huyu anastahili msamaha, huyo mzee anaibuka oohh nilifanya mimi, huyu mzee aache hizi tabia za kinafiki, kizandiki kwani Watanzania wanataka upinzani unaojenga hoja" alimalizia Polepole.
Babu Seya na mtoto wake Papii Kocha waliachiwa huru katika kifungo cha maisha jela baada ya Rais John Pombe Magufuli kuwapa msamaha katika siku ya Uhuru wa Tanzania bara, ambapo kila mwaka Disemba 9 zinafanyika sherehe za kumbukumbu.

Pata Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
MHULI: Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.


Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na Nasi kwa Namba; 0783140065

Mtoto afariki Dunia baada ya Kuliwa na Fisi

$
0
0
MTOTO mwenye umri wa miaka sita Joseph Simon[6]mkazi wa kijiji cha Buzanaki, Kata ya  Nyamarimbe wilaya na mkoa wa  Geita ameuawa na fisi na kisha kuliwa baadhi ya viungo vya mwili wake kabla ya familia kwa kushirikiana na wanakijiji kuokota mabaki ya mwili wake.

Wanakijiji wakishirikiana na familia husika walifanikiwa  kuokota mabaki ya mwili wa mtoto huyo yakiwamo utumbo na kipande cha mfupa wa ambavyo vilizikwa kwa heshima kijijini Buzanaki na tayari fisi saba wameuawa katika nyakati tofauti katika oporesheni ya kuwasaka.

Ofisa wanyamapori wa Halmashauri ya wilaya ya Geita, Msese Kabulizina, alisema tukio hilo lilitokea Desemba 2, mwaka huu zikiwa ni siku tatu tangu wakazi wengine wa Kijiji cha Idoselo Kata ya Luezela wilayani Geita nao kujeruhiwa na fisi kisha kulazwa katika Hospitali ya Rufani ya mkoa wa Geita.

Tukio hilo lilitokea usiku wa Desemba 2,wakati akitoka kuchuma embe zikiwa ni siku mbili tu baada ya wakazi wengine watatu wakazi wa kijiji tofauti cha Idosero Kata ya Luezera  kujeruhiwa na fisi.

Walwa aliongeza kuwa tukio la kujeruhiwa watu watatu lilitokea usiku wa  kuamkia Novemba 29 usiku baada ya kundi la fisi wanaodaiwa kuwa zaidi ya wanne kuvamia nyumbani  kwa mzee  Magadula kisha kuishambulia familia hiyo kabla majirani kufika kutoa msaada na wao kujeruhiwa.

Aliongeza  baada ya fisi hao kuvamia ndipo familia hiyo ilipopiga makelele kuomba msaada na majirani waliofika kwanza walikuwa ni Kulwa Jamoka na mwanaye  Yohana Kulwa ambao katika kutoa msaada nao walijikuta wakijeruhiwa.

Hata hivyo, wakati makelele yakiendelea huku fisi nao  wakishambulia wao na mbuzi nakumtafuna kabla ya umati wa  wanakijiji kuongezeka na kuanza msako  ambapo hadi  Jumamosi walikuwa wameuawa fisi saba  katika matukio tofauti kwa kusaidiana Idara ya Askari  wanyamapori Halmashauri ya wilaya ya Geita.

UTAFITI: Watanzania Wamepunguza Kuwaamini Wawakilishi wao wa Kisiasa

$
0
0

Kulingana na utafiti wa Twaweza, idadi ya wananchi wanaokubali utendaji wa madiwani imeshuka kati ya mwaka 2012 na 2017 kutoka asilimia 85 mpaka 59.
-
Pia waliokubali utendaji wa wabunge imeshuka kutoka asilimia 79 hadi 58.
-
Unadhani kwanini watanzania wamepunguza kuwaamini wawakilishi wao?

Raila Odinga Aufyata Mkia Baada ya Kuambiwa Akijiapisha Kuwa Rais Atashtakiwa kwa Uhaini

$
0
0

Upinzani nchini Kenya umetangaza kughairisha shughuli ya kumuapisha Kiongozi wao Raila Odinga kuwa Rais wa Jamhuri ya Kenya tarehe 12 Desemba
-
Tarehe mpya ya kuapishwa Odinga pamoja na uzinduzi wa Bunge la Wananchi itatangazwa baadae
-
Hivi karibuni, Mwanasheria Mkuu wa Serikali nchini Kenya alitahadharisha uamuzi wa NASA kutaka kumuapisha Bw. Odinga kinyume na utaratibu na kusema endapo watafanya hivyo, watashitakiwa kwa kosa la uhaini. - #regrann

Pendeza na Kessy Product: Badili Muonekano Wako Kwa Products za Asili zisizo na Madhara

$
0
0

PENDEZA NA KESSY PRODUCT: BADILI MUONEKANO WAKO NA KUWEKA MWILI WAKO SAW KWA PRODUCT ZA ASILI ZISIZO NA MADHARA YEYOTE WALA KEMIKALI, MATOKEO NI KWAARAKA* 🍇🌾🌳
1) KUTOA MVI SUGU PIA ZA KUZALIWA NAZO _100,000/
2) KUREFUSH NYWELE NA KUZUIAKUKATIKA 90,000/
3) TENGENEZA SHEPU YAKO KUWA NA UMBO ZURI (HIPS & BATAKS)KUNADAWA AINA TATU (@)JELI KUPAK_100,000/(B) KUNYWA (C)VIDONGE_130,000/
4)ONDOA NYAMA UZEMBE MIKONONI, KIUNONI NA MAPAJAN_80,000/
5)TOA KITAMBI KABISA(@) KUPAK 10O,000/ (B)VIDONGE/SLIMING MAJAN 130,000/
6) PUNGUZA MWILI MZIMA KUANZIA KILO UNAZOITAJI WEWE NA MANYAM YOTE
@) DAW YA MAJINI_100,000/NA VIDONGE_130,000/
7)PUNGUZA MAZIWA NA YASIMAME BILA KUVAA SIDIRIA_80,000/
8)KUONGEZA MAZIWA NA SAIZI NZURI_80,000/
9)ONGEZA UNENE WA MWILI MZIMA (kifaru)_100,000/
10) ONDOA MICHIRIZI ILIYO YAKAWAIDA NA UZAZ_80,000/
11) TOA MAKOVU, CHUNUSI, WEUSI KWENY MAPAJA KIKWAPAN_70,000/
13) KUWA MWEUPE WAKUPENDEZA KWA DAW(@) VIDOGO(WHITE SOLUTION)_130,000/(B)MAFUTA YAKUPAK 100,000/
14)TOA NDEVU VINYWELEO MWLINI _80,000/
15/ ONGEZA NGUVU ZA KIUME KWA KUTUMIA JELI PAMOJA NA VIDONGE VYAAIN ZOT _100'000
16) ENGEZA MAUMBIL YA KIUME
@) (HANDSOME UP) MASHINE _200,000/
@) JELI NA VIDONG VYA SHARK_ 120,000 /
17) RUDISHA HAMU YA TENDO NA KUCHELEWA KUFIKA KILELE_80,000/
18) RUDISH(BIKRA) 100,000/
19)ONDOA MAFUTA USONI _80,000/
20)ONDOA MIKUNJO USON_70,000/(21) ENGEZA MGUU_80,000/🍍🍉🌾 *TUNAPATIKAN DAR E SALAAM* *NAKWA *MIKOANKOTE* UTAPATA *PIA* *NA NCHI ZOTE PIGA CM* (+255)0719955528
0756259180
0785371237
@dr_kessy_product*
*Delivery POPOTE ULIPO,*

UKAWA Yafunguka Kuhusu Serikali ya Awamu ya Tano

$
0
0

Umoja wa katiba ya wananchi UKAWA umesema kuwa umejiridhisha kuwa Serikali ya awamu ya Tano sio serikali ambayo inafuata utawala bora,  kuzingatia haki za binadamu huku ikivunja katiba.

Akizungumza na  waandishi wa habari, Mwenyekiti mwenza wa Umoja huo,  Freeman Mbowe amesema vipo viashiria vingi vinavyoonesha kuwa uongozi wa awamu ya Tano hauzingatii katiba ikiwemo kuzuia mikutano ya kisiasa Pamoja na kushambulia Kwa viongozi wa vyama vya upinzani.

" Serikali inabana wazi  kuzungumzia na kuikosoa,  hata nyinyi wandishi hampo Salama, ndio maana mwenzenu azory Mpaka sasa hajapatikana na serikali haijatoa tamko lolote" amesema Mbowe.

Mbowe pia alizungumzia uchaguzi mdogo wa madiwani ambapo Kata 43 zilifanya uchaguzi huku ccm ikishinda Kata 42 na Chadema walishinda moja.

Alisema viongozi  wao wakiwemo wabunge, madiwani na wagombea wa upinzani walikua wakikamatwa na kuwekwa ndani huku wasimamizi wao wakitolewa nje ya vyumba vya Kura jambo ambalo ni kinyume na katiba ya nchini.

Kheri James Atangazwa Mshindi Uenyekiti UVCCM

$
0
0
Kheri James Atangazwa Mshindi Uenyekiti UVCCM
WAZIRI wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi, ambaye pia ni mjumbe wa Baraza la Wadhamini la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa (UVCCM), leo amemtangaza Kheri James kuwa Mwenyekiti mpya atakayeongoza kwa miaka mitano.

Kheri ametangazwa mshindi baada ya kupata Kura 319 kati ya kura 583 zilizopigwa akiwashinda wenzake 6 aliokuwa akichuana nao kuwania nafasi hiyo. Nafasi ya Makamu Mwenyekiti imechukuliwa na Tabia Mwita.

Mkutano wa Uchaguzi wa UVCCM umefanyika mjini Dodoma kwenye ukumbi wa Chuo Cah Mipango. Mbali na wajumbe wa idara hiyo ya vijana wengine walioshuhudia kutangazwa kwa Kheri ni Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana.

Mkutano huo wa uchaguzi wa UVCCM ulifunguliwa jana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Taifa Dkt. John Pombe Magufuli na unafungwa leo na Rais wa Zanziobar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein.

Wagombea na Kura walizopata.
1. Kheri James 319
2. Tobias Mwesiga 127
3. Simon Kipala 67
4. Kamana Juma 27
5. Juma Mwaipaja 19
6. Seif Mtoro 16
7. Mganwa Nzota 1

Rais wa Kenya Amuandikia Barua Magufuli

$
0
0
Rais wa Kenya Amuandikia Barua Magufuli
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amemuandikia barua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, kupinga kitendo cha mauaji ya askari wake 15 waliokuwa wakilinda amani nchini Kongo, na kumpa pole kufuatia msiba huo mkubwa.

Katika barua hiyo, Rais Kenyatta amesema kushambuliwa kwa askari, ambao walikuwa wakihudumia kwa sababu nzuri ya kuanzisha amani ya kudumu nchini DRC ilikuwa mbaya, huku akiwapa pole watanzania na ndugu wa marehemu, na kuwaombea wale waliojeruhiwa waweze kupona haraka.
Uhuru Kenyatta ameendelea kwa kusema kwamba Kenya itaendelea kushirikiana na watu na serikali ya Tanzania katika kulinda amani ya Kongo na maeneo ya maziwa makuu, na kuangalia kesho bora ya maeneo hayo.
Rais Kenyatta amesema Kenya inathamini jukumu muhimu lililofanywa na watunza amani tangu imehusika katika mipango mingi ya kulinda amani.
Mwishoni mwa wiki iliyopita askari 15 wa Tanzania waliokuwa wakilinda amani nchini Kongo waliuawa na askari waasi wanaoendesha ampigano nchini humo, huku 44 wakijeruhiwa, 8 wakiwa mahututi na wawili hawajulikani walipo.

Amber Lulu Aweka Wazi Mpango Wake wa Kujenga

$
0
0
Msanii wa muziki Bongo, Amber Lulu amefunguka mafanikio aliyoyapata kwa mwaka huu.

Muimbaji huyo amesema cha kwanza kabisa ni uhai wake na mambo mengine yanabaki kuwa binafsi na hata mipango ya kujenga pia.

“Maisha yangu siwezi nikayaweka hadharani, sijui nimeingiza au nimetoa shilingi ngapi lakini namshukuru Mungu mwaka huu umekua wa bahati sana” Amber Lulu ameiambia Bongo5.

“Hiyo ni siri yangu, ukifika wakati nitawaambia nimejenga nakadhalika lakini sasa hivi am not ready” amesema.

Kikombe cha Babu wa Loliondo Charudi Babu Aoteshwa Tena

$
0
0
Kikombe cha Babu  wa Loliondo Charudi  Babu Aoteshwa Tena
Mchungaji Ambilikile Mwasapile maarufu Babu wa Loliondo aliyehudumia maelfu ya watu ndani na nje ya nchi kwa dawa aliyoitoa kwa kipimo cha kikombe amedai ameoteshwa kuwa umati utarudi kijijini Samunge kupata dawa.

Amesema ana uhakika wa jambo hilo kwa kuwa hata mwaka 2011 kabla ya maelfu ya watu kufika nyumbani kwake alioteshwa, hivyo amejiandaa kuweka miundombinu bora zaidi na hasa ujenzi wa vibanda atakavyovitumia kutoa huduma.

Mchungaji Mwasapile alisema hayo jana Jumapili Desemba 10,2017 mbele ya ujumbe wa Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tamisemi, Joseph Kakunda aliyekuwa mkoani Arusha kukagua miradi ya maendeleo, ikiwemo ya kuwawezesha wananchi kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabia nchi.

Miongoni mwa waliofika kupata ‘kikombe’ kwa gharama ya Sh500 mwaka 2011 walikuwemo wafanyabiashara maarufu, wanasiasa na viongozi waandamizi serikalini.

Akizungumzia dawa yake anayodai inatibu maradhi mengi amesema kwa sasa anaitoa kwa watu wachache wanaofika kijijini hapo.

Miongoni mwao amesema ni watalii wanaofika kutembelea vivutio vya kitalii vilivyopo katika Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.

"Huwa nawauliza watalii namna walivyoifahamu dawa yangu wanasema habari za ‘kikombe cha Babu’ imeenea katika nchi zao za Ulaya na Amerika," amesema Mwasapile.

Naibu Waziri wa Tamisemi, Kakunda akiwa na ujumbe wake baada ya kupata kikombe alimshukuru Mchungaji Mwasapile kwa alivyolifanya Taifa kujulikana na kusababisha maendeleo ya kijamii katika Kijiji cha Samunge.

Ametoa mfano wa barabara ya kutoka wilayani Longido na Kigongoni wilayani Monduli ambazo zimeboreshwa kutokana na idadi kubwa ya watu waliokuwa wakifika kupata huduma ya dawa.

Amesema hata huduma ya mitandao ya mawasiliano ya simu ilifika eneo hilo kwa haraka kutoka na watu wengi waliohitaji kuwasiliana na ndugu zao.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro, Raphael Siumbu amesema Mwasapile amechangia shughuli za maendeleo kutokana na idadi kubwa ya waliokwenda kijijini hapo na kusababisha mzunguko wa fedha kuwa mkubwa.

Amesema watu wengi kijijini Samunge  wamepanda miti inayotumika kutengenezea dawa hivyo kuchangia utunzaji wa mazingira na huduma za kijamii kuongezeka.
Chanzo: Mwananchi

Mahakama Yaamuru Kumrudisha Rumande Aliyekuwa Mwenyekiti UVCCM Taifa

$
0
0
Mahakama Yaamuru Kumrudisha Rumande Aliyekuwa Mwenyekiti UVCCM Taifa
Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma imeamuru kurudishwa tena rumande hadi December 19, 2017 aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM na Mbunge wa Donge, Zanzibar Sadifa Juma Khamis.

Mwenyekiti huyu anadaiwa kukamatwa nyumbani kwake Dodoma December 9, 2017 kwa madai kwamba alikamatwa akiwapa wajumbe soda kutoka Kagera na kosa la pili aliwaahidi kuwalipia nauli.

Sadifa alifikishwa Mahakamani na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Dodoma 

Sadifa ambaye pia ni mbunge wa Donge, Zanzibar amefikishwa leo Jumatatu Desemba 11,2017 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma kwa makosa mawili.

Kamanda wa Takukuru mkoani Dodoma, Emma Kuhanga alisema jana Jumapili Desemba 10,2017 kuwa Sadifa angefikishwa mahakamani leo.

Alisema kiongozi huyo alikamatwa nyumbani kwake akituhumiwa kwa kuwapa soda wajumbe wa UVCCM kutoka Mkoa wa Kagera kitendo ambacho ni kinyume cha maadili.

Kuhanga akithibitisha kukamatwa kwa Sadifa alisema alikamatwa Jumamosi Desemba 9,2017.


Watoto Sita wa Mwaka Mmoja Wapelekwa Israel kwa Ajili ya Matibabu ya Moyo

$
0
0
Watoto Sita wa Mwaka Mmoja Wapelekwa Israel kwa Ajili ya Matibabu ya Moyo
Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na Taasisi ya Okoa Moyo wa Mtoto (Save a Child’s  Heart – SACH) ya nchini Israel zimewapeleka  watoto sita wenye umri wa mwaka mmoja hadi  13  nchini Israel kwa ajili ya matibabu ya moyo.

Katika safari hiyo wauguzi pamoja na wazazi wao wameondoka alfajiri ya jana. Baada ya matibabu kukamilika  wauguzi wawili watabaki kwa ajili ya kuhudhuria mafunzo ya mwaka mmoja ya jinsi ya kuwahudumia wagonjwa waliopo katika wodi ya uangalizi maalum (ICU) na chumba cha upasuaji.

Taarifa iliyotolewa na kitengo cha mawasiliano JKCI imeeleza licha ya Taasisi hiyo kutoa matibabu pia ina mkataba na Israel kwa baadhi ya wagonjwa wachache wanaohitaji utaalamu wa juu zaidi kuwapeleka nchini humo kwa ajili ya matibabu.

Hili ni kundi la tano la watoto kwenda kutibiwa magonjwa ya moyo nchini Israel tangu mwaka 2015 ambapo Taasisi ya Moyo ilianza ushirikiano  na Taasisi ya Okoa Moyo wa Mtoto (Save a Child’s Heart –SACH)  ya kuwapeleka wagonjwa nchini humo. Hadi sasa watoto 46 wameshatibiwa nchini humo na wanaendelea vizuri.

Mimi na J Dee Hakuna Aliyemuomba Msamaha Mwenzake- Mwana FA

$
0
0
Mimi na J Dee Hakuna Aliyemuomba Msamaha Mwenzake- Mwana FA
Msanii wa muziki wa kizazi kipya ambaye hivi karibuni amemaliza tofauti zake na msanii mwenzake Lady Jaydee baada ya kutokuwa na maelewano mazuri kwa muda mrefu, amesema hakuna mtu aliyemuomba msamaha mwenzake kati yao ili kuyamaliza.

Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Mwana FA amesema ugomvi wake na Jaydee hakuna mtu aliyewakalisha kujaribu kuwapatanisha au wenyewe kuombana msamaha, bali waliumaliza kwa yeye kumpigia simu, na kuzungumza kama ambavyo wengine wanazungumza,
"Hakuna aliyemuomba msamaha mwenzake, mi ndio nilianza, nilimtumia meseji oya vipi, akajibu fresh, nikamwambia FA hapa usiku nilikutafuta, akajibu mimi siku hizi nimezeeka nalala mapema, ndo hivyo tukayamaliza hivyo", amesema Mwana FA.
Mwana FA ambaye kwa sasa ameachia kazi mpya aliyomshirikisha Maua Sama, amesema licha ya kumaliza tofauti zao na Jaydee, watu wasitarajie sana kazi ya pamoja kwani kibinadamu itaonekana wamemaliza tofauti hizo kwa ajili ya kazi.

Wasiliana na The Great Maalim Hussein Mtaalam wa Kutatua Matatizo Yaliyoshindikana Kwa Kutumia Nyota na Dua

$
0
0
THE GREAT MAALIM HUSSEIN
Wasiliana na Mtaalam Huyu Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana ama Zilizo Achwa ndani ya Siku Moja 1.
Maalim Hussein ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA(Rudisha Mahusiano yako Ndani ya Saa 12 tu)

MAALIM HUSSEIN ni Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili Mwenye Uwezo wa Kubaini Tatizo lako tu Pindi Utakapo Fanya Mawasiliano Kupitia Wasaa Husika.
(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFATA MAELEKEZO YAKE..)

Je Unasumbuliwa na Mapenzi..?
Umeachwa na UMPENDAE Awe Mume/Mke na Bado Unampenda
Je Umejaribu Sehemu Nyingi Bila Mafanikio?
Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo..
Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu.
Je Umekimbiwa na Mumeo/Mkeo au Mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine..?
Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao (Mfarakano/Kimavi) Endapo Utafata Atakacho Kuelekeza.

Je Una Mpenzi wako ana Pesa na unataka Kumkamata? Muone Maalim Hussein Atamfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi..
Maalim Hussein Anatumia Jina La Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo..
Anatibu Kutumia QUR_AN DAWA ZA ASILI YA AFRICA, Dawa za KIARABU NA MAJINI..
ANATAFSIRI NDOTO. ANAPANDIKIZA NYOTA YA KUSHINDA BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUSKI NA VIFUNGO MBALIMBALI.

ZINDIKO ZA NYUMBA NA BIASHARA.. PETE ZA BAHATI.. HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA. HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA..
MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA..ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA  ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE..

Humaliza Kesi ya Aina Yoyote Ndani ya Siku 7 tu..
Hutoa Jini la MALI kwa wale Wanao Hitaji Utajiri Bila Masharti..
+255 674 835 107 WhatsAPP tu.

Lissu Afunguka Kuhusu Afya Yake " Nimeambiwa Nitasiumama"

$
0
0
Lissu Afunguka Kuhusu Afya Yake " Nimeambiwa Nitasiumama"
Mbunge wa Singida Mashariki kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu amefunguka na kusema kuwa ameambiwa na madaktari wake kuwa atasimama, atatembea na kurudi tena Tanzania kuendelea na majukumu yake kama kawaida.

Tundu Lissu amesema hayo leo alipofanya mahojiano na DW na kusema kuwa kwa sasa anaendelea vizuri kiafya na kuwa madaktari wamemweleza kuwa atasimama na kutembea tena kama zamani na kurudi nyumbani kwake Tanzania.
Aidha Tundu Lissu amesema hajapoteza matumaini ya kuwapata na kuwatambua watu ambao walishambulia kwa risasi kwa kuwa anaamini sehemu ambayo tukio hilo lilitokea kulikuwa na ulinzi na walinzi wa serikali.
"Matumaini hayajapotea kwa vile nakaa kwenye nyumba za serikali hizi nyumba zinalindwa masaa 24, Je, siku hizo napigwa risasi walinzi walikuwa wapi? Walinzi wa geti kubwa nao walikuwa wapi? Ile sehemu yote tunayoishi imezungushwa ukuta na kuna geti kuu lenye ulinzi masaa 24 nao walikuwa wapi? alihoji Tundu Lissu
Mbali na hilo Tundu Lissu ameelezea jinsi ambavyo tukio hilo lilitokea mnamo Septemba 7, 2017 pale Dodoma msikilize hapa chini akitolea maelezo hilo.

Tira Yaandaa Waraka Kuimarisha Biashara ya Bima

$
0
0

Tira Yaandaa Waraka Kuimarisha Biashara ya Bima
Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (Tira), imeandaa waraka utakaosaidia kuongeza ukubwa wa biashara na kuimarisha ustawi wa kampuni za ndani.

Hatua hiyo inalenga kupunguza kampuni za nje kutawala biashara ya bima nchini.

Waraka huo unaotarajiwa kuanza kutumika Januari Mosi,2018 unatoa masharti ya biashara kwa kampuni za bima mtawanyo (reinsurance) na madalali wa mtawanyo kutoka nje ya nchi.

Katika uzinduzi wa waraka huo leo Jumatatu Desemba 11,2017 Kamishna wa Bima, Dk Baghayo Saqware amesema utaratibu wa kupeleka biashara za bima nje ya nchi ni suala la kawaida duniani na utaratibu huo unapofanyika vizuri huleta faida kwa soko la ndani lakini utaratibu usipokuwa mzuri matokeo yake huwa hasi.

Ameyataja maeneo yenye upungufu katika biashara ya bima mtawanyo kuwa ni matumizi ya kupindukia ya bima hiyo kwa njia ya makubaliano hata sehemu zinazohitaji mkataba, kupeleka biashara ya bima nje kwa asilimia 100, ushiriki hafifu wa kampuni za ndani katika kutoa bima za majanga makubwa na kampuni za ndani kutoa upendeleo kwa kushirikisha kampuni za nje zaidi kuliko za ndani.

Mwingine amesema ni kampuni za ndani kufanya biashara na kampuni za nje zisizo na viwango, kukosekana kwa uwazi katika biashara hiyo na baadhi ya kampuni kupeleka nje biashara ambazo muda wake umeisha.

Makamu mwenyekiti wa chama cha kampuni za bima nchini, Charles Sumbwe amesema waraka huo ni matokeo ya mapendekezo ya wadau kuhusu namna ya kuboresha biashara hiyo nchini.

Kigwangala Atoa Viwango Vipya vya Leseni ya Biashara

$
0
0
Kigwangala Atoa Viwango Vipya vya Leseni ya Biashara
Wizara ya Maliasili na Utalii imetoa mapendekezo ya viwango vipya vya leseni za biashara ya utalii kwa wafanyabiashara na wadau wa sekta hiyo wakiwemo waongoza watalii.

Mapendekezo hayo yamewasilishwa na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Utalii, Wizara ya Maliasili na Utalii, Deogratias Mdamu, kwenye mkutano na wadau wa Utalii Jijini Arusha ambao pia umehudhuriwa na Waziri wa wizara hiyo Dkt. Hamisi Kigwangalla.
Katika mapendekezo hayo mapya, wajasiriamali wadogo katika sekta hiyo wenye gari moja hadi magari matatu ya watalii wamepata nafasi ya kutambulika ambapo watatakiwa kulipa ada ya leseni ya dola za Kimarekani 200 sawa na Shilingi  laki 450,000/=, tofauti na awali ambapo walilazimika kulipa Dola za Kimarekani 2,000.

Kwa upande wa wafanyabiashara wenye magari kuanzia manne hadi kumi imependekezwa walipe Dola za Kimarekani 2,000, wenye magari 11 hadi 50 Dola za Kimarekani 3,000, magari 51 hadi 100 Dola za Kimarekani 10,000 na magari 100 na kuendelea Dola za Kimarekani 15,000.
Kwa wafanyabiashara ambao sio Watanzania wenye magari 10 hadi 30 imependekezwa walipe Dola za Kimarekani 10,000, magari 31 hadi 100 Dola za Kimarekani 15,000 na magari 101 na kuendelea Dola za Kimarekani 20,000.
























Viewing all 104689 articles
Browse latest View live




Latest Images