Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104756 articles
Browse latest View live

Chama cha ANC Chaanza Kumsaka Mrithi wa Zuma

$
0
0
Chama cha ANC Chaanza Kumsaka Mrithi wa Zuma
Chama tawala nchini Afrika Kusini cha ANC kimeanza mkutano wa siku tano kumchagua kiongozi mpya.

Kuna mchuano mkali wa pande mbili unaoonekana wakati huu muhimu katika historia ya Taifa hilo baada ya ubaguzi wa rangi.

Mshindi atakayepatikana katika mkutano ulioanza leo Jumamosi Desemba 16,2017 ataandaliwa kuwa Rais ajaye wa Afrika Kusini.

Chama cha ANC kimepoteza umaarufu kwa kiasi kikubwa tangu Nelson Mandela alipokiweka madarakani katika uchaguzi wa mwaka 1994 ambao uliweka ukomo wa utawala wa Wazungu wachache.

Rais Jacob Zuma ambaye utawala wake umekumbwa na kashfa za rushwa atang'atuka madarakani kama kiongozi mkuu wa ANC lakini atasalia kuwa mkuu wa nchi kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2019.

Wanaowania uongozi wa chama ni mke wa zamani wa Rais Zuma na aliyekuwa mkuu wa Umoja wa Afrika, Nkosazana Dlamini-Zuma na Naibu Rais, Cyril Ramaphosa.

Punguza Unene na Kutibu Magonjwa Kwa Kutumia Dawa za Edmark...Bonyeza Hapa

$
0
0

TUNA DAWA AMBAZO NI VIRUTUBISHO NA CHAKULA MBADALA ZIMEHAKIKIWA NA TFDA

Ni uhakika kwa afya yako, kupunguza uzito na Sumu mwilini, Mafuta/Sehemu Mbaya, Kitambi na Nyama Uzembe na kutibu MAGONJWA Mbali mbali yaliyoshindikana

Loose Weight Trainer ni Msaada wako Wasiliana Nasi Kwa WhatsApp 0713 777 470

Upate Suluhisho la Afya yako Bila Madhara pia unaweza kujiunga nami ili ufanye Biashara hii Nicheki


Intagram napatikana kwa jina @looseweight_trainer

Waziri Mbarawa Awaagiza Tanroads Kusimamia Sheria

$
0
0
Waziri Mbalawa  Awaagiza Tanroads Kusimamia Sheria
Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), na Watendaji wa Mamlaka mbalimbali nchini wametakiwa kusimamia sheria ili kuhakikisha kuwa wanadhibiti changamoto za uharibifu wa miundombinu ya barabara.

Agizo hilo limetolewa na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa,  wakati akikagua barabara ya Dodoma-Mayamaya-Mela-Bonga (Babati), KM 231.5 ambapo amesema kuwa mamlaka zote hizo  zikishirikiana kwa pamoja katika suala zima la ulinzi na utekelezaji wa sheria kutasaidia miundombinu hiyo kudumu kwa muda mrefu.

“Vitendo kama vya umwagaji wa mafuta ya magari kwenye barabara, kupiga jeki, kuswaga wanyama, kuchimba kokoto na mchanga kwenye madaraja  vinachangia sana uharibifu  wa barabara, hivyo  simamieni kuhakikisha vitendo hivi vinakoma mara moja”, amesisitiza Waziri Prof. Mbarawa.

Aidha, Profesa Mbarawa,amewataka madereva kufuata alama za kudhibiti mwendo (spidi) zilizoko barabarani hususani katika kipindi hiki cha sikukuu kwani kutokufuata sheria hiyo kunapelekea  ajali nyingi za barabarani.

Katika hatua nyingine, Profesa Mbarawa ameipongeza TANROADS na Kampuni ya Mkandarasi ya CHICO kwa kuhakikisha kuwa barabara hiyo na daraja kubwa la Kelema lenye urefu wa mita 205 lililopo kwenye barabara hiyo linakamilika kwa wakati na kwa viwango vinavyotakiwa.

Kwa upande wake, Meneja wa TANROADS mkoa wa Dodoma, Mhandisi Leonard Chimagu,  amesema kuwa barabara hiyo imekamilika kwa asilimia 98 ambapo  kazi zinazofanyika sasa ni uwekaji wa kingo na alama za barabarani hivyo  amefafanua kuwa kazi hiyo inatarajiwa kukamilika hivi karibuni.

Barabara ya Dodoma-Mayamaya-Mela-Bonga (Babati), yenye urefu wa kilometa 231.5 ambayo imejengwa kwa takribani shilingi Bilioni  257.6 inatarajiwa kufunguliwa mwakani na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli.

Cristiano Ronaldo Afurahia Ushindani Wake na Lionel Messi

$
0
0
Cristiano Ronaldo Afurahia Ushindani Wake na Lionel Messi
Nyota wa klabu ya soka ya Real Madrid na timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo, amesema anajisikia vyema kutimiza malengo yake kwenye ulimwengu wa soka na anafuraha kushindana na Lionel Messi kwa muda mrefu.


Akifanya mahojiano na tovuti rasmi ya FIFA, Ronaldo amesema ndoto yake ilikuwa kuweka historia na kuacha kumbukumbu kwenye ramani ya soka na hicho kitu kimetimia akiwa ametwaa mataji mengi pamoja na mafanikio binafsi ikiwemo tuzo tano za Ballon d’Or.

“Najisikia vizuri kutimiza malengo yangu, nilitamani sana kuweka historia kuacha jina langu kwenye vitabu vya soka, nimepata mafanikio mengi sana ngazi ya klabu na taifa, nafurahia kuwa mmoja wa wachezaji waliofanikiwa zaidi kama kuchukua tuzo tano sawa na Messi”, amesema Ronaldo.



Ronaldo ameongeza kuwa katika maisha yake amefanya kitu anachokipenda zaidi ambacho ni kucheza soka na amefanikiwa sana na hiyo inamuhamisha kuendelea kufanya vizuri akiwa bado anapenda soka kwasababu utafika wakati hawezi tena kufanya hivyo.

Ronaldo ameshinda taji la Ligi Kuu ya England EPL mara tatu akiwa na Manchester United kabla ya kutua Real Madrid na kushinda ubingwa wa La Liga mara mbili. Pia ameshinda taji la ligi ya mabingwa barani Ulaya UEFA mara nne.

Harmorapa Afunguka Ukaribu Wake na Meneja Wake

$
0
0
Harmorapa Afunguka Ukaribu Wake na Meneja Wake
Akiongea na mtangazaji wa kituo cha redio cha Sunrise 94.9 FM kilichopo mkowani Arusha maarufu kama Lee Baibe, Harmorapa aliweka wazi kwenye dawati la kipindi cha burudani cha Flava Plus kinachoondeshwa na watangazaji DJ. Dix na Lee baibe kuwa uhusiano wake na maneja wake Bi Irene Sabuka kuwa upo imara. Kumekuwa na tetesi yakuwa rapper huyu ambae aliparamia umaarufu kwa ghafla na amekua mmoja wa mastaa ambao kwa lugha ya kisasa inasemekana wanatamba kwa kiki. Harmorapa amepinga tetesi zakua anapitia kipindi kigumu kisa na maana wamekosana na maneja wake Irine Sabuka. Hali iliyopelekea Lee Baibe kumutafuta kupitia njia ya simu na moja kwa moja kumuhoji hewani.

Awali Harmorapa alikuwa ametupia maneno yenye kuleta mshikli kupitia akaunti yake ya instagram yenye zaidi ya wafuasi lakimoja, ambapo wengi wa mashabiki wake waliyatafrisi kuwa huenda uhusiano wake na usimamizi wake ukawa upo kwenye njia panda. Nikinukuu waraka huo ‘‘harmorapatz1Kila Jambo lina Muda wake maalumu kamwe lipangwalo Na Mungu hakuna Binadamu wakuzuia ..Naamini na Hili limepangwa na Muda likapewaWacha lichukue Nafasi yake sasa.. Muda ukifika nitapewa nilicho andaliwa#Newharmorapaintown”  Staa huyo pia amewataka mashabiki wake wakae mkao wa kula kwani huenda wakati wowote akaliamusha dude.


Mbunge Kuanzisha Darasa la Viazi Lishe

$
0
0
Mbunge Kuanzisha Darasa la Viazi Lishe
 Ili kukabiliana na changamoto ya utapiamlo na lishe duni wananchi wametakiwa kuweka nguvu katika kilimo cha viazi lishe.

Takwimu zinaonyesha tatizo la lishe duni ni changamoto nchini na asilimia 30 ya Watanzania wakiwemo watoto wanakumbana na tatizo hilo.

Mbunge wa Mkinga, Dunstan Kitandula amesema hayo leo Jumamosi Desemba 16,2017 akipokea mbegu za viazi lishe kutoka Taasisi ya Utafiti wa Kilimo ya Ukiriguru.

Kitandula ambaye pia ni mwenyekiti wa wabunge wahamasishaji wa masuala ya lishe amesema amechukua mbegu hizo kwa ajili ya kuanzisha shamba darasa jimboni kwake atakalolitumia kuwafundisha wananchi umuhimu na namna ya kulima zao hilo.

Amesema ni ajabu kuoana ukosefu wa lishe unaendelea kuwasumbua watoto wakati viazi lishe vinaweza kutumika kama dawa ya kukabiliana na hali hiyo.

“Serikali inajitahidi kukabiliana na changamoto hii lakini naona bado na sisi kama wabunge tuna jukumu la kuingilia kati na kutoa elimu kwa wananchi,” amesema.

Amesema wamezungumza na jukwaa la wadau wa kilimo (Ansaf) ambalo limekubali kuwezesha upatikanaji wa mbegu na wabunge watakwenda kupanda katika majimbo yao ili kusambaza elimu.

Kitandula ni miongoni mwa wabunge waliowezeshwa kupata mbegu na Ansaf. Mwingine ni Mbunge wa Urambo, Margaret Sitta.

“Hakuna sababu ya kuendelea kuwa na watu wenye utapiamlo, tutahamasisha viazi hivi vilimwe hata shuleni ili changamoto ya chakula kwa wanafunzi itatuliwe,” amesema.

Amesema eka moja ya viazi lishe ina uwezo wa kumpatia mkulima kati ya Sh15 milioni na Sh20 milioni.

Mtafiti kutoka taasisi ya Ukiriguru, Erick Chang’a amesema tafiti za kisayansi zinaendelea na zimepatikana mbegu bora za viazi lishe zinazostahimili magonjwa.

Amezitaja aina ya mbegu za viazi lishe ambazo zimeonekana kuwa na matokeo bora zaidi ni kabode, kakamega na mataya.

Amesema, “Licha ya kuwa vinaingiza fedha kwa wale wanaofanya kilimo cha biashara viazi lishe ni vizuri kwa wajawazito na ni chanzo kikubwa cha vitamini A ambayo inasaidia uwezo wa macho kuona na kuifanya ngozi kuwa nzuri.”


Mwijage Ameitaka Kampuni ya Mbolea ya Taifa (TFC) Kubadilisha Mfumo wa Utendaji

$
0
0
Mwijage Ameitaka Kampuni ya Mbolea ya Taifa (TFC) Kubadilisha Mfumo wa Utendaji
WAZIRI wa Viwanda na Uwekezaji, Charles Mwijage, ameitaka Kampuni ya Mbolea ya Taifa (TFC) kubadilisha mfumo wa utendaji ikiwa ni pamoja na kutoingia mikataba inayoweza kuisababishia serikali hasara, badala yake kuangalia wabia wanaoweza kuisaidia kujipanua na kupata faida kubwa zaidi.

Waziri Mwijage, aliyasema hayo juzi wakati akiizindua bodi mpya ya Wakurugenzi ya TFC, na kuongeza kwamba serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Dk John Pombe Magufuli, haiko tayari kuona taasisi zake za umma zikiingizwa katika mikataba mibovu na isiyokuwa na tija.

Pia aliagiza kwamba, baada ya kuizindua bodi hiyo, Mwenyekiti wa Bodi hiyo, Profesa Egid Mbofu na wajumbe wake, waanze kazi mara moja na moja ya majukumu yao ya awali ni kuangalia ama kuipitia upya miokataba ambayo awalo iliingiwa na TFC.

Alisema TFC ikifanya kazi kwa uadilifu mkubwa na kujielekeza kwenye kazi zenye faida kubwa, itaweza kusaidia kasi ya kuendeleza sekta ya kilimo nchini, na kufikia malengo ya serikali ya awamu ya tano ya Taifa la uchumi wa kati na wa Viwanda.

"Tunatambua sekta ya kilimo ni nguzo muhimu kwa ajili ya uchumi wa TANZANIA, lakini haiwezi kuleta mafanikio makubwa kwa jamii, ikiwa TFC haitaweza kupewa uwezo na kuwafikia wakulima wengi zaidi", alisema Waziri Mwijage

Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Nyumba NHC Bw. Nehemia Mchechu Asimamishwa Kazi

$
0
0

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Wiliam Lukuvi amemsimamisha  kazi Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Nyumba  NHC Bw. Nehemia Mchechu kupisha uchunguzi.

Katika taarifa iliyotolewa na katibu mkuu wa wizara ya ardhi Doroth Mwanyika imebainisha kumsimamisha Mchechu  kwa mamlaka aliyopewa waziri Lukuvi kupitia kifungu f. 35 cha kanuni za utumishi wa umma za mwaka 2009.

Waziri Lukuvi pia  ametoa agizo kwa bodi ya Shirika hilo kumsimamisha kazi Mkurugenzi wa huduma za mikoa na Utawala Raymond Mndolwa ili kupisha uchunguizi wa tuhuma zinazowakabili watendaji hao.


 

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya Disemba 17

$
0
0


Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya Disemba 17

Tundu Lissu Amjibu Vikali Spika wa Bunge "Spika Asilete Hoja Kuwa Sehemu Aliyopelekwa Ndio inakuwa Kikwazo Yeye Kulipiwa Gharama"

$
0
0
Amesema kuwa watu walioleta Nairobi ni pamoja na Spika wa bunge na uongozi wote wa bunge, na kusema ndege hiyo inamaanisha ndege iliruhusiwa na serikali ya Tanzania, na spika au Serikali asilete hoja kuwa sehemu aliyopelekwa ndio inakuwa kikwazo yeye kulipiwa gharama kama anavyostahili kulipiwa mbunge yeyote na Serikali.

Ameelezea kuwa haijawahi kutokea katika historia ya Tanzania mbunge kuuawa akiwa kazini, na matendo yaliyotokea baada ya yeye kushambuliwa yanatia wasiwasi.

CCTV camera zimeondolewa, polisi hawajampata mshukiwa hata mmoja na pia wamepiga marufuku watu kumuombea, kujitolea damu, kuvaa t shirt zenye jina lake, yaani ni kama wamepiga marufuku jina la Tundu Lissu

Hivyo hii inaonyesha polisi hawawezi kuwa huru katika upelelezi wa kumpata aliyemshambulia na wanahitaji kuleta wapelelezi kutoka nje

Ametolea mfano Kenya waziri wa mambo ya mambo ya nje Robert Ouko aliuawa mwaka 1993 watu waliishuku Serikali kuhusika, na Serikali ikaleta wapelelezi kutoka nje,pia kuna wakati benki kuu iliungua.

Pia benki kuu yetu ilipoungua moto miaka ya 1980s walileta wachunguzi kutoka nje, hivyo sio ajabu kuomba msaada kutoka nje

Amesema tukiola kushambuliwa kwake ni ugaidi, unapomshambulia mtu kwa lengo la kumuu kwa sababu za kisiasa huo unaitwa ni ugaidi

VIDEO:

Msigwa Aomba Nyumba yake Ichomwe Moto Kama Atahamia CCM

$
0
0
Mbunge wa Iringa Mjini Mch. Peter Msigwa amewataka wananchi wa Iringa Mjini kumchomea nyumba anayoishi pamoja na magari yake endapo atahama Chama cha Demokrasia na Maendeleo na kuhamia CCM.

Msigwa amefunguka hayo wakati akituma salamu kwa wale ambao wamekuwa wakimrubuni kuhamia CCM na kusema kwamba heshima na dhamana aliyopatiwa na wananchi wa Manispaa ya Iringa ni kubwa mno hivyo kufanya hivyo ni kuuza hadi utu wa wapiga kura.

Msigwa ameweka wazi kwamba amekuwa akipokea simu za vitisho kutoka upande wa chama tawala wakimtaka akubali kupokea ofa yao ya kuhama chama na bila hivyo basi hataweza tena kurudi bungeni baada ya kufika 2020.

"Nikihamia CCM wananchi wa Iringa wachome nyumba yangu  na magari yangu. Sikuingia bungeni kwa sababu nataka hela ila nimeingia kwa sabu kuna hoja kuna agenda na kozi kama chama tunapigania.  Mkome kabisa kunipigia simu mimi sina bei itakayonihamisha CHADEMA," amefunguka Msigwa

Akizungumzia kuhusu alivyokuwa akirubuniwa, Msigwa amesema "Walianza kunipigia kwa kujifanya marafiki zangu na baadae wakaanza kunipanga na kunirubuni kwamba Mzee ananikubali na wala hana shida na mimi hivyo nikiingia CCM nitapata nafasi, nimewakemea na nimeonya wasinipie simu na sasa hivi wameacha ila naahidi wakinipia tena nitawarekodi niwaanike hadharani" I am not that 'cheap' wakatafute wengine," Msigwa ameweka wazi

Aidha Msigwa amefafanua kwamba hakuuingia bungeni kwasababu anahitaji pesa kwani hata kama asingekuwa Mbunge angeweza kuwa Mkurugenzi wa makampuni na kuongeza kwamba  alikuwa na maisha hata kabla ya kuwa mwanasiasa na mbunge.

"Sikuingia Bungeni kwa ajili ya pesa, sipo tayari kurubuniwa kwa maneno matamu wala fedha au ushawishi kuuza utu ambao wananchi wa manispaa ya Iringa wamenipa. Ukiniangalia kwani nashindwa kuwa CEO, naweza kuwa Mkurugenzi wa kampuni yoyote. Mimi nilikuwa na maisha kabla ya kuingia hta bungeni.  Sisi bado tupo imara....wacha hivi vivulana viondoke sisi ambao tunajua nini tunakutaka bado tupo imara ndani ya chama" Msigwa.

Kutana na Mtabibu wa Nyota Duniani Maalim Fadhil Rashid Kutoka Comoro Kwa sasa Yupo Tanzania

$
0
0
KUTANA NA MTABIBIBU WANYOTA DUNIANIKOTE MAALIM FADHILI RASHIDI KUTOKA COMORO KWA SASA YUPO TANZANIA NI BINGWA WAKUTIBU MARADHI SUGU KAMA VILE MIGUU KUUMA NA KUWAKA MOTO PRESHA KISUKARI VIDONDA VYA TUMBO PUMU

MAALIM FADHILI RASHIDI ANAJUWA UMEHANGAIKA SANA LAKINI HUJAFANIKIWA MUONE HARAKA AKUSAIDIE ANADAWA ZA KI COMRO DAWAZAKE HABAHATISHI MUONE HARAKA AKUSAIDIE TEZI NAUVIMBE TUMBONI ANAUWEZO WAKURUDISHA MTUALIE POTEA KIMAZINGIRA (MSUKURE) KUMFANYA MKE MUME MPENZI ASIKUSALITI DAWA YA (LIMBWATA) KUMTAWALA MPENZI WAKO UNAVYOTAKA KUMUONA MBAYA WAKO LIVE KWASABABI MALUM ANATOA PETE YA BAHATI INAYO ENDANA NA NYOTA YAKO ITAKAYO KULETEA MALI BILA YA MASHARITI NAKUMILIKI MALI ZAMAJINI DAWA YAKUONGEZA UUME ZAIZI UIPENDAYO DAWA YA NGUVU ZAKIUME PIA ANAYO DAWA YAKUONGEZA HIPS SHEPU KUWA NAUMBO BOMBA KAMA UMEIBIWA AMA KUDHULUMIWA UTARUDISHIWA MALIYAKO NDANI YA MASAA (24) ANAFUNGA KESI NAKUPATA HAKIYAKO DAWA YA MVUTO WABIASHARA KUUZA MALIYAKO KWAHARAKA KUZUIYA CHUMAULETE KUSAFISHA NYOTA NAKUTOWA MIKOSI NA KUPANDISHWA CHEO KAZINI KARIBUNI WOTE TIBA NIKWADINI ZOTE UTAPATA HUDUMA POPOTE ULIPO DUNIANI

CALLING +255719362806/

WHATSAPP CALLING +255785786436

Rais Mstaafu CWT Anaswa na TAKUKURU

$
0
0
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU inamshikilia Rais mstaafu wa Chama Cha walimu Tanzania (CWT) Gracian Mkoba kwa tuhuma za rushwa.

Hilo limethibitishwa na Afisa Uhusiano wa TAKUKURU Makao Makuu, Mussa Misalaba, ambaye amesema wanamshikilia Mkoba kwa tuhuma za kugawa fedha kwa baadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu wa chama hicho ili kuwashawishi wamchague mgombea anayemtaka.

"Mukoba ameshastaafu, lakini kuna mgombea mmoja alikuwa anataka achaguliwe, tumemkamata leo asubuhi akigawa rushwa kuwashawishi wapiga kura kwenye ukumbi wa Chimwaga wamchague huyo mgombea wake," amesema Misalaba.

Misalaba ameongeza kuwa TAKUKURU inaendelea kufanya uchunguzi zaidi dhidi ya Mukoba kabla ya kumfikisha mahakamani.

Mukoba anakuwa mtu wa tatu kukamatwa na TAKUKURU kwa tuhuma za rushwa kwenye uchaguzi ndani ya wiki moja, wengine ni aliyekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Sadifa Juma Khamis na mfanyabiashara Haider Gulamali.

Zitto Kabwe Ahoji Kuhama kwa Makada wa ACT

$
0
0
Kiongozi wa chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe ametumia hotuba yake ya ufunguzi wa kikao cha Kamati Kuu kuzungumzia wimbi la kuhama kwa makada wa chama hicho, akihoji iwapo kimeanza kupoteza mwelekeo.

Katika hotuba yake leo Jumamosi Desemba 16,2017, Zitto ambaye pia ni mbunge wa Kigoma Mjini amewataka wajumbe wa kamati hiyo kujiuliza maswali magumu, likiwemo la kwa nini hali hiyo inakikumba chama chao.

Makada wa chama hicho waliojiunga na CCM ni Profesa Kitila Mkumbo aliyeachia nafasi ya ushauri wa ACT –Wazalendo baada ya kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji.

Wengine ni Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho; wakili Albert Msando, Samson Mwigamba na Edna Sunga.

Katika hotuba hiyo, Zitto amesema hamahama hiyo imezua taharuki kwenye chama hicho na kuacha maswali juu ya kinachoendelea katika siasa za Tanzania.

“Ni lazima tujiulize maswali magumu sisi wenyewe na kuzungumza tukitazamana machoni, je hakuna sababu za ndani sisi wenyewe zinazokimbiza wanachama wetu? Kama zipo ni zipi? Je ni sababu ambazo tunaweza kurekebisha na kukiimarisha chama," amehoji Zitto.

Amesema, "Kama ni sababu zilizo nje ya uwezo wetu tunafanya nini ili kuzikabili, je bado sisi tunaamini katika misingi ya chama kwa mujibu wa Azimio la Tabora?  Tulikuwa kundi tu tulioumizwa na vyama tulivyokuwamo na tukaamua kuunda chama kupoza hasira zetu tu na sasa hasira zimeisha hakuna sababu ya chama kuwapo."

Amesema kati ya waanzilishi watatu wa ACT, wawili wamekikimbia na kujiunga na CCM na kwamba, jambo hilo huenda likarutubisha hoja kuwa chama hicho kilikuwa mradi wa chama tawala, kwamba sasa hauna maana tena. 


Baada ya Kumtema Ben Pol, Ebitoke Amtambulisha Mpenzi Wake Mpya

$
0
0
USIKU wa Desemba 15, 2017, katika ukumbi wa MLIMANI CITY, Jijini Dar es Salaam, kumefanyika uzinduzi wa filamu kubwa ya ‘FROM NIGERIA’, Kutoka katika kampuni ya JUMO ENTERTAINMENT, uzinduzi huo umehudhuriwa na wasanii wengi kutoka katika tasnia mbalimbali, wakiwemo wachekeshaji wanaounda kundi la TIMAMU, Ebitoke, Mama Ashura, na Bwana Mjeshi.
Jicho la Globaltv Lilifanikiwa kumnasa mchekeshaji maarufu Ebitoke, akiwa amegandana kama ruba na kijana ambaye anadai ni rafiki yake, lakini katika jicho la kawaida ni kama ndiye mrithi wa X-wake, Benpol.

VIDEO:

UTANI: “Poleni Wabongo Tumewafunga Nyinyi na Shemeji Yenu Zari”

$
0
0
Ijumaa ya December 15 2017 timu ya taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes ilifanikiwa kuingia katika historia nyingine baada ya kufanikiwa kuwatoa Mabingwa kihistoria wa michuano ya CECAFA Senior Challenge Cup timu ya taifa ya Uganda The Cranes katika michuano hiyo.

Uganda wametolewa katika hatua ya nusu fainali ya michuano ya CECAFA Senior Challenge Cup kwa kufungwa kwa magoli 2-1, hivyo kwa ushindi huo sasa Zanzibar watacheza mchezo wa fainali ya michuano hiyo dhidi ya wenyeji wa michuano hiyo timu ya taifa ya Kenya Harambee Stars.

 Kama utakuwa unakumbuka vizuri Zanzibar waliifunga pia Tanzania bara yaani Kilimanjaro Stars kwa magoli 2-1 katika hatua ya makundi, hivyo baada ya ushindi wa leo wa Zanzibar utani umeanza kusambaa mtandaoni unaosema eti “Znz 2-1 Uganda mpira kipaji pole wabongo tumewafunga nyinyi na shemeji yenu zari”

Afisa habari wa Simba Haji Manara akapost ujumbe huo unaosambaa mtandaoni kwa utani pia halafu akaandika “Wazanzibar mtatuua kwa hyo maneno yenu jamani…kwa hyo huku Bara wote shem letu ni @zarithebosslady ? haya bana,Cc twaendelea kuwaombea dua @diamondplatnumz @emmanuelokwi 😊😊”

Download Application ya MCHAMBUZI Kwenye Simu yako Kusoma Habari za Siasa Kila Baada ya Lisaa Limoja

$
0
0
Maswala ya Siasa na Matamko ya kila siku ya Wanasiasa Hakikisha Umedownload App ya Mchambuzi Kwenye simu yako


Kama we ni Mpenzi wa Habari za Siasa Usipitwe na Hii Application ya Mchambuzi..... 

Bonyeza HAPA Kudownload kwenye Simu yako

“Z’bar Wakipewa Uanachama CAF na FIFA wanafuzu AFCON na World Cup”-Zitto

$
0
0
Mara tu baada ya timu ya taifa ya Zanzibar ‘Zanzibar Heroes’ kuichapa Uganda kwa bao 2-1 kwenye mchezo wa nusu fainali ya kombe la Chalenji na kutinga fainali ya michuano hiyo, Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo) Zitto Kabwe ameandika ujumbe kwenye account yake ya facebook.

Zitto ni mdau mkubwa wa michezo hususan soka amesema ikiwa Zanzibar itapewa uanachama wa CAF na FIFA ndani ya miaka mitano, itafuzu kucheza fainali za mataifa ya Afrika (AFCON) na hata fainali za kombe la Dunia.

“Zanzibar Heroes wanatutoa kimasomaso huko Kenya jamani. Ni lazima sasa tupambane Zanzibar iwe na uanachama FIFA kama Zanzibar.”

“Kama hatutaki Zanzibar kuwa Mwanachama wa FIFA kama ilivyo Scotland. Tuseme kwa miaka 5 ijayo kuanzia mwaka huu ZFA ndio mwanachama FIFA na CAF ili TFF ipate muda wa kujipanga. Ndani ya hiyo miaka 5 nawaambia Zanzibar itakwenda AFCON na hata Kombe la Dunia. #MsemaKweliMpenziWaMungu”

Huyu Hapa Bingwa wa Magonjwa Sugu Kama Vile Pumu, Vidonda vya Tumbo, Busha, Kisukari na Nguvu za Kiume

$
0
0
BABU MADUHU NI BINGWA WA MAGONJWA YOTE SUGU YANAYOSUMBUA KAMA VILE PUMU, VIDONDA VYA TUMBO, BUSHA, NGUVU ZA KIUME, KISUKARI, MIVUTO YOTE, KUSAFISHA NYOTA, KURUDISHA MALI, NK.

Tatizo la upungufu ukosefu wa nguvu za kiume, maumbile madogo ya uume limekuwa kubwa kwa lika zote hapa duniani

Matatizo hayo sio mageni kigeni ni ile tiba sahihi yakutibu na kuponya haya.chanzo cha hayo matatizo ni:KISUKARI, NGIRI,CHANGO, TUMBO KUUNGURUMA NA KUJAA GESI, KIUNO KUUMA, MAUMIVU YA MGONGO,MAGONJWA YA ZINAA, KORODANI KUVIMBANAKUUMA,VIDONDA VYA TUMBO, NK.

Tiba sahihi nabora ya tatizo la nguvu zakiume ni NYASOSE MIX, Nidawa ya vidonge asilia vilivyotengenezwa kwa kiwango bora na salama kwa ajili yakutibu mojakwamoja tatizo la nguvu za kiume maradufu

1,Hutibu nguvu za kiume mda mfupi sana kati ya umri wa miaka 18-85 naitakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa    dk 20 hadi 40 tendo lakwanza bila kuchoka naitakufanya uwe nahamu yakuendelea na tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila hamu kuisha.

MHESHA POWER Nidawa yakuboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi uipendayo inchi 6,7 hadi 8 kwa mda mfupi sana.dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk 67 ukisha tumia guarantee miaka 55 ikishakutibu.

Pia tunatibu,KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU,MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE, BP, BUSHA BILA UPASUAJI NK.

ITINYA,Nidawa ya mvuto wa biashara,kazi,hupandisha cheo humfanya mfanyakazi apendwe na mwajiri wake,humvuta mme,mke,hawara,mchumba,unaemhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zako kwa dhati utampata kwa mda wa dk 45 tu naatatulia milele nakumfunga asitoke inje ya ndoa.

SUPER POWER,Nidawa ya yakupunguza matiti,unene tumbo,kitambi kwa akina baba,hutoa mafuta mabaya mwilini,makovu sehemu mbalimbali mwilini,chunusi sugu,minyama uzembe,michirizi mwilini,nakuongeza makalio hips,mguu wa bia nk.

BABU MADUHU ANAPATIKANA MAGOMENI MOROCCO HOTEL/KANISANI
SIMU NO 0652 102 152/0755 684 297/0788 330 105.

HUDUMA HII UNAWEZA KUIPATA/KULETEWA MAHALI POPOTE NCHINI
Viewing all 104756 articles
Browse latest View live




Latest Images