Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live

Leicester City Pungufu yaiduwaza Manchester United

$
0
0
Klabu ya Manchester United jana Jumamosi usiku imeduwazwa kwa kulazimishwa sare ya goli 2-2 na klabu ya Leicester City waliocheza pungufu uwanjani, kwenye mchezo wa Ligi Kuu soka England.

Manchester United walionekana kuutawala mchezo huo kuanzia kipindi cha kwanza na ingawaje hadi mapumziko timu zote mbili zilikuwa zimeshafungana goli 1-1, magoli kutoka kwa Jamie Vardy na Juan Mata.

Kipindi cha pili United walianza kuuwasha moto na kufanikiwa kupata goli la pili kupitia kwa Mata kunako dakika ya 60 na watu wengi walijua mchezo ulikuwa umeisha baada ya beki wa Leicester City, Daniel Amartey kulimwa kadi nyekundu.

Leicester wakiwa pungufu walipambana mpaka dakika nne za nyongeza walipofanikiwa kusawazisha goli la pili na kuwaduwaza mashabiki wa Man United.

Kwa matokeo hayo Manchester United bado wamepunguzwa pointi katika mbio za kuusaka ubingwa wa EPL dhidi ya vinara wa Ligi hiyo, Manchester City. Tazama msimamo wa ligi hiyo.

Waziri Mkuu atoa onyo kali kwa Madiwani

$
0
0
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Madiwani katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma kuachana na makundi yanayoigawa Manispaa hiyo kwani yanakwamisha utekelezaji wa miradi.

Waziri mkuu ameyasema hayo leo wakati wa ziara yake ya siku moja katika mkoa wa Ruvuma wakati akizungmza na watumishi pamoja na Madiwani hao ambapo amewaambia kama watashindwa kuzimaliza tofauti zao yeye atawafukuza.

“Madiwani mnaigawa Halmashauri, pamoja na nguvu mliyonayo ya kuiendesha Halmashauri lakini mnaiendesha vibaya, miradi haijengwi vizuri, mmeingiza maslahi binafsi, wakati mwingine pesa zinatumwa mnaanza kubishana tu, sasa ni mwisho mkiendelea tutawafukuza, amesema Waziri Mkuu.

Majaliwa ameongeza kuwa serikali inakusanya kodi ili wananchi wapate maendeleo lakini wao wanachelewesha miradi ya maendeleo kwa malengo ya kuikwamisha Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) hivyo hatakubali na atawafukuza.

Aidha amempongeza Mkurugenzi wa Manispaa hiyo kwa kazi nzuri anayoifanya na kumtaka kuripoti kwake endapo pesa zitaingia kisha Madiwani kuanza kubishana bila utekelezaji ili awashughulikie hata kama ni Meya wa Manispaa hiyo.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0

Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521 

Takribani watu 200 wameripotiwa kufariki Kwa Kimbunga

$
0
0

FILIPINO: Takribani watu 200 wameripotiwa kufariki, huku maelfu ya wengine wakiachwa bila makazi baada ya kimbunga kilichopewa jina la Tembin kuikumba sehemu ya Kusini ya nchi hiyo.
-
Ufilipino inakumbwa na wastani wa vimbunga 20 kwa mwaka vinavyoharibu mali na kusababisha vifo vya watu.
-
Wiki iliyopita watu 46 waliuawa na kimbunga eneo la katikati mwa nchi hiyo na mwaka 2013 kimbuga kikubwa cha Haiyan kiliua watu karibia 8,000 na kuwaacha wengine zaidi ya 200,000 bila makazi.

Huyu Hapa Bingwa wa Magonjwa Sugu Kama Vile Pumu, Vidonda vya Tumbo, Busha, Kisukari na Nguvu za Kiume

$
0
0

BABU MADUHU NI BINGWA WA MAGONJWA YOTE SUGU YANAYOSUMBUA KAMA VILE PUMU, VIDONDA VYA TUMBO, BUSHA, NGUVU ZA KIUME, KISUKARI, MIVUTO YOTE, KUSAFISHA NYOTA, KURUDISHA MALI, NK.

Tatizo la upungufu ukosefu wa nguvu za kiume, maumbile madogo ya uume limekuwa kubwa kwa lika zote hapa duniani

Matatizo hayo sio mageni kigeni ni ile tiba sahihi yakutibu na kuponya haya.chanzo cha hayo matatizo ni:KISUKARI, NGIRI,CHANGO, TUMBO KUUNGURUMA NA KUJAA GESI, KIUNO KUUMA, MAUMIVU YA MGONGO,MAGONJWA YA ZINAA, KORODANI KUVIMBANAKUUMA,VIDONDA VYA TUMBO, NK.

Tiba sahihi nabora ya tatizo la nguvu zakiume ni NYASOSE MIX, Nidawa ya vidonge asilia vilivyotengenezwa kwa kiwango bora na salama kwa ajili yakutibu mojakwamoja tatizo la nguvu za kiume maradufu

1,Hutibu nguvu za kiume mda mfupi sana kati ya umri wa miaka 18-85 naitakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa    dk 20 hadi 40 tendo lakwanza bila kuchoka naitakufanya uwe nahamu yakuendelea na tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila hamu kuisha.

MHESHA POWER Nidawa yakuboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi uipendayo inchi 6,7 hadi 8 kwa mda mfupi sana.dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk 67 ukisha tumia guarantee miaka 55 ikishakutibu.

Pia tunatibu,KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU,MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE, BP, BUSHA BILA UPASUAJI NK.

ITINYA,Nidawa ya mvuto wa biashara,kazi,hupandisha cheo humfanya mfanyakazi apendwe na mwajiri wake,humvuta mme,mke,hawara,mchumba,unaemhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zako kwa dhati utampata kwa mda wa dk 45 tu naatatulia milele nakumfunga asitoke inje ya ndoa.

SUPER POWER,Nidawa ya yakupunguza matiti,unene tumbo,kitambi kwa akina baba,hutoa mafuta mabaya mwilini,makovu sehemu mbalimbali mwilini,chunusi sugu,minyama uzembe,michirizi mwilini,nakuongeza makalio hips,mguu wa bia nk.

BABU MADUHU ANAPATIKANA MAGOMENI MOROCCO HOTEL/KANISANI
SIMU NO 0652 102 152/0755 684 297/0788 330 105.

HUDUMA HII UNAWEZA KUIPATA/KULETEWA MAHALI POPOTE NCHINI

Rose Muhando Awafungukia Wanao Msema Kuhusu Kujiunga na CCM

$
0
0
Msanii wa muziki wa Injili nchini Tanzania, Rose Muhando ameamua kufunguka ya moyoni baada ya kupokea maoni mengi ya watu wakimponda kuhusu maamuzi yake ya kujiunga na Chama cha Mapinduzi.

Rose Muhando amesema wanaomponda na kumkebehi anawachukulia ni watu wa kawaida kwani hawezi kujifunza kwa watu walioshindwa huku akidai ameshazoea kusemwa.

“Watu wengine hawaelewagi nini wanachoongea, wanaongea ili waonekane nao wanaongea. Mimi ni mtu ambaye ninayejitambua sawa eehhh!! mimi hata sijali, nimeshazoea kutukanwa kwahiyo hata sihangaikagi na maneno yao. Mimi ni funzi kwa walioshindwa na nimeondoka kwa walioshinda, walioshindwa wana maneno mengi kutokana na nilishaimba uoga wako ndio umasikini wako, Mimi siwezi kuishi kwa uoga kwenye nchi yangu kwani ni maamuzi yangu na sijavunja sheria ya nchi na ningeogopa zaidi kama ingekuwa ni dhambi.”amesema Rose Muhando kwenye mahojiano yake na E-Gospel ya Radio E-FM.

Mapema mwezi huu kwenye Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi mjini Dodoma, Rose Muhando alialikwa kutumbuiza kwenye mkutano huo na kabla ya kukaribishwa Jukwaani, Katibu Mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole alisema Rose na Kundi lake wamekuja na maombi mawili likiwemo la kujiunga CCM na kutumbuiza huku akisema kuwa vyote vimekubaliwa.

Awali Rose Muhando hakuwa kwenye upande wowote wa vyama vya kisiasa na amesema kujiunga CCM au Chama chochote ni maamuzi yake na sio dhambi wala kosa kisheria.

Amfungia Mumewe Ndani na Kisha Kumchoma Moto - Mtwara

$
0
0
Jeshi la Polisi Mkoani Mtwara linamsaka mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Zuhura Ismail (29) kwa tuhuma za kumuua mume wake baada ya kumfungia ndani na kisha kuichoma nyumba kwa petroli.

Taarifa hizo zimetolewa na Kamanda wa Polisi mkoani humo Lucas Mkondya, ambapo amesema kwamba chanzo cha tukio hilo ni wivu wa mapenzi, baada ya mwanamke huyo kugundua kuwa aliyekuwa mume wake anaishi na mke mwingine, na kuamua kumvizia nyumbani kwake kisha kuichoma moto na kusababisha kifo chake.

"Ni kweli Jeshi la Polisi Mkoani Mtwara linamsaka mwanamke mmoja ayefahamika kwa jina la Zuhura Ismail kwa tuhuma za kuichoma nyumba aliyokuwa anaishi mume wake na mwanamke mwingine, kutokana na wivu wa kimapenzi baada ya Zuhura kugundua kuwa mumewe anaishi na mke mwingine, na kuamua kwenda kuchoma nyumba hiyo moto na kuwasababishia majeraha makubwa, ambapo mumewe alipelekwa hospitali lakini kutokana na majereha hayo makubwa alifariki dunia, lakini mwanamke aliyekuwa nae anaendelea vizuri", amesema Kamanda Mkondya.

Aidha Kamanda Mkondya amesema mara baada ya tukio hilo mwanamke huyo aliyefahamika kwa jina la Zuhura Ismail alitoroka na kwenda kusikojulikana, na Jeshi la Polisi linaendelea kumsaka na pindi atakapopatikana watatoa taarifa.

Mtoto wa Babu Seya aeleza Mengine Kuhusu Baba yao

$
0
0
Familia ya mwanamuziki  Nguza Viking ‘Babu Seya’ na mwanaye Johnson Nguza ‘Papii Kocha’  imeeleza jinsi  mchungaji wa Kanisa la Life in Christ Ministries  Zoe,  lililopo Tabata Segerea jijini Dar es Salaam  alivyotabiri kutoka gerezani kwa wanamuziki hao.

Akizungumza  leo Jumapili Desemba 24 katika ibada ya  kumshukuru Mungu kwa miujiza aliyoitendea familia hiyo iliyofanyika katika kanisa hilo, mtoto wa Babu Seya Michael Nguza 'Nabii Nguza’ amesema utabiri huo sasa umekuwa kweli.

Amesema mchungaji wa kanisa hilo Nabii Joseph alitabiri mara tatu kuwa ndugu zake hao wataachiwa huru.

Babu Seya na Papii Kocha wamekaa gerezani miaka 13 na miezi minne wakikabiliwa na kosa la kubaka na kulawiti watoto 10 wa kike ambao walikuwa wanafunzi wa Shule ya Msingi Mashujaa, Sinza Dar es Salaam.

Waliachiwa huru Desemba 9, mwaka huu kufuatia msamaha wa wafungwa, ukiwahusisha waliofungwa maisha na waliohukumiwa kunyongwa uliotolewa na Rais John Magufuli,  muda mfupi baada kutoka gereza la Ukonga walikwenda katika kanisa hilo na kuombewa na Nabii Joseph kwa takribani saa tano.

Amesema nabii Joseph alitabiri kwa mara kwa kwanza mwaka 2012 na mara ya pili mwaka 2014.

“Utabiri wa tatu ulikuwa Mei 21 mwaka huu. Nabii Joseph alisema amepokea neno la Mungu lenye ujumbe kuwa watu wawili ambao ni baba na mwanaye wataachiwa huru, mmoja atakuwa kijana na mwingine mzee,” amesema na kuongeza,

"Haya mambo si ya kutunga ni ya uhalisia kwa sababu naamini Mungu yupo na nilimuamini sana Nabii Joseph kwa kile alichokuwa akitabiri na nilikuwa naipelekea familia yangu ujumbe gerezani na iliupokea.”

Nuh Mziwanda Akana Kurudiana na Shilole

$
0
0
Staa wa Bongo fleva Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’, amefungukia tetesi za kurudiana na msanii mwenzake wa ambaye pia alikuwa mepenzi wake wa zamani kabla ya kila mtu kushika hamsini zake Zuwena Mohamed ‘Shilole’ kwa kuweka wazi kwamba hana wazo wala hisia zozote za kurudiana na msanii huyo kwa siku za hivi karibuni.

Akizungumzia stori hizo Nuh mziwanda alisema kwamba amekuwa akizisikia tetesi za uwepo wa penzi la chinichini kati yake na Shilole licha ya kwamba mwanamke huyo ni mke wa mtu.

“Siwezi kurudiana na Shilole hata iweje, mimi kurudiana na shilole ni stori tu ambazo watu wanazusha,ukweli siwezi kumrudia mtu huyo. Na sivutiwi kuzungumzia habari zake kwa sasa kwakuwa anamaisha yake ya ndoa takatifu, si vizuri kumwongelea kwa sasa. Siwezi kurudiana na Shishi” alisema Nuh Mziwanda

Yanga Yapeta Kombe la Shilikisho la FA

$
0
0
Yanga Yapeta Kombe la Shilikisho la FA
TIMU ya Yanga Dar African imeweza kuibuka na ushindi wa bao 2-0 dhidi Reha FC inayoshiriki Ligi Daraja la Pili katika mchezo wa Kombe la Shirikisho la FA mzunguko wa pili mchezo uliopigwa katika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.

Mchezo huo ambao timu ya Reha ilianza kwa kushambulia upande wa wapinzani wao na kuwashika vilivyo kwani hadi dakika 45 zinamalizika hakuna timu ailiyofunga katika kipindi cha pili timu ya Yanga ikabadilika na kuanza kujalibu kupiga mashuti ambapo dakika ya 82 mchezaji Pius Buswita aliwapatia Yanga bao la kwanza lilodumu kwa dakika tatu na Amiss Tambwe aliweza kuongeza bao lingine lilowafanya kusonga mbele katika michuano hiyo.

Mr Poul Afunguka Alivyozalilishwa

$
0
0

Mr Poul Afunguka Alivyozalilishwa
Msanii wa muziki wa bongo fleva Mr. Paul ambaye kwa sasa anaishi nchini Australia, amekiri kutokea kwa tukio ambalo lilimdhalilisha sana siku za nyuma mpaka kuandikwa kwenye magazeti, na kusema ni kitu ambacho hatokisahau na ilikuwa aibu kubwa kwake.
AKizungumza kwenye kipindi cha Friday Night Live cha East Africa Television, Mr. Paul amesema tukio hilo la kuandikwa kwenye magazeti kuwa amekuwa chapombe mpaka kufikia hatua ya kulala baa, lilitokana na kunywa pombe baada ya kutoka kumsindikiza mkewe alivyoondoka nchini.
"Nilikuwa nimetoka kumsindikiza mke wangu uwanja wa ndege, nikarudi nikapaki gari lioshwe, nilikuwa sijala chakula nikakutana na marafiki, tukaanza moja mbili tatu bila kula, nikasema ngoja nijiegeze kidogo kwenye viti vya baa, Kilichotokea sielewi, kwa sababu nimeamka nipo home, naona headlines kwenye magazeti jamaa kalewa analala baa sikatai ilitokea, nilikuwa ni aibu, samahani kwa mashabiki wangu, ilikuwa tukio la maramoja tu lakini sio kama cha pombe", amesema Mr. Paul.
Pamoja na hayo Mr. Paul ameomba radhi mashabiki wake kwa tukio hilo, na kusema kwamba lilitokana na stress za kummisi mkewe ambaye alisafiri.

Rais Magufuli Awatumia Salamu za Sikukuu ya Christmass na Mwaka Mpya Watanzania

$
0
0
Rais Magufuli Awatumia Salamu za Sikukuu Watanzania 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefunguka na kuwatakia heri Watanzania wote katika kusherehekea siku ya Christmas na mwaka mpya.
Magufuli ametoa salamu zake hizo kupitia kwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Gerson Msigwa ambapo rais amewataka Watanzania kusherehekea sikukuu hizo kwa utulivu na amani na kuwataka Watanzania mwaka 2018 kuwa pamoja ili nchi iweze kufanikiwa zaidi na zaidi.

Rais a Zanzibar Awajia Juu Wanaodhani Mpole Atoa Onyo Kali

$
0
0
Image result for rais dkt shein
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, amewaonya wale waonadhani kuwa yeyeni mpole na kwamba hawezi kuwachukulia hatua viongozi wa serikali na chama wanaovunja nidhamu na kukiuka taratibu za utendaji.

 Dk. Shein ambaye pia ni Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, ametoa kauli hiyo mjini Zanzibar katika sherehe za kumpongeza baada ya kuchaguliwa tena kushika wadhifa wa Makamu Mwenyekiti wa CCM katika Mkutano Mkuu wa Tisa wa CCM uliofanyika mjini Dodoma hivi karibuni.
Amesema, kiongozi wa nchi anapaswa kutumia taratibu za uongozi na si kukurupuka kwa kuwaadhibu watu bila ya utaratibu.
Amesema yupo madhubuti na imara kwa kuwashughulikia wanaovunja nidhamu ya chama hicho na hatomuonea wala kumuadhibu mtu bila kufuata utaratibu wa maadili ya CCM .

Dereva wa Mwendokasi Afukuzwa Kazi baada Kujisaidia Mlangoni

$
0
0

Dereva wa Mwendokasi Afukuzwa Kazi baada Kujisaidia Mlangoni
Dereva mmoja wa basi la nwendokasi la Kampuni ya Gold Coast nchini Australia amejikuta akisimamishwa kazi baada ya video yake kuvuja ikimuosha akijisaidia haja ndogo mlangoni mwa basi hilo.

Kamera hizo zilimnasa dereva huyo akiwa mlangoni akijisadia haja ndogo bila kujua kama anarekodiwa na baadaye kuingia ndani ya gari ambalo ndani kulikuwa na abiria wawili pekee.
Taarifa kutoka mtandao wa 9 News umeeleza kuwa dereva huyo baada ya video hiyo kuvuja tayari ameshasimamishwa kazi .
Shuhuda wa tukio hilo ambaye ndiye alirekodi tukio video hiyo ameeleza kuwa alifanya hivyo kama makusudi baada ya wiki kadhaa kampuni hiyo kulaumiwa na wateja kuwa madereva wa kampuni hiyo hawana nidhamu.
Watu wamekuwa wakiilaumu Kampuni hii kila siku kuwa madereva wao hawana nidhamu wiki mbili zilizopita kuna dereva alitupa chupa ya plastic iliyokuwa na maji machafu yenye asili ya mkojo lakini kampuni baada ya tukio hilo haikufanya lolote na ndio maana ni karekodi na tukio hili.“amesema shuhuda aliyerekodi tukio hilo aliyejulikana kwa jina moja la Frank kwenye mahojiano yake na
Hata hivyo uongozi wa Kampuni hiyo tayari umeshatangaza kumfuta kazi dereva huyo ambaye hawajamtaja jina lake.
Tumeiona video hiyo na muhusika tumesha msimamisha kazi kwa ajili ya kupisha uchunguzi, Tunajua matukio haya ni mabaya kwenye jamii na kwa kampuni yetu hivyo kama itakuwa ni kweli muhusika tutamchukulia hatua za kinidhamu zaidi.“ameeleza msemaji mkuu wa Kampuni ya Gold Coast.
Tukio hilo limetokea jana  jumamosi na dereva huyo imeelezwa kuwa ni Mchina na alikuwa a

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume.

$
0
0

Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Mali za CCM Kung'oa Vigogo.......Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya Disemba 25

Godbless Lema Awakumbuka Wafungwa....Amuomba Rais Magufuli Aingilie Kati la Wakili Mwale

$
0
0

Leo  ikiwa ni sikukuu ya Krismasi, Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Godbless Lema amewatakia kheri wafungwa na mahabusu nchini.

Lema ambaye pia ni mbunge wa Arusha Mjini (Chadema) katika salamu alizotoa jana Jumapili Desemba 24,2017 amekumbusha kilichomtokea sikukuu ya Krismasi mwaka jana akitaka wenye mamlaka kusimamia haki kwa weledi.

‘’Wakati ninawakumbuka na kuwatakia heri ya Krismasi mahabusu na wafungwa wote nchini ni muhimu watu wote mlioko kwenye vyombo vya sheria mjue wajibu wenu, unapokosa utu na upendo maana yake ni kuumiza watu na kutesa watu mahali fulani,” amesema Lema.

Amesema, “Krismasi mwaka jana nilikuwa nimeshikiliwa kama mahabusu Gereza Kuu Arusha kwa kunyimwa dhamana, tukiwa gerezani mimi na wenzangu tulikuwa tunaandaa sikukuu ya Krismasi.”

Lema amesema anawakumbuka rafiki zake wengi aliokaa nao vizuri ambao wengine wamefungwa na baadhi bado wako mahabusu.

“Kwa kweli zaidi namkumbuka sana wakili Median Mwale ambaye amekuwa mahabusu kwa kipindi cha zaidi ya miaka sita. Ninamuomba Rais aingilie kati suala la Mwale, kwa kweli huyu mtu inatosha kuwepo magereza kwa zaidi ya miaka sita bila kuhukumiwa. DPP najua unajua watu wengi wako magereza, nguvu uliyopewa na sheria inapokosa upendo basi nguvu hiyo inakuwa ni ukatili,” amesema Lema.

Amesema Krismasi mwaka jana alikuwa gerezani baada ya ibada iliyoongozwa na Askofu Lebulu (Josephat - Askofu wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha) walifanya maandalizi ya kula chakula ambacho familia zao  ziliwapelekea.

“Tukiwa tunakula wakili Mwale alisema, Lema wewe utatoka na mimi na wenzangu namuomba Mungu Krismasi inayokuja niweze kuwa nje, kwa bahati mbaya wakili Mwale na rafiki zake bado wameshikiliwa gerezani.”

Amesema kwa kipindi alichokuwa gerezani ameelewa huzuni za familia na watuhumiwa, ndiyo sababu Rais alipowasamehe wafungwa na hasa wenye makosa makubwa alimshukuru kwa sababu anajua huzuni ya kukosa uhuru.

Dr. Shein: Wala Rushwa CCM Wajadiliwe, Watimuliwe

$
0
0

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM), Mwekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amewataka viongozi wa chama kutosita kuwajadili wanachama ambao wanakiuka maadili ya chama hususan vitendo vya rushwa.

Pia, amesema wanachama hao wakishajadiliwa hawatasita kufukuzwa ndani ya CCM na kwamba imefikia hatua baadhi ya watu hao ambao wanafanya vitendo hivyo wanaonewa haya.

Hayo ameyasema jana , katika sherehe za kumpongeza kuchaguliwa tena nafasi ya Makamu Mwenyekiti, iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mkoa Mjini ,ambapo aliwataka viongozi hao kutofumbia macho vitendo hivyo ndani ya CCM.

Katika maongezi yake Dk.Shein aliongeza kuwa vitendo hivyo vya rushwa si jambo jipya ndani ya CCM na kwamba inaharibu sana maadili ya chama.

“Vitendo hivi vya rushwa ndani ya CCM si suala jipya lakini tunaoneana huruma, tunafichiana na baadae tunalalamikiana wakati chama ni ya wanachama hivyo lazima tushirikiane,”alisema.

Makamu Mwenyekiti huyo Dk.Shein alisema utaratibu wa chama kinajielekeza wanachama ambao wanakiuka maadili wanapaswa kujadiliwa kuanzia ngazi za tawi na baadae inawasilishwa kwenye uongozi wa juu na kuchukuliwa hatua.

Alieleza chama kipo kwa wanachama ikiwemo kwenye mashina na matawi na taratibu zinafafanua kuwa ngazi hizo ndipo mambo hayo yanazungumzwa kwamba mwanachama akikiuka maadili anajadiliwa kwenye tawi.

“Anajadiliwa kwenye kamati ya tawi na shina, kamati ya jimbo, kamati ya wilaya, Halmashauri ya wilaya ndipo wanapojadiliwa huku kwamba anafaa ama hafai hachukuliwe hatua za kufukuzwa ama asichukuliwe,”alisema.

Makamu Mwenyekiti huyo alisema utaratibu unaeleza kuwa baada ya kujadiliwa wanachama hao taarifa itapelekwa kwenye ngazi za juu na kufanya maamuzi ya kumfukuza.

“Nachotaka kueleza kuwa kazi hii ni ya wote na kwamba jukumu kubwa ni kuhakikisha CCM inashinda mwaka 2020 msiwafiche watu ambao wanataka kuharibu chama, na kwa kufanya hivyo ni sawa na kuwa ndumi la kuhili tunayoyasema sio tunayoyafanya,”alisema  Makamu Mwenyekiti.

Alifafanua kuwa kazi ya siasa ya kipindi hiki lazima kuongeza kasi ambapo kuna mambo zaidi ya kuyafanya na hata Mwenyekiti Dk.John Magufuli alisisitiza kwenye mkutano mkuu uliofanyika Desemba 18, mwaka huu mjini Dodoma.

Mbali na hilo, Dk.Shein aliwataka viongozi wa serikali kutambua na kuheshimu CCM kutokana na kuwa wanafanya kazi ya utekelezaji wa chama hivyo hawanabudi kukithamni.

Kwa upande wake Naibu Katibu Mkuu Zanzibar, Dk.Abdallah Juma Saadalla(Mabodi), alisema wanachama kutoka visiwani humo wanatarajia kusimamia vyema ibara ya tano ya kuhakikisha CCM inashinda mwaka 2020.

Aliongeza kuwa uchaguzi uliopita ulikuwa na mawimbi makubwa sana lakini watu walioshiriki walikuwa wanastahili.

“Bado tunafanya juhudi za kutoa elimu kwa viongozi wa chama kuhusu suala la kuzingatia kanuni na maadili ili kuhakikisha wanasongesha gurudu la uchaguzi wa mwaka 2020″alisema.

Dk.Mabodi ameeleza  kuwa anamshukuru Mungu kwa kuwa wagombea wote ambao wamepita kwenye uchaguzi huo asilimia kubwa wana maadili ya kutosha.

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.

Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi

+255 622588038au 0679119679 au +255 764318107
NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Hawa ndio mastaa Bongo waliofunga ndoa mwaka 2017

$
0
0
Kabla hatujaumaliza mwaka huu Bongo5, inakuleta orodha ya mastaa kutoka Bongo waliouaga ukapela kwa mwaka huu 2017. List hii inawahusu wasanii wa muziki,waimbaji wa injili,watangazaji na watayarishaji wa muziki.



1. Madam Frola

Baada ya kuachana na mumewe Emannuel Mbasha, Frola ama Mrs Daudi kwa sasa alitangaza kuolewa upya mwaka huu mwezi wa nne. Na ndoa yake ilifungwa Mkoani mwanza na kijana aitwaye Daudi.


2. Defxtro

Prodyuza wa muziki Bongo, Henry Minja a.k.a Defxtro au DX ambaye anafanya kazi zake Jijini Arusha katika studio za Noizmekah alifunga ndoa na mpezi wake mwezi wa sita mwaka huu.


3. Professa Jay

Mbunge wa Jimbo la Mikumi, Joseph Huale a.k.a Profesa Jay alifunga ndoa mwaka huu na mzazi mwezie mwezi wa saba tarehe nane.


4. Babuu wa Kitaa na Kenedy The Remedy



Wote ni watangaziji wa kituo cha Clouds Media Group harusi zao hazikuachana sana japo Babuu alifunga ya Kiislamu mwishoni mwa mwezi Julai ila Kenedy The Remedy alifunga ya Kikiristo Agosti tano.


5. Zamaradi Mketema

Ndoa yake ilikuwa moja ya ndoa iliyovusta hisia za watu kutokana na habari zilziokuwa zikisambaa mitandaoni kwa kukatisha mahusiano yake na Mkurugenzi wa Vipindi wa Clouds, Ndugu Ruge Mtahaba. Ndoa hii ilifungwa mapema mwezi wa Kumi.


6. Dogo Janja na Uwoya

Ndoa yao ilifungwa mwishoni mwa mwezi wa Kumi na ni moja ya ndoa ilayoleta maswali mpaka sasa kuwa je kweli ni ndoa, na kama ni kweli kwa nini mama mzazi wa Dogo janja na Uwoya hawakuonekana hata kwenye picha za sherehe hiyo?


7. Joti

Waliopata bahati ya kuitazma harusi hii kupitia Youtumbe Channel ya Bongo5 watakuwa wanajua kilichokuwa kikiendelea na kutokea ukumbini. Kiufupi tu ndoa hii ilifungwa kanisani na mrembo aitwaye Tumaini mwezi Agosti tarehe 28.


8. Rommy Jones

Huyu ni officila Dj wa Diamon Platnumz, ndoa yake ilifungwa siku ya Jumamosi hivi mwezi wa kumi na mbili mwanzoni na iliudhuriwa na watu wake wa karibu akiwemo mzazi mwenzake na Diamond Platnumz, Zarina Hassan.


9. Shilole

Mrs. Uchebe, kulikuwa na minong’ono ya hapa na pale hatimaye kijana Uchebe ameweza kutimiza ahadi yake ya kumuoa bibie Zuwema maarufu kama Shilole mwezi huu wa kumi na mbili na harusui hii iliudhuliwa na watu wa karibu akiwemo Meneja wa Tip Top Connection Hamisi Tale ak.a Babu Tale.


10. Belle 9

Kutoka Moro Town , Abelinego Damian unawedza muita Belle 9 amefunga ndoa bhivi karibuniu na mpezni wake. Japo Belle mpaka sasa hajaongea choxchote ila kutoka kwa watu wake wa karubu wamempongeza kwa hatua hiyo muhimu katika maisha.
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live




Latest Images