Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104423 articles
Browse latest View live

Wanaume Acheni Kuzama Chumvini, Nafikiri Sio Salama. Hata Wao Wanawake Wanajua Hilo....

0
0
Habari.
Hivi vitu vya kuiga iga kwa kweli sio vizuri. Hili suala la kuzama chumvini kwa mwanamke, linahitaji USAFI wa hali ya juu toka kwa mwanamke.
Huko chini bila shaka sio salama, hata wao wanawake nafikiri wanajua hili ila hawataki kutuambia wanaume.

Ukitaka ujue sio salama, ukiwa ktk hiyo shughuli, baada ya kulamba lamba huko, jaribu kuja kumpa french kiss (mabusu moto moto ya kulambana ulimi) huyo mwanamke wakati huo, utaona anakwepa kwepa lips zako na mdomo wako sababu anajua zimetoka sehemu ambayo sio. WANAWAKE WENGI HAWATAKI MPIGANE MABUSU BAADA YA MWANAUME KUZAMA CHINI, sababu wanajua.
Hivyo wanaume tuwe makini, ikiwezekana acha kabisa hii kitu.

Ona Jinsi gani Mahusiano ya Kimapenzi yanavyomweka Mtu Pazuri Kimafanikio: Case study; Diamond vs Belle 9

0
0
Kwa kujadili hii maada nimependelea kwanza nioneshe historia japo kwa ufupi ya safari ya maisha kati ya hawa wanamziki wa Tanzania Belle 9 na Diamond tuone jinsi gani mmoja wao Mahusiano ya kimapenzi yalivyo ng'alisha juhudi zake kikazi na kufanikiwa na leo hii ni billionaire.

Kwa wasiojua Diamond na Belle 9 wote walitoka kipindi kimoja kama sijakosea mwaka 2009 hivi. Wote hawa walikuwa maunderground. Belle 9 akitokea Morogoro mji kasoro bahari pale mtaa wa Mafiga. Wengi walianza kutabiri kuwa kijana huyo mdogo ( Belle 9 ) alikuwa amekuja kujaza nafasi ya mkongwe na mwakilishi wa mziki mkoa wa Morogoro yaani Afande sele ambaye alikuwa ameanza kufifia kiutunzi na nyota pia.
Diamond yeye alitokea mkoa wa Dar es Salaam pale Tandale.

Wawili hawa wote walikuwa wadogo sana kiumri tuseme walikuwa under 20 na walitoka na ngoma kali.

Belle 9 yeye alitoka na ngoma iitwayo Sumu ya Mapenzi ngoma iliyomtambulisha vyema sana kwenye medani za mziki hapa tanzania. Ngoma hii ilikuwa imetulia ki melodi na saiti pia.
Diamond yeye alitoka na ngoma iitwae Nenda kamwambie wimbo ulomtambulisha nae pia vizuri kwenye medani za muziki hapa nchini.

Nakumbuka kipindi kile Radio Free Africa walikuwa na kipindi cha Mpambano wa wasanii ambao wanaimba mziki unaofanana na kuwashindanisha kwamashabiki walokuwa wakipiga kura kwa njia ya simu. Kipindi hiki kilikuwa pendwa sana na bora.
Siku moja walishindanishwa hawa wasanii ( Belle 9 na Diamond) na kura kutoka ngoma draw basi ilibidi mpambao huo urudiwe wiki inayofata ambapo Belle 9 alishinda kwa kishindo.

Mwaka 2010

Belle 9 alitoa ngoma nyongine iitwayo Masogange ambayo nayo pia ilikuwa kali sana na ilitikisa inchi nzima huku akijizolea umaarufu maradufu.

Diamond nae alitoa ngoma iitwayo Mbagala amabayo nayo vile vile ilitamba sana tena sana kutokana na maudhui mazuri na melodi iliyojaa ufundi. Nae pia kama ilivo kwa Belle 9 alizidi kujizolea umaarufu maradufu kwa watanzania ila hakumfikia Belle 9.

Mpaka hapa ambapo kila mmoja alikuwa ana single mbili mbili hit songs; Belle 9 alikuwa yuko juu kutokana kwamba watu wengi walikuwa wanamkubali sana yeye kutokana na kwamba ngoma zake ( Sumu ya mapenzi na Masogange) ziliweza kuwakosha nyoyo watanzania.

Baada ya muda Belle 9 aliachia ngoma nyingine iitwayo Wewe ni wangu au Wewe unanifaa ambayo pia ilimpaisha juu sana huyu kijana na wana Morogoro wakanyosha mikono wakisema kuwa sasa zile enzi za utawala wa Afande sele yule mkali wa Rhyms na Dogo Ditto wake zimeisha na sasa huyu dogo amekuwa Icon ya wana mji kasoro bahari. Dogo alitamba sana tena sana.

Diamond nae hakuwa nyuma; nae alitoa ngoa iitway Ntarejea ambayo nayo pia ilifanya viziri japo kuwa haikuifikia hiyo ya Belle 9 ( Wewe ni inanifaa)

Mpaka hapo Belle 9 alikuwa juu kweli ukimlinganisha na Diamond. Mtoto kutoka Moro alikuwa akitingisha kwa nyimbo zake hizo yaani Sumu ya mapenzi, Masogange na Wewe unanifaa. Diamond alikuwa hafui dafu hata. Hata kwenye fiesata 2010 Belle 9 alizidi kuwa kivutio sana

Si kuwa Belle 9 alikuwa akipendwa kwa hizo nyimbo tu na sauti yake bali hata sura; yeye alionekana kuwa baby face yaani handsome ukilinganisha na Dimond ambae yeye Sauti tu ndo ilikuwa ikimbeba ila kwa upanda wa sura ilikuwa shida!!! Belle 9 akivaa alikuwa akilipuka ile mbaya ila kwa mwenzangu na mimi Diamondi nguo zilikuwa zikimkataa kutokana na ukweli kwamba alikuwa na sura NGUMU!

Nakwambia kila hawa wasanii walipokuwa wakipambanishwa Belle 9 mtoto wa mji kasoro bahari alikiwa akiibuka kidedea!!

Nb: kwa kipindi hicho; hakukuwa na skendo yoyote ya kimahusiano ya Mapenzi kwa warembo mbali mbali kwa wasanii hao!

ZAMA ZA DIAMOND NA KUMPIGA GAP BELLE 9

Belle 9 baada ya kuwa na hizo hit songs na kuona kuwa yuko juu alianza kusua kusua kiutunzi huku mwenzake Diamond akikomaa na kukesha akitunga mashairi.

Diamond alituletea ngoma kama Binadamu; Kizaizai na Moyo wangu ambazo zilifanya vizuri sana hasa wimbo Moyo wangu ndo ulikuwa funga kazi. Toka hapo ndipo Diamond akaanza kuwa juu kwa umaarufu na kuwa kipenzi kwa watanzania.

Mapenzi na Mastaa Maarufu wa Bongo Movie na walembo kadhaa kumuongezea umaarufu na mashabiki

Wahenga walisema " Pesa ni sabuni ya Roho" wengine wakasema "Pesa ndo kila kitu" Mwanamziki yuhu Diamond mambo yalipoanza kumnyokea ndipo tulipoanza kusikia kuwa warembo kibao wanamnyemelea na wengine kumgombania kabisa.

Mwanzoni watu walimuwa wakimkejeli kuwa anasura mbaya; mara hooo ana mdomo mkubwa ( mrefu na mpana) na wengine kusema kila tusi walokuwa wakiliona linamfaa. Yote hayo yalisahaulika sasa kijana Diamond akaanza kushine; akaanza kutakata akapendeza mbaya. Nakumbuka kwenyevizuri kwenye video za nyimbo zake na shoo zake alikuwa akipenda kuvaa shuti na Necktie nyekundu.

Hapo sasa ndipo alipo mpata Mrembo Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu na kuwa nae kimapenzi kisha kuishi wote. Ile kufanukiwa kudate na mrembo huyo miss tanzania mwaka 2006, Diamond alipaa kwa umaarufu na kujulikana sana nchini.

Hapo ndipo magazeti ya udaku na mengineo hapa nchini yalipoanza kuwandika front pages. Kila siku Diamond alikuwa akionekana page za mbele na story zake kuzidi kusambaa.

Pia kwa umri wake mdogo na kudate na Wema Sepetu aliyeonekana kumzidi umri nayo pia ilizidi kuwa habadi mjini na nchini na hapo ilikuwa miaka ya 2011 hivi.

Diamond alipata mashabiki wengi sana kwani mashabiki wote wa Wema Sepetu ilibidi wawe pia mashabiki zake kwani walimwita shemeji. Ikumbukwe kuwa Wema Sepetu alikuwa tayari maarufu kwa kipindi cha miaka kama 5 kwa hiyo alikuwa na mashabiki lukuki.

Kila siku iendayo kwa mungu1 Diamond alikuwa akiandikwa kwenye magazeti ya udaku na mitandao ya kijamii akihusishwa na skendo na warembo kadha wa kadha.

Belle 9 yeye hakukuwa na skendo yoyote juu yake na warembo wa mjini.
Pia hakukaa kimya nae alizinduka na kuja na wimbo uitwae ' Nilipe Nisepe' wimbo ambao haulufanya vizuri kama zile nyingine za awali na ulizidi kufunikwa na upepo wa nyimbo za Diamond na umaarufu.

Baada ya wimbo huo wa Belle 9 ulofanya vibaya ; aliamua kukaa kimya kwa muda bila ya kutoa nyimbo huku mwenzie Diamond akizidi kufanya bandika bandua ya nyimbo tena zote zikiwa hit songs kama anavyofanya sasa hivi huyu bwana Mdogo Aslay!

Diamond alizidi kuachilia ngoma kali kama ' Lala salma; Mawazo; Nimpende Nani; Ukimwona; Nataka kulewa na Kesho. Nyimbo zote hizi zilikuwa mashine na zilizidi kupasua anga hapa nchini huku mahusiano yake na Mrembo huo Wema Sepetu yakizidi kunogesha mafanikio yake.

Mrembo huyo sasa kama mkewe alikuwa tena mwalimu wake wa tuition ya lugha ya kiingeleza. Unaambiwa Diamond alikuwa akila tuition ya kiingeleza kwani alikuwa hajui lugha hiyo.

Diamond ni mjanja aise! Alitumia vizuri huu msemo usemao " One Chance one Goal" alijua kuwa huko mbeleni Mungu akimsaidia atapata shoo za nje ya nchi
; atakuwa akisafiri kwenda majuu sasa akaona ajinoe kwanza lugha hiyo ngeni ili baadae asije pata taabu kwa.mawasiliano. Na nikweli alitoboa kwani Mrembo huyo inadaiwa alimpiga bonge la shule ba Diamond kuiva!

Ndo hapo sasa unaambia Diamond alipozidi kupata mashoo ya ukweli na ya mtonyo mnene ndani na nje ya nchi. Aliweza kupiga kolabo nyongi na wasanii kibao wa ndani na njee.

Hakuishia hapo; Nyota yake ilizidi kuwaka na kung'ara sana na alizidi kuwa na uwezo mzuri wa utungaji wa mashairi huku akiwakosha watanzania kwa sauti yake ya kipekee!

Aliachia nyimbo nyingi sana zilizotikisa hapa nchini na nje ya nchi pia kama:
“Mapenzi Basi”
“Uswazi take away remix”
“Nieleze”
“Natamani”
Kutoka kimapenzi na kumuoa Boss Lady Zari Mke Mganda; mke wa tajiri matata wa South Africa.

Diamond baada ya kuwa juu; mwaka 2013 alitoa wimbo wa Taifa uitwao Number One ambao ulitikisa nchi vya kutosha. Kumbe alipotoa ngoma hiyo alikuwa akimwimba mpenzi wake mpya Mganda The Boss Lady Zari.

Toka hapo mengi kuhusu zari the bossi Lady yakaanza kujulikana. Tukajua kuwa ni aliekuwa mke wa Kijana Tajiri matata Mganda aishie South.

Hapo sasa Diamond akazidi kuwa maarufu sana kwa kile kitendo cha yeye kuwa na uwezo kunyakuwa mke wa Billionnaire. Watanzania tukaaza kujiona fahari kuwa nasi tumo maana hayo tulikuwa tukiyasikia huko majuu kwa wasanii wamarekani!

Ikazidi kufamika kuwa Diamond basi nae ni Billionnaire wa kutupwa kwani angewezaje kula sahani moja na huyo Zari the Bissi Lady.

Diamond kuwa na zari basi alizidi kuwa maaruhi Afrika mashariki na kati na ulimwenguni kote. Diamond hakuwa tena mwenzetu!

Baada ya hiyo nyimbo ilofanya vizurikweli; Diamond alizidi kufanya vizuri kinziki ambapo baadae aliachilia nyimbo kama:
“Number One Remix” (featuring Davido)
“Mdogo mdogo”
“Bum Bum” (featuring Iyanya)
Lala Ukisinzia,Ntampata, Wapi,Nasema Nawe”,Nakupenda pia Nana.
Utanipendaga
Salome
Marry you
Hallelluya
Sikomi
Niache
N. k
MAFANIKIO YAKE . ( Diamond)

July; mwaka 2016 Jarida la Forbes la nchini marekani lilitoa wasanii matajiri zaidi duniani ,Africa na kanda mbali mbali ambapo kwa upande wa Africa mashariki.

Diamond platinum aliogoza kwa kuwa na utajiri wa dollar million 4.5 ambazo ni zaidi ya bilioni 10 za kitanzania hasa baada ya kununua Nyumba yake ya south Africa.

Vitu vingine anavyomiliki ni Majumba ya kifahari Dar,Magari ya kifahari , Berber shop, Maduka ya nguo za mitindo ya kisasa na vingine Vingi.

Katika jarida hilo lilionyesha diamond akiwa anafanya wastani wa show 2 kwa wiki show 8 kwa mwezi na show 100 kwa mwaka ambapo show yake ya chini anakadiriwa kulipwa wastani wa dollar elfu 20,000 na show ya juu analipwa wastani wa dollar elfu 75,000

Mikataba yake na makampuni kama Cocacola,Vodacom na DSTV

Anamiliki lebel yake ya Wasafi Classic Baby! WBC. Ambayo kasign wasanii wengine wengi tu na lebel hiyo kuwa kivutio cha kila msanii ama chipukizi au mkongwe kupata nafasi ya kuingia ( kusajiliwa)

Jarida ilo linaonyesha pia diamond anaweza vaa vitu vyenye thamani ya dollar laki 150,000 ambazo ni zaidi ya milioni 350,000,000 za tanzania mwilini mwake kwenye shoo moja ambavyo ni Pete,cheni,viatu kofia,shati na suruali na vingine!

Nb: Kupitia Diamond; msanii nyota hapa nchini tunajifunza kuwa mafanikio huja kwa kujituma tu! Diamond ni msanii tajiri hapa Tanzania na kwa sasa ni Billionnaire. Hela zake si za kutia shaka kwani toka anaanza safari yake ya mziki tulikuwa tukiona mafanikio yake mpaka hapa alipo kwa sasa.

Mwanzo nimejaribu kuwaonesha jinsi gani alivyoanza masiaha ya kimziki pamoja na msanii mwenzie wote wakiwa ma underground nyota na baadae yeye kumzidi mwenzake mpaka hapa alipo!

Kila mtu akikazana na kupiga boot kwa kufanya kazi kwa kujtuma huku ukiwa na malengo hakika tutafanikiwa!

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Adam Kimbisa Abwagwa Uspika Bunge la Afrika Mashariki

0
0
Bunge la Afrika Mashariki (Eala) limemchagua Spika kutoka Rwanda, Dk Martin Ngoga katika uchaguzi ulioibua mabishano ya kisheria juu ya uhalali wa kufanyika kwake.

Baada ya dua ya kuliombea Bunge, mbunge Dk Ngwaru Maghembe kutoka Tanzania aliomba mwongozo wa kuliahirisha kutokana na akidi kutotimia kutokana na wabunge tisa wa Burundi na saba wa Tanzania kutokuwepo kwa sababu ambazo hazikujulikana.

Mbunge kutoka Uganda, Freddy Mbidde alipinga hoja hiyo akisema kanuni ya 53(1) inayozungumzia akidi inahusu Bunge rasmi ambalo tayari lina Spika lakini kwa kuwa hawakuwa na Spika kanuni hiyo haina nguvu kisheria.

Mbunge mwingine wa Tanzania, Dk Abdullah Makame alisema kutokana na Bunge kuchelewa kuanza kazi kwa kipindi cha miezi sita kutokana na mwanachama wa EAC nchi ya Kenya kuchelewa kuchagua wabunge ni busara uchaguzi usifanyike hadi wabunge wote wawepo.

Hoja hiyo ilipingwa na mbunge kutoka Uganda, Suzane Nakauki aliyedai hoja ya kutokufanya uchaguzi kwa sababu ya wabunge kutokuwepo haina mashiko kisheria na kikanuni kwa sababu wameorodhesha majina yao kwenye kitabu cha mahudhurio na wamepewa posho na wameamua kwa sababu zisizojulikana kugomea uchaguzi.

Alisema haiwezekani wabunge wa Tanzania ambao wapo nchi mwao washindwe kuhudhuria kikao cha Bunge wakati wapo jijini Arusha, huku waliotoka mbali wakiwepo.

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Balozi Liberat Mfumukeko alisema kila jambo lenye mgogoro kwenye mihimili ya EAC lina utaratibu wa kulimaliza kwa njia ya kuomba ushauri kwa sekretariati, Mahakama, baraza la mawaziri na kikao cha marais.

Hatua hiyo ilimwinua Waziri wa Afrika Mashariki wa Burundi, Isabella Ndahayo aliyesema wabunge wa Burundi hawakuridhishwa na utaratibu wa uchaguzi licha ya kanuni kutamka wazi nafasi ya Spika ni ya mzunguko kwa nchi wanachama.

"Wabunge wa Burundi hawapo kwa sababu hawaridhiki na kinachoendelea, naomba tupewe tafsiri ya nafasi ya Spika kuwa ni mzunguko kwa nchi wanachama, si kwamba tunapinga juhudi za mshikamano wa jumuiya bali tafsiri halisi," alisema Isabella.

Naibu Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Uganda ambayo ni Mwenyekiti wa EAC, Julius Wandera alisema kumekuwa na mashauriano kati ya baraza la mawaziri wa jumuiya hiyo ili kuhakikisha suala hilo linakamilika.

Baada ya mabishano ya kisheria na kanuni, katibu wa bunge aliamua uchaguzi kufanyika na awamu ya kwanza, mgombea kutoka Rwanda, Dk Martin Ngoga alipata kura 35, Leontine Nzeyimana wa Burundi kura moja na Adam Kimbisa wa Tanzania hakupata kura.

Kutokana na kanuni kuhitaji mshindi kupata theluthi mbili ya kura zote 52, uchaguzi ulirudiwa kwa kanuni ya mshindi kupatikana kwa wingi wa kura na Dk Ngoga aliibuka mshindi  kwa kupata kura 33 dhidi kura tatu za Nzeyimana ambaye hakuwepo bungeni.

Baada ya kula kiapo Dk Ngoga ambaye alikuwa mwendesha mashtaka mkuu wa Rwanda alisema anafahamu uchaguzi wowote lazima uache majeraha lakini yupo tayari kushirikiana na kila mbunge kujenga jumuiya hiyo.

Mkurugenzi wa fedha NHC amrithi Mchechu Aliyetumbuliwa na Waziri Lukuvi

0
0
Mkurugenzi wa Fedha wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Felix Maagi ameteuliwa kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Nehemia Mchechu aliyesimamishwa kupisha uchunguzi.

Mchechu alisimamishwa kazi Desemba 16,2017 na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake ambazo hazijawekwa wazi wala mamlaka inayochunguza.

Akizungumza jana  Jumanne Desemba 19,2017 kuhusu mikakati yake baada ya kuteuliwa na Bodi ya NHC kukaimu nafasi hiyo Maagi alisema, ‘’Kwa sasa siwezi kusema kitu kwa kuwa hata ofisi bado sijakabidhiwa.”

“Nikikabidhiwa na nikiingia ofisini nitakuwa na cha kuzungumza lakini kwa sasa sina cha kusema,” alisema.

Maagi ni mhitimu wa Shahada ya Uzamili katika usimamizi wa biashara (MBA) ya Chuo Kikuu cha Esami nchini Uganda na ni mhasibu anayetambulika na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA).

Wananchi Wampa Makavu Maulid Mtulia Baada ya Kutangaza Kugombea Ubunge Kupitia CCM Baada ya Kuikimbia CUF

0
0
Aliyekuwa Mbunge Kinondoni (CUF), Maulid Mtulia ambaye amehamia CCM ametangaza nia ya kugombea tena ubunge katika jimbo hilo kwa tiketi ya chama hicho  tawala.

Desemba 2 Mtulia alijiuzulu nafasi ya ubunge,  huku akisema amefikia uamuzi huo bila kushawishiwa mtu yeyote na amebaini Serikali ya CCM inafanya kazi kubwa ya kutekeleza Ilani na imefanya vizuri katika mambo mengi ambayo upinzani iliahidi kuyatekeleza.

Baada ya hatua hiyo, chama cha CUF upande wa Profesa  Ibrahim Lipumba  kilitangaza  kuwaomba radhi wapiga kura wa Kinondoni kwa Mtulia kujiuzulu uanachama kisha ubunge.

Lakini  jana Jumanne Desemba 19, 2017 kupitia andiko lake mtandaoni, Mtulia amesema atachukua fomu ya kuomba ridhaa  ya kuteuliwa ndani ya CCM ili agombee tena nafasi hiyo.

"Kwaza, nawasalimu wote na khasa wananchi wenzangu wa jimbo la Kinondoni. Nawapa pole sana kwa maumivu makali mliyoyapata kutokana na uamuzi wangu wa kujiuzulu ubunge wa jimbo letu la Kinondoni kupitia chama cha CUF. Nawahakikishia kwamba bado nawapenda sana na niko tayari kuwatumikia tena kwa lengo la kuleta Maendeleo kwenye jimbo letu" aliandika Mtulia

Mtulia alitumia nafasi hiyo kutangaza nia yake kutaka kugombea; "Nichukie fursa hii kutangaza nia kwa wanakinondoni wote na Watanzania kwa ujumla kuwa nitachukua form ya kuomba ridhaa kwenye chama changu cha CCM na endapo chama changu kitaridhia basi nitakuja mbele yenu kuomba ridhaa ya kuwatumikia katika nafasi ya ubunge wa jimbo letu Kinondoni"

Kufuatia ujumbe huo ndipo hapo baadhi ya wananchi walianza kumpa maneno wakionyesha hisia zao juu ya jambo alilofanya na analotaka kulifanya.

Diwani Mwingine aitosa Chadema na Kujiunga CCM

0
0
Diwani wa Chadema wa Donyomurwak wilayani Siha mkoani Kilimanjaro,  Lwite Ndossi maarufu Nsonuu amejivua uanachama wa chama hicho.

Pia, amejiuzuru udiwani na ametangaza kujiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM).

Taarifa iliyotolewa na idara ya itikadi na uenezi ya CCM  Jumanne Desemba 19,2017 imesema Ndossi ameeleza sababu za kujiunga na CCM ni kuwa kujiunga na watu wanaofanya siasa za kufanya kazi za maendeleo na si kulumbana na maneno matupu.

Miujiza ya Sharifu Seif Mohamed..JE Umeachwa na Mme/Mke au Mpenzi, Umesongwa na Mitihani ya Maisha..Piga Simu Upate Muujiza Wako

0
0
HARIFU SEIF MOHAMED ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOENDELEA KUPIGA SIMU, WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA  SHUKRANI NA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO WASAIDIA,

(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

SHARIFU MOHAMED Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN, Dawa za Asili, Dawa za Kiarabu na majini kwa kumtuliza mke/mme, mchumba au mpenzi ndani ya masaa 72 tu, na kutatua matatizo yote ya kimaisha,

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu SHARIFU SEIF sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata Atakacho Kuelekeza

ANAZO DAWA ZA MAPENZI, NGUVU ZA KIUME, CHANGO NGIRI MAJI NA N.K, ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA, HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA, ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUKSI NA VIFUNGO MBALIMBALI,  MAFANIKIO YA MAISHA NA UTAJIRI BILA MASHARI, NA MENGINE MENGI YA SIRI,

Je UMAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? WASILIANA NA MTAALAMU HUYU KWANI YEYE HUFAULU PALE WOTE WALIPOSHINDWA, PIA UMALIZA KAZI ZILIZO SHINDIKANA NA WATAALAM WENGINE NDANI YA MASAA 24 TU,

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE AU MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFWATA MAELEKEZO YAKE)

Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi Piga SIMU No:
Mobile +255 654-836970
WhatsApp +255 756-033670 

Shilole Amkingia Kifua Mume Wake "Mume Wangu Ajawahi Kuoa"

0
0
Shilole Amkingia Kifua Mume Wake "Mume Wangu Ajawahi Kuoa"
Msanii Zuwena Mohamed ‘Shilole’ (katikati) akiwa na mpenzi wake waliyefunga naye ndoa, Ashraf Uchebe (kushoto) katika picha ya pamoja baada ya ndoa hiyo jijini Dar es Salaam.

BAADA ya hivi karibuni kufunga ndoa na Ashraf Uchebe, msanii wa muziki, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amefungukia tetesi za kuwa amemchukua mume wa mtu na kusema siyo za kweli.

Akipiga stori na Risasi Vibes, Shilole alisema mumewe hana mwanamke mwingine na hajawahi kuoa bali yeye ndiye mkewe halali hivyo wanaosema kwamba ana mke ni waongo, anachomshukuru Mungu ni kwamba anafurahia ndoa yake na mambo yanaenda vizuri.

“Maisha ya ndoa ni mazuri sana tofauti na kipindi sijaolewa, kilichobadilika ni kwamba kila kitu ninacho-kifanya
lazima nimshirikishe mume wangu kuhusu wanaosema ana mwanamke mwingine ni waongo kwani hajawahi kuoa na hakuna mwingine zaidi yangu,” alisema Shilole.

Hamissa Mobetto Aingia Mtegoni Baada ‘Kuuvaa Mkenge’ wa Hasimu Wake

0
0
Hamissa Mobetto Aingia Mtegoni Baada ‘Kuuvaa Mkenge’ wa Hasimu Wake
Mwanamitindo Hamisa Mobeto anadaiwa kunasa mtegoni baada ya ‘kuuvaa mkenge’ ulioratibiwa na hasimu wake wa siku za hivi karibuni, Zarinah Hassan ‘Zari’.

Kwa mujibu wa chanzo kilicho karibu na Zari, inadaiwa kuwa mjasiriamali huyo alimtumia mtu aitwaye William Bugeme ambaye pia ana ukaribu naye wa damu, ili aweze kumchukua mwanamitindo huyo, ambaye amezaa na baba wa watoto wake wawili.

Inadaiwa lengo la Zari ni kuona wawili hao wakiwa karibu, basi ni dhahiri kuwa ukaribu kati ya Hamisa na baba watoto wake utaisha, kwani uhusiano wa kimapenzi na William hauwezi kukubalika.

“Mnajua kuwa huyo Hamisa amenasa kwa Bugeme lakini hajui kuwa huo ni mpango wa Zari ili amtoe kwa baba mtoto wake, asipoangalia atatumika tu kisha atabwagwa kwani jamaa yupo kimaslahi zaidi kwa ajili ya kuokoa penzi la dada yake,” alisema Sosi huyo.

Kwa mujibu wa sosi huyo, picha za wawili hao wakiwa katika pozi tofauti zilinaswa hivi karibuni zikiwa zimerushwa mtandaoni.

Sosi huyo alikwenda mbali zaidi na kuvujisha siri ya Zari kuwa ndiye anayemtuma ndugu yake huyo ili akifanikisha kuwa naye kimapenzi itakuwa rahisi kuachana na baba wa watoto wake.

Hata hivyo sosi huyo alidai fungu kubwa na zuri limeandaliwa kuhakikisha Hamisa hakwepi mtego huo.

“Mwanamke ni mjanja sana sana haongei ni pesa ndio inaongea, Bugeme toka zamani anafahamiana na Hamisa sasa ameamua kumtumia huyo huyo ili kuumaliza mchezo wake kabisa, unadhani mzazi mwenzake akiona ameingia kwenye penzi na Bugeme ataendelea naye, amecheza kwelikweli,” kilitiririka chanzo.



Risasi Jumatano lilimtafuta hewani Hamisa ili azungumzie sakata hilo kama ameshalifahamu au anajipanga vipi, lakini pia kuzungumzia picha zake zinazomuonesha akiwa na kaka huyo, lakini alipopokea simu yake alisikiliza madai yote kisha akakata simu.

Maandamano Ya Upinzani Yakwama Kongo

0
0
Maandamano Ya Upinzani Yakwama Kongo
Maandamano yaliyoitishwa leo na viongozi wa upinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, (DRC), yameshindwa kupata mwitikio mkubwa kama ilivyotarajiwa baada ya Serikali kuyapiga marufuku na kusambaza maelfu ya polisi.


Upinzani ulikuwa unajaribu kuwashawishi wafuasi wake kujitokeza kwa wingi kwenye viunga vya jiji la Kinshasa na maeneo mengine ya nchi kushinikiza Rais Joseph Kabila kuondoka madarakani ifikapo mwishoni mwa mwaka huu.

Maandamano hayo yalikuwa yanalenga pia kupinga kalenda mpya iliyotangazwa na Tume ya uchaguzi nchini humo, ambayo sasa inaonesha kuwa uchaguzi mkuu utafanyika Disemba 23 mwaka 2018.

Rais Kabila alikuwa amemaliza muda wake Disemba 20 mwaka jana kabla ya kufikiwa kwa makubaliano kati ya Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki, na wanasiasa kuwa uchaguzi ungefanyika mwishoni mwa mwaka huu.

Upinzani umeendelea kushinikiza kuwa unataka kuundwa kwa Serikali ya mpito bila ya Rais Kabila kuanzia Januari Mosi mwaka 2018.

Wasira Afunguka Sababu ya Kuongoza Mara Mbili Kura za NEC-CCM

0
0
Wasira Afunguka Sababu ya  Kuongoza Mara Mbili Kura za NEC-CCM
Mwanasiasa mkongwe nchini, Stephen Wasira ametoa siri ya kuongoza kupata kura nyingi katika vipindi viwili tofauti katika uchaguzi wa wajumbe wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama cha Mapinduzi.

Katika uchaguzi wa NEC wa mwaka 2012, Wasira alipata kura zaidi ya 2,100 na kuwaongoza wenzake wote jambo ambalo limejirudia juzi.

Akizungumza na Mwananchi kwa simu jana, Wasira ambaye juzi aliongoza kwa kupata kura 1,505 na kuchaguliwa kuwa mjumbe wa NEC alisema hiyo inaonyesha jinsi wanachama wenzake wanavyomkubali ndani ya chama hicho.

Alisema anaamini mambo mengi yamechangia kukubalika kwake ndani ya chama hicho ikiwa ni pamoja na jinsi alivyotetea msimamo wa CCM wakati wa mchakato wa Katiba mpya.

“Wakati wa mchakato wa Katiba mpya, msimamo wa CCM ulikuwa ni Serikali mbili, tuliamini kuwa ili kuwe na muungano imara ni lazima kuwe na Serikali mbili, na hata mimi msimamo wangu ulikuwa hivyo,” alisema mbunge huyo wa zamani wa Bunda.

Alisema kulikuwa na mijadala mingi ambayo iliendeshwa maeneo mbalimbali huku CCM ikitetea msimamo wake na vyama vya upinzani vikiwa na msimamo tofauti.

“Wakati huo nilikwenda kwenye mdahalo wa wazi pale Blue Pearl (Ubungo Plaza). Ilikuwa ni mdahalo wa Katiba kuanzia saa tisa alasiri mpaka 12:00 jioni, nilizungumza msimamo wa chama changu na kutoa hoja za msingi, niliwashinda Profesa Ibrahim Lipumba na Tundu Lissu,” alitamba Wasira.

Alisema hata katika mdahalo mwingine uliofanyika katika ukumbi wa Nkrumah, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam anaamini alifanya vizuri kuliko Lissu ambaye alikuwa akitetea msimamo wa upinzani waliokuwa wanataka muundo wa Serikali tatu.

Wasira alisema mchango wake mwingine ndani ya CCM ni kuongoza kamati ya wajumbe 20 wa chama hicho kuandika ilani ya chama kuelekea uchaguzi mkuu 2015 ambayo ndiyo inatumika sasa.

“Nilikuwa mwenyekiti wa kutengeneza Ilani ya CCM, ambayo ndiyo inatumika sasa, hiyo ni ilani ya watu na nchi,” alisema Wasira.

Alisema kutokana na kukipigania chama hicho ndiyo maana wenzake wamekuwa wakimkubali na hata kumpigia kura nyingi katika nafasi ya ujumbe wa NEC.

Akizungumzia kushindwa kwake kutetea jimbo la Bunda na kuliacha likiangukia mikononi mwa Ester Bulaya wa Chadema, Wasira alilaumu alichokiita mchezo mchafu.

“Pesa nyingi ilitumika, wapinzani waliwanunua wasimamizi, mawakala, baadhi ya viongozi wa CCM na ndiyo maana wengine wamefukuzwa,” alisema Wasira.

“Kwa hiyo wanachama wenzangu wanataka kuonyesha dunia kuwa nilionewa na ndiyo maana wamenipa kura nyingi. Hii kazi haina malipo, ni shughuli ya kujitolea kwa ajili ya wanachama, lengo letu ni kujenga chama, na wakubwa wa chama hiki ni wanachama wenyewe,” alisema.

Wasira alisema jinsi watakavyoijenga CCM, itakuwa kazi ngumu kwa vyama vya upinzani kushinda katika chaguzi zijazo.

Wasira ameshika nafasi mbalimbali katika Serikali na chama ikiwa ni pamoja na kuwahi kuwa Waziri wa Kilimo.

Matendo Yangu Mabaya ndo Chanzo Cha Mimi Kujulikana na Watu- Gigy Money

0
0
Matendo Yangu Mabaya ndo Chanzo Cha Mimi Kujulikana na Watu- Gigy Money
Msanii wa muziki Bongo, Gigy Money amesema matendo yake mengi mabaya ndio yamepelekea watu kumjua.

Muimbaji huyo anayetamba na ngoma ‘Papa’ ameimbia E-Newz ya EATV kuwa licha ya mabaya yake kupelekea kujulikana ila watu wamempenda kutokana na mema anayofanya.

“Mabaya mengi yamefanya nimejulikana ila kupendwa kwangu siyo kwa mabaya bali mema yangu ndio maana watu wananipenda”
amesema Gigy Money.

Pia ameongeza kuwa watu wampende Gigy Money kwa mema yake na mazuri ila mabaya wamuachie kwa sababu hata yeye anajaribu kuyapotezea.

Mwakani Naanza Kutoa Kazi Rasmi- Ferooz

0
0
Mwakani Naanza Kutoa Kazi Rasmi- Ferooz
Msanii Ferooz ambaye sasa anafanya vizuri na ngoma zake mbili 'Nakaza Roho' na 'Najaribu' amefunguka na kusema kuwa mwaka 2018 kwake ndiyo utakuwa mwaka rasmi wa kuanza kuachia kazi zake zilizopo ndani.


Ferooz akiongea na EATV Digital amesema kuwa saizi ameachia wimbo wake mpya 'Najaribu' kama zawadi kwa mashabiki wake kwa ajili ya Christmas na Mwaka mpya ila ataanza rasmi kuachia kazi zake mwakani 2018.

"Saizi nimewapa mashabiki zangu video mpya kama zawadi ya sikukuu ila kazi rasmi zangu zitaanza kutoka mwaka 2018, ambapo kazi yangu ya kwanza ambayo nitaachia mwakani nimewashirikisha Chege pamoja na Rich Mavoko. Kwa hiyo niwaambie tu mashabiki kuwa 2018 ninakuja na kazi za moto zaidi" alisema Ferooz

Jux Amtumia Ujumbe Huu Vanessa Mdee Baada ya Kusaini Universal Music Group

0
0
Jux Amtumia Ujumbe Huu Vanessa Mdee Baada ya Kusaini Universal Music Group
Ni raha kuona mtu wako wa karibu anafanikiwa kupiga hatua kwenye jambo fulani. Jux ameonyesha kufurahia mafanikio ambayo anayapata mpenzi wake Vanessa Mdee.

Baada ya mrembo huyo wa Bounce kusaini dili nono na kampuni ya Universal Music Group, Jux ameonyesha kushindwa kuzuia hisia zake kwa kumpongeza Vee Money kupitia mtandao wa Instagram.

Kupitia mtandao huo Jux ameandika:

@universalmusicgroup @universalmusicgermany Najua unandoto kubwa sana kufika unapotaka na kila siku nakwambia inawezekana utafika tu hii ni moja ya njia kuelekea uko. hongera mama @vanessamdee you deserve this. Safari inaendelea #moneymondays #independentwoman #powerful #africanqueen #smart #cashmadame💰 #levels

Zambia Yasitisha Ajira ya Polisi wa Kichina

0
0
Zambia Yasitisha Ajira ya Polisi wa Kichina
Maafisa wa polisi nchini Zambia wamefutilia mbali mpango wa kuwaajiri raia wanane wa Kichina kuwa polisi nchini humo yapata saa 24 baada ya kuzindua mpango huo kufuatia pingamizi kutoka kwa raia.

Maafisa hao wapya walikuwa wamepewa jukumu la kupiga doria mjini Lusaka siku ya Jumatatu.

Lakini uamuzi huo ulizua hisia kali kutoka kwa raia hususan kutokana na agizo jipya lililotolewa mapema mwaka huu ambalo linapiga marufuku maafisa wa polisi kuoa wageni kutokana na sababu za kiusalama.

Raia wa Zambia wenye uraia wa mataifa mawili pia hawaruhusiwi kujiunga na kikosi cha polisi.

Nyani azima umeme kwa karibu masaa 6 nchini Zambia
Kenneth Kaunda atimiza miaka 93
Dickson Jere, ambaye ni wakili, alisema kuwa uteuzi huo ulikiuka katiba ambayo inasema wazi kuwa, Mzambia yeyote aliye na uraia wa nchi mbili hawezi kujiunga na idara za usalama.

Msemaji wa polisi nchini Zambia Esther Mwata-Katongo, alitetea uteuzi huo wa polisi akisema kuwa kabla ya wao kuteuliwa walichunguzwa na watafanya kazi chini ya usimamizi wa polisi wa kawaida.

Adam Kimbisa Abwagwa Uspika Bunge la Afrika Mashariki

0
0
Adam Kimbisa Abwagwa Uspika Bunge la Afrika Mashariki
Bunge la Afrika Mashariki (Eala) limemchagua Spika kutoka Rwanda, Dk Martin Ngoga katika uchaguzi ulioibua mabishano ya kisheria juu ya uhalali wa kufanyika kwake.

Baada ya dua ya kuliombea Bunge, mbunge Dk Ngwaru Maghembe kutoka Tanzania aliomba mwongozo wa kuliahirisha kutokana na akidi kutotimia kutokana na wabunge tisa wa Burundi na saba wa Tanzania kutokuwepo kwa sababu ambazo hazikujulikana.

Mbunge kutoka Uganda, Freddy Mbidde alipinga hoja hiyo akisema kanuni ya 53(1) inayozungumzia akidi inahusu Bunge rasmi ambalo tayari lina Spika lakini kwa kuwa hawakuwa na Spika kanuni hiyo haina nguvu kisheria.

Mbunge mwingine wa Tanzania, Dk Abdullah Makame alisema kutokana na Bunge kuchelewa kuanza kazi kwa kipindi cha miezi sita kutokana na mwanachama wa EAC nchi ya Kenya kuchelewa kuchagua wabunge ni busara uchaguzi usifanyike hadi wabunge wote wawepo.

Hoja hiyo ilipingwa na mbunge kutoka Uganda, Suzane Nakauki aliyedai hoja ya kutokufanya uchaguzi kwa sababu ya wabunge kutokuwepo haina mashiko kisheria na kikanuni kwa sababu wameorodhesha majina yao kwenye kitabu cha mahudhurio na wamepewa posho na wameamua kwa sababu zisizojulikana kugomea uchaguzi.

Alisema haiwezekani wabunge wa Tanzania ambao wapo nchi mwao washindwe kuhudhuria kikao cha Bunge wakati wapo jijini Arusha, huku waliotoka mbali wakiwepo.

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Balozi Liberat Mfumukeko alisema kila jambo lenye mgogoro kwenye mihimili ya EAC lina utaratibu wa kulimaliza kwa njia ya kuomba ushauri kwa sekretariati, Mahakama, baraza la mawaziri na kikao cha marais.

Hatua hiyo ilimwinua Waziri wa Afrika Mashariki wa Burundi, Isabella Ndahayo aliyesema wabunge wa Burundi hawakuridhishwa na utaratibu wa uchaguzi licha ya kanuni kutamka wazi nafasi ya Spika ni ya mzunguko kwa nchi wanachama.

"Wabunge wa Burundi hawapo kwa sababu hawaridhiki na kinachoendelea, naomba tupewe tafsiri ya nafasi ya Spika kuwa ni mzunguko kwa nchi wanachama, si kwamba tunapinga juhudi za mshikamano wa jumuiya bali tafsiri halisi," alisema Isabella.

Naibu Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Uganda ambayo ni Mwenyekiti wa EAC, Julius Wandera alisema kumekuwa na mashauriano kati ya baraza la mawaziri wa jumuiya hiyo ili kuhakikisha suala hilo linakamilika.

Baada ya mabishano ya kisheria na kanuni, katibu wa bunge aliamua uchaguzi kufanyika na awamu ya kwanza, mgombea kutoka Rwanda, Dk Martin Ngoga alipata kura 35, Leontine Nzeyimana wa Burundi kura moja na Adam Kimbisa wa Tanzania hakupata kura.

Kutokana na kanuni kuhitaji mshindi kupata theluthi mbili ya kura zote 52, uchaguzi ulirudiwa kwa kanuni ya mshindi kupatikana kwa wingi wa kura na Dk Ngoga aliibuka mshindi  kwa kupata kura 33 dhidi kura tatu za Nzeyimana ambaye hakuwepo bungeni.

Baada ya kula kiapo Dk Ngoga ambaye alikuwa mwendesha mashtaka mkuu wa Rwanda alisema anafahamu uchaguzi wowote lazima uache majeraha lakini yupo tayari kushirikiana na kila mbunge kujenga jumuiya hiyo.

Wananchi Wampa Makavu Mtulia Baada ya Kutangaza Kugombea Ubunge Kupitia CCM

0
0
Wananchi Wampa Makavu Mtulia Baada ya Kutangaza Kugombea Ubunge Kupitia CCM
Aliyekuwa Mbunge Kinondoni (CUF), Maulid Mtulia ambaye amehamia CCM ametangaza nia ya kugombea tena ubunge katika jimbo hilo kwa tiketi ya chama hicho  tawala.

Desemba 2 Mtulia alijiuzulu nafasi ya ubunge,  huku akisema amefikia uamuzi huo bila kushawishiwa mtu yeyote na amebaini Serikali ya CCM inafanya kazi kubwa ya kutekeleza Ilani na imefanya vizuri katika mambo mengi ambayo upinzani iliahidi kuyatekeleza.

Baada ya hatua hiyo, chama cha CUF upande wa Profesa  Ibrahim Lipumba  kilitangaza  kuwaomba radhi wapiga kura wa Kinondoni kwa Mtulia kujiuzulu uanachama kisha ubunge.

Lakini  jana Jumanne Desemba 19, 2017 kupitia andiko lake mtandaoni, Mtulia amesema atachukua fomu ya kuomba ridhaa  ya kuteuliwa ndani ya CCM ili agombee tena nafasi hiyo.

"Kwaza, nawasalimu wote na khasa wananchi wenzangu wa jimbo la Kinondoni. Nawapa pole sana kwa maumivu makali mliyoyapata kutokana na uamuzi wangu wa kujiuzulu ubunge wa jimbo letu la Kinondoni kupitia chama cha CUF. Nawahakikishia kwamba bado nawapenda sana na niko tayari kuwatumikia tena kwa lengo la kuleta Maendeleo kwenye jimbo letu" aliandika Mtulia

Mtulia alitumia nafasi hiyo kutangaza nia yake kutaka kugombea; "Nichukie fursa hii kutangaza nia kwa wanakinondoni wote na Watanzania kwa ujumla kuwa nitachukua form ya kuomba ridhaa kwenye chama changu cha CCM na endapo chama changu kitaridhia basi nitakuja mbele yenu kuomba ridhaa ya kuwatumikia katika nafasi ya ubunge wa jimbo letu Kinondoni"

Kufuatia ujumbe huo ndipo hapo baadhi ya wananchi walianza kumpa maneno wakionyesha hisia zao juu ya jambo alilofanya na analotaka kulifanya.

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo

Kutana na Mtabibu wa Nyota Duniani Maalim Fadhil Rashid Kutoka Comoro Kwa sasa Yupo Tanzania

0
0
KUTANA NA MTABIBIBU WANYOTA DUNIANIKOTE MAALIM FADHILI RASHIDI KUTOKA COMORO KWA SASA YUPO TANZANIA NI BINGWA WAKUTIBU MARADHI SUGU KAMA VILE MIGUU KUUMA NA KUWAKA MOTO PRESHA KISUKARI VIDONDA VYA TUMBO PUMU

MAALIM FADHILI RASHIDI ANAJUWA UMEHANGAIKA SANA LAKINI HUJAFANIKIWA MUONE HARAKA AKUSAIDIE ANADAWA ZA KI COMRO DAWAZAKE HABAHATISHI MUONE HARAKA AKUSAIDIE TEZI NAUVIMBE TUMBONI ANAUWEZO WAKURUDISHA MTUALIE POTEA KIMAZINGIRA (MSUKURE) KUMFANYA MKE MUME MPENZI ASIKUSALITI DAWA YA (LIMBWATA) KUMTAWALA MPENZI WAKO UNAVYOTAKA KUMUONA MBAYA WAKO LIVE KWASABABI MALUM ANATOA PETE YA BAHATI INAYO ENDANA NA NYOTA YAKO ITAKAYO KULETEA MALI BILA YA MASHARITI NAKUMILIKI MALI ZAMAJINI DAWA YAKUONGEZA UUME ZAIZI UIPENDAYO DAWA YA NGUVU ZAKIUME PIA ANAYO DAWA YAKUONGEZA HIPS SHEPU KUWA NAUMBO BOMBA KAMA UMEIBIWA AMA KUDHULUMIWA UTARUDISHIWA MALIYAKO NDANI YA MASAA (24) ANAFUNGA KESI NAKUPATA HAKIYAKO DAWA YA MVUTO WABIASHARA KUUZA MALIYAKO KWAHARAKA KUZUIYA CHUMAULETE KUSAFISHA NYOTA NAKUTOWA MIKOSI NA KUPANDISHWA CHEO KAZINI KARIBUNI WOTE TIBA NIKWADINI ZOTE UTAPATA HUDUMA POPOTE ULIPO DUNIANI

CALLING +255719362806/

WHATSAPP CALLING +255785786436
Viewing all 104423 articles
Browse latest View live




Latest Images