Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104776 articles
Browse latest View live

VIDEO: Watumishi Wauma Kupata Kibano

$
0
0

Serikali kupitia sekretalieti ya Maadili imewataka viongozi wote wa umma kujaza fomu ya Tamko la Maandishi ambalo linaorodhesha Mali,ama Rasilimali wanazomiliki kabla ya Tarehe 31 Desemba mwaka huu.

Rasilimali hizo ni zile zinazo jumuisha Mali za mke/mume pamoja na watoto wao ambao wamezidi umri kuanzia miaka 18 kuwasilisha kwa Kamishna wa Maadili ,ambapo kwenye tamko hilo litajumuisha mali na rasilimali za kiongozi husika.

Kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ibara ya 132 ya 1977 sekretalieti hiyo ya maadili ya viongozi wa umma ni idara inayojitegemea chini ya ofisi ya Rais ,ambayo ilianzishwa kwaajili ya kusimamia utekelezaji wa sheria ya maadili ya viongozi wa umma namba 13 ya mwaka 1995.

Akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es salaam leo Kamishna wa Maadili Jaji Mstaafu Harold R. Nsekela amesema sekretalieti hiyo inatoa wito kwa viongozi wa Umma ambao hadi sasa bado hawajapata fomu ,wapitie Tovuti ya www.ethicssecretariat.go.tz ambapo huko ndipo zinapopatikana fomu za Tamko la Rasilimali na Madeni.

Aidha amesema Baada ya kujaza fomu hizo kiongozi atatakiwa kuziwasilisha katika ofisi za sekretalieti ya maadili ya viongozi wa Umma Dar es salaam au katika ofisi kanda ya kati Dodoma,kanda ya ziwa Mwanza,na kanda ya nyanda za juu kusini zilizoko Mjini Mbeya.

Hata hivyo viongozi wamekumbushwa kuwa, ni kosa kwa Mujibu wa kifungu cha 15 (C)cha Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma kwa kiongozi kushindwa kutoa Tamko bila sababu ya Msingi .

Kwa upande wake Afisa Sheria Mkuu wa Sekretalieti ya Maadili ya viongozi wa Umma Bw. Filotheus Manuca amesema kwa mwaka jana hakukuwa na kiongozi yeyote ambae alifikishwa kwenye baraza la Maadili ,na kusema kazi kubwa sekretalieti hiyo ni kuhakikisha kila kiongozi wa Umma anakuwa Muadilifu.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.......USISAHAU KUSUBSCRIBE

Rais John Magufuli ametunukiwa tuzo ya amani ya Mandela (Mandela Peace Prize)

$
0
0

Johannesburg, Afrika Kusini. Rais John Magufuli ametunukiwa tuzo ya amani ya Mandela (Mandela Peace Prize) kwa kuendeleza shughuli ya kulinda amani na kupigania usawa wa kijamii.

Kamati ya tuzo za Mandela kwa mwaka 2017 ilipokea maombi ya wawania tuzo 4,956.

Wengine waliotunukiwa ni Rais Uhuru Kenyatta aliyeshinda tuzo ya Mandela ya Demokrasia kutokana na kuendeleza demokrasia nchini Kenya.

Pia, Mahakama ya Juu nchini Kenya na Jeshi la Zimbabwe zimetunukiwa tuzo ya ujasiri (Mandela Boldness) kwa kufanya uamuzi kwa kijasiri kwa masilahi ya mataifa yao.

Rais wa Taasisi ya Mandela, Dk Paul Kananura amesema Rais Kenyatta ametunukiwa kwa kudhihirisha demokrasia kwa kukubali uamuzi wa Mahakama ya Juu hivyo kuheshimu kanuni za utengano wa mamlaka.

Mahakama ya Juu ya Kenya ilibatilisha matokeo ya urais katika uchaguzi wa Agosti 8,2017 yaliyompa ushindi Kenyatta na kuamuru uchaguzi kurudiwa ambao alishiriki na kuibuka mshindi.

"Hii inaonyesha kuwa Rais Kenyatta amechangia katika uimarishaji wa demokrasia Kenya,” amesema Dk Kananura.

Rais wa Chad, Idriss Itno amepata tuzo ya Mandela ya Ulinzi (Mandela Security) kutokana na sera ya kupambana na ugaidi katika maeneo ya Sahel na Ziwa Chad.

Mwingine ni Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza aliyetuzwa tuzo ya ujasiri (Mandela Courage).

Neema Yaja Kwa Watanzania

$
0
0

Serikali ya awamu ya tano kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imejipanga kuanzisha mfuko wa Bima ya Afya kwa watu wote nchini jambo litalosaidia kupunguza gharama za matibabu kwa kiasi kikubwa.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile kwenye ziara Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma katika Taasisi ya Kiuma inayomiliki Hospitali, Chuo cha Uuguzi na Kanisa la Upendo wa Kristo.

“Tunatambua kwamba si kila mtu anamudu gharama hizo, kwa bahati mbaya ugonjwa unakuja wakati hatuja jiandaa, serikali imeliona hilo, pamoja na mikakati tunayoendelea nayo ya Bima ya Afya ya NHIF na CHF, tunatarajia kuja na utaratibu wa bima ya afya kwa wote, suala la matibabu lisiwe la kuwaza” alisema Dkt. Faustine Ndugulile.

Dkt. Faustine aliendelea kusema kwamba, Serikali inaendelea kufanya vizuri barani Afrika na Dunia kwa ujumla kwa upande wa utoaji chanjo, kwani imefikia asilimia 97 ya walengwa wote wanaohitaji chanjo nchini jambo linalosaidia kutunza Afya za watu katika jamii.

“Tumefkia hatua kubwa sana ya walengwa wote wanaohitaji kupata chanjo, jambo linaloifanya Tanzania kuwa moja kati ya nchi chache sana zilizofikia malengo hayo” alisema Dkt. Faustine

Aidha Serikali imetoa fedha kwa Vituo vya Afya 172 kwa lengo la kujenga thieta, Chumba cha Kujifungulia, Wodi ya Wazazi, nyumba ya Watumishi na Maabara, Huku Wilaya ya Tunduru ikifanikiwa kupata fedha hizo kwa vituo viwili, kikiwepo kituo cha Afya cha Mkasale.

Kwa upande mwingine Dkt. Faustine ameupongeza uongozi wa Taasisi ya Kiuma kwa kazi kubwa na nzuri wanayoifanya ikiwemo kutoa huduma za afya kwa wananchi, kutoa ajira, jambo linalotokana na uwekezaji mkubwa uliofanywa na Taasisi hiyo hivyo kuipunguzia mzigo Serikali katika nyanja hizo.

Shirika Lisilomuamini Mungu Kuwazawadia Watahiniwa Waliofeli Masomo ya Dini

$
0
0

Shirika la watu wasioamini uwepo wa Mungu nchini Kenya (AIK) limetangaza kuwazawadia watahiniwa waliofeli zaidi kwenye masomo ya dini katika mtihani wa kidato cha nne mwaka 2017.

Shirika hilo limewataka wanafunzi wote waliopata alama E kwenye mtihani huo kutuma maombi, likitangaza kuwa wanafunzi wawili bora wa kiume na wa kike watapokea Sh10,000 ya Kenya kila mmoja.

Katika tangazo linalozunguka mitandaoni, shirika hilo limesema kuwa nia ya tuzo hizo ni kuendeleza pingamizi dhidi ya Imani za kidini na kusherehekea matokeo mabaya katika masomo ya dini.

“Tunatoa zawadi ya Sh10,000 kwa wanafunzi waliopata alama ya E katika masomo ya dini ya CRE, IRE na HRE katika matokeo ya mtihani wa 2017. Hatutaki mhisi kuwa mlifeli katika masomo haya. Kinyume chake mlifanya vyema sana,”  umesema ujumbe huo.

Shirika hilo linasema litazawadia mvulana na msichana bora zaidi (kwa maana ya waliofeli zaidi) baada ya maombi kutumwa na kupitiwa kwa kina.

“Tutapitia maombi yatakayotumwa ili kubaini washindi. Ili kushiriki, lazima mmoja awe alipata alama ya E katika mtihani wa KCSE katika moja ya masomo ya dini, na  watakaoshinda watachapishwa katika mtandao wetu mnamo Januari 10 na kualikwa kupewa zawadi zao katika sherehe itakayoandaliwa", imesema taarifa hiyo.

Tangazo hilo aidha linasema kuwa si lazima kwa mmoja kuwa muumini wa imani zao ili kushiriki, ila tu yeyote aliyefanya mtihani mwaka huu na akapata alama E.

Mange Kimambi Aampa Makavu Live Zari Kwa Kumgombania Diamond Mitandaoni

$
0
0

From @mangekimambi_ - I have one question, huyu si alisema kuwa ‘I don’t fight for men, I make money???’

Seriously Zari anatia huruma. Why mtoto wa miaka 24 anamsumbua hivi?? I swear this is not the life a woman of her age should be living. Seriously where is the dignity? The self worth, the self love etc?

Seriously mimi sasa hivi kama kuna kitu I refuse to do ni kupigania mwanaume jamani. Nakumbuka yule Mzimbabwe na baba Kenzo walivyoliamsha dude insta watu walikuwa wanani shauri nirudiane na Baba Kenzo ili nimkomeshe sijui nini, but I refused to embarrass myself! My happiness came first na sio kumkomesha yule mzimbabwe. Yani sikuangalia nyuma........

These are stuff women do in their teens and early 20s but not at her age jamani!! Yani kabaki analamba lambana na Dai Snapchat kumwoshea Hamisa? 🤦🏽‍♀️

Ati she knew he had a family etc, but he is not a married man. Jesus Christ! Why won’t he marry you so the other women will realize he is taken?? Why is he still a bachelor??? . It’s been 3 years with 1 or 2 kids but he still won’t marry you and you are out here fighting for him like this? Girrrrl Get that man to marry you first! 🤦🏽‍♀️

Ati she opened her legs? No YOUR MAN opened her legs. Why all the blame on her?? Seriously as women we need to do better? Especially at Bi Tukinao’s age!!! Why she behaving like a teenager?? .

Ati kamake peace with his mistake??😳 what mistake? Everybody found out about them after Nyimbo ya Salome, if it was a mistake pale ndio wangeachana, but nooooooooo, akaendelea nae mpaka akamtia mimba, How is that make a mistake?? Wewe sema you have made peace with being with a serial cheater......

I swear huyu Diamond atakuwa mtamu sana, all these women out here making a fool of themselves over him?? 😩😭

Ati why is she posting #TBT be careful what you wish for!

Lastly as a word of advice to all women out there. We need to do better! Fighting for men is outdated, stupid and degrading! Whatever happened to self esteem??

Mahubiri Yampoza Kakobe...Kuhojiwa na Polisi Baada ya Kuipa Makavu Serikali

$
0
0

DAR: Jeshi la Polisi limesema ni lazima litamhoji Askofu na kiongozi wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, Zachary Kakobe

Kuhojiwa kwa Askofu huyo kunatokana na kauli yake aliyoitoa dhidi ya Serikali wakati akiongoza ibada ya Christmas

Kamanda wa Polisi wa Dar es Salam, amenukuliwa akisema kuwa Kiongozi huyo wa kidoho alitoa maneno ya kashfa katika mahubiri yake, lakini hana taarifa kama amekamatwa.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

BASATA yaikana kamati ya Miss Tanzania

$
0
0
Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) limekanusha taarifa iliyotolewa na waandaaji wa shindano la Miss Tanzania ya LINO Agency, kwamba Baraza hilo ni moja ya chanzo cha kukwamisha shindano hilo kufanyika.

Kweye taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari, BASATA imesema ilitoa kibali cha muda kwa kampuni hiyo kuweza kushughulikia matatizo yake, pamoja na kuratibu safari ya Miss Tanzania 2017 aliyeshiriki mashindano ya Miss World mwaka huu.

Taarifa hiyo imeendelea kwa kutoa wito kwa makampuni yanayoandaa mashindano ya sanaa kuongeza weledi, na kuzingatia sheria, ili kuepuka matatizo kama hayo.

Isome hapo chini


Naibu Spika Aumwagia Sifa Wimbo wa Kivuruge wa Nandy

$
0
0
Naibu Spika, Dk Tulia Ackson ameusifia wimbo wa Kivuruge ulioimbwa na msanii wa muziki wa kizazi kipya, Nandy akieleza kuwa umebeba ujumbe mzuri wa masuala yanayotokea kweli katika jamii.

Wimbo huo unamuelezea mwanamke  anayelalamikia kusumbuliwa katika mapenzi  licha ya kuwa anafanya kila awezalo kumridhisha mpenzi wake.

Kwenye mtandao wa Youtube video ya wimbo huo imetazamwa na watu zaidi ya 600,000, ikiwa ni siku ya nane tangu ilipowekwa kwenye mtandao huo.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Dk Tulia ameandika “Kwa jitihada hizi natumaini utafika mbali zaidi, uvumilivu na nidhamu ni vya kuzingatia kwenda kwenye mafanikio. Wimbo wako Kivuruge tumeupokea kwa mikono miwili,”

Mbali na kufuatiliwa zaidi katika mtandao wa youtube, Kivuruge pia imekuwa ikifanya vyema katika vituo mbalimbali vya redio na televisheni kutokana na kuchezwa mara kwa mara.

Nandy ameingia kwenye orodha ya wasanii wa kike waliofanya kazi kubwa kwenye muziki mwaka 2017 kupitia kazi zake mbalimbali na nyingine alizoshirikishwa.

Meya wa CHADEMA akanusha Tuhuma Kuhamia CCM

$
0
0
Meya wa Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro, Raymond Mboya amekanusha tetesi za kujivua wadhifa wake huo na kuhama chake cha Chadema na kuhamia CCM.

Mboya ambaye ni diwani wa Kata ya Longuo ametajwa kwamba ana lengo la  kukihama chama hicho, lakini amekanusha na kusema kuhama chama na kuacha kazi sio kuunga mkono Serikali  bali ni kuchezea rasilimali za nchi.

Akizungumza na waandishi wa habari jana Desemba 27  ofisini kwake alisema, taarifa zinazosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusu kutaka kuhama chama sio za kweli na wananchi wapuuze.

“Kila mmoja anaunga mkono Serikali  lakini sio kwa kuacha kazi na kumuunga mkono mtu anayefanya kazi” amesema  Mboya.

Alisema wanaofanya hivyo hawazitendei haki kazi ambazo wamepewa na wananchi hivyo wanatakiwa kuunga mkono kazi za Serikali kwa kufanya kazi ili kuleta maendeleo kwa wananchi na taifa kwa ujumla.

Alisema “ tumechaguliwa na wananchi ili tuwatumikie na sio wametuchagua ili tuharibu rasilimali”

Hata hivyo alisema katika kuunga mkono sera ya viwanda, manispaa hiyo inatarajia kuanzisha kiwanda kidogo cha mbolea inayotokana na takataka zinazolalishwa na wakazi wake.

Alisema  kiwanda hicho ambacho kitaanzishwa kwa kushirikiana na serikali ya Ujerumani kitajengwa katika eneo la dampo kuu la takataka ambalo liko Kaloleni.

“Tunamuunga mkono Rais (Magufuli) katika suala la ujenzi wa viwanda na kweli juhudi zake zimetupendeza na tumeamua tutamuunga mkono mwezi Februari mwaka 2018, kwa kujenga kiwanda kipya cha kutengeneza mbolea eneo la Kaloleni…Tunasubiri barua rasmi ya uwekezaji wa mradi huo kutoka kwa wenzetu ambao ni mji dada wa Tübingen,” alisema.

Katika taarifa yake, Meya huyo alisema mwezi Januari, mwakani, Tubingen na Manispaa ya Moshi, watasaini makubaliano ya ujenzi wa kiwanda hicho kinachotarajiwa kutumia malighafi ambayo ni takataka zinazokusanywa katika Manispaa ya Moshi.

Alisema kwa sasa wanajiandaa kwenda kutoa taarifa na kutambulisha mradi huo kwa Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage.

Kwa mujibu wa Raymond, kila siku mji wa Moshi unazalisha taka, kati ya tani 180 hadi 200 na kwamba timu ya wataalamu wa ujenzi wa kiwanda hicho kutoka nchini Ujerumani, wameshakuja na kufanya tathmini na kujiridhisha malighafi hiyo inaweza kuendesha uzalishaji wa mbolea.

Ujenzi wa kiwanda hicho, unatokana na kukosekana kwa teknolojia ya kubadili taka ngumu zinazozalishwa na wakazi wa Manispaa ya Moshi ili zitumike kama nishati.

Kutana na Sharifu Juma Mohamedi Mtabiri Wa Nyota Za Binadamu Duniani

$
0
0
KUTANA NA SHARIFU JUMA MOHAMEDI NIMTABIBU WANYOTA ZA BINANADAM DUNIANIKOTE RUDISHA MAHUSIANO NA MPEZIWAKO NDANI YA MASAA (72) TU SHARIFU JUMA MOHAMED ANATIBU MARADHI SUGU KAMA VILE MIGUU KUUMA NA KUWAKAMOTO PRESHA KISUKARI VIDONDA VYATUMBO PUMU NA TEZI NA UVIMBETUMBONI

ANAUWEZO WAKURUDISHA MTUALIE A KIMAZINGIRA (MSUKURE) KUMFANYA MUME MKE MPENZI ASIKUSALITI DAWA YA (LIMBWATA) KUMTAWALAMPENZIWAKO UNAVYOTAKA KUMUONA MBAYAWAKO LIV KWASABABU MAALUM ANATOA PETE YA BAHATI INAYO ENDANA NA NYOTA YAKO ITAKAYO KULETEA PESA BILA YA MASHARITI NA ITAKUONGOZA KATIKA SHUGURI ZAKO NAKUMILIKI PESA ZAMAJINI DAWA YA UZAZI KWAKINAMAMA KUSHIKA UJAUZITO NDANI YASIKU 14 UWELEWA WAMASOMO DARASANI PAMOJA NAKUFAULU MITIHANI DAWA YA NGUVU ZAKIUME NAKUREFUSHA UUME SAIZI UIPENDAYO KAMA UMEIBIWA AMA KUDHULUMIWA UTARUDISHIWA MALIYAKO NDANI YAMASAA(24) ANAFUNGAKESI NAKUPATA HAKIYAKO DAWA YA MVUTO WABIASHARA KUUZA MALI YAKO KWA HARAKA PIA ANAWEKA KINGA KWENYE SHAMBA NYUMBA KIWANJA NA KWENYE VYOMBO VYAUSAFIRI

KUZUIYA CHUMA ULETE KUSAFISHA NYOTA NAKUONDOWA MIKOSI PIA ANA PUNGA MARUHANI ANATOWA MAJINI MACHAFU DAWA YA KUACHAPOMBE NASIGARA UTAPATA HUDUMAHII POPOTE ULIPO DUNIANI


CALLING WHATSAPP+255713679496

Taifa Stars yalamba Udhamini Mnono wa Jezi

$
0
0
Shirikisho  la Soka nchini (TFF), limeingia mkataba mnono na Kampuni ya Macron ambayo kuanzia sasa ndiyo mdhamini mkuu wa jezi za timu zote za Taifa; Taifa Stars, Twiga Stars na Serengeti Boys.

Aidha, udhamini huo wa miaka miwili wenye thamani ya Euro 700,000 zaidi ya Sh. bilioni 1.8 za Tanzania umegawanyika katika sehemu kuu mbili ambazo ni jezi na vifaa vingine vya michezo, pamoja na fedha taslimu.

Akizungumza wakati wa utiaji rasmi saini ya makubaliano hayo wakati wa mkutano wa TFF na Wahariri wa Vyombo vya Habari nchini, Kaimu Katibu Mkuu wa shirikisho hilo, Wilfred Kidau, alisema hiii ni mara ya kwanza kwa timu za Taifa kupata mkataba mnono kama huo.

"Kwa mwaka tutakuwa tukipata euro 150,000 ambapo kwa miaka miwili ni euro 300,000 (takriban Sh. milioni 800) hizo zikiwa ni mbali ya kupewa jezi na vifaa vingine, hii ni mara ya kwanza kwa timu zetu za taifa kupata udhamini wa jezi mkubwa kama huu," alisema Kidau.

Kwa upande wa Rais wa TFF, alisema bado wanaendelea kutafuta wadhamini kwa timu hiyo na ile ya Tanzania Bara, Kilimanjaro Stars ambayo haihusiki katika udhamini huo wa Macron.

"Mchakato huu umechukua muda mrefu na walikuwapo washindani wengi, lakini Kampuni ya Macron ndiyo imeshinda, na hatuishii hapo tu bado tunahitaji wadhamini wengine watakaoidhamini pia Kilimanjaro Stars.

"Kuna mengi tutakayofaidika katika mkataba huu, kwani pia tutakuwa tukipata sehemu ya mauzo ya jezi za timu ya Taifa na pia sasa itakuwa ni vigumu kutengenezwa na kuuzwa kiholela," alisema Karia.

Aliongeza kwa kufafanua kuwa awali ilikuwa vigumu kudhibiti watengenezaji na wauzaji holela kwa kuwa hata nembo ya TFF ilikuwa haijasajiliwa jambo ambalo kwa sasa limefanyika kabla ya kukamilisha mchakato huo wa udhamini.

Karia alisema faida ya uuzwaji wa jezi hiyo itaonekana kwa sasa kwa kuwa anaamini kutokana na Rais John Magufuli, kudhibiti uingizwaji uholela wa bidhaa nchini kwa kuimarisha ulinzi mipakani na bandarini, itakuwa ni vigumu kwa wale waliokuwa wakitumia ujanja huo kujinufaisha.

Polisi Adaiwa Kumuua kwa Risasi Mchumba wake JWTZ

$
0
0
Askari  wa kike wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Kikosi cha 514 KJ Makambako mkoani Njombe, ameuawa kwa kupigwa risasi na mchumba wake ambaye ni askari wa Jeshi la Polisi, Inadaiwa kuwa tukio hilo, lilitokana na kuibuka ugomvi kati yao.

Inadaiwa askari huyo namba H 2299 Zakaria Dotto, alimpiga risasi mbili mchumba wake, Neema Masanja (25) mkazi wa Mtaa wa Jeshini Kata ya Maguvani Halmashauri ya Mji wa Makambako mkoani Njombe, baada ya kuibuka ugomvi kati yao saa 12 jana alfajiri.

Wakizungumza katika eneo la tukio, majirani wa marehemu walisema majira ya alfajiri walisikia risasi zikirindima katika chumba cha marehemu na walipoangalia nje ya nyumba hiyo walimuona mdogo wake akimkimbiza mtu ambaye hawakumuona sura.

Mmiliki wa nyumba hiyo ambayo marehemu alikuwa amepanga, Asty Lusambo, alisema alisikia kishindo cha risasi na alipofungua dirisha akiwa na mkewe, walimuona mdogo wa marehemu akimkimbiza mtu.

Mke wa Lusambo, Sophia Manyika, alisema alimfuata mdogo wa marehemu na baadaye alimkuta katika msitu wa Jeshi akiwa amechoka na chini yake kukiwa na bunduki aina ya SMG ambayo ilitupwa na mtuhumiwa wa mauaji hayo na kupotelea msituni.

Ofisa Mtendaji wa Mtaa wa Jeshini, Afrah Mbunju, alisema tukio hilo lilitokea mtaani kwake na alipofika eneo la tukio alisimuliwa na mashuhuda kuhusiana na kilichotokea.

Mtendaji huyo alieleza kuwa wawili hao walikuwa wachumba ambao ni wakazi wa mtaa wake.

“Mwanaume ambaye ni askari wa Jeshi la Polisi alikuwa anatakiwa kwenda lindo latika moja ya taasisi za kifedha ambapo alimkuta huyo binti nyumbani kwake akijiandaa kwenda kazini, ndipo ukaibuka ugomvi na marehemu amekutwa akiwa na mikwaruzo shingoni akiwa ameuawa,” alisema Mbunju.

Alisema askari hao ni wakazi wa kijiji kimoja mkoani Mwanza na walikuwa wanatarajia kuoana kwa kuwa mwanaume alikuwa ameshapeleka mahari.

Aliongeza: “Walikuwa ni wachumba tayari miezi michache iliyopita wametoleana mahari na walikuwa wanatarajia kuoana Februari mwakani.”

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Makambako, Dk. Kesha Mgunda, alithibitisha kuupokea mwili wa marehemu kwa ajili ya uchunguzi na baada ya uchunguzi waliukabidhi kwa ndugu wa marehemu ambao wameuhifadhi katika hospitali ya Ilembula kwa ajili ya taratibu za maziko.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Njombe, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Pudensiana Protas, alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kuwa mtuhumiwa alikuwa kazini, lakini alitoroka lindo kabla ya tukio hilo.

Alisema Jeshi hilo linaendelea na msako wa askari huyo na kuwataka wananchi kutoa taarifa popote watakapomuona.

Nandy Amshukuru Naibu Spika kwa Kuusifia Wimbo wake wa Kivuruge

$
0
0
Msanii wa muziki wa bongo fleva Nandy, amesema anamshukuru Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa pongezi alizompa, kwani ni kitu ambacho hakikutarajia.

Nandy amesema kuwa ni kitu cha faraja kuona anapongezwa na kiongozi mkubwa serikalini, hivyo kimempa faraja.

“Nimefurahi kwa sababu ni mtu ambaye ananisapoti sana, na imenipa faraja sana kwani sikutarajia, kwa sababu mi nilitumiwa kwenye group nikaiona, basi nikampigia simu nikaongea naye nikamshukuru”, amesema Nandy.

Jana  Naibu Spika Tulia Ackson alipost kwenye instagram yake akimpongeza Nandy kwa jitihada zake anazozifanya kwenye kazi yake ya sana ya muziki.


Trump aitaka Zimbabwe kuacha kutumia Dola ya Marekani

$
0
0
Rais wa Marekani, Donald Trump amesema utawala wake uko tayari kufanya kazi na Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe lakini amesisitiza kuwa hilo litawezekana iwapo taifa hilo litaacha kuendelea kutumia Dola ya Marekani.

Amelitaka kutotumia dola hiyo na badala yake lianzishe mfumo utakaohakikisha linatumia sarafu yake ya Zimbabwe. Kwa miaka mingi Zimbabwe ilikoma kutumia sarafu yake na kutumia ile ya Marekani hali ambayo ilikosolewa vikali na wanauchumi.

Duru za habari zimenukuu Waziri anayeshughulikia masuala ya Afrika, Don Yamamoto akisema Zimbabwe anapaswa kudhibiti uchumi wake na siyo kuendelea kutegemea sarafu ya nje.

“ Hivi leo hali ya uchumi wa Zimbabwe ni mbaya. Taifa hili linaagiza chakula kutoka nje, taasisi zake za kiuchumi hazipo katika hali nzuri. Wamelazimika kutumia Dola ya Marekani. Hawapaswi kutegemea sarafu ya Marekani au taifa lingine lolote la kigeni. Haya ndiyo mageuzi tunayopenda kuona yakifanyika sasa,” amenukuliwa waziri huyo akisema.

Amesema Marekani iko tayari kusaidia magaeuzi ya kiuchumi na kisiasa nchini Zimbabwe ili kurejesha taifa hilo katika hali yake ya kawaida. Hatua hiyo imekuja huku Rais Mnangagwa akiyataka mataifa ya magharibi kuliondolewa vikwazo taifa lake vilivyowekwa wakati wa utawala wa mtangulizi wake, Robert Mugabe.

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.

Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi

+255 622588038au 0679119679 au +255 764318107

NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Rais Hajakataa Kukosolewa Lakini njia zitumikazo Kumkosoa ni za Hovyo

$
0
0
Kusimama majukwani tena madhabahuni kumkosoa Mkuu Wa nchi siyo njia sahihi na siyo njia ya staha kutumia!! Mkuu Wa dini anaheshimika na kila mtu hata Mungu anamheshimu sana tu!! Hivyo ukitaka kumuona Mkuu Wa nchi kwa lengo na kutaka kumhekimisha ( maana Kuhani au askofu anatakiwa awe na hekima ya kimungu ili kuwahekimisha wanadamu) sidhani kama utakataliwa pale ikulu kumuona mh rais! Kingine kulingana na katiba ya JMT mh rais halazimishwi mahala popote kufuata ushauri Wa MTU!!

Kiongozi Wa dini kuropoka hovyo juu ya Mkuu Wa nchi nikumkosea heshima muumba wako ,ni kuihalifu Biblia na maandishi matakatifu!! Hata Yesu huyo anayehubiriwa na wakuu Wa dini hakuwahi kuwakashfu wakuu Wa waserikali na ndiyo maana hata Pilato alikosa kosa la kumshitaki ndipo aliposema kuwa: sijaona hatia yoyote juu ya MTU huyu!! Haya yote ni kwa sababu Yesu au Issa Bin Mariam alihubiri njili ya amani yenye kuleta toba !!

Kiongozi Wa dini kazi yake ni kuhubiri njili ya amani iletayo toba ili watu waokoke!! Hakuna mahala popote Yesu alihubiri majukwani akimlazima Pilato au herode kuwa aokoke!! Mwenye heshima MPE heshima yake!Jifunzeni kwa Yohana mbatizaji alipojaribu kumkosoa Herode!! Njili ya Yohana mbatizaji ilikatizwa kwa kuchinjwa kichwa labda mahala pengine haikuwa sahihi kumkosoa hadhalani mfalme herode!!
Ukitaka kumhubiri Mkuu Wa nchi mwalike oficine kwako aanza kumhubiri!!
Ikulu ina tovuti ramsi ,mh rais ana email address kwa nini tusitumie njia hizi kutoa ushauri kwa rais! mh rais anayajua maovu ya kila mtu lakini hakuna mahala popote amewadhalilisha wakuu Wa dini kwa sababu anajua kwa kufanya hivyo atakuwa anagombana na Mungu !! Ikiwa anawaheshimu ninyi kwa nini msimheshimu?

Kazi ya Muumini na kiongozi wadini ni kuiombea serikali ikiyoko kadarakani regardless ni nzuri au mbaya!! Kuomba tu na siyo kuropoka majukwani!! Kuropoka majukwani ni dalili ya mtu aliyefilisika kiroho Sasa Anataka kupambana kimwili!! Biblia au Quran haijatufundisha kuwakashifu ,kuwakemea ,kuwatukana ,kuwakebehi ,kuwadhakilisha viongozi wetu!!!

Sasa wewe unatumia Biblia au Quran gani? Au umetunga Biblia au Quran ya kwako!!!
Umesomea wapi theologia mpaka kuwa askofu Wa kuwatukana watu? Au umesomea kuzimu kwa shetani ambaye ni mwasi tangia asili?? Lakini kama ulisomea kuzimu au shetani ndiye kakufundisha basi utashushwa mpaka kuzimu kama shetani alivyoshushwa mpaka kuzimu baada ya kuendesha uasi mbinguni!!

Tuwavumilie viongozi wetu kama vile tuwavumiliavyo waumini wengine Wa madhehebu yetu!! Muda wao wadarakani ni miaka mitano tu wakijitahidi ni miaka kumi!! Kwani kuleta matengano wakati kazi yetu ilitakiwa kuleta mshikamano?

Viongozi wa umma watakiwa kukabidhi orodha ya mali zao kabla ya Desemba 31

$
0
0
Na Jacquiline Mrisho
 Kamishna wa Maadili, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Mstaafu Harold Nsekela amewahimiza Viongozi wa Umma kukamilisha taratibu za ujazaji wa fomu za tamko la rasilimali na madeni kabla ya Disemba 31 mwaka huu.

Ametoa kauli hiyo jana Jijini Dar es Salaam alipokuwa akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma inayomtaka kiongozi wa umma kupeleka tamko kwa maandishi lililo katika hati rasmi linaloorodhesha mali au rasilimali za kiongozi na familia yake kwa Kamishna wa Maadili kila mwisho wa mwaka.

Jaji Mstaafu Nsekela amesema kuwa fomu za tamko hilo zinapatikana kwenye tovuti ya Sekretarieti ya maadili ambayo ni www.ethicssecretariat.go.tz hivyo ametoa wito kwa viongozi ambao hadi sasa hawajapata fomu kutumia tovuti hiyo kupata fomu kwa urahisi.

“Kwa kuzingatia kifungu cha 9 (1) (a) na (c) cha Sheria na Maadili ya Viongozi wa Umma, viongozi wapya wanaochaguliwa au kuteuliwa wanatakiwa kujaza fomu hizi ndani ya siku thelathini baada ya kupewa wadhifa fulani pia anapofika mwisho wa kutumikia wadhifa huo anapaswa kujaza fomu na kuzirejesha katika ofisi yetu,” alisema Jaji Mstaafu Nsekela.

Jaji Mstaafu Nsekela amefafanua kuwa fomu hizo zinatakiwa kuwasilishwa katika Ofisi ya Sekretarieti ya Maadili ya viongozi wa Umma zilizopo Jijini Dar es Salaam au katika ofisi zao za Kanda zilizopo katika Mikoa ya Dodoma, Mwanza, Arusha, Mtwara, Tabora, Pwani na Mbeya.

Kwa upande wake Afisa Sheria Mkuu wa Sekretarieti hiyo, Filotheus Manula amesema kuwa kujaza fomu hizo ni takwa la kikatiba hivyo Viongozi wa Umma wahakikishe wanajaza fomu hizo bila kudanganya.

“Ni kosa kwa mujibu wa Kifungu cha 15(c) cha Sheria za Maadili ya Viongozi wa Umma kwa kiongozi kushindwa kutoa tamko bila sababu ya msingi kwani sheria hizi hazimzuii kiongozi kumiliki au kuwa na mali nyingi bali mali hizo zinatakiwa kutolewa maelezo ya chanzo cha upatikanaji wake,” alisema Manula.

Aidha, Manula amefafanua kuwa kosa hilo linaweza kumpelekea muhusika kuonywa au kupewa adhabu ya kushushwa cheo, kusimamishwa, kufukuzwa kazi pamoja na kupelekwa Mahakamani.

Vile vile Manula amesema kuwa kwa sasa hali ya uadilifu kwa Viongozi wa Umma inaridhisha kwani ukiukwaji wa maadili umepungua kwa kiasi kikubwa.

Arusha: Askofu Mkuu Jimbo Katoliki Aachia Ngazi

$
0
0
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Arusha, Joseph Lebulu ameng’atuka katika nafasi yake hiyo leo baada ya Baba Mtakatifu Francis kukubali ombi lililowasilishwa kwake.

Katibu mkuu wa TEC, Raymond Saba amethibitisha na kusema kuwa Papa Francis amemteua Askofu Isaac Massawe wa Jimbo Katoliki Moshi, kuwa Askofu Mkuu mpya wa Jimbo Kuu la Arusha.

Kwa mujibu wa redio Vatican, Askofu Mkuu mteule Massawe alizaliwa Juni 10, 1951 huko Mango, Jimbo Katoliki la Moshi.

Alipata upadri Juni 29,1975 na Novemba 21, 2007 aliteuliwa na Baba Mtakatifu mstaafu Benedict XVI kuwa Askofu wa Jimbo Katoliki Moshi na aliwekwa wakfu Februari 22,2008 na Kardinali Polycarp Pengo, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam akisaidiana na Askofu Mkuu Lebulu na Askofu Amedeus Msarikie (sasa marehemu) wa Jimbo Katoliki la Moshi. Hivi karibuni, aliteuliwa kuwa msimamizi wa kitume Jimbo Katoliki la Mbulu.
Viewing all 104776 articles
Browse latest View live




Latest Images