Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live

Rais Magufuli Awatoa Hofu ya Ajira Wanaosomea Ualimu

$
0
0
Rais Magufuli Awatoa Hofu ya Ajira Wanaosomea Ualimu
Rais Dkt. John Pombe Magufuli leo Disemba 14, 2017 akiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Chama Cha Walimu nchini Tanzania (CWT) amezungumzia juu ya ajira za ualimu na kusema kuwa ajira zipo hivyo walimu wanafunzi wanaosomea ualimu wasiwe na mashaka.

Magufuli amesema hayo wakati akifungua Mkutano Kuu wa Chama Cha Walimu nchini (CWT) na kusema kuwa serikali yake inatoa ajira kwa walimu na kudai awali walisitisha zoezi la kuajiri kutokana na uhakiki wa vyeti feki kwa madai ya kuwa waliogopa wasije kurudia kosa la kutoa ajira kwa watu ambao hana sifa hizo.
"Mwaka huu pekee tumeajiri walimu wa masomo ya Sayansi na Hisabati wapatao 3,462 walimu wengine wapatao elfu kumi na tano na mia moja thelathini na tano wakiwepo wa Sayansi wanatarajiwa kuajiriwa wakati wowote baada ya vyeti vyao kuhakikiwa, kwa hiyo kuna walimu wa masomo mbalimbali tunahakiki vyeti vyao ili tusiingie kwenye matatizo ambayo tuliyaona na baada ya kuhakiki vyeti vyao wataajiriwa" alisema Rais Magufuli
Aidha Rais Magufuli amewatoa wasiwasi walimu wanafunzi na kusema kuwa ajira zipo nyingi hivyo wakimaliza masomo yao watapata kazi bila tatizo
"Nataka niwahakikishie mnaosoma hapa chini ya mwalimu Profesa. Kikula ajira zipo na nyinyi tena bahati nzuri tumeamia hapa hapa Dodoma mtakuwa unatufuata tu mnatuambia sisi tunahitaji ajira na hasa kwa sababu shule zinaongezeka, idadi ya wanafunzi inaongezeka hivyo ajira ya walimu lazima iongezeke, lakini pia tunaendelea kupanua wigo wa kuzalisha walimu" alisisitiza Rais Magufuli

Mwanamuziki Ahukumiwa Kifungo cha Miaka Miwili kwa Kutoa Video Inayochochea Ngono

$
0
0
Mwanamuziki Ahukumiwa Kifungo cha Miaka Miwili kwa Kutoa Video Inayochochea Ngono
Mwanamuziki Shyma wa nchini Misri amehukumiwa kifungo cha miaka miwili jela ikiwa ni wiki mbili tangu akamatwe kwa kutoa video inayoelezwa kuwa haina maadili.Shirika la Habari la nchi hiyo Al-Ahram linaripoti kuwa mwanamuziki huyo amepatikana na hatia ya kuhamasisha ‘dhambi’ na kuvunja maadili ya nchi hiyo.

Video ya wimbo "I Have Issues" wa mwanamuziki h uyo ulitoka mwezi uliopita na kuzusha sintofahamu kwa madai kuwa umejaa vipande vinavyopingana na maadili na utamaduni wa nchi hiyo.

Shyma mwenye umri wa miaka 21 anaonekana katika video hiyo akiwa amevalia sidiria huku akila ndizi na kundi la wanaume likimshangaa.

Mwongozaji wa video hiyo Mohamed Gamal ametakiwa kulipa faini ya dola za Marekani 560 ambazo ni wastani wa Sh1.2 milioni.

Siku moja kabla ya kuhukumiwa kifungo Shyma aliwaomba radhi mashabiki wake kupitia mtandao wa Facebook akisema hakutegemea video hiyo ingetafsiriwa vibaya kutokana na kile kinachoonekana.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Disemba 15

$
0
0



Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Disemba 15

Serikali yamkamata Mwanasheria Mkuu wa Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM)

$
0
0
Na Joel Maduka, Geita
Mwanasheria Mkuu wa Mgodi wa dhahabu wa Geita(GGM) David Nzarigo amekamatwa na serikali baada ya kudaiwa kukutwa na nyaraka za serikali .

Mwanasheria huyo amekamatwa kwa amri ya Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh,Kangi Lugola alipotembelea Mgodi huo ambapo pamoja na mambo mengine amebaini mgodi huo kuwa unaendesha shughuli zake bila kufuata sheria ya mazingira .

Akiwa katika katika ziara ya kikazi ya siku mbili Wilayani Geita,Mhe.Kangi Lugola ameagiza kukamatwa kwa mwanasheria huyo baada ya kudaiwa kukutwa na nyaraka za serikali ambazo hazijawa rasmi kutumika kutoka taasisi ya wakala wa utafiti wa jiolojia Tanzania(GST).

Hata hivyo katika hali isiyo ya kawaida na bila kutarajiwa.Mwanasheria huyo aliyekuwa akiukingia kifua mgodi huo ili usikumbane na rungu la fidia ya uharibifu wa kimazingira kama sheria inavyotamka, alijikuta akimweleza Naibu Waziri kuwa anayo ripoti ya GST aliyodai haijaeleza iwapo mgodi huo unahusika moja kwa moja kwenye uharibifu hivyo mgodi huo usibebeshwe mzigo huo.

Kutokana na hali hiyo,Naibu Waziri Lugola aliomba apatiwe ripoti hiyo ili ajiridhishe,lakini mwanasheria huyo akijibu kwa kujiamnini alimtaka kiongozi huyo wa juu kutumia mbinu zake kuipata Serikalini, lakini yeye hawezi kutoa nyaraka ya serikali, jambo lililomkasirisha Naibu Waziri wa Muungano na Mazingira na kutoa agizo la kukamatwa mara moja.

Diwani wa kata ya mtakuja Constatine Morandi ameelezea kuwa wananchi wamekuwa wakisumbuliwa muda mrefu na mgodi bila ya kupatiwa fidia na kwamba kutokana na wao kuwa ndani ya bikoni kumesababisha kutokupatiwa huduma mbali mbali za kijamii hivyo ni vyema kwa serikali wakaweka nguvu kuwasaidia wananchi hao.

Bw Abdallah Omary-Mkazi Nyamalembo alimweleza Naibu waziri kwamba wamekuwa wakiishi maisha ya mashaka kutokana na hali ilivyo ya maeneo hayo ya mgodini na kwamba mgodi ulikwisha wai kuwapatia fidia ya shilingi elfu ishirini jambo ambalo limeonekana kuwa ni udhalilishaji kwani pesa hiyo ni ndogo.

Kwa upande wake Makamu wa Rais wa mgodi huo Saimon Shayo,alisema kuwa eneo ambalo wananchi wamekuwa wakilalamika kuhusu suala la fidia hadi sasa kuna nyumba mbili na kwamba fidia ya kwanza walilipa kiasi cha sh,Bilion Moja na waliipatia serikali iweze kuwafidia wananchi

Kauli ya CHADEMA kufuatia kujiuzulu kwa Mbunge wa Siha Godwin Molel

$
0
0
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA ) tarehe 14 Disemba,2017 tumepokea taarifa kupitia mitandao ya kijamii kuwa Mbunge wa Siha Dr.Godwin Mollel amejiuzulu uanachama na kujiunga na CCM .

Dr.Godwin Mollel ameeleza sababu ya uamuzi wake huo ni kutaka kulinda rasilimali za Taifa.

Sababu hii aliyoitoa ni ya kushangaza kwani Bunge ndicho chombo chenye wajibu wa kusimamia na kulinda rasilimali za Taifa kwa niaba ya wananchi.

Ni jambo la kushangaza kwa kuwa kitendo chake cha kulikimbia Bunge kama chombo cha kusemea na kutetea rasilimali za Taifa na kuja uraiani inatoa taswira gani maana kalikimbia Bunge lenye wajibu huo kwa mujibu wa Katiba na Sheria za nchi yetu.

Tunawashauri wale wote ambao wanajitoa waeleze sababu halisi na sio kuhadaa umma kwa sababu uchwara kama hizi, maana wapo wanaosema wanaacha kazi kwenda kuunga mkono dhana ya ‘hapa kazi tu’ na wengine wanasema wanaenda kuunga mkono juhudi za kuboresha maisha kwa kuacha kazi.

CHADEMA tuko imara sana na tutaendelea na ajenda zetu bila kuyumbishwa na wimbi hili la watu wachache ambao wameamua kuwasaliti wapiga kura wao kwa kutoa sababu zisizo za msingi ambazo hazina maslahi kwa Taifa bali kwa maslahi yao binafsi . Huu ni ubinafsi wa hali ya juu.

Tutaendelea kujenga Taifa letu na Chama chetu bila kujali njaa za baadhi yetu wala maslahi ya watu wachache. Ila kwa hakika ni kuwa wale wenye dhamira thabiti ndio wataweza kufika mwisho wa safari ya kuleta mabadiliko salama. Ni dhahiri wale waliotanguliza ubinafsi hatutaweza kufika nao mwisho wa safari hii.

Imetolewa  Alhamis 14 Novemba, 2017 na ;
John Mrema,
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje.

KWAHERI HARMORAPA! Mashabiki Wamesikitika (Ujanja wake ndio Chanzo)

$
0
0

Sababu ya Harmorapa Kupotea kabisa katika mitandao na kiki kwisha hizi hapa:
Tazama Video Hapa:

Uchungu! Tumempoteza Shemeji yetu Mpenzi Wake Rayvany

$
0
0
Shemeji yetu Fahma na Rayvanny Kwa sasa kuna sinto fahamu huku wenyewe wakionyesha kuwa wameachana na kutupiana vijembe mitandaoni....Sikiliza hapa chini kilichojiri mpaka wameachana

Msikilize Mfungwa Aliyekaa Jela Miaka 43 Baada ya Kuhukumiwa Kunyongwa..Hii ni Baada ya Kutoka Jela

$
0
0
Yohana Chengula aliyekuwa amehukumiwa  kunyongwa na kukaa jela kwa miaka 43,amemshukuru Rais Magufuli kwa msamaha aliowapa na pia Mwl Julius Nyerere kwa kumuepusha na adhabu ya kunyongwa   miaka ya 80

VIDEO:

Miujiza ya Sharifu Seif Mohamed..JE Umeachwa na Mme/Mke au Mpenzi, Umesongwa na Mitihani ya Maisha..Piga Simu Upate Muujiza Wako

$
0
0
SHARIFU SEIF MOHAMED ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOENDELEA KUPIGA SIMU, WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA  SHUKRANI NA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO WASAIDIA,

(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

SHARIFU MOHAMED Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN, Dawa za Asili, Dawa za Kiarabu na majini kwa kumtuliza mke/mme, mchumba au mpenzi ndani ya masaa 72 tu, na kutatua matatizo yote ya kimaisha,

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu SHARIFU SEIF sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata Atakacho Kuelekeza

ANAZO DAWA ZA MAPENZI, NGUVU ZA KIUME, CHANGO NGIRI MAJI NA N.K, ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA, HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA, ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUKSI NA VIFUNGO MBALIMBALI,  MAFANIKIO YA MAISHA NA UTAJIRI BILA MASHARI, NA MENGINE MENGI YA SIRI,

Je UMAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? WASILIANA NA MTAALAMU HUYU KWANI YEYE HUFAULU PALE WOTE WALIPOSHINDWA, PIA UMALIZA KAZI ZILIZO SHINDIKANA NA WATAALAM WENGINE NDANI YA MASAA 24 TU,

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE AU MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFWATA MAELEKEZO YAKE)

Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi Piga SIMU No:
Mobile +255 654-836970
WhatsApp +255 756-033670 

Polepole Awapiga Kijembe Vyama vya Upinza "Mwenyekiti Aseme Hela Ziko Wapi"

$
0
0
Polepole Awapiga Kijembe Vyama vya Upinza "Mwenyekiti Aseme Hela Ziko Wapi"
Katibu wa itikadi na uenezi wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Humphrey Polepole amevipiga kijembe vyama vya upinzani akimtaka mwenyekiti wa moja ya vyama hivyo kusema hela ziko wapi.

Kupitia ukurasa wake wa “Twitter” Polepole amendika maneno hayo bila kufafanua ni mwenyekiti wa chama gani na hela za nini japo wafuasi wake wengi katika mtandao huo wamechangia mawazo wakitaja huenda ni hela za ruzuku.
Mbali na hilo Polepole pia amesema kuwa kile alichowahi kukitabiri kuwa upinzani hawataweza kushindana na chama chake siku za baadaye kimeanza kutimia.
Hii inatafsiriwa kama majibu kwa mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Freman Mbowe ambaye hivi karibuni alitangaza chama chake hakitashiriki uchaguzi mdogo wa Ubunge endapo Tume ya taifa ya uchaguzi (NEC) haitazifanyia kazi kasoro zilizojitokeza kwenye uchaguzi mdogo wa madiwani uliofanyika mwezi Novemba mwaka huu.
“Nalipata kuwaambia wataweka mpira kwapani, wakasubiri siku kadhaa na hatimaye imekuwa. Kwa lugha ya shule ya msingi miaka ile ningesema "wameogopa kuputa", wangeputa waone namna ambavyo kwetu siasa za masuala zinalipa. Ushauri wangu: "Mwenyekiti" lazima aseme hela ziko wapi”, ameandika Polepole.

Baada ya Mbunge wa Siha Kuachia Ngazi Chadema Lema Atoboa Siri Wanavyorubuniwa

$
0
0
Baada ya Mbunge wa Siha Kuachia Ngazi Chadema Lema Atoboa Siri Wanavyorubuniwa
Baada ya Mbunge wa jimbo la Siha kupitia tiketi ya CHADEMA, Godwin Ole Mollel leo kutangaza kujivua Ubunge na kuhamia CCM. Mbunge wa Arusha mjini kwa tiketi ya CHADEMA, Godbless Lema ametaja marupurupu na vitu ambavyo wabunge kutoka vyama vya upinzani wanavyorubuniwa.

Mhe. Lema ametaja vitu hivyo ikiwa ni masaa machache baada ya Mhe. Mollel kutangaza kujivua nafasi hiyo ya Ubunge.

“Nitakupa mshahara wako wote kwa miaka iliyobaki,pia nitakulipia madeni yako yote,nitakupa kiinua mgongo chako chote nitakupa na mlinzi kwa kipindi hiki na ukitaka tena kugombea nitakupa kipaumbele wewe au kazi nyingine utakayotaka ? Je,utakuwa tayari?Si utakuwa tiyari wajameni?.“ameandika Godbless Lema kwenye ukurasa wake wa Twitter.

Soma na hii – Mbunge wa Chadema ajivua Ubunge, na kuhamia CCM

Awali kulivuma tetesi kuwa Mhe. Lema naye ni moja ya Wabunge wa Vyama vya Upinzani wanaotarajiwa kujiunga na CCM baada ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha kuweka picha akiwa na Lema na kuandika maneno yaliyoleta utata.

Chadema Longido Nayo Yasusia Kushiriki Kwenye Uchaguzi

$
0
0
Chadema Longido Nayo Yasusia Kushiriki Kwenye Uchaguzi
Kamati ya utendaji ya Chadema wilayani Longido imeunga mkono uamuzi wa Kamati Kuu ya chama hicho wa kutoshiriki uchaguzi mdogo utakaofanyika Januari 13 mwakani.

Uchaguzi huo utafanyika katika majimbo matatu ya Longido, Singida Kaskazini na Songea Mjini na baadhi ya kata nchini.

Kauli hiyo waliitoa siku chache tangu ushirika wa vyama vya Ukawa kuitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuahirisha uchaguzi huo ili kuruhusu wadau kukutana kujadiliana kilichotokea wakati wa uchaguzi wa udiwani Novemba 26.

Akizungumza na waandishi na habari jijini hapa jana, Mwenyekiti wa Chadema Longido, Alais Meing’arana alisema mazingira ya kisiasa kwa sasa hayaruhusu kufanyika uchaguzi huru na haki.

Pia, alisema Chadema inashangaa kuona Tume ya Uchaguzi kutangaza kurudiwa kwa uchaguzi jimbo la Longido wakati shauri lipo mahakamani kwa rejea ya kesi namba 35 ya mwaka 2017 katika Mahakama ya Rufaa.

“Hatutakuwa tayari kuona uvunjifu wa amani kwenye uchaguzi ujao kama tulivyoshuhudia uchaguzi wa marudio katika Kata 43 hasa jimbo la Arumeru Mashariki, watu walijeruhiwa wakiwa kwenye vituo vya kupigia kura huku mawakala wa Chadema wakizuiwa kusimamia kura za wagombea wao,” alisema Meing’arana.

Alisema hawana wasiwasi wa kurudiwa uchaguzi kwa sababu wana imani ya kushinda kwa kishindo iwapo tu, uchaguzi unaweza kufanyika katika mazingira yanayoakisi mshindi kutangazwa na si vinginevyo.

Katibu wa Chadema wilayani hapa, Mathayo Nyikin alisema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinapaswa kushindana kwa hoja badala ya kutegemea kubebwa na vyombo vya dola.

Uchaguzi wa marudio wa ubunge Longido, umetangazwa baada ya NEC kutangaza jimbo hilo lipo wazi baada ya maelekezo ya Mahakama Kuu.

Hivi Ndivyo Usain Bolt Akila Maisha na Mpenzi Wake Kasi Bennett.

$
0
0
Hivi Ndivyo Usain Bolt Akila Maisha na Mpenzi Wake Kasi Bennett.
Mwanariadha anaeaminika kuwa na mbio zaidi duniani, Usain Bolt ameonekana nchini Thailand akila maisha na mpenzi wake Kasi Bennett.


Bolt raia wa Jamaica ameonekana katika fukwe za Thailand akifurahia maisha na mpenzi wake, Kasi Bennett katika kipindi hichi ambacho amestaafu mchezo wa riadha.


Mkimbiza upepo huyo ameonekana akijipiga picha huku akiwa kari na mrembo huyo katika fukwe hizo za Thailand.

Huu Hapa Utani wa Haji Manara kwa Wapinzani Wao Yanga Baada ya Simba Kumpata MO Dewji

$
0
0
Huu Hapa Utani wa Haji Manara kwa Wapinzani Wao Yanga Baada ya Simba Kumpata MO Dewji
December 3 2017 club ya Simba iliingia katika historia mpya na kutangaza kubadili mfumo wa uendeshaji wa club hiyo kutoka mfumo wa sasa na kuipeleka club katika mabadiliko ya kiuendeshaji kwa mfumo wa hisa sambamba na kumtangaza mshindi wa zabuni ya uwekezaji ndani ya Simba SC.

Simba imemtangaza mfanyabiashara Mohamed Dewji ambaye anatajwa katika list ya mabilionea wa Afrika kuwa ndio mshindi wa zabuni ya uwekezaji wa timu hiyo kwa dau la Tsh bilioni 20, kwa mujibu wa kanuni zilizotangazwa na Waziri mweye dhamana ya michezo MO Dewji ataruhusiwa kumiliki asilimia 49 ya hisa za Simba na wanachama asilimia 51.

Afisa habari wa Simba Haji Manara baada ya club yao kupiga hatua hiyo amepost ujumbe flani hivi wa kuwatania watani zao wa jadi Yanga ambao bado wanategemea michango ya wanachama, post ya manara ipo hivi kapost picha ya mabilionea mbalimbali wanaomiliki vilabu.


Huu Hapa Ushauri wa Rais Magufuli Kwa Wale Vyuma Vilivyokaza “Vyuma Vimekaza na Bado Vitavunjika Kabisa, Nawashauri Muweke Grisi,”

$
0
0
Huu Hapa Ushauri wa Rais Magufuli Kwa Wale Vyuma Vilivyokaza “Vyuma Vimekaza na Bado Vitavunjika Kabisa, Nawashauri Muweke Grisi,”
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt. John P. Magufuli amewajibu watu wanaolalamika vyuma vimekaza kwa kuwambia kuwa vyuma vikikaza vinatakiwa kuwekwa grisi vilainike, vinginevyo vitavunjika kabisa.

Rais Magufuli amesema kuwa watu wote wanaolalamika kuwa maisha magumu na hela hazi0nekani ni watu waliokuwa wanapata fedha kwa njia zisizo halali ndiyo maana wanalalamika vyuma vimekaza.

“Vyuma vimekaza na bado vitavunjika kabisa, nawashauri muweke grisi,”amesema Rais Magufuli leo Alhamisi Desemba 14,2017 mjini Dodoma kwenye ufunguzi wa mkutano mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT).

Kwa upande mwingine Rais Magufuli amewataka Walimu wote nchini watakaohamishwa bila kupewa pesa za uhamisho kukataa kuhama hadi watakapopewa pesa hizo kwani kitendo hicho hakiwezi kuwafukuzisha kazi.

“Usihame kama hujalipwa pesa yako, hakuna atakayekufukuza kazi kama hajakulipa pesa ya uhamisho,”amesema Rais Magufuli.

Soma zaidi hotuba yake yote – Mambo 31 aliyozungumza Rais Magufuli wakati akifungua mkutano Mkuu wa chama cha Walimu

Punguza Unene na Kutibu Magonjwa Kwa Kutumia Dawa za Edmark...Bonyeza Hapa

$
0
0

TUNA DAWA AMBAZO NI VIRUTUBISHO NA CHAKULA MBADALA ZIMEHAKIKIWA NA TFDA

Ni uhakika kwa afya yako, kupunguza uzito na Sumu mwilini, Mafuta/Sehemu Mbaya, Kitambi na Nyama Uzembe na kutibu MAGONJWA Mbali mbali yaliyoshindikana

Loose Weight Trainer ni Msaada wako Wasiliana Nasi Kwa WhatsApp 0713 777 470

Upate Suluhisho la Afya yako Bila Madhara pia unaweza kujiunga nami ili ufanye Biashara hii Nicheki


Intagram napatikana kwa jina @looseweight_trainer

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Ijumaa

Kutana na Mtabibu wa Nyota Duniani Maalim Fadhil Rashid Kutoka Comoro Kwa sasa Yupo Tanzania

$
0
0
KUTANA NA MTABIBIBU WANYOTA DUNIANIKOTE MAALIM FADHILI RASHIDI KUTOKA COMORO KWA SASA YUPO TANZANIA NI BINGWA WAKUTIBU MARADHI SUGU KAMA VILE MIGUU KUUMA NA KUWAKA MOTO PRESHA KISUKARI VIDONDA VYA TUMBO PUMU

MAALIM FADHILI RASHIDI ANAJUWA UMEHANGAIKA SANA LAKINI HUJAFANIKIWA MUONE HARAKA AKUSAIDIE ANADAWA ZA KI COMRO DAWAZAKE HABAHATISHI MUONE HARAKA AKUSAIDIE TEZI NAUVIMBE TUMBONI ANAUWEZO WAKURUDISHA MTUALIE POTEA KIMAZINGIRA (MSUKURE) KUMFANYA MKE MUME MPENZI ASIKUSALITI DAWA YA (LIMBWATA) KUMTAWALA MPENZI WAKO UNAVYOTAKA KUMUONA MBAYA WAKO LIVE KWASABABI MALUM ANATOA PETE YA BAHATI INAYO ENDANA NA NYOTA YAKO ITAKAYO KULETEA MALI BILA YA MASHARITI NAKUMILIKI MALI ZAMAJINI DAWA YAKUONGEZA UUME ZAIZI UIPENDAYO DAWA YA NGUVU ZAKIUME PIA ANAYO DAWA YAKUONGEZA HIPS SHEPU KUWA NAUMBO BOMBA KAMA UMEIBIWA AMA KUDHULUMIWA UTARUDISHIWA MALIYAKO NDANI YA MASAA (24) ANAFUNGA KESI NAKUPATA HAKIYAKO DAWA YA MVUTO WABIASHARA KUUZA MALIYAKO KWAHARAKA KUZUIYA CHUMAULETE KUSAFISHA NYOTA NAKUTOWA MIKOSI NA KUPANDISHWA CHEO KAZINI KARIBUNI WOTE TIBA NIKWADINI ZOTE UTAPATA HUDUMA POPOTE ULIPO DUNIANI

CALLING +255719362806/

WHATSAPP CALLING +255785786436

Lady Jay Dee Afunguka Kuhusu Kumganda Mpenzi Wake Spicy

$
0
0
BAADA ya mwanadada ‘lejendari’ kwenye Muziki wa Bongo Fleva, Judith Wambura ‘Lady Jay Dee’ kufanya vyema na Ngoma ya Together Remix akiwa na mpenzi wake, Spicy, staa huyo amejipanga kutengeneza naye ngoma tena.

Akichonga na Showbiz, Jay Dee alisema kwamba ameamua kurudi tena na Spicy na ngoma mpya ya Baby baada ya kolabo ya Together Remix kufanya vizuri ambapo anaamini itampeleka mbali zaidi kimuziki kuliko alipo kwa sasa.

“Nimeamua kumganda Spicy kwa sababu ninaamini ni mwanamuziki mzuri na muungano wetu huwa unafanya vizuri, angalia ngoma iliyopita na hii utagundua kwamba tunapokuwa pamoja tunatengeneza kitu kizuri sana,”alisema Spicy.
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live




Latest Images