Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104417 articles
Browse latest View live

Hizi Ndizo Rekodi za Omog Simba

0
0
Hizi Ndizo Rekodi za Omog Simba
LICHA ya kocha Joseph Omog raia wa Cameroon kutimuliwa ndani ya kikosi hicho, lakini takwimu zinaonyesha kuwa ipo kazi kwa mrithi wake kufanya kwa ajili ya kuzipiku takwimu ambazo ameziacha kwenye muda wa mwaka mmoja na miezi sita aliodumu kwenye kikosi hicho.

Omog alifungashiwa virago vyake juzi Jumamosi baada ya kikao baina ya pande hizo mbili yaani uongozi wa Simba pamoja na Omog mwenyewe ambapo wote walikubaliana juu ya kusitishwa kwa mkataba wa kocha huyo ambao ulikuwa unaenda hadi tamati ya ligi msimu huu mwezi Mei.


Licha ya kutimuliwa huko lakini kocha huyo atakumbukwa kutokana na kuirejesha timu hiyo kwenye michuano ya kimataifa ambayo kwa misimu minne hawakushiriki baada ya kutwaa ubingwa wa FA walioutwaa msimu uliopita kwa kuwafunga Mbao FC ya Mwanza.


Lakini pia Omog ilibaki kidogo aifikie rekodi ya kocha Patrick Phiri ya kucheza msimu mzima bila ya kuruhusu kupoteza pointi ambapo yeye kwenye msimu mzima alipoteza mechi nne pekee huku akishinda 21 kwenye mechi 30 za msimu mzima.

Pia kocha huyo ana kijirekodi chake kwenye michuano ya Mapinduzi msimu uliopita ambapo alipoteza mechi moja pekee kati ya sita, mechi ambayo ilimtia doa ni ile ya fainali dhidi ya Azam ambayo walifungwa bao 1-0.

Mchanganuo mzima wa mechi za kimashindano ambazo Omog aliiongoza Simba ni kama ifuatvayo.



LIGI KUU

Msimu 2016/17

Mechi 30, kashind a 21, sare 5 na kufungwa 4

Msimu 2017/18

Mechi 11, kashinda 6, sare 5, hajapoteza

Jumla mechi 41, kashinda 27, kafungwa 4 na sare 10

Mapinduzi 2016/17

Kashinda 4, sare 1 na kafungwa 1

Vs Taifa Jang’ombe 2-1

Vs KVZ 1-0

Vs URA 0-0

Vs Jang’ombe Boys 2-0

Vs Yanga 0-0 (penalti 4-2)

Vs Azam 1-0 (kafungwa)

FA

Kashinda mechi 4 kafungwa moja

Msimu wa 2016/17

Vs Polisi 2-0 (ushindi)

Vs Madini 1-0 (ushindi)

Vs Azam 1-0 (ushindi)

Vs Mbao 2-1 (ushindi)

Msimu wa 2017/18

Vs Green 1-1 (kafungwa penalti 4-3)

Sikukuu ya Krismasi yamuendea kombo Mhe. Nape Nnauye Apata Msia

0
0
Sikukuu ya Krismasi yamuendea kombo Mhe. Nape Nnauye Apata Msia
Leo Desemba 25, 2017 ni siku ya furaha kwa wakristo wote duniani ambapo wanaadhimisha siku ya kuzaliwa bwana Yesu Kristu kama inavyotambulika kwa jina la Sikukuu ya Krismasi.



Wakati furaha hiyo ikiwa kwa watu wengi lakini sio siku nzuri kwa Mbunge wa Jimbo la Mtama, Mhe. Nape Nnauye ambaye amefiwa na rafiki yake pia Kada wa CCM namba moja jimboni kwake ambaye alimsaidia kwa kiasi kikubwa katika kampeni zake za kuusaka Ubunge kwenye uchaguzi mkubwa wa mwaka 2015.

Kupitia kwenye ukurasa wake wa Twitter amethibisha hilo kwa kuandika “Nakulilia kaka yangu Mayage! Nilizunguka nawewe ziarani nikiwa Mwenezi, nilijifunza mengi sana kwako! Pumzika kwa amani kada wa kweli wa CCM na mkweli sana, hata pale ukweli unapouma! Binafsi natambua mchango wako! RIP!“.

Mungu akupe nguvu Mhe. Nnauye katika kipindi hiki kigumu kwa kuondokewa na moja ya makada wakubwa wa Chama chako.

Maandamano Baada ya Rais wa Zamani wa Peru Aberto Fujimori Kuachiliwa

0
0
Maandamano Baada ya Rais wa Zamani wa Peru Aberto Fujimori Kuachiliwa
Rais wa Peru Pedro Pablo Kuczynski amemsamehe rais wa zamani Alberto Fujimori katika misingi ya kiafya katika hatua ambayo imezua maandamano makali.

Fujimori, 79, ambaye anatumikia kifungo cha miaka 25 jela kwa ukiukaji wa haki za binadamu na ufisadi alihamishwa kutoka gerezani kwenda hospitalini kutokana na sababu za kiafya siku ya Jumamosi.

Bw Kuczynski alikana kuwa kumsamehe kwake kulikuwa ni sehemu ya makubaliano ya chama chake kuzuia kura ya kutokuwa na imani naye.

Polisi katika mji mkuu Lima walipambana na waandamanaji baada ya kuibuka kwa habari hizo.

Hata hivyo wafuasi wa Fujimor ambaye aliongoza Peru kuanzia mwaka 1990 hadi mwaka 2000 walisherehekea nje ya hospitali ya serikali ambapo alikuwa akipata matibabu.

Anapendwa na baadhi ya rais wa Peru kwa kuwamaliza waasi wa Mao lakini wakosoaji wake wanamtaja kuwa mtawala wa kiimla.

Papa Francis Awataka Wakatoliki Kuwakumbuka Wahamiaji

0
0
Papa Francis amewahimiza waumini wa kanisa la Roma Katoliki wasiwatupia mgongo mamilioni ya wahamiaji ambao wamefukuza kutoka makaazi yao wakati wa misa kabla ya Krismasi

Kiongozi huyo wa dini aliwafananisha wahamiaji na Maria na Yosefu kutoka Bibilia, na namna ambavyo walivyosafiri kutoka Nazareti hadi Bethlehemu bila kupata makazi.

Papa Francis awataka makasisi Nigeria wamtii
Alieeleza kuwa wahamiaji wengi wanalazimika kukimbia viongozi wao ambao 'hawaoni tatizo na kumwaga damu ya wasio na hatia"

Papa Francis amefanya uteteaji wa wahamiaji kama maadhui yake kuu katika uongozi wake.

Image caption
Waumini wakiwa kwenye kanisa huko Bethlehem
Idadi ya wakimbizi duniani imezidi milioni 22,ikiwa idadi kubwa ikitokea kwa warohingya kukimbia uhalifu nchini Myanmar.

"Nyayo zao zimefichwa kwenye nyayo za Yosefu na Maria,' alielezea Papa Francis, ambaye yeye pia ni mjukuu wa wahamiaji kutoka Italia, kwa washirika wa kanisa la St Peters mjini Vatican,jioni ya Jumapili.

Papa amtimua kiongozi wa dini kwa kusambaza kondomu
Kiongozi huyo wa waumini waroma katoliki takriban bilioni 1.2 amesisitiza kuwa imani yao inataka wageni wakaribishwe kila mahali.

Papa Francis anatarajiwa kutoa hotuba yake ya "Urbi et Orbi" , yaani "kwa mji na kwa dunia" siku ya Jumatatu.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumanne ya Disemba 26

0
0


Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumanne ya Disemba 26

Nyota wa Mpira, Emmanuel Eboue Atamani Kujiua Baada ya Kufilisiwa na Mwanamke

0
0
Staa wa soka wa kimataifa wa Ivory Coast aliyewahi kuvichezea vilabu mbalimbali Ulaya kama Arsenal na Galatasaray ya Uturuki Emmanuel Eboue amedai  kufilisika  baada ya talaka, iliyompa mali zote mkewe Auerilie Bertrand

Eboue kwa sasa ana umri wa miaka 34 na anaitumikia adhabu ya kufungiwa mwaka mmoja na FIFA kwa kushindwa kumlipa wakala wake.

Eboue licha ya kutokea katika maisha magumu Ivory Coast alifanikiwa kutengeneza pesa nyingi akiwa katika Ligi Kuu England akiitumikia Arsenal kwa miaka saba.

Beki huyo wa zamani wa Arsenal kwa sasa yupo katika maisha magumu na analala chini kwa rafiki yake huku akishindwa kulipia pesa nguo zake ziende dry cleaner, hivyo analazimika kufua kwa mikono. Eboue anatajwa kuelekea kufilisika kutokana na kutalakiana na mkewe.

Hali hiyo imemfanya Eboue kuwa masikini  kutokana na utajiri wake wote kumuandikisha mkewe.

Kisheria wakiachana mali zote zitakuwa za mwanamke ambaye amezaa nae watoto watatu, jambo ambalo Eboue linamfanya aumie kichwa na kuweka wazi kuwa mara kadhaa linamjia wazo la kujiua kichwani kwake na anaomba Mungu aliepuke.

 Eboue ameichezea Arsenal kwa miaka saba kabla ya mwaka 2011 kuamua kujiunga na Galatasaray ya Uturuki.

“Pesa zote ambazo nilikuwa naingiza nilikuwa natuma kwa mke wangu kwa ajili ya watoto wetu, nikiwa Galatasaray Uturuki nilikuwa naingiza euro milioni nane na nilikuwa namtumia euro milioni 7, chochote alichokuwa anataka nisaini nilikuwa nasaini”-Eboue

Harmorapa Akiri Kwenda Kwa Mganga wa Kienyeji Kisa Penzi la Wema Sepetu

0
0
Msanii wa muziki wa bongo fleva Harmorapa amefunguka na kusema kuwa katika mwaka 2017 amehangaika kulipata penzi la mwanadada Wema Sepetu kiasi cha kuamua kwenda kwa mganga wa kienyeji mara tatu ili aweze kumpata mrembo huyo.

Harmorapa akiongea  kwenye kipindi cha eNewz cha EATV amedai kuwa baada ya kuhangaika kwa marafiki zake Wema Sepetu na kugonga mwamba aliamua kwenda kwa babu (mganga) ambapo amedai kwa mara ya kwanza aliambiwa apeleke kuku mweupe, na alipeleka huyo kuku lakini aliporudi mjini Dar es Salaam mambo yake yakawa bado vile vile.

"Nimemuendea kwa babu Wema Sepetu mara tatu, nilipokwenda mara ya kwanza niliambiwa nipeleke kuku mweupe, nikapeleka zangu yule kuku mganga akafanya yake lakini niliporudi mjini sikuona mabadiliko yoyote yale, nikamfuata tena babu akaniambia nipeleke vitu vingine viwili ambavyo hapa nashindwa kuvisema" alisema Harmorapa

Harmorapa aliendelea kufunguka jinsi ambavyo amehangaika  kulitafuta penzi la Wema Sepetu na kudai ilifika wakati aliambiwa apeleke mchanga wa unyayo wa Wema Sepetu au mchanga ambao mwanadada huyo ametemea mate, kitu ambacho Harmorapa amedai kilikuwa kigumu sana kwake kwa sababu hapati nafasi ya kukutana live  na Wema Sepetu.

Hata hivyo Harmorapa kwa sasa amesema amemwachia Mungu juu ya jambo hilo baada ya kuona harakati za kwa mganga wa kienyeji zinakwama.

Miujiza ya Sharifu Seif Mohamed..JE Umeachwa na Mme/Mke au Mpenzi, Umesongwa na Mitihani ya Maisha..Piga Simu Upate Muujiza Wako

0
0
HARIFU SEIF MOHAMED ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOENDELEA KUPIGA SIMU, WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA  SHUKRANI NA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO WASAIDIA,

(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

SHARIFU MOHAMED Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN, Dawa za Asili, Dawa za Kiarabu na majini kwa kumtuliza mke/mme, mchumba au mpenzi ndani ya masaa 72 tu, na kutatua matatizo yote ya kimaisha,

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu SHARIFU SEIF sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata Atakacho Kuelekeza

ANAZO DAWA ZA MAPENZI, NGUVU ZA KIUME, CHANGO NGIRI MAJI NA N.K, ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA, HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA, ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUKSI NA VIFUNGO MBALIMBALI,  MAFANIKIO YA MAISHA NA UTAJIRI BILA MASHARI, NA MENGINE MENGI YA SIRI,

Je UMAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? WASILIANA NA MTAALAMU HUYU KWANI YEYE HUFAULU PALE WOTE WALIPOSHINDWA, PIA UMALIZA KAZI ZILIZO SHINDIKANA NA WATAALAM WENGINE NDANI YA MASAA 24 TU,

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE AU MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFWATA MAELEKEZO YAKE)

Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi Piga SIMU No:

Mobile +255 654-836970
WhatsApp +255 756-033670 

Baada ya Simba Kumtimua Omog, Amegoma Kuondoka

0
0
Baada ya Simba Kumtimua Omog, Amegoma Kuondoka
ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Simba Mcameroon, Joseph Omog, amegoma kuondoka jijini Dar es Salaam akisubiria malipo yake kutoka kwa mabosi wake wa zamani.

Awali, kulikuwepo na taarifa za kocha huyo kuondoka jana lakini imeshindikana mara baada ya viongozi wa timu hiyo kumsitishia mkataba wake wa kuendelea kuifundisha Simba.

Simba ilimsitishia mkataba huo kocha huyo mara baada ya matokeo mabaya waliyoyapata dhidi ya Green Warriors inayoshiriki Ligi Daraja la Pili katika hatua ya pili ya Kombe la FA.

Kwa mujibu wa taarifa ambazo imezipata Championi Jumatatu, kocha huyo yupo nyumbani kwake Kunduchi Beach jijini Dar es Salaam anapoishi akisubiria

malipo hayo ya fedha kutoka kwa mfanyabiashara, Mohamed Dewji ambaye amekabidhiwa kuiongoza klabu hiyo.

Mtoa taarifa huyo alisema, kocha huyo ameahidiwa kupewa malipo yake ya fedha hizo kuanzia leo Jumatatu hadi Jumatano atakuwa amepatiwa na tayari kuanza safari ya kurudi kwao.

Aliongeza kuwa, tayari wamefikia muafaka mzuri wa kumlipa kocha huyo kwa kipindi cha takribani miezi sita alichokibakiza tangu asaini mkataba wa miaka miwili ya kuifundisha Simba.

“Kuna picha zinaenea zikimuonyesha Omog ameondoka, niseme kuwa siyo ukweli bado yupo nchini akisubiria malipo yake ya fedha ya mkataba wake wa miezi sita alioubakisha.

“Hivyo, basi amepanga kuondoka nchini kati ya Jumatatu au Jumatano ya wiki ijayo baada ya kupatiwa

fedha hizo, kama unavyojua kesho Jumatatu ni sikukuu ya Krismasi, hivyo benki zote zitakuwa zimefungwa.

“Hivyo viongozi hao wamemtaarifu kuwa malipo yake yatafanywa kuanzia wiki ijayo mara baada ya sikukuu hiyo kumalizika ndiyo ataondoka akiwa amekamilisha kila kitu chake,” alisema mtoa taarifa.

Alipotafutwa Kaimu Makamu wa rais wa timu hiyo, Iddy Kajuna kuzungumzia hilo simu yake ya mkononi iliita bila ya mafanikio ya kupokelewa.

Alipotafutwa Omog jana mchana alisema hataki kuzungumza chochote kuhusiana na Simba lakini akasisitiza yupo jijini Dar na ataondoka muda wowote baada ya kumalizana na Simba kuhusiana na malipo yake.

“Kuhusu Simba sitaki kuzungumza chochote rafiki yangu, nitaondoka baada ya kumalizana na uongozi,” alisema kwa ufupi Omog.

Ali Choki Asema Vyuma Vimekaza

0
0
Ali Choki Asema Vyuma Vimekaza
MWANAMUZIKI nguli wa muziki wa dansi nchini, Ally Choky amesema kuwa kukaza kwa vyuma kumesababisha mashabiki wengi kutohudhuria kwenye maonyesho mbalimbali ya muziki.



Choky ambaye ni Mwanamuziki wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, amesema kwa sasa hali ni mbaya katika bendi karibu zote.



“Ukitaka kujua kuwa vyuma vimekaza, wewe angalia shoo nyingi hazina mashabiki kama zamani. Sisi kama Twanga Pepeta tunaendelea kupambana na hali yetu hadi kieleweke maana lazima maisha yaendelee na tuna imani mambo yatabadilika,” alisema Choky.

Harmorapa Afunguka Kumuendea Wema kwa Mganga Mara Tatu ili Ampata

0
0
Harmorapa Afunguka Kumuendea Wema kwa Mganga Mara Tatu ili Ampata
Msanii wa muziki wa bongo fleva Harmorapa amefunguka na kusema kuwa katika mwaka 2017 amehangaika kulipata penzi la mwanadada Wema Sepetu kiasi cha kuamua kwenda kwa mganga wa kienyeji mara tatu ili aweze kumpata mrembo huyo.


Harmorapa akipiga stori kwenye kipindi cha eNewz cha EATV amedai kuwa baada ya kuhangaika kwa marafiki zake Wema Sepetu na kugonga mwamba aliamua kwenda kwa babu (mganga) ambapo amedai kwa mara ya kwanza aliambiwa apeleke kuku mweupe, na alipeleka huyo kuku lakini aliporudi mjini Dar es Salaam mambo yake yakawa bado vile vile.

"Nimemuendea kwa babu Wema Sepetu mara tatu, nilipokwenda mara ya kwanza niliambiwa nipeleke kuku mweupe, nikapeleka zangu yule kuku mganga akafanya yake lakini niliporudi mjini sikuona mabadiliko yoyote yale, nikamfuata tena babu akaniambia nipeleke vitu vingine viwili ambavyo hapa nashindwa kuvisema" alisema Harmorapa

Harmorapa aliendelea kufunguka jinsi ambavyo amehangaika na kulitafuta penzi la Wema Sepetu na kudai ilifika wakati aliambiwa apeleke mchanga wa unyayo wa Wema Sepetu au mchanga ambao mwanadada huyo ametemea mate, kitu ambacho Harmorapa amedai kilikuwa kigumu sana kwake kwa sababu hapati nafasi ya kukutana live  Wema Sepetu.

Hata hivyo Harmorapa kwa sasa amesema amemwachia Mungu juu ya jambo hilo baada ya kuona harakati za kwa mganga wa kienyeji zinakwama.

Wizkid na Davido Wamaliza Beef Lao Kwa Namna Hii Watoa Somo kwa Diamond na Alikiba

0
0
Wizkid na Davido Wamaliza Beef Lao Kwa Namna Hii Watoa Somo kwa Diamond na Alikiba
Wasanii wakubwa nchini Nigeria Wizkid na Davido usiku wa kuamkia jana Desemba 25, 2017, wamewaacha midomo wazi mashabiki wao ambao tangu mwaka 2013 walikuwa wakiamini kuwa wawili hao wanatofauti kama sio bifu katika muziki.

Wawili hao jana Desemba 24, 2017, kwenye tamasha la Wizkid The Concert lililoandaliwa na Wizkid, Davido alipanda jukwaani na kutumbuiza pamoja na Wizkid.

Surprise hiyo iliamsha shangwe kwa mashabiki waliohudhuria kwenye tamasha hilo na kuondoa tetesi za muda mrefu kuwa wawili hao wana bifu.

Nzuri zaidi ni kwamba hata wimbo ulioimbwa haukuwa wa WizKid bali ulikuwa ni wimbo mpya wa FIA wa  Davido.

Hii ni mara ya kwanza kwa mastaa hao kutumbuiza kwa pamoja nchini Nigeria Tangu mwaka 2015 walivyotumbuiza kwa pamoja.

Soma zaidi – Video: Davido na Wizkid watumbuiza pamoja kwenye jukwaa moja Lagos

Hii inatoa picha ya moja kwa moja kuwa ni funzo tosha kwa wasanii wakubwa hapa Tanzania, Diamond Platnumz na Alikiba kuwa ni muda wao kuwashangaza mashabiki wao ambao kila siku wanapandikiza chuki za kukuza bifu kati ya wawili hao.

Je, ipo siku tutashuhudia Diamond akitumbuiza jukwaa moja na Alikiba kwenye show maalumu ya Diamond au Alikiba kutumbuiza kwenye ya Diamond? Acha tusubiri muda utatuambia.

Tukio hilo la Davido kumpa sapoti Wizkid limepokelewa kwa mtazamo chanya kwa mashabiki wao duniani kote na wapenzi wa muziki nchini Nigeria. Soma baadhi ya maoni ya mashabiki na video ya tukio hilo

Tanzia: Tasnia ya Habari Yapata Pigo Mayage Amefariki Dunia.

0
0
Tanzia: Tasnia ya Habari Yapata Pigo Mayage Amefariki Dunia.
Mwandishi wa habari mwandamizi, Mayage S. Mayage amefariki dunia.

Mayage (56), amefariki dunia leo Jumapili Desemba 25,2017 katika Hospitali ya Misheni ya Mbweni jijini Dar es Salaam, alikokuwa amelazwa.

Emmanuel ambaye ni mdogo wake na Mayage katika taarifa amesema madaktari waligundua kaka yake alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya saratani na kifua kikuu.

“Mayage aligundulika kuwa na saratani mwaka mmoja uliopita na alipata matibabu katika hospitali mbalimbali nchini zikiwemo Ocean Road na Muhimbili,” amesema.

Amesema hali yake iliimarika kwa muda, lakini ikabadilika wiki tatu zilizopita na kusababisha kulazwa katika Hospitali ya Mbweni.

Emmanuel amesema Mayage atazikwa Alhamisi Desemba 28,2017 katika makaburi ya Mbweni eneo la Maputo.

Amesema utaratibu unaendelea kufanyika nyumbani kwa Mayage, Mbweni Kijijini eneo la Maputo ambako ndugu na jamaa wanakutana.

Mayage alianza kazi za uandishi wa habari mwaka 1995 katika kampuni ya Habari Corporation Ltd (HCL).

Baadaye alifanya kazi hiyo akiwa mwandishi wa kujitegemea akijiita “mwandishi huru” na alifanya kazi katika magazeti ya Raia Tanzania, MwanaHalisi na hadi kifo chake alikuwa akifanya kazi na gazeti la Tazama.

Salva Rweyemamu, aliyekuwa mhariri mtendaji wa magazeti ya HCL amemzungumzia Mayage akisema alikuwa mwandishi mzuri, mahiri, asiyeogopa na aliyefanya kazi kwa weledi.

Amesema alikuwa mchambuzi mzuri wa habari za siasa.

“Mayage hakushindwa kazi yoyote aliyotumwa, ukimwagiza lazima uwe na uhakika wa kuifanikisha, hakika tumepoteza mchapakazi,” amesema Salva.

Gwajima Atoboa Siri ya Kufanikiwa

0
0
Gwajima Atoboa Siri ya Kufanikiwa
Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amesema hakuna mtu anayeweza kupata mafanikio kwa kuanzia juu.

Askofu Gwajima amesema hayo leo Jumatatu Desemba 25,2017 akihubiri katika ibada ya Krismasi. Amesema anayeanzia juu ipo siku atashuka chini.

Amesema kwa kawaida mafanikio ya mwanadamu yeyote duniani ni lazima yaanzie chini.

"Hata Yesu alizaliwa kwenye hori la ng'ombe, sehemu ya chini kabisa lakini ndiye aliyetukomboa na dhambi. Ogopa kilichozaliwa kwenye hori, ukiona mtu ameanzia juu jua kuna siku atashuka," amesema.

Askofu Gwajima amesema ingewezekana Yesu kuzaliwa sehemu ya heshima lakini Mungu alitaka iwe hivyo kudhihirisha utukufu wake kwamba, kilichozaliwa kwenye hori la ng'ombe ni kikuu.

Amesema chochote kinachoonekana kinyonge na kidhaifu leo, kisidharauliwe kwa sababu ipo siku kitaheshimiwa.

Akitoa mfano amesema hata yeye alianzia chini kwa kuuza mihogo na barafu.

Amewatia moyo waumini walio hatua ya awali ya maisha akiwataka kutokata tamaa kwa sababu kuna wakati wa kuinuliwa.

"Niwaambie tu msiogope, aliyeanza kwa udhaifu atamaliza kwa heshima," amesema.

Amewataka kujenga tabia ya kuwasikiliza hata wale aliowaita waropokaji kwa sababu kuna wakati Mungu anaweza kuwatumia wakawa na ujumbe wenye kujenga.


Muunganiko wa Rosa Ree na Young Dee Kuichafua Leo Dodoma Pale Maisha Club....Yasemekana eti Hao Wawili ni?

0
0
Ikufikie hii mpya kutoka makao makuu ya Tanzania Dodoma, Leo siku ya Tarehe 26 Boxing day vijana wawili kutoka kiwanda cha muziki wa Bongo Flava Wataburudisha pale Maisha Club, Show inayosemekana kuwa itakuwa Baab kubwa ya Kufunga Mwaka....ila pia kuna tetesi kuwa eti hao ni.....Malizia hapo kwa sauti ya Soudy Brown...


Huyu Hapa Bingwa wa Magonjwa Sugu Kama Vile Pumu, Vidonda vya Tumbo, Busha, Kisukari na Nguvu za Kiume

0
0
BABU MADUHU NI BINGWA WA MAGONJWA YOTE SUGU YANAYOSUMBUA KAMA VILE PUMU, VIDONDA VYA TUMBO, BUSHA, NGUVU ZA KIUME, KISUKARI, MIVUTO YOTE, KUSAFISHA NYOTA, KURUDISHA MALI, NK.

Tatizo la upungufu ukosefu wa nguvu za kiume, maumbile madogo ya uume limekuwa kubwa kwa lika zote hapa duniani

Matatizo hayo sio mageni kigeni ni ile tiba sahihi yakutibu na kuponya haya.chanzo cha hayo matatizo ni:KISUKARI, NGIRI,CHANGO, TUMBO KUUNGURUMA NA KUJAA GESI, KIUNO KUUMA, MAUMIVU YA MGONGO,MAGONJWA YA ZINAA, KORODANI KUVIMBANAKUUMA,VIDONDA VYA TUMBO, NK.

Tiba sahihi nabora ya tatizo la nguvu zakiume ni NYASOSE MIX, Nidawa ya vidonge asilia vilivyotengenezwa kwa kiwango bora na salama kwa ajili yakutibu mojakwamoja tatizo la nguvu za kiume maradufu

1,Hutibu nguvu za kiume mda mfupi sana kati ya umri wa miaka 18-85 naitakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa    dk 20 hadi 40 tendo lakwanza bila kuchoka naitakufanya uwe nahamu yakuendelea na tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila hamu kuisha.

MHESHA POWER Nidawa yakuboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi uipendayo inchi 6,7 hadi 8 kwa mda mfupi sana.dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk 67 ukisha tumia guarantee miaka 55 ikishakutibu.

Pia tunatibu,KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU,MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE, BP, BUSHA BILA UPASUAJI NK.

ITINYA,Nidawa ya mvuto wa biashara,kazi,hupandisha cheo humfanya mfanyakazi apendwe na mwajiri wake,humvuta mme,mke,hawara,mchumba,unaemhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zako kwa dhati utampata kwa mda wa dk 45 tu naatatulia milele nakumfunga asitoke inje ya ndoa.

SUPER POWER,Nidawa ya yakupunguza matiti,unene tumbo,kitambi kwa akina baba,hutoa mafuta mabaya mwilini,makovu sehemu mbalimbali mwilini,chunusi sugu,minyama uzembe,michirizi mwilini,nakuongeza makalio hips,mguu wa bia nk.

BABU MADUHU ANAPATIKANA MAGOMENI MOROCCO HOTEL/KANISANI
SIMU NO 0652 102 152/0755 684 297/0788 330 105.

HUDUMA HII UNAWEZA KUIPATA/KULETEWA MAHALI POPOTE NCHINI

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa

0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.

Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi

+255 622588038au 0679119679 au +255 764318107
NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Waasi Wachoma Moto Nyumba ya Kabila

0
0
Waasi Wachoma Moto  Nyumba ya Kabila
Nyumba ya Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Joseph Kabila imechomwa moto katika shambulizi linaloshukiwa kufanywa na waasi, ambapo askari mmoja aliuawa


Tukio hilo limetokea Desemba 25, 2017, ambapo taarifa zinasema kuwa waasi wa kundi lijulikanalo Mai Mai walijaribu kuiba mali kutoka makazi hayo ya rais yaliyoko eneo la Musienene, katika jimbo la Kivu ya Kaskazini.

Wakati wa tukio Rais Kabila hakuwa kwenye nyumba hiyo ambayo iko kijijini maili 1,680 Mashariki mwa mji wa Kinshasa, huku kundi la Mai Mai na kundi la waasi wa ADF wakiwa washukiwa wa kwanza juu ya tukio hilo.

Hivi karibuni Rais Kabila amekuwa akipingwa na wanasiasa mbali mbali kwa kitendo chake cha kutaka kugombea nafasi ya urais kwa muhula mwengine.

Wanachama Wengine Zaidi 1,200, Wa Chadema Watimkia CCM

0
0
Wanachama Wengine  Zaidi 1,200, Wa Chadema Watimkia CCM
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimezidi kumomonyoka baada ya wanachama wao zaidi 1,200, wakiwemo viongozi wakuu wa Wilaya ya Ngorongoro, kuhamia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Miongoni mwa viongozi waliohama ni pamoja na aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema wa Wilaya Ngorongoro, Samweli Ole Nakumbale, aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo hilo mwaka 2015, Elias Ngorisa na aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Vijana (BAVITA) Wilaya ya Ngorongoro, Wiliam ole Telele.
Wakizungumza baada ya kuomba kurudi CCM na kupokewa wakati wa uzinduzi wa kampeni za CCM za ubunge katika Jimbo la Longido juzi, walisema kuwa ubinafsi ndani ya Chadema umekithiri na vyeo katika chama hicho hutolewa kwa kuangalia sura na ukabila.
“Nilikuwa kada wa CCM nikachukuliwa na mafuriko ya mwaka 2015 nimekaa huko hakuna kipya ni usanii mtupu. Chama hakina hata ofisi ya wilaya kwenye baadhi ya mikoa lakini baada ya kulinganisha nikaona kweli nimepotea njia,” alisema Nakumbale.
Naye Ngorisa alisema mwanaume mwenye busara, ni yule anayejitafakari na kujitathimini katika maamuzi yake. “Nimekaa nimetafakari kwa kina, nikaona kweli kuna mahali nilikosea na ndiyo maana nikaamua kurudi CCM, kwa kuwa ilani yake inatekelezeka kwa vitendo na wananchi wanafurahia utendaji wa Rais John Magufuli”.
Alisema kibaya zaidi amekuwa akiandikwa vibaya kila siku kwenye mitandao ya kijamii kwa mambo ya uongo na uzushi yasiyokuwa na tija, hali ambayo imemfanya arudi CCM.
“Nimetuhumiwa sana kwenye mitandao nikiitwa msaliti wakati si kweli, lakini sasa kutokana na tuhuma zao ambazo hazikuwa na mashiko nimeamua kurudi CCM.
“Nimekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro kwa miaka 10 kupitia CCM na ukweli kuna mahali tulikosea baadhi ya viongozi, tulikuwa na maslahi binafsi badala ya kuhangaika na kero za wananchi, lakini Mungu ametupa Rais mzalendo aliyejitoa sadaka kwa ajili ya kupambana na mafisadi na kusimamia rasilimali za nchi,” alisema.
Kwa upande wake, mfanyabiashara maarufu katika Wilaya ya Longido ambaye pia ni Laigwanani wa mila ya jamii ya Kimasai, Eliya Malari alisema wazee wa mila walilala kwake siku 10 wakimuomba arudi CCM, na baada ya kutafakari utendaji wa Rais Magufuli, alikubali ombi la wazee hao na kuamua kurudi CCM na wafuasi wake

Viewing all 104417 articles
Browse latest View live




Latest Images